Professional Documents
Culture Documents
Alisema vyama hivyo vinamlalamikia mwekezaji huyo kwa madai kwamba baada ya kufanya
vyema katika miaka ya 1999 hadi 2003 kwa kuendeleza zao la kahawa, baada ya hapo alianza
kung’oa kahawa na miti na kuotesha Mahindi na Maharage.
Kwa upande wake, mwekezaji huyo, Benjamin Mengi, alipohojiwa kuhusu hali hiyo alishikilia
msimamo wake kwamba hatambui maamuzi ya mkutano huo.
Rudi Nyuma Songa Mbele