U
KURASA
WA
2 CHECHE ZA FIKRA
TUWAAMBIE “HAPANA DOWANS”
zotolewa na watu mbalimbali waki-wemo wabunge mashuhuri kama Mhe.Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini-CHADEMA), Mhe. Harrison Mwakyembe(CCM-Kyela) na Mhe. William Shelukindo(CCM-Bumbuli) tumeona ni lazima tu-chukue msimamo ambao tunaamini kwamuda mrefu ujao utakuwa na maslahimakubwa zaidi kwa taifa kuliko tatizo lamuda mfupi uliopo.Msimamo wetu ni wa kupinga kwanguvu na kwa kauli moja isiyo na utata jaribio na mpango wowote wa serikalikununua majenereta ya umeme kutokakwa kampuni ya Dowans kamailivyopendekezwa na kupigiwa debe nauongozi wa Tanesco, Wizara, baadhi yawabunge. Tunakataa kabisa kwa Watan-zania kuendelewa kuchukuliwa kwadharau, au kuonwa kuwa hatuitakii nchimema au hatuelewi uharaka au ulazimahali ya nishati nchini.Msimamo wetu huu tunauchukua kwamaumivu makubwa kwa sababu tuna-tambua wazi suala la nishati ni muhimusana kwa taifa na maendeleo ya nchi yoyote ile. Tunatambua vile vile kwambaTaifa letu liko katika wakati ambapohatuwezi kufanikiwa pasipo kuwa nachanzo cha kudumu na cha kuaminikacha nishati. Tunatambua katika kuchu-kua msimamo tunaweza kusimama peke yetu kama manabii wa zamani walio-tengwa na jamii zao kutokana naujumbe wao kutokuwa wa kupendezakwa watawala.Ni kwa sababu hiyo basi tunajuagharama ya kuchukua msimamo usio naumaarufu hasa kwa kuzingatia sualanyeti kama la nishati. Hata hivyo wakatimgumu unahitaji maamuzi magumu vilevile.Tunazo sababu kadhaa za kupingaununuzi wa mitambo ya kuzalishaumeme ambayo inauzwa na kampuni yaDowans. Tunazianisha sababu hizokama ifuatavyo.
1. Tatizo la nishati Tanzania hali-wezi kuendelea kushughu-likiwa kwa vipande vipande.
Kwa muda mrefu sasa tumeona seri-kali inavyoshughulikia tatizo lanishati. Kwa mtazamo wetutunaweza kusema pasipo shakakuwa serikali haina nia ya dhati nakusudio la kweli la kuondoa tatizo lanishati ya umeme nchini. Kwamiongo kadhaa sasa suala la nishatilimekuwa likishughulikiwa kwakibaba.Leo jenereta, kesho jenereta jingine, ke-shokutwa bwawadogo la maji, namtondogoo mpangowa bwawa jingine lakuzalisha umeme.Endapo tutaangalia jinsi serikali inavyo-shughulikia tatizo hilila nishati tunawezakuamini mambo ambayo si ya kweli.Kwanza, tunaweza kudhania kuwaTanzania kuna tatizo la vyanzo vyanguvu za umeme, na pili kwambaTanzania kuna tatizo la fedha zakuendeleza vyanzo vya umemevilivyopo na ya kuwa kulitatua maramoja na daima tatizo la umemenchini nchini ni jambo ambalo hali-wezekani katika kizazi chetu. Yotehayo mawili au matatu hayana msingikatika ukweli.Ukitembelea tovuti ya Tanesco(http://www.tanesco.com) utaonasehemu inayozungumzia mpangomkuu wa nishati (master plan)inaonesha miradi mbalimbali iliyokombioni ambayo inaonesha vilevyanzo ambavyo tayari vinajulikanakwa uwezo wa kutengeneza nguvu ya umeme. Miradi hiyo kamaingetekelezwa yote ingeweza kuon-geza kwenye gridi ya taifa siyo chini ya 660MW za umeme.Kuelewa umuhimu wa hilo watanza-nia watambue kuwa vyanzo vya maji(hydropower plants) ambavyo tayarivinazalisha umeme sasa hivi yaaniKidatu, Hale, Pangani, Nyumba yaMungu, Kihansi, na Mtera, vyanzohivyo vyote vinauwezo wa kuzalishakiasi cha 561MW. Ukiongozea navyanzo vingine vya kukodisha aukununua kutoka wazalishaji huru waumeme tunapata karibu 930MW Hii ina maana ya kwamba endapotungeamua kushughulikia kwaujumla kuendeleza vyanzo vilivyopovya maji tu kwa uharaka ambao tu-naambiwa upo, tungeweza kuongezakwenye gridi ya taifa zaidi ya marambili ya uwezo wa umeme ambaotayari unapatikana! Kwa maana yakwanza kungekuwa hakuna haja yaIPTL, Songas, Richmond walaDowans!Tunachokiona hata hivyo ni utatuziwa tatizo la nishati kwa vipande vi-pande. Hakuna sera madhubuti yenye kutaka kuondoka na tatizo lanishati mara moja na daima na ma-tokeo yake wanasiasa wetu wana-kuja kila mwaka na “kamradi” ken-gine ka nishati kama vile wanatupi-mia umeme kwa kibaba.Kwa sababu hii ya kwanza tunapingakununua vijenereta vya Dowans!
2. Uwezo wa maporomoko yaStielgers chini ya RUBADA wa2100MW
Katika ya miradi ambayo hatuisikiikabisa ni maporomoko ya Stielgersambayo kwa watu wengi hata jinalabda linaweza kuwa halifahamiki.Mradi huu uliangaliwa na kufanyiwaupembuzi yakinifu karibu miaka the-lathini iliyopita. Mradi huu uko chini ya Mamlaka ya Maendeleo ya Bondela Mto Rufiji (RUBADA) na wadauwengine ikiwemo serikali yetu.Mradi huu haukuendelezwa miakahiyo kwa sababu moja kubwakwamba mahitaji ya umeme ya nchihata eneo letu hayakuwa makubwakiasi cha kulazimu kujenga bwawahili. Kama unavyoona mradi huu unauwezo (kama ukijenga kwa kiwangochake cha juu kabisa) wa kutoamegawati 2100 za umeme. Hii nikaribu mara nne ya uwezo wa sasawa mabwawa yote nchini na kwahakika ungesababisha miradi ilemingine tuliyoitaja hapo juu kuto-kuwa ya ulazima wowote.Gharama ya mradi huu inakadiriwakuwa ni dola bilioni 2. Kiasi hichokinaweza kuonekana kuwa ni ki-kubwa mno. Hata hivyo ukichuku-liwa kuwa katika Benki Kuu kati yamiaka miwili Tanzania imepotezakimazingaombwe dola karibu bilionimoja ambazo hadi hivi sasa hakuna juhudi za kweli ya kuzipata imefany-ika!
KARIBU MWANAKIJIJI.COM
Dr. Idris
Leave a Comment