Professional Documents
Culture Documents
MOROGORO
EDEMA – MOROGORO
Februari 2011
YALIYOMO
VIFUPISHO..................................................................................................................................ii
1. UTANGULIZI................................................................................................................................1
2. WARATIBU WA MAFUNZO.......................................................................................................1
3. WAWEZESHAJI WA MAFUNZO..............................................................................................2
4. MADA ZILIZOTOLEWA..............................................................................................................2
5. MAELEZO MAFUPI KWA KILA MADA ILIYOTOLEWA.........................................................3
5.1 Mapitio ya Sheria ya Manunuzi ya Umma Na. 21 ya Mwaka 2004 na Kanuni
zake. 3
5.2 Mahitaji ya Mpango wa Manunuzi wa Mwaka.............................................................3
5.3 Tathimini ya Kandarasi.....................................................................................................4
5.4 Kutengeneza Mikataba ....................................................................................................4
5.5 Mapitio ya Usimamizi wa Mikataba, Wajibu wa Wahusika wa Mikataba na
Mawasiliano....................................................................................................................................4
5.6 Hati za Malipo na Upimaji wa Kazi za Ujenzi...............................................................4
5.7 Mabadiliko ya Kazi katika Miradi ya Ujenzi..................................................................5
5.8 Usimamizi wa Madai..........................................................................................................5
5.9 Kukatisha Mkataba............................................................................................................5
5.10 Utunzaji wa Kumbukumbu za Manunuzi......................................................................5
5.11 Kutatua Migogoro..............................................................................................................6
6 MAONI...........................................................................................................................................6
i
VIFUPISHO.
1. PPRA – Public Procurement Regulatory Authority
2. DC – District Council
3. MC – Municipal Council
4. Eng. – Engineer
5. LGTP – Local Government Transport Programme
6. GN - Government Notice
ii
1. UTANGULIZI
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala
za Mikoa na Serikali za Mitaa inaratibu Mafunzo ya Manunuzi ya Umma na
Usimamizi wa Mikataba kwa Wahandisi wa Serikali za Mitaa. Mafunzo hayo
yanalenga katika kuwajengea Uwezo Watumishi hao katika swala zima la Manunuzi
na Usimamizi wa Mikataba ili waweze kufanya kazi zao kwa Ufanisi na Tija kwa
manufaa ya Taifa. Mafunzo hayo yalifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Edema
Manispaa ya Morogoro tarehe 21 – 25 Februari, 2011.
2. WARATIBU WA MAFUNZO.
Maafisa Wafuatao kutoka OWM – TAMISEMI waliratibu mafunzo hayo.
1
3. WAWEZESHAJI WA MAFUNZO
Katika kufanikisha Mafunzo hayo Wawezeshaji wafuatao kutoka PPRA walishiriki:
4. MADA ZILIZOTOLEWA
Wawezeshaji waliweza kuwasilisha mada mbalimbali katika Mafunzo haya. Pamoja
na mambo mengine, mada zifuatazo zilijadiliwa:
2
5. MAELEZO MAFUPI KWA KILA MADA ILIYOTOLEWA
5.1 Mapitio ya Sheria ya Manunuzi ya Umma Na. 21 ya Mwaka 2004 na Kanuni
zake.
5.1.1 Sheria ya Manunuzi Na. 21 ya Mwaka 2004 hutumika kwa Taasisi zote za
Umma na Taasisi zisizo za Umma lakini hupokea fedha za Umma kama
inavyosomeka katika Sheria hiyo Sehemu ya 2 (1) (a-b).
5.1.2 Vile vile Sheria hiyo hutumika kwa Majeshi ya Ulinzi na Usalama isipokuwa
kwa vitu ambavyo vimezuiliwa (restricted items) kama inavyosomeka katika
Sheria hiyo Sehemu ya 2 (2) (a-b).
5.1.3 Bodi za Zabuni na Taasisi zake za Manunuzi zihakikishe zinafanya kazi zake
kwa Usawa kwa kuzingatia kuwa zinatoa nafasi sawa kwa wazabuni ili
thamani ya fedha iweze kupatikana kama inavyosomeka katika Sheria
Sehemu ya 43.
5.1.4 Mamlaka ya Kudhibiti Manunuzi ya Umma Public Procurement Regulatory
Authority (PPRA) iliundwa kwa Mujibu wa Sheria ya Manunuzi ya Umma Na.
21 ya Mwaka 2004 Sehemu ya 5 na Malengo na Kazi zake zimeainishwa
katika Sheria Sehemu za 6 na 7.
3
5.3 Tathimini ya Kandarasi
5.3.1 Malengo ya Kufanya Tathimini na Utaratibu wa jinsi ya Kufanya Tathimini ya
Zanuni ilielezwa.
5.3.2 Mambo ya kuzingatia katika kufanya Tathimini kama inavyosomeka katika
Sheria Sehemu ya 67 na Kanuni ya 90 GN Na. 97.
4
5.7 Mabadiliko ya Kazi katika Miradi ya Ujenzi.
5.7.1 Maana ya Mabadiliko ya Kazi Variations ilielezwa.
5.7.2 Sababu zinazoweza kusababisha Variations zilielezwa.
5.7.3 Taratibu za kufanya Mabadiliko kwenye mikataba zilisisitizwa.
5
5.11 Kutatua Migogoro
5.11.1 Namna ya Kutatua Migogoro inayoweza kujitokeza wakati wa Utekelezaji wa
Mradi ilielezwa.
5.11.2 Aina za Utatuzi wa Migogoro ambayo ni: Amicable Settlement, Adjudication,
Mediation, Conciliation, Neutral Evaluation, Arbitration na Litigation zilijadiliwa
kwa kina.
6 MAONI
Mafunzo haya yamejenga Uwezo Mkubwa kwa Washiriki katika swala zima la
Manunuzi ya Umma na Usimamizi wa Mikataba ukizingatia kuwa yalitolewa na
Maafisa Waandamizi wa PPRA. Mafunzo haya yatakuwa na tija zaidi endapo
Wahusika wote wa Mchakato wa Manunuzi ya Umma watajengewa uwezo huu. Kwa
mfano Taasisi ya Umma kama Ofisi ya MKuu wa Mkoa – Morogoro, inaweza
kupanga na kuwaita PPRA kwa ajili ya kuendesha Mafunzo haya kwa Wakuu wa
Klasta, PMU, Wajumbe wa Bodi ya Mkoa ya Zabuni na watumishi wote ambao
wataonekana ni Washika dau wa mchakato wa Manunuzi. Taasisi ikishakuwa na
Uelewa wa pamoja wa mambo ya Manunuzi na Usimamizi wa Miradi itaweza
kuendesha mambo yake kwa Ufanisi na kwa kufuata Sheria, Kanuni na Taratibu za
Serikali hivyo Value for Money inaweza kuonekana zaidi.