You are on page 1of 16

Sauti ya Waislamu

Vyama vya kidini viruhusiwe


Usekula ufutwe katika katiba Sheria ya Ndoa 1971 ni batili

Waziri akataa kupiga marufuku hijab


Asema lilikuwa vazi la Mama wa Yesu Hakutembea na kimini, kichwa wazi

ISSN 0856 - 3861 Na. 1011 JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11-17, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Uk. 2

Hebu kiria! Dua kubwa Pemba leo


Na Mwandishi Wetu LEO inatarajiwa kufanyika Dua na Ijumaa ya pamoja kisiwani Pemba. Dua hiyo itakayofanyika katika uwanja wa Tibirinzi Chake Chake, itafuatiwa na mihadhara ya kidini itakayofanyika katika wilaya zote za Pemba. WACHEZAJI wa timu ya soka ya wanawake Iran wakiwa uwanjani. Habari Uk. 5.

PICHA ambayo Wakristo hudai ni Bikira Maria.

Umma ulifurika Maisara Ijumaa iliyopita Waislam wahimizwa subra, kuwa makini JUMIKI yasema SMZ wanavunja Katiba

Ms Dana L. Banks (Asa wa Masuala ya Umma wa Ubalozi wa Marekani katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) MWANAMKE wa Kiislamu haruhusiwi hata kuonyesha nywele zake kwa mtu asiye mume wake. Sasa hebu fikiria, jaribu kuleta katika fikra, binti Muislamu mwari kutoka kijijini, anakamatwa na kubakwa na jibaba askari. Sio jibaba moja, sio majibaba mawili, sio watatu, sio wanne, lakini majibaba askari watano!!! (Soma Barua ya wazi kwa Ms Dana L. Banks Uk. 8, 9)

Jumuiya inachukua fursa hii kuwatangazia Waislamu na Wazanzibari kuwa itafanya dua kisiwani Pemba pamoja Inaendelea Uk. 3

AN-NUUR

Tahariri/Habari

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110148, 0755 260 087, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

AN-NUUR

Vyama vya kidini viruhusiwe


Na Bakari Mwakangwale W I TO u m e t o l e a k u w a mabadiliko makubwa yanatakiwa kufanyika katika katiba ya nchi. Mabadiliko hayo ni pamoja na kufuta usekula na kutoa fursa kwa dini kuongoza maisha ya Watanzania katika kila kipengele cha maisha ikiwemo siasa, sheria na uchumi. Hayo yamebainishwa na Sheikh Salim Barahiyan ambaye amesema kuwa neno dini limepewa tafsiri finyu katika katiba ndio maana ikakia mahali pa kutungiwa Sheria ya Ndoa isiyokubalika katika Uislamu ya mwaka 1971. Katika kuhakikisha Waislamu wanashiriki vyema katika kutoa maoni juu ya Katiba mpya, Sheikh Salim Barahiyan, ametoa kitabu m a a l u m k w a Wa i s l a m u kinacho ainisha dosari kadhaa katika katiba ya sasa kwa matamo wa Uislamu. Kitabu hicho kimekuwa kikitawanywa katika ziara zake sehemu mbalimbali katika semina zake juu ya kuwaelimisha Waislamu umuhimu wa kushiriki kutoa maoni yao kwa Tume ya kuratibu utungwaji wa Katiba mpya. Kitabu hicho chenye kurasa takriban 60, na sura sita, kimenyumbulisha makosa ya msingi yaliyomo ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mtazamo wa Uislamu, ambapo pia hilo ndio jina la kitabu hicho. Kitabu kimeeleza kuwa kitaleta muamko mpya haswa kwa Waislamu kuijua hali waliyonayo kwa sasa na nini wafanye sambamba na kuwasaidia katika kutoa maoni kwenye Tume. Kitabu kimechambu vipengele na maneno yaliyomo ndani ya Katiba vilivyopotoshwa kwa mtazamo wa Uislamu, ambapo kimeeleza kuwa neno Ibada, kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano kifungu 18 (2) limepewa tafrsi nyu. Pia kitabu hicho kimegusa masuala ya sheria ya ndoa ya 1971, na kuainisha kuwa yanakwenda kinyume na sheria za Allah za ndoa, ambazo kimsingi kwa Waislamu ni

MAONI YETU

Usekula ufutwe katika katiba Sheria ya Ndoa 1971 ni batili

Ma-DC wapya wakawajibike


JUZI Rais Jakaya Kikwete ameteua wakuu wapya wa Wilaya mbalimbali nchini. Safari hii Rais kafanya uteuzi wa wakuu wengi wapya tofauti na miaka mingine. Kutokana na mabadiliko hayo, Wakuu wa wilaya 51 kati ya 114 waliokuwepo zamani wameachwa. Waziri Mkuu Mizengo Pinda alisema zamani kulikuwa na wilaya 114 na baada ya Mhe. Rais Kikwete kuridhia kuanzishwa kwa wilaya mpya 19, hivi sasa zimekia wilaya 133. Kwa hiyo, Wakuu wa Wilaya waliosalia wa zamani ni 63 na wameteuliwa wapya 70. Japokuwa ni hatua ya kawaida kwa Rais kuteua wakuu wa Wilaya na Mikoa kila baada ya kipindi cha miaka mitano, lakini tunaamini kwamba uteuzi wa safari hii, hasa kwa kuamua kuteua sura mpya, ni mfululizo wa mabadiliko anayofanya Rais katika serikali yake kufuatia kukithiri kwa hali mbaya ya kiutendaji ya wateule wake. Ikumbukwe kuwa hivi karibuni Baraza la Mawaziri lilichanguliwa ambapo mawaziri sita walitupwa nje kufuatia tuhuma mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao wanayosimamia. Kidhibiti ni ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Kamati tatu za kudumu za Bunge, ambazo ni Kamati ya Hesabu za Serikali, Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma na Kamati ya Hesabu za Halmashauri na Serikali za Mitaa. Inavyoonekana, wateule wa Rais, wengi wao wanatanguliza zaidi ubinafsi kupitia nyadhifa zao na kudhulumu umma kupitia wizi na ubadhirifu. Ingawa walioteuliwa wengi wao ni makada mahiri wa CCM, lakini hatudhani kwamba wameteuliwa ili kuendeleza ukada wao wilayani. Wala hatudhani kama uteuzi wao ni zawadi au kulipa fadhila kwa kujitoa kwao katika chama, japo kwa walioteuliwa wanaweza kuwa na kira hizo. Wala Rais hakuwateua makada hao ili kuwapoza machungu kwa kuwa wengi wao waligombea nafasi mbalimbali za kuchaguliwa kama vile Ubunge, udiwani au nafasi za kichama ndani ya CCM na wakaanguka. Bila shaka, Rais ana kusudio lake kuteua sura mpya katika nafasi hizo. Nalo si jingine bali ni kuleta mabadiliko chanya ya kimaendeleo wilayani. Kusimamia maendeleo ya watu, kusimamia rasilimali za nchi pamoja na matumizi yake ili zitumike vizuri kwa maslahi ya wananchi. Kusimamia kwa haki matumizi mazuri ya fedha za serikali kama zilivyokusudiwa. Tunaamini kuwa walioteuliwa watakuwa wameelewa kusuda la Rais ambalo tunaamini pia ndio kusudio la Wananchi huko wilayani waendako. Tu a n a w a t a k a w a e n d e wakachape kazi kama ilivyokusudiwa, sio kugeuza osi kuwa vijiwe vipya vya kupiga mabomu na dili za kimjini. Wakadhibiti ubadhirifu katika Halmashauri, wakawasukume watendaji wazembe na wala rushwa huko wilayani. Wakasimamie kwa dhati maendeleo ya wilaya zao. Wao sasa ni watumishi wa umma. Watambue kuwa wameingia kwenye wajibu wa kuhudumia wananchi, sio kula nchi.

AMIR Sheikh Mussa Kundecha ni miongoni mwa Masheikh waliohudhuria uzinduzi wa kitabu hicho. Ibada, suala la mfumo wa kutenganisha dini na dola. Kikifafanua kwamba, Uislamu hautenganishi mamlaka ya nchi (siasa) na dini kwani Dini inawaongoza Waislamu katika kila kipengele cha maisha ibada, jamii, siasa, Uchumi nakadhalika. Kitabu hicho pia kimegusia katiba (mfumo) kukataza kuanzisha Chama Cha Siasa chenye lengo la kukuza Dini, kwamba katika Uislamu mfumo huu haukubaliki kwa sababu Dini ndio inayoongoza katika kila kitu kwa mujibu mwa Qur an. Amekuwekeeni Sharia itokayo na dini ile ile aliyomuusia Nuuh na ambayo tumekuteremshia wahyi kwako na tuliyomuusia Ibrahim na Mussa na Issa, kwamba msimamishe dini wala msifarikiane (kwenye Dini)-As-Shuura:13. Kikafafanua kitabu hicho kwamba, kutangaza Dini ni wajibu wa kila Muislamu akiwa mwanasiasa, lakini katiba inazuia mwanasiasa kusimamisha Dini. Katika hitimisho la kitabu hicho, kimeonyesha kutoridhika na zuio la kujadili Muungano wa Tanganyika na Zanzibar pamoja na Msingi/ asili ya Usekula (Kutenganisha siasa na dini) ya Jamhuri ya Muungano. Kimeeleza kwamba mashariti hayo hayakubaliki kwa sababu yanamnyima raia ambaye ndio mtunzi halisi wa katiba, Uhuru wa kutoa maoni ambao amepewa na kipengele cha 18 (1) na 19 (1) cha katiba ya nchi. Kitabu hiki tunataraji kitakuwa ni msaada mkubwa wa rejea kwa kila anayetaka kuchangia maoni ya Utunzi wa Katiba mpya, kwa sababu kimetoa picha ya makosa ya msingi yaliyomo ndani ya Katiba iliyopo, hivyo marekibisho yoyote lazima yachunge mtazamo huo. Kimeainisha kitabu hicho.

AN-NUUR

Inatoka Uk.1
na sala ya Ijumaa ya pamoja tarehe 11/05/2012 hapo Chake Chake, Pemba ikifuatiwa na mihadhara katika wilaya zote za Pemba Inshaallah. Imesema taarifa ya JUMIKI. Ikiarifu juu ya Dua na mihadhara hiyo, Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu imesema kuwa, wanafanya hivyo ikiwa ni kutekeleza wajibu wao wa kidini pamoja na kutumia vyema uhuru wao wa kuabudu na kutangaza dini kama ulivyozingatiwa katika katiba ya nchi. Jumuya inatamka wazi kuwa itaendelea kutumia uhuru wake wa kuabudu na kueneza dini kupitia mihadhara, makongamano n.k. Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar inavyoeleza pia inawataka Wazanzibar na Waislamu kwa ujumla wasiyumbishwe na watu wachache kwa taarifa zao binafsi wanazozitoa katika vyombo vya habari kwa maslahi yao binafsi na kutafuta umaarufu. Kauli hiyo ya JUMIKI ambayo waliitoa kwa waandishi wa habari mapema wiki hii ilikuwa ni kujibu kauli ya baadhi ya viongozi katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibra (SMZ) ambao walisema kuwa ni marufuku kufanyika mihadhara ya Uamsho. Inadaiwa kuwa viongozi hao walipiga pia marufuku kusikiliza mawaidha na hotuba za jumuiya hiyo zilizorekodiwa katika CD/ DVD. Jumuiya inachukua fursa hii kuwanasihi viongozi hao kuacha kutumia madaraka vibaya na kuwakumbusha ibara ya 12 ya katiba ya Zanzibar inayosema kuwa watu wote ni sawa mbele ya sheria, na wanayo haki, bila ya ubaguzi wowote, hivyo watawajibika kwa utumiaji wowote mbaya wa madaraka yao. Pia tunawakumbusha maneno ya Mh. (Rais) Shein aliyoyasema katika jimbo la Koani endeleeni kuitunza amani ya Zanzibar aliyechoka na amani basi aondoke ahame kabisa atuachie Jumiki wanayasema hayo wakijenga hoja kuwa viongozi wanaotumia madaraka yao kuwakataza Waislamu kutumia uhuru wao wa kikatiba na kisheria katika kutoa maoni na kutangaza dini, basi wanahatarisha amani ya nchi. Kila Mzanzibar afahamu kuwa anahaki kamili ya kuabudu, kueneza dini, uhuru wa maoni, uhuru wa kujumuika, kupata habari na taarifa pia kuzitoa na kuzieneza, hayo

Dua kubwa Pemba leo

Habari

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012


wa Mwenyezi Mungu katika kipindi hiki ambapo wanakabiliwa na changamoto ya kutizama mustakbali wao katika muungano. Wito huo umetolewa na Sheikh Farid Hadi Ahmed mara baada ya kusomwa Dua na masheikh mbali mbali akiwemo Sheikh Suleiman Haji na Amir wa Uamsho, Sheikh Msellem Bin Ally katika swala ya pamoja iliyofanyika viwanja vya Maisara. Sheikh Farid alisema wanachodai sio uongozi, bali wanadai haki ya nchi yao yenye usawa na kutaka kuirejeshea hadhi yake Zanzibar ambayo ilikuwa ikitajika katika ulimwengu kwa ustaarabu na khulka njema pamoja na kuwa na wasomi wa fani mbali mbali. Sisi hatubagui mtu kwa rangi yake, dini yake au chama chake cha siasa bali tunataka kila aliye Mzanzibari mwenye uchungu na nchi yake, basi tupo naye pamoja na dhana kwa Wakristo mtafukuzwa hilo halina ukweli. Tu n a j u a k u n a w a t u wanafanya hivyo kwa makusudi ili kutupotezea lengo letu la kudai maslahi na haki ya nchi yetu. Kwa hivyo tunawaambia Wa k r i s t o w a Z a n z i b a r hakuna atakayekufukuzwa wala kubughudhiwa, tunajua wapo wenye uchungu na Zanzibar na wanaumwa na kukandamizwa hii Zanzibar. Alisema Amiri Farid.

Waziri akataa kupiga marufuku hijab

WAISLAMU Zanzibar mara baada ya kusomwa Dua baada ya swala ya pamoja iliyofanyika viwanja vya Maisara. yote yanalindwa na katiba ya aliyejitokeza wazi kupiga kueneza dini kama Ibara Zanzibar, KILICHOBAKIA marufuku mihadhara ya kidini ya 19 inavyoeleza, baadhi ya wansiasa wanaviagiza NI WEWE MWANANCHI ya Uamsho. Mkuu huyo wa Mkoa vyombo vya usalama kuvunja KUWA IMARA KUTUMIA HAKI YAK O BILA YA Mheshimiwa Dadi Faki Dadi kifungu hicho cha katiba. Imesema taarifa ya Jumiki anadaiwa kupiga marufuku KUTETEREKA. m i h a d h a r a h i y o w a k a t i n a k u w a t a k a Wa i s l a m u Ilisema taarifa ya JUMIKI ikiw ataka Wa i s l a m u n a akiongea na vikosi vya ulinzi kisiwani Pemba kuhudhuria Ijumaa hiyo Wazanzibari kutotishika na na usalama katika uwanja kwa wingi na Dua kama ya pamoja kauli za baadhi ya viongozi wa Jamhuri Garden, Wete walivyofanya wenzao wa wa SMZ wanaowakataza Mei 8. Unguja wiki iliyopita katika kufanya mihadhara ua kidini. Tunashangaa sana wakati viwanja vya Maisara. Taarifa hiyo ya Mei 9 katiba ya Zanzibar imeweka Wakati huo huo Wazanzibari inamtaja Mkuu wa Mkoa wa wazi na kubainisha haki wametakiwa kudumu katika Kaskazini, Pemba kuwa ndiye na uhuru wa kuabudu na subra na kutaka msaada

HAWA ni mabinti wa Kitaliano wakiwa wamejistiri kwa hijab

ROME Waziri wa Sheria wa Italia amekataa kuweka saini sheria ya kupiga marufuku vazi la hijabu nchini humo iliyopewa kauli mbiu Ban Against Hijab. Maria, Mama wa Yesu hakuvaa kimini wala kutembea kichwa wazi, alibainisha Waziri huyo akionyesha kuwa hijabu ni vazi takatifu. Nitasaini vipi sheria ya kuzuia hijab wakati sote tunaona picha za Bikira Maria akiwa amevaa vazi hilo hilo? alinukuliwa a k i s e m a B w. R o b e r t o Maroni. Waziri Roberto Maroni, alisema kuna haki na usawa miongoni mwa Wakatoliki na pia watu wa imani nyingine. Alisema Maria, mama wa Yesu mara zote alivaa hijab, hivyo alihoji iweje leo atakiwe kusaini sheria ya kupiga marufuku hijab?

AN-NUUR

Habari/Tangazo

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012

Nyota wa soka duniani asilimu


Newcastle kujenga Msikiti katika uwanja Ni wa kuswalia wachezaji wake Waislamu
kukulia katika familia ya Kikristo, amekiri akisema kwa sasa yeye ni Muislamu na kwamba Uislamu ni dini nzuri na sahihi. Alisema, alianza kuufatilia Uislamu kutokana na kuwa marafiki zake wengi wa karibu (wanasoka) kusilimu na kuachana na Ukristo, jambo ambalo lilimfanya naye kuwa karibu zaidi na imani hiyo ya Kiislamu. Henry aliwataja baadhi ya mastaa wenzake hao ambao tayari wamesilimu na kuvutiwa nao kutokana na mwenendo wao ndani ya Uislamu, kuwani Franck Ribery, Didier, Eric Abidal, Necholas Anelka pamoja na WIMBI la mastaa wa soka katika klabu za soka Ulaya, Kusilimu na kuachana na Ukristo limezidi kushika kasi, na safari hii nyota wa zamani wa Arsenal, Thierry Henry ameuthibitishia Ulimwengu kuwa yeye sasa ni Muislamu. Kwa mujibu wa kituo cha Televisheni cha Al-Jazeera, mwishoni mwaki iliyopita kimemkariri nyota huyo ambaye kwa sasa anachezea timu ya New York Redbull ya Marekani akieleza jinsi alivyo silimu, huku akitetea kuwa Uislamu. Henry (35) ambaye ni raia wa Ufaransa aliyezaliwa na Philippe Christanval. Tangu marafiki zangu wengi waingie katika Uislamu nimejikuta niko karibu sana na Uislamu. Sijui nifafanue namna gani, ila kwangu mimi Uislamu ni dini bora na ndio maana nimejiunga nayo. Alisema nyota huyo. Ni aibu kuona kuna miongoni mwa matukio mbalimbali duniani yakihusishwa na Uislamu na kuleta picha mbaya. Kama mtu anamuamini Mwenyezi Mungu, basi lazima aiamini Qu ran na Mtume Muhammad (S.a.w). Alisema. Mwanasoka huyo maarufu duniani, alionyesha kuwashangaa wale ambao mpaka sasa hawajauona ukweli na kusilimu. Henry, kama vile akitoa mawaidha alisema, Uislamu unasema kuwa mtu ni lazima aamini kwanza, na kwamba kwa sasa anauelewa Uislamu kuliko dini nyingine yoyote duniani. Katika mlolongo huo wa wachezaji maarufu Dunia, kuachana na Ukristo na kujiunga na Uislamu, mara baada ya kusilimu Frenck Ribery na kujiunga na Uislamu tokea mwaka 2002, alinukuliwa na vyombo vya habari akisema, ametafuta kitu ambacho kitamfanya awe na amani moyoni mwake, na kubainisha kuwa kitu hicho amekipata katika Uislamu. Wakati huo huo, kocha mkuu wa timu ya soka ya Newcastle United nchini Uingereza, Alan Pardew, amesema kuwa klabu hiyo imechukua uamuzi wa kujenga eneo makhsusi kwa ajili ya ibada ya Swala kwa wachezaji nyota Waislamu wa timu hiyo katika uwanja wa nyumbani wa St James Park. Wachezaji Hatem Ben

Walimu Zanzibar wapewa mtizamo sahihi kusomesha


Inatoka Uk. 16 usafi lakini, mazingira unapomfundishia ni machafu, pana matandabui, vumbi, takataka! Alihoji na kushangaa mtoa mada. Ikaelezwa kuwa kama Waislamu watasoma kwa mtizamo wa Quran, sio ule wa punda aliyebeba vitabu, basi angalau kwa kipengele cha usafi ndio ambao nyumba zao na mitaa yao itakuwa sa zaidi. Kwa upande mwingine watakuwa na tabia nzuri na kuwa baba na mama wazuri, waume na wake wazuri kuliko watu wengine. Na kwamba hata katika sehemu za kazi na biashara watakuwa waadilifu na watu wa kutegemewa na wengine. Kinyume cha hivyo ndio tunakuta Muislamu anadanganya katika mizani na vipimo na kuwa mvivu na mwizi kazini kama wale wasio mwamini Allah na kumfuata Mtume Muhammad (s.a.w). Kwa upande mwingine ilisisitizwa kuwa kutokana na ile amri ya Iqra, mwalimu ajue kuwa kusomesha ni kutekeleza amri ya Allah na kupata mshahara sio lengo. Akitoa mafunzo ya semina

Arfa, Papiss Cisse na Demba Ba ni miongoni mwa nyota Waislamu wa timu hiyo ambayo msimu huu, kocha wao Alan Pardew ana matumaini kwamba wataisaidia timu kufanya vyema zaidi. Kocha Perdew anaamini kuwa itikadi za kidini za wachezaji hao Waislamu zimekuwa na mchango muhimu katika mafanikio ya klabu hiyo katika msimu huu wa ligi ya Premier. Kocha huyo wa Newcastle ameliambia gazeti la The Mail kwamba, amezungumza na mkurugenzi wa klabu hiyo kuhusu suala la ujenzi wa eneo la ibada ya swala kwa ajili ya wachezaji hao Waislamu kwani viongozi wa klabu wanalazimika kulinda itikadi za kidini za wachezaji wake. Alan Pardew, ameongeza kuwa wachezaji wanapaswa kuheshimiwa na kwamba wachezaji wa ligi kuu ya Uingereza wanafuata dini mbalimbali na kuna udharura wa kujali hali zao.

mtoa Mada Suleimani Daud kutoka Dar es salaam alisema umoja na mshikamano katika kuupeleka mbele Uislamu ni jambo muhimu kwa waalimu Waislamu hata kama mashekhe wao ni tofauti. Alisema Daud waalimu wanatakiwa wawe na lengo moja ili waweze kulifikia lengo walilotumwa na Allh (sw) kwani hakuna Qur an ya kundi fulani wala swala zenye kutofautiana rakaa. Katika kuchangia mada Mwalimu Latifa kutoka skuli ya Kikungwi iliyoko wilaya ya Kati mjini Unguja alisema ipo haja ya kutolewa elimu zaidi kuwapa walimu maarifa jinsi watakavyosomesha masomo yao kama jiograa na lugha kupitia masomo hayo wawafanye watoto wawe waumini wazuri zaidi. Mimi ni mwalimu wa somo la geography nitamfundisha vipi mwanafunzi kumhofisha Allah katika somo langu? aliuliza Latifa ambaye alipatikana kwa jina moja. Aidha Mwalimu Mkuu wa skuli ya Hurumzi ilioko katikati ya mji wa Zanzibar Amina Salum alisema

Zanzibar Uislamu bado haujaeleweka wala Harakati hazifahamiki ndio maana fursa ya kuwepo wanafunzi zaidi ya asilimia 99 katika maskuli hazitumiki vizuri ikidhaniwa kuwa ili mtoto ajue Uislamu ni kupitia madrasa tu au kama kuna walimu wa masomo ya dini katika skuli. Uislamu Zanzibar haujaeleweka, je, harakati zitafahamika, tufahamu kuwa waalimu ni walezi na siyo waalimu chaki, lakini taaluma hii ya kusomesha skuli kwa mtizamo wa Kiislamu (Islamization of Knowledge) hatuna, tutalikiaje lengo? Amina alisema na kuhoji. Mtoa mada Jafar Ngulangwa alichambua masomo yote kwa kulinganisha na Qur an na kuonyesha jinsi walimu wanavyoweza kutumia aya za Quran na Hadithi katika masomo yao. Semina hiyo ambayo ni ya nne kufanywa kisiwani humu, ilikuwa ni ya siku tatu kuanzia tarehe 27-29 April, 2012. Katika ratiba yake palikuwa pia na swala za usiku (Qiyam layl) na darasa duara kila baada ya swala ya Subhi.

Tangazo
Kamati ya Elimu ya Dini ya Kiislamu IRINGA (EDK), inahitaji MRATIBU wa Elimu ya Dini ya Kiislamu Mashuleni. Sifa:1. Aw e M u i s l a m u M w a n a u m e anayejitambua 2. Awe angalau na Stashahada ua Ualimu 3. Awe tayari kujitolea katik kazi za Daawa 4. Aw e n a u j u z i w a k u t u m i a Compyuta 5. Awe anamudu kuzungumza na kuandika Lugha ya Kiswahili, Kiingereza na Kiarabu kama lugha ya ziada. 6. Awe mbunifu na yupo tayari kazi katika mazingira yoyote Barua ya maombi na wasifu vitumwe kwa njia ya E-mail ifuatayo:Edk.fund@gmail.com. Mwisho wa kupokea maombi ni Tarehe 24/5/2012.

AN-NUUR

Kimataifa/Tangazo

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012

Maelfu ya Waitaliano wasilimu


ROME MKUU wa Muungano wa Taasisi za Kiislamu nchini Italia yaani Union of Islamic communities in Italy (Ucoi) Elzir Izzedine, amesema kuwa Waitaliano zaidi ya elfu sabini wamesilimu. Kwa mujibu wa m t a n d a o w a Yo u t u b e programme KlausCondicio, unaoendeshwa na Klaus Davi, ambaye anashughulikia ripoti juu ya Waitaliano wanaojiunga na Uislamu, umemnukuu Elzir Izzedine, akisema kuwa utati kuhusu raia wa Italia ambao wameshasilimu na kuingia katika dini tukufu ya Kiislamu unaonyesha kuwa wengi wa wanaosilimu wanaingia misikitini kusoma zaidi. Muungano huo umeeleza kwamba nukta ya kuvutia ni kuwa, idadi ya wanaosilimu inaongezeka siku baada ya siku nchini humo. Mtandao wa Intaneti wa AGI nao umeakisi habari hiyo na kutaja kuwa, moja ya sababu zinazowafanya raia wengi wa Italia kuingia katika dini tukufu ya Kiislamu ni hali mbaya sana ya kimaadili nchini humo na mgogoro mkubwa wa kiuchumi nchini Italia. Jambo hilo linaonesha kuwa, Waitaliano hivi sasa wamehisi kuwa utatuzi wa mmomonyonyoko mkubwa wa kimaadili na mgogoro wa kiuchumi unaoikabili nchi yao, unapatikana katika dini tukufu ya Kiislamu inayolinda usawa na uadilifu katika kila nukta ya maisha ya mwanadamu. Kama utatambua kwamba tayari kuna Waislamu 150,000 miongoni mwa raia wa Italia na Waislamu milioni moja wakazi, utaweza kuelewa kwamba ni ongezeko kubwa. alisema Izzedine. Katika taarifa nyingine, imeelezwa kwamba Uislamu ndio dini inayoenea kwa kasi zadi Marekani katika mwaka moja uliopita, imebaini sensa iliyofanyika hivi karibuni. Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA, sensa hiyo ambayo imefanywa na Jumuiya ya Wanatakwimu wa Bodi za Kidini Marekani, yenye makao yake Chicago, idadi ya Waislamu Marekani imeongezeka takribani maradufu katika muongo moja uliopita. Inakadiriwa kuwa idadi ya Waislamu Marekani hadi mwaka 2010 ilikuwa ni milioni 2.6 kutoka milioni moja mwaka 2001. Takwimu zisizo rasmi zinasema idadi ya Waislamu nchini Marekani ni kati ya milioni sita hadi milioni saba. Sensa hiyo imeonyesha kuwa Waislamu sasa wanawazidi Mayahudi maeneo ya katimagharibi na kusini mwa Marekani. Ripoti zinasema ongezeko hilo la idadi ya Wa i s l a m u M a r e k a n i n i kutokana na watu kusilimu na uhamiaji. Uchunguzi huo ulionyesha kuwa kuna zaidi ya misikiti 2,000 Marekani kote ambapo 166 iko Texas. Ripoti nyingine ya hivi

LONDON Waislamu nchini Uingereza wamepinga vikali pendekezo la kupigwa marufuku uchinjaji kwa njia halali ya Kiislamu. Katibu Mkuu wa Baraza la Waislamu Wales, Saleem Kidwai amesema kuwa wanaaamini uchinjaji halali unahitajika sana na kwamba kuchinja huwa haraka na kwenye kupunguza uchungu. Utata kuhusu njia zinazotumiwa na Waislamu kuchinja ulianza wakati Profesa Bill Reilly, kiongozi wa zamani wa Jumuiya ya Wa g a n g a w a Wa n y a m a Uingereza, aliposema uchinjaji unapaswa kupigwa marufuku na badala yake itumike njia ya kuwafanya

Waislamu Uingereza watetea nyama halali


wanyama wazirai. Alidai mbinu ya uchinjaji Halal inayotumiwa na Waislamu na uchinjaji aina ya Kosher unaotumiwa na Mayahudi si sahihi. Kwa mujibu wa mafundisho ya Qurani Tukufu, Waislamu wanapaswa kula nyama ya mnyama ambaye amechinjwa shingo kwa kisu baada ya Jina la Allah kutajwa. Wanazuoni wa Kiislamu wanaakiana kuwa sheria za Kiislamu zinataka huruma ionyeshwe kwa viumbe wote wa Allah wakiwemo wanyama. Uislamu pia unawataka Wa i s l a m u w a w a c h i n j e wanyama pasi na kuwasababishia uchungu ziada. Kutokana na kukithiri kwa

karibuni ilionyesha kuwa idadi ya misikiti Marekani pia iliongezeka maradufu katika muongo mmoja uliopita na kukia 2,000. Uislamu unastawi kwa kasi Marekani pamoja na kuwepo wimbi kubwa la chuki dhidi ya Uislamu nchini humo. Naye Waziri Mkuu wa Zamani wa Italia, Massimo DAlema, amewataka viongozi wa nchi za Ulaya kutilia maanani suala la kufanya mazungumzo na ulimwengu wa Kiislamu. DAlema, ambaye ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Utafiti wa Maendeleo barani Ulaya, ameyasema hayo katika mkutano wa vyombo vya habari ambapo alisisitiza juu ya umuhimu wa mapinduzi ya hivi karibuni katika Mashariki ya Kati na kaskazini mwa Afrika. Amesema kuwa matukio hayo si ya muda mfupi na ya kupita bali ni uhakika kwamba kutaendela kuwa na taathira nzuri katika maeneo hayo. DAlema amesisitiza kuwa wanasiasa wa Ulaya wanapaswa kuwa na uhusiano mwema na viongozi wa nchi za Kiislamu na Kiarabu na kuwataka watilie maanani umuhimu wa Uislamu wa kisiasa kwa Waislamu. Amesema ana matumaini kwamba serikali ya Italia itachukua hatua nzuri za kutatua ugomvi wa Palestina na utawala wa Israel na kusaidia juhudi za kutatuliwa mgogoro wa Mashariki ya Kati.

FIFA yaunga mkono hijabu michezo ya Olimpiki London


SHIRIKISHO la Soka Duniani FIFA limeunga mkono vazi ya stara la mwanamke wa Kiislamu hijabu, katika michezo ya Olimpiki itakayofanyika jijini London. Imeelezwa kuwa vazi hiyo haliwezi kuwa kizuizi cha kushiriki wanawake wa Kiisalmu katika mashindano hayo. Naibu Mwenyekiti wa FIFA amesema mashindano ya Olimpiki ya London ni fursa ya wanawake wa Kiislamu kuonyesha uwezo wao kwa walimwengu. Naibu mpya wa bosi wa FIFA, Ali al Hassan bin Ali amesema kuwa vazi la wanawake wa Kiislamu haliwezi kuwa kizuizi cha kushiriki katika mashindano ya Olimpiki. Akijibu swali kwamba ni

WACHEZAJI wa timu ya soka ya wanawake Iran wakiwa uwanjani.

chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya, baada ya kupigwa marufuku vazi la hijabu, ujenzi wa misikiti na minara ya misikiti, hivi sasa kuna njama za kutaka bidhaa za vyakula halali barani humo zipigwe marufuku. Marine Le Pen wa Chama cha Kitaifa chenye misimamo mikali huko Ufaransa, katika kampeni zake za uchaguzi wa Rais alilalamikia kuongezeka chakula halali nchini humo na hivyo kutaka kuwepo vizingiti katika uuzaji wa vyakula halali nchini Ufaransa. Sarkozy vile vile aliunga mkono suala hili lakini si kwa njia ya moja kwa moja. Hata hivyo wagombea wote hao wawili wameshuindwa katika uchaguzi na Bw. Juan Hollande wa chama cha Kisoshalisti.

hatua gani zilizochukuliwa kuzuia marufuku iliyowekwa ya vazi la hijabu kwa wanawake wa Kiislamu katika michezo, al Hassan bin Ali amesema wanamitindo na wataalamu wa FIFA wameshabuni vazi la wanawake wa Kiisalmu ambalo litatumiwa katika michezo mbalimbali baada ya kupitishwa. Amesema mchezo wa mpira wa miguu ambao unapendwa kote duniani, unapaswa kuwashirikisha watu wote. M w a k a 2 0 0 7 F I FA ilipiga marufuku vazi la staha la mwanamke wa Kiislamu la hijabu, sababu ikidaiwa kuwa ni masuala ya usalama. Mwezi uliopita shirikishi hilo la mpira wa miguu duniani liliruhusu utumiaji wa vazi hilo katika michezo.

AN-NUUR

Makala

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012


historia. Yeye ni mtu wa kwanza kumkubali Mtume, hata kabla ya kupewa utume Muhammad [s.a.w]. Mtume (saw) alikuwa na kawaida ya kwenda kukaa peke yake katika JabalilHiraa ili kupata wasaa na utulivu wa kutafakari juu ya Allah[s.w] Khadija wala hakumkataza. Baada yake alimtengenezea masurufu na kumpelekea japo wakati mwingine Mtume (saw) alikaa huko muda mrefu. Alipojiwa na Jibril na kumpa wahyi wa kwanza, Mtume (s.a.w) aliogopa sana na akarejea nyumbani na kumueleza mkewe juu ya tukio hilo na kumwambia kuwa alihofu amejiwa. Bi. Khadija alimfariji sana akamwambia, Allah {S.W} hatakuacha udhurike ) kwani wewe u mwema kwa ndugu zako, unawasaidia wale waliodhaifu unawapa sadaka wenye shida, unasema kweli, mkarimu kwa wageni wako, unafariji wale wenye dhiki, kwa khulka hii ni njema Allah hata kuacha audhurike. Hebu fikiria wewe mwanamke wa Kiislamu hofu na wasiwasi na msukosuko mkubwa aliokuwanao Mtume [s.a.w], halafu kiria utulivu alioupata baada ya kufarijiwa na mkewe Bi. Khadija, hapana shaka faraja hiyo ilimpa nguvu za kusubiri na kuhimili misukosuko iliyofuata. Leo hii tujiulize wanawake wangapi wamefanya nyumba zao kuwa ni mahali pa utulivu wa mawazo kwa mumewe na kujipamba na sifa za wanawake wema waliyo tutangulia au tunaishia kusoma sifa zao kwenye vitatu. Inavyoonekana, tatizo ni kwamba wanawake wengi wamempata mwalimu mpotoshaji, ambaye ametushawishi kuacha kutunza ndoa zetu na nyumba zetu na kuwa mahali pa furaha na utulivu wa mawazo, badala yake zimekua kama shimo la moto kiasi kwamba wanaume wengi hawapendi hata kushinda katika kaya zao, hata kama ni siku ya mapumziko, wanaona bora warejee kwa wake zao usiku tangu asubuhi. Tukijipanga na kutambua wajibu wetu, talaka zinazotolewa hovyo zitakoma. ( Tu m a m a o n i y a k o ushauri na kutoa darsa kwa wanawake wenzako kupitia: annuurpapers@yahoo. co.uk)

Na Pendo Masasa
SIKU hizi kutoa na kupewa talaka miongoni mwa wanandoa limegeuka kuwa ni jambo la kawaida katika jamii badala ya kuwa chukizo. Ta l a k a z i m e k u w a zikitolewa kwa wepesi na wanaopewa nao huridhika bila kuzingatia athari zake na falsafa nzima ya ndoa. Imekia hata baadhi wakizidai kwa nguvu. Maswali kama kwa nini nimepewa talaka, nifanye nini ili niweze kujirekebisha, kwa nini nitoe talaka, hata kama kosa linasuluhishika au la, hakuna wa kutafakari. Kinachosikitisha ni kwamba katika utafiti wangu nilioufanya kwa baadhi ya ndoa zilizoparaganyika, makosa yaliyo mengi yanayosababisha talaka kwa wana ndoa yanaweza kurekebishika. Sehemu kubwa ya uchunguzi wangu ulinionyesha kuwa chanzo cha sehemu kubwa ya talaka kutolewa ni wanawake w e n y e w e . Wa n a u m e wamekuwa wakilalamika, wanawake wa kisasa walio wengi hawajui kuandaa hata mlo wa familia (hawajui hata kupika) hawataki kujifunza, wamekuwa wavivu, hawajali adabu na heshma ya ndoa. Ufupi wa maneno hata huyo mume hapewi heshma yake ya kuwa mkuu wa familia. Mama anakuwa Kawamu kama alivyo baba. Ni mashindano ya amri wala hakuna mjadala na shura. Familia nyingi wajakazi ndio wamechukua jukumu la mama mwenye nyumba. Hata yale yanayostahili kufanywa mke pekee, wajibu huo kaachiwa mjakazi. Wanawake wengi pia wanalalamikiwa kwa ubinafsi. Akishafunga ndoa na kujihakikishia mume, huanzisha taratibu wake katika maisha ya ndoa, huanza kuwa na tabia za choyo na chuki. Fitna kati ya familia ya mke na ya mume. Mara hamtaki baba au mama mkwe, wakati mwingine bila hata sababu ya msingi. Shemeji, wifi na jamaa wengine nao hawastahili kuwa tena karibu na ndugu yao. Wanaonekana kuwa wanaleta kiza. Wanakula vya mume na mke hataki vya mume wake viliwe na mama mke au baba mkwe. Mwanamke mwingine akikosa sababu, atazua aidha

Darasa la wanawake: Talaka

kwa kutunga au kupanga ilimradi afuzu malengo yake. Mume naye anahisi kukosa kile alichokitaraji kwa mkewe hivyo hukata tamaa na maisha ya ndoa ya misukosuko isiyojulikana hatma yake. Kero hizi na nyinginezo kwa wanaume zinakuwa ni kichocheo cha baadhi yao kukosa subra na kushindwa kudhibiti hizo talaka. Udhaifu kama huo na unaofanana na huo kwa wanawake wengi, ni wazi kwamba wanawake wana nafasi kubwa ya kuzuia talaka au nia za kutolewa talaka dhidi yao kwa kutimiza wajibu wao na kwa kuzingatia zaidi faida ya kuishi kwa pamoja katika familia ya baba na mama watoto. Iwapo wataachana na kukumbatia mila za Kimagharibi, ambazo kwa kiasi kikubwa zimewatoa wengi katika kutekeleza wajibu wao kwa waume zao kwa mujibu wa dini yao ya Kiislamu, basi watafaulu kuishi katika maisha ya raha na Baraka. Mwanamke wa Kiislamu anatakiwa kutambua kwamba, dini siyo kuswali na kufunga tu, bali ni mfumo mzima wa maisha ya kila siku. Ndoa ipo katika ibada, ukiitunza vizuri utakuwa mmoja wa mwenye kufaulu, ukifanya uzembe ukaivunja ndoa yako, utakuwa mwenye kuishia mwisho mbaya. Mavazi lazima uchague nguo ya kuvaa, ukiwa na mumeo inatakiwa nguo

yenye kuvutia zaidi na yenye kukupendeza ukivaa kiasi cha mume kushidwa kujizuia kumsia mkewe kama kapendeza. Wanawake wengi hupendeza wakienda harusini au wakiwa na safari nje na makazi yake. Mapambo kwa mume yanaonekana kuwa hayana nafasi. Hana vimini, nguo za kuona na mfano wa hizo za kuvaa akiwa chumbani na mumewe. Wala hakirii kuwa na manukato au urembo wa aina mbalimbali wa kumvutia mumewe amwone mzuri na mpya kila siku. Lakini kwa upande mwingine wamesahau maneno ya Mwenyezi Mungu katika Quran surat nur 24 :31 aliposema: Na waambieni Wa i s l a m u w a n a w a k e wainamishe macho yao na wazilinde tupu zao na wala wasidhihirishe viungo vyao isipokuwa vinavyodhihirika [uso na vitanga vya mikono ] na waangushe shungi zao mpaka vifuani mwao na wasionyeshe mapambo yao ila kwa wanaume zao au baba zao baba wa wanaume zao au kaka zao au dada zao au wanawake wenzao au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume [watumwa, wafanyakazi ] au watoto ambao hawajajua kuhusu uke. Pamoja na umakini, usa ni muhimu katika maisha ya ndoa. Mjakazi hawezi kuwa makini kwa mumeo. Mjakazi

hajui thamani ya mume wako wala haguswi na kukereka kwa mume wako. Vi l e v i l e p a m o j a n a kumpikia mume chakula kizuri, uwe unavaa vizuri, unajipamba na unakuwa na kawaida ya kutumia manukato. Jizoeshe kuwa na tabasamu kila wakati, usimkunjie mume wako sura wala kumrushia maneno yasiyofaa. Wakati mumeo atokapo katika harakati za kutafuta maisha kwa mujibu wa dini ya Allah, akirudi jaribu kumsoma kwa haraka yupo katika hali gani. Akiwa na huzuni jaribu na wewe kumuonyesha kuwa umeguswa na hali hiyo. Onyesha hamu ya kumsaidia utatuzi kwa kushauriana naye. Akirejea akiwa na furaha na wewe furahi. Mtafutie kwa haraka kitu cha kumpoza iwe ni juisi, chai au hata maji. Lakini utakuwa wanawake wengine mume anarudi anaingia ndani hawampokei na kuingia naye ndani bali hubaki kama ni nje au ukumbini wakiendelea na shughuli zao nyingine. Mwanamke ndiye anayetakiwa kuifanya nyumba yake kuwa mahali pa furaha na utulivu wa mawazo kwa mumeo. Hebu tuangalie kiigizo chetu chema wanawake wa Kiislamu. Mama yetu mpedwa Bi. Khadija, mke kwanza wa Mtume [s.a.w] alifanya kazi nzuri ya kuigwa na haitasahaulika katika

AN-NUUR

Makala

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012

IJUE SHERIA YA NDOA 1971


Na Kissima AdolfMwanasheria 0713-401812
HABARI ndugu msomaji wa gazeti la Ann Nuur. Ili kuboresha gazeti letu, tumeanzisha ukurasa huu wa kona ya sheria tukiwa na malengo ya kuwanufaisha, kuwaelimisha wasomaji wa gazeti hili kuzifahamu sheria mbalimbali hapa nchini pamoja na kuzifahamu haki zao mbalimbali za kimsingi. Hivyo basi leo tutaanza na sheria ya ndoa ya mwaka 1971, hasa kwenye kipengele cha kutengana kwa wanandoa. Endapo mume na mke hawaishi kwa pamoja kwa muda mrefu husemekana kuwa wametengana hii ni kwa sababu wanaishi mbalimbali. Kutengana humfanya kila mmoja wa wafunga ndoa kutokuwa na wajibu juu ya mwenzie, wajibu na haki ambazo kwa kawaida huambatana na hali ya kuwepo kwa ndoa (Conjugal rights). Kutengana si talaka, ndoa inakuwa bado inaendelea kati ya wanandoa, ndoa inaweza kuwa imevunjika lakini haiwi imevunjika katika kiwango ambacho hakiwezi kurekebishika (irreparable breakdown). Wanandoa bado wanakuwa na matumaini ya kurudiana. Kwa ujumla kutengana ni hali inayowapa wanandoa yaani mume au mke nafasi ya kupumua na kukiria kiini cha matatizo ya mgogoro wao na ikiwezekana kujirudi kwani milango ya uwezekano wa usuluhishi bado inakuwa wazi kwao. Kwa mujibu wa ndoa za kidini hasa zile za Kikristo, kutengana inakuwa kama kuachana. Biblia takatifu haitambui neno talaka, kwa hiyo basi ndugu Wakristo hawaruhusiwi kusema wameachana kwani inaaminika alichokiunganisha Mwenyezi Mungu hakuna binadamu atakayeweza kukitenganisha. AINA ZA KUTENGANA Kuna aina mbili kuu za kutengana, kwanza ni kutengana kule kwa mapatano na kutengana kwa pili ni kule kunakotokana na amri ya mahakama. Hebu tuangalie aina ya kwanza ya kutengana yaani kutengana kule kwa mapatano kati ya mke na mume. Kutengana huku hutokea ikiwa mume na mke, kila mmoja kwa hiari yake wanakubaliana kuishi mbalimbali. Makubaliano hayo ni lazima yafanywe kwa maandishi. Katika mkataba wa makubaliano hayo mume na mke huwa huru kuwekeana masharti ambayo wao kwa pamoja watatakiwa kuyazingatia. Mara nyingi mikataba hii ya kutengana huwa na masharti kama vile mume na mke kutokubughuziana na kusumbuana hasa katika muda wote wa kutengana. Vitendo vya usumbufu kama vile kutaka kufanya tendo la ndoa na mwenzie wakati wakiwa wametengana au kumfuata fuata mwenzie sehemu anayoishi bila sababu za msingi huwa haviruhusiwi. Endapo mmoja wao atavunja sharti hili, basi mkataba mzima wa kutengana kwa mapatano huhesabiwa kuwa umevunjika. Sharti lingine mume hutoa ahadi ya kuendelea kumtunza mke katika muda wote wa kutengana ili mradi tu mke asiwe na uhusiano na wa kiuzinzi na mwanaume mwingine. Mke atatakiwa kuendelea kutunza heshima ya ndoa kama vile hawajatengana. Endapo mke atavunja sharti hili, basi mume hatawajibika tena kumtunza katika muda wa kutengana uliobaki. Ulezi na matunzo kwa mtoto ni sharti jingine ambalo ni lazima liwekwe kwenye mkataba wa kutengana. Mume na mke hukubaliana juu ya nani kati yao atawalea na kuwatunza watoto hasa katika muda wote wa kutengana. Mume na mke wanaweza kuweka makubaliano yoyote juu ya sharti hili ili mradi tu mambo wanayokubaliana hayataathiri masilahi ya watoto. Endapo kazi ya kuwalea na kuwatunza watoto atapewa mume kwa makubaliano basi mke anaweza akawatembelea na kuwaona watoto mara kwa mara kadri watakavyo kuwa wamekubaliana. Baada ya kuona nini maana ya kutengana kwa mapatano, sasa tuangalie maana ya

Maana na aina za kutengana kwa wanandoa

MWANASHERIA Kissima Adolf. kutengana kwa amri ya ya mahakama. na mmoja wa wafunga MWISHO WA KUTENGANA ndoa au ikiwa kumetokea mahakama. Kutengana kwa amri ya mahakama ni tafauti NI LINI? mabadiliko muhimu Mara nyingi hutegemea katika hali ya mambo ya na kutengana kwa mapatano. Amri ya kutengana hutolewa na aina ya kutengana, Kama wanandoa. Baada ya amri ya na mahakama kufuatia ombi kutengana kulifanyika k w a m a p a t a n o , b a s i kutengana kutenguliwa na la mmoja wa wanandoa. mume na mke wanaweza S a b a b u z i n a z o w e z a kukubaliana kurudiana mahakama mume na mke kupelekea mtu kuiomba kama walivyokubaliana wanatakiwa kurudiana m a h a k a m a k u t o a a m r i k u t e n g a n a . L a k i n i na kuishi pamoja mara moja kama hapo awali. ya kutengana ni zile zile e n d a p o k u t e n g a n a Endapo amri ya kutengana ambazo zinazowafanya mke kulitokea kutokana na imetolewa na mahakama na mume kukubaliana kuishi amri ya mahakama, basi lakini mmoja wapo labda mbalimbali. Mahakama mahakama kuitengua amri mke au mume anakataa inapotoa amri ya kutengana ya kutengana kutokana na kurudi kuishi na mwenzie vilevile huweza kutoa amri ombi la mmoja wa wafunga katika nyumba ya ndoa, nyinginezo kama vile amri ndoa. basi atahesabika kuwa Hii hutokana na ukweli mtoro (desertion ) kuanzia kuhusu ulezi na utunzaji wa kwamba kutengana watoto. h u w a w e k a m b a l i siku ile aliyokataa kurudi ili JE NINI HUTOKEA MARA wanandoa ili kujitambua kuishi pamoja na mwenzie BAADA YA KUTENGANA? au kutambua nini hasa katika nyumba ya ndoa. Matokeo ya kutengana c h a n z o c h a m g o g o r o Ikumbukwe kwamba aidha kwa mapatano au kule wao na ni marekebisho utoro uliokithiri katika ndoa kunakotokana na amri ya kiasi gani yamefanyika bila kuwepo na sababu za mahakama ni kwamba ndoa au pale mmoja wao yaani kimsingi ni moja wapo ya inakuwa bado inaendelea, mke au mume anagundua sababu ambayo hupelekea wanandoa bado watatakiwa kuwa yeye ndiyo mwenye upande mwingine katika kutunza hadhi zao kama mke m a k o s a n a k u o m b a ndoa yaani mume au mke msamaha. Mara baada kuiomba mahakama kutoa na mume, isipokuwa mume ya kusameheana mmoja talaka. na mke yaani wanandoa wao anaweza kuiomba (Maelezo haya ni kila mmoja anaondolewa mahakama kuitengua amri kwa mujibu wa Sheria wajibu wa kumkimu ya kutengana. ya Ndoa Tanzania ya mwenzie kutokana na kuishi Vi l e v i l e m a h a k a m a mwaka 1971, ambayo mbalimbali (No room to inaweza ikafuta amri huwahukumu Waislamu exercise conjugal rights). ya kutengana kutokana na wasio Waislamu. Je, Hata hivyo mume au mke na ombi la mmoja wa Uislamu unasemaje? Una hahesabiwi kuwa ni mtoro wanandoa ikiwa itaridhika kanuni hii ya kutengana? (desertion) ikiwa anaishi kuwa amri hiyo ilitolewa Tu m a m a o n i y a k o : mbali kutokana na kutengana kutokana na maelezo ya annuurpapers@yahoo. kwa mapatano au kwa amri kupotosha yaliyotolewa co.uk)

Baada ya salamu, Mwezi Juni 2, 2005 hadi Juni 23, 2005 nilikuwa mgeni wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani (US Department of State) nikiwa mmoja wa washiriki wa program pana ikijulikana kwa jina la International Visitor Leadership Program. Sisi tulihusika mahsusi zaidi na mradi ulioitwa Multi-Culturalism in U. S. Society. Ni kutokana na kushiriki katika program hiyo iliyoanzia Washington DC na kunipeleka Minneapolis (Minnesota) Jackson (Mississippi), Santa Fe (New Mexico) na kumalizia Los Angeles, California; nimekuwa mwanachama wa TUSSAA na hivyo kushiriki mkutano wa pili wa wanachama wa Tanzania U. S Statelumni Association uliofanyika katika ukumbi wa mikutano Mlimani City, Aprili 27, 2012. Kama nivyosema, nimekuwa mwana-Alumni wa TUSSAA kutokana na ushiriki wangu katika program ya International Visitor Leadership Program. Program ambayo japo kwa kiwango kidogo, imeniwezesha kuijua Marekani na kuwajua watu wa Marekani. Bado ninazokumbukizi za Mr. James Bodnar, Ms Anne Elvin na Ms. Emily Kalogeropoulos waliokuwa wenyeji wetu muda wote na tukisari nao kila mji na kila Jimbo tulilotembelea. Watu wema sana wakitoa kila msaada na ziada ya mahitaji kwa kila mmoja wetu. Nakumbuka walivyojali ratiba za ibada kwa kila mshiriki tukifanyiwa taratibu za kwenda msikitini siku za Ijumaa na ratiba ikisimama. Walisimamisha ratiba wakati mimi na wenzangu sita tukienda kuswali Ijumaa kwa sababu walizingatia na kujali kuwa pamoja na haki yetu ya kwenda kusali, lakini pia na sisi ilikuwa muhimu kwetu kushiriki program zote. Hawakutupa mtihani wa kuchagua ama kwenda kuswali au kuendelea na program iliyotupeleka Marekani. We n z a n g u w e n g i n e walikuwa ni Izzet Eroglu na Dr. Akif Emre Oktem kutoka Uturuki, Dr. Salahudeen Yusuf (Nigeria), Mr. Syed Mohammad Ali Kazmi (India), Raef Sobh Azab (Misri) na Mr. Ahmed Larouz kutoka Uholanzi. Ms Dana L. Banks, nasikitika kusema kuwa imekuwa bahati mbaya moyo

Barua ya Wazi kwa Ms Dana L. Banks


tulikosa mambo muhimu katika ratiba likiwemo lile la kusikiliza nasaha za Balozi Alfonso E. Lenhardt kwa kuwa tulilazimika kwenda kuswali Ijumaa huku ratiba ikiendelea. Hata hivyo Ms Banks hayo tuyaache maana sio mada ya barua yangu kwa leo kwako. Bi Banks, katika utambulisho mara tu tulipowasili katika ukumbi wa mkutano pale Institute of International Education, 1400K Street, NW (Washington, DC 20005), tukipokewa na Kristina Jenkins na Susan Lockwood, tulifahamishwa kuwa katika program hiyo tutapata fursa ya kuona jinsi Watu wa Marekani, pamoja na kuwa na watu wa mataifa, rangi na dini mbalimbali, lakini huishi kwa amani na utulivu na haki ya kila mmoja wao kuzingatiwa katika katiba na sheria za nchi.

AN-NUUR

Makala

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012

Ms Dana L. Banks (Asa wa Masuala ya Umma wa Ubalozi wa Marekani katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) huu wa kujali na kuzingatia muda wa ibada kwa Waislamu walioonyesha wenyeji wetu katika ile program ya MultiCulturalism in U. S. Society, haukujitokeza katika mkutano wetu wa TUSSAA. Nimesema nasikitika kwa sababu wengine

TAREKS SENTENCING STATEMENT


APRIL 12, 2012 Read to Judge OToole during his sentencing, April 12th 2012. In the name of God the most gracious the most merciful. Exactly four years ago this month I was nishing my work shift at a local hospital. As I was walking to my car I was approached by two federal agents. They said that I had a choice to make: I could do things the easy way, or I could do them the hard way. The easy way, as they explained, was that I would become an informant for the government, and if I did so I would never see the inside of a courtroom or a prison cell. As for the hard way, this is it. Here I am, having spent the majority of the four years since then in a solitary cell the size of a small closet, in which I am locked down for 23 hours each day. The FBI and these prosecutors worked very hard-and the government spent millions of tax dollars to put me in that cell, keep me there, put me on trial, and finally to have me stand here before you today to be sentenced to even more time in a cell. In the weeks leading up to this moment, many people have offered suggestions as to what I should say to you. Some said I should plead for mercy in hopes of a light sentence, while others suggested I would be hit hard either way. But what I want to do is just talk about myself for a few minutes. When I refused to become an informant, the government responded by charging me with the crime of supporting the mujahideen fighting the occupation of Muslim countries around the world. Or as they like to call them, terrorists. I wasnt born in a Muslim country, though. I was born and raised right here in America and this angers many people: how is it that I can be an American and believe the things I believe, take the positions I take? Everything a man is exposed to in his environment becomes an ingredient that shapes his outlook, and Im no different. So, in more ways than one, its because of America that I am who I am. When I was six, I began putting together a massive collection of comic books. Batman implanted a concept in my mind, introduced me to a paradigm as to how the world is set up: that there are oppressors, there are the oppressed, and there are those who step up to defend the oppressed. This resonated with me so much that throughout the rest of my childhood, I gravitated towards any book that reflected that paradigm Uncle Toms Cabin, The Autobiography of Malcolm X, and I even saw an ethical dimension to The Catcher in the Rye. By the time I began high school and took a real history class, I was learning just how real that paradigm is in the world. I learned about the Native Americans and what befell

them at the hands of European settlers. I learned about how the descendants of those European settlers were in turn oppressed under the tyranny of King George III. I read about Paul Revere, Tom Paine, and how Americans began an armed insurgency against British forces an insurgency we now celebrate as the American revolutionary war. As a kid I even went on school eld trips just blocks away from where we sit now. I learned about Harriet Tubman, Nat Turner, John Brown, and the ght against slavery in this country. I learned about Emma Goldman, Eugene Debs, and the struggles of the labor unions, working class, and poor. I learned about Anne Frank, the Nazis, and how they persecuted minorities and imprisoned dissidents. I learned about Rosa Parks, Malcolm X, Martin Luther King, and the civil rights struggle. I learned about Ho Chi Minh, and how the Vietnamese fought for decades to liberate themselves from one invader after another. I learned about Nelson Mandela and the ght against apartheid in South Africa. Everything I learned in those years conrmed what I was beginning to learn when I was six: that throughout history, there has been a constant struggle between the oppressed and their oppressors. With each struggle I learned about, I found myself consistently siding with the oppressed, and consistently respecting those who stepped Cont. Pg. 9

Tuliambiwa pia kuwa tutaweza kushuhudia jinsi palivyowekwa utaratibu ambao unahakikisha kuwa haki inatendekea kwa kila mtu na inaonekana ikitendeka. Kubwa zaidi tukaambiwa ni jinsi haki za watu wachache wakiwemo Waislamu na watu kama Wamarekani wenye asili ya Afrika, China, Hispania n.k, zinavyoheshimiwa na kutekelezwa. Bi Dana L. Banks, kwa ruhusa yako ningependa kunukuu kwa kirefu sehemu ya Project Summary tuliyopewa katika siku yetu ya kwanza pale Washington D.C. This three-week multiregional project, entitled Multi-Culturalism in U.S. Society:, will allow you to examine the ways in which American celebrate their diversity while uniting around shared values, and the strength that ethnic, cultural and religious diversity bring to U.S. society and government. Through meetings with government ofcials, academics and nongovernmental organizations, you will gain an understanding of the U.S. federal system and insights into the way the voices of minorities are heard in Washington. Moreover, the program will feature meetings with religious leaders and organizations to discuss their methods for promoting tolerance and unied multicultural communities. By visiting ve distinct locales, you will increase your understanding of the diverse cultures that exist throughout the United States. Napenda kukiri kwamba mengi tuliyoshuhudia kwa muda tuliokaa yanaakisi haya yaliyozungumzwa katika utambulisho huu tuliopewa. Tulitembelea Mississippi Religious Leadership Conference na Mission Mississippi na kuona jinsi jamii za kidini za Wamarekani Weusi zilivyofanya jitihada kuwaweka Wakristo pamoja baada ya zile ghasia na mauwaji ya Klu Klux Klan. Tulitembelea pia taasisi za Waislamu Los Angeles, Owatonna (Minnesota) na Kituo cha Kiislamu Washington. Ms Dana L. Banks, kesi ya Tarek Mehanna na yaliyomsibu baada ya kumbambikizia kesi ya ugaidi, hayaakisi haya tuliyoelezwa na mengine kuyashuhudia katika
Inaendelea Uk. 9

ile program yetu ya MultiCulturalism in U.S.Society. Hivi ninavyoandika waraka h u u , Ta r e k M e h a n n a ameshahukumiwa kifungo cha miaka 17 jela kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kula njama za kuuwa askari wa Marekani waliovamia Iraq pamoja na kusaidia Al Qaeda. J a p o J a j i G e o rg e A . OToole Jr. anasema kuwa katika kesi ya Mehanna hadi hukumu, haihusiani na kusilimu kwake na kuwa Muislamu anayejivunia imani yake, lakini maelezo aliyotoa Mehanna mbele ya mahakama wakati wa kusomwa hukumu, yanahitaji kuzingatiwa na kutafuta ukweli ni upi. Tarik Mehanna aliye na umri wa miaka 29 aliyezaliwa na kukulia Boston, Marekani, anasema kuwa alichofanyiwa ni dhulma na hujuma kwa sababu ya dini yake na kwa sababu ya kutumia uhuru wake wa kikatiba wa kuwa na mawazo na maoni tofauti juu ya masuala ya kisiasa na kidini. Akifafanua baada ya kuelezea historia yake ya kusilimu anasema kuwa anaona kilichomponza ni kupinga udhalimu wanaofanyiwa Waislamu duniani kote. Na kwa bahari mbaya akasema kuwa serikali yake ya Marekani imekuwa miongoni mwa serikali zinazoongoza duniani kwa kuuwa na kutesa Waislamu. Ameitaja pia Urusi inavyofanya kule Chechnya. Anaeleza wazi jinsi serikali ya Marekani isivyojali utu na uhai wa Waislamu kule Iraq na Afghanistan. Akitoa mifano mbalimbali alitaja lile tukio ambapo askari watano wa Marekani walimbaka binti mdogo wa miaka 14 na kisha kumuuwa yeye na wazazi wake na kuchoma maiti zao. Abeer al-Janabi, Binti wa miaka 14, alibakwa na askari watano wa Marekani ambao baadae walimuuwa yeye na familia yake yote na kisha kuchoma moto maiti zao. Hebu kiria, wanawake wa Kiislamu hawaruhusiwi hata kuonyesha nywele zao kwa watu wasio waume zao. Sasa hebu fikiria, jaribu kuleta katika fikra, binti huyu mwari kutoka kijijini, Iraq, anakamatwa na kubakwa na jibaba askari wa Marekani, sio jibaba moja, sio majibaba mawili, sio watatu, sio wanne, lakini majibaba askari watano wa Marekani!!! Ms Banks, kama alivyosema Mehanna, So try to imagine this young girl

Barua ya Wazi kwa Ms Dana L. Banks


ugaidi na kisha kuhukumiwa kufungwa baada ya kuonesha kupinga vitendo vya kidhalimu kama hivi. Mbele ya Jaji George A. OToole Jr., Mehanna alitoa pia mfano wa yale mauwaji ya Haditha familia kadhaa zilipoangamizwa na askari. Watu wanavamiwa alfajiri wanapigwa risasi wanauliwa. Akataja pia yale maangamizi ya watoto zaidi ya milioni moja wa Iraq yaliyosababishwa na vikwazo. I remember a clip from a 60 Minutes interview of Madeline Albright where she expressed her view that these dead children were worth it. Kupinga yote haya, na kutangaza msimamo wake wa kuwatetea wanyonge na wadhulumiwa wanaouliwa bila ya hatia, anasema Mehanna kwamba ndio kilichosababisha kushukiwa na hasira za FBI na kudaiwa kuwa anaunga mkono magaidi na katika sura hiyo kudaiwa kuwa anakula njama

AN-NUUR

Makala

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012

TAREKS SENTENCING STATEMENT


up to defend them -regardless of nationality, regardless of religion. And I never threw my class notes away. As I stand here speaking, they are in a neat pile in my bedroom closet at home. From all the historical gures I learned about, one stood out above the rest. I was impressed be many things about Malcolm X, but above all, I was fascinated by the idea of transformation, his transformation. I dont know if youve seen the movie X by Spike Lee, its over three and a half hours long, and the Malcolm at the beginning is different from the Malcolm at the end. He starts off as an illiterate criminal, but ends up a husband, a father, a protective and eloquent leader for his people, a disciplined Muslim performing the Hajj in Makkah, and nally, a martyr. Malcolms life taught me that Islam is not something inherited; its not a culture or ethnicity. Its a way of life, a state of mind anyone can choose no matter where they come from or how they were raised. This led me to look deeper into Islam, and I was hooked. I was just a teenager, but Islam answered the question that the greatest scientic minds were clueless about, the question that drives the rich & famous to depression and suicide from being unable to answer: what is the purpose of life? Why do we exist in this Universe? But it also answered the question of how were supposed to exist. And since theres no hierarchy or priesthood, I could directly and immediately begin digging into the texts of the Quran and the teachings of Prophet Muhammad, to begin the journey of understanding what this was all about, the implications of Islam for me as a human being, as an individual, for the people around me, for the world; and the more I learned, the more I valued Islam like a piece of gold. This was when I was a teen, but even today, despite the pressures of the last few years, I stand here before you, and everyone else in this courtroom, as a very proud Muslim. With that, my attention turned to what was happening to other Muslims in different parts of the world. And everywhere I looked, I saw the powers that be trying to destroy what I loved. I learned what the Soviets had done to the Muslims of Afghanistan. I learned what the Serbs had done to the Muslims of Bosnia. I learned what the Russians were doing to the Muslims of Chechnya. I learned what Israel had done in Lebanon and what it continues to do in Palestine with the full backing of the United States. And I learned what America itself was doing to Muslims. I learned about the Gulf War, and the depleted uranium bombs that killed thousands and caused cancer rates to skyrocket across Iraq.

Balozi wa Marekani nchini, Alfonso E. Lenhardt from a conservative village but ve soldiers. with her dress torn off, being A n a c h o s e m a Ta r i k sexually assaulted by not one, M e h a n n a n i k u w a not two, not three, not four, amebambikiziwa kesi ya

I learned about the Americanled sanctions that prevented food, medicine, and medical equipment from entering Iraq, and how according to the United Nations over half a million children perished as a result. I remember a clip from a 60 Minutes interview of Madeline Albright where she expressed her view that these dead children were worth it. I watched on September 11th as a group of people felt driven to hijack airplanes and y them into buildings from their outrage at the deaths of these children. I watched as America then attacked and invaded Iraq directly. I saw the effects of Shock & Awe in the opening day of the invasion the children in hospital wards with shrapnel from American missiles sticking but of their foreheads (of course, none of this was shown on CNN). I learned about the town of Haditha, where 24 Muslims including a 76-year old man in a wheelchair, women, and even toddlers were shot up and blown up in their bedclothes as the slept by US Marines. I learned about Abeer al-Janabi, a fourteen-year old Iraqi girl gang-raped by five American soldiers, who then shot her and her family in the head, then set re to their corpses. I just want to point out, as you can see, Muslim women dont even show Cont. Pg. 13

kutaka kuuwa askari wa Marekani waliovamia Iraq na Afghanistan. Mbele ya Mahakama yako naonekana mimi ni gaidi, na ndio maana nimesimamishwa hapa kuhukumiwa. Lakini ipo siku, Amerika itabadilika na Wamarekani wataikumbuka siku hii. Watatizama jinsi serikali yao ilivyouwa mamilioni ya Waislamu wasio na hatia na kuwatia vilema wengine katika nchi ilizozivamia, lakini badala ya kutiwa adamu askari waliofanya unyama huo, mimi ndio nilitupwa jela nikidaiwa kula njama kuuwa askari (Wakati huo wananchi wa Marekani) watatizama na kujiuliza jinsi serikali yao ilivyotumia fedha zao za kodi kunifunga kwa kuniita gaidi, lakini kama itawezekana kumrejesha katika uhai wake Abeer al-Janabi, akaonyeshwa akibakwa na askari watano wa Marekani, hapana shaka kama binti huyo wa Iraq ataulizwa gaidi ni nani, hataninyooshea kidole. The government says that I was obsessed with violence, obsessed with killing Americans. But, as a Muslim living in these times, I can think of a lie no more ironic. Ms Dana L. Banks, hivyo ndivyo Bwana Tarik Mehanna alivyomalizia kauli yake mbele ya Jaji George A. OToole Jr., kabla ya kwenda kutumikia kifungo. Bi Banks, nimekuandikia waraka huu kwa sababu haya anayoeleza Tarik Mehanna naona hayawiani kabisa na jamii tuliyooneshwa na Azza Mounib Zaki, Augusta Babson na Mikail Tobin pale Washington D.C. Nadhani hata wenzangu akina Erik Ta b e r y k u t o k a C z e c h , Daniela Drastata (Croatia), Jana Krimpe (Estonia) na Garnet Everton Lewis wa Jamaica; kama watazipata taarifa hizi hapana shaka watadhani kwamba huenda haya hayatokei katika ardhi ya Marekani waliyotembelea mwaka 2005. Atashangaa pia Hung Gia Dinh wa Vietnam na Dubravka Gajic wa Bosnia-Herzegovina, pamoja na wengine tuliokuwa nao katika ziara ile. Nimekuandika pia kwa sababu katika waraka wako katika siku ya Uhuru wa vyombo vya habari duniani, umekariri falsafa, sera na msimamo wa serikali ya Marekani juu ya haki za Inaendelea Uk. 13

10

AN-NUUR

Makala

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012


jambo lisilokuwa na mchango wowote wa alama (GPA) katika mitihani yao ya mwisho hata kama jambo hilo lina manufaa kwake katika siku za usoni. Kwa hali hii si jambo la ajabu leo hii kumkuta mwanafunzi anayesomea, mathalan, shahada ya Uandishi wa Habari, hajawahi wala kuthubutu kuandika japo makala moja au hata habari inayohusu mambo ya chuoni kwake. Kwa muktadha huo huo sitoshangaa leo hii kukutana na mhitimu aliyesomea s h a h a d a y a Ta f s i r i n a Ukalimani (Bachelor of Language Interpretation) lakini hakuwahi; kwa hiari yake mwenyewe na kwa lengo lilelile lililoelezwa na na mwalimu Saiboko kama ilivyodokezwa huko nyuma; kufasiri japo vijikurasa kadhaa au hata kijikurasa kimoja tu cha makala. Ni matumaini yangu kuwa Mwislamu mwanafunzi aliyesomea shahada hii ya Tafsiri na Ukalimani angeweza, kwa miaka mitatu ya uanafunzi wake, kufasiri kitabu kama vile Muslims and the State in Tanzania kama mfano tu ikiwa, mosi, kama sehemu ya kujijengea uzoefu katika fani anayosomea na kwa kazi anayotarajia kushughulika nayo katika ulimwengu wa ajira yake.

Na Abuu Nyamkomogi
IJUMAA iliyopita nilipata bahati ya kuhudhuria mhadhara wa wazi (public lecture) uliofanyika katika Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM) kuanzia majira ya saa nane adhuhuri hadi saa kumi na moja alasiri katika ukumbi wa mikutano chuoni hapo. Kiini cha makala hii ni zao la mada yenye anuani KUJIAMINI : Chanzo na Athari Zake iliyowasilishwa na mwalimu na mhadhiri mwenye tajiriba ya miaka mingi katika tasnia ya ufundishaji na uhadhiri, Mwalimu Hashim Saiboko. Mwalimu na mhadhiri huyo mahiri, aliwasilisha mada hiyo kwa kujiamini na kwa umahiri wa hali ya juu ulioambatana na ufafanuzi wa nukta kadha wa kadha alizozigusia wakati wa mchakato wa uwasilishaji wa mada hiyo husika. Ushereheshaji wa nukta hizo ulisheheni mifano lukuki na halisi kutoka katika nyanja anuwai za maisha yetu ya kila siku huku yeye mwenyewe akiwa kielelezo halisi wa kile alichokuwa akikiwasilisha kwa kuonekana kujiamini takriban muda wote wa uwasilishaji wake; hali ambayo ilionekana kuchota hisia za hadhira iliyokuwa ikimsikiliza kwa makini na kwa utulivu wa hali ya juu karibu muda wote wa uwasilishaji wa mada yake. Nikiwa mmojawapo wa hadhira hiyo, nilisisimka sana pale alipokuwa akiyatolea ufafanuzi mambo kadhaa yanayomjengea mtu hali ya kujiamini na hususan pale alipogusia jambo la tatu kwa mujibu wa orodha yake, ambalo lilikuwa ni UZOEFU. Kama nilivyodokeza hapo juu, nilisisimka kutokana na alivyoonyesha namna ambavyo wanafunzi au wanachuo ambao bado wako masomoni wanavyoweza kujijengea uwezo na uzoefu, wao wenyewe katika baadhi ya fani wanazosoma kwa ajili ya kazi wanazotarajia kwenda kuzifanya au kushughulika nazo, hata kabla ya kuhitimu masomo yao na hivyo kutokukwazwa na changamoto ya uzoefu watakayokumbana nayo wakati wa usaili (interview) mintarafu kazi husika walizosomea; kwani hiki kimekuwa kizingiti kikubwa sana katika mchakato wa usakaji au wa utafutaji ajira rasmi au zisizo rasmi na hasa katika zama zetu hizi za ushindani wa sifa za msingi, na za ziada kama vile sifa ya

Changamoto ya uzoefu katika ajira kwa wasomi


uzoefu katika soko la ajira linalochukua sura mpya kila kukicha. Akitoa mfano wa namna ya kukabiliana na changamoto ya uzoefu mbele ya wasomi walio na wanaotarajia kuingia katika soko la ajira hivi karibuni ambao waliokuwa wakimsikilza katika mhadhara huo, mwalimu Saiboko alionesha kushangazwa na simanzi pamoja na kilio cha muda mrefu cha wengi katika wahitimu tena wa Vyuo Vikuu katika baadhi ya fani pale wanapokabiliwa na changamoto hiyo, na ndipo alipotoa mfano mmoja wa fani ya Mawasiliano ya Umma (Mass Commuication) Kitengo cha Uandishi wa Habari kama kielelezo; ambapo alisisitiza kuwa suluhisho la tatizo la uzoefu liko ndani ya uwezo wa wanafunzi wenyewe, endapo wataamua kukabiliana na tatizo hilo katika udhati wake, kwa kuwatanabahisha na kuwabainishia wanafunzi wanaosomea fani hiyo kuwa njia muafaka ya kukabiliana na chagamoto hiyo ni wao kuutambua wajibu wao na kuutia katika utekelezaji kwa kujizatiti na kuanza kujikita kuanzia sasa katika shughuli ya uandishi wa habari na makala (kivitendo zaidi na si kujiasibisha na tasnia hiyo kinadharia tu) za kijamii za kiuchumi, za kisiasa pamoja na za kiutamduni zinazozungumzia masuala ya kitaifa na kamataifa; kisha kuzituma katika vyombo vya habari pamoja na kutunza kumbukumbu kwa kuhifadhi nakala zote zitakazochapishwa. Jambo ambalo, kwa mujibu wa maoni na ushauri wa mwalimu Saiboko, ndilo litakalosaidia kubainisha uzoefu wao pale watakapotakiwa katika usaili wao kwa kazi husika kutoa maelezo au ithibati juu ya suala hilo (uzoefu) japo wamemaliza masomo yao juzi au jana tu !!! Kwa muktadha huo, hapo ndipo; badala ya kulalama na kutoa sababu ya ugeni wao katika kazi husika kwa madai kuwa wao ndio wametoka chuoni hivi karibuni tu na kuhoji kuwa uzoefu wangeupata wapi hali ya kuwa muda huo ndio wanatafuta kazi ambayo ndio itakayowapatia uzoefu; watakapopaswa kuoesha zile nakala zenye habari au makala zao kama ithibati ya uzoefu wao tangu walipokuwa masomoni. Naam, huo ndio ushauri wa mwalimu Hashim Saiboko kwa wasomi katika tasnia ya Uandishi wa Habari juu ya kukabiliana na changamoto ya uzoefu katika seta ya ajira hiyo husika. Ni dhahiri kuwa jambo lililodokezwa hapo juu linawezekana iwapo malengo ya wasomi wetu yakiwa si kusaka vyeti vyenye alama nzuri na badala yake yawe ni kujijengea uwezo wa kuyatekeleza kivitendo yale wanayojifunza vyuoni. Leo hii imekuwa ni muhali kwa wanafunzi wengi wanaosomea fani fulani kutumia hiari na wasaa wao wenyewe japo kufanya kivitendo walau kazi moja tu katika muda wao wote wa miaka mitatu, minne au hata mitano kulingana na aina ya fani wanayosomea. Nakumbuka jibu nililolipata hivi karibuni kutoka kwa mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu fulani hapa nchini na namna linavyoakisi ukweli huo hapo juu. Kwa ufupi, ilikuwa ni majira ya karibu na alasiri siku nilipokutana na mwanafunzi huyo katika maktaba ya chuo hicho akiwa na lundo la vitabu katika meza ya kujisomea , ndipo niliposhawishika kumsaili kwa kumwambia Naona kijana umeamua, hutaki utani. Akaniuliza Kwanini? Nikamwambia Naona hilo lundo la vitabu lililo mbele yako linaashiria kuwa hukuja kufanya mchezo. Naye akanijuza hivi Unafikiri mimi huwa nakuja huku (maktaba) kujisomea, ukiniona ujue nina assignment au test, tangu hii semester imeanza nilikuwa sijagusa huku. Kwa hakika sikuwa tena na la kuongeza baada ya jibu hilo la msomi wa Chuo Kikuu !!! Ni dhahiri shahiri kuwa mwanafunzi huyo ni kielelezo tu cha kundi kubwa la wanafunzi wasioweza kujitoa kwa hiari yao na kwa wasaa wao kufanya

AMIR wa Baraza Kuu na Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T), Sheikh Mussa Kundecha akitoa maelekezo kabla ya zoezi la ugawaji nyama za mbuzi toka Makkah kwa Jumuiya na taasisi mbalimbali za Kiislamu, lililofanyika jijini Dar es Salaam Ijumaa iliyopita. (Picha na Bakari Mwakangwale)

11

Nassari kajifunza kutoka kwa Baba


Na Shaaban Rajab

AN-NUUR

Makala

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012

Chadema inatafunwa na virusi vya ubaguzi Kuna tatizo la Ukaskazini, Ukristo Vs Uislamu

kubwa na nzuri kwa kilimo cha mazao ya chakula na biashara kama pamba, alizeti n.k. Au jimbo la Kaskazini

WA N AV Y O FA H A M U Watanzania walio wengi, ni kwamba imekuwa ni sera ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo- CHADEMA ya kuwa na serikali za majimbo nchini. Sera ya kuwepo serikali za Majimbo nchini imekuwa ikipigiwa debe kwa nguvu na viongozi wa CHADEMA na imekuwa ni moja ya sera muhimu ya chama hicho nyakati za uchaguzi mkuu. Kwamba kuna haja ya Tanzania kuwa na jimbo la Kusini, Kaskazini, Magharibi, Mashariki, Kati n.k, na kila jimbo hilo liwe na serikali yake inayoweza kujiendesha na kuwaletea maendeleo wananchi wake ya kiuchumi na kijamii kwa kutumia mapato yanayotokana na rasilimali zinazopatikana katika majimbo hayo. Lakini pamoja na kuwepo serikali za majimbo, kuwe na serikali kuu, (Federal Government) ambayo ndio itakayosimamia kwa ujumla majimbo yote. Kama ilivyo Marekani au Nigeria. Kwa kifupi hivi ndivyo tunavyofahamu wengi, au kama tulivyosikia kutoka kwa wakuu wa CHADEMA kuhusu ya sera ya kutakiwa kuwepo serikali za majimbo. Lakini wakati CHADEMA wakisimamia sera hii, wengine waliona kama sera yao hii ni ya kibaguzi, choyo na isiyokuwa na taswira ya kuwepo umoja na mshikamano wa kitaifa. Kwamba iwapo sera hiyo itawekwa katika vitendo na majimbo yakapatikana, baadhi ya majimbo yatabakia kuwa masikini daima kwa kuwa jimbo husika litakuwa halina rasilmali za kutosha za kuinua hali za watu wake, kama itakavyokuwa katika baadhi ya majimbo. Kwa mfano, jimbo la Kati litakalohusisha mikoa ya Dodoma, Singida labda na baadhi ya maeneo ya Morogoro, eneo ambalo halina rasilimali za kutosha na zenye thamani kubwa isipokuwa ukame, ufugaji kidogo na kilimo cha mazao ya chakula kidogo. Ikilinganishwa na litakalokuwa jimbo la Kanda ya Ziwa linaloweza kuhusisha mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Mara, ambako kuna hazina kubwa ya madini ya dhahabu, mifugo, ziwa victoria, ardhi

Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari.

linaloweza kuhusisha mikoa ya Tanga, Arusha Kilimanjaro na Manyara, yenye utajiri mkubwa wa vivutio vya utalii, vito, kilimo, miundo mbinu mito, viwanja vya ndege, nk. haiwezi kuwa sawa na jimbo la Magharibi litakalokuwa na mikoa ya Kigoma, Tabora na Rukwa ambayo haina miundo mbinu ya uhakika, vivutio vichache visivyokika kwa uhakika, madini kiduchu, n.k. Wa t u w a J i m b o l a Mashariki waendelee kufaidi mapato ya lango kuu la kibiashara (Bandari, reli,) mji wa kibiashara, viwanda, nk. Huku jimbo la Kusini wakibaki na gesi yao, bandari yao na korosho zao. Lakini pamoja hofu ya kuwepo upungufu kwa baadhi ya majimbo iwapo sera hiyo ingefanikiwa, ilielezwa kwamba serikali kuu, ingesawazisha mambo na kuweka sawa uwiano. Hii ndiyo sera ambayo inafahamika. Inaendelea Uk. 14

AL- MAKTOUM COLLEGE OF ENGINEERING AND TECHNOLOGY (AMCET) . NAFASI KWA MASOMO YA CHETI NA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2012/2013

AL- MAKTOUM COLLEGE OF ENGINEERING AND TECHNOLOGY (AMCET) ni chuo cha ufundi kilichosajiliwa na kinachotambuliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE). Chuo kiko maeneo ya Mbezi Beach Kilomita moja kutoka kituo cha mabasi Tangi bovu na Kilomita tano kutoka kituo cha mabasi Mwenge barabara ya Ali Hassan Mwinyi kuelekea Bagamoyo. AMCET inatangaza nafasi za masomo kwa wanafunzi wenye sifa, kwa daraja la Stashahada na Cheti kwa mwaka wa masomo 2012/2013. Tarehe ya mwisho ya kupokea maombi ni 31st Mei 2012. Fomu za maombi zinapatikana Chuoni barabara ya Bagamoyo na IBN Hazm Bookshop Kariakoo mkabala na Msikiti wa Manyema. Pia zinapatikana kwenye tovuti yetu (www.al-maktoumcollege.com) Kozi zinazotolea INFORMATION TECHNOLOGY ELECTRICAL ENGINEERING ELECTRONICS ENGINEERING KOZI FUPI ZIPO Muhula wa kwanza utaanza tarehe 23 /7/2012 Muda wa masomo: Cheti cha ufundi Sanifu (NTA Level 4) mwaka mmoja Stashahada (NTA Level 4-6) miaka mitatu Stashahada (NTA Level 5-6) miaka miwili kwa wanafunzi wenye sifa wa kidato cha sita. SIFA ZA MUOMBAJI STASHAHADA AWE AMEMALIZA KIDATO CHA 6 NA KUPATA ANGALAU PRINCIPAL PASS 1 NA SUBSIDIARY 2 KATIKA MASOMO YA MATHEMATICS, PHYSICS, CHEMISTRY, GEOGRAPHY AU AWE AMEPATA WASTANI WA C KATIKA BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE KUTOKA CHUO KINACHOTAMBULIWA NA NACTE CHETI AWE AMEMALIZA KIDATO CHA 4 NA AMEPATA ANGALAU D TATU KATIKA MASOMO YA FIZIKIA/ ENGINEERING SAYANSI, HISABATI, KINGEREZA, KEMIA/JIOGRAFIA AU KATIKA SOMO HUSIKA. Ada za AMCET ni zenye unafuu kwa masomo ya Stashahada na Cheti. Udhamini utatolewa kwa wanafunzi wenye sifa za juu. Malazi pia yapo bure kwa wanafunzi kutoka mikoani, watakaowahi kujiunga. Fomu za kijiunga zinapatikana kwa gharama ya Shilingi 10,000/=tu Kwa mawasiliano zaidi Kwa Mkuu wa Chuo Al- Maktoum College of Engineering and Technology P.O.BOX 7206 Dar es Salaam Simu: 22 2617703/4 Simu za mkononi: 0713 423 405 Au 0713 220 304

12

AN-NUUR

Barua/Mashairi

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012

1) Nianze kwa kumsifu, alo juu maulana Katupa mengi raufu, maisha yalo mwanana Kuuatuondoa na hofu, yaumuli kujichanaee Yeyote muheshimiwa, hilo lisikupe hofu

MHESHIMIWA NI NANI (jibu)

SENSA 2012 na msimamo wa Waislamu Umoja


Ndugu Mhariri, Assalaam alaykum warahamatullah wabarakatuh N i v e m a Wa i s l a m u tukajijua idadi yetu. Na hii ina faida nyingi mojawapo ikiwa ni kujua nguvu yetu kama vile kwenye mambo yanayoamuliwa kwa kura n.k. Lakini pia faida nyingine ni kujipanga kiuchumi katika kupeleka mbele Uislamu. Sensa inaweza kutupa takwimu hizi. Mimi naona kugomea sio suluhisho la moja kwa moja. Hii itatuletea matatizo hasa ukizingatia kuwa mipango ya maendeleo ya nchi inapangwa kwa kuzingatia idadi ya watu. Mfano kwa kuwa mkoa wenye Waislamu wengi, watu wamegoma na wachache wameitikia sensa unaweza kuona matokeo yake yatakavyoathiri walio wengi. Pia sina uhakika kama uwiano wa teuzi kwa nafasi mbalimbali kama Baraza la Mawaziri unazingatia uwingi au uchache wa kundi fulani katika jamii. Kwa hiyo nashauri tujipange kupata idadi ya Waislamu kwa njia mbadala kama vile kutumia misikiti n.k. huku tukishinikiza kipengele cha dini kiwepo katika sensa za taifa zijazo kwa namna iliyobora. Mwananchi Tanga

2) Ngoda kwanza pole sana, dunia yakutatiza Ulilofanya la maana, malenga kutuuliza Vingine ungegombana, jela wangekuingiza Yeyote muheshimiwa, hilo lisikupe shida 3) Vigezo vya jambo hili, msingiwe ubinafsi Hususani matajiri, sifa hawakosi Wapo wano wafadhili, huwapa sifa upesi Yeyote muheshimiwa, hilo lisikupe shida 4) Usomkubali wewe, wenzio kwake saluti Wanaingia kiwewe, kumpigia magoti Mjinga ana wenziwe, katu hawamsaliti Yeyote muheshimiwa, hilo lisikupe shida 5) Wajinga kwako wakifa, Ngoda utajishangaa Hata baba wa taifa, watakwita kwa madaa Japokuwa we lofa, unavua vidagaa Yeyote muheshimiwa, hilo lisikupe shida 6) Ngoda una watu zako, jina hilo kuwaita Jua upo peke yako, usidhani mko sita Hizo ni kara zako, huwezi kuwakokota Yeyote muheshimiwa, hilo lisikupe shida 7) Usilishangae hilo, shangaa mtakatifu Wanawaita wenzio, walokuwa watiifu Mimi na wewe kilio, wenzetu wanawasifu Yeyote muheshimiwa, hilo lisikupe shida 8) Tamati nimeshaka, jibu limekamilika Ngoda unaheshimika, wengine wanakucheka Ndivyo tulivyoumbika, binadamu matabaka Yeyote muheshimiwa, hilo lisikupe shida M.D.Mwinchande Nyasaka-Mwanza

Je! Una maoni, barua au Mashairi? Tuandikie: Mhariri AN-NUUR, S.L.P. 55105, Dar es Salaam au tutumie kwa Barua pepe E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk

Msimamo wa Waislamu kuhusu sensa


Ndugu Mhariri, Assalaam alykum, Kufuatia taarifa zisizo na uhakika zilizotolewa na TBC1 na kama ilivyoandikwa na gazeti la Kiislamu la An nuur Mei 4, 2012, Khatwib katika khutba ya Ijumaa msikiti wa Mtambani ametoa fatwa na kuwataka Waislamu kutoshiriki katika sensa

Takwimu ya Sensa Swali

1.Uma tupo mashakani, habari kutukia Nauliza ikhiwani, majibu kunipatia Kwenye TBC wani, Sensa tumesikia Hii ni Takwimu gani, ndugu zangu niambieni 2.Tumebaki matatani, mengi tukikiria Kipi wanachotamani, kwa sisi Watanzania Ni kuijenga amani, au kuvunja sheria Hii ni takwimu gani, ndugu zangu nambieni 3.Kuelezwa natamani, wapi wamehesabia Walipita majumbani, au kwa kuibunia Itakuwa ukindani, idadi kungangania Hii ni takwimu gani, ndugu zangu nambieni 4.Wadini na wapagani, wapewa asilimia Idadadi haifafani, mbinu waloitumia Watakuwa lawamani, takwimu kukazania Hii ni takwimu gani, ndugu zangu niambieni 5. Imeonyesha thamani, ndogo kwa Islamia Lengo kushusha imani, dini kuisimamia Takwimu hailingani, kama tunavyodhania Hii ni takwimu gani, ndugu zangu nambieni 6. Nimetoa fursa, takwimu kuangalia Tusifanyie utani, sensa kuizingatia Tutawekwa hatiani, kushindwa pa kushika Hii ni takwimu gani, ndugu zangu nambieni 7.Uma hatuelewani, taarifa kusikia Islamu tafrani, takwimu kuzipitia Khofu yatanda hewani, sensa kutohudhuria Hii ni takwimu gani, ndugu zangu nambieni 8. Ilahi Mola manani, mwisho ninamalizia Utupe zako hisani, sensa kuipigania Usituache njiani, tutakuja angamia Hii ni takwimu gani, ndugu zangu nambieni Said Mohammed Kiwendu Kiwalani Minazi Mirefu Simu. 0713 806 477

Someni An nuur mpate ukweli


Ndugu Mhariri, N a w a o m b a Wa i s l a m u wenzangu na Watanzania kwa ujumla wasome gazeti la An nuur ili wajue sababu ya Waislamu kuona kuwa sensa ya Agosti haina maana. Nawaomba pia watafute CD/DVD ya Khutba ya Imam Masjid Mtambano ili umikilize tena hoja ya kukataza Waislamu kushiriki sensa UKWELI ni kuwa sababu ya kuwakataza ni kupinga uwongo ulioripotiwa na TBC1 kuwa WAKRISTO NI 52%, WAISLAMU 32% NA DINI ZINGINE NI 16% Plani ya WAISLAMU N I K U S U S I A M PA K A MAMLAKA IKUBALI KUKAA MEZA MOJA N A V I O N G O Z I WA

Agosti 2012. Mtazamo wangu: Hebu kama Waislamu tunaomba tuyapime kwanza mambo kwa uzito wake kabla ya kutoa misimamo hasa mambo kama haya ambayo hakuna katazo la moja kwa moja kutoka katika marejeo yetu. Maasalaam, Said Ally Dar es Salaam

WAISLAMU KUTATUA MGOGORO HUO Niongeze nukta nyingine hapa, Sensa ya 2002 kipengele cha dini kiliondolewa. Sensa za nyuma kama vile 1957, 1967, 1978 kipengele cha dini kiliwekwa. Sasa kichekesho takwimu za sensa hizo ziko katika website ya Osi ya takwimu Tz, lakini data za dini zimeondolewa. Google website ya takwimu ujionee mwenyewe. Huu ni mpango wa kuhalalisha dhulma dhidi ya Waislamu katika mgao wa keki ya Taifa mfano nafasi za uwaziri kama hizi zilizotangazwa April 4, 2012. Angalia Waislamu wangapi, Wakristo wangapi. Wasalaam Mzee Mwinyihija Kinondoni

KIUJUMLA kila Muislamu kiongozi na asiye kiongozi huhimiza UMOJA. Kila ahimizae umoja mara kwa mara anakiri kuwepo umbili, utatu, usita. Uwingi, utengano, uhitilaano, upasuko ufarakano UVIKUNDI. Katika hali ya UTENGANO hakuna MFUMO MUUNDO. Pasimpo mfumo hakuna utendaji fanikishi. Kuna kujidhuru ama kugutia kudhuriwa! Kumbe sote twakubali kuwa kati yetu lipo FUMBO, TATIZO (PROBLEM). Kila tatizo (fumbo) kwa umbile lake linagutia FUMBO na MFUMBUAJI, kadhalika FUMBO (tatizo) na MFUMBAJI (mtatuzi) havikai mbali wao kwa wao wala wao na FUMBO (tatizo). Walio mbali ni wasaidizi wao, pia adui-nyemelezi. Hatua ya kwanza yalazimu kabisa katika kulikabili tatizo ni kulielewa kikamilifu. Kulielewa kinaganaga ni vipi? Nini hatua zake? (1) Fasilisha (define) (2) Sahihisha (Simplify) (3)Halisisha (Factualize) (4) Ainisha (Classify) (5) Tengua (Differentiate) (6) Changanua (Analyse) (7) Upaumbele (Prioritize). Kwa mkondo huu ni dhahiri kuwa maswali yafuatayo ni machache ya yale tulazimikayo kujiuliza na kujibu pia. 1.Umoja wa Uislamu ama umoja wa Waislamu? Nani Muislamu? 2. Umoja wa baadhi ya Waislamu ama Waislamu wote Tanzania? Wepi hawautaki? 3.Yapo makundi mangapi ya Waislamu Tanzania? 4. Hayo makundi makuu yamegawanyika katika vikundi vingapi? 5. Nini muundo, utendaji na mahusiano ya makundi na vikundi hivi? 6. Twataka umoja wa umbile gani? Tuseme tuna makundi 100, yenye vikundi 1000. i. T u i m a r i s h e kwanza vikundi 1000, kisha tuviunganishe madhubuti ndani ya 100 kisha ndiyo tuwe na muungano wa makundi huru 100 yenye Imam Mkuu mmoja? ii. Je, twataka kundi No.2100 zife ili libaki No.1 nalo lijiite umoja wa Waislamu? iii. Je, twataka tufanye mijadala, mihadhara n.k ili hatimaye kundi No. 15 na 7..100 zijikane na zijiunge na kundi No.6 litakalojiita umoja wa Waislamu? Nawaombeni tusijidanganye kuwa tuna umoja hivi sasa. Tulivyo navyo ni vivuli vya umoja. Baadhi ya vivuli hivi vinasaidia kiasi. Baadhi ya hivyo kuwepo kwake ni hatari kuliko kutokuwepo kwake. Hali hii inawavuta na kuwatia hamasa wachokozi. Nahitimisha kwa kuwataka mdau yeyote atakaye zungumzia umoja atupatie taswira ya huo umoja na mchakato atakao utumike kuukia huo umoja. Dr. Tumaini Leo Mtenga Dar es Salaam

13

Barua ya wazi kwa Ms Dana L. Banks


Inatoka Uk. 9
binadamu, haki ya uhuru wa mawazo na maoni. Katika waraka wako ambao ulichapishwa katika gazeti hili wiki iliyopita ulisema kuwa, Uhuru wa vyombo vya habari umejumuishwa katika Tamko la Kimataifa la Haki za Binadamu la Mwaka 1948 linaloeleza kuwa Kila mtu ana haki ya uhuru wa kujieleza na kutoa maoni yake; haki hii inajumuisha uhuru wa kuwa na maoni bila kuingiliwa na kutafuta, kupokea na kusambaza taarifa na maoni kwa kupitia njia from pg. 9
their hair to unrelated men. So try to imagine this young girl from a conservative village with her dress torn off, being sexually assaulted by not one, not two, not three, not four, but ve soldiers. Even today, as I sit in my jail cell, I read about the drone strikes which continue to kill Muslims daily in places like Pakistan, Somalia, and Yemen. Just last month, we all heard about the seventeen Afghan Muslims mostly mothers and their kids shot to death by an American soldier, who also set re to their corpses. These are just the stories that make it to the headlines, but one of the rst concepts I learned in Islam is that of loyalty, of brotherhood that each Muslim woman is my sister, each man is my brother, and together, we are one large body who must protect each other. In other words, I couldnt see these things beings done to my brothers & sisters including by America and remain neutral. My sympathy for the oppressed continued, but was now more personal, as was my respect for those defending them. I mentioned Paul Revere when he went on his midnight ride, it was for the purpose of warning the people that the British were marching to Lexington to arrest Sam Adams and John Hancock, then on to Concord to confiscate the weapons stored there by the Minuteman. By the time they got to Concord, they found the Minuteman waiting for them, weapons in hand. They red at the British, fought them, and beat them. From that battle came the American Revolution. Theres an Arabic word to describe what those Minutemen did that day. That word is: JIHAD, and this is what my trial was about. All those videos and translations and childish bickering over Oh, he translated this paragraph and Oh, he edited that sentence, and all those exhibits revolved around a single issue: Muslims who were

AN-NUUR

Makala/Shairi/Barua

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012

yoyote ya upashaji habari bila kujali mipaka ya nchi. Mehanna anasema kuwa kinachompeleka jela ni kuwa na maoni tofauti na yale ya serikali ya Marekani inayowachukuliwa Waislamu kuwa ni wahalifu na magaidi wa kuuliwa bila kujali na kuthamini damu na uhai wao. Katika kifungu kingine ulisema pia kuwa Wakati siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ikikaribia, Marekani inapenda kusisitizia dhamira yake ya dhati ya kuona kuwa waandishi huru wa habari wanafanya kazi

TAREKS SENTENCING STATEMENT

yao bila hofu yoyote. Aidha, tunawakumbuka na kuwaenzi waandishi wa habari, waandishi katika mitandao (bloggers) na raia jasiri ambao wamejitolea maisha, afya na uhuru wao ili watu wengine waweze kufahamu ukweli. Hali kadhalika, tunathamini na kuenzi mchango wa vyombo huru vya habari katika kujenga demokrasia, uwazi na uthabiti wa jamii. Moja ya yanayodaiwa kuwa makosa ya Mehanna ni kutumia internet kupata habari za watu mbalimbali wanaopinga uvamizi wa Marekani huko Iraq na

Afghanistan. Ms Banks, siwezi kusema kuwa haya unayosema hayawakilishi msimamo wa serikali yako. Lakini picha inayojitokeza ni kuwa huenda Waislamu wao wana namna yao ya kutizamwa, hasa inapokuja pale wanapoonyesha kupinga udhalimu wanaofanyiwa Waislamu wenzao katika nchi zilizovamiwa na Marekani. Nimezingatia kauli yako uliposema kuwa Marekani ina fahari kubwa kushirikiana na vyombo vya habari vya Tanzania katika jitihada za kuwapatia Watanzania

taarifa sahihi na zinazotolewa kwa wakati na kuhimiza na kuimarisha demokrasia. Naamini kwa kuchapisha kauli ya Tarik Mehanna aliyoitoa mbele ya Jaji OToole, tutakuwa tumesaidia kuwezesha kilio chake kusikika mbali na kwa upande mwingine kutoa mchango wetu katika kuwaelimisha Watanzania hasa katika yale ambayo isingekuwa rahisi kwako kuyagusia katika waraka wako juu ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari. Ahsante sana. Omar Juma Msangi Mhariri An nuur
they needed to, but simply because they could. I learned one more thing in history class: America has historically supported the most unjust policies against its minorities practices that were even protected by the law only to look back later and ask: what were we thinking? Slavery, Jim Crow, the internment of the Japanese during World War II each was widely accepted by American society, each was defended by the Supreme Court. But as time passed and America changed, both people and courts looked back and asked What were we thinking? Nelson Mandela was considered a terrorist by the South African government, and given a life sentence. But time passed, the world changed, they realized how oppressive their policies were, that it was not he who was the terrorist, and they released him from prison. He even became president. So, everything is subjective - even this whole business of terrorism and who is a terrorist. It all depends on the time and place and who the superpower happens to be at the moment. In your eyes, Im a terrorist, and its perfectly reasonable that I be standing here in an orange jumpsuit. But one day, America will change and people will recognize this day for what it is. They will look at how hundreds of thousands of Muslims were killed and maimed by the US military in foreign countries, yet somehow Im the one going to prison for conspiring to kill and maim in those countries because I support the Mujahidin defending those people. They will look back on how the government spent millions of dollars to imprison me as a terrorist, yet if we were to somehow bring Abeer al-Janabi back to life in the moment she was being gangraped by your soldiers, to put her on that witness stand and ask her who the terrorists are, she sure wouldnt be pointing at me. The government says that I was obsessed with violence, obsessed with killing Americans. But, as a Muslim living in these times, I can think of a lie no more ironic. -Tarek Mehanna 4/12/12

Tarek Mehanna
defending themselves against American soldiers doing to them exactly what the British did to America. It was made crystal clear at trial that I never, ever plotted to kill Americans at shopping malls or whatever the story was. The governments own witnesses contradicted this claim, and we put expert after expert up on that stand, who spent hours dissecting my every written word, who explained my beliefs. Further, when I was free, the government sent an undercover agent to prod me into one of their little terror plots, but I refused to participate. Mysteriously, however, the jury never heard this. So, this trial was not about my position on Muslims killing American civilians. It was about my position on Americans killing Muslim civilians, which is that Muslims should defend their lands from foreign invaders Soviets, Americans, or Martians. This is what I believe. Its what Ive always believed, and what I will always believe. This is not terrorism, and its not extremism. Its what the arrows on that seal above your head represent: defense of the homeland. So, I disagree with my lawyers when they say that you dont have to agree with my beliefs no. Anyone with commonsense and humanity has no choice but to agree with me. If someone breaks into your home to rob you and harm your family, logic dictates that you do whatever it takes to expel that invader from your home. But when that home is a Muslim land, and that invader is the US military, for some reason the standards suddenly change. Common sense is renamed terrorism and the people defending themselves against those who come to kill them from across the ocean become the terrorists who are killing Americans. The mentality that America was victimized with when British soldiers walked these streets 2 centuries ago is the same mentality Muslims are victimized by as American soldiers walk their streets today. Its the mentality of colonialism. When Sgt. Bales shot those Afghans to death last month, all of the focus in the media was on him-his life, his stress, his PTSD, the mortgage on his home-as if he was the victim. Very little sympathy was expressed for the people he actually killed, as if theyre not real, theyre not humans. Unfortunately, this mentality trickles down to everyone in society, whether or not they realize it. Even with my lawyers, it took nearly two years of discussing, explaining, and clarifying before they were nally able to think outside the box and at least ostensibly accept the logic in what I was saying. Two years! If it took that long for people so intelligent, whose job it is to defend me, to de-program themselves, then to throw me in front of a randomly selected jury under the premise that theyre my impartial peers, I mean, come on. I wasnt tried before a jury of my peers because with the mentality gripping America today, I have no peers. Counting on this fact, the government prosecuted me not because

14

Nassari kajifunza kutoka kwa Baba


Inatoka Uk. 11 Lakini hivi karibuni, Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari, amekuja na yake. Akihutubia katika mkutano wa hadhara wa CHADEMA katika viwanja vya Unga Limited jijini Arusha, alisema sasa umefika wakati kwa ukanda wa Kaskazini kujitenga na kuunda taifa huru. Kwamba Kilimanjaro, Arusha na Manyara zijitenge na kuwa Taifa huru kutoka Tanzania. Alinukuliwa akisema kuwa ukanda huo una utajiri wa madini, maeneo ya utalii na ardhi ya kutosha kuunda nchi yao badala ya kuruhusu wengine ambao hawafurahishwi na mabadiliko hivyo kuendelea kuwachelewesha. Kauli za namna hii zinaashiria jeuri na fahari. Pia kauli za namna hii zina ishara za mtu mwenye ubinafsi. Lakini wapo wanaoona kuwa ni kauli za kibaguizi. Inavyoonekana, Bw. Nassari alifikia kutoa kauli za namna hiyo akiamini kwamba anaungwa mkono na watu wengi. Amepatwa na wahaka kutokana na umati wa watu waliohudhuria mkutano huo. Pia anaonekana kuamini kwamba watu wa ukanda wa Kaskazini wanaweza kufaidi zaidi kupitia raslimali zilizopo kuliko watu wengine nchini, hivyo kuwepo Tanzania inayotumia rasilimali hizo, ni kama watu wa kaskazini wananyonywa. Labda anaamini kuwa Kaskazini ina rasilimali za thamani zaidi kuliko eneo jingine nchini. Lakini kubwa zaidi ni kutangaza kuwa CHADEMA Ni chama cha watu wa Kilimanjaro na Arusha. Ni cha Wachagga, Waarusha Wambulu, Wamasai na Wabarbaigi. Hata hivyo Mwenyekiti wake alimkosoa punde. Freeman Mbowe alitambua wazi kwamba kauli za Nassari ni sumu kali kwa CHADEMA. Hasa akijua kwamba hata sera ya majimbo yenyewe ilionekana kama ni ubaguzi na kulalamikiwa na wengi, sembuse hili la kujitenga Kaskazini ambako ndio ngome ya chama? Watanzania watakuwa na hisia gani hapo? Mbowe Mchagga, Slaa pia Kaskazini line! Watu wataanza kutizama pia katika wabunge wa Chadema, hasa wa kuteuliwa, makabila gani yamehodhi nafasi hizo? Ikitokea ni Kaskazini hiyo pia, itawapa tabu Chadema. Ndio maana Mbowe akaibuka haraka kukemea. Bw. Mbowe mara moja alitambua shida iliyotokana na yale malalamiko ya ukabila katika chama, ambayo yamekuwa yakitolewa mara kadhaa. Hivyo alitambua wazi kwamba kuruhusu kauli kama za akina Nassari bila kukemea ni sumu nyingine kwa chama. Ndipo aliposema papo hapo kuwa mawazo ya kijana wake Nassari ni ya kitoto na hayana maana. Labda Nassari alisukumwa na historia ya Thomas Kirilo, mtu wa Arumeru aliyepigania haki ya wananchi wa Arumeru na Arusha dhidi ya wakoloni, kiasi cha kwenda hadi UNO kudai haki ya watu wake. Lakini Bw. Kirilo alifanya hivyo kulingana na mazingira ya wakati huo. Kulikuwa hakuna umoja wa kitaifa wa kizalendo miongoni mwa Watanganyika. Kwa maana hiyo kwa wakati huo, kila aliyejitokeza kupambana na ukoloni, alifanya hivyo kwa ajili ya kupigania haki za watu wanaomzunguka katika eneo lake. Huko nyuma Bushir wa Pangani alipambana kwa ajili ya himaya yake ya Pangani na maeneo ya jirani huko Tanga. Mkwawa alipambana kwa ajili ya watu wake Kalenga na Iringa, Maji maji ilikuwa vita vya watu wa Songea na maeneo ya Kusini mwa Tanyanyika kwa ajili ya kusaka uhuru n a haki za watu wa eneo hilo, Mtemi Mirambo huko Mirambo Tabora vivyo hivyo, Mareale wa Moshi vivyo hivyo. Leo hii Nassari analeta falsafa ya Mzee Kirilo kipindi hiki cha Tanzania huru, kweli ni mawaza ya kitoto. Bora angesimamia sera ya chama ya majimbo. Lakini pamoja na kumkemea Bw. Nassari, ni vyema tukaangalia hulka hii ya CHADEMA, ambayo si nzuri na naweza kusema kwamba imekuwa ndio tatizo kubwa kwa chama. Baadhi ya maamuzi na kauli za vigogo ndani ya chama vimejenga taswira ambayo inawaogofya baadhi ya wananchi kuwa na imani na chama. Zimekuwepo hisia za ubaguzi na ubinafsi miongoni mwa watu kufuatia mafunzo yanayopatikana kupitia hatua na maamuzi yanayofanyika. Kwa mfano, mara baada ya Rais Jakaya Kikwete kutangaza majina ya watu wanaounda Tu m e y a K u r a t i b a Maoni ya Wananchi juu ya kuandikwa Katiba mpya nchini, mdhamini na mwasisi wa CHADEMA, Mzee Edwin Mtei, mara moja akapata hisia za udini, akaja na hoja ya udini juu ya Tume na kudai ina wajumbe wengi Waislamu. Baada ya kumalizika uchaguzi mkuu 2010, kulitokea mvutano kuhusu kuundwa kwa kambi ya upinzani bungeni hususan kuhusu nafasi za wapinzani ndani ya kambi hiyo. CHADEMA ambacho kilifanya vizuri kidogo katika uchaguzi kwa wabunge bara, waliona kwamba wenyewe, bila ya kuhusisha wabunge wa vyama vingine vya upinzani, wanaweza kuunda kambi ya upinzani bungeni na wanao wabunge wa kutosha kupata baraza

AN-NUUR

Makala

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012

MWENYEKITI wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe. la maw aziri vivuli hivyo hakuna haja ya kuwashirikisha wabunge wa vyama vingine vya upinzani ndani ya Bunge. Kambi hiyo iliundwa na kunyambulishwa jina lake kidogo ili kuleta tofauti na wabunge wengine kutoka vyama vingine vya upinzani. Ikaitwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni. Yaani

neno rasmi lilitosha kuwatofautisha wao na wabunge wa vyama vingine vya upinzani bungeni. Kwamba wale wa NCCR, UDP, CUF, TLP wao hawamo. Ilikuwa ni katika uchaguzi huo huo pia ambapo baadhi ya Maaskofu walijitokeza waziwazi wakipigia debe wagombea wa Chadema na chama hicho kwa ujumla na kucharuka pale chama hicho kiliposhindwa kuingia Ikulu. Chadema walipokuja na harakati za kutaka nchi isitawalike, maaskofu hao hawakuwa nyuma wakiunga mkono Chadema na kupikia chapuo vurugu hizo. Kwa mtizamo huo huo, yawezekana Joshua Nassari, Mbunge wa Arumeru Mashariki, naye aliona si dhambi kuja na wazo la Kaskazini kujitenga kuwa na Jamhuri yake.

15

AN-NUUR

Tangazo
Bismillahi Rahmanir Rahiim

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE NAFASI ZA DIPLOMA YA UALIMU 2012/2013


MASOMO YA SAYANSI, SAYANSI YA JAMII, LUGHA NA BIASHARA VYUO: UBUNGO ISLAMIC TEACHERS COLLEGE - Dar Es Salaam KIRINJIKO ISLAMIC TEACHERS COLLEGE Same - Kilimanjaro 1. Mwombaji awe Muislamu mwenye sifa zifuatazo:

(a) Ufaulu wa kidato cha 6 kwa kiwango kisichopungua principal pass moja na subsidiary moja za masomo yanayofundishwa katika shule za sekondari kidato cha 1 4. (b) Ufaulu wa kidato cha 6 katika somo la Islamic Knowledge kwa kiwango kisichopungua subsidiary pass au kidato cha 4 kwa alama isiyopungua D 2. 3. Mwisho wa kurudisha fomu ni tarehe18/6/2012. Fomu za kujiunga zinapatikana kwa gharama ya Tsh. 10,000/= katika vituo vifuatavyo: Arusha Kilimanjaro Tanga Mwanza Musoma Kagera Shinyanga DSalaam Msikiti wa Ngarenaro: 0786 469896 Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723418 Same: Kirinjiko Islamic Secondary School: 0784 296424 Juhudi studio/Restaurant-Same Mjini 0757013344 Uongofu Bookshop: 0789 410914 Nyasaka Islamic Secondary School: 0786 417685/0717 417685 Osi ya IPC MWANZA Mtaa wa Ruji 0655 889330/0754889330 Duka la Kansolele sokoni stendi ya zamani: 0714587193/0782 966352 Bukoba: Ust. Kinobe/Abubakar: 0688 479667 Shinyanga mjini karibu na msikiti wa Alfarouk: 0684 940941 Kahama Osi ya Annur 0656 863718 Ubungo Islamic High School: 0754 260241/0655 260241 Manzese Osi ya Gazeti la Annur-0713110148/0777777372 Temeke Osi ya Islamic Ed. Panel - karibu na shule ya Sekondari Nurulyakin0787119531/0655 144474/0715 002706 Ikwiriri Msikiti wa Taqwa:0656 531133 Duka la vitabu (Mosa Investment): 0754 452686 Osi ya EKP- Msikiti wa Ijumaa Boma Road - Morogoro mjini - 071268925 Al-Hijra Islamic Primary School: 0712 325086 Osi ya Islamic Ed. Panel, karibu na Nuru Snack Hotel 0714 285465 Babati: 0784 209701 Msikiti wa Legeza Mwendo Mwanga: 0753 355224/0717 317322 Kibondo Islamic Nursery School: 0756 146182 Murubona Muslim S.S. Kasulu 0714 710802 Kituo cha Kiislamu Isevya: 0783 079146 Wapemba Store: 0784 974041 Amana Islamic Secondary School: 0715 729973/0786 729973 Songea Mjini: M.A. Kawanga mkabala na Msikiti wa Wilaya 0713 249264 REXONA mkabala na Mbeya Retco (Stationary ya Msikiti wa Uyole) mtaa wa Uhindini na Uyole (kwa mwalimu Idrisa): 0718 425319 Sumbawanga: Semzango Stationary-0785 734662 Masjidi Hidaya Iringa mjini: 0714 522122 Wete: Wete Islamic Education Centre: 0777 432331 Madrasatul-Fallah: 0777 420612

5.

Pwani Bagamoyo Morogoro Dodoma Singida Manyara Kigoma Tabora Lindi Mtwara Songea Mbeya Rukwa Iringa Pemba Unguja

Pia fomu zinapatikana katika tovuti: www.ipctz.org. Wahi nafasi hii adhimu Wabillahi Tawiq

AN-NUUR
16

AN-NUUR

16

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012

USIKOSE KUSOMA AN-NUUR KILA IJUMAA

JAMADUL THAN 1433, IJUMAA MEI 11 - 17, 2012

Walimu Zanzibar wapewa mtizamo sahihi kusomesha


Na Zainab H Mtima, Zanzibar

PROFESA David Roy Woelke, wa King Abdulaziz University akiongozwa na Sheikh Abdul Elah Al-Ajlan wa World Assembly of Muslim Youth, kutamka shahada na kusilimu.

WAALIMU wa Kiislamu katika ngazi zote wametakiwa wasome na wafundishe Elimu ya Muongozo na ile Mazingira bila kuzibagua. Hayo yameelezwa hivi karibuni na Mkuu wa Chuo cha Taaluma za Sayansi za Afya Zanzibar Dr. Hakim Gharib Bilal wakati akifunga semina ya waalimu Waislamu iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Taaluma za Sayansi za Afya Mbweni nje kidogo ya Mji wa Unguja. Dr. Bilal amesema kuwa elimu zote ni za Mwenyezi Mungu zisitofautishwe kwani kufanya hivyo ni upotofu na njama za kuwadumaza Waislamu. Elimu zote ni za Allah (SWT) isitofautishwe kwani Uislamu siyo kuswali tu, bali ni mfumo mzima wa maisha, alitilia mkazo Dr. Bilal. Katika mtizamo huo, D r. B i l a l a l i w a t a k a walimu kutumia fani

zao kuhakikisha kuwa wanawaimarisha wanafunzi wao kiimani, wamtambue zaidi Mola wao na wawe wachamungu zaidi huku wakiwapa maarifa kama ni ya kemia, zikia, elimu ya viumbe au sayansi ya jamii. Alisema yapo mambo mengi ya mazingatio katika taaluma mbalimbali ambayo kama walimu watayafahamu na kuyachambua, yatawapa imani zaidi wanafunzi wao na kutambua uwezo wa Mwenyezi Mungu. Akitoa mfano alisema kuwa katika elimu ya viumbe na katika taaluma ya utabibu inaelezwa kuwa red blood cells ndio husarisha hewa ya okisijeni kutoka katika moyo na kuipeleka sehemu zote mwilini. Akasema, Allah amejaaliya kuwa Red Blood Cells zenyewe hazitumii oksijeni kupata nishati ya kufanya kazi hiyo. Fikiria kama Red Blood Cells zingekuwa zinatumia oksijeni, ingekuwa sawa na kumpa paka samaki apeleke

mahali fulani, unadhani angekisha? Akasema, hayo ni baadhi ya mambo katika maumbile ambayo yana mazingatio na kama walimu wakiyachambua vizuri, huwazidishia wanafunzi utambuzi wa kumtambua Mola wao na utukufu wake. Ilisisitizwa pia katika semina hiyo kwamba ni muhimu kutilia mkazo mabadiliko ya kitabia katika kusomesha. Kwamba wanaojua kwa mfano ubaya wa uchafu, au wanaojua kuwa Uislamu unahimiza usa na unadhifu, basi waonekane wao wenyewe kuwa wasafi na mahali wanapokaa. Katika ufafanuzi ilielezwa kuwa hivi sasa si rahisi kumtofautisha mtoto anayesoma madrasa na asiyesoma kwani wote unaweza kuwakuta wakitukana mitaani na kutoa lugha chafu. Mwalimu unamfundisha mwanafunzi mada ya
Inaendelea Uk. 4

JEDDAH PROFESSOR raia wa Canada, David Roy Woelke, wa King Abdulaziz University ametamka shahada na kusilimu. Akiongozwa na Sheikh Abdul Elah Al-Ajlan wa World Assembly of Muslim Youth, Prof. Woelke alitamka shahada katika haa fupi iliyofanyika Makao Makuu ya WAMY jijini Jeddah katikati ya wiki iliyopita. David Roy Woelke, ambaye ni mkufunzi wa lugha ya Kiingereza katika chuo hicho, aliukubali Uislamu ambapo Sheikh Abdul Elah Al-Ajlan, ambaye ni Mkurugenzi msaidizi wa dawa wa WAMY, alimsaidia kutamka Shahadah (Lailaha Illallah Muhammad Rasulullah) Woelke, ambaye amependa kuitwa Dawood, alisema ameukubali Uislamu baada ya kuona kwamba ndio dini ya kweli. Kabla ya kusilimu alifanya uchunguzi wa kuainisha Uislamu na dini yake ya awali ya Kikristo na kugundua tofauti nyingi. Nilipokuja Saudi Arabia, niligundua ni kwa kiasi gani vyombo vya Magharibi vinavyopotosha uhalisi wa Uislamu, kwa kuuelezea kama ni dini ya vurugu na ugaidi. Kwa kweli hii ndio dini ya amani na ya mshikamano wa kiulimwengu, alisema. Prof. Woelke aliongeza kuwa ni kutokana na kuonyeshwa vibaya Uislamu, ( biased portrayal of Islam) ndiko kulikomsukuma kusoma zaidi juu ya dini hiyo na kuisoma Quran Tukufu vilivyo. Nilipokuja kufahamu kwamba Uislamu ndio dini ya kweli niliamua mara moja kukata mahusiano na Ukristo. Raia huyo wa Canadian alisema aliona picha tofauti kabisa ya Uislamu na Waislamu Saudi Arabia, na kuongeza kuwa ilikuwa ni tofauti kabisa na kile kinachotangazwa na vyombo vya habari vya Magharibi. Alipohojiwa kwamba familia yake itapokeaje kusilimu kwake, Prof. Woelke alisema familia yake ni vumilivu na ya uwazi. Hata hivyo alisema wanaweza kuona ugeni mwanzoni kwa sababu ya mtazamo usio sahihi walio nao juu ya Uislamu ulioenezwa na vyombo vya habari vya magharibi. Anatarajia wanafamilia wake watamuuliza juu ya

Profesa asilimu

mafundisho ya Uislamu na jinsi gani atazoena nao. Kuna uelewa mwingi tofauti juu ya Uislamu katika kra zao. Lakini nina hakika kwamba hamu yao juuya Uislamu utawabadili pale nitakapowaelimisha juu ya mafundisho yake, alibainisha. Kuna tofauti pana kati ya imani na dini, alisema Prof. Woelke na kuongeza. Dini ni taasisi ya kutengenezwa na watu lakini imani ni mahusiano kati ya mtu na Mungu, nataka kuwa nabanwa zaidi katika kushughulikia mahusiano yangu na Mungu na sio kutingwa juu ya mahusiano ya mtu mwingine na Mungu wake, alisema. Dr. Muhammad Badahdah, Katibu Mkuu Msaidizi wa WAMY alionyesha furaha yake juu ya uamuzi wa Prof. kusilimu ambapo alisema, maelfu ya watu wa dini na utaifa tofauti, hususan wasomi kama Prof. Woelke, wanasilimu kila mwaka. Alisema idadi kubwa ya wake na wanaume katika nchi za Magharibi wanasilimu kufuatia kugundua kampeni mbaya zinazofanywa na vyombo vya habari ya kimagharibi juu ya Uislamu baada ya matukio ya 9/11. Kuna mahitaji makubwa ya tafsiri ya Kiingereza ya Quran na vitabu vya Kiisloamu katika maduka ya vitabu. Nina hakika Uislamu utawavutia watu waaminifu kama Woelke. Alisema Katibu Msaidizi huyo. D r. I s m a i l M a r i t h e r i , mwalimu wa Kiingereza katika Chuo cha KAU na mwanaharakati wa kijamii, alifurahishwa sana kusikia habari za Prof. Woelke. Alisema kuwa Prof. Harold Trupos, Mhadhiri wa zamani wa Kiingereza kutoka Afrika Kusini katika chuo hicho, alisilimu baada ya kugundua mtazamo tofauti uliokuwa ukitangazwa na vyombo vya Magharibi dhidi ya Uislamu. Naye alianza kujifunza kuusoma Uislamu na alipogundua picha tofauti za Uislamu na Waislamu Saudi Arabia, alisilimu. Baada ya kusilimu Idara ya Dawa ya WAMY ilimpatia nakala ya Quran na vitabu kadhaa vya Kiislamu kwa lugha ya Kiingereza kama zawadi.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

You might also like