Professional Documents
Culture Documents
Tarehe 24
Zoezi hili
Wananchi
kukamilika
kama
ilivyopangwa.
Napenda
kurudia
ahadi
kirasilimali
ili
iweze
kutimiza
jukumu
lake
hilo.
Kama haifanyiki
Vitambulisho
katika
kuwakumbusha
na
kuwahamasisha
wananchi
Serikali
tunafanya
kila
linalowezekana
kuhakikisha
kuwa
kila
Nawaomba wahusika
Pia
imechapichwa magazetini.
Hadi
tarehe
27
Februari,
2015
vitabu
1,558,805
vilikuwa
Nakala 1,141,300
imepewa vitabu 300. Kwa vile Kata zina wastani wa vijiji vitano (5) hii ina
maana kwamba kila kijiji kimepata vitabu 60 kwa kila kijiji ambayo si haba.
Ndugu Wananchi;
Tume ya Uchaguzi itatoa maelekezo kuhusu utaratibu wa kutoa
elimu kwa umma. Nimeambiwa tayari asasi za kiraia 420 kwa upande wa
Bara na 75 kwa upande wa Zanzibar zimejiandikisha kwa ajili ya zoezi hilo.
Halikadhalika, Tume itatoa maelekezo husika kuhusu kampeni ya Kura ya
Maoni wakati ukiwadia. Naomba watu wawe na subira na kuzingatia
masharti ya Sheria ya Kura ya Maoni na Kanuni zake. Tukifanya hivyo,
zoezi hili muhimu na la kihistoria litatekelezwa kwa usalama na utulivu.
Watu watafanya uamuzi kwa uhuru, uelewa, amani na usalama.
Hali ya Usalama Nchini
Ndugu wananchi;
Jambo la tatu ninalotaka kulizungumzia ni hali ya usalama nchini.
Kwa jumla hali ya usalama ni nzuri, hata hivyo kuna matukio ya kiusalama
ambayo ningependa kuyazungumzia. La kwanza ni mashambulizi yenye
sifa za ujambazi na mwelekeo wa kigaidi. Na, la pili ni la mauaji ya watu
wenye ulemavu wa ngozi.
Katika kipindi cha miezi 12 hivi kumekuwa na matukio ya watu
kuvamia vituo vya Polisi, wengine wanachoma moto au wengine wanapora
Pugu
Polisi
na
Badala yake
tutumie mitandao ya kijamii kuponda fikra zao potofu, fikra zao hasi na
vitendo vyao viovu pamoja na kuwafichua wao na mambo yao mabaya
wayafanyo. Napenda kutumia nafasi hii kuwashukuru na kuwapongeza
wananchi wote walioweza kutoa taarifa zilizowezesha kuzuia uhalifu
usifanyike au zilizowezesha kutiwa mbaroni kwa wahutumiwa wa vitendo
vya ujambazi na ugaidi.
katika kijiji chao, mtaa wao au katika nchi yao. Jamii nzima na sisi sote
mmoja mmoja na katika umoja wetu, tunao wajibu wa kuhakikisha
usalama wa maisha yao na mali zao kama ilivyo kwa watu wengine wote.
Kwa kweli, mauaji ya albino ni jambo linalofedhehesha na
kulidhalilisha taifa letu. Ni vitendo visivyovumilika.
Mahakamani
na
kupewa
adhabu
kali
inayowastahili
wanapopatikana na hatia.
Ndugu Wananchi;
Napenda kuwahakikishia kuwa wakati wote Serikali imelipa uzito
mkubwa suala la kudhibiti na kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu
wa ngozi au kukatwa baadhi ya viungo vyao wenyewe wakiwa hai.
Tumefanya hivyo bila ya kuchoka tangu tukio la kwanza baada ya mimi
kuingia madarakani Aprili 17, 2006 na miezi mitatu tu kule Nyahunge,
Geita alipouawa Alfa Amon ambapo watuhumiwa wawili waliuawa na
raia. Mwaka 2007 kulikuwa na matukio saba. Mwaka 2008 ndio ulikuwa
mwaka mbaya sana walipouawa watu 18.
Kutokana
na
jitihada
kubwa
zilizofanywa
na
Serikali
kwa
ifuatayo: Mwanza matukio 13, Kagera sita, Tabora matano, Geita manne,
Mara manne, Kigoma manne, Simiyu matatu, Shinyanga mawili, Arusha
moja na Mbeya moja. Utaona matukio 41 kati ya 43 yametokea katika
ukanda wa ziwa ambapo pia wanaongoza kwa mauaji ya vikongwe na
wanawake kwa sababu za ushirikina.
Ndugu Wananchi;
Inawezekana kuwa matukio ya hivi karibuni yanaashiria kuwa
uhalifu huu unataka kuibuka upya. Napenda kuwahakikishia ndugu zetu
wenye ulemavu wa ngozi na Watanzania kwa jumla, kuwa hatutaacha hali
iwe mbaya kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.
Tutatumia mbinu na
10
Hata hivyo,
litategemea watu kuacha imani za ushirikina. Imani potofu, ati kuwa mtu
akiwa na kiungo cha mtu mwenye ulemavu wa ngozi atafanikiwa katika
shughuli zake za biashara, uvuvi na uchimbaji wa madini ndicho
kichocheo cha uovu wote huu unaoendelea. Ni ujinga ulioje kwa mtu
kuamini kuwa mafanikio yake hayatategemea juhudi zake na maarifa yake
bali kuwa na kiungo cha mwanadamu mwenzake mwenye ulemavu wa
ngozi.
Nilisema katika hotuba yangu ya mwisho wa mwezi Machi, 2008
kwamba, kama kuwa na kiungo cha albino ndiko kutakakomfanya mtu
kufanikiwa katika shughuli zake za kibiashara na kiuchumi basi ndugu
zetu wenye ulemavu wa ngozi wangekuwa ndiyo matajiri wakubwa nchini
na duniani. Maana wao sio tu wana viungo bali wana mwili mzima.
Kwa
11
Kimsingi
Tumekubaliana pia
kuwa, Serikali zetu mbili zitekeleze ipasavyo wajibu wake kwa TAZARA
ikiwa ni pamoja na kutoa mchango wake wa fedha kwa ajili ya kulifufua
Shirika hili muhimu kwa uchumi wa nchi zetu mbili.
Ndugu Wananchi;
Tumekubaliana pia, kwamba, tuangalie uwezekano wa kuruhusu
makampuni au mashirika mengine ya reli kutumia reli ya TAZARA
kusafirishia mizigo yao kwa kulipa ushuru kwa TAZARA kwa huduma
hiyo. Tumeagiza Baraza la Mawaziri kulifanyia kazi wazo hili jema ili
litekelezwe mapema iwezekanavyo.
Kwa upande wa sekta ya nishati, tumekubaliana kuwa, nchi zetu
mbili ziendelee kushirikiana kuimarisha bomba la mafuta la TAZAMA.
Ndugu zetu wa Zambia walitueleza dhamira yao ya kutaka kujenga bomba
la kusafirisha gesi kutoka Dar es Salaam hadi Zambia.
Wameomba
12
hadi
Mbala
Zambia
inakoanzia
njia
inayoleta
umeme
muhimu za mpakani kutolewa katika jengo hilo (One Stop Border Post).
Wakati tunasubiri kukamilisha ujenzi huo, tumekubaliana tuwe na jengo la
muda la kurahisisha taratibu za usafiri wa abiria na usafirishaji wa mizigo
katika mpaka wetu na Zambia.
Vilevile, tulizungumzia njia za kuimarisha na kuboresha taratibu za
forodha kwa mizigo itokayo bandari ya Dar es Salaam kwenda Zambia na
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kupitia Zambia. Tumekubaliana kuwa,
Mamlaka ya Kodi ya Mapato ya Zambia iangalie uwezekano wa kuwaweka
maafisa wake katika Bandari ya Dar es Salaam kama inavyofanyika kwa
nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Hii itarahisisha taratibu
za forodha kwa bidhaa za Zambia katika bandari yetu.
Jamhuri ya
13
Kifo chake
Nawaomba
14