You are on page 1of 15

HABARI

HabariZA
za
NISHATI
nishati&MADINI
&madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Toleo
No.119
51
Toleo No.

Limesambazwa
kwa Taasisi
naTaasisi
Idarana
zote
MEM
Limesambazwa
kwa
Idara
zote MEM Tarehe - 23-29 Januari , 2015Mei 12 - 18, 2016

e
g
n
u
b
a
W
Megawati 100

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO -Uk2

Jotoardhi kuzalisha

Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA

Somahabari Uk.2

ZIWA NGOZI MKOANI MBEYA- SEHEMU


YENYE VIASHIRIA VYA JOTO ARDHI

Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO,


Mhandisi Felchesmi
Mramba

GGM yakubali kutoa Magwangala

Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo

Naibu Waziri wa Nishati na


Madini, anayeshughulikia
Madini Stephen Masele

Naibu Waziri wa Nishati na


Madini anayeshughulikia
Nishati, Charles Kitwanga

Mkurugenzi Mkuu wa
REA, Dk. Lutengano
Mwakahesya
>>
UK. 4

JWTZ wapongezwa kunusuru mtambo wa Msimbati-Uk4

Ofisi ya M awasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali


kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na Madini
Ofisi ya Mawasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
kwa
ajili ya News Bullettin
Jarida laGhorofa
Wizarya
a Tano
ya Nishati
au Fika hii
Ofisina
ya Mawasiliano
(MEM) na Madini
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: badra77@yahoo.com

Habari za nishati/madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Mei 12 - 18, 2016

Jotoardhi kuzalisha Megawati 100 za umeme

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya Nishati, Dk. Mhandisi
Juliana Pallangyo (katikati - waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano huo mara
baada ya ufunguzi.

Na Greyson Mwase,
Dar es Salaam

meelezwa kuwa Tanzania


inatarajia kuzalisha umeme wa
kiasi cha megawati 100 kutokana
na jotoardhi ndani ya kipindi
cha miaka Saba ijayo na hivyo
kuchochea kasi ya ukuaji uchumi wa

nchi.
Kauli hiyo imetolewa jijini Dar
es Salaam na Naibu Katibu Mkuu
wa Wizara ya Nishati na Madini
anayeshughulikia masuala ya Nishati,
Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo
katika mkutano uliokutanisha
wataalam kutoka nchi mbalimbali
kwa ajili ya kujadili taarifa ya Mtaalam
Mwelekezi kuhusu utafiti uliofanywa

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini


anayeshughulikia masuala ya Nishati, Dk. Mhandisi Juliana
Pallangyo akisoma Hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano wa
siku Tatu jijini Dar es Salaam uliokutanisha wataalam
kutoka nchi mbalimbali kwa ajili ya kujadili taarifa ya
mtaalam mwelekezi kuhusu utafiti uliofanywa katika
Ziwa Ngozi lililopo mkoani Mbeya ambapo kuna viashiria
vya jotoardhi pamoja na eneo la Kibiro nchini Uganda.

katika Ziwa Ngozi lililopo mkoani


Mbeya ambapo kuna viashiria vya
jotoardhi pamoja na eneo la Kibiro
nchini Uganda.
Wataalam katika mkutano
huo ulioandaliwa na Kampuni ya
Maendeleo ya Jotoardhi Tanzania
(TGDC) kwa kushirikiana na Wizara
ya Mambo ya Nje ya Iceland,
wanatoka katika nchi za Tanzania,

Kenya, Uganda, Rwanda, Ethiopia,


Eritrea, Marekani, New Zealand na
Djibouti.
Akizungumza katika ufunguzi
wa mkutano huo wa siku tatu
Dk.Pallangyo alisema kuwa
kutokana na ugunduzi wa Nishati ya
jotoardhi nchini Tanzania, Serikali
imeweka mikakati ya kuhakikisha
kuwa ndani ya kipindi cha miaka
Saba ijayo inazalisha megawati 100
zitakazoongezwa kwenye gridi ya
taifa na hivyo kupunguza tatizo la
upungufu wa umeme nchini.
Alisema kuwa Serikali imeweka
mkakati wa kuhakikisha kuwa nishati
ya umeme inachangia katika ukuaji
wa uchumi na kupelekea nchi kutoka
kwenye orodha ya nchi masikini
duniani na kuingia katika nchi zenye
kipato cha kati ifikapo mwaka 2025,
kama Dira ya Maendeleo ya Taifa
inavyofafanua.
Aliongeza kuwa, kuwepo kwa
Nishati ya uhakika kutavutia uwekezaji
kwenye viwanda na kuzalisha ajira na
nchi kupiga hatua kimaendeleo.
Alisisitiza kuwa, Tanzania ina
Nishati ya kutosha ya Jotoardhi yenye
uwezo wa kuzalisha umeme wa
megawati 5000 ambayo haijatumika
bado ambapo Serikali imeweka
mikakati mbalimbali ikiwa ni pamoja
na uanzishwaji wa Kampuni ya
Maendeleo ya Jotoardhi Tanzania
ambayo ni kampuni tanzu ya Shirika
la Umeme Tanzania (TANESCO).
Aliendelea kusema kuwa TGDC
ilianzishwa Desemba 2013 kwa
madhumuni ya kusimamia maendeleo
ya jotoardhi nchini Tanzania na
kuanza rasmi shughuli zake Julai 2014
jukumu lake kuu likiwa ni kutafiti,
kuchimba na kutumia rasilimali za
jotoardhi kwa uzalishaji umeme na
matumizi mengine ya moja kwa moja.

Wataalam mbalimbali wakifuatilia hotuba iliyokuwa inatolewa na Naibu Katibu


Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya nishati, Dk.
Mhandisi Juliana Pallangyo (anayeonekana mbele kwa mbali).

NewsBulletin

Habari za nishati/madini

http://www.mem.go.tz

Mei 12 - 18, 2016

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI JUU YA


TISHIO LA KAMPUNI YA SONGAS KUZIMA UMEME

TAHARIRI

Huduma ya SMS mkombozi


kwa Wachimbaji Madini

Wizara ya Nishati na Madini imekuwa ikitoa taarifa za


leseni za utafutaji na uchimbaji madini kwa njia mbalimbali ikiwa
ni pamoja na vyombo vya habari kama vile redio, televisheni,
magazeti, tovuti yake na mitandao ya kijamii lengo likiwa ni
kuhakikisha kuwa wachimbaji wadogo, wa kati na wakubwa
wanakuwa na taarifa sahihi zinazohusu masuala ya madini
Kama njia mojawapo ya kuhakikisha kuwa wachimbaji
madini wanapata taarifa kwa urahisi zaidi, Wizara imeanza
utaratibu wa utoaji taarifa za madini ambapo kuanzia sasa
wamiliki wa leseni hizo wanaweza kupata taarifa za ada za leseni
kwa njia ya ujumbe wa simu (SMS).
Akizungumzia huduma hiyo, Mkuu wa Kitengo cha
TEHAMA katika Wizara ya Nishati na Madini, Francis
Fungameza alisema kuwa ili mteja aweze kupata huduma hiyo
anatakiwa kuandika neno MEM, aache nafasi, kisha aandike
Namba ya Leseni na kutuma kwenda namba 15341.
Baada ya hapo mteja ataweza kupata ada halisi ya leseni yake
inayostahili kulipwa kwa gharama ya shilingi 250. Tunaamini
kuwa hizo ni habari njema kwa wamiliki wa leseni kwani
wataweza kupata taarifa hizo kwa muda mfupi na hivyo kulipia
ada za leseni hizo kwa wakati.
Mbali na huduma hiyo kwa njia ya SMS, Wizara imekuwa
ikitoa huduma za leseni kwa njia ya mfumo wa kielektroniki
ujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal
(OMCTP) ambao unawawezesha wateja kufanya masuala
mbalimbali ikiwemo kufanya malipo ya leseni na mrabaha,
wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifa
za leseni wanazomiliki na kutuma taarifa za utendaji kazi .
Mfumo wa OMCTP pia unawawezesha wateja kupata taarifa
mbalimbali za Sekta ya Madini zikiwamo ramani za kijiolojia na
taarifa za migodi mikubwa.
Ikumbukwe kuwa, hapo awali mfumo wa utoaji leseni
ulifanyika kwa njia ya mkono (manually) na ulitegemea
utumiaji wa karatasi (paperwork based) na hali hiyo ilichangia
kuchelewesha utoaji leseni ambapo utoaji huo wa leseni
ulitegemea hali ya mawasiliano kama ya telegram na rejesta.
Katika kipindi hicho, upimaji na uchoraji ramani za kijiolojia
ulifanyika kwa njia ya mkono na ulitegemea umahiri wa mtu na
mara nyingine makosa yalifanyika na kusababisha migogoro au
waombaji kukosa leseni kwa sababu zisizo za msingi.
Mfumo huo wa awali ulileta changamoto kwani Wizara
ilikuwa na wakati mgumu kuhakikisha kuwa kumbukumbu
za leseni zinatunzwa vizuri bila kupotea, pia kulikuwa na kazi
ngumu ya kuchambua nyaraka za leseni kwa njia ya mkono
(manually) ili kufuatilia uhai wa leseni, malipo ya ada na utendaji
wa wamiliki wa leseni.
Mfumo huu ulipelekea leseni nyingi kutoweza kuchambuliwa
na kuathiri ubora wa utendaji wa Wizara na pia kasi ya
kuwahudumia wananchi ilikuwa ndogo.
Mfumo wa kieletroniki unaotumika sasa katika leseni
za madini unakuwa kama kituo kimoja (one-stop-centre)
kinachotumiwa na wadau wa Sekta ya Madini walio nchini na
nje ya nchi kuweza kujipatia huduma za leseni bila kulazimika
kusafiri kwenda kwenye ofisi ya Madini, pindi wanapokuwa
wamesajiliwa ndani ya mfumo huo.
Mfumo wa OMCTP una faida mbalimbali ikiwemo,
kuongeza uwazi na kasi ya utoaji wa leseni za madini na Wateja
kuingiza maombi ya leseni wao wenyewe hivyo kupunguza tatizo
la mlundikano wa maombi kwenye ofisi za madini.
Tunapongeza hatua kubwa iliyofikiwa na Idara ya Madini
kwa kushirikiana na Kitengo cha TEHAMA katika kuhakikisha
kuwa wamiliki wote wa leseni za madini nchini wanapata taarifa
mbalimbali za madini kwa urahisi na kwa wakati.
Wito wetu kwa wachimbaji madini ni kuchangamkia
huduma hii mpya ambayo ni rafiki kwani wataweza kupata
taarifa za leseni za madini kwa muda mfupi na kulipia leseni zao
kwa wakati.

Shirika la umeme TANESCO linapenda


kutoa ufafanuzi juu ya hatua ya kampuni
ya kuzalisha umeme ya SONGAS kutishia
kuzima mitambo yake.
Kwanza kabisa ieleweke kwamba
TANESCO na SONGAS zina mahusiano
ya kimkataba ya kibiashara ambayo
maamuzi yoyote yanayohusu biashara ya
pande hizo mbili yanapaswa kufanywa kwa
mujibu wa mwongozo wa mkataba huo.
Kinyume na utaratibu huo;
Kampuni ya SONGAS imezima asilimia
81 ya mitambo yake ya kuzalisha umeme
kwa madai ya kutokulipwa na TANESCO.
Vile vile kampuni hii imekwenda kwenye
vyombo vya habari na kutishia kuzima
mtambo mmoja uliosalia ifikapo tarehe 115-2016 na kujaribu kuwatia hofu watazania
kwamba kutakuwa na uhaba wa umeme.
TANESCO ingependa kusema yafuatayo
juu ya uamuzi huo wa SONGAS;
1. Hatua ambazo SONGAS
imezichukua hadi sasa ni kinyume kabisa na
taratibu za Mkataba na zimekiuka mkataba
wenyewe.
2. Ni kosa kubwa kwa kampuni
hii kwenda kwenye vyombo vya habari
na kujaribu kuwatisha wananchi juu ya
kukosekana kwa umeme na kuwatia hofu
wananchi.

3. Kifungu cha 4.4 kinaitaka


Songas kutoa notisi ya siku 90 za kuwa na
majadiliano na TANESCO endapo itakuwa
haijaridhishwa na jambo lolote la kimkataba.
Pia kifungu cha 4.6 cha mkataba huo
kinaitaka SONGAS kutoa notisi kwa serikali
na kwa TANESCO baada ya notisi ya awali
ya siku 90 kumalizika.
4. Kifungu cha 17 cha mkataba huo
kinakataza na kuzuia mmojawapo wa pande
mbili zinazohusika na mkataba huu kutoa
tarifa za Mkataba au masuala yanayohusiana
na Mkataba kwa vyombo vya habari au ye
yote asiyehusika katika mkataba huo pasipo
kupata ridhaa ya upande wa pili.
Kwa kukiuka vifungu hivyo SONGAS
imefanya makosa yafuatayo;
1. Inajaribu kutumia vyombo vya
habari kuwatia hofu wananchi
2. Kuichafua TANESCO na pia
Serikali kwa masuala ambayo tayari
yameshaanza kufanyiwa kazi na SONGAS
ikifahamu.
Kwa taarifa hii tunapenda kuwaondoa
hofu wananchi na kuwaambia kwamba
masuala yanayoihusu kampuni ya Songas
yanashughulikiwa na TANESCO pamoja
na Serikali.
IMETOLEWA NA UONGOZI WA
TANESCO.

KWA HABARI PIGA SIMU


kitengo cha mawasiliano

TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
Bodi ya uhariri
Msanifu: Lucas Gordon
Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
Mwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,
Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya

Five
Pillars of
Reforms
increase efficiency
Quality delivery
of goods/service
satisfAction of
the client
satisfaction of
business partners
satisfAction of
shareholders

Habari za nishati/madini

Mei 12 - 18, 2016

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

GGM yakubali kutoa Magwangala


Na Teresia Mhagama,
Geita

kitakachohudhuriwa na watendaji wa
Mgodi na Wabunge wa mkoa huo na
kutoa uthibitisho wa kimaandishi kuhusu
eneo lililotengwa kwa shughuli hiyo
godi wa Dhahabu wa pamoja na Cheti kutoka NEMC cha
Geita (GGM) uliopo uthibitisho kuwa eneo hilo linafaa au
mkoani Geita umeridhia halifai kwa shughuli za uchenjuaji madini
ombi la Serikali la kufanyika.
kutoa mabaki ya mawe
Aidha alieleza kuwa katika kikao
ya dhahabu kwa wananchi ili kuweza hicho
cha tarehe 30 Juni GGM itapaswa
kuyachenjua na kupata dhahabu.
pia
kutoa
uthibitisho wa kimaandishi
Hayo yameelezwa mjini Geita na
kuwa
imekubali
kutoa magwangala hayo
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa
kwa
wananchi.
Sospeter Muhongo mara baada ya
Baada ya Eneo hilo na Cheti cha
kumaliza vikao vya majadiliano kati ya
mazingira
kupatikana, sasa katika kikao
watendaji wa GGM, Ofisi ya Mkuu wa
hicho
mtaweza
kujadiliana kuhusu
Mkoa wa Geita, baadhi ya Wabunge
usafirishaji
wa
magwangala
hayo kutoka
na Wakuu wa Wilaya za mkoa huo,
eneo
la
Mgodi
hadi
eneo
lililotengwa,
Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogo
hapo mtakubaliana nani atachukua
na Watendaji wa Wizara ya Nishati na
Madini, Wakala wa Ukaguzi wa Madini jukumu la kusafirisha magwangala
hayo,alisema Profesa Muhongo.
Tanzania (TMAA) na Shirika la Madini
Aliongeza kuwa Leseni za uchenjuaji
la Taifa (STAMICO).
madini
zitakazotolewa mara baada
Tatizo la Magwangala sasa
ya
eneo
hilo kupatikana, zitakuwa
limetatuliwa kwani Mgodi umekubali
katika
vikundi
na si mtu mmoja mmoja
kuyatoa kwa wananchi ila kinachotakiwa
kufanywa kabla ya kuyatoa magwangala ambapo Ofisi ya Mkuu wa mkoa ndiyo
itakayoratibu suala hilo huku jukumu la
hayo ni Serikali ya Mkoa huu kwa
Wizara likiwa ni kutoa Leseni hizo.
kushirikiana na Wadau mbalimbali
Ni vizuri pia mkashirikiana na
kuhakikisha kuwa kwanza wanapata
eneo ambalo uchenjuaji wa magwangala viongozi wa Wachimbaji Wadogo katika
kuratibu uundaji wa vikundi hivyo na
utafanyika, alisema Profesa Muhongo.
lazima vikundi hivyo vielezwe kuwa ni
Aidha aliongeza kuwa eneo hilo
lazima walipe kodi stahiki kwa Serikali
litakalotengwa na Ofisi ya Mkuu wa
mkoa wa Geita lazima lifanyiwe tathmini kama ilivyo kwa shughuli nyingine za
uchenjuaji madini, alisema Profesa
ya mazingira na Baraza la Hifadhi na
Muhongo.
Usimamizi wa Mazingira (NEMC)
Kwa nyakati tofauti Wabunge wa
ili kuweza kuthibitika kama eneo hilo
mkoa huo walieleza kuwa utoaji wa
linafaa kwa shughuli hizo bila kuleta
Magwangala hayo kwa wananchi,
athari kwa wananchi na mazingira.
utasaidia wanachi hao kujiajiri,
Profesa Muhongo alitoa agizo
kujiongezea kipato na kuwaepusha katika
kuwa kazi hizo zinatakiwa kukamilika
kushiriki matendo ya uhalifu.
tarehe 30 Juni, mwaka huu ambapo
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa itafanya kikao

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (Wa


Pili kulia) akiwa na baadhi ya wananchi wa mkoa wa Geita,
waliohudhuria kikao baina ya Watendaji wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
wa Geita, baadhi ya Wabunge na Wakuu wa Wilaya za mkoa huo,
Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogo na Watendaji wa Wizara ya
Nishati na Madini, Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA)
na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) mara baada ya kumaliza
kikao kilichofanyika mjini Geita. Kikao kililenga katika kujadili suala la
magwangala na maeneo ya wachimbaji wadogo nchini.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (waliokaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji wa Ofisi ya Mkuu wa
Mkoa wa Geita, baadhi ya Wabunge na Wakuu wa Wilaya za mkoa huo, Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogo na Watendaji wa Wizara ya Nishati na
Madini, Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) mara baada ya kumaliza kikao kilichofanyika mjini
Geita. Wa Pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Meja Jenerali Mstaafu, Ezekiel Kyunga.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Mei 12 - 18, 2016

Serikali kushindanisha
wawekezaji Sekta ya Nishati
Na Veronica Simba

erikali imesema ushindani kwa


wawekezaji wanaotaka kuwekeza
katika Sekta ya Nishati, ndiyo
njia bora zaidi itakayowezesha
kuwapata wawekezaji wenye
vigezo vinavyotakiwa kwenye Sekta hiyo.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo aliyasema hayo jana,
Mei 10, alipokutana na Mtendaji Mkuu
wa Kampuni ya KOYO kutoka Japan,
Norio Shoji na Ujumbe wake, ambayo
imeonesha nia ya kuwekeza katika
Uzalishaji na Usafirishaji wa Umeme
nchini, kwa kutumia vyanzo mbalimbali
ikiwemo gesi asilia na jua.
Kampuni nyingi zimeonesha nia ya
kuwekeza kwenye sekta ya nishati. Serikali
inao uhitaji mkubwa wa wawekezaji
walio makini, hivyo tunahitaji kuwapata
wawekezaji wenye vigezo kwa kutumia
ushindani unaozingatia uwazi, alisisitiza
Profesa Muhongo.
Aliongeza kuwa, ili kuwarahisishia
wawekezaji wenye nia ya kuwekeza katika
sekta ya nishati nchini, Wizara inaandaa
taarifa maalum itakayobainisha maeneo
yanayohitaji uwekezaji pamoja na
vipaumbele vyake.
Alisema, taarifa hiyo itakuwa tayari
na kutolewa mwishoni mwa mwezi huu
(Mei 31, 2016) na kwamba itasambazwa
kwa wadau wote wa ndani na nje ya nchi
kupitia njia mbalimbali za mawasiliano,
ikiwamo tovuti ya wizara.
Profesa Muhongo alieleza kuwa,
taarifa hiyo pamoja na mambo mengine,
itawapa fursa wawekezaji wenye nia,
kuchagua aina ya uwekezaji wanaohitaji
kufanya na katika maeneo ambayo
wanadhani watakuwa na uwezo
wa kumudu ushindani kutoka kwa
wawekezaji wenzao kutoka sehemu
mbalimbali duniani.
Akifafanua zaidi, Profesa Muhongo
alisema kuwa, zoezi la kuwashindanisha
wawekezaji walioonesha nia, litakuwa
ni endelevu na litakuwa likifanyika
kila baada ya muda fulani, ambao
utabainishwa katika taarifa husika
inayotarajiwa kutolewa.
Endapo tutaendesha zoezi la
ushindanishaji wawekezaji na wote
walioshindanishwa wasipotimiza
vigezo vinavyotakiwa, hatulazimiki
kumchukua yeyote tu. Tutakachofanya
ni kutokumchukua yeyote kati yao na
hivyo kuendelea na zoezi hilo baada
ya muda tutakaoubainisha, hadi pale
tutakapowapata wawekezaji wenye vigezo
tunavyovitaka.
Profesa Muhongo alibainisha kuwa,
mchanganyiko wa nishati ambao Serikali
imekusudia kuutumia kama vyanzo vya
kuzalisha umeme nchini kwa sasa ni
pamoja na gesi asilia, maji, upepo, jua,
makaa ya mawe, mvuke (maji moto) na
tungamotaka.

Waziri wa Nishati na Madini,


Profesa Sospeter Muhongo
(Kushoto), akiagana na Mtendaji
Mkuu wa Kampuni ya KOYO
kutoka Japan, Norio Shoji
(Kulia) pamoja na Ujumbe
wake, baada ya kikao baina
yao. Kushoto kwa Waziri
ni baadhi ya Viongozi na
Maofisa wa Wizara na Taasisi
zake walioshiriki kikao hicho
kilichofanyika Mei 10, mwaka
huu Makao Makuu ya Wizara
jijini Dar es Salaam. KOYO
imeonesha nia kuwekeza katika
sekta ya nishati nchini.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt Mhandisi Juliana
Pallangyo (Kulia), akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya KOYO kutoka Japan, Norio Shoji,
baada ya kikao baina ya Waziri wa Nishati wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na
Kampuni husika, kilichofanyika Mei 10 mwaka huu Makao Makuu ya Wizara jijini Dar es Salaam.
Kampuni ya KOYO imeonesha nia kuwekeza katika sekta ya nishati nchini.
Waziri wa Nishati na
Madini, Profesa Sospeter
Muhongo (Katikati),
akiwa katika kikao na
Ujumbe kutoka Kampuni
ya KOYO ya Japan
(Kushoto). Kulia ni baadhi
ya Viongozi na Maofisa
wa Wizara na Taasisi
zake walioshiriki kikao
hicho kilichofanyika Mei
10 mwaka huu, Makao
Makuu ya Wizara jijini
Dar es Salaam. Kampuni
hiyo imeonesha nia
kuwekeza katika sekta ya
nishati nchini.

Habari za nishati/madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Mei 12 - 18, 2016

Ruzuku kwa Wachimbaji Wadogo


kutolewa mwezi Septemba
Kamishna Msaidizi wa Madini
anayeshughulikia Leseni,
Mhandisi John Nayopa (katikati),
Meneja wa TANESCO Kanda ya
ziwa, Mhandisi Amos Maganga
(kulia) na Mhandisi Joseph
Kumburu (kushoto) wakiwa
katika kikao kilichofanyika mjini
Geita kilichojumusha watendaji
mbalimbali katika Ofisi ya Mkuu
wa Mkoa wa Geita, baadhi ya
Wabunge na Wakuu wa Wilaya
za mkoa huo, Wawakilishi
wa Wachimbaji Wadogo na
Watendaji wa Wizara ya Nishati
na Madini, Wakala wa Ukaguzi
wa Madini Tanzania (TMAA)
na Shirika la Madini la Taifa
(STAMICO). Kikao kililenga
kujadili suala la magwangala na
maeneo ya Wachimbaji
Wadogo.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati), Mkuu wa Mkoa wa Geita,
Meja Jenerali Mstaafu, Ezekiel Kyunga (kulia) na Katibu Tawala mkoa wa Geita, Selestine Gesimba
(kushoto) wakiwa katika kikao kilichofanyika mjini Geita kilichojumusha baadhi ya Wabunge na
Wakuu wa Wilaya za mkoa huo, Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogo na Watendaji wa Wizara ya
Nishati na Madini, Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) na Shirika la Madini la Taifa
(STAMICO).
Baadhi ya Wakuu wa
Wilaya za mkoa wa
Geita, Wawakilishi wa
Wachimbaji Wadogo na
Watendaji wa Wizara
ya Nishati na Madini,
Wakala wa Ukaguzi wa
Madini Tanzania (TMAA)
na Shirika la Madini
la Taifa (STAMICO)
wakiwa katika Kikao
kilichofanyika mjini
Geita ambacho
kililenga kujadili suala la
magwangala na maeneo
ya Wachimbaji Wadogo
kilichoongozwa na
Waziri wa Nishati na
Madini, Profesa Sospeter
Muhongo, (hayupo
pichani).

Na Teresia Mhagama, Geita

meelezwa kuwa Ruzuku ya


Awamu ya Tatu inayolenga katika
kuendeleza shughuli za uchimbaji
mdogo wa madini nchini itatolewa
mwezi Septemba mwaka huu.
Hayo yalisemwa mjini Geita na
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo wakati wa kikao
kilichojumuisha Ofisi ya Mkuu wa
Mkoa wa Geita, baadhi ya Wabunge
na Wakuu wa Wilaya za mkoa huo,
Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogo
na Watendaji wa Wizara ya Nishati na
Madini, Wakala wa Ukaguzi wa Madini
Tanzania (TMAA) na Shirika la Madini
la Taifa (STAMICO).
Alisema kuwa hivi karibuni
alizungumza na Benki ya Dunia ambayo
imeahidi kutoa Dola za Marekani
kati ya Milioni 3 na Milioni 4 ambazo
zitatolewa kwa vikundi mbalimbali vya
wachimbaji wadogo nchini.
Aliongeza kuwa, fedha hizo
zitatumika pia kuendeleza vituo
Saba vya mfano vya utafutaji na
uchimbaji mdogo wa madini ambavyo
vitachaguliwa na Wizara baada
ya kufanya tathmini ya maeneo
yanayoweza kuwekwa vituo hivyo.
Maeneo hayo Saba ya mfano
yatafanyiwa utafiti na Wakala wa Jiolojia
Tanzania (GST) ili kufahamu mashapo
ya dhahabu yaliyopo katika eneo husika
kabla ya kuyagawa kwa wachimbaji
wadogo, alisema Profesa Muhongo.
Alisema kuwa Wanawake waliopo
katika shughuli za uchimbaji mdogo wa
madini, ukataji na uchongaji wa madini
ya Vito pia watafaidika na Ruzuku
hiyo lengo likiwa ni kuongeza idadi ya
wanawake wanaojishughulisha na sekta
ya Madini nchini.
Tunatafuta Ruzuku hizi ili
wachimbaji wadogo mpande daraja
na kwenda kwenye uchimbaji wa kati
ambao utaleta tija kwenu na kwa Taifa
kwani uchimbaji huu huwa hautikisiki
pale bei ya dhahabu inaposhuka duniani
kwani gharama za uzalishaji kwenye
migodi ya kati ni za chini tofauti na
migodi mikubwa,alisema Profesa
Muhongo.
Aidha, aliwaeleza wachimbaji
wadogo nchini kujiunga katika
makundi yatakayowawezesha kupata
Ruzuku kwani haitatolewa kwa mtu
mmojammoja na kuwaasa kushirikiana
na Idara inayosimamia Wachimbaji
Wadogo katika Shirika la Madini la
Taifa (STAMICO) ili kuweza kuandika
maombi ya kuomba Ruzuku husika.
Benki ya Dunia kupitia Wizara ya
Nishati na Madini imeendelea kutoa
Ruzuku katika Uchimbaji madini
mdogo ambapo katika mwaka wa
Fedha 2015/16 zilitengwa takribani
Shilingi bilioni 7.2 ambazo zilitolewa
kwa vikundi 111 vya wachimbaji
wadogo na watoa huduma mbalimbali
katika sekta ya uchimbaji madini mdogo.
Vilevile, katika mwaka wa Fedha
2013/2014, Fedha za Ruzuku
zilizotolewa kwa Wachimbaji Wadogo
zilikuwa ni Dola za Marekani 500,000
sawa na takribani Shilingi Bilioni 1
zilizotolewa kwa waombaji 11.

NewsBulletin

Habari za nishati/madini

http://www.mem.go.tz

Mei 12 - 18, 2016

Wadau wa Mradi wa Kusindika Gesi Asilia nchini (LNG) wakifuatilia warsha hiyo.

TPDC yawakutanisha Wadau Mradi wa LNG


TPDC

hirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania


(TPDC) mwanzoni mwa juma liliandaa
warsha ya siku mbili iliyowakutanisha Wadau
wa Mradi wa kusindika gesi asilia kuwa
kimiminika kwa ajili ya kusafirisha nje ya nchi
na matumizi ya ndani ya nchi. (LNG).
Akifungua Warsha hiyo kwa Niaba ya Waziri
wa Nishati na Madini, jijini Dar es Salaam, Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,
anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe,
alisema warsha hiyo ililenga kuwakutanisha wadau
wanaoshiriki katika utekelezaji wa mradi huo,
ikiwemo kutengeneza mazingira shirikishi kwa wadau
hao kabla ya kuanza kutekeleza ujenzi wa mradi huo.
Aliongeza kuwa, msukumo mkubwa wa Taifa hivi

sasa ni kuelekea kuwa nchi ya viwanda na kichocheo


kikubwa cha kufikia lengo hilo ni matumizi ya
rasilimali ya gesi kutumika kama nishati.
Ni shauku yangu kwa sasa kuona Tanzania
inavyojivunia fursa za uwekezaji hususan katika tasnia
ya gesi asilia. Kufuatia kuwepo kwa gesi ya kutosha
kutasukuma utekelezaji mradi wa kusindika gesi asilia
nchini, alisema Prof. Mdoe.
Aliongeza kuwa, ushirikishwaji wa wadau
muhimu na elimu ndiyo makusudi makuu ya warsha
hiyo kabla ya kuanza kutekelezwa kwa mradi huo.
Akifunga warsha hiyo kwa niaba ya Mkurungezi
Mtendaji wa TPDC, Mkurugenzi wa Usafishaji,
Usafirishaji na Usambazaji wa Gesi Asilia, Dk.
Wellington Hudson alisema warsha hiyo ilikuwa
ya mafanikio makubwa kwa kuwakutanisha wadau
muhimu wa Mradi wa kusindika gesi asilia nchini.

Mkurugenzi wa Utafiti (TPDC), Kelvin Komba akiwaeleza waandishi wa


habari (hawapo pichani) Lengo la Warsha ya siku Mbili kwa Wadau wa
Mradi wa Kusindika Gesi Asilia nchini (LNG) iliyofanyika hivi karibuni
jijini Dar es Salaam.

Alisema licha ya mipango ya kujengwa


kwa Kiwanda cha kusindika gesi asilia nchini
ili kusafirisha gesi asilia nje ya nchi pia gesi hiyo
itatumika kwa soko la ndani na Afrika Mashariki.
Aliongeza kuwa, mada zilizowasilishwa katika
warsha hiyo zilikuwa na tija kubwa katika kuelekea
katika utekelezaji wa mradi huo.
Ujenzi wa Kiwanda cha kusindika gesi asilia
kwa matumizi ya ndani na kusafirisha nje ya nchi
unatarajiwa kujengwa eneo la Likongo katika
Manispaa ya Lindi na unatarajia kugharimu Dola za
Kimarekani bilioni 40 hadi 60.
Warsha hiyo iliwakutanisha wadau kutoka
Wizara ya Nishati na Madini, TPDC, Taasisi kutoka
Serikalini na kampuni za Wawekezaji za Mafuta na
Gesi nchini.

Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Prof. James Mdoe


akifungua Warsha ya siku Mbili kwa Wadau wa Mradi wa Kusindika Gesi
Asilia nchini (LNG) iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

Habari za nishati/madini

Mei 12 - 18, 2016

MAKALA

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

ZIJUE HATUA MUHIMU ZA


UTAFUTAJI MADINI NA FAIDA ZAKE
unakuwa kwa eneo dogo zaidi na
kwa kina zaidi kuliko ule wa hatua ya
kwanza.
Hatua ya Tatu ya utafutaji wa
Madini ni utafutaji wa kina yaani
(General exploration) kwa mujibu wa
jarida la mwongozo wa namna bora
ya utafutaji , uchimbaji , uchenjuaji
na uongezaji thamani madini kwa
wachimbaji wadogo Tanzania,
linasema kuwa utafutaji huu hufanyika
katika eneo dogo zadi lililoainishwa
katika hatua ya pili. Kihualisia njia
zinazotumika ni zilezile kama hatua
ya pili, isipokuwa katika hatua hii
uchorongaji wa miamba , uchimbaji
wa mitaro na mashimo ya utafiti
yaani (trenching and Pits) hufanyika
kulingana na mhitaji ya utafiti na
uchukuaji wa sampuli huongezeka
kulinganisha na hatua ya pili.
Kwa upande wa utafutaji wa kina
wa madini ( Detailed Exploration),
utafiti wa namna hii hufanyika kwa
njia ya uchorongaji wa miamba kwa
kina zaidi ambapo umbali kati ya
shimo moja na jingine huwa ni ndogo
zaidi kwa lengo la kujua umbile la
mbale , ukubwa wa mashapo na
thamani ya madini.
Vilevile, taarifa za jiosayansi za
hatua hii hutumika katika kuandaa
taarifa za upembuzi yakinifu ili
kuonesha taratibu za uchimbaji ,
taratibu za uchenjuaji, utunzaji na
ukarabati wa mazingira. Baada ya
kufanyika kwa upembuzi yakinifu,
tathmini hufanyika kubaini gharama
husika za uwekezaji , uendeshaji,
mapato yatakayopatikana na kuuza
madini hayo na kuainisha faida
itakayopatikana yaani (Mineral
Econimic Evaluation) ndipo
mchimbaji ataweza kuanza kuchimba
na kukopeshaka katika taasisi za fedha
ndani au nje ya nchi.

Watalaam kutoka GST wakiwa juu ya mlima Mtungulu wilayani Handeni wakichukua sampuli na takwimu
mbalimbali za Jiosayansi katika mwamba kwa ajili ya uchunguzi katika Maabara ya uchunguzi Madini ya
GST.
ramani zake hutumika katika
Na Samwel Mtuwa GST ni kwa ajili ya kuchora ramani
mbalimbali za jiolojia na upatikanaji
kuboresha ramani za upatikanaji
wa madini , njia hii hutumika hususan madini pamoja na kubainisha maeneo
taalamu wa sayansi
katika maeneo yenye miamba
ya utafiti wa Madini
yenye viashiria vya uwepo wa madini
(Jiosayansi) unahusisha
iliyojitokeza juu ya uso wa ardhi.
kwa usahihi zaidi.
hatua mbalimbali za
Kwa upande wa Jiokemia,
Baada ya hatua ya awali ya
uchimbaji wa madini
utafutaji huu hufanyika katika
utafutaji wa madini kujiridhisha kwa
unaotumia gharama kubwa hivyo
maeneo makubwa kwa kuchukua
uwepo wa viashiria vya madini hatua
ni lazima ufanyike kwenye maeneo
sampuli mbalimbali za miamba
inayofuata ni utafutaji wa madini
yaliyothibitishwa kwa taarifa za
katika ukubwa tofauti tofauti, udongo, hatua ya kati (Minearal Prospecting).
Jiosayansi kuwa, eneo husika lina
mchanga wa vijito, maji au mimea.
Utafutaji huu hufanyika katika eneo
aina fulani ya madini ya kutosha na
Sampuli hizi hupelekwa kwenye
dogo lililoainishwa kwenye hatua ya
kwamba yatachimbwa kwa faida, ili
maabara kwa uchunguzi wa viasili
kwanza ya utafutaji wa madini kwa
kupunguza uwezekano wa kupata
vya madini yaliyomo , taarifa zitakazo kawaida njia zinazotumika katika
hasara katika uchimbaji madini.
patikana hutumika kuchorea ramani
hatua hii zinafanana za zile za hatua
Kwa ujumla kuna njia kuu Tatu
za jiokemia , njia hii hutumika zaidi
za utafutaji madini katika taaluma ya
ya kwanza, lakini uchukuaji wa taarifa
jiosayansi zinazotegemeana ambazo ni katiaka maeneo ambayo miamba yake
mingi imeishamongonyoka na kuwa
Jiolojia , Jiokemia na Jiofizikia.
udongo.
Katika kila njia kuna hatua
Katika utafutaji wa miamba
mbalimbali za kufanya kwa kulingana
yenye
asili ya sumaku yaani Jiofizikia
na aina ya madini , tabia za miamba ,
hufanyika
kwa kutumia vifaa maalum
mazingira ya eneo husika, ukubwa wa
vinavyopitishwa
kwenye uso wa dunia
eneo.
(ground
Geophysical
Survey) au
Katika hatua ya kwanza ya utafutaji
angani
(Airborne
Geophysical
Survey),
wa madini wa awali (Reconnaissance
majini
ili
kubaini
miamba
yenye
asili
Survey), utafutaji huu hutumika katika
ya
sumaku
(magnetic),
mawimbi
ya
maeneo makubwa kwa kutumia njia
umeme ,mionzi, pamoja na mawimbi
mbalimbali kama vile utafutaji kwa
kutumia vifaa vilivyo angani ( Remote ya mitetemo kwa ajili ya kubaini
mipasuko na mikanda inayoashiria
Sensing) kama vile satellite, ndege, na
helikopta ili kupata taarifa au takwimu uwepo wa madini katika miamba ,
taarifa za hizi hutumika kutengeneza
za eneo kubwa kwa haraka na
ramani za jiofizikia , pia taarifa hizi
gharama nafuu zinazoashiria uwepo
hutumika kubaini tabia za miamba
wa madini yanayotafutwa.
kwenye vina virefu chini ya ardhi .
Kwa upande wa utafutaji wa
Jiolojia, hutumika kuainisha tabia
Njia hizi tatu zinafanywa kwa
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania Prof. Abdulkarim
mbalimbali za miamba na madini
kiasi kikubwa na Wakala wa Jiolojia
Mruma, akiangalia mlalo wa miamba katika andaki la machimbo ya
kwenye eneo husika, taarifa ambazo
Tanzania (GST) na taarifa, takwimu,
madini lililo chini ya milima ya Endabash wilayani Karatu.

NewsBulletin

Habari za nishati/madini

http://www.mem.go.tz

Mei 12 - 18, 2016

Ushuru wa Huduma utolewe


hadharani- Profesa Muhongo
Na Teresi Mhagama
Geita

zinazotekelezwa na kampuni za
utafiti na uchimbaji wa madini nchini,
Profesa Muhongo aliziagiza kampuni
hizo kushirikisha viongozi wa
sehemu husika kabla ya kutekeleza
aziri wa Nishati
miradi mbalimbali ili kuepusha
na Madini,
malalamiko yanayoweza kutokea
Profesa Sospeter
Muhongo amesema baada ya miradi hiyo kutekelezwa.
Halmashauri zinapaswa kutoa
kuwa Ushuru
vipaumbele vyao kuhusu miradi
wa Huduma Unaolipwa kwa
wanayotaka itekelezwe kwenye
Halmashauri zinazozungukwa na
eneo lao, na migodi hii inapaswa
Migodi ya Madini nchini unatakiwa
kutoa kipaumbele kwa kampuni za
kutolewa mbele ya wananchi wa
kitanzania katika kutekeleza miradi
eneo husika.
hiyo, alisema Profesa Muhongo.
Alitoa agizo hilo mjini Geita
Kuhusu maeneo ya uchimbaji
wakati wa kikao kilichojumuisha
madini kwa wachimbaji wadogo
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita,
nchini, Profesa Muhongo alisema
baadhi ya Wabunge na Wakuu wa
Wilaya za mkoa huo, Wawakilishi wa kuwa maeneo ambayo yameshikiliwa
kwa muda mrefu yatataifishwa na
Wachimbaji Wadogo na Watendaji
kupewa wachimbaji wadogo ili
wa Wizara ya Nishati na Madini,
wayaendeleze.
Wakala wa Ukaguzi wa Madini
Aidha aliwaasa wachimbaji
Tanzania (TMAA) na Shirika la
wadogo wa madini nchini kuwa
Madini la Taifa (STAMICO).
tayari kufanya kazi sehemu yoyote
Mgodi unapaswa kutengeneza
nchini ambayo itatengwa na serikali
mfano wa hundi ambayo itatolewa
kwa ajili ya shughuli za uchimbaji
mbele ya hadhara ili wananchi
wa madini badala ya kungangania
wafahamu Halmashauri husika
kuchimba madini katika vijiji, wilaya
imepata kiasi gani cha Fedha na
au mikoa wanayoishi.
hivyo kuweza kufuatilia matumizi
Awali Kamishna Msaidizi
ya fedha hizo, alisema Profesa
anayeshughulikia Leseni katika
Muhongo.
Wizara ya Nishati na Madini,
Alisema kuwa utoaji wa ushuru
huo ambao ni asilimia 0.3 ya mapato Mhandisi John Nayopa, alisema
kuwa katika mkoa wa Geita kuna
yote yanayotokana na shughuli za
maeneo matano yaliyotengwa na
mgodi katika eneo husika unapaswa
Wizara kwa ajili ya wachimbaji
kuhudhuriwa pia na Katibu Mkuu
wadogo ambayo ni Lwenge A,
wa Wizara ya Nishati na Madini
Lwenge B, Shenda Kaskazini,
na Tawala za Mikoa na Serikali za
Kanegele 2, na Nyangalata
Mitaa (TAMISEMI).
Aidha kuhusu Huduma za Jamii Mashariki.

1. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo


(katikati waliokaa) katika picha ya pamoja na Watendaji wa
Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
wa Geita, baadhi ya Wabunge na Wakuu wa Wilaya za mkoa huo,
Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogo na Watendaji wa Wizara
ya Nishati na Madini, Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania
(TMAA) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) mara baada ya
kumaliza kikao kilichofanyika mjini Geita. Wa Pili kulia ni Mkuu wa
Mkoa wa Geita, Meja Jenerali Mstaafu, Ezekiel Kyunga.
2. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo
(katikati) katika picha ya pamoja na watendaji wa Wakala wa
Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) katika Ofisi ya Mwanza,
Mhandisi Saidi Mkwawa (kushoto kwa Waziri) na Irene Kimario
(kulia kwa Waziri) mara baada ya kumaliza kikao kilichojumuisha
Watendaji wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), Ofisi ya
Mkuu wa Mkoa wa Geita, baadhi ya Wabunge na Wakuu wa
Wilaya za mkoa huo, Wawakilishi wa Wachimbaji Wadogo na
Watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini,) na Shirika la Madini
la Taifa (STAMICO) kilichofanyika mjini Geita.

10

Habari za nishati/madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Mei 12 - 18, 2016

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA


MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

INVITATION FOR BIDS FOR


PROCUREMENT OF FURNITURE AND OFFICE
EQUIPMENT FOR MADINI HOUSE DODOMA
BID NO. ME/008/SMMRP/G/90
1. The United Republic of Tanzania (hereinafter called Borrower) has
received Additional Financing from the International Development
Association (IDA) (hereinafter called Credit) towards the cost of the
Sustainable Management of Mineral Resources Project (SMMRP) and
intends to apply part of this Credit to cover eligible payments under Contract for Procurement of Furniture and ICT Equipment for Madini house
Dodoma
2. The Ministry of Energy and Minerals (MEM) now invites sealed bids
from eligible and qualified bidders for the supply of Furniture and Equipment as shown below:-

Lot
No.
1
2

Brief Description of Goods

unit

Qty

Supply of various Office Furniture


Supply of Office Equipment

Each
Each

Various
Various

The above items constitute TWO LOTS. Bidders may bid for one or both lots,
each lot shall be considered separately and bidders shall quote all items and
respective quantities. Bids not quoting all items and quantities will be considered non responsive and rejected for evaluation.
3. Bidding will be conducted through the National Competitive Bidding
(NCB) procedures specified under the Public Procurement Act No.7 of
2011: (Procurement of Goods, Works, Non Consultant Service and Disposal of Public Assets by Tender) Regulations, 2013 and are open to all
eligible bidders as defined in the Regulations.
4. Interested eligible bidders may obtain further information from the
Secretary, Ministerial Tender Board, Ministry of Energy and Minerals
(MEM), 5 Samora Avenue, 6th floor Room No. 10 Wing B, 11474 Dar es
Salaam and inspect the bidding documents during office hours from 09.00
to 15.00 hours local time, Mondays to Fridays inclusive, except public
holidays.
5. A complete set of Bidding Document in English language may be purchased by interested eligible bidders upon submission of a written application to the Secretary, Ministerial Tender Board, Ministry of Energy
and Minerals (MEM) Samora Machel Avenue, 6th floor Room No. 10
Wing B, 11474 Dar es Salaam and upon payment of a nonrefundable
fee of TZS 150,000/= (Tanzania Shillings One Hundred Fifty Thousand
only) or equivalent amount in any interfreely convertible currency. The
payment will be made through NMB Bank, Account No. 2011100072 in
favor 0of Permanent Secretary, Ministry of Energy and Minerals.
6. Bids in one original plus two (2) copies, properly filled in and enclosed
in plain envelopes, addressed to the address below and to be delivered to
the Secretary, Ministerial Tender Board, Ministry of Energy and Minerals (MEM) at 5 Samora Machel Avenue, 6th floor, Room 611, Wing
A, 11474 Dar es Salaam at or before 10.00 hours, East African time on
Thursday, 2nd June, 2016. Bids will be publicly opened in the presence of
the bidders designated representatives and anyone who choose to attend
immediately after the deadline of bids submission.
7. All bids must be accompanied by a Bid Securing Declaration in the format provided in the relevant bidding document.
8. Late Bids, Portion of Bids, Electronic Bids, Bids not received, Bids not
opened and not read out in public at the bid opening ceremony shall not
be accepted for evaluation irrespective of the circumstances.
Permanent Secretary,
Ministry of Energy and Minerals,
5 Samora Machel Avenue
P. O. Box 2000,
11474 Dar Es Salaam, Tanzania
Tel: 255-22-2121606/7
Fax: 255-22-2121606
E-mail: ps@mem.go.tz

INVITATION FOR BIDS FOR


PROCUREMENT OF TRAINING EQUIPMENT FOR
MINERAL RESOURCES INSTITUTE TO SUPPORT
ARTISANAL SMALL SCALE MINERS
BID NO. ME/008/SMMRP/G/84
1. The United Republic of Tanzania (hereinafter called Borrower) has
received Additional Financing from the International Development
Association (IDA) (hereinafter called Credit) towards the cost of the
Sustainable Management of Mineral Resources Project (SMMRP) and
intends to apply part of this Credit to cover eligible payments under
Contract for Procurement of Training Equipment for Mineral Resources
Institute to support Artisanal Small Scale Miners
2. The Ministry of Energy and Minerals (MEM) now invites sealed bids
from eligible and qualified bidders for the Supply of Equipment as shown
below;

Lot No. Brief Description of Goods


1
Supply of Mineral Processing Equipment
and Machines
2
Supply of Geological Equipment and
Machines
3
Supply of Mining Equipment and Machines

unit Qty
Each Various
Each

Various

Each

Various

The above items constitute THREE LOTS. Bidders may bid for one, two or all
lots, each lot shall be considered separately and bidders shall quote all items
and respective quantities in each lot. Bidder not quoting the all items and quantities will be considered non responsive and rejected for evaluation.
3. Bidding will be conducted through the National Competitive Bidding
(NCB) procedures specified under the Public Procurement Act No.7 of
2011: (Procurement of Goods, Works, Non Consultant Service and Disposal of Public Assets by Tender) Regulations, 2013 and are open to all
eligible bidders as defined in the Regulations.
4. Interested eligible bidders may obtain further information from the Secretary, Ministerial Tender Board, Ministry of Energy and Minerals (MEM),
5 Samora Machel Avenue, 6th Floor Room No. 10 Wing B, 11474 Dar
es Salaam and inspect the bidding documents during office hours from
09.00 to 15.00 hours local time, Mondays to Fridays inclusive, except public holidays.
5. A complete set of Bidding Document in English language may be purchased by interested eligible bidders upon submission of a written application to the Secretary, Ministerial Tender Board, Ministry of Energy and
Minerals (MEM) Samora Avenue, 6thfloor Room No. 10 Wing B,11474
Dar es Salaam and upon payment of a nonrefundable fee of Tanzania
shillings One Hundred Fifty Thousand (TZS 150,000/=) only or equivalent amount in any internationally freely convertible currency. Payment
will be made through NMB Bank, Account No. 2011100072 in favor of
Permanent Secretary, Ministry of Energy and Minerals.
6. Bids in one original plus two (2) copies, properly filled in, and enclosed in
plain envelopes to the address below and to be delivered to the Secretary,
Ministerial Tender Board, Ministry of Energy and Minerals (MEM) at 5
Samora Machel Avenue, 6th floor, Wing A, Room No. 611, 11474 Dar es
Salaam at or before 10.00 hours, East African time on Thursday 2nd June
2016. Bids will be immediately publicly opened in the presence of the bidders designated representatives and anyone who choose to attend immediately after the deadline of bids submission.
7. All bids must be accompanied by a Bid Securing Declaration in the format
provided in the relevant bidding document.
8. Late Bids, Portion of Bids, Electronic Bids, Bids not received, Bids not
opened and not read out in public at the bid opening ceremony shall not
be accepted for evaluation irrespective of the circumstances.
Permanent Secretary,
Ministry of Energy and Minerals,
5 Samora Avenue P. O. Box 2000,
11474 Dar es Salaam, Tanzania
Tel: 255-22-2121606/7
Fax: 255-22-2121606
E-mail: ps@mem.go.tz

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Mei 12 - 18, 2016

11

BUSINESS PERSPECTIVE

Email: salum.mnuna@gmail.com

By Salum Mnuna

Salum Mnuna is MBA, Certified PPP specialist based in Dar es Salaam


Can be reached via email salum.mnuna@gmail.com or WhatsApp 0767457817
The views in the article are solely based on the knowledge of the author and should
not be associated with his employer.

Uganda-Tanzania Crude oil Pipeline, Influence on development of


Northern Value Corridor and Tanzanians Lake Region Business Future

veryone loves a fairytale.


However, how many do you
know that involves building
economic prosperity without
planning and action yet
produces result many people drooling
on?
Diligent ownership, Planning,
resources and effective management
and leadership can play a strong part
in bringing talks to actions and actions
to prosperity. Diligently deployment
of innovative and investment science
investment and resourceful work force
careful integrated into decision-making
process without conflicting public
investments existing governing laws
can be catalyst to sustainable and stable
investments growth and eventually
building sustainable businesses.
Tanzania economic output in recent
years have shown growth signs, reports
in 2015-showed growth of 7% in real
terms and recorded strong population
growth Rate of 2% predicting by
2030 to have urban population higher
than rural areas. This means the

government would have the work to


do to build infrastructures investment
to accommodate influx of people
migrating to urban centers and maintain
or increase its growth rate. On other side,
I cannot imagine and probably you are
also in shock, in 2100, Tanzania will be
amongst top ten country in the world
with estimated population of 299 behind
Indonesia 314 and above Ethiopia 243
who makes top 10 amongst top ten
countries with large population. (Source:
world economic forum/ united nation).
Information like this point out the need
for longer-term Plan to anticipate and
prepare to accommodate the need of an
upcoming population projection.
The recent decision from Ugandan
Government and Up streamers investors
to choose Tanzania and Tanga Port
for Export of its crude oil to the global
market has provided Tanzania a
bigger boost to develop the route to a
comprehensive infrastructures value
corridor that will see Tanga Port become
accessible to land locked countries,
build and develop sustainable region

markets. The Value corridor will extend


from the Tanzanian Port of Tanga on
shores of the Indian Ocean, through
Uganda and the Democratic republic
of Congo (DRC) up to the Congolese
Port of Banana on the Atlantic
Ocean. The Value Corridor is based
on creating multi-modal integrated
infrastructures alongside a utilities subcorridor comprising of Gas, Water and
petroleum utilities, fiber optic, railway
and Transmissions Power lines. Off
course, this sounds an overly ambitious
project thinking, by our standard yes it
is. Its long-term project, which requires
long-term plan, financial resources and
coordinated efforts between both Public
and Private Investments. Tanzanias
Gas will have an alternative markets
to LNG expensive investment by
building a cross border Gas Pipelines
through Uganda to DR Congo. The
planning of development of the corridor
will pull interests of private investors,
capital markets and financiers and
boost industrial, trade, and economic
development along the corridor.

The Ugandan Crude oil Pipeline


is one project amongst others in
Value corridor that provide a perfect
example of what need to be planned
for next 30 to 50 or even 100 years.
Developing the value corridor with
multi-modal integrated infrastructures
will be one large attempt on an effort
to grow Tanzania influence on the
region business but also respond
to ever-growing population. The
development of the corridor is projected
to be economically and financial viable
investment due to existing demand of
reliable infrastructure, ever demand for
Africa rising and the benefits associated
to its existence. The Value corridor
Development plan estimated to attract
private equity funds, investors and
Developers from around the world.
The presence of the ICT, Railways,
and Roads along the value corridor
and easy access to outlet Port of
Tanga will provide traffic flows of
goods and services. The Corridor will
provide much pivots from innovations
in transportation, communication
and logistics. The Prohibitive cost of
transporting products, containers and
other commodities safely to intended
land locked and other upcountry
towns of Tanzania destinations will be
significantly reduced and doing business
made easy along the infrastructures
corridor.
Securing Tanzanias lake regions
business future and influence will be
made easy amongst other deals by
starting up with proper planning and
Implementing of Value corridor at least
by next 15 years. The constructions of
Uganda-Tanzania Crude oil Pipeline
set an important path by first providing
the necessary way leave. Tanzania
should learn from its past Pipelines
implementation, take on the lesson
learned on land securing, ownership,
risks allocation and Mitigations,
investments and operations to avoid
any conflicts with community that
can delay project implementation and
quality in the future. Use the experience
to improve on the next Pipeline and
infrastructure project investments.
We do not have to be inferior, we can
make and attract excellent investment
in Tanzania and take the lead in East
African regional Markets. The future is
Positive. The choice remain in our hands
to decide and take actions.

12

Habari za nishati/madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Mei 12 - 18, 2016

WAZIRI MUSOMA VIJIJINI


kutoa maoni yao moja kwa moja
Profesa Muhongo azindua Tovuti na Mpango aukuhusu
jimbo husika.
Aliongeza kuwa, kuonekana kwa
miradi inayotekelezwa jimboni humo,
wa Ugawaji Madawati, Musoma Vijijini
ikiwemo ya Afya, Elimu, na Kilimo

bunge wa Jimbo
la Musoma Vijijini
ambaye pia ni Waziri
wa Nishati na Madini,
Profesa Sospeter
Muhongo amezindua Tovuti ya Jimbo
la Musoma Vijijini ambapo wadau
mbalimbali wa ndani na nje ya nchi
watapata taarifa mbalimbali kuhusu
Jimbo hilo.
Uzinduzi wa Tovuti hiyo
ulifanyika katika Kijiji cha Saragana
wilayani Musoma ambapo wananchi
mbalimbali na Viongozi mbalimbali

wa Halmashauri ya Musoma Vijijini


walihudhuria.
Badala ya kusubiri kuangalia
Runinga au magazeti, Tovuti hii
itasaidia shughuli mbalimbali za
Jimbo ikiwemo miradi mbalimbali
tunayotekeleza kuonekana katika
ulimwengu mzima, alisema Profesa
Muhongo.
Aidha alisema kuwa Tovuti hiyo
itarahisisha Mawasiliano kati ya
Mbunge na wananchi wa Jimbo hilo
kwani sasa wataweza kuuliza maswali

kutasaidia kuvutia wafadhili mbalimbali


kuendeleza miradi husika, akitolea
mfano zoezi la uchangiaji fedha za
kutengeneza madawati linaloendelea
sasa ambalo litawezesha madawati 8000
kutengenezwa.
Awali, Profesa Muhongo alizindua
pia Mpango wa ugawaji madawati
katika Jimbo hilo la Musoma Vijijini
ambapo alizindulia mpango huo katika
shule ya msingi Rukuba iliyopo katika
kisiwa cha Rukuba ambayo ilipata
madawati 100 huku zoezi hilo likiwa ni
endelevu.

Alisema kuwa Jimbo hilo lina


upungufu wa madawati 8000 hivyo
utengenezaji wa madawati hayo
unaendelea kupitia SUMA-JKT
mkoani Mwanza na kwamba fedha
za kutengenezea madawati zimetoka
kkwa Mbunge huyo pamoja na wadau
mbalimbali walioguswa na tatizo hilo.
Lengo letu ni kuhakikisha kuwa
ndani ya miezi mitatu ijayo kuwe
hakuna mtoto anayekaa chini katika
shule za msingi zote 108 zilizopo
jimboni humu, na fedha hizi za
utengenezaji madawati hutumwa
moja kwa moja kwenye akaunti ya
iliyotolewa na SUMA JKT, hii yote
ni katika kuhakikisha kuwa zoezi
hili linafanyika kwa ufanisi, alisema
Profesa Muhongo.
2

1. Wanafunzi wa Shule ya Msingi Rukuba katika Jimbo


la Musoma Vijijini wakiwa wamekalia madawati
yaliyotolewa na Mbunge wa Jimbo hilo ambaye pia
ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter
Muhongo mara baada ya kuzindua Mpango wa
ugawaji madawati katika Jimbo hilo ambapo shule hiyo
iliyopo katika kisiwa cha Rukuba ilipata madawati 100
huku zoezi hilo likiwa ni endelevu.
2. Walimu wa Shule ya Msingi Rukuba katika Jimbo
la Musoma Vijijini wakiwa wamekalia madawati
yaliyotolewa na Mbunge wa Jimbo hilo ambaye pia
ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter
Muhongo mara baada ya kuzindua Mpango wa
ugawaji madawati katika Jimbo hilo ambapo shule hiyo

iliyopo katika kisiwa cha Rukuba ilipata madawati 100


huku zoezi hilo likiwa ni endelevu.
3. Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini ambaye pia
ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter
Muhongo akihutubia Wananchi wa Kijiji cha Saragana
katika Jimbo hilo kabla ya kuzindua Tovuti ya Jimbo
husika ambapo wadau mbalimbali wa ndani na nje ya
nchi watapata taarifa mbalimbali kuhusu Jimbo hilo.
4. Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini ambaye pia
ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter
Muhongo (wa Pili kushoto) akipeana mkono na mmoja
wa Wanafunzi katika Shule ya Msingi Rukuba iliyopo
jimboni humo ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Mpango

wa ugawaji madawati katika Jimbo hilo ambapo shule


hiyo iliyopo katika kisiwa cha Rukuba ilipata madawati
100 huku zoezi hilo likiwa ni endelevu.
5. Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini ambaye pia
ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter
Muhongo (wa kwanza Kulia) akielekea kupanda
Boti ya kumpeleka Musoma Mjini mara baada ya
kuzindua Mpango wa ugawaji madawati katika Jimbo
hilo uliofanyika katika shule ya Rukuba iliyopo katika
kisiwa cha Rukuba ambayo ilipata madawati 100 huku
zoezi hilo likiwa ni endelevu. Wa Pili kutoka kulia ni
Mhandisi Joseph Kumburu.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Mei 12 - 18, 2016

13

WAZIRI MUSOMA VIJIJINI


Vikundi 15 vyafaidika na Fedha za
mfuko wa Jimbo Musoma Vijijini

umla ya Vikundi 15
vinavyojishughulisha na Kilimo
katika Jimbo la Musoma Vijijini
vitafaidika na Fedha za Mfuko wa
Jimbo hilo kwa kununuliwa vifaa
vya kazi vitakavyowawezesha kufanya
shughuli hizo.
Hayo yalisemwa na Mbunge wa Jimbo
hilo ambaye pia ni Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa Sospeter Muhongo
wakati wa kikao cha uidhinishaji wa
matumizi ya pesa za Mfuko wa Jimbo
hilo ambacho kilijumuisha Mwenyekiti,
Mkurugenzi na Madiwani wa
Halmashauri ya Musoma Vijijini. Kikao
kilifanyika katika kijiji cha Suguti, Jimbo la
Musoma Vijijini.
Alisema kuwa vikundi hivyo
vinavyojumuisha wanachama kati ya 15
na 33, vinatoka katika kata mbalimbali
za Jimbo hilo ambazo ni Nyegina,
Nyakatende, Kiriba, Busambara,
Bugwema, Bukima, Bwasi, Musanja na
Suguti. Kata nyingine ni Makojo, Bukumi,
Etaro, Mugango, Murangi na Nyambono.
Fedha hizi za Jimbo, hazitasaidia
Kilimo peke yake bali zitatumika pia katika
ukarabati wa madarasa na ukamilishaji
wa Wadi ya Wazazi katika kituo cha Afya
cha Murangi ili kina mama wengi zaidi
waweze kuhudumiwa na Kituo hicho,
alisema Profesa Muhongo.
Profesa Muhongo alisema kuwa
Fedha hizo za Mfuko wa Jimbo
hazitatolewa moja kwa moja kwa makundi
yatakayofaidika na Mfuko huo bali
vitanunuliwa vifaa vitakavyotumika katika
kuendeleza miradi hiyo na hivyo kuepusha
matumizi mabaya ya Fedha hizo.
Alisema kuwa baadhi ya vifaa
vitakavyotolewa kwa vikundi hivyo ni
pamoja na pampu ya kupeleka maji umbali
wa mita 60, mbegu za mazao, mipira ya
kumwagilia, Jenereta na dawa za mazao.
Vilevile Profesa Muhongo alivitaka
vikundi hivyo kufanya kazi kwa bidii
kwani tathmini ya utekelezaji wa miradi
hiyo ya kilimo itafanyika tarehe 1Desemba,
2016 ambapo kikundi kitakachofanya kazi
vizuri kitapewa motisha.
Aidha alimuagiza Afisa Kilimo
wa Halmashauri ya Musoma vijijini
kuanza kutafuta soko la mazao hayo
yanayozalishwa na vikundi hivyo vya
Kilimo ili kuepusha mazao yao kuharibika
kwa kukosa Soko.
Kwa upande wake Mwenyekiti
na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo
kwa nyakati tofauti walitoa shukrani
kwa Profesa Muhongo kwa kutekeleza
masuala mengi aliyoahidi jimboni humo
na kujitolea kwa dhati katika kusaidia
Jimbo, kwa kutoa Fedha za kununulia
vitabu vinavyosambazwa katika shule za
msingi na sekondari za Jimbo hilo pamoja
utengenezaji wa madawati yenye ubora
wa hali ya juu ambayo yanagawiwa katika
shule za Jimbo hilo.

Madiwani wa Halmashauri ya
Musoma Vijijini, na wawakilishi
wa vikundi 15 vitakavyofaidika
na Fedha za Mfuko wa Jimbo la
Musoma Vijijini, wakimsikiliza
Mbunge wa Jimbo hilo ambaye pia
ni Waziri wa Nishati na Madini,
Profesa Sospeter Muhongo
(hayupo pichani) wakati wa kikao
cha kujadili Mgao wa Fedha hizo
kilichofanyika katika kijiji cha
Suguti, Jimbo la Musoma Vijijini.
Mbunge wa Jimbo la Musoma
Vijijini, ambaye pia ni Waziri
wa Nishati na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo (wa Pili
kulia) akikabidhi Pampu
yenye uwezo wa kupeleka
maji umbali wa mita 60 na
Jenereta kwa moja ya vikundi
15 vitakavyofaidika na vifaa
vya kilimo vitakavyonunuliwa
kutokana na Fedha za Mfuko
wa Jimbo hilo.Vifaa hivyo
alivikabidhi baada ya kikao cha
kujadili Mgao wa Fedha hizo
kilichofanyika katika kijiji cha
Suguti, Jimbo la Musoma Vijijini
na kuhudhuriwa na Madiwani,
Mwenyekiti na Mkurugenzi wa
Halmashauri ya Musoma Vijijini.
Mbunge wa Jimbo la Musoma
Vijijini, ambaye pia ni Waziri
wa Nishati na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo (katikati)
akiwa katika picha ya pamoja
na Madiwani, Mwenyekiti na
Mkurugenzi wa Halmashauri
ya Musoma Vijijini mara baada
ya kumaliza kikao kilichojadili
Mgao wa Fedha za Mfuko
wa Jimbo hilo kilichofanyika
katika kijiji cha Suguti, Jimbo
la Musoma Vijijini ambapo pia
alikabidhi vifaa vya kilimo
kwa moja ya vikundi 15
vitakavyofaidika na Fedha za
Mfuko wa Jimbo hilo.

Mkuu wa Wilaya ya Musoma,


Humphrey Polepole
(aliyesimama) akizungumza
jambo wakati Mbunge wa
Jimbo la Musoma Vijijini ambaye
pia ni Waziri wa Nishati na
Madini, Profesa Sospeter
Muhongo (kulia) alipofika katika
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa
Mara, kabla ya kufanya kikao
kilicholenga kujadili Mgao wa
Fedha za Mfuko wa Jimbo hilo
kilichofanyika katika kijiji cha
Suguti, ambacho kilihudhuriwa
na Madiwani, Mwenyekiti na
Mkurugenzi wa Halmashauri
ya Musoma Vijijini. Kushoto ni
Meneja wa TANESCO Kanda ya
Ziwa, Mhandisi Amos Maganga.

14

Habari za nishati/madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Mei 12 - 18, 2016

WAZIRI MUSOMA VIJIJINI

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto)


akiwa na Mke wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere (kulia)
wakati walipokutana naye wilayani Musoma na kuzungumza masuala
mbalimbali.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kushoto)


akisalimiana na Mke wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere wakati
walipokutana naye wilayani Musoma na kuzungumza masuala
mbalimbali.

Wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini na TANESCO Kanda ya Ziwa


wakiwa katika Boti wakitokea kisiwa cha Rukuba wilayani Musoma. Wa kwanza
kushoto ni Mhandisi Juma Sementa, Kamishna Msaidizi wa Madini, Kanda ya
Ziwa Victoria, Mashariki . Wa pili kushoto ni Mhandisi Amos Maganga,Meneja
wa TANESCO Kanda ya Ziwa na wa Kwanza kulia ni Mhandisi Joseph Kumburu

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Habari za nishati/madini

Mei 12 - 18, 2016

15

KIKAO CHA UWEKEZAJI SEKTA YA NISHATI

Kutoka kulia ni Waziri wa Nishati na


Madini Profesa Sospeter Muhongo na
Uongozi wa Benki ya Standard Charted
ukiongozwa na Mtendaji Mkuu wa Benki
hiyo duniani ,Bill Winters (kulia kwa
waziri), Mtendaji mkuu wa Kanda ya
Afrika na Mashariki ya Kati, Sunil Kaushal
(kulia) na Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo
nchini Sanjay Rughani, Mkuu wa kitengo
cha Bishara, Juanita Mramba na wengine
katika picha ni Mkurugenzi wa Idara ya
Sheria Wizara ya Nishati na Madini, Justus
Mulokozi, Mhandisi Joseph Kumburu wa
Wizara ya Nishati na Madini wakiwa
katika kikao cha pamoja ili kupata taarifa
kuhusu fursa za uwekezaji katika Sekta ya
Nishati jijini Dar es Salaam.

You might also like