You are on page 1of 24

1

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, WAKATI WA KULIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA, TAREHE 21 MACHI, 2014, DODOMA Mheshimiwa Samuel Sitta, Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba; Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tan ania; Mheshimiwa Dkt. !li Mohamed Shein, Rais wa "an ibar na Mwenyekiti wa Bara a la Ma#indu i; Mheshimiwa Mi engo $eter $inda, %a iri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tan ania; Mheshimiwa Maalim Sei& Shari& 'amad, Makamu wa Kwan a wa Rais wa "an ibar; Mheshimiwa Balo i Sei& !li (ddi, Makamu wa $ili wa Rais wa "an ibar Mheshimiwa !nne Semamba Makinda; S#ika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano; Mheshimiwa $andu !meir Ki&i)ho, S#ika wa Bara a la %awakilishi na Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalum la Katiba ; Mheshimiwa Rashid *thman +hande, Ja,i Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tan ania; Mheshimiwa *thman Makungu, Ja,i Mkuu wa "an ibar; -iongo i %akuu %astaa&u; %aheshimiwa %a,umbe wa Bunge Maalum la Katiba; %aheshimiwa %a,umbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba; %ageni waalikwa; Mabibi na Mabwana; Pong !" Nakushukuru sana Mheshimiwa Mwenyekiti kwa kunipa fursa ya kuja kuzungumza na Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge letu Maalum la Katiba katika siku hii muhimu na ya kihistoria kwa nchi yetu. Nimekuja kuwatakia heri na naungana na Watanzania wenzetu wote kuwaombea baraka za Mwenyezi Mungu, ili muweze kuifanya kazi yenu kwa utulivu, hekima, umakini mkubwa na kuimaliza kwa salama na kwa mafanikio yanayoyatarajiwa Watanzania. Natoa pongezi nyingi kwako na kwa Makamu wako kwa kuchaguliwa kwenu kuongoza Bunge hili maalumu na la kihistoria. shin!i mkubwa mliopata ni kielelezo tosha cha imani kubwa na matumaini waliyonayo Wajumbe wenzenu kwenu. Matumaini yao n!iyo matumaini ya Watanzania wote, kwamba mtaliongoza vizuri Bunge hili, ili liweze kutimiza kwa ufanisi mkubwa jukumu lake muhimu sana katika historia ya "amhuri ya Muungano wa #anzania. na

Mheshimiwa Mwenyekiti; Niruhusu pia niwapongeze kwa !hati Wajumbe wote wa Bunge Maalum la Katiba kwa bahati ya aina yake waliyopata ya kutunga Katiba mpya ya "amhuri ya Muungano wa #anzania. $ursa hii hutokea mara chache sana katika historia ya nchi yo yote na watu wake. Mkifanikiwa kuipatia nchi yetu Katiba nzuri majina yenu yataan!ikwa kwa wino wa !hahabu, katika kumbukumbu za historia ya "amhuri ya Muungano wa #anzania. Ni matarajio ya Watanzania kuwa mtatunga Katiba itakayokubalika na wengi. Katiba inayotekelezeka. Katiba itakayoimarisha Muungano wetu kwa kuon!oa changamoto zilizopo sasa. Katiba itakayoipa nchi yetu mfumo bora wa kuongoza na kuen!esha mambo yetu. Katiba itakayoimarisha umoja, upen!o, ushirikiano na mshikamano miongoni mwa wananchi wa #anzania, licha ya tofauti zao za asili za upan!e wa Muungano na maeneo watokako, au tofauti za jinsia, rangi, kabila, !ini na ufuasi wa vyama vya siasa. Katiba itakayo!umisha amani, usalama na utulivu nchini. Katiba itakayostawisha zai!i !emokrasia, haki za bina!amu, utawala wa sheria, utawala bora na ku!hibiti maovu. Na, mwisho ingawaje siyo mwisho kwa umuhimu, Katiba itakayoweka mazingira mazuri kwa uchumi wa nchi kukua, na wananchi wengi kunufaika sawia na maen!eleo yatayopatikana. H"#$o%"& '& K&$"(& N)*"n" Mheshimiwa Mwenyekiti na %aheshimiwa %a,umbe; %ii itakuwa mara ya tatu tangu kuzaliwa kwa "amhuri ya Muungano wa #anzania &prili '(, )*(+, kwa nchi yetu kuwa na mchakato wa kutunga Katiba mpya. Mara ya kwanza ilikuwa mwaka )*(, ilipotungwa Katiba ya Mu!a na mara ya pili ni mwaka )*-- ilipotungwa Katiba ya Ku!umu tuliyonao sasa. #ofauti na mara mbili zilizopita, safari hii mchakato unahusisha watu wengi zai!i. Wananchi wameshiriki moja kwa moja kutoa maoni yao kwa #ume ya Maba!iliko ya Katiba, na n!io watakaofanya uamuzi wa mwisho kuhusu Katiba mpya kwa kura ya maoni. Wananchi pia walipata nafasi ya kuchagua Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya yaliyoja!ili .asimu ya Kwanza ya Katiba. /ia walipata nafasi ya kutoa maoni yao kupitia Mabaraza ya Katiba ya taasisi. Katika Bunge hili wapo wananchi 201 kutoka makun!i mbalimbali. Katika mchakato wa kutunga Katiba za mwaka )*(, na )*-- kulikuwapo #ume za Kuan!aa .asimu na Bunge Maalum la Katiba kama ilivyo katika mchakato huu. %ata hivyo, kwa Katiba zilizopita Wabunge wa Bunge la "amhuri ya Muungano pekee n!io walioun!a Bunge Maalum. 0afari hii Bunge Maalum linajumuisha Wabunge, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na wananchi '1) wanaotoka kwenye jamii, wakiwakilisha asasi na makun!i mbalimbali ya Watanzania kutoka 2anzibar na #anzania Bara. Mchakato wa sasa utaishia

kwenye kura ya maoni itakayoshirikisha wananchi wote wa #anzania wanaoruhusiwa kupiga kura. Michakato iliyopita iliishia Bunge Maalum pekee. Mheshimiwa Mwenyekiti; #angu kutungwa kwake, tarehe ', &prili, )*--, mpaka sasa Katiba ya "amhuri ya Muungano ya mwaka )*-- imefanyiwa maba!iliko takriban mara )+. Maba!iliko hayo yalitokana na kufanyika au kutokea kwa maba!iliko muhimu ya kiuchumi, kisiasa na kijamii katika nyakati mbalimbali hapa nchini na katika "umuiya ya &frika Mashariki. Kwa ruksa yako naomba nitaje baa!hi ya maba!iliko yaliyofanywa34 ). Maba!iliko ya )*-* yaliun!a Mahakama ya .ufani ya #anzania kufuatia kufa kwa Mahakama ya .ufani ya &frika Mashariki baa!a ya kuvunjika kwa "umuiya ya &frika Mashariki mwaka )*--. '. Maba!iliko ya mwaka )*51 yalifanyika baa!a ya kutungwa kwa Katiba ya 2anzibar, hivyo kulazimu Katiba hiyo kutambulika kwenye Katiba ya "amhuri ya Muungano. 6. Maba!iliko ya mwaka )*5+ yaliweka utaratibu wa ukomo wa vipin!i vya rais ambao haukuwepo kabla ya hapo. &i!ha, masuala ya %aki za Bina!amu 7Bill of .ights8 yaliingizwa kwa mara ya kwanza katika Katiba. 9ilevile, Mahakama ya .ufani ya #anzania na mambo mengine ya iliyokuwa "umuiya ya &frika Mashariki yaliongezwa katika :ro!ha ya Mambo ya Muungano. +. Mwaka )**', yalifanyika maba!iliko yaliyoanzisha Mfumo wa 9yama 9ingi vya 0iasa ba!ala ya ule wa ;hama kimoja uliokuwepo tangu )*(,. /ia utaratibu wa uchaguzi wa .ais na Wabunge ulirekebishwa ili uen!ane na mfumo wa vyama vingi vya siasa. 9ilevile utaratibu wa kuwa na viti maalum vya wanawake katika Bunge ulianzishwa. Wakati ule ilikuwa asilimia ), ya Wabunge wote. &i!ha, kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu Bunge lilipewa mamlaka ya kumwajibisha .ais na Waziri Mkuu kupitia kura ya kutokuwa na imani. ,. Maba!iliko ya mwaka )**+ yaliweka mfumo mpya wa kumpata Makamu wa .ais kupitia Mgombea Mwenza. (. Mwaka '111 na '11,, pamoja na mambo mengine yalifanyika maba!iliko yaliyopanua wigo wa %aki za Bina!amu na kuongeza uwakilishi wa wanawake. U+,*"+, -& M&(&."/"0o '& K&$"(& Mheshimiwa Mwenyekiti; Kufanyika kwa maba!iliko hayo kunathibitisha utayari wa 0erikali kufanya maba!iliko kila ilipoonekana inafaa kufanya hivyo. /amoja na kufanya yote hayo na 0erikali kuwa na msimamo huo, kumekuwepo na ma!ai yaliyokuwa yanajiru!ia ya kutaka Katiba ya #anzania

ian!ikwe upya. Wako watu walioimithilisha Katiba yetu na nguo yenye viraka vingi mno kiasi kwamba ingefaa kununua mpya ba!ala ya kuen!elea kuivaa. Ma!ai ya kutaka Katiba mpya yalipazwa sauti baa!a ya kuanza kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa. Wapo waliokuwa wana!ai Katiba mpya kwa imani, eti kwamba, itawawezesha kuishin!a ;;M. <akini, si hayo tu, hata katika mchakato wa 0erikali zetu mbili kushughulikia kero za Muungano, ime!hihirika kuwa baa!hi ya changamoto zilikuwa zinahitaji maba!iliko ya Katiba ili kuzipatia ufumbuzi wa uhakika na wa ku!umu. Mheshimiwa Mwenyekiti; Kwa kutambua ukweli huo na baa!a ya kushauriana na kukubaliana na viongozi wenzangu wakuu wa ;hama tawala na 0erikali zetu mbili wakati ule, n!ipo tarehe 6) =esemba, '1)1, nikatangaza !hamira ya kuanzisha mchakato wa kutunga Katiba mpya. Nilieleza siku ile kuwa katika mchakato huo tutakuwa na ushirikishwaji mpana wa wananchi wa #anzania kwa makun!i yao ya jinsia, !ini, siasa na shughuli wazifanyazo kujipatia riziki na kwa maeneo wanayotoka katika pan!e zetu mbili za Muungano. M)*&0&$o -& K&$"(& M1'& Mheshimiwa Mwenyekiti; #arehe )( Machi, '1)) Baraza la Mawaziri liliri!hia kutungwa kwa 0heria ya Maba!iliko ya Katiba ya kuliongoza taifa katika mchakato wa kutunga Katiba mpya ya "amhuri ya Muungano wa #anzania. #arehe )5 Novemba, '1)) Bunge la "amhuri ya Muungano wa #anzania lilipitisha Muswa!a wa 0heria ya Maba!iliko ya Katiba. Kwa mujibu wa 0heria hiyo, mchakato wa kutunga Katiba Mpya ulikuwa unaanza kwa kuun!a #ume ya Maba!iliko ya Katiba. #ume hiyo imepewa jukumu la kusikiliza maoni ya wananchi mmoja mmoja na kwa makun!i yao ya maslahi, taasisi zao na kupitia Mabaraza ya Katiba. Mwishowe #ume imetakiwa kutengeneza .asimu ya Katiba mpya itakayofikishwa kwenye Bunge Maalum la Katiba kuja!iliwa na Katiba mpya kutungwa. Katiba mpya. #arehe ( &prili, '1)' nilifanya uteuzi wa Wajumbe wa #ume ya Maba!iliko ya Katiba na kuwaapisha tarehe )6 &prili, '1)'. #ume ilianza kazi tarehe ' Mei, '1)' na kuikamilisha kwa mafanikio, hatua zote zilizoihusu na kukabi!hi kwangu na kwa .ais wa 2anzibar, #aarifa ya #ume na .asimu ya Katiba tarehe 61 =esemba, '1)6. Kiten!o cha Mwenyekiti wa #ume, Mheshimiwa "oseph Warioba kuwasilisha .asimu hiyo mbele ya Bunge hili tukufu tarehe )5 Machi, '1)+, kinahitimisha rasmi kazi ya #ume ya Maba!iliko ya Katiba. Kazi inayofuatia ni ya Bunge hili kuja!ili, kuamua na kutunga Katiba mpya. Baa!a ya hapo Katiba mpya Mchakato wa Katiba utahitimishwa kwa wananchi kupiga kura ya maoni ya kuamua kama wanaikubali au kuikataa

itafikishwa kwa wananchi kwa uamuzi wa mwisho kwa njia ya kupiga kura ya N=>?: au %&/&N&. Mheshimiwa Mwenyekiti; .asimu ya Katiba ilichapishwa kwenye gazeti la 0erikali na magazeti mengine yanayosomwa na wananchi kama ilivyoagizwa katika Kifungu cha '17'8 cha 0heria ya Maba!iliko ya Katiba. /amoja na hayo, #aarifa ya #ume na .asimu ya Katiba viliwekwa wazi kwenye tovuti ya #ume kwa kila mtu kusoma. >nafurahisha kuona kuwa watu wengi wameisoma #aarifa ya #ume na .asimu ya Katiba na kumekuwa na mja!ala mpana kuhusu nyaraka zote hizo muhimu. Watu wengi wametoa maoni yao na wanaen!elea kufanya hivyo. Kwa maoni yangu hili ni jambo jema sana na ni kielelezo thabiti kuwa !emokrasia imestawi na inazi!i kuota mizizi #anzania. /ia, kwamba, Watanzania wako huru kushiriki na kutoa maoni yao kwa mambo yanayowahusu. Pong !" 0-& T,+ Mheshimiwa Mwenyekiti; Kwa mara nyingine tena naru!ia kutoa pongezi za !hati kwa Wajumbe wa #ume ya Maba!iliko ya Katiba chini ya uongozi wa Mheshimiwa "aji "oseph Warioba akisai!iwa na Mheshimiwa "aji &ugustino .ama!hani, kwa kazi kubwa na nzuri waliyofanya. Kazi yao haikuwa rahisi hasa ukizingatia ukubwa wa nchi yetu, wingi wa watu wake, utitiri wa taasisi na pigo la kumpoteza Mjumbe mwenzao muhimu =kt. 0engon!o Mvungi aliyetangulia mbele ya haki katikati ya mchakato. /amoja na hayo, kwa bi!ii kubwa Wajumbe wa #ume wameweza kutembelea mikoa yote nchini na kuwafikia watu 231,444 waliotoa maoni yao kwa m!omo na kwa maan!ishi 5 %alika!halika, walipokea na kuchambua maoni 662,211 kutoka kwa wananchi na taasisi mbalimbali. Baa!a ya kupokea maoni ya wananchi, kufanya utafiti na kwa kutumia maarifa na uzoefu wao, Wajumbe wakafanya kazi ngumu, kuliko yote, ya kutengeneza .asimu ya Katiba iliyoko mbele ya Bunge hili. Ni kweli kwamba Wajumbe hawakuweza kuwafikia wananchi wote wa #anzania, lakini wameweza kuwafikia wananchi wengi, ambao kwa kiasi kikubwa wanawakilisha taswira na mitazamo mipana ya jamii yetu. B&&.*" '& M&#,&/& Y&/"'o7"$o0 !& K&$"0& M7&.&/& -& M&1 n. 0 !o '& T,+ Mheshimiwa Mwenyekiti; #ume imefanya kazi nzuri, yenye thamani kubwa na ya manufaa kwa taifa la #anzania. .asimu imean!ikwa vizuri na kwa wele!i wa hali juu. #ume imetoa mapen!ekezo ambayo kwa kiasi kikubwa yanahuisha na kuboresha Katiba ya nchi yetu, kwa namna ya pekee. Katiba inayopen!ekezwa, imejumuisha !hana na mambo ka!haa mapya yanayokwen!a vyema na wakati tulionao na kuweka msingi mzuri kwa huko mbele tuen!ako. Kwa taratibu za kawai!a

za marekebisho ya Katiba tuliyonayo, isingekuwa rahisi kuingiza mambo mengi mapya kiasi hiki. W&7,+( W&n& K&!" K,(-& Mheshimiwa Mwenyekiti; %aheshimiwa %a,umbe; .asimu ya Katiba ni kitabu kikubwa kilichosheheni mambo mengi. Kina kurasa 104, sura 16 na ibara 261. Wajumbe wa Bunge hili mnatakiwa kusoma na kuelewa vizuri kila kilichoan!ikwa ili muweze kufanya uamuzi ulio sahihi. Mnawajibika kuchambua kwa kina na umakini mkubwa kila kilichomo, sura kwa sura, ibara kwa ibara, sentensi kwa sentensi na hata neno kwa neno. %amna bu!i kujiri!hisha kuhusu uan!ishi wa vifungu vya .asimu ya Katiba na kufaa kwa !hana mbalimbali zilizoingizwa na kujengeka katika .asimu. Mheshimiwa Mwenyekiti; Kile ambacho Wajumbe mtaona kinastahili kuboreshwa au kurekebishwa au kufutwa msisite kufanya hivyo ili Watanzania wapate Katiba iliyo bora. Msipofanya hivyo kuna hatari ya kupata Katiba ambayo ni ngumu kuitekeleza. &i!ha, tunaweza kuwa na Katiba ambayo itanung@unikiwa na watu wengi na kusababisha ma!ai ya kutaka ifanyiwe marekebisho mu!a mfupi baa!a ya kupitishwa. Bunge hili linao wajibu maalum wa kuzuia balaa hilo lisitokee katika nchi yetu. Ngazi mbalimbali zilizowekwa katika mchakato huu ni kama chujio la kuepusha hali hiyo isitokee. Kile ambacho hakikuonekana katika hatua moja kitaonekana katika hatua inayofuata na kurekebishwa. Nawaomba fursa mliyonayo muitumie vizuri. Mheshimiwa Mwenyekiti; Nimekwishaeleza kuwa moja ya jambo mnalotegemewa kufanya ninyi wenzetu mliopewa !hamana ya kutunga Katiba ya nchi yetu ni kujiri!hisha na uan!ishi wake. ?apo maoni yaliyotolewa kuhusu uan!ishi ambayo naomba myatafakari na kuamua ipasavyo. Kwa mfano, kuna baa!hi ya vifungu vya Katiba vinayopen!ekezwa vimekuwa na mambo mengi mno kuliko inavyostahili Katiba kuwa 7too prescriptive8. /ia kuna mawazo kwamba baa!hi ya mambo hayangetakiwa kuwa katika Katiba bali yawe kwenye 0heria zinazotafsiri utekelezaji wa Katiba yenyewe. ?ako mambo yaliyotajwa kwenye Katiba ambayo yanatakiwa kuelezwa wazi kuwa mtu hatakwen!a mahakamani kui!ai 0erikali impatie 7non justiciable8. Mambo yaliyotajwa kwenye Katiba ni mazuri na yanavutia, lakini lazima yaen!ane na uwezo wa nchi na uchumi wake kuhimili. 0imaanishi kwamba tuyatoe kwenye Katiba, bali yabakie kama !hamira pale uwezo wa nchi utakaporuhusu yatekelezwe. #usipofanya hivyo, kuna hatari ya 0erikali kujikuta inalaumiwa au hata kufikishwa mahakamani kila wakati kwa ma!ai ya jambo moja

au jingine ambayo haina uwezo nayo. Ni muhimu sana mambo kama hayo muyatazame ili tusije kuwa na Katiba ambayo ni ngumu kutekeleza. Mheshimiwa Mwenyekiti; ?apo pia maoni kuwa baa!hi ya vifungu vina upungufu katika uan!ishi wake, hivyo kuhitaji kufanyiwa marekebisho. >sipofanyika hivyo kunaweza kuwepo athari na nyingine zinaweza kuwa mbaya. Kwa mfano, >bara ya ' ya .asimu inayotambulisha eneo na mipaka ya nchi yetu. >bara hiyo inasomeka kuwa A.neo la Jamhuri ya Muungano wa Tan ania ni eneo lote la Tanganyika liki,umuisha sehemu yake ya bahari na eneo lote la "an ibar liki,umuisha sehemu yake ya bahari/. Maelezo hayo yameacha kutambua, kwa upan!e wa #anzania Bara, sehemu yetu ya maziwa na mito ambayo ni kubwa sana. Kwa nini tuache kuitajaB "e hatutoi nafasi kwa nchi tunazopakana nazo siku moja wakaja kupora sehemu zetu hizo na sisi kukosa utetezi kwa kuwa hata Katiba yetu haikuyatambua maeneo hayo kuwa ni yetuB %ili ni jambo kubwa ambalo Bunge hili lazima mlirekebishe. Wakati n!iyo huu hakuna mwingine. Mheshimiwa Mwenyekiti; "ambo jingine kuhusu uan!ishi ni mgongano kati ya pen!ekezo la msingi la #ume la kuwa na muun!o wa 0erikali tatu na majukumu ya 0erikali ya Muungano ambayo kimsingi ni majukumu ya 0erikali za nchi washirika. Katika .asimu hii malengo ya taifa yameainishwa na 0erikali ya Muungano inatakiwa kuhakikisha kuwa malengo hayo yanatekelezwa na itoe taarifa Bungeni. Katika mfumo wa 0erikali tatu unaopen!ekezwa na #ume masuala yahusuyo uchumi na maen!eleo ya jamii kama vile kukuza kilimo, ufugaji, uvuvi, viwan!a, biashara, pembejeo, elimu, hifa!hi ya jamii na ka!halika yako chini ya mamlaka ya 0erikali za nchi washirika. Mamlaka ya 0erikali ya Muungano ni kwa mambo saba tu yafuatayo34 Katiba na Mamlaka ya "amhuri ya Muungano, linzi na salama wa "amhuri ya Muungano, sajili wa 9yama vya 0iasa, raia na shuru wa hamiaji, 0arafu na Benki Kuu, Mambo ya Nje,

Bi!haa na Mapato yasiyo ya ko!i yatokanayo na Mambo ya Muungano. Kwa .asimu kupen!ekeza muun!o wa 0erikali tatu na kuipa 0erikali ya Muungano majukumu ambayo haina mamlaka nayo, ni kuzusha utata na migongano kati ya 0erikali ya Muungano na nchi washirika. Mkichagua mfumo wa 0erikali tatu, inawalazimu muyaon!oe mambo hayo kwani 0erikali ya Muungano haistahili kuyatekeleza na wala haina uwezo wa kuweka masharti kwa 0erikali za nchi washirika kwa mambo yaliyo kwenye mamlaka ya nchi hizo. <akini kama mtaamua tuen!elee na muun!o wa 0erikali mbili, mambo haya mazuri yanatekelezeka na 0erikali ya Muungano bila ya matatizo. Katika uan!ishi wa .asimu tumishi katika 0erikali ya Muungano haumo katika :ro!ha ya Mambo ya Muungano. Ni

lazima liwemo. %ayo ni baa!hi tu ya masuala yahusuyo uan!ishi katika .asimu. Naamini mkiisoma .asimu kwa makini mnaweza kuyagun!ua mengineyo. D*&n& M1'& Mheshimiwa Mwenyekiti; Katika .asimu kuna !hana mpya na mambo mapya ka!haa yaliyoingizwa ambayo yanaba!ili utaratibu wa sasa wa uen!eshaji wa nchi na mambo mbalimbali. Nawaomba mfanye uchambuzi wa kina kwa kila kinachopen!ekezwa na kujiri!hisha kuhusu kufaa kwake na manufaa yake. $anyeni hivyo ili tujihakikishie kuwepo kwa mambo mazuri na uen!eshaji mzuri wa shughuli katika taifa letu changa. Mambo ni mengi na kwa ufinyu wa mu!a sitaweza kuyazungumzia yote. Niruhusuni nizungumzie baa!hi ya !hana na mambo mapya yaliyomo katika .asimu. "ambo la kwanza, kwa mfano, linahusu >bara ya )'5 7'87!8 inayoleta !hana ya AMbunge kupoteza bunge iwapo atashin!wa kufanya kazi za Mbunge kwa miezi sita mfululizo kutokana na mara!hi au kizuizi n!ani ya gerezaC. Watu hawana tatizo na Mbunge kuwa kizuizini n!ani ya gereza kama amepatikana na hatia Mahakamani na kuhukumiwa kifungo. <akini, isijekuwa yuko ruman!e kwa tuhuma akisubiri kesi kusikilizwa. "e akija kuonekana hana hatia na kuachiliwaB Ni bora ifanyike hivyo sasa ili Naungana na wale wanaoshauri kuwa jambo hili lifafanuliwe vizuri na kutambua Mbunge kutiwa hatiani na kupata a!habu ya kifungo cha kipin!i hicho. kwa 0heria itakayotungwa na Bunge. Mheshimiwa Mwenyekiti; Kwa upan!e wa mtu kupoteza bunge kwa sababu ya 80,,g,& 0-& +" !" #"$& +9,/,/"!o: ni maoni ya watu wengi kuwa huu ni ukatili ambao haustahili kufanywa na Katiba. Kuugua n!iyo ubina!amu na wakati mwingine Mbunge anaweza kupata ajali akiwatumikia wananchi wa "imbo lake. &naweza kuugua kwa miezi sita au zai!i na kupona kabla ya kipin!i chake cha bunge kufika mwisho. Kwa nini awekewe ukomo wa miezi sitaB Katiba ya mwaka )*-- tunayotumia sasa haina sharti hilo. Watu wanauliza hoja na haja ya kuwa na sharti hili kwenye Katiba mpya ni ipiB Wanasema kwa kweli anachostahili Mbunge huyu kufanyiwa ni kuuguzwa afya yake iimarike ili aen!elee kutumikia watu wake, na siyo kupoteza uongozi wake. #usiwatie watu kishawishi cha kukatiza matibabu ili kukwepa sharti hilo. Ni vyema jambo hili mkalitazama kwa makini, na muone kama linastahili kuwepo au hapana. Mheshimiwa Mwenyekiti; Katika .asimu hii imeingizwa !hana mpya ya kuweka ukomo wa vipin!i vitatu kwa Wabunge. #ena mapen!ekezo haya hayasemi vipin!i vitatu mfululizo au laD. "ambo hilo limezua mja!ala motomoto katika jamii. Ni vizuri mkajiri!hisha juu ya sababu za msingi na kuon!oa mikanganyiko. %akuna haja ya kusubiri mpaka jambo hili lije kufafanuliwa baa!aye

manufaa ya kufanya hivyo hapa #anzania. Mazoea yetu na ya kwingineko !uniani ni kuweka ukomo kwa Wakuu wa Nchi kwa sababu nzuri na rahisi kuzielezea. <akini, kuwawekea ukomo Wabunge ni jambo jipya na huen!a #anzania tukawa wa kwanza. Nashawishika kuungana na wale wanaopen!ekeza kuwa pengine ni mapema mno kuanzisha utaratibu huo hapa kwetu. Nachelea kuwa tutainyima nchi yetu fursa ya kupata watu wenye maarifa na uzoefu mzuri wa uongozi kwa nafasi ya sababu za msingi. Mheshimiwa Mwenyekiti; "ambo lingine jipya linalopen!ekezwa na #ume ni utaratibu wa kumuon!oa Mbunge katikati ya kipin!i chake cha uongozi. Kwa hoja linaonekana kuwa jambo jema lakini naomba athari zake mzitafakari vizuri. Kuna hatari ya kuanzisha misuguano kwenye Majimbo na kuwaacha Wabunge wasifanye kazi zao kwa utulivu bali wawe wanajihami !hi!i ya wapinzani wao kuwatengenezea fitna za kuwatoa. taratibu unaopen!ekezwa wa ;hama chake kujaza nafasi ya Mbunge inapokuwa wazi katika mazingira hayo nao unaweza kuwa n!icho kichocheo kikubwa cha vuguvugu la kumuon!oa Mbunge. Walioshin!wa kwenye kura ya maoni wanaweza kufanya kazi ya kuwachimba wenzao mpaka waon!oke. "ipeni mu!a wa kupima fai!a na hasa thamani inayoongezwa na kuanzisha utaratibu huo. Naomba tujiri!hishe kama jambo hili jipya lina tija. %ivi kupewa nafasi kila miaka mitano kuru!i kwa wananchi hakutoshi kumuon!oa Mbunge ambaye watu wamemchokaB M,,n.o -& M,,ng&no Mheshimiwa Mwenyekiti; "ambo lingine kubwa lililopen!ekezwa na #ume ambalo limevuta hisia za karibu watu wote nchini linahusu muun!o wa Muungano wetu kuwa wa 0erikali tatu ba!ala ya mbili za sasa. /en!ekezo hili limezua mja!ala mkubwa tangu lilipotolewa katika .asimu ya kwanza na kuru!iwa katika .asimu ya pili. Wakati mwingine mja!ala umekuwa mkali na wa hisia kali kwa kila upan!e. Kwa kweli hili n!ilo jambo kubwa kuliko yote katika .asimu kwa sababu linapen!ekeza kuanzishwa kwa muun!o na mfumo mpya wa kuen!esha nchi yetu. %ii n!iyo agen!a mama ya Bunge hili ambayo kila Mtanzania anasubiri kwa hamu uamuzi wenu utakuwa upi. :mbi langu kwenu ni kuwa watulivu mnapoja!ili suala hili. Epukeni jazba ili mfanye uamuzi ulio sahihi. <azima mtambue uamuzi usiokuwa sahihi kwa jambo hili una hasara kubwa. #unaweza kupoteza kitu tulichokijenga kwa gharama kubwa kwa nusu karne iliyopita. hatunayo. Mheshimiwa Mwenyekiti, %aheshimiwa %a,umbe; #anzania inaweza kuwa nchi iliyojaa migogoro na matatizo mengi ambayo bunge au kwa nafasi za uongozi wa #aifa bila ya

10

Kama alivyoeleza Mwenyekiti wa #ume Mheshimiwa "aji "oseph 0in!e Warioba, mara ka!haa, mja!ala au ma!ai ya kutaka muun!o wa 0erikali tatu si jambo jipya. wakati wa mazungumzo ya kuunganisha nchi zetu mbili mwaka )*(+. kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa 2anzibar mwaka )*5+. kupen!ekezwa umepen!ekezwa pia na #ume ya "aji Kisanga ya mwaka )**5. mapen!ekezo hayo hayakukubaliwa. Waasisi wa taifa letu, yaani Mwalimu "ulius Nyerere, aliyekuwa .ais wa "amhuri ya #anganyika wakati ule na 0heikh &bei! &mani Karume, aliyekuwa .ais wa "amhuri ya Watu wa 2anzibar wakati ule, waliamua kuchagua Muungano wa 0erikali mbili tulionao sasa. Walitoa sababu mbili kuu3 Ani muundo unaoihakikishia "an ibar kuwa haime wi na Tanganyika; na #ia unaie#usha Tanganyika kubeba m igo mkubwa wa kugharamia Serikali ya Tanganyika na ile ya Muungano:5 Mheshimiwa Mwenyekiti; Natambua kuwepo kwa rai ya kutaka Mwalimu Nyerere asitumiwe katika mja!ala huu. Nionavyo mimi ni vigumu kuacha kuja!ili fikra za Mwalimu Nyerere na 0heikh Karume katika jambo hili. Wao n!iyo wa mwanzo kuja!ili na kukubaliana kuwa mfumo wa 0erikali mbili n!iyo bora kwa nchi yetu. >weje leo tunapozungumzia kuuba!ili, mawazo yao yawe hayafai kutumika au hata kuzungumzwa. %ivi hasa mawazo ya nani pekee n!iyo bora zai!i kutumikaB #utakuwa hatuuten!ei haki mja!ala huu na sisi wenyewe tunaoshiriki katika mchakato huu. .ai yangu kwenu ni kuwa mzitazame hoja zote kwa marefu na mapana yake ili mpime kama zipo sababu za kuuba!ili muun!o wa sasa wa Muungano wa 0erikali mbili na kuleta wa 0erikali tatu. Na, kama zipo maba!iliko hayo yawejeD <azima mfanye uamuzi kwa utambuzi na hoja zenye mashiko. ;you must make an in&ormed de)ision<5 Mheshimiwa Mwenyekiti; #ume imetoa sababu mbili kubwa za kupen!ekeza muun!o wa 0erikali tatu. 0ababu ya kwanza ni kwamba n!iyo matakwa ya Watanzania wengi kote 2anzibar na #anzania Bara. >naeleza kuwa i!a!i kubwa ya Watanzania waliotoa maoni, yaani &#"/"+"& 4052 wa kutoka 2anzibar wanaunga mkono muun!o wa 0erikali ya Mkataba, na &#"/"+"& 4152 wa kutoka #anzania Bara wanaunga mkono muun!o wa 0erikali tatu. 0ababu ya pili ni kwamba muun!o huo unatoa majawabu ya uhakika na en!elevu kwa changamoto za muun!o wa sasa wa 0erikali mbili zinazonung@unikiwa na watu wa pan!e zetu mbili za Muungano. Mheshimiwa MwenyekitiG likuwepo hata likuwa kiini cha

Muun!o huu uliwahi <akini mara zote hizo

na #ume ya Nyalali mwaka )**', n!iyo hoja ya F,, mwaka )**6 na

11

0ababu hizi mbili kuu zilizotolewa na #ume zimezua mja!ala mkali katika jamii. Wapo wanaokubaliana na #ume na wapo wasiokubaliana nayo. Wapo wanaosema #ume imesema kweli kwamba Watanzania wengi wanaunga mkono muun!o wa 0erikali tatu, hivyo muun!o wa 0erikali tatu hauepukiki. N!iyo matakwa ya wengi hivyo msemo wa Kiswahili usemao wengi wape uheshimiwe. <akini wapo wanao!ai kuwa takwimu za #ume hazionyeshi ukweli huo. Wanasema kuwa taarifa ya #ume imeonesha kuwa Watanzania waliotoa maoni yao kwa #ume kwa m!omo na maan!ishi walikuwa 231,444. Kati yao ni wananchi 46,=20 au sawa na &#"/"+"& 1254 n!iyo waliokerwa na muun!o wa Muungano hivyo wakauzungumzia. Wananchi 202,=44 au sawa na &#"/"+"& =454 muun!o wa Muungano kwao halikuwa tatizo, n!iyo maana hawakuuzungumzia kabisa. Wanahoji kuwa iweje leo &#"/"+"& 1254 ya Watanzania wote waliotoa maoni wageuke kuwa n!iyo Watanzania walio wengiD Mheshimiwa Mwenyekiti; Wanasema pia, kwamba mbona #aarifa ya #ume yenyewe, kuhusu takwimu 7uk. (( na (-8, inaonesha kwamba kati ya hao watu 46,=20 waliotoa maoni kuhusu Muungano, ni watu 16,2=0 tu ambao ni sawa na &#"/"+"& 2652 n!iyo waliotaka muun!o wa 0erikali tatu, &#"/"+"& 2>5= walitaka 0erikali mbili, &#"/"+"& 2352 walipen!ekeza 0erikali ya Mkataba n& &#"/"+"& 656 walipen!ekeza 0erikali moja. %ii hoja ya Watanzania wengi kutaka 0erikali tatu msingi wake upiB Mheshimiwa Mwenyekiti; #akwimu za #ume 7uk. ,-8 zinaonyesha, vilevile kuwa #ume ilipokea maoni 662,2115 Kati ya hayo &#"/"+"& 1054 tu n!iyo yaliyozungumzia muun!o wa Muungano na a #"/"+"& ==54 hayakuzungumzia Muungano bali mambo mengine. %ivyo basi wanahoji pia kwamba kama muun!o wa Muungano ungekuwa ni jambo linalowakera Watanzania wengi, linge!hihirika kwenye i!a!i ya watu waliotoa maoni na kwenye i!a!i ya maoni yaliyotolewa. ?ote hayo hayakujitokeza. Waliouzungumzia Muungano walikuwa &#"/"+"& 1254 tu ya watu wote waliotoa maoni na maoni yanayohusu Muungano yalikuwa &#"/"+"& 1054 ya maoni yote. %ivyo basi, wanauliza Ausahihi wa hoja ya Watanzania wengi kutaka 0erikali tatu uko wapiBC C*&ng&+o$o !& M,,n.o -& S %"0&/" M("/" Mheshimiwa Mwenyekiti na %aheshimiwa %a,umbe; Kama nilivyokwishagusia awali, sababu ya pili ambayo #ume inatoa kuhusu kufaa kwa muun!o wa 0erikali tatu ni kwamba mfumo huu unajibu changamoto nyingi za muun!o wa 0erikali mbili. #ume imeainisha vizuri changamoto za muun!o wa 0erikali mbili. Kwa upan!e wa 2anzibar wanalalamikia kile kinachoitwa #anzania Bara kuvaa koti la "amhuri ya Muungano wa #anzania na hivyo kutumia mamlaka ya 0erikali ya Muungano kujinufaisha

12

yenyewe. $ursa hiyo 2anzibar hainayo. &i!ha, wanasema mipaka na mamlaka ya 0erikali ya Muungano kwa mambo ya Muungano, na kwa mambo ya #anzania Bara haijaainishwa vizuri ikaeleweka. Wazanzibari pia, wanazungumzia mkanganyiko kuhusu ugawanaji wa mapato, na jinsi ya kuchangia shughuli za Muungano baina ya 0erikali ya Muungano na 0erikali ya Mapin!uzi ya 2anzibar. 9ilevile, wanalalamikia .ais wa 2anzibar kuon!olewa kuwa kutoka mambo 11 mwaka )*(+ mpaka 22 mwaka )**' Makamu wa .ais wa "amhuri ya Muungano. &i!ha, kuna malalamiko kuwa oro!ha ya mambo ya Muungano iliyoongezwa Mheshimiwa Mwenyekiti; Kwa upan!e wa #anzania Bara, #ume inaeleza kuwepo kwa manung@uniko kuwa Muungano wa 0erikali mbili umepoteza utambulisho wa kihistoria wa #anganyika na fursa ya watu wa upan!e wa #anzania Bara kutetea maslahi yao n!ani ya Muungano. Wanasema 2anzibar sasa imekuwa nchi huruG ina ben!era yake, wimbo wake wa taifa na 0erikali yake. &i!ha, wanasema 2anzibar imeba!ili Katiba na kujitambulisha kama nchi na kuchukua ma!araka ya Bunge la Muungano, kwa vile 0heria zinazotungwa na Bunge lazima zipelekwe kwenye Baraza la Wawakilishi kupata kibali cha kutumika 2anzibar. Wananchi wa #anzania Bara pia wanalalamikia kutokuwa na haki ya kumiliki ar!hi 2anzibar wakati wenzao wa kutoka 2anzibar wanayo haki hiyo #anzania Bara. Na wao vilevile wananung@unikia mkanganyiko kuhusu ugawaji wa mapato na jinsi ya kuchangia gharama za uen!eshaji wa shughuli za Muungano baina ya 0erikali ya Muungano na 0erikali ya 2anzibar. %izi n!izo baa!hi ya changamoto ambazo #ume inaona jawabu lake ili kuzitanzua ni kuba!ili muun!o wa Muungano kuwa wa 0erikali tatu ba!ala ya mbili za sasa. ?&".& !& M,,n.o -& S %"0&/" T&$, Mheshimiwa Mwenyekiti; #ume ya Maba!iliko ya Katiba imefafanua kwamba mfumo wa 0erikali tatu utagawanya vizuri ma!araka kati ya mamlaka tatu za Muungano. nawezesha Washirika wa Muungano kubaki na utambulisho wao wa kihistoria na kiutama!uni na hivyo, utawezesha kuon!oa hisia za 2anzibar kumezwa na Muungano. /ia unawezesha kila upan!e wa #anzania kuen!esha mambo yake yasiyo ya Muungano ka!ri wanavyoona inafaa. 9ile vile unaweza ukaleta ushin!ani wa kimaen!eleo baina ya washirika na hivyo kusai!ia kukuza maen!eleo ya nchi. ?&".& !& M,,n.o -& S %"0&/" M("/" Mheshimiwa Mwenyekiti; /amoja na kuainisha changamoto za muun!o wa 0erikali mbili na kupen!ekeza kuwa muun!o wa 0erikali tatu n!io utakaosai!ia kuzitatua, #ume haikuacha kutambua manufaa na imepunguza uhuru wa 2anzibar kwa mambo yake ya n!ani.

13

mchango muhimu uliotolewa na muun!o wa 0erikali mbili kwa nchi yetu. #ume inasema kuwa muun!o wa 0erikali mbili unapunguza gharama za uen!eshaji wa shughuli za umma. mesai!ia kujenga uhusiano na ushirikiano mzuri katika )6nyanja mbalimbali baina ya wananchi wa pan!e zetu mbili za Muungano. mezuia mkubwa kummeza m!ogoG na ume!umisha Muungano mpaka kuufikisha hapa ulipo tangu kuasisiwa kwake takriban miaka ,1 iliyopita 7)*(+8. &i!ha, umesai!ia ku!umisha amani, umoja na utulivu hapa nchini. C*&ng&+o$o !& M,,n.o -& S %"0&/" T&$, Mheshimiwa Mwenyekiti; /amoja na kuelezea ubora wa muun!o wa 0erikali tatu kama jawabu kwa changamoto za 0erikali mbili, #ume inakiri kuwa hata muun!o huu nao una changamoto zake. Kwanza kabisa, #aarifa ya #ume inaeleza kuwa kutakuwa na gharama kubwa za uen!eshaji wa shughuli za umma. Mheshimiwa "aji "oseph Warioba alitutoa hofu kuhusu gharama ingawaje mwaka )**6, Mwalimu alikuwa na mawazo tofauti. &lisema kwamba3 8watu @ wanaodhani kuwa gharama ya Serikali yo yote kati ya hi o ingekuwa ndogo, 0%auli eni %a an ibari1 na wala gharama ya Serikali ya Shirikisho isingekuwa ndogo hata bila gharama ya mambo yasiyo ya Shirikisho/. Ni matumaini yangu kwamba katika mja!ala wenu mtajipa nafasi ya kulitafakari suala hili kubwa na nyeti. #ume imesema pia kwamba, Muun!o huu, unaweza kuibua tatizo la uchangiaji wa gharama za uen!eshaji wa shughuli za umma baina ya nchi washirika. 9ilevile, kuna uwezekano wa kuwepo sera zinazokinzana au kutofautiana juu ya masuala ya msingi ya nchi na kuzua mgogoro kati ya washirika wa Muungano na baina ya nchi washirika na 0erikali ya Muungano. &i!ha, upo uwezekano mkubwa kwa muun!o huu kuleta tofauti za kimaen!eleo baina ya pan!e mbili za Muungano kutokana na kila upan!e kuwa na sera na mipango tofauti. #ume pia imeelezea hatari ya muun!o wa 0erikali tatu kukuza hisia za utaifa 7nationalistic feelings8 kwa nchi washirika, hivyo kuweza ku!hoofisha Muungano. Muun!o huu pia unaweza kuleta misuguano 7paralysis and deadklocs in decision making) katika kufanya uamuzi juu ya masuala muhimu ya kitaifa. ;hangamoto hizo si tu zinaweza kuwa tishio kwa ustawi wa Muungano bali pia hata uhai wake. Kwa ajili hiyo kuchagua muun!o wa 0erikali tatu kuna maana ya kufanya kazi ya zia!a ya kuzikabili changamoto hizi ili zisiue Muungano wenyewe. ;hangamoto ambazo si n!ogo hata ki!ogo. Mheshimiwa Mwenyekiti; Wanaounga mkono muun!o wa 0erikali mbili wanasema kuwa kwa mlolongo huu wa changamoto zilizoainishwa na #ume yenyewe, una!hihirisha kuwa muun!o wa 0erikali tatu hautapunguza matatizo ya Muungano wetu bali utayaongeza mara!ufu kuliko ilivyo sasa. Wanakiri kuwepo kwa changamoto katika muun!o wa sasa wa Muungano. %ata hivyo,

14

wanaamini zinaweza kushugulikiwa na kupatiwa ufumbuzi bila ya kuhitaji kuwa na 0erikali ya tatu. Wanatoa mifano ka!haa ya jinsi 0erikali zetu zilivyoshughulikia changamoto za Muungano katika kipin!i cha uhai wake na mafanikio yaliyopatikana. Katika kushughulikia kero za Muungano, 0erikali zetu mbili ziliun!a #ume ya 0helukin!o mwaka )**' na Kamati ya /amoja ya 0erikali zetu mbili mwaka )**6. Mambo mengi yaliyoainishwa katika #ume ya 0helukin!o na Kamati ya /amoja yameshughulikiwa na kupatiwa ufumbuzi. Kwa upan!e wa kero zilizoelezwa kwenye #ume ya 0helukin!o, ilipofikia mwaka '11( yalikuwa yamebakia mambo 12 kati ya 215 Kwa jumla, kwa kero zilizoibuliwa na #ume ya 0helukin!o na Kamati ya /amoja, hivi sasa yamesalia mambo #"$& tu. Kimsingi ni mambo yahusuyo maslahi ya kiuchumi na yote yapo katika hatua nzuri za kuyamaliza. Mambo hayo ni3 ). Mgawanyo wa mapato3 7a8 %isa za 0M2 zilizokuwa katika Bo!i ya 0arafu ya &frika Mashariki 7b8 Mgawanyo wa Mapato yatokanayo na fai!a ya Benki Kuu. '. 6. ,. tafutaji na uchimbaji mafuta na gesi asili. shirikiano wa 2anzibar na taasisi za nje. sajili wa vyombo vya moto.

+. &jira kwa watumishi wa 2anzibar katika taasisi za Muungano. (. #ume ya /amoja ya $e!ha. Mheshimiwa Mwenyekiti; 0erikali zetu mbili zimeamua kwa !hati kutumia fursa ya mchakato huu wa maba!iliko ya Katiba kuyamaliza yale yanayohitaji kuingizwa kwenye Katiba ya "amhuri ya Muungano wa #anzania. Mambo hayo ni matatu yafuatayo3 ). '. tafutaji na uchimbaji mafuta na gesi asili. shirikiano wa 2anzibar na taasisi za nje.

6. #ume ya /amoja ya $e!ha. Matatu mengine yatamalizwa kwa kutumia taratibu za kiutawala. %ali ka!halika, katika

kipin!i cha mpito kinachopen!ekezwa na #ume yaani '1), H '1)5 ni nafasi nzuri ya kushughulikia masuala yenye migongano kati ya Katiba ya 2anzibar na ile ya "amhuri ya Muungano. Mimi naishi kwa matumaini na kwa vile tunayo !hamira njema ya kuimarisha Muungano wetu, naamini tutaweza kuzion!oa tofauti zilizopo. O%o.*& '& M&+(o '& M,,ng&no Mheshimiwa Mwenyekiti;

15

Kuhusu oro!ha ya mambo ya Muungano kuwa 22 ba!ala ya 11 ya awali, napen!a kuwahakikishia kuwa 0erikali ya Muungano na 0erikali ya Mapin!uzi ya 2anzibar hazina kigugumizi wala upungufu wa !hamira ya kisiasa ya kuyapunguza yale yanayopunguzika. Napen!a kwanza kabisa, ieleweke kuwa kilichoongeza oro!ha hiyo si hila za 0erikali ya Muungano kutaka kupunguza ma!araka ya 2anzibar kwa mambo yake ya n!ani. Na, wala siyo u!haifu wa viongozi wa 2anzibar katika kutetea maslahi ya nchi yao. <a hasha. /ili, naomba ieleweke kuwa, kila kilichoongezwa katika :ro!ha ya Mambo ya Muungano kilikuwa na sababu inayoeleweka, inayoelezeka na iliyokubalika na pan!e zote mbili za Muungano. %akuna hata jambo moja lililoingizwa kwenye Katiba kwa kificho. #aratibu stahiki za kikatiba na kisheria zilifuatwa. %oja ziliwasilishwa Bungeni na kuja!iliwa kwa uwazi na uamuzi ulifanywa na Bunge kwa kuzingatia kanuni ya theluthi mbili ya kura za kila upan!e wa Muungano. Kumbukumbu zipo katika %ansar! za Bunge la Muungano, ambazo ziko wazi kwa kila mtu anayetaka kuzisoma asome. Nashauri mkazisome ili mpate kujua ukweli na un!ani wa kila kilichoongezwa na sababu za kufanya hivyo. Mheshimiwa Mwenyekiti; Nchi zetu mbili zilipoungana mwaka )*(+ na kuzaa "amhuri ya Muungano wa #anzania, kulikuwa na mambo 11 kwenye :ro!ha ya Mambo ya Muungano. Mambo hayo ni haya yafuatayo3 ). Katiba ya "amhuri ya Muungano, '. Mambo ya Nje, 6. linzi, +. /olisi, ,. %ali ya %atari, (. raia, -. hamiaji, 5. Biashara ya nje na mikopo, *. tumishi katika 0erikali ya Muungano, )1. Ko!i ya Mapato, Ko!i ya Makampuni, shuru wa $oro!ha na shuru wa Bi!haa, )). Ban!ari, Mambo ya &nga, /osta na 0imu.

Mheshimiwa Mwenyekiti; Kati ya mwaka )*(, na )**' mambo ya Muungano yaliongezeka kutoka 11 ha!i kufikia 22, kimsingi kutokana na mambo mbalimbali yaliyotokea nchini na kwenye ukan!a wetu wa &frika Mashariki. /an!e zetu mbili za Muungano zilikubaliana kuwa mambo hayo yaongezwe katika Katiba na taratibu za kisheria na Kikatiba zilifuatwa. hayo kufanywa. Kwa i!hini yako naomba nitoe maelezo kwa ufupi kwa yale yaliyoongezwa na kitu kilichosababisha maba!iliko

16

).

"ambo la kwanza kuongezwa, yaani la 12 lilikuwa ni Asarafu, mabenki na fe!ha za kigeniC. %ii ilifanyika tarehe )1 "uni, )*(, kufuatia kuvunjika kwa Bo!i ya 0arafu ya &frika Mashariki 7East &frican ;urrency Boar!8 mwaka )*(+. Kwa ajili hiyo, kila nchi mwanachama wa "umuiya ililazimika kuwa na sarafu yake na mipango yake ya kusimamia mambo yake ya kibenki na fe!ha. 0erikali zetu mbili zilikubaliana masuala hayo yashughulikiwe na 0erikali ya Muungano na Muswa!a husika wa Bunge ulii!hinishwa kuwa 0heria na Mzee &bei! &mani Karume aliyekuwa akikaimu rais tarehe )1 "uni, )*(,.

'. #arehe )) &gosti, )*(- yaliongezwa mambo yafuatayo kwenye :ro!ha ya Mambo ya Muungano34 7a8 <eseni za 9iwan!a na #akwimu, 7"ambo la 128 7b8 Elimu ya "uu, 7"ambo la 148 7c8 "ambo la 13 lilikuwa ni mambo yote yaliyokuwa kwenye Nyongeza ya 10 ya Mkataba wa "umuiya ya &frika Mashariki. Nyongeza hiyo ilikuwa na mambo 26 ambayo 0erikali ya Muungano ilipewa jukumu la uratibu. Mambo hayo ni pamoja na Mahakama ya .ufani ya &frika Mashariki, tabiri wa %ali ya %ewa, tafiti, 9ipimo na Mizani, %u!uma ya safiri wa .eli, Barabara, safiri wa Majini na ka!halika. 6. #arehe '' "ulai, )*(5 Arasilimali ya mafuta, petroli na gesi asiliaC iliongezwa kwenye :ro!ha ya Mambo ya Muungano na kuwa jambo la 14. Kimsingi 0erikali ya Muungano ilipewa jukumu la kuagiza mafuta ya petroli na gesi asilia kwa ajili ya nchi nzima. Baa!a ya kupanga upya :ro!ha ya Mambo ya Muungano, suala la rasilimali ya mafuta likawa la 13.

+. #arehe '' Novemba, )*-6 Baraza la Mitihani la #aifa liliongezwa na kuwa jambo la 145 %ii ilifuatia kuvunjika kwa Baraza la Mitihani la &frika Mashariki mwaka )*-) na hivyo nchi yetu kulazimika kuun!a Baraza la Mitihani la #aifa mwaka )*-6. ,. Mwaka )*5+ yalipofanyika maba!iliko makubwa katika Katiba ya mwaka )*--, :ro!ha ya Mambo ya Muungano ilipangwa upya. Mambo yaliyokuwemo kwenye Nyongeza ya 10 ya "umuiya ya &frika Mashariki na kuoro!heshwa kama "ambo la 13 katika :ro!ha ya Mambo ya Muungano yalipunguzwa na kubaki +&$&no. Mambo hayo yalipewa namba kama ifatavyo34 safirishaji wa &nga kuwa "ambo la 16, tafiti kuwa la 1=, tabiri wa %ali ya %ewa kuwa la 1> na #akwimu kuwa la 20 na Mahakama ya .ufani ya #anzania ikawa jambo la 21. (. #arehe )- Mei, )**' likaongezwa jambo la A an!ikishaji wa 9yama vya 0iasaC na kuwa jambo la 225 %ii ilifuatia kuanzishwa kwa Mfumo wa 9yama 9ingi vya 0iasa na hasa uamuzi kuwa vyama vitakuwa vya kitaifa. Mheshimiwa Mwenyekiti; Bila ya shaka maelezo haya yatasai!ia kuelezea nini kimeongezwa na mazingira ya kuongezwa kwake ni yepi. Kulikuwepo na sababu za msingi na wala siyo hila ya namna yo

17

yote ile iliyofanywa na mtu ye yote mwenye nia mbaya na 2anzibar.

Kama tulivyoona

mambo mengi yalihusu kilichokuwa kinatokea n!ani ya "umuiya ya &frika Mashariki. Kila yalipotokea maba!iliko katika uen!eshaji wa shughuli za "umuiya ya &frika Mashariki, hu!uma zilizokuwa zikitolewa na "umuiya zilikabi!hiwa 0erikali ya Muungano kubeba kwa sababu ya uwezo wake mkubwa wa kiuchumi. ?ale yaliyokuwa yanagusa sehemu zetu mbili za Muungano yaliingizwa katika :ro!ha ya Mambo ya Muungano. Mengineyo yaliachiwa kila upan!e kushughulikia ilivyoona inafaa. Kwa maana hii basi, mambo ambayo yalitokana na uamuzi wetu wenyewe ni mawili tu. Mambo hayo ni 7)*(58, na uan!ikishaji wa vyama vya siasa 7)**'8. Mheshimiwa Mwenyekiti; Ni msimamo wa 0erikali zetu mbili, tangu mwanzo mpaka leo kwamba, iwapo 0erikali ya Mapin!uzi ya 2anzibar imeshajenga uwezo wake wa kufanya baa!hi ya mambo katika :ro!ha ya Mambo ya Muungano ipewe uhuru wa kufanya hivyo. <ililo muhimu ni kuwa zision!olewe tunu zenyewe za Muungano wetu. N!iyo maana, mambo kama vile ban!ari, takwimu, ko!i ya mapato, leseni za biashara, utafiti na mengineyo, yanasimamiwa na kuen!eshwa na 0erikali ya Mapin!uzi ya 2anzibar pamoja na kuwemo kwenye :ro!ha ya Mambo ya Muungano. >mekuwa hivyo kwa miaka ka!haa sasa na imethibitika kuwa 2anzibar inayamu!u. Ni makusu!io yetu kutumia fursa ya mchakato huu sasa kuyaon!oa rasmi mambo hayo na mengineyo tutakayokubaliana kutoka kwenye :ro!ha ya Mambo ya Muungano. R&#"/"+&/" '& M&9,$& n& G #" A#"/"& Mheshimiwa Mwenyekiti; Kwa ajili hiyo tumekubaliana kulion!oa suala la rasilimali ya mafuta na gesi asilia lisiwe jambo la Muungano. "ambo hili tulishakubaliana tangu wakati wa .ais &mani &bei! Karume tulion!oe na hata alipokuja .ais 0hein msimamo haukuba!ilika. Kilichotuchelewesha kutekeleza ni kuibuka kwa fikra za kuwa na mchakato huu wa Katiba mpya. #uliona kuwasilisha Bungeni Muswa!a wa 0heria wa kuon!oa jambo hili katikati ya mchakato huu, ingeweza kuzua matatizo yasiyokuwa ya lazima. #ungeulizwa haraka ni ya nini tungeweza kukosa majibu. %atimaye wakati wake wa kulimaliza suala hili sasa umefika. Misemo ya wahenga ya Asubira yavuta heriC na Akawia ufikeC imetuongoza vyema tumefika mahali tunaweza kufanya hivyo. 2ipo sababu mbili zilizotushawishi kuamua kuitoa rasilimali hii kwenye :ro!ha ya Mambo ya Muungano. Kwanza kwamba, siku hizi 0erikali haiagizi mafuta. Kazi hiyo hufanywa na makampuni binafsi. /ili, kwamba, rasilimali ya mafuta na gesi yakipatikana 2anzibar ni suala la kiuchumi ambalo lipo kwenye mamlaka ya 2anzibar kama ilivyo karafuu, rasimali ya mafuta na gesi asilia

18

hiliki, mwani na ka!halika. &u kama ilivyo !hahabu, gesi, pamba, kahawa na ka!halika kwa upan!e wa #anzania Bara. %ivyo, 2anzibar iachwe kumiliki rasilimali yake ya kiuchumi. Z&n!"(&% n& U#*"%"0"&no -& K"+&$&"9& Mheshimiwa Mwenyekiti; "ambo lingine muhimu ambalo 0erikali zetu mbili zimelizungumza na kukubaliana tulitafutie ufumbuzi ni kuhusu 2anzibar kupata fursa ya kujiunga na mashirika ya kimataifa, kukopa na kupata misaa!a kutoka nchi za nje bila kizuizi. Kwa sasa fursa hiyo ina vikwazo vya namna mbalimbali. Ni ukweli usiopingika kuwa jambo hili limechangia kwa kiasi kikubwa kujenga hisia hasi kuhusu Muungano kwa upan!e wa 2anzibar. &i!ha, limechangia sana kuchafua hali ya hewa ya kisiasa 2anzibar kwa nyakati mbalimbali. %ata zile kauli kwamba #anzania Bara imejificha kwenye koti la 0erikali ya Muungano, na kutaka itoke ionekane ili iache kunufaika isivyostahili, zinazochangiwa sana na mazingira haya iliyonayo 2anzibar. 0erikali zetu mbili zinaamini kuwa mambo haya yakipatiwa ufumbuzi tutakuwa tumeon!oa kizingiti kikubwa katika ustawi wa Muungano wetu. Mheshimiwa Mwenyekiti; 0erikali ya "amhuri ya Muungano wa #anzania na 0erikali ya Mapin!uzi ya 2anzibar tumekubaliana kuwa, tutumie fursa za mchakato huu kuyamaliza mambo haya yaisheD Bahati nzuri !hana iliyopo katika >bara ya (,7'8 ya .asimu inatoa jawabu mwafaka kwa tatizo hili. #ukikubaliana, itaipa 2anzibar Auwezo na uhuru wa kuanzisha uhusiano na ushirikiano na jumuiya au taasisi yo yote ya kikan!a na kimataifa kwa mambo yaliyo chini ya mamlaka yake kwa mujibu wa Katiba ya nchiC bila kizuizi. Ni maoni ya 0erikali zetu mbili kuwa fursa hiyo inaweza kutolewa kwa 2anzibar bila ya kulazimika kuwa na muun!o wa 0erikali tatu. %atuuoni ulazima huo. Mheshimiwa Mwenyekiti; Kwa maoni yangu kitu kingine muhimu cha kufanya ni kuongeza msukumo, utakaohakikisha kuwa #ume ya /amoja ya $e!ha inatimiza ipasavyo majukumu yake. Wanaohusika na utekelezaji wa maamuzi yake wabanwe ipasavyo kutimiza wajibu wao. >wekwe mifumo na masharti katika sheria au Katiba ya kuwabana watekelezaji kwa ajili hiyo. %ali ka!halika ihakikishwe kuwa, &kaunti ya /amoja inaanzishwa bila ajizi na kutumika na pan!e zote. &i!ha, mfumo wa mawasiliano na ushirikiano baina ya 0erikali zetu mbili yaani Kamati ya /amoja ya 0erikali ya Muungano na 0erikali ya Mapin!uzi 2anzibar, upewe nguvu ya kisheria na kama hapana bu!i upewe nguvu ya Kikatiba. #ukifanya hivyo tutafanikiwa kuyaweka mambo yote sawa hata bila ya kuhitaji kuun!a 0erikali ya tatu. Mheshimiwa Mwenyekiti; %aheshimiwa %a,umbe;

19

Katika mja!ala kuhusu mapen!ekezo ya kuwa na muun!o wa Muungano wenye 0erikali tatu, wananchi wametoa maoni na mapen!ekezo mengi mazuri kuhusu changamoto za 0erikali tatu zilizoainishwa na #ume na namna ya kuzitatua. #ena yapo maoni ya watu wanaopen!a muun!o wa 0erikali tatu na wasiopen!a muun!o wa 0erikali tatu. Nawaomba myatafakari kwa uzito unaostahili. ?apo mambo muhimu ya kuyatafutia ufumbuzi. Kwanza, kwa mfano ni ile hoja kwamba 0erikali ya Muungano inayopen!ekezwa haikujengeka kwenye msingi imara. %aina nguvu yake yenyewe za kusimama. >nategemea mno ihsani ya nchi washirika. Kwa sababu hiyo inaweza kuanguka wakati wowote, na Muungano kusambaratika, iwapo itakosa ihsani ya nchi washirika. #ena inaweza kuwa hivyo hata kama ni mmoja wa washirika amefanya hivyo. /ili, kwamba, haielekei 0erikali hiyo ina chanzo cha uhakika cha mapato ya kuiwezesha kusimama yenyewe na kutekeleza majukumu yake. shuru wa bi!haa unaopen!ekezwa unatiliwa shaka kuwa hautatosheleza mahitaji. /ia, kwamba, hakuna uhakika wa fe!ha hizo kupatikana kwa vile, 0erikali ya Muungano haina chombo chake chenyewe cha kukusanya mapato hayo. >tategemea vyombo vya nchi washirika kuikusanyia na kuipelekea. Kuna hatari ya shughuli za 0erikali ya Muungano kusimama wakati wo wote au hata kusimama kabisa kwa sababu ya nchi washirika kuchelewa au kushin!wa kuwasilisha makusanyo ya kutoka kwao. Bahati mbaya 0erikali ya Muungano haina uwezo wala nyenzo za kuhakikisha kuwa mapato yake yanawasilishwa. 0erikali hiyo haina mamlaka ya kuzibana nchi washirika %uu ni muun!o ambao kuwasilisha au kuziwajibisha zisipofanya hivyo. Katika mazingira hayo ni rahisi kwa 0erikali ya Muungano kukwama na kushin!wa kutekeleza majukumu yake. inakuwa ni rahisi sana kwa Muungano kuvunjika. Mheshimiwa Mwenyekiti; Katika .asimu ya Katiba, 0erikali ya Muungano inapewa fursa ya kukopa kama chanzo cha kujipatia mapato ya kuen!esha shughuli zake. <akini, kwa sababu ya kukosa rasilimali zake yenyewe, huen!a ikawa vigumu kwa 0erikali hiyo kukopesheka. Kwa jumla hii ni 0erikali ambayo ukuu wake hauna nguvu iliyo thabiti, na watu wengine wanaona kama vile ukuu huo haupo kabisa. &kitokea kiongozi ye yote wa nchi washirika akatunisha misuli !hi!i ya .ais wa Muungano au kupinga maamuzi ya 0erikali au chombo cha Muungano, .ais na 0erikali yake watakuwa hawana lo lote la kufanya. Kwa kweli uhai wa Muungano katika muun!o wa 0erikali tatu ni wa mashaka makubwa. %ofu hizi kuhusu u!haifu wa 0erikali ya Muungano chini ya mfumo wa 0erikali tatu unaopen!ekezwa, zinawasumbua hata wale wanaopen!elea mfumo wa 0erikali tatu kuwepo. Wao wangepen!a iwepo 0erikali ya Muungano yenye nguvu na inayoweza kusimama

20

yenyewe kwa kujitegemea. Wanaona kilichopen!ekezwa hakitoi matumaini hayo. %ii ina maana kuwa lazima mawazo bora zai!i yatolewe ili kupata 0erikali ya tatu yenye ukuu unaoonekana na inayoweza kusimama yenyewe bila kuwa tegemezi na egemezi kwa nchi washirika. /ia inaweza kuwa nguzo ya kutegemewa na nchi washirika. Bila ya shaka Bunge hili likiamua tufuate mfumo huo linaweza kuonyesha njia ya kuon!oa hofu hizo. mbili. C*&ng&+o$o !& H"#"& !& U$&"9& Mheshimiwa Mwenyekiti; Katika kuainisha changamoto za muun!o wa 0erikali tatu, #ume ya Maba!iliko ya Katiba imeyataja mambo mengine mawili makubwa ambayo ningepen!a Waheshimiwa Wajumbe muyape tafakuri stahiki. Mambo hayo ni +o#", misuguano na mikwamo 7deadlocks and paralysis8 katika kuja!ili na kufanya uamuzi kuhusu mambo muhimu ya Muungano. Na 1"/", ni kuibuka kwa hisia za utaifa 7nationalistic sentiments8 wa zamani kwa nchi washirika. Nawaomba myatafakari kwa makini sana mambo haya, kwa sababu ya uwezo wake mkubwa wa kuhatarisha siyo tu ustawi na uhai wa Muungano, bali hata usalama wa raia na mali zao. Naona hata #ume haikuweza kupata ufumbuzi ulio mwafaka kabisa kwa changamoto hizi. Bila ya shaka katika mija!ala yenu Waheshimiwa Wajumbe mnaweza kusai!ia. Mheshimiwa Mwenyekiti; Ni lazima lifanyike kila linalowezekana kuhakikisha kuwa maamuzi hayakwami kwani yakikwama maana yake shughuli za Muungano zitakuwa zimekwama. Kama hazitakwamuliwa kwa wakati ustawi wa Muungano utaathirika. 7nationalistic feelings8 kwa nchi washirika, yaani sana kwa uhai wa Muungano. tanganyika na >kishin!ikana kabisa Kwa waumini wa 0erikali mbili wanaona kuwa huu ni uthibitisho wa ubora wa muun!o wa 0erikali

kupatikana ufumbuzi Muungano unaweza kuvunjika. Kuibuka na kukua kwa hisia za utaifa zanzibari ni tishio kubwa %ebu fikiria, watu walioishi pamoja ki!ugu na kwa

kushirikiana, kama watu wamoja na raia wa nchi moja yaani Watanzania kwa miaka ,1, kuja kujikuta uhusiano wao kuwa ni kati ya Watanganyika na Wazanzibari na siyo kati ya Watanznaia. Kwa mujibu wa sensa iliyopita takriban &#"/"+"& >0 ya Watanzania waliopo sasa wamezaliwa baa!a ya mwaka )*(+. Nchi wanayoijua ni #anzania. <itakuwa ni jambo lenye mshtuko mkubwa na athari zisizoweza kutabirika, watu hao watakapojikuta ni wageni wanaotakiwa kutengenezewa utaratibu maalum wa kusafiri na kuishi wakiwa upan!e wa Muungano ambao siyo kwao kwa asili. Wanakuwa wageni na fursa walizokuwa wanazipata waen!apo popote haiwi rahisi tena kuzipata. Katika mazingira hayo ni rahisi sana chuki kupan!ikizwa na watu waliokuwa n!ugu mara moja watajikuta maa!ui. &i!ha, watu wanaweza kujikuta wakilazimika kuru!i kwao

21

kwa asili ama kwa kufukuzwa au kwa sababu ya mazingira kuwa magumu kiasi cha kuona bora waon!oke. Watu hao wanaweza kulazimika kuon!oka huku wakiacha nyuma kila kitu walichokichuma maishani. Mheshimiwa Mwenyekiti; ;hangamoto hizi kubwa mbili za mfumo wa 0erikali tatu ambazo #ume imeziona, ni za kweli. 0i mambo ya kufikirika. ?ale yaliyowakuta watu wenye asili ya #anzania Bara ya kuchomewa moto biashara zao 2anzibar mwaka '1)' na watu wenye hisia kali za zanzibari, na kuwataka watu wa Bara waon!oke 2anzibar, huen!a yakawa ma!ogo. Matukio ya namna hii yanaweza kutokea pan!e zote mbili na kusababisha maafa makubwa. >taanza baina ya watu, baa!aye itakuwa baina ya 0erikali zetu mbili na kuzifikisha nchi zetu mbili zilizokuwa n!ugu na rafiki, kwa nusu karne, ghafla kuwa maa!ui wasioombana chumvi na wasiotakiana heri. moja wetu utatetereka na Muungano wetu unaweza kuvunjika. Kwa nini tufike hukoB 0isi viongozi tuliopewa !hamana ya kuamua kwa niaba ya wananchi wetu, hatuna bu!i kuyapima mambo haya kwa umakini mkubwa ili tufanye uamuzi ulio sahihi. #usije tukajutia uamuzi wetu tutakapoona watu wanafukuzana, wanauana na mali zao kuporwa. Na, tukifikia hatua hiyo Muungano kusambaratika halitakuwa jambo la ajabu. Kwa kweli, unapoyatafakari haya, ni rahisi kuelewa kwa nini wazee wetu waasisi waliamua walivyoamua. Waliona mbali. #usipuuze fikra zao na maono yao. Kuna hatari ya nchi yetu na watu wake kupoteza kila kitu tulichokijenga kwa miaka ,1. Ba!ala ya kujenga tunaweza kujikuta tumebomoa hata msingi katika nchi washirika. Baba wa #aifa, Mwalimu "ulius Nyerere mwaka )**6 alituasa kuhusu hatari hiyo3 8'amuwe i kutenda dhambi kubwa namna hiyo bila adhabu2 na adhabu nyingine imo mle mle ndani ya kitendo ha isubiri./ Mheshimiwa Mwenyekiti;

Mheshimiwa Mwenyekiti; 0iku moja kiongozi mmoja wa juu wa ma!hehebu ya !ini nchini aliniuliza3 8'i3i Serikali mbili ikiwa na matati o ,awabu ni kuonge a ya tatu4 Si matati o ndiyo yata idi4 Je, matati o yaki ielemea hi o Serikali tatu si kila mtu ata)hukua n,ia yake4 Mtakuwa mme#ote a kila kitu. Mimi nawashauri msi)hoke kuta&uta ma,awabu kwa matati o ya hi i mbili5 'uko mnakotaka kwenda kuna hatari nyingi/. P ngine na ushauri huu wa mtu wa Mungu nao ni vyema kuupa nafasi na kuutafakari. K&!" Y n, K,(-& Mheshimiwa Mwenyekiti;

22

Mambo ya kuyasemea ni mengi mno lakini kwa sababu ya ufinyu wa mu!a, nisingeweza kuyazungumzia yote. Naamini, mtayaona katika kuipitia .asimu na kwenye maja!iliano yenu. Napen!a kusisitiza kwenu kuwa kazi iliyo mbele yenu ni kubwa sana. Ni kubwa kwa maana mbili. Kwanza, jukumu lenyewe la kutunga Katiba ya nchi ni zito sana. #aswira ya nchi yetu itakuwaje na itaen!eshwa vipi kwa miaka mingi ijayo iko mikononi mwenu. >peni nchi yetu hatima njema. /ili, ni kubwa kwa maana ya uzito wa mambo ya kuja!ili na kuyafanyia uamuzi. Kwa ajili hiyo, ni muhimu sana kuisoma .asimu na #aarifa ya #ume kwa makini na kuzielewa. "ipeni mu!a wa kutafakari kila neno, kila sentensi, na kila !hana ili muweze kufanya uamuzi ulio sahihi. Mkifanya hayo mtakuwa mmeisai!ia nchi yetu na Watanzania wote kupata Katiba nzuri. Nimefarijika sana kusikia kuwa mtajigawa kwenye Kamati )' wakati wa kuja!ili .asimu. %uu ni utaratibu mzuri kwani mkiwa katika vikun!i vya watu wachache, mtakuwa na mija!ala ya kina zai!i. Watu wote wanaweza kupata fursa ya kutoa maoni yao, kwa kila kifungu na kila jambo linaloibuliwa na kuzungumzwa. Kwa kufanya hivyo, mtatimiza kwa ukamilifu jukumu lenu la kutunga Katiba. Wote mtakuwa mmeshiriki kuja!ili kila sura na vipengele vyake vyote. Mkimaliza kazi yenu mtapokea kwa haki sifa nzuri kama Katiba itakuwa nzuri, au lawama stahiki iwapo itakuwa kinyume chake. Pong !" 0-& M- n' 0"$" -& M,.& Mheshimiwa Mwenyekiti; Nitakuwa mwizi wa fa!hila kama nitamaliza hotuba yangu bila ya kutambua kazi nzuri iliyofanywa na Mheshimiwa /an!u &meir Kificho, 0pika wa Baraza la Wawakilishi, alipokuwa Mwenyekiti wa Mu!a wa Bunge hili. Kazi yake haikuwa rahisi hata ki!ogo, lakini kwa umahiri na usta!i mkubwa ameweza kufanikisha mambo kwa kiasi ambacho anastahili pongezi zetu sote. &nastahili pongezi kwa sababu yeye alien!esha Bunge hili bila ya kuwepo kwa kanuni. #atizo hili hatakuwa nalo Mwenyekiti wa Ku!umu kaka yangu Mheshimiwa 0amuel 0itta. Napen!a pia kuwapongeza Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kwa hatua mliyofikia. %ata hivyo, mmechukua mu!a mwingi katika hatua ya awali hivyo hamna bu!i kuongeza kasi. Naomba niwakumbushe kuwa mija!ala yenu hii inafuatiliwa kwa karibu sana na Watanzania. Wamewekeza sana matarajio yao kwenu. %amna bu!i, haiba na taswira ya uongozi muionyeshe wakati wote wa kuen!esha mija!ala yenu kwa lugha na viten!o vyenu. Wakati wa semina na mja!ala wa kupitisha Kanuni za Bunge hili, baa!hi ya wananchi wamekwazika sana na mwenen!o wa baa!hi ya Wajumbe. baa!hi yenu. %awakutegemea kuyaona maten!o waliyoyaona mkifanya na kusikia maneno waliyoyasikia kutoka kwenye vinywa vya

23

Ni matumaini yangu na ya Watanzania wote kuwa hali ile haitajiru!ia tena katika awamu hii. #usiwafikishe mahali Watanzania wakakata tamaa na Wajumbe wao au na hata chombo hiki muhimu sana kwa mustakabali wao na wa nchi yao. #utoe hoja ba!ala ya kupiga kelele 7argue dont shout) au kuzomea. %akuna haja ya kutumia lugha isiyokuwa ya staha katika kujieleza. %akuna haja ya kukingiana ngumi, wa #anzania wanaotutegemea sana. W 0 n" M&#/&*" '& T&"9& M( / Mheshimiwa Mwenyekiti; :mbi langu la mwisho kwenu ni kuwasihi kuwa wakati wote muongozwe na kujali maslahi mapana ya nchi yetu na watu wake ba!ala ya kujali maslahi yenu binafsi au ya makun!i yenu. Naomba kaulimbiu yenu iwe 8T&n!&n"& K-&n!&:5 Najua kila mmoja wenu amekuja na maoni yake au atakuwa nayo kwa kila jambo litakaloja!iliwa. kuleta mafanikio, kama misimamo hiyo na mawazo hayo ni ya kujenga. %ata hivyo, mnachotegemewa kufanya ni kuwa tayari kuwianisha na kuunganisha mawazo yenu mazuri na ya wenzenu, ili kupata msimamo wa pamoja na uamuzi wa pamoja ulio bora. Kwa sababu hiyo, hamna bu!i kuwa tayari kusikiliza mawazo ya wengine, hata kama ni tofauti na yenu mliyokuja nayo. #afuteni kilicho chema kwa yale yanayosemwa na watu wengine hata kama ni watu usiokubaliana nao au huwapen!i au hampen!ani. Kunaweza kuwepo kitu chenye manufaa. Mheshimiwa Mwenyekiti na %aheshimiwa %a,umbe; Nawaomba muwe ho!ari wa kushawishi ba!ala ya kulazimisha. Mkifanya hivyo hamtalazimika kutumia mu!a mwingi wa kula njama za namna ya kuwazi!i maarifa wale mnaotofautiana nao kwa mawazo. <azima pia mtafute namna ya kushirikiana na kuwasiliana na makun!i mengine. Msitafute kushin!ana, hili ni jambo ambalo lazima wote mtoke hapa mkiwa washin!i. ?aani lazima Watanzania wote washin!e kwani wao n!iyo wenye Katiba yao. Nawapongeza viongozi wa vyama vya siasa na asasi mbalimbali kwa kutambua na kuthamini umuhimu wa kuwa na taratibu za mawasiliano, mashauriano na ushirikiano. =aima muwe watu wa kutafuta mari!hiano. Mmefanya vizuri katika hatua ya awali. Mmejiwekea taratibu nzuri za kufanya hayo, tafa!halini zitumieni. awamu hii. Mheshimiwa Mwenyekiti; Naomba nimalize kwa kuwaomba Watanzania wote tukiongozwa na viongozi wetu wa !ini tumuombe Mola wetu ajalie rehema zake ili mchakato wa kutunga Katiba uen!e salama. "engeni ma!araja imara zai!i katika Wengine wamepewa misimamo na vyama vyao au makun!i yao. 0i jambo baya na ni hatua muhimu ya kutishiana hili na lile au hata kugombana. Ni utovu wa uungwana usiotegemewa kutoka kwenu. #usiwaangushe wananchi

24

&liongoze Bunge hili na Wajumbe wake waweze kufanya uamuzi ulio sahihi na wenye manufaa kwa taifa letu kwa kila watakaloliamua. Baa!a ya kusema maneno yangu mengi hayo, niru!ie kukushukuru Mheshimiwa Mwenyekiti kwa kunipa fursa hii a!himu ya kulihutubia Bunge Maalum la Katiba. Nawatakieni kila la heri na mafanikio mema. K&$"(& M1'& In&- ! 0&n&, T"+"!& W&7"(, W&0o5 M,ng, I(&%"0" T&n!&n"&A M,ng, L"(&%"0" B,ng M&&/,+, /& K&$"(&A A#&n$ n" #&n& 0-& 0,n"#"0"/"!&A

You might also like