Professional Documents
Culture Documents
Cheche za Fikra
J U ZU U 8 TO LE O 31
M AC H I 1 8, 2 0 09
SAKATA LISILOKWISHA
Kijarida Ulichoshika
Kampuni ya
Dowans Tan- • Kinatoka kila Ju-
zania Limited manne
inayomilikiwa na mfanyabi-
ashara mkubwa wa Oman • Ni cha bure kabisa!
na Falme za Kiarabu Brig.
Gen Suleiman Mohammed • Kisichofungamana na
Yahya Al-Adawi ilijipa ujiko chama chochote au
isiyokuwa nao na kutangaza fisadi yeyote!
kuwa wanahisa wake wa-
• Kiko huru, kinathu-
kubwa ni makampuni
mawili ya kigeni ya Dowans Mawinchi yaliyoletwa na kampuni ya Portek Bandarini Dar butu, na hakiogopi
Holdings ya Costa Rica mtu au hoja yoyote.
(Marekani ya Kusini) na ile kuwemo kwenye kampuni ya moja iliyoandikwa na mmoja wa
• Ni kijarida chako!
ya Portek ya Indonesia. Dowans Tanzania Limited. waandihi mahiri nchini miaka
Uchunguzi wa kina wa Che- karibu miwili iliyopita kampuni ya • Haki zote za kuchapa
che umeweza kuthibitisha Kwa mujibu wa habari Portek ina asilimia 39 wakati kam- na kunakili zimeru-
pasipo shaka lolote kuwa mbalimbali ambazo zimekuwa puni ya Dowans Holdings ya husiwa!
kampuni ya Portek ya Indo- zikirudiwa na vyombo vyetu Uarabuni ina asilimia 61.
nesia ambayo inatajwa vya habari kampuni ya Portek
katika nyaraka za BRELA ya Indonesia ndiyo mwekezaji Ili kuhakikisha kuwa tunazun-
kwenye Dowans Tanzania Lim- gumzia kampuni hiyo hiyo nakala Ndani ya Toleo Hili
haina hisa yoyote wala ku-
tambua hisa zinazotajwa ited. Kwa mujibu wa makala za BRELA (inaendelea Uk. 2)
Portek: Dowan nani? 1,2
PORTEK NA DOWANS
zinaonesha kuwa anuani ya kampuni Bw. Rostam na ambaye sasa amepata zote zinazunguka katika shughuli za
hiyo ya Portek ni PORTEK SYSTEMS AND wadhifa Ikulu. Katika makala yake hiyo mambo ya bandarini, na hasa katika suala
EQUIPEMENT LIMITED mwandishi huyo aliandika ifuatavyo ku- la kuleta teknolojia ya kisasa katika ma-
20 HARBOUR DRIVE #02-01 PSA VISTA husu kampuni ya Portek yenye hisa tumizi ya kuhamisha mizigo bandarini.
SINGAPORE 117 612. Anuani hiyo ni kwenye DTL: Jina la kampuni hiyo lingeweza kuwa is-
kweli ni ya kampuni tanzu ya yenye jina hara tangu mwanzo “Portek” yaani “Port
hilo ambayo kampuni yake mama “ Nayo nguvu ya kampuni ya Portek Technology”. Kuna kampuni nyingine ya
inaitwa Portek International. inafanya biashara ya uzalishaji wa umeme, vyuma ya Marekani inayotumia jina la
uandisi wa umeme, uandisi wa gesi na “Portec” na nyingine inayotengeneza
Kuwa kampuni ya Portek ya Indonesia mafuta, na uandisi wa jumla, Kampuni mikanda ya mashine mbalimbali.na bila
yenye anuani hiyo hapo juu ndiyo hiyo imeorodheshwa katika Soko la Mitaji ya yashaka sababu pia ya kutafautisha
mwekezaji wa kwenye Dowans haina la Singapore na ina shughuli katika nchi majina.
utata kwani hilo liliwahi kuandikwa na nyingi duniani zikiwamo Singapore yen-
mojawapo ya magazeti mashuhuri yewe, Australia, UAE, China, Algeria, Indo-
nchini tena na mwandishi makini. nesia, Uingereza, Pakistan, Korea Kusini, Tovuti ya kampuni hiyo inasema hivi ku-
Uchunguzi wetu unaonesha kuwa wa- Taiwan, Marekani, Peru, Malaysia, Luxem- husu shughuli zake “The Portek Group,
kati kampuni ya Dowans ilipoingia bourg na Italia. established in 1988 and headquartered in
nchini gazeti moja linalomilikiwa na Singapore, has emerged as a global spe-
Mbunge wa Igunga Mhe. Rostam Aziz Kwa pamoja Portek na Dowans zimeshiriki cialist provider of solutions to the port
ambaye ndiye aliyetoa mwaliko kwa Bw. kuendesha miradi ya pamoja katika
industry. We are able to deliver both ca-
Al-Adawi kuingia nchini liliandika ku- nishati, kuendesha bandari, kuzalisha
husu makampuni mawili yaliyona hisa umeme, na kushirikiana katika biashara ya pacity and productivity to port operators
kwenye kampuni ya Dowans Tanzania kukodisha mitambo mikubwa ya ujenzi na by enabling them to gear up and stream-
Limited. shughuli nyingine.” (msisitizo wetu) line their operations over a relatively short
period of time. Portek's range of compe-
Vyanzo vyetu vya kuaminika kabisa Bahati mbaya uchunguzi wa Cheche ume- tencies includes turnkey engineering solu-
vimedai kuwa mwandishi wa makala onesha pasipo shaka kuwa kampuni ya
hiyo ya kuipamba Dowans alikuwa Portek haijihusishi na mamnbo ya uzal- tions such as port equipment modernisa-
mwandishi wa habari wa siku nyingi ishaji umeme mahali popote duniani. Kwa tion, modification and maintenance,
nchini ambaye alikuwa mwajiriwa wa mujibu wa kampuni hiyo shughuli zake equipment leasing and sale, and distribu-
Kielelezo 1
makuu huko Singapore imeibuka kuwa zake, leo hii na kampuni ya kupakua mizigo
ni kinara katika kuleta utatuzi wa madeni n.k Jina la kampuni ya Dowans Tan- ya TICTS. Mmoja wa wamiliki wa kam-
shughuli mbalimbali za bandarini. zania Limited halionekani. puni hiyo ambaye alitimuliwa na Bodi
Tunaweza kuwapatia yote mawili yaani yake ni aliyekuwa Waziri wa Nishati
Kwa mwaka wa 2007 na 2008 kampuni ya na Madini Bw. Nazir Karamagi.
uwezo na uzalishaji mzuri wale wana-
Portek Systems and Equipment Ltd ambayo
oendesha bandari kwa kuwawezesha
ndiyo tumeambiwa imewekeza kwenye Katika kuhakikisha habari za wachun-
kuboresha na kurahisisha utendaji wao
Dowans chini yake yapo makampuni mach- guzi wetu tuliwasiliana na mmoja wa
ndani ya muda mfupi. Kati ya mambo
ache tu na kutoka Afrika iko kampuni moja maafisa wa shirika la Portek huko In-
ambayo Portek inaweza kufanya ni
tu ambayo wao wana hisa, na kampuni hiyo donesia na kumuuliza kuhusu umiliki
pamoja na miradi ya kujenga na kukod-
iko Algeria. wa kampuni yake naye alionesha ku-
isha kama vile kupyaisha vifaa mbalim-
shangazwa na habari hiyo kwani al-
bali, kurekebisha na kutengeneza, ku-
Ukiangalia kielelezo 1 cha mwaka 2007 kam- isema wazi kabisa kuwa kampuni yao
kodisha vifaa na kuuza, kusambaza vi-
puni ya Portek Systems and Equipment Ltd haijawekeza kwenye uzalishaji
faa vya ndani vya mashine na vipuri.”
ilikuwa na makampuni 5 chini yake na kiasi umeme mahali popote kwani kufanya
cha hisa pia kinaweza kuonekana. Dowans hivyo itakuwaa ni nje ya majukumu
Katika maelezo yake hakuna mahali
Tanzania Limited haipo! Ripoti yao ya ya familiar ya mmiliki wa kampuni
popote panapoonesha kuwa kampuni
mwaka 2008 nayo (kielelezo 2) nayo ni hiyo.
hii inahusiana na nishati. Cha kushan-
hivyo hivyo inaorodhesha makampuni yali-
gaza zaidi ni kuwa katika makala hiyo
yokuwa chini ya PSE Ltd kwa mwaka huo Mtindo huu wa wawekezaji kuja
mwandishi aliripoti ifuatavyo “Kwa
pamoja na hisa zake, ni yale yale 5. nchini huku wamebeba majina ma-
pamoja Portek na Dowans zimeshiriki
kubwa ndiyo ulitumiwa pia na kam-
kuendesha miradi ya pamoja katika Katika uchunguzi wetu tulijaribu kufuatilia ni puni ya Richmond ambayo kwa mu-
nishati, kuendesha bandari, kuzalisha kwanini wajanja walitumia jina la kampuni jibu wa ripoti ya Kamati Teule ya
umeme, na kushirikiana katika biashara hiyo kubwa na kuliweka katika Dowans Tan- Bunge. Katika taarifa yake iliyosomwa
ya kukodisha mitambo mikubwa ya zania Limited? Uchunguzi wetu unaonesha na mwenyekiti wake Dr. Harrison
ujenzi na shughuli nyingine.” Hata kuwa kati ya mwaka 2006 na 2008 kampuni
hivyo hakuna mfano wa mahali popote ya Portek ilisafarisha mitambo (cranes) za
duniani ambapo makampuni hayo
Soma
kutumika katika bandari ya Dar (kitu am-
yamewahi kufanya mradi wowote. bacho ni kazi yao).
Katika kuhakikisha kama kampuni ya
Portek inahisa zozote katika Dowans,
Mwaka 2008 ilisafarisha mawinchi ya
kawaida kutoka Indonesia kuja Tanzania na
bure
UKURASA WA 4 CHECHE ZA FIKRA
MAONI YA MHARIRI
Kama tulivyodokeza wiki iliyopita wiki 1000 tu ambao itakuw rahisi kwetu ku- nafasi ya pekee na nzuri ya kuchochea ma-
hizi mbili zitakuwa ni wiki mbili za wasiliana nao na kubadilishana mawazo na badiliko hayo ya kifikra kwani mpango upo
mwisho za kupokea wanachama mijadala mbalimbali. tayari na kwa miaka mitatu tumeweza
wapya ambao wamejiandikisha ku-
kuongoza mjadala huu wa mabadiliko ya
pokea kijarida hiki kwa njia ya mtan- Lengo letu kama tulivyoanisha kwenye ri- kifikra.
dao. poti ya mwaka ya tovuti yetu ya mwanaki-
jiji.com (unaweza kupata nakala yako pale) Tunachosema ni kuwa zimebaki nafasi
Lengo letu toka mwanzo ilikuwa ni ni mwaka huu kutoka kulalamika na chache tu kwa mtu yeyote anayetaka kuji-
kuwa na waliojiandikisha wapatao kuelekea kuhamasika. Ili tuweze kufikia unga nasi kufanya hivyo na baada ya hapo
lengo hilo tunataka tuwe na mahali pa ku- tutakuwwa tunaendelea kupeana taarifa ya
SWALI LA WIKI: weza kukusanya uwezo, elimu na vipaji nini tunafanya na kubadilishana mawazo
vyetu kuanza kuibadili nchi yetu kuifanya tufanyeje kitu hicho.
Serikali kupitia Waziri wa Nishati na vile tunavyotaka au tamani iwe.
Madini Mhe. William Ngeleja imetaka Jiunge nasi kwa kuniandikia barua pepe
wananchi tusitishe mjadala wa Katika hili hatuzungumzii suala la kisiasa kwa anuani ya mhariri@klhnews.com na
Dowans. Imetutaka tuufunge mjadala bali masuala ya kijamii na kujitolea. Tuna tutafurahi kwa wewe kuwa mmoja wetu.
huo. Je unakubaliana na wito huo uhakika wapo Watanzania wengi ambao
kwamba haya ya Dowans tuwaachie wanasubiri nafasi au uratibu wa kitu cha
tu serikali wafikie maamuzi bila ku- kufanya ili na wao watoe mchango ambao
fanya sauti zetu nasi zisikike? wamekuwa wakiutamani.
S t e n d i ya U BU N G O : H A D I WAZ I R I M K UU A J E?
Na. M. M. Mwanakijiji kampuni hiyo kupewa tenda hiyo kwa kile kwamba tumefikia mahali pa kuona kuwa
kinachodaiwa kubebwa na watu mbalim- fedha za umma zikichotwa na kutoweka ni
Nimebakia natikisa kichwa baada ya bali. jambo la kawaida tu.
kusoma na kufuatilia Wizara ya Waziri
Mkuu jijini Dar wiki iliyopita. Kilichonis- Cha kushangaza Sasa tumefikia hadi Waziri Mkuu na msa-
hangaza ni maagizo ambayo yame- ni kuwa kwa fara wake aje na kuwaambia watu na akili
tolewa na ripoti ambazo ziliandikwa muda wote huu zao na wengine wanaitwa wasomi kuwa
kuhusu ziara yake hasa linapokuja sua- inajulikana kuwa “hili siyo sahihi”.
lala kukusanya mapato kwenye stendi mahali hapo ha-
ya mabasi ya pale Ubungo. kuna bodi wala Angalia maneno ya Waziri Mkuu “Mimi
utawala unaoele- sijui ni nani anayemiliki ile kampuni, lakini
Katika ziara yake kwenye eneo hilo weka; inajulikana hapa ninachokizungumzia kinahusu
maarufu ambalo kwa wengi ndiyo kuwa kiasi am- maslahi ya umma. Tuone hicho kinacho-
mlango wao wa kuliingia jiji hilo la Kan- bacho wameku- fanyika huko ni kwa maslahi ya nani?”
doro Waziri Mkuu alitoa wito kwa baliana ukilingani- Kwamba hata Waziri Mkuu ameshindwa
Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya Seri- sha na magari yanayoingia hapo ni ki- kutaja jina la mmiliki wa kampuni hiyo!
kali kufuatilia kituo hicho kuona suala dogo mno, inakuwaje kampuni hiyo
zima la mapato likoje. ikaendelea kufanya shughuli zake? Kama wao wenyewe wanaogopana hivyo
wananchi wakaida itakuwaje?
Kituo cha Mabasi cha Ubungo hakina NI wazi kuwa kuna watu waoga kwenye
bodi inayosimamia wala Kamati lakini Halmashauri ambao wameshindwa kusi- Hata hivyo ni lazima tukubali kuwa an-
inadaiwa kimeweza kuingia mkataba mamia maslahi ya watu wa Dar na taifa. galau sauti za manung’uniko ambayo
na kampuni ya ukusanyaji mapato am- Watu hawa ambao walitakiwa kuweka yamekuwepo kwa muda mrefu zimeanza
bayo hutoa kikasi cha shilingi milioni maslahi ya taifa mbele ni dalili tu ya ubovu kupata msikilizaji. Sijui ni kwa kiasi gani
moja na nusu kwa Halmashauri ya Jiji. tulio nao kwenye masuala ya mikataba. CAG atafuatilia (kwani sioni sheria
inayompa Waziri Mkuu madaraka ya ku-
Kampuni inayosimamia mradi huo Hivi kweli watu hawa wanaweza vipi muagiza CAG kufanya jambo lolote).
inamilikiwa na na mtoto wa kiongozi kuendelea na kazi zao kama kawaida? Bila
wa zamani nchini na Mbunge wa ku- ya shaka wanafanya hivyo kwa sababu Lakini tusipoangalia tutajikuta tunamsubiri
teuliwa Mhe. Kingunge Ngombale hakuna tishio la matokeo mabaya kwao. Waziri Mkuu au Rais kuja kutuambia kitu
Mwiru aitwaye Kinjekitile (Pichani). Kwani ni nani anayekosa fedha hizo? ambacho tayari tunakijua halafu tukabakia
kushangalia kuwa Waziri Mkuu kasema.
Kuanzia kwa kuingia kwa kampuni hiyo Kwao wao hawa serikali ikipoteza fedha Tunaweza kujikuta Waziri Mkuu anakuja
katika mradi huo kumekuwa na la- siyo tatizo. Mawazo ya namna hii tunaya- kutuambia kile ambacho tangu tukiwa wa-
wama na tetesi za ufisadi uliosababisha kuta katika miradi yetu mingi tu kiasi toto tulikuwa tunajua tunapaswa!
http://www.mwanakijiji.com