You are on page 1of 137

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI NA OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

TAARIFA YA UTAFITI

Dar Es Salaam Juni, 2011

w .Ja m

KUHUSU KUSHUKA KWA KIWANGO CHA UFAULU WA MTIHANI WA TAIFA WA KIDATO CHA 4 MWAKA 2010

iiF

or u

m s.c

om

SHUKRANI
Utafiti huu umehusisha wataalamu mbalimbali katika hatua za kubuni, kutayarisha, kukusanya, kuchambua takwimu na kuandika ripoti. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa pamoja zinawashukuru wataalamu wote waliohusika kwa njia moja ama nyingine katika hatua mbalimbali za utafiti huu. Pia tunawashukuru wadau wote wa elimu waliohusika katika kutoa taarifa za utafiti. Aidha shukrani za pekee ziiendee Wizara ya Fedha kwa kufanikisha mchakato mzima wa utafiti. Shukrani pia zimwendee Bwana Jumanne Abdallah Sagini, Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI kwa kuwa msimamizi mkuu wa kazi hii. Aidha, shukrani za dhati ziwaendee wajumbe wa kikundi kazi kilichohusika katika utafiti huu kuanzia hatua za awali hadi mwisho. Wajumbe hao ni: JINA 1. Francis M. Liboy 2. Lawrence John Sanga 3. Fred Davidson Sichizya 4. Abdallah Shaban Ngodu 5. Hadija Mchatta Maggid 7. Elia Kalonzo Kibga 6. Paulina Jackson Mkoma TAASISI WEMU WEMU WEMU WEMU WEMU OWM-TAMISEMI TET NECTA

Rasimu 2

or u
i

OWM-TAMISEMI

iiF
WEMU

w .Ja m

10. Edward Simon Haule

9. Makoye J.N. Wangeleja

8. Paulina Mbena Nkwama

Aidha shukrani zimwendee Mkurugenzi Mkuu wa TET kwa kugharamia vikao vya kikundi kazi kupitia huduma ya ukumbi na chakula wakati kikiwa Dar-es-salaam.

Prof. Hamisi O. Dihenga Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi

m s.c
- Katibu

WADHIFA - Mwenyekiti - Mjumbe - Mjumbe - Mjumbe - Mjumbe - Mjumbe - Mjumbe - Mjumbe - Mjumbe

om

Rasimu 2
DIBAJI
Ripoti hii ya utafiti inahusu kushuka kwa kiwango cha ufaulu wa Mtihani wa Taifa Kidato cha 4 mwaka 2010. Utafiti huu umefanywa kwa ushirikiano kati ya Ofisi ya Waziri MkuuTawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (WEMU) ikihusisha Taasisi ya Elimu Tanzania na Baraza la Mitihani la Tanzania. Utafiti huu ulilenga kubaini sababu za kushuka kwa kiwango cha ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010. Pamoja na baadhi ya sababu hizo kuwa dhahiri kwa wadau wa elimu Serikali iliamua kufanya utafiti ili kuweza kubaini chanzo na ukubwa wa tatizo. Utafiti huu unatoa mapendekezo kuhusu kuinua kiwango cha ufaulu na ubora wa elimu ya sekondari.

Ripoti hii inaonesha kwamba yapo masuala ya kimfumo, mfano mapungufu katika kwa moja. Aidha, yapo masuala yanayohusu kujenga uwezo kwa wasimamizi na kufundishia na kujifunzia na uboreshaji wa majengo na miundombinu ambayo yanahitaji nguvu ya pamoja kati ya serikali na wabia wake. Matokeo ya utafiti huu ni muhimu kwa serikali, washirika wa maendeleo na wadau zinazojitokeza na inatoa mapendekezo ya namna ya kuyatatua na kukabiliana na changamoto za kielimu. Hivyo sote kwa pamoja yatupasa tujipange na kuelekeza nguvu zetu kupitia mipango yetu ya muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu ili tuweze kuyamaliza matatizo haya na kuinua ubora wa elimu nchini. Ninawaomba wadau wa elimu nchini kuyafanyia kazi matokeo ya utafiti huu ili kuweza kupiga hatua katika utekelezaji wa utoaji wa elimu bora kwa wanafunzi. Serikali inayo nia ya dhati ya kutekeleza mapendekezo haya ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa elimu ya sekondari nchini. Mh. Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa (MB) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi

mbalimbali wa elimu kwani inaonesha chanzo na ukubwa wa matatizo na changamoto

w .Ja m

iiF
ii

watekelezaji wa mitaala, kuhakikisha upatikanaji wa vifaa bora na vya kutosha vya

or u

usimamizi na uendeshaji wa elimu nchini ambayo yanaweza kutatuliwa na serikali moja

m s.c

om

Rasimu 2
YALIYOMO SHUKRANI............................................................................................................................................. i DIBAJI.................................................................................................................................................... ii VIFUPISHO............................................................................................................................................ v MUHTASARI PEMBUZI ..................................................................................................................... vi SURA YA KWANZA: UTANGULIZI................................................................................................ 15 1.1. 1.2. 1.3. 1.4. 1.5. 2.1 2.2 2.3 2.4 2.5 2.6 Usuli ....................................................................................................................................... 15 Hoja ya Kufanya Utafiti ....................................................................................................... 18 Malengo ya Utafiti ................................................................................................................ 19 Maswali ya Utafiti ................................................................................................................. 19 Muundo wa Ripoti ................................................................................................................ 20 Sera na Mipango ya Elimu .................................................................................................. 21 Mipango na Mikakati ya Elimu ........................................................................................... 22 Uongozi katika Elimu ........................................................................................................... 23 Usimamizi na Uendeshaji .................................................................................................... 24 Ugharamiaji wa Elimu ......................................................................................................... 25 Ufuatiliaji na Tathimini ya Elimu ........................................................................................ 27

SURA YA TATU: MWONGOZO WA UTAFITI............................................................................... 55 3.1. Utangulizi .............................................................................................................................. 55 3.2. Mbinu ya Utafiti .................................................................................................................... 55 3.3. Eneo la Utafiti ....................................................................................................................... 56 3.4. Uchaguzi wa Sampuli .......................................................................................................... 56 3.5. Zana za Utafiti ...................................................................................................................... 57 3.6. Utaratibu Uliotumika Kufanya Utafiti ................................................................................ 58 3.6.1. Kukusanya Taarifa Kutoka Ngazi ya Taifa ................................................................ 58 3.6.2. Kukusanya Taarifa Kutoka katika Kanda, Mkoa na Halmashauri .......................... 58 3.6.3. Kukusanya Taarifa Kutoka Shuleni na katika Jamii ................................................. 59 3.7. Uchambuzi wa Data............................................................................................................. 59 3.8. Maadili ya Kufanya Utafiti ................................................................................................... 59 SURA YA NNE: MATOKEO YA UTAFITI NA UCHAMBUZI WA DATA................................... 61 4.1. Utangulizi .............................................................................................................................. 61 4.2. Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu .................................................................................. 63 4.2.1. Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu katika Ngazi Mbalimbali................................. 63 4.2.2. Mmomonyoko wa Maadili Katika Jamii ...................................................................... 68 4.2.3. Mwamko Duni wa Jamii Katika Elimu ........................................................................ 69 4.2.4. Siasa Kuingilia Masuala ya Kitaalam ya Kielimu....................................................... 69 4.2.5. Ufinyu wa Bajeti ya Elimu ........................................................................................... 70 4.2.6. Maoni Kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu ................................................. 71 4.2.7. Mapendekezo kwa Walioshindwa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 Mwaka 2010 75 4.3. Utayarishaji na Utekelezaji wa Mitaala ............................................................................. 76 4.3.1. Utayarishaji wa Mitaala ................................................................................................ 76

w .Ja m

iiF
iii

or u

m s.c

om

SURA YA PILI: MAPITIO YA MAANDIKO.................................................................................... 21

SURA YA TANO: HITIMISHO NA MAPENDEKEZO .................................................................. 115 5.1. 5.2. 5.3. 5.4. 5.5. 5.6. Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu ................................................................................ 115 Utekelezaji wa mitaala ...................................................................................................... 118 Mfumo na Taratibu za Mitihani ya Taifa ......................................................................... 119 Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Utoaji wa Elimu ................................................. 121 Mfumo wa utayarishaji wa walimu .................................................................................. 121 Mazingira ya Kufundishia na Kujifunzia .......................................................................... 124

REJEA ................................................................................................................................................ 126 VIAMBATISHO ................................................................................................................................ 130 Kiambatisho Na. 3.1: Maeneo Yaliyohusika katika Utafiti ...................................................... 130 Kiambatisho 3.5: Zana na Idadi ya Wajibuji Kitaifa na Kimkoa ........................................... 132 Kiambatisho 4.1 Takwimu za ukaguzi wa shule ( 20072010) katika Halmashauri zilizofanyiwa utafiti. ...................................................................................................................... 133

w .Ja m

iiF
iv

or u

m s.c

4.3.2. Uwepo wa Mihtasari Shuleni na Vyuoni .................................................................... 77 4.3.3. Utekelezaji wa Mtaala .................................................................................................. 78 4.3.4. Mafunzo Kabilishi kwa Ajili ya Mtaala Ulioboreshwa ............................................... 79 4.3.5. Maoni Kuhusu Utekelezaji wa Mtaala ........................................................................ 79 4.4. Mfumo na Taratibu za Mitihani ya Taifa ........................................................................... 80 4.4.1. Utungaji wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 ....................................................... 80 4.4.2. Usambazaji na Usimamizi wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4.......................... 82 4.4.3. Usahihishaji wa Mtihani ya Taifa wa Kidato cha 4 .................................................. 83 4.4.4. Mchango wa Alama za Mazoezi Endelezi (Continuous Assessment-CA) Katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 ................................................................................ 85 4.4.5. Upangaji wa Madaraja Unaofanywa na NECTA ....................................................... 86 4.4.6. Matumizi ya Miongozo na Nyaraka Mitihani ............................................................. 88 4.4.7. Athari za Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 ............................................................ 88 4.4.8. Maoni Kuhusu Mfumo na Taratibu za Mitihani ya Taifa ......................................... 90 4.5. Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Utoaji wa Elimu ................................................... 93 4.6. Mfumo wa Utayarishaji na Uwepo wa Walimu............................................................... 97 4.6.1. Mfumo wa Utayarishaji wa Walimu............................................................................... 97 4.6.2. Ajira na Upangaji wa Walimu ..................................................................................... 98 4.6.3. Uwepo wa Walimu katika Shule .................................................................................. 100 4.6.4. Maoni ya Kuimarisha Ubora na Uwepo wa Walimu .............................................. 106 4.7. Mazingira na Vifaa vya Kufundishia na Kujifunzia ........................................................ 108

Rasimu 2

om

VIFUPISHO
BEST CA CG CDTI CWT EFA EMAC ETP FDC FTC GBS GDP GER MKUKUTA MMES MEMK-WSM Basic Education Statistics in Tanzania Continuous Assessment (Mazoezi Endelezi) Capitation Grant Community Development Training Institute Chama cha Walimu Tanzania Education for All Educational Materials Approval Committee Education and Training Policy Folk Development College Full Technician Certificate General Budget Support Gross Domestic Product Gross Enrolment Rate Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Tanzania Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari Mkakati wa Elimu ya Mafunzo Kazini kwa Walimu wa Shule za Msingi MMEM Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi MMEMWA Mkakati wa Menejimenti na Maendeleo ya Walimu MoEVT Ministry of Education and Vocational Training Mafunzo ya Walimu Kazini Elimu ya Msingi MWAKEM MTEF Medium Term Expenditure Framework MDGs Milemium Development Goals (Malengo ya Maendeleo ya Milenia) MUCE Mkwawa University College of Education NCDF National Curriculum Development Framework NECTA National Examinations Council of Tanzania OC Other Charges OUT Open University of Tanzania OWM-TAMISEMI Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa PETS Public Expenditure Tracking System SEDP Secondary Education Development Programme TAMONGSCO Tanzania Association of Managers of Non Government Schools and Colleges TEHAMA Teknolojia ya Habari na Mawasiliano TET Taasisi ya Elimu Tanzania TEN/MET Tanzania Education Network/Mtandao wa Elimu Tanzania TES Tanzania Elimu Supplies TIE Tanzania Institute of Education TSD Teachers Service Department (Idara ya Huduma kwa Walimu) UKIMWI Ukosefu wa Kinga Mwilini URT United Republic of Tanzania TRC Teachers Resource Centre UPE Universal Primary Education (Elimu ya Msingi kwa Wote) WEMU Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi

Rasimu 2

w .Ja m

iiF
v

or u

m s.c

om

MUHTASARI PEMBUZI Utoaji wa elimu nchini Tanzania unaongozwa na Sera ya Elimu na Mafunzo (ETP) ya mwaka 1995. Utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo unaenda sambamba na Dira ya Taifa 2025, MKUKUTA, kutimiza malengo ya Elimu kwa Wote (EFA) na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs). Katika kutekeleza Sera ya Elimu na Mafunzo, Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Elimu ilianzishwa. Aidha, Programu za Mipango ya Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) na Sekondari (MMES) zilianzishwa kutekeleza program ya sekta. Mafanikio ya MMEM yameongeza mahitaji ya upanuzi wa elimu ya sekondari, ambapo Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari MMES I (2004-2009) ulitekelezwa kwa lengo kuu la kuongeza uandikishaji wa wanafunzi katika shule za sekondari na MMES II (20102014) imeweka kipaumbele katika kuinua ubora wa elimu ya sekondari. Kiwango cha ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 kimeendelea kushuka kila mwaka kwa mfululizo wa miaka minne 2007 (90.3%), 2008 (83.6%), 2009 (72.5%) na za kushuka kwa kiwango cha ufaulu na kuchukua hatua sahihi za kukabiliana na tatizo hilo. 2010 (50.4%). Kutokana na hali hiyo, Serikali iliamua kufanya utafiti ili kubaini sababu

Rasimu 2

Utafiti huu ulifanyika katika mikoa 11, ikiwa ni mmoja kwa kila Kanda ya Elimu. Aidha, vizuri na nyingine iliyofanya vibaya katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4. Kwa kila Halmashauri jumla ya shule sita zikiwemo nne za serikali na mbili zisizo za serikali zilihusika katika utafiti huu. Jumla ya shule 132 ambapo 88 ni za Serikali na 44 ni shule zisizo za Serikali zilihusishwa. Pia, ofisi za elimu na ukaguzi wa shule, Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), pamoja na baadhi ya asasi za serikali na zisizo za serikali zilihusishwa. Jumla ya wajibuji 3,894 walilengwa katika utafiti ambapo washiriki 3,037 sawa na asilimia 80.0% walifikiwa. Taarifa na takwimu za utafiti zilikusanywa kwa kutumia Madodoso, Majadiliano ya Pamoja, Hojaji, maandiko na makala mbalimbali. Uchambuzi wa takwimu umefanyika kwa kuwasilisha hoja za wajibuji katika namba (asilimia), majedwali na chati ili kuleta

jumla ya Halmashauri 22 zilihusishwa, mbili kutoka kila mkoa ikiwa moja iliyofanya

w .Ja m

iiF
vi

or u

m s.c

om

Rasimu 2
taarifa zenye mantiki kulingana na maswali ya utafiti. Matokeo ya utafiti kuhusu kushuka kwa kiwango cha ufaulu cha Mtihani wa Taifa Kidato cha 4 2010 yamewasilishwa kama ifuatavyo:a) Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Utafiti umedhihirisha kuwa matatizo yanayohusu usimamizi na uendeshaji yameathiri ufanisi katika utoaji wa elimu bora nchini. Baadhi ya viongozi wa elimu huteuliwa bila kuzingatia utaalamu, taaluma, uwajibikaji, uwezo na uadilifu. Aidha, maamuzi ya kitaalamu kuhusu uendeshaji wa elimu hufanyika kisiasa bila kuzingatia utaalamu na tafiti. Vile vile ufinyu wa bajeti ya Wizara ya kutokuwa fanisi. Elimu na TAMISEMI (Elimu) unafanya usimamizi na uendeshaji wa elimu

Utekelezaji wa Sera ya matumizi ya vitabu vingi vya kiada na ziada umekuwa na vyenye ithibati katika shule na vyuo. Aidha, kuna uelewa mdogo kwa wanafunzi katika shule za sekondari na vyuo vya ualimu. Utafiti umebaini kuwa, mmomonyoko wa maadili kama vile matumizi ya lugha mbaya; matumizi mabaya ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), katika masuala ya mapenzi ni masuala yaliyobainishwa kuchangia kumeathiri maendeleo ya taaluma shuleni. b) Utayarishaji na Utekelezaji wa Mitaala Utafiti umeonesha kuwepo kwa changamoto za utayarishaji na utekelezaji wa mtaala kwa miaka mitano iliyopita. Mtaala ulioboreshwa wa mwaka 2005 umetekelezwa bila kufanyiwa majaribio (piloting). Aidha, utafiti umebaini kuwa kwa miaka mitatu iliyopita (2008 hadi 2010), jumla ya walimu 588 (1.5%) walipata mafunzo kabilishi. Taarifa hii inaonesha kuwa walimu wengi hawana maarifa na stadi za kufundisha mtaala wa sekondari uliboreshwa. kutozingatia mafundisho ya dini, matumizi ya dawa za kulevya na kujiingiza

w .Ja m

iiF
vii

na walimu katika matumizi ya Kiingereza kama lugha ya kufundishia na kujifunzia

or u

changamoto ambazo zimeathiri uchapishaji, usambazaji na upatikanaji wa vitabu

m s.c

om

Rasimu 2
Ni muhimu watekelezaji mitaala kupatiwa mafunzo kabilishi ili kuimarisha utendaji kazi wao na kuwawezesha kupata fursa ya mabadiliko ya mtaala, dhana na nadharia za ufundishaji na ujifunzaji. Pia, utafiti umebaini upungufu wa mihtasari ya mtaala ulioboreshwa katika shule za sekondari. Katika shule zilizofanyiwa utafiti, takwimu zinaonesha kuwa kuna upungufu wa mihtasari kwa wastani wa asilimia 45.4 ambapo masomo ya

Mathematics na Geography yameongoza kwa kuwa na upungufu wa zaidi ya


asilimia 50. Vilevile, kuna tatizo la mfumo wa usambazaji wa mihtasari kutoka TET kwenda shuleni. c) Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Utoaji wa Elimu

Utafiti huu ulilenga Kuchunguza ufanisi wa mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya utoaji wa elimu, utekelezaji wa mtaala na ukaguzi wa shule. Utafiti ulibaini kuwa asilimia 49 ya wakuu wa shule hawafuatilii kikamilifu utoaji wa taaluma shuleni, hali hii inapunguza ufanisi wa ufundishaji na ujifunzaji. ilivyoainishwa katika Mwongozo wa Usimamizi wa Shule. Aidha, ilibainika kuwa hakuna ufuatiliaji wala tathmini iliyofanyika tangu mtaala wa elimu ya sekondari ulioboreshwa uanze kutumika mwaka 2005 na kwamba tathmini kwa wakati kuhusu utekelezaji wa mtaala hakutoi fursa kwa serikali na wadau wa elimu kubaini matatizo na changamoto za utoaji elimu na kuyapatia ufumbuzi kwa wakati na hivyo kupunguza ufanisi wa ufundishaji na ujifunzaji Pia utafiti umebaini kuwa, katika shule 132 zilizotembelewa, shule 18 (13.53%) zilikaguliwa mara 3 hadi 4 kwa kipindi cha mwaka 2006 hadi 2010. Hali kadhalika shule 6 (51.88%) zilikaguliwa mara moja au mbili, na shule 46 (34.59%) hazikukaguliwa kabisa. Aidha, taarifa za ukaguzi wa shule hazifanyiwi kazi ipasavyo. Kutokaguliwa kwa shule hizo za sekondari kumepunguza ufanisi wa usimamizi na utoaji wa elimu bora. mitaala hiyo haikufanyiwa majaribio kabla ya utekelezaji wake. Kutofanya Hivyo inapaswa wakuu wa shule wasimamie kikamilifu majukumu yao kama

w .Ja m

iiF
viii

or u

m s.c

om

Rasimu 2
d) Mfumo wa Utayarishaji na Uwepo wa Walimu Ufaulu wa wanafunzi katika mitihani ya Taifa huchangiwa na sababu mbalimbali. Uwepo wa walimu wenye sifa stahiki shuleni ni moja ya sababu muhimu. Utafiti umebaini kuwa, sifa za udahili kwa walimu tarajali wa stashahada ni za ufaulu wa kiwango cha chini (1Principal na 1Subsdiary) katika masomo ya kufundishia na baadhi yao hawana wito wa kazi ya ualimu. Aidha utafiti umebaini kuwa kuna changamoto katika matayarisho ya walimu tarajali unaosababishwa na upungufu wa miundombinu na vifaa vya kufundishia na kujifunzia. Aidha, matokeo ya utafiti yameonesha kuna upungufu mkubwa wa walimu pia na upangaji usiozingatia mahitaji hususan katika sehemu zenye mazingira

Mathematics, lina mahitaji ya walimu 436 ambapo waliopo ni walimu 172 hivyo
walimu ni changamoto katika utoaji wa elimu. e) Mfumo na Taratibu za Mitihani ya Taifa Matokeo mbalimbali yahusuyo mfumo wa mitihani yamebainishwa ikiwa ni vinavyotumika na NECTA. Aidha, Miundo ya mitihani ya Taifa haiwafikii baadhi ya walimu na wanafunzi na hivyo kutoielewa. Hii inaonesha jinsi ambavyo baadhi ya walimu na wanafunzi hawapati fursa ya kuiona na kuitumia miundo ya mitihani na miongozo katika shule za sekondari. Uwepo wa Nyaraka na miongozo mbalimbali ya mitihani katika shule ni muhimu katika kumwandaa mtahiniwa hivyo, wadau wote wanapaswa kupata na kutumia machapisho hayo. Utafiti umebaini kuwa, uteuzi wa wasahihishaji katika ngazi ya shule haufanywi kwa makini. Aidha, utaratibu wa kulipa wasahihishaji kwa idadi ya scripts walizosahihisha badala ya posho ya kujikimu na muda mrefu wa usahihishaji

pamoja na muundo wa maswali yatolewayo shuleni kutokidhi viwango

w .Ja m

iiF

kuna upungufu wa walimu 264 sawa na asilimia 60.6. Tatizo la upungufu wa

or u

magumu.

Katika

shule

zilizofanyiwa

m s.c
utafiti

kimasomo hususani katika masomo ya sayansi na Mathematics unaosababishwa imebainika kuwa somo la

ix

om

Rasimu 2
kwa siku ni baadhi ya masuala yanaweza kuchangia kupungua kwa umakini wa usahihishaji. Aidha utafiti umebaini kuwa, mwongozo kuhusu mchango wa CA wa 50% (45% majaribio na mazoezi na 5% projekti) katika mtihani wa Taifa hautumiki au mchakato wake katika matokeo ya mwisho haufahamiki kwa wadau wa elimu. Hata hivyo NECTA wanatumia vigezo vingine vya ulinganifu sanifu ambavyo mchakato wake wa kuvitumia haueleweki kwa wadau. Aidha utafiti umebaini kuwa, gredi zinazotumika shuleni kwa uzoefu wa miaka mingi ni A (81-100), B (61-80), C (41-60), D (21-40), F (0-20). Hata hivyo NECTA imethibitisha kuwa ya Kutunuku ambapo gredi D huwa si chini ya alama 30 na A si chini ya alama na NECTA kumeleta mkanganyiko wa matumizi ya alama za gredi. Vilevile, kuna mapungufu ya kuadhibu watahiniwa kwa kuteremshwa daraja la I au la II kuwa la III kutokana na kufeli baadhi ya masomo ya msingi na ya mchepuo. f) Mazingira na Vifaa vya Kufundishia na Kujifunzia Utafiti umebaini kuwa katika shule 132 zilizofanyiwa utafiti, kuna upungufu mkubwa wa miundombinu, samani na vifaa vya kufundishia na kujifunzia shuleni ikijumuisha maabara ya Chemistry (79.6%), Biology (66%) na Physics (65.2%) nyumba za kutimiza vigezo na nyingine kujengwa mbali na makazi ya jamii husika. Vilevile utafiti umebaini upungufu wa vifaa vya kufundishia ikiwa ni pamoja na vitabu vya kiada na ziada vinavyoendana na mihtasari iliyoboreshwa kwa baadhi ya masomo kwa wastani wa 75.5% katika shule zilizofanyiwa utafiti. Matokeo ya utafiti pia yamebaini kutokuwepo kwa chakula cha mchana kwa wanafunzi katika shule za kutwa, na hivyo kuathiri mahudhurio na wanafunzi katika ujifunzaji. Hali hii ya upungufu wa miundombinu, upatikanaji wa vitabu vinavyoendana na mihtasari iliyoboreshwa na kutokuwepo kwa chakula cha mchana ni changamoto ambazo zinaathiri utekelezaji wa mitaala shuleni. umakini wa walimu (72%), na maktaba (80.6%). Aidha, baadhi ya shule zimepata usajili bila alama za gredi zinazotumika kwa Mtihani wa Taifa wa K4 huamuliwa na Kamati 70. Hali hii ya kutokuwepo kwa alama za gredi zenye ulinganifu baina ya shule

w .Ja m

iiF
x

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Mapendekezo Kutokana na taarifa za utafiti kuna mapungufu na changamoto mbalimbali zilizoathiri kiwango cha ufaulu wa Mtihani wa Taifa Kidato cha 4 mwaka 2010. Mapendekezo muhimu yametolewa ambayo yanaweza kutekelezwa kwa muda mfupi, kati na mrefu. 1. Uteuzi wa viongozi mbalimbali wa kielimu uzingatie uzoefu, utaalamu, uwezo, uadilifu na uwajibikaji. Aidha, nafasi za uongozi zilizoachwa wazi zijazwe na zisikaimishwe kwa muda mrefu ili kuimarisha usimamizi na uendeshaji wa elimu;

tathmini na tafiti za kisayansi ili kuleta ufanisi katika utekelezaji wa mipango ya utoaji wa elimu;

3. Bajeti ya elimu iongezwe na izingatie vipaumbele katika sekta ya elimu ili kutatua changamoto zilizopo;

kianzishwe kwa lengo la kushughulikia viwango vya taaluma, maadili, utendaji na haki za walimu ili kulinda hadhi ya kazi ya ualimu na kuhakikisha kuwa inakidhi malengo yaliyokusudiwa; Utaratibu wa motisha kwa walimu unaoendana na uzito wa kazi, wadhifa na ugumu wa mazingira anapofanyia kazi

5. Wanafunzi wanaofeli katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 wahimizwe kufanya mitihani ya marudio kama watahiniwa binafsi ili wapate sifa za kujiendeleza kitaaluma na kitaalamu; 6. Vyuo vya ufundi stadi kama vile VETA vipanuliwe ili kuwawezesha wahitimu wa kidato cha 4 wanaopenda kujiunga na vyuo hivyo kujiunga na kupata ujuzi na stadi za kuwawezesha kuajiriwa na kujiajiri; 7. Walimu wenye sifa wasambazwe kwa usawa kwa kuzingatia mahitaji katika shule zote. Pia, Programu za mafunzo zisizoathiri ikama ya walimu katika kila shule ziandaliwe;

uandaliwe na utekelezwe ipasavyo;

w .Ja m

iiF
xi

4. Chombo cha Kusimamia Taaluma ya Ualimu (Teachers Professional Board)

or u

m s.c

om

2. Maamuzi yanayohusu masuala ya elimu yafanywe kwa kuzingatia utaalam,

Rasimu 2
8. Matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji yaimarishwe. 9. Usajili wa vyuo na shule za Serikali na zisizo za Serikali uzingatie vigezo vinavyotakiwa; 10. Walimu wawapime wanafunzi kwa kuwapa mazoezi endelezi (CA) yenye uhalisia pia alama za CA zitumike katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 kama ilivyoelekezwa katika mwongozo wa mazoezi endelezi; 11. Utungaji na uhakiki wa mitihani ya taifa uboreshwe na inayotekelezwa 12. Adhabu katika upangaji wa madaraja inayomshusha mtahiniwa hadi daraja la III mtahiniwa apate daraja linalolingana na kiwango cha ufaulu wake; uzingatie mitaala

wanafunzi. Aidha, wanafunzi wasiokuwa na uwezo wapatiwe masomo ya ziada

kwa wadau wote wa elimu utayarishwe na kutumika kikamilifu ili kuleta haki kwa watahiniwa;

16. Mafunzo kabilishi kuhusu dhana ya mitaala inayozingatia ujuzi yaandaliwe na kutekelezwa kwa walimu na wakaguzi wote. Aidha Mafunzo maalumu kuhusu dhana ya mitaala inayozingatia ujuzi yaandaliwe na kutekelezwa kwa maafisa mitaala na maafisa mitihani ili kuwajengea uwezo; 17. Mihtasari ya kutosha isambazwe shuleni na isiuzwe. Aidha nakala laini (soft copy) ya mihtasari iwekwe kwenye mtandao (website) ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na TET ili wadau waweze kuipata kiurahisi;

haki ya mwajiriwa wa serikali;

15. Wasahihishaji wa mitihani ya taifa walipwe posho ya kujikimu kwa sababu ni

w .Ja m

14. Mfumo rasmi wa kupata gredi katika mitihani ya shule na Taifa unaofahamika

iiF
xii

(Remedial)

or u

13. Hadhi ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 irudishwe ili utumike kuchuja

m s.c

baada ya kufeli mojawapo ya masomo ya msingi au mchepuo iondolewe ili kila

om

Rasimu 2
18. Jukumu la kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa mtaala litekeleze kikamilifu ili kubaini dosari za kiutekelezaji na hivyo kufanya marekebisho stahiki; 19. Taratibu za utayarishaji wa mitaala zizingatiwe ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti, tathmini na kujaribisha mitaala kabla ya utekelezaji wake. 20. Fedha za kutosha kwa ajili ya kununua samani na vifaa vya kufundishia na kujifunzia shuleni zitengwe na kutumika ipasavyo. Vilevile, Hosteli/mabweni na nyumba za walimu zijengwe kwenye shule za sekondari zilizo mbali na makazi ya watu, na wanafunzi katika shule zote za kutwa wapatiwe chakula cha mchana; 21. Sifa za udahili wa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya stashahada zipandishwe kuwa Principal mbili za masomo atakayofundisha, ili kumwezesha mwalimu kuwa mahiri kitaaluma;

22. Vifaa vya kufundishia na kujifunzia vya kutosha vipatikane na upanuzi wa miundombinu ufanyike katika vyuo vya ualimu na vyuo vikuu ili kuendana na ongezo la udahili na kufikia viwango vilivyowekwa. Wakufunzi na wahadhiri wapewe mafunzo kazini juu ya mtaala unaozingatia ujuzi (Competence Based Curriculum);

23. Maabara ya lugha

kuimarishwa katika Vyuo vya ualimu na Vyuo vikuu ambapo walimu tarajali kuandika. Pia Programu maalumu ya mafunzo ya lugha ya kiingereza kwa walimu wa masomo yote ianzishwe na itekelezwe katika shule zote za sekondari; 24. Utaratibu maalumu uanzishwe kwa kuwapatia mafunzo ya Ualimu (Post

Graduate Diploma in Education) wahitimu wa shahada zisizo za ualimu ili


kukabiliana na tatizo la upungufu wa walimu kwa muda mfupi; 25. Ukaguzi wa shule, utafiti wa elimu, ufuatiliaji na tathmini uimarishwe kwa kupatiwa nyenzo na wataalamu wa kutosha ili kutoa maamuzi yenye uhalisia;

watatumia kujifunzia lugha ya kiingereza ili kuongeza stadi za kuongea na

w .Ja m

ya kiingereza (language laboratory) zianzishwe na

iiF
xiii

or u

m s.c

om

Rasimu 2
26. Ufuatialiaji wa usambazaji, upatikaji na utumiaji wa vitabu vya kiada na ziada pamoja na vifaa vingine vya kufundishia na kujifunzia uimarishwe; 27. Sheria ya vitabu itungwe ili kudhibiti usambazaji na matumizi ya vitabu visivyo na ithibati katika shule nchini.

w .Ja m
xiv

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
SURA YA KWANZA: UTANGULIZI
1.1. Usuli Utoaji wa elimu nchini Tanzania unaongozwa na Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 1995. Utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo unaenda sambamba na Dira ya Taifa 2025, MKUKUTA, kutimiza malengo ya Elimu kwa Wote (EFA) na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs). Aidha, utekelezaji wa ser hiyo unaenda sambamba na utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya Chama ya Mapinduzi ya mwaka 2010. Katika kutekeleza Sera ya Elimu na Mafunzo, Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) na Sekondari (MMES) zilianzishwa kutekeleza yameongeza mahitaji ya upanuzi wa Elimu ya Sekondari, ambapo Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari MMES I (2004-2009) ulitekelezwa kwa lengo kuu 2014) imeweka kipaumbele katika kuinua ubora wa Elimu ya Sekondari. Mafanikio mgawo mkubwa wa fedha za umma. Aidha, wazazi, jamii, na wahisani wana mchango mkubwa katika utoaji wa elimu nchini na kuifanya Tanzania iwe mbele ya muda wa kuyatekeleza na kuyafikia malengo ya Maendeleo ya Milenia upatikanaji wa elimu kwa usawa wa kijinsia. (MDGs) yanayohusu la kuongeza uandikishaji wa wanafunzi katika shule za sekondari na MMES II (2010hayo yalihitaji dhamira kubwa ya uwekezaji katika elimu ambapo Serikali imetoa

kuishi maisha yenye ustawi duniani kwa kumsaidia kuanza kujua kusoma na kufanya hesabu na stadi ambazo zinaweka msingi wa uwezo wa kudadisi, kufikiri, kusikiliza, kuuliza maswali, kuchambua, kupambanua na kuwasiliana kwa kujiamini (UWEZO, 2010). Stadi hizi na maendeleo ya mwanafunzi yanapimwa wakati wa mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji wa somo husika ambapo mazoezi na mitihani anuai hutolewa na walimu. Wakati mwingine, upimaji hufanyika baada ya mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji nje ya darasa.

Mantiki ya elimu ni kumsaidia kila mtoto kukuza maarifa, stadi na mielekeo ili aweze

w .Ja m

iiF
15

or u

m s.c

program ya sekta. Mafanikio ya MMEM (2002-2006) na MMEM II (2007-2011)

om

Elimu ilianzishwa 1997 na kuhuhishwa 2001 na 2008. Aidha, Programu za Mipango ya

Rasimu 2
Mitihani ni nyenzo mojawapo inayotumika katika upimaji ambayo hufanyika kwa nyakati mbalimbali kama vile robo, nusu au mwisho wa muhula na wakati wa kuhitimu ngazi ya elimu husika. Mitihani ya ndani katika ngazi ya Elimu ya Msingi, Sekondari na Vyuo vya ualimu hutolewa na taasisi husika. Aidha ipo mitihani ya kitaifa ambayo ni Mitihani ya Darasa la IV na VII (Msingi), Mitihani ya Kidato cha 2, 4 na 6 (Sekondari) na Mitihani ya Cheti na Stashahada (Vyuo vya Ualimu). Mitihani ya Darasa la IV huendeshwa na Idara ya Elimu ya Msingi ya WEMU na ya kidato cha 2 huendeshwa na Idara ya Ukaguzi wa Shule. Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) inahusika na uendeshaji wa Mitihani ya Darasa la VII (Msingi), Kidato cha 4 na 6 (Sekondari) na Mitihani ya ualimu ngazi ya Cheti na Stashahada. Mtihani wa Taifa wa Darasa la IV ni sehemu ya tathmini ya maendeleo ya mwanafunzi katika kupima ufahamu na kumudu stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK). Mtihani huu hutumiwa kutathmini maendeleo ya mwanafunzi kwa kipindi cha miaka kuthibitisha kuhitimu kwa mwanafunzi katika ngazi ya Elimu ya Msingi na hutumiwa mafunzo ya fani mbalimbali. minne ya kwanza ya Elimu ya Msingi. Aidha, Mtihani wa Darasa la VII hutumika kufanya maamuzi ya uchaguzi wa mwanafunzi kuendelea na Elimu ya Sekondari na

Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 ni sehemu ya tathmini ya maendeleo ya mwanafunzi. Mtihani huu hutumiwa kutathimini maendeleo ya mwanafunzi kwa sehemu ya mazoezi endelezi (Continuous Assessment-CA), hivyo huchangia katika matokeo ya mwanafunzi katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 (Waraka wa Elimu Na. 5, 1999). Mitihani ya Taifa ya Kidato cha 4 na 6 inathibitisha kuhitimu kwa mwanafunzi katika ngazi za elimu ya sekondari ya kawaida (Ordinary Level) na juu (Advanced Level). Matokeo ya mitihani hii hutumiwa kufanya maamuzi ya uchaguzi wa wanafunzi kuendelea na mfumo rasmi wa elimu kwa ngazi inayofuata, mafunzo ya fani mbalimbali na ajira. Mitihani hii inalenga katika kupima ubora wa elimu itolewayo na matokeo yake ni kiashiria cha ubora huo. kipindi cha miaka miwili ya mwanzo ya elimu ya sekondari. Aidha, mtihani huu ni

w .Ja m

iiF
16

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Mwaka 2005 na 2007 mtaala wa elimu ya sekondari uliboreshwa kutoka mtaala unaozingatia maudhui (Content Based Curriculum) na kuwa mtaala unaozingatia ujuzi (Competence Based Curriculum). Tofauti na mtaala unaozingatia maudhui, mtaala unaozingatia ujuzi upimaji wake ni wenye kumjali mwanafunzi kwa kuzingatia usawia katika maeneo makuu matatu ambayo ni maarifa (knowledge), mwelekeo (attitudes) na stadi (skills). Aidha, upimaji huu pia huzingatia uelewa wa wanafunzi katika dhana (nadharia), vitendo na mtazamo. Zana zinazotumika wakati wa upimaji ni pamoja na mazoezi ya darasani, majaribio, mitihani, vitendo (practicals) na projekti. Mwongozo wa NECTA wa Mazoezi Endelezi (NECTA: 1990) unafafanua kuwa ufaulu wa mwanafunzi utapimwa kwa kutumia alama za mazoezi endelezi na alama za Projekti ambazo zitajumuishwa kuchangia asilimia 50 kwenye alama ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4.

kinaonesha kuendelea kushuka katika ngazi za Elimu ya Msingi na Sekondari tangu elimu ya msingi, asilimia 91.9 mwaka 2007 hadi asilimia 61.8 mwaka 2010 kwa Mtihani wa Kidato cha 2 na asilimia 90.3 mwaka 2007 hadi asilimia 50.4 mwaka 2010 Mtihani wa Kidato cha 4 kama inavyooneshwa katika Jedwali Na.1.1. Jedwali Na. 1.1 Kiwango cha Ufaulu Mitihani wa Darasa la VII, Kidato cha 2 na Kidato cha 4 (%) Mwaka 2006 2010 Mtihani

w .Ja m
2006 70.48 76.2 89.12

iiF
54.18 91.9 90.3 17

mwaka 2007 toka asilimia 70.48 mwaka 2006 hadi 53.55 mwaka 2010 kwa ngazi ya

or u
73.5 83.6

Kiwango cha ufaulu kwa Mitihani ya Taifa ya Darasa la VII, Kidato cha 2 na 4

2007 2008 52.73

m s.c
2009 49.41 65.3 72.5

Darasa la VII Kidato cha 2 Kidato cha 4

Chanzo: The National Examinations Council of Tanzania, Examinations Results Statistics 2007-2010, WEMU, 2010. Pamoja na kushuka kwa ufaulu wa jumla katika Mtihani wa Taifa ya Kidato cha 4, vile vile ufaulu umeshuka katika baadhi ya masomo kama vile Mathematics na English Language kama inavyooneshwa katika Jedwali Na. 1.2.

om
61.8 50.4

2010 53.55

Rasimu 2
Jedwali Na. 1.2: Kiwango cha Ufaulu (%) Kidato cha 4 kwa Masomo ya Mathematics na English Language 2006 2010 Somo Mathematics English 2006 23.67 80.98 2007 31.32 75.54 2008 24.33 63.23 2009 2010 17.78 60.03 16.09 30.33

Chanzo: The National Examinations Council of Tanzania, Examinations Results Statistics 2007-2010 Matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010 yameonesha kuwa

pia yanaonesha idadi ya watahiniwa ambao hawakufaulu ni asilimia 49.60. 1.2. Hoja ya Kufanya Utafiti

Kitaalamu, mitihani ni nyenzo itumikayo kupima kiwango cha ujuzi ambacho mwanafunzi amekipata. Mtihani unalenga katika kupima uelewa wa wanafunzi kwa elimu itolewayo na matokeo yake ni kiashiria cha ubora huo. Kiwango cha ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 kimeendelea kushuka mfululizo kwa miaka minne tangu 2007 (Jedwali Na.1.1). Hali hii imejitokeza pia kwa matokeo ya mitihani ya Darasa la IV, Kumaliza Elimu ya Msingi (Darasa la VII) na ile ya Elimu ya Sekondari ya Kidato cha 2. Athari ya matokeo mabaya katika mitihani ya kuhitimu ni kuwa na jamii ambayo haina elimu ya kiwango kilichokusudiwa kitaifa. Kushuka kwa ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010 kumekuwa tofauti na matarajio ya Serikali na wadau wengine wa elimu na hivyo kuibua hoja mbalimbali juu ya sababu zilizochangia hali hiyo. Jamii ya Watanzania kwa ujumla ingependa kujua hali halisi kuhusu kushuka kwa ufaulu. Hivyo, Serikali kwa kupitia WEMU na OWM-TAMISEMI ikaona ni muhimu kufanya utafiti wa kisayansi ili kubaini kiini cha tatizo. Utafiti huu umefanyika kwa matarajio ya kuibua mambo yaliyosababisha kushuka kwa ufaulu ikiwa ni pamoja na kubaini uzito na upeo wa matatizo yaliyojitokeza. Matokeo ya utafiti huu yatatumiwa na Serikali na wadau wa elimu katika kufanya maamuzi na kuchukua hatua stahiki za kuinua kiwango cha ufaulu katika Mtihani wa Taifa wa 18

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

kiwango cha ufaulu kimeshuka kwa asilimia 39.9 toka mwaka 2007. Matokeo hayo

Rasimu 2
Kidato cha 4. Utafiti huu unatoa mwelekeo sahihi kwa Serikali ili kupata ufumbuzi wa changamoto zinazoikabili Sekta ya Elimu. 1.3. Malengo ya Utafiti

1.3.1. Lengo Kuu Lengo kuu la utafiti huu lilikuwa kubaini sababu za kushuka kwa kiwango cha ufaulu ili kuchukua hatua sahihi za kukabiliana na tatizo la kushuka kwa ufaulu wa Mtihani wa Kidato cha 4 na hatimaye kuinua ubora wa Elimu ya Sekondari nchini. 1.3.2. Malengo Mahsusi Malengo mahsusi ya utafiti huu yalikuwa: (i). (ii). (iii). (iv). (v). (vi). wa Kidato cha 4 mwaka 2010;

Kubaini utoshelevu wa walimu katika shule za sekondari; Kuchunguza hali ya mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji; Kukusanya maoni ya wadau wa elimu kuhusu kuinua kiwango cha ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4; Kuchunguza ufanisi wa mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya utoaji wa elimu; Kuchambua mfumo wa uendeshaji wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4; ya Sekondari; na

(vii). Kubaini michango ya wadau wa elimu katika usimamizi na uendeshaji wa Elimu (viii). Kuchambua mfumo wa utayarishaji wa walimu wa sekondari. 1.4. Maswali ya Utafiti

a) Nini sababu za kushuka kwa ufaulu wa watahiniwa wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010? b) Je shule zina walimu wenye sifa na wa kutosha katika kutekeleza mtaala? c) Hali halisi ya mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji ikoje? d) Nini maoni ya wadau wa elimu kuhusu kuinua kiwango cha ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4? e) Nini kifanyike kwa wahitimu waliofeli Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2011? 19

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

Kufanya uchambuzi wa kiwango cha ufaulu wa watahiniwa wa Mtihani wa Taifa

om

Rasimu 2
f) Mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya utoaji wa elimu ni wa namna gani? g) Mfumo wa uendeshaji (utungaji, usambazaji, usimamizi, usahihishaji na upangaji wa madaraja) Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 ukoje? h) Alama za mazoezi endelezi (CA) zina mchango gani katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4? i) Wadau wa elimu wana mchango gani katika usimamizi na uendeshaji wa Elimu ya Sekondari?
j) Walimu katika Shule za Sekondari wanaandaliwaje?

Ripoti ya utafiti kuhusu kushuka kwa kiwango cha ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa unaoanza na tatizo la utafiti mpaka hitimisho. Kila sura imebeba dhima moja ili kujenga mtiririko wenye mantiki katika kujibu hoja na maswali ya utafiti. Sura ya kwanza ya ripoti, imebeba utangulizi wa tatizo la utafiti ambapo usuli wa tatizo, hoja ya kufanya utafiti, malengo na maswali ya utafiti yameainishwa. Sura ya pili imeeleza mapitio ya maandiko kuhusu Sera na Mipango ya Elimu, usimamizi na uendeshaji, ufuatiliaji na tathmini ya elimu, mitaala na utekelezaji, mitihani, upatikanaji na usambazaji wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia, mazingira ya

Mwongozo wa utafiti (Methodolojia) umetolewa katika sura ya tatu na unajumuisha eneo la utafiti, walengwa wa utafiti, uchaguzi wa sampuli, zana za utafiti, utaratibu wa kufanya utafiti na uchambuzi wa takwimu. Matokeo ya utafiti na uchambuzi wa takwimu kulingana na malengo na maswali ya utafiti yamejadiliwa katika sura ya nne. Taarifa ya utafiti imehitimishwa katika sura ya tano ambapo hitimisho na mapendekezo muhimu kutokana na matokeo ya utafiti yameainishwa.

kufundishia na kujifunzia na uandaaji na upatikanaji wa walimu.

w .Ja m

iiF
20

or u

m s.c

Kidato cha 4 mwaka 2010, ina sura tano ambazo zimepangiliwa katika mtiririko

om

1.5.

Muundo wa Ripoti

Rasimu 2
SURA YA PILI: MAPITIO YA MAANDIKO
2.1 Sera na Mipango ya Elimu

Kama ilivyo kwa mataifa yote, Tanzania ina mfumo wake wa elimu tangu ilipopata uhuru mwaka 1961. Mfumo huo umepitia katika mabadiliko anuai ikiwa ni pamoja na utoaji wa elimu, mitaala na tathmini na upimaji. Serikali ilifuta Sheria ya Elimu ya mwaka 1927 na kupitisha Sheria ya Elimu ya mwaka 1962 ili kurekebisha utoaji wa elimu kwa kuleta usawa na kutoa ubaguzi wa rangi na dini uliokuwepo wakati wa ukoloni (Sera ya Elimu na Mafunzo, 1995). Mwaka 1967, falsafa ya Elimu ya Kujitegemea (Education for Self Reliance) ilianzishwa ambapo msisitizo mkubwa uliwekwa kwenye ujenzi wa maarifa, ujuzi na mwelekeo mengine falsafa hiyo ilisisitiza utoaji wa elimu utakaowasaidia wahitimu kushiriki ipasavyo katika kujenga na kuiletea maendeleo jamii ya Watanzania juu ya masuala yahusuyo ujenzi wa ari, udadisi na kufanya uchunguzi wa kisayansi, ubunifu, uwezo wa kutatua matatizo ya kijamii na uwezo wa kujiamini na ushirikiano. Mitaala ya Tanzania huandaliwa kwa kuzingatia dhana ya falsafa ya elimu ya kujitegemea. Kati ya mwaka 1967 na 1978, Serikali ilichukua hatua kadhaa na ilitunga sheria mbalimbali ili kuhalalisha hatua zilizochukuliwa wakati wa azimio la Arusha na Elimu 1978; Mpango wa Madaraka Mikoani wa 1972; Sheria ya Baraza la Mitihani la Taifa Na. 21 ya 1973; Elimu ya Msingi kwa Wote (UPE) na Azimio la Musoma la mwaka 1974; Sheria ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Na. 12 ya 1975 na Sheria ya Taasisi ya Elimu Tanzania Na. 13 ya 1975. Mwaka 1981, Tume ya Rais ya Elimu iliundwa ili kuchunguza mfumo wa elimu uliokuwepo na kutoa mapendekezo kuhusu marekebisho ya lazima yaliyohitajiwa kufanyika nchini ifikapo mwaka 2000. Mapendekezo mengi yaliyowasilishwa na Tume mwaka 1982 yalitekelezwa na Serikali ikiwemo upanuzi wa elimu ya sekondari. ya Kujitegemea. Sheria na hatua hizi zilijumuishwa na sheria za elimu za 1969 na unaotakiwa katika kujenga jamii inayojitegemea (Nyerere, 1967). Pamoja na mambo

w .Ja m

iiF
21

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Mwaka 1990, Serikali iliunda Tume Maalumu ya Elimu kuangalia upya mfumo wa elimu kwa ajili ya Karne ya 21. Mwaka 1992 Tume hii iliwasilisha taarifa serikalini ambapo mapendekezo yake yalizingatiwa katika kuunda Sera ya Elimu na Mafunzo, 1995. Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 1995 ambayo ipo katika mchakato wa kuhuishwa ndiyo inayotumika katika utoaji wa elimu nchini. Sera hiyo inatekelezwa na Wizara zote lakini zilizo muhimu kwa elimu rasmi na elimu ya nje ya mfumo rasmi ni Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (WEMU), Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo pia unaenda sambamba na Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, MKUKUTA, Malengo ya Elimu kwa Wote (EFA) na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs) ambapo Serikali imeridhia Mikataba hiyo (SEDP II, 2010).

Elimu ya Sekondari ni kiungo muhimu kati ya Elimu ya Msingi na Elimu ya Juu. Moja kati, ya juu, ya ufundi na ufundi stadi na kujiunga na ulimwengu wa kazi (Sera ya Elimu na Mafunzo, 1995). 2.2

Mipango na Mikakati ya Elimu

nchini. Ili kufanikisha utekelezaji wa programu hiyo, ilianzishwa mipango na mikakati mbalimbali kama vile Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM, 2002-2006) na awamu ya pili ya MMEM (2007-2011). MMEM ilianzishwa ili kuboresha elimu ya msingi na kutoa fursa sawa ya elimu kwa watoto wote. Mafanikio ya MMEM yamesababisha upanuzi wa elimu ya sekondari, ambapo Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari - MMES awamu ya kwanza, 2004-2009 na awamu ya pili (2010-2014) unatekelezwa ili kuongeza uandikishaji wa wanafunzi katika shule za sekondari kwa kuzingatia fursa na usawa. Aidha, MMES II imetoa kipaumbele katika kuinua ubora wa elimu ya sekondari, ambapo mpango huu 22

kuifanyia marekebisho mwaka 2001 na 2008 ili kutekeleza Sera ya Elimu na Mafunzo

Serikali ilianzisha Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Elimu mwaka 1997 na

w .Ja m

iiF

ya malengo ya elimu ya sekondari ni kumwandaa mwanafunzi kwa ajili ya elimu ya

or u

m s.c

om

Rasimu 2
umeharakisha utekelezaji wa ibara ya 5.4.2 ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 1995 inayosisitiza kujenga na angalau shule moja ya sekondari kwa kila Kata nchini. Idadi ya shule za sekondari (za serikali na zisizo za serikali) imefikia 4,266 mwaka 2010 ukilinganisha na shule 1,745 zilizokuwepo mwaka 2005, ongezeko hili ni sawa na asilimia 144.5. Mafanikio hayo ni pamoja na kuongezeka kwa idadi ya wanafunzi (Kidato cha 1-4) walioandikishwa katika shule za sekondari za kawaida kutoka wanafunzi 489,942 mwaka 2005 hadi kufikia 1,566,685 mwaka 2010. Vilevile, kumeimarika kwa vigezo vya kupimia maendeleo ya Elimu kama Gross Enrolment

Ratio (GER) na Net Enrolment Ratio (NER) kutoka asilimia 15.9 na 10.3 mwaka 2005
kufikia asilimia 47.3 na 30.8 mwaka 2010. Mafanikio haya makubwa yamepatikana kutokana na ushirikishwaji mkubwa wa wananchi, Serikali, Wafadhili pamoja na wadau wengine mbalimbali wa elimu.

la kuboresha mtaala ili uendane na mahitaji ya soko la ajira. Maboresho ya mtaala 2005 na 2007. MMES pia ilikuwa na lengo la kuongeza ubora wa elimu ya sekondari kwa kutatua tatizo la upungufu wa walimu na kutoa fedha za ruzuku kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia (Updated SEDP, 2007 ). 2.3 Uongozi katika Elimu

yaliyowekwa. Mbinu nzuri za uongozi ni muhimu kwa ufanisi wa mfumo wa elimu na mafunzo na asasi zake. Sera ya Elimu na Mafunzo (1995) inabainisha kuwa uongozi wa Elimu na mafunzo unafanywa na Wizara kadhaa, mashirika ya Umma na mashirika yasiyo ya kiserikali. Sheria mbalimbali zilizowezesha wizara na taasisi kubeba wajibu wa elimu na mafunzo zina uhusiano mdogo na sheria ya Elimu Na. 25 ya mwaka 1978. (Ripoti ya Tume ya Rais ya Elimu, 1982) Sheria hii ilifanyiwa marekebisho mwaka 1995 ili kujumuisha maeneo mengine ya elimu na mafunzo, pamoja na uongozi, utawala na fedha.

Mfumo wowote wa elimu unategemea uongozi na utawala bora ili kufikia malengo

w .Ja m

iiF
23

yalifanyika katika ngazi ya Elimu ya Msingi, sekondari na mafunzo ya ualimu mwaka

or u

Katika kuinua ubora wa elimu ya sekondari, MMES awamu ya kwanza ilikuwa na lengo

m s.c

om

Rasimu 2
Ibara ya 4.3 katika Sera ya Elimu na Mafunzo (1995) inaeleza kuwa madaraka na utoaji uamuzi katika uongozi na utawala wa elimu na mafunzo vimebaki kwenye ngazi ya wizara. Mwaka, 2009 usimamizi na uendeshaji wa shule za sekondari ulihamishiwa katika serikali za Mitaa. (Waraka wa Elimu Na. 13 wa Mwaka 2009). Usimamizi huu unaendana na Sera ya Elimu na Mafunzo (1995) kwamba Wizara zinazo wajibika na elimu na mafunzo zitakasimu madaraka yao ya uongozi na

utawala wa elimu na mafunzo kwa vyombo vya chini vya jamii.


Viongozi na watawala wa elimu kwenye ngazi za taifa, Mkoa, Halmashauri na asasi wawe na uzoefu na sifa za juu kitaaluma na kitaalamu na wawe na ujuzi katika uongozi na utawala wa kielimu. Katika kuimarisha usimamizi na uongozi katika elimu, utoaji wa mafunzo ya kujenga uwezo umetiliwa mkazo kwa kila ngazi ya elimu (Updated SEDP, 2007). 2.4 Usimamizi na Uendeshaji

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inashughulika na masuala ya uandaaji wa sera, ufuatiliaji na tathmini. Serikali iliamua kugatua majukumu ya usimamizi na uendeshaji wa shule za sekondari kwenda katika Mamlaka za Serikali za Mitaa na utekelezaji wake ulianza rasmi tarehe 1 Julai, 2009. Lengo la mabadiliko hayo ni kuboresha huduma ya utoaji wa elimu na kusogeza huduma hiyo karibu zaidi na wananchi. Sera ya Elimu na Mafunzo (1995) imeeleza katika ibara ya 4.3.6 kuwa

Bodi na Kamati za asasi za elimu na mafunzo zitawajibika katika uendeshaji, kupanga maendeleo, nidhamu na fedha za asasi zilizochini ya mamlaka yao.
Kiongozi cha Mkuu wa shule ya Sekondari (1997) kinaeleza kuwa Bodi ya shule ni chombo muhimu ambacho kila shule inapaswa kuwa nacho ili kufanikisha lengo la elimu ya Sekondari nchini. Kwa mujibu wa sheria ya Elimu Na 25 ya mwaka 1978 na rekebisho lake Na.10 la mwaka 1995. Bodi ya Shule imepewa mamlaka ya kusimamia uongozi na uendeshaji wa mipango yote ya maendeleo ya shule; kusimamia nidhamu ya walimu, wanafunzi na masuala ya fedha za shule.

w .Ja m

iiF
24

mitaala, kuweka viwango, usimamizi wa ubora wa elimu, itolewayo na kufanya

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Kiongozi cha Mkuu wa shule ya Sekondari (1997) kinaelekeza kuwa uongozi na utawala unaopaswa kuwepo katika kila shule ya sekondari ni Mkuu wa shule, Makamu Mkuu wa Shule na Mwalimu Mwandamizi Taaluma. Chini ya Mwalimu mwandamizi Taaluma watakuwepo viongozi wafuatao: Mwalimu Mshauri Mafunzo na Kazi, Wakuu wa idara za Masomo, Walimu wa Masomo Walimu wa Madarasa na Mwalimu Mwandamizi Malezi na Utamaduni. Aidha, chini ya Mwalimu Mwandamizi Malezi na Utamaduni watakuwepo viongozi wafuatao: Mwalimu Mlezi wa nyumba/Hosteli, Mratibu wa Michezo. Pia shule zitakuwa na Mwalimu Mwandamizi Uzalishaji Mali na Mwalimu wa Zamu 2.5 Ugharamiaji wa Elimu

Ugharamiaji wa Elimu na Mafunzo nchini kwa ujumla ni jukumu la Serikali. Aidha, jamii, wazazi/walezi, mashirika yasiyo ya kiserikali na wadau wengine wa elimu huhusishwa katika kugharamia elimu. Serikali pia inapata fedha za nje kwa Washirika bajeti (General Budget Support- GBS), Mifuko ya pamoja (Basket funds) na Misaada kupima ufanisi na athari kutokana na rasilimali na matumizi ya fedha za umma, serikali inatumia mfumo wa matumizi wa muda wa kati (Medium Term Expenditure Framework -MTEF). wa Maendeleo kwa ajili ya kugharamia elimu kupitia njia tatu zifuatazo; misaada ya ya miradi ya Maendeleo (Direct Project Funds) (Andiko la MMES, 2004). Kwa ajili ya

kupanda na kushuka kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita, 2000/01 hadi 2010/11 kama ilivyobainishwa katika Jedwali Na. 2.1

Jedwali Na 2.1 Mgawo wa Bajeti ya Sekta ya Elimu 2000/01 -2010/11


Mwaka wa Fedha 2000/2001 2001/2002 2002/2003 2003/2004 2004/2005 2005/2006 2006/2007 2007/2008 2008/2009 2009/2010 2010/2011

Asilimia ya Bajeti ya sekta ya elimu kutoka kwenye bajeti kuu ya Taifa imeendelea

Ugharamiaji wa elimu umeendelea kuwa mojawapo ya vipaumbele vya serikali.

w .Ja m

iiF
25

or u

m s.c

om

Rasimu 2
% Sekta ya Elimu katika Bajeti kuu ya Taifa % Sekta ya Elimu katika GDP 16.7 2.7 22.1 3.6 18.8 3.8 18.7 4.0 15.1 3.6 18.8 4.2 18.3 5.3 18.3 5.3 19.8 5.8 18.3 6.2 18.9 -

Chanzo; URT, 2010 (Basic Education Statistics in Tanzania)-Takwimu za Elimu Katika kipindi hicho kiwango cha juu cha mgawo wa bajeti ya sekta ya elimu kilifikia 22.1% mwaka wa fedha 2001/02 na kimeendelea kushuka na kufikia 17.6% mwaka wa fedha 2010/11. Aidha, kiwango kinachotengwa kwenye sekta ya elimu kutoka kwenye Pato la Taifa (GDP) kimeendelea kuongeza kutoka 2.7% mwaka 2000/2001 na kufikia 6.2%, mwaka 2009/2010 ( (BEST 2010, PETS 2010). Hata hivyo, mwenendo wa mgawo wa fedha katika sekta ya elimu tangu mwaka wa fedha 2000/01 hadi 2010/11 unaonesha kuwa asilimia kubwa inaelekezwa kwenye Elimu ya Msingi, Elimu ya Mfumo usio rasmi na Taasisi nyingine za Elimu na Huduma elimu ya sekondari ni (9.8%) kwa mwaka 2010/11 (BEST 2010). 2.5.1 Upelekaji na Matumizi ya Fedha Shuleni Shule zote za serikali za msingi na sekondari zinapaswa kupelekewa fedha kupitia mfumo wa ugawaji fedha za serikali (Government Grants System). Fedha zinazopokelewa shuleni zimegawanyika katika mafungu mawili; fedha za ruzuku zinapeleka fedha shuleni kupitia kwenye akaunti za shule yaani Akaunti ya Maendeleo na Akaunti ya matumizi ya kawaida (School Development and Recurrent Accounts) ambapo kila shule inapaswa kufungua akaunti hizo kama ilivyoelekezwa katika Waraka wa Elimu Na 13 wa mwaka, 2009. Akaunti ya maendeleo inahifadhi fedha zote za maendeleo kwa ajili ya ujenzi wa madarasa na maabara; ujenzi wa nyumba za walimu; na vifaa vya kudumu. Akaunti hii pia inapokea fedha kutoka kwa wahisani mbalimbali. Akaunti ya matumizi ya kawaida ni kwa ajili kukusanyia fedha zote zinazohusika na matumizi ya kawaida (Other Chargies) ya kila siku ya shule pamoja na makusanyo ya ada za wanafunzi. (Capitation Grants) na fedha za maendeleo (Development Grants). Halmashauri Saidizi (62.2%) na kufuatiwa na Ufundi na Elimu ya Juu (26.5%) na kwa upande wa

w .Ja m

iiF
26

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Katika kutekeleza Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES I & II) serikali inapeleka fedha katika shule za sekondari kutoka Hazina kwa kupitia katika Halmashauri husika. Miongozo ya fedha za MMES II, 2010 inaelekeza kuwa, Halmashauri zinapaswa kupeleka fedha za ruzuku katika kila shule ya sekondari kwa kiwango cha sh. 25,000/= kwa kila mwanafunzi kwa mwaka. Taarifa ya OWMTAMISEMI (April, 2011), inafahamisha kuwa mgawo wa fedha za ruzuku zilizopelekwa kwenye shule za sekondari za Serikali ni Sh. 10,883/= kwa kila mwanafunzi kwa mwaka. Mwongozo kuhusu matumizi ya fedha za ruzuku (SEDP II, 2010), unaeleza kuwa jumla ya fedha za ruzuku zitakazopelekwa kwenye kila shule, 50% itatumika kununulia vitabu vya kiada na 50% itatumika kununua vifaa vingine vya kufundishia na kujifunzia. Matumizi ya fedha hizo yanaidhinishwa na Bodi za shule kutokana na mpango kazi wa shule uliothibitishwa. 2.6

Lengo la ufuatiliaji na tathimini ni kubaini mafanikio na udhaifu na kufanya marekebisho ili malengo ya utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo yaliyowekwa yaweze kufikiwa. Ufuatiliaji na tathimini ya mara kwa mara huimarisha majadiliano kati ya wadau na kuinua ubora wa matokeo tarajiwa na kuharakisha ukamilishaji wa shughuli zote zilizokusudiwa katika kutekeleza programu na miradi ya elimu (SEDP II June, 2010). Katika mfumo wa ufuatiliaji na tathimini ya elimu, ipo Seksheni ya Ufuatiliaji na Tathmini chini ya Idara ya Sera na Mipango ya WEMU. Seksheni ya Ufuatiliaji na Tathmini inahusika na utoaji wa utaalamu na huduma katika utekelezaji, ufuatiliaji na tathimini ya utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo.

w .Ja m

2.6.1 Ngazi ya Kitaifa (Wizara na Taasisi zake)

iiF
27

Ufuatiliaji na Tathimini ya Elimu

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Programme ya Maendeleo ya Sekta ya Elimu (ESDP 2008 - 17) inaeleza ufuatiliaji na tathimini itafanyika ili kuhakiki utekelezaji wa shughuli kulingana uwepo wa thamani ya fedha iliyotumika. Aidha, imeelezwa kuwa ufuatiliaji utajikita katika kuweka mkazo kuangalia ubora wa taarifa za utekelezaji zitakazokusanywa, kuhifadhiwa na kuchambuliwa. Katika utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES) awamu ya kwanza na awamu ya pili, ufuatiliaji na tathimini ya utekelezji wa mpango huu unapaswa kufanyika kwa kufuata muundo wa utawala wa WEMU na OWM-TAMISEMI ili kuzuia mapungufu yoyote yanayoweza kujitokeza wakati wote wa utekelezaji wake (SEDP II, 2010). Taarifa za ufuatiliaji na tathmini katika ngazi ya taifa zinathibitisha kuwa ufuatiliaji umefanyika kikamilifu katika ngazi ya elimu ya msingi, hususan katika utekelezaji wa MMEM (Education Sector Performance Report, 2008). 2.6.2 Ngazi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa

Majukumu ya Sekretariati za Mikoa ni kufuatilia na kutoa ushauri wa kitaalamu na Halmashauri za Wilaya, Miji, Manispaa na Majiji hushiriki katika kuanzisha shule mpya pamoja na ufuatiliaji wa usimamizi na uendeshaji wa shule katika Mamlaka zao. Halmashauri huandaa mipango ya shule ambapo mikoa huratibu mipango hiyo. Jukumu la Uongozi wa elimu ngazi ya kata ni kuhamasisha jamii katika kuchangia pamoja na kusimamia uendeshaji wa shule katika maeneo yao, hutakiwa kufuatilia na kuandaa taarifa za utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo na kuwasilisha taarifa hizo kwenye OWM-TAMISEMI na WEMU. 2.6.3 Ukaguzi wa Shule Ukaguzi wa utekelezaji wa mtaala ni jukumu la Idara ya Ukaguzi wa shule. Idara ya ukaguzi wa shule ipo chini ya WEMU na ilianzishwa rasmi mwaka 1978 (Kiongozi cha

Mkaguzi wa shule, 2006-MoEVT). Majukumu ya Idara ya ukaguzi wa shule ni


kuhakikisha kuwa sera, sheria, kanuni na viwango vya utoaji elimu vilivyowekwa kitaifa vinatekelezwa na vinazingatiwa ipasavyo katika shule za awali, msingi, 28

rasilimali za uendelezaji wa elimu katika maeneo yao. Kwa ujumla Mamlaka hizi,

w .Ja m

iiF

kusimamia utekelezaji wa MMES katika Halmashuri na shule zote katika mkoa husika.

or u

m s.c

om

Rasimu 2
sekondari na vitengo vya elimu maalumu, vituo vya ufundi stadi, elimu ya watu wazima na vyuo vya Ualimu (Hotuba ya bajeti ya WEMU 2009/2010 p.43). Imeelezwa katika Kiongozi cha Mkaguzi wa shule (2006), kuwa Ukaguzi wa shule umegawanyika katika aina tatu, nazo ni ukaguzi wa jumla wa shule, ukaguzi wa kufuatilia na ukaguzi maalumu. Ukaguzi wa jumla ni wa mambo yote yanayohusu shule kama sehemu ya kufundishia na kujifunzia kulingana na mpango wa jumla wa maendeleo ya shule. Inategemewa kuwa kila shule itakaguliwa walau mara moja katika kipindi cha miaka mitatu. Katika ukaguzi wa jumla wa shule kila mkaguzi anatarajiwa kukagua shule 30 (za sekondari/vyuo au msingi) kwa kila mwaka. Aidha ukaguzi wa kufuatilia una lengo la kuona kiwango cha utekelezaji wa ushauri uliotolewa katika ukaguzi uliopita na ukaguzi maalumu unalenga katika kupata taarifa mahsusi kuhusu mambo mbalimbali ya kielimu. Baada ya ukaguzi, wakaguzi wa shule hujadiliana na walimu kuhusu taarifa ambayo inatumwa kwa wadau wa shule husika (Kiongozi cha Mkaguzi wa Huduma za ukaguzi wa shule hazijatolewa kwa ukamilifu kutokana na upungufu wa nyenzo za kufanyia kazi pamoja na ufinyu wa rasilimali nyinginezo (Tume ya Rais ya mazuri na mapungufu yaliyojitokeza. Ukaguzi wa shule unafuatiwa na uandishi wa

Elimu, Februari, 1982). Kimsingi imedhihirika kuwa taasisi za elimu ambazo


hukaguliwa mara kwa mara zimekuwa na maendeleo mazuri kitaaluma, kiuongozi, la idadi ya shule za msingi na za sekondari limeongeza mahitaji ya rasilimali watu, fedha na nyenzo nyingine za kufanyia kazi. Kutokana na hali hiyo, katika taarifa mbalimbali zikiwemo za Tume ya Kero ya rushwa, Sekta ya Elimu ya Mei, 1997, vikao vya viongozi wa Wizara ya Elimu na Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi, ilionekana kuwa upo umuhimu wa kuimarisha Idara ya Ukaguzi wa Shule ili iweze kufanya kazi zake ipasavyo (Waraka wa Elimu Na. 1 wa mwaka 1998). Kumekuwepo kiwango kidogo cha ukaguzi wa shule na kutotekelezwa maoni ya taarifa za ukaguzi wa shule. Matokeo ya utafiti kuhusu kushuka kwa kiwango cha ufaulu wa mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi ya mwaka 2008 (WEMU, 2008) yamebainisha kuwa Ofisi za Ukaguzi wa Shule zimeshindwa kukagua idadi ya shule 29 kinidhamu na kimazingira (Waraka wa Elimu Na. 1 wa mwaka 1998). Aidha, ongezeko

w .Ja m

iiF

Shule, 2006).

or u

m s.c

om

Rasimu 2
zilizopangwa kwa kila mwaka. Hali isiyoridhisha ya Ukaguzi wa Jumla wa Shule (Whole school Inspection) inaoneshwa katika jedwali Na. 2.1 Jedwali Na 2.2 Idadi ya Shule/Taasisi zilizokaguliwa mwaka 2009/10
Aina ya Shule/Taasisi Idadi ya shule/Taasisi (2009) 41,154 15,727 352 284 15,500 4,102 75 Maoteo ya idadi ya shule za kukaguliwa 5,137 6763 151 115 6,187 1,664 77 Idadi ya Shule/Taasisi zilizokaguliwa 2,570 3,406 55 56 Asilimia ya ukaguzi 50.0 50.4 36.4 48.7 41.8 75.6 35.1

Shule/Madarasa ya Awali Shule za Msingi Vituo vya Ufundi Shule/Madarasa ya Elimu Maalumu Vituo vya EWW Shule za Sekondari Vyuo vya Ualimu

Chanzo: BEST, 2010

116 waliopo katika Kanda na makao makuu, ambapo wanahitajika 252 hivyo kuna mbalimbali zinazosababisha Idara ya Ukaguzi wa Shule kushindwa kutekeleza majukumu yake. Sababu zifuatazo zimebainika kuchangia hali hiyo: Kiasi cha fedha zinazotengwa/zinazotolewa hazitoshelezi na kutokuwepo kwa vitendeakazi hasa vyombo vya usafiri. Aidha, imebainika kuwa kuna ufuatiliaji mdogo wa taaluma ngazi kushuka kwa ufaulu katika Mtihani wa Kuhitimu Elimu ya Msingi na sekondari. Sababu za kutokufuatilia kwa ukamilifu ni pamoja na kukosekana kwa usafiri wa uhakika ya Halmashauri na kutotekeleza taarifa za ukaguzi wa shule hali iliyosababisha

(Taarifa ya Utafiti Kuhusu Kushuka kwa Kiwango cha Ufaulu wa Mtihani wa Kuhitimu Elimu ya Msingi, Mwaka 2008: uk. 26).
Idara ya ukaguzi wa shule inaendelea kukabiliwa na changamoto nyingi, ingawa Serikali imendeelea na jitihada za kuhakikisha kuwa wakaguzi wa shule wanatekeleza majukumu yao kwa ufanisi. Katika kukabiliana na hali hiyo, Serikali imeanzisha utaratibu wa ukaguzi wa shule kwa kuzingatia makundi ya ubora ambapo shule zilizo chini ya kiwango zitakaguliwa mara nyingi zaidi ili kuinua kiwango chake cha ubora. Kwa mantiki hiyo Idara hii inatakiwa iimarishwe zaidi ili iweze kufuatilia na kuimarisha 30

w .Ja m

iiF

upungufu wa wakaguzi 136 sawa na

or u

Takwimu za WEMU zinaonesha kuwa kuna jumla ya wakaguzi wa shule za sekondari asilimia 54 (BEST, 2010). Zipo sababu

m s.c

om

2,588 1,258 27

Rasimu 2
viwango vya ubora wa elimu inayotolewa katika zekta nzima ya elimu. (Taarifa ya

Utafiti Kuhusu Kushuka kwa Kiwango cha Ufaulu wa Mtihani wa Kuhitimu Elimu ya Msingi, Mwaka 2008)
2.6.4 Ngazi ya Shule Sheria ya Elimu Na. 25 ya mwaka 1978 na rekebisho lake Na. 10 la mwaka 1995 na Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 1995 zinaeleza kuwa shule zote za sekondari zinatakiwa kusimamiwa na Bodi za Shule ambapo wajumbe wake huteuliwa kwa kuzingatia kanuni za uteuzi wa Bodi za Shule (The School Board Establishment Order, 1979 na GN. Na. 137 ya 1979). Aidha, kila shule ya sekondari inayo Timu ya Menejimenti ambayo inaundwa na Mkuu wa Shule, Makamu wa Mkuu wa shule, Mhasibu wa Shule, Mwalimu Mwandamizi Taaluma na Mwalimu Mwandamizi Nidhamu. Tafiti za kielimu kuhusu ufaulu wa wanafunzi zinadhihirisha kuwepo uhusiano wa wanafunzi kwa upande mwingine. Shule zenye mafanikio ni zile ambazo Wakuu wa ujifunzaji (Taarifa ya Utafiti Kuhusu Kushuka kwa Kiwango cha Ufaulu wa Mtihani wa Kuhitimu Elimu ya Msingi, Mwaka 2008: uk. 26). Taarifa hiyo pia imeeleza kuwa, shule zenye kiwango kidogo cha ufaulu ni zile ambazo kuna kiwango Kidogo cha Ukaguzi wa Shule na kutotekelezwa maoni ya Taarifa za Ukaguzi wa Shule, kutokuwapo kwa hazijahamasishwa kushiriki kikamilifu katika kufuatilia maendeleo ya watoto wao shuleni. ufuatiliaji wa mara kwa mara kutoka ngazi ya Halmashauri na pale ambapo jamii

Kutokana na changamoto nyingi zinazoikabili Idara ya ukaguzi wa shule, WEMU katika utaratibu wake wa kuimarisha ukaguzi wa shule, imeandaa Mwongozo wa Usimamizi wa shule kwa lengo la kuwawezesha wakuu wa shule na waratibu elimu kata, kama wakaguzi wa ndani na wa karibu na shule, kuzisimamia ziweze kujiletea maendeleo kitaaluma. Aidha, Wakuu wa Shule wanalo jukumu pia la kufuatilia ufundishaji na ujifunzaji ndani ya shule kwa kufanya ukaguzi wa ndani wakati wote wa shule. Zaidi ya hayo, katika ngazi ya shule, Timu za Menejimenti hutoa ushauri kwenye Kamati za Maendeleo za Kata kuhusu Maendeleo ya ujenzi wa shule. Hivyo, Timu za Menejimenti 31

w .Ja m

iiF

shule hufuatilia na kusimamia kwa karibu taaluma na mchakato wa ufundishaji na

or u

ufuatiliaji kwa upande mmoja na mafanikio ya shule na kiwango cha ufaulu wa

m s.c

om

Rasimu 2
za shule, kwa kushirikiana na Bodi za Shule zina jukumu la kuhakikisha utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo inatekelezwa kwa ukamilifu na kuandaa taarifa za utekelezaji za shule na kuziwasilisha kwenye Halmashauri zao (SEDP II, 2010) 2.7 Mtaala na Utekelezaji

Sera ya Elimu na Mafunzo (1995) inaeleza kuwa kila mfumo wa elimu ni lazima uwe na mitaala ya shule kukidhi mahitaji ya kielimu katika taifa husika. Mtaala umegawanyika katika maeneo manne muhimu ambayo ni malengo na madhumuni ya mtaala; maudhui au mada; vitendo vya kufundishia na kujifunzia; na upimaji au njia maendeleo, utoaji, ufuatiliaji na tathmini ya mitaala ya elimu ya awali, msingi, za kupima mafanikio. Aidha, Taasisi ya Elimu ya Tanzania itawajibika kwa maandalizi, sekondari na ualimu (Sera ya Elimu na Mafunzo 1995, uk. 38-42). 2.7.1: Utayarishaji wa Mitaala

kuboreshwa ili kukidhi mabadiliko na mahitaji mbalimbali ya jamii husika (TIE, 2008). Osaki (1996) anaeleza kwamba tokea 1968 hadi 1996, kulikuwa na jitihada ndogo masomo kama Sayansi, Hisabati, English na Kiswahili. kwa Taasisi ya Elimu kutafsiri falsafa ya Elimu ya Kujitegemea ya 1967 kwenye

w .Ja m

iiF
32

or u

Mitaala huandaliwa na kuendelezwa ili kufikia malengo ya elimu katika ngazi zote na

mitaala ilibakia ni ile ile bila kuzingatia ubunifu, umakinifu (critical thinking), na udadisi ambayo imeonesha katika maandiko yaliyotayarishwa na kuanza kutumika bila hata kupitia katika hatua ya kujaribiwa. Mwaka 2003, Taasisi ya Elimu Tanzania ilitayarisha Mwongozo wa Ukuzaji Mitaala

(National Curriculum Development Framework-NCDF) (TIE, 2003) kuhusu namna


ambavyo mitaala ya Tanzania inavyotayarishwa na kutekelezwa. Mwongozo huu ulitayarishwa ili kutumiwa na serikali na wadau wote wa elimu katika utekelezaji wa mitaala. Aidha kwa elimu ya sekondari, maeneo ya ufundishaji na ujifunzaji katika mitaala ni Lugha, Maarifa ya jamii, Sayansi, Teknolojia na Hisabati. Pia mwongozo (NCDF, 2003) umeonesha mchakato/hatua za kufuata wakati wa kuboresha mtaala ambazo zinajumuisha: Kufanya tathmini ya awali (assessment) ya mtaala uliopo;

m s.c

om

Pia, maudhui ya msingi katika

Rasimu 2
Kubadilisha mtaala kwa kuboresha mihtasari, vitabu (kiada na ziada), vifaa; zana na vifaaa vya masikizi maono; Kujaribisha mtaala na vifaa vya kufundishia na kufanya maboresho; Utekelezaji wa mtaala mpya katika shule; na Ufuatiliaji na tathmini ya mtaala ulioboreshwa.

Mchakato wa kurekebisha mtaala nchini Tanzania hujumuisha kazi ya kufanya utafiti kwa kushirikisha wataalamu na wadau mbalimbali. Kulingana na maelezo ya Waziri wa Elimu na Utamaduni (Juni, 2005) na utafiti wa TET wa mwaka 2003-2004, vile: Viongozi wakuu wa kielimu kitaifa; Wanasiasa na watumishi wa serikali; Wahadhiri wa vyuo vikuu; Wakaguzi wa shule; maafisa mitihani; Walimu wa sekondari, Wanafunzi; Wanapaneli wa masomo yote; Wakufunzi wa vyuo vya ualimu; na majiji; Viongozi wa madhehebu na mashirika ya dini; Viongozi wa mashirika yasiyo baadhi yao hutumika pia wakati wa kufanya tathmini ya mtaala ili kubaini mapungufu na mikakati ya kuuboresha. wakuu wa wilaya; Maafisa Elimu wilaya; Wakurugenzi watendaji wa wilaya, manispaa ya kiserikali; na Viongozi wa Taasisi za wenye ulemavu. Wahusika na wadau hawa au mchakato wa kurekebisha mtaala ulihusisha washiriki katika ngazi mbalimbali kama

2.7.2: Uboreshaji wa Mitaala

urefu wa mzunguko wa mtaala ni sawa na idadi ya miaka ya kukamilisha ngazi husika ya elimu, mfano kwa sekondari ni miaka sita. Muda zaidi ya huu unapaswa kupita kabla ya mtaala husika haujafanyiwa maboresho. Lengo la kubadilisha mitaala ni kuingiza maarifa mapya ya kielimu na kiteknolojia, kuondoa maudhui na njia za kufundishia zilizopitwa na wakati ili kukidhi mahitaji ya kitaifa. Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE, 1991) ilifanya tathmini ya kitaifa kuhusu ubora wa mitaala ya Elimu ya Msingi, Sekondari na Ualimu mwaka 1991. Matokeo yalionesha kwamba mitaala ya masomo ilikuwa na mapungufu katika ngazi za elimu ya msingi, sekondari na vyuo vya ualimu. Mapungufu yalitokana na kutofikiwa kwa malengo kwa 33

mtaala (curriculum circle) kwa kila ngazi ya elimu. NCDF Uk.20 unaeleza kwamba

Mwongozo wa ukuzaji mitaala (NCDF, 2003) unaonesha kwamba kuna mzunguko wa

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
sababu ya walimu kutumia njia ya mhadhara katika ufundishaji, kuwepo kwa mada nyingi za mitaala, upungufu wa walimu, miundombinu, vifaa, vitabu na maabara. Tanzania Bara (Secondary Kufuatana na moduli ya Mtaala wa Sekondari wa

Education Curriculum for Tanzania Mainland) (TIE, 2008), mitaala ya Tanzania


imebadilishwa na kuboreshwa kama inavyooneshwa katika Jedwali Na. 2.3 Jedwali Na. 2.3 Miaka ya mabadiriko ya mtaala na sababu zake Na 1 2 3 4 5 6 Mwaka 1963 1976 1979 1984 1996/1997 2005 2007 Sababu ya Mabadiliko Kuingiza historia za kimila na fasihi katika elimu. Kukidhi utekelezaji wa dhana ya Elimu ya Kujitegemea Kuanzisha masomo ya michepuo. Kuingiza masuala ya kijamii

Kuingiza elimu ya mazingira na mahitaji ya Taifa na kimataifa (i) Mtaala wa mwaka 1997 ulikamilisha mzunguko wake wa kutumika kwa kipindi cha miaka 6 na zaidi;

na Mtaala uliboreshwa kwa sababu zifuatazo:

Chanzo: Unit One: The revised O-level and A-level secondary education Curriculum

(TIE, 2008).
Maeneo yaliyoboreshwa katika mtaala wa shule za sekondari mwaka 2005 na 2007 yamezingatia Ujuzi (competences) katika ufundishaji na ujifunzaji; Njia na mbinu shirikishi zinazomjali mwanafunzi na zinazomjengea ujuzi; Upimaji wenye kumjali katika masomo tofauti; mwanafunzi; Kutorudia mada/maudhui yanayofanana 34

w .Ja m

(ii) Kuzingatia matakwa ya sera na programu za kielimu; (iii) Kuzingatia matakwa ya soko huria kama vile ajira katika sekta binafsi na sekta isiyo rasmi;

(iv) Mapendekezo ya tafiti za kielimu; (v) Mahitaji ya Sayansi na Teknolojia; (vi) Mahitaji na matakwa ya jamii kwa sasa; na (vii) Kuingiza masuala Mtambuko.

iiF

or u

m s.c

iliyoainishwa katika Azimio la Arusha mwaka 1967.

om

Rasimu 2
Kuanzishwa kwa somo jipya la TEHAMA; na kuongezwa mada za masuala mtambuko; Mpangilio na mtiririko wa maudhui katika ngazi tofauti na ufaraguzi (improvisation) wa zana za kufundishia na kujifunzia. 2.7.3: Mafunzo Kabilishi (Orientation) ya Mtaala Mafunzo kabilishi ya mitaala iliyoboreshwa hutolewa na Taasisi ya Elimu Tanzania kwa walimu na wadau wengine ili kufanikisha utekelezaji wa mitaala katika shule na vyuo. (TET, Februari, 2011). Taarifa ya TET, (2011) katika kipindi cha mwaka 2007 hadi 2010 inaonesha kuwa mafunzo kabilishi juu ya mtaala ulioboreshwa yalitolewa kwa walimu 833 wa shule za sekondari zisizo za serikali katika mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Dodoma. Aidha taarifa hiyo inaeleza TET ilitoa mafunzo kabilishi

om

kwa

walimu 40 wa shule za sekondari za serikali mwezi Februari 2011 katika mikoa ya Mwanza, Mtwara, Iringa, na Arusha ili kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji wa masomo ya Sayansi, Hisabati na Lugha.

Aidha, mwaka 2010, mafunzo ya wakufunzi wa vyuo vya ualimu wa ngazi ya na matumizi ya mbinu shirikishi. Pia, mwaka 2010, kulikuwa na mafunzo kwa washiriki 12 (wakuza mitaala saba, Afisa wa WEMU mmoja, ADEM wawili, na TEWW wawili), yaliyohusu matumizi ya TEHAMA katika kujenga ujuzi wa kutengeneza maudhui ya kielektroniki kwa masomo ya sekondari. Utafiti uliofanywa na Meena (2009), Serikali imeweka uzito mdogo kwenye elimu ya mafunzo kabilishi ya walimu unathibitisha kuwa mafunzo kabilishi yanapewa umuhimu mdogo kwa kusema

na kwamba walimu wanahitaji kujifunza kuhusu mitaala wakiwa kazini kwa kuzifanya shule ziwe taasisi za kujifunzia
2.7.4: Ufuatiliaji na Tathmini ya Utekelezaji Mitaala 2.7.4.1: Tathmini ya Utekelezaji Mitaala Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE- Secondary Education Curriculum for Tanzania

Mainland, 2008) inaeleza misingi na taratibu ambazo tathmini ya mitaala hufanyika


nchini Tanzania. TET inaeleza kwamba mitaala inatakiwa kufanyiwa tathmini katika hatua mbalimbali wakati wa utekelezaji ili kubainisha mafanikio, mapungufu na

w .Ja m

iiF
35

stashahada yalitolewa kwa wakufunzi 72 juu ya utekelezaji wa mitaala iliyorekebishwa

or u

m s.c

Rasimu 2
changamoto. Inasisitizwa kwamba ni muhimu TET ikafanya ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa mtaala ipasavyo kwa nia ya kubaini matatizo yanayojitokeza. Tathmini ya mtaala imeelezwa kuwa ni mchakato wa kufanya uchunguzi wa mtaala ili kupata mrejesho utakaosaidia kutoa maamuzi yatakayopelekea kufanya marekebisho, maboresho ya mtaala kulingana na malengo ya taifa. Aidha, wanaopaswa kushiriki katika tathmini ya mtaala ni WEMU, TET, Mashirika yasiyo ya kiserikali, Asasi/Mashirika ya elimu na wadau wengine. TET (2008) inaeleza zaidi kuwa kuna aina tatu za tathmini za mitaala. Tathmini ya awali (Situational Evaluation) ambayo hufanyika kabla ya utekelezaji wa mtaala ulioboreshwa. Tathmini hii inalenga kutambua mahitaji yanayohitajika kabla ya kuanza kutekeleza mtaala shuleni. Tathmini endelezi (Formative Evaluation) hufanyika kwa mpangilio maalum wakati mtaala unatekelezwa shuleni kwa lengo la kubaini mafanikio, matatizo na mapungufu. shule. Wahusika wakuu ni walimu, maafisa elimu, wakaguzi wa shule, asasi na Tathmni hii hufanyika katika ngazi ya taifa, wilaya/mkoa/kanda na katika ngazi ya wataalamu binafsi.

Tathmini tamati (Summative Evaluation) hufanyika wakati wa mwisho wa mzunguko wa mtaala (curriculum review circle). Kwa Tanzania tathmini hii inapaswa kufanyika angalau baada ya miaka minne kwa sekondari ya kawaida (Secondary O-level) na wakati wowote ikiwa kuna ulazima kutokana na mahitaji ya kijamii, kisiasa, kimaendeleo, kushuka kwa kiwango kikubwa cha ubora wa elimu, pamoja na mabadiliko katika Sera ya Elimu nchini. TET, 2003 inaeleza kuwa katika ngazi ya shule walimu na wanafunzi wanapaswa kufanyiwa tathmini. Tathmini hii inafanyika kwa mwalimu kujitathmini na kumtathmini mwanafunzi wake, na pia mwanafunzi kujitathmini na kumtathmini mwalimu wake. 2.8 Mitihani 2.8.1: Mitihani Ngazi ya Shule 36 miaka miwili kwa sekondari ya juu (Secondary A-Level). Tathmini hii hufanyika pia

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Kwenye kila ngazi ya elimu, hutolewa aina mbalimbali ya mazoezi na mitihani inayotungwa na mwalimu ili kutosheleza makusudio mbalimbali ya kielimu (URT: ETP, 1995). Mwaka 1976 iliamuliwa kuanza kutumia mazoezi endelezi (Continuous Assessment) ambapo kila shule huendesha mitihani na majaribio mbalimbali na kuhifadhi alama za mwanafunzi kulingana na mwongozo wa mazoezi endelezi uliotolewa na NECTA (NECTA: Guidelines on the Conduct and Administration of

Continuous assessment in Secondary Schools and teacher Training Colleges, 1990).


Kulingana na mwongozo wa NECTA wa mazoezi endelezi, kuanzia mwaka 1990, majaribio yatatumika badala ya utaratibu wa awali wa kutumia mazoezi na majaribio katika mchakato wa kutayarisha alama za mazoezi endelezi. Kwa madhumuni ya mazoezi endelezi, mwongozo unaelekeza kuwa, kila shule itaandaa jaribio moja kwa kila mwisho wa muhula, ambapo Baraza la Mitihani linaweza kuhitaji kupatiwa nakala za majaribio hayo. Ili kukidhi matakwa ya mazoezi endelezi, mwongozo unaelekeza mtihani wa Kidato cha 2 utakuwa sehemu ya mazoezi endelezi (WEMU: Waraka wa kuwa kutakuwa na jumla ya majaribio manne katika shule za sekondari ambapo

Majaribio mengine ambayo yatakuwa sehemu ya mazoezi endelezi ni yale ya kila mwisho wa muhula Kidato cha 3 na jaribio la mwisho wa muhula wa kwanza Kidato cha nne (NECTA: Guidelines on the Conduct and Administration of Continuous shule wanatakiwa kutunza alama za kila mwanafunzi ambazo zitatakiwa kujazwa kwenye fomu maalumu ya NECTA kwa madhumuni ya mazoezi endelezi. Imewekwa wazi katika mwongozo wa NECTA wa mazoezi endelezi kuwa, wakuu wa shule watawasilisha NECTA alama za matokeo ya mtihani wa Kidato cha 2 na alama za muhula wa kwanza na wa pili Kidato cha 3 na muhula wa kwanza Kidato cha 4 katika kipindi cha miezi mitatu kabla ya mitihani husika kufanyika. Katika ngazi ya shule kutakuwepo pia upimaji wa maendeleo ya mwanafunzi kwa kutumia Projekti. Kulingana na mwongozo wa NECTA wa mazoezi endelezi, ufundishaji na ujifunzaji pamoja na tathimini ya maendeleo ya taaluma kwa njia ya projekti, hulazimika kufanyika kutokana na matakwa ya mfumo wa elimu na maamuzi 37

assessment in Secondary Schools and teacher Training Colleges, 1990). Wakuu wa

w .Ja m

iiF

Elimu Na. 5 1999).

or u

m s.c

om

Rasimu 2
ya kisiasa ambayo yamekuwa msingi wa mabadiliko katika mitaala ya shule. NECTA huhimiza upimaji kwa kutumia Projekti kama njia ya kuimarisha ujifunzaji na kupima mafanikio katika ujenzi wa uwezo na ujuzi wa wanafunzi (NECTA: Guidelines on the

Conduct and Administration of Continuous assessment in Secondary Schools and teacher Training Colleges, 1990).
2.8.2: Mitihani ya Taifa Kulingana na Sera ya Elimu na Mafunzo (URT ETP, 1995 p. 44) sera zifuatazo zitatumika kuongoza mitihani kwenye ngazi ya kanda na taifa: itakuwepo mitihani ya kitaifa mwishoni mwa Darasa la VII, Kidato cha 4, Kidato cha 6 na kozi za mafunzo ya Ualimu za Cheti na Stashahada. Aidha, mitihani ya Darasa la VII, Kidato cha 4 na Kidato cha 6 itaashiria kuhitimu katika ngazi ya elimu ya msingi na sekondari na matokeo ya mitihani hii yatatumika kwa uchaguzi wa wanafunzi watakaoendelea na elimu ya juu na mafunzo zaidi, na pia kwa kutolea cheti cha kuhitimu elimu ya ngazi na kusimamia mitihani ya taifa ya Darasa la VII, Kidato cha 4 Kidato cha 6 na inayohusika. Baraza la Mitihani la Tanzania litawajibika kutunga, kudhibiti, kuendesha mafunzo ya Ualimu ya Cheti na Stashahada (URT: ETP, 1995 ) Sera ya Elimu na Mafunzo 1995 imeeleza kuwa, katika ngazi ya elimu ya sekondari, upo Mtihani wa Taifa wa kidato cha pili ambao hutumiwa kwa kubashiri maendeleo halisi na kwa ajili ya kupata upimaji wa kuendelea katika elimu ya sekondari ya ngazi ya kawaida.

2.8.3: Muundo wa Mitihani Waraka wa Elimu Na. 1 wa mwaka 2006 umefafanua masomo ya msingi na masomo chaguzi ambayo wanafunzi wanatakiwa kusoma na kufanyia mitihani kwa Kidato cha 4. Aidha, Mwongozo kuhusu muundo wa mitihani, ambao unajumisha masomo yote yanayotahiniwa unatoa msaada kwa watumiaji na walimu kuhusu taratibu za mitihani hususani matumizi ya chati ya maelekezo (Table of Specifications) katika kuandaa mitihani (NECTA, Certificate of secondary Education Examination Format, February,

2008).

w .Ja m

iiF
38

or u

m s.c

om

Rasimu 2
NECTA hupeleka nakala ya mwongozo wa mitihani kwa wakuu wa shule na vituo vyote vya mitihani ili kusaidia wanafunzi na walimu kujiandaa kwa mitihani. Kulingana na mwongozo huo, Muundo wa mitihani umegawanyika katika sehemu tano ambazo ni: utangulizi, malengo ya jumla, ujuzi wa jumla, utaratibu wa mitihani (examination rubric) na maudhui ya mtihani. Unyeti wa muundo wa mitihani unasaidia watunzi (examination setters) na warekebishaji (moderators) wa mitihani, walimu na wanafunzi katika kukabili mahitaji na ukamilishaji wa mtaala pamoja na ufahamu wa maarifa na ujuzi (NECTA, Certificate of secondary Education Examination Format,

February, 2008).
2.8.4: Uendeshaji wa mitihani

Sera ya Elimu na mafunzo 1995 inafafanua kuwa, Baraza la Mitaihani la Tanzania litawajibika kutunga, kuthibiti, kuendesha na kusimamia Mitihani ya Taifa ya Darasa la VII, Kidato cha 4, Kidato cha 6 na Mafunzo ya Ualimu ya Cheti na Stashahada (URT: kusimamia Mtihani wa Maarifa (Qualifying Test) kwa watahiniwa walio nje ya mfumo mitihani ya maarifa na ya Kidato cha 4, mwezi Februari mitihani ya Kidato cha 6 na mwezi Mei mitihani ya Stashahada na Cheti cha ualimu, stashahada za juu za ufundi na mwezi Septemba mtihani wa kuhitimu Darasa la VII (NECTA WEBSITE, May 2011, ETP, 1995). Aidha NECTA itahusika pia na kutunga, kudhibiti, kuendesha na wa shule. NECTA huendesha mitihani katika misimu mitatu ambapo mwezi Oktoba

NECTA: The Examinations Regulations, 2006).


2.8.5: Utungaji

Kulingana na NECTA WEBSITE, May 2001, watungaji wa mitihani wanatakiwa wawe wamebobea kitaaluma katika masomo husika ambayo yanatahiniwa. Aidha, wanatakiwa wawe wanafundisha na uzoefu wa kufundisha katika ngazi wanayotahini kwa muda usiopungua miaka mitatu. Website hiyo inafafanua kuwa, kila mwaka, Baraza la mitihani la Tanzania hupeleka fomu ya kupata orodha ya watungaji wa mitihani katika shule zote ambapo wakuu wa shule hutakiwa kutuma taarifa za siri kuhusu uwezo na uaminifu wa mwalimu katika kutunza siri na kuonesha namana anavyojituma kazini. Baada ya kupata taarifa za siri za walimu, NECTA huteua walimu wa kutunga mitihani ambao hutakiwa kuandaa jozi mbili za karatasi za mtihani. Aidha, barua za uteuzi wa watungaji wa mitihani humwelekeza mtunzi mambo ya kuzingatia 39

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
wakati wa kutunga maswali ya mtihani na pia huambatanishwa na muundo wa mtihani ili arejee ipasavyo. Kimsingi watungaji wote ambao wanateuliwa kutunga mitihani wanatakiwa wapatiwe mfunzo ya msingi na mbinu za uandaji wa maswali mazuri ya mitihni. Hata hivyo imeonekana kuwa hali hiyo haifanyiki na watungaji wa mitihani hutegemea utaalamu kama walimu na uzoefu wao kazini (NECTA WEBSITE, May 2011). Baada ya kupokea karatasi za mitihani kutoka kwa watungaji karatasi hizo hufanyiwa marekebisho (moderation). Kwa kawaida marekebisho ya karatasi za mitihani hufanywa na paneli ya watu 2-3 kwa kila somo. Karatasi za mitihani zinaandaliwa zikionesha maelekezo kwa watahiniwa kuhusu idadi ya maswali wanayotakiwa kujibu kwa kila somo na alama zinazotolewa kwa kila swali. Kama ilivyo kwa watungaji wa mitihani, NECTA huteua warekebishaji baada ya kupokea taarifa za siri za walimu hao. wakaguzi wa shule, wahadhiri katika vyuo vikuu na au walimu wazoefu ambao warekebishaji wa mitihani hutakiwa kuzingatia kuwa mitihani inalingana na mihtasari na suala la kuaminika (Reliability) na uhalali (Validity) umezingatiwa wakati wa kuandaa mitihani. Aidha, wakati wa kurekebisha mithihani, huwasilishwa jozi tatu za karatasi za mitihani kwa kila somo (NECTA WEBSITE, May 2011). Baada ya kukamilisha kazi ya kurekebisha karatasi za mitihani, NECTA hurudufisha na kuiandaa kwa ajili ya kuisambaza kwenye vituo vya mitihani. Website ya NECTA inaonesha kuwa kazi ya kurudufisha na kuandaa katarasi za mitihani husimamiwa na Idara ya Chapa na Uchapishaji wa mitihani ambapo jukumu la kuisafirisha mitihani hiyo kwenda mikoani ni la Idara ya Kusimamia na Kuendesha Mitihani (Departmend of Examinatios Administration). Aidha, usambazaji wa mitihani hufanyika kwa kutumia misafara inayotumia barabara, reli, bahari na ndege. Katika hatua hii suala la ulinzi na usalama wa mitihani hupatiwa umuhimu wa kipekee ambapo vyombo vya usalama vya serikali hushirikishwa. Misafara kwa njia ya barabara hushirikisha Afisa wa Mitihani, Askari mwenye siraha, Afisa usalama na dereva kutoka NECTA. Kwa kawaida, wajumbe wa paneli za kurekebisha masomo ni watunga mitaala, hawashiriki kufundisha watahiniwa kwa wakati huo. NECTA 2011, imeeleza kuwa

w .Ja m

iiF
40

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Kulingana na Website NECTA, misafara ya kupeleka mitihani kutoka ofisi za NECTA huishia katika makao makuu ya Mikoa ambapo Afisa Mitihani hukabidhi mitihani kwenye Kamati ya Mitihani itakapopelekwa wilayani. Kamati ya Mitihani ya Mkoa husafirisha na kukabidhi mitihani kwa Kamati ya Mitihani ya Wilaya. Kama ilivyo katika mkoa, mitihani inahifadhiwa katika vyumba maalumu vyenye usalama na vinalindwa na maaskari wenye silaha. Kutoka katika ngazi ya wilaya, mitihani hukabidhiwa kwa wakuu wa shule na wasimamizi wa nje wa mitihani (external supervisors) na kuhifadhiwa katika vyumba vyenye usalama katika maeneo yao na italindwa na askari wenye silaha. 2.8.6: Usahihishaji na Utoaji wa Matokeo watu, malalamiko hayatakosekana ya Mkoa. Mitihani hupokelewa na kuhifadhiwa katika chumba madhubuti (Strong room) cha mkoa na kulindwa na askari mpaka

Sera ya Elimu na Mafunzo imeeleza kuwa, kutokana na mitihani kuathiri maisha ya usahihishaji, uandaaji wa matokeo; upangaji wa madaraja, tuzo pamoja na utoaji katika hatua tatu ambazo ni: kwenye vituo vya mitinani, kwenye vituo vya usahihishaji na ofisi za NECTA (NECTA: Examinations Processing, July, 1986). Karatasi za Mitihani za watahiniwa hupokelewa kutoka kwenye vituo vya mitihani na NECTA kwa maandalizi ya matokeo ya watahiniwa kwa madaraja mbalimbali ili kutoa matokeo ya watahiniwa (NECTA: Examinations Processing, July, 1986). Kulingana na taratibu za mitihani za NECTA, katika Vituo vya Mitihani, orodha za watahiniwa huandaliwa, alama za mazoezi endelezi na projekti huingizwa kwenye fomu za mazoezi endelezi na majumuisho ya alama za mazoezi hufanyika. Katika vituo vya usahihishaji, usahihishaji wa karatasi za mitihani za watahiniwa hufanyika kwa kutumia paneli za masomo na alama za mtihani wa mwisho hukokotolewa kwa kiwango cha asilimia 50. Katika Ofisi za NECTA, kimsingi, alama za mazoezi endelezi hukokotolewa na kujumishwa na alama za mtihani wa mwisho ili kupata alama za matokeo kwa watahiniwa (NECTA: Examinations Processing, July, 1986). 41

kupelekwa kwenye vituo vya usahihishaji na alama za matokeo kupelekwa ofisi za

w .Ja m

iiF

matokeo. Mchakato wa kusahihisha na kutoa matokeo ya watahiniwa umegawanyika

or u

kuhusu

m s.c
utungaji,

om

uendeshaji,

usimamizi,

Rasimu 2
Kulingana na taratibu za mitihani (NECTA, 1986), matokeo ya mwisho ya mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 yanatolewa kwa kutumia viwango vya ufaulu (Gredis) A, B, C, D na F ambapo A-Ubora uliotukuka, B-Vizuri sana, C-Vizuri, D-inaridhisha na F-feli. Uzito wa gredi hizo ni A 1 (krediti), B 2 (krediti), C 3 (krediti), D 4 (kufaulu), F 5 (feli). Uzoefu unaonyesha kuwa Gredi hizi zinatolewa kwa kuzingatia mlolongo wa alama zifuatazo: A (81-100), B (61-80), C (41-60), D (21-40), F (0-20). Hata hivyo rejea kutoka NECTA (Juni, 2011) zinaeleza kuwa Kamati ya Kutunuku ya NECTA hubaini viwango vya ushindi katika mwaka husika baada ya kulinganisha viwango vya ushindi kwa miaka mbalimbali iliyopita ilikilinganishwa na uwezo wa ufaulu wa watahiniwa wa mwaka husika. Aidha, kulingana na kanuni za kutoa ushindi wa alama kwa mtihani wowote unaoendeshwa na NECTA, hakuna mtahiniwa yeyote atakayeweza kupata gredi A katika somo kama atapata alama chini ya 70. Vilevile hakuna mtahiniwa atakayepata gredi D endapo atapata alama chini ya 30. Aidha, matokeo yatatolewa kwa kutumia madaja ya ufaulu (Divisions) I, II, III IV na 0 subjects). Daraja la I (alama 7 17), Daraja la II (alama 18 20), Daraja la III (alama 21 25) na Daraja la IV (alama 26 32). Daraja la 0 (alama 33-35) inaashiria kufeli.

kupima na kutathimini watahiniwa. Aidha, mfumo uliokuwa unatumika wakati wa kikoloni ulikosolewa na wadau wa elimu kutokana na kutokuwa thabiti katika kupima mafanikio ya jumla ya kielimu ya mwanafunzi w Kitanzania. Kwa hiyo, mwaka 1976, Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) lilianzisha mfumo wa kutumia mazoezi endelezi (Continuous Assessment) kama njia ya kutatua kasoro na mapungufu yaliyokuwepo katika mfumo wa upimaji uliokuwa unatumia mtihani mmoja wa mwisho pekee (NECTA: Guidelines on the Conduct and Administration of Continuous

assessment in Secondary Schools and teacher Training Colleges, 1990, Lisu, H.S,
2008).

Kabla ya mwaka 1976, Tanzania ilitumia mitihani ya mwisho kama njia pekee ya

2.8.7: Mchango wa CA na Project katika Mitihani ya Taifa

w .Ja m

iiF
42

kwa kuzingatia masomo saba yenye ufaulu wa juu ukijumuisha yale ya msingi (core

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Kulingana na mwongozo wa NECTA wa mazoezi endelezi (NECTA: 1990), ufaulu wa mwanafunzi utapimwa kwa kutumia alama za mazoezi endelezi (CA) na alama za Projekti ambazo zitajumuishwa kwenye mtihani wa mwisho Kidato cha 4. Aidha, Mwongozo umeweka wazi kuwa mchango wa alama za mazoezi endelezi katika tuzo la mwisho wa elimu ya sekondari Kidato cha 4 ni asilimia 45 na mchango wa Projekti utakuwa asilimia 5 hivyo, kuwa na jumla ya alama asilimia 50 (NECTA: Examinations Processing, July, 1986).

Mapitio ya machapisho yanaonesha kuwa tangu kuanzishwa kwa mfumo wa upimaji ya mchango wa mazoezi endelezi (CA) katika matokeo ya mwisho ya mtahiniwa. darasani na namna gani mazoezi hayo yanasimamiwa na kuchambuliwa (Lisu, H.S, 2008). Taarifa ya utafiti uliofanywa na Lisu, H. S, 2008, inathibitisha kuwa wadau wa elimu wakiwemo maafisa wa NECTA, walimu, wazazi, na wanafunzi hawajui kiwango/mchango wa CA katika mtihani wa mwisho wa kuhitimu elimu ya sekondari. Taarifa hiyo, pia imeonesha kuwa pamoja na juhudi za NECTA kupeleka vitabu vya katika ofisi za taaluma na kuhifadhiwa kama nyaraka za siri na kwa matumizi ya viongozi wachache tu. Aidha imeoneshwa kuwa alama za mazoezi endelezi zilikuwa zina tolewa kwa upendeleo kwa baadhi ya wanafunzi. Kutokana na mapitio ya machapisho imebainika kuwa alama za mazoezi endelezi (CA marks) na alama za mtihani wa mwisho Kidato cha 4 hazijumulishwi na kutafuta wastani. Mchakato wa kupata alama ya mwisho ya mtahiniwa inahusisha ukokotoaji wa kiwango sanifu cha alama (standardization of raw marks) kabla ya kupata alama ya mwisho. 2.9: Upatikanaji na Usambazaji wa Vifaa vya Kufundishia na Kujifunzia 2.9.1: Vitabu vya Kiada na Ziada Miaka ya 1980, Shirika la Vifaa vya Elimu yaani Tanzania elimu Supplies (TES) chini ya Wizara ya Elimu na Utamaduni lilikuwa na jukumu la kusambaza vitabu na vifaa vya shule nchini (Tume ya Rais ya Elimu, 1982). Kuanzia Januari mwaka 1992 Serikali ilipitisha sera ya upatikanaji na usambazaji wa vitabu vya shule na vyuo nchini 43 mwongozo wa NECTA wa mazoezi endelezi katika kila shule, vijitabu hivyo vilibakia

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

Aidha, mfumo huo hauoneshi njia zinazotumika katika kuandaa mazoezi hayo ya

om

wa kutumia CA, hakuna jitihada za kutosha zilizofanyika katika kuelimisha umma juu

Rasimu 2
ambayo ilifuta Waraka no. EDTT/8/184 wa mwaka 1970 uliohusu Uuzaji wa Vitabu vya Kiada vinavyotayarishwa na Wizara ya Elimu. Sera hii ilianzisha utaratibu wa upatikanaji na usambazaji wa vitabu vya kiada na ziada kufanyika na makampuni ya kibiashara ya uchapishaji kwa mtindo wa ushindani. Taasisi ya Elimu ilielekezwa kubaki na majukumu ya ukuzaji mitaala kama lengo la muda mrefu, hii ni pamoja na serikali kubaki na jukumu la kupitisha vitabu kwa matumizi ya shule na vyuo vya ualimu. Utekelezaji wa sera hii uliendana na utayarishaji wa utaratibu wa kuhakiki na kupitisha vitabu vya kiada vya shule na vyuo kwa kufuata Waraka wa Elimu Na. 2 wa Agosti 1998 uliojulikana kama New Approval System for Educational Books. Waraka huu ulikuwa na lengo la kuhakikisha ubora wa vitabu vitumikavyo shuleni. Mwaka 1998, Kamati ya kutathimini Machapisho ya Kielimu (Educational Materials Approval

Committee -EMAC) ilianzishwa na Wizara ya Elimu. EMAC ipo chini ya uenyekiti wa


masomo (Book Evaluators). Taarifa ya EMAC (2011) inaeleza kuwa kufikia Aprili 2011 Kiingereza, ambapo aina 218 vya kiada na 30 vya ziada. Aidha, ithibati ilitolewa kwa aina 65 ya vitabu vya sekondari katika lugha ya Kiswahili ikiwa 20 vya kiada na 45 vya ziada vilivyoandikwa na wandishi tofauti na wachapishaji mbalimbali. Vitabu vyote vya kiada vilivyopitishwa na EMAC vimeandikwa kufuata mtaala kiada na ziada vilivyopewa ithibati na EMAC (Miongozo ya MMES II, 2010). Shule huagiza na kuvinunua kutoka maduka ya vitabu au kampuni za wachapishaji vitabu moja kwa moja au kwa kuletewa shuleni kutoka makao makuu ya Wizara ya Elimu kwa kupitia kwa Maafisa Elimu wa mikoa na Wilaya. Mpango wa Elimu ya Sekondari (SEDP II, June 2010) umeonesha kuwa katika kipindi cha 2004 2009 wadau wamekuwa wakitoa msaada wa vitabu kwa ajili ya shule na maktaba nchini ikiwa ni pamoja na shirika la USAID lililotoa msaada wa sekondari. vitabu 456,830, vya shule za

ulioboreshwa mwaka 2005 na 2007. Shule zinapaswa kununua na kutumia vitabu vya

w .Ja m

iiF
44

EMAC imetoa idhibati kwa aina za vitabu 248 vya elimu ya sekondari katika lugha ya

or u

Kamishna wa Elimu na inaundwa na Sekretariati na wataalamu/ walimu mahiri wa

m s.c

om

Rasimu 2
Kulingana na Sera ya Elimu na Mafunzo 1995, ibara ya 5.4.6, kila shule inapaswa kuwa na vitabu vya kutosha, maktaba na wakutubi wenye utaalamu. Hata hivyo hali halisi inaonesha kuwa maktaba za shule ni chache kwani hadi mwaka 2009, ni maktaba 57 tu zilikuwa zimejengwa kati ya maktaba 2,406 zilizokuwa zimepangwa kujengwa chini ya mpango wa MMES (SEDP II, 2010). 2.9.2: Vifaa vya Kufundishia na Kujifunzia Ubora wa utoaji wa elimu unaimarishwa na upatikanaji na utumiaji wa zana na vifaa vya kufundishia na kujifunzia. Vifaa hivi vinajumuisha machapisho (textual materials) kama vitabu, ramani na chati. Aidha, vifaa vingine ni vile visivyochapishwa (non textual materials) kama vile tufe, modeli na vifaa vya masikizi na maono. Sera ya Elimu na Mafunzo (1995, Kifungu 4.5.3) inaelekeza kwamba shule zote za sekondari zinapaswa kuwa na zana na vifaa bora vya kufundishia na kujifunzia wa ufundishaji wa masomo shule za sekondari ni upungufu mkubwa wa vifaa vya Tanzania Bara uliotayarishwa na Taasisi ya Elimu Tanzania (2008), mwalimu anatazamiwa kuwa mbunifu wa kutengeneza na kufaragua vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa kutumia vitu vipatikanavyo katika mazingira ya shule. 2.9.3: Maabara, Vifaa na Madawa ya Maabara Ufundishaji wa masomo ya Sayansi unazingatia sana vitendo ili wanafunzi wapate maarifa, stadi na ujuzi unaotakiwa katika mitaala. Maabara za sayansi zilizosheheni vifaa yakiwemo madawa ndiyo nyenzo muhimu katika kuwezesha ufanyaji wa vitendo kwa wanafunzi na walimu. Umuhimu huo umesisitizwa katika Sera ya Elimu na Mafunzo (1995) na Mpango wa Mkakati wa Kati (Medium Term Strategic Plan, 2007/08-2009/10) wa WEMU uliobainisha lengo la kuweka vifaa vya kutosha katika maabara za sayansi katika shule za sekondari. ambavyo vipo katika idadi inayotosha mahitaji ya shule. Changamoto katika mchakato kufundishia na kujifunzia (SEDP II, 2010). Kulingana na Mtaala wa Sekondari kwa

w .Ja m

iiF
45

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Kulingana na taarifa ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Idara ya Sekondari (2008), mahitaji ya maabara za sayansi yalikuwa 9,420 kwa shule 3,140 za sekondari za serikali. Takwimu zinaonesha kwamba asilimia 77 ya shule za serikali hazina maabara za sayansi kama ilivyooneshwa katika jedwali Na.2.4 Jedwali Na 2.4 Hali ya Maabara katika shule za Serikali Tanzani mwaka 2008 Shule Idadi ya zenye Shule Maabara 90 3,051 3,141 100% 90 639 729 23% Hali ya maabara katika shule Zilizo na Zinazohitaji Hali matengenezo nzuri 36 36 1% 90 603 693 22% Upungufu 2,412 2,412 77%

Aina ya shule

Chanzo: Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Idara ya Sekondari, Disemba 2008


Kila shule ya sekondari inatakiwa iwe na maabara za masomo ya sayansi. Taarifa za na zisizo za serikali, kulikuwa na maabara za Baiolojia 670, Kemia 804, Fizikia 760 na Kompyuta 1,540 hali inayoashiria upungufu wa maabara.

2.10: Mazingira ya Shule

zake na huduma za jamii. 2.10.1: Miundombinu na Huduma za Kijamii Tume ya Rais (1982) ilibaini ongezeko kubwa la shule bila kuwepo na miundombinu iliyokamilika. Kutokana na hali hii, Tume hiyo ilipendekeza kuwepo kwa kitabu cha Mwongozo kitakachosaidia viongozi kuwa na msimamo mmoja kuhusu aina ya majengo, madarasa na vitu vingine vya lazima kwenye shule za msingi, sekondari na vyuo vya ualimu.

ndani ya darasa katika shule. Mazingira hayo, ni pamoja na miundo mbinu, samani

Mazingira ya shule yanahusu jumla ya vitu vyote vilivyopo na vinavyotendeka nje na

w .Ja m

iiF
46

WEMU kwa mwaka 2010 zinaonesha kuwa Katika shule za sekondari 4,266 za serikali

or u

m s.c

Shule za Kitaifa Shule za Jamii Jumla Asilimia

om

Rasimu 2
Sera ya Elimu na Mafunzo (1995) inabaini pia ongezeko la shule kutokana na misukumo ya kisiasa au kwa ushindani miongoni mwa wazazi, mashirika yasiyo ya kiserikali au uongozi katika wilaya na kusajili shule bila kuzingatia mahitaji ya kiwango cha chini kilichowekwa kwa ajili ya majengo ya shule za sekondari iliyotolewa kwenye Mwongozo wa uanzishaji shule. Katika Ibara ya 5.4.3. Sera inaelekeza kuwa:

Wamiliki na viongozi wote wa shule za sekondari watahakikisha kuwa majengo, vifaa, zana na vifaa vya kufundishia ambavyo ni vya lazima kwa kufundishia na kujifunzia kwa ufanisi kwa kiwango cha juu na bora vinapatikana katika idadi inayotosheleza na vinakarabatiwa mara kwa mara. (uk.31).
Mwaka 2001, Idara ya Sera na Mipango ilitoa Mwongozo wa Majengo na Samani kuhusiana na ujenzi wa shule za sekondari. Majengo haya ni pamoja na: Jengo la Utawala (unajumuisha ofisi ya Mkuu wa shule pamoja na msaidizi wake, ubao wa matangazo ya shule, vyoo vya utawala, ofisi ya walimu), madarasa, nyumba za chumba cha kupumzikia wagonjwa (sick bay), viwanja vya michezo na barabara wafanyakazi, vyoo, maabara, maktaba, mabweni, bwalo la kulia chakula, jiko na stoo, zinazopitika. Aidha vipimo vya ukubwa wa kila jengo viliainishwa. Mwaka 2007, WEMU ilielekeza mambo ya kuzingatia katika kuanzisha shule za sekondari za kutwa zinazojengwa kwa nguvu za wananchi kuhusiana na miundo mbinu. Mwongozo ulielekeza Halmashauri kuzingatia mahitaji yafuatayo: madarasa matano kwa ajili ya wanafunzi (wasichana matundu matatu na wavulana matundu mawili), maabara ya sayansi moja, stoo mbili za vifaa na nyumba tatu za walimu. Hii ilikuwa hatua ya muda mfupi iliyochukuliwa na Serikali kusaidia wananchi kuanzisha shule katika maeneo yao, ili kukabili hitaji la kuwa na shule zaidi za sekondari. Pamoja na kuchukua hatua hizi, mategemeo ya serikali ni kwamba shule zilizoanzishwa kwa njia hii, zitajiimarisha kadri siku zinavyokwenda na kuhakikisha zinaendelea kujitosheleza katika mahitaji yote yaliyoainishwa mwaka 2007. 2.10.2: Samani Samani huenda sambamba na mahitaji ya wanafunzi na walimu. Samani hizi ni pamoja na madawati na viti kwa ajili ya madarasa, meza, mbao za darasani, mbao za 47 mawili, jengo la utawala moja, vyoo matundu mawili kwa watumishi, matundu

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
matangazo, viti, makabati, meza za chai, na samani za majengo yote mengine katika shule. Katika mwaka 2001, Idara ya Sera na Mipango (WEMU) ilitoa Mwongozo wa Samani kuhusiana na ujenzi wa shule za sekondari. Mwongozo huo ulianisha samani za kila jengo ambazo zinaendana na mahitaji ya wanafunzi pamoja na walimu wao. Aidha, uchaguzi wa samani unatakiwa uzingatie umri, ulemavu pamoja na kiwango cha elimu inayotolewa katika shule husika. Mwaka 2007 WEMU ilielekeza samani (madawati 80 na viti 80, meza za darasani mbili na viti viwili) kwa shule ya mikondo miwili zilizokuwa zinajengwa kwa nguvu za wananchi.

2.11. Uandaaji na Upatikanaji wa Walimu

ya walimu humuandaa mwalimu kitaalamu na kitaaluma. Kada ya walimu nchini Tanzania imegawanyika katika sehemu kuu tatu: cheti, stashahada na shahada. service) na Mafunzo Kazini (In-service). 2.11.1: Mafunzo Tarajali Mafunzo ya walimu yamegawanyika katika sehemu kuu mbili: Mafunzo Tarajali (Pre-

Mafunzo tarajali ni mafunzo ya awali ambayo hutolewa kwa mwanachuo anaye andaliwa kuwa mwalimu katika ngazi yoyote ya elimu kulingana na sifa alizonazo. Sifa na muda wa mafunzo ya Ualimu katika ngazi zote za elimu zimekuwa zikitofautiana kutoka kipindi kimoja hadi kingine kulingana na mahitaji ya wakati huo. Mara baada ya uhuru, Wizara ya Elimu iliamua kupanua elimu ya sekondari, ili kuweza kupata watumishi wa sekta mbali mbali za maendeleo ya uchumi. Kwa hali hiyo Serikali ilihitaji walimu wa kutosha ili waweze kuwaandaa wataalamu hao katika kiwango cha sekondari. Kutokana na ukosefu wa walimu wa kutosha, muda wa mafunzo ya Ualimu katika ngazi ya Stashahada ulipunguzwa kutoka miaka miwili na kuwa na mwaka mmoja chuoni na miezi sita ya mazoezi nje ya chuo. Waombaji wa kozi hii walikuwa wahitimu wa Kidato cha 6. Aidha, wanafunzi wa Chuo Kikuu, walishawishiwa kuchukua mafunzo ya Ualimu. (Tume ya Rais ya Elimu, 1982, 5.7 uk. 225).

w .Ja m

iiF
48

or u

m s.c

Walimu ni Nguvu Kazi muhimu katika mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji. Mafunzo

om

Rasimu 2
Tume ya Rais ya Elimu ya mwaka 1982 ibara ya 3.116 ilipendekeza kwamba Walimu

wa sekondari na vyuo vya ufundi wawe na Stashahada na Shahada wakati wale wa ufundi sadifu wawe wenye cheti cha elimu ufundi mchundo (Full Technician Certificate F.T.C.) Lengo kwenye shule za sekondari kuwe na walimu wenye shahada. uk. 147. Katika miaka ya 70, sifa za waliojiunga na Stashahada ilikuwa mhitimu wa
Kidato cha 6, na kupata ufaulu si chini ya Subsidiary mbili. Muda wa mafunzo ulikuwa miaka miwili. Kutokana na upanuzi wa shule za sekondari, mwishoni mwa miaka ya 80 hadi mwaka 1991, Wizara ya Elimu ilianzisha utaratibu ambao uliruhusu wanafunzi waliofanya vizuri Kidato cha 4 kuingia Kidato cha 5 na na mafunzo ya Ualimu. Vyuo hivyo vilikuwa Mkwawa, Korogwe, Shinyanga na Monduli. Mwanafunzi alisoma kwa miaka mitatu na baada ya hapo alipata cheti ngazi ya Stashahada na kwenda kufundisha shule za sekondari. Hii ilikuwa jitihada ya makusudi ya Serikali kuhakikisha kwamba wanaandaa walimu wenye ubora kitaalamu na kitaaluma. Mwaka 2005, WEMU ilielekeza uimarishaji wa sifa na muda wa waliotaka kujiunga na na kupata Principal Pass 2 au zaidi. Muda wa mafunzo kuwa miaka miwili. (Facts About Basic Education in Tanzania, Final draft 2005). Hata hivyo, Maelekezo ya Kamishna katika barua kumb.Na TTDB/85/483/01/25 wanaojiunga na mafunzo ya Ualimu ngazi ya Stashahada kuanzia tarehe 1, Julai ni Principal Pass moja na Subsidiary moja katika masomo yanayofundishwa shule za sekondari. Waraka huo pia unaelekeza Sifa kwa wanaojiunga na mafunzo ya Stashahada ya Ualimu kwenye fani ya Ufundi kuwa itaendelea kuwa cheti cha Elimu ya ufundi mchundo (FTC). Kwa lengo la kutoa fursa kwa wahitimu wenye ufaulu mzuri katika masomo ya Sayansi na Hisabati, wasio na cheti cha Elimu ya ufundi mchundo wamepewa nafasi kujiunga na Stashahada ya ualimu wa kawaida. Utafiti uliofanyika na WEMU, 2006 umeonesha umuhimu wa kuboresha sifa za chini za kuingia katika vyuo vya ualimu na kuimarisha kipindi cha mafunzo (The Teacher Management Development Strategy 2008 - 2013). Kati ya mwaka 2004 -2007, Wizara ya Elimu iliandaa Walimu wa Leseni 10,000 waliohitimu kidato cha 6. Walimu hawa 49

mwaka, 2009 inaelekeza sifa zinazokinzana na zile za awali za 2005. Sifa za

w .Ja m

iiF

Kozi ya Stashahada ya Ualimu kuwa na sifa zifuatavyo: awe amehitimu Kidato cha 6,

or u

m s.c

om

Rasimu 2
waliandaliwa kwa kupewa mafunzo ya muda mfupi (induction course) ya wiki 4 ambayo yalilenga kuwapa kwa kiasi kidogo mbinu za kufundishia na kujifunzia na uongozi katika elimu kabla ya kuruhusiwa kufundisha. Ngodu, 2007 anaielezea dhana ya walimu wa leseni (Licensed Teachers) kuwa ni walimu ambao hawajasomea kozi ya ualimu isipokuwa wanayo taaluma ya masomo kwa maana wamemaliza kidato cha sita au wamesomea shahada zisizo za elimu. Uandaaji wa walimu hawa tatizo kubwa la walimu shuleni. 2.11.2: Mafunzo Kazini Mafunzo kazini (In-service) ni mafunzo ambayo hutolewa kwa mwalimu aliyefuzu kozi ya ualimu kwa lengo la kuimarisha na kuendeleza utaalamu na taaluma yake. Katika kuimarisha na kuendeleza utaalamu na taaluma yake, mwalimu hupata fursa ya kujifunza mambo mapya yanayojitokeza kulingana na wakati, kwa mfano, mabadiliko jamii, sayansi na teknolojia. Aidha mafunzo kazini, humfanya mwalimu kwenda na mtindo wa kozi fupi au ndefu, semina, warsha na ziara za kielimu zenye malengo ya kuinua viwango vya elimu, ujuzi na utaalamu wa walimu. Sera ya Elimu (1995) katika ibara ya 5.5.10 inatamka Mafunzo kazini na mafunzo Februari 2006 katika utafiti wake kuhusu mfumo wa Elimu ya Ualimu katika Tanzania, ilifanikiwa kuanzisha Mkakati wa Menejimenti na Maendeleo ya Walimu (MMEMWA) ambapo moja ya lengo lake kuu ni kuhakikisha uwepo wa mafunzo kazini endelevu na weledi kulingana na mahitaji ya utaalamu wa walimu. Malengo ya MMEMWA yanajumuisha utafiti kuhusu mahitaji ya mafunzo kazini kwa ajili ya walimu, wakufunzi na viongozi wa elimu kufikia mwaka 2009. Kwa kupitia MMEMWA, Wizara imefanikiwa kuandaa na kutekeleza Mkakati wa Elimu na Mafunzo Kazini kwa Walimu wa Shule za Msingi (MEMK WSM), 2009 2013. Madhumuni ya mkakati huu ni kuimarisha utoaji wa mafunzo endelevu kwa walimu baada ya mafunzo tarajali kwa lengo la kuhakikisha ubora wa ufundishaji na ujifunzaji 50 ya mtaala wa shule, dhana na nadharia za ufundishaji na ujifunzaji, mabadiliko ya wakati. Tume ya Rais ya Elimu (uk. 232) inaelekeza mafunzo kazini huendeshwa kwa ni wa dharura na ni njia mbadala ya kupata walimu kwa haraka kwa lengo la kupunguza

rejea yatakuwa ya lazima ili kuhakikisha ubora wa ualimu na utaalamu. WEMU,

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
katika shule za msingi, pamoja na kukidhi mahitaji ya walimu kitaalamu na kitaaluma (MWAKEM 2010). Waraka Na.10 wa mwaka 2009 kuhusu mafunzo ya walimu kazini kwa walimu wa shule za sekondari unaelezea umuhimu wa mafunzo kazini kama nyenzo muhimu ya kumuongezea mwalimu maarifa, ujuzi na stadi za kumwezesha kufundisha kwa umahiri. Aidha, waraka umeweka wazi mapungufu ya utaratibu wa mafunzo kazini ambayo yamekuwa yanatolewa kwa baadhi ya maeneo na makundi ya walimu na kutokuwa endelevu. Kutokana na hali hii, waraka unaelekeza mafunzo haya kuendeshwa na Halmashauri husika kwa kuzingatia kuwa usimamizi na uendeshaji wa shule za sekondari kwa sasa uko chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa. 2.11.3: Uwepo wa Walimu

Uwepo wa walimu wenye sifa ni moja ya kiashiria cha ubora wa elimu itolewayo. hutegemea njia zinazotumika katika utayarishaji wao. Aidha, Tume inabaini kwamba Juhudi zilifanywa zaidi katika upanuzi wa elimu katika ngazi zote bila ya kuwa na uwiano na ubora wa walimu wengi waliokuwa wanahitajika. Utayarishaji na upungufu mkubwa wa walimu kwenye shule zilizoko vijijini na hasa ya Elimu na Mafunzo, Ibara 5.4.5 inavyoelekeza: Wamiliki wa shule za sekondari

watahakikisha kwamba wanapata walimu wenye sifa zinazotakiwa, wanakuwa na mazingira mazuri ya kufundishia, wanatoa mafunzo na wanawaendeleza walimu wao kitaalamu. Sifa zinazostahili kama zilivyoanishwa na Sera ya Elimu na Mafunzo ni
walimu wenye Shahada na Stashahada kwenye shule za serikali na zisizo za serikali. Walimu wa Stashahada wanapangiwa kufundisha Kidato cha 1 na 2 na walimu wa Shahada wafundishe kuanzia Kidato cha 3 6. Mwaka 2004, Serikali kupitia SEDP iliamua kuongeza usajili wa wanafunzi katika shule za sekondari na wakati huo huo kuchukua juhudi za makusudi za kuinua ubora. Kutokana na upungufu wa walimu uliokuwepo na ongezeko la uandikishaji wa 51

kwenye masomo ya ufundi, sayansi, hisabati, kiingereza na jiografia; kinyume na Sera

w .Ja m

iiF

umuhimu wa kuwa na walimu bora haukuzingatiwa kikamilifu tangu nchi ilipojitawala.

or u

Tume ya Rais ya Elimu (1982, uk. 230) inasema kwamba ubora wa walimu

m s.c

om

Rasimu 2
wanafunzi, Serikali iliamua kuajiri walimu wa leseni. Taarifa ya utafiti uliofanywa na

Ngodu (2007) unaonesha kuwa idadi kubwa ya walimu hao wapatao 3,500
waliandaliwa mwaka 2006 na walisambazwa katika shule mbalimbali nchini. Utafiti huo pia ulionesha kuwa wadau wengi walilalamikia ubora wa walimu hao kutokana na muda mfupi wa mafunzo. Hata hivyo, kutokana na juhudi hizo Serikali iliweza kufanikiwa kuongeza walimu 10,000 katika muda wa miaka minne kati ya mwaka 2004 2007. Ili kuendelea kukabili ongezeko la shule za sekondari zikiwa na wanafunzi wengi bila walimu wa kutosha, WEMU (2007) iliamua kuwa na mafunzo ya mfumo wa two tier ambao uliruhusu wanachuo wa Stashahada kusoma mwaka mmoja chuoni na mwaka wa pili kuwa shuleni.

Mmari (1979) anasema kuwa ubora wa ufundishaji wa shule za msingi unategemea wakufunzi waliokuwa nao. Kigezo kimojawapo cha kujulisha ubora wao ni kujua sifa na jumla ya walimu 40,255 katika shule za sekondari za Serikali (30,256) na zisizo za Serikali (10,269) BEST, 2010. Jedwali Na. 2.5 linaonesha sifa na idadi ya walimu wa sekondari waliopo nchini. Jedwali Na. 2.5 Idadi ya Walimu wa Sekondari kwa Sifa, Mwaka, 2010 Sifa za Shule za Sekondari za Walimu Serikali Me Ke JML Shahada 3,418 2,360 5,778 Stashahada 11,494 6,678 18,172 Shule za Sekondari Zisizo za Serikali Me Ke JML Me 3,248 884 4,132 6,666 3,171 828 3,999 14,665

w .Ja m

iiF

ya mwalimu kitaaluma. Taarifa ya WEMU inaeleza kuwa kufikia mwaka 2010, kulikuwa

or u

ubora wa mafunzo ya walimu waliyoyapata ambao pia hutegemea ubora wa

m s.c

om

Jumla Ke 3,244 7,506 JML 9,910 22,171

Cheti Nyingine JUMLA KUU

1 3 4 1 3 4 2 6 8 4,754 1,548 6,302 1,736 398 2,134 6,490 1,946 8,436 19,667 10,589 30,256 8,156 2113 10,269 27,823 12,702 40,255 Chanzo: Basic Education Statistics in Tanzania (BEST, 2010) uk. 115

Takwimu za kitaifa zilizokusanywa na OWM-TAMISEMI mwezi Machi 2011 zinaonesha bado kuna upungufu mkubwa wa walimu katika masomo ya Mathematics na sayansi kama inavyoonekana katika Jedwali Na. 2.6.

52

Rasimu 2
Jedwali Na 2.6: Takwimu za Mahitaji, Uwepo na Upungufu wa Walimu katika Shule Sekondari kwa Masomo ya Sayansi na Mathematics, 2011. Masomo Biology Chemistry Mathematics Physics Mahitaji 8,846 8,012 10,508 8,009 Waliopo 2,558 2,429 2,544 1,915 Upungufu 6,288 5,583 7,964 6,094 Asilimia ya Upungufu 71.1 69.7 75.8 76.1 Chanzo: Takwimu za Mahitaji ya walimu, OWM-TAMISEMI Machi, 2011 Mafunzo ya Ualimu hadi sasa yanaendeshwa katika vyuo 68 vilivyosajiliwa. Kati ya hivyo, 34 ni vya serikali na 34 visivyo vya serikali. Vyuo 19 vya serikali viko katika kwamba vyuo vya ualimu vilivyopo vina uwezo mdogo wa kudahili walimu tarajali wa Takwimu zinaonesha kuwa ongezeko la wahitimu wa shahada katika vyuo vya ualimu haliendani sambamba na ongezeko la uandikishwaji wa wanafunzi katika shule za sekondari. Mwaka 2005 2009 Kielelezo Na.2.1 Idadi ya walimu wa Stashahada waliohitimu na kufaulu ngazi ya Stashahada. Changamoto iliyopo kulingana na maoni ya Ngodu (2009) ni kutosheleza mahitaji ya nchi na wenye sifa stahili ya kuweza kuinua ubora wa elimu.

Chanzo: Basic Education Statistics in Tanzania (BEST, 2010) uk. 89 2.11.4: Upanuzi wa Mafunzo ya Walimu Tarajali Katika Ngazi ya Shahada Ili kukabiliana na tatizo la upungufu wa walimu, mwaka 2007 Serikali ilichukua hatua za kuanzishwa Chuo Kikuu cha Dodoma ambacho kinadahili idadi kubwa ya walimu

w .Ja m
53

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
tarajali. Sanjari na uanzishwaji wa Chuo Kikuu cha Dodoma, iliamuliwa kuanzishwa kozi ya ualimu katika vyuo vikuu vingine vya umma kama vile Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine na Chuo Kikuu cha Mzumbe. Pia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilipanua matawi ya vyuo vikuu viwili vya Elimu vya Mkwawa (MUCE) na Dar es Salaam (DUCE). Taarifa ya utekelezaji WEMU inaeleza kuwa idadi ya walimu tarajali watakaohitimu katika vyuo vikuu inakadiriwa kuwa 11,000 kwa mwaka (Hotuba ya Bajeti, WEMU 2010/11).

w .Ja m
54

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
SURA YA TATU: MWONGOZO WA UTAFITI
3.1. Utangulizi

Mwongozo wa utafiti unaonesha mchakato wa utafiti ulivyofanyika wakati wa kukusanya data na taarifa za utafiti kutoka kwa wajibuji mbalimbali katika eneo la utafiti. Sura hii inabainisha kuhusu eneo na walengwa wa utafiti, uchaguzi wa sampuli, aina na matumizi ya zana za utafiti. Pia, imeainisha mchakato wa utafiti na uchambuzi wa data na taarifa. 3.2. Mbinu ya Utafiti

Utafiti huu umetumia aina mbili za mbinu katika ukusanyaji na uchambuzi wa data dhana ya ufaulu wa Kidato cha 4 ilitafsiriwa kwa kuhusisha viashiria mbalimbali kama vile mitaala, upimaji, vifaa vya kufundishia na kujifunzia, usimamizi na uendeshaji, kama inavyoonekana katika Kielelezo Na. 3.1. Viashiria hivyo vilitumika katika ufuatiliaji na tathmini, uwepo wa walimu na mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji kuandaa zana za utafiti

Kielelezo Na.3.1 Viashiria vya Kiwango cha Ufaulu

w .Ja m

iiF
55

or u

m s.c

ambazo ni maelezo stahilifu ya wajibuji (qualitative) na takwimu (quantitative). Aidha,

om

Rasimu 2
3.3. Eneo la Utafiti Utafiti huu ulifanyika katika kanda zote 11 za elimu na kuhusisha mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Singida, Ruvuma, Manyara, Shinyanga, Lindi, Mara, Kagera, Rukwa na Tanga. Maeneo mengine yaliyohusika ni ofisi za Ukaguzi wa Shule Kanda pamoja na ofisi ya elimu ya mkoa husika. Aidha, Taasisi ya Elimu (TET), Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Chuo Kikuu cha Dar na Chuo Kikuu Huria (OUT), TEN/MET na TAMONGSCO zilihusika katika utafiti. Pia, utafiti ulihusisha vyuo vya ualimu, ofisi za elimu za Halmashauri na ukaguzi wa shule wilaya, ofisi za Tume ya Utumishi (TSD) na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilaya. Vilevile, ofisi za waheshimiwa Wabunge, Madiwani, Mashirika yasiyo ya kiserikali katika Halmashauri na madhehebu ya dini zilihusishwa. 3.4. Uchaguzi wa Sampuli

Mikoa ulizingatia uwepo wa shule za sekondari zilizofanya vizuri na vibaya katika zisizo za serikali. Jumla ya Halmashauri 22 zilihusishwa, mbili kutoka kila mkoa, moja iliyofanya vizuri na nyingine iliyofanya vibaya katika Mtihani wa Taifa ya Kidato cha 4 mwaka 2010. Shule sita kutoka kila Halmashauri za utafiti zilichaguliwa na kuhusika katika utafiti huu ambazo ni 4 za serikali na 2 zisizo za serikali. Uchaguzi wa shule hizo kwa kila Halmashauri ulifanywa kwa kuzingatia kiwango cha ufaulu katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010. Shule za serikali zilizochaguliwa zilijumuisha shule mbili zilizofanya vizuri na mbili zilizofanya vibaya katika mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010. Vile vile, shule mbili zisizo za serikali zilizochaguliwa moja iliyofanya vizuri na moja iliyofanya vibaya. Uchaguzi wa shule ulifanywa kwa lengo la kupata uwakilishi wa shule zenye viwango tofauti vya ufaulu. Jumla ya shule za sekondari zilizohusishwa katika utafiti ni 132, zikiwemo 12 kutoka katika kila Halmashauri. Utafiti huu ulijumuisha wajibuji 3,037 kati ya 3,894 sawa na 80.0% kutoka kwenye makundi 29. Walioshirikishwa katika utafiti huu walikuwa Wakaguzi wa shule wa 56

w .Ja m

iiF

Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010 zikijumuisha shule 88 za serikali na 44

or u

Jumla ya mikoa 11 ilihusishwa katika utafiti ili kupata uwakilishi kitaifa. Uchaguzi wa

m s.c

om

Rasimu 2
Kanda 41, Wakaguzi wa shule Wilaya 22, Maafisaelimu Mikoa 11, Maafisaelimu wa Halmashauri wa Msingi 21 na Sekondari 21, Maafisa wa TAMONGSCO 8, TEN/MET 6, Chama cha Walimu Tanzania (CWT) 23, na Tume ya Utumishi wa Umma wilaya (TSD) 22. Aidha, wengine ni pamoja na Wajumbe wa Bodi za Shule 82, Wakuu wa Shule za Sekondari 132, Walimu wa kawaida 613, Walimu waliosahihisha mtihani wa Taifa mwaka 2010 ni 162, Wakufunzi wa vyuo vya ualimu 28, wahadhiri wa vyuo vikuu 4, wanachuo wa vyuo vya ualimu 44 na vyuo vikuu 4, Waheshimiwa Wabunge 17, Waheshimiwa Madiwani 43, Wazazi/Walezi 95, Wanafunzi wa kidato cha 3 na 4 ni 1140, wahitimu wa Kidato cha 4 mwaka 2010 ni 401 na viongozi wa madhehebu ya dini 40. Utafiti huu pia ulilenga kupata taarifa kutoka kwa maafisa mitihani wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) 12 na wakuza mitaala wa Taasisi ya Elimu Tanzania 14 (Rejea Kiambatisho Na.3.5). Uchaguzi wa sampuli ulikuwa wa makusudi ambapo wajibuji katika kila kundi ulizingatia uzoefu, nafasi zao kazini na jinsia katika taasisi husika. 3.5. Zana za Utafiti

Pamoja. Pia, taarifa za data zilipatikana kwa kupitia Maandiko mbalimbali yakiwemo ya kisera, Programu, Mipango, Nyaraka za kielimu na Ripoti za utafiti. Dodoso za aina nne zilitumika kukusanya taarifa za utafiti toka kwa Wakaguzi wa mitihani NECTA. Vilevile, Hojaji zilitumika kukusanya taarifa kutoka katika makundi nane ya wahadhiri wa vyuo vikuu, wakufunzi wa vyuo vya ualimu, wanachuo wa vyuo vikuu na vyuo vya ualimu, Maafisa Elimu mkoa, Maafisa Elimu wa Halmashauri Msingi na Sekondari, Wakaguzi wa shule wa wilaya, Tume ya Utumishi wa Umma, Chama cha Walimu Tanzania, Madhehebu ya Dini, Mashirika yasiyo ya Kiserikali, Waheshimiwa Wabunge, Madiwani, Wazazi/Walezi, Wajumbe wa Bodi za Shule na wahitimu wa Kidato cha 4 mwaka 2010. Aidha, Mahojiano ya Pamoja yalitumika kupata taarifa kutoka katika makundi sita ya wakuza mitaala, maafisa mitihani, TAMONGSCO, TEN/MET, walimu wa masomo, walimu walioshiriki kusahihisha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010 na wanafunzi wa Kidato cha 3 na 4 mwaka

shule wa Kanda, Wakuu wa shule, Wakurugenzi wa TET na Wakuu wa Idara za

w .Ja m

iiF
57

Taarifa na data za utafiti zilikusanywa kwa kutumia Dodoso, Hojaji na Majadiliano ya

or u

m s.c

om

Rasimu 2
2011. Kiambatisho Na.3.5 kimeainisha aina ya zana ya utafiti, idadi ya wajibuji waliohusika katika kila eneo la utafiti. 3.6. Utaratibu Uliotumika Kufanya Utafiti

Mchakato wa kufanya utafiti ulianza kwa kuteua Kikundi Kazi ambacho kiliandaa hadidu za rejea na zana za utafiti zilizojaribiwa katika Manispaa ya Temeke. Kikundi Kazi kiliwasilisha na kupokea maboresho ya hadidu za rajea na zana za utafiti kwenye Menejimenti ya WEMU na OWM-TAMISEMI. Jumla ya Watafiti 44 waliteuliwa kutoka WEMU na OWM-TAMISEMI kushiriki katika semina elekezi ya maandalizi ya utafiti kabla ya kwenda kukusanya data katika maeneo husika. Watafiti wanne walipangwa kukusanya data na taarifa katika kila mkoa wakisaidiwa na mtafiti msaidizi mmoja kutoka kila Halmashauri iliyokuwa kwenye sampuli. Mchakato wa kupata taarifa kutoka kwa wajibuji kutoka katika maeneo mbalimbali ya utafiti unaelezwa kwa kuzingatia vipengele vifuatavyo:3.6.1.Kukusanya Taarifa Kutoka Ngazi ya Taifa Watafiti walikusanya data kutoka katika taasisi na asasi mbalimbali za kiserikali na kushuka kwa ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010. Watafiti walikusanya taarifa kwa kuwahoji wahadhiri wanne na wanachuo wanne wa vyuo vikuu. Pia mahojiano ya pamoja yalifanyika kwa wakuza mitaala kumi, maafisa mitihani wanane, maafisa nane wa TAMONGSCO na maafisa sita wa TEN/MET. Aidha, Taarifa za kitaifa pia zilikusanywa kwa kupitia maandiko mbalimbali.

3.6.2.Kukusanya Taarifa Kutoka katika Kanda, Mkoa na Halmashauri Zana zilizotumika kupata data na taarifa kutoka katika Kanda za elimu, mikoani na Halmashauri zilikuwa ni dodoso na hojaji. Dodoso ziligawiwa kwa Wakaguzi wa shule wa Kanda wanne kwa kila Kanda ya elimu na Wakuu wa shule za sekondari 12 zilizopo katika mkoa, ambapo ni shule sita kwa kila Halmashauri. Katika ngazi ya mkoa, watafiti walitumia hojaji kupata taarifa kutoka kwa Afisaelimu Mkoa, wakufunzi wawili na walimu tarajali wanne wa vyuo vya ualimu. 58

Wakurugenzi wanne wa TET na Wakuu wa Idara wanne wa NECTA walijaza dodoso.

w .Ja m

zisizo za kiserikali zilizochaguliwa ili kupata tarifa zenye taswira ya kitaifa kuhusu

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Aidha, katika ngazi ya Wilaya na Halmashauri, waliohojiwa ni mkurugenzi wa Halmashauri, Afisa Elimu Halmashauri (Sekondari), Afisa Elimu Halmashauri (Msingi), Mkaguzi Mkuu wa Shule Wilaya, Afisa wa Tume ya Utumishi wa Umma (TSD), Afisa wa CWT Wilaya, Viongozi wawili wa madhehebu ya dini, afisa wa shirika lisilo la serikali, Mheshimiwa Mbunge na Diwani na wajumbe wawili wa Bodi za shule.

3.6.3.Kukusanya Taarifa Kutoka Shuleni na katika Jamii Katika ngazi ya shule na jamii, watafiti walitumia hojaji kwa wahitimu wa watano wa dodoso na kutoa takwimu muhimu za shule. Aidha, mahojiano ya pamoja yalihusisha walihusishwa kwenye mahojiano ya pamoja kwa kuzingatia ushiriki wa wanafunzi wenye mahitaji maalumu na jinsi. Walimu walioshiriki kusahihisha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010 walihusishwa katika mahojiano ya pamoja. 3.7. Uchambuzi wa Data

kupata taarifa ya kila mkoa husika. Hatua zilizofuatwa katika mchakato wa uchambuzi na uandishi wa ripoti ya utafiti zilihusisha kuunganisha majibu ya kila swali kwa kila zana kitaifa. Pia, majibu ya maswali ya kila zana kwa kila lengo mahsusi yaliainishwa, yaliwekwa pamoja na kupangwa katika mtiririko wa uandishi kwa kila lengo mahsusi. kuandikwa. Ripoti imeandikwa kwa kujadili masuala yaliyojitokeza taarifa na takwimu zimeoneshwa katika grafu, mihimili na majedwali. 3.8. Maadili ya Kufanya Utafiti

Aidha, taarifa zilichambuliwa, zikapangwa na kisha kutafsiriwa na ripoti ya utafiti kwa kila suala muhimu na kuwasilishwa kwa kutumia idadi halisi na asilimia. Katika ripoti baadhi ya

Utafiti huu ulizingatia taratibu na maadili katika hatua zote za ukusanyaji wa data, uchambuzi na uandishi wa ripoti. Maadili yote ya utafiti katika ofisi na taasisi zikiwemo shule za sekondari zilizofanyiwa utafiti yalizingatiwa, ikiwa ni pamoja na uhuru wa mtu kushiriki katika utafiti, kutunza siri na mambo ya faragha yanayowahusu washiriki

w .Ja m

Data na taarifa mbalimbali kutoka shuleni, halmashauri na mkoa ziliunganishwa na

iiF
59

or u

m s.c

walimu kutoka kila shule husika. Wanafunzi 10 wa kidato cha 3 na 4 mwaka 2011

om

Kidato cha 4 kwa kila shule husika. Mkuu wa shule katika kila shule husika alijaza

Rasimu 2
(wajibuji). Utayari wa wajibuji katika kufanya utafiti ulipatikana kupitia viongozi na wao wenyewe.

w .Ja m
60

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
SURA YA NNE: MATOKEO YA UTAFITI NA UCHAMBUZI WA DATA
4.1. Utangulizi

Sura hii inahusu uwasilishaji, uchambuzi na tafsiri ya data na taarifa zilizokusanywa kutoka kwa wajibuji katika maeneo mbalimbali yaliyohusishwa katika utafiti. Uwasilishaji wa data na taarifa umezingatia masuala yanayoendana na malengo mahsusi na maswali ya utafiti. Matokeo ya utafiti yamejadiliwa katika maeneo makuu yafuatayo: Usimamizi na uendeshaji wa elimu; Utayarishaji na utekelezaji wa mitaala; Mfumo na taratibu za Mitihani ya Taifa; Mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya utoaji wa kufundishia na kujifunzia. elimu; Mfumo wa utayarishaji na uwepo wa walimu; na Mazingira na vifaa vya

Utafiti ulilenga kuchambua kiwango cha ufaulu cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010. Mapitio ya maandiko na makala yameonesha kwamba kiwango cha mwaka 2007 (90.3%), 2008 (83.6%), 2009 (72.5%) na 2010 (50.4%) (BEST, 2010 & Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2006-2010. Kielelezo Na. 4.1: Kiwango cha Ufaulu cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 Mwaka 2006-2010 ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 kimeendelea kushuka kila mwaka tangu NECTA, 2011). Kielelezo Na. 4.1 imeonesha mwenendo wa kushuka kwa ufaulu wa

Chanzo: The National Examinations Council of Tanzania, Examinations Results Statistics 2007-2010

w .Ja m

iiF
61

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010 yameonesha kuwa asilimia 49.6 ya watahiniwa wote hawakufaulu mtihani huo. Utafiti huu umeweza kubaini sababu mbalimbali zinazochangia kushuka kwa kiwango cha ufaulu ambapo wajibuji walieleza kwa kutumia zana za Mahojiano ya pamoja, Hojaji na Dodoso. Kwa kupitia zana za Hojaji na Dodoso, jumla ya wajibuji 1,092 walibainisha sababu za kushuka kwa kiwango cha ufaulu cha Mtihani wa Taifa wa kidato cha 4 mwaka 2010 kama ilivyooneshwa kwenye Kielelezo 4.2. Aidha, kwa kutumia mahojiano ya pamoja wajibuji 1,945 walibainisha sababu mbalimbali za kushuka kwa kiwango cha ufaulu ambapo usimamizi na uendeshaji wa elimu ulitajwa kwa kiwango kikubwa kuwa ni chanzo cha tatizo. Utafiti huu pia ulilenga kupata maoni mbalimbali juu ya kuinua kiwango cha ufaulu cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4. Maoni yaliyopatikana kwa wajibuji yameainishwa katika kila eneo kuu lililojadiliwa kwa kuzingatia malengo mahususi na maswali ya utafiti.

Kidato cha 4 Mwaka 2010

w .Ja m w

iiF

Kielelezo Na. 4.2: Sababu za kushuka kwa Ufaulu cha Mtihani wa Taifa wa

or u

m s.c
Ufunguo:

A. Matatizo katika utekelezaji wa mitaala B. Upungufu C. Matatizo D. Mazingira wa ya walimu usimamizi na na ya wafanyakazi wasio walimu uendeshaji wa elimu yasiyoridhisha ufundishaji na ujifunzaji E. Mapungufu katika uendeshaji wa mitihani ya kitaifa

Chanzo: Data za Utafiti, 2011

62

om

Rasimu 2
4.2. Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Usimamizi na uendeshaji wa elimu ni lazima uwe na mfumo mzuri wa utendaji na mawasiliano katika ngazi zote ili kufikia malengo ya utoaji wa elimu. Kwa kawaida usimamizi na uendeshaji unazingatia miundo na mifumo iliyo rasmi katika ngazi zote za elimu. Aidha, jukumu la usimamizi na uendeshaji wa elimu nchini inahusisha mifumo isiyo rasmi ikijumuisha wazazi/walezi, jamii na wadau mbalimbali wa elimu.

4.2.1.Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu katika Ngazi Mbalimbali Utafiti huu umebaini kuwa usimamizi na uendeshaji wa elimu nchini unakabiliwa na ya kutekeleza jukumu hilo kutowajibika na kukosa umakini katika utendaji. Hali hii Ngazi hizo ni shule, kata, Halmashauri, mikoa na kitaifa. Kutokana na matokeo ya utafiti, usimamizi na uendeshaji wa elimu umejadiliwa kwa kuhusishwa na masuala ya wa elimu. kisiasa katika elimu, mmomonyoko wa maadili, mwamko duni wa jamii na ugharamiaji

Uongozi wa shule unajumuisha wakuu wa shule, walimu, wajumbe wa bodi za shule na serikali za vijiji/mtaa. Kila kundi lina wajibu wake katika kuhakikisha kuwa kanuni na taratibu za uendeshaji shule zinazingatiwa ipasavyo. Aidha, ngazi hii ya usimamizi inahusika na uhamasishaji wa wananchi katika kuchangia maendeleo ya shule na

Matokeo ya utafiti yameonesha kuwa yapo matatizo ya kiuwajibikaji kwa bodi za Shule, wakuu wa shule na walimu wenyewe katika kutekeleza majukumu yao ya msingi. Hali hii husababisha wanafunzi kutofundishwa kikamilifu kama ilivyopangwa katika mihtasari na mihula ya shule. Aidha, utafiti umebaini kwamba kutokuwajibika kwa bodi za shule kumezifanya baadhi ya shule kuwa na migogoro ya umiliki wa maeneo ya shule kwa muda mrefu na hivyo kuingiza shule katika uhasama na jamii inayoizunguka.

elimu kwa ujumla (Kiongozi cha Mkuu wa shule: WEMU, 1997).

w .Ja m

a) Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu katika Shule na Kata

iiF
63

or u

m s.c

inajionesha katika ngazi mbalimbali za usimamizi na uendeshaji wa elimu nchini.

om

matatizo na changamoto mbalimbali zinazosababishwa na watendaji wenye dhamana

Rasimu 2
Aidha, utafiti umeonesha kuwa bodi za shule hazisimamii uendeshaji wa shule ipasavyo ikiwa ni pamoja na; nidhamu ya walimu na wanafunzi, mapato na matumizi ya fedha ya shule na kuhamasisha upatikanaji wa raslimali katika shule. Madhara ya bodi ya shule kutowajibika kunasababisha matumizi mabaya ya fedha inayotengwa kwa ajili ya maendeleo ya elimu; wakuu wa shule na walimu kutotulia vituoni na kutofuatiliwa kwa walimu katika uteketekelezaji wa majukumu yao ya ufundishaji na ujifunzaji wa wanafunzi. Hoja ya walimu kutotekeleza majukumu yao pia ilidhihirishwa na majibu ya mmoja wa wanafunzi katika majadiliano ya pamoja kuwa

.....walimu hawafundishi, hivyo hatuna budi kwenda bondeni kula matango mwitu
Usemi huu unamaanisha wanafunzi kwenda kupata masomo ya ziada ya kulipia (tuition) ambayo hawana uhakika na maudhui yake.

Utafiti umebaini kuwa Wakuu wa Shule wameshindwa kufuatilia ipasavyo mahudhurio kutofundishwa ipasavyo na hivyo kushindwa kufaulu mitihani ya taifa. Aidha, wakati kusema:

Baadhi ya walimu hututumikisha kazi za nje wakati wa vipindi darasani na

wengine hugawa kazi za kufanya darasani bila kutoa mwongozo wa namna ya kuifanya kazi hiyo.

wanafunzi hutumia muda wa masomo kufanya kazi ambazo hazihusiani na ujifunzaji. Pia mikakati ya wakuu wa shule ya kutumia walimu wa muda (part-time teachers) wenye elimu ya kidato cha nne au sita bila taaluma ya ualimu kunaibua maswali yanayohusishwa na kushuka kwa ufaulu. Vilevile, matokeo ya utafiti yamebainisha kwamba baadhi ya walimu hufanya biashara wakati wa saa za kazi badala ya kuandaa na kufundisha vipindi ipasavyo. Hali kadhalika, majukumu ya Waratibu Elimu Kata ya kusimamia na kufuatilia ufundishaji na ujifunzaji hayatekelezwi ipasavyo. Matokeo ya utafiti kuhusu usimamizi na uendeshaji wa elimu shuleni yanaonesha kuwepo kwa usimamizi usioridhisha tofauti na ilivyoainishwa katika Sheria ya Elimu 64

Huu ni uthibitisho wa usimamizi usioridhisha wa utekelezaji wa mitaala ambapo

w .Ja m

iiF

wa mahojiano ya pamoja na wanafunzi, mmoja wa wanafunzi

or u

na utendaji kazi wa walimu walio chini yao, hali inayosababisha wanafunzi alilalamika kwa

m s.c

om

Rasimu 2
Na. 25 ya Mwaka 1978 na rekebisho lake Na. 10 la mwaka 1995 na Kiongozi cha Mkuu wa Shule (1997). Hali hii inaathiri uendeshaji wa shule, ufundishaji na ujifunzaji.
b) Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Katika Mkoa na Halmashauri

Usimamizi na uendeshaji wa elimu katika ngazi ya Mkoa na Halmashauri umeelezwa kuwa umechangia katika kushuka kwa kiwango cha ufaulu. Utafiti umebaini kuwa ufaulu duni unachangiwa na mgawanyo wa walimu usiozingatia mahitaji katika shule; shule kutokaguliwa mara kwa mara na kutofanyiwa kazi kwa mapendekezo na ushauri unaotolewa katika taarifa za ukaguzi wa shule. Hali kadhalika, wingi wa wanafunzi darasani usio na uwiano na idadi ya walimu wanaohitajika (1:40) na upungufu wa miundombinu na vifaa vya kufundishia na kujifunzia husababisha ugumu wa ufundishaji na ujifunzaji hivyo baadhi ya shule hulazimika kuendeshwa kwa mfumo wa awamu mbili (double session). Aidha, kuwepo haiwezekani kuwa na vipindi 8 kwa siku kama ilivyoelekezwa katika Kiongozi cha hivyo kupoteza dakika 40 za kujifunza kwa kila siku za masomo sawa na vipindi 194 kwa mwaka. kwa mfumo wa awamu mbili hupunguza muda wa ufundishaji na ujifunzaji kwa vile Mkuu wa Shule. Katika mfumo huo, wanafunzi hufundishwa vipindi 7 kwa siku na

Wanafunzi walieleza kwamba kutochanganywa kwa wanafunzi kutoka kata tofauti mwao. Hali hii inasababisha wanafunzi kutobaini mabadiliko ya kimazingira kati ya shule za msingi na sekondari hivyo kuathiri ujifunzaji wao. c) Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu katika Wizara Baada ya zoezi la ugatuaji 2008, WEMU imebaki na jukumu la kuandaa sera, mitaala, uthibiti wa viwango vya ubora wa elimu, ufuatiliaji na tathmini ya mipango ya elimu ambapo jukumu la usimamizi na uendeshaji wa shule za sekondari umehamishiwa OWM-TAMISEMI (WEMU, Hotuba ya Bajeti, 2010). Wadau wa elimu waliohusishwa katika utafiti walibainisha sababu za kushuka kwa ufaulu zinazotokana na usimamizi na uendeshaji wa elimu usioroidhisha; kusajiliwa 65

katika shule moja kumesababisha kutokuwa na ushindani wa kitaaluma miongoni

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
kwa shule zisizotimiza vigezo vinavyotakiwa; kuajiriwa kwa walimu wasio na sifa; kutoshughulikiwa kwa matatizo ya walimu. Hali inaathiri utoaji wa elimu bora nchini. Utafiti umeonesha pia kuna tatizo katika taratibu za uteuzi wa viongozi wa elimu katika ngazi mbalimbali wakiwemo Maafisaelimu na Wakuu wa Shule ambapo baadhi yao huteuliwa bila kuwa na sifa za kiuongozi na hivyo kuwa chanzo cha migogoro shuleni kwa kushindwa kudhibiti nidhamu ya wanafunzi na walimu. Usimamizi na uendeshaji wa elimu katika ngazi ya Wizara umeonekana kuwa na mapungufu kwa kuajiri walimu wa leseni na kutowaendeleza kitaalamu. Hali hii ni kinyume na Sheria ya Elimu Na. 25 ya mwaka 1978 seksheni 49 inayosisitiza leseni kutolewa kwa muda maalum. Aidha, Sera ya Elimu na Mafunzo (1995) inaeleza kuwa walimu wa sekondari wawe wenye stashahada na shahada. Pia, imebainishwa kuwa usajili wa shule na uteuzi wa viongozi wa elimu wakiwemo wakuu wa shule hauzingatii vigezo vinavyotakiwa na hivyo kuathiri ubora wa elimu nchini.

Elimu ya Sekondari

Serikali imekuwa ikihamasisha watu binafsi, mashirika ya kidini, taasisi zisizo za kiserikali na wadau wengine kutoa michango mbalimbali katika sekta ya elimu. Mojawapo ya michango hiyo ni kuanzisha na kumiliki taasisi za utoaji wa elimu katika taasisi za kidini na watu binafsi wameanzisha na kumiliki shule za msingi, sekondari, vyuo na vyuo vikuu hapa nchini. Aidha, matokeo ya utafiti yamebainisha kuwa kuna ushirikiano mkubwa kati ya shule na jamii katika kuinua kiwango cha taaluma shuleni. Wazazi/walezi hufuatilia kwa karibu taarifa ya maendeleo ya taaluma ya watoto wao na kuhudhuria vikao na vipindi maalum ili kuzungumza na wanafunzi juu ya mahudhurio na nidhamu. Pia wazazi/walezi wanachangia gharama za uendeshaji wa elimu kwa kulipa ada na michango muhimu ikiwa ni pamoja na kuchangia gharama za chakula. Vilevile, shule hutuma taarifa za maendeleo ya watoto kwa wazazi/walezi na vikao vya bodi za shule ngazi zote. Utafiti umebaini kuwa mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali zikiwemo

w .Ja m

iiF
66

d) Michango ya Wadau wa Elimu katika Usimamizi na Uendeshaji wa

or u

m s.c

om

Rasimu 2
hushirikisha wazazi katika kusimamia taaluma na maadili shuleni. Michango ya mashirika/taasisi zisizo za kiserikali na jamii imeoneshwa katika Kielelezo 4.3 Kielelezo Na. 4.3 Michango ya Wadau wa Elimu katika Asilimia

asilimia 18.3% na ushauri kuhusu bajeti ya elimu asilimia 16.1.

w .Ja m

wanachangia zaidi katika eneo la taaluma shuleni kwa asilimia 21.6, maadili shuleni Katika eneo la taaluma, utafiti umebaini kuwa mchango wa wadau hao umejikita katika kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia kama vile kununua vitabu, kuhamasisha michango ya tafiti na ya kuendeleza taaluma shuleni. Pia, katika suala la maadili, taasisi za kidini zinatoa mafundisho ya dini kwa walimu, wanafunzi na jamii kwa lengo la kurekebisha mienendo isiyokubali katika jamii. Vilevile, utafiti umeonesha taasisi/mashirika yasiyo ya kiserikali na jamii wanachangia kwa kiasi kidogo katika maeneo ya uboreshaji wa miundombinu na huduma muhimu shuleni kwa asilimia 6.5%, usimamizi wa utekelezaji wa miongozo mbalimbali ya serikali asilimia 4.5, usimamizi wa haki na maslahi ya walimu asilimia 3.1 na kuhakikisha ikama ya walimu shuleni asilimia 2.8. Katika kuboresha miundombinu ilifafanuliwa kuwa wadau hao hujenga na kuboresha majengo kama vile hosteli, mafunzo kuhusu mitaala, elimu ya UKIMWI, mafunzo elekezi kuhusu sheria za kazi,

iiF
67

Kielelezo Na 4.3 kinaonesha kuwa taasisi/mashirika yasiyo ya kiserikali na jamii

or u

Chanzo: Data za Utafiti, 2011

m s.c

om

Rasimu 2
mabweni, maktaba, madarasa, ofisi za walimu, nyumba za walimu, umeme na samani mbalimbali. Hivyo, utafiti umebaini kuwa wadau wa elimu wana mchango mkubwa katika usimamizi na uendeshaji wa elimu ya sekondari. Wadau wa elimu wamekuwa wakifanya kazi kwa karibu sana na serikali kwa kusimamia na kulinda maadili, kusimamia haki na maslahi ya walimu, taaluma na utekelezaji wa miongozo shuleni, kuboresha miundombinu na huduma, kuhamasisha maendeleo ya kiuchumi shuleni, kuimarisha mahusiano baina ya shule na jamii, kuhakiki ikama ya walimu na kutoa ushauri juu ya bajeti ya elimu. Pamoja na ushirikiano huo, utafiti umebaini kuwa kuna changamoto zinazokwamisha jitihada za wadau wa elimu ya sekondari nchini katika kufikia malengo ya utoaji wa elimu bora. Changamoto hizo ni pamoja na Serikali kutoza kodi ya ongezeko la thamani (Value Added Tax-VAT) kwa vyombo vya usafiri na vifaa vingine vya uendeshaji wa shule na vyuo. Aidha, ilielezwa Serikali haiyafanyii kazi ipasavyo mapendekezo ya tafiti yanayotolewa na mashirika yasiyo ya kiserikali.

4.2.2.Mmomonyoko wa Maadili Katika Jamii Mmomonyoko wa maadili katika jamii huathiri mwenendo wa nidhamu ya walimu na wanafunzi shuleni. Utafiti umebaini kuwa mmomonyoko wa maadili kama vile matumizi ya lugha mbaya kwa walimu, wanafunzi, wazazi/walezi na jamii; matumizi mafundisho ya dini yanaathiri maendeleo ya taaluma shuleni. Aidha, matumizi ya dawa za kulevya, utoro, kujiingiza katika masuala ya mapenzi ni kati ya masuala yaliyobainishwa kuchangia kushuka kwa maadili. Walimu walilalamikiwa kwa kutofuata maadili ya kazi zao, mfano mmoja wa wanafunzi katika mahojiano ya pamoja alisema: ..walimu wanadiriki hata kuvuta sigara mbele ya wanafunzi Uamuzi wa kuondolewa kwa adhabu ya viboko shuleni kwa makosa ya kawaida umelalamikiwa pia kuwa umechangia kushuka kwa maadili kwa vile walimu hawana la kufanya juu ya watoto wanaofanya makosa. Hali hii inamjengea mwanafunzi kiburi kwa walimu.

mabaya ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) na kutozingatia

w .Ja m

iiF
68

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Matokeo zaidi yameonesha kuwa miongoni mwa watendaji katika sekta ya elimu wameweka mbele maslahi yao binafsi kwa kukosa uadilifu na hivyo kuathiri utekelezaji wa malengo yaliyopangwa. Aidha, baadhi ya wazazi wamekuwa wakijihusisha na ununuzi wa mitihani kwa ajili ya kuwapa watoto wao na hivyo kuwajengea hali ya kutojisomea kwa kutegemea mitihani bandia (fake). Kulingana na matokeo ya utafiti ni dhahiri kwamba kuna mmomonyoko wa maadili kuanzia ngazi za familia, shule na jamii kwa ujumla kinyume na sheria na kanuni za shule za sekondari kama ilivyoainishwa kwenye Kiongozi cha Mkuu wa Shule (1997) ukurasa 42-43 na mafundisho ya dini.

kushuka kwa kiwango cha ufaulu. Aidha, jamii kutoshiriki kikamilifu katika harakati za na imani potofu ya kuona kuwa mtoto wa kike hatakiwi kusoma bali kuozwa ni mifano huwatumikisha watoto kazi za nyumbani na kuwahusisha katika kazi za kujiongezea kipato cha familia badala ya kwenda shule. Matokeo ya utafiti yanaonesha kuwa jamii haijaelewa ipasavyo umuhimu wa elimu kwa watoto hasa wa kike. Pamoja na juhudi za serikali kuhamasisha jamii na kutoa fursa na usawa wa elimu kwa watoto kama ilivyoainishwa katika Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 1995, bado jamii inadhani utoaji wa elimu bado ni changamoto. 4.2.4.Siasa Kuingilia Masuala ya Kitaalam ya Kielimu Utafiti ulibainisha kuwa maamuzi ya baadhi ya masuala ya kiataalam ya kielimu hufanyika kisiasa na kusababisha kukiukwa kwa Mipango ya Elimu, kanuni na taratibu za uendeshaji wa elimu kama vile matumizi ya fedha za shule. Wahojiwa walibainisha kuwa uanzishaji wa shule nyingi za wananchi kwa mwaka 2006 usioendana na uwepo wa walimu wenye sifa, vifaa vya kufundishia na kujifunzia, huduma za jamii na baadhi ya shule hizo kujengwa maeneo yaliyo mbali na makazi ya watu ni mojawapo ya maamuzi yaliyotawaliwa zaidi na maamuzi ya kisiasa. 69

kuwa jukumu la kuelimisha umma ni la Serikali pekee. Hivyo, juhudi za pamoja katika

w .Ja m

iiF

ya mwamko duni wa jamii katika elimu. Vilevile utafiti umebaini kuwa, wazazi wengi

or u

maendeleo shuleni; kutokutoa karo na michango halali ya kuboresha taaluma; pamoja

m s.c

4.2.3.Mwamko Duni wa Jamii Katika Elimu Katika utafiti huu, mwamko duni wa jamii ni mojawapo ya sababu iliyochangia

om

Rasimu 2
Aidha, kumekuwepo na shinikizo la kisiasa kuhusu kusajiliwa kwa baadhi ya shule ambazo hazikidhi viwango vilivyowekwa na serikali. Sababu nyingine zilizotolewa na wajibuji waliohojiwa ni pamoja na wanasiasa kuwatumia wanafunzi na walimu kwa mambo ya kisiasa kama vile wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2010. Aidha, imebainishwa kuwa baadhi ya Waheshimiwa Madiwani huwakataa na kuwaondoa baadhi ya wakuu wa shule na walimu katika shule zilizo katika maeneo yao bila sababu za msingi. Kutofanyika kwa utafiti wa kina wakati wa maboresho ya mitaala na kubadilisha muundo wa masomo ni miongoni mwa mambo yaliyotajwa kufanywa kisiasa. Matokeo haya yanaonesha kuwa yapo mapungufu ya kiuendeshaji katika elimu yanayotokana na mgongano wa maamuzi kati ya wataalamu na wanasiasa. Migongano hiyo imesababisha ukiukaji wa sheria, kanuni na taratibu za uendeshaji wa Elimu Na. 25 ya mwaka 1978 na Kiongozi cha Mkuu wa Shule (1997). elimu nchini kama zilivyoainishwa katika Sera ya Elimu na Mafunzo (1995), Sheria ya

yasiyoendana na thamani ya kazi yanasababisha kutokamilika kwa mipango ya kuinua taaluma shuleni. Ilibainishwa kwamba ufinyu wa ruzuku za uendeshaji (capitation grant) na maendeleo (development grant) ya shule umesababisha matatizo katika Na. 4.4 inapungua tofauti na ongezeko la wanafunzi toka 524,325 (2005) mpaka 1,638,699 (2010) ambalo linasababisha ongezeko la mahitaji ya uendeshaji wa elimu ya sekondari. Hali hiyo imeathiri upatikanaji wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia na uboreshaji wa miundombinu kama vile maabara, maji, umeme ambavyo vinachangia katika utoaji wa elimu bora. Ufinyu wa bajeti na matumizi yasiyozingatia thamani ya fedha inathibitisha usimamizi na uendeshaji wa elimu ya sekondari usioridhisha.

uendeshaji wa shule. Bajeti ya Elimu ya sekondari kama inavyoonesha katika Kielelezo

w .Ja m

4.2.5.Ufinyu wa Bajeti ya Elimu Bajeti ndogo inayotengwa na serikali kwa ajili ya elimu nchini na matumizi ya fedha

iiF
70

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Kielelezo 4.4: Asilimia ya Mgao wa Bajeti ya Elimu ya Sekondari katika Sekta ya Elimu Mwaka wa Fedha 2004/05-2010/11

Chanzo: BEST, 2010

Ili kuleta ufanisi wa kitaaluma, ni muhimu kuimarisha usimamizi na uendeshaji wa na kusimamia shughuli za utoaji wa elimu ipasavyo. Maoni mbalimbali yalitolewa na Wakaguzi wa shule, Walimu, Wakuu wa shule, Wazazi/walezi, Wanafunzi, Wanasiasa na wadau wengineo walioshirikishwa katika utafiti. Katika kuimarisha usimamizi na uendeshaji wa elimu ilipendekezwa kwamba uteuzi wa viongozi wa elimu wakiwemo Maafisaelimu na Wakuu wa Shule uzingatie sifa stahiki. Aidha, ilishauriwa kuwa wakuu wa shule wawepo katika vituo vyao vya kazi na wawajibike ipasavyo na wapewe mafunzo ya usimamizi na uendeshaji wa shule ili kuleta ufanisi katika kazi. Pia, utaratibu wa kuwasimamisha masomo wanafunzi wasiolipa ada au kushindwa kulipa michango mbalimbali uachwe, na michango itolewe kwa kuzingatia waraka unaoongoza utoaji wa michango kwa shule za serikali. Vilevile, Waratibu wa Elimu Kata wapewe mafunzo ya kusimamia elimu ya sekondari ipasavyo na uteuzi wao lazima uzingatie taaluma na ujuzi.

w .Ja m

elimu katika ngazi mbalimbali. Hii itawafanya walimu na viongozi wa elimu wawajibike

iiF
71

or u

4.2.6.Maoni Kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu a) Kuimarisha Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu

m s.c

om

Rasimu 2
Aidha, masomo ya ziada yatolewe kwa wasio na uwezo darasani. Kuhusu usafiri wa wanafunzi ilibainishwa kwamba mpango wa kuwa na vyombo vya usafiri kwa kila shule ubuniwe. Vilevile, michezo shuleni iimarishwe ili kuwafanya wanafunzi wawe na afya njema na wakue kiakili. Pia ilishauriwa kuwa shule ziwe na mpango wa motisha kwa walimu, kama vile kuwaendeleza kitaaluma hususan walimu wa leseni ili kuleta ufanisi na kujenga ari na morali ya kazi. Walimu walipendekeza kuwa huduma za ushauri nasaha kwa wanafunzi ziimarishwe shuleni ili kuwaepusha na majanga yakiwemo UKIMWI, ulevi na mimba. Maoni yaliyotolewa na wadau yanaonesha kuwa kuna udhaifu katika uteuzi na uwajibikaji wa uongozi katika ngazi ya shule. Ilipendekezwa kwamba uchaguzi wa wanafunzi wa kidato cha 1 katika shule za wananchi uzingatie kuchanganya wanafunzi kutoka shule za msingi mbalimbali ndani na nje ya kata husika ili kuleta changamoto za ushindani na kuongeza chachu ya maendeleo kitaaluma kwa ajili ya mabadiliko chanya ya kimtazamo. Ilishauriwa pia, wanafunzi 45. Vilevile, ilishauriwa kuwa, fursa ya chaguo la pili iondolewe kwa sababu Maoni hayo yanaonesha kuwa utaratibu wa uchaguzi wa wanafunzi kujiunga na Kidato cha 1 una mapungufu ambayo yanachangia kushuka kwa kiwango cha ufaulu wa Mitihani ya Taifa. uandikishaji wa wanafunzi kuingia kidato cha kwanza uzingatie uwiano wa darasa 1: inahusisha wanafunzi wenye ufaulu mdogo wakiwemo wasiojua kusoma na kuandika.

vile bodi ya shule ichukue hatua za kinidhamu kwa walimu wanaobainika kwenda kinyume na taratibu za shule kwa mfano, kuwachangisha fedha wanafunzi kwa ajili ya masomo ya ziada. Matokeo ya utafiti yamebaini kuwa Bodi za shule hazitekelezi majukumu yao ipasavyo.

Mapendekezo ya kisera pia yalitolewa kuwa mfumo wa elimu uangaliwe upya ili uweze kumwandaa mhitimu kuwa mbunifu na mwenye kujitegemea. Hii ni pamoja na kuimarisha masomo ya ufundi ili wahitimu waweze kujiajiri. Pia imeshauriwa kuwa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa yarudishwe kwa ajili ya kujenga uzalendo na utaifa

na Afisaelimu Mkoa ahudhurie vikao vya bodi ili kuwa na maamuzi yanayofanana. Vile

Maoni yalitolewa kuwa, wajumbe wa bodi waelimishwe kuhusu majukumu yao ya kazi

w .Ja m

iiF
72

or u

m s.c

om

Rasimu 2
kwa wahitimu. Vilevile, ilipendekezwa kuwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi idhibiti ada katika shule binafsi na kusimamia matumizi ya mtaala mmoja ili kuzuia matabaka yanayojengeka. Aidha, tafiti za nje pekee zisitumike kubadili mfumo wa elimu nchini. Ilishauriwa kuwa Idara ya Utumishi ya Walimu iimarishwe kwa ajili ya kutoa huduma na maslahi bora ya walimu. Vilevile imebainika kuwa Masomo ya Elimu ya msingi yapunguzwe na mkazo uwekwe kwenye KKK katika madarasa ya kwanza hadi la tatu. Aidha, Somo la English Language liimarishwe katika ngazi ya Elimu ya msingi na sekondari. Pia ilipendekezwa kuwa lugha ya kufundishia na kujifunzia iwe moja katika ngazi ya msingi na sekondari. Ilishauriwa viongozi wa elimu wafanye ziara za mara kwa mara na za kushtukiza shuleni ili kujionea uendeshaji wa elimu unavyoendelea, Serikali idhibiti ufundishaji holela wa masomo ya tuition . Aidha, kuwepo na mfumo wa wazi wa tathmini ya utendaji kazi (OPRAS). Kuhusu wanafunzi wa kike wanaopata ujauzito ilipendekezwa zinazoendana na makosa ziangaliwe upya. Pia ilipendekezwa kuwa viboko virudishwe kwamba maeneo mbalimbali ya kisera kuhusu mfumo wa elimu, maslahi ya walimu na uongozi na uendeshaji wa elimu zina mapungufu ya kiutendaji.
b) Kuimarisha Mwamko wa Jamii Katika Elimu

Katika kuimarisha mwamko wa elimu kwa jamii wadau wote wahamasishwe ili waweze kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya elimu nchini. Aidha, imependekezwa kuwa jamii ihamasishwe kubaini vipaji vya watoto tangu wakiwa wadogo na wahimizwe kusoma kwa bidii. Wazazi wahamasishwe kuchangia elimu ikiwa ni pamoja na kulipa ada kwa wakati na jukumu lao kwa watoto wao hususani kuwasomesha watoto wa kike na wale wenye mahitaji maalumu. Maoni yaliyotolewa yanadhihirisha kuwepo kwa mwamko duni wa jamii katika kuchangia maendeleo ya elimu. Aidha, suala la uhamasishaji wa jamii kuchangia elimu linahitaji utayari na ushirikiano wa wanasiasa.

w .Ja m

iiF
73

shuleni kwani kukataza viboko kumeshusha nidhamu ya wanafunzi. Utafiti umebaini

or u

kuwe na mfumo unaowaruhusu kuendelea na masomo na kanuni za utoaji wa adhabu

m s.c

om

Rasimu 2
c) Kukabiliana na Mmomyoko wa Maadili ya Walimu na Wanafunzi Shuleni

Kuhusu mmomonyoko wa maadili wajibuji walishauri kwamba, walimu wazingatie kanuni, taratibu na maadili ya kazi yao. Pia wazazi, walimu, mashirika ya dini na mashirika yasiyo ya kiserikali wahimize nidhamu ya wanafunzi kwa maendeleo ya taaluma. Aidha, wanafunzi wanasihiwe kuhusu madhara ya kutumia madawa ya kulevya, kuvuta sigara, na kwenda katika sehemu za starehe. Zaidi ya hayo walitoa maoni kwamba hatua kali zichukuliwe kwa walimu na jamii wanaojihusisha kimapenzi na wanafunzi, pia kianzishwe kitengo cha ushauri nasaha na unasihi ili kuwasaidia wanafunzi kuwa na maadili mema. Walishauri kuwa jamii iwaheshimu walimu na shuleni. Maoni haya yanaonesha kuwa suala la maadili halishughulikiwi kikamilifu la maadili katika usimamizi na uendeshaji wa elimu kunasababisha kuwepo kwa jamii na viongozi wasio na uzalendo, uadilifu na uwajibikaji katika kuleta maendeleo nchini.
d) Kuboresha Bajeti ya Elimu

Maoni yalitolewa kuwa ufinyu wa Bajeti ya Elimu na matumizi yasiyoendana na thamani ya fedha inayotolewa husababisha kushuka kwa kiwango cha ufaulu wa Mtihani wa Taifa. Vilevile, ilielezwa kuwa ruzuku ya maendeleo na uendeshaji wa shule za sekondari ni ndogo hivyo ilishauriwa kuwa bajeti iongezwe ili kuwepo na uendeshaji itolewe yote na ipatikane kwa wakati kama miongozo inavyoelekeza (SEDP II, 2010). Walishauri kuwa, maeneo yenye changamoto nyingi za kielimu yapewe kipaumbele katika mgao wa rasilimali watu na fedha, pia imesisitizwa kuwepo usimamizi wa matumizi ya fedha yanayoendana na thamani ya kazi. Upatikanaji, mgawanyo kulingana na mahitaji na matumizi ya fedha za ruzuku bado ni changamoto katika uendeshaji wa elimu nchini.
e) Kuitumia Siasa katika Maendeleo ya Elimu

Maoni yaliyotolewa yameonesha kuwa jamii inathamini mchango wa wanasiasa katika kuchochea maendeleo ya elimu. Ilishauriwa kuwa, Walimu na wanafunzi watumie

vitendea kazi vya kutosha na mishahara mizuri ya walimu. Aidha, fedha ya ruzuku ya

w .Ja m

iiF
74

or u

m s.c

katika uendeshaji wa elimu nchini. Madhara ya wadau wa elimu kutotilia mkazo suala

om

kuthamini kazi yao. Vilevile, ilipendekezwa kwamba adhabu ya viboko irejeshwe

Rasimu 2
muda mwingi katika kufundisha na kujifunza badala ya kujishughulisha na masuala ya kisiasa. Pia walisema, mambo muhimu ya kitaalamu kuhusu elimu yatokane na ushauri wa wataalamu. Hivyo, maamuzi yote ya mipango na utekelezaji wa elimu yatokane na tafiti na ushauri wa kitaalam.

4.2.7. Mapendekezo kwa Walioshindwa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 Mwaka 2010
Mapendekezo juu ya nini kifanyike kwa wanafunzi walioshindwa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010 yalitolewa na wadau wa elimu 2,636 kati ya 3,037 waliohusishwa katika utafiti huu. Mapendekezo yaliyotolewa yamelenga katika maeneo manne yaani kurudia mtihani kama watahiniwa wa kujitegemea, kukariri darasa na kufanya mtihani kama watahiniwa wa shule, mtihani usahihishwe upya na wahitimu kupatiwa mafunzo stadi kama inavyooneshwa katika Kielelezo Na. 4.5 Kielelezo Na. 4.5 Mapendekezo kwa Walioshindwa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 Mwaka 2010

Chanzo: Data za Utafiti, 2011 a) Kuwapa Mafunzo Stadi

Wadau waliohojiwa walipendekeza kuwa wahitimu wote walioshindwa wapatiwe mafunzo ya ufundi stadi katika vyuo vinavyotambuliwa na VETA ikiwemo VETA yenyewe. Mafunzo hayo yalenge stadi za maisha na ujasiriamali kama vile ufugaji, uvuvi, useremala na stadi zingine za maisha ikiwemo elimu ya UKIMWI. Pia ilipendekezwa kuwa serikali iimarishe vyuo hivyo na kugharamia mafunzo hayo. b) Kupewa Fursa ya kurudia mtihani kama watahiniwa wa kujitegemea 75

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Walipendekeza kwamba, wahitimu warudie mitihani kama watahiniwa wa kujitegemea kulingana na utaratibu uliopo. Ilishauriwa kwamba miundombinu iboreshwe ili watahiniwa waliopo katika mazingira magumu waweze kupata fursa ya kufanya mtihani. c) Kukariri Darasa na Kufanya Mtihani wa Taifa Kama Watahiniwa wa Shule Wadau walipendekeza kuwa watahiniwa waruhusiwe kukariri kuanzia kidato cha tatu kama wanafunzi wa kawaida shuleni ili waweze kupata ujuzi wa kutosha kuweza kufanya mitihani. Pia ilipendekezwa kuwa watakaokariri wasome masomo ya jioni badala ya muda wa kawaida wa shule.

Suala la kukariri darasa katika mfumo wowote wa elimu linaonesha kutokuwepo kwa ufanisi wa ndani (internal efficiency) katika ngazi husika ya elimu. Ili kuepuka kufeli mwaka 2010, kuna haja ya kuimarisha ufanisi wa ndani katika ngazi zote za elimu. d) Kusahihisha Mitihani Upya kwa watahiniwa wengi kama ilivyojitokeza katika Mtihani wa Taifa wa kidato cha 4

Mapendekezo yalitolewa kuwa zoezi la usahihishaji wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010 ilirudiwe kwa kuwa usahihishaji haukuwa makini. Aidha ilishauri kwamba, uchunguzi wa usahihishaji wa mitihani hiyo ufanyike kubaini mapungufu yaliyojitokeza. 4.3.

Utayarishaji na Utekelezaji wa Mitaala

4.3.1. Utayarishaji wa Mitaala


Mtaala ni orodha ya maarifa ambayo mwanafunzi anatarajiwa kuyapata na namna yanavyopangiliwa ikiwa ni pamoja na fursa za kujifunza maarifa hayo (HakiElimu, 2011). Utayarishaji wa mtaala ni mchakato unaotakiwa kuwahusisha wadau wote wa elimu. Vilevile, mabadiliko au maboresho ya mtaala yanatakiwa kuzingatia mahitaji ya jamii husika. Aidha, Mihtasari ya masomo ni nyenzo muhimu ya mtaala katika kupanga na kukamilisha mchakato wa kufundishia na kujifunzia na humsaidia mwalimu kufahamu mada mbalimbali zinazotakiwa kufundishwa katika darasa na somo husika. 76

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Jukumu la kuandaa mitaala ni la Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na hufanywa kulingana na mzunguko kwa kila ngazi ya elimu ambapo elimu ya msingi ni miaka saba na sekondari ni miaka sita. TET huandaa, huboresha na kuchapisha mitaala na mihtasari ya masomo ya elimu ya sekondari na vyuo vya ualimu na huhakikisha kwamba inakuwepo shuleni. Utafiti umebaini kutokuwepo kwa ushirikishwaji toshelevu wa wadau katika maandalizi ya mtaala hususan katika hatua za utayarishaji na ujaribishaji wa mitaala (piloting). Kutojaribishwa kwa mtaala unaotumika Hivyo mtaala kumesababisha kutobainika kwa mapungufu yaliyopo kwa wakati.

unaotumika una changamoto za utekelezaji unaothiri mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji. Hii inathibitisha kutozingatia hatua za utayarishaji wa mtaala kama ilivyoinishwa katika Mwongozo wa Ukuzaji Mitaala-NCDF (TIE, 2003).

wa mihtasari ya masomo shuleni kwa ajili ya matumizi ya

m s.c

4.3.2. Uwepo wa Mihtasari Shuleni na Vyuoni Mahitaji muhimu katika ufundishaji na ujifunzaji wa masomo ni uwepo na upatikanaji walimu na wanafunzi. Utafiti umebaini kuwa jukumu la usambazaji wa mihtasari shuleni baada ya kuchapishwa siyo la TET. Wakuza mitaala waliohojiwa walieleza kuwa TET haihusiki Aidha, waliongeza kuwa hakuna mwongozo unaobainisha msambazaji wa mihtasari katika ngazi ya shule. Vilevile walithibitisha kuwa, mihtasari huwa inauzwa na TET kwa wanaoihitaji na kwa shule pia. na jukumu la usambazaji wa mihtasari ya masomo katika shule za sekondari nchini.

Kielelezo Na.4.6: Upungufu wa Mihtasari

Chanzo: Data za Utafiti, 2011 77

w .Ja m

iiF

or u

om

Rasimu 2
Matokeo ya utafiti yamebainisha kuwa idadi ya mihtasari ya masomo iliyoboreshwa mwaka 2005 na 2007 iliyopo katika shule za utafiti haitoshelezi mahitaji kama inayooneshwa katika Kielelezo Na.4.6. Utafiti umebaini uwepo wa upungufu wa mihtasari, ambapo masomo ya Mathematics na Geography yameongoza kwa kuwa na upungufu kwa zaidi ya asilimia 50. Aidha, katika vyuo vya ualimu, utafiti ulibaini kuwa asilimia 61.3 (62) ya waliohojiwa juu ya uwepo na matumizi ya mihtasari iliyoboreshwa katika vyuo walisema, mihtasari iliyoboreshwa ipo vyuoni lakini ni kwa ajili ya wakufunzi tu na asilimia 38.7 walisema mihtasari haipo. Hata hivyo WEMU imeweka mihtasari ya mafunzo ya ualimu katika tovuti (website). Hivyo utafiti umebaini kuwa, kuna tatizo la mfumo wa usambazaji wa mihtasari na miongozo ya mitaala (curriculum documents) kutoka kwa mtayarishaji mpaka kwa mtumiaji katika shule za sekondari.

kuwa wajibuji 152 kati ya 1,092 sawa na asilimia 14 wamebainisha kuwepo kwa na stadi za kufundisha mtaala wa sekondari ulioboreshwa. Aidha, utafiti umebaini kuwa dhana ya mtaala unaozingatia ujuzi haijaeleweka vizuri kwa wadau mbalimbali wakiwemo baadhi ya wakuza mitaala na maafisa mitihani. Mapungufu yaliyoainishwa na wajibuji ambayo yanakwamisha utekelezaji wa mtaala kutosha; kufanyika kwa kiwango kidogo cha mafunzo kabilishi; upungufu wa vitabu; ukosefu wa fedha kwa ajili ya uchapaji na usambazaji wa vitabu; ubovu wa miundombinu na uelewa mdogo wa lugha ya Kiingereza kwa walimu na wanafunzi. Mapungufu hayo yamesababishwa na kutokuwepo kwa maandalizi ya kutosha kama ilivyofafanuliwa katika mwongozo wa ukuzaji mitaala (NCDF TIE, 2003). Hali inayosababisha tofauti ya uelewa baina ya walimu kuhusu mahitaji ya mtaala, hali inayosababisha baadhi yao kutoutekeleza ipasavyo na hivyo kuwa chanzo cha kushuka kwa kiwango cha ufaulu.

kwa ufanisi ni pamoja na maboresho ya mitaala kufanywa bila kuwa na maandalizi ya

w .Ja m

iiF
78

mapungufu katika utekelezaji wa mtaala na kwamba walimu wengi hawana maarifa

or u

4.3.3. Utekelezaji wa Mtaala Utekelezaji wa mtaala ni jukumu la mwalimu shuleni. Matokeo ya utafiti yameonesha

m s.c

om

Rasimu 2
4.3.4. Mafunzo Kabilishi kwa Ajili ya Mtaala Ulioboreshwa Utafiti ulitaka kufahamu kuhusu mafunzo kabilishi yanayotolewa kwa walimu kwa ajili ya mtaala ulioboreshwa na ulibaini kuwa, TET ndiyo yenye jukumu la kutoa mafunzo hayo. Utafiti umebaini kuwa taarifa zilizotoka kwa wakaguzi wa kanda zote za elimu kuhusu mafunzo kabilishi ni kwa walimu 1,088 ambao wametoka katika shule za sekondari 192 tangu mwaka 2008 hadi 2010 na yalitolewa kwa walimu wa masomo yote toka shule za Serikali na zisizo za Serikali. Hii ni sawa na asilimia 2.7 ya idadi ya walimu wote 40,517 kitaifa kwa mwaka 2010. Hali hii ilithibitishwa na walimu 613 (asilimia 92) ya waliohojiwa ambao hawakupata mafunzo kabilishi. Aidha, asilimia 8 ya walimu waliopata mafunzo kabilishi walieleza kwamba mafunzo hayo yalitolewa iliungwa mkono na wakaguzi wa shule na wakuu wa shule waliobainisha kuwa mdogo wa kutumia mihtasari iliyoboreshwa. kupitia Chama cha Hisabati Tanzania, TAHOSSA na kutoka kwa walimu wenzao. Hii

Taarifa ya TET, (2011) katika kipindi cha mwaka 2007 hadi 2010 inathibitisha kuwa ni walimu 833 tu waliopata mafunzo kabilishi kitaifa. Hali hii inaashiria ugumu wa walimu kutekeleza kwa ufanisi mitaala ya sekondari ya kuwafanya wanafunzi kutofaulu mitihani ya Taifa. Hivyo basi watekelezaji mitaala kama vile walimu, wapewe mafunzo kabilishi ili

w .Ja m

iiF
79

mafunzo kabilishi juu ya mtaala ulioboreshwa yalitolewa ni ya kiwango kidogo kwa vile 2005 na 2007 na hivyo

ya mtaaala na kupata dhana na nadharia za ufundishaji na ujifunzaji (Moduli ya Ujuzi wa Kufundisha kwa Umahiri: WEMU, 2010). 4.3.5. Maoni Kuhusu Utekelezaji wa Mtaala Ilipendekezwa kuwa mafunzo kabilishi yatolewe kwa walimu na wakufunzi wakati wa mabadiliko au maboresho ya mtaala. Ilisisitizwa kuwa Mihtasari ya masomo isambazwe shuleni mapema kila inapotokea maboresho na mabadiliko ya mtaala yazingatie mahitaji ya jamii. Vilevile, ilielezwa ni muhimu kuwepo na muendelezo wa mtaala wa shule za msingi na sekondari. Aidha, mahusiano kati ya wakuza mitaala, maafisa mitihani na walimu yaimarishwe wakati wa maboresho na utekelezaji wa

kuwaimarisha katika utendaji kazi wao. Hii ni pamoja na kupata fursa ya mabadiliko

or u

m s.c

mafunzo kabilishi hayajafanyika kwa walimu wengi na kwamba walimu wana utayari

om

Rasimu 2
mtaala ili kuleta ufanisi katika utoaji wa elimu. Pia ilipendekezwa kuwa mitaala ya elimu ya ualimu iboreshwe hususan katika maeneo ya malezi na maadili. Waliongeza kuwa mtaala wa elimu ya msingi uboreshwe hususan katika stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK). Aidha, ilishauriwa kuwa mtaala wa ufundi utayarishwe kwa elimu ya msingi na ufundishwe kwa wanafunzi wa shule za msingi ili kuwaongezea fursa za kuajiriwa, kujiajiri au kuendelea na masomo. 4.4. Mfumo na Taratibu za Mitihani ya Taifa

Mfumo na taratibu za Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 unahusisha mchakato wa utungaji, uhakiki, usambazaji, usimamizi, usahihishaji na upangaji wa madaraja. Utafiti ulifanyika ili kuelewa ufahamu wa wadau juu ya mchakato na taratibu za mtihani na athari zake katika ufaulu.

Matokeo ya utafiti yanaonesha kuwa taratibu za uendeshaji na usimamizi wa Mtihani kusababisha kushuka kwa ufaulu. Aidha ilibainishwa kuwa, utungaji wa mtihani, usambazaji na usimamizi; usahihishaji, upangaji wa madaraja; matumizi ya miongozo na nyaraka; Mchango wa alama za mazoezi endelezi (Continuous Assesssment-CA) na athari za Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 ni masuala yaliyoathiri kiwango cha ufaulu.

4.4.1. Utungaji wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 Utungaji wa mtihani wa taifa unapaswa kuzingatia vigezo vilivyoainishwa na utaratibu wa NECTA ulio kwenye mwongozo uitwao Certificate of Secondary Examination

Format, 2008. Aidha utungaji unapaswa kuzingatia mwongozo wa upimaji na utahini


wa mtaala ulioboreshwa. Matokeo ya utafiti yanaonesha kuwa lugha ya Kiingereza inayotumika kufundishia elimu ya sekondari ni kikwazo kwa wanafunzi katika kuelewa kwa kina maudhui ya somo na maswali. Katika mahojiano na wahitimu wa kidato cha 4 mwaka 2010, asilimia 46 ya wanafunzi waliohojiwa walieleza kuwa misamiati iliyotumika kwenye

w .Ja m

iiF
80

wa Taifa wa Kidato cha 4 Mwaka 2010 ni mojawapo ya sababu zilizotajwa

or u

m s.c

om

Rasimu 2
mtihani wa taifa haikufanana na ile iliyotumika kwenye mitihani ya kawaida ya darasani. Mwanafunzi mmoja alisisitiza:

Suala la wingi wa misamiati migumu na maswali mengi yenye lugha ya kuchenga na yenye maelezo marefu yanatuchanganya. Hata walimu wanaingia darasani wanatufundisha somo la English kwa kiswahili.
Uelewa mdogo wa lugha ya kufundishia ni changamoto kwa watahiniwa katika kuelewa maswali ya mitihani ya taifa. Katika majadiliano ya pamoja na walimu ilithibitishwa kuwa lugha ya kiingereza ni tatizo kubwa kwa walimu na wanafunzi. Kutokana na majadiliano hayo ya pamoja inadhihirisha kuwa lugha ya Kiingereza haitumiki ipasavyo katika mchakato wa kufundishia na kujifunzia. Tatizo hili linasababisha wanafunzi kushindwa kuelewa kinachoulizwa katika maswali ya mtihani, kushindwa kujieleza kwa ufasaha na hatimaye kufanya vibaya katika mtihani. Wahitimu 131 (33%) kati ya 401 wa kidato cha 4 mwaka 2010 walithibitisha kuwa mtihani ulizingatia vigezo vilivyoainishwa asilimia 12 walieleza kuwa maswali ya mtihani katika baadhi ya masomo yalifuata hayakufuata muundo. Hali hii ilichangia wanafunzi kushindwa kujibu inavyostahili. Walimu walioshiriki kwenye majadiliano ya pamoja walieleza kuwa mtihani ulilenga kupima uwezo wa wanafunzi katika kufikiri na uelewa wa dhana, hii ni tofauti na jinsi Mwalimu mmoja alisisitiza kwa kusema: walivyofundishwa darasani ambapo ufundishaji ulizingatia wanafunzi kujibu maswali. kwenye miongozo ya mitihani (Examination Formats) iliyoandaliwa na NECTA. Aidha, muundo wa mtihani wa taifa wakati masomo ya Kiswahili, Kemia, Historia na Jiografia

Utungaji wa Mtihani ulizingatia mtaala ulioboreshwa tatizo ni maandalizi mabovu ya wanafunzi kwa kuwa walimu wengi tunaowafundisha watoto hatujaelewa vizuri ufundishaji unaozingatia ujuzi na ujenzi wa maana.
Matokeo haya yanaonesha kuwa wanafunzi wengi hawakufanya vizuri katika mitihani kwa sababu ulipima malengo ya mtaala unaozingatia ujuzi na ujenzi wa maana

(Competence Based Curriculum) badala ya ule unaozingatia maarifa (Content Based Curriculum).
Baadhi ya walimu wakati wa majadiliano ya pamoja waliwalaumu watungaji wa mitihani kwa kueleza kuwa baadhi ya maswali yalitungwa nje ya mihtasari 81

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
iliyoboreshwa. Masomo hayo ni History, Geography, Physics na Mathematics. Mwalimu mmoja alinukuliwa kwa kusema:

mtihani wa Historia ulikuwa na swali lililoulizwa ambalo halikutokana na mada zilizopo kwenye muhtasari. Mada hiyo ni Factors contributing to the rise of Oyo Empire.
Hivyo, utungaji wa maswali katika mtihani nje ya muhtasari yanakiuka taratibu za utahini. TET na NECTA wana jukumu la kuhakikisha kuwa mitihani inayotungwa inaendana na maudhui yaliyo katika mtaala husika. Maoni yaliyotolewa na TET na NECTA katika utafiti yamethibitisha kwamba upo udhaifu katika utungaji wa mitihani na kwamba utungaji hauendi sambamba na mtaala ulioboreshwa katika baadhi ya masomo. Utafiti umebaini kuwepo kwa tatizo la utungaji wa mtihani wa taifa linalochangiwa na matumizi ya lugha ya kufundishia na kujifunzia, walimu kutofahamu ufundishaji wa mtaala ulioboreshwa na utunzi wa mtihani usioendana na mahitaji ya mihtasari.

taratibu zinafuatwa na

yamebainisha kuwepo kwa mazingira yasiyoridhisha ya usimamizi wa mitihani, uwepo wa askari polisi wenye silaha na wasimamizi kutumia lugha ya vitisho au/na kuwakaripia watahiniwa wakati wa mitihani. MaafisaElimu wilaya 32 (73%) kati ya 42 ni mzuri, hivyo umepunguza undanganyifu wa mitihani. Hata hivyo, imebainishwa kuwa baadhi ya wanafunzi wanaotegemea uvujaji na wizi wa mitihani husababisha wasijiandae ipasavyo kwa matarajio ya kufanya undanganyifu. Kwa upande mwingine, walishauri kuwa ulinzi wa mitihani uimarishwe na posho ya wasimamizi iongezwe ili kuendelea kuzuia mianya ya uvujaji wa Mitihani. Pia, ilipendekezwa kujenga vyumba imara vya kuhifadhia mitihani (strong rooms) na kumbi za kufanyia mitihani ili watahiniwa wafanyie mitihani katika eneo moja kwa lengo la kurahisisha usimamizi. Vilevile walisisitiza kuwa fedha za usambazaji na

waliohojiwa walisema kuwa, utaratibu wa usambazaji na usimamizi wa mitihani uliopo

w .Ja m

mitihani na unahitaji maandalizi mazuri, uadilifu na umakini ili kuhakikisha kuwa haki inatendeka kwa kila mtahiniwa. Matokeo ya utafiti

iiF
82

4.4.2. Usambazaji na Usimamizi wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 Usambazaji na usimamizi wa mitihani ni muhimu katika mchakato wa uendeshaji wa

or u

m s.c

om

Rasimu 2
usimamizi wa mitihani zipelekwe mapema kwenye Halmashauri husika ili kurahisisha maandalizi. Vilevile, katika majadiliano ya pamoja na maafisa mitihani ilibainishwa kuwa baadhi ya wasimamizi hawana sifa na hawafuati maelekezo ya usimamizi wa mitihani hivyo kusababisha usumbufu kwa watahiniwa. Aidha, maafisa mitihani waliendelea kusema kuwa watahiniwa wanaochelewa kujisajili husababisha usumbufu wa mwingiliano wa namba za mtihani wakati wa usimamizi. 4.4.3. Usahihishaji wa Mtihani ya Taifa wa Kidato cha 4 Usahihishaji unapaswa kufanywa kwa uadilifu, uaminifu na umakini mkubwa ili kutoa matokeo sahihi na ya haki kwa kila mtahiniwa. Katika mahojiano ya pamoja na walimu mitihani kunatokana na malipo kidogo na kutumia muda mrefu wa kusahihisha kwa siku. Wakuu wa shule na walimu wasahihishaji wa mitihani ya taifa walibainisha kuwa kuwa zipo kasoro za uteuzi wa wasahihishaji katika ngazi ya shule ambapo baadhi ya kusahihisha mtihani alisema: baadhi ya wasahihishaji hawana sifa ya kusahihisha mitihani hiyo. Hii inadhihirisha wakuu wa shule huteua walimu wasio na sifa stahili. Mwalimu ambaye hajawahi wasahihishaji ilielezwa kuwa kutokuwepo kwa umakini katika zoezi la usahihishaji wa

uteuzi unategemea maelewano kati ya mwalimu na mkuu wa shule au kama unatoa pesa kwa mkuu wa shule unaweza kuchaguliwa hata kama hilo somo unaloenda kusahihisha hulifundishi darasani. Baadhi ya wakuu

Hali hii inathibitishwa na NECTA ambapo huwarudisha walimu wasio na sifa kutoka katika vituo vya kusahihishia, hivyo kusababisha usumbufu na kuathiri mchakato wa usahihishaji. Walimu waliowahi kusahihisha mitihani, walibainisha changamoto ya utaratibu wa malipo kwa wasahihishaji kuwa malipo ni madogo kiasi kwamba yanawavunja moyo wasahihishaji na wakati mwingine kulazimika kusahihisha haraka ili wamalize karatasi za watahiniwa kwa muda mfupi. Katika kutilia mkazo hoja hii mwalimu mmoja alieleza:

undugu na urafiki, pia kuna walimu wa kudumu kwenye usahihishaji

wa shule hujichagua wao wenyewe au kuchagua walimu kwa mazoea,

w .Ja m

iiF
83

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Malipo ya walimu wasahihishaji hufanywa kwa kuzingatia idadi ya karatasi za watahiniwa zilizosahihishwa wakati tunapaswa kulipwa posho ya siku nje ya kituo cha kazi (Per- diem).
Walimu wengine walieleza kuwa mazingira ya kazi ya usahihishaji ni magumu hususan uchafu wa vyoo na malazi; na ubovu wa huduma za chakula zinazopelekea kutokuwepo kwa utulivu unaohitajika katika kazi muhimu ya usahihishaji. Vilevile, katika majadiliano ya pamoja walimu walionesha masikitiko yao kwa kusema kuwa kuna vitisho na manyanyaso kutoka kwa maafisa wa NECTA. Hali hiyo hujenga hofu kwa msahihishaji na wakati mwingine kumvunja moyo na kushindwa kufanya kazi ipasavyo.

Pia, walimu waliosahihisha mitihani ya kidato cha 4 walionesha kutoridhishwa na hali ya kutoruhusiwa kusahihisha mwongozo wa usahihishaji kabla ya kuanza kuutumia katika mwongozo wa usahihishaji lakini fursa ya kurekebisha haitolewi ipasavyo kwa hujadiliwa na paneli za masomo husika kabla ya kuanza usahihishaji. Matokeo ya utafiti yamebaini kwamba, NECTA huandaa miongozo ya usahihishaji iliyosanifiwa ipasavyo na kupeleka kwenye vituo vya usahihishaji, viongozi wa vikundi kuelewa swali na majibu stahiki kabla ya kufanya jaribio la usahihishaji (trial marking) kwa lengo la kubaini uelewa wa kila msahihishaji. Baada ya majadiliano ya jaribio la usahihishaji, wasahihishaji wote hupitia mwongozo wa usahihishaji na kupata mwongozo wa usahihishaji ulioboreshwa (standardized marking scheme) ambayo hutumika katika usahihishaji (NECTA, Juni 2011). Hoja ya usahihishaji wa kutokuwa makini inatofautiana na hali halisi kuhusu umakini wa usahihishaji kama ilivyoelezwa na wajibuji wa NECTA. Mkanganyiko huu unaweza kutafsiriwa kwa kuzingatia mazingira yanayotawala zoezi la usahihishaji. Kwa mfano utaratibu wa kulipa wasahihishaji kwa idadi ya scripts walizosahihisha badala ya pamoja na wasahihishaji wote hupewa nafasi ya kupitia mwongozo wa somo husika ili hata kama una makosa. Vilevile ilielezwa kuwa, wakati mwingine hutokea mapungufu wasahihishaji. Hata hivyo, Maafisa Mitihani walieleza kuwa miongozo ya usahihishaji

w .Ja m

iiF
84

or u

m s.c

om

Rasimu 2
posho ya kujikimu na muda mrefu wa usahihishaji kwa siku ni baadhi ya masuala yanayoweza kuathiri umakini wa usahihishaji. Matokeo ya utafiti, yanathibitisha kuwa kuna kasoro na ukiukwaji wa vigezo vya uteuzi wa walimu wasahihishaji na mazingira magumu ya usahihishaji unaosababisha usahihishaji usiokuwa makini na kupoteza haki za watahiniwa. Kutofautiana kwa uwepo wa fursa ya kutosha katika kujadili miongozo ya usahihishaji katika paneli za masomo husika kunaweza kuwanyima haki baadhi ya watahiniwa.

na alama za mtihani wa mwisho (50%).

Matokeo ya utafiti yamethibitisha kuwa CA zinazowasilishwa NECTA zinajumuisha alama za mitihani ya mihula ya kidato cha 3 na kidato cha 4 muhula wa kwanza. Walimu walieleza kuwa alama za CA zinazowasilishwa NECTA hazitumiki, iwapo hivyo mwalimu mmoja wakati wa mahaojiano ya pamoja alisema: zingetumika kusingekuwa na idadi kubwa ya wanafunzi waliofeli (mass failure). Hata

Hakuna mwenye uhakika kama CA zinatumika, tunajiliuza kuwa ikiwa zinatumika vizuri kwanini watoto wamefeli masomo na kupata daraja la zero
Aidha, Maafisa Mitihani wa NECTA walithibisha kuwa mwongozo wa mchango wa CA ni 50% (45% ni mazoezi ya darasani na mitihani ya mihula na wa taifa Kidato cha 2 na 5% ya kazi mradi/projecti) hautekelezwi ipasavyo kwa kuwa umebuniwa mfumo mbadala ambao unazingatia vingezo vingine. Vigezo hivyo ni pamoja na kufanya ulinganifu sanifu (standardization) kwa kutumia alama za mwisho za mtahiniwa (Candidates Final Written Examination marks) kama ilivyofafanuliwa katika taarifa ya Miaka 30 (1973-2003) ya NECTA (NECTA, 2004). Mchakato wa kuzitumia CA kwa ulinganifu sanifu ni mgumu na haueleweki kwa wadau, hoja hii ilithibitishwa na Maafisa Mitihani katika majadiliano ya pamoja kuwa hawaufahamu mfumo huo.

w .Ja m

iiF
85

or u

m s.c

Kidato cha 4 unapimwa kwa kutumia alama za mazoezi endelezi (45%), projekti (5%)

om

4.4.4. Mchango wa Alama za Mazoezi Endelezi (Continuous AssessmentCA) Katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 Kutokana na mwongozo wa NECTA, ufaulu wa mwanafunzi katika mtihani wa Taifa wa

Rasimu 2
Matokeo ya utafiti yameonesha kuwepo kwa changamoto zinahusu upatikanaji na matumizi ya CA kwenye matokeo ya Mtihani wa Taifa wa kidato cha 4. Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na shule kuchelewa kuwasilisha CA kwenda NECTA, CA zinazowasilishwa kutokuwa na uhusiano wa karibu na alama za mtahiniwa za Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 na uelewa mdogo wa wadau kuhusu mchango wa CA katika mtihani wa Taifa. Matokeo ya utafiti yameonesha kuwa NECTA haitumii CA kama ilivyoelekezwa katika mwongozo (Continuous Assessment Guidelines on the Conduct and Administration of

Continuous Assessment in Secondary Schools and Teacher Training Colleges-1990).


Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 katika shule nyingi unaathiri ufaulu wa watahiniwa. 4.4.5. Upangaji wa Madaraja Unaofanywa na NECTA Matokeo ya mtihani yanatolewa kwa viwango vya ufaulu kwa kila somo na kwa kila kupata maoni ya wadau wa elimu kuhusu namna upangaji wa madaraja katika vikuu na wanachuo wa vyuo vikuu, wakufunzi wa vyuo vya ualimu na walimu tarajali, walimu, wahitimu na wanafunzi walishirikishwa. Jumla ya walimu 613 waliohusika katika majadiliano ya pamoja walieleza kuwa wanachuo kwa kushauri

yafanyike marekebisho kwa kupanua msambao wa madaraja na pia nafasi kati ya daraja moja na jingine zifanane. Vilevile jumla ya wakuu wa shule 109 (82.6%) kati ya 132 walisema kwamba, upangaji wa madaraja unafaa na kwamba uendelee kama ulivyo kwani madaraja yanaleta ushindani miongoni mwa watahiniwa na hata kujenga nidhamu ya kusoma. Aidha, wanafunzi 1140 wa kidato cha 3 na 4 walioshiriki katika mahojiano ya pamoja walitofautiana kuhusu upangaji wa madaraja, kukataa utaratibu wa upangaji wa madaraja baadhi yao waliafiki na wengine unaotumika. Wanafunzi ambao

hawakuafiki, walisema hawakubaliani na upangaji wa madaraja kwa sababu hautoi 86

madaraja mazuri. Hoja hii pia iliafikiwa na wakufunzi na

upangaji wa madaraja unafaa na unawafanya watahiniwa kujitahidi ili waweze kupata

w .Ja m

iiF

matokeo ya mitihani ya taifa ya kidato cha 4, wakuu wa shule, wahadhiri wa vyuo

or u

mtahiniwa. Viwango vya ufaulu hupangwa katika madaraja ya I, II, III, IV na 0. Ili

m s.c

om

Aidha udanganyifu wa CA pamoja na uhusiano mdogo wa alama za CA na alama za

Rasimu 2
haki kwa watahiniwa. Mfano kutoa adhabu kwa wale wanaofeli somo la Hisabati au Kiswahili kwa kushushwa madaraja. Utafiti pia umebaini kuwa kuna tofauti ya uelewa kuhusu alama za gredi zinazotolewa kwa watahiniwa. Aidha, uzoefu wa miaka mingi unaonesha kuwa Gredi zinatolewa kwa kuzingatia mlolongo wa alama zifuatazo: A (81-100), B (61-80), C (41-60), D (2140), F (0-20). Hata hivyo NECTA imethibitisha kuwa alama za gredi zinazotolewa kwa watahiniwa huamuliwa na jopo la wasahihishaji wa somo husika kwa kuzingatia kiwango cha ufaulu kwa mwaka husika na hivyo hakuna alama maalum zilizowekwa kwa kila gredi. Pia NECTA ilibainisha kuwa gredi D huwa si chini ya alama 30 na A si chini ya alama 70.

Kutokana na matokeo ya utafiti huu, wadau wengi wamekubaliana na upangaji wa madaraja uliopo sasa. Hata hivyo, kutokuwepo kwa alama za gredi zenye ulinganifu hivyo kuathiri ufaulu wa watahiniwa. Aidha, wanafunzi na walimu wakati wa kutoa adhabu kwa walioshindwa kufaulu masomo ya Mathematics na Civics kwa vile unalazimisha wanafunzi kusoma masomo wasiyoyapenda na wasiyokuwa na uwezo nayo. Hali hiyo inaonesha kuwa kuna mapungufu ya kuadhibu watahiniwa kwa kuwateremsha daraja la I au la II kuwa la III kutokana na kufeli baadhi ya masomo za NECTA, hakuna kipengele chochote kinachobainisha adhabu hiyo. Pamoja na juhudi za serikali za kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia kama ilivyobainishwa katika Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari awamu ya kwanza na ya pili, bado kuna changamoto za uwepo wa walimu wa kutosha na vifaa. Hivyo, kuwaadhibu watahiniwa ni kinyume na uhalisia wa mazingira ya kufundishia na kujifunzia yenye uhaba wa vifaa na walimu hususani kwa somo la mathematics. Usimamizi na uendeshaji wa mitihani ya Taifa unaonesha mapungufu katika matumizi ya CA na upangaji wa madaraja tofauti na ilivyoelekezwa na Sera ya Elimu na Mafunzo, 1995 ibara ya 6.18 pamoja na Mwongozo wa NECTA wa Mazoezi Endelezi wa 1990. 87 baina ya shule na NECTA kumeleta mkanganyiko wa matumizi ya alama na gredi, majadiliano ya pamoja ya wamelalamikia utaratibu wa Baraza la Mitihani la Tanzania

ya msingi na ya mchepuo. Hata hivyo kulingana na kanuni za mitihani za mwaka 2006

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
4.4.6. Matumizi ya Miongozo na Nyaraka Mitihani Utafiti huu ulilenga kubaini usambazaji na utekelezaji wa miongozo, nyaraka na machapisho ya elimu na mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji. Ilibainishwa kwamba nyaraka, miongozo na mihtasari ya masomo kutoka Wizara ya Elimu huwafikia wakuu wa shule kupitia ofisi za maafisaelimu na mikutano ya TAHOSSA kwa ajili ya utekelezaji. Aidha, jukumu la NECTA ni kusambaza shuleni miongozo na machapisho yanayohusu uendeshaji wa mitihani ya Taifa kama vile muundo (format) na kanuni za mitihani kupitia Maafisaelimu wa Mikoa. Utafiti umebaini kuwa, asilimia 67 ya walimu 613 katika shule 132 zilizofanyiwa utafiti mazoezi ya darasani na mitihani ya ndani. Hata hivyo asilimia 33 ya walimu walieleza machapisho na nyaraka zinazotoka NECTA zinakuwa na usiri mkubwa. Hayo ....Nimefundisha shule ya sekondari kwa muda wa miaka kumi na

Hii inaonesha jinsi ambavyo baadhi ya walimu na wanafunzi hawapati fursa ya kuiona na kuitumia miundo ya mitihani na miongozo katika shule za sekondari. Uwepo wa Nyaraka na miongozo mbalimbali ya mitihani katika shule ni muhimu katika machapisho hayo. kumwandaa mtahiniwa hivyo, wadau wote wanapaswa kupata na kutumia

4.4.7. Athari za Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 Matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 hutoa tathmini ya kati ya elimu ya sekondari ya kawaida ili kupata picha ya maendeleo ya wanafunzi kitaifa kabla ya mtihani wa kidato cha nne. Mojawapo ya malengo ya Mtihani wa Taifa wa kidato cha 2 ni kupata alama zenye uwiano wa kitaifa kwa ajili ya kupima maendeleo ya wanafunzi ambazo zitatumiwa na NECTA ikiwa ni sehemu ya mazoezi endelezi ya mwanafunzi (CA). Tangu mwaka 1999 hadi 2007, mtihani huu ulitumika kama kigezo cha kuchuja wanafunzi kuingia kidato cha 3. Kuanzia 2008 mpaka sasa, Mtihani wa

w .Ja m

iiF

sikuwahi kuiona format ya mtihani mpaka nilipofika NECTA......

or u

yalithibitishwa na mmoja wa maafisa mitihani wa NECTA kwa kusema:

88

m s.c

kuwa

hawajawahi kuuona na kuutumia muundo wa mtihani wa Taifa

om

walieleza kuwa hupokea muundo na kanuni za mitihani na kuzitumia katika kutunga kwa kuwa

Rasimu 2
Taifa wa Kidato cha 2 hautumiki kuchuja wanafunzi kuendelea na masomo ya kidato cha 3. Utafiti umebaini kuwa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 kutotumika kuchuja wanafunzi kuingia kidato cha 3 umesababisha wanafunzi kutojishughulisha katika kujifunza kwa kukosa changamoto na hatimaye wanafunzi wasio na uwezo kupata fursa ya kufanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4. Hali hii pia inawafanya walimu kutofundisha kwa bidii. Aidha, kuna uhusiano wa kitakwimu wa viwango vya ufaulu kwa wanafunzi waliofanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 mwaka 2008 na baadaye kidato cha 4 mwaka 2010 kwa baadhi ya shule zilizofanyiwa utafiti. Mfano, katika shule ya sekondari Siera iliyopo Manispaa ya Kinondoni, wanafunzi waliofanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 mwaka 2008 walifaulu kwa asilimia 15.0 na walipofanya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010 walifaulu kwa asilimia 15.4. Hii inaonesha kiwango cha ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 kinakaribiana na kile cha kidato cha 4 kama inavyooneshwa katika Kielelezo Na. 4.7 na 4.8. Pia takwimu zinaonesha kuwa ufaulu wa shule ya sekondari Maghang, Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 mwaka 2008 ni asilimia 83.4 na asilimia 81.0 kwa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 kwa mwaka 2010. Kielelezo Na. 4.7: Kiwango cha Ufaulu katika Shule Zilizofanya Vizuri katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 Mwaka 2008 na cha 4 Mwaka 2010

Chanzo: Takwimu za Utafiti, 2011 89

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Takwimu hizo zinaonesha kuwa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 hubashiri matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4. Mtihani huu hutumika kutoa tathmini ya kati kwa shule na kwa mwanafunzi, pia huongeza ari ya ufundishaji na ujifunzaji. Upo uhusiano kati ya kufundisha, kujifunza na mitihani. Kielelezo Na. 4.8: Kiwango cha Ufaulu katika Shule Zilizofanya Vibaya katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 Mwaka 2008 na cha 4 Mwaka 2010

Chanzo: Takwimu za Utafiti, 2011

Mitihani humfanya mwanafunzi ajitahidi kurudia kwa makini yale aliyofundishwa, na

Taifa wa Kidato cha 2 kuchuja wanafunzi kuingia kidato cha 3 kumechangia kuathiri ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010. 4.4.8. Maoni Kuhusu Mfumo na Taratibu za Mitihani ya Taifa Wadau mbalimbali waliohusishwa katika utafiti huu walitoa maoni kuhusu sifa za kujiunga na kidato cha 1; kuboresha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2; Kuimarisha mitihani ya majaribio ya kujipima shuleni na kuimarisha utungaji, usimamizi, usahihishaji, upangaji wa madaraja, mchango wa alama za CA na matumizi ya miongo na nyaraka.

hutoa msukumo wa kufundisha na kujifunza. Kwa hiyo, kutotumika kwa Mtihani wa

mwalimu hufundisha kwa kuzingatia kile kinachotakiwa katika mtihani. Hivyo, mtihani

w .Ja m

iiF
90

or u

m s.c

om

Rasimu 2
a) Sifa za Kujiunga na Kidato cha 1 Ilipendekezwa kuwa alama za ufaulu katika kujiunga na kidato cha kwanza ziwe 125 (50%) badala ya kiwango kidogo cha ufaulu cha alama ya 100 (40%) kati ya 250 na walioshindwa kupata alama za ufaulu wasiruhusiwe kujiunga na sekondari za binafsi. Aidha, wanafunzi wa chaguo la pili wasichelewe kuandikishwa kwa kuwa ni moja ya sababu zilizobainishwa kushusha kiwango cha ufaulu.
b) Kuboresha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2

Matokeo ya utafiti yameonesha kwamba Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 kutotumika wasiomudu stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kufikia hatua ya kufanya

uendelee kutumika kama kigezo cha kumfanya mwanafunzi kuingia kidato cha 3 na kuna umuhimu wa kuchuja wanafunzi katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2. Pia utafiti kati ya waliofeli Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 na cha 4 ufanyike ili kubaini kwa kina uhusiano uliopo.

majaribio katika kumwandaa mwanafunzi kufanya mitihani ya kitaifa. Maoni yalitolewa kuhusu kuwepo na utaratibu mzuri wa uendeshaji wa mitihani ya majaribio shuleni ikiwemo mitihani inayoshindanisha shule kiwilaya, kimkoa au kikanda. Vilevile imependekezwa kuwa uendeshaji wa mitihani ya majaribio (Mock examinations) iangaliwe upya kwa vile haikidhi viwango na taratibu za uendeshaji. Pia, kuwepo na mitihani ya kuchuja kwa kila darasa na kidato ili kuhakikisha kila mwanafunzi anapata stadi muhimu kwa kila ngazi.

Utafiti umebaini kuwa kuna mapungufu katika uendeshaji na tathmini ya mitihani ya

c) Kuimarisha Mitihani ya Majaribio ya Kujipima Shuleni

w .Ja m

iiF
91

wastani wa kuimarisha alama hizo uwe 40 badala ya 30. Hali hii inaonesha kuwa

or u

Ushauri ulitolewa na wajibuji katika utafiti kwamba Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2

m s.c

Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 na hatimaye kufeli.

om

kama kigezo cha kuchuja wanafunzi kuendelea na kidato cha 3 huwafanya wanafunzi

Rasimu 2
d) Kuimarisha Utungaji, Usimamizi, Usahihishaji na Upangaji wa Madaraja katika Mtihani wa Taifa Wadau wa elimu waliohusika katika utafiti walitoa maoni kuwa mitihani itungwe kutokana na mtaala ulioboreshwa ambao unalenga katika kupima ujuzi; Waliongeza kwa kusema kuwa maelekezo na lugha inayotumika katika utunzi wa mitihani isiwe ngumu ya kuwachanganya watahiniwa pia lugha rafiki itumike kwa wasimamizi wa mtihani. Sambamba na hilo, ilishauriwa kuwa muundo wa Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi ubadilishwe ili kuruhusu maswali ya kujieleza kwa lengo la kuimarisha taaluma na Elimu ya Msingi kitumike badala ya kutumia mtihani wa mwisho tu. Vilevile, wanafunzi wanapomaliza mtihani nakala za karatasi za maswali zibaki shuleni kwa ajili ya rejea. Kuhusu mitihani ya taifa ilishauriwa kuwa isahihishwe kikanda na wasahihishaji wa mtihani wa kidato cha 4 waongezwe na wapewe muda wa kutosha ili wasahihishe kwa ziboreshwe. Serikali iendelee kudhibiti uvujaji wa mitihani ili kujenga ari ya kujifunza kwa wanafunzi na tathimini ya matokeo ya mtihani ijadiliwe kwa ngazi zote. Vilevile, alama za mazoezi endelezi (CA) zitumike kulingana na miongozo na shuleni kwa wakati. Aidha, uhakiki wa wanafunzi wanaotaka kufanya mtihani ufanyike kwa wakati muafaka. umakini. Vilevile, vigezo vya kuchagua wasahihishaji viwekwe bayana na posho zao kupunguza udanganyifu. Aidha, kipimo kingine cha ufaulu wa Mtihani wa Kumaliza

maelekezo ya mihtasari; Muundo wa mtihani (format) uzingatiwe na kusambazwa Zaidi ya hayo, ilishauriwa kuwa mitihani ya altenative to

practical iondolewe. Pia walisisitiza kuwa, watahiniwa waelimishwe juu ya masharti ya mitihani na adhabu zinazoandamana na ukiukaji wa masharti hayo. Maoni yaliyotolewa na wadau yanaonesha kuwa ipo haja ya kufanya marekebisho katika mchakato wa utungaji, usimamizi, usahihishaji, mchango wa alama za CA, upangaji wa madaraja katika mtihani wa Taifa, matumizi ya mongozo na nyaraka za mitihani na Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 na sifa na mitihani ya majaribio ya kujipima shuleni.

w .Ja m

iiF
92

or u

m s.c

om

Rasimu 2
4.5. Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Utoaji wa Elimu Ufuatiliaji na tathmini ya utoaji wa elimu ni muhimu ili kubaini ufanisi wake katika kufanikisha na kutekeleza mtaala katika ngazi mbalimbali za ufundishaji na ujifunzaji. Ufuatiliaji na tathmini ya mtaala wa elimu ya sekondari ulioboreshwa hufanyika katika ngazi zote za usimamizi na utekelezaji kwa kuwahusisha wakuza mitaala, maafisa mitihani, wakaguzi, walimu na wadau wengine wa elimu. 4.4.1 Ufuatiliaji na Tathmini ya Mtaala Ulioboreshwa Ufuatiliaji na Tathmini ya utekelezaji wa mitaala ni jukumu la Taasisi ya Elimu Tanzania, chombo ambacho kisheria kina jukumu la kubuni na kutayarisha mitaala ya elimu nchini. Matokeo ya utafiti yamebainisha kwamba asilimia 100 ya wajibuji wanne wa dodoso walieleza kuwa tathmini zilizofanywa na TET katika shule nchini ni mbili kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2000 hadi 2010. Tathmini ya kwanza ilifanyika mwaka 2003 ambayo ilihusu tathmini ya utekelezaji wa Mtaala wa Elimu ya Msingi na

mapendekezo yaliyotolewa na wadau mbalimbali wa elimu kwa Wizara yenye dhamana. Imeelezwa zaidi kuwa mapendekezo hayo ya wadau wa elimu

w .Ja m

iiF

Aidha, utafiti umebaini kuwa TET huwasilisha ripoti na taarifa za utekelezaji wa hutumika

kuboresha Mitaala ya elimu nchini kama ilivyofanyika kwa mitaala ya sekondari ya mwaka 2005 na 2007. Taarifa hii ya utafiti imeonesha wazi uchache wa tathmini za mitaala zilizofanyika katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. Kutofanyika tathmini kwa wakati kuhusu utekelezaji wa mtaala hakutoi fursa kwa serikali na wadau wa elimu kubaini changamoto na matatizo katika utoaji wa elimu na kuyapatia ufumbuzi, hivyo kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa mtaala. 4.4.2 Shuleni Taarifa zilizotokana na dodoso lililojibiwa na wakuu wa shule za sekondari 132 zilieleza kuhusu ufuatiliaji wa maendeleo ya ufundishaji na ujifunzaji wa wanafunzi pamoja na utaratibu wa kufikisha taarifa kwa watahiniwa. Matokeo ya utafiti yanaonesha kuwa wakuu wa shule 68 (51%) kati ya waliohojiwa hufuatilia mchakato wa ufundishaji na 93 Utaratibu wa Kufuatilia Maendeleo ya Ufundishaji na Ujifunzaji

or u

tathmini ya pili mwaka 2004 ilihusu utekelezaji wa Mtaala wa Elimu ya Sekondari.

m s.c

om

Rasimu 2
ujifunzaji kwa kukagua maandalio ya masomo, mpango wa kazi, matumizi ya zana, mahudhurio ya walimu darasani, kukagua shajara na kuangalia kazi za wanafunzi darasani. Pia wakuu wa shule hao walieleza kuwa wana utaratibu wa kuzungumza na wazazi/walezi, walimu na wanafunzi kuhusu umuhimu wa maendeleo ya kitaaluma. Aidha, asilimia 49 ya wakuu wa shule hawakueleza chochote namna wanavyofuatilia maendeleo ya ufundishaji na ujifunzaji wa wanafunzi. Uchambuzi wa data hapo juu umeonesha kwamba baadhi ya wakuu wa shule hawatekelezi kikamilifu usimamizi wa taaluma shuleni. Mkuu wa shule ni msimamizi mkuu wa taaluma shuleni, ana wajibu wa kuhakikisha uendeshaji wa shughuli za kila siku za shule na kusimamia utekelezaji wa mitaala, hivyo ni vema asimamie kikamilifu majukumu yake kama ilivyoainishwa katika Mwongozo wa Usimamizi wa Shule (WEMU, 2010). 4.4.3 Ukaguzi wa Shule

Ukaguzi katika utekelezaji wa mtaala ni muhimu ili kubaini changamoto zake kwa ujifunzaji. Hivyo basi, jukumu la Ukaguzi wa Shule ni kusimamia na kuhakiki ubora wa elimu katika ngazi ya Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na vyuo vya Ualimu nchini. Ili kufikia malengo ya utekelezaji wa majukumu yao, wakaguzi wa shule hufanya ukaguzi wa jumla wa shule; ukaguzi wa kufuatilia na ukaguzi maalum (Kiongozi cha Mkaguzi Katika Kiongozi cha Mkaguzi wa shule imeelezwa kuwa kila shule itakaguliwa angalau mara moja katika kipindi cha miaka mitatu. Katika shule 132 zilizofanyiwa utafiti imebainika kuwa shule 18 (13.53%) zilikaguliwa mara 3 hadi 4 kwa kipindi cha mwaka 2006 hadi 2010. Hali kadhalika shule 69 (51.88%) zilikaguliwa mara moja au mbili, na shule 46 (34.59%) hazikukaguliwa kabisa. Angalia jedwali katika Kiambatisho Na. 4.1 Aidha utafiti umebaini kuwa, takwimu za ukaguzi wa shule zilizopatikana katika Halmashauri 22 zilizofanyiwa utafiti zinaonesha kati ya mwaka 2006 na 2010 kiwango cha ukaguzi wa shule cha kuridhisha kilifanyika katika Halmashauri za Sumbawanga (100%), Tanga Jiji (91.3%), Mpanda (84%), Kinondoni (78.26%) na Babati (75.76%). Hata hivyo, Halmashauri za Kilwa (12.50%) na Lindi (15.38%) zilifanya 94 wa shule, 2006). Utafiti huu ulilenga kupata taarifa juu ya ukaguzi wa shule wa jumla.

w .Ja m

iiF

lengo la kuleta ufanisi na kuboresha elimu katika ngazi mbalimbali za ufundishaji na

or u

m s.c

om

Rasimu 2
ukaguzi wa shule kwa kiwango cha chini, wakati shule za Halmashauri za Karagwe, Muleba, Bagamoyo, Maswa, Singida Vijijini na Manyoni katika Jedwali Na 4.1. Jedwali Na.4.1: Idadi ya Shule za Sekondari Zilizokaguliwa katika Halmashauri Zilizofanyiwa Utafiti, 2006 2010
Na. Kanda Halmashauri Idadi ya shule zilizoripotiwa 46 91 47 41 24 26 33 34 30 24 30 34 34 25 28 61 26 38 61 30 46 79 888 Idadi ya shule zilizokaguliwa 36 Hakuna takwimu 0 0 3 4 25 10 9 10 7 0 34 21 6 Hakuna takwimu 4 0 0 0 42 13 224 Asilimia ya ukaguzi 78.26 0 0 12.50 15.38 75.76 29.41 30.00 41.67 23.33 0 100.00 84.00 21.43 15.38 0 0 0 91.30 16.46

hazikukaguliwa.

Vilevile,

katika Halmashauri za Ilala na Mbinga takwimu hazikupatikana kama inavyooneshwa

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11

Chanzo: Takwimu za Utafiti, 2011 Utafiti umebaini kuwepo kwa kiwango kidogo cha ukaguzi wa shule na kutotekelezwa kikamilifu kwa mapendekezo ya taarifa za ukaguzi wa shule, hali inayosababisha kutokuwepo kwa ufanisi wa usimamizi na utoaji wa elimu bora. Vilevile, kuhusu utekelezaji wa mapendekezo ya taarifa za ukaguzi wa shule asilimia 61.7 ya Maafisaelimu mikoa na Halmashauri pamoja na Wakurugenzi wa Halmashauri waliohojiwa walithibitisha kuwa, maoni/mapendekezo ya taarifa za ukaguzi wa shule hufanyiwa kazi kwa kufanya ufuatiliaji katika shule husika ili kubaini mapungufu na 95

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

DAR ES SALAAM ZIWA MAGHARIBI KUSINI

Kinondoni Ilala Karagwe Muleba Kilwa Lindi KASKAZINI Babati MAGHARIBI Mbulu MARA Bunda Musoma MASHARIKI Mkuranga Bagamoyo NYANDA ZA Sumbawanga JUU Mpanda NYANDA ZA Songea[v] JUU KUSINI Mbinga MAGHARIBI Bukombe Maswa KATI Singida Vijijini Manyoni DC KASKAZINI Tanga Jiji MASHARIKI Lushoto JUMLA

Rasimu 2
kujiridhisha kama mapendekezo ya ukaguzi yanatekelezwa. Ilielezwa kuwa Bodi za Shule zinahusika katika utekelezaji wa mapendekezo hayo na kuweka mpango mkakati ili kurekebisha kasoro zilizojitokeza. Aidha, kuhusu masuala ya nidhamu ya walimu, Ofisi za Elimu hushirikiana na TSD kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa katika taarifa za ukaguzi wa shule. Asilimia 73.17 (30) ya wakaguzi wa shule kanda walitofautiana na Maafisaelimu wa mikoa, Wakurugenzi na Maafisaelimu wa Halmashauri kwa kueleza kuwa mapendekezo ya taarifa za ukaguzi wa shule hayatekelezwi au utekelezaji wake ni wa kiwango cha chini. Matokeo ya utafiti yameonesha kuwepo kwa changamoto zinazohusu ukaguzi wa shule ambapo shule hazikaguliwi kama ilivyoainishwa katika Kiongozi cha Mkaguzi wa Shule (2006). Vilevile imebainika kuwa kiwango kidogo cha ukaguzi wa shule za sekondari hali ambayo imesababishwa na ongezeko la shule ambazo haikwenda sambamba na ongezeko la idadi ya wakaguzi wa shule na vitendea kazi. Idadi kubwa ambayo inapaswa kuwa 1:40, hivyo kuathiri uendeshaji wa elimu. 4.4.4 Maoni Kuhusu Ufuatiliaji na Tathmini ya Utoaji wa Elimu Kutokana na matokeo ya utafiti, imebainika kuwa mfumo wa ukaguzi uliopo haukidhi malengo tarajiwa. Hivyo, wajibuji walipendekeza kwamba ukaguzi wa shule uimarishwe kwa kuwajengea uwezo wakaguzi na kuwapa raslimali za kutosha ili wakague shule ipasavyo. Mfumo wa Ukaguzi wa shule uliopo sasa ni kwamba ukaguzi wa shule za msingi upo katika ngazi ya wilaya na wa sekondari katika ngazi ya kanda. Kutokana na upanuzi wa shule za sekondari na uamuzi wa serikali kugatua usimamizi na uendeshaji wa shule za sekondari kuwa katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa, kuendelea na mfumo uliopo wa ukaguzi wa shule za sekondari hauwezi kuwa wa ufanisi. Hivyo, Ukaguzi wa Shule katika ngazi ya wilaya uimarishwe ili kuwawezesha wakaguzi kukagua shule za sekondari. Aidha, kuwe na ofisi za ukaguzi katika ngazi ya mkoa badala ya kanda ili kusimamia utekelezaji wa ukaguzi ngazi ya Wilaya. 96 ya wanafunzi iliyobainishwa inatofautiana na Waraka wa Elimu Na 16 wa Mwaka 2002

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
4.6. Mfumo wa Utayarishaji na Uwepo wa Walimu Ufanisi katika elimu unazingatia uwepo wa raslimali watu wa kutosha na wenye sifa. Uwepo wa walimu wa kutosha na wafanyakazi wengine wasio walimu kama vile wahasibu, mafundi mchundo maabara (laboratory technicians) na wakutubi huchangia katika utoaji wa elimu bora shuleni. Walimu bora na wenye sifa hutokana na mfumo wa kuwaandaa tangu wakiwa katika mafunzo tarajali. Aidha, mafunzo kazini ni eneo lingine linaloongeza ubora wa walimu hao kwa kuwaongezea stadi na ujuzi kulingana na mahitaji ya mtaala.

4.6.1. Mfumo wa Utayarishaji wa Walimu


pamoja katika vyuo hivyo umeelezwa kutokuwa fanisi kutokana na changamoto stashahada, upungufu wa miundo mbinu, vitabu, mihtsari na idadi kubwa ya walimu tarajali isiyoendana mahitaji.

Matokeo ya utafiti yanaonesha kuwa asilimia 70 (56) ya wahadhiri, wakufunzi na

Barua ya Kamishna yenye Kumb.Na TTDB/85/483/01/25, ya mwaka 2009 inaeleza sifa za wanaojiunga na mafunzo ya Ualimu ngazi ya Stashahada ni Principal Pass moja na Subsidiary moja katika masomo mawili yanayofundishwa shule za sekondari. Kwa sifa hizo ni wazi kuwa mwalimu anaeandaliwa hatamudu kufundisha masomo mawili katika ubora unaostahili. Aidha, utafiti ulibaini kuwa baadhi ya wadahiliwa wamekuwa mafunzo ya ualimu baada ya kukosa fursa nyingine walizotarajia. Vilevile, matokeo ya utafiti yamebaini uwepo wa maandalizi yasiyotosheleza ya walimu katika vyuo vya ualimu unaosababisha walimu wengi kufundisha kwa njia ya maswali badala ya kuzingatia ujenzi wa dhana na vitendo kama mtaala unaozingatia ujuzi (competence based curriculum) unavyoelekeza. Asilimia 67(54) ya wahadhiri, wakitumia vyeti vya

kughushi na wengine hawana wito wa kazi ya ualimu kwa kuwa wanajiunga katika

w .Ja m

principal pass 1 na subsidiary 1 hazimfanyi mwalimu anayeandaliwa kuwa mahiri.

iiF
97

wanachuo waliohojiwa walibainisha sifa zinazotakiwa kudahili walimu tarajali za

or u

m s.c

mbalimbali, ikiwemo sifa za chini kwa wahitimu wanaojiunga na mafunzo ya

om

Utafiti umebaini

kuwa mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji wa walimu tarajali

Rasimu 2
wakufunzi na wanachuo waliohojiwa walisema kwamba wingi wa wanafunzi katika mkondo mmoja husababisha kutokuwa na makusano ya kutosha (limited interaction) kati ya wakufunzi na walimu tarajali na kuwalazimu wakufunzi kutumia ufundishaji wa kipurure (Lecturing ). Mmoja wa wahadhiri aliongeza kwa kusema,

Walimu wanaoandaliwa kwa mfumo huu hawawezi kuwa mahiri kutekeleza mtaala ulioboreshwa ambao unasisitiza njia shirikishi.
Matokeo ya utafiti yamebaini kuwa, maandalizi ya walimu tarajali vyuoni hayafanyiki ipasavyo kutokana na kukosekana kwa vitendea kazi na miundombinu na baadhi ya wakufunzi kutokuwa makini katika kufundisha kwa kuzingatia mahitaji ya mtaala wa ualimu ulioboreshwa. Hali hii inasababisha walimu wanaoandaliwa kutokuwa mahiri. Utafiti pia umebaini kuwepo kwa uhaba wa vitabu na vifaa vya kufundishia na kujifunzia katika baadhi ya vyuo ambapo ilielezwa na wakufunzi na wanachuo waliohojiwa kuwa vitabu havitoshelezi na hata vilivyopo haviendani na mtaala tarajali.

Aidha, kupungua kwa muda wa mazoezi kwa vitendo (Teaching Practice) kuwa wiki nne kumeathiri kwa kiasi kikubwa ufundishaji na ujifunzaji. Aidha, matokeo ya utafiti yamebaini kuwa walimu tarajali wanaandaliwa kwa kiwango kidogo katika mada za ufundishaji, namna ya kuandaa azimio la kazi, andalio la somo, namna ya kufanya Aidha, walieleza kuwa mitihani hutolewa kwa kutumia mihtasari ya zamani. Hali kadhalika, ilielezwa kuwa hakuna moduli za mada za mafunzo ya ualimu zilizoandaliwa na TET katika kukidhi mahitaji ya mihtasari mipya. nukuu za somo na zana za kufundishia somo kwa kuzingatia mihtasari iliyoboreshwa.

4.6.2. Ajira na Upangaji wa Walimu


Matokeo ya utafiti yameonesha kuwa baadhi ya viongozi siyo waadilifu katika kupanga walimu. Viongozi hao hupanga walimu bila ya kuzingatia mahitaji ya walimu katika shule za mijini na vijijini. Hali hii inasababisha kutokuwepo kwa mgawanyo linganifu wa walimu kati ya shule za mijini na zile za vijijini hivyo kusababisha sehemu zenye mazingira magumu kuwa na upungufu wa walimu. Pia, katika baadhi ya Halmashauri

w .Ja m

iiF
98

or u

ulioboreshwa. Wajibuji walibainisha kuwepo kwa upungufu wa mabweni kwa walimu

m s.c

om

Rasimu 2
utafiti umebaini kuwa baadhi ya watendaji huwadai walimu rushwa ya ngono, hayo yalidhihirishwa katika mahojiano ya pamoja na walimu, ambapo mwalimu mmoja wa kike alibainisha: Baadhi ya watendaji wa Halmashauri wamekuwa na tabia ya kuwadhalilisha

walimu wa kike kwa kuwataka kimapenzi wanapotaka kupangwa katika shule zenye mazingira mazuri ya kufanyia kazi.
Hali hii inaleta athari katika malezi bora ya wanafunzi kwa baadhi ya shule kukosa walimu hususani wa kike, mfano shule ya sekondari Wariku katika Halmashauri ya Bunda wanafunzi wasichana walilalamika kuwa wanakosa mwalimu wa kike wa kumweleza matatizo yao. Waraka wa Elimu Na. 4 wa mwaka 2001 unatoa maelekezo kwa watendaji wa Halmashauri kuondoa mrundikano wa walimu kwa shule za mijini. Utafiti umebaini kuwa bado hakuna uwiano linganifu wa ikama ya walimu katika Halmashauri hali mgawanyo wa walimu unaozingatia jinsi na idadi ya masomo yanayofundishwa zina walimu wengi wa somo moja wakati shule zingine hazina walimu masomo hayo kabisa. inayo athiri ufundishaji na ujifunzaji. Utafiti umebaini kuwa hakuna uwiano mzuri wa shuleni. Katika mahojiano ya pamoja na walimu walilalamika kuwa, baadhi ya shule

Jedwali Na. 4.2 linaonesha mahitaji, uwepo, upungufu na ziada ya walimu katika Salaam zilizofanyiwa utafiti. Hali hii inathibitisha mgao wa walimu usiozingatia ikama, mfano kuna ziada ya walimu katika baadhi ya masomo (idadi katika mabano) ya Biology (4) , English (2), Geography (3) na Physics (2) katika shule ya sekondari ya Jangwani wakati shule ya Mkera ina upungufu wa masomo hayo katika Halmashauri hiyo hiyo ya Ilala. Hata hivyo Maafisaelimu Mikoa, Wakurugenzi na Maafisaelimu wa Halmashauri waliohojiwa walitofautiana na walimu kwa kueleza kwamba upangaji wa walimu unazingatia mahitaji ya shule kimasomo (87%), jinsi na sifa ya ndoa (9%), hali ya afya na mahitaji maalum ya mwalimu (2%) na kipaumbele kwa shule za pembezoni (2%). 99

masomo ya msingi kwa baadhi ya shule za sekondari za serikali za Mkoa wa Dar Es

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Jedwali Na 4.2: Mahitaji, Uwepo na Upungufu/Ziada ya Walimu katika Baadhi ya Shule Sekondari za Serikali za Mkoa wa Dar Es Salaam
Mathematcs Geography Chemistry Kiswahili Physics Biology English History 4 2 2 0 4 4 0 0 8 7 1 0 9 7 2 0 8 7 1 0 2 0 2 0 5 6 0 1 4 5 0 1 Civics Jumla 36 21 15 0 36 40 4 8 77 89 2 14 82 82 8 8 53 58 4 9 24 14 10 0 48 49 5 6 39 25 16 2

Shule Mkera Mahitaji Waliopo Upungufu Ziada Mahitaji Waliopo Upungufu Ziada Mahitaji Waliopo Upungufu Ziada Mahitaji Waliopo Upungufu Ziada Mahitaji Waliopo Upungufu Ziada Mahitaji Waliopo Upungufu Ziada Mahitaji Waliopo Upungufu Ziada Mahitaji Waliopo Upungufu Ziada

Nyeburu

Jangwani

Azania

Goba Mpakani

Chanzo: Takwimu za Utafiti 2011

4.6.3. Uwepo wa Walimu katika Shule


Uwepo wa walimu katika shule siyo sababu pekee ya kuinua kiwango cha ufaulu wa wanafunzi, bali hutegemea pia utayari na ubora wa walimu. Utayari wa walimu hutokana na kujengewa fursa na mazingira ya kuvutia ya kazi. Pamoja na jitihada za serikali katika kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia kama ilivyobainishwa katika Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari awamu ya kwanza na ya pili,

Salma Kikwete

manzese

w .Ja m

iiF

Kambangwa

4 3 1 0 4 1 3 0 12 11 1 0 13 11 2 0 8 8 0 0 4 2 2 0 8 8 0 0 6 3 3 0

4 2 2 0 4 6 0 2 10 12 0 2 11 8 3 0 8 7 1 0 4 2 2 0 8 8 0 0 5 4 1 0

4 3 1 0 4 5 0 1 7 8 0 1 8 12 0 4 5 6 0 1 2 2 0 0 4 7 0 3 4 4 0 0

4 3 1 0 4 4 0 0 9 13 0 4 8 9 0 1 5 8 0 3 3 2 1 0 5 7 0 2 4 1 3 0

4 2 2 0 4 7 0 3 9 10 0 1 8 10 0 2 3 5 0 2 2 2 0 0 5 4 1 0 4 1 3 0

4 2 2 0 4 4 0 0 6 7 0 1 8 7 1 0 7 6 1 0 2 0 2 0 3 3 0 0 4 1 3 0

4 2 2 0 4 3 1 0 6 8 0 2 9 9 0 0 4 3 1 0 2 2 0 0 5 2 3 0 4 1 3 0

4 2 2 0 4 6 0 2 10 13 0 3 8 9 0 1 5 8 0 3 3 2 1 0 5 4 1 0 4 5 0 1

or u
100

m s.c

om

Rasimu 2
bado kuna changamoto za uwepo wa walimu wa kutosha. Matokeo ya utafiti yamebaini upungufu wa walimu katika shule za serikali na zisizo za serikali kama ilivyooneshwa katika jedwali Na. 4.3. Jedwali Na 4.3 Uwepo wa Walimu katika Baadhi ya Shule Zilizofanyiwa Utafiti Jina la Shule Mkoa Aina ya Shule Monica Mbega Serikali Ruvuma Ughandi Serikali Singida Senani Serikali Shinyanga Majebele Serikali Shinyanga Iyogelo Serikali Shinyanga Kireti Serikali Tanga Kisiju Serikali Pwani Ikola Serikali Rukwa Mipingo Serikali Lindi Mtanga Serikali Lindi Chitengule Serikali Mara Upendo Binafsi Tanga Mkwese Binafsi Singida Madunga Binafsi Manyara Rondo Seminary Binafsi Lindi Victoria Binafsi Mara Goldenland Binafsi Shinyanga Kikodi Binafsi Ruvuma Chanzo: Takwimu za Utafiti, 2011 Wilaya Mbinga Singida(V) Maswa Maswa Maswa Lushoto Mkuranga Mpanda Lindi (V) Kilwa Bunda Lushoto Manyoni Babati Lindi (v) Musoma(V) Bukombe Mbinga Idadi Idadi ya ya wanafun walimu zi 3 308 3 382 3 178 3 219 4 362 2 292 4 501 3 334 2 59 4 244 6 853 9 193 7 83 9 184 8 168 14 158 10 376 10 334 Uwiano wa mwalimu na mwanafunzi 1:103 1:127 1:59 1:73 1:91 1:146 1:125 1:111 1:30 1:61 1:142 1:21 1:12 1:20 1:21 1:11 1:38 1:33

Jedwali Na.4.3 linaonesha kuwa baadhi ya shule za sekondari za serikali zilizofanyiwa utafiti zina wastani wa uwiano wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi zaidi ya 100 (1:100). Wastani wa uwiano huu haulingani na 1:40 unaotakiwa kitaifa hali inayodhihirisha upungufu wa walimu. Kwa upande wa shule zisizo za serikali wastani wa mwalimu kwa wanafunzi ni 1:11-1:38 hali inayoonesha kutokuwa na tatizo la walimu. Hata hivyo wastani wa uwiano wa mwalimu kwa idadi ya wanafunzi kitaifa katika elimu ya sekondari unaonesha kuwa mwalimu mmoja anahudumia wanafunzi 51 (BEST, 2010) hali ambayo inaonesha kuwepo kwa upungufu wa walimu hivyo kuathiri ufundishaji na ujifunzaji.

w .Ja m

iiF

or u
101

m s.c

om

Rasimu 2
Kuhusu sifa za walimu, matokeo ya utafiti yameonesha kwamba, katika shule 132 zilizofanyiwa utafiti kuna jumla ya walimu 1,917 wakiwemo 515 wenye shahada, 1,051 wa stashahada, 126 wenye cheti na 225 wa leseni. Hali ya uwepo wa walimu wenye cheti na wa leseni katika shule za sekondari zilizofanyiwa utafiti inaonesha tofauti kati ya matamko ya Sera ya Elimu na Mafunzo (1995) na hali halisi kuhusu sifa ya mwalimu wa sekondari ambayo inasisitiza kwamba, mwalimu wa stashahada afundishe kidato cha 1-2. Kwa kawaida mwalimu wa shahada anatazamiwa kufundisha kidato cha 3-6. Jedwali Na 4.4 Jumla ya Mahitaji, Walimu Waliopo na Upungufu katika

Walio Nje kwa Ruhusa

Waliopo katika orodha

Walioazimwa

Wagonjwa Muda Mrefu

Watoro wa Muda Mrefu

om
17 0.89

Shule za Sekondari 132 Zilizofanyiwa Utafiti

2903 Asilimia

1917

1556 81.17

67 3.50

or u

48

229

1347

Chanzo: Takwimu za Utafiti, 2011

Pia utafiti umebaini kuwa, kuna tofauti ya takwimu za walimu waliopo katika orodha shuleni na idadi halisi ya waliopo. Jedwali 4.4 linaonesha walimu waliopo vituoni waliopo katika orodha shuleni. Aidha, asilimia 11.95 (229) ya walimu hao ni watoro wa muda mrefu na asilimia 46.4% (1347) ni upungufu wa walimu katika shule hizo. Uwepo wa walimu watoro kwa muda mrefu unaashiria tatizo la usimamizi wa rasilimali watu na hivyo kukwamisha mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji. Utafiti umebaini kuwa uhaba wa walimu umesababisha baadhi ya Walimu kufundisha masomo wasio na ujuzi nayo. Mfano katika shule za sekondari za Mipingo yenye jumla ya walimu 2 na Mtanga yenye walimu 4 katika Halmashauri za Lindi na Kilwa wa masomo ya lugha na sanaa pia wanalazimika kufundisha masomo ya sayansi. Kiwango cha ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010 katika shule katika shule 132 zilizofanyiwa utafiti ni asilimia 81.17 (1556) kati ya walimu 1,917

w .Ja m

iiF

2.50

11.95

102

Asilimia ya upungufu
46.40

Upungufu

Mahitaji

Waliopo Vituoni

m s.c

Rasimu 2
hizo ni wa kiwango cha chini, ambapo shule ya Mipingo watahiniwa wote 12 walifeli na shule ya sekondari Mtanga alifaulu Mtahiniwa mmoja kati ya watahiniwa 37. Hali hiyo pia imethibitika katika baadhi ya shule zenye kiwango kidogo cha ufaulu zilizofanyiwa utafiti kama inavyoonekana katika Kielelezo Na. 4.11. Shule hizo zina idadi ya walimu chini ya 5 kinyume na maelekezo yaliyo katika Kiongozi cha Mkuu wa Shule na Waraka wa Elimu Na. 10 wa mwaka 2004. Kielelezo Na 4.11: Baadhi ya Shule Zilizofanya Vibaya katika Mtihani wa Kidato cha 4 Mwaka 2010 na Idadi ya Walimu Waliokuwepo katika Kila Shule - 2010

Aidha, katika mahojiano na wanafunzi waliohitimu kidato cha 4 mwaka 2010, mhitimu mmoja alisema: tangu tulipoanza kidato cha kwanza mpaka cha nne, hatukuwahi kuwaona walimu wa baadhi ya masomo darasani hata mara moja. Hali hii inaonesha kuwa baadhi ya shule zina upungufu mkubwa wa walimu hivyo husababisha wanafunzi kufanya mitihani ya taifa katika baadhi ya masomo bila kufundishwa.

Chanzo: Takwimu za utafiti 2011

w .Ja m
103

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Utafiti umeonesha kuwa ni dhahiri kuwa upo uhusiano kati ya uwepo wa walimu na kiwango cha ufaulu wa wanafunzi katika Mitihani ya Taifa ya elimu ya sekondari. Vielelezo Na 4.11 na 4.12 vinathibitisha mahusiano hayo, ambapo Kielelezo Na 4.11 kinaonesha baadhi ya shule za sekondari zilizofanyiwa utafiti ambazo zina ufaulu wa kiwango cha chini wakati Kielelezo 4.4 kinaonesha shule zenye ufaulu wa juu. Kielelezo Na 4.12: Shule - 2010 Baadhi ya Shule Zilizofanya Vizuri katika Mtihani wa

Kidato cha 4 Mwaka 2010 na Idadi ya Walimu Waliokuwepo katika Kila

Chanzo: Takwimu za Utafiti, 2011

Matokeo ya utafiti yameonesha kuna upungufu mkubwa wa walimu kimasomo hususani katika masomo ya English Language, Chemistry, Physics na Mathematics. Katika shule za sekondari 132 zilizofanyiwa utafiti, somo la Mathematics, lina mahitaji ya walimu 436 ambapo waliopo ni walimu 172 hivyo kuna upungufu wa walimu 264 sawa na asilimia 60.6 kama inavyoonekana katika Jedwali Na. 4.5.

w .Ja m
104

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Jedwali Na 4.5: Mahitaji, Uwepo na Upungufu wa Walimu Kimasomo katika Shule za Sekondari Zilizofanyiwa Utafiti
Mathematics Geography Chemistry

Kiswahili

Physics 319 183 150 2 26 2 3 169 53.0

Biology

English

History

Civics

MASOMO Mahitaji Waliopo katika Orodha Waliopo Vituoni Walio Nje kwa Ruhusa Watoro wa Muda Mrefu Wagonjwa Muda Mrefu Walioazimwa Upungufu wa Walimu Asilimia ya Upungufu 327 210 175 8 23 2 2 152 46.5

332 183 153 9 17 3 1 179 53.9

290 203 178 3 13 9 0 112 38.6

341 234 182 13 27 7 5 159

305 255 185 14 47 9 0 120

289 228 189 12 19 7 1

264 202 172 3 18 8 1

436 219 172 3 39 1 4

2903 1917 1556 67 229 48 17 1347 46.4

m s.c
100 92 39.3 34.6 34.8

46.6

kidogo cha ufaulu wa somo hilo kama inavyoonekana katika Kielezo Na. 4.13 ambapo kiwango cha ufaulu kimeshuka kutoka asilimia 31.2 (2007) na kufikia asilimia 16.09 (2011).

Chanzo: NECTA, Examinations Results Statistics 2007-2010 105

Kidato cha 4 Mwaka 2006-2010

Kielelezo Na 4.13:

w .Ja m

Ufaulu wa Somo la Mathematics katika Mtihani wa

iiF

Vilevile, upungufu huo wa walimu wa somo la Mathematics unathibitisha kiwango

or u

Chanzo: Takwimu za Utafiti, 2011

om
264 60.6

Jumla

Rasimu 2
Upungufu wa walimu katika baadhi ya masomo hususan wa masomo ya sayansi na

Mathematics umesababisha ongezeko la idadi ya vipindi kwa walimu waliopo na


kupunguza ufanisi katika mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji na hivyo kuathiri kiwango cha ufaulu Utafiti umebaini sababu za upungufu wa walimu ni pamoja na walimu kutokwenda katika maeneo waliyopangiwa, kuruhusiwa kiholela au kutoroka kwenda kujiendeleza kimasomo, hususan walimu wa stashahada na wa leseni na upanuzi wa elimu ya sekondari ambao haukwenda sambamba na utayarishaji wa walimu wa kutosha kama ilivyoeleza na walimu katika mahojiano ya pamoja. Aidha, utafiti umebaini pia baadhi ya shule hazina wataalamu wa maabara, wakutubi, wahasibu, maafisa ugavi, makatibu muktasi na wahudumu. Hali hii imesababisha baadhi ya walimu kufanya kazi za uendeshaji zaidi kuliko kufundisha na hivyo kuathiri tofauti na ilivyoainishwa katika Kiongozi cha Mkuu wa Shule ukurasa 52 na 54 ufaulu wa wanafunzi. Hivyo, kuna upungufu wa walimu na wafanyakazi wasio walimu mtawalia.

Kwa ujumla matokeo ya utafiti yameonesha kuwepo kwa upungufu mkubwa wa walimu hasa katika shule za serikali hali ambayo hailingani na kanuni ya ikama ya walimu. Hali hii imesababisha walimu wasio na sifa kufundisha sekondari na hivyo kuwanyima wanafunzi fursa ya kujifunza kikamilifu.

4.6.4. Maoni ya Kuimarisha Ubora na Uwepo wa Walimu Wajibuji mbalimbali walitoa maoni ya kuimarisha ubora na uwepo wa walimu. Mapendekezo hayo ni pamoja na:a. Uwepo wa Walimu Uwepo mkakati maalum wa kuandaa walimu wa kutosha na wenye sifa hususan wa masomo ya Sayansi na Mathematics na kuajiri wataalamu wa kusaidia uandaaji wa masomo ya Sayansi kwa vitendo. Pia, ilishauriwa kuwa Halmashauri ziruhusiwe kuajiri walimu hao ili kurahisisha mgawanyo mzuri wa walimu kulingana na mahitaji ya kila somo. Suala la kuajiri walimu wenye sifa linahusisha vyuo vya ualimu na vyuo vikuu

w .Ja m

iiF
106

or u

m s.c

om

Rasimu 2
hivyo kuna umuhimu wa kuwa na mkakati maalum wa kuandaa walimu wa kutosha na wenye sifa katika ngazi zote. Pia ilipendekezwa kuwatumia Walimu na Maafisa wa Elimu
wastaafu katika shughuli mbalimbali za elimu ili kusaidia kupunguza athari za upungufu wa wafanyakazi na kutumia uzoefu wao kujenga uwezo wa wafanyakazi kwa gharama nafuu

b. Kuimarisha Ubora wa Walimu Kuhusu Mafunzo ya Walimu Kazini, ilipendekezwa kwamba Serikali iboreshe Vituo vya Walimu (TRCs) ili vitumike kuendeleza walimu kwa gharama nafuu. Ilipendekezwa kwamba Halmashauri zisaidie kusomesha walimu wanaopata nafasi ya kusoma elimu ya juu. Aidha walimu wasiende masomoni kwa wakati mmoja na kusababisha upungufu mkubwa shuleni. Maoni yalitolewa na wadau kuwa, CWT

om

igharamie

zinazolenga kuimarisha ushirikishaji wa wanafunzi. Mafunzo hayo pia yatawajengea ubunifu na ujuzi katika kutumia vifaa vinavyopatikana katika mazingira wanayofanyia kazi (ufaraguzi).

kubadili mazingira na kuwa na uzoefu unaolingana kwa walimu wote. Pia, walimu wanaobadilishana vituo vya kazi wapangwe katika shule walikotoka walimu hao ili kuziba pengo na wanaokwenda kusoma warudishwe katika vituo vyao vya kazi baada na ikama ipangwe kulingana na masomo ya walimu. Aidha, Halmashauri ziweke utaratibu wa kuhudumia walimu wapya kabla ya kupata mishahara yao. Maoni hayo yamebaini kuwa walimu hawaridhishwi na utaratibu wa upangaji vituo vya kazi, mapokezi wakati wa kuanza kazi na kukaa katika kituo kimoja cha kazi kwa muda mrefu. Hali kadhalika, ubadilishanaji wa vituo vya kazi usioziba mapengo umeonesha kutowaridhisha. Ilishauriwa pia walimu wasio na uwezo, walevi na watoro waondolewe na wasiruhusiwe kuajiriwa tena nchini. Vilevile wahitimu wa chuo kikuu wajaze mkataba wa kufundisha muda fulani ili wasitoke vituoni na kwenda kujiunga na kazi nyingine. Aidha, Serikali iunde Bodi ya Walimu Tanzania ya masomo. Ufuatiliaji ufanyike ili kubaini walimu ambao hawajaripoti vituo vya kazi

w .Ja m

Ilipendekezwa kuwa walimu wasibakizwe kituo kimoja cha kazi kwa muda mrefu ili

iiF

c. Kuboresha Utendaji Kazi wa Walimu

or u
107

m s.c

mafunzo ya walimu kazini ili wajengewe uwezo wa mbinu za kufundishia na kujifunzia

Rasimu 2
itakayoshughulikia viwango vya taaluma, maadili na utendaji wa walimu kama ilivyopendekezwa katika Mkakati wa Maendeleo ya Elimu ya Ualimu (TDMS, 2008). d. Kuboresha Mafunzo ya Walimu Tarajali Ilipendekezwa mafunzo ya walimu tarajali yasiwe chini ya miaka miwili na muda wa kufanya mazoezi ya kufundisha BTP uwe miezi miwili kwa mwaka wa kwanza na miezi mitatu kwa mwaka wa pili ili wanachuo waandaliwe ipasavyo. Aidha, kwa ufumbuzi wa muda mfupi, kuwepo kwa programu ya miezi mitatu ya mafunzo ya walimu tarajali ili kupata walimu wa kutosha na mfumo wa mafunzo ya ualimu unaojumuisha elimu ualimu. Vilevile, walionesha umuhimu wa kujifunza kutoka nchi nyingine zinazofanya ya juu ya sekondari na ualimu urejeshwe ili kutoa walimu mahiri na wenye ari ya vizuri kielimu.

Mazingira ya utendaji wa kazi ya walimu hutegemea mwamko wa jamii, uhusiano wa maabara na madarasa, vifaa vya kufundishia na kujifunzia vikiwemo vitabu vya kiada na ziada vinavyoendana na mitaala ni miongoni mwa mahitaji katika mazingira ya kufundishia na kujifunzia.

4.6.1 Mazingira ya Kufundishia na Kujifunzia Ubora wa mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji unahitaji walimu na wanafunzi kuwa katika hali inayorahisisha kazi na majukumu yao. Matokeo ya utafiti yamebaini kuwa baadhi ya walimu hupigwa na wanakijiji, hubakwa na kufanyiwa vitendo vya kishirikina. Pia, imebainishwa kuwa walimu hawapewi mapokezi mazuri na nyumba bora za kuishi wanaporipoti katika vituo vyao vya kazi. Pia utafiti umebaini kuwa asilimia 61 ya wakuu wa shule 132 za sekondari zilizofanyiwa utafiti wamesema kuwa mazingira mazuri ya kazi ni fursa inayowafanya walimu waendelee kubaki kwenye vituo vyao. Aidha, asilimia 57 (12) ya Maafisa elimu sekondari wa Halmashauri waliohojiwa walieleza kuwa mazingira mazuri yenye huduma za kijamii kama maji, afya, usafiri, umeme, teknolojia ya habari na 108

w .Ja m

iiF

walimu na ushirikiano na jamii inayozunguka shule. Miundombinu ya shule kama vile

or u

4.7.

Mazingira na Vifaa vya Kufundishia na Kujifunzia

m s.c

om

Rasimu 2
mawasiliano ni fursa inayowafanya walimu kuwepo shuleni. Pia, matokeo ya utafiti yanaonesha kuwa kati ya maafisa 44 wa ofisi za TSD waliohojiwa, asilimia 55 (24) walieleza kuwa baadhi ya walimu hupoteza muda wa vipindi kufuatilia stahili zao ofisi za TSD wilaya na wakati mwingine kukata tamaa na kushindwa kufanya kazi ipasavyo. Hali ambayo inayodhihirisha ugumu wa mazingira ya kazi ya mwalimu. Hivyo ili kuinua kiwango cha ufaulu, mazingira vutivu yanapaswa kuandaliwa kwa walimu ili waweze kutimiza wajibu wao katika vituo wanavyopangiwa.

Matokeo ya utafiti yamebaini kuwa chakula cha mchana hakitolewi kwa wanafunzi walimu na wanafunzi na hivyo kuleta matatizo ya usafiri wa wanafunzi na walimu pamoja alisema Usemi huo ukiwa na maana malori ya umesababisha wanafunzi kuishi

.huku hakuna mabasi tunapanda vitengo.

zinavyotumiwa na vitengo maalum vya polisi. Aidha, ukosefu wa mabweni

iiF
katika

or u

m s.c
nyumba za

mijini na vijijini. Kufuatia shida ya usafiri, mwanafunzi mmoja katika mahojiano ya

mchanga au landrover za wazi kama kupanga geto kama

Matokeo ya utafiti yanaonesha kuwa, uwepo wa mazingira mazuri ya kazi ni motisha inayoweza kuwafanya walimu kubaki katika vituo vyao na kutimiza majukumu yao kikamilifu. Pia, baadhi ya walimu wanatumia muda mwingi katika kufuatilia stahili zao badala ya kuwa kazini. Kwa ujumla, hali hii husababisha walimu kukata tamaa na kukosa morali ya kufundisha. Pia, utafiti umeonesha kuwa fedha za ruzuku ya uendeshaji (Capitation Grant) ambazo shule hununulia vifaa vya kufundishia na kujifunzia hutolewa chini ya kiwango kinachotakiwa. Vile vile, fedha hizi huchelewa kutolewa toka Hazina hali ambayo huathiri mwenendo wa manunuzi ya vifaa. Kukosekana kwa mazingira mazuri ya kazi husababisha walimu kukata tamaa na kukosa morali ya kufundisha. Vile vile, kutokuwepo kwa chakula cha mchana kwa wanafunzi katika shule za kutwa, kunaathiri umakini wa wanafunzi katika ujifunzaji. 109

w .Ja m

inavyofahamika na wanafunzi ambako huishi bila usimamizi wa wazazi au walimu.

om

katika shule nyingi za kutwa. Pia, baadhi ya shule zimejengwa mbali na makazi ya

Rasimu 2
Aidha, ni ukweli ulio dhahiri kuwa matatizo ya usafiri wa wanafunzi mijini na vijijini yanawakosesha vipindi kila siku na hivyo kuchangia kushuka kwa kiwango cha ufaulu. Pia kutokutolewa fedha za kutosha kwa wakati malengo yaliyowekwa. 4.6.2.2 Uwepo wa Samani na Majengo katika Shule Miongoni mwa miundombinu muhimu katika utoaji wa elimu kwa ufanisi ni pamoja na madarasa, maabara, samani, mabweni/hosteli, nyumba za walimu, majengo ya utawala na viwanja vya michezo.
Takwimu zilizotolewa na wakuu wa shule 132 zilizofanyiwa utafiti zimeonesha kuwa upo upungufu mkubwa wa maabara kwa masomo ya sayansi, maktaba, samani na miundombinu mingine kama inavyoainishwa kwenye Jedwali Na

kwa ajili ya

kununulia vifaa vya

kufundishia na kujifunzia kunaathari katika mchakato wa utoaji wa elimu kufikia

Jedwali 4.6: Samani na Majengo Katika Shule za Sekondari 132 Miundombinu Samani(Viti na Meza) Hosteli/Bweni Nyumba Majengo Utawala Madarasa Maktaba Maabara Kemia Maabara Fizikia Maabara Bayolojia Mahitaji 63,601 1,900 3,150 1,138 2,866 1,183 1,128 1,099 1,123 Uwepo 48,665 840 881 516 1,535 230 229 383 382 Upungufu 14,936 1,060 2,269 622 1,331 953 898 716 741 % Upungufu 23.5 55.8 72 54.7 46.4 80.6 79.6 65.2 66

Chanzo: Takwimu za Utafiti, 2011 110

Kielelezo Na. 4.9: Asilimia ya Upungufu wa Miundombinu katika Shule Zilizofanyiwa Utafiti

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

4.6 na Kielelezo 4.6.1

om

Rasimu 2
Aidha, walimu katika hojaji walibainisha kuwepo kwa mlundikano wa wanafunzi katika vyumba vya madarasa, maktaba na maabara hali inayothibitisha upungufu wa miundombinu hivyo kuathiri ufundishaji na ujifunzaji. Vilevile, wanafunzi katika mahojiano ya pamoja walibainisha athari ya ukosefu wa hosteli/mabweni shuleni hupelekea wanafunzi kulazimika kutembea umbali mrefu kati ya shule na makazi yao. Matokeo haya kwa ujumla yanaonesha hali isiyoridhisha katika suala la miundombinu ya shule tofauti na ilivyoelekezwa na Sera ya Elimu na Mafunzo, 1995 na Mwongozo wa Samani wa Wizara ya Elimu (2001). 4.6.2.3 Uwepo wa Vitabu vya Kiada na Ziada Utafiti umebaini kuwa kuna upungufu wa vitabu vya kiada vinavyoendana na mtaala ulioboreshwa kama inavyooneshwa katika Kielelezo Na 4.10. Aidha, utekelezaji wa Sera ya serikali imeendelea kukasimu majukumu ya kununua vitabu shuleni. Kielelezo Na. 4.10: Asilimia ya Upungufu wa Vitabu katika Shule Zilizofanyiwa Utafiti upatikanaji na usambazaji wa vitabu ya Mwaka 1992 imekuwa na changamoto ingawa

Chanzo: Data za Utafiti, 2011 Kielelezo Na. 4.10 kinaonesha kuwa upungufu wa vitabu vya kiada na ziada kwa wastani wa asilimia 75.5 kwa shule zote zilizofanyiwa utafiti. Aidha, wajibuji walionesha kuwa ununuzi wa vitabu huathiriwa na wanafunzi kutolipa ada na bei kubwa ya vitabu. 111

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Wakuza mitaala waliohojiwa walieleza changamoto za ucheleweshaji wa uhakiki wa vitabu na utoaji ithibati inayofanywa na Kamati ya kuhakiki ubora wa machapisho ya kielimu (EMAC). Walimu wakuu walitoa changamoto ya upungufu wa vifaa vya kufundishia pamoja na vitabu vya kiada vinavyoendana na mihtasari iliyoboreshwa kwa baadhi ya masomo, na kuwepo baadhi ya mada katika vitabu vya kiada vilivyopewa ithibati na EMAC kutoendana na mahitaji ya mihtasari iliyoboreshwa. Matokeo ya utafiti yamebaini kuwa pamoja na shule nyingi kuwa na vitabu vichache, baadhi ya vitabu hivyo haviendani na mtaala ulioboreshwa. Aidha, kukosekana kwa mamlaka rasmi ya kusambaza vitabu katika ngazi ya Halmashauri pia ilibainishwa kuwa chanzo cha ukosefu wa vitabu vinavyoendana na mtaala. Pia, mahojiano ya pamoja ya wanafunzi na walimu yameonesha kuwa shule nyingi hazina utaratibu mzuri wa matumizi ya vitabu hata vile vichache vilivyopo. Kwa ujumla, utafiti unaonesha upungufu mkubwa wa vitabu vya kiada na ziada katika shule nchini na athari kubwa katika ufundishaji na ujifunzaji wa taaluma shuleni. matatizo katika upatikanaji, usambazaji na matumizi yake katika shule. Hali hii ina

Kati ya wakuu wa shule 132 wa shule za sekondari waliohojiwa, asilimia

w .Ja m

4.6.3 Maoni ya Kuboresha Mazingira ya Kufundishia na Kujifunzia 61 wameeleza kuwa mazingira mazuri ya kazi ni fursa inayowafanya walimu waendelee kubaki kwenye vituo vyao. Aidha, asilimia 57 (12) ya Maafisaelimu sekondari wa Halmashauri waliohojiwa wameeleza kuwa mazingira mazuri yenye huduma za kijamii kama maji, afya, usafiri, umeme, teknolojia ya habari na mawasiliano ni fursa inayowafanya walimu kuwepo shuleni. Uwepo wa mazingira mazuri ya kazi kwa walimu ni motisha itakayowafanya walimu kubaki katika vituo vyao na kutimiza majukumu yao ya kufundisha kwa ukamilifu. Wajibuji wamependekeza kuwepo na vitabu vya kutosha shuleni ambavyo

vimeidhinishwa na utaratibu wa kupitia vitabu. Aidha, Kitengo cha Kamati ya Kutathimini Machapisho ya Kielimu (EMAC) kiimarishwe ili kiwe na watendaji wenye ujuzi. Serikali irudishe utaratibu wa kuwa na aina moja ya vitabu vya kiada vitakavyotumika nchi nzima kwa kila somo (visiwe zaidi ya viwili). Wizara inunue na

iiF

or u
112

m s.c

om

Rasimu 2
kusambaza vitabu hivyo ili kuwezesha kuwepo kwa vitabu vya kutosha shuleni. Hali kadhalika, matumizi ya TEHAMA shuleni yatiliwe mkazo ili kuwezesha wanafunzi kupata maarifa kwa njia ya mtandao. Vilevile, imeshauriwa kuwa Serikali ithibiti matumizi holela ya vitabu vya kugushi vya kufundishia na kujifunzia shuleni. Pia vifaa vya maabara viongezwe katika kila shule na shule zilizo na maabara ziwezeshwe ili shule za karibu zisizo na maabara zitumie maabara za shule hizo teule. Kuhusu posho kwa walimu, ilipendekezwa kuwepo na posho maalum ya kufundishia ambayo ni asilimia 50 ya mshahara, madaraja, mafunzo kazini, posho ya mazingira magumu, kupandishwa kuboresha huduma za jamii kama vile umeme, maji,

wa kuwakopesha walimu ili kuwavutia wadumu kufundisha katika mazingira magumu. Serikali ilishauriwa kuhamasisha wadau mbalimbali wa elimu kuimarisha miundombinu shuleni kwa kuziwezesha shule kuwa na maktaba, maabara na vifaa vyake ili mitihani hasa kwenye shule zilizojengwa kwenye mazingira magumu. Pia, ilipendekezwa kuwa shule zijengewe uzio ili kuimarisha ulinzi. Sambamba na hilo wadau walipendekeza ili wanafunzi hao waweze kujifunza kwa ufanisi zaidi. kuwe na utaratibu wa kutoa chakula cha mchana kwa wanafunzi wa shule za kutwa

uwezo wa kujitafutia maarifa wenyewe kwa mfumo wa kujitegemea. Kutokana na maoni hayo imeonekana kuna upungufu wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia, miundombinu ya kutosha, ziara za mafunzo na vyama vya masomo. Aidha, ukosefu wa fedha, ubovu wa miundombinu, uchapaji na usambazaji mbaya wa vitabu vinavyoendana na mihtasari iliyoboreshwa, na uelewa mdogo wa lugha ya Kiingereza kwa walimu na wanafunzi, ni changamoto ambazo zinaathiri utekelezaji wa mitaala shuleni.

ili kuwajengea wanafunzi na walimu utamaduni wa kusoma vitabu ili kuwapatia na

Aidha, ilipendekezwa kuwe na ziara za mafunzo na kuimarisha vyama vya kimasomo

w .Ja m

iiF

or u
113

ya alternative to practical iondolewe, kuwepo kwa mabweni na vyumba vya kutosha

m s.c

om

usafiri na nyumba bora ili kutoa motisha kwa walimu. Vilevile serikali ianzishe mfuko

Rasimu 2
Pamoja na juhudi za serikali za kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia kama ilivyobainishwa katika MMES I na II, bado kuna changamoto za uwepo wa vifaa vya kutosha. Aidha, zinahitajika juhudi za makusudi kuhamasisha wanafunzi kupenda masomo ya Sayansi na Mathematics kwa kuhakikisha kuwepo kwa vifaa toshelevu vya kufundishia na kujifunzia kwa sababu Taifa linahitaji wataalam ili kuhimili ushindani wa kisayansi na kiteknolojia.

w .Ja m
114

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
SURA YA TANO: HITIMISHO NA MAPENDEKEZO
Sura hii inaainisha hitimisho la matokeo ya utafiti kwa kuzingatia masuala yanayoendana na malengo mahsusi na maswali ya utafiti. Matokeo ya utafiti huu yameonesha sababu mbalimbali za kushuka kwa ufaulu zilizobainishwa na kujadiliwa katika sura ya nne. Sababu za kushuka kwa kiwango cha ufaulu zimegawanyika katika sehemu mbili ambazo ni chanzo (cause) cha tatizo na athari (effects). Matokeo ya utafiti yameonesha kuwa usimamizi na uendeshaji wa elimu katika ngazi zote ni chanzo cha kushuka kwa kiwango cha ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 mwaka 2010. Usimamizi na uendeshaji wenye mapungufu umeathiri utayarishaji na utekelezaji wa mitaala, mfumo wa utayarishaji na uwepo wa walimu, mfumo na taratibu za mitihani ya taifa, mazingira na vifaa vya kufundishia na kujifunzia na mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya utoaji wa elimu. Aidha,

muda wa utekelezaji ambao ni mfupi, wa kati na mrefu. Muda mfupi (MF) ni kipindi mrefu (MR) ni zaidi ya miaka mitatu.

5.1. Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu i) Baadhi ya viongozi wa elimu katika ngazi mbalimbali wanateuliwa bila kuzingatia uendeshaji usioridhisha na kuwepo na uwajibikaji mdogo katika ngazi mbalimbali za kielimu;

ii) Maamuzi ya kitaalamu yahusuyo elimu pamoja na uendeshaji wake hufanyika kisiasa na hivyo kuleta athari katika utekelezaji wa mipango ya utoaji wa elimu bora nchini; iii) Kuna ufinyu wa bajeti ya Wizara ya Elimu, malengo ya elimu; TAMISEMI na Halmashauri, hivyo

usimamiaji na uendeshaji wa elimu kutokuwa na ufanisi unaotakiwa kulingana na

vigezo vya utaalamu, uzoefu na uadilifu. Hali hii imepelekea kuwa na usimamizi na

w .Ja m

iiF

chini ya mwaka mmoja, muda wa kati (MK) ni mwaka mmoja hadi mitatu na muda

or u
115

mapendekezo yamewasilishwa kwa kila suala na kubainishwa kwa kuzingatia

m s.c

om

Rasimu 2
iv) Utekelezaji wa Sera ya matumizi ya vitabu vingi vya kughushi na kupenyezwa kwa vitabu visivyo na ubora; na v) Kuna matatizo makubwa katika matumizi ya Kiingereza kama lugha ya kufundishia na kujifunzia katika elimu ya sekondari, na hivyo kuathiri ufundishaji na ujifunzaji. vi) Kutokuwepo kwa uadilifu katika usimamizi na matumizi ya fedha zilizotengwa licha ya ufinyu wa bajeti hali inayokwamisha kufikia malengo ya utoaji wa elimu bora; na kiada hauendani na upatikanaji wa vitabu vyenye ithibati na hivyo kusababisha kuwepo kwa vitabu vya

Kidato cha 4, hivyo kuwanyima fursa ya kuendelea na masomo ya juu na fani

Mapendekezo

Taasisi, ofisi za elimu mikoa, Halmashauri, na mashirika yasiyo ya kiserikali

b) Uadilifu katika usimamizi na matumizi ya fedha zilizotengwa uimarishwe; (MF) c) Mchakato wa kutoa ithibati ufanyike kwa ukamilifu ili kupata vitabu vyenye ubora unaotakiwa; (MF)

pamoja na vifaa vingine vya kufundishia na kujifunzia uimarishwe; (MF) e) Ufundishaji na ujifunzaji wa somo la English kwa shule za Awali, Msingi na Sekondari uimarishwe; (MF) f) Uteuzi wa viongozi mbalimbali wa kielimu uzingatie uzoefu, utaalamu, uwezo, uadilifu na uwajibikaji. Aidha, nafasi za uongozi zilizoachwa wazi zijazwe na zisikaimishwe kwa muda mrefu ili kuimarisha usimamizi na uendeshaji wa elimu; (MK)

d) Ufuatialiaji wa usambazaji, upatikaji na utumiaji wa vitabu vya kiada na ziada

w .Ja m

iiF

uimarishwe katika utoaji wa elimu kwa ngazi zote; (MF)

or u
116

a) Uendeshaji, usimamizi, mawasiliano na mahusiano baina ya asasi za kielimu,

m s.c

mbalimbali.

om

vii) Kumekuwepo na ongezeko kubwa la wahitimu waliofeli katika mtihani wa Taifa wa

Rasimu 2
g) Klabu za masomo kama vile English, Mathematics, Science na Geography clubs vianzishwe na kuimarishwa; (MF) h) Mfumo wa kuandaa viongozi katika kuachiana madaraka (succession plan) uanzishwe/kuimarishwa na kutumika; (MK) i) Maamuzi yanayohusu masuala ya elimu yafanywe kwa kuzingatia utaalam, tathmini na tafiti za kisayansi ili kuleta ufanisi katika utekelezaji wa mipango ya utoaji wa elimu; (MF) j) Bajeti ya elimu iongezwe na izingatie vipaumbele katika sekta ya elimu ili kutatua

kianzishwe kwa lengo la kushughulikia viwango vya taaluma, maadili, utendaji na haki za walimu ili kulinda hadhi ya kazi ya ualimu na kuhakikisha kuwa inakidhi malengo yaliyokusudiwa; (MK)

l) Utaratibu wa motisha kwa walimu unaoendana na uzito wa kazi, wadhifa na ugumu wa mazingira anapofanyia kazi uandaliwe na utekelezwe ipasavyo; (MK) m) Wanafunzi wanaofeli katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4 wahimizwe kufanya mitihani ya marudio kama watahiniwa binafsi ili wapate sifa za kujiendeleza kitaaluma na kitaalamu; (MK)

yote ianzishwe na itekelezwe katika shule zote za sekondari; (MK) na o) Sheria ya vitabu itungwe ili kudhibiti usambazaji na matumizi ya vitabu visivyo na ithibati katika shule nchini. (MR) na p) Vyuo vya ufundi stadi kama vile VETA, Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi (FDC), Vyuo vya Maendeleo ya Jamii (CDTI) vipanuliwe ili kuwawezesha wanafunzi wanaopenda kujiunga na vyuo hivyo kujiunga na kupata ujuzi na stadi za kuwawezesha kuajiriwa na kujiajiri. (MR)

n) Programu maalumu ya mafunzo ya lugha ya kiingereza kwa walimu wa masomo

w .Ja m

iiF

or u
117

m s.c

k) Chombo cha Kusimamia Taaluma ya Ualimu (Teachers Professional Board)

om

changamoto zilizopo; (MK)

Rasimu 2
5.2. Utekelezaji wa mitaala i) Mafunzo kabilishi juu ya mtaala ulioboreshwa mwaka 2005 na 2007 ambao unazingatia ujuzi yametolewa kwa kiwango kidogo kwa walimu, wakaguzi na Maafisa Mitihani na hivyo kutotekeleza mtaala ipasavyo; ii) Dhana ya mtaala unaozingatia ujuzi (competence Based Curriculum) haieleweki kwa wadau wengi wakiwemo maafisa mitaala, maafisa mitihani, wakaguzi wa shule na walimu; iii) Upungufu wa mihtasari ya masomo na vitabu vya kiada na ziada vinavyoendana ufundishaji na ujifunzaji;

iv) Mitaala inatayarishwa bila kufanyiwa majaribio (piloting). Kutojaribisha mitaala wakati wa utayarishaji wake kunasababisha kutekeleza mitaala yenye mapungufu na isiyokidhi mahitaji ya jamii; na

v) Kuna tatizo la mfumo wa usambazaji wa mihtasari kutoka TET kwenda shuleni, aidha TET huuza mihtasari na kusababisha upungufu shuleni. Mapendekezo

a) Mafunzo maalumu kuhusu dhana ya mitaala inayozingatia ujuzi yaandaliwe na kutekelezwa kwa maafisa mitaala na maafisa mitihani ili kuwajengea uwezo; (MF) b) Mafunzo kabilishi kuhusu dhana ya mitaala inayozingatia ujuzi yaandaliwe na kutekelezwa kwa walimu na wakaguzi wote; (MF) c) Mihtasari ya kutosha isambazwe shuleni na isiuzwe. Aidha nakala laini (soft copy) ya mihtasari iwekwe kwenye mtandao (website) ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na TET ili wadau waweze kuipata kiurahisi; (MF) d) Ithibati ya vitabu vyenye kukidhi mahitaji ya mtaala iharakishwe. Aidha mafunzo elekezi yatolewe kwa waandishi na wachapishaji ili wachapishe vitabu vinavyoendana na mtaala ulioboreshwa; (MK) na

w .Ja m

iiF

or u
118

m s.c

om

na mtaala ulioboreshwa katika shule na vyuo vya ualimu umeathiri mchakato wa

Rasimu 2
e) Taratibu za utayarishaji wa mitaala zizingatiwe ikiwa ni pamoja na kufanya utafiti, tathmini na kujaribisha mitaala kabla ya utekelezaji wake. (MR) 5.3. Mfumo na Taratibu za Mitihani ya Taifa

i) Muundo na aina ya maswali yanayotolewa na walimu katika ngazi ya shule kwa kiasi kikubwa haufanani na ule wa mitihani ya Taifa. Hivyo upimaji wa wanafunzi shuleni kuwa chini ya kiwango kinachotakiwa katika mitihani ya Taifa; ii) Wanafunzi wana uelewa mdogo wa lugha ya kufundishia (Kiingereza) na hivyo kushindwa kujibu maswali ya mitihani ipasavyo;

kuhifadhia mitihani (strong room) katika ngazi ya Halmashauri na shule; iv) Uteuzi wa wasahihishaji unafanyika kwa upendeleo na hivyo kupoteza umakini katika usahihishaji;

v) Wasahihishaji wa mitihani ya Taifa hulipwa kwa kiwango kidogo cha pesa na umakini katika usahihishaji; vi) Miongozo ya usahihishaji

mapungufu na makosa katika baadhi ya maswali hutumika wakati wa usahihishaji wa mitihani ya taifa, hivyo kuwanyima haki watahiniwa;

fursa ya kuutumia katika kuwaandaa wanafunzi; viii) Mwongozo kuhusu mchango wa CA wa 50% (45% majaribio na mazoezi na 5% inatoa matokeo ambayo siyo

projekti) katika mtihani wa Taifa hautumiki au mchakato wake katika matokeo ya mwisho haufahamiki kwa wadau wa elimu. Hii halisia, pia ni kinyume na mwongozo wa mazoezi endelezi (CA) wa NECTA; ix) Baadhi ya shule huwasilisha NECTA alama za CA zisizo na uhalisia na hivyo kusababisha NECTA kukosa imani na alama hizo;

vii) Muundo wa mitihani (Format) kutowafikia baadhi ya walimu na hivyo kutopata

w .Ja m

iiF

kufanya kazi kwa muda mrefu kwa siku, na hivyo kushusha ari na kupoteza

(marking scheme) ya baadhi ya masomo yenye

or u
119

m s.c

om

iii) Kuna mianya ya uvujaji wa mitihani unaotokana na kutokuwa na vyumba vya

Rasimu 2
x) Ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 una athari katika ufaulu wa Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4; xi) Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 2 ni sehemu ya ya ufundishaji na ujifunzaji; xii) Utoaji wa adhabu ya kumshusha mtahiniwa daraja kutokana na kufeli kwa baadhi ya masomo ya msingi na ya mchepuo hakuleti usawa katika ufaulu pia ni kinyume na alama za madaraja husika; na mazoezi endelezi (CA) na

hautumiki kuchuja wanafunzi kuendelea na Kidato cha 3. Hali hii imepunguza ari

zile zinazotumika kupata gredi hizo katika mitihani ya shule. Hali hii inasababisha

Mapendekezo

(authentic) pia alama za CA zitumike katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha 4

b) Uteuzi wa wasahihishaji uzingatie sifa na usawa kutoka shule za kitaifa, jamii na zisizo za serikali; (MF)

c) Utungaji na uhakiki wa mitihani ya taifa uboreshwe na

w .Ja m

iiF

kama ilivyoelekezwa katika mwongozo wa mazoezi endelezi; (MF)

or u
120

a) Walimu wawapime wanafunzi kwa kuwapa mazoezi endelezi (CA) yenye uhalisia

m s.c

watahiniwa kutopata gredi stahiki, hivyo kuathiri ufaulu.

d) Adhabu katika upangaji wa madaraja inayomshusha mtahiniwa hadi daraja la III baada ya kufeli mojawapo ya masomo ya msingi au mchepuo iondolewe ili kila mtahiniwa apate daraja linalolingana na kiwango cha ufaulu wake; (MF) e) Fomati ya mitihani ya Taifa isambazwe katika shule zote na ufuatiliaji ufanyike kuhakikisha kwamba kila mwalimu anaitumia; (MF) f) Utaratibu wa kuweka kwenye mtandao (website) taarifa muhimu zinazohusu taratibu na maelekezo mbalimbali ya uendeshaji wa mitihani ya Taifa na utoaji matokeo uimarishwe. Kwa mfano ziwekwe fomati za mitihani, ripoti za tathmini za mitihani, taratibu za mitihani; (MF)

inayotekelezwa; (MF)

om

xiii)

Kuna tofauti ya taratibu zinazotumika kupata gredi katika mitihani ya Taifa na

uzingatie mitaala

Rasimu 2
g) Hadhi ya Mtihani wa taifa wa Kidato cha 2 irudishwe ili utumike kuchuja wanafunzi. Aidha, wanafunzi wasiokuwa na uwezo wapatiwe masomo ya ziada (Remedial); (MF) h) Mfumo rasmi wa kupata gredi katika mitihani ya shule na Taifa unaofahamika kwa wadau wote wa elimu utayarishwe na kutumika kikamilifu ili kuleta haki kwa watahiniwa; (MF) na i) Wasahihishaji wa mitihani ya taifa walipwe posho ya kujikimu (perdiem) kwa sababu ni haki ya mwajiriwa wa serikali. (MK)

ii) Ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa mtaala umefanyika kwa kiwango kidogo

Mapendekezo

b) Viongozi wa elimu wafanye ziara za mara kwa mara na za kushtukiza shuleni ili kufuatilia uendeshaji wa elimu; (MF) c) Jukumu la kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa mtaala litekeleze kikamilifu ili kubaini dosari za kiutekelezaji na hivyo kufanya marekebisho stahiki; (MF) na d) Ukaguzi wa shule ngazi ya elimu ya sekondari uwe katika ngazi ya Mkoa na Halmashauri ili kusogeza huduma karibu na walengwa na kuimarisha usimamizi na uendeshaji; (MK) 5.5. Mfumo wa utayarishaji wa walimu

i) Sifa za udahili wa mwalimu tarajali anayeandaliwa kufundisha elimu ya sekondari ngazi ya stashahada (1 Principal, and 1 Subsidiary passes) hazitoshelezi kumfanya mwalimu anayeandaliwa kuwa mahiri;

w .Ja m

nyenzo na wataalamu wa kutosha ili kutoa maamuzi yenye uhalisia; (MF)

iiF

a) Ukaguzi wa shule, utafiti wa elimu, ufuatiliaji na tathmini uimarishwe kwa kupatiwa

or u
121

hivyo kutobainika kwa dosari za utekelezaji wake;

m s.c

ufanisi katika ufuatiliaji na tathmini ya elimu; na

om

5.4. Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Utoaji wa Elimu i) Mfumo wa ukaguzi wa shule za sekondari kuwa katika ya ngazi ya kanda hauleti

Rasimu 2
ii) Baadhi ya wadahiliwa katika vyuo vya ualimu kutokuwa na wito wa kazi ya ualimu hivyo kusababisha walimu hao kutokuwa na maadili ya kazi ya ualimu na kutodumu katika ajira; iii) Matayarisho hafifu ya walimu tarajali yanatokana na wingi wa wanachuo darasani, upungufu wa miundombinu na vifaa vya kufundishia na kujifunzia na kutotumika kwa mbinu shirikishi. Hali hii inasababisha kutopata walimu mahiri wa kutekeleza mtaala ulioboreshwa; iv) Baadhi ya wanachuo wanaomaliza shahada ya elimu huajiriwa kuwa wakufunzi katika vyuo vya ualimu moja kwa moja, utaratibu ambao unawafanya wanachuo watayarishwe na wakufunzi wasio na uzoefu wa kufundisha; na

kujieleza, hivyo wanapohitimu hushindwa kutumia lugha hiyo katika kufundisha katika shule za sekondari.

i) Kuna upungufu mkubwa wa walimu pamoja na usambazaji wa walimu usiofuata inasababisha wanafunzi kutofundishwa ipasavyo; ii) Kuna walimu wasio na sifa kufundisha sekondari ambao wapo katika shule za sekondari wakifundisha bila utaalamu wa ualimu;

ufundishaji na ujifunzaji shuleni; na vi) Baadhi ya shule huwatumia wahitimu wa kidato cha 6 na 4 na wasiokuwa na taaluma na maadili ya ualimu. Hii inasababisha wanafunzi kutopata fursa ya elimu na malezi bora. Mapendekezo a) Walimu wasambazwe kwa usawa kwa kuzingatia mahitaji (ikama) katika shule zote; (MF)

kwenda masomoni

iii) Kuna upungufu mkubwa wa walimu unaosababishwa na walimu wa shule moja kwa wakati mmoja hususan wa leseni, na hivyo kuathiri

w .Ja m

iiF

uwiano wa mwalimu kwa wanafunzi kati ya shule na shule, mijini na vijijini. Hali hii

or u
122

m s.c

v) Wanachuo wengi wana tatizo la kutumia lugha ya kiingereza katika kuandika na

om

Rasimu 2
b) Programu za mafunzo zisizoathiri ikama ya walimu katika kila shule ziandaliwe; (MF) c) Uanzishwe utaratibu wa kuwatumia walimu kufundisha shule zaidi ya moja kwa masomo yenye ukosefu au upungufu wa walimu; (MF) d) Sifa za udahili wa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya stashahada zipandishwe kuwa Principal 2 za masomo atakayofundisha, ili kumwezesha mwalimu kuwa mahiri kitaaluma; (MK) e) Vifaa vya kufundishia na kujifunzia vya kutosha vipatikane na upanuzi wa ongezo la udahili na kufikia viwango vilivyowekwa; (MK)

f) Wakufunzi na wahadhiri wapewe mafunzo kazini juu ya mtaala unaozingatia ujuzi (Competence Based Curriculum) ; (MK)

g) Wakufunzi mahiri na wenye uzoefu wa kufundisha katika shule za sekondari waajiriwe. Aidha wahitimu wa vyuo vikuu wanaoajiriwa moja kwa moja waanzie kazi katika shule za sekondari za mazoezi; (MK) h) Uhamasishaji ufanyike kwa wahitimu wa kidato cha 6 na vyuo vikuu kuelewa fursa za kazi ya ualimu ili waweze kuijiunga na kuifanya kazi hiyo; (MK)

kujifunzia lugha ya kiingereza ili kuongeza stadi za kuongea na kuandika; (MR) j) Udahili wa walimu tarajali uzingatie mahitaji ya walimu kimasomo ili kukabiliana na upungufu walimu katika baadhi ya masomo; (MK) k) Udahili wa walimu tarajali ngazi ya stashahada ufanyike kwa wahitimu wa Kidato cha 4 waliojaza Sel Form na mafunzo yawe miaka mitatu yakijumuisha masomo ya taaluma (Kidato cha 5-6) na ualimu ili kupata walimu mahiri na wenye wito; (MK)

katika Vyuo vya ualimu na Vyuo vikuu ambapo walimu tarajali watatumia

i) Maabara ya lugha ya kiingereza (language laboratory) zianzishwe na kuimarishwa

w .Ja m

iiF

or u
123

m s.c

om

miundombinu ufanyike katika vyuo vya ualimu na vyuo vikuu ili kuendana na

Rasimu 2
l) Utaratibu maalumu uanzishwe kwa kuwapatia mafunzo ya Ualimu (Post Graduate

Diploma in Education) wahitimu wa shahada zisizo za ualimu ili kukabiliana na


tatizo la upungufu wa walimu kwa muda mfupi; (MK) m) Utaratibu wa kutumia/kuajiri watu ambao sio walimu kufundishaji katika shule za sekondari uachwe; (MK) n) Utaratibu uandaliwe wa kuwaendeleza walimu wanaofundisha katika shule za sekondari ambao hawana utaalam wa ualimu ili kuwajengea uwezo walimu hao; (MK)

uzoefu wao katika kufanikisha shughuli mbalimbali za elimu; (MK)

p) Wahitimu wa kidato cha 6, 4 na vyuo vikuu wanaofundisha katika shule za sekondari wajiendeleze kwa kusomea taaluma ya ualimu; (MK) na q) Matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji yaimarishwe. (MK)

5.6.

Mazingira ya Kufundishia na Kujifunzia

i) Kuna upungufu mkubwa wa samani na vifaa vya kufundishia na kujifunzia shuleni. ufundishaji na ujifunzaji; ii) Baadhi ya shule zimepata usajili bila kutimiza vigezo vinavyohitajika kama vile maabara za Sayansi, maktaba, ofisi na nyumba za walimu na hivyo shule hizo kuendeshwa kwa mapungufu; iii) Baadhi ya shule zimejengwa mbali na makazi ya wanafunzi na walimu. Hali hii inawasababisha walimu na wanafunzi kutumia muda mrefu wa kwenda na kurudi shuleni na hivyo kupunguza ufanisi katika ufundishaji na ujifunzaji; na iv) Kutokuwepo kwa chakula cha mchana katika shule za kutwa, hivyo kuathiri mahudhurio na umakini wa wanafunzi katika ujifunzaji. 124

Hali hii inasababisha wanafunzi kutoshiriki kikamilifu katika mchakato wa

w .Ja m

iiF

or u

m s.c

om

o)

Utaratibu uanzishwe wa kuwatumia Walimu na Maafisa wa Elimu wastaafu ili kutumia

Rasimu 2
Mapendekezo j) Jamii na wadau wengine wa elimu wahamasishwe kugharamia elimu nchini; (MF) k) Usajili wa vyuo na shule za Serikali na zisizo za Serikali uzingatie vigezo vinavyotakiwa; (MF) l) Fedha za kutosha kwa ajili ya kununua samani na vifaa vya kufundishia na kujifunzia shuleni zitengwe na kutumika ipasavyo; (MK) m) Utaratibu wa usafiri wa wanafunzi na walimu kwenda na kurudi shuleni uandaliwe kwa shule ambazo ziko mbali na makazi ya walimu na wanafunzi; (MK) n) Hosteli/mabweni na nyumba za walimu zijengwe kwenye shule zilizo mbali na

o) Wanafunzi katika shule zote za kutwa wapatiwe chakula cha mchana ili kuimarisha

w .Ja m
125

iiF

or u

ufundishaji na ujifunzaji. (MR)

m s.c

makazi ya wanafunzi na ya walimu; (MR) na

om

Rasimu 2
REJEA
1.0 Lissu H. S (2008). Public Perception On The Use Of Continuous Assessment Marks In Grading O-Level Secondary, M.Ed. (Science Education) Dissertation (Unpublished), Faculty of Education, University of Dar es Salaam. Natinal Examinations Council of Tanzania: Examinations Processing, Dar es Salaam, July, 1986 National Examinations Council of Tanzania: NECTA WEBSITE, Dar es Salaam, May 2001 National Examinations Council of Tanzania: The Examinations Regulations, Dar es Salaam, 2006. NECTA, 2004. Thirty Years of National Examinations Council of Tanzania (1973-2003). Dar es Salaam. National Examinations Council of Tanzania: Certificate of Secondary Eeducation Examination, Paper on Literature in English, Dar es Salaam, Oktober, 2010 National Examinations Council of Tanzania: Certificate of secondary Education Examination Format, Dar es Salaam, February, 2008 National Examinations Counci of Tanzania: Guidelines on the Conduct and Administration of Continuous assessment in Secondary Schools and teacher Training Colleges, Dar es Salaam, United Republic of Tanzania: Education and Traininng Poplicy, Ministry of Education, Dar es Salaam, 1995. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya ufundi: Mwaka 2006, WEMU, 2006

2.0

3.0

4.0

5.0

6.0

8.0

10.0

9.0

w .Ja m

iiF

7.0

or u
126

11.0

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya ufundi: Waraka wa Elimu Na. 5 wa Mwaka 1999, Mtihani wa kidato cha Pili katika Shule za Sekondari, WEMU, 1999. Babyegeya E (2006) Teacher Education in Tanzania: developments and prospects, Journal of Issues and practice in Education (pg.32-46).

12.0

m s.c

Waraka wa Elimu Na. 1 wa

om

Rasimu 2
13.0 14.0 TIE (1991) A Summary Report on baseline Survey on primary, secondary and Teacher Education Curriculum Reform in Tanzania Mainland, MOEVT, Dsm. Meena W.E. (2009) Curriculum Innovation in Teacher Education. Abo Academy University Press. Osaki K.M. (1996) Changing Forms of Curriculum in Tanzania in Papers in Education and Development No. 17, DSM. IBE/UNESCO (Dec 2000) Capacity Building for Curriculum Specialists in East & South East Asia and The Pacific, Bangkok, Thailand. WEU (1995) Sera ya Elimu na Mafunzo, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dar es Salaam. TIE (2003) National Curriculum Development Framework (NCDF), TIE, Dar es Salaam.
TIE, (2008) Secondary Education Curriculum for Tanzania Mainland. Dar es Salaam.

15.0

16.0

17.0

18.0

19.0 20.0

TET ( Februari 2011) Taarifa ya Utekelezaji wa Mafunzo kwa Wasimamizi wa Elimu na Walimu kwa miaka 2005-2010, TET Dar es Salaam. WEU (Juni 2005) Marekebisho ya Mtaala wa sekondari na Kuunganishwa kwa Masomo, Wizara ya Elimu na Utamaduni, Dar es Salaam. MOEVT (2007) Teacher Development Management Strategy (TDMS), Ministry of Education & Vocational Training, Dar es Salaam. MoEVT (2001) Practices and Possibilities in Teacher Education in Tanzania, edited by Mhando et al., Ministry of Education and Vocational Training , Dsm Jamhuri ya Muungano wa Tanzania(Februari 1982), Mfumo wa Elimu ya Tanzania 1981-2000:Ripoti na Mapendekezo ya Tume ya Rais ya Elimu, Juzuu la Kwanza, JMT, Dsm. MoEVT (May 2004) A Deliberate Support to Licensed Teachers-Facilitator and Mentors Guide, Ministry of Education and Vocational Training, Dsm WEMU (2006), Kiongozi cha Mkaguzi wa shule. Dar es Salaam WEMU (2009), Hotuba ya bajeti ya WEMU 2009/2010 p.43). Dar es Salaam

21.0

22.0

23.0

24.0

25.0

26.0 27.0

w .Ja m

iiF

or u
127

m s.c

om

Rasimu 2
28.0 Ngodu, A. S . (2007), Licensed Teachers Professional Develepment and the Fate of Teaching Science and Mathematics in Secondary Schools. M.Ed. (Science Education) Dissertation. (Published), Faculty of Education, University of Dar es Salaam. WEMU (2009), Mihtasari ya Mafunzo ya Ualimu ngazi ya Cheti na Stashahada iliyorekebishwa, na Utaratibu wa Kutahini (Barua ya Kamshina), Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dsm MoEVT (2010) Basic Education Statistics in Tanzania, 2006 2010, Ministry of Education and Vocational Training, Dsm WEMU (2010) Moduli ya Ujuzi wa Kufundisha kwa Umahiri, MWAKEM, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, DSM

29.0

30.0

31.0

33.0

35.0

WEMU (2005), Nyaraka za Elimu za mwaka 1998 2005, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dsm MoEVT( 2008), Education Sector Development Program(EDSP) (2008 17), Ministry of Education and Vocational Training, Dsm MoEVT (2004), Secondary Education Development Program(SEDP) (2004 2009), Ministry of Education and Vocational Training, Dsm MoEVT (2010), Education Sector Review Aide Memoire. Ministry of Education and Vocational Training, Dsm MoEVT, The Teacher Management Development Strategy 2008 2013 Wizara ya elimu na Utamaduni (1997 ) Kiongozi cha Mkuu wa shule ya Sekondari . Dar es Salaam

36.0

37.0

38.0

39.0 40.0

w .Ja m

iiF

34.0

WEMU (2007), Utaratibu wa kuzingatia katika kuanzisha Shule za Serikali za kutwa zinazojengwa kwa nguvu za wananchi (Barua ya Kamshina), wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dsm

or u
128

MoEVT (2001), Construction of Secondary Schools, Guidelines for Buildings and Furniture., Ministry of Education and Vocational Training , Dsm

m s.c

32.0

MoEVT (2005) Facts About Basic Education in Tanzania, Ministry of Education and Vocational Training, Dsm

om

Rasimu 2
41.0 42.0 43.0 44.0 45.0 46.0 47.0 48.0 49.0 50.0 51.0 52.0 53.0 54.0 MOEVT (2010), Secondary Education Development Program II (SEDP II) 2010 2014, MOEVT, Dsm Nyerere (1967), Education for Self Reliance MOEVT (2002), Primary Education Development Program I (PEDP I) 2002 2006, MOEVT, Dsm MOEVT (2017), Updated Secondary Education Development Program I (SEDP I) 2007, MOEVT, Dsm MOEVT (2007), Primary Education Development Program I (PEDP I) 2002 2006, MOEVT, Dsm WEMU (2009), Waraka wa Elimu Na.13 wa mwaka 2009, WEMU, Dsm

OWM-TAMISEMI (2011), Taarifa ya OWM-TAMISEMI

WEMU (1998), Waraka wa Elimu Na.1 wa mwaka 1998, WEMU, Dsm WEMU (2009), Taarifa ya Utafiti Kuhusu kushuka kwa Kiwango cha Ufaulu wa Mtihani wa Kuhitimu Elimu ya Msingi mwaka 2008, WEMU, Dsm TIE (2008), Secondary Education Curriculum for Tanzania Mainland, Maelezo ya Waziri (Juni, 2005),..

UWEZO (2010), Uwezo Assessment Project

w .Ja m

iiF

or u
129

MOEVT (2008), Education Sector Performance report, MOEVT, Dsm

m s.c

MOEVT (2010), Public Expenditure Tracking Survey, MOEVT, Dsm

om

Rasimu 2
VIAMBATISHO
Kiambatisho Na. 3.1: Maeneo Yaliyohusika katika Utafiti
(a) Kanda za Elimu, Mikoa, Halmashauri na Shule zilizohusika:

Na 1

Kanda ya Elimu Dar es Salaam

Mkoa

Halmashauri

Shule Kambangwa, Salma Kikwete, Manzese, Goba Mpakani, Canosa, Sierra Azania, Jangwani, Mkera, Nyeburu, Tusiime, Sandy Valley Bagamoyo, Chalinze, Zinga, Ubena, Marian girls, Kaole Mwinyi, Lukanga, Kisiju, Mkungilo, Mwandege Boys, Mseru Kigonsela, Kitura, Monica Mbega, Mkoha, St Luise Mbinga Girls, Kikodi Matimira, Daraja mbili, Ndongosi, Sili, Peramiho, Wilima Mzindakaya, Msanzi, Mbizi, Kaoze, Kaengesa, Laela Katumba, Kanoge, Kabungu, Ikola, FPC-Tumaini, Milala Mchinga, Mnara, Chikonji, Mipingo, Namupa Sem, Nyangao Kilwa, Mitole, Pande, Mtanga Iyogelo, Ushirombo, Nyakasaluma, Uyovu, Queen Senani, Majebele, Mwakaleka, Mwamanenge, Ngwanza, Lalago Kimwani, Izigo, Kibanga, Biirabo, Rubya Sem., Humura Rwambaizi, Mukiri, Morongo, Nono, Karagwe, Rumanyika Mara, Musoma, Nyasho, Nyabisare, Makoko Sem, Victoria Chitengule, Bunda, Sizaki, Nyeruma, Ikizu, Wariku Ughandi, Mungaa, Siuyu, Minyughe, Dungunyi Sem, Ihanja Ipamuda, Idodyandole, Makuru, Kinangali, Amani Girls, Mkwese Galanos, Tanga Tech, Mabokweni, Chongoleani, Rosmini, Sahare Mgwashi, Soni, Mdando, Kireti, Kifungiro Girls, Upendo Maghang, Tlawi, Siday, Haydom, Sanu Sem, Dongobeshi Dareda, Duru, Gorowa, Ndeki, Madunga, Joshua

Dar es Salaam Kinondoni Ilala

Mashariki

Pwani

Bagamoyo Mkuranga

Songea (V) 4 Nyanda za Juu Kusini Rukwa Sumbawanga Mpanda 5 Lindi

Magharibi

Shinyanga

Ziwa Magharibi Ziwa

Kati

10

Kaskazini Mashariki Kaskazini Magharibi

11

w .Ja m
Kagera Mara Singida Tanga Manyara

iiF
Bunda Mbulu Babati

or u
Kilwa Bukombe Maswa Muleba Karagwe Musoma Singida (V) Manyoni Tanga Jiji Lushoto

Lindi (V)

130

m s.c

om

Nyanda za Juu Kusini

Ruvuma

Mbinga

Rasimu 2
(b) Na. 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 Maeneo Mengine Yaliyohusika katika Utafiti Eneo la Utafiti Taasisi ya Elimu Tanzania Baraza la Mitihani la taifa Vyuo Vikuu Vyuo vya Ualimu Uk aguzi wa Shule Kanda Ukaguzi wa Shule Wilaya Elimu Mkoa Elimu Halmashauri(M) na (S) Tume ya Utumishi wa Umma (TSD) Chama cha Walimu Tanzania(CWT) Madhehebu ya Dini Mashirika yasiyo ya Kiserikali TAMONGSCO TEN/MET Ofisi ya Mh. Mbunge Ofisi ya Mh. Diwani Ngazi Taifa Taifa Mkoa/Taifa Mkoa Kanda Wilaya Mkoa Wilaya Wilaya Wilaya Wilaya Wilaya Taifa Taifa Wilaya Kata

w .Ja m
131

iiF

or u

m s.c

om

Rasimu 2
Kiambatisho 3.5: Zana na Idadi ya Wajibuji Kitaifa na Kimkoa
MALENGO KIMKOA KITAIFA KITAIFA Na AINA YA ZANA WAJIBUJI IDADI YA WAJIBUJI WALIOPATIKANA KITAIFA NA KIMKOA MANYARA SHINYAN GA SINGIDA RUVUMA KAGERA RUKWA PWANI TANGA 4 12 LINDI MARA DSM JUMLA

4 4 4 4 2 4 1 2 2 2 2 2 4

iiF o

8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29

Hojaji A Hojaji B Hojaji B Hojaji B Hojaji C Hojaji C Hojaji D Hojaji E Hojaji E Hojaji E Hojaji F Hojaji F Hojaji F Hojaji G Hojaji H Mahojiano ya Pamoja A Mahojiano ya Pamoja B Mahojiano ya Pamoja C Mahojiano ya Pamoja C Mahojiano ya Pamoja D Mahojiano ya Pamoja E Mahojiano ya Pamoja F

Wanachuo- vyuo vya Ualimu Afisa Elimu Mkoa Wakurugenzi Halmashauri Afisa Elimu Halmashauri (S) Afisa Elimu Halmashauri (M) Mkaguzi Mkuu wa Shule(W) Maafisa Tume ya Utumishi wa Umma TSD (W) Afisa CWT (W) Viongozi wa Dini Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Wabunge Madiwani Wazazi/Walezi Wajumbe wa Bodi ya Shule Wahitimu wa Kidato cha 4 - 2010 Wakuza Mitaala Maafisa Mitihani (NECTA) TAMONGSCO TENMET Walimu Walimu Wasahihishaji Mitihani Kidato cha 4 Wanafunzi Kidato cha 3-4

2 4 1 2 2 2 2 2 2 4 2 2 2 4 4 60

s.c om

1 2 3 4 5 6 7

Dodoso A Dodoso B Dodoso C Dodoso D Hojaji A Hojaji A Hojaji A

Wakaguzi wa Shule Kanda Mkuu wa Shule Wakurugenzi TET Wakuu wa Idara za Mitihani NECTA Wahadhiri - Vyuo Vikuu Wanachuo- vyuo Vikuu vya Elimu Wakufunzi wa Vyuo vya Ualimu

4 12

44 132 4 5 2 2 22 44 11 22 22 22 22 22 22 22 22 22 22 44 44 660 5 5 5 5 660 660

4 12

4 12

4 12

4 12

4 12

4 12

1 12

4 12

4 13

4 12

1 2 2 2 2

2 4 1 1 2 2 2 2 3 2 1

2 4 1 2 2 2 2

4 8 1 2 2 2 2

2 4 1 2 2 2 2 2 2 4 2 2 2 4 4 60

2 4 1 1 2 2 2 2 2 4 1 1 2 4 4 15

8 6 1 2 1 1 2 2 2 2 1 3 11 5 16 73

ru

2 4 1 2 2 2 2 2 4 2 1 2 4 4 17

2 4 1 1 2 2 2 2 2 4 2 2 2 6 3 12

2 2 1 2 2 2 2 2 2 4 2 1 2 4 4 60

41 132 4 4 4 4 28 44 11 15 21 21 22 22 23 40 17 17 43 95 82 401 10 8 6 6 613 162 1140 3037

1 2 4 4 39 10 8 6 6 43 8 108 46 246

2 2 4 2 2 2 4 4 48

5 35 18 23

2 2 4 2 2 11 21 17 30

2 2 4 2 2 2 4 4 24

.Ja m
60 60 120 353

67 4 109 275

67 9 106 301

43 7 115 287

72 30 120 305

60 24 116 313

50 5 100 217

48 4 112 316

51 3 130 252

52 8 4 129

60 60 120 350

1320 3894

JUMLA

132

Rasimu 2
Kiambatisho 4.1 Takwimu za ukaguzi wa shule ( 20072010) katika Halmashauri zilizofanyiwa utafiti.
MKOA HALMASHAURI ILALA SHULE MKERA NYEBURU Jangwani Azania Kambangwa Goba Mapakani Manzese Salma Kikwete Siera Canossa MAGNUS Tusiime RWAMBAIZI NONO MUKIRE MURONGO BIIRABO KIBANGA KIMWANI IZIGO UKAGUZI UMEFANYIKA MARA NGAPI 2 3 4 3 2 1 1 1 1 3 4 0 0 0 1 0 2 0 1 0 0 0 1 0 1 1

KINONDONI DAR ES SALAAM

Zisizo za serikali ILALA

KARAGWE

MULEBA

KAGERA

MULEBA KILWA

w .Ja m

iiF

Zisizo za serikali KARAGWE

LINDI (V)

LINDI

Zisizo za serikali LINDI (V)


MBULU

KARAGWE RUMANYIKA RUBYA SEMINARI HUMURA MITOLE KIVINJE KIRANJERANJE MTANGA MPUNYURE KILWA Chikonji Mnara sekondari Mchinga sekondari Mipingo Sekondari Nyangao sekondari Khairaat Islamic ss Rondo seminari HAYDOM MAGHANG SIDAY TLAWI GOROWA DURU NDEKI

or u
133

m s.c

MANYARA

Babati(HW)

om
1 1 1 1 2 1 1 2 1 2

Rasimu 2
MKOA HALMASHAURI

Zisizo za serikali MBULU


Babati(HW) BUNDA

SHULE DAREDA Dongobesh Sanu sem Madunga Joshua CHITENGULE BUNDA WARIKU NYERUMA SIZAKI MUSOMA NYABISARE MARA NYASNHIO IKIZU Victoria Makoko sem Bagamoyo Chalinze Zinga Ubena Kisiju Mwinyi Mkugilo Vikindu

UKAGUZI UMEFANYIKA MARA NGAPI 4 2 3 1 1 1 1 2 1 1 3 2 1 2 2 2 2 2 2 2 1 2 1 2 1 3 2 1 3

MUSOMA (M)

BAGAMOYO

Zisizo za serikali BAGAMOYO


PWANI MKURANGA

RUKWA

SUMBAWANGA V Mzindakaya Msanzi SUMBAWANGA M Mbizi Kaoze MPANDA IKOLA KABUNGU KANOGE KATUMBA Zisizo za serikali SUMBAWANGA V Laela Kaegesa Seminary MPANDA MILALA FPCT TUMAINI

w .Ja m

iiF
Kaole Marian Girls Mseru Seminary Mwandege Boys

MKURANGA

or u
134

m s.c

MARA

Zisizo za serikali BUNDA MUSOMA (M)

om
1

Rasimu 2
MKOA HALMASHAURI MBINGA SHULE KIGONSERA KITURA M.MBEGA MKOHA Daraja Mbili Matimira Ndongosi Sili St. Luise Kikodi Peramiho Wilima IYOGELO USHIROMBO NYAKASALUMA UYOVU SENANI MAJEBELE MWAKALEKA MWAMANENGE Queen Goldenland Ng'wanza Lalago MUNGAA SIUYU UGHANDI MINYUGHE IPAMUDA IDODYANDOLE MAKURU KINANGALI UKAGUZI UMEFANYIKA MARA NGAPI 2

MBINGA

RUVUMA

Zisizo za serikali MBINGA


MBINGA BUKOMBE

2 1 2 2

MASWA

m s.c

SHINYANGA

Zisizo za serikali BUKOMBE


MASWA SINGIDA -V

or u
135

w .Ja m

iiF

MANYONI

Zisizo za serikali SINGIDA -V


MANYONI

TANGA

Ihanja Dung'unyi Seminary Amani girls Mkwese MABOKWENI GALANOSI CHONGOLEANI TANGA UFUNDI KIRETI MDANDO MGWASHI SONI

SINGIDA

om
1 1 2 3 2 3 1 1 1 1 1 2 3 1 1 1 2 3

3 3

Rasimu 2
MKOA HALMASHAURI Zisizo za serikali SHULE UKAGUZI UMEFANYIKA MARA NGAPI Sahare 4 Rosmin 1 Kifungilo 1 Upendo 3 TANBIHI Jumla ya shule 132 Jumla ya shule ambazo hazikukaguliwa 46 Jumla ya shule zilizokazguliwa mara 1 mau 269 Jumla ya shule zilizokaguliwa mara 2 au zaidi 18 Ukaguzi uliofanyika ulikuwa wa jumla, kufuatilia au maalum

w .Ja m
136

iiF

or u

m s.c

om

You might also like