You are on page 1of 1

WINNERS CHAPEL INTERNATIONAL INC.

SIKU 21 ZA KUFUNGA NA KUOMBA -Januari 6 26, 2014

Mada: Maombi na Kufunga huwezesha kutimia kwa Unabii 1Tim


1:18 Muongozo wa Mafundisho ya Jumapili, 19, January, 2014
Mfululizo wa Mafundisho: KUFAHAMU BARAKA ZA MAOMBI NA KUFUNGA Is 58:6-12 SIKU YA KIAGANO YA BARAKA ZA KIFEDHA

Andiko: Isa 58:11-12

Mada: KUTEMBEA KATIKA BARAKA ZA KIFEDHA


Utangulizi: Japokuwa maombi na kufunga pekee havikuhakikishii Baraka za kifedha, lakini zinakuwekea jukwaa la kufikia utajiri wa kiungu. Kwa mfano, tunahitaji ufunuo wa agano la mafanikio na kudumu kulitendea kazi bila kuchoka ili kutembea katika Baraka za kifedha; na hapa ndipo unapokuja umuhimu wa kuomba na kufunga, ambavyo vinachochea kupata ufunuo Isa 58:6/8/10 (Isa 60:1-3/8-22) Pia, maombi na kufunga ni chanzo cha upatikanaji wa neema ya kutii matakwa ya mafanikio katika Ufalme wa Mungu bila kuchoka, na hii ni, Kutoa sadaka na Dhabihu Heb 4:16/ Isa 58:6/ 2Kor 8:1-7/Ay 22:21-26 Maombi na Kufunga, mojawapo ya vitu vingine, huharibu pembe za Yule mwovu zinazojiinua katika njia yetu kuelekea Baraka za kifedha Zak 1:17-21/ Mat. 17:21

Agano la Utele

As established by God with Noah after the flood, the covenant of abundance anchors on Kama Mungu alivyolithibitisha kwa Nuhu baada ya gharika, agano la utele lina mhimili wake katika KUTOA/UTOAJI Mwa 8:20-22/ Kum 8:18 Kutoa ndiyo sheria nanga inayowezesha kupatikana kwa utajiri Ay 22:21-26 Lakini KUTOA ZAKA ndiyo lango la kiagano la kuingia kwenye Baraka za kifedha. Law 27:30-31/ Mal 3:10 KUTOA ZAKA ndio hitaji la nyakati zote kwa kila muamini anayetamani kutembea katika Baraka za kifedha AbrahamNi agano la Mungu kwa wote walio wana wa Abrahamu - Mwa 14:19-20/ Yn 8:39/ - Gal 3: 13-14/ Heb 7:1-8 Yesu pia alithibitisha utoaji wa Zaka kwa nyakati za sasa Mat. 23:23/ Heb 7:1-8 Hakuna mtoto wa Mungu atakayeweza kutembea katika Baraka za kifedha bila kuwa mtoaji wa zaka. Mfano mmoja ni John D. Rockefeller, Marekani wa kwanza kuwa bilionea katika historia alikuwa na TABIA YA KUTOA ZAKA Isa 51:1-3

Njia zingine za Kiagano za Utoaji ni:


* Sadaka ya Kuabudu (Mk 12:41-44/ Kut 34:20) 1:3-14/ Zab 35:27) * Kutoa kwa wazazi (Eph 6:1-2/ Mwa 27:1-5/25) * Kutoa kwa masikini (Miht. 19:17/Mith 28:27) * Kutoa kwa ajili ya Kuendeleza Ufalme wa Mungu (Hag * Dhabihu (Zab 50:5-6/ Zab 126:1-6) * Kutoa kwa manabii (Mat 10:41/ 2Fal 4:10)

Kuhitimisha, Upendo wa Mungu uliothibitika moyoni mwetu ni hitaji la msingi kwa ajili ya Baraka za kifedha 1Kor 2:9 Lakini kimaandiko kutoa ndio Kunathibitisha upendo 2Kor 8:8 / -1Yn 3:14-15/ Yn 3:16 Izingatiwe kwamba ni utoaji unaosukumwa na upendo ndio pekee unaofanya ya mbingu ya Baraka kufunguliwa juu yetu - 1Kor 13:3 T Kwahiyo, tukipuuzia kutoa, tunakosa sifa ya kupata Baraka za kifedha. - Hag 1:3-11/ Mal 3:10/ Zab 102:13-15/ Mat. 6:33 Jesus is Lord!

You might also like