Professional Documents
Culture Documents
Simu: 255 22 2460735/2460706 FAKSI: 255 22 2460735/2460700 Barua pepe: met@meteo.go.tz Tovuti: www.meteo.go.tz Unapojibu tafadhali nakili: Kumb. Na.: TMA/1622
16 Aprili, 2014
Vipindi vya mvua kubwa inayozidi milimita 50 ndani ya saa 24, ukanda wa pwani.
Wastani (70%) Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na mikoa ya Tanga, Pwani na Dar es Salaam. Kuimarika kwa ukanda wa mvua Inter-tropical convergence zone (ITCZ) ambao umeambatana na ongezeko la unyevunyevu na kuwepo kwa Easterly Wave. Wakazi wa maeneo hatarishi, watumiaji wa Bahari pamoja na mamlaka zinazohusika na maafa, wanashauriwa kuchukua tahadhari stahiki. Mamlaka ya Hali ya Hewa inaendelea kufuatilia hali hii na itatoa mrejeo kila itakapobidi.