You are on page 1of 20

facebook: annuurpapers@yahoo.

com

Sauti ya Waislamu

AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST


(10) HASARA ZA KUTOHIJI NI ZETU SOTE!

Kwa vile baadhi yetu wana uwezo na hawaendi


Hijja, Allah Anaonesha hasira Zake kwa kusema,
"Hana haja na viumbe sote" (Aal Imran:97). Hivyo,
tuhimizane, wakienda wengi faida tunapata sote,
na wasipokwenda hasara ni yetu sote! Muda
unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500.
Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni
Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na
uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara:
ISSN 0856 - 3861 Na. 1177 RAJAB 1436, IJUMAA , MEI 15-21, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= 0765462022;0782804480; 0717224437.

Hali za Masheikh mbaya Segerea


Sheikh Mselem adhalilishwa vibaya
Farid atoboa siri ya kukamatwa kwao
Wamtaka Mwanasheria Mkuu wa Zbar

Kuteswa Masheikh wasio na hatia

Laana ya Siad Bare


inatunyemelea

Maafa Zanzibar, Dar huo ni mwanzo


Makosa ya laana, balaa lake linakuja
Toka lini Alamtara ikawa kasida ya dufu?

Kushoto Kadhi Mkuu Sheikh Khamis Haji akifuatiwa na Mufti Sheikh Saleh Omar Kabi

RAIS Siad Bare wa Somali


aliwakamata Maulamaa
a k a wa t e s a n a a k a wa u a
hadharani.
Somalia ilikumbwa
na vita na mauaji. Mpaka
leo Wasomali wanauana
wenyewe kwa wenyewe.
Saddam Hussein aliua
M a s h e i k h n a k u wa t e s a .
Haikuchukua muda Iraq
iliingia katika vita vilivyoua
mamilioni ya watu na
kuharibu makaazi na mpaka
leo Iraq haijatulia.
Rais Gadafi wa Libya
naye alifanya kosa hilo hilo
la kuwakamata Maulamaa
kuwaweka ndani na kuwaua.
Naye aliuliwa kama
alivyowaua wenzake na nchi
nzima imetumbukia katika
umwagaji damu mkubwa
usiomalizika. (Soma Uk. 4)

RAIS wa zamani wa Somalia,


Siad Bare.

Tusiparamie vikosi vya ATPU


kama vile vya Uhuru Kenyatta

Jaji Mkuu wa Zanzibar


Omar Othman Makungu.

Mselem Ali Mselem,


MWANASHERIA Mkuu wa Sheikh
kiongozi wa Jumuiya ya
Zanzibar Saidi Hassan Said Uamsho.

Kasema kweli Askofu Lebulu


Tusipojifunza kwa waliotangulia
Yakitukuta, tutulie, tusipige kelele

Tahariri

2
AN-NUUR

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786


Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tusiparamie vikosi vya ATPU


kama vile vya Uhuru Kenyatta
Kasema kweli Askofu Lebulu
Tusipojifunza kwa waliotangulia
Yakitukuta, tutulie, tusipige kelele

WIKI iliyopita tuligusia


jambo ambalo ni
maarufu hivi sasa kwa
yoyote anayetaka kujua
ukweli na ambaye
hajageuzwa kuwa kifaa
cha mabeberu (Asset)
c h a k u wa r a h i s i s h i a
kupata masilahi yao
wala hajatekwa na kuwa
msaliti wa nchi yake na
watu wake.
J a m b o l e n ye we n i
kama alivyosema
Zbigniew Brzezinski,
kwamba ugaidi sio adui
lakini mbinu chafu za
kufikia malengo fulani
ambapo watu wasio na
hatia huuliwa. Zaidi
akasema kuwa msemo
huo umefanywa usiwe
na maana inayoeleweka
sio kwa bahati mbaya,
bali umefanywa hivyo
makusudi na walioubuni
na wanaoendeleza vita
hiyo ili kufikia malengo
yao ya kusimika kitisho
(culture of fear).
Kwa nini imekuwa
ni lazima kuwatisha
watu? Kachero na
mwanadiplomasia,
Zbigniew Brzezinski
anafafanua akisema
kuwa:
Fear obscures reason,
intensifies emotions
and makes it easier for
demagogic politicians to
emotions mobilize the public
on behalf of the policies they
want to pursue.
K w a m b a
ukishawatisha watu,
unaondoa uwezo wao wa
kufikiri, unawaburuza
unavyotaka kwa sababu,
badala ya kuyatizama
mambo kwa akili na
kutafakari, kuhoji,
wanaongozwa na

mihemko (emotions).
Tunachofahamishwa
hapa
ni
kuwa
kinachoitwa ugaidi
hivi leo na msamiati
vita dhidi ya ugaidi,
hauwakilishi adui
yoyote anayetambulika
au kwa maana
nyingine, haiwakilishi
adui wa kweli. Kama
walivyochambua
wasomi na wachambuzi
wengi ni kuwa, huo
umekuwa tu ni moja ya
mikakati ya mabeberu
kataka kufikia masilahi
yao.
Na kama ambavyo
i m e e l e z wa p i a k wa
marefu na mapana
ikiwemo kuandikiwa
vitabu, machapisho na
kufanyiwa midahalo
mbalimbali katika
v y o m b o v ya h a b a r i
iliyohusisha wanazuoni
mashuhuri
wa
kuaminika kimataifa,
kinachoitwa mbinu za
kupambana na ugaidi,
nacho inakuwa kiini
macho kingine ambacho,
pamoja na kuwekewa
bajeti kubwa, haisaidii
lolote katika kutokomeza
huo unaoitwa ugaidi.
Bali kuuchochea zaidi
na kutunisha mifuko ya
wana-usalama na vikosi
vya ulinzi. Namna yake ni
kama kuwepo kwa vikosi
hivyo kunachochea zaidi
kuwepo kwa ugaidi.
Na hiyo huendana na
h o j a z a wa n a z u o n i
kuwa kinachotakiwa
ni kuwepo huo ugaidi
ili ipatikane sababu
ya kufanyika mambo
mengi ya kurahisisha
mikakati ya mabeberu
ikiwemo kusambaza

utando wa kijeshi na
kikachero dunia nzima
kutimiza lengo lao la
udhibiti wa dunia
Hegemony. Na pili
kupitia utando huo wa
kijeshi unaowawezesha
kuwepo kila mahali kwa
kizingizio cha kusaidia
kupambana na ugaidi,
wa we z e k u z i d h i b i t i
nchi mbalimbali pamoja
na rasilimali zao hasa
mafuta, gesi na madini.
Baada ya miaka mingi
ya machafuko, kuna
wakati Somalia ilikuwa
imefikia mahali pa
kuondokana na vurumai
hizo zilizoangamiza
mamia ya maelfu ya roho
za Wasomali. Ghafla
mabeberu wakawaundia
vikosi vya kupambana
na magaidi. Vikawa
vinapewa mapesa mengi
na silaha nzito nzito.
Amani na hali ya utulivu
i l i y o k u wa i n a n u k i a
Somalia, ikatoweka.
Walipofikishwa Allah
ndiye mjuzi watatokaje.
K
e
n
y
a
wametutangulia sana
katika mchezo huu wa
mabeberu. Waliundiwa
vikosi vya kupambana
na magaidi-Anti Terror
P o l i c e U n i t ( AT P U )
n a m a p e m a . AT P U
ndio wanaotuhumiwa
kuuwa Masheikh wengi
na vijana wa Kiislamu
k wa k i s i n g i z i o c h a
kupambana na ugaidi.
Kwa mujibu wa makala
ya Jipo Pevu iliyokuwa
ikirushwa na kituo cha
televisheni cha KTN,
hawa ATPU walikuwa
wakiwafuata Masheikh
majumbani mwao na
kuwauwa kikatili kwa
kuwapiga risasi, kisha
hutoa taarifa za uwongo
kwa vyombo vya
habari kuwa Masheikh
hao waliuliwa wakati
wakipambana na polisi.
Lakini pia kwa mujibu
wa makala ya Aljazeera,
hawa ATPU na vikosi
v i n g i n e v ya n a m n a
h i y o , wa o h u t a m b a
k u wa n i v i k o s i v ya
wauwaji (elimination),
sio vya kukamata
watu na kuwapeleka
mahakamani. Na zaidi
wanasema kuwa hao
hao mabeberu ambao
ndio walimu na
wafadhili wao, wao ndio
huwaambia nani wa
kumuuwa. Wakipewa
taarifa kamuuweni
Fulani, humuuwa na

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

kutoa taarifa kwa vikosi


vya hao hao mabeberu
kuwa washatekeleza
kazi waliyowatuma.
Ni muda mrefu sasa
toka uanze uhusiano
huo kati ya Kenya na
mabeberu, lakini kadiri
siku zinavyokwenda,
ndio hali huwa mbaya
zaidi. Wala hizo ATPU
zao na huo uhusiano
wao na mabeberu na
mipango yao ya Counter
Terrorism, haijaweza
kuzuiya shambulio la
Garissa.
Kwa mujibu wa
KTN, ukiangalia wale
Masheikh walivyokuwa
wakiuliwa na kuteswa,
inakupitikia kichwani
kuwa ulikuwa ni mkakati
wa kuchochea hasira
za Waislamu na kuleta
ghasia katika nchi. Lakini
tizama pia yalipotokea
mashambulizi ya
We s t g a t e , M a n d e r a
na Garissa. Ilikuwa ni
v y o m b o v ya h a b a r i
vya mabeberu hao hao
viliokimbilia kutuambia
kuwa magaidi
walikuwa wakiwatenga
Waislamu mbali, kisha
h u wa u wa Wa k r i s t o
kikatili. Kama kuna
chombo cha habari
cha Kenya au Tanzania
kiliripoti mambo kama
haya, ni kwa kunukuu
taarifa za vyombo hivyo
vya mabeberu. Katika
moja ya matoleo yetu,
tuliarifu jinsi televisheni
moja ya Ufaransa
ilivyokuwa ikipandikia
jambo la kuzua kuwa
magaidi wa Al-Shabaab
walikuwa wakiwachinja
Wakristo Garissa.
Na hapa ndio
p a n a t a k i k a n a
tupazingatie vizuri.
Gazeti la Msamaria
Mwema, la Jumapili
Mei 10, lilikuwa na
habari iliyonadi Kanisa
Katoliki lafichua siri
mabomu Arusha.
Katika habari
hiyo kuna nasaha za
Mhashamu Askofu
Lebulu. Akirejea tukio la
shambulio la bomu katika
Kanisa Katoliki, Parokia
ya Mtakatifu Josefu
Mfanyakazi, Olasiti,
Arusha, Mei 5, 2013,
Askofu Lebulu aliwataka
waumini wa Kikatoliki
n a Wa t a n z a n i a k wa
ujumla kuheshimiana
na
kupendana

kama binadamu.
Akakumbusha na
kusisitiza kuwa
wanaofanya matendo
ya kigaidi wanalenga
kutufarakanisha na
k u l e t a f i t n a m b a ya
miongoni mwetu lizuke
balaa la machafuko.
Alisema, waliorusha
bomu lile walitaka
kuliingiza Taifa kwenye
migogoro ya kidini,
lakini kupitia nguvu
za Mwenyezi Mungu,
walishindwa.
Kwa hakika hili
ni somo ambalo
Watanzania tunatakiwa
tulizingatie sana.
Kenya watalaumiwa
kwa kuingizwa
kichwakichwa katika
biashara hii kichaa.
Tunaweza kusema kuwa
h a wa w e z i k u e p u k a
lawama ya kuuziwa
mbuzi wa mikakati ya
Counter Terrorism ya
mabeberu na ATPU zao
katika gunia.
Lakini sisi Watanzania,
itabidi tujilaumu sana
kama hatutajifunza kwa
yanayowakuta wenzetu
Kenya. Wameuwa na
kutesa sana watu wao
kupitia mipango hii ya
kupewa ya ki- ATPU
n a k u p i t i a a k i l i ya
kupewa na kushikiwa
na mabeberu. Lakini
pia kadiri walivyopewa
mikakati, ndivyo damu
ya Wakenya inavyozidi
kumwagika na kuwa
kama mihanga ya
kulinawirisha Subiani
ugaidi.
Sisi tunaamini kuwa
h a k u n a g a i d i s i wa
kutoka Al-Shabaab au
AlQaida au wa jina lolote
lile, awe wa ndani au
wa nje, anayeweza kuja
kuipiga Tanzania, kama
sio hao wa kutengenezwa
na mabeberu.
Na kwa maana
hiyo, kama ikitokea
kupigwa, Mwenyezi
Mungu atuepushe na
balaa hilo, sisi imani
yetu itabaki kuwa ni
ugaidi wa kupanga.
Na kwa maana hiyo
hiyo, mipango yoyote
tutakayofanya ikipewa
jina lolote lile, maadhali
itakuwa mithili ya ile
ya Kenya, itakuwa ni
ya kutuangamiza zaidi.
Haya ni maoni yetu na
tutasimama nayo.

Habari

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Hali za Masheikh mbaya Segerea


Na Bakari Mwakangwale

SHEIKH (Mselem)
kafanyiwa udhalilishaji
mkubwa wa kuachwa
uchi wa mnyama huku
a m e n i n g ' i n i z wa k wa
pingu.
Huyu ni Sheikh
anayesoma kitabu
kitakatifu cha Mwenyezi
Mungu, akisikika akisoma
Qur'an tukufu katika Redio
nyingi Afrika Mashariki,
lakini anafanyiwa ushenzi
kama huo-Sheikh Farid
Hali za watuhumiwa wa
ugaidi mbaya. Hivi sasa
baadhi yao wamegoma
kula.
Ni katika hali hiyo,
Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu Jijini Dar
es Salaam, imeambiwa
isubiri kupokea maiti
z a wa t u h u m i wa h a o ,
ikiwa hatua za makusudi
hazitachukuliwa kunusuru
afya zao ndani ya gereza la
Segerea.
Kauli hiyo imetolewa
na Sheikh Farid Had
Ahmed, mbele ya Hakimu
wa Mahakama hiyo
anayesikiliza kesi yao,
Renatus Rutta, Jumatatu
wiki hii.
Sheikh Farid Had
akimpa Hakimu histori
fupi ya kesi yao iliyopo
mbele yake, alisema kuwa,
wamebambikiziwa kesi
ya ugaidi kwa kudai nchi
yao huru ya Zanzibar
na kusema mfumo wa
Muungano uliopo
hawautaki.
Alisema, kesi yao ni ya
kisiasa na si vinginevyo
na kwamba, walikamatwa
na kuletwa bara kuja
kudhalilishwa tu na polisi
wa kike na wakiume.
Sheikh
Farid
alimtambulisha Hakimu
huyo kuwa wao ni Viongozi
wa Taasisi mbalimbali na
yeye akiwa ni kiongozi
Umoja wa Mihadhara na
Sheikh Mselem Ali Mselem
ni kiongozi wa Jumuiya ya
Uamsho, zote za Zanzibar.
Sheikh Kama huyu
(Mselem) kafanyiwa
udhalilishaji mkubwa wa
kuachwa uchi wa mnyama
huku amening'inizwa
k wa p i n g u , h u y u n i
Sheikh anayesoma kitabu
kitakatifu cha Mwenyezi
Mungu, akisikika akisoma
Qur'an tukufu katika
Redio nyingi katika
Afrika ya Mashariki, lakini
anafanyiwa ushenzi kama
huo Alisema Sheikh Farid
mbele ya hakimu huyo.
Naye mshitakiwa Salum
alimkumbusha Hakimu
Rutta kuwa wiki iliyopita

aliahidi kuwa atafuatilia


hali zao gerezani na kuhoji
mbona hawakumuona?.
Alisema yeye ni moja
wa wa l i o d h a l i l i s h w a
na Polisi kwa kutiwa
chupa na majiti, lakini
alisikitishwa na Waziri wa
Mambo ya Ndani, Mathias
Chikawe ambaye alisema
hawajatendewa chochote
huku akijua sio kweli.
Awali, kabla ya kupanda
kizimbani watuhumiwa
hao, siku ya Jumamosi wiki
iliyopita, zilienea taarifa
kuwa watuhumiwa wa
ugaidi katika Gereza la
Segerea wamegoma kula.
Wa k a t i t a a r i f a h i z o
zikitoka, taarifa nyingine
zilibainisha kuwa mmoja
wa wa t u h u m i wa h a o
aliyetajwa kwa jina la Said,
anaumwa jambo ambalo
limeilazimu Kamati
ya Maafa ya Shura ya
Maimamu kupambana
kutaka kusimamia
matibabu yake.
Sheikh Farid, ambaye
ni Amir wa Jumuiya ya
Uamsho Zanzibar, alisema
Mahakamani hapo kuwa
kuna watuhumiwa
wamegoma kula huku
wengine wanne hali zao
kiafya zikiwa sio nzuri
kiasi cha kuhifadhiwa
katika chumba maalum.
Kulingana hali hiyo
Sheikh Farid, aliiomba
Mahakama kufika katika
gereza hilo kuangalia hali
halisi ya watuhumiwa
hao ili hatua stahiki
zichukuliwe.
Tunaiomba mahakama
kuja kule gerezani
mjionee hali halisi, ili
h a t u a s t a h i k i z i we z e
kuchukuliwa, vinginevyo
subirini kupokea maiti na
muingie katika historia ya
Zanzibar. Alisema Sheikh
Farid Mahakani hapo bila
kufafanua zaidi.
Askari Magereza
ambaye hakuweza
kufahamika jina lake mara
moja, alikiri kuwepo kwa
hali hiyo kwa watuhumiwa
hao wa ugaidi baada ya
Hakimu wa Mahakama ya
Kisutu jijini Dar es Salaam
anayesikiliza kesi hiyo
Renatus Rutta, kupokea
maelezo na taarifa hiyo ya
Amir Hadi na kumuhoji
askari huyo.
Hakimu alimtaka Ofisa
wa Magereza aeleze ni
kwa nini watuhumiwa
hao watatu hawakufika
mahakamani.
Afisa huyo aliieleza
mahakama kuwa
wa m e s h i n d wa k u f i k a
kutokana mgomo na
wametoa masharti kuwa
wanahitaji Mwanasheria
Mkuu wa Serikali wa
Zanzibar na wa Tanzania
bara pamoja na Jaji Mkuu,

wawatembelee huko
gerezani.
Watuhumiwa ambao
hawakuweza kufika ni
Said Amour, Salum na Said
Shehe, Sharifu na Abdallah
Hassani Hassani.
Hata hivyo Sheikh Farid
H a d A h m e d , a m b a ye
ndiye mshitakiwa namba
moja alimweleza Hakimu
ya l e wa n a y o h i t a j i n a
kumwambia, washitakiwa
watatu ambao hawakuweza
kufika mahakamani ni
kwa sababu ya mgomo
na wengine hawakuweza
kufika kwa maradhi.
Hakimu
Rutta
a l i p o f a n ya j u h u d i z a
kuwasihi waliohudhuria
mahakamani hapo
kuwasihi waliogoma
waache na kumtaka Sheikh
Farid awafahamishe
kwamba waje mahakamani,
jibu la Sheikh Farid
lilikuwa kwamba wenzao
wameanza na wao
watakwenda kumaliza kwa
kuwa lao ni moja.
Akiongea na gazeti la Sheikh Mselem Ali Mselem, kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho,
An-nuur kufuatia taarifa za
A l i s e m a A m o u r kadhaa.
watuhumiwa hao kugoma
n
i
miongoni mwa
Alisema baadhi ya madai
kula gerezani na wengine
a t u h u m i w a yao ni kutaka wafutiwe
kuugua, Katibu wa Kamati w
kuhudhuria m a s h i t a k a ya u g a i d i
ya Maafa ya Shura ya walioshindwa
M a h a k a m a n i s i k u ya kwa sababu ni tuhuma
Maimamu, Ustadhi Ally Jumatatu (Mei 11, 2015)
Mbaruku, alisema taarifa kutokana na maradhi za kubambikizwa zisizo
h i z o w a m e z i p a t a n a yanayomsumbua, huku na ukweli wowote, ndio
maana ushahidi mpaka
wanazifanyia kazi.
wengine ikiripotiwa kuwa
Alisema wanayo taarifa wa m e s h i n d wa k u f i k a sasa hakuna.
J i n g i n e n i k wa m b a
ya kuugua kwa Said Amour kutokana na kukosa nguvu.
wamechoshwa kupigwa
na wapo katika mchakato
Alisema Kamati ya Maafa d a n a d a n a k wa r u f a a
wa kumshughulikia.
ilikuwa inategemea kupata yao, wakihoji ni kwa nini
Kuhusu kugoma kula, majibu mapema wiki hii,
alisema ni suala ambalo lipo lakini mpaka Jumanne haitolewi maamuzi kwa
nje ya uwezo wao kwani wiki hii bado hawajajibiwa, wakati huku wakiendelea
madai yao yameelekezwa jambo ambalo linazidi kunyimwa dhamana.
Ust. Mbaruku, alisema
katika mamlaka husika.
kuchelewesha tiba ya m g o m o huo um e a nz a
Alisema baada ya kupata uhakika kwa mtuhumiwa k w a w a t u h u m i w a
taarifa za kuugua kwa huyo.
wachache miongoni
A m o u r , wa l i l a z i m i k a
Hata hivyo kwa mujibu mwa watuhumiwa hao
k u u a n d i k i a u o n g o z i wa Ust. Mbaruku, alisema n a k w a m b a , s i w o t e
w a M a g e r e z a b a r u a mke wa Said Amour, alifika waliogoma kwa sasa.
ya kupatiwa kibali cha gerezani hapo kujua hali
Hata hivyo Ust.
kumtibia chini ya uangalizi ya mumewe na kuelezwa Mbaruku alisema, tayari
w a o ( m a g e r e z a ) n a k w a m b a J u m a t a n o Sheikh Farid Hadi, ametoa
Waislamu watagharamikia (wiki hii) kuna daktari kauli kuwa watuhumiwa
matibabu yake.
atakwenda kumwangalia w o t e wa t a u n g a n a n a
Ust. Mbaruku, alisema kwa ajili ya kumpatia wenzao ikiwa madai yao
kwa mujibu wa maelezo matibabu.
hayatotekelezwa.
waliyo nayo kutoka kwa
Pamoja na majibu hayo
Wa k a t i h u o h u o
mtuhumiwa huyo, anadai lakini mle ndani wanapewa
kulikuwa
na Kesi nyingine
kuwa sehemu zake za h u d u m a z a h a p a n a
inayomkabli
mtuhumiwa
siri zimevimba na zina pale ambazo kwakweli
dalili ya kuwa na usaha hazikidhi haja ya matatizo mwingine Ust. Sharifu
Sharifu
kutokana na kuminywa waliyonayo, ndio maana S u l e i m a n
kutoka
Zanzibar
nayo
athari
zinazidi
kujitokeza.
na askari wa usalama
Hata hivyo tunaendelea imeahirishwa huku akiwa
baada ya kukamatwa kabla
kuwasiliana na uongozi kwenye mgomo wa kula.
hajafikishwa gerezani.
W a i s l a m u
H i k i n i k i l i o c h a o mara kwa mara juu ya
cha muda mrefu kuwa kupatiwa majibu ya barua wa n a o t u h u m i wa k wa
wa n a h ita ji k u fa n y iwa ya maombi yetu ya kutoa Ugaidi, wapo gerezani
uchunguzi afya zao kwa huduma kwa Muislamu h u m o k w a m a k u n d i
u j u m l a k u t o k a n a n a h u y o . A l i s e m a U s t . tofauti tofauti kulingana
madhila waliyoyapata Mbaruku.
Akizungumzia mgomo na tuhuma zinazowakabili,
lakini hakuna anayejali,
wa
wa t u h u m i wa h a o ambapo inakadiriwa kuwa
kwa sasa tunahitaji kibali
(ruksa) ya uongozi wa kula gerezani humo, Ust. mpaka sasa wapo zaidi ya
Magereza ili tumpatie Mbaruk alisema waliuanza arobaini katika gereza la
matibabu. Alisema Ust. tangu Jumamosi ya wiki Segerea. Kesi imeahirishwa
iliyopita na kutoa masharti hadi Mei 24.
Mbaruku.

4
KUENEA kwa mambo
ya laana kunasababisha
maafa. Mfano rushwa
ikienea sana mpaka
kusajiliwa kwa vyombo
vya baharini itakuwa
kwa rushwa, kupanda
kwenye chombo kwa
rushwa hatimaye chombo
kinazama.
Wa m e l a a n i w a n a
Allah (SW) wanaotoa na
wanaopokea rushwa (Mj
2313 T1337 Amesahihisa
Tirmidhy).
Lakini athari ya
rushwa wenye haki
wataporwa haki zao,
wenye makosa ya kuuza
ulevi na kokeni watatoa
rushwa na kusalimika,
aliyebaka atatoa rushwa
na hatofungwa. Itaenea
dhulma itakayomkasirisha
Allah SW na mwisho
wataadhibiwa.
Wa n a w a k e k u v a a
masuruali na fulana,
ni laana na hii ndiyo
sare katika makundi ya
mazoezi takriban yote.
Amesimulia Abuu
Hurayra (RA) amesema
Mtume (SAW) amemlaani
Mtume mwanamme
anayevaa nguo za kike
na mwanamke anayevaa
nguo za kiume(D 4098).
Pamoja na wanawake
kuchanganika ovyo na
wa n a u m e wa k i f a n ya
mazoezi pamoja ,
wanawake hujilaza miguu
juu, huku wakibenuliwa
na wanume. Huko ngazi
mia mamia ya wanawake
na wanaume kwenye
f u k we h u c h a n g a n i k a
wakiikaribia zinaa
kwa kukaa pamoja
kufundishana kuogolea.
Kwenye
fukwe
hakusemeki. Zinaa
hadharani. Wanawake na
wanaume hukodi magari
wakachukua na ulevi na
wanawake walio uchi na
kucheza ngoma na kuzini
kwenye fukwe.
Wa k a t i wa m c h a n a
mchanganiko mbaya wa
wanawake na wanaume
kwenye sehemu za
wazi na bustani kama
Jamhuri Garden ambayo
imegeuzwa ni bustani
ya mapenzi. Jinsia mbili
hukaa faragha kukamatana
na kuchezeana hadharani.
Wakati wa usiku maeneo
ya wazi hugeuzwa
kuwa viwanja vya zinaa.
Wanawake na wanaume
h u z i n i o v y o k we n ye
viwanja, majengo ya shule
na mambo hayo yakienea
yanasababisha maafa kwa
ushahidi wa hadithi sahihi
ya Mtume SAW.
Aliuliza Zaynab binti
Jahshi RA Hivi tutahiliki
na miongoni mwetu wako
watu wema? Akasema

Makala

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Mambo ya laana

SHEIKH Farid Hadd.

Sheikh Mselem Ali Mselem.

R A I S wa z a m a n i wa
Somalia, Siad Bare.

ndiyo ikiwa yatakithiri


maovu (Muttafaq SB 3346
SM 2880).
Amesimulia Hudhayfa
(RA) kutoka kwa Mtume
(SAW) amesema Naapa
kwa Yule ambaye nafsi
ya n g u i k o m i k o n o n i
mwake, mtaamrishana
mema na mtakatazana
maovu, laa sivyo ni
karibuni Allah SW
atawaletea adhabu
kisha mumuombe na
asikukubalieni. (T 2169
D4338 Mj 4008 ameisahisha
Albani).
Hadithi hizo mbili ni
ushadidi tosha wa kuwa
yakikithiri maovu, basi
lazima majanga yatatokea.
Ama jambo la tatu ni
kukithiri maovu maalumu
ya liwati, riba, ulevi na
muziki ambayo yakienea
madhambi hayo, basi
Allah SW hasubiri akhera,
ila atawaonja kwanza kwa
adhabu kabla ya akhera.
Kuenea kwa mabaa
ambayo hata wananchi
wakiyapinga kisheria,
bado yanaruhusiwa.
Kuenea kwa wavutaji
b a n g i n a wa l a u n g a ,
liwati, watoto kubakwa,
wa n a u m e k u o a n a n a
wanaume na wanawake
kuingiliwa kinyume na
maubile, ndiyo mitindo
iliyoenea sasa. Mambo
haya yakifanyika
Muumba wa Ulimwengu
hughadhibika na kuamua
kuwaletea watu majanga.
Allah (SW) anasema
Basi ilipofika amri yetu
tuliifanya (ardhi hiyo
iwe juu chini) juu yake
k u wa c h i n i ya k e , n a
tukawanyeshea mvua ya
changarawe za udongo
mgumu wa motoni.
Zilizotiwa alama (kila mtu
kwa jina lake) na adhabu

hii haiko mbali kwa (kwa


wanaofanya uovu huu
kwa uma huu) (Huud
82-83).
Amesimulia Anas
(RA) amesema Mtume
(SAW) watakapofanya
umma wangu mambo
matano imewastahikia
k u n g a m i z w a ,
itakapodhihiri kulaaniana,
( k u e n e a v i t e n d o v ya
laana na kulaaniana wao
wenyewe) ukanywewa
ulevi, (ukaenea ulevi na
kunywewa hadharani)
na ikavaliwa hariri
na watakapotumia
ala za muziki, na
watakapoingiliana
wanaume kwa wanaume
na wanawake
kwa
wanawake. (Ameipokea
Bayhaq ST2054).
Kutoka kwa Abii
M a l i k ( R A) , k wa m b a
amemsikia Mtume (SAW)
Watakunywa watu ulevi
na watauita si kwa jina
lake, zitapigwa juu ya
vichwa vichwa vyao, ala
za muziki na wanawake
waimbaji, Allah (SW)
atawadidimiza ardhini na
atawajaalia masokwe na
maguruwe.(Mj 3384 ST
2377, 2378).
Imepokewa kutoka kwa
Ubadah bn Samit(RA),
kutoka kwa Mtume (SAW)
amesema Naapa kwa
Yule ambaye nafsi yangu
ik o mik o n on i mwa k e
watakesha watu katika
batara na shari, na kucheza
na pumbao, na wataamka
asubuhi wamegeuzwa
masokwe na maguruwe,
kwa kuhalalisha mambo
ya l i ya y o h a r a m i s h wa ,
na kuchukua wanawake
waimbaji, na kunywa ulevi
na kula riba na kuvaa
hariri.(Abdillahi bn
Ahmad ST2377). Batara ni

kufanya israfu na kuwa na


kibri katika mambo mbali
mbali kama kula , kunywa
na mengineyo.
Amesimulia Imran
I b n u H u s s a y n ( R . A)
kwamba katika umma
huu yatatokea (maafa
ya) kudidimizwa watu
ardhini, kugeuzwa sura za
wanyama, kurembelewa
mvua ya mawe, akaulizwa
mtu katika Waislamu
ewe Mtume (SAW) lini
yatatokea hayo? Akasema
Zitakapoenea ala za mziki
na wanawake waimbaji na
utakaponywewa ulevi
(imepokelewa T 2212
Albany ameipa draja la
hasan).
Yaliyotokea Indonesia ni
funzo, kuwaachia watalii
wakafanya watakavyo
mpaka wakaandaa hafla
ya kufanya liwati fukweni,
basi hapo ndipo adhabu
ya Allah ilipokuja. Mtindo
wa liwati unatisha kiasi
kwamba watoto wengi
wameingia katika masuala
haya wengine kwa hiari
na wengine wanabakwa.
Kaseti za ngono na liwati
zinauzwa bila kificho.
Katika mitandao liwati
na zinaa haisemeki na
watoto huangalia mambo
hayo. Humo Waislamu
hujifundisha laana ya
kuwaingilia wanawake
kinyume na maumbile na
hawaelewi kuwa hiyo ni
laana na ni liwati.
Amesimulia Abuu
Hurayra (R.A) kutoka
k wa M t u m e ( S . A . W )
At a k a e m u i n g i l i a
mwenye hedhi au
m wa n a m k e k i n y u m e
na maumbile, (kwa
nyuma) au akamsadiki
kuhani amekanusha
aliyoteremshiwa
Muhammad (SAW) (Mj
639 T135, ameisahihisha
Albany).
Amesimulia Abuu
Hurayra (R.A) hutoka kwa

Mtume (SAW) amesema,


amelaaniwa mtu
atakayemuingilia mkewe
kinyume na maumbile.
(D 2162, ameisahihisha
Albany).
Amesimulia Abdillahi
b n u A m r u ( R . A) ,
amesema Mtume (SAW)
Hiyo ni liwati ndogo
yaani mwanamme
atakayemuingilia mkewe
kwa nyuma. (Ahmad
ST2420).
Katika simu na komputa
mna michezo michafu
ya zinaa na liwati. Picha
za wanaofanya liwati
na zinaa husambazwa
kwenye mitandao na watu
hurushiana wakitizama
b i l a k i f i c h o . Wa t u
huingiliana wakapigana
picha na kuzitia kwenye
mitandao ambapo
mamilioni wanazitizama,
hawajui watu kuwa
kutizama picha za uchi ni
haramu.
Amesimulia Abi
S a i d i ( R A) k w a m b a
Mtume (SAW) amesema
Asiangalie mwanamme
utupu wa mwanamme
wala mwanamke utupu
wa m wa n a m k e wa l a
mwanamme asilale na
mwanamme wakajifunika
nguo moja, wala
mwanamke asilale na
mwanamke mwenziwe
wakajifunika nguo moja
(SM 338).
Anasema Ibn Hajar
Asqalany Amesema
Nawawyndani ya hadithi
hii (SM338), kuna makatazo
ya mwamamme kutizama
utupu wa mwanamme,
na mwanamke kutizama
u t u p u wa wa m a m k e ,
katika hoja ambayo
haina khitilafu, na
mwanamme kutizama
utupu wa mwanamke,
na mwanamke kutizama
utupu wa mwanamme, ni
haramu kwa makubaliano
ya Ulamaa wote.
Imekosekana haya na
aibu tumewazidi wanyama
kwa ufuska tutegemee
nini? Kama si mafuriko
au upepo uvumao kwa
kasi. Maafa ya mvua
ni madogo angalau,
lakini jee mawimbi ya
bahari yakatokea pande
z o t e z a v i s i wa wa p i
tutakimbilia? Nani
atamuokoa mwenzake?
Ni miundombinu ipi
tutairekebisha wakati
huo?.
Basi tahadhari kabla
ya hatari. Ni wajibu wetu
kutubu kwa makosa yetu,
na tujiweke katika njia
iliyosawa kabla ya adhabu
ambayo haitachagua
mwema na muovu hapa
duniani.
Hukumu kamili iko
kesho akhera, kwa wale
wasiotubia.
(Mussa Ame Mussa
0773 834 795)

Habari za Kimataifa

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Saudia yadhihirisha kuipiga Yemen kwa niaba ya Marekani


WAZIRI wa Mambo ya Nje
wa Saudia, Adel al-Jubeir,
amesema kuwa nchi yake
inafikiria kusimamisha
mashambulizi yake
n c h i n i Ye m e n k w a
kipindi cha muda wa siku
tano na kwamba, tayari
Riyadh imewasilisha
p e n d e k e z o h i l o k wa
Waziri wa Mambo ya Nje
wa Marekani, John Kerry,
ambaye alifanya safari
nchini humo.
Tumeiomba Marekani
tusimamishe vita siku tano
Yemen Bw. Adel alisema
hayo katika mkutano na
waandishi wa habari akiwa
na Waziri huyo mwenzake
wa Marekani huko Riyadh,
mji mkuu wa Saudia.
K wa u p a n d e wa k e
Waziri wa Mambo ya Nje
wa Marekani John Kerry,
alizitaka pande husika
nchini Yemen kukubali
pendekezo hilo la Saudia.
Hata hivyo Bw. Kerry
alisema kuwa, hadi sasa
Washington na Riyadh
hazijajadili suala la
k u t u m wa v i k o s i v ya
nchi kavu nchini Yemen,
kufuatia Rais wa zamani
wa nchi hiyo aliyejiuzulu
na kutoroka nchi, Abdu
Rabuh Mansur Hadi,
kuitaka Saudia na
washirika wake, kutuma
askari wa nchi kavu nchini
humo.
B a a d a ya k u wa s i l i
m j i n i R i ya d h , K e r r y
alizungumza na
Muhammad bin Nayef
bin Abdulaziz, mrithi wa
kiti cha Ufalme wa Saudia
juu ya masuala tofauti
ukiwemo mgogoro wa
Yemen.
Hii ni katika hali
ambayo licha ya Saudia
kuendeleza mashambulizi
yake Yemen ambayo sasa
yameingia wiki yake ya
sita, lakini imeshindwa
kufikia malengo yake,
suala ambalo limedaiwa
kuibua mgogoro kati ya
wanafamilia wa ukoo wa
Aal Saud nchini humo.
Wakati hali ya Yemen
ikiwa hivyo, Kamati ya
Maulamaa nchini Yemen
nayo imeitaka Saudia
isitishe hujuma zake
nchini Yemen bila masharti
yeyote.
Sheikh Abdus Salaam
al Wajih, Katibu Mkuu
wa Kamati hiyo alisema
kwamba, mashambulizi ya
Saudia lazima yasitishwe
na kusisitiza kwamba,
wa n a n c h i wa Ye m e n
watakabiliana kwa
utukufu na izza na hujuma
hizo za ukoo wa Aal Saud.
Abdus Salaam alisema

MAUAJI nchini Yemen yanayofanywa na Saudi Arabia nchini humo.


kuwa, kushambulia kaburi yake kwa Wayemen, bali Marekani, utawala wa
la Sayyid Hussein Badrud kutapelekea raia wengi wa Israel na nchi kadhaa za
Din al Huthi, Mwasisi wa taifa hilo kuzidi kumuenzi Kiarabu kuanzisha wimbi
Harakati ya Answarullah kiongozi wao huyo.
kubwa la mashambulizi
ya nchi hiyo, hakuwezi
Licha ya Saudia na d h i d i y a Ye m e n n a
kufuta hata kidogo fikra washirika wake kama kusababisha maelfu ya

watu wa taifa hilo kuuawa


na kuharibu miundombinu
yake, lakini bado
imeonekana kushindwa
kufikia malengo yake
huko Yemen.

MAKUNDI 10 ya wabeba
silaha huko Jamhuri ya
Afrika ya Kati yametia saini
mapatano ya kuweka chini
silaha na kumaliza mgogoro
ambao umesababisha
maelfu ya watu kupoteza
maisha nchini humo.
Kundi la wanamgambo
wa Kikristo la Anti-Balaka
na lile la Waislamu la Seleka
ni miongoni mwa makundi
h a y o k u m i ya l i y o s a i n i
makubaliano ya kusalimisha
silaha zao kwa serikali ya
mpito mjini Bangui.
Kwa mujibu wa
makubaliano hayo,
w a n a m g a m b o
watakaosalimisha silaha zao
watajumuishwa katika jeshi
la taifa na kwenye mashirika
mengine ya kiraia.
Aprili 9 mwaka huu,
viongozi wa makundi
ya Seleka na Anti-Balaka
walisafiri hadi mjini
Nairobi Kenya na kusaini
makubaliano ya usitishaji
vita pamoja na mpango wa
kuweka chini silaha.
Marais wote wa zamani

wa Seleka, Michel Djotodia


alipompindua dikteta wa
zamani, Francois Bozize.
Kundi la kikristo la AntiBalaka lilianzisha vita na
mauaji dhidi ya wanachama
na wafuasi wa Seleka, ambao
wengi walikuwa Waislamu.
Vita hivyo vilibadilika na
kuwa vya kidini ambapo
Waislamu wengi waliuawa
na wengine wakalazimika
kuikimbia katika Taifa hilo
lenywe wafuasi wengi wa
Ukristo.
Wa c h a m b u z i w e n g i
wanaamini kuwa,
makubaliano ya usitishaji
vita na kusalimisha silaha
yaliyosainiwa na makundi
ya wanamgambo wa CAR,
hayatoshi kumaliza mgogoro
wa nchi hiyo.
Wafuatiliaji wa mgogoro
wa nchi hiyo wanasema
muarubaini wa tatizo lililoko
ni kufikiwa maridhiano kati
ya jamii ya Waislamu na
Wakristo, kwani jamii hizo
bado zinaangaliana kwa
jicho la chuki na uhasama
kutokana na yaliyojiri kati
yao miaka miwili iliyopita.

Seleka, Anti Balaka wakubaliana amani


wameafiki hatua hiyo
ya kusalimisha silaha na
kumaliza uhasama nchini
humo, japo kuna wasiwasi
wa utekelezwaji wa hatua
hiyo.
Michel Djotodia, Kiongozi
wa Seleka aliyempindua
Rais Francois Bozize mwezi
Machi mwaka 2013 na kisha
kujitangaza Rais wa Jamhuri
ya Afrika ya Kati, ameafiki
mpango wa kusalimisha
silaha.
Uamuzi kama huo pia
umetangazwa na Bw. Bozize
lakini wafuatiliaji wa siasa
za CAR wanatilia shaka
utekelezwaji wa makubaliano
hayo. Hii inatokana na ukweli
kwamba, Djotodia na Bozize
wa m e p o t e z a u s h a w i s h i
wao kwenye makundi ya
Seleka na Anti Balaka na
kwa mantiki hiyo, uamuzi
wa makundi hayo kusaini
makubaliano hayo huenda
usiwe na athari yoyote.
Baadhi ya wachambuzi
wanasema kusainiwa
makubaliano ya Nairobi
pasina kuweko mwakilishi

wa U m o j a wa M a t a i f a
pamoja na Rais wa serikali
ya mpito ya Jamhuri ya
Afrika ya Kati, Bi. Catherine
Samba Panza, kunayafanya
maafikiano hayo kukosa
itibari ya kimataifa na hata
kutilia shaka uwezo wake
wa kuhitimisha mapigano ya
kikabila na kidini katika nchi
hiyo ya kati mwa Afrika.
Makubaliano ya Nairobi
yalikuwa matunda ya
mazungumzo kati ya pande
hasimu chini ya upatanishi
wa serikali ya Kenya. Baadaye
viongozi wa Jumuiya ya
Kiuchumi ya Kati mwa Afrika
ECCAS walimteua Dennis
Saso Nguesso, Rais wa Kongo
Brazzaville kuwa mpatanishi
wa mgogoro wa CAR.
Ni chini ya upatanishi
wake ndipo pande hasimu
zilipokutana mjini Brazzaville
Mei 4 na kusaini makubaliano
mengine ya usitishaji vita na
kuweka chini silaha.
Jamhuri ya Afrika ya Kati
ilitumbukia katika mapigano
ya wenyewe kwa wenyewe
mwaka 2013 wakati kiongozi

Makala

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Propaganda za udini shuleni Tanzania-2

Profesa Ibrahim Noor Shariff

KATIKA safari zangu


nilikutana na mtoto
mmoja wa Kitanzania
mwenye asili ya Kiarabu
aliyekuwa akisoma
darasa la tano. Katika
kumwulizia kukhusu
m a s o m o ya u t u m wa ,
alibadilika sura yake,
akanielezea manyanyaso
anayoyapata darasani
wakati wa somo hilo.
Moja ya manyanyaso
hayo ni kutambulishwa
d a r a s a n i k u wa b a b u
yake ndiye aliyekuwa
mfanya biashara ya
utumwa, ingawa kuwa
ukoo wake haukukhusika
na biashara ovu hiyo,
lakini alikhusishwa kwa
sababu alikuwa na asili
ya Kiarabu tu.
Naamini hii sio sera
rasmi Tanzania ambayo
raia wake wote wana
haki sawa, lakini yule
m wa l i m u m we n ye we
kapandikizwa khabari za
uwongo kichwani tokea
utotoni mwake na hivyo
chuki moyoni mwake
n a a m e p e wa n y e n z o
z a k u u o n e s h a u b a ya
unaotokana na siasa kali
za udini na kuziendeleza
siasa hizo katika bongo
za watoto wadogo ambao
wataendelea kuishi nazo
maishani mwao na hivyo
kuendeleza chuki nchini.
Tujiulize: Huyo mtoto wa
shule wa leo, anakhusiana
nini na biashara ya
utumwa ya karne zilizopita
hata aadhiriwe mbele ya
wenziwe darasani kuwa
anakhusika na ni mtu
muovu? Walio waovu
s i wa n a f u n z i , b a l i n i
hao wenye kutapakaza

PICHA inaonesha Waafrika wamewakamata watumwa.


Mkamataji amevaa suruali na shati inaonesha ametokea
upande uliotawaliwa na Wazungu.
propaganda kali za udini
shuleni, katika vitabu
na magazeti na katika
majukwaa ya siasa.
Ukiwa unaelewa taarikh
kwa kiasi tu na ni mtu
unayetumia akili yako na
mantiki, hutaacha kuona
propag anda dhidi ya
Uislamu inavyotapakazwa
Tanzania. Hapana ubaya
kufikisha ujumbe, ikiwa
ujumbe wenyewe ni
sahihi, lakini ikiwa ujumbe
si sahihi au umekusudia
kupotosha ukweli au
kuleta chuki au kuigawa
jamii, basi ujumbe huo
utakuwa unasikitisha na
kutisha sana, na khasa
ikiwa wanaofikishiwa
ujumbe ni wanafunzi
watoto wadogo na vijana
ambao watakuwa viongozi
wetu kesho.
Lakini basi, picha hii
iliyochorwa na Cloudy
Chatanda inaelezea ukweli
wa mambo yalivyokuwa?
Jawabu ni kuwa mchoraji
amebirua ukweli kabisa
na kuwanyooshea kidole
chake cha lawama
a s i o wa p e n d a , n a o n i
Waislamu. Wakati wowote
tunapoficha ukweli na

kuwakinga madhalimu
n a v i t e n d o v ya o v ya
dhulma na wakati
huohuo kuwalaumu
wengineo wasiokhusika
na kitendo hicho, uwongo
huo huingia katika
kumbo la propaganda,
na propaganda ni silaha
mbaya sana yenye kukuza
chuki ambazo aghlabu
humalizikia kuulisha watu
wengi bila ya sababu.
Hapana shaka yoyote
kuwa propaganda hizi
zinazosomeshwa shuleni
Ta n z a n i a n a k a t i k a
magazeti na majukwaa
ya siasa na katika khutba
za makanisa na misikiti,
zimeshaanza kuleta
khasama kubwa baina ya
Waislamu na Wakristo.
Kwa sasa nakuachilia
mwenyewe ufungue
masikio yako usikilize
vizuri wanaokhubiri na
u f u n g u e m a c h o ya k o
usome magazetini uangalie
v i z u r i s a n a Ta n z a n i a
inakotokomezwa. Kama
u n a i p e n d a Ta n z a n i a
kikwelikweli, basi
utatafuta kila njia ya
kuziondosha propaganda
kila mahala zinakotumiwa,

tena vibaya sana. Kuna


wachache kati ya Waislamu
na Wakristo wanaofaidika
na propaganda hizi na
ninajua fika kuwa waovu
hawa wasioipendelea
mema Tanzania watatafuta
kila njia ya kuhakikisha
kuwa ukweli utaendelea
kunyongwa na upotoshaji.
Katika picha hii
tunayoizungumzia,
hapana shaka yoyote
kuwa mchoraji ametumia
picha zilezile zilizochorwa
zaidi ya miaka 130 nyuma
na kubadi-lisha, kwa
makusudi, mkamataji
Mzungu katika picha ya
kwanza na katika picha
ya pili akaona awatoe
Wazungu Wakristo na
Waafrika wasiwemo na
badala yake ampachike
M wa r a b u M w i s l a m u .
H a p a n a s h a k a k u wa
wameona Mwarabu
atawafaa zaidi katika
propaganda zao dhidi ya
Waislamu.
Je, watu kama hawa
wenye kubirua ukweli
wa kihistoria wanafaa
k u a c h i l i wa wa we n a
uhuru wa kuwapa
vidonge vya propaganda
za sumu vijana wa shule
Tanzania kwa kuandika
na kuchora propaganda
za fitna zitakazokuja
kuwaulisha watu wasio
na hatia baadaye?
Iangalie vizuri na hii
picha ya zamani ambayo
inaonesha wazi kabisa
kuwa wakamataji khasa
wa wanyonge ni kutoka
katika makabila ya hao
Waafrika yaliokuwa na
nguvu. Angalia vizuri na
utaona kuwa mkamataji
amevaa suruwali, yaani ni
mtu ambaye alikuwa na
ukhusiano na Wazungu
Wakristo na si Waarabu
Wa i s l a m u . A n g a l i a
pia ukweli wa mavazi
waliyovaa mateka utaona
kama ilivyokuwa wakati
huo Waafrika wanawake
katika sehemu nyingi
walikuwa hawavai sidiria
wala vitambaa kifuani
kufunika maziwa yao kama
utakavyoona baadae humu
katika picha zilizochorwa
na wachoraji wa leo wa
Kitanganyika wenye siasa
kali za udini (wa Kikristo)
katika juhudi zao za

kupindua ukweli. Picha


hii inaonesha mlolongo
wa watumwa wa kike
waliobebeshwa mizigo ya
kwenda kuuziwa Wareno
Msumbiji pamoja na hao
mateka.
K wa w e n y e k u i j u a
historia ya ulimwengu
vizuri na wenye
kutumia akili zao
wataelewa mara moja
kuwa wanapropaganda
wenye siasa kali za
udini wakiachiliwa
kuendelea na mipango
yao dhidi ya Uislamu na
Waislamu isiyokhusiana
na kuelezea ya ukweli
wala kufuata mafunzo
ya Ukristo wala Uislamu,
basi wataelewa mara moja
kuwa yanayosomeshwa
katika shule hayatachukua
muda mrefu yatailetea
Tanzania maafa mapevu.
Picha za kipropaganda
na uzushi si hizo chache
tu tulizozinakili kabla, la,
zipo nyingi tu. Angalia
mifano mingine michache
inayofuata:
H a k u n a M wa r a b u
aliyekwenda bara
kukamata watumwa
na kuwapeleka Pwani.
Lakini wenye udini lazima
wamtwike Mwarabu
Mwislamu lawama za
ukamataji wanyonge pia.
Tumeshaelezea kabla
k u wa M wa r a b u wa l a
M s wa h i l i h a k u w e m o
k a t i k a u k a m a t a j i wa
wanyonge Bara, lakini
wenye propaganda zao
kwa lengo lao maalumu
linalotokana na siasa
kali za udini lazima
wamshirikishe Mwarabu
na Mswahili. Picha hii
hakika ni ya kuchekesha.
Kwanza anayeoneshwa
ni Mwarabu aliyevaa
agali kichwani, kivazi
ambacho si cha Kiomani
wala cha Kiyemen, na
ni Waarabu wenye asili
ya nchi mbili hizi ndio
waliokuweko Pwani ya
Afrika Mashariki kwa
wingi. Koti alilovishwa
ni la baridi la Kiulaya na
viatu vinashabihi vya
Kihindi. Mwarabu huyu
ni wa wapi?
Haidhuru kitu
kuwachorea watoto
wadogo wa shule
Inaendelea Uk. 7

Makala

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Propaganda za udini shuleni Tanzania-2

Inatoka Uk. 6

uwongo wowote! Yaani,

wanazivuruga akili na
nyoyo za wanafunzi
wa s h u l e Ta n z a n i a
na kuwaelekeza, kwa
makusudi, kunako fitina
na mauwaji ya watu wa
jamii Fulani. Jee, haya
hayakuwa ya wajinga
ndio waliwao?
Khalafu tusisahau kuwa
wanazungumzia Karne
ya 19 na labda kabla ya
hapo, sasa hii bunduki
aliyoishika Mwarabu
ya semi-automatic
kaipata wapi na bunduki
za aina hiyo zilikuwa
bado hazijaundwa?
Mradi uchoraji
u n a p o t o s h a u k we l i
kwa kadiri kubwa sana,
lakini pia ingelikuwa
ni wa vichekesho sana
ingelikuwa maudhui
yenyewe na athari zake
si za khatari ya kuweza
kuulisha watu bure
baada ya kujenga chuki
zisizokuwa na ukweli.
Halikadhalika, na
picha hii inayofuata ya
kuchora kutoka ukurasa
wa 74 wa kitabu cha
History for Secondary
Schools, Form Two, ya
wafanyabiashara ya
utumwa wanakiingilia
kijiji inapingana sana na
yale yaliyothibitishwa
kutoka
Kwa mabingwa
wa historia. Picha hii
i n a o n e s h a k u wa n i
Wa a r a b u p e k e ya o
waliokuwa wakiviingilia
vijiji vya Kiafrika na
k u wa u wa Wa a f r i k a
hao kiholela. Ukweli
ni kuwa kitendo hicho
kilifanywa sana, tena
sanasana, na machifu
wa Kiafrika waliokuwa
na nguvu pamoja na
Wa p o r t u g i z i . K w a
hivyo, inahitajia tupewe
jawabu ya sababu ya
kuwanyooshea kidole
cha lawama Waarabu
Waislamu peke yao kwa
vitendo vilivyofanywa
zaidi na makabila ya
Kiafrika yaliyokuwa
na nguvu pamoja na
Waportugizi Wakristo?
Nini lengo la wachoraji
kuuficha ukweli huu?
Tena, na picha hii

PICHA hii ya juu inaonesha kuwa hakuna wa kulaumiwa katika ukamataji wa


watumwa ila Waarabu Waislamu peke yao.

imechorwa kuonesha
kuwa hakuna wa
kulaumiwa katika
ukamataji wa watumwa
ila Waarabu Waislamu.
Na hii ya juu
pia inamshirikisha
Mwarabu katika
ukamataji. Na inayofuata
inawashirikisha
Waarabu na Waswahili
katika kitendo
kilichofanywa na
Wa a f r i k a wa B a r a .
Dhahiri kuwa ukhabithi
wa wakamataji wa
kweli, yaani makabila
ya Waafrika wa Bara

yaliyokuwa na nguvu
wanatupiwa Waarabu
na Waswahili. Kisa ni
kwa kuwa ni Waislamu.
Na katika picha hii pia,
wenye kulaumiwa kwa
ukamataji wa wanyonge
wa Kiafrika ni Waarabu
na Waswahili Waislamu.
Na hizi picha
zinazofuata kutokana na
vitabu vya kusomeshea
historia Tanzania hali
ndiyo hiyohiyo. Mtwike
Mwarabu lawama
zote za ukamataji wa
wanyonge wa Kiafrika
na kuwatia utumwani

na kwa kufanya
hivyo lengo khasa la
kuichukiza dini yao
ya Kiislamu litafikiwa
katika bongo za watoto
vijana katika shule za
Tanzania. Lakini hilo
halitafikiwa kwa sababu
k i l a k u k i c h a we n g i
wenye kutumia akili
zao wanazidi kuuona
ukweli. Lakini wenye
lengo lao la siasa kali
za udini ni sawa kwao
wanaona kuwa haidhuru
kitu wakija Waislamu na
Wakristo kuuwana siku
za mbele, na Tanzania

ikawa nchi isiyokalika.


Siasa zao kali za udini
ni masikitiko makubwa
kwa nchi nzima.
Mwarabu hajulikani
wa wapi! Wanawake wa
Kiafrika katika zama hizo
kweli walikuwa wakivaa
vitambaa kifuani kama
sidiria? Vichekesho kwa
mwenye kuujua ukweli.
Angalia na picha
inayofuata. Tena na
tena picha za kuchora
zinamlaumu Mwarabu
kwa ukamataji
wanyonge wa Kiafrika
na kuwatia utumwani.
Na hii inayofuata
ndiyo naipa nishani
kubwa kabisa. Maelezo
yanasema, kwa tafsiri:
Wa t u m wa wa k i wa
kazini katika mashamba
ya miwa katika West
Indies.
West Indies ni visiwa
vilioko Amerika ambako
Waarabu hawakuweko
huko. Sasa inakhusu
nini nokoa achorwe
Mwarabu? Hawa
waandishi na wachoraji
wenye siasa kali za
propaganda za udini
d h i d i ya Wa i s l a m u
wamefikaje kuidhibiti
manhaji (karikulamu)
ya kusomeshea historia
Ta n z a n i a n a h u k u
tunaambiwa Tanzania
haina dini?
Hata
katika
mashamba ya miwa ya
West Indies ambako
Waarabu hawakuweko,
wanawalaumu Waarabu
kuwa ndio waliokuwa
manokowa!
Hapana ubaya
kufikisha ujumbe,
ikiwa ujumbe wenyewe
ni sahihi, lakini ikiwa
ujumbe si sahihi au
umekusudia kupotosha
ukweli au kuleta chuki
au kuigawa jamii, basi
ujumbe huo utakuwa
ni wa khatari sana, na
kila mpenda haki na
usalama wa nchi na
jamii zake anatakiwa
aupinge kwa kupaza
sauti yake, khasa ikiwa
wanaofikishiwa ujumbe
ni wanafunzi wadogo
ambao watakuwa
viongozi wetu kesho,
na wao ndio watakuwa
wanatuamulia mambo
yetu na kutuongoza.

Makala

8
A M E T A K A S I K A ,
A l i ye m c h u k u a m j a
Wake usiku mmoja
kutoka Msikiti
Mtukufu mpaka
M s i k i t i wa M b a l i ,
ambao Tumevibariki
vilivyouzunguka, ili
Tumwonyeshe baadhi
ya Ishara Zetu. Hakika
ni Mwenye Kusikia na
Mwenye Kuona. (AlIsraa 17: 1)
Allaah (Subhaanahu
wa Taala) Anaelezea
Utukufu Wake, Ukubwa
Wake na Uwezo Wake,
kuwa Yeye ni Mweza wa
kila kitu na Anafanya
kila kitu Anachotaka
kukifanya. Yeye pekee
Ndiye Mungu wa
kweli na Yeye pekee
Ya k e N d i y e M l e z i
(Muumba, Mtoaji wa
Riziki na Mwenye kutoa
ukimu wa kila kiumbe).
Alimchukua mja Wake
Muhammad (Swalla
A l l a a h u a l a y h i wa
aalihi wa sallam) kutoka
Makkah na kumpeleka
katika msikiti wa mbali
huko Jerusalem katika
usiku mmoja. (Kutoka
Tafsiyr ya Ibn Kathiyr)
Mtume (Swalla
A l l a a h u a l a y h i wa
aalihi wa sallam)
alipewa miujiza mingi
na Mola wake. Muujiza
wake mkubwa ni Kitabu
cha Qur-aan, kitabu
ambacho kiliteremshwa
miaka 1400 iliyopita na
hakuna hata mtu mmoja
ambaye ameweza
kubadilisha hata herufi
moja au kuleta kitabu
cha mfano wake. Allaah
Amesema: Hakika Sisi
ndio Tulioteremsha
Ukumbusho na hakika
Sisi ndio Tutaoulinda
(Al-Hijr 15: 9).
Aayah hii ni
changamoto dhidi kwa
makafiri kuwaambia
kitu kinachofanana
na Qur-aan ambao
wa l i j a r i b u k u f a n ya
m i f a n o ya Q u r - a a n
wakawa wameshindwa
vibaya sana. Vitabu
vingine vya kutoka Kwa
Allaah (Subhaanahu wa
Taala) ni Taurati na Injili
ambavyo viliharibiwa na
kubadilishwa na ujumbe
kubadilika ama kwa
kuongeza maneno au
kupunguza maneno na
maana vile vile. Allaah
Amesema juu ya Quraan kuwa Atailinda

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Israi na Miraji

MSIKITI wa Baytul Muqas uliopo Palestina ambao ulikuwa Kibla cha kwanza kwa
Waislamu kabla ya Makkah. Katika safari ya Mi'raji Mtume (s.aw) alipita katika
Msikiti huu.

na kweli Ameilinda na
Ataendelea Kuilinda.
Mtume (Swalla
Allaahu alayhi wa aalihi
wa sallam) alisema,
Kila mtume aliyekuja
kabla yangu alipewa
muujiza na miujiza hiyo
ilibakia kuwa miujiza
wakati wa uhai wao
hao mitume.: Mfano
Iysa (Alayhis-Salaam)
alikuwa na muujiza wa
kutibu watu wagonjwa
na kufufua wafu. Muusa
( A l a y h i s - S a l a a m )
alipewa fimbo ya miujiza
na mambo mengine.
Nami nimepewa
m u u j i z a wa m i l e l e ,
Qur-aan itabakia kuwa
muujiza hadi kusimama
Qiyaamah. Hivyo
natarajia kuwa wafuasi
wangu watakuwa ni
we n g i k a t i k a i d a d i
zaidi ya wafuasi wa
Mitume wengine kwa
kuwa muujiza wangu
utabakia na utakuwepo
hadi Siku ya Qiyaamah
ambao ni Qur-aan. Kila
anayekisoma Kitabu hiki
hata kama ni mpagani,
basi yeye huvutika na
kuona ukweli uliomo
ndani yake na kuona
hakuna aliyekiandika
isipokuwa Bwana wa
Mbingu na Ardhi.
(Swahiyh Al-Bukhaariy
na Swahiyh Muslim)
Muujiza mwingine

wa Mtume wa Allaah
ilikuwa ni kupasuka kwa
mwezi. Anas anasema
katika riwaya yake,
kuwa watu wa Makkah
walimtaka Mtume
(Swalla Allaahu alayhi
wa aalihi wa sallam)
awaonyeshe muujiza na
akawaonesha kupasuka
kwa mwezi. (Swahiyh
Al-Bukhaariy, Juzuu ya
4 Namba 831)
Kutoka Maji Kutoka
Vi d o l e V ya M t u m e
(Swalla Allaahu Alayhi
Wa Aalihi Wa Sallam)
Imepokewa kutoka
kwa Jaabir ibn Abdullah
akisema: Nilikuwa na
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam) na muda wa
kuswali Swalah ya AlAswr ukafika. Tulikuwa
hatuna maji isipokuwa
maji kidogo tu ambayo
ya l i k u wa n d a n i ya
chombo ambayo
yaliletwa kwa Mtume.
Basi aliweka mkono
wake ndani ya maji hayo
na kutandaza vidole
vyake na huku akisema,
Njooni Haraka watu
wote ambao wanataka
kutawadha Hii ni
b a r a k a k u t o k a k wa
Allaah Nikaona maji
yakibubujika kutoka
katika vidole vyake.
Hivyo watu walitawadha
na wengine wakawa

wanakunywa maji
hayo na mie nilitaka
kunywa maji mengi
kupita kiasi (kwa sababu
nilijua kuwa ilikuwa ni
baraka). Mpokeaji wa
hadiyth hii kutoka kwa
Jaabiri alisema kuwa
nilimwuliza Jaabir Je,
mlikuwa watu wangapi
wakati huo? Akajibu,
Tulikuwa watu elfu
moja na mia nne.
(Swahiyh Al-Bukhaariy
Juzuu 7 namba 543 na
Swahiyh Muslim Juzuu
4 namba 779)
Mtume (Swalla
A l l a a h u a l a y h i wa
aalihi wa sallam)
alikuwa amepewa
miujiza mingine mingi.
Muujiza mwingine
mkuu ni ule wa Israa
na Miiraaj au Safari
ya Usiku Makala hii ni
kujaribu kuonesha faida
zinazopatikana katika
safari hii na mafunzo
yanayopatikana katika
muujiza huu mkubwa.
Tu k i o l a I s r a a n a
Miiraaj lina hekima
kubwa sana na mafunzo
makubwa. Funzo lake
kubwa ni kuwa mja
hapaswi kukata tamaa,
lazima awe daima
anamtegemea Mola
wale na atamletea faraja
hata kama kutakuwa
na mambo mazito
ya n a m k a b i l i . Z a i d i
ya hapo mwanadamu

anapaswa kuwa daima


karibu na Mola wake
hasa wakati anapokuwa
anakabiliwa na mambo
mazito na vitendo vya
kuhuzunisha au mikasa
mizito, kwani matatizo
hayo hupotea kama vile
yalikuwa hayajatokea.
Mwaka wa Huzuni
Tu k i o l a I s r a a n a
Miiraaj lilikuwa katika
k i p i n d i c h a m wa k a
wa huzuni. Mwaka
huu ulipewa jina hilo
kutokana na sababu
zifuatazo: Kwanza
ni kifo cha Ami ya
Mtume, Abu Twaalib.
Abu Twaalib alikuwa
ni mlinzi na mlezi wa
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam) wakati Waislamu
wakiwa Makkah na
yeye alimkinga dhidi
ya mashambulizi ya
makafiri wa Makkah.
Wa t u w a M a k k a h
walipopinga ujumbe
wa Muhammad kwa
nguvu na kuanza
kumshambulia Mtume
n a Wa i s l a m u , A b u
Twaalib alikinga kifua
chake na kumhami
mtoto wa nduguye.
Alisema, Tunapenda
kusaidia tunakubali
ushauri wako na
tunayakubali maneno
yako. Hawa ni watu
wa jamii yako ambao
umewakusanya na mimi
ni miongoni mwao,
lakini mimi ni mwepesi
kuliko wote kufanya
kile ukitakacho. Fanya
kila lile uliloamriwa
kufanya. Nitakulinda
na kukuhami, lakini
siwezi kuiacha dini
ya n g u A b u L a h a b
akapayuka: Wallaahi
jambo hili ni jambo ovu
Wewe lazima umkataze
hayo ayafanyayo kabla
ya watu wengine
hawajamkanya. Abu
Tw a a l i b a k a s e m a ,
Naapa nitaendelea
kumlinda na kumhami
katika maisha yangu
yote. (Ar-RahiyqulMakhtuum).
Ameeleza Al-Abbaas
bin Abdul-Mutwalib
(Radhiya Allaahu anhu)
kuwa alimwambia
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam), Hukuwa
Inaendelea Uk. 12

9
Na Abuu Numan Hassan
KWENYE makala iliyopita
tuliona kwamba pamoja
na Mengineyo, mambo
yafuatayo yanachangia
katika uduni na unyonge
wa misikiti yetu hivi leo
kwa kulinganisha na ule
wajibu ambao msikiti
unatakiwa uutekeleze
kijamii: Kukosa Dira
iliyodhahiri, Kukosekana
k wa s t a d i / m b i n u z a
uongozi, Mazingira
yanayokatisha tamaa,
U r a s i m u wa h a l i ya
juu, Kukosa ubunifu,
Mawasiliano duni,
Ushirikiano mdogo,
Udhaifu katika kufanya
kazi kama timu, na
Uratibu dhaifu wa fikra
na maarifa mbalimbali.
Kabla ya kuanza
kuyajadili mambo hayo,
zipo nukta ambazo ni
vema tukazijadili kwanza.
Ni nukta ambazo huenda
zikaamsha fikra zetu
kuweza kuuangazia msikiti
wetu kwa uoni stahiki.
Uoni ambao umejengwa
juu ya msingi imara wa
Qur-an na Sunnah ya
Mtume Muhammad
(s.a.w).
Wakati
mmoja
nilipokuwa nikiendesha
m a f u n z o k wa b a a d h i
ya viongozi wa misikiti
nilipata kuwauliza swali
moja. Ni swali ambalo
liliibua mjadala mkali
kidogo katika pande
mbili zilizopatikana
wakati wa kutafuta jibu
la swali lenyewe. Kila
upande ulionelea kwamba
maelezo yake ni sahihi
zaidi kuliko ya upande
wa pili. Na kwa manufaa
ya darasa tukahitimisha
k wa m b a t u k u b a l i a n e
kutokukubaliana.
Swali lenyewe lilikuwa
ni hili: Kipi ni bora zaidi,
msikiti kumiliki shule
au msikiti kumilikiwa
na shule? Namna
utakavyoanza kutafakari
m a j i b u ya s wa l i h i l i ,
inahusika moja kwa moja
na nafasi ya msikiti wako
itakavyokuwa katika jamii
yako. Unaweza kutumia
taasisi badala ya shule ili
uweze kutafakari swali
hilo kwa upana zaidi.
Hivi leo, tunayo misikiti
mingi ambayo inamiliki
shule, zikiwa za ngazi
tofauti. Baadhi ya misikiti
inamiliki shule za ngazi
fulani tu na mingine
inamiliki shule za kuanzia
ngazi ya awali hadi kidato
cha sita.
Kwa upande wa
pili, zipo shule nyingi
za Kiislamu ambazo
zinamiliki misikiti. Misikiti
hiyo inakuwa ni sehemu
ya majengo ya shule hizo
zikiwa chini ya uendeshaji
wa kawaida wa utawala
ndani ya shule husika.
Utaratibu unaoendelea
ndani ya misikiti kama
hiyo, unazingatia ratibu

Makala

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Nafasi ya Msikiti-2

kuu ya shule.
Unaweza kutumia, kama
tulivyotanguliza hapo
awali, taasisi badala ya
shule katika kuunogesha
mjadala kwenye eneo lako.
Kwa wakati tulionao, ipo
misikiti mingi ambayo
inamilikiwa na taasisi.
Misikiti hiyo inatekeleza
kazi zake nyingi kwa
kuzingatia maelekezo
na usimamizi wa taasisi
mama.
K wa n i n i v i o n g o z i
Waliohudhuria mafunzo
yale walikubaliana
kutokukubaliana? Ilitokea
hivyo kwa sababu ya
mvutano wa hoja uliojikita
katika mambo muhimu
matano (5). Mambo
yenyewe ni namna ya
kuyafikia malengo ya
msikiti/shule/taasisi
kwa ufanisi, masuala
yanayohusu usimamizi
wa fedha, utambuzi na
utatuzi wa migogoro,
mchakato wa ukuaji wa
msikiti/shule/taasisi, na
mfumo wa mawasiliano
kiutendaji kati ya msikiti
na shule/taasisi.
M a m b o
h a y o
yaliwag awa wa ju mbe
katika pande mbili zenye
kuyatazama mambo hayo
kwa mitazamo mawili
tofauti. Hata hivyo,
zingatia kwamba mjadala
huo haukubeba hisia za
chuki wala uadui kati ya
pande mbili zilizokuwa
zikivutana kwa hoja.
Upande wa kwanza
ulisema
kuwa,
mambo hayo hapo juu
yatafanikiwa vizuri pale
ambapo msikiti utakuwa
ndiyo mmiliki wa shule au
taasisi. Na hali ya umiliki
i t a k a p o k u wa t o f a u t i ,
basi msikiti utakuwa
kwenye wakati mgumu
wa kuweza kutekeleza
m a j u k u m u ya k e k wa
ufanisi unaotakiwa.
Upande wa pili
walikuwa na maoni
kwamba ili shule/taasisi
iweze kuyatekeleza
mambo yaliyotajwa

hapo juu, ni muhimu


msikiti uwe ni sehemu
ya shule/taasisi hiyo.
Kwa maneno mengine,
m s i k i t i u m i l i k i we n a
shule/taasisi, vinginevyo
itakuwa ngumu sana kama
itawezekana kuyatekeleza
majukumu hayo hapo juu
kwa ufanisi unaotakiwa.
Je, wewe binafsi na
wenzako kwenye msikiti
wako mnatoa majibu gani
kwa swali la kipi kinafaa
z a i d i k a t i ya m s i k i t i
kumiliki shule/taasisi,
au msikiti kuwa chini ya
umiliki wa shule/taasisi?
Je, mnatafakari
kuchagua upande mmoja
mnaoona unawafaa kati ya
pande hizo mbili hapo juu;
au mnatafuta majibu ya
kati na kati; au mnatafuta
majibu mengine tofauti?
Katika mchakato wa safu
ya uongozi wa msikiti
kutafuta majibu ya swali
hilo, ndivyo ambavyo
wanazielekeza fikra zao
katika kutengeneza nafasi
ya msikiti wao katika jamii.
Nilipata kuzungumza
na baadhi ya maimam
wa misikiti ambayo
inamiliki shule wakiwa
wanalalamika kwamba
viongozi wa shule ni jeuri
na hawana heshima kwa
viongozi wa misikiti.
Wanawachukulia kama
wageni wanaofika shuleni
kulia njaa. Wao kama
v i o n g o z i wa m s i k i t i
h a wa p e w i t a a r i f a ya
maandishi juu ya kile
kinachoendelea shuleni
k i l a b a a d a ya m u d a
fulani!
Mazungumzo yangu
na baadhi ya wakuu wa
shule ambazo ziko chini
ya umiliki wa misikiti nayo
hayakukosa malalamiko.
Wakuu wa shule hizo
wanalalamika kwamba
v i o n g o z i wa m i s i k i t i
wamekuwa na kawaida ya
kufanya mambo kiholela,
wanapiga mno mizinga
kiasi kwamba wanapoingia

ofisini unapata wasiwasi


kwamba leo watataka kiasi
gani, na hata wanapopewa
ta a rif a z a m a e nd e l e o
ya shule hawana
muda wa kuzisoma na
kutafakari mapendekezo
yaliyotolewa na uongozi
wa shule na namna
ya k u ya t e k e l e z a b a l i
wanakimbilia kuangalia
kiasi gani kimekusanywa
ili na wao wapate mgao
bila kuzingatia wala kujali
bajeti ya shule kwa kuwa
tu wao ndiyo wamiliki wa
shule husika!
Nadhani unaona
namna ambavyo nafasi
ya msikiti inaingia katika
mkanganyiko mkubwa
kwa msikiti kuwa mmliki
wa shule, na kwa msingi
huo huo, kumiliki taasisi.
Kuna ulazima wa haraka
kupata ainisho zuri la
nafasi ya msikiti katika
mchakato wa utekelezaji
mipango ya msikiti pale
ambapo msikiti ni mmiliki
wa shule/taasisi.
Ta f a k u r i k u b w a
inahitajika katika
mchakato huu wa kutafuta
ainisho zuri la nafasi
ambayo msikiti unatakiwa
kuibeba ili tutoke hapa
tulipo, ambapo kila
upande msikiti na shule/
taasisi wanalaumiana na
hivyo kuviza utendaji wao.
Sasa tugeukia upande
wa wale waliojenga hoja
kuwa inafaa zaidi shule/
taasisi kumiliki msikiti na
kuwa sehemu ya utendaji
wake wa kila siku.
Katika mazungumzo
ya n g u n a b a a d h i ya
m a i m a m wa m i s i k i t i
iliyo chini ya umiliki wa
shule/taasisi walikuwa
wakilalamika kwamba
uongozi wa shule/taasisi
hautengi kabisa fungu au
unatenga fungu dogo la
fedha kwa ajili ya msikiti

wakati wa kuandaa bajeti


ya shule/taasisi husika,
ilihali shule/taasisi
inatenga mafungu ya
bajeti kwa ajili ya maeneo
mengine ya utendaji.
Halikadhalika, maimam
hao walilalamika kuwa
shule/taasisi zinachukulia
kazi za misikiti kama kazi
za ziada katika majukumu
ya msingi ya shule/taasisi.
Na tangu hapo msikiti upo
pale kwa ajili ya kupata
ukaribu wa sehemu ya
kutekelezea ibada ya swala
tano pekee.
Kumbuka kuwa
maimam hao aidha ni
wanafunzi wa shule/taasisi
au ni watendaji wa taasisi
mama.
Kwa upande wa
wamiliki wa shule/taasisi
niliopata kuzungumza
nao, walikuwa na
mtazamo kwamba msikiti
ni jambo ambalo ujenzi
wake wanahitaji msaada
wa fedha na vifaa kutoka
k wa Wa i s l a m . J a m b o
la kustaajabisha hapa
ni kwamba, baada ya
kukamilisha ujenzi wa
madarasa, ofisi, mabweni
n.k. mwenye shule anahitaji
Waislam wachangie ujenzi
wa msikiti wa shule yake.
Na mara nyingi, jengo la
msikiti huwa ni la mwisho
kujengwa ndani ya eneo la
shule.
Katika mazungumzo
hayo na viongozi wa shule,
hawakuonesha kwamba
wanaitazama misikiti ya
shule zao kama ni kiungo
muhimu kati ya shule zao
na jamii zinazowazunguka,
ukizingatia kwamba
misikiti hiyo mara nyingi
h u j e n g wa p e m b e z o n i
mwa eneo la shule ili
kuwaruhusu Waislam
wanaoishi jirani na shule
kuweza kuhudhuria swala
za jamaa.
Tuhitimishe makala
ya leo kwa kuendelea
k u i t a f a k a r i n a f a s i ya
misikiti yetu hivi leo ndani
ya jamii yetu. Kwa upande
mmoja tuna hali ya misikiti
kuendeshwa kwa mazoea
na kuwa na uholela katika
usimamizi wa utendaji
wa shule/taasisi ambazo
zinamilikiwa na misikiti
hiyo.
Na kwa upande wa
pili, tunaikuta misikiti
ikiwa inadogoshwa na
kutelekezwa pale misikiti
inapokuwa iko kwenye
umiliki wa shule/taasisi.
In sha Allah wiki ijayo
tutaendelea na kujadili
nukta zingine baada ya
kumalizia nafasi ya msikiti
kati ya kumiliki shule/
taasisi na msikiti kuwa
kwenye umiliki wa shule/
taasisi.

10

Makala/Tangazo

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Nasaha kutoka kwa Jussa kwa vijana


NIMERAGHIBIKA
kuitumia picha
hii leo kuwapa
nasaha vijana
wanaochipukia
kupenda siasa
n a
a m b a o
wanadhihirisha
uzalendo mkubwa
kwa nchi yetu
Zanzibar kwamba
wasome na kukaa na
wazee wenye hazina
ya maarifa na historia
ili waweze kuijua
zaidi Zanzibar na pia
kuongeza maarifa
yao katika siasa na
historia.
Picha hii ilikuwa ni
katika mwaka 1993
nikiwa na Maalim
Seif Sharif Hamad
n y u m b a n i k wa k e
Mtoni, Zanzibar.
Wakati huo Maalim
Seif alikuwa ni
Makamu Mwenyekiti
wa CUF na mimi
nilikuwa Katibu
(Private Secretary) wa
Katibu Mkuu wa CUF
Marehemu Shaaban
Khamis Mloo.
Tokea nikiwa
mwanafunzi nilikuwa
napenda kujifunza
sana
mambo
yanayohusu siasa na
historia. Kutokana
na kupenda huko
kujifunza nilikuwa
na kawaida ya
kukaa sana na watu
walioshiriki harakati
za siasa Zanzibar na
pia kusoma vitabu
na maandishi mbali
mbali yanayohusu
siasa na historia.
N a s h u k u r u
nimechota mengi
kwao.
Ni kwa sababu hiyo
niliitumia kikamilifu
miaka ya mwanzo
mwanzo wakati CUF
i n a u n d wa k u k a a
na kuzungumza na
kumuuliza maswali
mbali mbali Maalim
Seif na kupitia
mazungumzo kama
hayo nilijifunza
mengi sana.
N i l i k u w a
na kawaida ya
kumtembelea Maalim
n y u m b a n i k wa k e
Mtoni jioni baada ya
saa za kazi na huko
kulikuwa na barza
ya mazungumzo ya
siasa ambapo kwa
aliyetaka kujifunza
aliyapata mengi.

Wa t u w e n g i n e
ambao nilipata
bahati ya kukaa nao,
kuzungumza nao na
kuchota mengi kwao
ni pamoja na Mzee
Ali Haji Pandu, Mzee
Shaaban Khamis Mloo
(Marehemu), Mzee
Mkubwa Makame
(Marehemu),
Mzee Said Salim
Baes (Marehemu),
Maalim Juma Ngwali
(Marehemu), Maalim
Masoud Omar Said
(Marehemu), Mzee
Machano Khamis
Ali, Juma Othman
Juma, Hamad Rashid
Mohamed, Khatib
Hassan Khatib,
Maalim Soud Yussuf
Mgeni (Marehemu),
Dk.
Maulidi
Makame Abdallah
(Marehemu), na
Bwana Juma Haji
wa Mchangani
(Marehemu).
Katika vipindi
tofauti nimepata
pia fursa za pekee
n a b a h a t i k u b wa
kukaa na kujifunza
kutoka kwa watu
kama Sheikh Ali
Muhsin Barwani
(Marehemu), Maalim
Salim Kombo Saleh
(Marehemu), Sheikh
Suleiman Sultan
Malik (Marehemu),
Sheikh Salim Masoud
Riyami (Marehemu),
Sheikh Issa Nasser
Issa Al-Ismaily,
Mzee Mohamedali
K a r i m J i n n a h wa
Masomo Bookshop
(Marehemu),
Bwana Ali Nabwa
(Marehemu), Bi
Inaya Himid Yahya
(Marehemu), Maalim
Mohamed Idris
(Marehemu), Prof.
Ibrahim Lipumba,
Prof. Haroub Othman
(Marehemu),
Sheikh Ahmed
Badawi Qullatein
(Marehemu), Prof.
Abdul Sheriff,
Maalim Salim Mzee,
Ali Ameir Mohamed,
Mzee Hassan Nassor
Moyo, Sheikh Salim
Said Rashid, Dk.
Salim Ahmed Salim,
na sasa Dr. Amani
Karume.
Bila shaka wapo na
wengi wengine ambao
nimejichanganya na
kujumuika nao kwa
muda mfupi mfupi
na kufaidika na
hazina na maarifa yao
lakini hao niliowataja
hapo juu ni katika

Ismail Jussa na Maalim Seif Sharif Hamad (pichani mwaka 1993) nyumbani kwa Maalim Seif,
Mtoni Unguja.
waliosarif mawazo
yangu na mitazamo
yangu kuhusiana na
mengi yanayohusu
siasa na historia ya
Zanzibar.
Moja ambalo
litabainika ni
k wa mba n ime k a a
na kujumuika na
kuzungumza na
watu wa mirengo
tofauti ya siasa za
Zanzibar (ASP,
ZNP, ZPPP, Umma
Party na ambao
hawakujitambulisha
na vyama vya siasa) na
hilo limenifundisha
kusikiliza mitazamo
inayokinzana na
kisha kuchambua na
kupima mwenyewe
yale niliyoyasikia
huku nikifanya rejea
kwenye vyanzo
vyengine vya khabari
kama vitabu na
maandiko mengine
mbali mbali.
Nawaombea kheri
wote walionipa na
wanaoendelea kunipa
fursa kama hizi na
wale waliokwisha
tangulia mbele
ya haki Mwenyezi
Mungu Awalaze
mahala pema Peponi.
Amin.
Nawahimiza
vijana wa kizazi cha
leo watumie fursa
zilizopo kukaa na
wazee na watapata
mengi kutoka kwao
yatakayowasaidia
kupanua ufahamu
wao wa mambo.
Ukiona vyaelea,
vimeundwa
Ismail Jussa

11

AN-NUUR

Makala

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Kufuatia machafuko Burundi maelfu ya raia wakimbilia Tanzania


Kigoma imeelemewa

KUFUATIA kukithiri
ghasia nchini Burundi
baada ya Rais wan
chi hiyo anayemaliza
m u d a wa k e P i e r r e
Nkurunziza, kutangaza
kusimama tena katika
uchaguzi ujao, imeripoti
kuwa wakimbizi
zaidi ya elifu hamsini
wamerundikana katika
mji Kagunga, katika
mwa mb a o wa Z iwa
Tanganyika mkoani
Kigoma, wakisubiri
taratibu za kuingizwa
katika kambi ya
wakimbizi ya nyarugusu
wilayani Kasulu.
Ta a r i f a z i n a e l e z a
kuwa mpaka sasa ni
wakimbizi elfu sita tu
ambao wamekamilisha
taratibu na kupelekwa
katika kambi hiyo.
T a r a t i b u
zinazofanyika kabla
ya wakimbizi hao
kuingizwa kambini ni
pamoja na kukaguliwa
kama kuna waliobeba
silaha, kama kuna
wanajeshi nk.
Mahakama ya
Katiba nchini Burundi
imemruhusu Rais
Piere Nkurunziza
kuwania muhula wa
tatu madarakani ambao
umegubikwa na utata.
Mahakama hiyo
ilisema Jumanne
kwamba Rais ataweza
kuwania tena kiti hicho
bila kukiuka katiba
ya n c h i i n a y o s e m a
kurudia tena muhula
wa urais kupitia
kipengele cha moja kwa
moja cha haki ya kupiga
kura katika uchaguzi wa
kisiasa inaruhusiwa.
Lakini Naibu Rais
wa Mahakama hiyo
amepinga maamuzi
hayo na kukimbilia
nchini Rwanda.
Sylvere Nimpagaritse
aliwaambia waandishi
wa h a b a r i k wa m b a
dhana yake haimruhusu
kutia saini maamuzi
ambayo ni kinyume cha
katiba.
Muhula wa kwanza wa
utawala wa Nkurunziza
kama Rais ulitokana
na matokeo ya kura ya

wabunge. Wafuasi wa
Rais huyo wanasema Bw.
Nkurunziza ametumikia
muhula mmoja pekee
kwa kuchaguliwa
baada ya kuwa mshindi
katika uchaguzi mkuu
hivyo kwa misingi huo
a n a s t a h i l i k u wa n i a
muhula mwingine.
Wakosoaji wanasema
Bw. Nkurunziza
anakiuka katiba na
m k a t a b a wa a m a n i
wa Arusha wa mwaka
2000, ambao ulisaidia
kumaliza vita vya
wenyewe kwa wenyewe
nchini humo.
Juhudi za Rais
huyo kuongeza muda
wake madarakani
z i m e c h o c h e a
maandamano ya
mitaani katika mji
mkuu, Bujumbura
na kusababisha
mapambano na polisi na
yaliyozaa vifo vya watu
wasiopungua 12.
Makamu Rais, Prosper
Bazombanza, alisema
Jumanne iliyopita
kwamba serikali ipo
tayari kuwaachia mamia
ya waandamanaji
i n a o wa s h i k i l i a k wa
zaidi ya wiki mbili
s a s a , k wa m a s h a r t i
kwamba maandamano
yasitishwe.
U k i a c h a wa r u n d i
wanaokadiriwa kufikia
50,000 waliokimbilia
Tanzani a, k iasi c h a
warundi 24,000
wa m e k i m b i l i a n c h i
jirani ya Rwanda tangu
ghasia hizo zilipoanza
April 26 huku maelfu
ya wengine wakiingia
Jamhuri ya Kidemokrasi
ya Congo-DRC. (VOA).
Tayari Serikali ya
Ubelgiji imesimamisha
misaada yake kwa nchi
hiyo kwa kile ilichodai
k u wa n i k u e n d e l e a
machafuko ndani ya
nchi hiyo.
AlexanderDe Croo,
Waziri wa Ushirikiano
na Maendeleo wa
Ubelgiji, amesema kuwa
nchi yake imesimamisha
misaada ya kifedha
kwa Burundi ambayo
ingetumiwa kwa ajili ya

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza.


uchaguzi mkuu ujao.
Aidha alisema
k u wa B r u s s e l s p i a
imesimamisha
ushirikiano wa pande
mbili hizo katika sekta
ya kutoa mafunzo
kwa polisi ya Burundi
kufuatia kuendelea
machafuko ndani ya
nchi hiyo.
Alisema uamzi huo
umekuja baada ya
ripoti iliyotolewa na
Kamishna wa Haki za
Binadamu wa Umoja wa

Mataifa nchini Burundi.


Kwa mujibu wa ripoti
ya hivi karibuni ya
Kamishana huyo,
waandamanaji 11 hadi
sasa wamekwishauawa
katika machafuko
kufuatia hatua ya Rais
Nkurunziza wa nchi
hiyo kutangazwa na
chama tawala cha
CNDD-FDD kugombea
uchaguzi mkuu mwezi
ujao.
Wiki iliyopita
waangalizi wa uchaguzi

wa Umoja wa Mataifa
wa l i t a n g a z a k u wa ,
hali inayotawala hivi
sasa nchini Burundi,
hairuhusu kufanyika
uchaguzi huo.
Awali Brussels
ilikuwa imetenga
msaada wa Euro milioni
nne kwa ajili ya Burundi,
huku milioni mbili kati
ya fedha hizo zikiwa
tayari zimekwisha
kabidhiwa kwa serikali
ya Bujumbura.

kwa mabavu na
Wazayuni na kutia saini
mkataba wa ushirikiano
wa k i j a s u s i k a t i ya
Saudia na utawala wa
Kizayuni wa Israel.
Kabla ya hapo baadhi
ya vyombo vya habari
kama vile televisheni
ya al Alam na gazeti
la Kizayuni la Yediot
Ahronot, vilitangaza
habari ya kutua ndege
ya Saudi Arabia katika
uwanja wa ndege wa
Ben-Gurion huko Tel
Aviv.
Mashirika ya habari
yalisema kuwa ndege

hiyo ilikuwa ya mwana


mmoja wa ukoo wa
kifalme wa Aal Saud,
ingawa Saudia ilidai
kuwa ndege hiyo
ilikuwa ya shirika la
ndege la Ureno.
Hii si mara ya kwanza
kuripotiwa habari za
ushirikiano baina ya
utawala wa Kizayuni
wa Israel na ukoo wa
Aal Saud.
Habari za kuwepo
ushirikiano mpya baina
ya pande hizo mbili
dhidi ya wananchi wa
Yemen zinatilia nguvu
ushirikiano wa muda
mrefu baina ya Saudia
na utawala wa Kizayuni
wa Israel.

Imebainika Saudia inashirikiana


kijasusi na Israel
DURU za kuaminika
zimefichua kuwa,
Saudi Arabia na Israel
zimetiliana saini
mkataba wa ushirikiano
wa kijasusi katika suala
la Yemen pamoja na
kutumiwa ndege zisizo
na rubani za Israel
katika anga ya Yemen.
Zimenukuliwa
duru za kuaminika
zilizofichua kuwa, Mkuu
wa Shirika la Kijasusi la
Saudi Arabia, Khalid
bin Ali bin Abdullah al
Hamidan, hivi karibuni
alielekea katika ardhi za
Palestina zinazokaliwa

12

MAKALA/MASHAIRI

KARIBU MWEZI SHAABANI


RAJABU i ukingoni, aula kukujuzeni,
Na SHABANI i njiani, wiki kesho si mwakani,
Mbeleye i RAMADHANI, si baidi tambueni,
SHABANI ikiwadia, tuienzi kwa kufunga.
Muhammad adinani, alikifunga Shabani,
Pima wake uthamani, ujisaili kwanini,
Thuma ujitathmini, kwa RAHMANI u nani?
SHABANI ikiwadia, tuienzi kwa kufunga.
Hakuacha asilani, kuifunga maishani,
Siku moja msidhani, bali tumbi tambueni,
Mimi nawe kulikoni, kutoifunga Shabani?
SHABANI ikiwadia, tuienzi kwa kufunga.
Twaridhika ikhiwani, tuna nini nijuzeni,
Rasuli tumgezeni, kwa kuifunga Shabani,
Kulikoni na kwanini, tusiifunge Shabani?
SHABANI ikiwadia, tuienzi kwa kufunga.
Haya shime waumini, wa Bara na Visiwani,
Sote nia tutieni, ya kuifunga Shabani,
ILAHI tumuombeni, tuidiriki Shabani,
SHABANI tuilakini, kwa swaumu waumini.
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

UADILIFU WA DPP !
"KATIBA SHERIA-MAMA", kauli-mbiu si ngeni,
Kuinena lelemama, kuitenda 'uhaini',
Kwa HAKI kutosimama, MAMA huyu yu rehani,
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
Yu rehani wetu MAMA, mnadiwa kaulini,
Yavunjwa yake heshima, vitendoni bila soni,
Yake chini taadhima, kwa hawaa ya insani,
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
Adogoshwa huyu MAMA, si batini hadharani,
DPP 'muadhama', yu JUU MAMA yu CHINI,
Yapuuzwa yake dhima, na 'WANA' wa mwake ndani,
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
DHAMANA haki adhima, si ngeni i katibani,
Kutoitoa jarima, mtenziwe hatiani,
Yu awe sawa yu mwema, au muwi yu 'haini',
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
DHAMANA haki daima, ya 'mtovu' sheriani,
Kwa yeyote kuizima, hachomoki hatiani,
Kwa kuauni DHULUMA, yu DHALIMU orodhani,
KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?
DHAMANA haki ya zama, jana, leo na zamani,
KWANINI sasa YAKWAMA, kwa MASHEKHE KULIKONI,
Beti sita kaditama, MAHABUSU HADI LINI,
U WAPI UADILIFU, WA DPP KWA HILI ?
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Israi na Miraji

Inatoka Uk. 8

mwenye kumsaidia
A m i y a k o , A b u
Twaalib, japo kuwa yeye
alikuwa ni mtu mwenye
kukuhami sana na
alikuwa anachukizwa
sana kwa mambo
uliyokuwa unatendewa
na Makureshi. Mtume
akasema, Yuko katika
moto mwepesi, kama
si mimi angelikuwa
kwenye moto wa tabaka
la chini kabisa huko
Jahanam. (Swahiyh
Al-Bukhaariy Juzuu 5
Namba 222); Hivyo Abu
Twaalib licha ya kuwa
kafiri alimuunga mkono
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam) kwa nguvu zake
na mali zake dhidi ya
makafiri. Wakati Abu
Twa a l i b a l i p o k u wa
hai makafiri walikuwa
hawawezi kumdhuru
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam). Hata hivyo,
kifo cha Abu Twaalib
kilikuwa ni mwanya
mwa makafiri wa
kuendeleza vitimbi
vyao dhidi ya Mtume
pamoja na Waislamu
kwa ujumla. Tabia yao ya
ukatili ilimfanya Mtume
aone maisha mjini
Makkah ni magumu.
Kutoa shahada kwa
Maswahaba wa Mtume
mjini Makkah ilikuwa
ni njia ya kujitangazia
uadui wa wazi wazi
na wakawa wanapata
madhila na kuadhibiwa
vibaya. Kila aliyesilimu
aliambiwa afanye moja
kati ya mambo mawili:
aritadi au aondoke hapo
nchini au sivyo basi roho
yake itafariki dunia;
makafiri hawakutaka
njia nyingine zaidi
ya hiyo. Lakini
Maswahaba licha ya
kuwa hiki kilikuwa ni
kipindi kigumu sana
na chenye taabu kubwa
sana katika maisha yao
kutokana na adhabu na
madhila waliyoyapata,
waliendelea kusimama
imara juu ya imani ya
Uislamu na walisonga
mbele na Mtume wao
katika msimamo huo.
Kupanuka kwa Uislamu
kuliwaudhi sana

makafiri na wakajaribu
kila njia ili kuzuia
na kukinga Uislamu
usiwepo katika nchi
yao. Ulinganiaji wa dini
hii ukawa mzito kwa
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam) na hata kuishi
mjini Makkah ikawa ni
hali ngumu sana kwake
na kwa Waislamu.
Jambo la pili lilikuwa
k i f o c h a m a m a wa
Waumini Khadiyjah
(Radhiya Allaahu anha)
Ni miezi miwili tu baada
ya kifo cha Abu Talib,
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam) alipata tatizo
lingine zito lililomhusu
yeye binafsi. Mke wake
na Mama ya waumini,
Bi Khadiyjah (Radhiya
Allaahu anha) alifariki.
Mama huyu, mama wa
Waumini Khadiyjah,
alikuwa ni rehma kwa
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam) kutoka kwa
Allaah (Subhaanahu wa
Taala). Daima alikuwa
na Mtume wakati
akipata madhila na
maudhi ya makureshi
na alikuwa naye siku
zote wakati wa mitihani
mizito ilipokuwa
inamwendea Mtume
kutoka kwa mahasimu
wake wa Kikureshi
na walikuwa pamoja
katika hali hiyo kwa
muda wa miaka 25. Na
kwa yote hayo Mtume
(Swalla Allaahu alayhi
wa aalihi wa sallam)
kwa ukaribu huo
aliokuwa nao mama
wa Waumini Khadiyjah
alisikitika sana kwa kifo
cha mkewe mpenzi na
kuna wakati alisikika
akisema juu ya bibi
h u y u , A l i n i a m i n i
wakati wengine
hawakufanya hivyo,
Alijiunga na Uislamu
wakati watu walikuwa
hawataki kufanya
hivyo. Pia alinisaida na
kuniliwaza mwenyewe
na na kwa mali zake
wakati kulikuwa
hakuna hata mtu wa

kuniunga mkono. Pia


nilipata watoto kutoka
kwake. (Musnad
Ahmad 6/118).
Matukio haya
mawili yalitokea
mfululizo. Mtume
(Swalla Allaahu alayhi
wa aalihi wa sallam)
alikuwa amefikia hali ya
kubabaika namna gani
awaongoze Waarabu
wa Makkah, basi
aliangalia upande wa
Twaaif mji ambao kwa
wakati huo ulikuwa
unahitajia msaada na
uongozi. Lakini hata
huko pia hakupokelewa
na hali hiyo kuongeza
machungu moyoni
mwake (Swalla Allaahu
alayhi wa aalihi wa
sallam) hata akaona
kipindi hicho kuwa ni
Mwaka wa Huzuni.
Katikati ya huzuni
zote hizo Allaah
Alimchukua mja Wake
katika muujiza mkubwa
wa Israa na Miiraaj
ili amwoneshe Aayah
Zake na kumpatia
msaada na himaya.
Allaah Anasema, Ili
Tumwoneshe baadhi ya
Ishara Zetu
K wa m u u j i z a wa
Israa na Miiraaj ,
Allaah Aliweka msingi
kwa waja Wake kuwa
hata kama makafiri
wangelifunga mlango
wa Mtume Muhammad
(Swalla Allaahu alayhi
wa aalihi wa sallam),
Allaah Ndiye Mwenye
Kumhami na ndio
Mlezi Wake na milango
ya Peponi iko wazi kwa
ajili ya Muhammad
(Swalla Allaahu alayhi
wa aalihi wa sallam).
Hakuna nguvu ambayo
inaweza kumteza au
kumdhuru yule ambaye
yuko chini ya ulinzi wa
Allaah. Israa na Miiraaj
ilikuwa ni dalili ya
kuonesha kufanikiwa
kwa Dawah ya Mtume
Muhammad (Swalla
Allaahu alayhi wa
aalihi wa sallam) na
ushindi wake juu ya
maadui zake pamoja na
kuwepo kwa matatizo
na huzuni zote hizo.

13

Habari

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Kushutumiana kwenye mitandao sio maadili ya Uislamu

NI masikitiko makubwa
kwa watu wanaojidai kuwa
ni Waislamu wenye kutaka
kusimamisha Ukhalifah,
kwa kuwashumu ndugu
zao katika imani na
kuwapachika ukafiri kwa
shutuma za uwongo.
Mathalani, hivi sasa
kwenye mtandao wa Somal
Memo, binafsi na watu
wengine, tumetuhumiwa kwa
madai ya kwamba hatuna
Akida (Tahweed na ManHaj). Hizi ni shutuma mbaya
za kutukufurisha na kututoa
katika Uislamu.
M i m i b i n a f s i k we n ye
makala nilizoziandika
nimeelezea kwa mujibu wa
ukweli (facts) nilizonayo
na kwa mtazamo wangu na
nilivyomtathimini juu ya
anayedaiwa eti ni Khalifah
wa U i s l a m u A b u b a k a r i
Baghdadi.
Naam !!! Twaibu, baada ya
kuisoma na kuielewa makala
hiyo, nimepata msukumo wa
kuwapa Nasaha ndugu zangu
hao waliyotajwa kwa majina
yao na kuwataka wawe na
subira, kwani hiyo ni mitihani
katika harakati za Daawah na
Allah (Subhaanahu wa Taala)
na awalipe ujira mwema kwa
mtihani huo uliowafika.
Hali hii uzoefu wake
inaonyesha jinsi tulivyo
kwenye jamii yetu ya
Kiislamu, kukitokea
sintofahamu yoyote kati ya
mtu na mtu, taasisi na mtu au
taasisi kwa taasisi za Kiislamu
kadhia hiyo itaishia kutoleana
tuhuma za kuchafuana kwa
vipeperushi, mitandaoni na
kutiana motoni nk.
Abu Said na Abu Hureira
(Radhiya Allaahu anhu)
wamepokea kutoka kwa
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa sallam) kuwa
amesema:
Muislamu hatapatwa
na taabu, wala maradhi,
wala huzuni, wala udhia
na wala ghamu (sonenoko),
mpaka mwiba unaomdunga
isipokuwa Allah Hufutia
dhambi zake kwa sababu ya
hayo. (Muttafaq).
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa sallam) amesema:
Malipo makubwa yapo
pamoja na balaa kubwa,
hakika Allah anapowapenda
watu, Huwapa mitiani,;
atakaridhika, basi atapata
radhi (za Allah), na
atakaechukia, utapata
hasara. Tirimidhy, na
amesema Hadithi hii ni
Hasan.
Na kwenye jamii yetu ya
Kiislamu pale inapotokea
kuhitilafiana/kutofautiana
au kukosana rai, mtizamo na
mgongano wa mawazo juu
ya kutathimini mambo ya
Kiislamu ni kwamba kutatokea
Wa i s l a m u k u f a n y i a n a
m a m b o m a o v u ya n a y o

vunja udugu na upendo


n a k u we z a k u f a r i k i a n a
na kujenga uhasama
baina yetu Waislamu. Na
kufanyiana mambo maovu
kama vile: Kuzulumiana,
Kusengenyana, Kudhaniana
vibaya, Kuchunguzana,
Kumchukia mtu kwa
tuhuma za kusikia juu
juu, Kudharauliana na
kutukanana, Kuvunjiana
heshima, Na kusalitiana
kwa Matwaaghuut ama kwa
kupelekena Mahakamani
au kuvujisha siri kwa adui
zetu kwa lengo kumuharibia
mtu au taasisi au harakati
zozote za Kiislamu ili ziweze
kuangamia n.k.
Hali hii tuliyonayo ni
tofauti kabisa na mafunzo
ya Dini yetu, ambayo
imetufundisha namna ya
kumaliza tofauti zetu na
kupata sulhu kwa lengo
la kujenga udugu wetu
wa Kiimani. Ni kweli
kwamba katika hulka za
binadamu lazima kutatokea
sintofahamu baina yetu kwa
jambo hili au lile ichukuliwe
kama changamoto na
kukabiliana nayo kama
tulivyoekezwa na Dini yetu
kwa Nususi mbambali za
kisheria.
Katika umri Wangu mpaka
sasa ni nadra kuona watu
wa Dini Nyingine isiyokuwa
ya Uislamu humu mwetu,
kwa kuwaona wakizozana
hadharani kwa jambo
linahusiana na michakato
mbalimbali ya harakati za
dini zao na kufikia kiasi cha
kutoleana vipeperushi vya
tuhuma au kwenye Mass
Media (Vyombo vya Habari)
n.k. hawa ni binadamu kama
sisi, mazingira na culture
zetu ni moja na hawana
Ufunuo kutoka kwa Allah
(Subhaanahu wa Taala) bali
wana Nidhamu kwenye Dini
yao na kufuata kanuni sahihi
za kibinadamu kumaliza
tofauti zao.
Mtu kama sio mweledi
wa SERA za harakati
zetu za Kiislamu, anaweza
kupata taabu au kutatizika

ni kwa nini? Hali hii inatokea


kwenye safu zetu hali ya
kuwa tunao Muongozo. Hali
hii inasababiswa na mambo
yafuatayo:
M o s i ,
k we n ye
mikusanyinyiko yetu ya
Kiislamu hatuna lengo,
Vision na Mission moja,
bali kila mtu ana jambo
lake moyoni. Pili, hakuna
Nidhamu kwa Viongozi
wengi kwenye mikusanyiko
yetu kwa Maamuma/wafuasi
n a wa n a k u n d i w e n z a o
na au kinyume chake ni
hivyo hivyo. Bali mambo
mengi yanafanywa kwa
msukumo wa jazba, ushabiki,
kukumoana, kulipizana visasi
n.k. Tatu, Baadhi Madaiyah
(Mudir, Rais, Mkurugenzi,
Sheikh, Ustadh, Amir n.k.)
wengi kama sio wote, hakuna
wanaofanya Mipango ya
Kistratejia Strategic
Plans (Mipango Mkakati)
kuwalea Waislamu kiasi
cha kuwawezesha kufuata
Nidhamu ya Kiislamu
katika mfumo wa maisha
yao katika kila kipengele
cha kisiasa, kiuchumi,
kimaadili, kitamadnni, nk.
B a l i wa n a wa t e n g e n e z a
watu kuwa washabiki wa
kama wa timu za mipira
na sio kuwafanya wawe ni
watumwa wa Mwenyezi
M u n g u . K wa m t i z a m o
wangu ndio baadhi ya vyanzo
vya matatizo yetu ambayo
yamesababishwa na mambo
yafuatayo: Ukosefu wa Elimu
Sahihi ya Uislamu, Mbinu za
ufundishaji Uislamu, Maslahi
ya maisha binafsi na Ushabiki
kama watimu ya mpira nk.
Kadhia ya kushutumiana
ina athari za kipropaganda,
Upotoshaji wa taarifa/habari
zisizo zenyewe, kufitinisha na
kufarakanisha Waislamu n.k.
kwani ni kitendo ambacho
huwa kimefanywa na mtu
kwa jazba na ushabiki au
maadui walio nje ya safu za
Waislamu katumia fursa ya
udhaifu wetu wa kugomba au
kwa kukusudia kuzusha Fitna
kwenye safu za Waislamu ili
washughulikiane wenyewe

na huku wao wakitekeleza


mipango ya kuwaangamiza
Waislamu.
Ndugu zangu, Allah
(Subhaanahu wa Taala)
awasamehe (endapo mtaleta
Toba) kwa kitendo chenu
cha kughafilika na kughalifu
juu ya mafunzo ya Uislamu
yanayoelekeza namna ya
k u k o s o a n a k wa n i a ya
kujenga na kuleta umoja na
mshikamano wa udugu wa
kweli katika Imani. Bali kwa
dhahiri yenu mmeonyesha
kusukumwa zaidi na Jazba,
ghadhabu nk Hatuna budi
kuwakumbusha mtizamo
wa Uislamu juu ya kupokea
na kutangaza habari kwani
Uislamu umeweka sheria
juu ya jambo hilo. Amesema
A l l a h ( S u b h a a n a h u wa
Taala):
Enyi mlio amini!
Akikujieni
FA S K I
(mpotovu) na khabari
yoyote, ichunguzeni, msije
mkawasibu watu kwa kuto
jua, na mkawa tena wenye
kujuta kwa mliyo yatenda.
(49:6)
Na pia amesema Mtume
(Swalla Allaahu alayhi wa
sallam):
Lau watu watapewa
kwa kila wanachokidai (Bila
Ushahidi), basi mali za watu
zitapotea, damu zitamwagika
sana, heshima zitapotea,
hivyo basi kila anayedai
na alete ushahidi, na anaye
kanusha alete Kiapo.
(Muslim na Ahmad).
Amesema Allaah
(Subhaanahu wa Taala):
Enyi mlio amini!
Jiepusheni na dhana nyingi,
kwani baadhi ya dhana ni
dhambi. Wala msipelelezane,
wala msisengenyane nyinyi
kwa nyinyi. Je! Yupo katika
nyinyi anayependa kuila
nyama ya nduguye aliye
kufa? Mnalichukia hilo! Na
mcheni Mwenyezi Mungu.
Hakika Mwenyezi Mungu
ni Mwenye kupokea toba,
Mwenye kurehemu. (49:12)
Enyi watu! Hakika Sisi
tumekuumbeni kutokana na
mwanamume na mwanamke.

Na tumekujaalieni kuwa
ni mataifa na makabila
ili mjuane. Hakika aliye
mtukufu zaidi kati yenu kwa
Mwenyezi Mungu ni huyo
aliye mchamngu zaidi katika
nyinyi. Hakika Mwenyezi
Mungu ni Mwenye kujua,
Mwenye khabari. (49:13)
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa sallam) amesema:
Anayevumisha maneno
ambayo ameyasikia juu juu
hataingia Peponi. (Bukhari
na Muslim).
Na Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa sallam) amesema:
Muovu zaidi katika
watumwa wa Mwenyezi
Mungu ni wale wanaotangaza
maneno ya kufarakanisha
watu wapendanao na kutaka
kutia ila wale wasiokuwa na
makosa (hatia). (Ahmad).
Na Mwenyezi Mungu
ametoa kemeo kali juu ya
kauli yake pale aliposema:
Kwa hakika wale
wanaopenda uenee uchafu
kwa walio amini, watapata
adhabu chungu katika dunia
na Akhera. Na Mwenyezi
Mungu anajua na nyinyi
hamjui. (24: 19).
Na Amesema Allaah
(Subhaanahu wa Taala):
Na wale wanao waudhi
Wa u m i n i wa n a u m e n a
wa n a wa k e p a s i n a wa o
kufanya kosa lolote, bila ya
shaka wamebeba dhulma
kubwa na dhambi zilio
dhaahiri. (33:58).
Abu Hureira (Radhiya
Allaahu anhu) amesema:
Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa sallam) amesema:
N a wa h a d h a r i s h a n a
TUHUMA, hakika TUHUMA
ni mazungumzo ya uongo.
Wa l a m s i c h u n g u z a n e ,
wala msifanyiane ujasusi,
wala msishindane, wala
msihusudiane, wala
m s i b u g h u d h i a n e , wa l a
msipane mgongo. Kuwenienyi waja wa Allah- Ndugu
moja kama alivyowaamrisha.
Muislamu ni ndugu ya
Muislamu, hamdhulumu
wala haachi kumnusuru,
wala hamdharau. Uchaji
Mungu uko hapa, Uchaji
Mungu uko hapa.
Akaashiria kifuani mwake.
Yatosha mtu kuwa ana shari
anapomdharau ndugu ya
Muislamu. Kila Muislamu
ni haramu juu ya Muislamu
mwenzie damu yake,
heshima yake na mali yake.
Hakika Allah hatazami miili
yenu wala sura zetu, lakini
Anatazama nyoyo zenu na
amamli zenu. (Muslim).
Wabbilah Tawfiq.
(Makala hii imeandiskwa
na: Abu Saumu, Kombo
Hassani Kidumbu. E-Mail
hassanikombo@yahoo.com
Mob: 0714720965-MikanjuniTanga-Tz)

14

AN-NUUR

Makala

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Mchango wa Waislmau katika maendeleo ya Dunia - 11


Ibn Khaldun

Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
Katika makala
zilizokwisha
kutangulia nimejaribu
kuonyesha mchango
mkubwa ambao
Waislamu waliutoa
katika maendeleo
ya sayansi na
m w a n a d a m u .
Makala ya safari hii
nitamuelezea Ibn
Khaldun, ili kuweza
k u e l e wa m c h a n g o
wa Ibn Khaldun
katika maendeleo ya
mwanadamu itakuwa
vyema kumuelezea kwa
makala mbili tofauti.
Makala ya kwanza
itamzungumzia juu ya
maisha yake na makala
ya pili itamzungumzia
kazi zake pamoja na
ile kazi yake kubwa
ijulikanayo kwa jina
la Muqaddimah.
Ibn Khaldun
jina lake kamili ni
Abd al-Rahman
bin Muhammad
bin Muhammad bin
Muhammad bin AlHasan bin Jabir
bin Muhammad
bin Ibrahim bin
Abdurahman bin Ibn
Khaldun. Nasaba yake
inatokana na Hadharmi
yaani watu wa Kusini
ya Yemen, wengine
wanasema kuwa juu
ya kuwa mizizi yake
yanatokana na nchi
ya Yemen lakini yeye
ametokana na koo
za Wail Hajar likiwa
katika kabila la Azal
nchini Yemen kama
alivyoelezea Ibn Hazam
katika kitabu chake
Jamharat ansb al-arab.
Kiasili Ibn Khaldun
a n a t o k e a Ye m e n
kiuzawa amezaliwa
nchini Tunisia katika
mwaka wa 732 AH
(27 May 1332), ingawa
alizaliwa Tunisia lakini
familia yake ilikuwa
inaishi Uspani (Spain).
Ilibidi kuhajiri kutoka
Uspain na kuhamia
Tu n i s i a k u t o k a n a

n a m i s u k o s u k o ya
Waislamu walioyakuta
b a a d a ya v i t a v ya
msalaba. Katika utoto
wa k e k a m a wa t o t o
w e n g i Wa k i i s l a m u
katika nchi mbalimbali
a l i a n z a
k wa
kusomeshwa Quran
na aliianzia masomo
yake nyumbani kwa
kusomeshwa na babake
kisha akasoma kwa
wasomi mbalimbali
maarufu wa wakati
wake nchini Tunisia.
Ibn Khaldun alikuwa
Hafidh Quran aliweza
kuusoma msahafu wote
kwa ghibu alijifunza
sayansi ya hadith za
Mtume SAW, akajifunza
nahawi, fiqhi, ufundi
wa asili ya lugha
mashairi, hesabati na
elimu nyenginezo.
Katika duru ya
masomo mara nyingi
kijana anapofika
miaka 19 huwa
amemaliza masomo
ya kati na kuelekea
masomo ya juu ikiwa
huko nyuma wengi
walipofikisha umri wa
miaka 19 walikuwa
washakubuhu katika
u g a wa e l i m u . I b n
Khladun alipotimiza
u m r i wa m i a k a 1 9
alikuwa kisha balighi
kielimi na kuajiriwa
katika tawala kubwa
za sehemu mbalimbali
alizokwenda kuishi.
Siasa za tawala za
siku za nyuma zilikuwa
mara kwa mara kuwa
katika mapigano
baina ya nchi moja
na nyengine kwa
minajili ya kutanuwa
mamlaka ya viongozi
hao. Matokeo kama
h a y o ya l i m p e l e k e a
Ibn Khaldun kuhama
kutoka Tunisia kuhamia
Algeria, kisha akahamia
Morocco kutoka
Morocco akaelekea
Misri na kuingia Uspani
nchi walioishi wazee
wake kabla ya kuhamia
Tunisia na mwisho Ibn
Khaldun alimalizia
kuishi nchini Misri na
kufia hapo.
Ibn Khaldun kama
wasomi wengine
alifungwa nchini
Morocco kutokana na
uungaji wake mkono
u p a n d e m m o j a wa
uongozi. Alifungwa
kwa kipindi cha miaka
miwili. Korokoroni
kuliweza kumsaidia
kupanua fikra zake
na kumfanya aweze

kufikiria juu ya mbinu


za utawala na uatawala
bora uweje na kugawa
madaraka ya utawala.
Kuhama hama
kwake kulimfikisha
nchini Misri, huko Misri
kulimfanya kujulikana
katika ngazi kuu za
taifa na kupata sifa
katika kila kona za
mji wa Misri, sifa hizo
zilimpelekea Sultan
Farouk kumtaka asafiri
naye kueleka nchini
Syria katika mji mkuu
wake wa Damascus.
Sifa ya viongozi wa
miaka ya nyuma
walipokuwa wanasafiri
wakipenedelea
kufwatana na wasomni
ili kuweza kuwasaidia
katika mazungumzo na
wenyeji wao, taratibu
hizi zinaendelea
kufwatwa lakini
kinyume na za zama
hizo zilizopita,
kwani viongozi
waliopita walikuwa
wakiwachagua wasomi
kufwatana nao katika
safari kwa uwezo wao
bila ya uependeleo,
wakiwachagua wasomi
sio kwa kabila zao au
dini zao au rangi zao.
Safari yake hiyo Ibn
Khaldun inaelezewa
n a Wa n a h i s t o r i w a
kuwa Sultan alibakia
mjini Damascus kwa
kipindi cha wiki mbili
tu na kurudi Misri
kwa uwoga kuwa
kulikuwa na tetesi za
kupinduliwa, aliondoka
na kumwacha nyuma
Ibn Khaldun.
Kutokana na umahiri
wake wa historia,
ufanisi wa lugha Ibn
Khaldun akateuliwa
kuwa mjumbe wa
upatanishi baina ya
pande mbili zilizokuwa
zikizozana baina ya
uongozi uliokuwa
ukitumia mkono wa
chuma Amir Timur
wa Samarkand nchi
inayojulikana kwa sasa
Uzbekistan na watu
wa Syria. Nchi ya Syria
walitaka kuelewana
na Amir Timur kwa
kumchagua Ibn Muflih
kuwa ni msuluhishi,
bahati mbaya katika
makubaliano baina
ya pande mbili
mwakilishi wa Syria
Ibn Muflih na Amir
Tumir walishindwa
kukubalianana
k u w e k e a n a
mkataba ingawa

yaliozungumzwa
yakakubaliwa.
Wananchi wa Syria
walijihisi kuwa
waliingia mtegoni
kwahio makubaliano
h a y o wa k a ya p i n g a
m o j a k wa m o j a n a
kumtaka Ibn Khaldun
awe mwakilishi wao
katika mazungumzo ya
mapatano. Ibn Khaldun
akaiona hio ni fursa
kuitumia taaluma yake
ambayo aliandika
katika makartasi
wakati umefika kwa
yeye kuifanyia kazi.
Kwa hio alikwenda
kuaonana na kambi
ya A m i r T i m u r n a
kubakia katika ardhi
ya Samarkand kwa
siku 35 huku akifanya
majadiliano.
Katika majadiliano
hayo alikuwa Abd alJabbar al-Khawarizmi
akisaidia katika kufasiri,
kati ya mambo ambayo
walikuwa wakijadiliana
na kutaka kupatiwa
ufumbuzi yalikuwa
ni mengi baadhi yake
ambayo yamenukuliwa
na wanahistoria ni
kama ifwatavyo: Nchi
za Maghreeb na ardhi
zao za asili, mashujaa
katika historia, utabiri
unaotegemewa
yatakayoweza kutokea,
j u u ya u t a wa l a wa
Bani Abass, kuweza
kupewa himaya wale
waliombatana na Ibn
Khaldun na kuweza
Ibn Khaldun kubakia
Tamerlane. Ibn Khaldun
aliweza kufanikiwa
kuizweka pande
mbili za Tamerale na
S y r i a k u wa k a t i k a
masikilizano na baada
ya mafanikio hayo,
Ibn Khaldun aliamua
kurejea Misri.
Ibn Khaldun
amefanya kazi kubwa
k a t i k a t a a l u m a ya
sayansi ya historia na
juu ya elimu ya jamii,
aliweza kuikusanya
historia ya Ulimwengu
mzima katika kitabu
c h e n ye j u z u u t a t u .
Katika makala ya pilii
nitakielezea kitabu
chake cha Muqaddimah
kwa kifupi.
Muqaddimah
ni neno la Kiarabu
likimaanisha kuwa ni
utangulizi. Kitabu hicho
kina kumbukumbu ya
mambo ya kihistoria,
juu ya aina mbalimbali
za ustaarabu duniani
uliotokana na athari za
mazingira na hali ya
hewa tofauti, maisha
ya makazi ya mabedui
ya kuhamahama na

ni uchunguzi na
uthibitisho wa taarifa,
uchunguzi makini wa
s a b a b u z a k u we p o
kwa mambo (kama
yalivyo) na uerevu wa
kina wa jinsi mambo
yalivyoweza kutokea.
Hivyo, Historia ni
mojawapo ya sehemu
za somo la Falsafa, na
inapaswa kutambuliwa
kama mojawapo ya
elimu ya sayansi."
Hii kwa kweli ndiyo
dhana ya kileo juu
ya somo la Historia,
kutokana na kuuona
umuhimu na nafasi
yake katika uchambuzi
wa taarifa mbalimbali
na kutafuta chanzo
au sababu za mambo.
Historia inapaswa kuwa
ni elimu ya kudumu
katika ustaarabu wa
mwanadamu na
saikolojia yake.
Baadhi ya misemo ya
Ibn Khaldun
Wengi wa wasomi
wa Kiislamu hawakuwa
Waarabu.
Katika historia
mataifa mbalimbali
yameshindwa katika
vita na kuathirika katika
maeneo yao, kushindwa
huko hakujafanya kuwa
taifa halipo, lakini taifa
likiwa ni mhanga wa
kushindwa kisaikolojia

Ibn Khaldun
ya kudumu pamoja
na tamaduni tofauti
za jamii hizo na pia
taasisi tofauti za kijamii,
sayansi na sanaa zao.
Ibn Khaldun
hakujikita tu juu ya
historia na ustaarabu
katika Muqaddimah
aliyachambua masuala
ya sayansi, hesabu,
muziki na ala zake,
kilimo na sanaa. Ibn
Khaldun aliweza
kuzama katika historia
na kuweza kuichambua
kama ifwatavyo:
"Hebu tutazame
undani wa somo la
Historia", anasema
Ibn Khaldun kwamba,

UWANJA WA VIJANA - JIONGEZEE MAARIFA

CHEMSHA BONGO namba 6


M

MAJIBU CHEMSHA BONGO NO:5


1. Mtume gani alikabiliana na Mfalme Nimrod?
Yusuff, Ebrahim, Issa. Jawabu: Ebrahim
2. Mwezi wa mwanzo wa mwaka Kiislamu ni
mwezi wa : Muharram, Ramadhan, Mfungo Mosi,
Jawabu: Muharram
3. Mtume Mussa alipoitupa Fimbo yake iligeuka:
Nge, Ndege, Nyoka. Jawabu: Nyoka
4. Waliomfwata Mtume wakati yupo hai
wakiitwa: Marafiki, Wenzani, Masahaba.Jawabu:
Masahaba
5. Sura ngapi zimeanza na kalima Bismillahi
Rahman Rahim? 114, 113, 720 Jawabu:113
6. Harufu gani imetumika zaidi katika Quran?
Alif, Taa, Yee. Jawabu: Alif
7. Mwaka katika Uislamu una siku ngapi? 365.4,
354, 365. Jawabu: 354
8. Mtume Muhamad SAW alihama Makka
kwenda Madinah mwa kagani? Jawabu: 622
9. Mtume Younus alimezwa na: Nyangumi, Papa,
Ndowaro. Jawabu: Nyangumi
10. Ni Sahaba yupi mwanamue mtu mzima
alikuwa wa mwanzo kumkubali Mtume SAW na
Sahaba yupi aliokuwa mtoto wa mwanzo kumfwata
Mtume SAW? Jawabu: Syd Abubakar mtu mzima
na Syd Ali akiwa mtoto.

15

Makala

Na Ben Rijal

M O T O n i n ye z o
muhimi sana
kwa maisha ya
mwanadamu. Moto
hutumika kwa faida
na khasara. Tafsiri ya
moto kwa lugha yetu
ya Kiswahili husema
ni moto uwe moto wa
kawaida tunaotumia

huita moto na moto


watakaoadhibiwa
walotenda mabaya
duniani nao huita
moto. Kwa lugha
ya Kingereza
hutafautishwa baina

CHEMSHA BONGO NO: 6


Weka duara kwenye jawabu ilio sawa, Jawabu
kamili wiki ijayo.
G
2
A
C
R
P
A
2
H
A

U
A
B
V
T
P
B
5
O
W

R
Q
U
R
A
N
U
6
D
R

U
I
N
J
I
L
R
2:
E
A

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Kuelewa moto katika Quran na mazingira

UWANJA WA VIJANA
JIONGEZEE MAARIFA
N
1
1
9
9
U
Z
2:
R
T

AN-NUUR

W
U
L
E
V
I
X
2
S
T

E
7
2
8
0
P
C
2
I
43:

N
A
P
O
L
E
O
N
A
2

A
L
A
S
K
A
G
M
I
2

M
O
H
A
M
M
A
D
O
N

1.
Majina ya Mwenye-enzi- Mungu katika Quran
yametajwa majina mangapi?
2.
Surah gani na aya ipi katika Quran inayosema
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha
pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na
akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata
kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni
Mwenye kusikia, Mwenye kujua. 2:256, 43:22, 2:222.
3.
Wa i s l a m u w a n a v i k u b a l i v i t a b u v i n g a p i
vilioteremshiwa Mitume?
4.
Mwaka wa Kiislamu una siku pungufu ngapi
ukilinganisha na mwaka wa Kizungu?
5.
Kinywaji gani kimeharamishwa na mnyama yupi
ameharamishwa kula kwa Waislamu?
6.
Jina gani limechukua nafasi kubwa kwa Waislamu
kuwaita watoto wao?
7.
Kiongozi gani maarufu kazikwa katika kisiwa cha St.
Helena? Napolon, Colombus, Vasco Dagama.
8.
Zambia na Zimbabwe kwa pamoja zikiitwa kwa jina
gani?
9.
Jimbo gani la Marekani lilio karibu na Urusi? Alaska,
Hawai, New York
10.
Kikawaida moyo wa mwanadamu hupiga mara ngapi
kwa nukta (minutes)? 72-80, 70-75, 82-87
Jee unajua?
1.Waislamu hawaiabudu Al-Kaba lakini wanaielekea AlKaba kwa Sala zao 5 kila siku.
2. Kisima cha Zam Zam kimeanza kazi na kujulikana wakati
wa Mtume Ibrahim na mwanawe Ismail.
3. Uislamu ni dini inayokuwa kwa kasi na inaaminika kuwa
ifikapo mwaka wa 2030 itakuwa ni dini ya mwanzo yenye
waumini wengi duniani.
4. Masahaba 10 waliobashiriwa Pepo wakiwa bado wahai ni:
Abubakr Siddique, Umar bin Khattab, Uthman bin Affan, Ali bin
Abi Talib, Talha Bin Ubaidullah, Saeed Bin Zaid, Abu Ubaidah
Bin Jarrah, Zubair bin Awwam, Saad Bin Abi Waqqas, and Abdur
Rahman Bin Auf RadiAllahu Anhum Ajmaeen.
5. Imam Bukhari alikusanya hadithi 600,000 alizoziandika
na kuwa Sahih Bukhari ni 7,275 na kabla hajaiandika hadithi
alikuwa akisali rakaa mbili za sunnah.
6. Abdullah Ibn Zubair (RA) alikuwa mtoto wa mwanzo
kuzaliwa baada ya Waislamu kuhamia Madinah (Hijra) baba
yake ni Zubair (RA) mama yake ni Asma (RA) na dada wa mama
yake ni Bibi Aisha (RA) mke wa Bwana Mtume SAW na babu
yake ni Syd Abukar Sidique (RA).
7. Kinywaji cha kahawa inasadikiwa kuwa kila siku
hunywewa vikombe 1,600,000,000 duniani kote. Katika miaka
1,400 iliopita kahawa ilikuwa inanywewa nchini Yemen na
aliogunduwa raha na umuhimu wa kunywa kahawa alikuwa
ni Muislamu baada ya kumuona mbuzi wake akitafuta buni
huwa ni mkakamavu, naye akajaribu kuitwanga na kuchemsha
kwenye maji akajikuta naye anakuwa mkakamavu na mwenye
kuburudika.
8. Kuna miti kama 2,000 ndio tu inatumika kama chakula kwa
mwanadamu, ngano na mchele ndio inayoliwa zaidi.
9. China ndio nchi inayoongoza kuzalisha kitunguu thomu
(garlic) mwaka 2008 ilizalisha tani milioni 10 za vitunguu thomu
ikiwa sawa na asilimia 75 ya uzalishaji wote duniani.
10. Sumu itokanayo na mlo (food poisoning) huchukuwa
roho za watu wafikao milioni 7 kwa mwaka duniani kote na
watu kiasi cha milioni 70 huathirika kwa kula chakula ambacho
huwa tayari kimeharibika na kuwa na sumu.

ya moto wa dunia
na wa akhera (fire
and hell). Katika
Quran moto wa
kawaida wa duniani
umetajwa kwa tamko
Nar nao moto wa
akhera una majina
mbalimbali kama
Jaheem, Jahanam,
L a d h a t a , S a e e r ,
Saqal, Hatamah,
Haawiyah.
Makala ya wiki hii
nitaorodhesha aya za
Quran zilizoelezea
moto na makala ya
pili nitauzungumzia
moto
katika
uwanja mzima wa
mazingira, maafa
yanayotokanayo na
moto, faida za moto
na hasara zake.

Moto wa Duniani
Aya zifwatazo
zinaelezea moto
katika dunia na
umelezewaje?
(Kumbuka) Musa
alipo waambia ahali
zake: Hakika nimeona
moto, nitakwenda
nikuleteeni khabari,
au nitakuleteeni
kijinga kinacho waka
ili mpate kuota moto.
(Surat An-Naml 27:7).
Basi alipofika
i l i n a d i w a :
Amebarikiwa
aliomo katika moto
huu na walioko
pembezoni mwake.
Na ametakasika
Mwenyezi Mungu,
Mola Mlezi wa
walimwengu wote.
(Surat An-Naml
27:8).
Alipo uona moto,
akawaambia watu
wake: Ngojeni! Mimi
nimeuona moto,
huenda nikakuleteeni
kijinga kutoka huo
moto, au nikapata
uongofu kwenye
moto. (Surat T'aha
20:10).
Sisi tukasema:
E we m o t o ! K u wa
baridi na salama kwa
Ibrahim! (Suratul
Anbiyaa 21:69).
Basi haikuwa
jawabu ya watu
wake ila ni kusema:

Muuweni
au
mchomeni moto!
Mwenyezi Mungu
akamwokoa na moto.
Hakika katika hayo
zipo Ishara kwa watu
wanao amini (Surat
Al A'nkabut 29:24).
Zifwatazo ni
aya katika Quran
zinazoelezea moto
wa Qiyama
Akasema: Mimi
ni bora kuliko
yeye. Umeniumba
kwa moto, na yeye
umemuumba kwa
udongo. (Surat Saad
38:76).
Na akawaumba
majini kwa ulimi
wa moto. (Surat
Arrahman 55:15).
Na uogopeni Moto
ambao umeandaliwa
kwa ajili ya makafiri.
(Surat Al-Imran
3:131).
Ambao husema:
M o l a
w e t u
Mlezi! Hakika sisi
tumeamini, basi
tufutie madhambi
yetu, na tuepushe na
adhabu ya Moto.
(Surat Al-Imran 3:16).
Hao, makaazi
yao ni Motoni kwa
sababu ya waliyo
kuwa wakiyachuma.
(Surat Yunus 10:8).
Mola wetu Mlezi!
Hakika unaye mtia
Motoni umemhizi;
na walio dhulumu
hawana wasaidizi.
(Surat Al-Imran
3:192).
Namna hivi
limewathibitikia
makafiri neno la
Mola wako Mlezi ya
kwamba wao ni watu
wa Motoni. (Surat
Ghaafir/Al-Muumin
40:6).
Na ama wale
waliotenda uovu,
basi makaazi yao
ni Motoni. Kila
wa k i t a k a k u t o k a
humo watarudishwa
humo humo. Na
wataambiwa: Onjeni
a d h a b u ya M o t o
ambayo mliyo kuwa
mkiikanusha. (Surat
As Sajidah 32:20).
Je, hawajui ya

Moto unavyowaka na unavyotoa taharuki

kwamba anaye
shindana
na
Mwenyezi Mungu
n a M t u m e wa k e ,
basi huyo atapata
Moto wa Jahannamu
adumu humo? Hiyo
ndiyo hizaya kubwa.
(Suratul Tawba 9:63).
Na uogopeni Moto
ambao umeandaliwa
kwa ajili ya makafiri.
(Suratul Imran 3:131).
Na watasema
wale walio fuata:
Laiti tungeweza
kurudi tukawakataa
wao kama wanavyo
tukataa sisi! Hivi
ndivyo Mwenyezi
Mungu atakavyo
w a o n y e s h a
vitendo vyao kuwa
majuto yao; wala
hawatakuwa wenye
kutoka Motoni.
(Sura Al-Baqara
2:167).
Hakika wale
wa l i o k u f u r u n a
wakadhulumu hawi
Mwenyezi Mungu
kuwasamehe wala
kuwaongoa njia.
(Suratul Al-Nissai
4:168).
Isipo kuwa njia ya
Jahannamu. Humo
watadumu milele. Na
hayo kwa Mwenyezi
Mungu ni mepesi.
( S ur a t A l - N i s s a i
4:169).
Hakika Mwenyezi
Mungu amewalaani
makafiri
na
amewaandalia Moto
unao waka kwa
nguvu. (Al-Ahzab
33:64).
Ila nifikishe
Ujumbe utokao kwa
Mwenyezi Mungu na
risala zake. Na wenye
kumuasi Mwenyezi

Mungu na Mtume
wake, basi hakika hao
watapata Moto wa
Jahannamu wadumu
humo milele. (AlJinn 72:23).
Enyi mlio amini!
Jilindeni nafsi zenu
na ahali zenu na Moto
ambao kuni zake
ni watu na mawe.
Wa n a u s i m a m i a
Malaika wakali,
wenye nguvu,
h a w a m u a s i
Mwenyezi Mungu
k w a
a n a y o
waamrisha, na
wanatenda wanayo
amrishwa. (Surat
Attahrim 66:6).
Nitakuja mtia
k we n ye M o t o wa
Saqar. (Surat AlMudadathir 74:26).
N a
n i n i
kitakujuulisha ni nini
huo Moto wa Saqar?
(Surat Al-Mudadathir
74:27).
Haubakishi wala
hausazi. (Surat AlMudadathir 74:28).
Unababua ngozi
iwe nyeusi. ( Surat
Al-Mudadathir
74:29).
Juu yake wapo
kumi na tisa. (
Surat Al-Mudadathir
74:30).
Na walio Motoni
watawaambia walinzi
wa Jahannamu:
Mwombeni Mola
wenu
Mlezi
atupunguzie walau
siku moja ya adhabu.
(Surat Ghaafir /AlMuumin 40:49).
Kwa hakika
wakosefu watakaa
katika adhabu
ya Jahannamu.
(Azzukhruf 43:74).

16

AN-NUUR

Makala/SHAIRI

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Wasomi wetu na changamoto ya mazingira


Na Abuu Nyamkomogi
NIANZE makala haya
kwa kukiri ukweli ulio
dhahiri shahiri kwamba
mazingira ni dhana
yenye mawanda mapana
sana na yenye vipengele
t u m b i n a a n u wa i n a
iliyosheheni mambo
mtambuka ndanimwe na
inayoweza kutazamwa au
kujadiliwa kupitia nyanja
mbalimbali za maisha;
zikiwemo za kisiasa,
kiuchumi, kiutamaduni
na kadhalika;kwa
kuzingatia kusudio
la mtumiaji wa dhana
husika kulingana na
mahitaji ya wakati husika
na aina ya hadhira husika
kwa kadiri ya ufahamu
na upeo wa kila mmoja
wetu kadri alivyojaaliwa
na Allah (s.w.).
Kwa kuzingatia ukweli
huo na kwa mujibu wa
mjadala wetu wa leo,
tutaitazama dhana hiyo
kwa kuihusisha na 'u-mji'
(umjini) na 'u-kijiji' na si
vinginevyo kulingana na
lengo la makala haya na
mahitaji ya maudhui ya
mada ya mjadala.
Mwaka 2007 nilipata
fursa ya kuzungumza na
aliyekuwa Afisa Elimu
wa mkoa wa Mwanza
wa kipindi hicho Bw.
Ramadhani Chomola
ofisini mwake kuhusu
suala la changamoto ya
hofu iliyogubikwa na
tashwishi ya kuchelea
kukabiliana na mazingira,
hasa ya vijijini, kwa walimu
wetu wengi wa sasa. Kiini
cha mazungumzo yetu
kilitokana na baadhi ya
walimu kukosa utayari
wa kwenda kufanya kazi
katika mazingira ya vijijini
na badala yake wengi wao
hufanya jitihada ya kila
namna kwa udi na uvumba
na wakati mwingine hata
k u j i zu shi a magon jwa
na wengine kufikia hata
kuangua kilio hadharani,
hususan kina dada, mara
tu baada ya kupokea barua
zao za kupangiwa vituo
vya kazi [posting letters]
alimuradi tu wahurumiwe
n a k u b a k i z wa k a t i k a
mazingira ya mijini.
Ajira za walimu
zilizotolewa na Serikali
chini ya Wizara ya Elimu
na Mafunzo ya Ufundi kwa
kushirikiana na Wizara ya
Tawala za Mikoa na Serikali
za Mitaa (TAMISEMI)
hivi karibuni; na jinsi ya

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa.


mwitiko wake ulivyokuwa
kwa baadhi ya walimu
na hasa waliopangwa
kufundisha shule za
vijijini; ndizo zilizonifanya
nidhukuru mazungumzo
yale niliyoyafanya na
Afisa Elimu yule miaka
minane iliyopita. Aidha,
wiki mbili zilizopita
nilibahatika kusikiliza
kipindi cha 'Akisi ya
Mdadisi' kirushwacho na
Redio Imaan kuanzia saa
mbili hadi saa nne asubuhi
Jumamosi ya kila jumaa.
Anuwani ya maudhui
ya m a d a ya m j a d a l a
wa siku hiyo ilikuwa
'Kushuka kwa Thamani
ya Elimu', mjadala ambao
ulikuwa ukiongozwa na
mwendeshaji wa kipindi
hicho Bw. Kassim Lyimo
kwa kuwashirikisha
wageni waalikwa
katika siku hiyo ambao
walikuwa ni Bw.Mrisho
aliyejitambulisha kuwa
ni mwalimu wa shule ya
sekondari ya Kiislaamu
ya Jabal-hiraa ya mkoani
Morogoro pamoja na Bw.
Keshi aliyejitambulisha pia
kuwa ni mwalimu wa shule
ya sekondari ya Kiislaamu
ya Imaan, ambayo hapo
awali ilikuwa ikitambulika
kwa jina la Daarul-arqam,
inayomilikiwa na taasisi ya
'The Islamic Foundation'
ya mjini Morogoro.
Nakumbuka ni mwalimu
Mrisho aliyegusia katika
mojawapo ya mifano yake
kuhusu suala la wasomi
wetu na changamoto ya
mazingira kwa kumtolea
mfano mwalimu mmoja
wanayefahamiana naye

ambaye, hapo awali


ulipotoka mgawanyo wa
vituo vya ajira ya kazi
ya ualimu, alipangiwa
kufundisha shule moja
ya s e k o n d a r i i l i y o p o
Lindi mjini, lakini baada
ya upangaji upya [kwa
mara ya pili] wa ajira
h i z o , m wa l i m u h u y o
alibadilishiwa kituo
[shule] cha chake cha kazi
cha awali na kupangiwa
kituo kingine kilichopo
Lindi vijijini kinyume na
utashi na matarajio yake.
Kwa muktadha wa nukta
hiyo hapo juu, ni vyema
ikumbukwe kuwa ajira za
walimu kwa mwaka huu
zilitolewa mara ya kwanza
kisha kufutwa ndani ya
siku chache, mara baada
ya kutolewa kwake, na
hatimaye kutolewa tena
kutokana na kinachodaiwa
kuwa kubainika makosa
ya kiufundi, baada ya
k u t o l e wa k wa k e k wa
mara ya kwanza, na hivyo
kulazimika kufutwa na
kufanyiwa marekebisho
na hatimaye kutolewa kwa
mara ya pili na ya mwisho.
Kwa mujibu wa
maelezo ya Mwalimu
Mrisho, mwalimu yule
alipopangiwa kituo cha
kazi Lindi mjini katika
magawanyo wa awali,
a l i u p o k e a m g a wa n y o
ule kwa furaha kubwa
yumkini kwa kuwa
uliendana na matarajio na
shauku yake ya kutamani
kupangiwa mazingira
ya mjini, na kwa bahati
ndivyo ilivyokuwa!
Katika mgawanyo
uliotolewa mara ya pili,

mambo yalikwenda
kinyume na matarajio
na shauku yake; kama
ilivyotokea katika
m g a wa n y o wa a wa l i ;
kwa kupangiwa Lindi
vijijini na kusababisha
aingiwe na huzuni kubwa
kwa kuwa alikuwa
amepangiwa kijijini na
hapo ndipo alipomtaka
mwalimu Mrisho ushauri
wa ama aende kuripoti na
kupangiwa kituo chake
cha kazi huko kijijini au la!
Naam, ijapokuwa
wakati wa mgawanyo
wa awali, mwalimu yule
hakuona umuhimu wa
kutaka ushauri kwa
mwalimu Mrisho zaidi ya
kumwarifu na kushukuru
kupangiwa mjini yumkini
njozi yake tangu awali
ilikuwa ni kupangwa mjini
na si vinginevyo huenda
ndio maana hakuona
umuhimu kufanya hivyo
kwa hofu ya kupewa
ushauri ambao yumkini
ungekinzana na njozi zake
za 'umjini' na matarajio
yake ya kufanyia kazi
mazingira ya mjini; lakini
baada ya mgawanyo wa
pili, akalazimika kumtaka
ushauri mwalimu Mrisho
yumkini kwa matarajio
kwamba angelimuunga
mkono katika dhamira
na utashi wake wa kuhisi
uzito kwenda kuripoti na
kupangiwa kituo chake
cha kazi huko Lindi vijijini.
Alichokifanya mwalimu
Mrisho ni kumpa ushauri
chanya wa kumtaka
aende kuripoti huko
alikopangiwa. Mshauri
alitimiza jukumu lake kwa

mshauriwa na hakuwa na
dhima tena, kilichobaki
ilikuwa ni kusuka au
kunyoa kwa mshauriwa!
Sina uhakika kama
mshauriwa alizingatia
u s h a u r i k wa k we n d a
kupiga ripoti au aliupuuza
kwa kutokwenda kupiga
ripoti katika halmashauri
husika kwa ajili ya
kupangiwa kituo cha kazi
cha huko Lindi vijijini.
Kwa ufupi wa maneno,
sijui kama yule mwalimu
ama alikwenda kuripoti
au la!
Hata hivyo, kujua hilo
si muhimu kwa sasa,
lililo muhimu hapa kwa
muktadha wa mjadala
huu ni kutaka kubainisha
namna ambavyo wasomi
wetu walivyo na hofu na
wasivyokuwa na uwezo
wa uthubutu angalau
wa kujaribu tu japo kwa
kuonesha walau nia tu
ya kuwa na utayari wa
kwenda kukabiliana na
changamoto ya mazingira
ya kijijini yumkini
kutokana na 'kulevywa na
tembo' la kukoroga fikra na
lenye kupumbaza bongo
zao kwa kuwatumainisha
kuwa maisha ya mjini
ndio kila kitu kwa upande
mmoja na kuwatamausha
kuwa maisha ya kijijini
si chochote si lolote
kwa upane mwingine,
ilhali miongoni mwao
hawajawahi hata kuyaishi
ili kutambua uasali wake
au ushubiri wake.
Wa a i d h a , J u m a p i l i
iliyopita mwendeshaji wa
kipindi, cha 'Mwangaza
kwa Jamii' kirushwacho na
Redio Imaan jumapili ya
kila wiki majira ya asubuhi,
Bw.Muhammad Iyombe
alimuuliza Bw.Ahmad
Msamaha, kupitia mada
ya mjadala iliyokuwa
ikiwasilishwa mezani siku
hiyo iliyobeba anuwani
' Wa j i b u w a Wa l i m u
katika Jamii', kuhusiana
na suala la changamoto
ya mazingira na hasa ya
kijijini kwa walimu wa
sasa.
Pamoja na maelezo
mazuri yaliyoambatana
na sherehe ya kina
kutoka kwa muulizwa
swali katika ujibuji wa
swali husika, nilivutiwa
zaidi na hitimisho lake
lililodokeza, kwa maoni
ya k e ye ye , k i i n i c h a
walimu wengi kutotaka
Inaendelea Uk. 17

17

MAKALA

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Wasomi wetu na changamoto ya mazingira


Inatoka Uk. 16
kwenda kufanyia kazi
mazingira ya vijijini ni zao
la kile alichotanabahisha
kuwa ni fikra pandikizi
ama walizopandikizwa
(walizolishwa) au
wanazopandikizana
( wa n a z o l i s h a n a ) wa o
kwa wao wakati wawapo
vyuoni kwamba mjini ndio
kila kitu na kijiji si stahili
ya wasomi!
Naam, ni fikra
ambazo nami nimewahi
kuzisikia huko nyuma
zikipigiwa chapuo na
baadhi ya wasomi wetu
wakati nikiwa chuoni, na
nimekuwa nikiendelea
kuzisikia zikitamalaki na
kuhanikiza katika jamii
zetu huku mitaani hata
sasa.
Kwa uombwe wa
bongo za vijana wetu ni
sahali kumezeshwa fikra
za sampuli hii pasi na
kuhoji kwani mara nyingi
wengi wao huongozwa
na hawaa nafsi na si
kuzingatia ukweli wa
hali halisi na mantiki ya
kinachozungumzwa/
kinachojadiliwa. Na hii
ni kutokana na ukweli
kwamba wengi wao
huruhusu wengine wafikiri
kwa niaba yao huku wao
wakiwa wamewekeza
fikra zao likizo!!!
Labda tujiulize,
tunapowapiga mateke
wadogo zetu kwa kukataa
kwenda kuwafundisha
huko vijijini, nani
akawafundishe?
Waliotufundisha sisi huko
vijijini kwetu hadi kufikia
ngazi ya kuwa walimu leo
hii, hawakuwa walimu
kama sisi?
Hivi walimu wao
waliowafundisha wao
huko vijijini kwao mpaka
nao wakawa walimu leo hii
wangelikuwa na 'uombwe
wa f i k r a ' k a m a wa o
wangelifikia huo ualimu
unaowazuzua na hatimaye
kujinaki kadamnasini
kwamba hawawezi
kwenda kufundisha
vijijini? Kwa hiyo
wanataka kutuaminisha
kwamba wenye haki ya
kusomeshwa ni wanafunzi
wa mjini pekee, kama 'sio',
nani wa kuwasomesha
watoto wa vijijini kama
si wao; vinginevyo labda
jibu lao kwa swali hilo liwe
'ndio'!
Isitoshe, wakati nikiwa
k a t i k a m c h a k a t o wa
maandalizi ya kuandika
makala haya, nilipigiwa
simu, na mwanafunzi
mwenzangu Bw.Mussa
Ramadhani niliyepata
kusoma naye shule moja
ya sekondari jijini Mwanza
miaka ishirini na moja
iliyopita, iliyotaka kujua

KATIBU Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Prof.. Sifuni Mchome


(kushoto)
kama nina mtu (afisa)
ninayefahamiana naye
pale ofisi za makao makuu
TAMISEMI. Nikamweleza
kuwa sikuwa na mtu
ninayefahamiana naye
katika zile ofisi za
TAMISEMI.
Baada ya kumjibu ndipo
nami nikamuuliza swali,
kulikoni huko TAMISEMI?
Naye akanijibu kwamba
kuna swahibu wake
anayetokea mmojawapo
wa mikoa ya Pwani
aliyepangiwa kwenda
kufundisha Kasulu vijijini
na akaniweka wazi kuwa
rafiki yake huyo hakuwa
tayari kwenda kuripoti kwa
kuwa ni kijijini na badala
yake alikuwa anahaha
huku na kule kupata
mawasiliano ya maafisa
wa TAMISEMI ili kuona
kama kuna uwezekano wa
kubadilishiwa kituo hicho
cha kijijini na badala yake
apangiwe mjini. Sijui kama
mpango wa harakati hizo
zilifanikiwa au la!
Japo kujua hilo si
muhimu kwa sasa bali
lililo muhimu hapa kama
nilivyodokeza huko
nyuma ni kuonesha
n a m n a wa s o m i we t u
walivyo waoga na wasivyo
na moyo wa ujasiri
katika kukabiliana na
changamoto ya 'ukijiji'.
Nihitimishe makala
haya kwa kurejelea kiporo
cha ufafanuzi nilioahidi
kuutoa katika aya ya nne
huko nyuma.
Alhamisi iliyopita
nikiwa katika ofisi za
Halmashauri ya wilaya

ya Ukerewe mkoani
Mwanza nilishuhudia
kiroja, ambacho sikuwahi
kukishuhudia hapo
kabla katika maisha
yangu, kutoka kwa
walimu waliokuwa
tayari wameripoti katika
ofisi hizo, kutoka mikoa
mbalimbali hapa nchini,
kwa ajili ya kupangiwa
vituo vyao vya kazi na
Maafisa Elimu wa shule
za msingi na sekondari wa
Halmashauri hiyo.
Nilipokuwa nikivinjari
katika moja ya eneo la
ofisi hizo nilikutana na
diwani wa kata ya Irugwa,
iliyopo katika kisiwa cha
Irugwa kisiwani Ukerewe,
akiwa amezungukwa na
kina dada wapatao wanne,
watatu kati yao walikuwa
wakiangua vilio na mmoja
alikuwa akizungumza na
diwani huyo.
Niliwasogelea na
kumsalimu diwani yule
kwa kuwa nilikuwa
nikifahamiana naye vizuri,
kisha nikawasalimu na
wale kina dada watatu
hata hivyo hawakuitikia
isipokuwa yule mmoja
na badala yake wakawa
wakifuta machozi huku
wakiondoka katika lile
eneo nililowakuta na
s i k u j u a wa l i k o e l e k e a
baada ya pale.
Nilipomuuliza yule
diwani kulikoni kuhusiana
na kuangua kilio kwa
wale madada hadharani,
alinidokeza kwamba wale
walikuwa ni walimu wa
sekondari waliopangiwa
kwenda kufundisha katika
shule iliyoko katika kata
yake lakini hawakuwa
t a ya r i e t i k wa k u wa
mahala walikopangiwa

ilikuwa kisiwani.
Nilistaajabu kidogo
i n g a wa s i k u m we l e z a
y u l e d i wa n i k u n a k o
kustaajabu kwangu huko.
Kilichonistaajabisha ni
kwamba wameweza kuja
kuripoti kisiwani yaani
kisiwa kikuu (Ukerewe)
lakini wakagoma kwenda
kisiwa kidogo (Irugwa)
walikopangiwa.
Nilipoendelea

k uz ung um z a na y ul e
diwani nilibaini kuwa
kilichowafanya wagome
kwenda kuripoti
katika kituo cha kazi
walikopangiwa
na
pengine hata kuangua
kilio si 'ukisiwa' wa kile
kijikisiwa kidogo kwani
hata Ukerewe yenyewe ni
kisiwa bali ni lilelile zimwi
au pepo la mazingira ya
'umjini' ndilo lilokuwa
limewapanda vichwani
mwao na kuwanyima
uwezo wa kufikiri
sawasawa na badala yake
kuishia kuangua kilio
hadharani. Maskini!
Naam, hawa ndio aina
ya walimu tunaotarajia
kuwakabidhi dhima nyeti
na dhamana adhimu ya
ulezi wa watoto wetu ili
wasimamie malezi na
makuzi yao ya kimaadili,
kimwili, kiakili huko
shuleni pamoja na
kuwajengea misingi ya
ukombozi wa kweli katika
fikra zao, kwa mustakbali
wa maisha yao ya sasa
na ya baadaye; ilhali nao
bado wanahitaji ukombozi
wa kifikra kwani
wanaonekana kukua
kimwili lakini vichwani
mwao hamnazo au kwa
maneno mengine tuseme
fikra zao bado ni mateka
wa mazingira!
(Mwandishi wa makala
haya ni msomaji wa muda
mrefu wa gazeti la ANNUUR anayeishi jijini
Mwanza.)

KIDATO CHA TANO NA KURUDIA MITIHANI

ILALA ISLAMIC SECONDARY

USAJILI
S.2401

KWA WASICHANA TU

IPO: ILALA-AMANA-MTAA WA ARUSHA: MASJID SHAFII


SHULE YA BWENI NA KUTWA

MASOMO

Math, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,


B/keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Quran
COMBINATION
PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA
UFAULU 2014
KIWILAYA 3/76, KIMKOA 10/191, KITAIFA 118/2322
Kwa shule za kiislam KIWILAYA (1) KIMKOA (2) KITAIFA (5)
Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, V
MAWASILIANO
Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822,
0714 381964

DAR ES SALAAM ISLAMIC SEC.

USAJILI
S.4384

KWA WAVULANA TU

Ipo Ilala-Bungoni: Masjid Taqwa


MASOMO
Math, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce, B/
keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Quran
COMBINATION
PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA
UFAULU 2014
Kama Ilala Islamic, imetenganishwa toka Ilala Islamic
Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, V
MAWASILIANO
Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964
Ada ni nafuu na inalipwa kwa awamu nne
MLETE MWANAO APATE ELIMU NA MALEZI BORA

18

Makala

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Uhalifu ulipofanyika
Safari ya mwandishi kwenda My Lai na siri za nyakati hizo
Na Seymour M. Hersh
KUNA mtaro mrefu
katika kijiji cha My Lai.
Asubuhi ya Machi 16,
1968, ulikuwa umejaa
miili ya waliokufa
makundi ya wanawake,
watoto, wazee, wote
wa k i wa wa m e p i g wa
risasi na askari vijana
wa ki-Marekani.Sasa,
miaka 47 baadaye, mtaro
wa My Lai unaonekana
mpana zaidi kuliko
ninavyokumbuka
katika picha za mauaji
hayo: mmomonyoko
na kusahau vinafanya
kazi zao. Wakati wa Vita
vya Vietnam,, kulikuwa
na shamba la mpunga
karibu na hapo, lakini
ilikuwa imewekwa lami
ili kuwezesha My Lai
ifikike na maelfu ya
watalii wanaokuja kila
mwaka kuzunguka eneo
hilo kuona vielelezo
hivyo vya kawaida
kuelezea tukio hilo bay
asana. Mauaji ya My
Lai yalikuwa ni tukio
maalum la kubadili
mwendo wa vita hivyo
visivyokuwa na sababu
ya kuwepo: kikosi cha
wa-Marekani cha askari
100 hivi, kikijulikana
kama Kombania Charlie,
baada ya kupata taarifa
potofu za ujasusi, na
wakidhania watakutana
na wapiganaji wa
kikomunisti au washirika
wao, walikuwa tu kijiji
tulivu wakai wa chai
asubuhi. Hata hivyo,
askari wa Kombania
Charlie walibaka
wanawake, wakachoma
moto nyumba ma
kugeuza bunduki zao
za M-16 kwa raia wasio
na silaha wa My Lai.
Miongoni mwa viongozi
wa shambulio alikuwa
Luteni William L.Calley,
mtoro wa chuo kutoka
Miami.
Mapema 1969,
wengi kati ya askari
wa Kombania Charlie
walikuwa wamemaliza
muda wao na kurudi
nyumbani. Wakati huo
nilikuwa mwandishi wa
kujitegemea wa miaka
32 huko Washington,
DC. Nikiwa napenda
sana kujua jinsi vijana
wavulana tu, kusema
kweli wangeweza kuwa

RAIS wa Marekani, Barack Obama.


wamefanya jambo hilo,
na damu, akitambaa
nilitumia wiki mbili
kuelekea miili ile na
kuwafuatilia.. Mara nyingi
kutelezea kuelekea
walizungumza kwa uwazi
shamba la mpunga.
na, kwa sehemu kubwa,
Mama yake anaelekea
wak in iam bia u k we li,
alikuwa amemlinda kwa
wakieleza walichokifanya
mwili wake. Calley aliona
pale My Lai na jinsi
kilichotokea, na kufuatana
walivyopanga kuishi na
na mashuhuda, alikimbia
kumbukumbu ya jambo
kumfuata yule mtoto,
lile.
akamvuta katika mtaro,,
Katika ushuhuda
akamtupa ndani yake, na
mbele ya uchunguzi wa
kumpiga risasi.
Jeshi, baadhi ya askari
Asubuhi baada
hao walikiri kuwa
ya mauaji, Meadlo
katika mtaro huo lakini
alikanyanga bomu la
wakadai kuwa walikuwa
kutegwa akiwa katika
wakimtii Calley, ambaye
doria ya kawaida, na
alikuwa anawaamrisha
mguu wake wa kulia
kuua. Walisema kuwa
u k a l i p u l i wa . A k i wa
mmoja wa waliopiga risasi
anangoja kuondolewa
zaidi, pamoja na Calley
kupelekwa katika
mwenyewe, alikuwa ni
hospitali ya medani ya vita
Private |Daraja la Kwanza
kwa helikopta, alimlaani
Paul Meadlo . Ukweli
Calley.
bado unateleza, lakini
Mungu atakuadhimbu
askari mmojaalinieleza
kwa kile ulichonifanya
jinsi wakati mmoja
nikifanye, askari mmoja
askari wenzake, nilisikia
anakumbuka Meadlo
baadaye,,walikumbuka
akisema.
vyema. Kwa amri ya
Mpeleke kwenye
Calley, Meadlo na wenzake
helikopta! Calley alifoka.
waliachia mkupuo baada
Meadlo aliendelea
ya mkupuo wa riasasi
kutoa laana kwa Calley
na kutupa maguruneti
hadi helikopa ilipofika.
kadhaa.
Meadlo alikulia katika
Halafu ikatokea sauti
eneo la shambani Indiana
kali ya kilio, ambayo
magharibi.. Baada
iliongezeka wakati
muda mrefu uliotumika
mvulana wa miaka
kuangusha visenti katika
miwili au mitatu,, akiwa
simu za kulipia na kuwaita
a m e f u n i k wa n a t o p e
watawanya habari katika

jimbo hilo, nilikutana


na familia ya Meadlo
ikiwa imeorodheshwa
New Goshen,mji mdogo
karibu na Terre Haute
(eneo lililoinuka).
Mwanamke ambaye
kumbe ndiye mama
yake Paul, Myrtle,alijibu
simu..Nilisema kuwa
mimi ni mwandishi
na naandika kuhusu
Vietnam.Nikauliza Paul
anaendeleaje, na kueleza
wasiwasi kama naweza
kufika na kuongea naye
kesho yake. Alinijibu
kuwa ninakaribishwa
kujaribu.
Kina Medlo walikuwa
wakiishi katika nyumba
moja ndogo wakiwa
wanafuga kuku
katika shamba chovu.
Niliposimama na gari hiyo
ya kukodi,,Myrtle alitoka
kunisalimu na kusema
kuwa Paul alikuwa ndani,
licha ya kuwa alikuwa
hajui kama atazungumza
au ambacho angesema.
Ilikuwa wazi alikuwa
hajamwambia mambo
mengi kuhusu Vietnam.
Halafu Myrtle akasema
jambo ambalo lilijumuisha
vita ambayo nilikuwa
nimezoea kuichukia.
|Niliwapelekea kijana
mwema na wakamgeuza
kuwa mwuaji.
Meadlo alinikaribisha
ndani na kukubali
kuzungumza. Alikuwa
na umri wa miaka
ishirini na mbili. Alikuwa
ameoa kabla ya kwenda
Vietnam, na yeye ne
m k e we wa l i k u wa n a
mtoto mvulana wa miaka
miwili na nusu na kabinti
kachanga. Licha ya jeraha
lake, alikuwa akifanya kazi
ya kiwandani kusaidia
familia. Nilimwambia
anonyeshe jeraha lake na
kunieleza alivyotibiwa.
Aliondoa visaidizi
v ya k e v ya k u t e m b e a
akaelezea yaliyomkuta.
Haikuchukua muda
maongezi yakeelekea My
Lai. Meadlo alizungumza
na kuzungumza,
akijaribu kwa kila njia
kujirudishia heshima kiasi
fulani. Bila hisia ya wazi,
alielezea amri za Calley
za kuua. Hakuhalalisha
alichokifanya huko My
Lai, isipokuwa kwamba
mauaji hayo "yaliondoa
mzigo katika hisia zangu,"

kwa sababu ya "wenzetu


tuliowapoteza. Ilikuwa ni
kisasi, hakuna zaidi."
Meadlo alielezea
vitendo vyake kwa
kina cha kushtua.
" I l i k u wa i n a a m i n i k a
k u n a wa p i g a n a j i wa
kikomunisti hapo (My Lai)
na tukaanza kupafagia,"
alinieleza. "Tulipofika pale
tulianza kuwakusanya
watu... kuwaweka katika
makundi makubwa.
L a z i m a k u l i k u wa n a
kiasi cha raia arobaini au
arobaini na tano wakiwa
wa m e s i m a m a k a t i k a
mduara mmoja katikati ya
kijiji. .... Calley aliniambia
na watu wengine wawili
tuwaangalie." Calley,
alivyokumbuka, alirudi
dakika kumi baadaye na
kumwambia "Endelea.
Nataka kuwaona
wamekufa." Kutoka futi
kumi an kumi na tato
kutoka hapo, Meadlo
alisema, Calley "alianza
kuwapiga risasi. Halafu
akaniambia nianze
kuwapiga risasi. ....
Nilianza kuwapiga risasi,
l a k i n i wa t u ( a s k a r i )
wengine walikataa. Kwa
hiyo sisi - Meadlo na
Calley - tuliendelea na
kuwaua. Meadlo anakisia
kuwa aliua takriban watu
kumi na tano katika
mduara huo. "Wote
tulikuwa chini ya amri,"
a l i s e m a . " Tu l i d h a n i a
wote kuwa tunatenda
yanayopasa. Wakati ule
hilo halikunisumbua."
Kulikuwa na ushuhuda
rasmi unaoonyesha kuwa
Meadlo alipata mfadhaiko
mkubwa sana kutokana
na amri ya Calley. Baada
ya kuambiwa na Calley
"kumalizana na kundi
hilo," mmoja wa askari
wa Kombania Charlie
alieleza, Meadlo na askarai
mwingine "walikuwa hasa
wanacheza na watoto
haom wakiwaambia
wakae wapi na kuwapa
watoto chocolate."
Aliporudi Calley akasema
anataka aone wamekufa,
askari huyo alielezea,
"Meadlo alimwangalia tu
kama hakuwa anaamini
anachosema. Alisema
"wapoteze?" Calley
alipojibu ndiyo, askari
mwingine alisema,
Inaendelea Uk. 19

19

Makala

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Safari ya mwandishi kwenda My Lai na siri za nyakati hizo


Inatoka Uk. 18
Meadlo na Calley
"walianza kupiga risasi,"
Lakini punde Meadlo
"akaanza kulia."
M i k e Wa l l a c e , w a
shirika la utangazaji la
CBS, alikuwa na shauku
n a m a h o j i a n o ya n g u ,
na Meadlo akakubali
kuelezea upya habari
zake, televisheni ya taifa.
Nililala usiku huo kabla ya
kurekodi kipindi kwenye
k o c h i n y u m b a n i k wa
kina Meadlo na kusafiri
kwa ndege kwenda New
York asubuhi iliyofuata
pamoja na Meadlo na
mkewe. Kulikuwa na
muda wa kuzungumza, na
nikaarifiwa kuwa Meadlo
alitumia wiki kadhaa
akitibiwa na kurudia hali
ya kawaida katika hospitali
ya Jeshi hulo Japan. Mara
alipofika nyumbani,
hakusema lolote kuhusu
al i choki ona Vietn am.
Usiku mmoja, muda mfupi
baada ya kurudi, mkewe
aliamshwa na kilio cha
sauti kali katika chumba
cha mtoto mmojawapo.
Aliharakisha akamkuta
Paul akimtingisha kwa
nguvu huyo mtoto.
N i l i t o n y wa k u h u s u
My Lai na Geoffrey
C owan, mwan as h eria
kijana mpinga vita jijini
Washington, DC. Cowan
alikuwa hana taarifa halisi
lakini alikuwa amesikia
habari hizo kutoka kwa
askari asiyetajwa jina kuwa
askari mmoja wa Marekani
alikuwa amepandwa na
ukichaa akaua raia wengi
wa Vietnam. Miaka mitatu
baadaye, wakati nikiripoti
makao makuu ya jeshi
la Marekani kwa shirika
la Associated Press,
niliambiwa na maofisa
kadhaa waliorudi kutoka
vitani kuhusu mauaji ya
raia wa Vietnam ambako
kulikuwa kunaendelea.
Siku moja, wakati
nikifuatilia dokezo la
Cowan, nikakumbana na
Kanali mmoja wa jeshi
kijana tu ambaye nilikuwa
namfahamu nikiripoti
kutoka Pentagon.
Alikuwa amejeruhiwa
m g u u n i Vi e t n a m n a ,
akuwa anaendelea
kupona, akasikia kuwa
a n g e p a n d i s h wa c h e o
kuwa jenerali. Alikuwa
sasa akifanya kazi
katika ofisi ambayo
ilikuwa na majukumu ya
siku hadi siku kuhusu
vita. Nilipomwuliza

anachokifahamu kuhusu
askari mmoja aliyeua raia
wengi aliniangalia kwa
jicho kali la hasira, na
kuanza kupiga mkono
wake kwenye goti. "Yule
mtoto Calley hakupiga
risasi mtu mrefu zaidi ya
hapa," alisema.
Nilikuwa na jina.
Katika maktaba ya
mtaani, nikakuta habari
i l i y o c h i m b i wa k a t i k a
gazeti la Times kuhusu
mtu aitwaye Luteni
Calley ambaye alikuwa
ameshtakiwa na Jeshi
k wa m a u a j i ya i d a d i
isiyothibitishwa ya raia
huko Vietnam Kusini.
Nikamfuatilia Calley,
ambaye Jeshi lilikuwa
limemficha katika makazi
ya maofisa wa juu huko
Fort Benning, Columbus,
jimbo la Georgia. Wakati
huo, mtu fulani katika Jeshi
alikuwa ameniruhusu
kusoma na kuandika
kutoka hati ya siri ya
mashtaka kumshtaki
Calley kwa mauaji ya
kukusudia ya 'binadamu
wa Mashariki' mia noja
na tisa.
Calley hakuonekana
ki-shetani kwa lolote.
Alikuwa mtu mwenye
mwili mdogo, mwenye
wasiwasi katika miaka ya
25 na ziada hivi, na ngozi
ya kupauka. hata ndani
kuonekana kwa mbali.
Alijitahidi kuonekana ni
mgumu. Juu ya bia nyingi,
alinieleza jinsi yeye na
askari wake walivyokutana
na adui na kupambana
naye huko My Lai katika
pambano kali. Tuliongea
usiku wote. Wakati mmoja,
Calley akainuka, kwenda
bafuni. Aliacha mlango
umefunguka kidogo,
na niliweza kuna kuwa
alikuwa anatapika damu.
Mwezi Novemba 1969,
nioliandika makala tano
kuhusu Calley, Meadlo na
mauaji hayo. Nilikwenda
kuwaona wahariri wa 'Life'
nas 'Look' bila mafanikio,
hivyo nikaelekea
shirika dogo la habari
linalopinga vita, Dispatch
News Service. Ilikuwa
ni wakati wa wasiwasi
unaoongezeka na vurugu.
Richard Nizon alikuwa
ameshinda uchaguzi
mkuu wa mwaka 1968
akiahidi kumaliza vita,
lakini mpango wake halisi
ulikuwa ni kushinda vita,
kwa kutumia ongezeko la
mashambulio na upigaji
mabomu kwa siri. Mwaka
1969, kiasi cha askari elfu

15 wa Marekani walikuwa
wanauawa kila mwezi,
bila tofauti na ilivyokuwa
mwaka uliotangulia.
Waandishi wa habari
za vita, kama Homer
Bigart, Bernard Fall, David
Halberstam, Neil Sheehan,
Malcolm Browne, Frances
FitzGerald, Gloria
Emerson, Morley Safer
na Ward Just walipeleka
habari zisizohesabika
kutoka uwanja wa vita
ambazo zilionyesha zaidi
na zaidi kuwa vita hivyo
vilikuwa havina vilipoketi
k imaadili, v imep ot ea
kimkakati, na siyo kile
a m b a c h o m a o f i s a wa
kijeshi na kisiasa walikuwa
wanawaambia watu huko
Saigon na Washington.
Hapo Novemba 15, 1960,
s i k u m b i l i b a a d a ya
kuchapishwa kwa taarifa
yangu ya kwanza kuhusu
My Lai, maandamano
dhidi ya vita jijini
Wa s h i n g t o n ya l i v u t a
watu nusu milioni. H.R.
Haldeman, msaidizi
wa kuaminika zaidi wa
Rais Richard Nixon,
mfuatiliaji wa maelekezo
yake, alipewa maelekezo
ofisini kwa rais ambaye
ya l i c h a p i s h wa m i a k a
kumi na nane baadaye.
Yalionyesha kuwa mnamo
Desemba 1,1969, wakati
wa kilele cha upinzani
uliofuatia aliyofichua Paul
Meadlo, Nixon aliridhia
kutumika kwa 'hila chafu'
kumchafua shuhuda
muhimu wa mauaji hayo.
Pale, mwaka 1971. jopo
la mahakama ya kijeshi
lilipomhukumu Calley
k wa m a u a j i ya wa t u
wengi na kutoa adhabu ya
kifungo cha maisha na kazi
ngumu, Nixon aliingilia,
akaamrisha Calley
afunguliwe kutoka katika
jela ya Jeshi na kuwekwa
kizuizini nyumbani kwake
kungoja upitiaji mpya
wa hukumu hiyo. Calley
aliachiliwa miezi mitatu
baada ya Nixon kuondoka
madarakani na kutumia
miaka iliyofuata akifanya
kazi katika duka la vito
vya thamani la baba mkwe
wake, huko Columbus,
jimboni Georgia na kutoa
maelezo ya kujikirimu yeye
mwenyewe kwa waandishi
wa habari waliokuwa
tayari kulipia mahojiano
yao. Mwishowe, mwaka
2009, katika hotuba klabu
ya K i wa n i s , a l i s e m a
"hakuna siku ambayo
sijisikii vibaya" kwa My
Lai, lakini kuwa alikuwa

MAKAMU wa Rais wa zamani wa Marekani Dick


Cheney.
akifuata amri, "kijinga,
nadhani." Calley ana umri
wa miaka sabini na moja
sasa. Ndiye ofisa wa jeshi
peke yake aliyepatikana
na hatia kwa nafasi yake
katika mauaji ya My Lai.
Mwezi Machi, 1970
upelelezi wa Jeshi
ulipeleka mashtaka
maridhawa kutoka mauaji
ya kukusudia hadi utovu
mkubwa wa wajibu
dhidi ya maofisa 14 wa
jeshi, ikiwa ni pamoja na
majenerali na makanali,
a m b a o wa l i s h t a k i wa
kwa kufunikafunika
mauaji hayo. Ni ofisa
mmoja tu kuacha Calley
ambaye alifikishwa jopo
la mahakama ya kijeshi
hatimaye, na akakutwa
hana hatia.
Miezi miwili baadaye,
wakati harakati dhidi ya
vita inafurukuta katika
vyuo vikuu - upinzani
ambao ulikuwa ni
pamoja na kuuawa kwa
wa n a f u n z i wa n n e n a
askari wa vikosi vya ulinzi
wa ndani jimboni Ohio nilienda Chuo Kikuu cha
Macalester. jiji la St Paul,
Minnesota, kutoa hotuba
dhidi ya vita. Hubert
Humphrey, ambaye
alikuwa makamu wa rais
mtiifu wa Lyndon Johnson,
sasa alikuwa profesa wa
taaluma ya siasa katika
chuo hicho. Alishindwa
kura na Nixon uchaguzi
mkuu wa mwaka 1968,
sababu mojawapo ikiwa ni
kushindwa kujitenganisha
na sera za LBJ kuhusu
Vietnam. Baada ya hotuba
yangu, Humphrey akataka
kuzungumza na mimi,
"Sina tatizo na wewe, Bw,
Hersh," alisema. "Ulikuwa
unafanya kazi yako na

uliifanya vizuri. Lakini


kwa hao vijana waliokuwa
waliandamana na kusema
'Hey, ni watoto wangapi
mmewaua leo?"sura ya
mviringo na mng'aro ya
Humphrey ilianza kuwa
nyekundu, na sauti yake
kuongezeka kila kipande
cha mameno alichosema,
"Nasema, wa...nge tu,
wase.... tu, wase.... tu."
Nilitembelea My
Lai (kama kijiji hicho
kilivyokuwa kinaitwa na
Jeshi la Marekani) miezi
michache iliyopita, na
familia yangu.. Kurudi
k we n ye e n e o u h a l i f u
ulikofanyika ndiyo
wanachopenda kufanya
wa a n d i s h i wa h a b a r i
katika umri fulani,
lakini sikuweza kujizuia.
Niliomba ruhusa kutoka
seirkali ya Vietnam
Kusini mapema kwama
1970 lakini wakati huo
uchunguzi wa ndani wa
makao makuu ya Jeshi
l a M a r e k a n i u l i k u wa
unaendelea na eneo hilo
l i l i f u n g wa k wa wa t u
kutoka nje. Nilijiunga na
gazeti la Times mwaka 1972
ma kutembelea Hanoi.
Vietnam ya Kaskazini.
Mwaka 1980, miaka
mitano baada ya kuanguka
Saigon, nilisafiri tena
kwenda Vietnam kufanya
mahojiano kwa kuandika
kitabu na kuandika
habari kadhaa kwa ajili
ya Times. Nilidhani najua
kila kitu, au karibu vyote,
vinavyoweza kufahamika
kuhusu mauaji hayo.
Ni wazi nilikuwa
nimekosea. (Imetafsiriwa
kwa Kiswahili kutoka
Kiingereza na Anil Kija)

AN-NUUR

20

MAKALA

20

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-16, 2015

AN-NUUR

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 2015

Safari ya Hijja Hijiria 1436

Tanzania Muslim Hajj Trust, uandikishaji unaendelea,


gharama za Hijja ni US Dollar 4400, tarehe za Safari ni:
11 na 13 Septemba, kurudi 7 Oktoba, 2015.
Wahi kujiandikisha sasa
Kwa mawasiliano: +255 222 182370
0754 261910; 0717 000065
+255 222181577
0784 272723
0786 383820
website-www.hajjtrust.or.tz
0713 764636

E-mail:info@hajjtrust.or.tz

Walimu wa Madrasa wameachiliwa - Katimba

Na Bakari Mwakangwale

WALIMU wa Madrasa
waliokuwa wakidaiwa
kushikiliwa na Polisi
wameachiwa.
Aidha, madrasa zao
zilizokuwa zimefungwa
nazo sasa huru
k u f a n ya k a z i h u k u
ikitolewa taarifa kuwa
hakutakuwa tena na
bughudha.
H a y o ya m e l e z wa
na Rajab Katimba
akisema kuwa hatua
hiyo imefikiwa baada
ya vikao kadhaa baina
ya viongozi wa taasisi
za Kiislamu na serikali.
Kwa mujibu wa taarifa
ya Katimba, maongezi
hayo yalichukua
siku kadhaa, kabla
ya kufikia muafaka,
a m b a p o Wa i s l a m u
wa l i wa k i l i s h wa n a
Mwenyekiti wa Jumuiya
na Taasisi za Kiislamu
Sheikh Mussa Kundecha
pamoja na Sheikh Rajab
Katimba.
Kwa upande wa
S e r i k a l i k u l i wa n a
viongozi kutoka ofisi
ya DPP, Mwanasheria
M k u u wa S e r i k a l i ,
Wizara ya Mambo
ya Ndani, pamoja na
maafisa wa Jeshi la
Polisi.
Akiongea na Gazeti la
An nuur, Jumatano wiki
hii, msemaji wa Jumuiya
na Taasisi za Kiislamu,
Sheikh Rajabu Katimba,
alisema maongezi yao
yamekuwa na tija kwani
wamejenga msingi wa
maelewano baina ya
serikali na Waislamu.
Akielezea yaliyojiri
katika maongezi yao
alisema, wamewekana
sawa na wawakilishi
hao wa Serikali katika
mambo ambayo
Waislamu wamekuwa
wakiyalalamikia

Madrasa zao sasa zafunguliwa


Hakutakuwa na bughudha tena

Mwenyekiti wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Sheikh Mussa Kundecha (kulia) na


Sheikh Rajab Katimba (katikati).

hivi karibuni, huku


wakionyesha kulikuwa
na hali ya uvunjwaji
mwingi wa sheria
u n a o f a n y wa k a t i k a
operesheni iliyokuwa
ikifanyika ikidaiwa
kuwa ni katika jumla ya
kukabiliana na viashiria
vya ugaidi.
Katika operesheni
hiyo, inadaiwa
kuwa kuna madrasa
z u i l i f u n g w a
kikamokosa huku
kukiwa pia na
walimu wa madrasa
waliokamatwa bila ya
kuwa na makosa.
Tuliongelea mambo
kadhaa, tulianza na
hili suala la kuzifungia
Madrasa na kukamatwa
k w a Wa l i m u w a
Madrasa hizo, kwa
kweli wametuelewa
na wametoa maelezo

huko Mikoani kwamba


hilo zoezi lisitishwe.
Alisema Shkh Katimba.
Alisema, mpaka
sasa tayari Walimu wa
Madrasa waliokuwa
wameshikiliwa na Jeshi
la Polisi wameachiwa
na Madrasa zilizokuwa
zimesitishwa sasa
zinaweza kuendelea.
Mpaka sasa
Walimu wetu wengi
wameachiwa na sisi
tumehakikisha kuwa
wameachiwa ndani ya
wiki hii, katika Mikoa
ya Mtwara, Kirimanjaro,
Wilayani Hai,
Lyamungo, Dodoma,
Kibaha, Lushoto na
humu Jijini Dar es
Salaam, na Madrasa
hazitabughudhiwa
kama awali. Alisema
Shkh. Katimba.

Ama
kuhusu
dhamana
kwa
Masheikh na Waislamu,
Katimba, alisema
maafisa hao wameahidi
kulishughulikia, ila
wanahitaji muda kwa
kuwa suala hilo haliwezi
kutatuliwa mara moja
kutokana na mambo
hayo kwa sasa kuwa ni
ya kisheria zaidi.
Walitueleza pamoja
na kupokea malalamiko
ya Waislamu na kwa
kuwa mambo hayo yapo
Mahakamani, kwa sasa
hawawezi kuyapatia
ufumbuzi mara moja, ila
wametuhakikishia kuwa
watayashughulikia.
Alisema Shkh. Katimba.
Alisema, mpaka
mwisho wa maongezi
yao (Jumanne wiki hii)
maofisa hao wa Serikali,

waliomba Waislamu
wasitishe maandamano
ili kuwapa muda wa
kuyafanyia kazi zaidi.
Wa l i c h o t u o m b a
ni sisi kuwaomba
Waislamu wawe na
subra na kusitisha
maandamano ili
kuweza kutoa wasaa
kwao (Serikali)
kushughulikia kile
ambacho wamekiongea
na kutuahidi. Alisema
Shkh. Katimba.
Kufuatia hatua
hiyo, Alhamisi (Jana)
viongozi wa Shura ya
Maimamu, walikutana
na Maimamu katika
Msikiti wa Mtambani,
ili kupata taarifa ya
jumla ya kikao baiana
ya Masheikh na Serikali.
Lengo la kukutana
na Maimamu ni kuwapa
mrejesho kwa yaliyojiri,
kama wajumbe wao
katika maongezi yetu
na Serikali.
Kwa kuwa Maimamu
ndi o wa ju mb e kwa
Waumini (Waislamu)
ili waweze kuwafikishia
taarifa hizi ili wasubiri
na kuipa muda Serikali
kwa yale ambayo
wametueleza. Alisema
Shkh. Katimba.
April, 29, Mwenyekiti
wa Jumuiya na Taasisi
za Kiislamu (T),
aliitaka Serikali kuacha
kuziandama Madrasa
na kuwakamata walimu
wake, huku wakiitaka
kutolea ufanunuzi
kwa nini Masheikh na
Waislamu, dhamana
zao zimezuiliwa.
Alisema, endapo
hawatapata ufafanuzi
n a m a e l e z o j u u ya
masuala hayo, Ijumaa
ya Mei 15, 2015 (Leo)
Waislamu watafanya
maandamano kwenda
kwa Waziri wa Mambo

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

You might also like