Professional Documents
Culture Documents
Cheche za Fikra
J U ZU U 5 TO LE O 20
DI SE M BA 3 0 , 2 0 0 8
BENKI M ICHUNGUZWE—2
NIMROD MKONO
FISADI MZALENDO?
Benjamin. G. Mwalukasa
Wakati Benki M inaan-
zishwa na hasa tetesi
za kuanzishwa kwake
zilipoiva maswali
mengi yalianza kuji-
Kijarida Ulichoshika
tokeza kuhusu uhu- • Kinatoka kila Ju-
siano wa Bw. Mkono na mmoja wa manne
watuhumiwa wa wizi wa fedha za
EPA Bw. Jeetu Patel ambaye tayari • Ni cha bure kabisa!
amefikishwa mahakamani. Katika
taarifa ya gazeti la The Citizen la • Kisichofungamana na
Machi 6, 2008 Bw. Mkono alinuku- chama chochote au
liwa kumkana Bw. Patel kuwa ha- fisadi yeyote!
jawahi kuwa na urafiki naye na
madai kwamba Bw. Patel ame- • Kiko huru, kinathu-
pitisha karibu Bilioni 8 kwenye butu, na hakiogopi
Mdau wa Benki M—Mhe. Nimrod E. Mkono
akaunti ya mtu au hoja yoyote.
CCM). Bw. Mkono ni Mkono.
Na. Fred Katunzi Kwa mtu • Ni kijarida chako!
Wakili ambaye ni Ndege wenye mbawa
Mshiriki Mkuu wa Kam- aliyesoma • Haki zote za kuchapa
Mmojawapo wa watu am- zinazofanana huruka habari
bao wanahusiana na Benki puni ya Mkono & Com- na kunakili zimeru-
pany Advocates am- pamoja hiyo
M na ambaye ameonekana anaweza
husiwa!
kuwa ni msemaji wake ni bayo imekuwa ikifanya
kazi zake kwa muda kuhisi
Mhe. Nimrod Elirehema kuwa Bw.
Mkono (Musoma Vijijini – mrefu nchini.
Mkono alikuwa hamjui au hana
Ndani ya Toleo Hili
Mwaka 2008 ndio huo una- Sisi “Cheche za Fikra” tunawa- jazo kupitia anuani zenu pepe. Hoja ya Mwanakijiji 1
toweka taratibu na pamona takia wasomaji wetu, na Wa-
nao ni matukio mbalimbali ya tanzania wote heri ya mwaka Baada ya wiki mbili (siandiki Bank M na Mkono—2 2
furaha na ya uchungu. mpya ambao utakuwa umejaa makala yoyote wiki ya kwanza
fanaka tele. ya mwaka) nina salamu za Hoja ya Nguvu 3
Unaondoka ukiwa umeacha mwaka mpya ambazo nitazitoa
historia katika Tanzania na se- Tunafanya mambo mawili kwenye gazeti mojawapo Maoni ya Da’ Jessica 3
hemu mbalimbali duniani lakini tunapoukaribisha mwaka kama makala kama nilivyo-
pia bado unamalizika kwa mpya. Wanachama wetu fanya mwaka uliopita. Zita- Maoni ya Mtandao 4
mambo yale yale ya zamani; mtapata barua ya taarifa ya kuwa ni salamu za kukumbuka
Vita Mashariki ya kati. mwaka mzima siku chache zi- kama zile za mwaka unaoisha! Picha na Katuni 4
PAGE 2 CHECHE ZA FIKRA
HOJA YA NGUVU
TUTARAJIE NINI 2009
utawala wa sheria. Katika nchi ya kide- kudhibiti mauaji hayo.
Na. Benjamin Mwalukasa mokrasia ambayo tunajaribu kuijenga,
sheria ni lazima ifuatwe hata kama ni Tunafahamu siku hizi chache zilizopita
Tunapouangalia mwaka huu mpya tu- kwa machozi. Hiki ndicho kinachoitwa kampeni maalum imeanzishwa ikihusisha
nayo kila sababu ya kuamini kuwa yali- uimla wa sheria (the dictatorship of the watu wa Usalama wa Taifa kwa namna ya
yoko mbele yetu ni mema zaidi kuliko law). Watu lazima waheshimu sheria pekee. Tusubiri matokeo yake mapema
tuliyoyaacha nyuma yetu. Tunaamini siyo kama kwa hiari bali kwa lazima. Na mwaka mpya.
mwaka huu ujao utatulea neema na hili lazima lianze juu.
amani zaidi. Jingine tunalotarajia ni kuwa mazingira ya
Pili ni lazima tukomeshe mauaji yasiyo ya kuelekea uchaguzi wa 2010 yataboreshwa
Hata hivyo kama Taifa ni muhimu ku- lazima ambayo yanafanywa nje ya she- mwaka huu ikiwemo mabadiliko makubwa
weka matatarjio yetu katika mambo am- ria. Mauaji ya “vibaka” ambapo watu ya Katiba yetu ili kuifanya iende na wakati
bayo tuna nguvu na uwezo wa ku- wanaamini wao ndio washitaki, masha- na pia iwe kweli ni Katiba inayoakisi mata-
yatimiza. hidi, majaji na nyonganyonga lazima manio na maono ya wananchi wa Taifa
yakomeshwe. Watu wajifunze kukimbilia hili. Ndipo tutakuwa tayari kuingia 2010
Binafsi naamini kuna mambo kadhaa ulinzi wa sheria hata kama inakwenda mwaka wa uchaguzi!
ambayo tukiyatarajia na kuyafanyia kazi pole pole!
basi yatatimia. Yatatimia si kama matukio Matarajio haya ni lazima tuyafanyie kazi
ya nasibu bali kama mambo yaliyo- Pamoja na hilo mauaji ya ndugu zetu kuyatimiza. Tunaahidi sisi katika kijarida
fikiriwa, kupangwa, na kutekelezwa Albino ni lazima yakomeshwe. Ipo haja hiki ukipendacho tutafanya sehemu yetu,
kama kwa ufundi wa tabibu mpasuaji. ya kuandaa maandamano makubwa ya na wewe msomaji ukikisambaza hata kwa
mshikamano na ya kuitaka serikali kuchapa nakala moja tu, utakuwa un-
La kwanza ni kurudisha na kuutukuza kuelekeza nguvu na ujuzi wake katika afanya sehemu yako!
http://www.mwanakijiji.com