Professional Documents
Culture Documents
com
Sauti ya Waislamu
Kushoto Kadhi Mkuu Sheikh Khamis Haji akifuatiwa na Mufti Sheikh Saleh Omar Kabi
Tahariri
2
AN-NUUR
mihemko (emotions).
Tunachofahamishwa
hapa
ni
kuwa
kinachoitwa ugaidi
hivi leo na msamiati
vita dhidi ya ugaidi,
hauwakilishi adui
yoyote anayetambulika
au kwa maana
nyingine, haiwakilishi
adui wa kweli. Kama
walivyochambua
wasomi na wachambuzi
wengi ni kuwa, huo
umekuwa tu ni moja ya
mikakati ya mabeberu
kataka kufikia masilahi
yao.
Na kama ambavyo
i m e e l e z wa p i a k wa
marefu na mapana
ikiwemo kuandikiwa
vitabu, machapisho na
kufanyiwa midahalo
mbalimbali katika
v y o m b o v ya h a b a r i
iliyohusisha wanazuoni
mashuhuri
wa
kuaminika kimataifa,
kinachoitwa mbinu za
kupambana na ugaidi,
nacho inakuwa kiini
macho kingine ambacho,
pamoja na kuwekewa
bajeti kubwa, haisaidii
lolote katika kutokomeza
huo unaoitwa ugaidi.
Bali kuuchochea zaidi
na kutunisha mifuko ya
wana-usalama na vikosi
vya ulinzi. Namna yake ni
kama kuwepo kwa vikosi
hivyo kunachochea zaidi
kuwepo kwa ugaidi.
Na hiyo huendana na
h o j a z a wa n a z u o n i
kuwa kinachotakiwa
ni kuwepo huo ugaidi
ili ipatikane sababu
ya kufanyika mambo
mengi ya kurahisisha
mikakati ya mabeberu
ikiwemo kusambaza
utando wa kijeshi na
kikachero dunia nzima
kutimiza lengo lao la
udhibiti wa dunia
Hegemony. Na pili
kupitia utando huo wa
kijeshi unaowawezesha
kuwepo kila mahali kwa
kizingizio cha kusaidia
kupambana na ugaidi,
wa we z e k u z i d h i b i t i
nchi mbalimbali pamoja
na rasilimali zao hasa
mafuta, gesi na madini.
Baada ya miaka mingi
ya machafuko, kuna
wakati Somalia ilikuwa
imefikia mahali pa
kuondokana na vurumai
hizo zilizoangamiza
mamia ya maelfu ya roho
za Wasomali. Ghafla
mabeberu wakawaundia
vikosi vya kupambana
na magaidi. Vikawa
vinapewa mapesa mengi
na silaha nzito nzito.
Amani na hali ya utulivu
i l i y o k u wa i n a n u k i a
Somalia, ikatoweka.
Walipofikishwa Allah
ndiye mjuzi watatokaje.
K
e
n
y
a
wametutangulia sana
katika mchezo huu wa
mabeberu. Waliundiwa
vikosi vya kupambana
na magaidi-Anti Terror
P o l i c e U n i t ( AT P U )
n a m a p e m a . AT P U
ndio wanaotuhumiwa
kuuwa Masheikh wengi
na vijana wa Kiislamu
k wa k i s i n g i z i o c h a
kupambana na ugaidi.
Kwa mujibu wa makala
ya Jipo Pevu iliyokuwa
ikirushwa na kituo cha
televisheni cha KTN,
hawa ATPU walikuwa
wakiwafuata Masheikh
majumbani mwao na
kuwauwa kikatili kwa
kuwapiga risasi, kisha
hutoa taarifa za uwongo
kwa vyombo vya
habari kuwa Masheikh
hao waliuliwa wakati
wakipambana na polisi.
Lakini pia kwa mujibu
wa makala ya Aljazeera,
hawa ATPU na vikosi
v i n g i n e v ya n a m n a
h i y o , wa o h u t a m b a
k u wa n i v i k o s i v ya
wauwaji (elimination),
sio vya kukamata
watu na kuwapeleka
mahakamani. Na zaidi
wanasema kuwa hao
hao mabeberu ambao
ndio walimu na
wafadhili wao, wao ndio
huwaambia nani wa
kumuuwa. Wakipewa
taarifa kamuuweni
Fulani, humuuwa na
AN-NUUR
kama binadamu.
Akakumbusha na
kusisitiza kuwa
wanaofanya matendo
ya kigaidi wanalenga
kutufarakanisha na
k u l e t a f i t n a m b a ya
miongoni mwetu lizuke
balaa la machafuko.
Alisema, waliorusha
bomu lile walitaka
kuliingiza Taifa kwenye
migogoro ya kidini,
lakini kupitia nguvu
za Mwenyezi Mungu,
walishindwa.
Kwa hakika hili
ni somo ambalo
Watanzania tunatakiwa
tulizingatie sana.
Kenya watalaumiwa
kwa kuingizwa
kichwakichwa katika
biashara hii kichaa.
Tunaweza kusema kuwa
h a wa w e z i k u e p u k a
lawama ya kuuziwa
mbuzi wa mikakati ya
Counter Terrorism ya
mabeberu na ATPU zao
katika gunia.
Lakini sisi Watanzania,
itabidi tujilaumu sana
kama hatutajifunza kwa
yanayowakuta wenzetu
Kenya. Wameuwa na
kutesa sana watu wao
kupitia mipango hii ya
kupewa ya ki- ATPU
n a k u p i t i a a k i l i ya
kupewa na kushikiwa
na mabeberu. Lakini
pia kadiri walivyopewa
mikakati, ndivyo damu
ya Wakenya inavyozidi
kumwagika na kuwa
kama mihanga ya
kulinawirisha Subiani
ugaidi.
Sisi tunaamini kuwa
h a k u n a g a i d i s i wa
kutoka Al-Shabaab au
AlQaida au wa jina lolote
lile, awe wa ndani au
wa nje, anayeweza kuja
kuipiga Tanzania, kama
sio hao wa kutengenezwa
na mabeberu.
Na kwa maana
hiyo, kama ikitokea
kupigwa, Mwenyezi
Mungu atuepushe na
balaa hilo, sisi imani
yetu itabaki kuwa ni
ugaidi wa kupanga.
Na kwa maana hiyo
hiyo, mipango yoyote
tutakayofanya ikipewa
jina lolote lile, maadhali
itakuwa mithili ya ile
ya Kenya, itakuwa ni
ya kutuangamiza zaidi.
Haya ni maoni yetu na
tutasimama nayo.
Habari
AN-NUUR
SHEIKH (Mselem)
kafanyiwa udhalilishaji
mkubwa wa kuachwa
uchi wa mnyama huku
a m e n i n g ' i n i z wa k wa
pingu.
Huyu ni Sheikh
anayesoma kitabu
kitakatifu cha Mwenyezi
Mungu, akisikika akisoma
Qur'an tukufu katika Redio
nyingi Afrika Mashariki,
lakini anafanyiwa ushenzi
kama huo-Sheikh Farid
Hali za watuhumiwa wa
ugaidi mbaya. Hivi sasa
baadhi yao wamegoma
kula.
Ni katika hali hiyo,
Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu Jijini Dar
es Salaam, imeambiwa
isubiri kupokea maiti
z a wa t u h u m i wa h a o ,
ikiwa hatua za makusudi
hazitachukuliwa kunusuru
afya zao ndani ya gereza la
Segerea.
Kauli hiyo imetolewa
na Sheikh Farid Had
Ahmed, mbele ya Hakimu
wa Mahakama hiyo
anayesikiliza kesi yao,
Renatus Rutta, Jumatatu
wiki hii.
Sheikh Farid Had
akimpa Hakimu histori
fupi ya kesi yao iliyopo
mbele yake, alisema kuwa,
wamebambikiziwa kesi
ya ugaidi kwa kudai nchi
yao huru ya Zanzibar
na kusema mfumo wa
Muungano uliopo
hawautaki.
Alisema, kesi yao ni ya
kisiasa na si vinginevyo
na kwamba, walikamatwa
na kuletwa bara kuja
kudhalilishwa tu na polisi
wa kike na wakiume.
Sheikh
Farid
alimtambulisha Hakimu
huyo kuwa wao ni Viongozi
wa Taasisi mbalimbali na
yeye akiwa ni kiongozi
Umoja wa Mihadhara na
Sheikh Mselem Ali Mselem
ni kiongozi wa Jumuiya ya
Uamsho, zote za Zanzibar.
Sheikh Kama huyu
(Mselem) kafanyiwa
udhalilishaji mkubwa wa
kuachwa uchi wa mnyama
huku amening'inizwa
k wa p i n g u , h u y u n i
Sheikh anayesoma kitabu
kitakatifu cha Mwenyezi
Mungu, akisikika akisoma
Qur'an tukufu katika
Redio nyingi katika
Afrika ya Mashariki, lakini
anafanyiwa ushenzi kama
huo Alisema Sheikh Farid
mbele ya hakimu huyo.
Naye mshitakiwa Salum
alimkumbusha Hakimu
Rutta kuwa wiki iliyopita
wawatembelee huko
gerezani.
Watuhumiwa ambao
hawakuweza kufika ni
Said Amour, Salum na Said
Shehe, Sharifu na Abdallah
Hassani Hassani.
Hata hivyo Sheikh Farid
H a d A h m e d , a m b a ye
ndiye mshitakiwa namba
moja alimweleza Hakimu
ya l e wa n a y o h i t a j i n a
kumwambia, washitakiwa
watatu ambao hawakuweza
kufika mahakamani ni
kwa sababu ya mgomo
na wengine hawakuweza
kufika kwa maradhi.
Hakimu
Rutta
a l i p o f a n ya j u h u d i z a
kuwasihi waliohudhuria
mahakamani hapo
kuwasihi waliogoma
waache na kumtaka Sheikh
Farid awafahamishe
kwamba waje mahakamani,
jibu la Sheikh Farid
lilikuwa kwamba wenzao
wameanza na wao
watakwenda kumaliza kwa
kuwa lao ni moja.
Akiongea na gazeti la Sheikh Mselem Ali Mselem, kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho,
An-nuur kufuatia taarifa za
A l i s e m a A m o u r kadhaa.
watuhumiwa hao kugoma
n
i
miongoni mwa
Alisema baadhi ya madai
kula gerezani na wengine
a t u h u m i w a yao ni kutaka wafutiwe
kuugua, Katibu wa Kamati w
kuhudhuria m a s h i t a k a ya u g a i d i
ya Maafa ya Shura ya walioshindwa
M a h a k a m a n i s i k u ya kwa sababu ni tuhuma
Maimamu, Ustadhi Ally Jumatatu (Mei 11, 2015)
Mbaruku, alisema taarifa kutokana na maradhi za kubambikizwa zisizo
h i z o w a m e z i p a t a n a yanayomsumbua, huku na ukweli wowote, ndio
maana ushahidi mpaka
wanazifanyia kazi.
wengine ikiripotiwa kuwa
Alisema wanayo taarifa wa m e s h i n d wa k u f i k a sasa hakuna.
J i n g i n e n i k wa m b a
ya kuugua kwa Said Amour kutokana na kukosa nguvu.
wamechoshwa kupigwa
na wapo katika mchakato
Alisema Kamati ya Maafa d a n a d a n a k wa r u f a a
wa kumshughulikia.
ilikuwa inategemea kupata yao, wakihoji ni kwa nini
Kuhusu kugoma kula, majibu mapema wiki hii,
alisema ni suala ambalo lipo lakini mpaka Jumanne haitolewi maamuzi kwa
nje ya uwezo wao kwani wiki hii bado hawajajibiwa, wakati huku wakiendelea
madai yao yameelekezwa jambo ambalo linazidi kunyimwa dhamana.
Ust. Mbaruku, alisema
katika mamlaka husika.
kuchelewesha tiba ya m g o m o huo um e a nz a
Alisema baada ya kupata uhakika kwa mtuhumiwa k w a w a t u h u m i w a
taarifa za kuugua kwa huyo.
wachache miongoni
A m o u r , wa l i l a z i m i k a
Hata hivyo kwa mujibu mwa watuhumiwa hao
k u u a n d i k i a u o n g o z i wa Ust. Mbaruku, alisema n a k w a m b a , s i w o t e
w a M a g e r e z a b a r u a mke wa Said Amour, alifika waliogoma kwa sasa.
ya kupatiwa kibali cha gerezani hapo kujua hali
Hata hivyo Ust.
kumtibia chini ya uangalizi ya mumewe na kuelezwa Mbaruku alisema, tayari
w a o ( m a g e r e z a ) n a k w a m b a J u m a t a n o Sheikh Farid Hadi, ametoa
Waislamu watagharamikia (wiki hii) kuna daktari kauli kuwa watuhumiwa
matibabu yake.
atakwenda kumwangalia w o t e wa t a u n g a n a n a
Ust. Mbaruku, alisema kwa ajili ya kumpatia wenzao ikiwa madai yao
kwa mujibu wa maelezo matibabu.
hayatotekelezwa.
waliyo nayo kutoka kwa
Pamoja na majibu hayo
Wa k a t i h u o h u o
mtuhumiwa huyo, anadai lakini mle ndani wanapewa
kulikuwa
na Kesi nyingine
kuwa sehemu zake za h u d u m a z a h a p a n a
inayomkabli
mtuhumiwa
siri zimevimba na zina pale ambazo kwakweli
dalili ya kuwa na usaha hazikidhi haja ya matatizo mwingine Ust. Sharifu
Sharifu
kutokana na kuminywa waliyonayo, ndio maana S u l e i m a n
kutoka
Zanzibar
nayo
athari
zinazidi
kujitokeza.
na askari wa usalama
Hata hivyo tunaendelea imeahirishwa huku akiwa
baada ya kukamatwa kabla
kuwasiliana na uongozi kwenye mgomo wa kula.
hajafikishwa gerezani.
W a i s l a m u
H i k i n i k i l i o c h a o mara kwa mara juu ya
cha muda mrefu kuwa kupatiwa majibu ya barua wa n a o t u h u m i wa k wa
wa n a h ita ji k u fa n y iwa ya maombi yetu ya kutoa Ugaidi, wapo gerezani
uchunguzi afya zao kwa huduma kwa Muislamu h u m o k w a m a k u n d i
u j u m l a k u t o k a n a n a h u y o . A l i s e m a U s t . tofauti tofauti kulingana
madhila waliyoyapata Mbaruku.
Akizungumzia mgomo na tuhuma zinazowakabili,
lakini hakuna anayejali,
wa
wa t u h u m i wa h a o ambapo inakadiriwa kuwa
kwa sasa tunahitaji kibali
(ruksa) ya uongozi wa kula gerezani humo, Ust. mpaka sasa wapo zaidi ya
Magereza ili tumpatie Mbaruk alisema waliuanza arobaini katika gereza la
matibabu. Alisema Ust. tangu Jumamosi ya wiki Segerea. Kesi imeahirishwa
iliyopita na kutoa masharti hadi Mei 24.
Mbaruku.
4
KUENEA kwa mambo
ya laana kunasababisha
maafa. Mfano rushwa
ikienea sana mpaka
kusajiliwa kwa vyombo
vya baharini itakuwa
kwa rushwa, kupanda
kwenye chombo kwa
rushwa hatimaye chombo
kinazama.
Wa m e l a a n i w a n a
Allah (SW) wanaotoa na
wanaopokea rushwa (Mj
2313 T1337 Amesahihisa
Tirmidhy).
Lakini athari ya
rushwa wenye haki
wataporwa haki zao,
wenye makosa ya kuuza
ulevi na kokeni watatoa
rushwa na kusalimika,
aliyebaka atatoa rushwa
na hatofungwa. Itaenea
dhulma itakayomkasirisha
Allah SW na mwisho
wataadhibiwa.
Wa n a w a k e k u v a a
masuruali na fulana,
ni laana na hii ndiyo
sare katika makundi ya
mazoezi takriban yote.
Amesimulia Abuu
Hurayra (RA) amesema
Mtume (SAW) amemlaani
Mtume mwanamme
anayevaa nguo za kike
na mwanamke anayevaa
nguo za kiume(D 4098).
Pamoja na wanawake
kuchanganika ovyo na
wa n a u m e wa k i f a n ya
mazoezi pamoja ,
wanawake hujilaza miguu
juu, huku wakibenuliwa
na wanume. Huko ngazi
mia mamia ya wanawake
na wanaume kwenye
f u k we h u c h a n g a n i k a
wakiikaribia zinaa
kwa kukaa pamoja
kufundishana kuogolea.
Kwenye
fukwe
hakusemeki. Zinaa
hadharani. Wanawake na
wanaume hukodi magari
wakachukua na ulevi na
wanawake walio uchi na
kucheza ngoma na kuzini
kwenye fukwe.
Wa k a t i wa m c h a n a
mchanganiko mbaya wa
wanawake na wanaume
kwenye sehemu za
wazi na bustani kama
Jamhuri Garden ambayo
imegeuzwa ni bustani
ya mapenzi. Jinsia mbili
hukaa faragha kukamatana
na kuchezeana hadharani.
Wakati wa usiku maeneo
ya wazi hugeuzwa
kuwa viwanja vya zinaa.
Wanawake na wanaume
h u z i n i o v y o k we n ye
viwanja, majengo ya shule
na mambo hayo yakienea
yanasababisha maafa kwa
ushahidi wa hadithi sahihi
ya Mtume SAW.
Aliuliza Zaynab binti
Jahshi RA Hivi tutahiliki
na miongoni mwetu wako
watu wema? Akasema
Makala
AN-NUUR
Mambo ya laana
R A I S wa z a m a n i wa
Somalia, Siad Bare.
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
MAKUNDI 10 ya wabeba
silaha huko Jamhuri ya
Afrika ya Kati yametia saini
mapatano ya kuweka chini
silaha na kumaliza mgogoro
ambao umesababisha
maelfu ya watu kupoteza
maisha nchini humo.
Kundi la wanamgambo
wa Kikristo la Anti-Balaka
na lile la Waislamu la Seleka
ni miongoni mwa makundi
h a y o k u m i ya l i y o s a i n i
makubaliano ya kusalimisha
silaha zao kwa serikali ya
mpito mjini Bangui.
Kwa mujibu wa
makubaliano hayo,
w a n a m g a m b o
watakaosalimisha silaha zao
watajumuishwa katika jeshi
la taifa na kwenye mashirika
mengine ya kiraia.
Aprili 9 mwaka huu,
viongozi wa makundi
ya Seleka na Anti-Balaka
walisafiri hadi mjini
Nairobi Kenya na kusaini
makubaliano ya usitishaji
vita pamoja na mpango wa
kuweka chini silaha.
Marais wote wa zamani
wa U m o j a wa M a t a i f a
pamoja na Rais wa serikali
ya mpito ya Jamhuri ya
Afrika ya Kati, Bi. Catherine
Samba Panza, kunayafanya
maafikiano hayo kukosa
itibari ya kimataifa na hata
kutilia shaka uwezo wake
wa kuhitimisha mapigano ya
kikabila na kidini katika nchi
hiyo ya kati mwa Afrika.
Makubaliano ya Nairobi
yalikuwa matunda ya
mazungumzo kati ya pande
hasimu chini ya upatanishi
wa serikali ya Kenya. Baadaye
viongozi wa Jumuiya ya
Kiuchumi ya Kati mwa Afrika
ECCAS walimteua Dennis
Saso Nguesso, Rais wa Kongo
Brazzaville kuwa mpatanishi
wa mgogoro wa CAR.
Ni chini ya upatanishi
wake ndipo pande hasimu
zilipokutana mjini Brazzaville
Mei 4 na kusaini makubaliano
mengine ya usitishaji vita na
kuweka chini silaha.
Jamhuri ya Afrika ya Kati
ilitumbukia katika mapigano
ya wenyewe kwa wenyewe
mwaka 2013 wakati kiongozi
Makala
AN-NUUR
kuwakinga madhalimu
n a v i t e n d o v ya o v ya
dhulma na wakati
huohuo kuwalaumu
wengineo wasiokhusika
na kitendo hicho, uwongo
huo huingia katika
kumbo la propaganda,
na propaganda ni silaha
mbaya sana yenye kukuza
chuki ambazo aghlabu
humalizikia kuulisha watu
wengi bila ya sababu.
Hapana shaka yoyote
kuwa propaganda hizi
zinazosomeshwa shuleni
Ta n z a n i a n a k a t i k a
magazeti na majukwaa
ya siasa na katika khutba
za makanisa na misikiti,
zimeshaanza kuleta
khasama kubwa baina ya
Waislamu na Wakristo.
Kwa sasa nakuachilia
mwenyewe ufungue
masikio yako usikilize
vizuri wanaokhubiri na
u f u n g u e m a c h o ya k o
usome magazetini uangalie
v i z u r i s a n a Ta n z a n i a
inakotokomezwa. Kama
u n a i p e n d a Ta n z a n i a
kikwelikweli, basi
utatafuta kila njia ya
kuziondosha propaganda
kila mahala zinakotumiwa,
Makala
AN-NUUR
Inatoka Uk. 6
wanazivuruga akili na
nyoyo za wanafunzi
wa s h u l e Ta n z a n i a
na kuwaelekeza, kwa
makusudi, kunako fitina
na mauwaji ya watu wa
jamii Fulani. Jee, haya
hayakuwa ya wajinga
ndio waliwao?
Khalafu tusisahau kuwa
wanazungumzia Karne
ya 19 na labda kabla ya
hapo, sasa hii bunduki
aliyoishika Mwarabu
ya semi-automatic
kaipata wapi na bunduki
za aina hiyo zilikuwa
bado hazijaundwa?
Mradi uchoraji
u n a p o t o s h a u k we l i
kwa kadiri kubwa sana,
lakini pia ingelikuwa
ni wa vichekesho sana
ingelikuwa maudhui
yenyewe na athari zake
si za khatari ya kuweza
kuulisha watu bure
baada ya kujenga chuki
zisizokuwa na ukweli.
Halikadhalika, na
picha hii inayofuata ya
kuchora kutoka ukurasa
wa 74 wa kitabu cha
History for Secondary
Schools, Form Two, ya
wafanyabiashara ya
utumwa wanakiingilia
kijiji inapingana sana na
yale yaliyothibitishwa
kutoka
Kwa mabingwa
wa historia. Picha hii
i n a o n e s h a k u wa n i
Wa a r a b u p e k e ya o
waliokuwa wakiviingilia
vijiji vya Kiafrika na
k u wa u wa Wa a f r i k a
hao kiholela. Ukweli
ni kuwa kitendo hicho
kilifanywa sana, tena
sanasana, na machifu
wa Kiafrika waliokuwa
na nguvu pamoja na
Wa p o r t u g i z i . K w a
hivyo, inahitajia tupewe
jawabu ya sababu ya
kuwanyooshea kidole
cha lawama Waarabu
Waislamu peke yao kwa
vitendo vilivyofanywa
zaidi na makabila ya
Kiafrika yaliyokuwa
na nguvu pamoja na
Waportugizi Wakristo?
Nini lengo la wachoraji
kuuficha ukweli huu?
Tena, na picha hii
imechorwa kuonesha
kuwa hakuna wa
kulaumiwa katika
ukamataji wa watumwa
ila Waarabu Waislamu.
Na hii ya juu
pia inamshirikisha
Mwarabu katika
ukamataji. Na inayofuata
inawashirikisha
Waarabu na Waswahili
katika kitendo
kilichofanywa na
Wa a f r i k a wa B a r a .
Dhahiri kuwa ukhabithi
wa wakamataji wa
kweli, yaani makabila
ya Waafrika wa Bara
yaliyokuwa na nguvu
wanatupiwa Waarabu
na Waswahili. Kisa ni
kwa kuwa ni Waislamu.
Na katika picha hii pia,
wenye kulaumiwa kwa
ukamataji wa wanyonge
wa Kiafrika ni Waarabu
na Waswahili Waislamu.
Na hizi picha
zinazofuata kutokana na
vitabu vya kusomeshea
historia Tanzania hali
ndiyo hiyohiyo. Mtwike
Mwarabu lawama
zote za ukamataji wa
wanyonge wa Kiafrika
na kuwatia utumwani
na kwa kufanya
hivyo lengo khasa la
kuichukiza dini yao
ya Kiislamu litafikiwa
katika bongo za watoto
vijana katika shule za
Tanzania. Lakini hilo
halitafikiwa kwa sababu
k i l a k u k i c h a we n g i
wenye kutumia akili
zao wanazidi kuuona
ukweli. Lakini wenye
lengo lao la siasa kali
za udini ni sawa kwao
wanaona kuwa haidhuru
kitu wakija Waislamu na
Wakristo kuuwana siku
za mbele, na Tanzania
Makala
8
A M E T A K A S I K A ,
A l i ye m c h u k u a m j a
Wake usiku mmoja
kutoka Msikiti
Mtukufu mpaka
M s i k i t i wa M b a l i ,
ambao Tumevibariki
vilivyouzunguka, ili
Tumwonyeshe baadhi
ya Ishara Zetu. Hakika
ni Mwenye Kusikia na
Mwenye Kuona. (AlIsraa 17: 1)
Allaah (Subhaanahu
wa Taala) Anaelezea
Utukufu Wake, Ukubwa
Wake na Uwezo Wake,
kuwa Yeye ni Mweza wa
kila kitu na Anafanya
kila kitu Anachotaka
kukifanya. Yeye pekee
Ndiye Mungu wa
kweli na Yeye pekee
Ya k e N d i y e M l e z i
(Muumba, Mtoaji wa
Riziki na Mwenye kutoa
ukimu wa kila kiumbe).
Alimchukua mja Wake
Muhammad (Swalla
A l l a a h u a l a y h i wa
aalihi wa sallam) kutoka
Makkah na kumpeleka
katika msikiti wa mbali
huko Jerusalem katika
usiku mmoja. (Kutoka
Tafsiyr ya Ibn Kathiyr)
Mtume (Swalla
A l l a a h u a l a y h i wa
aalihi wa sallam)
alipewa miujiza mingi
na Mola wake. Muujiza
wake mkubwa ni Kitabu
cha Qur-aan, kitabu
ambacho kiliteremshwa
miaka 1400 iliyopita na
hakuna hata mtu mmoja
ambaye ameweza
kubadilisha hata herufi
moja au kuleta kitabu
cha mfano wake. Allaah
Amesema: Hakika Sisi
ndio Tulioteremsha
Ukumbusho na hakika
Sisi ndio Tutaoulinda
(Al-Hijr 15: 9).
Aayah hii ni
changamoto dhidi kwa
makafiri kuwaambia
kitu kinachofanana
na Qur-aan ambao
wa l i j a r i b u k u f a n ya
m i f a n o ya Q u r - a a n
wakawa wameshindwa
vibaya sana. Vitabu
vingine vya kutoka Kwa
Allaah (Subhaanahu wa
Taala) ni Taurati na Injili
ambavyo viliharibiwa na
kubadilishwa na ujumbe
kubadilika ama kwa
kuongeza maneno au
kupunguza maneno na
maana vile vile. Allaah
Amesema juu ya Quraan kuwa Atailinda
AN-NUUR
Israi na Miraji
MSIKITI wa Baytul Muqas uliopo Palestina ambao ulikuwa Kibla cha kwanza kwa
Waislamu kabla ya Makkah. Katika safari ya Mi'raji Mtume (s.aw) alipita katika
Msikiti huu.
na kweli Ameilinda na
Ataendelea Kuilinda.
Mtume (Swalla
Allaahu alayhi wa aalihi
wa sallam) alisema,
Kila mtume aliyekuja
kabla yangu alipewa
muujiza na miujiza hiyo
ilibakia kuwa miujiza
wakati wa uhai wao
hao mitume.: Mfano
Iysa (Alayhis-Salaam)
alikuwa na muujiza wa
kutibu watu wagonjwa
na kufufua wafu. Muusa
( A l a y h i s - S a l a a m )
alipewa fimbo ya miujiza
na mambo mengine.
Nami nimepewa
m u u j i z a wa m i l e l e ,
Qur-aan itabakia kuwa
muujiza hadi kusimama
Qiyaamah. Hivyo
natarajia kuwa wafuasi
wangu watakuwa ni
we n g i k a t i k a i d a d i
zaidi ya wafuasi wa
Mitume wengine kwa
kuwa muujiza wangu
utabakia na utakuwepo
hadi Siku ya Qiyaamah
ambao ni Qur-aan. Kila
anayekisoma Kitabu hiki
hata kama ni mpagani,
basi yeye huvutika na
kuona ukweli uliomo
ndani yake na kuona
hakuna aliyekiandika
isipokuwa Bwana wa
Mbingu na Ardhi.
(Swahiyh Al-Bukhaariy
na Swahiyh Muslim)
Muujiza mwingine
wa Mtume wa Allaah
ilikuwa ni kupasuka kwa
mwezi. Anas anasema
katika riwaya yake,
kuwa watu wa Makkah
walimtaka Mtume
(Swalla Allaahu alayhi
wa aalihi wa sallam)
awaonyeshe muujiza na
akawaonesha kupasuka
kwa mwezi. (Swahiyh
Al-Bukhaariy, Juzuu ya
4 Namba 831)
Kutoka Maji Kutoka
Vi d o l e V ya M t u m e
(Swalla Allaahu Alayhi
Wa Aalihi Wa Sallam)
Imepokewa kutoka
kwa Jaabir ibn Abdullah
akisema: Nilikuwa na
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam) na muda wa
kuswali Swalah ya AlAswr ukafika. Tulikuwa
hatuna maji isipokuwa
maji kidogo tu ambayo
ya l i k u wa n d a n i ya
chombo ambayo
yaliletwa kwa Mtume.
Basi aliweka mkono
wake ndani ya maji hayo
na kutandaza vidole
vyake na huku akisema,
Njooni Haraka watu
wote ambao wanataka
kutawadha Hii ni
b a r a k a k u t o k a k wa
Allaah Nikaona maji
yakibubujika kutoka
katika vidole vyake.
Hivyo watu walitawadha
na wengine wakawa
wanakunywa maji
hayo na mie nilitaka
kunywa maji mengi
kupita kiasi (kwa sababu
nilijua kuwa ilikuwa ni
baraka). Mpokeaji wa
hadiyth hii kutoka kwa
Jaabiri alisema kuwa
nilimwuliza Jaabir Je,
mlikuwa watu wangapi
wakati huo? Akajibu,
Tulikuwa watu elfu
moja na mia nne.
(Swahiyh Al-Bukhaariy
Juzuu 7 namba 543 na
Swahiyh Muslim Juzuu
4 namba 779)
Mtume (Swalla
A l l a a h u a l a y h i wa
aalihi wa sallam)
alikuwa amepewa
miujiza mingine mingi.
Muujiza mwingine
mkuu ni ule wa Israa
na Miiraaj au Safari
ya Usiku Makala hii ni
kujaribu kuonesha faida
zinazopatikana katika
safari hii na mafunzo
yanayopatikana katika
muujiza huu mkubwa.
Tu k i o l a I s r a a n a
Miiraaj lina hekima
kubwa sana na mafunzo
makubwa. Funzo lake
kubwa ni kuwa mja
hapaswi kukata tamaa,
lazima awe daima
anamtegemea Mola
wale na atamletea faraja
hata kama kutakuwa
na mambo mazito
ya n a m k a b i l i . Z a i d i
ya hapo mwanadamu
9
Na Abuu Numan Hassan
KWENYE makala iliyopita
tuliona kwamba pamoja
na Mengineyo, mambo
yafuatayo yanachangia
katika uduni na unyonge
wa misikiti yetu hivi leo
kwa kulinganisha na ule
wajibu ambao msikiti
unatakiwa uutekeleze
kijamii: Kukosa Dira
iliyodhahiri, Kukosekana
k wa s t a d i / m b i n u z a
uongozi, Mazingira
yanayokatisha tamaa,
U r a s i m u wa h a l i ya
juu, Kukosa ubunifu,
Mawasiliano duni,
Ushirikiano mdogo,
Udhaifu katika kufanya
kazi kama timu, na
Uratibu dhaifu wa fikra
na maarifa mbalimbali.
Kabla ya kuanza
kuyajadili mambo hayo,
zipo nukta ambazo ni
vema tukazijadili kwanza.
Ni nukta ambazo huenda
zikaamsha fikra zetu
kuweza kuuangazia msikiti
wetu kwa uoni stahiki.
Uoni ambao umejengwa
juu ya msingi imara wa
Qur-an na Sunnah ya
Mtume Muhammad
(s.a.w).
Wakati
mmoja
nilipokuwa nikiendesha
m a f u n z o k wa b a a d h i
ya viongozi wa misikiti
nilipata kuwauliza swali
moja. Ni swali ambalo
liliibua mjadala mkali
kidogo katika pande
mbili zilizopatikana
wakati wa kutafuta jibu
la swali lenyewe. Kila
upande ulionelea kwamba
maelezo yake ni sahihi
zaidi kuliko ya upande
wa pili. Na kwa manufaa
ya darasa tukahitimisha
k wa m b a t u k u b a l i a n e
kutokukubaliana.
Swali lenyewe lilikuwa
ni hili: Kipi ni bora zaidi,
msikiti kumiliki shule
au msikiti kumilikiwa
na shule? Namna
utakavyoanza kutafakari
m a j i b u ya s wa l i h i l i ,
inahusika moja kwa moja
na nafasi ya msikiti wako
itakavyokuwa katika jamii
yako. Unaweza kutumia
taasisi badala ya shule ili
uweze kutafakari swali
hilo kwa upana zaidi.
Hivi leo, tunayo misikiti
mingi ambayo inamiliki
shule, zikiwa za ngazi
tofauti. Baadhi ya misikiti
inamiliki shule za ngazi
fulani tu na mingine
inamiliki shule za kuanzia
ngazi ya awali hadi kidato
cha sita.
Kwa upande wa
pili, zipo shule nyingi
za Kiislamu ambazo
zinamiliki misikiti. Misikiti
hiyo inakuwa ni sehemu
ya majengo ya shule hizo
zikiwa chini ya uendeshaji
wa kawaida wa utawala
ndani ya shule husika.
Utaratibu unaoendelea
ndani ya misikiti kama
hiyo, unazingatia ratibu
Makala
AN-NUUR
Nafasi ya Msikiti-2
kuu ya shule.
Unaweza kutumia, kama
tulivyotanguliza hapo
awali, taasisi badala ya
shule katika kuunogesha
mjadala kwenye eneo lako.
Kwa wakati tulionao, ipo
misikiti mingi ambayo
inamilikiwa na taasisi.
Misikiti hiyo inatekeleza
kazi zake nyingi kwa
kuzingatia maelekezo
na usimamizi wa taasisi
mama.
K wa n i n i v i o n g o z i
Waliohudhuria mafunzo
yale walikubaliana
kutokukubaliana? Ilitokea
hivyo kwa sababu ya
mvutano wa hoja uliojikita
katika mambo muhimu
matano (5). Mambo
yenyewe ni namna ya
kuyafikia malengo ya
msikiti/shule/taasisi
kwa ufanisi, masuala
yanayohusu usimamizi
wa fedha, utambuzi na
utatuzi wa migogoro,
mchakato wa ukuaji wa
msikiti/shule/taasisi, na
mfumo wa mawasiliano
kiutendaji kati ya msikiti
na shule/taasisi.
M a m b o
h a y o
yaliwag awa wa ju mbe
katika pande mbili zenye
kuyatazama mambo hayo
kwa mitazamo mawili
tofauti. Hata hivyo,
zingatia kwamba mjadala
huo haukubeba hisia za
chuki wala uadui kati ya
pande mbili zilizokuwa
zikivutana kwa hoja.
Upande wa kwanza
ulisema
kuwa,
mambo hayo hapo juu
yatafanikiwa vizuri pale
ambapo msikiti utakuwa
ndiyo mmiliki wa shule au
taasisi. Na hali ya umiliki
i t a k a p o k u wa t o f a u t i ,
basi msikiti utakuwa
kwenye wakati mgumu
wa kuweza kutekeleza
m a j u k u m u ya k e k wa
ufanisi unaotakiwa.
Upande wa pili
walikuwa na maoni
kwamba ili shule/taasisi
iweze kuyatekeleza
mambo yaliyotajwa
10
Makala/Tangazo
AN-NUUR
Wa t u w e n g i n e
ambao nilipata
bahati ya kukaa nao,
kuzungumza nao na
kuchota mengi kwao
ni pamoja na Mzee
Ali Haji Pandu, Mzee
Shaaban Khamis Mloo
(Marehemu), Mzee
Mkubwa Makame
(Marehemu),
Mzee Said Salim
Baes (Marehemu),
Maalim Juma Ngwali
(Marehemu), Maalim
Masoud Omar Said
(Marehemu), Mzee
Machano Khamis
Ali, Juma Othman
Juma, Hamad Rashid
Mohamed, Khatib
Hassan Khatib,
Maalim Soud Yussuf
Mgeni (Marehemu),
Dk.
Maulidi
Makame Abdallah
(Marehemu), na
Bwana Juma Haji
wa Mchangani
(Marehemu).
Katika vipindi
tofauti nimepata
pia fursa za pekee
n a b a h a t i k u b wa
kukaa na kujifunza
kutoka kwa watu
kama Sheikh Ali
Muhsin Barwani
(Marehemu), Maalim
Salim Kombo Saleh
(Marehemu), Sheikh
Suleiman Sultan
Malik (Marehemu),
Sheikh Salim Masoud
Riyami (Marehemu),
Sheikh Issa Nasser
Issa Al-Ismaily,
Mzee Mohamedali
K a r i m J i n n a h wa
Masomo Bookshop
(Marehemu),
Bwana Ali Nabwa
(Marehemu), Bi
Inaya Himid Yahya
(Marehemu), Maalim
Mohamed Idris
(Marehemu), Prof.
Ibrahim Lipumba,
Prof. Haroub Othman
(Marehemu),
Sheikh Ahmed
Badawi Qullatein
(Marehemu), Prof.
Abdul Sheriff,
Maalim Salim Mzee,
Ali Ameir Mohamed,
Mzee Hassan Nassor
Moyo, Sheikh Salim
Said Rashid, Dk.
Salim Ahmed Salim,
na sasa Dr. Amani
Karume.
Bila shaka wapo na
wengi wengine ambao
nimejichanganya na
kujumuika nao kwa
muda mfupi mfupi
na kufaidika na
hazina na maarifa yao
lakini hao niliowataja
hapo juu ni katika
Ismail Jussa na Maalim Seif Sharif Hamad (pichani mwaka 1993) nyumbani kwa Maalim Seif,
Mtoni Unguja.
waliosarif mawazo
yangu na mitazamo
yangu kuhusiana na
mengi yanayohusu
siasa na historia ya
Zanzibar.
Moja ambalo
litabainika ni
k wa mba n ime k a a
na kujumuika na
kuzungumza na
watu wa mirengo
tofauti ya siasa za
Zanzibar (ASP,
ZNP, ZPPP, Umma
Party na ambao
hawakujitambulisha
na vyama vya siasa) na
hilo limenifundisha
kusikiliza mitazamo
inayokinzana na
kisha kuchambua na
kupima mwenyewe
yale niliyoyasikia
huku nikifanya rejea
kwenye vyanzo
vyengine vya khabari
kama vitabu na
maandiko mengine
mbali mbali.
Nawaombea kheri
wote walionipa na
wanaoendelea kunipa
fursa kama hizi na
wale waliokwisha
tangulia mbele
ya haki Mwenyezi
Mungu Awalaze
mahala pema Peponi.
Amin.
Nawahimiza
vijana wa kizazi cha
leo watumie fursa
zilizopo kukaa na
wazee na watapata
mengi kutoka kwao
yatakayowasaidia
kupanua ufahamu
wao wa mambo.
Ukiona vyaelea,
vimeundwa
Ismail Jussa
11
AN-NUUR
Makala
KUFUATIA kukithiri
ghasia nchini Burundi
baada ya Rais wan
chi hiyo anayemaliza
m u d a wa k e P i e r r e
Nkurunziza, kutangaza
kusimama tena katika
uchaguzi ujao, imeripoti
kuwa wakimbizi
zaidi ya elifu hamsini
wamerundikana katika
mji Kagunga, katika
mwa mb a o wa Z iwa
Tanganyika mkoani
Kigoma, wakisubiri
taratibu za kuingizwa
katika kambi ya
wakimbizi ya nyarugusu
wilayani Kasulu.
Ta a r i f a z i n a e l e z a
kuwa mpaka sasa ni
wakimbizi elfu sita tu
ambao wamekamilisha
taratibu na kupelekwa
katika kambi hiyo.
T a r a t i b u
zinazofanyika kabla
ya wakimbizi hao
kuingizwa kambini ni
pamoja na kukaguliwa
kama kuna waliobeba
silaha, kama kuna
wanajeshi nk.
Mahakama ya
Katiba nchini Burundi
imemruhusu Rais
Piere Nkurunziza
kuwania muhula wa
tatu madarakani ambao
umegubikwa na utata.
Mahakama hiyo
ilisema Jumanne
kwamba Rais ataweza
kuwania tena kiti hicho
bila kukiuka katiba
ya n c h i i n a y o s e m a
kurudia tena muhula
wa urais kupitia
kipengele cha moja kwa
moja cha haki ya kupiga
kura katika uchaguzi wa
kisiasa inaruhusiwa.
Lakini Naibu Rais
wa Mahakama hiyo
amepinga maamuzi
hayo na kukimbilia
nchini Rwanda.
Sylvere Nimpagaritse
aliwaambia waandishi
wa h a b a r i k wa m b a
dhana yake haimruhusu
kutia saini maamuzi
ambayo ni kinyume cha
katiba.
Muhula wa kwanza wa
utawala wa Nkurunziza
kama Rais ulitokana
na matokeo ya kura ya
wabunge. Wafuasi wa
Rais huyo wanasema Bw.
Nkurunziza ametumikia
muhula mmoja pekee
kwa kuchaguliwa
baada ya kuwa mshindi
katika uchaguzi mkuu
hivyo kwa misingi huo
a n a s t a h i l i k u wa n i a
muhula mwingine.
Wakosoaji wanasema
Bw. Nkurunziza
anakiuka katiba na
m k a t a b a wa a m a n i
wa Arusha wa mwaka
2000, ambao ulisaidia
kumaliza vita vya
wenyewe kwa wenyewe
nchini humo.
Juhudi za Rais
huyo kuongeza muda
wake madarakani
z i m e c h o c h e a
maandamano ya
mitaani katika mji
mkuu, Bujumbura
na kusababisha
mapambano na polisi na
yaliyozaa vifo vya watu
wasiopungua 12.
Makamu Rais, Prosper
Bazombanza, alisema
Jumanne iliyopita
kwamba serikali ipo
tayari kuwaachia mamia
ya waandamanaji
i n a o wa s h i k i l i a k wa
zaidi ya wiki mbili
s a s a , k wa m a s h a r t i
kwamba maandamano
yasitishwe.
U k i a c h a wa r u n d i
wanaokadiriwa kufikia
50,000 waliokimbilia
Tanzani a, k iasi c h a
warundi 24,000
wa m e k i m b i l i a n c h i
jirani ya Rwanda tangu
ghasia hizo zilipoanza
April 26 huku maelfu
ya wengine wakiingia
Jamhuri ya Kidemokrasi
ya Congo-DRC. (VOA).
Tayari Serikali ya
Ubelgiji imesimamisha
misaada yake kwa nchi
hiyo kwa kile ilichodai
k u wa n i k u e n d e l e a
machafuko ndani ya
nchi hiyo.
AlexanderDe Croo,
Waziri wa Ushirikiano
na Maendeleo wa
Ubelgiji, amesema kuwa
nchi yake imesimamisha
misaada ya kifedha
kwa Burundi ambayo
ingetumiwa kwa ajili ya
wa Umoja wa Mataifa
wa l i t a n g a z a k u wa ,
hali inayotawala hivi
sasa nchini Burundi,
hairuhusu kufanyika
uchaguzi huo.
Awali Brussels
ilikuwa imetenga
msaada wa Euro milioni
nne kwa ajili ya Burundi,
huku milioni mbili kati
ya fedha hizo zikiwa
tayari zimekwisha
kabidhiwa kwa serikali
ya Bujumbura.
kwa mabavu na
Wazayuni na kutia saini
mkataba wa ushirikiano
wa k i j a s u s i k a t i ya
Saudia na utawala wa
Kizayuni wa Israel.
Kabla ya hapo baadhi
ya vyombo vya habari
kama vile televisheni
ya al Alam na gazeti
la Kizayuni la Yediot
Ahronot, vilitangaza
habari ya kutua ndege
ya Saudi Arabia katika
uwanja wa ndege wa
Ben-Gurion huko Tel
Aviv.
Mashirika ya habari
yalisema kuwa ndege
12
MAKALA/MASHAIRI
UADILIFU WA DPP !
"KATIBA SHERIA-MAMA", kauli-mbiu si ngeni,
Kuinena lelemama, kuitenda 'uhaini',
Kwa HAKI kutosimama, MAMA huyu yu rehani,
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
Yu rehani wetu MAMA, mnadiwa kaulini,
Yavunjwa yake heshima, vitendoni bila soni,
Yake chini taadhima, kwa hawaa ya insani,
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
Adogoshwa huyu MAMA, si batini hadharani,
DPP 'muadhama', yu JUU MAMA yu CHINI,
Yapuuzwa yake dhima, na 'WANA' wa mwake ndani,
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
DHAMANA haki adhima, si ngeni i katibani,
Kutoitoa jarima, mtenziwe hatiani,
Yu awe sawa yu mwema, au muwi yu 'haini',
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
DHAMANA haki daima, ya 'mtovu' sheriani,
Kwa yeyote kuizima, hachomoki hatiani,
Kwa kuauni DHULUMA, yu DHALIMU orodhani,
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
DHAMANA haki ya zama, jana, leo na zamani,
KWANINI sasa YAKWAMA, kwa MASHEKHE KULIKONI,
Beti sita kaditama, MAHABUSU HADI LINI,
U WAPI UADILIFU, WA DPP KWA HILI ?
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.
AN-NUUR
Israi na Miraji
Inatoka Uk. 8
mwenye kumsaidia
A m i y a k o , A b u
Twaalib, japo kuwa yeye
alikuwa ni mtu mwenye
kukuhami sana na
alikuwa anachukizwa
sana kwa mambo
uliyokuwa unatendewa
na Makureshi. Mtume
akasema, Yuko katika
moto mwepesi, kama
si mimi angelikuwa
kwenye moto wa tabaka
la chini kabisa huko
Jahanam. (Swahiyh
Al-Bukhaariy Juzuu 5
Namba 222); Hivyo Abu
Twaalib licha ya kuwa
kafiri alimuunga mkono
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam) kwa nguvu zake
na mali zake dhidi ya
makafiri. Wakati Abu
Twa a l i b a l i p o k u wa
hai makafiri walikuwa
hawawezi kumdhuru
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam). Hata hivyo,
kifo cha Abu Twaalib
kilikuwa ni mwanya
mwa makafiri wa
kuendeleza vitimbi
vyao dhidi ya Mtume
pamoja na Waislamu
kwa ujumla. Tabia yao ya
ukatili ilimfanya Mtume
aone maisha mjini
Makkah ni magumu.
Kutoa shahada kwa
Maswahaba wa Mtume
mjini Makkah ilikuwa
ni njia ya kujitangazia
uadui wa wazi wazi
na wakawa wanapata
madhila na kuadhibiwa
vibaya. Kila aliyesilimu
aliambiwa afanye moja
kati ya mambo mawili:
aritadi au aondoke hapo
nchini au sivyo basi roho
yake itafariki dunia;
makafiri hawakutaka
njia nyingine zaidi
ya hiyo. Lakini
Maswahaba licha ya
kuwa hiki kilikuwa ni
kipindi kigumu sana
na chenye taabu kubwa
sana katika maisha yao
kutokana na adhabu na
madhila waliyoyapata,
waliendelea kusimama
imara juu ya imani ya
Uislamu na walisonga
mbele na Mtume wao
katika msimamo huo.
Kupanuka kwa Uislamu
kuliwaudhi sana
makafiri na wakajaribu
kila njia ili kuzuia
na kukinga Uislamu
usiwepo katika nchi
yao. Ulinganiaji wa dini
hii ukawa mzito kwa
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam) na hata kuishi
mjini Makkah ikawa ni
hali ngumu sana kwake
na kwa Waislamu.
Jambo la pili lilikuwa
k i f o c h a m a m a wa
Waumini Khadiyjah
(Radhiya Allaahu anha)
Ni miezi miwili tu baada
ya kifo cha Abu Talib,
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam) alipata tatizo
lingine zito lililomhusu
yeye binafsi. Mke wake
na Mama ya waumini,
Bi Khadiyjah (Radhiya
Allaahu anha) alifariki.
Mama huyu, mama wa
Waumini Khadiyjah,
alikuwa ni rehma kwa
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam) kutoka kwa
Allaah (Subhaanahu wa
Taala). Daima alikuwa
na Mtume wakati
akipata madhila na
maudhi ya makureshi
na alikuwa naye siku
zote wakati wa mitihani
mizito ilipokuwa
inamwendea Mtume
kutoka kwa mahasimu
wake wa Kikureshi
na walikuwa pamoja
katika hali hiyo kwa
muda wa miaka 25. Na
kwa yote hayo Mtume
(Swalla Allaahu alayhi
wa aalihi wa sallam)
kwa ukaribu huo
aliokuwa nao mama
wa Waumini Khadiyjah
alisikitika sana kwa kifo
cha mkewe mpenzi na
kuna wakati alisikika
akisema juu ya bibi
h u y u , A l i n i a m i n i
wakati wengine
hawakufanya hivyo,
Alijiunga na Uislamu
wakati watu walikuwa
hawataki kufanya
hivyo. Pia alinisaida na
kuniliwaza mwenyewe
na na kwa mali zake
wakati kulikuwa
hakuna hata mtu wa
13
Habari
AN-NUUR
NI masikitiko makubwa
kwa watu wanaojidai kuwa
ni Waislamu wenye kutaka
kusimamisha Ukhalifah,
kwa kuwashumu ndugu
zao katika imani na
kuwapachika ukafiri kwa
shutuma za uwongo.
Mathalani, hivi sasa
kwenye mtandao wa Somal
Memo, binafsi na watu
wengine, tumetuhumiwa kwa
madai ya kwamba hatuna
Akida (Tahweed na ManHaj). Hizi ni shutuma mbaya
za kutukufurisha na kututoa
katika Uislamu.
M i m i b i n a f s i k we n ye
makala nilizoziandika
nimeelezea kwa mujibu wa
ukweli (facts) nilizonayo
na kwa mtazamo wangu na
nilivyomtathimini juu ya
anayedaiwa eti ni Khalifah
wa U i s l a m u A b u b a k a r i
Baghdadi.
Naam !!! Twaibu, baada ya
kuisoma na kuielewa makala
hiyo, nimepata msukumo wa
kuwapa Nasaha ndugu zangu
hao waliyotajwa kwa majina
yao na kuwataka wawe na
subira, kwani hiyo ni mitihani
katika harakati za Daawah na
Allah (Subhaanahu wa Taala)
na awalipe ujira mwema kwa
mtihani huo uliowafika.
Hali hii uzoefu wake
inaonyesha jinsi tulivyo
kwenye jamii yetu ya
Kiislamu, kukitokea
sintofahamu yoyote kati ya
mtu na mtu, taasisi na mtu au
taasisi kwa taasisi za Kiislamu
kadhia hiyo itaishia kutoleana
tuhuma za kuchafuana kwa
vipeperushi, mitandaoni na
kutiana motoni nk.
Abu Said na Abu Hureira
(Radhiya Allaahu anhu)
wamepokea kutoka kwa
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa sallam) kuwa
amesema:
Muislamu hatapatwa
na taabu, wala maradhi,
wala huzuni, wala udhia
na wala ghamu (sonenoko),
mpaka mwiba unaomdunga
isipokuwa Allah Hufutia
dhambi zake kwa sababu ya
hayo. (Muttafaq).
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa sallam) amesema:
Malipo makubwa yapo
pamoja na balaa kubwa,
hakika Allah anapowapenda
watu, Huwapa mitiani,;
atakaridhika, basi atapata
radhi (za Allah), na
atakaechukia, utapata
hasara. Tirimidhy, na
amesema Hadithi hii ni
Hasan.
Na kwenye jamii yetu ya
Kiislamu pale inapotokea
kuhitilafiana/kutofautiana
au kukosana rai, mtizamo na
mgongano wa mawazo juu
ya kutathimini mambo ya
Kiislamu ni kwamba kutatokea
Wa i s l a m u k u f a n y i a n a
m a m b o m a o v u ya n a y o
Na tumekujaalieni kuwa
ni mataifa na makabila
ili mjuane. Hakika aliye
mtukufu zaidi kati yenu kwa
Mwenyezi Mungu ni huyo
aliye mchamngu zaidi katika
nyinyi. Hakika Mwenyezi
Mungu ni Mwenye kujua,
Mwenye khabari. (49:13)
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa sallam) amesema:
Anayevumisha maneno
ambayo ameyasikia juu juu
hataingia Peponi. (Bukhari
na Muslim).
Na Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa sallam) amesema:
Muovu zaidi katika
watumwa wa Mwenyezi
Mungu ni wale wanaotangaza
maneno ya kufarakanisha
watu wapendanao na kutaka
kutia ila wale wasiokuwa na
makosa (hatia). (Ahmad).
Na Mwenyezi Mungu
ametoa kemeo kali juu ya
kauli yake pale aliposema:
Kwa hakika wale
wanaopenda uenee uchafu
kwa walio amini, watapata
adhabu chungu katika dunia
na Akhera. Na Mwenyezi
Mungu anajua na nyinyi
hamjui. (24: 19).
Na Amesema Allaah
(Subhaanahu wa Taala):
Na wale wanao waudhi
Wa u m i n i wa n a u m e n a
wa n a wa k e p a s i n a wa o
kufanya kosa lolote, bila ya
shaka wamebeba dhulma
kubwa na dhambi zilio
dhaahiri. (33:58).
Abu Hureira (Radhiya
Allaahu anhu) amesema:
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa sallam) amesema:
N a wa h a d h a r i s h a n a
TUHUMA, hakika TUHUMA
ni mazungumzo ya uongo.
Wa l a m s i c h u n g u z a n e ,
wala msifanyiane ujasusi,
wala msishindane, wala
msihusudiane, wala
m s i b u g h u d h i a n e , wa l a
msipane mgongo. Kuwenienyi waja wa Allah- Ndugu
moja kama alivyowaamrisha.
Muislamu ni ndugu ya
Muislamu, hamdhulumu
wala haachi kumnusuru,
wala hamdharau. Uchaji
Mungu uko hapa, Uchaji
Mungu uko hapa.
Akaashiria kifuani mwake.
Yatosha mtu kuwa ana shari
anapomdharau ndugu ya
Muislamu. Kila Muislamu
ni haramu juu ya Muislamu
mwenzie damu yake,
heshima yake na mali yake.
Hakika Allah hatazami miili
yenu wala sura zetu, lakini
Anatazama nyoyo zenu na
amamli zenu. (Muslim).
Wabbilah Tawfiq.
(Makala hii imeandiskwa
na: Abu Saumu, Kombo
Hassani Kidumbu. E-Mail
hassanikombo@yahoo.com
Mob: 0714720965-MikanjuniTanga-Tz)
14
AN-NUUR
Makala
Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
Katika makala
zilizokwisha
kutangulia nimejaribu
kuonyesha mchango
mkubwa ambao
Waislamu waliutoa
katika maendeleo
ya sayansi na
m w a n a d a m u .
Makala ya safari hii
nitamuelezea Ibn
Khaldun, ili kuweza
k u e l e wa m c h a n g o
wa Ibn Khaldun
katika maendeleo ya
mwanadamu itakuwa
vyema kumuelezea kwa
makala mbili tofauti.
Makala ya kwanza
itamzungumzia juu ya
maisha yake na makala
ya pili itamzungumzia
kazi zake pamoja na
ile kazi yake kubwa
ijulikanayo kwa jina
la Muqaddimah.
Ibn Khaldun
jina lake kamili ni
Abd al-Rahman
bin Muhammad
bin Muhammad bin
Muhammad bin AlHasan bin Jabir
bin Muhammad
bin Ibrahim bin
Abdurahman bin Ibn
Khaldun. Nasaba yake
inatokana na Hadharmi
yaani watu wa Kusini
ya Yemen, wengine
wanasema kuwa juu
ya kuwa mizizi yake
yanatokana na nchi
ya Yemen lakini yeye
ametokana na koo
za Wail Hajar likiwa
katika kabila la Azal
nchini Yemen kama
alivyoelezea Ibn Hazam
katika kitabu chake
Jamharat ansb al-arab.
Kiasili Ibn Khaldun
a n a t o k e a Ye m e n
kiuzawa amezaliwa
nchini Tunisia katika
mwaka wa 732 AH
(27 May 1332), ingawa
alizaliwa Tunisia lakini
familia yake ilikuwa
inaishi Uspani (Spain).
Ilibidi kuhajiri kutoka
Uspain na kuhamia
Tu n i s i a k u t o k a n a
n a m i s u k o s u k o ya
Waislamu walioyakuta
b a a d a ya v i t a v ya
msalaba. Katika utoto
wa k e k a m a wa t o t o
w e n g i Wa k i i s l a m u
katika nchi mbalimbali
a l i a n z a
k wa
kusomeshwa Quran
na aliianzia masomo
yake nyumbani kwa
kusomeshwa na babake
kisha akasoma kwa
wasomi mbalimbali
maarufu wa wakati
wake nchini Tunisia.
Ibn Khaldun alikuwa
Hafidh Quran aliweza
kuusoma msahafu wote
kwa ghibu alijifunza
sayansi ya hadith za
Mtume SAW, akajifunza
nahawi, fiqhi, ufundi
wa asili ya lugha
mashairi, hesabati na
elimu nyenginezo.
Katika duru ya
masomo mara nyingi
kijana anapofika
miaka 19 huwa
amemaliza masomo
ya kati na kuelekea
masomo ya juu ikiwa
huko nyuma wengi
walipofikisha umri wa
miaka 19 walikuwa
washakubuhu katika
u g a wa e l i m u . I b n
Khladun alipotimiza
u m r i wa m i a k a 1 9
alikuwa kisha balighi
kielimi na kuajiriwa
katika tawala kubwa
za sehemu mbalimbali
alizokwenda kuishi.
Siasa za tawala za
siku za nyuma zilikuwa
mara kwa mara kuwa
katika mapigano
baina ya nchi moja
na nyengine kwa
minajili ya kutanuwa
mamlaka ya viongozi
hao. Matokeo kama
h a y o ya l i m p e l e k e a
Ibn Khaldun kuhama
kutoka Tunisia kuhamia
Algeria, kisha akahamia
Morocco kutoka
Morocco akaelekea
Misri na kuingia Uspani
nchi walioishi wazee
wake kabla ya kuhamia
Tunisia na mwisho Ibn
Khaldun alimalizia
kuishi nchini Misri na
kufia hapo.
Ibn Khaldun kama
wasomi wengine
alifungwa nchini
Morocco kutokana na
uungaji wake mkono
u p a n d e m m o j a wa
uongozi. Alifungwa
kwa kipindi cha miaka
miwili. Korokoroni
kuliweza kumsaidia
kupanua fikra zake
na kumfanya aweze
yaliozungumzwa
yakakubaliwa.
Wananchi wa Syria
walijihisi kuwa
waliingia mtegoni
kwahio makubaliano
h a y o wa k a ya p i n g a
m o j a k wa m o j a n a
kumtaka Ibn Khaldun
awe mwakilishi wao
katika mazungumzo ya
mapatano. Ibn Khaldun
akaiona hio ni fursa
kuitumia taaluma yake
ambayo aliandika
katika makartasi
wakati umefika kwa
yeye kuifanyia kazi.
Kwa hio alikwenda
kuaonana na kambi
ya A m i r T i m u r n a
kubakia katika ardhi
ya Samarkand kwa
siku 35 huku akifanya
majadiliano.
Katika majadiliano
hayo alikuwa Abd alJabbar al-Khawarizmi
akisaidia katika kufasiri,
kati ya mambo ambayo
walikuwa wakijadiliana
na kutaka kupatiwa
ufumbuzi yalikuwa
ni mengi baadhi yake
ambayo yamenukuliwa
na wanahistoria ni
kama ifwatavyo: Nchi
za Maghreeb na ardhi
zao za asili, mashujaa
katika historia, utabiri
unaotegemewa
yatakayoweza kutokea,
j u u ya u t a wa l a wa
Bani Abass, kuweza
kupewa himaya wale
waliombatana na Ibn
Khaldun na kuweza
Ibn Khaldun kubakia
Tamerlane. Ibn Khaldun
aliweza kufanikiwa
kuizweka pande
mbili za Tamerale na
S y r i a k u wa k a t i k a
masikilizano na baada
ya mafanikio hayo,
Ibn Khaldun aliamua
kurejea Misri.
Ibn Khaldun
amefanya kazi kubwa
k a t i k a t a a l u m a ya
sayansi ya historia na
juu ya elimu ya jamii,
aliweza kuikusanya
historia ya Ulimwengu
mzima katika kitabu
c h e n ye j u z u u t a t u .
Katika makala ya pilii
nitakielezea kitabu
chake cha Muqaddimah
kwa kifupi.
Muqaddimah
ni neno la Kiarabu
likimaanisha kuwa ni
utangulizi. Kitabu hicho
kina kumbukumbu ya
mambo ya kihistoria,
juu ya aina mbalimbali
za ustaarabu duniani
uliotokana na athari za
mazingira na hali ya
hewa tofauti, maisha
ya makazi ya mabedui
ya kuhamahama na
ni uchunguzi na
uthibitisho wa taarifa,
uchunguzi makini wa
s a b a b u z a k u we p o
kwa mambo (kama
yalivyo) na uerevu wa
kina wa jinsi mambo
yalivyoweza kutokea.
Hivyo, Historia ni
mojawapo ya sehemu
za somo la Falsafa, na
inapaswa kutambuliwa
kama mojawapo ya
elimu ya sayansi."
Hii kwa kweli ndiyo
dhana ya kileo juu
ya somo la Historia,
kutokana na kuuona
umuhimu na nafasi
yake katika uchambuzi
wa taarifa mbalimbali
na kutafuta chanzo
au sababu za mambo.
Historia inapaswa kuwa
ni elimu ya kudumu
katika ustaarabu wa
mwanadamu na
saikolojia yake.
Baadhi ya misemo ya
Ibn Khaldun
Wengi wa wasomi
wa Kiislamu hawakuwa
Waarabu.
Katika historia
mataifa mbalimbali
yameshindwa katika
vita na kuathirika katika
maeneo yao, kushindwa
huko hakujafanya kuwa
taifa halipo, lakini taifa
likiwa ni mhanga wa
kushindwa kisaikolojia
Ibn Khaldun
ya kudumu pamoja
na tamaduni tofauti
za jamii hizo na pia
taasisi tofauti za kijamii,
sayansi na sanaa zao.
Ibn Khaldun
hakujikita tu juu ya
historia na ustaarabu
katika Muqaddimah
aliyachambua masuala
ya sayansi, hesabu,
muziki na ala zake,
kilimo na sanaa. Ibn
Khaldun aliweza
kuzama katika historia
na kuweza kuichambua
kama ifwatavyo:
"Hebu tutazame
undani wa somo la
Historia", anasema
Ibn Khaldun kwamba,
15
Makala
Na Ben Rijal
M O T O n i n ye z o
muhimi sana
kwa maisha ya
mwanadamu. Moto
hutumika kwa faida
na khasara. Tafsiri ya
moto kwa lugha yetu
ya Kiswahili husema
ni moto uwe moto wa
kawaida tunaotumia
U
A
B
V
T
P
B
5
O
W
R
Q
U
R
A
N
U
6
D
R
U
I
N
J
I
L
R
2:
E
A
UWANJA WA VIJANA
JIONGEZEE MAARIFA
N
1
1
9
9
U
Z
2:
R
T
AN-NUUR
W
U
L
E
V
I
X
2
S
T
E
7
2
8
0
P
C
2
I
43:
N
A
P
O
L
E
O
N
A
2
A
L
A
S
K
A
G
M
I
2
M
O
H
A
M
M
A
D
O
N
1.
Majina ya Mwenye-enzi- Mungu katika Quran
yametajwa majina mangapi?
2.
Surah gani na aya ipi katika Quran inayosema
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha
pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na
akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata
kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni
Mwenye kusikia, Mwenye kujua. 2:256, 43:22, 2:222.
3.
Wa i s l a m u w a n a v i k u b a l i v i t a b u v i n g a p i
vilioteremshiwa Mitume?
4.
Mwaka wa Kiislamu una siku pungufu ngapi
ukilinganisha na mwaka wa Kizungu?
5.
Kinywaji gani kimeharamishwa na mnyama yupi
ameharamishwa kula kwa Waislamu?
6.
Jina gani limechukua nafasi kubwa kwa Waislamu
kuwaita watoto wao?
7.
Kiongozi gani maarufu kazikwa katika kisiwa cha St.
Helena? Napolon, Colombus, Vasco Dagama.
8.
Zambia na Zimbabwe kwa pamoja zikiitwa kwa jina
gani?
9.
Jimbo gani la Marekani lilio karibu na Urusi? Alaska,
Hawai, New York
10.
Kikawaida moyo wa mwanadamu hupiga mara ngapi
kwa nukta (minutes)? 72-80, 70-75, 82-87
Jee unajua?
1.Waislamu hawaiabudu Al-Kaba lakini wanaielekea AlKaba kwa Sala zao 5 kila siku.
2. Kisima cha Zam Zam kimeanza kazi na kujulikana wakati
wa Mtume Ibrahim na mwanawe Ismail.
3. Uislamu ni dini inayokuwa kwa kasi na inaaminika kuwa
ifikapo mwaka wa 2030 itakuwa ni dini ya mwanzo yenye
waumini wengi duniani.
4. Masahaba 10 waliobashiriwa Pepo wakiwa bado wahai ni:
Abubakr Siddique, Umar bin Khattab, Uthman bin Affan, Ali bin
Abi Talib, Talha Bin Ubaidullah, Saeed Bin Zaid, Abu Ubaidah
Bin Jarrah, Zubair bin Awwam, Saad Bin Abi Waqqas, and Abdur
Rahman Bin Auf RadiAllahu Anhum Ajmaeen.
5. Imam Bukhari alikusanya hadithi 600,000 alizoziandika
na kuwa Sahih Bukhari ni 7,275 na kabla hajaiandika hadithi
alikuwa akisali rakaa mbili za sunnah.
6. Abdullah Ibn Zubair (RA) alikuwa mtoto wa mwanzo
kuzaliwa baada ya Waislamu kuhamia Madinah (Hijra) baba
yake ni Zubair (RA) mama yake ni Asma (RA) na dada wa mama
yake ni Bibi Aisha (RA) mke wa Bwana Mtume SAW na babu
yake ni Syd Abukar Sidique (RA).
7. Kinywaji cha kahawa inasadikiwa kuwa kila siku
hunywewa vikombe 1,600,000,000 duniani kote. Katika miaka
1,400 iliopita kahawa ilikuwa inanywewa nchini Yemen na
aliogunduwa raha na umuhimu wa kunywa kahawa alikuwa
ni Muislamu baada ya kumuona mbuzi wake akitafuta buni
huwa ni mkakamavu, naye akajaribu kuitwanga na kuchemsha
kwenye maji akajikuta naye anakuwa mkakamavu na mwenye
kuburudika.
8. Kuna miti kama 2,000 ndio tu inatumika kama chakula kwa
mwanadamu, ngano na mchele ndio inayoliwa zaidi.
9. China ndio nchi inayoongoza kuzalisha kitunguu thomu
(garlic) mwaka 2008 ilizalisha tani milioni 10 za vitunguu thomu
ikiwa sawa na asilimia 75 ya uzalishaji wote duniani.
10. Sumu itokanayo na mlo (food poisoning) huchukuwa
roho za watu wafikao milioni 7 kwa mwaka duniani kote na
watu kiasi cha milioni 70 huathirika kwa kula chakula ambacho
huwa tayari kimeharibika na kuwa na sumu.
ya moto wa dunia
na wa akhera (fire
and hell). Katika
Quran moto wa
kawaida wa duniani
umetajwa kwa tamko
Nar nao moto wa
akhera una majina
mbalimbali kama
Jaheem, Jahanam,
L a d h a t a , S a e e r ,
Saqal, Hatamah,
Haawiyah.
Makala ya wiki hii
nitaorodhesha aya za
Quran zilizoelezea
moto na makala ya
pili nitauzungumzia
moto
katika
uwanja mzima wa
mazingira, maafa
yanayotokanayo na
moto, faida za moto
na hasara zake.
Moto wa Duniani
Aya zifwatazo
zinaelezea moto
katika dunia na
umelezewaje?
(Kumbuka) Musa
alipo waambia ahali
zake: Hakika nimeona
moto, nitakwenda
nikuleteeni khabari,
au nitakuleteeni
kijinga kinacho waka
ili mpate kuota moto.
(Surat An-Naml 27:7).
Basi alipofika
i l i n a d i w a :
Amebarikiwa
aliomo katika moto
huu na walioko
pembezoni mwake.
Na ametakasika
Mwenyezi Mungu,
Mola Mlezi wa
walimwengu wote.
(Surat An-Naml
27:8).
Alipo uona moto,
akawaambia watu
wake: Ngojeni! Mimi
nimeuona moto,
huenda nikakuleteeni
kijinga kutoka huo
moto, au nikapata
uongofu kwenye
moto. (Surat T'aha
20:10).
Sisi tukasema:
E we m o t o ! K u wa
baridi na salama kwa
Ibrahim! (Suratul
Anbiyaa 21:69).
Basi haikuwa
jawabu ya watu
wake ila ni kusema:
Muuweni
au
mchomeni moto!
Mwenyezi Mungu
akamwokoa na moto.
Hakika katika hayo
zipo Ishara kwa watu
wanao amini (Surat
Al A'nkabut 29:24).
Zifwatazo ni
aya katika Quran
zinazoelezea moto
wa Qiyama
Akasema: Mimi
ni bora kuliko
yeye. Umeniumba
kwa moto, na yeye
umemuumba kwa
udongo. (Surat Saad
38:76).
Na akawaumba
majini kwa ulimi
wa moto. (Surat
Arrahman 55:15).
Na uogopeni Moto
ambao umeandaliwa
kwa ajili ya makafiri.
(Surat Al-Imran
3:131).
Ambao husema:
M o l a
w e t u
Mlezi! Hakika sisi
tumeamini, basi
tufutie madhambi
yetu, na tuepushe na
adhabu ya Moto.
(Surat Al-Imran 3:16).
Hao, makaazi
yao ni Motoni kwa
sababu ya waliyo
kuwa wakiyachuma.
(Surat Yunus 10:8).
Mola wetu Mlezi!
Hakika unaye mtia
Motoni umemhizi;
na walio dhulumu
hawana wasaidizi.
(Surat Al-Imran
3:192).
Namna hivi
limewathibitikia
makafiri neno la
Mola wako Mlezi ya
kwamba wao ni watu
wa Motoni. (Surat
Ghaafir/Al-Muumin
40:6).
Na ama wale
waliotenda uovu,
basi makaazi yao
ni Motoni. Kila
wa k i t a k a k u t o k a
humo watarudishwa
humo humo. Na
wataambiwa: Onjeni
a d h a b u ya M o t o
ambayo mliyo kuwa
mkiikanusha. (Surat
As Sajidah 32:20).
Je, hawajui ya
kwamba anaye
shindana
na
Mwenyezi Mungu
n a M t u m e wa k e ,
basi huyo atapata
Moto wa Jahannamu
adumu humo? Hiyo
ndiyo hizaya kubwa.
(Suratul Tawba 9:63).
Na uogopeni Moto
ambao umeandaliwa
kwa ajili ya makafiri.
(Suratul Imran 3:131).
Na watasema
wale walio fuata:
Laiti tungeweza
kurudi tukawakataa
wao kama wanavyo
tukataa sisi! Hivi
ndivyo Mwenyezi
Mungu atakavyo
w a o n y e s h a
vitendo vyao kuwa
majuto yao; wala
hawatakuwa wenye
kutoka Motoni.
(Sura Al-Baqara
2:167).
Hakika wale
wa l i o k u f u r u n a
wakadhulumu hawi
Mwenyezi Mungu
kuwasamehe wala
kuwaongoa njia.
(Suratul Al-Nissai
4:168).
Isipo kuwa njia ya
Jahannamu. Humo
watadumu milele. Na
hayo kwa Mwenyezi
Mungu ni mepesi.
( S ur a t A l - N i s s a i
4:169).
Hakika Mwenyezi
Mungu amewalaani
makafiri
na
amewaandalia Moto
unao waka kwa
nguvu. (Al-Ahzab
33:64).
Ila nifikishe
Ujumbe utokao kwa
Mwenyezi Mungu na
risala zake. Na wenye
kumuasi Mwenyezi
Mungu na Mtume
wake, basi hakika hao
watapata Moto wa
Jahannamu wadumu
humo milele. (AlJinn 72:23).
Enyi mlio amini!
Jilindeni nafsi zenu
na ahali zenu na Moto
ambao kuni zake
ni watu na mawe.
Wa n a u s i m a m i a
Malaika wakali,
wenye nguvu,
h a w a m u a s i
Mwenyezi Mungu
k w a
a n a y o
waamrisha, na
wanatenda wanayo
amrishwa. (Surat
Attahrim 66:6).
Nitakuja mtia
k we n ye M o t o wa
Saqar. (Surat AlMudadathir 74:26).
N a
n i n i
kitakujuulisha ni nini
huo Moto wa Saqar?
(Surat Al-Mudadathir
74:27).
Haubakishi wala
hausazi. (Surat AlMudadathir 74:28).
Unababua ngozi
iwe nyeusi. ( Surat
Al-Mudadathir
74:29).
Juu yake wapo
kumi na tisa. (
Surat Al-Mudadathir
74:30).
Na walio Motoni
watawaambia walinzi
wa Jahannamu:
Mwombeni Mola
wenu
Mlezi
atupunguzie walau
siku moja ya adhabu.
(Surat Ghaafir /AlMuumin 40:49).
Kwa hakika
wakosefu watakaa
katika adhabu
ya Jahannamu.
(Azzukhruf 43:74).
16
AN-NUUR
Makala/SHAIRI
mambo yalikwenda
kinyume na matarajio
na shauku yake; kama
ilivyotokea katika
m g a wa n y o wa a wa l i ;
kwa kupangiwa Lindi
vijijini na kusababisha
aingiwe na huzuni kubwa
kwa kuwa alikuwa
amepangiwa kijijini na
hapo ndipo alipomtaka
mwalimu Mrisho ushauri
wa ama aende kuripoti na
kupangiwa kituo chake
cha kazi huko kijijini au la!
Naam, ijapokuwa
wakati wa mgawanyo
wa awali, mwalimu yule
hakuona umuhimu wa
kutaka ushauri kwa
mwalimu Mrisho zaidi ya
kumwarifu na kushukuru
kupangiwa mjini yumkini
njozi yake tangu awali
ilikuwa ni kupangwa mjini
na si vinginevyo huenda
ndio maana hakuona
umuhimu kufanya hivyo
kwa hofu ya kupewa
ushauri ambao yumkini
ungekinzana na njozi zake
za 'umjini' na matarajio
yake ya kufanyia kazi
mazingira ya mjini; lakini
baada ya mgawanyo wa
pili, akalazimika kumtaka
ushauri mwalimu Mrisho
yumkini kwa matarajio
kwamba angelimuunga
mkono katika dhamira
na utashi wake wa kuhisi
uzito kwenda kuripoti na
kupangiwa kituo chake
cha kazi huko Lindi vijijini.
Alichokifanya mwalimu
Mrisho ni kumpa ushauri
chanya wa kumtaka
aende kuripoti huko
alikopangiwa. Mshauri
alitimiza jukumu lake kwa
mshauriwa na hakuwa na
dhima tena, kilichobaki
ilikuwa ni kusuka au
kunyoa kwa mshauriwa!
Sina uhakika kama
mshauriwa alizingatia
u s h a u r i k wa k we n d a
kupiga ripoti au aliupuuza
kwa kutokwenda kupiga
ripoti katika halmashauri
husika kwa ajili ya
kupangiwa kituo cha kazi
cha huko Lindi vijijini.
Kwa ufupi wa maneno,
sijui kama yule mwalimu
ama alikwenda kuripoti
au la!
Hata hivyo, kujua hilo
si muhimu kwa sasa,
lililo muhimu hapa kwa
muktadha wa mjadala
huu ni kutaka kubainisha
namna ambavyo wasomi
wetu walivyo na hofu na
wasivyokuwa na uwezo
wa uthubutu angalau
wa kujaribu tu japo kwa
kuonesha walau nia tu
ya kuwa na utayari wa
kwenda kukabiliana na
changamoto ya mazingira
ya kijijini yumkini
kutokana na 'kulevywa na
tembo' la kukoroga fikra na
lenye kupumbaza bongo
zao kwa kuwatumainisha
kuwa maisha ya mjini
ndio kila kitu kwa upande
mmoja na kuwatamausha
kuwa maisha ya kijijini
si chochote si lolote
kwa upane mwingine,
ilhali miongoni mwao
hawajawahi hata kuyaishi
ili kutambua uasali wake
au ushubiri wake.
Wa a i d h a , J u m a p i l i
iliyopita mwendeshaji wa
kipindi, cha 'Mwangaza
kwa Jamii' kirushwacho na
Redio Imaan jumapili ya
kila wiki majira ya asubuhi,
Bw.Muhammad Iyombe
alimuuliza Bw.Ahmad
Msamaha, kupitia mada
ya mjadala iliyokuwa
ikiwasilishwa mezani siku
hiyo iliyobeba anuwani
' Wa j i b u w a Wa l i m u
katika Jamii', kuhusiana
na suala la changamoto
ya mazingira na hasa ya
kijijini kwa walimu wa
sasa.
Pamoja na maelezo
mazuri yaliyoambatana
na sherehe ya kina
kutoka kwa muulizwa
swali katika ujibuji wa
swali husika, nilivutiwa
zaidi na hitimisho lake
lililodokeza, kwa maoni
ya k e ye ye , k i i n i c h a
walimu wengi kutotaka
Inaendelea Uk. 17
17
MAKALA
AN-NUUR
ya Ukerewe mkoani
Mwanza nilishuhudia
kiroja, ambacho sikuwahi
kukishuhudia hapo
kabla katika maisha
yangu, kutoka kwa
walimu waliokuwa
tayari wameripoti katika
ofisi hizo, kutoka mikoa
mbalimbali hapa nchini,
kwa ajili ya kupangiwa
vituo vyao vya kazi na
Maafisa Elimu wa shule
za msingi na sekondari wa
Halmashauri hiyo.
Nilipokuwa nikivinjari
katika moja ya eneo la
ofisi hizo nilikutana na
diwani wa kata ya Irugwa,
iliyopo katika kisiwa cha
Irugwa kisiwani Ukerewe,
akiwa amezungukwa na
kina dada wapatao wanne,
watatu kati yao walikuwa
wakiangua vilio na mmoja
alikuwa akizungumza na
diwani huyo.
Niliwasogelea na
kumsalimu diwani yule
kwa kuwa nilikuwa
nikifahamiana naye vizuri,
kisha nikawasalimu na
wale kina dada watatu
hata hivyo hawakuitikia
isipokuwa yule mmoja
na badala yake wakawa
wakifuta machozi huku
wakiondoka katika lile
eneo nililowakuta na
s i k u j u a wa l i k o e l e k e a
baada ya pale.
Nilipomuuliza yule
diwani kulikoni kuhusiana
na kuangua kilio kwa
wale madada hadharani,
alinidokeza kwamba wale
walikuwa ni walimu wa
sekondari waliopangiwa
kwenda kufundisha katika
shule iliyoko katika kata
yake lakini hawakuwa
t a ya r i e t i k wa k u wa
mahala walikopangiwa
ilikuwa kisiwani.
Nilistaajabu kidogo
i n g a wa s i k u m we l e z a
y u l e d i wa n i k u n a k o
kustaajabu kwangu huko.
Kilichonistaajabisha ni
kwamba wameweza kuja
kuripoti kisiwani yaani
kisiwa kikuu (Ukerewe)
lakini wakagoma kwenda
kisiwa kidogo (Irugwa)
walikopangiwa.
Nilipoendelea
k uz ung um z a na y ul e
diwani nilibaini kuwa
kilichowafanya wagome
kwenda kuripoti
katika kituo cha kazi
walikopangiwa
na
pengine hata kuangua
kilio si 'ukisiwa' wa kile
kijikisiwa kidogo kwani
hata Ukerewe yenyewe ni
kisiwa bali ni lilelile zimwi
au pepo la mazingira ya
'umjini' ndilo lilokuwa
limewapanda vichwani
mwao na kuwanyima
uwezo wa kufikiri
sawasawa na badala yake
kuishia kuangua kilio
hadharani. Maskini!
Naam, hawa ndio aina
ya walimu tunaotarajia
kuwakabidhi dhima nyeti
na dhamana adhimu ya
ulezi wa watoto wetu ili
wasimamie malezi na
makuzi yao ya kimaadili,
kimwili, kiakili huko
shuleni pamoja na
kuwajengea misingi ya
ukombozi wa kweli katika
fikra zao, kwa mustakbali
wa maisha yao ya sasa
na ya baadaye; ilhali nao
bado wanahitaji ukombozi
wa kifikra kwani
wanaonekana kukua
kimwili lakini vichwani
mwao hamnazo au kwa
maneno mengine tuseme
fikra zao bado ni mateka
wa mazingira!
(Mwandishi wa makala
haya ni msomaji wa muda
mrefu wa gazeti la ANNUUR anayeishi jijini
Mwanza.)
USAJILI
S.2401
KWA WASICHANA TU
MASOMO
USAJILI
S.4384
KWA WAVULANA TU
18
Makala
AN-NUUR
Uhalifu ulipofanyika
Safari ya mwandishi kwenda My Lai na siri za nyakati hizo
Na Seymour M. Hersh
KUNA mtaro mrefu
katika kijiji cha My Lai.
Asubuhi ya Machi 16,
1968, ulikuwa umejaa
miili ya waliokufa
makundi ya wanawake,
watoto, wazee, wote
wa k i wa wa m e p i g wa
risasi na askari vijana
wa ki-Marekani.Sasa,
miaka 47 baadaye, mtaro
wa My Lai unaonekana
mpana zaidi kuliko
ninavyokumbuka
katika picha za mauaji
hayo: mmomonyoko
na kusahau vinafanya
kazi zao. Wakati wa Vita
vya Vietnam,, kulikuwa
na shamba la mpunga
karibu na hapo, lakini
ilikuwa imewekwa lami
ili kuwezesha My Lai
ifikike na maelfu ya
watalii wanaokuja kila
mwaka kuzunguka eneo
hilo kuona vielelezo
hivyo vya kawaida
kuelezea tukio hilo bay
asana. Mauaji ya My
Lai yalikuwa ni tukio
maalum la kubadili
mwendo wa vita hivyo
visivyokuwa na sababu
ya kuwepo: kikosi cha
wa-Marekani cha askari
100 hivi, kikijulikana
kama Kombania Charlie,
baada ya kupata taarifa
potofu za ujasusi, na
wakidhania watakutana
na wapiganaji wa
kikomunisti au washirika
wao, walikuwa tu kijiji
tulivu wakai wa chai
asubuhi. Hata hivyo,
askari wa Kombania
Charlie walibaka
wanawake, wakachoma
moto nyumba ma
kugeuza bunduki zao
za M-16 kwa raia wasio
na silaha wa My Lai.
Miongoni mwa viongozi
wa shambulio alikuwa
Luteni William L.Calley,
mtoro wa chuo kutoka
Miami.
Mapema 1969,
wengi kati ya askari
wa Kombania Charlie
walikuwa wamemaliza
muda wao na kurudi
nyumbani. Wakati huo
nilikuwa mwandishi wa
kujitegemea wa miaka
32 huko Washington,
DC. Nikiwa napenda
sana kujua jinsi vijana
wavulana tu, kusema
kweli wangeweza kuwa
19
Makala
AN-NUUR
anachokifahamu kuhusu
askari mmoja aliyeua raia
wengi aliniangalia kwa
jicho kali la hasira, na
kuanza kupiga mkono
wake kwenye goti. "Yule
mtoto Calley hakupiga
risasi mtu mrefu zaidi ya
hapa," alisema.
Nilikuwa na jina.
Katika maktaba ya
mtaani, nikakuta habari
i l i y o c h i m b i wa k a t i k a
gazeti la Times kuhusu
mtu aitwaye Luteni
Calley ambaye alikuwa
ameshtakiwa na Jeshi
k wa m a u a j i ya i d a d i
isiyothibitishwa ya raia
huko Vietnam Kusini.
Nikamfuatilia Calley,
ambaye Jeshi lilikuwa
limemficha katika makazi
ya maofisa wa juu huko
Fort Benning, Columbus,
jimbo la Georgia. Wakati
huo, mtu fulani katika Jeshi
alikuwa ameniruhusu
kusoma na kuandika
kutoka hati ya siri ya
mashtaka kumshtaki
Calley kwa mauaji ya
kukusudia ya 'binadamu
wa Mashariki' mia noja
na tisa.
Calley hakuonekana
ki-shetani kwa lolote.
Alikuwa mtu mwenye
mwili mdogo, mwenye
wasiwasi katika miaka ya
25 na ziada hivi, na ngozi
ya kupauka. hata ndani
kuonekana kwa mbali.
Alijitahidi kuonekana ni
mgumu. Juu ya bia nyingi,
alinieleza jinsi yeye na
askari wake walivyokutana
na adui na kupambana
naye huko My Lai katika
pambano kali. Tuliongea
usiku wote. Wakati mmoja,
Calley akainuka, kwenda
bafuni. Aliacha mlango
umefunguka kidogo,
na niliweza kuna kuwa
alikuwa anatapika damu.
Mwezi Novemba 1969,
nioliandika makala tano
kuhusu Calley, Meadlo na
mauaji hayo. Nilikwenda
kuwaona wahariri wa 'Life'
nas 'Look' bila mafanikio,
hivyo nikaelekea
shirika dogo la habari
linalopinga vita, Dispatch
News Service. Ilikuwa
ni wakati wa wasiwasi
unaoongezeka na vurugu.
Richard Nizon alikuwa
ameshinda uchaguzi
mkuu wa mwaka 1968
akiahidi kumaliza vita,
lakini mpango wake halisi
ulikuwa ni kushinda vita,
kwa kutumia ongezeko la
mashambulio na upigaji
mabomu kwa siri. Mwaka
1969, kiasi cha askari elfu
15 wa Marekani walikuwa
wanauawa kila mwezi,
bila tofauti na ilivyokuwa
mwaka uliotangulia.
Waandishi wa habari
za vita, kama Homer
Bigart, Bernard Fall, David
Halberstam, Neil Sheehan,
Malcolm Browne, Frances
FitzGerald, Gloria
Emerson, Morley Safer
na Ward Just walipeleka
habari zisizohesabika
kutoka uwanja wa vita
ambazo zilionyesha zaidi
na zaidi kuwa vita hivyo
vilikuwa havina vilipoketi
k imaadili, v imep ot ea
kimkakati, na siyo kile
a m b a c h o m a o f i s a wa
kijeshi na kisiasa walikuwa
wanawaambia watu huko
Saigon na Washington.
Hapo Novemba 15, 1960,
s i k u m b i l i b a a d a ya
kuchapishwa kwa taarifa
yangu ya kwanza kuhusu
My Lai, maandamano
dhidi ya vita jijini
Wa s h i n g t o n ya l i v u t a
watu nusu milioni. H.R.
Haldeman, msaidizi
wa kuaminika zaidi wa
Rais Richard Nixon,
mfuatiliaji wa maelekezo
yake, alipewa maelekezo
ofisini kwa rais ambaye
ya l i c h a p i s h wa m i a k a
kumi na nane baadaye.
Yalionyesha kuwa mnamo
Desemba 1,1969, wakati
wa kilele cha upinzani
uliofuatia aliyofichua Paul
Meadlo, Nixon aliridhia
kutumika kwa 'hila chafu'
kumchafua shuhuda
muhimu wa mauaji hayo.
Pale, mwaka 1971. jopo
la mahakama ya kijeshi
lilipomhukumu Calley
k wa m a u a j i ya wa t u
wengi na kutoa adhabu ya
kifungo cha maisha na kazi
ngumu, Nixon aliingilia,
akaamrisha Calley
afunguliwe kutoka katika
jela ya Jeshi na kuwekwa
kizuizini nyumbani kwake
kungoja upitiaji mpya
wa hukumu hiyo. Calley
aliachiliwa miezi mitatu
baada ya Nixon kuondoka
madarakani na kutumia
miaka iliyofuata akifanya
kazi katika duka la vito
vya thamani la baba mkwe
wake, huko Columbus,
jimboni Georgia na kutoa
maelezo ya kujikirimu yeye
mwenyewe kwa waandishi
wa habari waliokuwa
tayari kulipia mahojiano
yao. Mwishowe, mwaka
2009, katika hotuba klabu
ya K i wa n i s , a l i s e m a
"hakuna siku ambayo
sijisikii vibaya" kwa My
Lai, lakini kuwa alikuwa
AN-NUUR
20
MAKALA
20
AN-NUUR
E-mail:info@hajjtrust.or.tz
Na Bakari Mwakangwale
WALIMU wa Madrasa
waliokuwa wakidaiwa
kushikiliwa na Polisi
wameachiwa.
Aidha, madrasa zao
zilizokuwa zimefungwa
nazo sasa huru
k u f a n ya k a z i h u k u
ikitolewa taarifa kuwa
hakutakuwa tena na
bughudha.
H a y o ya m e l e z wa
na Rajab Katimba
akisema kuwa hatua
hiyo imefikiwa baada
ya vikao kadhaa baina
ya viongozi wa taasisi
za Kiislamu na serikali.
Kwa mujibu wa taarifa
ya Katimba, maongezi
hayo yalichukua
siku kadhaa, kabla
ya kufikia muafaka,
a m b a p o Wa i s l a m u
wa l i wa k i l i s h wa n a
Mwenyekiti wa Jumuiya
na Taasisi za Kiislamu
Sheikh Mussa Kundecha
pamoja na Sheikh Rajab
Katimba.
Kwa upande wa
S e r i k a l i k u l i wa n a
viongozi kutoka ofisi
ya DPP, Mwanasheria
M k u u wa S e r i k a l i ,
Wizara ya Mambo
ya Ndani, pamoja na
maafisa wa Jeshi la
Polisi.
Akiongea na Gazeti la
An nuur, Jumatano wiki
hii, msemaji wa Jumuiya
na Taasisi za Kiislamu,
Sheikh Rajabu Katimba,
alisema maongezi yao
yamekuwa na tija kwani
wamejenga msingi wa
maelewano baina ya
serikali na Waislamu.
Akielezea yaliyojiri
katika maongezi yao
alisema, wamewekana
sawa na wawakilishi
hao wa Serikali katika
mambo ambayo
Waislamu wamekuwa
wakiyalalamikia
Ama
kuhusu
dhamana
kwa
Masheikh na Waislamu,
Katimba, alisema
maafisa hao wameahidi
kulishughulikia, ila
wanahitaji muda kwa
kuwa suala hilo haliwezi
kutatuliwa mara moja
kutokana na mambo
hayo kwa sasa kuwa ni
ya kisheria zaidi.
Walitueleza pamoja
na kupokea malalamiko
ya Waislamu na kwa
kuwa mambo hayo yapo
Mahakamani, kwa sasa
hawawezi kuyapatia
ufumbuzi mara moja, ila
wametuhakikishia kuwa
watayashughulikia.
Alisema Shkh. Katimba.
Alisema, mpaka
mwisho wa maongezi
yao (Jumanne wiki hii)
maofisa hao wa Serikali,
waliomba Waislamu
wasitishe maandamano
ili kuwapa muda wa
kuyafanyia kazi zaidi.
Wa l i c h o t u o m b a
ni sisi kuwaomba
Waislamu wawe na
subra na kusitisha
maandamano ili
kuweza kutoa wasaa
kwao (Serikali)
kushughulikia kile
ambacho wamekiongea
na kutuahidi. Alisema
Shkh. Katimba.
Kufuatia hatua
hiyo, Alhamisi (Jana)
viongozi wa Shura ya
Maimamu, walikutana
na Maimamu katika
Msikiti wa Mtambani,
ili kupata taarifa ya
jumla ya kikao baiana
ya Masheikh na Serikali.
Lengo la kukutana
na Maimamu ni kuwapa
mrejesho kwa yaliyojiri,
kama wajumbe wao
katika maongezi yetu
na Serikali.
Kwa kuwa Maimamu
ndi o wa ju mb e kwa
Waumini (Waislamu)
ili waweze kuwafikishia
taarifa hizi ili wasubiri
na kuipa muda Serikali
kwa yale ambayo
wametueleza. Alisema
Shkh. Katimba.
April, 29, Mwenyekiti
wa Jumuiya na Taasisi
za Kiislamu (T),
aliitaka Serikali kuacha
kuziandama Madrasa
na kuwakamata walimu
wake, huku wakiitaka
kutolea ufanunuzi
kwa nini Masheikh na
Waislamu, dhamana
zao zimezuiliwa.
Alisema, endapo
hawatapata ufafanuzi
n a m a e l e z o j u u ya
masuala hayo, Ijumaa
ya Mei 15, 2015 (Leo)
Waislamu watafanya
maandamano kwenda
kwa Waziri wa Mambo
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.