You are on page 1of 16

Sauti ya Waislamu

Mzee Mtwangi kapatia Uk. 12

Hoja ya Jussa yaibua mazito

ISSN 0856 - 3861 Na. 997 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Maandamano makubwa kesho


Ni ya kuihami Iran. Kupinga vikwazo, vita

Syria inahujumiwa

Safari ya Pinda, Shamhuna Brazil yashtukiwa Busara isipotumika, muungano hatarini

Muwekezaji Zanzibar adhalilisha wananchi


RAIS wa Syria, Dkt. Bashar Al Assaad akimjulia hali mmoja wa maasa wa jeshi aliyelazwa katika hospitali ya Shaheed Yousef al-Azmeh jini Damascus baada ya kujeruhiwa na waasi.

Ayatollah Seyed Ali Hoseyn Khamenei

Mahonda wapiga hodi Wizara ya Kilimo Shamhuna ashutumiwa kutupa wa-Donge Mshimba wa Kitope angalau atoa sauti

2 AN-NUUR

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110148, 0755 260 087, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

TAHARIRI/HABARI

Kila nafsi itaonja mauti


Na Kaima Mwanjia
ALLAH (SWT) anasema: Na hatukumjaalia mwanadamu yeyote kabla yako kuwa na maisha ya milele. Basi je! Ukifa wewe, wao wataishi milele?. Kila nafsi itaonja mauti na tunakujaribuni kwa mtihani wa shari na kheri. Na kwetu sisi mtarejeshwa. (21:34-35) Mwanachuoni Shekhe Ally Muhsin Al-Barwaan, ameifafanua aya hii kwa kusema: Ewe Nabii hatukumjaalia mwanadamu yeyote kabla yako wewe aishi milele, hata ikawa hao makafiri wakawa wanakutamania ufe wewe. Vipi wanakutamania mauti wewe na hali na wao vile vile watakufa kama wewe? Ukifa wewe, je, ndio wao watabakia kushinda wanadamu wote? Kwa mujibu wa aya mbili hizi, tunajifunza yafuatayo. Kwanza kifo ni jambo la kimaumbile. Jambo la lazima lisiloepukika. Kama ambavyo tumezaliwa, basi ni lazima wakati ukika tufe. Kifo ni hatua ya nne katika zile hatua tano muhimu za maisha ya mwanadamu. Sambamba na hatua ya kifo ni hatua ya kupulizwa roho tumboni mwa mama, adhini, kiama. Jambo jingine tunalojifunza kupitia aya mbili hizi, nikuwa kifo hakizuiliki. Pamoja na jitihada za kibinadamu zinazofanywa na wanafamilia kwa ajili ya kunusuru maisha ya mgonjwa, wakati mwingine ni kwa kumuwekea mitungi ya oxygen itakayomuwezesha kupumua kwa wepesi, lakini bado haisaidii kama muda wa kuishi umekwisha. Kingine tunachojifunza kupitia aya hii ni kuwepo/kupatikana kwa ladha maalum ndani ya zoezi la kutolewa roho. Mui wa Pakistani marehemu Mohammed Sha katika tafsiri yake ya Quran aliyoiita: Mariful Quran amekifafanua kipengele cha aya hii kwa kusema kwamba kila mtu atapata uchungu w akutolewa r o h o . Na Mtume (s.a.w) anasema: Hakika mauti yana kilevi. Hapana shaka kilevi alicho kikusudia Mtume kupitia hadithi hii, ni ile hali ya maumivu na uchungu unaopatika katika kutolewa roho. Tunajifunza pia kupitia aya mbili hizi katika kuwajaribu na kuhakiki ukweli wa imani zao, Allah (SWT) hutumia utaratibu wa kuwatia katika mitihani waja wake kwa kuwapa furaha na misiba. Kwamba je, watafurahi huku wakichunga mipaka ya Allah katika kufurahi kwao na kinyume chake. Mtume anasema: Ni ajabu iliyoje kwa jambo la Muumini, ikimpata yeye kheri, hushukuru na huwa kheri kwake, na yakimpata yeye madhara (shari) hushukuru, na pia huwa ni kheri kwake, na huikuti tabia hii ila kwa Muumini. Katika hadithi iliyopokewa na Bi Aisha [R.a] na

MAONI YETU

Serikali kujali zaidi maslahi ya wanasiasa ndio kichocheo cha migomo


NI hatari kubwa kwa serikali kuendelea kugharamia siasa zaidi kuliko watendaji na watalaamu katika utumishi wa umma na taasisi za huduma za kamii. Wa k a t i m g o m o w a madaktari na watumishi wa sekta ya afya kwa ujumla wa k i t a k a n y o n g e z a ya mishahara yao, ambayo inaelezwa kwamba ni kiduchu kulingana na kazi wanayoifanya, tayari zile posho walizoongezwa wa b u n g e k wa z a i d i ya asilimia 100 zimedaiwa kuidhinishwa. Shilingi 200,000 kutoka 7 0 , 0 0 0 z i m e i d h i n i s h wa kupewa wabunge ili wapate n a f a s i ya k u k a a v i z u r i bungeni bila kuathiriwa na hali ngumu ya maisha na mfumuko wa bei wakiwa Dodoma. Kama alivyoeleza Mbunge wa Kigoma Kaskazini Bw. Zitto Kabwe hivi karibuni, mazoea haya ya fedha za serikali kufadhili zaidi siasa, yanaweza kuwa kichocheo cha migomo zaidi nchini kwa kuwa wataalamu wetu watazidi kushawishika kudai malipo zaidi wakiamini kwamba fedha za kuwapa kuongeza vipato vyao zipo, lakini hawapewi kipaumbele kama wanavyopewa wanasiasa. Lakini pia tunaona kwamba mazoea ya kuwapa zaidi kipaumbele wanasiasa kimalipo, yalijengeka kwa muda mrefu kiasi cha kuota mizizi ndani ya serikali. Mazoea haya ndio moja ya sababu zinazowafanya wataalamu wetu wengi wa fani mbalimbali na hasa zile nyeti kama udaktari, kuzidi kuweka pembeni taaluma zao na kujiingiza kwenye siasa ili kupata kipato zaidi. Tu n a a m i n i k w a m b a k i t e n d o c h a k u r i d h i wa viwango vipya vya posho za wabunge wakati mgomo wa madaktari ukiendelea kurindima, kitachochea migomo zaidi kwa wataalamu wa fani nyingine, ambao nao wanaona kwamba wana umuhimu wa kupewa kipaumbele zaidi na serikali kuliko wanasiasa. Wakati hili la madaktari halijamalizwa, kuna kila dalili walimu nao wakagoma au kuandamana. Tunaona k wa m b a h i z i p o s h o z a wabunge zitachangia uharaka wa mgomo kwa

wa t u m i s h i h a o . Ta ya r i Katibu Mkuu wa Shirikisho la vyama vya wafanyakazi nchini TUCTA, Nicholas Mgaya, naye amenukuliwa akitaka wafanyakazi wote nao waongezewe mishahara yao. Yote hayo ni matokeo ya kulazimisha posho za wabunge. Bado kuna shida katika shirika huko TRL Pamoja na hayo, tunaona kwamba ingekuwa ni uamuzi wa busara kwa wenye mamlaka serikalini, kujenga mazoea ya kutatua mizozo ya watumishi mapema kabla ya athari kubwa kujitokeza. Pamoja na hayo, tumezoe kuona migogoro mingi ya kimaslahi ya watumishi wa umma na hata wale wa sekta binafsi, ikichukua muda mrefu kutatuliwa. Vilevile watumishi hawa wamekuwa hawapati stahiki yao hadi kuzuke kwanza mzozo na serikali ndipo shida zao zitatuliwe. Hata inapokiwa hatua ya kutatuliwa mizozo hii, madhara makubwa yanakuwa tayari yameshatokea. Kwa bahati mbaya, mizozo kati ya watumishi na serikali inapotokea, wananchi ndio wanaoumia kama ilivyo hivi sasa katika mgomo wa madaktari. Wagonjwa wanateseka, wengine wanapoteza maisha, wengine wanalazimika kwenda hospitali binafsi ambazo huduma zake ni ghali. Kwa namna hali ilivyo, tunaamini kabisa kwamba kama serikali itashindwa kuachana na utamaduni huu wa kutumia sehemu kubwa ya fedha zake kwa ajili ya kugharamia shughuli za siasa na wanasiasa, migomo na maandamano hayawezi kukoma hata yatakapotumika mabavu. Kimantiki tunaamini kwamba shughuli za siasa ndizo hasa kazi za wito ikilinganishwa na fani nyeti kama za udaktari, ualimu, polisi n.k. Tukiepukana na utaratibu huu wa kuona wanasiasa ndio wenye meno ya kula na wengine wakidai stahiki zao ni wakoro, hatutaweza kuepukana na maandamano ya mara kwa mara kwa watumishi wa serikali na wataalamu wetu.

Muwekezaji Zanzibar adhalilisha wananchi


Na Waandishi wetu, Zanzibar KATIKA hali isiyotarajiwa mtu mmoja aliyetambuliwa kuwa miongoni mwa waliopewa maeneo muhimu ya uwekezaji na uchumi, Zanzibar, amekiuka misingi ya maadili, hali iliyoibua hasira miongoni mwa wananchi. M u we k e z a j i h u yo n i yule aliyepewa Kiwanda mashuhuri cha asili nchini kilichoasisiwa na serikali ya Zanzibar kwa ajili ya uzalishaji wa sukari Mahonda kilichopo katika Jimbo la Donge, Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja. Jambo linalotusikitisha z a i d i n i k wa m b a t o k e a muwekezaji apewe eneo hilo miaka sita sasa, hajazalisha hata nusu kilo ya sukari. A l i l a l a m a m m o j a wa Wananchi wa Shehia ya Mkataleni aliyeongozana na kundi la wenzake kwenda Wizara ya Kilimo, Mjni Unguja ambapo waliwasilisha kilio chao kwa mamlaka husika na pia kwa Waziri Mhe. Mansour Yussuf Himid. Lakini ukiacha kushindwa kuzalisha sukari kama ilivyotarajiwa, mwekezaji huyo anadaiwa kuwazuiya wananchi wanaozunguka kiwanda kulima mashamba yao akidai kuwa ni yake. Wakilalamika wamesema kuwa inaonekana mashamba yao ya mpunga yamejumuishwa na mashamba ya miwa ya kiwanda hicho kwa kupotosha mipaka katika utoaji wa kiwanda hicho. Vinginevyo wanashindwa kujua mwekezaji huyo kutoka Tanzania Bara anapata wapi j e u r i ya k u t u m i a p o l i s i kuwapiga na kuwazuiya kulima mashamba yao. Uchunguzi wa mwandishi umebaini kuwa serikali ilishafanya uchunguzi na kugundua upotoshaji wa mipaka na kutaka mkataba wa mwekezaji huyo usitishwe na mipaka kuwekwa sawa. Hata hivyo hadi sasa suala hilo halijashughulikiwa na wananchi wanazidi kupata taabu kwa kukosa kuzalisha c h a k u l a c h a o k wa v i l e hawawezi kutumia mashamba

k u t h i b i t i s h wa n a I m a m Ahmad, Mtume [saw] anasema: Enyi watu! Yeyote atakayepatwa na msiba, basi ajifari kwa kuufanya msiba wa Mtume kuwa ndio liwazo na rejeo lake kwa msiba uliompata kwani hakuna tena katika umati wangu baada ya kufa mimi atakayepatwa na msiba wenye machungu kuliko msiba wangu. Rejea majadiliano Sydna Abuu Bakar na Sydna Umar mara baada ya kupokea tarifa za kifo cha Mtume [saw] Sydna Umar akasema atakayesema Mtume amekufa nitamkata kichwa chake. Angalizo: Ni kawaida na ni jambo la kisheria, kusimamishwa kwa swala kila baada ya kumalizika adhana. Ila kawaida hii hubadilika kwenye adhana anayofanyiwa mtoto mara baada ya kuzaliwa. Mtoto anapozaliwa huadhiniwa katika Sikio lake la kulia na hufanyiwa iqama katika Sikio lake la kushoto. Na mara baada ya kumalizika kwa adhana na iqama, hakuna Swala inayoswaliwa kwa muda huo! Kwa upande mwingine, swala ya jeneza haina adhana wala iqama. Adhana na iqama yake vilitangulizwa tangu siku ya kuzaliwa mtoto. Funzo kubwa tunalolipata kupitia angalizo hili la kisheria ni kwamba mwanadamu ajifahamu kwamba yeye ni marehemu mtarajiwa, wakati wowote ataondoka bila ya kupewa taarifa. Ai ya adhana wala iqama.

yao ya asili. Baadhi ya wananchi wa Mahonda wanasema kuwa, huenda hali hii ya Serikali ya M a p i n d u z i Z a n z i b a r kushindwa kumaliza mgogoro huo huku vyombo vyake vya dola vikipiga wananchi wanaotetea haki yao, ndiyo inayompa jeuri mwekezaji huyo kudai kuwa Zanzibar hakuna viongozi. Walicholalama wananchi hao ambao waliongozana makundi kwa makusudi kuwasilisha udhia wao huo, ni kwamba siyo tu kuwa mradi aliopewa muwekezaji huyo haujaleta ta ila hasara, bali pia umeleta usumbufu mkubwa pamoja na ufukara wa kupindukia, hali ambayo ni kinyume na azma ya serikali kuwapunguzia wananchi adha ya maisha kupitia kilimo na uzalishaji wa chakula cha kutosheleza nchini. Maisha yetu yanategemea kilimo tunaishi kwa kilimo sasa wanapokuja watu wa namna hii wanatuzuilia maisha yetu na tunabaki hatuna la kufanya Inaendelea Uk. 3

HABARI

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

AN-NUUR

Hoja ya Jussa yaibua mazito


Na Waandishi wetu, Zanzibar
KATIKA hali isiyotarajiwa, kumeibuka maswali mengi magumu juu ya namna umma ulivyopokea Ajenda ya Kuiongezea Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ukanda wa Bahari Kuu Exclusive Economic Zone (EEZ). Umma umepokea hali ya mijadala juu ya hoja hiyo kwamba inaweza kuleta makubwa yakiwamo kile kilichotajwa kudhihiri kwa azma ya kila upande wa Jamhuri ya Muungano, Tanzania Bara na Zanzibar, na zaidi juu ya Fungamano lao hilo la tangu Aprili, 1964. Asili ya hali hiyo ni kama kwamba kuhusiana na Hoja ya Kujadili Jambo la Dharura aliyoiwasilisha Mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe, Bw. Ismail Jussa Ladhu ndani ya Baraza la Wawakilishi la Zanzibar lililoketi katika Ukumbi wake mpya uliopo maeneo ya Chukwani, nje kidogo ya Mji wa Unguja, mnamo Januari 23, 2012. Kwa mujibu wa taarifa, tayari Baraza la Wawakilishi la Zanzibar limeipitisha Hoja hiyo na ili kuiwekea Maazimio kabla ya kutolewa Maamuzi yakiwamo ya kuwawajibisha baadhi ya Vigogo waliodaiwa kuashiria azma ya kuisaliti nchi ya Zanzibar . Mamlaka ya kuwajibisha watendaji hao wakiwamo Wakuu wa Wizara ya Maji, Ujenzi, Nishati, Ardhi na Makaazi, ya Zanzibar , si ya Baraza la Wawakilishi, bali maamuzi yanahusu Serikali Kuu na Baraza lake la Mapinduzi, ambalo kwa hapa ndilo Baraza la Mawaziri. Kupitishwa kwa Hoja hiyo katika Baraza la Wawakilishi la Zanzibar, kunatoa fursa kwa Baraza la Mapinduzi kusitisha ule Mpango wa Kuiombea Tanzania nyongeza ya Mipaka ya Bahari Kuu, katika Umoja wa Mataifa, kama pendekezo rasmi lilivyowasilishwa hivi karibuni. Kabla ya kuipitisha hoja hiyo Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, wa pande zote, Chama tawala, Chama cha Mapinduzi, CCM pamoja na wa Chama cha Wananchi, CUF, walipendekeza hatua zaidi dhidi ya ukiukaji wa taratibu za kile walichoita maamuzi makubwa yanayoihusu nchi ya Zanzibar. Miongoni mwa mapendekezo hayo ni kutaka Rais ama Serikali Kuu ya Zanzibar, kumuwajibisha Waziri mwenye dhamana ya Nishati ya Zanzibar, Mhe. Ali Juma Shamhuna na wenzake, ndani ya Wizara hiyo. H i i n i b a a d a ya k i l e walichotaja Wajumbe hao upotoshaji, ukiukaji wa haki, heshima, hadhi, na maslahi ya Mshirika Mkuu wa Muungano, kati ya Wawili, Zanzibar, katika maamuzi ya mambo yanayoihusu nchi. Miongoni mwa hoja ni zile zilizochangiwa na Wajumbe mbali mbali wakiwamo, Mjumbe wa Viti Maalumu (CCM), Bi Asha Bakar Makame, Mwakilishi wa Jimbo la Kwamtipura Bw. Hamza Hassan Juma (CCM), na Mwakilishi wa Kuteuliwa na Rais, Bw. Ali Mzee Ali. Kwa ujumla Waheshimiwa hao na wengi wengineo, walieleza nguvu ya Baraza hilo katika maamuzi ya kuwawajibisha wahusika wote wanaobainika kuisaliti Zanzibar, wakiwamo hawa wa l i o d a i wa k u b u r u z wa kinyemela katika Ajenda ya EEZ. Miongoni mwa nguvu ya Baraza, ni kupiga kura ya kutokuwa na imani na serikali dhidi ya wote akiwamo pia Makamu wa Pili wa Rais ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Serikali ndani ya Baraza, au Mkuu mwingine yeyote. Wa j u m b e w a l i k u w a wakali juu ya ukimya wa Serikali ya Zanzibar juu ya EEZ, ingawa hatimaye ilikuja kubainika kwamba Visiwani hawakushirikishwa katika azimio hilo ; na kwamba sasa wanachosubiri ni hatua za kitaratibu kuelekea maamuzi. Katika mengi yaliyoleta hoja ni pamoja na hisia za kuigeuza Hoja hiyo kuwa ya Mh. Jussa na siyo Azimio la Baraza, imesaini hivi karibuni bila ya kuihusisha Zanzibar, siku chache baada ya Wawakilishi kulipinga pendekezo. Wapo waliobaini kwamba haikuwa bure kwa Ziara y a Wa z i r i M k u u M h e . Mizengo Pinda nchini Brazil kumjumuisha Mhe. Shamhuna, ambako maongezi ya awali ya kuyakaribisha makamuni makubwa ya kuchimba mafuta kutoka huko, yalianza. Wanacholalama wananchi na zaidi upande wa Zanzibar, ni kwamba Bara wameichukua h o j a h i yo ya B a r a z a l a Wawakilishi, kama ni ya Jussa binafsi, huku wakielewa tayari Zanzibar ni nchi, kwa mujibu wa Marekebisho ya Kumi ya Katiba, na pia hiyo ilikuja tu kukumbusha Maazimio yaliyokwishafikiwa tangu 2009, ya Zanzibar kukataa mashirikiano na Bara juu ya Nishati ya Mafuta; wakati ambao Waziri Kiongozi wa wakati huo, Mheshimiwa Shamsi Nahodha alilazimika k u i a n d i k i a J a m h u r i ya Muungano wa Tanzania, juu ya heshima na Nafasi ya Zanzibar katika Muungano. Pamoja na majibizano, na hatua za hapa na pale, ambazo uchunguzi umebaini watendaji Wakuu wanaohusika na Kero za Muungano kuitana faragha, wapembuzi wanahisi busara isipotumika, na haki ikatendeka kwa mujibu wa sheria, muungano utakabiliwa na wimbi kubwa na utazidi kutikisika.

Mheshimiwa Shamsi Nahodha hali ambayo imechukuliwa kama ni hujuma za makusudi au upotoshaji juu ya ukweli wa mambo na msimamo wa Zanzibar, katika suala la EEZ. Naona kuna njama za makusudi za kujaribu kupotosha kutoka upande wa Tanzania Bara zikiongozwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makaazi Prof. Anna Tibaijuka, alisema Jussa alipoongea na waandishi wa habari Osini kwake Vuga mjini hapa, katikati ya wiki. Wanachohoji pia baadhi ya wadadisi ni kwa nini Tanzania Bara imewasilisha Ajenda hiyo muda mfupi baada ya kile kilichogunduliwa ushauri wa Watafiti wa Kuchimba Mafuta waliobainisha kuwa sehemu kubwa ya Petroli ya Ardhini ipo katika Ukanda wa Pwani unaoikaribia Zanzibar kuelekea Mipaka ya Bahari Kuu. Aidha, wachunguzi wamebaini udhaifu katika Mikataba ya Uchimbaji wa mafuta ambayo Tanzania Bara

Muwekezaji Zanzibar adhalilisha wananchi


Inatoka Uk. 2 kwa kusema kweli, alisema mmoja wa wananchi hao aliyejitambulisha kwa jina la Hussein Kassim. Pamoja na hayo matusi aliyoivurumisha muwekezaji huyo dhidi ya wananchi, jamii, na serikali ya Zanzibar, ni miongoni mwa mambo yaliyopelekea ghadhabu za wananchi hadi kukia kusema hapana haja tena ya mtu huyo katika nchi hii. Alichotuudhi zaidi ni kuwatukana viongozi wa nchi hii matusi ambayo haisemeki akitwambia mambo yasiyoelezeka hapa, aliongeza malalamiko hayo Bw. Ahmed Suleiman. Wa k a t i wa n a n c h i wakijaribu kubainisha yale wasiyoyaridhia kutoka kwa muwekezaji huyo, miongoni mwao waliibuka wakisema, a n a wa t u k a n a v i o n g o z i wetu bwana anatuudhi na kutudhalilisha kupita kiasi. Katika mengi aliyosema kila mara utamsikia akisema nchi hii haina viongozi wacha tutafanya tutakavyo hapo ndipo alipotukisha, aliongeza Bi Rehema Nassor ambaye pia alumuika katika msafara huo. K a t i k a m f u l u l i z o wa lawama hizo, wananchi hao walimtaja Bwana Shamba Mkuu wa Bonde la Mahonda linalotumika sehemu yake kwa ajili ya Kiwanda hicho kilichomilikishwa sasa kwa muwekezaji mwenye asili ya Kiasia, kwamba baada ya kuona amekosa la kufanya aliamua kufungua kituo cha kuuzia ulevi (baa) katikati ya makaazi ya watu na kusababisha usumbufu mkubwa na hatimaye kuibua suitafahamu miongoni mwa wakazi wote Waislamu wa maeneo hayo. Ametuwekea kituo cha kuuza ulevi katikati ya makaazi yetu tulipolalamika na kuweka pingamizi akatwambia tutakoma na kweli tukakoma, alisema Mzee Juma Saleh ambaye aliendelea kuhadithia udhia wa namna wananchi hao walivyopata kisago cha polisi wa Kituo cha Mahonda kiliopo jirani na Kiwanda hicho. Waliyemnyooshea kidole wananchi hao wa Mahonda ni pamoja na Muwakilishi wa Jimbo lao la Donge, Mhe Ali Juma Shamhuna na pia uongozi wote wa Wilaya ya Kaskazini Unguja wakisema umewasaliti. Hatumuoni Mbunge wala Muwakilishi na hata hao Viongozi wa Wilaya hawana habari nasi kabisa wametusaliti adha yatupata siye, walitamka wananchi hao pale walipokuwa wakimtegea sikio mwenzao Bi Asha Ali Mohamed aliyeambatana nao. Kilio hiki cha Wananchi wa Mahonda kilikia mbali hadi Mahakama Kuu na kisha ndani ya Baraza la Wawakilishi la Zanzibar, ambapo Muwakilishi wa Jimbo la Kitope Mhe Haji Makame Mshimba alilazimika kupaza sauti juu ya kadhia inayowasibu makhuluki hao. A l i s e m a ye ye b i n a f s i alilazimika kwenda k u wa g o m b o a wa n a n c h i hao Mahakamani kwa kile kisingizio ambacho hakina kichwa wala miguu, raia wema wakitekeleza wajibu wa kujitafutia riziki za halali na kuitikia wito wa serikali yao wa kuongeza chakula kinachozalishwa ndani ya nchi na zaidi mpunga au mchele na hatimaye yakawakuta. Muwakilishi huyo alitaka Wizara husika ifanyie kazi udhia huo au vinginevyo kutafuta ufumbuzi wa haraka wa kuwawekea wananchi m a z i n g i r a ya k u j i p a t i a riziki zao kupitia kilimo na

uzalishaji. Uchunguzi ulibaini kuwapo hatua mbali mbali hapo kabla, ambapo baadhi ya Mawaziri waliwahi kuka hapo pamoja na Wajumbe wa Kamati za Baraza la Wawakilishi huku wengine wakipendekeza kwamba Muwekezaji huyo aondoshwe kwani ameshindwa kazi atafutwe m we n g i n e , i n g a wa k wa mujibu wa uoni wa wananchi, hakuna kilichoendelea baadaye ila Vikosi vya Ulinzi vinavyowaibukia kila uchao kuwacharaza ama kuwatishia kwa mitutu ya bunduki, huku mtukanifu huyo akiendelea kupeta. Miongoni mwa wananchi wa l i k a r i r i wa wa k i s e m a kama serikali imepuuza udhia wao huo basi ieleweke kwamba wako tayari kuungana na wenzao waliolala ndani ya Meli ya Mv Spice Islanders almuradi zama za kudhalilishana zimekwisha. Hadi tunakwenda mitamboni, juhudi za kumpata mwekezaji huyo kupata maoni yake kuhusu shutuma hizi anazorushiwa hazikufanikiwa.

4 AN-NUUR

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

Maandamano makubwa kesho


Na Mwandishi Wetu MAANDAMANO makubwa yanatarajiwa kufanyika kesho Jumamosi katika miji zaidi ya 50 duniani. Maandamano hayo ni maalum kwa ajili ya kuwahami watu wa Iran kutokana na uharamia wanaofanyiwa na Marekani pamoja na nchi za Ulaya. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa mapema wiki hii na waandalizi wa maandamano hayo, kibwagizo katika maandamano hayo kitakuwa No war, no sanctions, no intervention, no assassinations against Iran. Kibwagizo hicho kimeb eba u jumbe wa waandamanaji ambao wa n a i t a k a M a r e k a n i , Ulaya na Israel kuacha mipango yao ya kihalifu ya kuiwekea vikwazo Iran. Wanazitaka pia nchi hizo kuacha uharamia wao ama wa kushiriki moja kwa moja au kupitia vikundi vya kigaidi, kuihujumu Iran kwa vitendo vya kigaidi ikiwemo mauwaji ya watu mashuhuri na ulipuaji wa mabomu katika misikiti na sehemu mbalimbali yanayosababisha maafa kwa watu wasio na hatia. Kufanyika kwa maandamano hayo, ni kutekeleza maazimio ya kikao cha pamoja cha taasisi zenye makao yake Marekani zinazopinga ubeberu na vita (anti-imperialist and anti-war organizations) kilichofanyika Januari 17, 2012. Taasisi zilizoshiriki kikao hicho na ambazo mpaka sasa zinaunga mkono maandamano hayo ni United National AntiWar Coalition (UNAC), the International Action Center (IAC), SI! Solidarity with Iran, Refugee Apostolic Catholic Church, Workers World Party, World Cant Wait, American Iranian Friendship Committee, na Campaign Against Sanctions & Military Intervention in Iran (CASMII). Nyingine ni ANSWER (Act Now to Stop War and End Racism), Antiwar. com, Peace of the Action, ComeHomeAmerica.us, St. Pete for Peace, Women Against Military Madness ( WA M M ) , D e f e n d e r s for Freedom, Justice & Equality-Virginia, WESPAC

HABARI

Ayatollah Sayyed Ruhollah Musavi Khomeini, Kwa pamoja taasisi hizo u n a o c h o c h e w a n a Foundation, Peace Action zinakubaliana kwamba ni Marekani, Profesa Michel Maine, Occupy Myrtle Beach, Minnesota Peace Action uonevu kuiweka vikwazo Chossudovsky anasema Coalition, Twin Cities Peace Iran katika mafuta na kuwa hii inaweza kuzaa Vi t a K u u ya Ta t u ya Campaign na Bail Out the benki zake. Kwamba vikwazo hivyo Dunia. People Movement (BOPM). Anasema, Marekani Wapo pia watu binafsi vyenyewe ni vita dhidi ya Iran kabla hata hiyo hatua inatafuta kila kisingizio wanaoshiriki ambao ni pamoja na mwandishi nyingine inayochochewa ilimradi tu ipat ikane sababu ya kufanya vita. D a v i d S w a n s o n , ya kuingia keshi. Miongoni mwa miji Profesa Chossudovsky aliyeandika kitabu, When t h e Wo r l d O u t l a we d mashuhuri inayotarajiwa ambaye ni Mkurugenzi kufanya maandamano wa taasisi ya Centre for War. Mwingine ni mwandishi k e s h o n i p a m o j a n a Research on Globalization, Phil Wilayto (In Defense of Washington DC, New York, anasema kuwa kutokana Iran: Notes from a U.S. Peace Boston, Seale, Minneapolis, na propaganda inayopigwa Delegations Journey through Detroit, Atlanta, Los Angeles kupitia vyombo vya habari, Wamarekani na Ulaya the Islamic Republic). na San Francisco. Ametajwa pia Mingine ni Vancouver wamekishwa mahali pa m w a n a s h e r i a m k u u ( C a n a d a ) , D h a k a kuaminishwa kuwa Iran mstaafu wa Marekani (Bangladesh), Oslo (Norway), ni jinamizi la kutisha na William Ramsey Clark Calcutta (India) na huko lililosababu ya maovu yote ulimwenguni. k w a m b a a n a u n g a Ireland. Katika hali hiyo, watu mkono kufanyika kwa Akielezea hatari maandamano hayo. y a m g o g o r o h u u wanakosa ile akili huru ya

kufikiri na kuona kuwa kinachofanyika ni hujuma na uonevu kwa Iran. Baada ya kukolea propaganda hiyo, Michel Chossudovsky anasema: what the United States wants now, including its allies, is some kind of a green light which will give a human face to a war. Kwamba inachohitaji sasa Marekani na washirika wake ni kisingizio cha kuingia keshi Iran (ikua kuwa itapata uungwaji mkono kwa sababu propaganda ishakamilisha kazi ya awali). Michel Chossudovsky anasema kuwa hata kabla ya kuivamia rasmi keshi Iran, mambo yalivyo, tayari ni kana kwamba vita imeanza. This war has already started. There are drone attacks, there are special [American] forces inside Iran and there is financial warfare. Anasema akiongeza kuwa mpango wa kuipiga Iran iliwekwa mara tu baada ya kuvamiwa Iraq na kwamba maandalizi rasmi yalianza mwaka 2005. Hata hivyo anaonya kuwa iwapo Marekani itaingia keshi Iran, vita hiyo inaweza kuiingiza China na Urusi na hapo kutakuwa hakuna uwezekano wa kuzuiya tena maafa kama yale ya Vita Kuu ya Kwanza na ya Pili ya Dunia. Maelezo na tahadhari hii ya Michel Chossudovsky, ilitangazwa na televisheni ya Urusi, Russia Today (RT) Januari 29, 2012. K w a u p a n d e mwingine, walimwengu wanatahadharishwa wasilitizame suala hili kama tatizo la Iran pekee. Kwanza wanakumbushwa k wa m b a , u w e z e k a n o mkubwa ni kwamba shutuma inazobebeshwa Iran, ni urongo mtupu. Lakini hata kama baadhi ya madai yakiwa ni kweli, wanaotoa madai na shutuma dhidi ya Iran si wakweli. Unatolewa mfano jinsi walivyoleta kisingizio cha kupambana na ugaidi wakasababisha maafa makubwa Afghanistan na Iraq. The precedent of the war on terror - a campaign during which the US occupied Inaendelea Uk. 8

Sasa Marekani imetangaza nia yake kuingia Nigeria keshi. Kisingizio kama ilivyokuwa ikitarajiwa ni mashambulizi ya Boko Haram. Katika masiku ya hivi karibuni, hasa baada ya serikali ya Rais Goodluck Jonathan kukabidhi m a s u a l a ya u s a l a m a wa Nigeria kwa CIA na Mossad, mashambulizi yanayodaiwa kufanywa na Boko Haram yameongezeka katika kiwango cha kutisha. Hata hivyo, baadhi ya wachambuzi wa mambo wamesema kuwa, mashambulizi hayo ni ya kupanga, yaani False Flag Terror Operations ili kupata kisingizio kwa mataifa yenye uchu wa mafuta ya nchi hiyo kuingia. Ta a r i f a z a u h a k i k a zinaonyesha kuwa kumekuwa na makundi mengi ya kihalifu ambayo ya m e k u wa ya k i f a n ya mauwaji na uhalifu wakijiita kuwa ni Boko Haram. Wa m e wa h i p i a k u k a m a t wa wa h a l i f u waliovalia kama Waislamu lakini Wakristo wakilipua makanisa, nao wakfanya kuwa ni Boko Haram. Wachambuzi wa mambo walishawahi kusema kuwa makundi haya ya kihalifu yamekuwa yakifadhiliwa na kutumiwa na makachero wanaotumikia mabeberu ili kufanya uhalifu kusingizia Boko Haram. Ni baada ya kuzidi kwa matukio haya ya kihalifu yanayopachikwa u-Boko Haram, sasa Marekani inatangaza nia ya kuingia keshi Nigeria kupambana na Boko Haram hao. Hatua hii ya Marekani ya kutangaza nia yake ya kuingia keshi nchini Nigeria imelalamikiwa vikali na kutajwa kuwa ni uingiliaji wa wazi wa mambo ya ndani ya nchi hiyo. Bwana Nii Akuetteh, mchambuzi wa masuala ya kisiasa barani Afrika ameiambia televisheni ya Press TV kwamba uingiliaji kama huo wa keshi utaleta maafa makubwa nchini Nigeria. Mchambuzi huyo pia amesema kuwa, iwapo Marekani itaamua kutekeleza azma yake ya kuivamia keshi Nigeria,

Marekani yatangaza nia kuingia kijeshi Nigeria


Kichocheo ni Boko Haram, mafuta

HABARI ZA KIMATAIFA

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

AN-NUUR

ni wazi kuwa mbali ya kuharibu hali ya ndani ya Nigeria, hatua hiyo itaisababishia matatizo makubwa pia Marekani ndani na nje ya Nigeria. Ikulu ya Marekani, White House, ilikuwa imetangaza kuwa inakiria uwezekano wa kuingia kijeshi katika maeneo yenye utajiri wa mafuta nchini Nigeria. Nia hiyo ya Washington imepata nguvu baada ya viongozi wa serikali ya Marekani kudai kuwa matatizo ya Nigeria ni matatizo ya Marekani. M a t a m s h i h a y o ya viongozi wa Marekani yanatia nguvu madai kuwa, kuanzishwa mashambulizi ya makundi kama Boko Haram, kuna lengo la kutoa mwanya wa kuingiliwa keshi Nigeria na madola ya kigeni. Ikiwa ni sehemu ya serikali ya Nigeria kutatua mzozo wa kigaidi wa Boko Haram na kukabiliana na changamoto za kiusalama nchini humo na ukanda wa nchi za Magharibi kwa ujumla, imeelezwa kwamba Nigeria imeridhia pendekezo la Marekani la kuangalia kuchukua hatua mpya za kiusalama, ikiwa ni agenda mbadala chini ya kile kinachoitwa Tu m e y a p a m o j a y a Kitaifa kati ya Nigeria na Marekani (US-Nigeria Bi-National Commission BNC), iliyoundwa katika kipindi cha miaka miwili

iliyopita. Kwa mujibu wa mtandao wa The Sun Publishing, chini ya mkakati huo mpya wa kiusalama, kiongozi wa ngazi za juu wa Jeshi la Marekani anatafufua m a z u n g u m z o k a t i ya Marekani na Nigeria kipindi hiki jini Abuja na mjadala mkubwa utakuwa ni juu ya Boko Haram na mzozo wa mapato ya mafuta katika ukanda wa Delta. Hilo limebainishwa hivi karibuni na balozi wa Nigeria katika Umoja wa Mataifa, Prof. Adebowale Adefuye, wakati wa mkutano wake na wawekezaji na watendaji wa sekta binafsi nchini Marekani chini ya mwavuli wa kile walichokiita kuwa ni Influential Corporate Council on Africa, CCA, jijini Washington DC na kujadili maendeleo ya Nigeria, hasa kufuatia mashambulizi ya Boko H a r a m n a m z o z o wa mapato ya mafuta nchini humo. Balozi huyo wa Nigeria alifahamisha kuwa wakati Nigeria inafungua milango ya misaada ya kimataifa katika suala la Boko Haram, kwasababu ya shutuma za kigaidi. Tu n a p a t a m i s a a d a muhimu kutoka kwa raki zetu bila kuingilia uhuru wetu wa kufanya mambo. Alieleza balozi huyo. A l i s e m a i l i k u wa n i Marekani iliyotoa wazo

la kuwepo masuala la usalama likiwa ndio lengo kuu la BNC, badala ya Tume hiyo kuwa sehemu tu ya masuala yanayohusiana na Niger Delta. Wachunguzi wa masuala

ya kiusalama wanaeleza kwamba lengo kubwa la kupanua majukumu ya Tume hiyo ya pamoja ni kutoa fursa ya Marekani kujiingiza katika suala la kupambana na Boko Haramu, mwanya ambao utawapa nafasi nzuri ya kuingia kijeshi nchini Nigeria kutekeleza azma hiyo. Hivi karibuni, tayari Adefuye alikutana na watendaji wa s e r i k a l i ya M a r e k a n i wanaoshughulikia masuala ya Afrika (US State Department Bureau on African Aairs) kuelezea masuala ya mzozo wa mapato ya mafuta na mashambulizi ya Boko Haram na kupitia hatua za serikali ya Nigeria ilizochukua. Hali kadhalika balozi huyo pia alikutana na kitengo cha biashara cha Marekani (US Chamber of Commerce) jijini Washington DC kwa ajili ya kujadiliana masuala hayo hayo ya mapato ya mafuta na Boko Haram. (Habari hii imeandikwa kutokana na taaifa za Press TV)

LUQMAN ISLAMIC SEMINARY


INAWATANGAZIA WAISLAMU WOTE KUWA NAFASI ZA MASOMO BADO ZIPO KATIKA SHULE ZETU ZA: SEKONDARI (KUJIUNGA FORM ONE) PRIMARY (KUJIUNGA GRADE ONE) CHEKECHEA USAILI KWA WANAFUNZI UNAFANYIKA KILA JUMAMOSI PIA WANAOTAKA KUHAMIA NAFASI BADO ZIPO SHULE IPO MASJID NNUUR SINZA USAFIRI UPO KWA WANAFUNZI WA NURSERY NA PRIMARY. KWA MAWASILIANO: 0713-819391 AU 0713-220567 WABILLAHT TAWFIIQ UONGOZI

6 AN-NUUR
Na Omar Msangi

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilikusudia kumpa Rais wa Syria Bashar El Assad siku 15 kuachia madaraka kama hatua ya awali ya kufikia kile kinachotakiwa na Marekani regime change. Wakati huo huo, nchi za Morocco na Qatar zikidaiwa kuwakilisha nchi za Kiarabu, zimewekwa mstari wa mbele katika kutafuta kile kinachoonekana kuwa ruhusa ya Umoja wa Mataifa kuingilia mgogoro wa Syria keshi kama ilivyokuwa Libya. Akizungumza na baadhi ya vyombo vya habari vya Marekani (CBS) hivi karibuni kiongozi wa Qatar (Amir) Sheikh Hamad bin Khalifa Al Thani, amesema kuwa anaona ni jambo linalofaa na la haraka kupeleka jeshi Syria, akidai kuwa hiyo itazuiya mauwaji yanayoendelea nchini humo. Sheikh Hamad ni k i o n g o z i wa k wa n z a katika viongozi wa nchi za Kiarabu kutamka hadharani akihimiza Syria kuvamiwa keshi ili kumuondoa madarakani Rais Bashar al-Assad kama alivyoondolewa Gadha. Sheikh Hamad bin Khalifa Al Thani katika mahojiano yake na CBS a l i t a m b a k u wa y e y e anapigania haki za watu na kwa hiyo humfanya kuwa mtu muhimu katika nchi za Kiarabu. Itakumbukwa kuwa Qatar ilikuwa nchi ya kwanza (pekee) kuungana na NATO kuipiga Libya na nchi pekee ya Kiarabu ambayo ilitumika kutoa mafunzo kwa waasi wa Libya. Katika hali ya kawaida ilitarajiwa kuwa baada ya kuona yaliyotokea Libya na jinsi watu wa Libya wanavyoteseka hivi sasa na zaidi baada ya ukweli kuanza kuchuka kwamba hapakuwa na maandamano ya amani Libya bali uasi. Na baada ya kushuhudia maangamizi, m a u wa j i n a u h a r i b u uliofanywa na majeshi ya NATO kule Libya, basi angalau nchi za Kirabu zingepata fundisho. Lakini la kushangaza baadhi yao ndio hao wanaungana tena na Marekani kuitaka maangamizi kama yale yaliyofanywa katika mi ya Sirte yafanywe tena

Syria inahujumiwa

Habari/Tangazo
wanawasaidia waasi. Anasema, ukitizama mambo yanavyokwenda Syria jambo moja linajitokeza waziwazi: kwamba, kadiri harakati za makundi ya kigaidi zinavyozidi, ndivyo wananchi wa Syria wanavyozidi kumuunga mkono Rais wao Bashar Assad. Kwa hiyo, kinachoendelea Syria, sio maandamano ya wananchi wasiomtaka Assad. Bali kama ni maandamano makubwa, basi ni maandamano ya kumuunga mkono Assad. Kwa upande wa wanaoitwa wapinzani, wanachofanya ni kushambulia na kuuwa raia na askari. Makundi haya ya kigaidi ambayo ndiyo huungwa mkono, kusaidiwa na kutetewa na Marekani n a U l a ya , ya m e k u wa yakishambulia vituo vya polisi, kambi za jeshi, wakilipua reli, mabomba ya mafuta na kuuwa watu wasio na hatia. Katika mji wa Homs, magaidi hawa wameuwa wanasayansi mashuhuri watano na kuchoma shule. Toka Machi 2011 shule 900 zimeshachomwa na magaidi hawa wanaotetewa na Marekani ndani ya Baraza la Umoja wa Mataifa. Wameuwa pia walimu 30 katika harakati za kuchoma shule. Hii yote ni katika kufanya nchi isitawalike na kuwachochea wananchi waje juu kutaka Rais Bashar Assad angoke. Katika ji la Damascus ndipo ambapo magaidi hawa wamefanya uharamia wa kutisha ambapo Desemba 23, 2011 walishambulia jengo la Idara ya Usalama (state security service) kwa gari lililojazwa mabomu. Katika shambulio hilo waliuliwa watu 44 na wengine 150 kujeruhiwa. Wakafanya shambulio jingine hapo Januari 6, 2012 katika mtaa wenye watu wengi na harakati nyingi ambapo shambulio la bomu liliuwa watu 26 na kujeruhi 60. Kufuatia mashambulizi hayo, yalifanyika maandamano makubwa ya kumuunga mkono Rais Assad na kuwalani wapinzani na magaidi. Maandamano hayo ya l i f a n y i k a k wa s i k u kadhaa mfululizo katika mi yote mikubwa ikiwemo Damascus, Aleppo, Homs, Hama, Daraa na Deir az Zor.
Inaendelea Uk. 7

Damascus. Ukiacha Libya, nchi za Kiarabu na hasa Morocco, Saudi Arabia, Kuwait na Qatar, zilitakiwa kuzingatia yaliyojiri Iraq. Kwamba kwanza, palitumika urongo wa kuwepo silaha za maangamizi. Pili, kwa urongo huo mamilioni ya watu wasio na hatia waliuliwa, miji na miundombinu yake ikiangamizwa. Kwa hatua hii ya Qatar kujipa ushenga wa NATO na Marekani kuingia Syria, je, ilifurahia sana yale yaliyowakuta Waarabu wenzake wa Fallujah, Kirkuk, Haditha na Baghdad? Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na kuchapishwa na taasisi mbalimbali za kimataifa ikiwemo ile ya Uingereza, British polling firm Opinion Research Business (ORB), wananchi wa Iraq waliouliwa kutokana na uvamizi wa Marekani ni takriban 1,220,580. Hawa ni katika wale waliouliwa na mabomu kutoka angani, waliopigwa risasi, waliofukiwa wa k i wa h a i n y u m b a zao zilipoangamizwa na wale waliovamiwa pale Haditha wakiwa wamelala wakaamshwa na kisha kupigwa risasi na kufa. Kabla ya hapo watoto wachanga/wadogo zaidi ya milioni moja wa Iraq walikufa (japo taasisi ya Umoja wa Mataifa inayohudumia watotoUnited Nations Children F u n d , i n a k i s i a k u wa waliokufa ni 500,000).

Lakusikitisha ni kuwa b a d a l a ya k u s i k i t i k a , alipohojiwa kuhusu maafa h a ya a l i ye wa h i k u wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Madeleine Albright, alibu kwa kifupi akisema, the price is worth it. A k i m a a n i s h a k u wa kuuliwa watoto hao milioni moja (na wale 1,220,580) ni halali. Kwamba mauwaji hayo si bei ghali sana maadhali Marekani imevuna ilichotaka Iraq. Kwa upande wa Libya inakisiwa kuwa NATO imeuwa zaidi ya watu 30,000. Imeangamiza mi na hivi sasa wananchi wa Libya hawana amani tena waliyokuwa nayo huko nyuma. Je, haya ndiyo Sheikh wa Qatar anayotaka yawakute Waarabu wenzake wa Syria? Quran huwa ina msemo wake, inauliza hamna akili? Hamtafakari? H a m u o n i ? Hamzingatii? Lakini kama hoja ni ubinadamu, kama hoja ni kutetea uhai wa watu wanaouliwa Syria, viongozi wa Qatar na Morocco wangejiuliza, mbona Marekani na nchi za Ulaya hazionekani kushughulishwa na mamia kwa maelfu ambao mpaka sasa wameshauliwa Bahrain na Yemen? Mara nyingi baadhi ya v i o n g o z i wa n c h i za Kiarabu na Afrika wamekuwa wakipenda kufanya wanayoagizwa na Washington ili wapate kupendwa na kupendeza

kwa wale waliokalia White House. Hii pengine ni kwa kuwaogopa kwa mabavu yao au kwa kutaka tu utukufu kutoka kwao. Kwa vyovyote itakavyokuwa Quran inasema: Wanasema: Tukirejea Madina mwenye utukufu zaidi bila shaka atamfukuza aliye mnyonge. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye utukufu-Yeye, n a M t u m e wa k e , n a waumini. Lakini wanaki hawajui. Enyi mlioamini! Yasikusahaulisheni mali yenu, wala watoto wenu, kumkumbuka Mwenyezi Mungu. Na wenye kufanya hayo, ndio waliopata hasara. (63:8-9) Nini kinaendelea Syria? What Is Really Going On In Syria? Anajiuliza mwandishi Boris Dolgov baada ya kutembelea Syria mara mbili akiwa katika ujumbe wa kimataifa uliokwenda Syria Agosti 2011 na Januari 2012. B a a d a ya z i a r a h i yo , Boris anasema, kwa kadiri alivyochunguza na kuona yanayoendelea S y r i a i k i l i n g a n i s h wa na yanayoandikwa na kutangazwa katika vyombo vya habari, pamoja na yale yanayodaiwa na Marekani na NATO; ni wazi kuwa kuna agenda ya siri ambayo haisemwi. Kwamba Marekani na wenzake wa Ulaya imedhamiria kumuondoa madarakani Rais Bashar El-Assad na kwa sababu hiyo wanaongopa, wanachochea mgogoro na

Makala/
Inatoka Uk. 6

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

AN-NUUR

During our stay in Syria we could move around the city freely and speak with people as we liked but we did not see any single antigovernmental rally. Anasema mmoja wa wajumbe wa kimataifa waliotembelea Syria akimaanisha kuwa katika muda wote waliokaa Syria, hawakupata kushuhudia maandamano ya kupinga serikali. Anasema, katika baadhi ya wakati Rais Assad alihutubia waandamanaji na kwamba ule mwamko na ushangiliaji wa kumuunga mkono, ulionekana wazi kuwa unatoka katika nyoyo za wananchi na wala sio jambo la kupangwa. Allah, Syria, Bashar! (Allah, Syria va Bashar bas!). Ni katika vibwagizo mashuhuri katika maandamano hayo. Kama ni kuzungumzia upinzani, Syria kuna vyama kadhaa vya upinzani vikilenga kukingoa madarakani chama cha Baath. Maarufu katika vyama hivyo ni Syrian Social Nationalist Party. Pamoja na upinzani wake, lakini mmoja wa viongozi wa chama hicho, Iliah Saman anasema kuwa mgogoro katika Syria unachochewa na kukuzwa na Marekani, Uingereza, Ufaransa na Israel ambazo zinataka kumngoa Rais Assad na kisha kuigawa nchi hiyo katika mapande matano.

Syria inahujumiwa

RAIS wa Syria, Dkt. Bashar Al Assaad Chama kingine cha upinzani ni Secular Democratic Social Movement kinachoongozwa na Nabil Feysal, ambaye ni mpinzani mkubwa wa siasa na mfumo wa K i i s l a m u . Pa m o j a n a hicho kuna Popular Will Party kinachoongozwa na Profesa Qadri Jamil. Hata hivyo, pamoja na ukweli kwamba awali v ya m a h i v i v i l i k u wa vikiendesha harakati za kumpinga Rais Assad, lakini kutokana na

kuibuka kwa makundi haya ya kigaidi ya n a yo u n g wa m k o n o n a M a r e k a n i a m b a yo yamefanya mauwaji na uharibifu mkubwa; hata hawa wapinzani sasa wanamuunga mkono Rais Assad. Ukweli zaidi juu ya hali ya Syria, unasimuliwa katika kile kisa cha mwandishi wa habari Giles Jacquier wa kituo cha televisheni cha Ufaransa, France-2 TV, kilichotokea Januari 11, 2012. Kabla hajafariki Giles Jacquier alisimulia kuwa baada ya kuzunguka sana Damascus bila ya kuona maandamano ya kumpinga Assad, alishauriwa aende mji wa Homs. Akiwa na wenzake kutoka Uholanzi na Uswiss, nako kila alipofanya uchunguzi na kuongea na watu, aliona kuwa wote wanamuunga mkono Rais Assad. Na hakupata kuona watu wakiandamana kumpinga japo wachache. Akiwa katika harakati za kuwatafuta wapinzani, ndipo alikutwa na maafa baada ya kujeruhiwa vibaya magadi waliposhambulia mahali alipokuwa ambapo watu wanane waliuliwa. Commenting the tragic death of the French reporter Mother Agnes Mariam, who is the prior of the St James Catholic Cathedral in Damascus, said that there is

no protesting opposition in Syria but only bandits who are killing people. Hiyo ni kauli ya mtumishi wa Kanisa, Mama Agnes Mariam akisema kuwa, kilichopo Syria ni majambazi wanaouwa watu wasio na hatia, wala sio wapinzani wanaofanya maandamano kama inavyodaiwa. Jambo la kusikitisha ni kuwa upo ushahidi kama ulivyonukuliwa na wachunguzi wa kimataifa waliotembelea Syria unaoonyesha kuwa kituo cha televisheni cha Qatar, Aljazeera, kimekuwa kikighushi picha katika komputa na kisha kusingizia kuwa ni maandamano ya wapinzani. Qatari channel Al Jazeera, in order to broadcast a report on mass anti-governmental rallies in Syria made a fake footage with the help of computer editing using dozens of atmosphere players and decoration of Syrian streets, a kind of Hollywood village. (Boris Dolgov) H a y a n d i y o yanayofanywa na Aljazeera katika kuihujumu Syria. Ni kwa kutumia taarifa hizi za kughushi, Sheikh wa Qatar anataka Marekani n a N AT O w a i n g i e D a m a s c u s wa k a f a n ye kile walichowazawadia wananchi wa Libya! Hapana shaka ni kwa kujua ukweli huu, China na Urusi zimekataa kusikia Azimio lolote la kumtia kitanzi Rais Hafez Assad.

Kamati ya Uongozi wa Sherehe za Maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume wetu Mohammad (s.a.w) iliyo chini ya Mwenyekiti Bi Aisha Sururu ( Mwanaharakati wa Kiislam) Upande wa Wanawake, Wanawatangazia wanawake wote, wa Kiislamu, pia kamati inachukua Fursa hii kukualika Rasmi kuhudhuria Sherehe za Maulid ya Kuzaliwa Mtume wetu Muhamad (S.a.W), sherehe hizo zitafanyika Mwezi Kumi na Moja (11) Mfungo Sita 1433h Sawa na 05/02/2012 siku ya Jumapili katika Ukumbi wa Diamond Jubilee kuanzia Saa 3:00 Asubuhi hadi saa 10 Alasir Inshaalah. Tangazo hili limetolewa na Mwanaharakati Maarufu na Mpenda Maendeleo ya Waislamu na Jamii nzima kwa Ujumla Shime wanawake Wakiislam Mnakaribishwa nyote Inshaalah. Atakae pata taarifa hizi amwaarifu na mwenzie. Mwenyekiti Bi Aisha Sururu.

Maulid!! Maulid!!

Iran kusimamisha uuzaji mafuta Ulaya


Inatoka Uk. 15
huo wa kununua mafuta ya Iran hautoanza kutekelezwa kabla ya mwezi Julai mwaka huu. Nchi za Ulaya ni watumiaji wa takribani asilimia 18 ya mafuta gha ya Iran. Wasiwasi juu ya athari zitakazopatikana kutokana na ususiaji wa mafuta ya Iran, umeenea hadi katika kikao cha Davos cha Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF). Asa Mkuu Mtendaji wa shirika la mafuta la TOTAL la Ufaransa, Christophe de Margerie, alisema katika siku ya kwanza ya kikao hicho kwamba vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya havitokuwa na athari kwa Iran. Bw. Margerie alinukuliwa akisema kwamba kuweka v i k wa z o v ya k u n u n u a mafuta ya Iran, ni sawa na kusema kwamba wameamua kuacha kununua mafuta kwa Iran lakini mafuta ya nchi hiyo yatapata wanunuzi wengine. Kwa miaka kadhaa s a s a M a t a i f a m a k u b wa ya Magharibi yanajaribu kutumia sera za vikwazo, vitisho na kutoa shinikizo kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA, ili utoe ripoti za kubuni na kuzusha tuhuma zisizo na mamtiki lengo likiwa ni kuizuia Iran isiendelee na shughuli zake za amani za nyuklia na urutubishaji wa uranium kwa ajili ya kuzalisha nishati inayohitajika katika viwanda na matanuri ya nyuklia. Kuibebesha Iran matakwa ya s i yo ya k i m a n t i k i n i ukiukaji wa wazi wa haki za nchi nyengine katika suala la nishati ya nyuklia pamoja na vipengele vya mkataba wa kuzuia uundaji na uenezaji wa silaha za nyuklia NPT. Hali hii inakuwa wakati ambapo nchi zinazoeneza propaganda ya sumu dhidi ya Iran na kupitisha maazimio

ya k u i w e k e a v i k wa z o , wenyewe ndio vinara wa ukiukaji mkubwa wa NPT. Inaelezwa kwamba kwa miaka kadhaa sasa, nchi hizo zimekuwa zikizalisha na kulundika si chini ya mabomu na vichwa atomiki elfu 27 vinavyohatarisha amani ya dunia, na wala haziko tayari kutekeleza makubaliano ya kutokomeza silaha hizo angamizi. Ni kwa msaada wa baadhi ya nchi hizo hizo; utawala wa Kizayuni pia umeweza kumiliki silaha za nyuklia na kuwa mmiliki pekee wa silaha hizo hatari katika Mashariki ya Kati, ambazo ni tishio kwa amani ya eneo hilo na ulimwengu kwa ujumla. Hata hivyo pamoja na hayo, hakuna hatua yoyote inayochukuliwa na jamii ya kimataifa kukabiliana na vitisho na mikataba ya kilaghai ya dola nyingine zinazomiliki silaha za nyuklia.

8 AN-NUUR

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

Maandamano makubwa kesho


Inatoka Uk. 4 under dubious pretexts Iraq and Afghanistan at the costs of thousands of lives must also be kept in mind. Anatoa nasaha mwandishi Leonid Savin katika makala yake ya hivi karibuni War Against Iran is Underway: The Conundrum of Iran. Akihitimisha makala yake hiyo Leonid anasem: Ages ago, the White House sanctioned subversive activities against various parts of the the Iranian administration, including the Guardians of the Islamic Revolution. Former CIA operative Phillip Giraldi writes that the US and Israeli agents have been active in Iran for quite some time and are responsible for the epidemic of the Stuxnet virus and the series of assassinations of Iranian nuclear physicists. The groups within Iran which aligned themselves with the countrys foes are the Peoples Mujahedin of Iran, the Baluchistan-based separatist Jundallah whose leader Abdolmajid Rigi was arrested in February, 2010 by the Iranian security forces and admied to cooperating with the CIA, and the Kurdish Free Life of Kurdistan. (Tazama pia, Philip Giraldi. Washingtons Secret Wars. 08 December 2011. Ufupi anachoainisha mwandishi ni kuwa wakati Marekani ikifanya kiranja wa kupambana na ugaidi duniani, imekuwa ikiifanyia vitendo vya Na Omar Msangi
JUMAMOSI ya kesho Februari 4, 2012 imeitwa ni Day of Action: No Sanctions, No War Against I r a n ! Ya a n i s i k u y a kupinga vikwazo na vita dhidi ya Iran. Maandamano hayo yaliyoandaliwa na taasisi zinazopinga vita za Mar e k an i ya n a wa t a k a watu wote kutoka mataifa na nchi zote kuungana katika kupaza sauti, kulani na kupinga hatua zinazochukuliwa na Marekani pamoja na Jumuiya ya Ulaya kuiwekea vikwazo Iran huku nchi hizo zikiandaa mikakati ya kuipiga nchi hiyo keshi. The National Day of Action on Saturday, February 4, demand: No War on Iran, No

Makala

Ayatollah Sayyed Ruhollah Musavi Khomeini,

Kwa nini Iran inaandamwa?


Sanctions, No Intervention, No Assassinations. I n a s e m a s e h e m u ya taarifa ya waandaaji wa maandamano hayo ikitoa wito kwamba huu ni wakati wa walimwengu kusimama kupinga uharamia inaofanyiwa Iran. Ikifafanua, taarifa hiyo inasema kuwa Marekani inaongoza harakati za kutaka kuiondoa serikali iliyo madarakani Iran hivi sasa (regime change) na kwamba Jumuiya ya Ulaya n a yo i n a p i g i a c h a p u o mpango huo kutokana na hatua yake ya kuiwekea Iran vikwazo katika mafuta na benki kuu yake. Kwamba hatua hii ya Umoja wa Ulaya na zile hatua nyingine zinachochukuliwa na Marekani zitadhoosha na kuharibu uchumi wa Iran na kuwatia katika taabu wananchi wasio na hatia. Hayo yakiendelea katika uwanja wa uchumi, waandaaji wa maandamano wanasema kuwa kumekuwa na vitendo vya kiharamia ambapo wanasayansi mashuhuri wamekuwa wa k i u l i wa n a h u j u m a za aina mbalimbali zote zikilenga kuidhoosha Iran. Na hayo yote yakifanyika, meli za kivita za Marekani zikiwemo zile za kubeba ndege za kivita, hazichezei mbali na eneo la bahari jirani na Iran.

kigaidi Iran. Imekuwa ikifanya hivyo kwa kuvifadhili na kuviwezesha vikundi vya kigaidi kama Jundallah. A n a s e m a p i a k u wa makachero wa Marekani n a I s r a e l wa m e k u wa wakihusika moja kwa moja na vitendo vya mauwaji dhidi ya wanasayansi

wa Iran pamoja na kupandikiza virusi vya stuxnet. Stuxnet virus, ni virusi ambavyo vinashambulia program za komputa na inasemekana kuwa kuna aina iliandaliwa rasmi na makachero na kuelekezwa kwa Iran katika jitihada za kuvuruga utaalamu wake

wa nyukilia. Kwa mujibu wa taarifa zilizochapishwa katika Wikipedia, the free encyclopedia, wataalamu wa Iran na wale mabingwa wa kimataifa wa utaalamu wa usalama wa komputa wanaamini kuwa Stuxnet ni hujuma iliyoelekezwa Iran ili kuvuruga program zake za nyukilia. Inaelezwa kuwa toka kirusi hicho kivamie Iran, uwezo wa kinu cha Natanz, umeporomoka kwa zaidi ya asilimia 30. Zaidi ya hapo p a m e k u wa p a k i t o k e a ajali (serious nuclear accident) hali iliyopelekea kujiuzulu mkuu wa taasisi inayoshughulika na nguvu za atomiki (Irans Atomic E n e rg y O rg a n i z a t i o n ) , Gholam Reza Aghazadeh. Akizungumzia suala hilo hapo Novemba 29, 2010, Rais Mahmoud Ahmadinejad alisema k u w a m a a d u i wamefanikiwa kupenyeza virusi katika maabara ya nyukilia katika kinu cha Natanz na kusababisha uharibifu mkubwa. Siku hiyo hiyo Rais Mahmoud Ahmadinejad alipohutubia taifa na kutoa taarifa hiyo kwa mara ya kwanza, wanasayansi wawili wa nyukilia (nuclear scientists) walishambuliwa jirani na Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti, Tehran, mmoja akauliwa. Hao ni Majid Shahriari (quantum physicist) ambaye aliuliwa kwa shambulio la bomu katika gari. Wa p i l i a l i k u w a

Fereydoon Abbasi, afisa wa ngazi za juu katika Wizara ya Ulinzi ambaye aleruhiwa vibaya. Januari 2010, Profesa mwingine wa nyukilia katika Chuo Kikuu cha Tehran aliuliwa katika shambulio la bomu katika gari yake. Na juzi hapa 11 Januari, 2012, Mkurugenzi wa kinu cha kurutubisha nyukilia cha Natanz, Mostafa Ahmadi Roshan, akauliwa. Wachunguzi wa mambo ya ukachero na siasa za kimataifa wanasema kuwa kufanyika kwa mauwaji haya ni kielelezo kuwa waliounda kirusi cha Stuxnet wanajua kuwa mashambulizi hayo ya virusi pekee hayatoshi kwani Iran ina wataalamu wa kuweza kupambana navyo na baadae kuweka programu za kungamua na kupambana na virusi kabla havaleta madhara. Muhimu hapa kama inavyoelezwa na mwandishi Leonid Savin ni kuwa wanaoishambulia Iran kwa virusi na kuuwa wanasayansi wake ni majasusi wa Marekani na Israel. Ni katika kulitambua hilo, waandaaji wa maandamano ya kesho wanahimiza walimwengu kujitokeza kupinga uharamia huu kwa sababu si tu kwamba Iran inaonewa, lakini uovu huu ukiachwa kuendelea, kesho itafanyiwa tena nchi nyingine.
nyukilia (nuclear warheads) 7,982 na mengine 2,700 ya k i wa k a t i k a h i f a d h i (contingency stockpile). Hii ikiwa na maana kuwa Marekani ina silaha kama hizo kiasi cha 10,600. Na inakisiwa kuwa kutoka mwaka 1951 hadi sasa Marekani imeshatengeneza jumla ya 67,500 nuclear warheads. Kwa upande mwingine ni kuwa Marekani inayoishutumu Iran kwa mpango wa nyukilia hutumia zaidi ya tirilioni 7 kwa mwaka katika program zake za silaha za nyukilia. Lakini Marekani hiyo hiyo ndio mfadhili mkubwa wa Israel ambapo mwaka 2011 iliipa dola bilioni 3 kwa ajili ya silaha. Israel inakisiwa kuwa na mamia

V i s i n g i z i o vinavyotumiwa na Marekani kuihujumu Iran ni pamoja na madai ya kuwa na mpango wa kutengeneza silaha za nyukilia. Hata hivyo kama wanavyosema wachunguzi mbalimbali wa mambo, huu ni unaki mkubwa kwa sababu wote wanoiandama Iran, kwa maana ya Marekani, Uingereza, Ufaransa na kijana wao Israel, ndio mabwana wakubwa wa kutengeneza na kutumia silaha za nyukilia. Kwamba angalau mpaka sasa Iran haijakuwa na silaha za nyukilia wakati Marekani imeshatengeneza na kutumia mabomu ya

Inaendelea Uk. 9

Makala
Inatoka Uk. 8

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

AN-NUUR

ya silaha za nyukilia. Unafiki zaidi unaonyeshwa na ukweli kuwa wakati Iran inaruhusu wakaguzi wa kimataifa k u k a g u a v i n u v ya k e , Israel imekataa kutambua mamlaka ya Nuclear NonProliferation Treaty na imekataa pia kukaguliwa na wakaguzi wa kimataifa, International Atomic Energy Agency (IAEA). Hili hutasikia likisemwa na Marekani wala Umoja wa Ulaya na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Ikijiona ndiyo yenye haki na hati miliki ya kuwa na silaha za nyukilia Mashariki ya Kati, mwaka 1981 Israel ilishambulia na kuharibu v i n u v ya nyukilia vya Iraq. Israel iliyapa mashambulizi hayo jina la Operation Babylon. Mwaka 2007 ikaendesha tena Operation Orchard ambapo ilishambulia maeneo iliyoyatuhumu kuwa na vinu vya nyukilia katika Syria. Taarifa ya ANSWER, moja ya taasisi zinazoshiriki kuandaa maandamano inasema kuwa inachofanya Marekani hi v i s a sa n i kurejea historia yake ya ubabe na hujuma dhidi ya Iran. Kwamba miaka

Kwa nini Iran inaandamwa?

sitini iliyopita Marekani na Uingereza ziliiwekea Iran vikwazo vya mafuta kufuatia hatua ya serikali ya Iran kudhibiti visima

vya mafuta ili mapato yawanufaishe wananchi wa Iran. Vikwazo hivyo vilipelekea kudhoofika k wa u c h u m i wa n c h i hiyo na wakati huo huo

CIA wakaingia kati na kufanikisha mapinduzi. Mohammad Mossadegh akangolewa madarakani a k a we k wa d i k i t e t a n a kibaraka Mohammad Rez

Shh Pahlavi. Hiyo ilikuwa mwaka 1953. Kufuatia mapinduzi hayo, miaka takriban 25 iliyofuatia ilikuwa ya taabu kwa watu wa Iran ambapo vikosi maalum na vya siri vya Shah vya mateso na mauwaji viliuwa zaidi ya watu laki moja (100,000). Hayo yakifanyika kwa wananchi wa Iran, Marekani ilikuwa ikifaidi mafuta ikipora inavyotaka. Vi k wa z o k a m a h i v i iliwahi kuwekewa pia Iraq ambapo inakisiwa kwamba watu zaidi ya milioni moja walikufa kwa njaa na kukosa matibabu. Hiyo ikawa kama maandalizi ya uvamizi wa 2003 ambao nao uliuwa watu takriban milioni mbili. Ni kutokana na rekodi hiyo, ANSWER wanasema kuwa ni wajibu kwa walimwengu kusimama kuihami Iran na kuwahami wananchi wa Iran na hiyo itakuwa ni kutimiza wajibu wao wa kibinadamu. Baada ya utangulizi huo niseme kuwa mwaka huu Iran inaadhimisha miaka 33 ya Mapinduzi ya Kiislamu yaliyomngoa madarakani dikiteta Mohammad Rez Shh Pahlavi, maarufu Shah. Miaka 33 si haba. Ni kipindi unachoweza kupima na Inaendelea Uk. 10

Amana Bank Limited, benki ya kwanza Tanzania inayofuata misingi ya Sharia kikamilifu imezindua huduma mpya ya akaunti ya akiba ya Hja ambayo ni ya kwanza katika soko la huduma za kibenki. A k a u n t i h i i inayojulikana kama Amana Bank Hajj Account ina lengo la kuwawezesha Waislamu kujiwekea akiba kwa ajili ya safari ya Hja inayofanyika kila mwaka katika mji mtukufu wa Makka. Hja ni nguzo ya tano ya U i s l a m u a m b a y o inawataka waumini wote wa dini ya Kiislamu wenye uwezo kwenda Hijja angalau mara moja katika maisha yao. Amana Bank Hajj Account itawasaidia waumini wa dini ya Kiislamu kujiwekea

AMANA BANK YAZINDUA AKAUNTI YA AKIBA YA HIJA


akiba kidogo kidogo na huku benki ikiwapatia gawio la faida la halali na ambalo litaiwezesha akiba kuongezeka hadi kukia kiwango kinachohitajika kwa ajili ya safari. Akizungumzia akaunti hii, Mkurugenzi Mtendaji wa Amana Bank Dr. Idris Rashidi alisema Akaunti ya a k i b a ya H i j j a n i akaunti maalum ambayo itawawezesha wateja wetu na waumini wote wa dini ya Kiislamu kujiwekea akiba kwa ajili ya Hijja ambayo ni moja ya nguzo za Uislamu. Wateja wetu sasa wanaweza kupanga safari zao za Hja kwa utulivu na kwa uhakika kwani Amana Bank imedhamiria kuwawezesha kutimiza ndoto hiyo. Amana Bank i t a e n d e l e a k u wa l e t e a wa t e j a we t u h u d u m a mbalimbali pamoja na kuboresha akaunti hii ya Hja kwa manufaa ya wateja wetu. Amana Bank imekuja na njia nzuri za kuwawezesha wa u m i n i wa d i n i ya Kiislamu kwenda kuhi. Kwa kuanzia mteja anapaswa kufahamu lini anataka kwenda kuhi na gharama za safari. Baada ya hapo mteja ataamua ni kiasi gani aweke akiba kila mwezi ili aweze kukia lengo. Moja ya nidhamu za akaunti hii ya Hijja ni kwamba mteja ataweza kutoa fedha mara moja tu kwa mwaka. Na iwapo akiba imekia kiwango cha kwenda hijja, basi benki itamuarifu mteja. Amana Bank imezindua huduma hii ili kuwapa tulizo, urahisi na pia kutoa nafasi kwa waumini wa K i i s l a m u k we n d a h i j j a m wa k a wo wo t e watakaoamua kwenda. Kwa mwaka 2012, ibada ya Hja inatarajiwa k u f a n y i k a m we z i wa kumi. Kwa mteja anaetaka kufanya safari mwaka huu anatakiwa kuanza kuweka akiba kuanzia mwezi Februari mpaka mwezi oktoba ambapo ni sawa na miezi 9. Kwa mfano kama gharama zitakuwa ni Dola za Marekani 4000 mteja atatakiwa kuweka akiba ya dola za kimarekani 445 kila mwezi. Lakini kama mteja anataka k we n d a H i j j a m wa k a 2013, basi kiasi cha akiba anachotakiwa kuweka kila mwezi kitapungua. Kuna faida mbalimbali ambazo mteja wa akaunti hii atapatiwa na benki ikiwemo mpango mzuri wa kuweka akiba pamoja na gawio zuri la faida la

TAARIFA KWA UMMA

halali. Wateja pia watapewa taarifa ya mwenendo wa akaunti kila mwaka, semina za ibada ya Hja kutoka kwa wanazuoni mahiri nchini, taarifa ya akaunti ya kielectroniki kila mwezi, urahisi wa kuhamisha fedha kutoka akaunti moja kwenda nyingine ndani ya benki na pia wateja hawatakuwa na gharama zozote za kila mwezi. Benki pia inawawezesha wateja kufungua akaunti kwa ajili ndugu, jamaa au maraki ambao mteja atapenda kuwafungulia akaunti. Kwa kupata taarifa zaidi wateja wanaweza kutembelea matawi ya benki ili kufahamu kuhusu akaunti zingine za benki. Ukiwa na Amana Bank, uko katika njia sahihi. Imetolewa 2/2/2012

10 AN-NUUR
Inatoka Uk. 9

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

kujua iwapo mapinduzi hayo yamefanikiwa au l a , p a mo ja n a k u z i j u a changamoto zinazoikabili nchi hiyo. Hata hivyo, labda kabla ya kuangalia mafanikio ya mapinduzi ya Kiislamu Iran, ingekuwa vyema kutizama hii hali inayoendelea hivi sasa ambapo Iran inaandamwa na kuonekana kama jinamizi la dunia. Ukiacha yaliyotangulia huko nyuma, kama nilivyotangulia kueleza, hivi sasa kisingizio kikubwa ni unaodaiwa mpango wa Tehran kutengeneza silaha za nyukilia. Majuzi hapa nchi za Marekani na Umoja ya Ulaya zimeiwekea Iran vikwazo vya mafuta ikiwa ni juhudi za nchi hizo kuzidi kuitenga nchi hiyo kimataifa na kuiwekea shinikizo iachane na mpango wake wa nyukilia. Kukabiliana na shutuma hizo, Iran imekuwa ikidai kuwa mpango wake si wa kutengeneza silaha, bali kwa matumizi ya kijamii na kibinaadamu kama vile kupata nishati ya umeme. Lakini haya ni madai ya kinafiki. Hebu tujaalie kuwa Iran ina mpango wa kutengeneza silaha za nyukilia, tatizo liko wapi? Marekani iliyo kinara wa kuishutumu Iran sio tu inazo silaha za nyukilia, lakini ishazitumia na inaendelea kuzitumia na kuleta maafa makubwa sehemu mbalimbali duniani. Rejea maafa ya Lile Boy na Fat Man, mabomu ya atomiki yaliyodondoshwa Japan. Lile Boy lilidondoshwa Agosti 6, 19945 katika mji wa Hiroshima na kufuatiwa na Fat Man lililodondoshwa Nagasaki Agosti 9 mwaka huo huo wa 1945. Rejea pia uvamizi wa Marekani pale Iraq na Afghanistan ambapo nchi hiyo inashutumiwa kutumia mabomu yenye vichwa vya nyukilia (depleted uranium). Hizo nchi za Umoja wa Ulaya na zenyewe zina silaha hizo na zinaendelea kuziboresha. Israel iliyomshirikia mkuu wa Marekani na Ulaya katika kuichagiza Iran, nayo ina silaha za nyukilia na inatumia mabomu yake yenye mionzi ya nyukilia kuwapiga Wapalestina. Sasa kosa la Iran lipo wapi? Cha ajabu kipi Iran nayo kuwa na nyukilia? Kama kwa kuwa na silaha za nyukilia kutaifanya Iran kujihakikishia usalama wake kutokana na njama za kizayuni na Marekani, shida ipo wapi? Kwani si

Kwa nini Iran inaandamwa?

MAKALA
ya Ulaya kwa Iran, inathibitisha tu jinsi nchi hizo zinavyotumiwa na Wayahudi kupepea agenda za Tel Aviv. Itakumbukwa kwamba hivi karibuni mmoja wa mawaziri wa Israel (minister of strategic aairs) Moshe Yaalon alimkoromea Obama kwa kutokuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran. Hata hivyo hiki kimekuwa kitendawili tata kwa Obama kwa sababu wakati anajua kwamba Mayahudi wanaweza kumkwamisha asipate urais kwa mara ya pili hapo Novemba, lakini pia akiingiza tena Marekani vitani baada ya Iraq na Afghanistan, inaweza kuwa ni kujitia kitanzi kitaifa na kimataifa. Yaweza kuwa sababu ya wananchi wa Marekani kutompa kura. Katika jumla ya changamoto kubwa inayoikabili serikali ya Iran, ni kuwepo makundi pinzani ambayo hivi sasa yanatumia silaha kufanya mauwaji ya raia na zaidi wanajeshi na viongozi wa serikali. Moja ya makundi hayo ni Jundullah likiwa na maana ya Jeshi la Allah. Kwa jina jingine hawa Jundullah hujiita, Peoples Resistance Movement of Iran (PRMI). Kundi hili ambalo limefikia mahali pa kupachikwa jina la ugaidi, kwamba ni moja ya makundi ya kigaidi limekuwa likifanya mauwaji hasa hasa likilenga viongozi wa serikali na wanajeshi. Katika matukio mabaya kabisa ya kigaidi kufanywa na Jundallah ni pamoja na lile walipouwa watu 22 na kuteka nyara wengine 7 katika mkoa wa Tasouki. Tukio hilo likafuatiwa na lile la 2007, ambapo Jundullah waliteka nyara watu 30 kule Sistan na Balouchestan na kuwapeleka Pakistan. Mwaka huo huo Jundallah walivamia na kushambulia basi lililokuwa na wanajeshi wa kikosi maalum cha ulinzi-Islamic Revolution Guards Corps (IRGC) ambapo waliuwa askari 11. Katika tukio jingine la Oktoba 2009 Jundallah walishambulia tena Sistan na Balouchestan na kuuwa watu 42 wakiwemo makamanda wa jeshi akiwemo Luteni Kamanda wa IRGC (Ground Force) Brigadier General Nourali Shoushtari. Kwa mujibu wa taarifa zilizochapishwa katika jarida la Foreign Policy mwaka 2007/8, kundi hili la kigaidi la Jundallah na mengine ya kigaidi Inaendelea Uk. 13

haki ya kila nchi kujilinda? Kwa hiyo mimi naona wala Iran isingehangaika kujikosha kwamba haina mpango wa kutengeneza silaha za nyukilia. Kama kuwa na silaha za nyukila ni tatizo, basi wenye nazo waanze kwanza kuangamiza za kwao na kufunga maabara na viwanda vyao vya kutengeneza silaha hizo. Kwa nini Iran? Kama nilivyotangulia kusema nchi zote zenye kuikalia kooni Iran, zenyewe tayari zina silaha hizo. Swali ni je, kwa nini hazitaki Iran nayo kuwa na nyukilia? Mbona hata India na Pakistan wanazo? Sehemu ya jibu wanalo Wayahudi. Lakini kabla ya kusikiliza Wayahudi wanasemaje, jambo moja unaweza kulisema kwa uhakika. Ukifikia mahali pa kufanywa kibaraka, kikaragosi na mwanasesere wa kuchezeshwa kama mdoli kutoka Washington kama inavyofanywa Pakistan hivi leo, hata ukiwa na silaha za nyukilia haitaishughulisha Marekani na Israel. Tatizo ni pale utakapokuwa huru na kukataa kupokea amri na maelekezo ya White House. H u j u m a i n a yo f a n y i wa Iran hivi leo likiwemo hili la sakata za nyukilia, ni moja ya gharama za kuwa huru, kuwa na msimamo

na kukataa kuwa kibaraka wa mazayuni na mtandao wao. Tukirejea katika lile swali ambalo tumesema kuwa jawabu linapatikana Tel Aviv, viongozi wa serikali na wakuu wa keshi Israel wanasema kuwa ukiwa na Iran yenye nyukilia, utakuwa umemaliza jeuri ya Israel katika Mashariki ya Kati. Iran ikishakuwa na silaha za nyulia, itakuwa m w i s h o wa M a ya h u d i kuwachezea na kuwaonea Hamas na Hizbullah. Ufupi wa maneno, Nuclear Iran makes hard to defeat Hamas and Hizbullah. Hivi ndivyo anavyosema mtaalamu m m o j a wa k i j e s h i wa Israel. Kwa mujibu wa taarifa iliyopatikana hivi karibuni na kuchapishwa na baadhi ya vyombo vya habari hapo Januari 24, 2012 Meja Generali Amir Eshel anasema kuwa kama Iran itaachwa iwe na silaha za nyukilia, basi itakuwa mwisho wa kuwabamiza Wapalestina na Walebanoni (wa Hizbullah). Akiongea na waandishi wa habari jini Yerusalem hapo Januari 17, 2012 Maj. Gen. Eshel, ambaye ni mkuu wa mipango katika jeshi la Israel-Israel Occupation Force (IOF), anasema ni lazima hatua za haraka zichukuliwe kuhakikisha

kwamba Iran haipati utaalamu wa kutengeneza silaha za nyukilia la sivyo mambo yatakuwa magumu kwa Israel. Anachosema asa huyu wa jeshi la Israel ni kuwa Iran kuwa na silaha za nyukilia sio tatizo la dunia, bali Israel ambayo inataka kuwa na kauli na ubabe wa kufanya itakavyo Mashariki ya Kati. Na inafanya hivyo hivi sasa kutokana na uwezo wa kijeshi ilio nao. Sasa akitokea mbabe mwingine wa kijeshi, itakuwa ni mchezo wa mafahali wawili k u we k e a n a k a n u n i z a namna ya kuishi. Hivi sasa Israel inafanya inavyotaka Gaza. Ikiamua kupora ardhi inapora, ikiamua kupiga makombora na kuuwa watu inauwa, hakuna anayeizuiya. Sasa wasiwasi wake ni kuwa Iran ikishakuwa na nguvu za keshi, haitaitizama tu Israel ikifanya uharamia huo. Itasimama upande wa wadhulumiwa Gaza na Lebanon kuwaambia Mayahudi, shikeni adabu, la sivyo zinapigwa. Suala hili la Iran kuwa na silaha za nyukilia ni mwiba kooni kwa Israel na hivi sasa inahaha kuona kuwa hatua madhubuti zinachukuliwa. Kuhangaika kote anakohangaika Barack Obama na mikakati hii ya vikwazo vya Jumuiya

MAKALA

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

AN-NUUR

11

Uhuru wa Tanganyika haukuletwa na Nyerere peke yake


Na Mohamed Said (19 Januari, 2012)

NAMPA chamgamoto Mzee Halimoja aeleze ni akina nani waliingiza TA N U P e r a m i h o n a Masasi. Mtu mmoja asingeweza kupigana vita ile peke yake. Nyerere hakuwa peke yake si Dar es Salaam wala huko vini alikosema Mzee Halimoja. Ta b u y a w a n a o t a k a kumtukuza Nyerere peke yake kama Mzee Halimoja iko hapa. Wao hawawataki kabisa kusikia historia ya waliomtangulia Nyerere katika siasa au aliokuwanao pamoja bega kwa bega. Hamu yao kubwa ni kuwa historia ya uhuru wa Tanganyika ianze na kumalizikia kwa Nyerere. Iwe itakavyokuwa mimi sina ugomvi na wao kila mtu ana uhuru wa mawazo yake hatulazimishani katika hilo. Jambo la kushangaza ni kuwa anapokuja mtu na maelezo mengine ya historia ya kudai uhuru hawa wenzetu wanaumwa sana. Ninachosema siku zote ni kuwa uhuru wa Tanganyika umepiganiwa kwa kiasi kikubwa sana na Waislamu na jambo la kusikitisha hao wa l i o u p i g a n i a u h u r u huo bega kwa bega na Nyerere hawatambuliwi na hawajapewa heshima na hadhi wanayostahili. Haya ndiyo mambo mawili ambayo nimekuwa nikikisisitiza siku zote. Sasa tuje suala la mihadhara. Historia ya mihadhara ni ndefu na inahitaji makala maalum ili kuitendea haki. Wachungaji walikuwa wakipita katika nyumba za Waislamu kuwahubiria wakumkubali Yesu ili waokoke. Hili limekuwa likifanyika kwa zaidi ya miaka mia sasa. Kuna kisa maarufu cha Sheikh Idrissa bin Saad na padre kutoka kanisa la Misheni Kota aliyekuwa aka nyumbani kwa Sheikh Idrissa kumuhubiria Neno la Bwana. Inasemekana Sheikh Idrissa alikuwa akimkaribisha huyu mchungaji na akiagiza chai iletwe kwa jili ya mgeni wake na sheikh

akikaa kimya kumsikiliza hadi amalize mahubiri yake kisha wanaagana. Wanafunzi wa sheikh walikuwa wakikereka sana na hali ile lakini Sheikh Idrissa alikuwa akiwaeleza kuwa dini inahitaji ustahamilivu. Kwa muda mrefu sana mahubiri ya dini yalikuwa yakifanywa na Wakristo peke yao na kwa kweli mihadhara hiyo haikuwa na athari yoyote kwenye Uislamu. Matatizo yalianza pale Wa i s l a m u k u a n z i a miaka ya mwanzo 1990 nao walipoanza kutoka misikitini na kuutangaza Uislamu hadharani wakitumia Biblia. Baada ya mihadhara hii huko Sumbawanga Wakristo 2000 kutoka Kanisa Katoliki walisilimishwa na Kagera Padri Yusufu Makaka wa Kanisa la Kilutheri Kagera yeye na wafuasi wake 3000 walisilimu na kuingia Uislamu. Hofu kuu iliingia katika kanisa na hawakuwa na pa kwenda isipokuwa kuomba m s a a d a wa s e r i a k a l i ilihami kanisa lisije likasambaratika. Kadinali Otunga wa Kanisa K a t o l i k i K e n ya ye ye alitoa ilani kwa kusema kuwa kanisa lipo katika hali ya kusambaratishwa endapo hatua za haraka hazitachukuliwa kulihami dhidi ya wahubiri wa Kiislam. Kufuatia matokeo haya mwaka 1989 Christian Council of Tanzania (CCT) iliionya serikali kuhusu wahubiri wa Kiislam. Mwaka 1993 Tanzania Episcopal Conference (TEC) ikatoa taarifa yenye vitisho kuwa endapo Waislamu hawataacha m a h u b i r i ya o d a m u itamwagika. Mapadri walaribu kupambana na wahubiri wa Kiislamu juu ya ulingo lakini walikuwa wanashindwa vibaya sana. Hilo ndilo lilowafanya wakimbilie kutoa vitisho na kutaka msaada wa s e r i k a l i k u wa d h i b i t i Waislamu. Mtokeo ya juhudi hizi za kanisa ni mauaji ya Mwembechai mwaka 1998. Hii ndiyo h a l i ya m a m b o k wa mukhtasari. Mzee Halimoja kaeleza

MWALIMU Julius Kambarage Nyerere (wa pili kutoka kulia) h a b a r i y a Wa a r a b u itakapopatikana nafasi ni nchi huru watu wana n a u t u m wa . H a k u n a tutazungumza kwa marefu uhuru wa kumpachika yeyote wampendae jina wa kupinga hilo kuwa na mapana yake. Mwisho ningependa wanaloona linamwenea Waarabu walishiriki katika b i a s h a r a ya u t u m wa k u m we k e a Wa i s l a m u ama liwe Baba wa Taifa, kama vile walivyoshiriki waliopata misukosuko Baba wa Kanisa nk. Mtu Wazungu na Waafrika. wakati wa utawala wa huwezi kuwa na ugomvi Hata hivyo ningependa N y e r e r e . N a f a n y a na mambo kama haya. kumzindua kuwa mbona h i v i k wa k u wa ye ye Leo kuna maprofesa wala kawataja Waarabu peke a n a d a i W a i s l a m u hawajauona mlango wa yao katika biashara hii? h a wa k u t a a b i s h wa n a d a r a s a n a m a p r o f e s a Wa i n g e r e z a . U k w e l i hawajaenda mahakamani Kwani yeye hajui kuwa n i k u wa Wa i n g e r e z a kulikuwa na biashara ya n a W a t a n g a n y i k a kuweka pingamizi wala wenye shahada zao utumwa kupitia bahari wa l i e n d e s h a s i a s a z a ya Atlantic na meli moja hawajaonesha kukereka. ya k u b e b a wa t u m wa upole tofauti na Kenya. Ukipenda unaweza hata ilikuwa ikiitwa Jesus? Matatizo kwa Waislamu kuwa Field Marshal na Mzee Halimoja kaeleza n a U i s l a m u ya l i k u j a hakuna atakaekuuliza wapi Waislamu kukosa chuo baada ya uhuru mwaka ulipigana vita na katika kikuu hadi walipopewa 1961. Hawa wafuatao jeshi lipi. Halikadhalika na Benjamin Mkapa. Kisa n d i y o w a l i o f u n g w a m t u a n a u h u r u w a cha East African Muslim na Nyerere: Abdillah Welfare Society (EAMWS) Schneider Plantan, Sheikh kuamini historia yoyote n a k u p i g w a k w a k e Abdulkarim Abdulwahid, aitakayo. Anaweza kudai marufuku na Nyerere ni M a a l i m Po p o S a l e h , kuwa TANU ilianzishwa katika mambo maarufu Suleiman Masudi Mnonji, na Nyerere mwaka 1954 na kwa Waislamu. Mzee Ali Migeyo, Mui Sheikh akaja mwingine akasema H a l i m o j a a n a t o n e s h a Hassan bin Amir, Shari hilo haliwezekani na kama k i d o n d a . N y e r e r e Hussein Badawiy, Shari kuna mzalendo anaeweza aliihujumu jumuia hiyo M w i n y i b a b a , S h a r i f f kujinasibu na kuanzishwa ya Waislamu kwa kuwa A d n a n , B i l a l i R e h a n i kwa TANU basi marehemu ilikuwa ikijenga Chuo Waikela, Sheikh Jumanne A b d u l w a h i d S y k e s Kikuu. Mkapa akitumia B i a s , M a a l i m M a t a r, anastahili zaidi kwani gazeti la Nationalist, Abdalah Mwamba, Sheikh baba yake ndiye aliyeasisi Martin Kiama akitumia Hashim Haji Abdallah, A f r i c a n A s s o c i a t i o n Radio Tanzania, Geofrey Sheikh Nurdin Hussein, mwaka 1929 na kati ya 1930 Sawaya wa Jeshi la Polisi Salum Abdallah Popo (babu hadi 1933 akajenga osi ya walikuwa washiriki wakuu yake mwandishi), Sheikh African Association New wa katika kampeni ile dhidi M z e e A l i C o m o r i a m , Street, nyumba ambayo ya EAMWS mwaka 1968 Sheikh Al Amin Maah, TANU ilikuja kuzaliwa kama lilivyokuwa Kanisa Rajab Kiguu cha Mbuzi, ndani yake mwaka 1954. K a t o l i k i wa k i m t u m i a Ahmed Rashad Ali na Siwezi kumjibu Mzee Nyerere. Hii ni mada ya wengine wengi. Halimoja kila alosema hapa kujitegemea Insha Allah Juu ya hayo yote Tanzania tulipoka panatosha.

12 AN-NUUR
Ndugu Mhariri,

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

Barua/Shairi/Makala
chenye dhamana na walimu wa k u u h a wa k u wa v u a haraka madaraka yao na kisha kuishauri serikali k u wa s a i d i a wa n a f u n z i waathirika. Tusipoziba ufa tutajenga ukuta. Walimu wakuu wa Mgulani Taifa, na Unubini ni watovu wa nidhamu na wamevunja viapo vyao walivyoapa siku ya semina ya usimamizi wa mtihani huo. Waadhibiwe. Mpenda maendeleo wa Temeke Ali Hamza Konde S.L.P 46343 Dar es Salaam. wasomi, wanaweza kuwa na haki ya kunikosoa mimi na Waislamu wengine kiasi kile? Mimi namwambia Mzee Mtwangi kuwa kama walikuwa na lengo la kupata elimu zaidi kwa kutaka kukupa changamoto wakua wewe ni mzee mwenye historia kubwa ya nchi hii na hivyo utawapa mambo mengi zaidi, basi walikuwa wana haki. Lakini ikiwa walikuwa hawana lengo hilo na kisha wanakubishia tu bila kuwa na vigezo vya msingi, basi nadhani hawakupaswa kufanya hivyo na hata kama wangekuwa wanataka kukukosoa, basi wangetumia busara zaidi kuliko kukusuta. Ukisoma barua ya Tatu, hakuna hata pongezi kwa Mzee wetu Mtwangi kwa kazi anayoifanya kama vile hakuna la maana analofanya. Hata hivyo ninaamini alikuwa ana lengo zuri tu la kutoa mtazamo wake huku akiwakumbusha waandishi wa m a k a l a m b a l i m b a l i kufanya utafiti, ambazo kama ni hasira basi hizo ndio hupandisha zaidi kwani unaweza kuambiwa mkoa una jumla ya zaidi ya wakuu wa shule za sekondari 100 halafu kati ya hao, Waislamu hawazidi hata 10. Kwa takwimu hizo kama kweli una uchungu na Uislamu kwa nini jazba isipande? Kwa kuwa unaona ni dhulma ya wazi. Mimi ninawaambia Mashekhe msikate tamaa na chukulieni hizo ni changamoto tu zenye kupita. Jueni vijana wa Kiislamu tunazidi kuzinduka kupitia makala zenu na mawaidha na Inshaallah ipo siku katika Tanzania hii Waislamu nasi tutakuwa juu na hakuna atakaethubutu kutuchezea. Ninawaombea Mola awape umri mrefu zaidi na awazidishie elimu ili nasi tuzidi kunufaika kutoka kwenu. Wabillah Tawq, Hussein A. Mpangule Mhitimu UDOM

Namshukuru Mungu kuuona mwaka 2012. Pili nawapa pole wanafunzi wote waliofutiwa matokeo ya mtihani wa darasa la saba shule ya Mgulani Taifa na Unubini. Kwa mujibu wa katiba ya nchi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, elimu ni haki ya msingi kwa Mtanzania. Na yeyote asababishaye Mtanzania kutopata elimu, huyo ni sawa na muuaji. Ninasikitika kuona wa n a f u n z i wa l i o h i t i m u Ndugu mhariri, NAANDIKA barua hii ndefu nikirejea barua ilioandikwa kwako Mhariri iliyobeba kichwa cha habari kilichosema, Mwelekeo wa kujitia hasira kama wa Mtwangi hautusaidii sana. Hii ilikuwa katika toleo namba 996 la Ijumaa Januari 27, 2012. Binafsi nilishtushwa sana na barua hiyo kwa sababu ni wiki chache tu toka nisome moja ya makala ya Mzee Khalid Mtwangi na kisha mara baada ya kuisoma nikavuta kumbukumbu za makala zake za nyuma na kisha nikamuangalia kwenye picha yake ambayo huwa inawekwa pamoja na makala zake na ndipo nikaanza kutafakari kwamba Mzee huyu inaonesha wazi kuwa umri umekwenda na nilitafakari hivyo kwa kuwa mimi sijawahi kumuona zaidi tu ya kuangalia picha yake ambayo inaonesha kuwa ni mtu mwenye miaka mingi. Nikawa natafakari zaidi kuwa sasa akiondoka Mzee huyu hazina kubwa ya elimu anayotupa sisi vana wa Kiislamu katika gazeti hili ya kuweza kujitambua ili kuweza kuupinga mfumokristo tutaipata wapi tena? Sasa nilipoiona barua ile ilinifanya niache kuendelea kusoma vichwa vya habari na kuanza kuisoma barua h i yo . L a k i n i k a b l a ya kuanza kuisoma nikawa na vitu ninavyotafakari kichwani na kubwa zaidi ni kuhusiana na makala alioitoa Mzee Mtwangi katika gazeti la tarehe 20 Januari 2012, kichwa cha habari kikisema,Fundi wa kukosea asiyefanya lolote. Nikawa nahisi kuwa huwenda wale wasomi aliowaelezea katika makala hiyo wameamua kujibu mapigo, sasa kwa kuwa Mzee Mtwangi alisema walikuwa ni ndugu zake kabla hata ya kusoma nikakimbilia chini kuangalia aliyeandika na kukuta kuwa ni Tatu Zubeda Mtwangi (Dr) hapo utata uliongezeka nikadhani huwenda alikuwa mmoja wa wanawake waliokuwemo kwenye RAV 4 alioilezea Mzee Mtwangi.

elimu ya msingi shule ya Mgulani, Taifa na Unubini na nyinginezo kufutiwa matokeo yao huku walimu wakuu wa shule hizo hakiwa hawajashughulikiwa. Walimu hawa ni wauwaji wa taaluma za watoto wetu na wanastahili kuadhibiwa kwa kuvuliwa nyadhifa zao na kupewa barua za onyo. Naupongeza mkoa wa Pwani kwa kuwashughulikia m a p e m a wa l i m u w o t e

Walimu wakuu hawa Temeke hawafai


waliovurunda katika kusimamia mtihani huo. Nafahamu ka kuwa Baraza la Mitihani ni chombo makini, madhubuti na chenye dhamana ya kutenda h a k i k wa wa t a h i n i wa . Haingii akilini kuona Kamati ya Shule ya Msingi Mgulani ikitapatapa, Wizara ya Elimu na Utamaduni kuomba suluhu kwa shule yao. Hoja hapa ni kuwavua uongozi walimu wakuu

wahusika na pili serikali kuangalia kama kuna namna ya kuwasaidia wanafunzi waliosababishiwa ukatili huu. Kamati za shule zinapaswa kuelewa kwanza kiini cha tatizo, siyo kukimbilia kwenye vyombo vya habari kana kwamba Baraza la Mitihani na Wizara ya Elimu ni dhaifu hivyo katika maamuzi halali. Mwisho naomba chombo

Mzee Mtwangi kapatia


Baadaye nafsi yangu ikajirudi na kumdhania v i z u r i k u wa h u w e n d a hakuwa miongoni mwao na wala hana undugu na Mzee Mtwangi ila tu ni miongoni mwa Waislamu walioguswa na makala ya Mzee Mtwangi na kuamua kutoa maoni yake na mimi wala sidhani kuwa ni jambo baya akiwa kama Muislamu tena msomi ana uhuru wa kufanya hivyo. Baadaye nilirudi mwanzo na kuanza kuisoma barua ile na kuilewa vizuri. Kwa upande wangu jambo hilo halikuwa geni kwani mara nyingi hata tulipokuwa Chuoni wa l i p o k u wa wa n a k u j a mashekhe mbalimbali na wakati mwingine kugusia mfumokristo au tukiwa tunajadiliana sisi wenyewe, wa l i k u we p o b a a d h i ya wanafunzi wenye mtazamo kama wa Tatu Mtwangi na utawasikia wakisema tu mara mashekhe wanatupandisha jazba au Waislamu hatuna mipango n.k. Katika kuchangia hili naunga mkono asilimia zote kuwa mashekhe huwa wakati mwingine wanatupandisha jazba. Siyo siri na katika makala za Mzee Mtwangi mimi kabla saanza kuuelewa mfumokristo vizuri, wakati mwingine nilikuwa nataka hata kulia. Na hilo wala sioni ubaya kwangu zaidi ya kunipa chachu kubwa ya kuja kuutumikia vyema Uislamu ili tuweze kuondokana na dhulma ya Wakristo dhidi yetu nchini Tanzania. Ukisoma vizuri makala z a n a m n a h i yo n y i n g i utaona kuwa lengo kubwa la mwandishi ni kuwapa ufahamu Waislamu juu ya dhulma wanayoipata na kuwafanya nao waweze kujitambua. Na hilo kwa namna moja au nyingine wamefanikiwa iliobaki ni sisi walengwa kuyafanyia kazi na si kubaki kuwalaumu. Binafsi makala hizo zimenisaidia sana kwani nikiwa kama kijana niliyekulia Mbeya na kusoma shule ya msingi hadi sekondari katika mkoa huo uliojaa Wakristo na makanisa kibao, makala za namna hiyo ilikuwa kuzipata ni adimu. Kwa mara ya kwanza kuliona gazeti la AN-NUR kama nitakuwa sijakosea ilikuwa Tanga mwaka 2006 nilipofaulu kujiunga kidato cha tano Galanos High School. Na hapo ndipo nilipoanza kusoma gazeti hilo kwa kuwa lilikuwa likipatikana kwa urahisi. Nikafahamu Wa i s l a m u Ta n z a n i a tunavyodhulumiwa, nikamjua Nyerere alivyokuwa adui mkubwa wa Uislamu. Lakini kabla ya hapo nilikuwa nikimpa heshima zote za ubaba wa Taifa na nakumbuka siku ya msiba wake, baba aliniambia kuwa mama yangu alikuwa akilia kwa jinsi alivyompenda akiamini Taifa limeondokewa na mtu muhimu sana. Lakini namshukuru Mola kupitia Mashekhe mbalimbali kwenye redio, naye amemuelewa kuwa kumbe alikuwa adui mkubwa wa Uislamu na sasa hana hamu naye. Amebaki baba yangu ambaye yeye si mfuatiliaji wa kusikiliza redio wala kusoma magazeti ya Kiislamu na yeye ni miongoni mwa wale wasomi wanaoona madhila wa n a yo p a t a Wa i s l a m u ni kutokana na kuwa walibweteka wenyewe na Nyerere wanamsingizia. Nikirejea katika makala ya Mzee Mtwangi iliyotolewa maoni na Tatu Mtwangi, mimi binafsi niliielewa vizuri sana, na mtu mwingine huenda alikuwa anajiuliza iweje atupe stori yake na ndugu zake? Niliamini lengo kubwa lilikuwa ni kutupa somo vana wasomi wa sasa ambao tumekuwa fundi wa kukosoa na kuwalaumu Mashekhe bila kufanya lolote. Na kusema kweli binafsi naona ujumbe alifikisha

Hata Tatu Zubeda hajakosea pia


na hata mimi alinigusa na hasa pale alipowauliza wanandugu hao kuwa ikiwa ni wanachama wa chama cha wanataaluma wa Kiislamu Tanzania (TAMPRO), ni lini walihudhuria kikao cha chombo hicho muhimu kinachojikita kwa ari zote kutafuta maendeleo ya Waislamu? Swali hilo lilikuwa kama ananifungua mimi kuwa natakiwa kujiunga na chama hicho kwa kuwa mwaka jana nimebahatika kupata shahada ya Ujasiriamali katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambapo naamini nikiitumia vyema elimu hii naweza kuwa msaada mkubwa kwa Waislamu tunaosumbuliwa na ugonjwa wa umasikini ambao tiba yake ni Ujasiria mali. Katika vijana hao aliowaelezea Mzee Mtwangi tupo baadhi yetu ambao kazi yetu ni kuswali tu msikitini na wala hatujishughulishi na kitu chochote hapo msikitini zaidi ya kutoa sadaka ya sh.100, 200 au 300 na zenyewe tunazitolea macho huku tukiwalaumu viongozi wa msikiti kuwa hawana mipango yoyote. Na ikitokea msikitini kuna ugomvi ndio kama unakuwa unawafukuza vijana hawa huku wengine wakisema kuwa ndio maana mi sipendi kuja kuswali katika msikiti huu. Badala ya wao kuingilia kati katika kutatua mzozo na kwa kuwa wao ni wasomi basi watakuwa na nafasi k u b wa ya k u s i k i l i z wa , na kwa hilo Mashekhe nawapongeza kwani wengi wao huwaheshimu sana Waislamu waliosoma. Ndugu mhariri, Mzee Mtwangi alimalizia makala yake kwa swali alilouliza hivi, Kweli watu kama hawa, vana kama hawa wanaojiita

Makala
Inatoka Uk. 10
yanayoleta vurugu Iran, limekuwa likiungwa mkono na kusaidiwa na Marekani. K i o n g o z i m m o j a wa kundi hilo Abdolhamid Rigi alipata kukiri wakati akiongea na waandishi wa habari kwamba Jundullah hufadhiliwa na Marekani. Akasema kuwa pamoja na kupewa mamia ya maelfu ya dola, lakini pia ni Marekani inayowaelekeza nini cha kufanya katika kuihujumu Iran ikiwa ni pamoja na kuuwa maosa wa vyombo vya usalama. The United States created and supported Jundallah and we received orders from them They (US officials) told us whom to shoot and whom not to. All orders came from them. They told us that they would provide us with everything we need like money and equipment. Alisema Abdolhamid Rigi kama alivyonukuliwa na vyombo vua habari Agosti 2009 akimaanisha kuwa Jundullah iliasisiwa na Marekani, inafadhiliwa na Marekani na ni Marekani inayotoa maelekezo hujuma gani ifanyike ndani ya Iran. Inaeleza ripoti moja kwa mshangao kwamba i n a k u wa j e s e r i k a l i ya M a r e k a n i k u wa f a d h i l i wa t u a m b a o ye n ye we inajua na ishasema kwamba wanahusika na mauwaji ya viongozi wa serikali ya Iran, wanawake pamoja na watoto. Operation Ajax Utaratibu huu wa kusaidia magaidi kuvuruga na kudhoosha serikali ya Iran, haukuanza leo. Kama walivyosema ANSWER, Marekani imekuwa ikifanya uharamia huu kwa muda mrefu ambapo inaonyesha kuwa kwaka 1953, CIA walianzisha Operation Ajax, iliyopelekea kupinduliwa Rais aliyechaguliwa kidemokrasia Muhammad Mosaddeq. Baada ya mapinduzi hayo CIA ikamweka madarakani dikiteta Shah Mohammad Reza Pahlavi aliyeongoza kwa mkono wa chuma akitumia askari katili wa s i r i m a a r u f u , S AVA K , ambao walikuwa wakipewa mafunzo na CIA pamoja na Mossad. Ukatili wa askari hawa unafananishwa na ule wa kile kikosi cha Manazi, Nazi Gestapo wakati wa Vita Kuu ya Pili (World War II). Inaelezwa pia kwamba ilikuwa ni CIA waliokuwa wakimpa Shah na makachero wake watesaji orodha ya watu

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

Kwa nini Iran inaandamwa?

AN-NUUR 13

Shah Mohammad Reza Pahlavi waliotakiwa kuteswa au kuuliwa. Hawa ni wale walioonekana kuhatarisha masilahi ya Marekani kwa maana ya kupinga utawala wa Shah. Ilipoingia serikali ya K i i s l a m u b a a d a ya mapinduzi yaliyoongozwa n a Ay a t o l l a h S a y y e d Ruhollah Musavi Khomeini, Marekani ilimgeukia Saddam Hussein na kumpa mpango wa kuidhoofisha Iran. Yakajengwa mazingira yaliyoibua vita kati ya nchi hizo mbili iliyodumu kwa miaka 8. Katika vita hiyo, Iraq ilipata usaidizi kutoka Marekani ikiwa ni pamoja na wa kutumia silaha za kemikali. Hata hivyo kwa mujibu wa mwandishi George Crile, Marekani haikuwa imekusudia kuona Iraq inashinda vita na kuwa na nguvu zaidi ya Iran. Bali lengo lilikuwa kuzidhoofisha nchi zote mbili. We didnt want either side to have the advantage. We just wanted them to kick the shit out of each other. Anasema afisa mmoja wa CIA Ed Juchniewicz, (Associate Deputy Director for Operations) kama alivyonukuliwa na Crile. Na ndio maana unaona mara tu baada ya vita, Marekani iliigeukia Iraq ambapo katika hatua ya awali watu zaidi ya 1,500,000 wengi wao wakiwa watoto walikufa k u t o k a n a n a v i k wa z o ilivyowekewa nchi hiyo na baadae tena kuvamiwa na kupigwa mamilioni ya watu kuuliwa na mpaka sasa hali si shwari Baghdad. Katika kipindi cha George Walker Bush, Marekani ikaja na black operations dhidi ya Iran. Hii ilijumuisha propaganda, kusambaza habari za urongo na kuchochea migogoro ya kifedha. Lakini hiyo ikawa haitoshi. Ukaanzishwa mkakati wa kuwapa mafunzo na fedha makundi ya kigaidi ili kufanya fujo ndani ya Iran. Taarifa ya aliyekuwa Mkaguzi wa Umoja wa Mataifa (UN inspector) William Scott Ritter inaonyesha jinsi CIA walivyokuwa wakishirikiana na kundi la kigaidi la MEK (Mojahedine Khalq-e Iran) kulipua mabomu na kuuwa watu wasio na hatia. Ta a r i f a n y i n g i n e z i n a e l e z e a k wa u r e f u

jinsi ambavyo makundi ya kihalifu yalivyokuwa yakisaidiwa kuweka na kutekeleza mipango ya k u u wa m a k a c h e r o wa Idara ya Usalama ya Iran hii ikilenga kuleta machafuko na joto la kutaka kupindua serikali ya Dr. Mahmoud Ahmadinejad. Japo serikali ya Marekani imekuwa ikikanusha kuhusika na makundi hayo ya kigaidi, lakini taarifa za kikachero zinazochuliwa na vyombo vya habari zinathibitisha tuhuma hizo. Habari iliyoandikwa n a Wi l l i a m L o w t h e r (Washington DC) na Colin Freeman katika gazeti la The Telegraph (Februari 25, 2007) inawanukuu makachero k a d h a a wa k i t h i b i t i s h a kuwa Marekani imekuwa na mkakati wa kuidhoosha Iran kupitia vikundi vya kigaidi. Gazeti linamnukuu afisa mmoja mstaafu wa serikali ya Marekani Fred Burton, (former US state department counterterrorism agent) akisema kuwa mashambulizi na mauwaji yuanayofanyika Iran yanawiana na m p a n g o wa M a r e k a n i kutumia makundi ya waasi kuidhoosha serikali ya Tehran na kuingoa madarakani. Dick Cheney wakati huo akiwa makamu wa Rais aliwahi kusema kuwa itakuwa kosa kubwa sana kuruhusu Iran kuwa na nguvu za nyukilia. Swali ni je, kama Marekani ina nguvu za nyukilia, kwanini Iran nayo isiwe nazo kama ina utaalamu wa kuzipata. Nani kasema nyukilia kama utaalamu, ni haki ya Marekani na genge lake pekee? Awali Marekani ilikuwa ikiishutumu Iran kwamba inafadhili magaidi wa kimataifa. Kwa rekodi hii ya kufadhili na kuwapa maelekezo Jundullah wanaolipua Misikiti na kuuwa watu wakiswali, Marekani inapata wapi mdomo wa kuishutumu Iran? Nisema kwamba kama ni mafani kio, moja ya mafanikio makubwa ya Mapinduzi ya Kiislamu Iran, ni nchi kuwa na msimamo, kuwa huru na kukataa kuwa kibaraka wa kutumikia mabeberu. Yanayotokea hivi sasa ikiwa ni pamoja n a h i v i v i k wa z o v ya mafuta vilivyotangazwa na Umoja wa Ulaya, ni bei ya mafanikio haya. Vinginevyo, nyukilia sio tatizo. Mbona hata India na Pakistan zina nyukilia lakini halijawa tatizo la Washin gton wala Umoja wa Ulaya!

14 AN-NUUR

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

Tangazo

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO 2012/2013


Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:

KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L

SAME KILIMANJARO (BWENI TU) MWANZA (BWENI TU DAR ES SALAAM (BWENI TU)

1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu kwa gharama nafuu. 2. Masomo yanayofundishwa ni Islamic knowledge, michepuo (Combinations) YOTE ya SAYANSI, ARTS, BIASHARA na COMPYUTA. 3. Muombaji awe na Credit 3 au zaidi na angalau daraja D katika somo la Elimu ya Dini ya Kiislamu. Ikiwa hakufanya mtihani wa somo hili, basi awe tayari kusoma program maalum ya Maarifa ya Uislamu atakapokuwa kidato cha tano. 4. Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu ni tarehe 01/03/2012 5. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini. Arusha Msikiti wa sakina: 0754 96660 Kilimanjaro Moshi: Msikiti wa Riadha 0784 277755 Same: Kirinjiko Islamic Secondary School: 0784 296424 Juhudi studio/Restaurant-Same Mjini 0757013344 Tanga Uongofu Bookshop: 0784 982525 Mwanza Nyasaka Islamic Secondary School: 0784 232438 Osi ya IPC MWANZA-Mtaa wa Ruji mwisho: 0754889330 Musoma Shule ya Msingi Kamnyonge: 0754 067551 Kagera Bukoba: Katoro Islamic Secondary School: 0754 523322 Shinyanga Kahama Osi ya Annur -0753993930 DSalaam Ubungo Islamic High School: 0754 260241 Manzese Osi ya Gazeti la Annur-0713110148/0777777372 Temeke Osi ya Islamic Ed. Panel-Mkabala na msikiti wa Nurulyakin-0787119531 Pwani Ikwiriri Msikiti wa Taqwq:0787393199 Morogoro Osi ya EKP- Msikiti wa Ijumaa Boma Road. Morogoro mjini-0712689258 Dodoma Al-Hijra Nursery School: 0786 386767 Singida Msikiti wa Kati Osi ya Jawla 0786 123246 Manyara Babati: 0784406610/0784928039 Kigoma Msikiti wa Mwanga mjini Kigoma: 0753 355224/0717317322 Kibondo Migano General Service: 0754 738654 Tabora Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566 Nzega Lillahi Nursery School: 0754 576922 Lindi Wapemba Store: 0784 974041 Mtwara Amana Islamic Secondary School: 0784 596707/0785777370 Songea M.A. Kawanga mkabala na Msikiti wa Wilaya 0713 249264 Mbeya Msikiti wa Forest: 0713 200209 Rukwa Sumbawanga: Semzango Stationary-0786830119 Iringa Madrasatun-Najah: 0714677866 Pemba Wete: Wete Islamic Education Centre: 0777 432331 Unguja Madrasatul-Fallah: 0777 431580 6. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha. USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU! Wabillah Tawiq MKURUGENZI

Urusi yalaani Jumuia ya Kiarabu kuhusu Syria Iran kusimamisha uuzaji mafuta Ulaya
Inatoka Uk. 16 Sheria ya Kimataifa . Z a i d i B w. L a v r o v alizishutumu nchi za Magharibi kwa kujifanya vipofu kufumbia macho mashambulizi yanayofanywa na wapiganaji wa upinzani dhidi ya serikali ya Syria kwa jina la maandamano ya raia huku mataifa hayo yakiwauzia wapiganaji hao silaha . Wanakimbia swali la msingi: Kwanini tukae kimya wakati wafuasi wa upinzani wakifanya vitendo vyao dhidi ya m a j e n g o ya s e r i k a l i , hospitali, shule? Alizitaka nchi za Magharibi kutumia m a wa s i l i a n o y a o n a wapiganaji dhidi ya serikali ya Syria kuweka shinikizo la kuacha vurugu. Alisema kitendo c h a k u wa u z i a s i l a h a wapiganaji wanaopinga serikali ya Syria hakikubaliki na zaidi kinachochea mapigano zaidi. Serikali ya Rais Assad imekuwa i k i sh u t u mu hali ya machafuko nchini humo inayosababishwa na magaidi na makundi yenye silaha ambayo inadaiwa kuchochewa na mataifa ya kigeni katika kuondoa usalama na amani ya Taifa hilo. Inatoka Uk. 16
TEHRAN BUNGE la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu imetayarisha muswada wa sheria ambao utawezesha kupigwa marufuku uuzaji mafuta ya petroli katika nchi za Umoja wa Ulaya, ambazo hivi karibuni zimeiwekea Iran vikwazo vya mafuta. Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati katika Bunge la Iran Bw. Nasser Sudani, amesema muswada huo wa dharura una vipengele vinne. Baadhi ya wabunge wametaka Iran ipige marufuku uuzaji mafuta yake barani Ulaya kwa muda wa miaka mitano. Muswada huo pia unaishurutisha serikali kusitisha ununuzi wa bidhaa katika nchi ambazo zimeiwekea Iran vikwazo. Itakumbukwa kuwa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya walipasisha vikwazo kadhaa dhidi ya Iran katika kikao chao cha tarehe 23 mwezi huu huko mjini Brussels. Naye Mkuu wa Shirika la Taifa la Mafuta la Iran Bw. Ahmad Qalebani, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kusimamisha uuzaji wa mafuta yake kwa nchi za Ulaya. Bw. Ahmad Qalebani, amesema hayo wakati wa kufunguliwa maonyesho ya tatu ya mafuta, gesi, mafuta gha na kemikali za petrol mjini Ahwaz, uliopo katika mkoa wa Khuzstan, Kusini Magharibi mwa Iran. Alisema kuwa Iran hivi sasa iko tayari kuacha kuziuzia nchi za Ulaya mafuta yake na kuzingatia tu masoko yake ya mafuta ya hapo awali. Bw. Qalebani amesema viwanda vya usashaji mafuta vya sekta binafsi barani Ulaya vitaathirika vibaya kama Iran itasimamisha kuuza mafuta yake barani humo. Amesema, India ni mmoja wa wanunuzi wakubwa na wa kutumainiwa wa mafuta ya Iran na kwamba, Iran ina nafasi maalumu kutokana na hatua yake ya kuzidhamini nishati nchi nyingi kubwa duniani hivyo umuhimu

Habari/Matangazo

RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA

FEBRUARI 3 - 9, 2012

AN-NUUR

15

Msaada wa kulipiwa Ada

Kichwa cha habari hapo juu chahusika, Mimi ni Kijana yatima mwenye umri wa miaka 23. Nina mzazi mmoja (mama), baba alishafariki tangu mwaka 2002 kwa ugonjwa wa kifua kikuu. Awali nilikuwa nasaidiwa ada na Halmashauri ya Wilaya kipindi nasoma kidato cha kwanza hadi cha sita (2005-2011) huko Mkinga Tanga. Kwa sasa sina mfadhili kwani Halmashauri inawasaidia watoto wa sekondari tu. Noamba mchango wenu kwa ajili ya kulipa ada ya Chuo cha Utumishi wa Umma (Kigamboni) - Kozi ya Records Management ngazi ya Diploma (miaka miwili). Jumla ya ada kwa miaka miwili ni 2,030,000/= Mwaka mmoja ni Shs 1,015,000/=. Barua ya Afisa Mtendaji, barua za shuleni nilipokuwa nasoma na vyeti vya shule vimeambatanishwa pamoja na fomu ya kuchaguliwa kujiunga na chuo kwa uthibitisho. Chuo kinafunguliwa tarehe 23/01/2012. Unaweza kuchangia chochote ulichojaaliwa kwa kutumia Akaunti zake zifuatazo: 4098100205 NMB, 0152300507700 CRDB au 0716 658289 (tigo pesa), 0765 747429 (m-pesa) au moja kwa moja chuoni kupitia Akaunti Na 01J1019909100 CRDB. Naomba unifafahamishe pindi utakapotuma kwa njia yeyote ile. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu, Inshaalah Allah atawalipa kila la kheri. SElPH MUSSA NGODA Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0716 658 289/0763 747 429.

wa nchi ya Iran hauwezi kupuuzwa. Katika hatua nyingine, Shirika la Fedha la Kimataifa I M F, l i m e t o a r i p o t i inayolitahadharisha kundi la G20 kwamba, endapo Iran itasitisha kuuza mafuta yake kutokana na vikwazo vya Marekani na Umoja wa Ulaya, bei ya mafuta duniani inaweza kupanda kwa asilimia 20 hadi 30. Ripoti hiyo iliyotolewa Jumatano iiliyopita imeeleza k u wa k u o n g e z e k a k wa shinikizo la nchi za Magharibi dhidi ya Iran kwa sababu ya shughuli za nyuklia za Tehran, ni tishio kwa uchumi wa dunia unaolegalega. Katika ripoti yake IMF imesisitiza kuwa kuiwekea vikwazo vikubwa sekta ya mafuta ghafi ya Iran kuna maana ya kuondoa karibu mapipa milioni moja na nusu

ya mafuta ghafi kwa siku yanayosarishwa na kuuzwa na Tehran katika soko la dunia. H a l i h i y o i n a e l e z wa kwamba hakuna nchi nyengine inayozalisha mafuta yanayoweza kufidia pengo hilo katika hali ya sasa. Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya walipitisha vikwazo kadhaa dhidi ya Iran katika kikao chao cha Januari 23 mwezi huu huko mjini Brussels. Vikwazo hivyo vinajumuisha marufuku ya k u n u n u a m a f u t a ya Iran pamoja na bidhaa zinazotokana na mafuta. Hata hivyo, kutokana na kuchelea taathira ya vikwazo hivyo kwa uchumi wa nchi za Magharibi, Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa ususiaji

Inaendelea Uk. 7

Waandalizi Mihadhara wa Masjid Qiblatein wanawaalika Waislamu wote kuhudhuria Mihadhara ya kumbukumbu ya Mazazi ya Mtume Muhammad ( S.a.w) katika Misikiti Mbalimbali mkoani DSM chini ya uenyekiti wa Maalimu Sheikh Ali Basalleh, kila siku Baada ya Sala ya Magharib kwa Mpango ufuatao.
Ijumaa Jumapili Jumatatu Jumanne Jumatano 03/02/2012 05/02/2012 06/02/2012 07/02/2012 08/02/2012 Madina Ndugumbi Magomeni - Kondoa Islaah Kigogo kati Idrisa Idrisa Idrisa Jumamosi 04/02/2012 Wajibu na Msingi ya Daawa Mimi ni mwito wa Baba yangu Ibrahim na Bushra ya ndugu yangu Issa E unajuwa nafasi ya Mtume Muhammad s.a.w katika kukia lengo la kuumbwa kwako? Utamaduni wa Kiislam Kumfuata mtume Muhammad s.a.w ni kielelezo cha kumpenda yeye Hukmu ya Eda ya Kupotelewa na Mume Sheikh Abdala Mohamed Sheikh Muutamid Juma Sheikh Yusuf Salim Sheikh Mohamed Issa Sheikh Taha Suleiman Bane Sheikh Hashim Ahmad Rusaganya

Mihadhara

16 AN-NUUR

16

Urusi yalaani Jumuia ya Kiarabu kuhusu Syria


MOSCOW WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Urusi, Bw. Sergei Lavrov, amelaani uamuzi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu wa kusimamisha kazi za ujumbe wake nchini Syria, ikiwa ni siku chache baada ya Damascus kukubali

AN-NUUR
RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 3 - 9, 2012
kuuongezea muda ujumbe huo. B w. L a v r o v amesema kuwa wameshangazwa kuona kuwa licha ya baada ya Syria kuaki kuongeza muda wa kuwepo ujumbe huo wa wasimamizi wa Jumuiya ya Kiarabu, baadhi ya nchi hususan za eneo la Ghuba ya Uajemi, zimewaita nyumbani wajumbe wake waliokuweko katika ujumbe huo huko Syria.
www.amanabank.co.tz

USIKOSE KUSOMA AN-NUUR KILA IJUMAA

Yasema kamwe haiwezi kuruhusu kuingilia kijeshi


A m e s e m a , Moscow ingependa kufahamu ni kwa nini Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeamua kusimamisha wasimamizi wake nchini Syria. Balozi wa Urusi k a t i k a U m o j a wa Mataifa Bw. Vitaly Churkin, alielezea kusikitishwa kwake na rasimu ya nchi za Ulaya na Arab League iliyowasilishwa katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya Syria. B w. C h u r k i n ameituhumu Jumuia ya Kiarabu kwa kudhoofisha juhudi za kutafuta njia za kisiasa za kutatua mgogoro wa Syria. Wa k a t i h a y o yakiripotiwa, habari kutoka Syria zinaarifu kuwa magaidi wenye silaha wamewauwa w a n a j e s h i wasiopungua kumi wa Syria baada ya kulishambulia basi moja huko Kansafra, katika eneo la Jabal al Zuwiya Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo. Hayo ya m e r i p o t i wa n a Taasisi ya Kusimamia Haki za Binadamu ya Syria. Awa l i U r u s i ilitangaza wazi kwamba itazuia jaribio lolote kutoka nchi za Magharibi la kuitaka UN kuunga mkono matumizi ya kijeshi dhidi ya utawala wa Damascus, ambao unakabiliwa na shinikizo kubwa la kumaliza vurugu nchini humo. Kauli hiyo ya Urusi ilielezwa kwamba ni moja ya matamko mazito kuwahi kuyatoa waziwazi juu ya hatua inazochukua dhidi ya utawala wa Rais Bashar Assad. Ikiwa mmoja wa wanachama wa

AmanaBank Hajj Account


Kukusaidia kujiwekea akiba ili kutimiza Hija yako
AmanaBank Hajj Savings Account ni akaunti maalum kwa ajili ya kukuwezesha kutimiza ndoto yako ya kukamilisha nguzo ya tano ya Uislam ambayo ni kwenda kuhiji Makkah. Sharia. nyingine ndani ya benki.

Benki ya kwanza Tanzania inayofuata Sharia kikamilifu

Kwa maelezo zaidi tembelea matawi yetu sasa

kudumu wenye kura ya veto katika Baraza la Usalama la UN, Urusi inaweza kutumia kura hiyo ya t u r u f u k a t i k a mapendekezo yoyote ambayo yataidhinisha kuingilia kijeshi mzozo wa Syria. Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov amesema m a p e n d e k e z o ya nchi yake kwa Baraza la Usalama la U.N. juu ya vurugu zinazoendelea nchini Syria, yanayolenga kuweka wazi msimamo wake kwamba hakuna litakalohalalisha nchi hiyo kuingiliwa keshi. Kama baadhi wanakiria kutumia nguvu za kijeshi kwa gharama zozotetunaweza kuzuia kwa nguvu kutokea hilo, Lavrov aliueleza mkutano wa waandishi wa habari jini Moscow. Lakini hebu tuwaache wafanye juhudi zao kwa mujibu wa makubaliano yao. Hawataweza kukubaliwa na Baraza la usalama la UN. U r u s i i m e k u wa mshirika mkubwa wa Syria tangu kipindi cha Muungano wa nchi za Soviet , wakati Syria ikiwa chini ya uongozi wa marehemu Hafez Assad, baba wa Rais wa sasa wa Syria Bashar al Assad. Mpaka sasa kuna taarifa kwamba tayari taifa hilo limepeleka ulinzi dhidi ya utawala wa Syria a mb a p o i mea h idi kuzuia aina zozote za mashambuilizi ya kijeshi dhihi ya nchi hiyo, ambapo yenyewe inashikilia msimamo wake wa kupatikana

suluhu kwa njia ya mazungumzo. Hadi sasa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeshindwa kukubalinaa juuya kuiwekea vikwazo Syria au kuivamia kijeshi kuondoa utawala uliopo kutokana na upinzani mkubwa kutoka kwa Urusi na China, ambao ni wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na wamiliki wa kura ya veto. Mwezi Oktoba mwaka jana, nchi zote hizo zilipiga kura ya veto dhidi ya mapendekezo ya nchi za magharibi z i l i z o k u w a zikiongozwa na Marekani a m b a z o z i l i k u wa zikimshutumu Rais Assad na kutishia kuiwekea Syria vikwazo. Waziri huyo wa Mambo ya Nje pia alizungumzia ripoti zilizopo juu ya kuwepo meli ya keshi ya Urusi iliyopeleka silaha Syria ambayo inadaiwa kuwa hatua hiyo imevunja makubaliano ya Umoja wa Ulaya ya kusarisha silaha. Akizungumzia hilo alisema kuwa Urusi haioni kama kuna haja ya kuelezea hilo au kuomba radhi. Lavrov alisema Urusi imekuwa ikifanya jitihada zake huku ikiheshimu kikamilifu sheria za Kimataifa na kamwe haiwezi kuongozwa na vikwazo au shEria z i l i v yo we k wa n a mataifa mengine. Hatukuvunja makubaliano yeyote ya kimataifa wala ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, tunachofanya ni biashara na Syria katika bidhaa ambazo h a z i j a k a t a z wa n a Inaendelea Uk. 5

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

You might also like