Professional Documents
Culture Documents
BUNGE LA TANZANIA
6.0 MASWALI:
Jumla ya Maswali ya kawaida 125 yanatarajiwa kuulizwa na kujibiwa
ambapo ni wastani wa Maswali 15 kwa siku na maswali 10 kwa siku za
Alhamisi. Aidha katika kipindi cha Maswali kwa Waziri Mkuuinatarajiwa
kuwa jumla ya
Waziri Mkuu.
Aidha, Kamati ya Uongozi imefikira pia ratiba ya Mkutano wa kumi na tisa (19)
na Ishirini (20) ambapo imependekezwa kuwa Mkutano wa Kumi na tisa
utajadili Miswada yote ya Serikali iliyosomwa kwa mara ya kwanza na miswada
mingine itakayoonekana kuwa na umuhimu kabla ya Bunge kuvunjwa.
Mkutano huo wa Kumi na Tisa utafanyika tarehe za Katikati ya Mwezi Machi na
Kumalizika Mwanzoni mwa Mwezi Aprili, ambapo Mkutano wa Ishirini wa Bajeti
utafanyika tarehe za Mwanzoni mwa mwezi Mei na kumalizika tarehe 30 Juni
2015.
Ratiba Kamaili ya Mkutano wa Kumi na Nane (18) ya jinsi shughuli
zitakavyowasilishwa itatolewa mapema na kuwekwa katika Tovuti ya Bunge
ambayo ni www.parliament.go.tz
Imetolewa na:
Idara ya Habari, Elimu kwa Umma na Uhusiano wa Kimataifa,
Ofisi Ndogo za Bunge
DAR ES SALAAM
22 Januari 2015