You are on page 1of 63

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA

ft
ra
D
MUHTASARI WA SOMO LA HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI
ELIMU YA SEKONDARI KIDATO V-VI
2023

i
© Taasisi ya Elimu Tanzania, 2023
Toleo la Kwanza, 2023

Taasisi ya Elimu Tanzania


S.L.P 35094

ft
Dar es Salaam, Tanzania

ra
Simu : +255 735 041 168 / 735 041 170
Baruapepe : director.general@tie.go.tz
Tovuti: www.tie.go.tz
D
Muhtasari huu urejelewe kama: Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (2023). Muhtasari wa Somo la Historia ya Tanzania na
Maadili Elimu ya Sekondari Kidato cha V – VI. Taasisi ya Elimu Tanzania.

Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kunakili, kudurufu, kuchapisha, kutafsiri wala kutoa muhtasari huu kwa namna yoyote ile
bila idhini ya maandishi kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania.

ii
Yaliyomo

Orodha ya Majedwali............................................................................................................................................................. iv
Vifupisho ................................................................................................................................................................................ v
Shukurani ............................................................................................................................................................................... vi
1.0 Utangulizi.................................................................................................................................................................... 1
2.0 Malengo Makuu ya Elimu .......................................................................................................................................... 1
3.0 Malengo ya Elimu ya Sekondari Kidato cha V-VI ..................................................................................................... 2
4.0 Umahiri wa jumla Elimu ya Sekondari Kidato cha V-VI ........................................................................................... 3
5.0 Umahiri Mkuu na Umahiri Mahususi.......................................................................................................................... 3
6.0 Majukumu ya Mwalimu, Mwanafunzi na Mzazi katika Mchakato wa Ufundishaji na Ujifunzaji ............................ 5

ft
6.1 Mwalimu.............................................................................................................................................................. 5
6.2 Mwanafunzi.......................................................................................................................................................... 6

ra
6.3 Mzazi ................................................................................................................................................................... 7
7.0 Mbinu Pendekezwa za Ufundishaji na Ujifunzaji...................................................................................................... 7
8.0
D
Upimaji wa Maendeleo ya Ujifunzaji..........................................................................................................................
10 .0 Idadi ya Vipindi ..........................................................................................................................................................
8
9
11 .0 Maudhui ya Ufundishaji na Ujifunzaji ....................................................................................................................... 9
Kidato cha V ........................................................................................................................................................................ 10
Kidato cha VI ....................................................................................................................................................................... 36
%LEOLRJUD¿D............................................................................................................................................................................. 59

iii
Orodha ya Majedwali

Jedwali Na. 1: Umahiri Mkuu na Umahiri Mahususi V-VI............................................................................................... 4

Jedwali Na. 2: Mgawanyo wa Alama za Upimaji............................................................................................................. 8

Jedwali Na. 3: Maudhui ya Kidato cha V........................................................................................................................ 10

Jedwali Na. 4: Maudhui ya Kidato cha VI...................................................................................................................... 36

ft
ra
D

iv
Vifupisho

TET Taasisi ya Elimu Tanzania

TEHAMA Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

ft
ra
D

v
Shukurani

Maandalizi ya muhtasari wa somo la Historia ya Tanzania na Maadili Elimu ya Sekondari Kidato cha V–VI yamehusisha wataalamu
mbalimbali kutoka taasisi za Serikali na binafsi. Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) inatoa shukurani za dhati kwa wataalamu wote
waliohusika wakiwemo wahadhiri, wakufunzi, wathibiti ubora wa shule, walimu, wakuza mitaala pamoja na wataalamu kutoka
asasi zisizo za kiserikali. Aidha, TET inatoa shukurani za pekee kwa Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Kusimamia Kazi ya
Maboresho ya Mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Ualimu iliyoteuliwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia.
Kamati hii ilifanya kazi kwa weledi na kuhakikisha kuwa maudhui ya muhtasari huu yameandaliwa kwa kuzingatia lengo kuu la
mabadiliko ya Mtaala wa Mwaka 2023 ambalo ni kuwa na wahitimu wenye ujuzi, maarifa na stadi zitakazowawezesha kujiajiri,
kuajiriwa na kumudu maisha yao ya kila siku. Pia, TET inatoa shukurani za pekee kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

ft
kwa kuwezesha uandaaji na usambazaji wa muhtasari huu.

ra
D
Dkt. Aneth A. Komba
Mkurugenzi Mkuu
Taasisi ya Elimu Tanzania

vi
1.0 Utangulizi

Somo la Historia ya Tanzania na Maadili ni somo la lazima kwa mwanafunzi anayejiunga Kidato cha V-VI. Lengo la kujifunza
somo hili ni kumjengea mwanafunzi maarifa, ujuzi na mwelekeo utakaomwezesha kukabiliana na mazingira yanayomzunguka
katika maisha ya kila siku. Aidha ujifunzaji wa somo hili utamwezesha mwanafunzi kulinda historia ya Tanzania, urithi na maadili
ya taifa lake. Vilevile mwanafunzi ataweza kuishi kulingana na maadili ya Kitanzania kama vile uadilifu, utu, heshima kwa wote
na uzalendo. Aidha, ujifunzaji wa somo la Historia ya Tanzania na Maadili utamwezesha mwanafunzi kujenga hoja shawishi
]LQD]RWRNDQDQDXWD¿WLDOLRIDQ\DNZHQ\HVRPRKLOLQDOLWDWRDIXUVD\DNXMLDMLULDXNXDMLULZD

Aidha, muhtasari huu umeandaliwa ili kuongoza ufundishaji na ujifunzaji wa somo la Historia ya Tanzania na Maadili Kidato cha
V-VI katika Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Muhtasari huu unatafsiri umahiri uliobainishwa kwenye Mtaala wa Elimu ya
Sekondari hatua ya Juu wa mwaka 2023. Muhtasari unatoa maelekezo ya kumwezesha mwalimu kuandaa mchakato wa ufundishaji

ft
kwa ufanisi. Pia, muhtasari huu unatoa nafasi kwa mwalimu kutumia mbinu mbalimbali za ufundishaji na ujifunzaji wa somo hili
]LWDND]RNX]DVWDGL]DNDUQH\D]LNLZHPRXEXQLIXPDZDVLOLDQRXVKLULNLDQR¿NUDWXQGXL]LQDXWDWX]LZDFKDQJDPRWR

ra
2.0 Malengo Makuu ya Elimu
Malengo makuu ya elimu Tanzania ni kumwezesha kila Mtanzania:
D
(a) Kukuza na kuboresha haiba yake ili aweze kujithamini na kujiamini;
(b) Kuheshimu utamaduni, mila na desturi za Tanzania, tofauti za kitamaduni, utu, haki za binadamu, mitazamo na matendo
jumuishi;
(c) .XNX]DPDDULIDQDNXWXPLDVD\DQVLQDWHNQRORMLDXEXQLIX¿NUDWXQGXL]LXYXPEX]LXVKLULNLDQRPDZDVLOLDQRQDPWD]DPR
chanya katika maendeleo yake binafsi, na maendeleo endelevu ya taifa na dunia kwa ujumla;
(d) Kuelewa na kulinda tunu za taifa ikiwa ni pamoja na utu, uzalendo, uadilifu, umoja, uwazi, uaminifu, uwajibikaji na lugha
ya taifa;
1
(e) Kujenga stadi za maisha na stadi za kazi ili kuongeza ufanisi katika maisha ya kila siku;
(f) Kukuza tabia ya kupenda na kuheshimu kazi ili kuongeza tija na ufanisi katika uzalishaji na utoaji wa huduma;
(g) Kutambua na kuzingatia masuala mtambuka ambayo ni pamoja na afya na ustawi wa watu (jamii), usawa wa kijinsia,
usimamizi na utunzaji endelevu wa mazingira; na
(h) Kukuza ushirikiano wa kitaifa na kimataifa, amani na haki kwa kuzingatia Katiba ya nchi na mikataba ya kimataifa.

3.0 Malengo ya Elimu ya Sekondari Kidato cha V-VI


Malengo ya Elimu ya Sekondari kidato cha V-VI ni:

(a) Kuimarisha, kupanua na kuendeleza uelewa wa kina wa maarifa, stadi, na mwelekeo alioupata katika elimu ya sekondari
kidato I-IV;

ft
(b) Kulinda mila na desturi, tunu za taifa, demokrasia, kuthamini haki za binadamu na za kiraia, na wajibu na majukumu
yanayoendana na haki hizo;

ra
(c) Kukuza tabia ya kujiamini na uwezo wa kujifunza kwenye nyanja mbalimbali zikiwemo sayansi na teknolojia, maarifa ya
kinadharia na kiufundi;
(d)
(e)
D
Kuimarisha matumizi ya lugha katika mawasiliano ya kitaaluma;
Kuimarisha uwajibikaji katika masuala mtambuka ya kijamii yakiwemo afya, usalama, usawa wa kijinsia, na utunzaji
endelevu wa mazingira;
(f) Kujenga ujuzi na stadi mbalimbali zitakazomwezesha kujiajiri, kuajiriwa, na kuyamudu maisha kwa kutumia vizuri
mazingira yake; na
(g) Kumwandaa mwanafunzi kujiunga na vyuo vya elimu ya kati na elimu ya juu.

2
4.0 Umahiri wa jumla Elimu ya Sekondari Kidato cha V-VI

Umahiri ni uwezo wa kutenda jambo kwa usahihi na ufanisi uliokusudiwa. Umahiri hujengwa na mwanafunzi kwa kutenda shughuli
mbalimbali kwa ufanisi. Umahiri wa jumla wa Elimu ya Sekondari Kidato cha V-VI ni:
(a) Kutumia maarifa na stadi alizozipata katika ngazi ya elimu ya sekondari hatua ya chini kuimarisha na kupanua uelewa wake
kitaaluma;
(b) Kuthamini uraia, tunu za taifa, na haki za binadamu na za kiraia;
(c) Kujiamini katika ujifunzaji wa nyanja mbalimbali zikiwemo sayansi na teknolojia, maarifa ya kinadharia na kiufundi;
(d) Kutumia stadi za lugha katika mawasiliano ya kitaaluma;
(e) Kutumia maarifa ya masuala mtambuka kumudu mazingira yanayomzunguka;
(f) Kutumia ujuzi na stadi alizozipata kumwezesha kujiajiri, kuajiriwa na kuyamudu maisha kwa kutumia vizuri mazingira

ft
yake; na
(g) Kuonesha utayari wa kujiunga na ngazi ya elimu inayofuata.

ra
5.0 Umahiri Mkuu na Umahiri Mahususi
Muhtasari wa somo la Historia ya Tanzania na Maadili Elimu ya Sekondari Kidato cha V-VI una umahiri mkuu na umahiri mahususi
D
kama ilivyoainishwa katika Jedwali Na.1.

3
Jedwali Na. 1: Umahiri Mkuu na Umahiri Mahususi

Umahiri mkuu Umahiri mahususi


1. Kulinda historia ya Tanzania, 1.1. Kumudu historia, utambulisho na maadili ya taifa
urithi na maadili ya taifa
1.2. Kutathmini mchango wa historia na urithi katika kuchangia maendeleo ya taifa
1.3. Kutumia fursa mbalimbali zitokanazo na historia na urithi wa Tanzania kujenga
ushirikiano na kukuza biashara ya kimataifa
2. Kumudu historia ya Tanzania na 2.1. Kutathmini vichocheo vya maendeleo ya jamii za Kitanzania na maadili yake
maadili kabla ya ukoloni kabla ya ukoloni
2.2. Kuelezea uhusiano wa jamii za Kitanzania na jamii nyingine duniani kabla ya
ukoloni

ft
2.3. Kuhusianisha mapokeo ya mifumo ya kihistoria katika kuelezea maadili ya
Kitanzania
3. Kumudu historia ya Tanzania na 3.1. Kutathmini ukoloni kama nguvu laini (soft power) ya kujenga mwelekeo mpya

ra
maadili wakati wa ukoloni, 1890- wa jamii
1960 3.2. Kuchambua mchango wa ukoloni katika mfumo wa maadili ya Kitanzania
4. Kumudu historia ya ujenzi wa D 4.1. Kumudu chimbuko la ukoloni mamboleo
taifa la Tanzania na maadili katika 4.2. Kutathmini mabadiliko ya mifumo ya ulinzi na usalama wa taifa
kipindi cha 1961- 1966 4.3. Kuchambua visababishi vya mabadiliko ya Sera ya mambo ya nje na uhusiano
ya kimataifa
4.4. Kutathmini mchango wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika kudumisha
uhuru, umoja na amani ya kitaifa
5. Kutathmini ujenzi wa taifa na 5.1. Kuchambua chimbuko la Azimio la Arusha na matokeo yake kiuchumi, kisiasa,
maadili yake wakati wa Azimio la kiutamaduni na kimaadili
Arusha, 1967-1985 5.2. Kutathmini nafasi ya Tanzania katika kujenga uhusiano wa kikanda

4
6. Kutathmini historia ya Tanzania 6.1. Kutafsiri mabadiliko ya kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na kimaadili katika
na maadili wakati wa uliberali, kipindi cha uliberali na utandawazi kuanzia 1986 hadi sasa
1986 hadi sasa
7. .XIDQ\DXWD¿WLZDKLVWRULD\D 7.1. Kujenga hoja kuhusu historia ya Tanzania na maadili kwa kutumia ushahidi
Tanzania na maadili XOLRWRNRQDQDXWD¿WL

6.0 Majukumu ya Mwalimu, Mwanafunzi na Mzazi katika Mchakato wa Ufundishaji na Ujifunzaji


Ufundishaji na ujifunzaji unategemea ushirikiano madhubuti baina ya mwalimu, mwanafunzi na mzazi/mlezi katika kutekeleza
majukumu mbalimbali. Majukumu hayo ni kama yafuatayo:
6.1 Mwalimu

ft
Mwalimu anatarajiwa:

ra
(a) Kumwezesha mwanafunzi kujifunza na kupata umahiri uliokusudiwa katika somo la Historia ya Tanzania na Maadili;

(b) Kutumia mbinu za ufundishaji na ujifunzaji kwa kuzingatia umri, mahitaji anuai na uwezo wa mwanafunzi ili
kumwezesha:

(i)
D
Kujenga umahiri unohitajika katika Karne ya 21;

(ii) Kushiriki ipasavyo katika mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji;


(c) Kutumia mbinu shirikishi zinazomfanya mwanafunzi kuwa kitovu cha ujifunzaji zikiwemo zile zitakazomwezesha
NX¿NLULNXWDIDNDULQDNXWDIXWDPDDULID kutoka katika vyanzo mbalimbali;
G  .XDQGDDGDUDVDVDODPDOHQ\HPD]LQJLUDUD¿NL\DNXIXQGLVKLDQDNXMLIXQ]LD

5
(e) Kutengeneza na kufaragua zana za kufundishia na kujifunzia;
(f) Kufanya upimaji endelevu mara kwa mara kwa kutumia zana na mbinu za upimaji na tathmini zinazopima nadharia
na vitendo zikiwemo bunguabongo, orodhahakiki, majaribio, dodoso, maswali ya ana kwa ana, mazoezi, kazi kwa
vitendo (kazi binafsi, kazi za vikundi), kazimradi na mkoba wa kazi. Zana na mbinu nyingine ni majaribio kwa vitendo,
uwasilishaji, mitihani ya muhula na mtihani wa mwisho;
(g) Kuhakikisha kuwa ujifunzaji na ufundishaji linafanyika kwa haki na usawa kwa kila mwanafunzi bila kujali tofauti zao;
(h) Kumlinda mwanafunzi awapo shuleni;
(i) Kufuatilia maendeleo ya mwanafunzi ya kila siku;
(j) Kubaini mahitaji ya mwanafunzi na kutoa afua stahiki;

ft
(k) Kushirikisha wazazi/walezi na jamii katika hatua mbalimbali za ujifunzaji wa mwanafunzi; na
(l) Kuchopeka masuala mtambuka na TEHAMA katika ufundishaji na ujifunzaji.

ra
6.2 Mwanafunzi D
(a) Kuwa mtendaji mkuu katika mchakato wote wa ujifunzaji;
(b) Kushiriki katika shughuli mbalimbali za ujifunzaji ndani na nje ya darasa ili kupata umahiri uliokusudiwa; na
(c) Kushiriki katika kutafuta maarifa kutoka katika vyanzo mbalimbali ikiwemo vitabu vya kiada, ziada na machapisho
mengine kutoka katika maktabamtandao.

6
6.3 Mzazi
Mzazi/ Mlezi anatarajiwa:

(a) Kusimamia na kufuatilia maendeleo ya mtoto katika ujifunzaji;


(b) Pale inapowezekana kumsimamia mtoto kutekeleza kazi zake za kitaaluma;
F  .XKDNLNLVKDNXZDPD]LQJLUD\DQ\XPEDQLQLUD¿NLQDVDODPD\DQD\RZH]HVKDXMLIXQ]DML
(d) Kufuatilia mwenendo wa tabia ya mtoto;
(e) Kumpatia mtoto vifaa vyote vinavyohitajika katika shughuli ya ujifunzaji;
(f) Kuhakikisha mwanafunzi anapata mahitaji muhimu; na

ft
(g) Kumfundisha mtoto juu ya umuhimu na thamani ya elimu pamoja na kumhimiza kujifunza kwa bidii.

7.0 Mbinu Pendekezwa za Ufundishaji na Ujifunzaji

ra
Mbinu za Ufundishaji na ujifunzaji ni msingi katika kujenga umahiri kwa mwanafunzi. Muhtasari huu unapendekeza mbinu za
ufundishaji na ujifunzaji kwa kila shughuli. Miongoni mwa mbinu hizo ni ziara za kimasomo, kazimradi na kazi za vitendo. Hata
D
hivyo mwalimu anashauriwa kutumia mbinu nyingine kama hizo kulingana na muktadha wa ujifunzaji.

8.0 Zana za Ufundishaji na Ujifunzaji

Mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji unahitaji zana mbalimbali. Hivyo, mwalimu na mwanafunzi wanapaswa kushirikiana katika
kuandaa au kufaragua zana zinazopatikana katika mazingira ya shuleni na nyumbani pindi vinapohitajika. Mwalimu na mwanafunzi
wanapaswa kutafuta taarifa kutoka katika vyanzo mbalimbali ili kuwezesha kikamilifu mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji.
Orodha ya vifaa vilivyothibitishwa kwa ajili ya rejea vitatolewa na TET.

7
9.0 Upimaji

Upimaji wa maendeleo ya ujifunzaji ni suala muhimu katika mchakato wa ufundishaji na ujifunzaji wa somo la Historia ya Tanzania
na maadili. Mwalimu anashauriwa kuwa na uwanja mpana wa uchaguzi wa mbinu na zana za upimaji wa Somo la Historia ya
Tanzania na Maadili. Upimaji utafanyika sambamba na masomo mengine yanayofundishwa katika ngazi ya Sekondari Kidato
cha V-VI. Upimaji wa maendeleo utazingatia vigezo vilivyoainishwa katika kila shughuli ya ujifunzaji. Kwa hiyo, zana/vifaa
vinavyotumika katika upimaji ni pamoja na mazoezi, maswali ya ana kwa ana, majaribio, hojaji, mkoba wa kazi, kazimradi, na
mitihani. Upimaji utahusisha 70% ya mtihani wa mwisho utakaotolewa kidato cha VI na Baraza la Mitihani la Taifa pamoja na
upimaji endelevu (30%), kama inavyooneshwa kwenye jedwali Na.2.

Jedwali Na. 2: Mgawanyo wa Alama za Upimaji

ft
Aina ya Upimaji Kidato cha V Kidato cha VI

ra
Mtihani wa muhula wa kwanza 05% 05%
Mtihani wa muhula wa pili 05% -
Kazimradi
Mtihani wa Utimilifu
D -
-
10%
05%
Mtihani wa Taifa - 70%
JUMLA 100%

8
10 .0 Idadi ya Vipindi
Muhtasari wa Somo Historia ya Tanzania na Maadili Elimu ya Sekondari Kidato cha V-VI unatoa makadirio ya muda utakaotumika
katika ufundishaji na ujifunzaji kwa kuzingatia uzito wa umahiri mahususi na shughuli za kutendwa na mwanafunzi. Makadirio
haya ya muda yamewekwa kwa mfumo wa vipindi ambapo kila kipindi ni dakika 40. Idadi ya vipindi kwa somo hili ni vinne (4)
kwa wiki kwa kidato cha V - VI.

11.0 Maudhui ya Ufundishaji na Ujifunzaji


Muhtasari wa Somo la Historia ya Tanzania na Maadili Elimu ya Sekondari Kidato cha V-VI umebeba maudhui ambayo
yamepangiliwa katika vipengele saba ambavyo ni umahiri mkuu, umahiri mahususi, shughuli za kutendwa na mwanafunzi, mbinu
zinazopendekezwa, vigezo vya upimaji, vifaa/zana, na idadi ya vipindi. Maudhui hayo yameoneshwa katika majedwali Na. 2 na 3.

ft
ra
D

9
Kidato cha V
Jedwali Na. 3: Maudhui ya Kidato cha V

Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi


mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
1. Kulinda 1.1 Kumudu (a) Kueleza dhana BunguaBongo ongoza Dhana na Matini, ramani ya 24
historia ya historia, na uhusiano wanafunzi kueleza uhusiano wa Tanzania, bendera
Tanzania, utambulisho wa kinadharia dhana na uhusiano wa kinadharia uliopo ya Tanzania,
urithi na na maadili ya uliopo kati kinadharia uliopo kati ya
kati ya historia, na chati yenye
historia, utambulisho na
maadili ya taifa ya historia, utambulisho na kuonesha uhusiano

ft
maadili
taifa utambulisho maadili ya taifa kati ya historia,
Kisamafunzo wape
na maadili ya vimeelezwa kwa utambulisho na

ra
wanafunzi kisa kuhusu
taifa usahihi maadili ya taifa
maana, umuhimu na
uhusiano wa kinadharia
D uliopo kati ya msamiati
hiyo ili kujenga uelewa
Maswali na majibu toa
maswali mbalimbali
kuhusu dhana na
uhusiano wa kinadharia
iliopo kati ya historia,
utambulisho na maadili
ya taifa

10
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(b) Kujadili Majadiliano ya vikundi Misingi ya
misingi ya wagawe wanafunzi kihistoria
kihistoria katika makundi na iliyounda
iliyounda waongoze kujadili utambulisho na
utambulisho misingi ya kihistoria maadili ya taifa
na maadili ya iliyounda utambulisho imejadiliwa kwa
taifa na maadili ya taifa na kina

ft
mwisho kila kundi
wafanye wasilisho

ra
darasani ili kupata
uelewa wa pamoja
D
(c) Kuchambua
nafasi ya
historia na
Bunguabongo ongoza
wanafunzi kuelezea
Nafasi ya historia
na maadili
katika kujenga
Matini, bendera ya
Tanzania, michoro,
picha ya urithi wa
nafasi ya historia na
maadili katika maadili katika kujenga fahari ya taifa taifa
kujenga fahari ya jamii yake imechambuliwa
fahari ya taifa kwa usahihi
.LVD¿NLULND VFHQDULR 
tengeneza kisa na

11
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
maswali kuhusu nafasi ya
historia na maadili katika
kujenga fahari ya taifa
ili kuibua majadiliano
ya kisa hicho na uhalisia
wake
(d) Kutathmini )LNLULDQGLNDMR]LVKD Nafasi ya tunu za Chati yenye

ft
nafasi ya VKLULNLVKDongoza taifa na maadili kuonesha tunu za
Tunu za taifa wanafunzi kushiriki katika kujenga taifa, hotuba za

ra
na maadili NX¿NLULNXKXVXQDIDVL\D misingi imara viongozi wa kitaifa
katika tunu na maadili kujenga ya uongozi
D kujenga
misingi ya
uongozi bora
misingi ya uongozi.
7DIDNXULongoza
imetathminiwa
kikamilifu

wanafunzi kufanya
tafakuri kuhusu nafasi ya
tunu za taifa na maadili
katika kujenga misingi ya
uongozi bora

12
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(e) Kubaini &KDQJDQ\DNHWH Mikakati ya
mikakati wagawanye wanafunzi kulinda historia,
ya kulinda katika makundi kisha utambulisho na
historia, waelekeze kubainisha maadili ya taifa
utambulisho mikakati ya kulinda imebainishwa
na maadili ya historia, utambulisho na kwa usahihi
taifa maadili katika jamii zao

ft
Kisamafunzo wape
wanafunzi kisa na

ra
waelekeze kubaini
mikakati ya kulinda
D historia, utambulisho na
maadili ya taifa. Uliza
maswali chokonozi ili
NXLEXD¿NUDWXQGXL]L
kuhusu kisamafunzo.

13
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
1.2 Kutathmini (a) Kufafanua Bunguabongo waongoze Dhana ya Matini, chati/ 24
mchango wa dhana ya wanafunzi katika urithi wa taifa michoro/picha
historia na urithi wa taifa makundi kujadili kuhusu imefafanuliwa yenye kuonesha
urithi katika maana na sifa za urithi kwa usahihi urithi wa taifa
wa taifa
kuchangia
maendeleo Majadiliano waongoze
ya taifa wanafunzi katika
makundi kushiriki

ft
mjadala juu ya maana na
sifa za urithi wa Taifa

ra
(b)Kubaini Kisamafunzo wape Historia na Matini, chati/
historia na wanafunzi kisa kuhusu urithi wa taifa michoro/picha
urithi wa taifa historia na urithi wa taifa
D katika maeneo yenye kuonesha
katika maeneo ili waweze kupata picha mbalimbali urithi wa taifa
halisi
mbalimbali nchini
nchini 8WD¿WLPGRJRwaongoze imebainishwa
wanafunzi kufanya kwa usahihi
XWD¿WLNXEDLQLVKD
historia na urithi wa
taifa katika maeneo
yanayowazunguka

14
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(c) Kujadili Bunguabongo ongoza Mchango wa Matini, chati/
mchango wa wanafunzi kujadili juu historia na michoro/picha
historia na ya mchango wa historia urithi katika yenye kuonesha
urithi katika na urithi kwa maendeleo
maendeleo ya urithi wa taifa,
katika maeneo yao
maendeleo ya taifa umejadiliwa maswali elekezi
taifa Majadiliano ongoza kwa kina
wanafunzi katika vikundi
kujadili mchango wa

ft
historia na urithi katika
maendeleo ya taifa

ra
(d)Kuchambua &KDQJDQ\DNHWHongoza Uhusiano Matini, chati
uhusiano wanafunzi katika kujadili uliopo kati ya yenye kuonesha
Duliopo kati uhusiano uliopo kati ya maadili na urithi uhusiano kati ya
ya maadili maadili na urithi katika
katika kuleta maadili, urithi na
kuleta maendelo kwenye
na urithi maendelo ya taifa maendeleo ya taifa,
maeneo yao.
katika kuleta umechambuliwa kisamafunzo
Majadiliano ongoza
maendeleo ya kwa kina
wanafunzi kudadavua
taifa
kwa kina uhusiano uliopo
kati ya maadili na urithi
katika kuleta maendeleo
ya taifa

15
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(e) Kujadili Bunguabongo ongoza Njia bora za Matini, maswali
njia bora wanafunzi kujadili uhifadhi wa elekezi, chati ya
za uhifadhi kuhusu njia anuwai urithi ili kuleta kuonesha njia za
wa urithi za uhifadhi wa urithi
maendeleo uhifadhi wa urithi
wanaoujua katika
ili kuleta endelevu
maeneo yao
maendeleo kwa taifa
Majadiliano ongoza
endelevu kwa zimejadiliwa kwa
wanafunzi kujadiliana

ft
taifa kina
kwa kina njia bora
za uhifadhi wa urithi

ra
ili kuleta maendeleo
endelevu kwa taifa
D

16
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
1.3 Kutumia (a) Kubaini Mtaalamu mualikwa Fursa za Ramani/picha za 13
fursa fursa za elekeza mtaalamu kiuwekezaji urithi na vivutio
mbalimbali kiuwekezaji kuelezea kuhusu fursa za zitokanazo vya utalii, vitu
zitokanazo zitokanazo kiuwekezaji zitokanazo na vivutio halisi vya urithi na
na historia na vivutio na vivutio vya kihistoria vya kihistoria vivutio vya utalii,
na urithi wa vya kihistoria na urithi na urithi wa matini
Tanzania na urithi wa Maswali na majibu toa Tanzania

ft
kujenga Tanzania maswali kwa wanafunzi zimebainishwa
ushirikiano kuhusu fursa za kikamilifu

ra
na kukuza kiuwekezaji zitokanazo
biashara ya na vivutio vya kihistoria
kimataifa D na urithi wa Tanzania

17
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(b)Kujadili nafasi .LVD¿NLULND VFHQDULR  Nafasi ya Maswali elekezi,
ya historia ongoza wanafunzi historia na urithi matini, Makala
na urithi wa katika makundi madogo wa Tanzania kwenye magazeti
Tanzania madogo na wape katika kujenga
katika kujenga scenario inayoonesha ushirikiano na
ushirikiano umuhimu wa historia kukuza biashara
na kukuza na urithi katika kujenga ya kimataifa

ft
biashara ya ushirikiano na biashara imejadiliwa kwa
kimataifa ya kimataifa kina

ra
Majadiliano ongoza
wanafunzi kujadili nafasi
D ya historia na urithi wa
Tanzania katika kujenga
ushirikiano na kukuza
biashara ya kimataifa

18
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(c) Kubaini Bunguabongo ongoza Vitendo vya Chati yenye
vitendo vya wanafunzi kujadiliana kimaadili na kuonesha matendo
kimaadili na kuhusu vitendo vya visivyo vya ya kimaadili
visivyo vya maadili na visivyo vya kimaadili na yasiyo ya
kimaadili maadili vinayokuza au vinavyoweza kimaadili, picha,
vinavyoweza kudumaza fursa katika kukuza au visamafunzo
kukuza au maeneo ya karibu kudumaza fursa kuhusu uharibifu

ft
kudumaza &KDQJDQ\DNHWHongoza zitokanazo na wa historia na
fursa wanafunzi katika historia na urithi urithi, matini

ra
zitokanazo makundi madogo vimebainishwa
na historia na madogo, elekeza kikamilifu
D urithi wabainishe vitendo vya
kimaadili vinavyokuza
na wengine visivyo vya
kimaadili vinavyodumaza
fursa za kihistoria na
urithi

19
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
2. Kumudu 2.1 Kutathmini (a) Kueleza Bunguabongo Vichocheo vya Matini, vitu hali 14
historia ya vichocheo vichocheo vya ongoza wanafunzi maendeleo (zana za kale)
Tanzania vya maendeleo kujadili vichocheo vya ya jamii za
na maadili maendeleo ya jamii za maendeleo katika jamii Kitanzania
kabla ya ya jamii za Kitanzania zao kabla ya ukoloni
ukoloni Kitanzania kabla ya )LNLULDQGLNDMR]LVKD vimeelezwa kwa
na maadili ukoloni VKLULNLVKDongoza usahihi

ft
yake kabla wanafunzi kushiriki
ya ukoloni kuhusu vichocheo vya

ra
maendeleo ya jamii za
Kitanzania kabla ya
D ukoloni

20
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(b)Kutathmini Maswali na majibu Maadili ya jamii Chati yenye
maadili ya jamii ongoza wanafunzi kutoa za Kitanzania kuonesha uhusiano
za Kitanzania ufafanuzi kuhusu maadili na namna wa maadili na
na namna ya jamii na umuhimu yalivyochochea maendeleo ya
yalivyochochea wake kwenye maendeleo maendeleo jamii, matini
maendeleo ya jamii zao kabla ya ukoloni
kabla ya 7DIDNXUL VHOIUHÀHFWLRQ  yametathminiwa

ft
ukoloni ongoza wanafunzi kwa kina
kutafakari namna maadili

ra
ya jamii za Kitanzania
yalivyochochea
D maendeleo kabla ya
ukoloni

21
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(c) Kuchambua Kisamafunzo andaa Mifumo ya Matini, chati ya
mifumo ya na ongoza wanafunzi kusimamia mifumo ya maadili
kusimamia kutafari kisamafunzo maadili katika
maadili katika kuhusu mifumo jamii za
jamii za inayosimamia maadili Kitanzania
Kitanzania katika jamii mbalimbali kabla ya ukoloni
kabla ya )LNLULDQGLND imechambuliwa

ft
ukoloni MR]LVKDVKLULNLVKD kwa kina
ongoza wanafunzi

ra
na kuchunguza jinsi
mifumo ya kusimamia
D maadili katika jamii za
Kitanzania ilivyokuwa
kabla ya ukoloni

22
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
2.2. Kuelezea (a) Kuchambua Ramani andaa na Uhusiano Picha/michoro 17
uhusiano uhusiano waoneshe ramani ikiwa wa jamii za ya jamii za kabla
wa jamii za wa jamii za na alama za uhusiano kitanzania na ya ukoloni na
Kitanzania Kitanzania na baina ya jamii husika jamii nyingine ramani
na jamii jamii nyingine waichunguze na za kiafrika kabla
nyingine za Kiafrika waongoze kuchambua ya ukoloni
duniani kabla ya uhusiano huo. umechambuliwa

ft
kabla ya ukoloni 7DIDNXUL 6HOIUHÀHFWLRQ  kwa kina
ukoloni ongoza wanafunzi

ra
kutafakari na kuchambua
uhusiano wa jamii za
D Kitanzania na jamii
nyingine za Kiafrika
kabla ya ukoloni

23
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(b)Kuchambua Ramani andaa na Uhusiano baina Chati ya uhusiano,
uhusiano waoneshe ramani ikiwa ya jamii za matini, ramani/
baina ya na alama za uhusiano Kitanzania na picha/michoro
jamii za baina ya jamii husika zile za Ulaya,
Kitanzania na waichunguze na Mashariki
zile za Ulaya, waongoze kuchambua ya Kati na
Mashariki uhusiano huo. Mashariki

ft
ya Kati na Majadiliano ya Mbali
Mashariki ya umechambuliwa
Ongoza wanafunzi

ra
Mbali kwa kina
kuchambua uhusiano
wa jamii za Kitanzania
D na hizo za nje (zile za
Ulaya, Mashariki ya Kati
na Mashariki ya Mbali)

24
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(c) Kuhusianisha Kisamafunzo andaa Mifumo ya Chati ya mifumo ya
mifumo ya na ongoza wanafunzi maadili ya maadili, matini
maadili ya kusoma kisa chenye jamii nyingine
jamii nyingine mada ya mifumo duniani na jamii
duniani na ya maadili ya jamii za Kitanzania
jamii za mbalimbali duniani kabla ya ukoloni
Kitanzania 7DIDNXULongoza imehusianishwa

ft
kabla ya wanafunzi kutafakari kwa usahihi
ukoloni uhusiano wa mifumo

ra
ya maadili ya jamii
nyingine duniani na jamii
D za Kitanzania kabla ya
ukoloni

25
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
2.3Kuhusianisha (a) Kujadili Bunguabongo Mabadiliko Matini, chati ya 13
mapokeo ya mabadiliko wezesha wanafunzi katika historia mabadiliko ya
mifumo ya katika historia kujadili mabadiliko ya na maadili kihistoria
kihistoria na maadili kimaadili na kihistoria yaliyotokana
katika kuelezea yaliyotokana yanayotokana na na uhusiano
maadili ya na uhusiano uhusiano wa kihistoria wa kihistoria
Kitanzania wa kihistoria 0DMDGLOLDQRNDWLND yamejadiliwa

ft
makundi kwa kina

ongoza wanafunzi

ra
kujadili mabadiliko
katika historia na maadili
D yaliyotokana na uhusiano
wa kihistoria nchini
kabla ya ukoloni

26
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(b)Kuchambua Maswali na majibu Matokeo ya Matini, Chati
matokeo ya ongoza wanafunzi mapokeo ya ya mifumo ya
mapokeo ya katika kujibu na kuuliza mifumo ya mapokeo na
mifumo ya maswali kuhusu kihistoria na maadili
kihistoria na mapokeo na matokeo maadili ya
maadili ya yake katika maadili na Kitanzania
Kitanzania historia kabla ya ukoloni

ft
kabla ya &KDQJDQ\DNHWHongoza yamechambuliwa
ukoloni wanafunzi kujadili kikamilifu

ra
matokeo ya mapokeo ya
mifumo ya kihistoria na
D kimaadili ya Kitanzania
kabla ya ukoloni

27
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(c) Kujadili Bunguabongo ongoza Mapokeo ya Matini, chati yenye
mapokeo wanafunzi kujadili kidini na namna kuonesha uhusiano
ya kidini mapokeo ya kidini (kama yalivyochangia wa mapokeo ya
na namna vile: Ukristo na Uislamu) katika kujenga kidini na maadili
yalivyochangia na mchango wake katika maadili ya jamii
katika kujenga kujenga maadili ya za Kitanzania
maadili ya Kitanzania kabla ya ukoloni

ft
jamii za Majadiliano ongoza yamejadiliwa
Kitanzania wanafunzi kujadili kwa kina

ra
kabla ya mapokeo ya kidini na
ukoloni namna yalivyochangia
D katika kujenga maadili ya
jamii za Kitanzania kabla
ya ukoloni

28
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
3. Kumudu 3.1 Kutathmini (a) Kueleza dhana Kisamafunzo ongoza Dhana ya ukoloni Matini yenye 25
historia ya ukoloni kama ya ukoloni wanafunzi katika kama nguvu laini kulezea ukoloni
Tanzania nguvu laini kama nguvu makundi na wape kisa (soft power) na
na maadili (soft power) laini (soft chenye dhana ya ukoloni, nguvu ngumu
wakati wa ya kujenga power) na nguvu laini na nguvu (hard power)
ukoloni, mwelekeo nguvu ngumu ngumu ili kuchambua imeelezwa
1890-1960 mpya wa (hard power) maana, sifa na viashiria kikamilifu

ft
jamii vya ukoloni
7DIDNXULongoza

ra
wanafunzi kutafakari
maana na sifa ya ukoloni
D kama nguvu laini na
nguvu ngumu

29
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(b)Kueleza Banguabongo Chimbuko la Matini, vitu halisi,
chimbuko la ongoza wanafunzi ukoloni na michoro/picha
ukoloni na kueleza chimbuko la kuenea kwake
kuenea kwake ukoloni huko Ulaya Tanzania
Tanzania ukihusianisha na kukua limeelezwa
kwa ubepari kikamilifu
Kisamafunzo wape

ft
wanafunzi kisa
kinachoonesha kuenea

ra
kwa ukoloni kama nguvu
laini na nguvu ngumu
D nchini Tanzania
7DIDNXULongoza
wanafunzi kutafakari
kuenea kwa ukoloni
katika sura hizo mbili
nchini Tanzania

30
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(c)Kuchambua Majadiliano ongoza Athari za Matini,
athari za wanafunzi kuchambua ukoloni, kisiasa, Picha na takwimu
ukoloni kuhusu athari za ukoloni kiuchumi, kijamii
kisiasa, kwa ujumla na kiutamaduni
kiuchumi, &KDQJDQ\DNHWHongoza zimechambuliwa
kijamii, wanafunzi katika kwa kina
kiutamaduni makundi kubainisha

ft
na maadili na kuelezea athari
ya ukoloni kisiasa,

ra
kiuchumi, kijamii,
kiutamaduni na kimaadili
D 7DIDNXULongoza
wanafunzi kutafakari
jinsi ukoloni ulivyojenga
mwelekeo mpya wa jamii

31
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(d)Kujadili Bunguabongo ongoza Uzalendo Matini, vitu 22
uzalendo na wanafunzi kujadili dhana na ujasiri halisi, picha/
ujasiri wa ya uzalendo na ujasiri Watanzania michoro, vifaa vya
Watanzania Majadiliano ongoza waliopinga 7(+$0$¿ODPX
waliopinga wanafunzi kueleza mfumo za harakati za
mfumo wa uzalendo na ujasiri wa kandamizi ukombozi
ukoloni na mashujaa waliopinga wa ukoloni

ft
maadili ya mfumo wa ukoloni umejadiliwa kwa
utamaduni nchini Tanzania kina

ra
3.2 Kuchambua (a) Kueleza Maswali na majibu Maadili na Matini
mchango maadili na ongoza na wezesha mfumo wa
wa ukoloni Dmfumo wa wanafunzi kujibu usimamizi
katika maswali kuhusu maadili
usimamizi uliojengwa
mfumo wa yaliojengwa wakati wa
uliojengwa wakati wa
maadili ya ukoloni
Kitanzania wakati wa ukoloni
ukoloni 7DIDNXUL 6HOIUHÀHFWLRQ  vimeelezwa
wezesha wanafunzi kikamilifu
kutafakari mfumo wa
usimamizi uliojengwa
wakati wa ukoloni

32
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(b)Kuhusianisha Bunguabongo wezesha Maadili Matini, chati yenye
maadili wanafunzi kulinganisha yaliyojengwa kuonesha uhusiano
yaliyojengwa maadili yaliyojengwa kabla ya ukoloni wa maadili ya
kabla ya kabla na wakati wa na yale ya wakati kabla na wakati wa
ukoloni na ukoloni wa ukoloni ukoloni
yale ya wakati &KDQJDQ\DNHWHongoza yamehusianishwa
wa ukoloni wanafunzi kuchambua kwa usahihi
uhusiano kati ya maadili

ft
yaliyojengwa kabla na
wakati wa ukoloni nchini

ra
Tanzania
(c) Kuchambua Maswali na majibu Athari za ukoloni Matini, picha/
D athari za ongoza wanafunzi kujibu katika mfumo michoro, vitu halisi
ukoloni katika maswali kuhusu athari za wa maadili
mfumo wa ukoloni katika mfumo wa ya Kitanzania
maadili ya maadili kwa ujumla zimechambuliwa
Kitanzania Majadiliano ongoza kwa kina
wanafunzi kuchambua
athari za ukoloni katika
mfumo wa maadili ya
Kitanzania

33
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
4. Kufanya 4.1 Kujenga (a) Kueleza Banguabongo ongoza Dhana, kanuni na Matini, chati 10
XWD¿WLZD hoja kuhusu dhana, kanuni wanafunzi kuelezea PDDGLOL\DXWD¿WL kuonesha kanuni na
historia ya historia ya na maadili PDDQD\DXWD¿WLZD wa kihistoria PDDGLOL\DXWDWL¿
Tanzania Tanzania \DXWD¿WLZD kihistoria vimeelezwa kwa wa kihistoria
na maadili na maadili kihistoria &KDQJDQ\DNHWHwezesha kina
kwa kutumia wanafunzi katika
ushahidi makundi kuchambua

ft
uliotokana na kuelezea kanuni na
QDXWD¿WL PDDGLOL\DXWD¿WLZD

ra
kihistoria
(b).XWD¿WL Kisamafunzo wape 8WD¿WLNXKXVX Kompyuta, matini,
Dkuhusu wanafunzi kisa au historia ya makala kwenye
historia ya YLVDNXKXVXXWD¿WLZD Tanzania na magazeti, vinasa
Tanzania na kihistoria waone jinsi maadili umeanza sauti
maadili XWD¿WLZDNLKLVWRULD kufanyika
ulivyo
8WD¿WLPDMDULELRongoza
ZDQDIXQ]LNXIDQ\DXWD¿WL
majaribio wa kihistoria

34
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mkuu mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
)DQ\DXWD¿WLongoza
wanafunzi kufanya
XWD¿WLNDWLNDPDGD]DR
walizochagua kuhusu
historia ya Tanzania na
maadili

ft
ra
D

35
Kidato cha VI
-HGZDOL1D: Maudhui ya Kidato cha VI
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
1. Kumudu 1.1 Kumudu (a) Kueleza Banguabongo ongoza Dhana na Matini vifaa vya 15
historia ya chimbuko dhana na wanafunzi katika chimbuko TEHEMA kama
ujenzi wa la ukoloni chimbuko makundi kufafanua la ukoloni ÀDVKLNRPS\XWDQD
taifa na mamboleo la ukoloni maana na sifa ya mamboleo TV zenye hotuba
maadili yake mamboleo ukoloni mamboleo vimeelezwa kwa na maudhui ya
katika kipindi usahihi ukoloni maombaleo

ft
)LNLULDQGLNDMR]LVKD
cha 1961-
VKLULNLVKDwezesha
1966

ra
wanafunzi kushiriki
katika kuelezea
chimbuko la ukoloni
D mamboleo
(b) Kuchambua &KDQJDQ\DNHWH Athari za ukoloni Matini, chati inayo
athari za wezesha wanafunzi mamboleo onesha athari za
ukoloni katika makundi kwa Tanzania ukoloni mamboleo.
mamboleo madogo madogo kiuchumi, Magazeti,
kwa kubainisha athari za kisiasa, kijamii Makala, vifaa
Tanzania ukoloni mamboleo kiutamaduni na vya TEHAMA
kiuchumi, vinavyoelezea
kisiasa,

36
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
kijamii Majadiliano kimaadili hotuba za watu
kiutamaduni ongoza wanafunzi vimechambuliwa mbalimbali kuhusu
na kimaadili kuchanganua athari kwa kina ukoloni mamboleo.
za ukoloni mamboleo
kwa Tanzania
kiuchumi, kisiasa,
kijamii kiutamaduni
na kimaadili

ft
(c) Kutathmini 0WDDODPX0XDOLNZD Mikakati ya Matini, chati
mikakati ya Mualike na muongoze kitaifa katika inayoonesha
kitaifa katika mtaalamu kuongea kupambana mikakati ya

ra
kupambana na wanafunzi kuhusu na ukoloni kupambana na
na ukoloni mikakati ya kitaifa ya mamboleo ukoloni mamboleo
D mamboleo kupambana na ukoloni imetathminiwa
-vifaa vya
mamboleo kwa kina
TEHAMA
7DIDNXULongoza
vinavyoelezea
wanafunzi kwa kuuliza
mapambano ya
maswali kutafakari
ukoloni mamboleo
maelezo ya mtaalamu
juu ya mikakati
ya kitaifa katika
kupambana na ukoloni
mamboleo

37
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
1.2 Kutathmini (a) Kueleza 0WDDODPXPXDOLNZD Chimbuko la Matini, chati, vifaa 20
mabadiliko chimbuko ongoza wanafunzi mifumo ya ulinzi vya TEHAMA
ya mifumo la mifumo kumsikiliza mtaalamu na usalama wa NDPDÀDVKL\HQ\H
ya ulinzi na ya ulinzi na akieleza chimbuko la taifa limeelezwa kuonesha hotuba
usalama wa usalama wa mifumo ya usalama kwa usahihi za viongozi na
taifa taifa wa taifa magazeti
Maswali na Majibu
toa maswali kuhusu

ft
chimbuko la mifumo
ya ulinzi na usalama

ra
wa Taifa baada ya
uhuru ili kupata
ufahamu wa pamoja
D
(b) Kuchambua
hatua za
mabadiliko
&KDQJDQ\DNHWH
ongoza wanafunzi
kubainisha na kuelezea
Hatua za
mabadiliko
ya mifumo
ya mifumo hatua za mabadiliko ya ulinzi na
ya ulinzi na ya mifumo ya ulinzi usalama wa taifa
na usalama wa taifa
usalama wa baada ya uhuru baada ya uhuru
taifa baada 7DIDNXULongoza zimechambuliwa
ya uhuru wanafunzi kutafakari kwa kina
mabadiliko hayo

38
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(c) Kutathmini Bunguabongo ongoza Nafasi ya maadili Matini, chati ya
nafasi ya wanafunzi kupima katika kujenga uhusiano kati ya
maadili nafasi ya maadili mifumo imara maadili na mifumo
katika katika kuimarisha ya ulinzi na ya ulinzi na
kujenga
mifumo imara ya usalama wa taifa usalama
mifumo
ulinzi na usalama imetathminiwa
imara ya
ulinzi na katika jamii kwa kina

ft
usalama wa Majadiliano ongoza
taifa
wanafunzi jadili nafasi

ra
ya maadili katika
kujenga mifumo imara
D ya ulinzi na usalama
wa taifa

39
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(d) Kujadili Maswali na majibu Umuhimu Matini, magazeti
umuhimu wa wananchi na nyaraka
Ongoza wanafunzi
wa wananchi kushiriki katika
kujibu maswali
kushiriki shughuli za
kuhusu umuhimu wa
katika ulinzi na usalama
wananchi kushiriki
shughuli za umejadiliwa kwa
katika shughuli za
ulinzi na kina
ulinzi na usalama
usalama

ft
Kisamafunzo Ongoza
wanafunzi kuigiza kisa
kuonesha umuhimu

ra
wa ulinzi na usalama
Majadiliano ongoza
D wanafunzi katika
vikundi kujadili
umuhimu wa
wananchi kushiriki
katika shughuli za
ulinzi na usalama

40
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
1.3. Kuchambua (a) Kueleza &KDQJDQ\DNHWH Chimbuko na Matini, Sera za 15
visababishi chimbuko wezesha wanafunzi misingi ya sera mambo ya nje
vya na misingi kuchambua chimbuko ya mambo ya za Jamhuri ya
mabadiliko ya Sera ya na misingi ya Sera nje ya Jamhuri Muungano wa
ya sera ya mambo ya mambo ya nje ya ya Muungano Tanzania
mambo ya nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
ya nje na Jamhuri ya wa Tanzania imeelezwa
uhusiano ya Muungano kikamilifu

ft
kimataifa wa Tanzania
(b) Kujadili Bunguabongo ongoza Mabadiliko Matini, Sera
mabadiliko wanafunzi katika ya sera ya mbalimbali za

ra
ya Sera ya makundi kubaini mambo ya nje mambo ya nje
mambo sababu zilizopelekea na uhusiano za Jamhuri ya
D ya nje na mabadiliko ya Sera ya wa kimataifa Muungano wa
uhusiano wa mambo ya nje tangu 1964 Tanzania
kimataifa yamejadiliwa
Majadiliano ongoza
tangu 1964 kwa kina
wanafunzi kujadili
mabadiliko ya Sera
ya mambo ya nje na
uhusiano wa kimataifa
mpaka 1966 nchini
Tanzania

41
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(c) Kuchambua Kisamafunzo andaa Nafasi ya Sera Matini, chati
nafasi ya na ongoza wanafunzi ya mambo ya nje kuonesha maadili
Sera ya kusoma kisa chenye na uhusiano wa na misingi ya Sera
mambo mada ya nafasi ya Sera kimataifa katika ya mambo ya nje,
ya nje na ya mambo ya nje na kudumisha na
Matini yenye sera
uhusiano wa uhusiano wa kimataifa kulinda maadili
ya mambo ya nje
kimataifa katika kudumisha na ya Kitanzania
katika kulinda maadili imechambuliwa

ft
kudumisha kwa kina
)LNLULDQGLNDMR]LVKD
na kulinda
VKLULNLVKDongoza
maadili ya

ra
wanafunzi kutafakari-
Kitanzania
na kujadiliana juu
ya nafasi ya Sera
D ya mambo ya nje na
uhusiano wa kimataifa
katika kudumisha na
kulinda maadili ya
Kitanzania

42
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
1.4. Kutathmini (a) Kueleza Kisamafunzo ongoza Falsafa ya Matini yenye 11
mchango wa falsafa ya wanafunzi kujadili Mapinduzi matukio ya falsafa
Mapinduzi Mapinduzi kisamafunzo kuhusu Matukufu ya mapinduzi
Matukufu Matukufu ya falsafa ya Mapinduzi ya Zanzibar matukufu ya
ya Zanzibar Zanzibar Matukufu ya Zanzibar imeelezwa Zanzibar,
katika kikamilifu
kudumisha Vifaa vya
uhuru, TEHAMA kama
umoja, na ÀDVKLNRPS\XWDQD

ft
amani ya TV vinavyoonesha
kitaifa. matukio ya

ra
mapinduzi ya
Zanzibar
D

43
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(b) Kujadili Bunguabongo Mchango wa
mchango wa ongoza wanafunzi Mapinduzi
Mapinduzi kujadili sababu na Matukufu ya
Matukufu kilichopelekea kutokea
Zanzibar katika
ya Zanzibar Mapinduzi Matukufu kudumisha
katika ya Zanzibar uhuru, umoja na
kudumisha Majadiliano ongoza amani ya kitaifa
uhuru, umoja wanafunzi kujadili umejadiliwa kwa

ft
na amani ya kwa kina mchango wa kina
kitaifa Mapinduzi Matukufu
ya Zanzibar katika

ra
kudumisha uhuru,
umoja na amani ya
D kitaifa

44
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(c) Kuchambua ,JL]RGKLPDongoza Matendo ya Matini
matendo ya wanafunzi kuigiza kimaadili katika
magazeti
kimaadili matendo ya kimaadili kuenzi Mapinduzi
katika kuenzi yanayofanywa katika Matukufu
Mapinduzi kuenzi Mapinduzi ya Zanzibar
Matukufu ya Matukufu ya Zanzibar. yamechambuliwa
Zanzibar Waandike matendo kwa kina
hayo waliyoyaona na

ft
kuigiza
0DWHPEH]L\D*DODUL

ra
*DOOHU\:DON ongoza
wanafunzi kwenye
matembezi ya galari
D kuona na kutafsiri
matendo ya kimaadili
katika kuenzi
Mapinduzi Matukufu
ya Zanzibar

45
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
2. Kutathmini 2.1. Kuchambua (a) Kufafanua Maswali na Majibu Falsafa ya Matini, hotuba za 19
ujenzi wa chimbuko falsafa ya ongoza wanafunzi Azimio la Arusha viongozi, makala
Taifa na la Azimio Azimio la kushiriki kujibu imefafanuliwa QD¿ODPX]D
maadili yake la Arusha Arusha maswali katika kwa usahihi matukio ya Azimio
wakati wa na matokeo kuelezea falsafa ya la Arusha
Azimio la yake Azimio la Arusha
Arusha, kiuchumi,
1967-1985 kisiasa,

ft
kiutamaduni
na kimaadili.
(b) Kutathmini Bunguabongo ongoza Mifumo na Matini, chati

ra
mifumo wanafunzi kupima misingi mipya kuonesha misingi
na misingi maadili yaliojengwa ya kimaadili ya kimaadili
mipya ya na Azimio la Arusha iliyoanzishwa na iliyoanzishwa
D kimaadili
iliyoanzishwa
na Azimio la
&KDQJDQ\DNHWH
wezesha wanafunzi
Azimio la Arusha
imetathminiwa
kwa kina
Matini ya Azimio
la Arusha.
katika vikundi
Arusha
kuchambua na kupima
mifumo na misingi
mipya ya kimaadili
iliyojengwa na Azimio
la Arusha

46
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(c) Kuchambua Majadiliano ongoza Athari za Azimio
athari za wanafunzi kufanya la Arusha,
Azimio majadiliano juu ya kiuchumi,
la Arusha athari za Azimio la kisiasa, kijamii,
kiuchumi, Arusha kiuchumi, kiutamaduni,
kisiasa, kisiasa, kijamii, kimaadili na
kijamii, kimaadili, kiutamaduni katika uhusiano
kimaadili, na katika uhusiano wa wa kimataifa

ft
kiutamaduni kimataifa zimechambuliwa
na katika kwa kina
)LNLULDQGLNDMR]LVKD
uhusiano wa

ra
VKLULNLVKDwezesha
kimataifa
wanafunzi kudadavua
athari za Azimio
D la Arusha katika
uhusiano wa kimataifa

47
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(d) Kutathmini Kisamafunzo andaa Umuhimu
umuhimu na wape wanafunzi (relevance)
(relevance) visamafunzo kuhusu wa Azimio la
wa Azimio Azimio la Arusha Arusha katika
la Arusha ambavyo wavitafakari mazingira
katika na kuvichambua ya sasa
mazingira ya umuhimu wake katika umetathminiwa
sasa jamii kwa kina

ft
7DIDNXULongoza
wanafunzi kutafakari

ra
ili kutathmini
umuhimu wa Azimio
la Arusha katika
D mazingira ya sasa

48
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
2.2. Kutathmini (a) Kueleza Bunguabongo ongoza Mchango Matini 16
nafasi ya mchango wanafunzi kubaini wa Tanzania
Ramani,
Tanzania wa Tanzania mchango wa Tanzania katika kuundwa
katika katika katika uanzishwaji wa na kukua Hotuba za viongozi
kujenga kuundwa jumuiya za kikanda (evolution) mbalimbali wa
uhusiano wa na kukua kwa jumuiya ndani na nje ya
&KDQJDQ\DNHWH
kikanda (evolution) za kikanda nchi
ongoza wanafunzi
kwa jumuiya umeelezwa kwa
katika vikundi

ft
za kikanda usahihi
kuchambua mchango
wa Tanzania katika

ra
kuundwa na kukua
kwa jumuiya za
kikanda
D

49
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(b) Kuchambua 6FHQDULR NLVD¿NLULND  Fursa zitokanazo Matini, chati
fursa andaa na wape na ushiriki kuonesha fursa
zitokanazo wanafunzi scenario wa Tanzania zilizopo katika
na ushiriki NLVD¿NLULVKD  katika uhusiano uhusiano wa
wa Tanzania inayoonesha fursa wa kikanda kikanda
katika anuai zinazotokana na zimechambuliwa
uhusiano wa uhusiano wa kikanda kwa kina
kikanda
)LNLULDQGLNDMR]LVKD

ft
VKLULNLVKDwezesha
ZDQDIXQ]LNX¿NLUL

ra
andika-jozisha-
shirikisha fursa
zitokanazo na ushiriki
D wa Tanzania katika
uhusiano wa kikanda

50
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(c) Kutathmini Maswali na Majibu Mchango
mchango ongoza wanafunzi wa lugha ya
wa lugha ya kujibu maswali kuhusu Kiswahili
Kiswahili mchango wa lugha katika uhusiano
katika ya Kiswahili katika wa kikanda
uhusiano wa uhusiano wa kikanda umetathminiwa
kikanda kwa kina
Majadiliano ongoza
na wezesha wanafunzi

ft
kujadili majibu
yaliyotolewa wakati

ra
wa maswali na majibu
kuhusu mchango wa
lugha ya Kiswahili
D katika uhusiano wa
kikanda

51
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(d) Kutathmini &KDQJDQ\DNHWH Ushiriki wa Matini, sidii za
ushiriki wa ongoza wanafunzi Tanzania katika hotuba za viongozi
Tanzania kuchambua na kujadili mapambano wa kitaifa
katika ushiriki wa Tanzania dhidi ya rushwa
mapambano katika mapambano na ujenzi
dhidi ya dhidi ya rushwa na wa utawala
rushwa na ujenzi wa utawala bora bora kikanda
ujenzi wa kikanda umetathminiwa

ft
utawala bora kwa kina
Maswali na majibu
kikanda
Ongoza wanafunzi

ra
kujibu maswali juu
ya ufanisi wa ushiriki
D wa Tanzania kwenye
mapambano hayo

52
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
3. Kutathmini 3.1 Kutafsiri (a) Kueleza Kisamafunzo andaa Falsafa ya Matini, vitu halisi 26
historia ya mabadiliko falsafa ya na ongoza wanafunzi mabadiliko kompyuta, simu,
Tanzania ya kiuchumi, mabadiliko kusoma kisamafunzo ya kiuchumi, vishikwambi
na maadili kisiasa, ya kiuchumi, kinachoelezea falsafa kisiasa,
wakati wa kiutamaduni kisiasa, kiutamaduni,
ya uliberali
uliberali, na kimaadili kiutamaduni, na kimaadili
1986 hadi katika na kimaadili &KDQJDQ\DNHWH katika kipindi
sasa kipindi cha katika ongoza wanafunzi cha uliberali hadi

ft
uliberali na kipindi cha kuichambua falsafa sasa imeelezwa
utandawazi uliberali hadi kikamilifu
hiyo ya mabadiliko
kuanzia 1986 sasa

ra
kiuchumi, kisiasa,
hadi sasa
kiutamaduni na
D kimaadili katika
kipindi hiki cha
uliberali

53
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(b) Kujadili .D]LPUDGL Athari za mfumo
athari za 3URMHFWDFWLYLW\  wa kiliberali
mfumo wa ongoza wanafunzi kiuchumi, kisiasa
kiliberali kuchunguza athari za kiutamaduni
kiuchumi, uliberali katika jamii na kimaadili
kisiasa, zinazowazunguka zimejadiliwa
kiutamaduni kwa kina
Majadiliano ongoza
na kimaadili
wanafunzi kujadili

ft
athari hizo kiuchumi,
kisiasa, kiutamaduni

ra
na kimaadili
&KDQJDQ\DNHWH
D ongoza wanafunzi
kutathmini athari
chanya na athari hasi
za mfumo huo wa
kiliberali kwa jamii za
Kitanzania

54
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
(c) Kuchambua .XWXPLD0WDDODPX Mifumo Matini, chati
mifumo ya alika mtaalamu na ya kitaasisi kuonesha taasisi
kitaasisi muongoze kuelezea iliyoundwa zilizoundwa
iliyoundwa mifumo ya kitaasisi kuratibu, kulinda
kuratibu, iliyoundwa kulinda na kuzuia
kulinda maadili vitendo vya
na kuzuia ukiukwaji wa
vitendo vya &KDQJDQ\DNHWH maadili ya Taifa

ft
ukiukwaji wa ongoza wanafunzi imechambuliwa
maadili ya kubainisha na kuelezea kwa kina
Taifa katika mifumo hiyo katika

ra
kipindi cha kuratibu, kulinda na
uliberali hadi kuzuia vitendo vya
D sasa ukiukwaji wa maadili
ya Taifa

55
Umahiri mkuu Umahiri Shughuli za Mbinu Vigezo vya Zana za Idadi
mahususi ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji ufundishaji ya
za ufundishaji na na ujifunzaji vipindi
ujifunzaji zinazopendekezwa
4. Kufanya 4.1 Kujenga (a) Kukamilisha )DQ\DXWD¿WL HQGHOHD 8WD¿WLNXKXVX Kompyuta, matini, 14
XWD¿WLZD hoja kuhusu na NXIDQ\DXWD¿WL historia ya Makala kwenye
historia ya historia ya kuwasilisha Tanzania magazeti, vinasa
ongoza wanafunzi
Tanzania na Tanzania taarifa ya na maadili sauti
NXIDQ\DXWD¿WLNDWLND
maadili na maadili XWD¿WLNXKXVX umefanyika
mada zao kuhusu
kwa kutumia historia ya kikamilifu
historia ya Tanzania na
ushahidi Tanzania
maadili (mwendelezo
uliotokana na na maadili
kutoka Kidato cha

ft
XWD¿WL ulioanza
Tano)
kidato cha
tano )DQ\DXZDVLOLVKDML

ra
wa awali ongoza
wanafunzi kuwasilisha
D SUHVHQW WD¿WL]DR
wakati wanaendelea
kuandika ripoti zao
za mwisho ili kuona
maendeleo yao na
kushauri ipasavyo

56
%LEOLRJUD¿D

BAKITA. (2016). Kamusi Kuu ya Kiswahili. Longhorn Publishers Limited.

Mauritius Institute of Education. (2015). National curriculum framework: Nine-year continuous basic education. Mauritius
Institute of Education.

TAKUKURU. (2020). Mwongozo wa wakufunzi na mafunzo kwa wananchi, viongozi na watendaji wa serikali za mitaa kuhusu
mapambano dhidi ya rushwa. TAKUKURU.

TAKUKURU. (2021). Mwongozo wa Mafunzo kwa Wawezeshaji Kufundisha Vijana wa Skauti Kuhusu Kuzuia na Kupambana na
Rushwa. TAKUKURU.

ft
ra
D

57

You might also like