Professional Documents
Culture Documents
HabariZA
za
NISHATI
nishati&MADINI
&madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Toleo
No.138
51
Toleo No.
Limesambazwa
kwa Taasisi
naTaasisi
Idarana
zote
MEM
, 2015 23 - 29, 2016
Limesambazwa
kwa
Idara
zote MEM Tarehe - 23-29 JanuariSeptemba
Wabunge
WAZIRI MUHONGO
AAGIZA UTAFITI WA
KINA TETEMEKO
Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA
KAGERA
Somahabari Uk.2
UK
2
Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo
Mkurugenzi Mkuu wa
REA, Dk. Lutengano
Mwakahesya
>>>
UK. 4
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
Na Mohamed Saif
ataalam kutoka
Wakala wa
Jiolojia Tanzania
(GST) na Chuo
Kikuu cha Dar es
Salaam, wanaofanya utafiti baada
ya tetemeko la ardhi kutokea tarehe
10 Septemba, mwaka huu mkoani
Kagera, wametakiwa kuhakikisha
kuwa wanafanya utafiti wa kina ili
kubaini namna ambavyo miamba
ya maeneo husika ilivyo baada yab
Tetemeko, vilevile kuandaa ramani
mpya ya miamba katika maeneo
yatakayofanyiwa utafiti.
Agizo hilo limetolewa na Waziri
wa Nishati na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo alipofanya ziara
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
TAHARIRI
SEMINA JOGMEC,
GST NA MEM
Poleni Watanzania
kwa Tetemeko la
Ardhi
Meneja wa Maktaba na
Kumbukumbu za Jiolojia kutoka
Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST),
Masota Magigita, akizungumza
kuhusu rasilimali madini nchini
wakati wa Semina hiyo.
TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
Bodi ya uhariri
Msanifu: Lucas Gordon
Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
Mwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,
Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya
Five
Pillars of
Reforms
increase efficiency
Quality delivery
of goods/service
satisfAction of
the client
satisfaction of
business partners
satisfAction of
shareholders
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Na Rhoda James
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
ananchi
waliokumbwa
na tetemeko la
ardhi mkoani
Kagera na nyumba
zao kuathiriwa, wameshauriwa
kutokuanza ujenzi wa nyumba
hizo hadi hapo wataalam
watakapotembelea maeneo yao na
kuwapatia ushauri kuhusu ujenzi
husika.
Wito huo umetolewa na Waziri
wa Nishati na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo wakati alipofanya
wananchi.
Akijibu swali hilo, Waziri
Muhongo aliwashauri wananchi hao
kuwa na subira ili wataalam wakague
Nyumba zao na kuwashauri kabla
ya kuendelea na hatua ya ujenzi na
wakati huohuo aliwaagiza wataalam
ambao wako mkoani humo kufanya
zoezi hilo haraka.
Ni vyema mkawa na subira
kabla hamjafanya kitu ili wataalam
wapite kufanya ukaguzi pamoja na
kuwapatia ushauri wa kitaalam,
alisema Profesa Muhongo.
Aidha, Waziri Muhongo
aliwataka wananchi hao kuepuka
kusikiliza kauli za watu wasiokuwa
Waziri wa
Nishati na
Madini, Profesa
Sospeter
Muhongo
(kushoto)
akijadiliana
jambo na
Mtendaji
Mkuu wa
Wakala
wa Jiolojia
Tanzania,
Profesa
Abdulkarim
Mruma wakati
wa ukaguzi
wa shughuli
za utafiti wa
Tetemeko la
ardhi, mkoani
Kagera.
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Na Rhoda James
Kamishna Msaidizi wa
Nishati anayeshughulikia
Umeme, Mhandisi Innocent
Luoga (wa pili kutoka kulia)
akielezea Sera ya Nishati
ya Tanzania kwa wadau
mbalimbali walioshiriki
Semina hiyo.Wengine katika
picha ni Viongozi Waandamizi
kutoka Taasisi za Wizara ya
Nishati na Madini.
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
izara ya Nishati
na Madini,
kupitia Mradi
wa Usimamizi
Endelevu wa
Rasilimali Madini (SMMRP)
imepokea jengo la Ofisi ya Afisa
Madini Mkazi wilayani Tunduru
Mkoani Ruvuma kutoka kwa
kampuni ya ukandarasi ya Mkongo
Contractors ili kuanza kutumika
na ofisi hiyo baada ya kufanyiwa
ukarabati .
Akizungumza mara baada
ya kupokea jengo hilo wilayani
Tunduru hivi karibuni, Msanifu
Majengo kutoka SMMRP, Joseph
Ringo alisema kuwa lengo la
ukarabati huo ni kuimarisha
shughuli za kiutendaji katika
uendelezaji wa shughuli za madini
wilayani humo pamoja na viunga
vyake kutokana na wilaya hiyo
kujikita zaidi katika uchimbaji wa
madini ya vito ya aina mbalimbali.
Aidha, Ringo alifafanua kuwa,
kama ilivyo dhamira ya mradi wa
SMMRP, kufanyika kwa ukarabati
katika jengo hilo kutawezesha Afisa
Madini Mkazi wa eneo hilo kufanya
kazi zake kwa ufanisi na hivyo
kufikia malengo aliyojiwekea katika
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
ENERGY SECTOR
(INDIVIDUAL CONSULTANT)
REQUEST FOR EXPRESSIONS OF INTEREST
FOR
PROVISION OF CONSULTANCY SERVICES FOR PREPARATION OF PROJECT
PROPOSAL DOCUMENT AND M&E SYSTEM MANUAL FOR THE PROJECT
Project ID No.: P-TZ-FA0-012
Bid No.:PA/131/2016-17/C/06
22ndSeptember, 2016
1. The United Republic of Tanzania has received
financing from the African Development Bank toward the
cost of the Geothermal Development Project, (Recommended
by the Investment Plan for Tanzania, April 21st 2013) and
intends to apply part of the agreed amount of this grant
for payments under the contract for Consultancy Services
for Preparation of Geothermal Energy Development Project
Proposal Document and M&E Manual for the Project.
2. The main objective of the consultancy services is
to provide technical support to the Government, through
the Ministry of Energy and Minerals and Tanzania
Geothermal Development Company Limited (TGDC) by
preparing a comprehensive project proposal document with
recommendations for addressing the high upfront risks in
the early stages/phases of geothermal development; and
propose a system for assessing the progress of performance
of the project.
3. The Tanzania Geothermal Development Company
Limited (TGDC)now invites eligible and qualified Individual
Consultants to indicate their interest in providing the
specified services. Interested consultants must provide
information indicating that they are qualified to perform the
services by submitting their academic qualification, reference
of similar assignments and experience in similar condition.
General Manager,
Tanzania Geothermal Development Company Limited,
Mt. Meru Building, 2nd Floor, Mandela Road,
P.O.Box 14801, Dar es Salaam,
Tel; +255 (0) 687 833 855
Emails; gm.tgdc@tanesco.co.tz; info.tgdc@tanesco.co.tz
10
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
CURRENT TRENDS
By Raphael B.T. Mgaya
The author is an advocate of the Superior Courts in Tanzania and subordinate courts save the Primary Courts. He currently works as a
Senior Legal Officer for the Ministry of Energy and Minerals. He holds LLB (Hons.) (Dar); LLM (Intl law) (Warwick); LLM (Oil and Gas law)
(RGU Aberdeen); MBA (Mzumbe); CLE (Mississippi).
He can be reached through: raphael.mgaya@gmail.com
DISCLAIMER:
Views expressed herein are entirely authors views and should not be associated with his employer.
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
11
By Eng.Gilay Shamika
Engineer & Gemologist TMAA
Email: gshamika@tmaa.go.tz
Phone: +255 762 715 762
Picture 1:
Cut and
Polished
Aquamarine
quamarine is a
member of the
beryl family and
ranges in color
from an almost
colorless pale blue to blue-green.
The most prized color is a deepblue aqua color and gets its name
from Latin words meaning water
(aqua) and sea (marine).
Aquamarine is the modern
March birthstone as adopted
by the American National
Association of Jewelers in 1912.
It is also suggested as a gem
to give on the 16th and 19th
wedding anniversaries. The most
valuable aquamarines come
from Brazil, but it is also mined
in Kenya, Nigeria, Madagascar,
Zambia, Tanzania, Sri Lanka,
Pakistan, Afghanistan and
Russia.
In Tanzania Aquamarine
ismostly available at Ruvuma:
Tunduruand Manyara: Mbulu
Geology
The process of forming
aquamarine is almost entirely
dependent on the presence of
two components: beryl and iron.
Beryl is largely comprised
of beryllium aluminum
cyclosilicate. In its purest form
it is clear. When iron is present,
beryl takes on a blue color, and
is then known as Aquamarine.
Beryl is primarily located
in deposits known as granitic
pegmatites, which are large
structures comprised of
interlocking minerals and
rocks. Granitic pegmatites
are especially high in granite
deposits.
Varieties:
Aquamarine is the variety of
Beryl. Beryl also contains other
Unit of Measure
Beryl
DR 1.577 to 1.583
2.72
7.5 to 8.0
Medium
Unstable
Habari za nishati/madini
12
NewsBulletin
YALIYOJIRI MKUTANO WA WAZIRI MUHONGO
NA WAFANYAKAZI WA TANESCO MKOA WA
KAGERA, TAREHE 22 SEPEMBA, 2016
http://www.mem.go.tz
Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo
(kulia) akimsikiza
Mtendaji Mkuu wa
Wakala wa Jiolojia
Tanzania (GST),
Abdulkarim Mruma
(mwenye kipaza
sauti) wakati Pofesa
Muhongo alipokutana
na Wafanyakazi wa
Shirika la Umeme
Tanzania (TANESCO)
mkoani Kagera.Wa
kwanza kushoto
ni Meneja wa
TANESCO- kanda ya
Ziwa, Mhandisi Amos
Maganga, na wa pili
kushoto ni Meneja
wa TANESCO mkoa
wa Kagera Mhandisi
Francis Maze.
Ameagiza Bodi ya TANESCO kwa kushirikiana na
Menejimenti kuhakikisha inatatua suala la vibarua katika
Shirika hilo. Alisema haiwezekani mtu akawa kibarua kwa
zaidi ya miaka 5.
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
13
LNG VALUE
CHAIN AND
MARKETS >> FROM PG. 10
and to accommodate large on-shore LNG storage
tanks during offloading (Fig. 2).
LNG Ships
Baadhi ya mitambo ya umeme katika kituo cha kupooza na kusambaza umeme kilichopo mkoani
Singida. Kituo hiki ni moja ya vituo vilivyoboreshwa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji mradi wa ujenzi wa
miundombinu ya kusafirisha umeme ya msongo wa kV 400 kutoka Iringa hadi Shinyanga (Backbone)
Na mwandishi wetu
14
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
HABARI PICHA
Baadhi ya Watendaji
wa Wizara ya Nishati
na Madini na Taasisi
zake wakimsiliza
Meneja wa Kampuni ya
Kuzalisha Umeme wa
Jua ya JUSUNG kutoka
Korea Kusini, Justin Yi
alipokuwa akiwasilisha
mapendekezo yao
kuhusu kuwekeza
kwenye Nishatiya
Umeme. Kikao hicho
kilifanyika Makao
Makuu ya Wizara jijini
Dar es Salaam. Katikati
ni Naibu Katibu
Mkuu wa Wizara ya
Nishati na Madini
anayesimamia Nishati,
Dkt.Mhandisi Juliana
Pallangyo.
Makamu wa Rais wa
Kampuni ya Kuzalisha
Umeme Jua ya JUSUNG
kutoka Korea Kusini,
Yong-Woo Shin akisaini
kitabu cha Wageni
ofisini kwa Naibu Katibu
Mkuu wa Wizara ya
Nishati na Madini
anayesimamia Nishati,
Dkt.Mhandisi Juliana
Pallangyo. Pembeni yake
ni Naibu Katibu Mkuu
wa Wizara ya Nishati na
Madini anayesimamia
Nishati, Dkt. Mhandisi
Juliana Pallangyo.
15
NewsBulletin
China yaonesha nia kuwekeza Mradi
wa Umeme Mchuchuma Makambako
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
Na Veronica Simba
Viongozi na Wataalam waandamizi kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Shirika la Umeme Tanzania
(TANESCO) na Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), wakifuatilia kwa makini uwasilishaji wa
mapendekezo ya uwekezaji katika Mradi wa kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 400 kutoka
Mchuchuma hadi Makambako, uliokuwa ukifanywa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Gridi la Taifa la
China, katika nchi za Tanzania na Kenya, Dkt Zhang Xiang, katika kikao kilichofanyika hivi karibuni, jijini
Dar es Salaam.
ya hali ya juu katika utekelezaji wa
miradi yake ambayo inajumuisha pia
utoaji wa mafunzo katika miradi ya
umeme ya aina zote.
Vilevile, Dkt Xiang aliongeza
kwamba, Kampuni ya CET inao
uwezo wa kutoa suluhisho la
uwezeshaji kifedha kufanikisha miradi
mbalimbali ya umeme.
Kwa upande wake, Kamishna
Msaidizi wa Nishati anayeshughulikia
Umeme, kutoka Wizara ya Nishati
na Madini, Mhandisi Innocent Luoga
aliwaeleza wawakilishi hao kutoka
Shirika la Gridi la China kuwa, Serikali
ya Tanzania imedhamiria kwa dhati
kuboresha upatikanaji wa umeme kwa
wananchi wake; hivyo, Shirika hilo
linakaribishwa kuwekeza katika Mradi
husika.