You are on page 1of 12

www.annuurpapers.co.

tz

Familia ya Sheikh Ponda katika wasiwasi mkubwa


Watakiwa kutoa damu, mate Ndege yaandaliwa kuwaleta Dar Wasema labda afufuliwe Mzee Issa

Mtume(saw) ameagiza, Fanyeni haraka kwenda kuhiji. Hii maana yake tunahimizwa tuende kuhijji tungali vijana ili tuyafaidi manufaa ya Hijja kikamilifu. Baada ya kupata uwezo,ni makosa kuakhirisha kwenda kuhiji. Masahaba, vijana na wazee, walihijji Hijja nyingi sana. Wewe jee? Karibu Ahlu Sunna wal Jamaa. Gharama zote ni Dola 4,300. Tafadhaliwasiliana n a s i i f u a t a v y o : Ta n z a n i a B a r a : 0717224437; 0777462022;Unguja: ISSN 0856 - 3861 Na. 1068 JAMADUL THAN 1434, IJUMAA -APRILI 26 - MEI 2, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= 0777458075;Pemba: 0776357117.

Sauti ya Waislamu

(12) KIJANA, UMESHAHIJI?

Vita dhidi ya Uislamu yapamba moto

SHEIKH Issa Ponda

SHEIKH Farid Hadd

Mwanasheria Mkuu Zbar Wafungwa 8 apasua jipu la Muungano wasilimishwa


MWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar Othman Masoud Othman

Unapokuwa Sheikh huna haki Polisi wajue nao hawapo salama Uk. 6 Si lazima waige ya Pennsylvania Avenue

Afananisha kero na mtu mwenye ukurutu Akitibiwa pele kumi bado ni mgonjwa sana Asema maridhiano yamekuwa kama togwa Ahimiza ushiriki mchakato wa Katiba Mpya

Ni kazi ya wafungwa wa maandamano Waislam watakiwa kusaidia familia zao Uk. 3

2
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

AN-NUUR

MAONI YETU

Kudhibiti matumizi mabaya kutasaidia bajeti zetu


HUDUMA ya maji safi na salama kwa wananchi, imekuwa kilio kikubwa cha wabunge katika vikao vya mkutano wa kumi na moja wa Bunge la Bajeti vinavyoendelea mjini Dodoma. Malalamiko ya wabunge kuhusu suala la huduma ya maji sehemu mbalimbali nchini, yamekolezwa na makadirio ya bajeti ya Wizara ya Maji 2013/14 yaliyowasilishwa mapema wiki hii na Waziri wa Wizara hiyo Prof. Jumanne Maghembe. Wengi walisema kuwa bajeti iliyotengwa na serikali kwa ajili ya matumizi na shughuli za Wizara hiyo ni ndogo, ikilinganishwa na umuhimu na mahitaji makubwa ya huduma yenyewe. Sote tunafahamu kwamba maji ni uhai. Maji ni maada ambayo inahitajika kwa kila jambo au shughuli inayofanywa na mwanadamu katika maisha yake ya kila siku. Maji ni huduma muhimu zaidi na inayohitajika zaidi katika kuendesha maisha ya mwanadamu kuliko miundo mbinu mingine yetote. Kutokana na kutokidhi bajeti ya maji,wabunge safari hii wametambua umuhimu wa maji na kuamua kuyapa kipaumbele zaidi. Tayari Bunge limeitaka serikali kuongeza fedha katika bajeti ya maji, angalau kupanua huduma hiyo iwafikie wengi zaidi. Hili tunaona kuwa ni jambo zuri. Hata hivyo tunadhani kwamba serikali yenyewe ndio imekuwa chanzo cha kukosekana huduma hii muhimu, kwa kushindwa kutambua kuwa huduma ya maji inastahili kupewa kipaumbele zaidi kutokana na umuhimu wake uhai wa wananchi. Kwa kifupi ni kwamba serikali imekuwa na matumizi mabaya ya fedha za umma, wakati mengine yakiwa hayana lazima, huku ikiweka pembeni mambo muhimu ya kutoa huduma kwa umma. Kwa mfano, miongoni mwa wabunge inashangaza kwamba ni wa kuteuliwa au wa viti maalum, wakilipwa mamilioni ya fedha kila mwaka ya vikao vya bunge, wakati huo huo wabunge hao wanateuliwa kuwa wakuu wa mikoa au wilaya. Hapa tunahoji, kulikuwa na sababu gani, au kulikuwa na umuhimu gani kiongozi wa nchi kuamua kumteua mtu kuwa mbunge na hapo hapo kumteua kuwa mkuu wa mkoa au Wilaya halafu alipwe fedha za ubunge na ukuu wa mkoa au wilaya? Malipo na stahili

Mwanasheria Mkuu Zbar apasua jipu la Muungano


Na Mwandishi Wetu
MWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar Othman Masoud Othman amesema kuwa muda wa kuwa Muungano utaendelea kuwa wa Serikali mbili, hakuna namna ya kumaliza kero zake. Amesema, chini ya Muungano wa Serikali mbili nchi moja hupoteza Dola na utaifa wake, hiyo ikiwa dosari kubwa sana ambayo lazima izae matatizo mengine yasiyotibika. Amesema, ndio maana kila juhudi zikifanyika kuweka vikao na mikakati ya kuondoa kero za Muungano, haziishi. Juhudi kadhaa zimefanywa kutatua baadhi ya matatizo lakini ukweli unabaki kuwa mwenye ukurutu akitibiwa pele 10 bado ni mgonjwa; tena mgonjwa sana. Mwanasheria Mkuu Othman alikuwa akitoa mada ya awali katika ufunguzi wa kongamano lililoandaliwa na Chama cha Wanasheria Zanzibar (Zanzibar Law Society) ikiwa ni moja ya kukumbuka na kusherehekea miaka 49 ya Muungano. Katika kongamano hilo lililohudhuriwa na wanachama wa ZLS, Mawakili, Wanasheria na waalikwa wengine, Mwanasheria Mkuu alitumia fursa hiyo kuwakumbusha Wanasheria wa Zanzibar kutimiza wajibu wao kwa jamii katika mchakato unaoendelea wa kuandaa Katiba mpva va Jamhuri va Muungano. Alisema, anawakumbusha wajibu huo kwa sababu mchango na ushiriki wa wanasheria katika hatua zilizopita ulikuwa hafu na hauonekani kuimarika hata katika hatua va sasa. Kwa upande mwingine amesema kuwa itikadi (za chuki na mifarakano), zinazuiya ushiriki mzuri wa Wazanzibari katika mchakato wa kuandaa Katiba mpya jambo ambalo litawazuiya kutumia fursa hiyo kuondoa matatizo yaliyo katika muungano. Mwanasheria Mkuu amesisitiza kuwa pamoja na juhudi kubwa iliyochukuliwa kuwapatanisha Wazanzibari, lakini itikadi za chuki bado zimekuwa kikwazo. Itikadi yetu ya Zanzibar; mimi naifananisha na Togwa. Maana katika kutengeneza Togwa, juhudi kubwa imechukuliwa kuupatanisha mtama na maji uwe kitu kimoja kama vile ilivvo katika uji, lakini imeshindikana. Baada va juhudi vote hivo, Togwa likiwekwa katika chupa, bado mtama na maji vinajitenga; maji juu, mtama chini. Ameyasema hayo akitahadharisha kuwa mivutano ya kiitikadi badala ya kuangalia masilahi ya nchi na wananchi, ilisababisha wasomi na watu weledi kutotoa maoni ya maana wakati wananchi walipotakiwa kutoa maoni yao. Akasema, Katiba mpya lazima iepuke makosa ya sasa hivi (katika muungano) Akaongeza kuwa wajibu wa Wazanzibari hivi sasa ni kubainisha misingi inayotakiwa kwa muungano kusimama juu yake. Akaitaja baadhi ya misingi hiyo kuwa ni pamoja na Kutambua kuwepo na kuendelea kuwepo kwa Washirika wa Muungano. Kwa maana kuwa kuwe na Serikali ya Zanzibar na ile ya Tanganyika ndipo wawili hao wakubaliane katika Muungano. Aliutaja msingi mwingine kuwa ni Kulinda usawa wa Washirika wa Muungano katika kuamua, kusimamia na kuendesha masuala yote ya Muungano. Huku akisema kuwa ni lazima katika Muungano huo kuwe na utoaji fursa sawa na za kutosha kwa Washirika wa Muungano kuendesha Mambo yasiyo ya Muungano kitaifa na kimataifa; na kwamba kuwe na mambo machache na yaliyo bayana ya Muungano. Awali Mwanasheria Mkuu alibainisha matatizo makubwa ya Muungano katika mfumo wa sasa ambapo alisema kuwa badala ya matatizo hayo kutatuliwa yamepewa hadhi na kuitwa Kero za Muungano. Amezitaja baadhi ya kasoro za msingi za Muungano kuwa ni Misingi ya Muungano kutokuwekwa bayana. Kwamba washirika wa Muungano watambuliwe na hadhi zao kuwekwa bayana. Kasoro nvengine va Msingi aliyoitaja ni kukosekana usawa katika maamuzi vanavohusu mambo va Muungano. Msingi huu ni mpana. Miongoni mwa mambo muhimu chini ya msingi huu ni kwa Wa s h i r i k a w a M u u n g a n o kuwa na usawa katika kufanva maamuzi ya Muungano. Chini mfumo wa sasa msingi huu haupo kabisa. Kwa mfano katika uchaguzi wa Rais wa Muungano, upande mmoja tu ndio ambao unaweza kuamua nani awe Rais wa Muungano. Akasema, kasoro nvengine kubwa ni kukosekana usawa katika usimamizi wa mambo va Muungano na katika kuamua sera na Sheria za Muungano. Aidha, kwa mfumo wa sasa hakuna usawa katika kupanga na kutumia rasilimali za Muungano. Akiendelea kutaja na kufafanua matatizo ya msingi aliyodai kuwa yamepewa hadhi

Tahariri/Habari

JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 2013

AN-NUUR

wanazolipwa watu hawa kwa ubunge wa kuteuliwa na ukuu wa wilaya au mkoa wa kuteuliwa kwa kipindi cha miaka mitano, yangeweza kusaidia kujengwa visima kadhaa na kuwasaidia wananchi kuondokana na shida ya maji. Zinaundwa Tume kuchunguza mambo ambayo hayahitaji uchunguzi waTume na kugharimu mabilioni ya fedha. Kwa mfano, s e r i k a l i k u u n d a Tu m e y a Kuchunguza Matokeo ya Kidato cha Nne ya mwaka jana, huku tayari kukiwa kuna matokeo ya Tume zilizokwishaundwa kuchunguza jambo hilo hilo siku za nyuma na matokeo yake kutofanyiwa kazi hadi leo. Tuna matumaini kuwa majibu ya Tume hii ya sasa kuchunguza matokeo hayo, licha ya kutumia mamilioni ya fedha bado itakuja na majibu yale yale ya Tume iliyoundwa siku za nyuma na majibu yake kufungiwa kabatini. Hatuoni kwanini fedha za kuundwa Tume za namna hii zisitumike kupanua huduma za maji hasa maeneo ya vijijini. Hii ni mifano michache. Itoshe tu kusema kwamba, wakati wabunge wakiitaka serikali kutafuta mahali pa kupatia fedha za kuongeza bajeti ya Wizara ya Maji, ni vyema wakaanza na kupinga matumizi haya mabaya ya fedha za serikali, ili kunusuru fedha zitakazosaidia kugharamia shughuli za msingi za kuhudumia watanzania. Ni vyema ukaachwa huu utaratubu wa kuteua wabunge kwa ajili ya kukidhi tu, dhana ya uwiano wa wanaume na wanawake Bungeni. Halafu baada ya hapo miaka mitano ikiisha walipwe mamilioni ya fedha kwa kukidhi uwiano. Haya sio matumizi mazuri ya fedha. Wabunge huchaguliwa na wananchi majimboni. Kama ni uwiano ukatafutwe majimboni au katika vyama, halafu wakagombee na kupigiwa kura na wananchi. Kwa mtazamo wetu, tunaona kuna haja ya kiongozi wa nchi kunusuru fedha za serikali kwa kuacha mazoea ya kuteua watu kutumikia nyadhifa mbili, Ubunge na Ukuu wa mkoa au Wilaya. Hu sio utaratibu wenye tija kimatumizi, zaidi ya kuigharimu serikali tu na kuneemesha watu binafsi. Wabunge watadhibiti kwa dhati matumizi haya yasiyokuwa ya msingi ya serikali, nafuu ya fedha itaonekana katika bajeti zetu na angalau zitatusogeza.

kwa kuitwa kero za Muungano amesema kuwa kero nyingine ni kukosekana uwazi na usawa katika matumizi ya rasilimali za Muungano. Rasilimali inajumuisha mamlaka va Jamhuri ya Muungano katika mahusiano na nchi nvengine au Jumuiya za kimataifa. Akihitimisha akasema kuwa katika kero kubwa inayoteteresha Muungano ni kutokuwepo ukomo wa mipaka ya Muungano. Akifafanua akasema Muungano wowote lazima uweke bayana mambo yapi hayatoweza kuwa ya Muungano ama kuwa kwake ya Muungano lazima wananchi waamue. Lakini chini ya Mfumo wa sasa wa Muungano lolote linaweza kufanywa kuwa la Muungano ilimradi tu theluthi mbili za Wabunge wa kila upande waridhie. Hili akaliunganisha na lile la kuwa na Muungano wa Serikali mbili. Kasoro nyengine kubwa ya msingi kabisa ni mfumo wa sasa Serikali mbili. Katika kulifafanua hilo akasema kuwa wapo watu wanadhani kuwa mfumo wa sasa wa Serikali mbili unaweza kufanyiwa marekebisho na kuendelea kutumika. Ni imani yangu kuwa mfumo huo una kasoro moja kubwa ambayo haiwezi kurekebishwa na ndio kiini cha kasoro yake. (kwamba) Mfumo wa Serikali mbili unalazimisha tu mmoja kati ya Washirika wa Muungano apoteze hadhi yake ya utaifa (sovereignty) na kuwa sehemu ya Mshirika mwengine (political subdivision). Hayo ndiyo masaibu yaliyoikumba Zanzibar ambapo hivi leo haina Dola wala utaifa. Wakati huo huo, baadhi ya washiriki katika kongamano hilo wameitupia lawama Serikali kwa kuhusika katika kukwamisha utoaji huru wa mawazo ya wananchi katika mchakato wa kupatikana Katiba mpya. Ilielezwa katika kongamano hilo kuwa baadhi ya Masheha na Wakuu wa Wilaya walihusika kukwamisha mikutano ya wananchi ya kutoa maoni. Hata hivyo baadhi ya washiriki wakasema kuwa haiwezekani Masheha wakawa na ujasiri huo kama Serikali haihusiki. Mmoja katika waliotoa maoni hayo alikuwa Profesa Shariff ambaye alihoji inakuaje Sheha kukwamisha jambo kubwa kama hilo na Serikali isitoe kauli. (Soma hotuba kamili uk.4

Familia ya Sheikh Ponda katika wasiwasi mkubwa


Na Bakari Mwakangwale HALI ya wasiwasi imetanda kwa ndugu wa Sheikh Ponda Issa Ponda, baada ya kutakiwa kutolewa damu au mate ili kujiridhisha na uraia wa Sheikh Ponda Issa aliyeko mahabusu. Habari zilizolikia An nuur, mapema wiki hii, kutoka kwa ndugu hao, zinasema, kwamba wamekuwa wakisumbuliwa na watu wanaojitambulisha kwao kuwa ni watu wa Uhamiaji. Wakiongea kwa nyakati tofauti kwa njia ya simu kutoka Mkoani Kigoma na Jijini Dar es Salaam, ndugu hao wamesema, wamekuwa wakitakiwa kutoa damu au mate ili vioanishwe na damu au mate ya Sheikh Ponda. Bi. Tausi Issa Ponda, aliye dada wa Sheikh Ponda, akiongea na An nuur, Jumatano wiki hii akiwa Jijini Dar es Salaam alisema, suala hilo amelisikia akiwa hapa Jijini kutoka nyumbani kwao Kigoma. Baada ya kuelezwa kwa kina suala hili sikukubaliana nalo kabisa hata mama nimeongea naye mwenyewe pamoja na ndugu wengine wote wa kuzaliwa na Ponda kwa ujumla wakawa wamekataa, na kushangazwa na hatua hiyo. Alifafanua Bi. Tausi. Lakini, Bi. Tausi, alisema juzi (Jumatano) mjomba wao (Kaka wa mama yake) aliyepo Dar es Salaam, alimpigia simu na kwamba watu wa Uhamiaji wamemfuata nyumbani kwake, na kumuhoji kuhusu mama yake na kuwaeleza hali halisi ya dada yake. Hata hivyo, alisema, watu hao wa Uhamiaji walimjibu kuwa na wao wameshafanya uchunguzi mwingi hadi kwao wameka, lakini walichokuwa wanataka ni kujiridhiasha zaidi kupitia njia hiyo ya vipimo vya damu ya Shekh Ponda, Mama wa Ponda na ndugu yake, ili viwekwe pamoja viangaliwe kama ni kweli yule ni mama yake aliyemzaa. Mjomba akawa amenifahamisha hizo habari akaniambia wewe unaonaje, nikamwambia kwakweli hizo habari sikubaliani nazo kabisa. Alisema. Hata hivyo Bi. Tausi, alidai kuwa mjomba wake alimweleza kuwa jamaa hao wamemuhakikishia usalama wa dada yake (Mama Ponda), na kwamba katika utoaji huo damu hapatakuwa na tatizo lolote. Kwa mujibu wa dada huyo wa Sheikh Ponda, alimuuliza mjomba wake kuwa ikiwa Mama yao atakataa kuchukuliwa mate na damu itakuwaje, mjomba wake alimjibu kuwa, akikataa watajenga hoja kuwa mwanae sio raia kweli, na kwamba kama ana uhakika asingekataa kutoa hiyo damu. Bi. Tausi alisema, baada ya kuongea hayo na mjomba wake ilimlazimu ampigie simu kaka yake mkubwa aliyeko Mkoani Kigoma, na baada ya kuongea naye alimuleza hatoweza kuondoka na mama yao kutokana na shughuli zake. Bi Tausi, lisema aliweza kuwasiliana na ndugu yake aliyemtaja kwa jina la Mayasa Sadala, ambaye ni mtoto wa mjomba wake, naye alimweleza wazi kuwa hilo suala haliwezekani, na kwamba linahitaji umakini na uangalifu. Bi. Tausi alisema kwa taarifa walizo nazo mpaka Jumatano wiki hii, ni kuwa Serikali ilishaandaa pesa za ndege pamoja na pesa ya kujikimu, kwa ajili ya kuwasarisha kuja Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya zoezi la kutolewa damu. Awali, Bi. Tausi, alisema mjomba wake alitowa wazo kuwa familia ikubaliane tu, kwamba Sheikh Ponda akatolewe hiyo damu, ili jamaa hao wajirizishe, kwani wao hawana shaka na hilo. Hata hivyo Bi Tausi, alisema kuwa hawana imani na waendeshaji wa zoezi hilo, kwani wanaweza wakazua kinyume na ukweli wa vipimo kwani familia haina shaka hata chembe na uraia wa ndugu yao bali uadilifu wa watu hao. Bi. Tausi, alisema hayo yote yanakuja kwa lengo la kutaka kujua uraia wa Sheikh Ponda, na kupata uhakika pamoja na kwamba awali walishafanya uchunguzi lakini wanadai hawajajiridhisha. Alisema, kufuatia zoezi hilo, familia na ndugu kwa ujumla wamekuwa na hofu juu ya zoezi hilo, kwani hivi karibuni uhamiaji wenyewe walifuatilia suala hilo na kuthibitisha uraia wa Sheikh Ponda. Bi. Tausi, alisema uhamiaji walifika nyumbani kwao Kigoma na wao kama familia ya Mzee I s s a , w a l i f i k a wakachukua vyeti vyao vya kuzaliwa wakatoa kopi, lakini pia walipewa kitabu cha kupigania Uhuru wakati Nyerere anataka kuingia katika utawala ambacho kilikuwa na orodha ya majina ya wazee waliopigania Uhuru na Mzee Issa Ponda alikuwemo. Naye Bi. Mayasa Sadala, akizungumzia sakata hilo alisema, watu wa Uhamiaji walika nyumbani kwa baba yake (Mzee Sadallah), na kudai kuwa wameelekezwa kuwa yeye ni mjomba wake Sheikh Ponda. Bi. Mayasa alieleza kuwa watu hao walimueleza baba yake kuwa wanachotaka ni Sheikh Ponda na Mama yake wapimwe damu pamoja na kaka yake, na kwamba tiketi zao za ndege zipo tayari, kuletwa Jijini Dar es Salaam. B i . M a y a s a , aliyejitambulisha kuwa ni Katibu wa Sadallah Foundation, alisema, baada ya maelezo hayo alimpigia kaka yake Ponda simu, ambapo alimueleza ujio wa watu hao na kufafanua juu ya usalama wao katika zoezi hilo, jambo ambalo kaka wa Ponda alikataa, na kuagizwa aambiwe dada yake (Tausi) aliyeko Jijini Dar es Salaam, kwa sasa. Tausi alipopigiwa simu na mjomba wake (Mzee Sadala), naye aligoma akasema yeye haaki mama yake kuja wala kutolewa damu, hivyo aliwapa jamaa hao namba ya simu ya Tausi ili waongee naye. Alisema Bi. Mayasa. Bi. Mayasa, alisema baada ya hapo, watu hao walimueleza Mzee Sadallah, kuwa wanakwenda kukaa kikao na endapo watakubaliana, Mama Ponda na wanae wakusanyike ili waenda kutolewa damu huko huko Kigoma, kisha watakuja kumtoa damu Sheikh Ponda. Bi. Mayasa, alisema kwa taarifa aliyonayo mpaka sasa (Jumatano) ni kwamba familia chini ya Mama Ponda wamekutana na wamesema hawatatoa damu wala mate yao. Mama Ponda kasema hata ndege ike mlangoni kwake hatotoka na wala hiyo sindano hatochomwa, kwa sababu Uhamiaji walisha peleleza na wakamfuata mama yake Ponda, aliwaeleza kila kitu na taarifa walitoa baada ya uchunguzi wao. Alisema Bi. Mayasa, akinukuu maelezo ya Mama Ponda. Bi. Mayasa, alisema kujirudia kwa suala hili muda huu, wakati tayari walishajiridhisha kuwa Ponda ni raia, huenda kuna kitu kinatafutwa dhidi ya Sheikh Ponda. Bi. Mayasi alisema, kwa mara ya mwisho watu hao walimwambia kaka wa Ponda, kuwa kama wana mashaka na usalama kwa kutolewa damu basi watoe hata mate yao tu. Alisema, familia inaona kuna jambo nyuma ya pazia kwani kama ni uhalali wa uraia, kwa kawaida damu huchukuliwa ya baba, sasa akahoji vipi leo walazimishe kuchukua damu ya Mama na ndugu zake Ponda, ili wajirishe na uraia wake. Hata Mzee Sadallah, aliuliza hilo, na kuonyesha hofu yake alidai (Mzee) walishindwa kulitolea ufafanuzi, wamedai eti hata kwa mama inawezekana, sasa tunashindwa kuelewa hili zoezi ni kwa lengo gani haswa. Alisema Bi. Mayasa. Kama ni kujiridhisha uraia

Habari

JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 2013

AN-NUUR

Wafungwa 8 wasilimishwa
Na Bakari Mwakangwale WA F U N G WA w a n a n e (8) wa Gereza la Kimbiji wamesilimu. Wafungwa hao wamesilimu baada ya kukutana na w a f u n g w a Wa i s l a m u walioingia kifungoni baada ya kuhukumiwa kutokana na kesi ya maandamano. Hayo yamefahamika kutokana na taarifa iliyotolewa na Amir wa Kamati iliyoundwa kuhudumiwa wafungwa hao pamoja na familia zao. Akiongea na An nuur, Amir wa Kamati hiyo Ust. Baiya S. Buiya amesema kuwa, katika ziara yake katika gereza la Bagamoyo alipata ushirikiano mzuri kutoka kwa Waislamu wa Mji huo ambao aliambatanao kufika katika gereza hilo na kuwajulia hali wenzao. Alisema, kwa ujumla Wa i s l a m u h a o w a l i o Magerezani wamekuwa wakihitaji Misahafu, Juzuu na vitabu vywa swala na maarisho yake na vingine vyenye mafundisho ya Uislamu kwa ujumla. Alisema, kwa Waislamu wa gereza la Bagamoyo, wameweza kuanzisha utaratibu wa ibada gerezani humo ambao awali ilikuwa ngumu, ambapo katika gereza la Kimbiji, Waislamu hao wameshasilimisha wafungwa Wakristo nane, na wameomba wapatiwe vitabu zaidi kwa ajili ya Daawa. Kwa upande mwingine, Waislamu nchini wametakiwa kutoa ushiriakiano wa hali na mali kwa kamati ya kuhudumia Waislamu 52, waliofungwa mwaka mmoja jela pamoja na familia zao walizozicha. Wito huo umetolewa na uongozi wa Shura ya Maimam (T), baada ya Shura hiyo kuunda kamati maalum April 14, 2013, ya kuwahudumia

wa Sheikh Ponda, wakatafute kaburi la Mzee Issa Ponda, lilipo ndipo wajirizishe, lakini sio kwa mama au kaka na dada zake haya kwetu ni mapya, na pengine ipo namna. Alisema Bi. Mayasa. Alipoulizwa Mjomba wa Sheikh Ponda, Bw. Sadala, alikiri kufuatwa na maasa wa uhamiaji lakini hakueleza walikuwa wakihitaji kitu gani.Juhudi za kuwapata maosa wa Idara ya Uhamiaji kuzungumzia suala hili zinaendelea.

wafungwa wa kesi ya maandamano, kufuati kikao kilichowakutanisha Maimam kutoka Misikiti mbalimbali ya Jijini Dar es Salaam. Taarifa hiyo iliyosainiwa na Amir wa Shura ya Maimam, Sheikh Mussa Y. Kundecha, ilisema Shura imeunda kamati ya watu sita, ambao watakuwa na jukumu la kukusanya michango Misikitini na kwa Waislamu mbalimbali. Hivyo naitambulisha kwako kamati hii ili muweze kutoa ushirikiano wa hali na mali kwa ajili ya kuwahudumia Waislamu 52 wa maandamano waliopo magerezani. Ilisema sehemu ya barua ya kuitambulisha kamati hiyo kwa Waislamu. Akiongea na An nuur, Amir wa Kamati hiyo Ust. Baiya S. Buiya, alisema jukumu kubwa la kamati hiyo ni kuwatembelea ndugu zao Waislamu waliohukumiwa kifungo cha mwaka mmoja hivi karibuni, kujua matatizo yao sambamba na kuwa karibu na familia zao. Buiya alisema Muumini wa kweli atakaye baki katika imani yake sawasawa lazima akutane na mambo matatu, aliyataja mambo hayo kuwa ni kufungwa kwa ajili ya Allah (s.w), ambapo huyo atakuwa hajapata hasara, kwa sababu atakuwa ametekeleza sunna ya Nabii Yusuph. Ust. Buiya, alisema jambo la pili ni kufukuzwa katika nchi yake kwa ajili ya Dini yake na huyo naye yakimka hayo atakuwa hajapata hasara kwake kwani atakuwa katekeleza Hijra Mtume Muhammad (s.a.w). Lakini kubwa lingine Ust. Buiya, alisema Muumini huyo pia ategemee kuuwawa kwa ajili ya Allah au Uislamu, naye atakuwa hana hasara kwani atakuwa kafa Shaheed. Ust. Buiya, alisema ikiwa Inaendelea Uk. 4

Makala

JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 2013

AN-NUUR

Katibu Mkuu, Zanzibar Law Society, Wajumbe wa Kamati Tendaji, Zanzibar Law Society, Mawakili na Wanasheria; Wageni Waalikwa; Mabibi na Mabwana

Hotuba ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar katika kongamano la maadhimisho ya miaka 49 ya Muungano


wa kuvunja movo sana kwa sababu zifuatazo. Kwanza ni ile ya hatua hii kutawaliwa na itikadi za kisiasa. Hatlmaye maoni ambayo yalihitaji Hoja yakawa kama kura arnbayo ilihitaji idadi. Wananchi walikubali kuwa watii kwa maslahi yao ya itikadi za siasa badala ya kuwa wapiganaji wa kupigania hatima yao, hatima ya haki yao na hatima ya nchi yao. Sidhani kama tuliisaidia sana Tume. Pili, hatua hii ilitawaliwa, baadhi ya sehemu, na jazba badala ya hoja. Hatimaye badala ya mchakato huu kuwa wa kuimarisha umoja ukawa wa kutugawa, wa kutuletea uhasama na ugomvi; tofauti sana na muelekeo ambao tayarl tulishauchukua katika nchi yetu, Kwa ufupi tulirudia virago vyetu ambavyo tulishavitupa na tukaacha vazi jipya na la staha ambalo tulishaamua kulitumia. Na sababu ya tatu ni kuwa ushiriki wa watu wenye weledi wa katiba kama vile waandishi wa habari, wasomi, wanataaluma na wanasheria ulikua hafu sana. Hapa ndipo tulipothibitisha ile itikadi yetu ya Zanzibar; itikadi ambayo mimi naifananisha na Togwa. Maana katika kutengeneza Togwa, juhudi kubwa imechukuliwa kuupatanisha mtama na maji uwe kitu kimoja kama vile ilivyo katika uji, lakini imeshindikana. Baada ya juhudi yote hiyo, Togwa likiwekwa katika chupa, bado mtama na maji vinajitenga; maji juu, mtama chini. Ndugu Washiriki, katika hatua ya sasa Tume inaandaa rasimu ya Katiba ambayo hatimaye italetwa katika Mabaraza ya Katiba ili kupata maoni. Sote tumeona jinsi ya uchaguzi wa Mabaraza y a K at ib a u li v y o k w e n d a. Mimi inanipa wasi wasi kama kweli tumefahamu maana ya mchakato huu na hatima yetu sote. Wasiwasi huo ndio unaonifanya nione Kongamano la leo kuwa ni fursa adhimu ya kukumbushana tunakoelekea. Naomba kutanabahisha wenzangu kwamba njia yetu ni moja sasa hivi, lakini huko mbele ya safari, tutakutana na njia panda. Itatulazimu kuchagua wapi tunaelekea. Kama hatujaamua hivi sasa katika safari hii tunakwenda kutafuta nini, ni dhahiri tutapofika njia panda tutashindwa kuamua wapi tuelekee. Hatimaye tutafata mkumbo, na wanafalsafa wanasema, afataye mkumbo hana safari, ni mzururaji tu! Ndugu Washiriki, wakati rasimu itapoletwa katika Mabaraza ya Katiba, haitaletwa ili ipigiwe kura bali ichambuliwe kwa hoja madhubuti. Kila kipengele lazima kikubaliwe au kikataliwe kwa hoja. Hapa ni wazi kuwa kunahitajika uweledi, maarifa na uwezo wa kujenga hoja. Hatua hii sio ya kugombea idadi ni ya kugombea nguvu ya hoja. Hii si hatua ya itikadi ni hatua ya mustakbala. Hii si hatua ya utashi bali ni hatua ya tafakuri. Naomba tuangalie mbele yetu tuone tunakokwenda na tufungue kumbukumbu zetu tujue tunakotoka. Ndugu Washiriki, ni ukweli ambao umethibitishwa na tati na taarifa kadhaa kuwa Muungano wetu una matatizo makubwa na ya msingi kabisa. Juhudi kadhaa zimefanywa kutatua baadhi ya matatizo. Baadhi zimezaa matunda. Lakini ukweli unabaki kuwa mwenye ukurutu akitibiwa pele 10 bado ni mgonjwa; tena mgonjwa sana. Sababu kubwa ni kuwa zile kasoro za msingi bado hazijapatiwa ufumbuzi. Matokeo yake sasa kasoro hizo zimepewa heshima na kupewa jina kuwa Kero za Muungano na zinajadiliwa kwa ratiba na taadhima kubwa. Ni vyema tuzitathmini kasoro hizo za msingi, tuzijadili kwa kina bila ya kuona haya au kuogopa taasisi zetu ama za itikadi au za itifaki. Tukifanya hivyo, kazi yetu katika Mabaraza ya Katiba itakuwa rahisi sana. Vyenginevyo, nina wasi wasi tutayageuza Mabaraza hayo kuwa ni maonyesho ya moja kwa moja ya Comedy za mfumo wa kizazi kipya. Ndugu Washiriki, kwa maoni yangu, baadhi ya kasoro za msingi za Muungano wetu ni kama zifuatazo: a) Misingi ya Muungano kutokuwekwa bayana: Ushirikiano wowote una misingi yake muhimu. Mmoja kati ya misingi hiyo ni kutambuliwa Washirika wa Muungano na hadhi zao kuwekwa bayana. Muungano wetu ni wa nchi mbili zilizokuwa huru na zinazojitegemea. Makubaliano yoyote ya kuendesha Muungano, iwe Katiba au Mkataba lazima yaweke bayana ukweli huo na ueleze bayana hadhi za Washirika hao wa Muungano. Mfano mzuri ni Katiba ya Uswiss ya 1999 ambayo inafuata mfumo wa Shirikisho Huru (Confederation). Ibara ya 1 ya Katiba inaeleza Nchi (Canton) zote zilizounda Muungano. Ibara va 3 inaeleza bayana kwamba nchi zilizounda Shirikisho hila ziko huru na zina mamlaka kamili kwa kiasi kile ambacho hakitapingana na mamlaka ya Shirikisho. Kukosekana kwa msingi huu ndani ya Katiba yetu ni moja ya sababu ya matatizo kwa vile Mshirika mmoja amebaki bayana na mwengine hajulikani alipo. Aidha, kukosekana kwa msingi huu muhimu kumefanya masuala ya Muungano kuwa ya upande mmoja bila ya kuwepo njia rasmi za majadiliano baina ya Washirika kuhusu mambo ya Muungano. Muungano wowote wa baadaye lazima ujengwe juu ya msingi huu muhimu. b} Kasoro nyengine ya Msingi ni kukosekana usawa katika maamuzi yanayohusu mambo ya Muungano. Msingi huu ni mpana. Miongoni mwa mambo muhimu chini ya msingi huu ni kwa Washirika wa Muungano kuwa na usawa katika kufanya maamuzi ya Muungano. Chini ya mfumo wa sasa msingi huu haupo kabisa. Kwa mfano katika uchaguzi wa Rais wa Muungano, upande mmoja tu ndio ambao unaweza kuamua nani awe Rais wa Muungano. Nchi ya Marekani imeweka mfumo wa uchaguzi wa Rais kwa mfumo wa kura za Majimbo ili kuhakikisha kuwa Majimbo hata madogo yana sauti katika kuamua nani awe Rais wa Marekani. Kasoro nyengine kubwa ni kukosekana usawa katika usimamizi wa mambo ya Muungano na katika kuamua sera na Sheria za Muungano. Aidha, kwa mfumo wa sasa hakuna usawa katika kupanga na kutumia rasilimali za Muungano. c} Kukosekana uwazi na usawa katika matumizi ya rasilimali za

Kwanza napenda kuchukua fursa hii kuishukuru ZLS kwa dhati kwa kuandaa Kongamano hili adhimu ambalo limekuja katika wakati muafaka kabisa. Aidha, naishukuru ZLS kwa kunipa heshima ya kutangulia kuzungumza na kufungua rasmi kongamano hili. Ndugu Washiriki, uzuri wa shughuli hii sio tu katika kuadhimisha miaka 49 ya Muungano lakini ni fursa muhimu sana ya kuwazindua Wananchi na hasa Wanasheria wa Zanzibar kutimiza wajibu wao kwa jamii katika mchakato unaoendelea wa kuandaa Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano. Kwa hakika mchango na ushiriki wa wanasheria katika hatua zilizopita umekuwa hafu na hauonekani kuimarika hata katika hatua ya sasa. Ninaamini ZLS lmefanya shughuli hii kutuzindua. Ndugu Washiriki, kama tunavyofahamu mchakato wa Katiba mpya umekuja kutokana na ukweli kwamba ipo haja ya kuimarisha mfumo wa utawala katika nchi yetu kama tunataka kuleta maendeleo ya kweli. Kwa vile Katiba ndivo mama wa Utawala wa Umma, haina budi kuangaliwa upya. Aidha, ni ukweli usiobishika kwamba Muungano wetu umekuwa na matatizo mengi ambayo yanatishia kuvunjika kwake kama hayakufanyiwa mapitio ya kina na dhati na kurekebisha kasoro zake hasa zile ambazo ni za kiini. Ndugu Washiriki, mchakato wa Katiba mpya una hatua nyingi, Hatua ya mwanzo ilikua ile ya kutunga Sheria ya kusimamia mchakato huu. Naomba nikiri na niwahakikishie kuwa ushiriki mzuri na wa hamasa wa wananchi, hasa wa Zanzibar, kulisaidia sana kuifanya Sheria iliyopo izingatie usawa na maslahi ya pande mbili za Muungano. Bila ya ushiriki mzuri wa wananchi, sioni haya kusema kwamba, sidhani kama Sheria hiyo ingekuwa kama ilivyo. Hatua ya pili ilikuwa ya kuunda Tume ya Kuratibu Mchakato wa Katiba. Na hapa pia ushiriki wa wananchi kupitia Jumuiya na taasisi zao mbali mbali ulisaidia sana. Hata hivyo, ushiriki wa wananchi katika hatua hii haukua mzuri sana wala wa hamasa kama ule wa mwanzo. Ndugu Washiriki, hatua ya Tatu ni ile ya kukusanya maoni ya Wananchi. Katika hatua hii ushiriki wa wananchi kwa upande wa Zanzibar labda mnisaidie nyinyi kama ulikuwa mzuri au la. Kwa maoni yangu ushiriki ulikua

Muungano ni kasoro kubwa na msingi. Rasilimali inajumuisha mamlaka ya Jamhuri ya Muungano katika mahusiano na nchi nyengine au jumuiya za kimataifa; d) Kasoro nyengine ya msingi ni Mambo ya Muungano na yasiyo ya Muungano kutokuwa bayana: e) Kasoro nyengine ya msingi ni kutokuwepo ukomo wa mipaka ya Muungano. Hapa inakusudiwa kwamba, Muungano wowote lazima uweke bayana mambo yapi hayatoweza kuwa ya Muungano ama kuwa kwake ya Muungano lazima wananchi waamue. Chini ya Mfumo wa sasa wa Muungano lolote linaweza kufanywa kuwa la Muungano ilimradi tu theluthi mbili za Wabunge wa kila upande waridhie; f) Kasoro nyengine kubwa ya msingi kabisa ni mfumo wa sasa Serikali mbili. Wengi wanadhani kuwa mfumo wa sasa wa Serikali mbili unaweza kufanyiwa marekebisho na kuendelea kutumika. Ni imani yangu kuwa mfumo huo una kasoro moja kubwa ambayo haiwezi kurekebishwa na ndio kiini cha

Inatoka Uk. 3 Muumini huyo kafikwa na moja kati ya kadhia hizo, basi ni jukumu la Waislamu waliobaki kuziangalia familia zao kama zipo, kwa hali na mali. Ndiyo maana Shura ya Maimam nchini imeona upo umuhimu wa kuunda kamati hii ili kuzunguka kwa Waislamu wote walioguswa na kadhia hii waweze kuchangia kwa ajili ya hao walio magerezani na familia walizoziacha. Alisema Ust. Buiya. Aidha, Ust. Buiya, alisema kwamba mbali ya jukumu hilo kamati pia imepewa jukumu la kuzungukia Magereza yote matano ambayo Waislamu hao wametawanywa baada ya hukumu hiyo ya mwaka mmoja kujua hali kwa ujumla. Alisema, mpaka sasa mara tu baada ya kuteuliwa wamesha wakia Waislamu hao wote 52, waliofungwa katika magereza yote waliyotawanywa ambayo aliyataja Magereza hayo na idadi yao katika mabano kuwa ni Gereza la Ukonga, Jijini Dar es salaam (3), Gereza la Mvuti Dondwe (13), Gereza la Bagamoyo (10), Gereza la Mngaru Kibiti, Bimani (20), yaliyopo Mkoa wa Pwani

Wafungwa 8 wasilimishwa
Pamoja na Gereza la Kimbiji, Kigamboni (6), Jijini Dar es Salaam. Akielezea hali zao kwa ujumla, Amiri wa Kamati hiyo, alisema kwa ujumla hali zao ni nzuri ukiachilia maradhi ya kawaida ambayo miongoni mwao waliingia nayo, lakini alidai wanapata matibabu chini ya uangalizi wa Magereza. Amir Buiya alisema Wa i s l a m u w a j i t o l e e kuwasaidia ndugu zao waliopo Magerezani pamoja na familia zao, kwani Shura haina vyanzo vya mapato zaidi ya Waumini wao kupitia Misikiti yao. Alisema, kamati hiyo pia imeweka utaratibu wa kukutana na familia hizo 52, katika siku maalum kwa ajili ya kuangalia namna ya kuweza kutatua baadhi ya matatizo, husasani masuala ya chakula, ada kwa watoto wao pamoja na kodi za nyumba. Hivi karibuni Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, iliwahukumu Waislamu 52, kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kuandamana bila kibali, ambapo waislamu hao wametawanywa katika Magereza mbalimbali katika mikoa ya Dar es salaam na Pwani.

Inaendelea Uk. 8

Makala

JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 2013

AN-NUUR

Wabunge zindukeni udini utatupeka pabaya


Na Shaban Rajab

Serikali imeshashikwa Huu sio muda wa Bunge la vyama


wa wananchi, analazimika kuwania nafasi hiyo kupitia tiketi ya chama cha siasa, ndipo ahalalishwe kuwa mgombea. Lakini kwa upande wa wapiga kura kwa maana ya wananchi, wao hawana shuruti ya kupigwa mhuri wa chama chochote cha siasa ili awe na haki ya kupiga kura. Ndio maana anayechaguliwa kwa kura, basi anakuwa amechaguliwa na watu wengi wasiosimamia itikadi za vyama vya siasa. Kwa maana hiyo Mbunge ni kiongozi wa wote. Inaeleweka vyema kwamba wananchi wanamchagua mbunge huku wakiwa na sababu zao za kimsingi za kumchagua. Kwamba akawawakilishe Bungeni shida na kero zao. Akasimamie mahitaji yao, vipaumbele vyao vya maendeleo, kawatungie sheria nzuri zenye maslahi kwa umma nk. Lakini ajabu, leo tunashuhudia wabunge wakitumia nguvu nyingi kutetea maslahi yao na vyama vyao, huku masuala ya wananchi ambao ndio waajiri wao yakifanyiwa mzaha. Kwa kiwango kikubwa, mabishano na matusi yaliyomwagwa bungeni katika mikutano ya kikao hiki cha kumi cha Bunge, yametokana na hisia za kipinzani wa kivyama.

BUNGE sasa limegeuka kuwa uwanja wa vyama vya siasa kutambiana, kubishana, kutukanana, kukejeliana, kudhihakiana na kutafutana umaarufu wa kisiasa. Kwa jinsi tunavyoshuhudia katika vikao vya Bunge mjini Dodoma hivi sasa, tunadhihirisha wazi kwamba wabunge walio wengi hawana habari na kutimiza wajibu wao walilokabidhiwa na wananchi wa kupigania, kutetea na kulinda, maslahi ya umma. Wengi wao ndani ya vifua vyao wanaonekana kutanguliza maslahi yao binafsi na ya vyama vyao. Maslahi ya wananchi ni ya baadae. Inafahamika wazi kwamba wananchi wamewachagua wabunge, si kwa sababu nyingine zaidi ya kuwawakilisha ili wakashughulikie maslahi yao. Ukiacha wabunge wa viti maalum na wale wa kuteuliwa na Rais, Wabunge wamechaguliwa kwa kura za wananchi. Japo awali hupitia katika michakato ya vyama vya siasa, lakini utaratibu huu ni kwasababu tu kwamba sheria zetu za uchaguzi haziruhusu mgombea binafsi. Hivyo mtu anayetaka kuwa mwakilishi au kiongozi

Mtu anakuwa na uchungu zaidi na chama chake kuliko wananchi waliomtuma. Kwamba yupo tayari kumtetea aliyepiga muhuri wa kuhalalishwa kuwa mgombea, kuliko aliyempigia kura na kumpatia ubunge. Si vibaya Mbunge kutetea ilani ya chama chake, lakini ni vyema akawa na vipaumbele. Maslahi ya umma kwanza, maslahi binafsi na ya vyama vyao baadae. Ifahamike tu kwamba halikuwa lengo la mwananchi kumchagua Mbunge ili akasimamie maslahi ya chama chake wala ya mtu binafsi. H i v i s a s a Wa t a n z a n i a wanakabiliwa na mpasuko mkubwa wa kidini. Kadiri siku, miezi na miaka inavyosonga, ndivyo mpasuko huo unavyozidi kukua na kukita zaidi mizizi yake. Kwa bahati mbaya, mpaka wakati huu serikali haijaona kama kuna haja ya kuchukua hatua za dharura, ili kuchunguza na kubaini kiini cha tatizo na hatimaye kumaliza hitilafu hizi zinazotishia umoja, amani na usalama wa wananchi kwa ujumla. Wabunge nao, licha ya kuwa wao ndio wawakilishi wa wananchi bungeni na serikalini na kwamba wako karibu na watu, lakini nao wamepiga kimya

licha ya tatizo kuwa kubwa na kutishia kusambaratisha amani na umoja wetu. Kwa muda mrefu sasa, jamii ya Waislamu wamekuwa wakilalamika kuwa wamekuwa wakidhulumiwa, wakinyimwa fursa na kutotendewa haki na serikali ikilinganishwa na wenzao Wakristo. Inafahamika kwamba mizozo ya kidini ni moja ya mambo yanayoweza kupoteza amani ya nchi na umoja na mshikamano kwa wananchi kama mizozo ya kiimani kwa haraka sana kuliko hata ukabila. Taifa lolote lililo makini kwa usalama wa raia wake, haliwezi kuzembea kuchukua kuondoa hali kama hii. Kwa mtazamo wangu, badala ya wabunge wetu kutumia muda mwingi bungeni kupigana vijembe kwa sababu tu ya tofauti zao za kichama, tunaona kuwa kwa kipindi hiki walistahili kujitambua kuwa wao wawakilishi wa wananchi na walistahili kuwaza juu ya tatizo lililopo la udini. Walistahili kujadili namna ya kulishughulikia na kulimaliza na mapema kwa kuzingatia maslahi ya pande zote za imani kabla mabo hayajaharibika kabisa. Kwa nafasi waliyo nayo, ingekuwa vyema kama wangeleta hoja rasmi bungeni kuhusu tatizo la udini nchini, wakaijadili kwa kina kwa maslahi ya umoja wa Taifa letu.

Kulingana na ukubwa wa tatizo na madhara yanayoweza kupatikana kwa Taifa juu ya udini, Bunge walilistahili hata kuunda Kamati Maalum kwa ajili ya kuchunguza madai ya Waislamu na Wakristo ili kubaini ukweli. Kamati itizame hoja za Waislamu na madai yao kama ni sahihi au la, kadhalika upande wa Wakristo. Pia ingekuwa si vibaya wachunguze hatua ilizochukua serikali kama ni sahihi au la, na kama zilifanikiwa au kuchochea hitilafu zaidi. Kama inavyofanyika katika kadhia nyingine kama vile usadi na ubadhirifu wa fedha na mali za umma, Kamati hiyo inatakiwa kuja na majibu kamili. Majibu hayo ni mapendekezo juu ya hatua muafaka zinazostahili kuchukuliwa na serikali kuhusu ugonjwa huu hatari wa udini. Lengo hapa ni kunusuru mustakabali wa umoja wa watu wa Taifa hili kwa kuondoa dharau, dhulma na uonevu unaofanywa na watu wa imani moja dhidi ya watu wa imani nyingine, na serikali ikiendelea kupiga kimya. Kuendelea kupigia kimya tatizo hili, tusitarajie kwamba udini ulipo unaweza kwisha au kondoka wenyewe kwa kupiga siasa za majukwaani. Vinginevyo tusubiri balaa kubwa zaidi ndipo tutakapotahayari.

Na Said Rajab. HIMAYA ya Zanzibar chini ya Sultan ilianzia Rasi ya Asir katika pwani ya Benadir Somalia, mpaka mto Ruvuma katika Rasi ya Delgado, na ndani mpaka maziwa makuu. Mtawala wake alidhibiti eneo lote la Kusini Mashariki mwa kona ya Arabia. Umashuhuri wake ulisambaa mbali zaidi ya mipaka hii mipana. Wakati wa kilele cha Himaya hii, Zanzibar ilifahamika zaidi kwa msemo wake maarufu: Ukipiga Zumari Zanzibar, Waafrika wote wanacheza. Himaya hii ya Zanzibar imepita, lakini sehemu kubwa ya athari zake imebaki. Kiswahili, ambacho kinatambuliwa kama lugha ya Kiafrika (Kiislamu) ni moja ya lugha saba kubwa zaidi duniani. Kiswahili kimeenea kwa kiasi kikubwa kuanzia Zanzibar mpaka Congo, zamani Zaire. Katika maeneo ya Kusini yaArabia, Mashariki mwa India na Madagascar, kuna watu wanaozungumza Kiswahili. Mandhari ya asili

katika visiwa vya Mauritius na Reunion vina asili ya Zanzibar. Lugha zao, ingawa ni Kifaransa katika Msamiati, lakini ni Kiswahili katika saru yake. Mtu pia unaweza kusikia lafudhi inayofanana na Kiswahili cha Zanzibar katika visiwa vya Mauritius. Katika miaka ya 60, Tanganyika, Kenya na Uganda zilichukua Kiswahili kama lugha ya taifa na kisiasa, lakini siyo lugha rasmi kama ilivyo Zanzibar. Utaifa wa Zanzibar uliwezekana kutokana na utambulisho usio wa kibaguzi wa lugha ya Kiswahili. Kwa hiyo, Kiswahili ni lugha ya Waislamu wa eneo la Afrika Mashariki, kama ilivyo Kiarabu katika ulimwengu wa Waislamu. Kiswahili cha Zanzibar, ambacho kimetokana na lafudhi ya Kisumaria, ndiyo lugha pekee ambayo imeazima sehemu kubwa ya msamiati wake kutoka kwenye Kiarabu, kuliko Kiingereza kilivyoazima kutoka kwenye

Zanzibar kabla ya Muungano


Kilatini. Lakini mara baada ya kumalizika kwa Ukoloni wa Kiingereza na Kijerumani katika eneo la Afrika Mashariki, Zanzibar ikatengwa kwa makusudi na Ulimwengu wa Waislamu tangu mwaka 1964, kutokana na ukweli kwamba ndiyo iliyokuwa nchi pekee katika Afrika Mashariki, ambapo Sheria ya Kiislamu ilikuwa ndiyo Sheria Kuu ya nchi. Zanzibar haikuwa tu ndiyo mpinzani mkuu wa kuingia kwa utamaduni wa kigeni (Kikristo) kuanzia Kenya mpaka Tanganyika, bali pia ilikuwa ni kituo cha taaluma ya lugha ya Kiswahili na elimu ya Kiislamu katika ukanda huu wa Afrika. Mkuu wa zamani wa Zanzibar Muslim Academy, Sheikh Sayyid Omar bin Abdullah (1917 -1988), alihitimu Chuo Kikuu cha Oxford jijini London Uingereza alipata kusema kwamba visiwa vya Zanzibar vilikuwa muhimu sana kwa uingiaji wa madhehebu ya Kishafii

nchini Tanganyika, Kenya na Uganda. Hiki kilikuwa ni kipindi cha Abu Hamid Muhammad al-Ghazzali (1058 - 1111), Profesa wa Nidhamiyah Shai Muslim Academy mjini Baghdad na mwanafunzi wa Abdullah Muhammad Idriss al-Shai (767 -820), muasisi wa Fiqh ya Kishafii. Hii inaweza kuthibitishwa na msafiri maarufu duniani kutoka Morocco Abu Abdullah bin Muhammad al-Tunzi (1304 - 1378), maarufu kama Ibn Batuta ambaye alitembelea visiwa vya Waislamu wa Afrika Mashariki, ikiwemo Mombasa na Pemba. Alibainisha kuwepo kwa jamii ya Waislamu, shule za Kiislamu, Wanazuoni wa Kishafii na vitukuu vya Mtume Muhammad (saw) katika visiwa vya Afrika Mashariki. Sheikh Abdullah Saleh al-Farsy (19121982), Mwanahistoria wa Kimataifa wa Zanzibar na Mwanazuoni mkubwa wakati wa Usultani, ingawa

ulikuwa chini ya ukoloni wa Kiingereza. Masultani wa Zanzibar walikuwa wakipeleka Wanazuoni wa Kishai Tanganyika, Kenya, Uganda, Malawi, Msumbiji mpaka Congo kwa lengo la kueneza Uislamu. Wakati wa kipindi cha Ukoloni wa Kiingereza, Zanzibar ndiyo ilikuwa kituo pekee cha kusambaza Uislamu katika eneo zima la Afrika Mashariki na Kati, chini ya Usultani wa Zanzibar. Misikiti ya Gofu na Barza ilichukua wanafunzi kutoka nchi zote za Afrika Mashariki na Kati, kwa ajili ya kuwapa elimu ya Kiislamu. Chuo cha Zanzibar Muslim Academy kilikuwa chachu ya kueneza Uislamu Afrika Mashariki. Dola ya Zanzibar yenye mrengo wa Kiislamu, ilionekana kuwa ni tishio kwa Ukristo Afrika Mashariki. Mapinduzi na kisha Muungano, yamekuwa kama ni mwendelezo wa crusade dhidi ya Uislamu. Uislamu umetiwa kitanzi Zanzibar tangu mwaka 1964.

MAKALA

JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 2013

AN-NUUR

Vita dhidi ya Uislamu yapamba moto


Na Omar Msangi

M WA N D I S H I S t e p h e n Lendman ameandika makala aliyoipa jina Americas War on Islam akielezea jinsi Serikali ya Marekani inavyoandaa na kubuni maadui wa ndani ili iweze kupata sababu ya kuzivamia, kuzishambulia au kuweka jeshi katika nchi inazozitaka kwa masilahi yake. Akasema kuwa Waislamu wamekuwa na bahati mbaya kwa sababu wao ndio wamechaguliwa kuwa ndio adui na gunia la kufanyia mazoezi kila Serikali ya Marekani inapotafuta kisingizio cha kupiga nchi nyingine au kuimarisha mtandao wake wa kijeshi duniani. Ukiacha hilo la kutumia adui wa kubuni ugaidi wa Kiislamu ili kupata kisingizio cha kuvamia, kupiga nchi na kuzikalia kijeshi au kuweka kambi za kijeshi na kikachero, zimwi ugaidi limebuniwa na linatafutiwa mbinu za kudumishwa ili ionekane kuwa kinachopigwa vita ni ugaidi na sio Uislamu na Waislamu. Kwa mkakati huo, hata baadhi ya Waislamu na baadhi ya nchi zinazoitwa za Kiislamu zinaweza kutumika kuwapiga v i t a Wa i s l a m u w e n z a o baada ya kusomeshwa na kumezeshwa propaganda kuwa ni magaidi. Katika makala hiyo aliyoiandika mara tu baada ya kutokea kile kilichoitwa Boston Marathon bombing, Lendman anaungana na wasomi na wachambuzi wengine wa siasa za Marekani na inayoitwa vita dhidi ya ugaidi wakionyesha wasiwasi wao kuwa hilo lilikuwa shambulio la kupanga na kwamba watuhumiwa ambao ni vijana wa Kiislamu kutoka Chechnya/Dagestan, wamekuwa wahanga wengine wa mpango wa FBI wa kuwafanyia usanii vijana wa Kiislamu na Masheikh kuwaingiza katika mtego, kuwapa miongozo, kuwachochea, kuwawezesha na kisha kuwakamata. Anasema katika Vita dhidi ya Ugaidi Waislamu ndio kisingizio na kwa sababu huo unaendelea kuwa mtaji wa Marekani kufanya ubabe wake mahali pengi duniani, basi kila wakati itaibua gaidi au shambulio la kigaidi ili kitisho na hofu iendelee kudumu. Ni kwa sababu baada ya kuwa shambulio la Septemba 11

Unapokuwa Sheikh huna haki Polisi wajue nao hawapo salama Si lazima waige ya Pennsylvania Avenue

Boston Bombing: The Ofcial Story Proves Dzhokhar Is Innocent a Photo Essay
By Scott Creighton April 24, 2013 Information Clearing House American Everyman If you believe the ofcial story of what happened on April 15th at the nish-line of the Boston Marathon, then you have to know that Dzhokhar Tsarnaev is innocent of the charges leveled against him. You cannot avoid it. According to the new ofcial story (remember the Bag Men story that was fed to the New York Post by ofcials?) Tamerlan and Dzhokhar Tsarnaev went down to the nish-line of the Boston marathon carrying bombs in their backpacks and planted them in two locations about a block apart and then hung around and watched the carnage unfold. They claimed they had video proof of at least one of them, Dzhokhar, dropping his bomb and an eyewitness who saw Tamerlan drop his at the feet of the witness while making eye contact with him and walking away. They then, according to the story they have video evidence of this, hung around, watched the carnage only to slowly walk away from the scene. That is the ofcial story. And that story proves Dzhokhar is innocent. And if Dzhokhar is innocent, more than likely, so is Tamerlan. Let me show you why. 1. Circumstantial but based on hard evidence First of all, the Feds have produced neither of the two videos they claim to have showing 1. Dzhokhar planting a bomb and 2. them hanging out watching the aftermath then slowly walking away. In fact, the evidence we have suggests a totally different story. The new story about all of this drops any mention of those two videos down the memory hole. The second thing to remember is the fact that the FBI pretended to need our help to identify the two men while the entire time their own local eld ofces had been in steady contact with the boys for at least two

years. The FBI has come out since and admitted their involvement with the boys and several congressmen are asking how they dropped the ball on this one. The FBI is avoiding answering congress questions. I have found evidence to suggest that they were in fact being handled by an FBI confidential informant and I believe that fact is likely to come out very soon. The congressmen are starting to ask for the FBIs les on these boys. Family members, even the one trying to help the Feds, suggest that they were being manipulated by mentors which is standard operating procedure for the FBIs domestic terrorism task force. In fact, it appears from the ofcial photos of the boys, they were indeed waiting for quite a while in front of a restaurant in the area to meet someone someone who told them to be there. Someone who deliberately put them in the wrong place at the right time. Inaendelea Uk. 7

limefanya kazi yake na sasa linataka kusahaulika, ni lazima kuibuliwe kisingizio kingine kama hiki cha Boston Marathon Bombing. P o s t - 9 / 11 , M u s l i m s were targeted for political advantage. Post-Boston bombings,Americas war on terror continues. Perhaps last weeks Boston bombings advanced it. Muslims remain Americas enemy of choice. Expect Obama and Congress to take full advantage. Expect the worst of times to follow. Anasema Stephen Lendman na kuongeza kuwa ndio maana baadhi ya magazeti ya Marekani mara tu baada ya shambulio hilo yalisema katika kurasa zao za mbele kuwa ugaidi warudi tena Marekani. Maandishi makubwa yakakolezwa ili wananchi warudishe mawazo na hofu ya kitisho cha Waislamu. Terror Has Returned. Ndivyo gazeti la USA Today lilivyoripoti katika kukoleza kitisho. Stephen Lendman akielezea hali inayowakabili Waislamu hivi leo anasema kuwa, wamekuwa wakisingiziwa makosa, kubambikiziwa kesi, kudhalilishwa, kunyimwa haki zao za kibinadamu, kuondolewa utu wao, kuwekwa rumande bila ya kupewa dhamana na inapotokea kuhukumiwa mahakamani, hupewa adhabu kali kinyume na watu wengine kwa kosa hilo hilo. Inakuwa kana kwamba Serikali na mfumo mzima wa uongozi wa Dola una hasira kali na kwa hasira hizo inawashukia Waislamu kwa lengo la kuwakomoa. A n a s e m a , T h e y re dehumanized, spied on, set up as patsies, hunted down, rounded up, held in detention, kept in isolation, denied bail, restricted in their right to counsel, tried on secret evidence, convicted on bogus charges, given long sentences, and treated harshly as political prisoners. Anasema, shambulio la Boston likichunguzwa, ikiwa ni pamoja na taarifa ya polisi, vyombo vya habari, viongozi wa serikali na wananchi walioshuhudia tukio hilo pamoja na picha za video, kunapatikana mashimo mengi na ukungu mwingi unaotoa wasiwasi kuwa ni jambo limepangwa na watuhumiwa ni wahanga tu. Uchaguzi wa vijana hao Inaendelea Uk. 7

Inatoka Uk. 6 wa Kiislamu katika tukio hili, linaonekana kuwa chaguzi stahiki kwa vile vijana hao Tamerlan Tsarnaev na Dzhokhar Tsarnaev ni Waislamu kutoka Chechnya na ukileta madai kuwa Mchechen ni gaidi ni jambo la kusaidia propaganda kwa sababu Waislamu wa Chechnya walishapigana na Urusi wakipinga kukaliwa kimabavu na Moscow, Serikali ya Urusi ikawapakazia ugaidi. Mwandishi akanukuu pia gazeti la New York Post likiwa na habari yenye kichwa cha habari kisemacho: The unfinished war, na kisha kusema yafuatayo: .These have been scary days. (It was) chilling to see how successfully the suspects, Chechen Muslim immigrants, were not just in allegedly killing people, but in instilling widespread fear, especially in the Northeast. The week served as a painful reminder that this nation remains in an ongoing fight against terror and that the homeland is still vulnerable. The war on terror isnt over. Alas, far from it. Ufupi wa maneno, mwandishi akiwaambia Wamarekani kuwa Vita ya Ugaidi haijaisha na kwa maana hiyo, bado nchi yao ipo katika hatari ya kukabiliana na kitisho cha ugaidi na magaidi wenyewe ni kama hawa Waislamu wa Chechnya. Ukiacha makala hiyo ya Stephen Lendman ipo pia ile ya mwandishi Craig Murray (Aprili 23, 2013) ambaye anasema: The Official Tsarnaev Story Makes No Sense: - There are gaping holes in the ofcial story of the Boston bombings. Anasema kinachoelezwa katika taarifa ya Serikali, ni mambo ya kuzua na urongo mtupu. Akichambua sehemu ya taarifa hiyo anasema kuwa ni pale inapodaiwa kuwa Tamerlan Tsarnaev aliwahi kuorodheshwa na Serikali ya Urusi kuwa ni gaidi hatari kutoka Dagestani au Checheny (Chechen Islamist terrorist), na kwamba eti katika mwaka 2010 Urusi walikuwa wakihangaika sana namna ya kumkamata kijana huyo wa Kiislamu na kwa hiyo ikaitaka Serikali ya Marekani ichukue hatua. Craig anasema kuwa shimo la kwanza ni kuwa

Vita dhidi ya Uislamu yapamba moto


wakati huo Marekani ilikuwa haina ushirikiano wa karibu na Urusi katika Nyanja za kikachero hasa baada ya Urusi kuivamia na kuikalia Georgia mwaka 2008. Lakini jingine anasema kuwa mwaka 2012 Tamerlan Tsarnaev, alisafiri kwenda Urusi akitokea Marekani, hakupita njia za panya bali kupitia viwanja vya ndege na katika hatua zote za Visa na Uhamiaji. Kama kweli Urusi ilikuwa inamjua kijana huyo kuwa alikuwa gaidi na ilikuwa ikimsaka au kuwa na hofu naye, kwanini isimkamate alipoingia uwanja wa ndege Moscow? Kutoka Urusi Tamerlan

Makala

JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 2013

AN-NUUR

Inatoka Uk. 6

Boston Bombing: The Ofcial Story Proves Dzhokhar Is Innocent a Photo Essay
of witness statements they need). And also remember, they claim this information came to them on Wednesday, while Jeff was still heavily drugged. But lets take them at their word. After all, it is their official story and thus the one some of the people in this country accept as the gospel. Jeff was injured in the rst explosion, the one closest to the nish line. Of that there is no question. That means the bag that was dropped there was Tamerlans bag. Lets look at the evidence. First, their bags respectively Tamerlan has a darker colored bag while his younger brother is carrying a light grey bag. Also notice the color of Tamerlans pants. This will be important later trust me. If you take the FBIs recounting of Jeffs statement at face value, then that means Tamerlans bag is this one, from the ofcial evidence of the crime scene: You can make the argument that this is a lighter color than Tamerlans bag and you can also wonder why it is that it seemed to have audio cable in it as if its just one of the techies bag from the set-up of the nish-line PA system or TV cameras. You can make that argument, but for the sake of suspended disbelief, lets say it is indeed Tamerlans bag and the bag the bomb was in when Jeff lost his legs. Well give the ofcial story a mulligan on that one. If that is the dark bag carried by the two brothers, over next to the site of the rst bombing, then the only bag left to be at the scene of the second explosion is the one being carried by Dzhokhar Tsarnaev. And indeed, that is the ofcial story. This is where it gets interesting. Here is a picture of what is being hailed as an image o f D z h o k h a r Ts a r n a e v dropping his pack which had the bomb in it. What you see is not a man dropping a bag. What you see is a man CARRYING a bag while walking by. Notice, right above the girls shoes you can see the bottom of the bag. It is suspended in the air, not touching the ground. Inaendelea Uk. 9

As damning as all of this is, the lies, the connections to the boys, the artifice of not knowing who they were, their being brought there by someone as damning as it is, its primarily circumstantial. Though that is not to say it does not qualify as potential evidence in a court of law, it is not hard physical evidence of Dzhokhar Tsarnaevs innocence. Not to worry, the ofcial story itself provides that. 2. Hard evidence The new narrative is that one of the victims, Jeff Bauman, identied the older brother Tamerlan as being the one who placed his bomb down at Jeff s feet while making eye contact with him and then he walked away. He said he had a dark ball cap and glasses and that is Tamerlan in the photos. Honestly, that story is ripe with wrong. Were anyone to do that to you would you just stand there next to the backpack waiting to see what happened? I doubt it. But take him at his word (and remember, the FBI has teams trained to illicit the kinds

alikwenda Dagestan inayokaliwa kimabavu na Urusi. Akiielezea Dagestan Craig anasema ni the worlds heaviest military occupation and the worlds most far reaching secret police surveillance. Lakini kijana huyo anayedaiwa sasa kuwa gaidi hakumatwa!!! Hapo ndipo Craig Murray anasema kuwa maelezo kama haya ni ya kutunga tu na yeye binafsi ana uhakika kuwa kinachodaiwa kutokea ni urongo mtupu. Ni mambo ya kutengeneza. That is the ofcial story and I have no doubt it did not happen. I know Russia and I know the Russian security services. Whatever else they may be, they are extremely well-equipped, experienced and efcient and embedded into a social fabric accustomed to cooperation with their mastery. This scenario is simply impossible in the real world. Anasema Murray akikamalisha makala yake. Craig Murray aliwahi kuwa Balozi wa Uingereza katika nchi ya Uzbekistan kutoka Agosti 2002 hadi Ottoba 2004 na Rector wa Chuo Kikuu cha Dundee (20072010). Naye mwandishi Dave Lindorff katika makala yake aliyoipa kichwa cha habari kisemacho: Somethings Rotten in Boston na kisha kuhoji: Whos Investigating the FBI Investigators? Ye y e p i a a n a t u h u m u kuwepo shambulizi la kupanga ili kuhuisha kitisho cha ugaidi ili ipatikane sababu ya kuushambulia Uislamu halikadhalika kupata kisingizio cha kujitanua kijeshi mahali popote inapotaka Marekani. Inaelezwa kuwa k in acho itw a A l- Q aid ah na majina mengine yanayopakaziwa ugaidi, ni majina yaliyobuniwa na Marekani na washirika wake kupewa mafunzo na Marekani toka wakati wa vita ya Afghanistan na Urusi na kwamba kila uchao sasa Marekani inaongeza idadi ya taasisi za kigaidi ipendavyo kulingana na jinsi inavyotaka kuzitumia taasisi hizo kwa malengo yake. Imekuwa ni bahati mbaya kuwa kwa vile Marekani ilishasema kuwa ama upo nayo katika kupambana na magaidi au nawe ni gaidi, basi umekuwa ni msiba kwamba Inaendelea Uk. 9

Makala

JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 2013

AN-NUUR

Na Khalid S Mtwangi NI sawa kabisa kuwa sakata la kuwa nani achinje nyama ya kuuzwa katika mabucha limeleta mtafaruku mkubwa sana nchini. Pia itakuwa sahihi kutanabahi kuwa mpango maalum huu umekuwa ni wa watu wasioitakia nchi hii mema, kiasi kwamba watafaidika kwa kiwango kikubwa ikiwa zitazuka fujo za kiwango kikubwa sana na watu kuuwana kama ilivyotokea huko Geita. Lakini hawa wanaweza kuwa ni watu wa aina gani wanayoitakia Tanzania zahama ya kiwango hicho? Kwanza washukiwa wakubwa wanaweza kuwa yale makanisa madogo madogo yanayozuka kila siku na kufadhiliwa na baadhi ya WALOKOLE (Born Again Fundamentalists) walioko Marekani. Kwanza wao hawataki kabisa kuwepo Uislamu duniani (ikiwa hivyo hivyo Ukatoliki). Inafahamika kuwa ni hawa waliomchochea BORN AGAIN mwenzao aliyekuwa Rais wa Marekani, Bw. George Walker Bush, kuzishambulia nchi za Kiislamu zikiwemo Iraq na Afghanistan. Alikuwa anajitayarisha kuivamia Iran pia. Pili ni kuwa hawa BORN AGAIN ni wafanyabiashara wakubwa huko Marekani walio na utajiri mkubwa sana. Ni dhamira yao kutawala utajiri wa dunia nzima, hasa panapokuwa kuna mafuta ya petrol na

Inatoka Uk. 4

Hotuba ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar katika kongamano la maadhimisho ya miaka 49 ya Muungano


Ni wajibu wetu kuzitafuta na kuzifahamu kwani taaluma hiyo ndiyo itayosaidia katika Mabaraza ya Katiba. Itikadi, jazba na idadi haitosaidia. Ndugu Washiriki, kama nilivyotangulia kueleza hapo awali, Katiba mpya lazima iepuke makosa ya sasa hivi. Hivyo, pamoja na mambo mengine, Hoja zetu lazima ziwe na madhumuni ya kuweka misingi ifuatayo ndani ya Muungano: a) Kutambua kuwepo na kuendelea kuwepo kwa Washirika wa Muungano; b) Kulinda usawa wa Wa s h i r i k a w a M u u n g a n o katika kuamua, kusimamia na kuendesha masuala vote ya Muungano; c) Kutoa fursa sawa na za kutosha kwa Washirika wa Muungano kuendesha Mambo yasiyo ya Muungano kitaifa na kimataifa; d) Kuwepo mambo machache na bayana ya Muungano. Ninaamini kwamba misingi hiyo inahitaji kutafsiriwa kwa vitendo ndani ya Katiba. Ndugu Washiriki, bila ya misingi hiyo kuwekwa bayana ndani ya Katiba, Muungano utaendelea kuwa wa mivutano na manunguniko. Nchi haiwezi kuendelea na wala kuwa na amani kama misingi yake ya kikatiba sio imara. Ndio maana Mwanamapinduzi maarufu wa Amerika ya Kusini, Simon Bolivar, baada ya kukamilisha kuzikomboa nchi nyingi za Amerika Kusini kutoka katika ukoloni wa Hispania, aliliomba Bunge la Venezuela yafuatayo: grant to Venezuela a government preeminently popular, preeminently just, preeminently moral, which will hold in chains oppression, anarchy and guilt. A government which will allow righteousness, tolerance, peace under protection of inexorable laws. (February 15, 1819). Naye Edmund Burke, aliyewahi kuwa Mbunge na kiongozi mahiri katika kuendesha nchi aliwahi kuliambia Bunge la Uingereza umuhimu wa kujenga misingi ya kuendesha nchi kwa maelewano kwa maneno yafuatayo: a nation is not governed which is to be perpetually conquered .. (House of Commons, March, 1775). Maana yake kwa ufupi ni kuwa huwezi kuendesha nchi kwa mtindo wa kulazimisha mambo kila siku. Ndugu Washiriki, ni wazi kuwa katika hatua hii Wanasheria, wanataaluma na weledi wengine wana jukumu kubwa sana katika

gesi yake. Kama Wamasai wanavyoamini kuwa ngombe wote duniani ni mali yao; hivyo wanahaki ya kuwaswaga kwenda kwao popote wanapowakuta; hata katika zizi la Msukuma! Ndio hivyo kina Bw. Bush na Makamu wake Bw. Dick Cheney, wanaamini kuwa lazima wadhibiti utajiri wa mafuta na rasilimali nyingine popote zilipo duniani. Kila mtu anafahamu madhila yanayoisibu nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Democratic Republic of the Congo) ama DRC kama inavyojulikana kwa kifupi. Tangu Wazungu kutoka Ulaya waingie katika karne ya kumi na sita, wananchi wa nchi hiyo hawajaona amani. Wareno walioingia kwanza walikuwa tu, wakiiba mali na kusarisha kwenda kwao, hasa baada ya kumlaghai yule mfalme wa Bakongo aliyeitwa Nzinga Mbemba. Katika laghai hizo walimbatiza na kumpa jina la Affonso. Kama wanasiasa wa zama za kupigania uhuru walivyokuwa wakihubiri, baada ya kubatizwa Affonso na watu wake, walikuwa wakifumba macho kusali huku hao waliowafundisha kusali wakiwaibia ardhi yao. Halafu baadae aliingia Mfalme Leopold ambaye aliweza kuifanya nchi yote ya Kongo kuwa mali yake binafsi. Mfalme huyu alikuwa na mwakilishi wake aliyeitwa Henry Morton Stanley, ingawa jina lake hasa lilikuwa John Rowlands kwao kukiwa ni Wales, Uingereza. Hapo ndipo kweli Wananchi wa Kongo walikiona cha moto. Kwanza ilikuwa kama hawakufikisha idadi fulani ya zao la mpira walikuwa wakikatwa viganja vya mikono; kama akipoteza jino la tembo basi anakatwa kichwa. Alikuwapo karani mmoja wa huyo Mfalme Leopold aliyeitwa Leon Rom, ambaye aliona fakhari kutundika katika

Sakata la kuchinja: Tanzania kuwa Kongo nyingine?


bustani yake vichwa vya watu aliowauwa ama waliouawa kwa amri yake. Hayo yote yaliwasibu Wananchi wa Kongo kwa sababu ya utajiri uliopatikana nchini humo. Utawala wa Ubelgiji ulipomyanyanganya nchi hiyo Mfalme Leopold, nao watawala hao walikuwa wakatili kweli kweli. Sehemu zingine za nchi waliwaachia Kanisa Katoliki kuwa ndio watawala na huko haikuruhusiwa kusikia adhana kabisa. Pale palipokuwa pakiitwa Stanleyville, sasa Kisangani, Waislam walitengwa na kupewa makazi yao katika kisiwa kidogo katikati ya mto Congo. Kitongoji chao kiliitwa ARABISQUE. Bahati mbaya sana, utajiri huo huo ambao umeifanya nchi hiyo kusakamwa na mikasa kama hiyo mpaka leo hii. Tangu ipate uhuru mwaka 1960 kumekuwa hakuna amani nchini Kongo. Inafahamika kuwa hizo ni mbinu za makusudi kabisa kwamba nchi isiweze kutawalika kabisa. Panapokuwa na fujo zisizokwisha kama hivyo, serekali haiwezi kutekeleza majukumu yake ya kuweka amani na Wananchi wapate mahitaji yao ya kawaida ikiwa ni pamoja na elimu. Fujo hizo zinafanya pasiwepo na usalama hivyo wale wanaopora mali wanafanya hivyo bila kuwa na wasi wasi wa kukamatwa. Hakika wao ambao wanachochea fujo hizo wanashirikiana kwa karibu kabisa na baadhi ya watawala kufanikisha azma zao. Hawa watawala nao wanafaidika kivyao bila kujali maslahi ya Wananchi. Sasa hebu tuitazame Tanzania yetu. Kwa miaka mingi sana Wakristo wamekuwa wakila nyama iliyochinjwa na Waislamu. Hakika hasa vijijini ni jambo la kawaida kwa nyumba ya Wakristo kumuomba Muislamu awachinjie, iwe kuku ama mbuzi; iwe kwa sherehe ama kwa matumizi ya nyumbani tu. Kama ilivyoelezwa huko nyuma, ni mila ya Kichaga kwa mfano kuwa mchinjaji lazima awe ni mtu aliyetahiriwa. Hata kwa Mchaga mwenzao mtu hawezi kuwa na uhakika kabisa kuwa huyo Mchaga mwenzao katahiriwa, hasa siku hizi ambazo watu wanaishi hovyo hovyo tu. Lakini mtu anaweza kuwa na uhakika asilimia tisini na tisa kuwa Muislamu katahiriwa na akichinja huyu, basi nyama hiyo inatohara. Hayo ni kwa mila ya Wachaga ambao wengi wao wanafuata madh-hebi za Kikristo. Pia muhimu ni kukumbuka kuwa Yesu (Rasul-ul-LLah Issa A.S) aliishi miongoni mwa Wayahudi ambao wana sheria kali kuhusu vyakula. Asingeweza kula nyama ambayo haikuchinjwa kufuatana na sheria hizo, yaani kuw KOSHER. Kiongozi yeyote wa Kikrito anafahamu kuwa sheria hizo ni sawa kabisa na zile wanazozitekeleza Waislamu. Hivi karibuni huko Uholanzi serekali ya huko ilitaka kurekebisha uchinjaji wa nyama, kwa mfumo ambao haufuatani na sheria za Kiyahudi, hivyo hivyo za Kiislamu. Hapa hawa Wa y a h u d i w a l i u n g a n a n a Waislamu kupinga mpango huo mpya na serekali ya huko Uholanzi iliwasikiliza. Inafahamika kuwa hakika nchi hiyo ina idadi kubwa ya Wakristo walio Wananchi wake. Ni wazi kuwa kama Yesu (Nabii Issa AS) angeshuka leo hapa Tanzania, angekula nyama iliyochingwa na Khalid na sio iliyochijwa na Mchungaji Azor aliyejipapatika jina la Kiyahudi bila kufuata mila wala dini hiyo!! Sasa kwa nini hawa wachungaji, wengine wakiwa uchwara kufuatana na makanisa yanayochipuka ziku hizi, kwa nini wanaleta fujo kuhusu uchinjaji wa nyama? Katika toleo moja la gazeti hili ilidokezwa kuwa palipotokea fujo pale Geita, walionekana Wazungu wamishionari wakiwa katika yale makundi ya Wakristo walioanzisha fujo pale. Hawa hawakuulizwa la kheri wala la shari, ni Waislam tu ndio waliosumbuliwa. Imekwisha elezwa huko nyuma kuwa ni hawa Pentecost huko Marekani ambao wanakiunga mkono sana chama cha Republican. Ni chama hichi

cha Republican (wahafidhina na mabwenyenye) ambao wanataka kuhodhi utajiri wote duniani. Hivi sasa Tanzania imetambuliwa kuwa ina utajiri mkubwa, kwanza wa dhahabu na sasa inatambulika kuwa na gesi ambayo ni ndugu wa mafuta ya petroli. Kwa muda mrefu Tanzania imejulikana kama ni nchi ambayo inalinda kwa wivu mkubwa uhuru wao. Hivyo inapokuwa na utajiri kama huo na nchi yenyewe ikiweza kuudhibiti utajiri huo, hawa wanyanganyi hawatopata nafasi nzuri ya kupora mali hiyo kama wanavyofanya Kongo hivi leo. Sasa hawa jamaa wanafahamu kuwa kwa kukosa kuona mbali miongoni mwa baadhi ya wale Wananchi walio katika utawala, hasa wale wenye kufuata madh-hebi hii ama ile ya Kikristo, ndani ya nchi hii kuna mfarakano mkubwa kati ya Wakristo na Waislamu. Waislamu sasa wameamka na wamechoka kuonewa. Wanadai haki yao kama Wananchi wa nchi hii. Hapa wameona pana mwanya ambao wanaweza kuutumia kuleta fujo ambayo inawawezesha kupora mali za nchi hii kwa urahisi kama wanavyofanya Jamhuri ya Kidemocfrasi ya Congo. Kwanza tuwaulize hawa waumini wa makanisa haya yanayochipua kama uyoga hivi sasa kama kweli wanataka nchi hii iwe ya amani mwizi asipate nafasi ya kupora mali yao. Halafu tuwaulizwe wale Wananchi walio katika madaraka ya juu nchini humu; hivi kweli hamfahamu kama bila kutoa haki kwa kila mwananchi nchi hii inaweza kulipuka na kuwawezesha kina BORN AGAIN ambao ni mabwenyenye wa Marekani kuja kupora utajiri wa Tanzania kwa urahisi kabisa? Hivi kweli mnataka Tanzania iwe kama inateseka maisha kama ilivyo Kongo kwa takriban karne tano?

kasoro yake. Mfumo wa Serikali mbili unalazimisha tu mmoja kati ya Washirika wa Muungano apoteze hadhi yake ya utaifa (sovereignty) na kuwa sehemu ya Mshirika mwengine (political subdivision). Katika mfumo wa Serikali tatu, Washirika wote wanapoteza hadhi yao ya utaifa na Shirikisho ndiyo linakuwa taifa. Katika mfumo wa Shirikisho Huru, Washirika wanatoa tu sehemu ya utaifa wao na kuubakiza UTAIFA wao kwa kiasi watavyokubaliana. Nduqu Washiriki, makala na maandiko mengi yameandikwa kuhusu Muungano. Aidha, katika mchakato wa utoaji maoni katika hatua za awali umebainisha maeneo muhimu yenye kasoro za msingi katika Muungano.

hatua hii. Ni wajibu ambao tunapaswa kuutekeleza kwa dhati na kwa juhudi kubwa. Ni vyema tukumbuke yale maneno ya Mwanamapinduzi wa China Sun Yat-sen aliyoyasema March 2, 1924 kuwa unapohesabu idadi ya Wananchi wa kuitumikia nchi anza kujihesabu wewe mwenyewe kwanza na useme mimi ndio wa kwanza katika ya watu wote hawa. Ndugu Washiriki, nimalizie kwa kuwaomba tusirejee makosa tu liy o f an y a h u k o n y u ma, makosa ya kudhani Katiba mpya itajengwa kwa itikadi za siasa, hamasa au jazba. Katiba itajengwa kwa umakini wa kutambua tunachotaka, kujenga hoja na kuzieleza bila woga wala jazba. Nawashukuru kwa kunisikiliza

Inatoka Uk. 7 kila serikali duniani, kila Idara ya Usalama na kila Kamanda wa Polisi anajitahidi kujiunga katika vita hii kwa kukaa upande wa Marekani akiwa tayari kuwasingizia ugaidi wananchi wenzake na hata kupandikiza ugaidi usio kuwepo katika nchi. Ni katika mtizamo huu tunaona kuwa maafande wetu hawaishi kuzungumzia ugaidi wa Al Qaida, Al Shabab na hata kuzua mambo ambayo hayapo. Na kama ilivyo kwa wenye mpango huu, hutasikia msamiati huu ukitumiwa kwa mtu asiyekuwa Sheikh au Muislamu. Ndio pale tukaona hapo nyuma juhudi kubwa ilifanyika kupitia vyombo vya habari na hata baadhi ya viongozi wa Serikali kuwapachika uanachama wa Al Qaidah (Al Shabab na Boko Haram) Masheikh wa Uamsho na Sheikh Ponda. Inavyoonekana ni kuwa baada ya jaribio lile kufeli (kwa sababu lilikuwa urongo na njama ziligundulika mapema wakazomewa), wapo watu bado hawajakubali kushindwa. Wanachotaka ni kuhakikisha kuwa wanajisajili kwa bwana mkubwa kuwa wamepandikiza kitisho cha Al Qaidah, Al Shabab na Boko Haram na kimekubalika katika jamii. Kwa maana nyingine hawajakubali kukosa tenda ya kuijengea Marekani sababu ya kuingia kikachero na kijeshi pamoja na madege yake ya drone kupata masilahi yake huku pia ikiwapatia kisingizio makari na washirikina kuupiga vita Uislamu. Ndio kauli kama hizi tunazisikia kutoka kwa Kamishna Mwandamizi wa Polisi Hussein Nassor Laisseri akidai kuwa zipo dalili za kuibuka makundi ya kigaidi ndani ya nchi yakiratibiwa na makundi ya Al Qaeda na Al Shabab. Afande Laisseri alitoa tahadhari hiyo alipokuwa akiwasilisha mada kuhusu hali ya uhalifu Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar katika semina ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi. Semina hiyo iliyokuwa chini ya Mwenyekiti wake Spika wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kicho, ilijadili mpango kazi wa kuboresha Jeshi la Polisi nchini. Taarifa za kiintelijensia zinatutahadharisha kuhusu uwapo wa magenge ya kigaidi Al Qaeda na Al Shabab nchini

Vita dhidi ya Uislamu yapamba moto

Makala/Tangazo/Habari

JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 2013

AN-NUUR

mwetu pamoja na kuibuka makundi ya kigaidi ya ndani, alisema SACP Laisseri. Pamoja na kuthamini juhudi kubwa inayofanywa na Polisi na vyombo vyetu vya dola kwa ujumla, katika kulinda na kudumisha amani ya nchi hii, ipo haja ya kuwa makini zaidi tunaposhinikizwa

Inatoka Uk. 7 Look at how its suspended at an angle. Its being carried by the strap, the right strap, in his left hand. Look at how he is moving past the people, on his way somewhere. And more importantly, look at where he is in relation to the iron grate and the metal security fencing. These facts will be important in a second. Also note the light color of the pack as consistent with the image from before. There is an image that is not circulated that much anymore because it tells a very different story than the ofcial one. The image below shows the moments after the second bomb detonated and the location of several key pieces of evidence including what is claimed to be the bag that was carrying the second bomb. This is an important image because it clearly shows the blast pattern of the explosive which was placed in front of the fence beside the mailbox, as you can see by the locations of the fence

Boston Bombing: The Ofcial Story Proves Dzhokhar Is Innocent a Photo Essay
and other debris just after the blast. There is no question where the detonation took place. In fact, a bystander has recently given an interview claiming his life was saved by the mailbox. If the bomb had been place behind the fence and behind the mailbox on the sidewalk, no bystanders could make that claim, only runners. But leaving that for a minute as it goes to witness statements and this is about hard evidence, lets get back to the evidence. Remember this pic? This bag is in the exact location of where the bomb had to be placed. It is a large enough bag to hold a backpack and a pressure cooker, though it is not clear if the second bomb was actually made with a pressure cooker. But look at the location and then look at this. We can see from the blast wave of the explosion that something close to the detonation blocked the blast at a single point and forced more of the energy onto the

kuingia katika agenda za watu wengine. Tunatoa tahadhari hii ili tusije tukajidhuru sisi wenyewe na kuwadhuru watu wetu kwa ujinga halafu tukaja kujilaumu. Katika mambo ambayo yataitesa sana Serikali ya Marekani kwa muda mrefu, ni kutafuta namna ya kujibu

shutuma na hoja zinazozidi kuibuka kila uchao na kupata umaarufu juu ya shambulio la Septemba 11. Pamoja na mambo mengine, watu wanahoji: Nini kilitokea kwa waliokufa 1,116 wa 9/11 waliopotea? Kwamba katika historia ya kuanguka majumba kote

sidewalk and down the street. That would be the mailbox. Look again at the location of that bag. I am not saying that bag was the bomb. It may have been, but I am saying that bag is in the location the bomb was detonated. It went off IN FRONT OF THE FENCE and BESIDE THE MAILBOX. Part of one section of fence is wrapped around the mailbox. The other section is blown back into the crowd and on the sidewalk as you see. Were the bag to be partially under the fence as appears in the photo of the bag in front of the fence, that could easily be the result. That is NOT the location the Feds claim they show Dzhokhar Tsarnaev dropping his pack. Had the bomb gone off where he was and where that image shows him CARRYING his pack, then the fence would have been blown into the street. Now, lets look at the evidence of the pack itself. As the image above shows, Inaendelea Uk. 11

duniani, miili ya waliokufa wote inapatikana ikiwa katika hali ya kawaida. Hii ni kwa sababu jengo linaloanguka linavunja miili ya watu. Hayaiteketezi kuwa vipandepande vidogo, au kuisababisha kupotea kiajabu. Lakini mnamo Septemba 11, 2001, kuanguka kwa majengo kulisababisha miili ya zaidi ya waliokufa 1,000 kupotea kana kwamba ni kwa miujiza. Hakuna hata kipande cha ngozi, kichembe cha ukucha, au cha mfupa kimeonekana kutoka kwa miili yote hiyo au kupatikana wakati wowote ule, licha ya umakini mkubwa wa juhudi za kupeta na kutia kwenye ndoo za waokozi na watafutaji miili. Nini kilitokea kwa karibu miili 3,000 pamoja na samani za ofisi, kabati za chuma kuwekea mafaili, simu, makompyuta, na vitu vingine vilivyokuwa katika minara hiyo? Kama wanavyoeleza watati mbalimbali, hakuna mabaki yaliyopatikana ya takriban chochote kile. Hayakupatikana pia mabaki ya ndege mbili aina ya Boeing 757, moja ikidaiwa kuanguka Pentagon na nyingine Shanksville, Pennsylvania. Ndege hizo ziliyeyuka pamoja na (maiti za) abiria wake na mizigo. Kwa mujibu wa maelezo na uchambuzi wa Na Dk. Kevin Barret, havikupatikana pia visanduku vyeusi visivyoharibika vya ndege zilizogonga minara miwili. Watu wanauliza, visanduku vyeusi visivyo haribika, mizigo, mabaki ya ndege na abiria, waliyeyuka na kutoweka kimiujiza? Ni kutokana na maswali kama haya, wasomi na wachambuzi wa mambo wanajenga wasiwasi kuwa huenda mambo kama haya ni ya kupangwa kwa ajili ya masilahi na agenda fulani. Lakini la ziada ni kuwa upo ushahidi mwingi kuwa kinachoitwa Al Qaida ni mtandao uliokuwa umebuniwa, kujengwa, kuwezeshwa na kuimarishwa na Marekani yenyewe. Na kwamba hata mpaka sasa inautumia msamiati huo na kuwatumia wanachama wake katika kuandaa na kutekeleza mashambulizi, au kutumia watu wengine (makachero?) kufanya shambulizi na kisha kusingizia Al Qaidah. Ufupi wa maneno ukisikia Inaendelea Uk. 11

10

Mashairi/Makala/Matangazo
Wanahabari vishoka !

JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 2013

AN-NUUR

Kalamu nimeishika, kwa kheri si songombingo, Nabtadi kuandika, ukweli si longolongo, Wandishi kuwamulika, wa habari ndilo lengo, Ni wazushi na warongo, Wanahabari vishoka. Kuweta nalazimika, mapaparazi wa Bongo, Wanahabari vishoka, kwa wao mtimanyongo, Si wote wazi naweka, waandikao mafyongo, Ni wazushi na warongo, wanahabari vishoka. Wandikayo bila shaka, makusudi si kwa nongo, Fuadini yanatoka, kwa ghaidhi na usongo, Maadili wayazika, kwa uzushi na urongo, Ni wazushi na warongo, wanahabari vishoka.

Mjadala wa kuchinja umebuniwa na nani?


hapa nchini ni Jumapili na wala hilo halina mjadala. Watu wote wanajua kuwa siku ya Jumapili ndio siku ya mapumziko ya juma hapa nchini. Asi zote za Serikali na zile zisizo za Serikali hufungwa katika siku hiyo na kazi nyingi muhimu pia siku hiyo husimamishwa. Hili watu wote wanalijua siku hiyo ni sikukuu ya juma kwa Wakristo na ndio siku muhimu
ya ibada makanisani. Pamoja na yote haya bado hatujaona Muislamu akajitokeza na kuibua mjadala wa siku hiyo, kwamba Jumapili ifutwe kuwa ni siku ya mapumziko na badala yake iwe siku ya Ijumaa peke yake au iwe Jumatano siku ambayo haina mvutano baina ya dini kuu nchini. Jambo kubwa kwa Waislamu ni kutaka siku yao ya Ijumaa nayo ipewe heshima ya peke yake, kwani siku hiyo ndio sikukuu ya juma kwa Waislamu na ndani yake kuna ibada muhimu ya swala ya Ijumaa ambayo ni faradhi (lazima) juu ya

wanaishi kwa kuvumiliana na kuwa pamoja katika kujenga nchi yetu na kukiria mustakabali wa nchi yetu. Kwa upande wa Waislamu mjadala huu hauna haja ya kuundiwa tume,
wala hapana haja ya kuitisha kongamano au mazungumzo ya pamoja baina ya viongozi wa Kiislamu na wale wa Kikristo, kwa sab abu ni

Habarizo za kupika, zadhihirisha usungo, Walo wenyewe jivika, kwa nadhari za matongo, Si jarima kuwaweka, wa usadi mrengo, Ni wazushi na warongo, wanahabari vishoka. Wengi wao kwa hakika, lengolo kusaka bingo, Hivyo ndivyo kwa hakika, walivyo si masimango, Silikayo kwa hakika, si makengeza ni chongo, Ni wazushi na warongo, wanahabari vishoka. Kwayo chongo waporomoka, kwa la upofu korongo, Uoniwo wapofuka, kwa wao hasi mpango, Natijaye kwathirika, fani kwa wao mchango, Ni wazushi na warongo, wanahabari vishoka. Wafaa kubadilika, kwa kuenzi lao jengo, Tasniayo kwenzika, walizibe hili pengo, Hapo wataheshimika, na kutoitwa warongo, Ni wazushi na warongo, wanahabari vishoka. Kaditama nimeka, nane nafunga mlango, Lengo risala kuka, kwa waandishi wa Bongo, Kalamu chini naweka, kwaherini wana nzengo, WANAHABARI VISHOKA, NI WAZUSHI NA WARONGO. Abuu Nyamkomogi MWANZA.

Na Sheikh Abdallah Ahmad Bawazir

Nimepoteza mdomo!

Naanza kuwasalimu, kwa salamu ya Imani, Asalam aleykhumu, wa Bara na Visiwani, Nimekamata kalamu, kuwatanabahisheni, Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili. Subira jambo adili, inadumisha amani, Itatuweka kwambali, nanjama zake shetwani, Tupinge tusikubali, kuingia mtegoni, Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili. Ajenda imejicha, wanakusudia nini! Yahitaji kuchekecha, niya yao kubaini, Macho ukiyakicha, utaona ya mbeleni, Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili. Kuzibwa kwangu mdomo, wapowalo furahani, Wameibuwa msemo, mchochezi kifungoni, Athari zake mfumo, ndiyo hizo tambueni, Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili. Muda wamenitafuta, kuniingiza shimoni, Sababu wameipata, sasa nipo hukumuni, Kimya kwa miezi sita, sito sikika nchini, Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili. Usiseme bilikuli, sitorejea hewani, Zitupilie kwa mbali, hisia hizo ni duni, Kukata ni ujahili, tamaa nisikizeni, Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili. Mtulie nawaasa, kazini na majumbani, Kisa hufata mkasa, ni yao matumaini, Kwa hili wakitukosa, watavunjika moyoni, Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili. Kaditama ninafunga, narejea vitabuni, Mkutubi si mganga, kutabiri ya mbeleni, Bali mimi ni malenga, nayaona ya usoni, Nimepoteza mdomo, sijapoteza akili. Isihaka Hemed Mzuzuri Morogoro.

KWANZA ni vema kama nitaanza makala yangu hii fupi kwa kumpongeza muhariri wa gazeti la AN-NUUR kwa maoni yake katika Gazeti hilo la Aprili 12, 2013. Hasa pale alipo mpongeza Bwana Reginald Mengi; Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa vyombo vya habari Tanzania (MOAT) kutokana na msimamo wake katika mjadala wa kuchinja. Bwana Mengi haoni kama kuna sababu ya kuwepo kwa mgogoro baina ya Waislamu na Wakristo katika suala la kuchinja. Ni dhahiri kwamba mjadala wa kadhia ya nani mwenye haki ya kuchinja baina ya Waislamu na Wakristo hapa Tanzania ambao umetawala vyombo vya habari na mitaani kote hapa nchini, ni mjadala wa kubuniwa tu. Hauna asili wala msingi wowote kwa Watanzania, kwani ni zaidi ya miaka hamsini hii leo kadhia ya kuchinja inajulikana na mwenye haki ya kuchinja pia anajulikana. Hivyo, ni nani huyo aliye ubuni mjadala huu? Aidha ni sababu gani iliyo mfanya mtu huyo aibue mjadala huu?! Mijadala ya kubuniwa kama hii inapo sambazwa nchini, na watu haraka wakaipokea na wakakubali kuburuzwa, ni dalili mbaya kwa Watanzania. Ni dalili ya udhaifu kama si dalili ya kuchelewa sana kukiri baada ya matukio. Ni karne nyingi tangu tutawaliwe na wakoloni, siku ya mapumziko ya juma

mjadala wa kutengenezwa au kubuniwa. Kama kuna umuhimu wa kuundwa kwa tume, basi tume hiyo iundwe kwa ajili ya kufuatilia na kutafiti chimbuko la mjadala huu. Ni nani aliye uibua mjadala huu ambao umeshaleta maafa miongoni mwetu?
Nini lengo lake katika kuibua mjadala huu? Aidha huyo aliye uibua mjadala huu yeye mwenyewe binafsi anafaidika nao vipi? Hasa itakuwa ni kinyume cha busara za idi kama

kila Muislamu. Hali hiyo hiyo ndivyo ilivyo katika sikukuu za Krimasi na Pasaka sanjari na sikukuu za Idil-Fitri na Idili-Hajji. Hali hii kwa sasa ni zaidi ya nusu karne watu hapa kwetu

tume hiyo itakuwa chini ya Bakwata. Kwa sababu Bakwata ya siku hizi haina ushirikiano na Taasisi nyengine za Kiislamu. Na hilo pia kwa Waislamu ni tatizo nyeti ambalo kwa umuhimu wake lenyewe linahitaji kuundiwa tume. Wabillah tauq.

Omari bakari Almas Video Production, wanakutangazi kuwa katika maduka yao ya Mtaa wa Livingstone na Mahiwa mkabala na Kariakoo Bazar na lile la Mtaa wa Maa jirani na Msikiti wa Manyema Kariakoo jijini Dar es salaam. Zinapatikana DVD, CD,Original za Mawaidha ya Kiislamu kutoka kwa Masheikh wetu Maarufu Pia CD Mpya za Sheikh Nurdini Kishki za kila wiki zinapatikana pamoja na Hijja ya mwaka 2012 aliyoiongeza yeye. Njoo ujipatie DVD bora zenye kiwango cha kimataifa. Kwa mawasiliano zaidi piga simu kwa namba zifuatazo 0754 805 528, 0785 793 395 au 0716 888 358 Nyote mnakaribishwa

Tangazo

MUUGUZI NA OPTOMETRIST WANAHITAJIKA. Muuguzi na Optometrist wanahitajika haraka kuanza kazi katika klinik yetu mpya ya Macho iliyopo Msasani Dar es Salaam. Barua za maombi ya kazi na CV za waombaji zitumwe kupitia. nvmsasani@gmail.com . Maombi ya waliokubaliwa tu ndio zitakazojibiwa. Tafadhali wasiliana nasi, 0757289520, 0713747420 kwa maelezo zaidi.

Tangazo la Kazi

Inatoka Uk. 9 shambulio la kigaidi na ikapigwa tarumbeta sana kuwa wahusika ni Al Qaida, Al Shabab au Boko Haram; basi rejea kwanza utafakari yale yaliyofanyika katika Operation Northwoos au Operation Susannah, maarufu Lavon Affairs. Ni kutokana na rekodi na ukweli huo tunasema kuwa isingekuwa busara kwetu sisi kuparamia tu misamiati

Vita dhidi ya Uislamu yapamba moto


na agenda za watu wengine. Tunajidhalilisha. Lakini pia tunatakiwa kuwa na uzalendo japo kidogo tu. Hakuna mahali ambapo watu wameshinikizwa wakameza propaganda hii ya Al Qaida, Al Shabab na jinamizi la ugaidi, wakawa salama. Na sababu yake rahisi sana kuielewa. Maadhali mwenye agenda hii anachotaka ni kujenga hofu ya kweli lakini ya kupanga (ya kudumu) kwa malengo yake, atakachofanya

11

Makala

JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 2013

AN-NUUR

Boston Bombing: The Ofcial Story Proves Dzhokhar Is Innocent a Photo Essay
Inatoka Uk. 9 part of the pack was found in the street. Shape charges inside the pack would have done that if it was placed on the street side of the fence. This is a close-up view of the bags side by side. Remember, the dark bag owned by Dzhokhars older brother has already been accounted for in the ofcial story. So the only bag left is the light grey one carried by him. As you can see, these two things are not the same. Not even close. The remains of the bag was apparently photographed near its original position on the street, laying closer to the large white line you can see above. It is a dark colored bag like many others seen by unofcial investigators on the web being carried by various people (some of whom are there on a ofcial basis) Here is an ofcial image which puts the bombs pieces right there on the grate as shown in the image of the bag in front of the fence but not where they claim Dzhokhar dropped his bag. Again, this is their evidence. Lastly, this grisly photo of the blast scene. Bodies blown back, fence blown back toward the sidewalk and the restaurant. So as you can see, the official story clears Dzhokhar. But lets continue. Remember that I told you the official story was they had a video of these brothers standing around watching the carnage before slowly and calmly walking away and that they have not produced that visual evidence as of yet and seem to be walking that story back?

Check this out: This kid was clearly not standing around watching the explosions. He was running away like everyone else. But look closer: His right arm is down, straight down, while his left arm is bent and his left shoulder is raised as he is running. He is carrying something he is CARRYING HIS BAG. The bomb has gone off and he is eeing like everyone else and apparently he is carrying his bag. But look closer Is that Tamerlan trying to catch up with his brother after the explosions? The hat matches, the pants and shoes match. The jacket matches. Is that is Tamerlan running from the scene and not walking away like the ofcials claimed they had a video of him doing? This image is less convincing that the others in the sequence but I will put it here for the sake of discussion. It is part of someone elses photo essay on the subject which I highly recommend taking the time to have a look. UPDATE: Turns out there is a higher resolution version of this photo and that guy is not Tamerlan. A reader pointed that out. Thanks Heres my point: The ofcial story itself does not prove these brothers set off those bombs. You dont need the conspiracy theorists to tell you that. All you have to do is look at the evidence they themselves provide. Consider all the dishonesty they have displayed thus far and their own evidence.

ni kuhakikisha kuwa kila mara kunakuwa na shambulio linalouwa watu, kujeruhi na kuharibu mali. Hivyo ndivyo ilivyo Iraq, Afghanistan, Yemen, Somalia, Kenya, Pakistan na hata Marekani kwenyewe. Boston Marathon Bombing hazitaisha. Je, hayo ndiyo tunayoyataka katika nchi y e t u ? Tu n a c h o t a k i w a kufahamu ni kuwa kuingia katika mtego huo inaweza kuwa rahisi sana. Ni kiasi tu cha kutokea mashambulizi mawili matatu ukasema ni ya

kigaidi, ukapata Masheikh

na vijana wa Kiislamu wa kuwasingizia, vyombo vya habari navyo vikafanya kazi yake ya propaganda chafu, basi umemaliza. Lakini tujue kuwa ukishafanikiwa katika hatua hizo na bwana mkubwa akaridhika kuwa mnastahiki kuzawadiwa Drones; mmeshaingia katika janga la kudumu. Na hakuna atakayekuwa salama. Katika mamia na maelfu ya watu waliokwisha kuuliwa Pakistan na

Yemen, wenye tuhuma za ugaidi hawafiki asilimia 10. Wengi ni wanawake, watoto na raia wengine wasio na hatia. Msikiti au nyumba ya Sheikh (asiye na hatia) ikichaguliwa kama shabaha, bomu kutoka drone, litauwa na kuangamiza majirani na wapita njia hata kama itakuwa familia ya Kamishna wa Polisi au Askofu!!! Na hao ndio wenyewe wenye agenda yao wanasema kuwa ni Collateral Damage.

AN-NUUR
12
Na Bakari Mwakangwale
WAISLAMU Jijini Dar es Salaam wamesema kwamba silaha kubwa ya mtu aliyedhulumiwa hapa duniani, ni kumuelekea Mungu wake kwa dua. Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Elimu na Habari wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, Sheikh Said Amour, wakati akiongea na waandishi wa habari nje ya Msikiti wa Mtambani, Kinondoni Jijini Dar es Salaam, wakati akitoa ufafanuzi kwa waandishi hao, waliotaka kujua msingi wa dua iliyokuwa ikisomwa Msikitini hapo majira ya saa nane mchana siku ya Jumatano na kuwakutanisha mamia ya Waislamu. Alisema dua hiyo ni maalum katika mfululizo wa ibada za Itikaf, kama ilivyoazimiwa na Waislamu chini ya Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, ambazo zinaendelea katika Misikiti mbalimbali nchini, Waislamu wakimshitakia Allah (s.w). Mwenyezi Mungu anasema kuwa silaha ya muumini (Muislamu) aliyedhulumiwa ni dua, na ndicho wanachokifanya Wa i s l a m u h i v i s a s a k w a kumshitakia Mwenyezi Mungu kufuatia madhila yote wanayofanyiwa. Alisema Sheikh huyo. Aliongeza kuwa vitendo vya dhulma na unyanyasaji wanavyofanyiwa Waislamu Tanzania bara na Zanzibar vimekithiri kiasi cha kuwafanya muda wote wawe katika hofu ya kukamatwa. Alisema kwa jinsi hali ilivyo sasa huko Visiwani, linapotokea tatizo lolote katika jamii, watu hunyooshewa kidole kuwa ni Uamsho. Naye Katibu wa Msikiti wa Mtambani Sheikh Abdallah Mohammed Ally, alisema Jumuiya na Taasisi za Kiislamu kwa kushirikiana na Shura ya Maimam, wataendelea na zoezi la dua kumuomba Mwenyezi Mungu. Sheikh Abdallah alisema Waislamu wameamua kuendelea na utaratibu huu, baada ya kuona dhulma dhidi yao inazidi kuongezeka siku baada ya siku, kama ilivyo sasa ambapo tayari Waislamu wamefungwa, Masheikh wamekamatwa na wengine kunyimwa dhamana kinyume cha sheria. Alifafanua kwamba Waislamu wameshatumia njia nyingi za kukisha madai yao Serikalini, lakini hakuna majibu wala wa kuwasikiliza kwa dhati na kuyatafutia ufumbuzi madai hayo zaidi ya kuonekana kuwa ni wakoro. Tu l i c h o a m u a s a s a n i kumuelekea Mwenyezi Mungu, aliye hakimu muadilifu, huenda Allah (s.w) akaleta

JAMADUL THAN 1434, IJUMAA APRILI 26 - MEI 2, 2013

Usikose nakala yako ya AN-NUUR kila Ijumaa

Waislamu waendelea na Itikaf


Kila linalotokea Zbar kidole ni Uamsho

Iran yafanyia jaribio kombora la balistiki


Yatengeneza ndege mpya ya kivita
imefanyia jaribio kombora hilo jipya ambalo lina uwezo wa juu sana wa kulenga shabaha. Ameongeza kuwa kombora hilo linaweza kuharibu kabisa meli za kivita za adui. Kamanda huyo wa kijeshi amesema meli zote za adui ziliondoka karibu na mipaka ya Iran punde baada ya kombora hilo kufanyiwa jaribio. Katika hatua nyingine, Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeonyesha zana zake za kisasa kabisa za kivita, ikiwemo ndege ya kivita ya Saeqeh, iliyotengenezwa kikamilifu nchini Iran. Mjini Tehran, katika Haram Takatifu ya Imam Khomeini MA, ndege za kivita za Iran zimeruka angani na kuonyesha uwezo wake wa kujihami. TEHRAN Naibu Waziri wa Ulinzi wa Iran, Majid Bokae, amesema kuwa Jamhuri hiyo ya Kiislamu imefanyia jaribio lililofana la kombora lake la balistiki la nchi kavu kwa baharini katika Ghuba ya Uajemi. Akizungumza Jumanne ya wiki hii, Brigedia Jenerali Majid Bokae, amesema kuwa Wizara ya Ulinzi ya Iran

BAADHI ya viongozi wa Jumuiya ya UAMSHO Zanzibar wakipanda gari la polisi kuelekea mahabusi kutoka katika mahakama Zanzibar. (Picha kutoka Maktaba yetu) kwani wamenyimwa dhamana, Jijini na mikoani, kuna mwanga kheri zake kupitia kwa hao hao Sheikh Ponda, Mselemu, Imam kwa watu kuweweseka. wanaotupuuza, hilo ndio lengo Hamza wa Mwanza na Sheikh la mikusanyiko ya Itikaf na Alidai kuwa ukiona mtu mmoja Tanga nao dhamana dua zinazoendelea hivi sasa. anaanza kuzungumza wakati zao zimezuiwa, lakini pia kuna Alisema Sheikh Abdallah. huko nyuma alikuwa kimya, ni harakati za kumkamata Sheikh Hata hivyo Sheikh Abdallah wazi Allah ameanza kutia hofu Hassan Ilunga wa Mwanza. alitahadharisha kuwa, Waislamu katika nyoyo zao. Alisema kwa jinsi hali ilivyo wasieleweke vibaya kama Kwa upande wake Katibu na kwa kusikia kauli zinavyozidi inavyoripotiwa na baadhi ya msaidizi wa Shura ya Maimam, kutolewa, inaonekana hatari kwa vyombo vya habari, kwamba mkoani Mtwara, Ustadhi Simba, alisema kutokana na madhila Masheikh wengi na Waislamu wanawasomea viongozi na matatizo wanayoyapata kuzidi kukamatwa. Hata hivyo Albadiri au dua ili wafe, bali Waislamu humu nchini na huku hazisikiki kauli za kutafutwa wanamuomba Allah (s.w) kwa wakipuuzwa huku Serikali au kukamatwa na kukishwa kila yule anayeufanyia madhila ikiegemea upande wa imani mahakamani Maaskofu ambao Uislamu na Waislamu, basi nyingine, suluhu iliyobaki wanatoa matamko makali (Mwenyezi Mungu) atajua ni kumshitakia Mwenyezi yenye uchochezi na kuhatarisha hukumu yake hapa duniani na Mungu. amani. akhera. Alisema Waislamu katika Sheikh Abdallah alisema Alisema viongozo wa nchi hii wamejengewa desturi na serikali yao kuwa si watu wa tangu kuanza ibada za Itiqaf Uamsho hadi sasa wapo kizuizini

TEXAS ZIKIWA ni siku chache tu baada ya watu watatu kupoteza maisha kufuatia mlipuko katika kituo cha kumalizia mbio za Marathoni mjini Boston, moshi mkubwa ulitanda katika mji wa West, Texas Marekani kufuatia mlipuko mwingine katika kiwanda cha mbolea, Aprili 18 2013. Maafisa wa uokoaji wamesema kuwa kati ya watu 60 na 70 wameuawa na mamia kujeruhiwa katika mlipuko huo uliotokea katika kiwanda cha mbolea kilichopo katika jimbo la Texas nchini Marekani. Hata hivyo sababu za mlipuko huo bado haijajulikana. Moto uliripotiwa kuenea katika majengo kadhaa ambapo zahanati moja imeteketea kabisa na shule ya msingi kupata uharibifu mkubwa. Aidha, kufuatia mlipuko huo, umeme umekatika katika maeneo kadhaa mjini humo. Kufuatia kuwepo hali ya hatari zaidi, watu wengi wameripotiwa kuukimbia

70 wauawa katika mlipuko Texas

kusikilizwa kwa maana kwamba, jamii ya Waislamu nchini ni watu wa kupuuzwa kwa kila kitu tofauti na jamii ya wengine wasiokuwa Waislamu. Tu m e z u n g u m z a s a n a , tumepeleka malalamiko yetu kwa maandishi katika sehemu husika lakini bado pia tumeandamana, tunapuuzwa na kuonekana wakorofi, sasa wasubiri majibu ya dua zetu. Alisema Ust. Simba.

Kati ya ndege za kivita zilizoruka angani Jumanne ya wiki hii, ni zile zilizotengenezwa nchini humo kama vile Azarakhsh na Saeqeh. Jeshi la Anga la Iran limeonyesha uwezo wake wa kuweka mafuta ndani ya ndege za kivita zikiwa zinapaa angani. Aidha Iran imezindua kizazi kipya kabisa cha ndege zisizo na rubani zenye uwezo wa kukwepa rada.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

You might also like