You are on page 1of 1

CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA

Telegrams: technical mbeya Simu: 2503016/7 au 2502861. Fax: 2502302

S.L.P. 131, MBEYA, TANZANIA.

Website: www.mist.ac.tz

Unapojibu tafadhali taja.

18/07/2013

Kumb. Na:BE.5/107/01/090 Ndugu. . .. .

YAH: KUITWA KWA MASOMO YA AWALI YA STASHAHADA


(PRE ORDINARY DIPLOMA ACCESS COURSE)
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Napenda kukuarifu kuwa umechaguliwa kujiunga na masomo ya AWALI YA STASHAHADA (PRE ORDINARY DIPLOMA ACCESS COURSE) yanayoendeshwa na CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST) Masomo yatafanyika katika vituo vitatu; MUST, VETA - MBEYA, na VETA - IRINGA,unatakiwa kuripoti katika kituo unachoona ni muafaka zaidi kwako. Masomo yataanza siku ya Jumatatu 5 / 8/ 2013 saa 2.00 asubuhi; hivyo unatakiwa kufika hapa siku ya Jumapili tar 04 /08 /2013. Masomo haya ni ya wiki kumi (10). Gharama za masomo ni kama ifuatavyo; KIFUNGU ADA MALAZI (MIST) CHAKULA (MIST) JUMLA - MIST JUMLA VITUO VINGINE WAVULANA 200,000/= 21,000/= 203,000/= 424,000/= 200,000 WASICHANA 150,000/= HAKUNA 203,000/= 353,000/= 150,000

Unaweza kukaa nyumbani au chuoni, lakini Chuo kinatoa nafasi ya malazi bila malipo kwa wanawake/wasichana. Kama utataka kukaa chuoni itakubidi uje na blanket,neti, mto na mashuka. Pia unapaswa kuja na vifaa vya darasani kama daftari, kalamu, penseli nk. NB; 1. 2. 3. Unatakiwa kuja na nakala halisi ya vyeti vyako (Original Certificates) Malipo ya ada na malazi yafanywe kwenye akaunti; NMB BANK 61001100022 Jina la akaunti ni MIST (MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY) Mwisho WA kuripoti ni tar 11/ 8 /2013, ukichelewa zaidi, nafasi yako utakuwa umeipoteza kwani wanaohitaji nafasi hiyo ni wengi. Ni matumaini yangu kwamba utaona kozi hii inakufaa na utafika kama ilivyopangwa. Unakaribishwa sana.

You might also like