WATANZANIA WANATAKA MABADILIKO:
Ndugu zangu, mnaweza ku!iuliza kwa nini nimeyaeleza yote hayo na yana mahusiano gani nadhamira yangu ya kutangaza nia ya kutaka kuiongoza n$hi yetu kupitia CCM5 Watanzania wanataka ma"adiliko yatakayowawezesha kuka"iliana na $hangamoto hizi nakuwaongoza ku!enga )aifa imara am"alo kila mwanan$hi wake anaishi akiwa na uhakika wausalama wa maisha yake, mali zake na mahita!i yake muhimu. apo hapo aki!iridhisha kwam"aleo yake ni "ora kuliko !ana yake, na kesho yake itakuwa "ora zaidi kuliko leo yake. Kwamaneno mengine, Watanzania wanahita!i ma"adiliko yatakayowapa uongozi imara, unaowezakuwaongoza ku!enga taifa imara.
Hii ndio Saa!i ya Ma#$"aini%
Naamini kwam"a, hata katika kipindi hiki am"apo Watanzania wanataka ma"adiliko, nawanaendelea kuamini kwam"a CCM ina uwezo wa kusimamia ma"adiliko hayo. akini kama alivyotuusia 3a"a wa )aifa, Mwalimu (ulius Nyerere, mwaka *++, wakati wau$haguzi mkuu wa kwanza $hini ya mfumo wa vyama vingi hapa n$hini,
Wa#an*ania+asi,oya,a#a "abadi-i.o ayo ndani ya &&M +a#aya#a$#a n/0 ya &&M
62ina shaka, CCM tunao uwezo wa kuwapa Watanzania ma"adiliko wanayoyataka.
UONGOZI UNAOHITA'IKA KULETA MABADILIKO YANAYOTAKIWA:
ais (akaya Kikwete amefanya kazi ku"wa katika kipindi $hake na kama am"avyo amekuwaakisisitiza mara kwa mara katika hotu"a zake za kari"uni ni kwam"a yeye ametekeleza wa!i"uwake. ia amesema anamwa$hia atakayemka"idhi uongozi wa n$hi yetu "aada ya yeye kumalizamuda wake kuendeleza pale atakapoa$hia.Kwa maoni yangu, ili kuifanya kazi hiyo na kuzika"ili $hangamoto nilizozieleza, n$hi yetuinahita!i uongozi wenye sifa zifuatazo7
i)
'ongozi wenye uthu"utu, usioogopa kufanya maamuzi magumu;
ii)
'ongozi tha"iti, makini na usioyum"a;
iii)
'ongozi wenye u"unifu na wenye upeo mku"wa;
iv)
'ongozi unaoamini katika mfumo shirikishi katika u!enzi wa )aifa;
v)
'ongozi unaozingatia muda katika kutekeleza ma!ukumu yake.