You are on page 1of 49

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA

MUHTASARI WA SOMO LA HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI


ELIMU YA MSINGI
DARASA LA III-VI
2023

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 1 30/07/2023 08:21


© Taasisi ya Elimu Tanzania, 2023

Toleo la Kwanza, 2023

Taasisi ya Elimu Tanzania


S.L.P 35094
Dar es Salaam, Tanzania.

Simu: +255- 735041168/+255- 735041170


Baruapepe: director.general@tie.go.tz
Tovuti: www.tie.go.tz

Muhtasari huu urejerelewe kama: Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. (2023). Muhtasari wa Somo la Historia ya Tanzania na
Maadili Elimu ya Msingi Darasa la III-VI.Taasisi ya Elimu Tanzania.

Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kunakili, kudurufu, kuchapisha, kutafsiri wala kutoa muhtasari huu kwa namna yoyote ile
bila idhini ya maandishi kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania.

ii

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 2 30/07/2023 08:21


Yaliyomo
Orodha ya Majedwali.........................................................................................................................................................................iv
Vifupisho ..........................................................................................................................................................................................v
Shukurani .........................................................................................................................................................................................vi
1.0 Utangulizi ..................................................................................................................................................................................1
2.0 Malengo ya Elimu Tanzania ......................................................................................................................................................1
3.0 Malengo ya Elimu ya Msingi Darasa la III-VI .........................................................................................................................2
4.0 Umahiri wa Jumla Elimu ya Msingi Darasa la III-VI ...............................................................................................................3
5.0 Umahiri Mkuu na Umahiri Mahususi .......................................................................................................................................4
6.0 Majukumu ya Mwalimu, Mwanafunzi na Mzazi/Mlezi Katika Ufundishaji na Ujifunzaji ......................................................5
6.1 Mwalimu ..........................................................................................................................................................................5
6.2 Mwanafunzi .....................................................................................................................................................................6
6.3 Mzazi/Mlezi .....................................................................................................................................................................6
7.0 Ufundishaji na Ujifunzaji ..........................................................................................................................................................7
8.0 Zana/Vifaa vya Ufundishaji na Ujifunzaji ................................................................................................................................7
9.0 Upimaji Katika Ufundishaji na Ujifunzaji ................................................................................................................................8
10 Idadi ya Vipindi .........................................................................................................................................................................8
11 Maudhui ya Ufundishaji na Ujifunzaji wa Umahiri Husika .....................................................................................................9
.......................................................................................................................................................................................43

iii

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 3 30/07/2023 08:21


Orodha ya Majedwali

Jedwali Na. 1: Umahiri Mkuu na Umahiri Mahususi .........................................................................................................................4


Jedwali Na. 2: Maudhui kwa Darasa la III .......................................................................................................................................10
Jedwali Na. 3: Maudhui ya Darasa IV ..............................................................................................................................................21
Jedwali Na. 4: Maudhui ya Darasa la V............................................................................................................................................28
Jedwali Na. 5: Maudhui ya Darasa la VI ..........................................................................................................................................34

iv

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 4 30/07/2023 08:21


Vifupisho
LAT Lugha ya Alama ya Tanzania

TEHAMA Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

TET Taasisi ya Elimu Tanzania

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 5 30/07/2023 08:21


Shukurani
Maandalizi ya muhtasari wa somo la Historia ya Tanzania na Maadili Elimu ya Msingi Darasa la III-VI yamehusisha wataalamu
mbalimbali kutoka taasisi za serikali na zisizo za serikali. Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) inatambua na kuthamini michango ya
washiriki wote waliofanikisha uandaaji wa muhtasari huu. Aidha, TET inatoa shukurani za pekee kwa wakuza mitaala wa TET,
wahadhiri, wakufunzi, wathibiti ubora wa shule, walimu pamoja na wataalamu kutoka asasi za kiraia. Vilevile, TET inaishukuru
Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Kusimamia Kazi ya Maboresho ya Mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Ualimu
iliyoteuliwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia. Kamati hii ilifanya kazi kwa weledi na kuhakikisha kuwa maudhui ya
muhtasari huu yanalenga kuwa na wahitimu wenye maarifa, ujuzi na stadi zitakazowawezesha kujiajiri, kuajiriwa na kumudu
maisha yao ya kila siku, ambalo ndilo lengo kuu la uboreshaji wa Mitaala ya Mwaka 2023.

Mwisho, TET inatoa shukurani za pekee kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kuwezesha uandaaji na usambazaji wa
muhtasari huu.

Dkt. Aneth A. Komba


Mkurugenzi Mkuu
Taasisi ya Elimu Tanzania

vi

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 6 30/07/2023 08:21


1.0 Utangulizi
Somo la Historia ya Tanzania na Maadili ni lazima katika ngazi ya Elimu ya Msingi Darasa la III-VI. Somo hili litafundishwa
kwa Kiswahili ili kujenga na kuendeleza mila, desturi na utamaduni wa Mtanzania. Lengo la kufundisha somo hili ni
kumjenga Mtanzania kuwa mzalendo na muwajibikaji anayefahamu historia, desturi, mila na maadili ya Tanzania. Pia,
linalenga kumwezesha mwanafunzi kujenga maadili, kukuza Utaifa na uzalendo pamoja na kulinda rasilimali za nchi na
za Taifa. Hivyo, kumwezesha mwanafunzi kuishi kwa kufuata misingi ya kuthamini kazi, uwajibikaji, utu, uadilifu, umoja,
uzalendo, upendo na kuthamini rasilimali za Taifa.

Muhtasari huu umeandaliwa kwa lengo la kumwongoza mwalimu katika ufundishaji na ujifunzaji wa somo la Historia ya
Tanzania na Maadili Elimu ya Msingi Darasa la I–VI, Tanzania Bara. Aidha, muhtasari utamwezesha mwalimu kupanga
shughuli za ufundishaji na ujifunzaji kwa kumjengea mwanafunzi stadi za udadisi, ubunifu, ushirikiano, mawasiliano na
utatuzi wa changamoto. Muhtasari huu umetafsiri Mtaala wa Elimu ya Msingi wa Mwaka 2023 ambao msingi wake mkuu
umejikita kupata wahitimu wenye maarifa, ujuzi na stadi zitakazowawezesha kujiajiri, kuajiriwa na kumudu maisha yao ya
kila siku katika mazingira yake.

2.0 Malengo ya Elimu Tanzania


Malengo ya Elimu Tanzania ni kumwezesha kila Mtanzania:

(a) Kukuza na kuboresha haiba yake ili aweze kujithamini na kujiamini.

(b) Kuheshimu utamaduni, mila na desturi za Tanzania, tofauti za kitamaduni, utu, haki za binadamu, mitazamo na matendo
jumuishi.

(c)
mtazamo chanya katika maendeleo yake binafsi, maendeleo endelevu ya Taifa na dunia kwa ujumla.

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 1 30/07/2023 08:21


(d) Kuelewa na kulinda Tunu za Taifa ikiwa ni pamoja na utu, uzalendo, uadilifu, umoja, uwazi, uwajibikaji na lugha ya
Taifa.

(e) Kujenga stadi za maisha na stadi za kazi ili kuongeza ufanisi katika maisha ya kila siku.

(f) Kukuza tabia ya kupenda na kuheshimu kazi ili kuongeza tija na ufanisi katika uzalishaji na utoaji wa huduma.

(g) Kutambua na kuzingatia masuala mtambuka ambayo ni pamoja na afya na ustawi wa watu (jamii), usawa wa kijinsia,
usimamizi na utunzaji endelevu wa mazingira.

(h) Kukuza ushirikiano wa kitaifa na kimataifa, amani na haki kwa kuzingatia Katiba ya nchi na mikataba ya kimataifa.

3.0 Malengo ya Elimu ya Msingi Darasa la III-VI


Malengo ya Elimu ya Msingi Darasa la III-VI ni kumwezesha mwanafunzi:

(a) Kukuza stadi za kusoma, kuandika, kuhesabu na kuwasiliana kwa lugha fasaha, Lugha ya Alama ya Tanzania (LAT)
na lugha mguso.

(b) Kufahamu, kutumia na kuthamini lugha ya Kiswahili na Kiingereza. Aidha, mwanafunzi ahamasishwe kumudu angalau
lugha nyingine moja ya kigeni kulingana na hali halisi ya shule yake.

(c) Kuthamini na kudumisha utamaduni wa Mtanzania, umoja wa kitaifa na kutambua tamaduni nyingine.

(d)

(e) Kukuza maadili, uadilifu, na kuheshimu tofauti za imani.

(f) Kubaini na kukuza vipaji, vipawa, stadi za kazi, michezo na sanaa.

(g) Kukuza tabia ya kuthamini na kupenda kufanya kazi.

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 2 30/07/2023 08:21


(h) Kutambua na kutumia sayansi na teknolojia katika kujifunza na katika maisha ya kila siku.

(i) Kukuza maarifa, ujuzi na mwelekeo wa kutunza mazingira, kuheshimu usawa wa kijinsia na masuala mengine
mtambuka.

(j) Kukuza uwezo wa kuchangamana katika mazingira jumuishi.

4.0 Umahiri wa Jumla Elimu ya Msingi Darasa la III-VI


Umahiri wa jumla utakaojengwa na mwanafunzi wa Darasa la III-VI ni:

(a) Kutumia stadi za kusoma, kuandika, kuhesabu na kuwasiliana kwa lugha fasaha, Lugha ya Alama ya Tanzania (LAT)
na lugha mguso.

(b) Kutumia na kuithamini lugha ya Kiswahili, Kiingereza, na angalau lugha nyingine moja ya kigeni.

(c) Kuonesha, kuthamini na kuheshimu utamaduni wa Mtanzania, umoja wa kitaifa na kutambua tamaduni nyingine.

(d)

(e) Kuonesha uadilifu na kuheshimu tofauti za imani.

(f) Kutumia vipaji, vipawa, stadi za kazi, michezo na sanaa katika miktadha mbalimbali.

(g) Kuthamini na kupenda kufanya kazi.

(h) Kutumia sayansi na teknolojia katika kujifunza na maisha ya kila siku.

(i) Kutunza mazingira, kuheshimu usawa wa kijinsia na masuala mengine mtambuka.

(j) Kuchangamana katika mazingira jumuishi.

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 3 30/07/2023 08:21


5.0 Umahiri Mkuu na Umahiri Mahususi
Muhtasari wa somo la Historia ya Tanzania na Maadili Elimu ya Msingi kwa Darasa la III-VI una umahiri mkuu na umahiri
mahususi kama inavyooneshwa katika jedwali namba 1.
Jedwali Na 1: Umahiri Mkuu na Umahiri Mahususi

Umahiri Mkuu Umahiri Mahususi


1.0 Kulinda historia ya Tanzania, 1.1 Kumudu dhana ya historia ya Tanzania urithi na maadili
urithi na maadili ya Taifa 1.2 Kumudu maarifa ya jamii inayomzunguka
1.3 Kutumia maarifa na ujuzi wa jamii inayomzunguka kusimulia asili, urithi na maadili ya
jamii husika
1.4 Kutathmini ushirikiano baina ya jamii za Kitanzania katika kujenga uhusiano wa kijamii na
kiuchumi
2.0 Kumudu historia ya Tanzania 2.1 Kuelezea mifumo mbalimbali ya utunzaji na ukuzaji wa maadili ya jamii za Kitanzania
na Maadili kabla ya ukoloni kabla ya ukoloni
2.2 Kueleza maendeleo ya jamii za Kitanzania na maadili yake kabla ya ukoloni.
3.0 Kumudu historia ya Tanzania 3.1 Kuelezea historia ya Tanzania na urithi wakati wa ukoloni
na maadili wakati wa ukoloni 3.2 Kulinganisha mabadiliko na mwendelezo wa maadili kabla na wakati wa ukoloni
1890-1960 3.3 Kuelezea jitihada za kulinda maadili ya Kitanzania dhidi ya maadili ya kigeni yaliyoletwa
wakati wa ukoloni
4.0 Kumudu historia ya ujenzi 4.1 Kumudu historia ya ujenzi wa Taifa na maadili mara baada ya uhuru katika kipindi cha
wa Taifa na maadili katika 1961-1966
kipindi cha 1961-1966 4.2 Kuelezea mchango wa Tunu na Alama za Taifa katika kujenga umoja wa kitaifa na
uzalendo
4.3 Kutumia Alama za Taifa kama utambulisho wa Tanzania
5.0 Kutathmini ujenzi wa Taifa 5.1 Kuelezea misingi na maadili ya Azimio la Arusha na Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea
na maadili wakati wa Azimio 5.2 Kuelezea mchango wa Tanzania katika mapambano dhidi ya ukoloni na ukandamizaji
la Arusha 1967-1985
6.0 Kutathmini historia ya 6.1 Kufafanua dhana ya ulibelali kwa kuhusianisha na maadili ya Kitanzania
Tanzania na maadili wakati 6.2 Kutumia maarifa na ujuzi wa historia ya Tanzania na maadili kufanya uaamuzi sahihi katika
wa uliberali 1986 hadi sasa nyakati za uliberali

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 4 30/07/2023 08:21


6.0 Majukumu ya Mwalimu, Mwanafunzi na Mzazi/Mlezi Katika Ufundishaji na Ujifunzaji
Ufundishaji na ujifunzaji unategemea ushirikiano baina ya mwalimu, mwanafunzi na mzazi/mlezi. Majukumu yao ni kama
yafuatayo.

6.1 Mwalimu

Mwalimu anatarajiwa:

(a) Kumwezesha mwanafunzi kujifunza na kupata umahiri uliokusudiwa katika somo la Historia ya Tanzania na Maadili.

(b) Kutumia mbinu za kufundishia na kujifunzia kwa kuzingatia umri, mahitaji anuai, na uwezo wa mwanafunzi ili
kumwezesha:

(i) Kujenga umahiri unohitajika katika Karne ya 21;

(ii) Kushiriki ipasavyo katika tendo zima la ujifunzaji.

(c) Kutumia mbinu shirikishi zinazomfanya mwanafunzi kuwa kitovu cha ujifunzaji zikiwemo zile zitakazomwezesha

(d)

(e) Kutengeneza au kufaragua zana za kufundishia na kujifunzia.

(f) Kufanya upimaji endelevu mara kwa mara kwa kutumia zana na mbinu za upimaji na tathmini zinazopima nadharia na
vitendo.

(g) Kuhakikisha kuwa ufundishaji na ujifunzaji unafanyika kwa haki na usawa kwa kuzingatia mahitaji ya mwanafunzi.

(h) Kumlinda mwanafunzi awapo shuleni.

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 5 30/07/2023 08:21


(i) Kufuatilia maendeleo ya mwanafunzi ya kila siku.

(j) Kubaini mahitaji ya mwanafunzi na kutoa afua stahiki.

(k) Kushirikisha wazazi/walezi na jamii katika hatua mbalimbali za ujifunzaji wa mwanafunzi.

(l) Kuchopeka masuala mtambuka na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika ufundishaji na ujifunzaji.

6.2 Mwanafunzi

Mwanafunzi anatarajiwa:

(a) Kuwa mtendaji mkuu katika mchakato wote wa ujifunzaji.

(b) Kushiriki katika shughuli mbalimbali za ujifunzaji ndani na nje ya darasa ili kupata umahiri unaokusudiwa.

(c) Kushirikiana na wenzake pamoja na mwalimu katika mchakato wa ujifunzaji.

(d) Kushiriki katika kutafuta maarifa kutoka katika vyanzo mbalimbali ikiwemo vitabu vya kiada, ziada na machapisho
mengine kutoka katika maktaba mtandao.

6.3 Mzazi/Mlezi
Mzazi/ Mlezi anatarajiwa:

(a) Kusimamia na kufuatilia maendeleo ya mtoto katika ujifunzaji.

(b) Kumsimamia mtoto kutekeleza kazi zake za kitaaluma pale inapowezekana.

(c)

(d) Kufuatilia mwenendo wa tabia ya mtoto.

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 6 30/07/2023 08:21


(e) Kumpatia mtoto vifaa vinavyohitajika katika ujifunzaji.

(f) Kuhakikisha mtoto anapata mahitaji muhimu.

(g) Kumfundisha mtoto juu ya umuhimu na thamani ya elimu pamoja na kumhimiza kujifunza kwa bidii.

7.0 Ufundishaji na Ujifunzaji


Ufundishaji na ujifunzaji wa somo la Historia ya Tanzania na Maadili Elimu ya Msingi ulenge kutumia mbinu zitakazomfanya
mwanafunzi kuwa kitovu cha ujifunzaji na mwalimu kuwa mwezeshaji. Mwalimu atumie mbinu zitakazomshirikisha
mwanafunzi katika tendo zima la ufundishaji na ujifunzaji kwa kuzingatia umri, mahitaji anuai na uwezo wa mwanafunzi.
Pia, mbinu hizo zimwezeshe mwanafunzi
ya Tanzania na Maadili. Matumizi ya TEHAMA katika ufundishaji na ujifunzaji yanasisitizwa kuwezesha wanafunzi kupata
na kutumia taarifa mbalimbali katika ujifunzaji wao.

Baadhi ya mbinu za ufundishaji na ujifunzaji zinazopendekezwa kutumika ni ziara za kimasomo, midahalo/klabu za masomo,

ili kufanikisha ujifunzaji. Pia, mwalimu atumie vyanzo na nyaraka za kihistoria kuwezesha ufundishaji na ufundishaji wa
somo hili. Aidha mnwalimu anahimizwa kutumia njia nyingine kama hizo kulingana na muktadha ili kufanikisha ujenzi wa
umahiri uliokusudiwa.

8.0 Zana za Ufundishaji na Ujifunzaji


Zana za ufundishaji na ujifunzaji zinapaswa kuwa shirikishi na zinazokidhi mahitaji, umri, na uwezo wa mwanafunzi.
Mwalimu anapaswa kuhakikisha mwanafunzi anapata nafasi ya ama kuona, kuhisi, kusikia na kushika zana wakati wa
ufundishaji na ujifunzaji. Zana za ufundishaji na ujifunzaji zinapaswa zimsaidie mwanafunzi kuelewa kile kinachofundishwa.
Aidha, mwalimu anashauriwa kutumia zana zinazopatikana katika mazingira yanayomzunguka, pamoja na vitabu vya kiada,

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 7 30/07/2023 08:21


ziada na vifaa vingine vya ufundishaji na ujifunzaji vilivyopata ithibati ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET). Baadhi ya zana
zitakazotumika kuwezesha ufundishaji na ujifunzaji zimependekezwa katika jedwali la maudhui katika safu ya zana.

9.0 Upimaji Katika Ufundishaji na Ujifunzaji


Upimaji ni muhimu katika mchakato wa ujifunzaji na ufundishaji ili kuwezesha ujenzi wa umahiri unaokusudiwa.
Upimaji wa Somo la Historia ya Tanzania na Maadili utajumuisha upimaji endelevu na upimaji tamati. Upimaji endelevu
utazingatia vigezo vilivyoainishwa katika kila shughuli ya ujifunzaji na utamwezesha mwalimu kubaini uwezo na uhitaji
wa mwanafunzi katika ujifunzaji. Vilevile, utalenga kupima mabadiliko katika maarifa, stadi na mwelekeo wa kutenda,
kuthamini, kusimulia na kutumia stadi anazojifunza katika mazingira yanayomzunguka. Aidha, mwalimu atatumia taarifa za

wakati wa ufundishaji na ujifunzaji ni bunguabongo, orodha hakiki, mazoezi ya darasani, majaribio, majaribio kwa vitendo,
dodoso, maswali ya ana kwa ana, mazoezi, kazi kwa vitendo (kazi binafsi na kazi za vikundi), kazimradi na mkoba wa kazi
na zana nyingine kama hizo.

Upimaji tamati utahusisha mitihani ya wiki, mwezi, muhula na mtihani wa mwisho wa mwaka ambayo itatumika kupima
maendeleo ya ujifunzaji wa mwanafunzi. Taarifa za upimaji huu pamoja na kutumika kutathimini maendeleo ya mwanafunzi,
zitatumika kutoa mrejesho wa kuwezesha ufundishaji na ujifunzaji. Aidha, kutakuwa na upimaji wa kitaifa wa Darasa la
Sita ambao utachangia alama 7.5 katika mtihani wa Kidato cha Nne.

10.0 Idadi ya Vipindi


Muhtasari wa Somo la Historia ya Tanzania na Maadili Elimu ya Msingi unatoa makadirio ya muda utakaotumika katika
ufundishaji na ujifunzaji kwa kuzingatia uzito wa umahiri mahususi na shughuli za kutendwa na mwanafunzi. Makadirio
haya ya muda yamewekwa kwa mfumo wa vipindi ambapo kila kipindi ni dakika 40. Idadi ya vipindi kwa somo hili ni
vipindi vitano (5) kwa wiki kwa Darasa la Tatu hadi la Sita.

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 8 30/07/2023 08:21


11.0 Maudhui ya Ufundishaji na Ujifunzaji wa Umahiri Husika
Muhtasari wa Somo la Historia ya Tanzania na Maadili Elimu ya Msingi umebeba maudhui ambayo yamepangiliwa katika
vipengele sita ambavyo ni umahiri mkuu, umahiri mahususi, shughuli za ujifunzaji, mbinu za ufundishaji na ujifunzaji
zinazopendekezwa, vigezo vya upimaji, vifaa/zana za ufundishaji na ujifunzaji vinazopendekezwa pamoja na idadi ya
vipindi kama Jedwali na. 2, 3, 4 na 5 linavyoonesha.

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 9 30/07/2023 08:21


Darasa la III
Jedwali Na 2: Maudhui kwa Darasa la III
Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
1.0 Kulinda 1.1 Kumudu dhana (a) Kueleza dhana Bunguabongo: Dhana ya - Matini ya 10
Historia ya Historia ya ya Historia Wanafunzi Historia ya Historia ya
ya Tanzania, urithi ya Tanzania, kubunguabongo maana Tanzania, urithi Tanzania na
Tanzania, na maadili urithi na ya historia ya Tanzania, na maadili Maadili
urithi na maadili (maana, urithi na maadili imeelezwa
maadili umuhimu) - Picha
Changanyakete: zinazoonesha
ya Taifa Wanafunzi katika vikundi historia ya
wajadiliane kuhusu Tanzania
umuhimu wa historia maadili na
ya Tanzania, urithi na urithi
maadili kisha washirikishe
vikundi vingine ili - Filamu
kuboresha kazi zao zinazoonesha
Kutumia TEHAMA: vitendo vya
Wezeshe wanafunzi kimaadili
kujadili na kubaini dhana
ya Historia ya Tanzania,
urithi na maadili katika

(b) Kubaini vitendo Kisamafunzo: Wanafunzi Vitendo vya - Matini ya


vya kimaadili na wajadili kisamafunzo kimaadili na Historia ya
umuhimu wake chenye matukio ya umuhimu wake Tanzania na
kimaadili ili kujifunza vimebainishwa Maadili
vitendo vya maadili na
umuhimu wake

10

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 10 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
Igizodhima: Ongoza - Michoro/picha/
wanafunzi kuonesha picha mguso
matendo ya maadili zinazoonesha
vitendo vya
Kutumia TEHAMA: maadili
Wezesha wanafunzi
kujadili na kubaini - Filamu
vitendo vya kimaadili na zinazoonesha
umuhimu wake katika vitendo vya
kimaadili
1.2 Kumudu (a) Kubaini wajibu Amebainisha - Matini ya 50
maarifa ya jamii na haki zake Wanafunzi kuchunguza na wajibu na haki Historia ya
inayomzunguka katika familia na kuandika kuhusu wajibu zake katika Tanzania na
shuleni na haki zao katika familia familia na Maadili
na shuleni shuleni
- Chati yenye
Changanyakete: kuonesha
Wanafunzi katika vikundi wajibu wa
wajadiliane kuhusu haki mtoto katika
na wajibu wao katika shule na
familia na shuleni kisha familia
washirikishe vikundi
vingine kuboresha
(b) Kuonesha Igizo dhima: Wanafunzi Matendo ya - Matini yenye
matendo ya waigize matendo ya kuheshimu sheria za shule
kuheshimu heshima, kutii sheria, wengine,
wengine, kutii kujali na kushirikiana kutii sheria,
sheria, kujithamini,

11

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 11 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
kujithamini, kujali Igizo dhima: Wanafunzi kujali na - Matini ya
na kushirikiana waigize matendo ya kushirikiana na Historia ya
na watu wengine heshima, kutii sheria, watu wengine Tanzania na
nyumbani na kujali na kushirikiana nyumbani Maadili
shuleni na shuleni
Maswali na Majibu: yameoneshwa - Picha zenye
Tumia maswali kuongoza kuonesha
wanafunzi kubaini matendo ya
matendo ya heshima, kuheshimu,
kutii sheria, kujali na kuheshimiana
kushirikiana na kushirikiana
Majadiliano: Ongoza
majadiliano kuwezeshwa
wanafunzi kubaini
matendo ya heshima,
kutii sheria, kujali na
kushirikiana
(c) Kueleza maarifa Maarifa na ujuzi - Mazao
na ujuzi wa Wanafunzi wachunguze wa asili wa jamii mbalimbali
asili wa jamii na kuandika taarifa inayomzunguka
inayomzunguka zinazohusu maarifa na katika kilimo, - Picha zenye
(katika kilimo, ujuzi wa asili wa jamii utunzaji wa kuonesha
utunzaji wa katika kilimo, utunzaji wa mazingira, dawa, mazao ya
mazingira, mazingira, dawa na dini dini yameelezwa kilimo, dawa
dawa, dini nk) na utunzaji wa
Matembezi ya galari: mazingira
Wanafunzi wapitie kazi
za vikundi vingine ili
kujadili na kueleza

12

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 12 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
maarifa na ujuzi wa asili - Filamu zenye
wa jamii katika kilimo, kuonesha
utunzaji wa mazingira, shughuli
dawa na dini za kilimo,
utunzaji wa
mazingira
- Matini ya
Historia ya
Tanzania na
Maadili
1.3 Kutumia maarifa (a) Kubaini Igizo dhima: Ongoza Asili za jamii - Michoro/picha 55
na ujuzi wa asili za jamii wanafunzi kuigiza (tamaduni, yenye ngoma
asili wa jamii zinazomzunguka tamaduni za jamii mavazi, chakula, za asili ya
inayomzunguka (tamaduni, zinazomzunguka. ngoma, nyimbo) jamii
kusimulia mavazi, chakula, : Ongoza zinazomzunguka
asili, urithi, na ngoma, nyimbo) wanafunzi kuchunguza zimebainishwa - Mavazi ya
maadili ya jamii makabila ya
asili za jamii zao kupitia Kitanzania
husika kwa walezi/wazazi na
watu wengine - Picha zenye
kuonesha
Kutumia TEHAMA:
vyakula vya
Wanafunzi wabainishe
jamii tofauti
asili za jamii
zinazowazunguka (mf. - Filamu zenye
tamaduni, mavazi, makala
chakula, ngoma na zinazohusu

13

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 13 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
nyimbo za jamii katika asili za jamii

walizozitazama
(b) Kufafanua Mtaalamu mwalikwa: Umuhimu wa - Picha/
umuhimu wa Alika mtaalamu kusimulia maarifa, ujuzi video zenye
maarifa, ujuzi kuhusu umuhimu wa wa asili na urithi kuonesha urithi
wa asili na urithi maarifa, ujuzi wa asili wa kihistoria wa Historia na
wa kihistoria na urithi wa kihistoria kwa maendeleo ujuzi wa asili
kwa maendeleo unavyosaidia maendeleo ya kiuchumi
ya kiuchumi na ya kiuchumi na kijamii na kijamii - Matini ya
kijamii umefafanuliwa Historia ya
Maswali na majibu: Tanzania na
Tumia maswali Maadili
kuwezesha wanafunzi
kufafanua umuhimu wa
maarifa, ujuzi wa asili na
urithi wa kihistoria kwa
maendeleo ya kiuchumi
na kijamii
(c) Kubaini mbinu Wanafunzi Mbinu za - Picha/picha
za kutumia kufanya uchunguzi ili kutumia maarifa mguso/
maarifa na ujuzi kubaini mbinu za kutumia na ujuzi wa asili michoro yenye
wa asili (katika maarifa na ujuzi wa asili (katika kilimo, kuonesha
shughuli za
kilimo, utunzaji katika kuboresha ustawi utunzaji wa
wa jamii katika maeneo mazingira, dawa, kilimo,
wa mazingira,
yanayowazunguka dini) katika
dawa, dini) kuboresha

14

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 14 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
katika kuboresha Changanyakete : ustawi wa jamii utunzaji wa
ustawi wa jamii Wanafunzi katika vikundi zimebainishwa mazingira na
wajadiliane kuhusu mbinu dawa za asili
za kutumia maarifa na
ujuzi katika kuboresha - Video zenye
ustawi wa jamii kisha makala
washirikishe vikundi zinazohusu
vingine ili kuboresha utunzaji wa
mazingira
(d) Kusimulia Fikiri-Andika-Jozisha- Anasimulia - Matini ya
maarifa na ujuzi Shirikisha : Wanafunzi maarifa na Historia ya
wa asili na ujuzi wa asili Tanzania na
maadili katika waandike na kisha na maadili Maadili
mazingira yake washirikishane namna katika mazingira
(mf. nyumbani, ya kusimulia maarifa na ya shule na - Picha za vitu
shuleni) ujuzi wa asili na maadili nyumbani vya asili
katika mazingira yao. - Filamu au
Maswali na majibu : michoro
Tumia maswali kuongoza yenye
wanafunzi kujadili namna maudhui
ya kusimulia maarifa na yanayohusu
ujuzi wa asili na maadili maadili,
katika mazingira yao maarifa na
(mfano nyumbani na ujuzi wa asili
shuleni)

15

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 15 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
(e) Kueleza thamani Ziara za kimasomo: Thamani ya asili - Matini ya
ya asili na urithi Wanafunzi kutembelea na urithi wa Historia ya
wa kihistoria maeneo yenye vitu kihistoria katika Tanzania na
katika jamii vya asili na urithi wa jamii imeelezwa Maadili
inayomzunguka kihistoria katika jamii
inayomzunguka na - Vitu vya asili
kuwasilisha taarifa na urithi wa
kihistoria
Mgeni mwalikwa : Alika
mgeni kuelezea kuhusu - Picha/picha
thamani ya asili na urithi mguso zenye
wa kihistoria katika jamii kuonesha
inayomzunguka maeneo ya
urithi wa
Maswali na majibu : kihistoria
Tumia maswali kuongoza
wanafunzi kujadili
na kueleza thamani
ya asili na urithi wa
kihistoria katika jamii
inayomzunguka
1.4 Kutathmini (a) Kueleza Uhalisishaji wa tukio: Uhusiano - Picha/picha 30
ushirikiano uhusiano Ongoza wanafunzi wake na jamii mguso/
baina ya jamii wake na jamii kwenye vikundi kuigiza inayomzunguka michoro
za Kitanzania inayomzunguka uhusiano kati yao na baba, nyumbani yenye
katika kujenga (nyumbani na mama, dada, kaka na watu na shuleni kuonesha
uhusiano wa shuleni) wengine shuleni umeelezwa matendo ya
kijamii na kuhusiana
kiuchumi

16

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 16 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
Maswali na majibu: - Matini ya
Tumia maswali kuongoza Historia ya
wanafunzi kueleza Tanzania na
uhusiano wao na familia Maadili
na watu wengine shuleni
(b) Kubaini Kisamafunzo: Wanafunzi Umuhimu wa - Picha/picha
umuhimu wa wajadili visa mafunzo uhusiano na mguso/
uhusiano na ili kubaini uhusiano na ushirikiano michoro
ushirikiano wa ushirikiano wa familia na wa familia yenye
kuonesha
zake umebainishwa matendo ya
Maswali na majibu : kuhusiana na
Tumia maswali kuongoza ushirikiano
wanafunzi kueleza
umuhimu wa uhusiano na - Matini ya
ushirikiano wa familia na Historia ya
Tanzania na
Maadili
(c) Kueleza Matendo ya - Picha/picha
matendo ya Wanafunzi kufanya kijamii na mguso/
kijamii na kiuchumi michoro
kiuchumi sokoni, shuleni au kwenye yanayojenga yenye
yanayojenga shughuli za uzalishaji uhusiano na kuonesha
uhusiano na mali wakichunguza ushirikiano shughuli za
ushirikiano matendo ya kijamii na katika jamii kijamii na
katika jamii kiuchumi yanayojenga yameelezwa kiuchumi
uhusiano na ushirikiano
katika jamii

17

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 17 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
Mtaalamu mwalikwa: - Matini ya
Alika mgeni kuelezea Historia ya
kuhusu matendo ya Tanzania na
kijamii na kiuchumi Maadili
yanayojenga uhusiano na
ushirikiano katika jamii
2.0 Kumudu 2.1 Kuelezea (a) Kueleza mifumo Igizo dhima: Wanafunzi Mifumo ya - Chati yenye 30
Historia mifumo ya uongozi waandae na kuonesha uongozi katika kuonesha
ya mbalimbali katika ngazi ya igizo kuhusu mifumo ya ngazi ya familia, mifumo ya
Tanzania ya utunzaji familia, ukoo na uongozi katika ngazi ya ukoo na shule uongozi katika
na na ukuzaji wa shule familia, ukoo na shule imeelezwa ngazi ya
Maadili maadili ya jamii familia, ukoo
kabla ya za Kitanzania na shule
ukoloni kabla ya ukoloni Wanafunzi wachunguze
na kuandika kuhusu - Matini ya
mifumo ya uongozi katika Historia ya
ngazi za familia, ukoo na Tanzania na
shule Maadili

Kutumia TEHAMA: - Makala


Wanafunzi wajadili zinazohusu
na kueleza mifumo mifumo ya
ya utunzaji na ukuzaji utunzaji
wa maadili ya jamii na ukuzaji
za Kitanzania katika wa maadili
ngazi ya familia, ukoo katika ngazi
ya familia,
walizozitazama ukoo na shule
zilizoifadhiwa
katika midia

18

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 18 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
(b) Kueleza misingi Changanyakete: Misingi ya - Picha/picha
ya ukuzaji Wanafunzi katika ukuzaji na mguso
na utunzaji vikundi wajadili misingi utunzaji michoro yenye
wa maadili ya ukuzaji na utunzaji wa maadili kuonesha
katika jamii wa maadili shuleni na katika jamii misingi ya
inayomzunguka nyumbani na kisha inayomzunguka maadili
washirikishe vikundi shuleni na
vingine nyumbani - Matini ya
imeelezwa Historia ya
Snowball: Elekeza Tanzania na
wanafunzi kila mmoja Maadili
kueleza misingi ya
ukuzaji na utunzaji - Nyimbo za
wa maadili shuleni na misingi ya
nyumbani maadili
Nyimbo: Wanafunzi
kuimba wimbo unaotaja
misingi ya maadili shuleni
na nyumbani
(c) Kueleza Michango ya - Chati yenye
mchango wa Wanafunzi wachunguze uongozi wa ukoo kuonesha
uongozi wa na kuadika taarifa kuhusu katika utunzaji mifumo ya
ukoo katika michango ya viongozi wa na ukuzaji wa uongozi
utunzaji na koo zao katika utunzaji maadili ya jamii katika ngazi
ukuzaji wa na ukuzaji wa maadili ya kabla ya ukoloni ya familia na
maadili ya jamii jamii kabla ya ukoloni umeelezwa ukoo
kabla ya ukoloni

19

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 19 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
Mtaalamu mwalikwa: - Matini ya
Alika mgeni kuelezea Historia ya
kuhusu mchango wa Tanzania na
viongozi wa ukoo katika Maadili
utunzaji na ukuzaji wa
maadili ya jamii kabla ya
ukoloni
(d) Kubaini wajibu Bunguabongo: Wajibu wa jamiii - Matini ya
wa jamii Ongoza wanafunzi katika ujenzi Historia ya
katika ujenzi kubunguabongo kuhusu wa maadili Tanzania na
wa maadili ya wajibu wa jamii katika ya familia Maadili
familia ujenzi wa maadili ya umebainishwa
familia - Chati zenye
Igizodhima: Ongoza kuonesha
wanafunzi kuandaa wajibu wa
na kuigiza matendo jamii katika
yanayohusu wajibu wa ujenzi wa
jamii katika ujenzi wa maadili
maadili ya familia
Maswali na majibu:
Tumia maswali kuongoza
washiriki kujadili kuhusu
wajibu wa jamii katika
ujenzi wa maadili ya
familia

20

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 20 30/07/2023 08:21


Darasa la IV
Jedwali Na 3: Maudhui ya Darasa IV
Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
1.0 Kulinda 1.1 Kumudu (a) Kutambua Ongoza Mwanafunzi - Chatipindu na 10
Historia maarifa ya jamii wajibu na wanafunzi kuchunguza na ametambua manila zenye
ya inayomzunguka haki zake kuandika kuhusu haki na wajibu na haki kuonesha haki
Tanzania, katika jamii wajibu wao katika jamii na zake katika na wajibu
urithi na na Taifa Taifa jamii na Taifa wa mtoto na
maadili wanafunzi
ya Taifa Kisamafunzo: Ongoza
wanafunzi kujadili - Filamu zenye
kisamafunzo ili kutambua makala za haki
haki na wajibu wao katika na wajibu wa
jamii na Taifa. mtoto
Majadiliano: Tumia maswali
kuwezesha wanafunzi
kujadili na kutambua wajibu
na haki zao wakati wa
uwasilishaji
Kutumia TEHAMA:
Wanafunzi wajadili ili
kutambua wajibu na haki za
mtoto katika jamii na Taifa

21

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 21 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
2.0 Kumudu 1.1 Kuelezea (a) Kueleza Mtaalamu mwalikwa : Mamlaka - Matini zenye 56
historia mifumo mamlaka Alika mtaalamu kuelezea mbalimbali za kuonesha
ya mbalimbali mbalimbali kuhusu mamlaka za jadi na kijadi kabla ya matukio ya
Tanzania ya utunzaji za kijadi kisha wezesha wanafunzi ukoloni (uchifu, kihistoria
na na ukuzaji wa kabla ya kujadili na kueleza kuhusu usultani, utemi
maadili maadili ya jamii ukoloni mamlaka za kijadi kama vile nk) zimeelezwa - Picha na
kabla ya za Kitanzania (uchifu, uchifu, usultani, utemi kabla michoro
ukoloni kabla ya usultani, ya ukoloni inayohusu
ukoloni utemi nk) mamlaka za
Oneshombinu : Wanafunzi kijadi
waandae na kuigiza nafasi
za viongozi wa jadi na
majukumu yao kabla ya
ukoloni
(b) Kueleza Bunguabongo : Ongoza Michango - Chati zanye
michango wanafunzi kubunguabongo ya mamlaka michoro yenye
ya mamlaka kuhusu michango ya mbalimbali za kuonesha
mbalimbali mamlaka za kijadi katika kijadi katika mamlaka
za kijadi utunzaji na ukuzaji wa utunzaji na mbalimbali za
katika maadili kabla ya ukoloni ukuzaji wa kijadi
utunzaji na maadili na
ukuzaji wa Majadiliano: Ongoza maendeleo ya - Matini zenye
maadili na wanafunzi katika vikundi taarifa za
maendeleo kujadili na kueleza michango jamii kabla viongozi wa
ya jamii ya mamlaka za kijadi katika ya ukoloni jadi na nafasi
kabla ya utunzaji na ukuzaji wa imeelezwa zao katika
ukoloni maadili na maendeleo ya utunzaji na
jamii kabla ya ukoloni

22

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 22 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
Matembezi ya galari : ukuzaji wa
Wanafunzi kuchambua maadili na
katika vikundi michango maendeleo ya
ya viongozi wa jadi katika jamii kabla ya
utunzaji na ukuzaji wa ukoloni
maadili na maendeleo ya
jamii kabla ya ukoloni kwa
kushirikisha vikundi vingine
na kuboresha kazi zao
(c) Kufafanua : Wanafunzi Mwanafunzi - Matini au chati
wajibu kuchunguza na kufafanua amefafanua pindu zenye
wake katika wajibu wao katika utunzaji na wajibu wake matendo ya
utunzaji na ukuzaji wa maadili ya jamii katika utunzaji wajibu wa
ukuzaji wa na ukuzaji wa mwanafunzi
maadili ya Maswali na majibu : maadili ya jamii katika utunzaji
jamii Tumia maswali kuwezesha na ukuzaji wa
wanafunzi kujadili na maadili
kufafanua kuhusu wajibu wao
katika utunzaji na ukuzaji wa
maadili ya jamii
2.2 Kueleza (a) Kueleza Bunguabongo : Ongoza Dhana ya - Matini 99
maendeleo dhana ya wanafunzi kubunguabongo maendeleo ya zinazohusu
ya jamii za maendeleo wakieleza dhana ya jamii imeelezwa maendeleo ya
Kitanzania ya jamii maendeleo ya jamii kwa kuzingatia jamii
na maadili (maana, wakizingatia maana, viashiria maana, viashiria
yake kabla ya vipengele na na umuhimu
ukoloni umuhimu).

23

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 23 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
Kutumia TEHAMA: vya maendeleo - Filamu zenye
Waongoze washiriki ya jamii na makala kuhusu
kujadili na kueleza dhana umuhimu maendeleo
ya maendeleo ya jamii na maadili
kutokana na makala za ya jamii za
walizozitazama Kitanzania
kabla ya
ukoloni
(b) Kueleza Ziara ya kimasomo: Elekeza Shughuli za - Picha zenye
shughuli za wanafunzi kutembelea maendeleo ya kuonesha
maendeleo maeneo yenye shughuli jamii na uchumi shughuli
ya jamii za maendeleo ya jamii na (mfano kilimo, za uchumi
na uchumi uchumi zilizofanyika kabla ufugaji, uhunzi, mfano kilimo,
(mfano ya ukoloni na kuwasilisha ufugaji,
kilimo, taarifa fupi uvuvi, dini, uhunzi, ususi,
ufugaji, Mtaalamu mwalikwa : Alika dawa, makazi
uhunzi, mtaalamu kusimulia kuhusu nk) na maadili uvuvi, makazi,
ususi, shughuli za maendeleo ya yake kabla dini, dawa
jamii na uchumi na maadili ya ukoloni - Filamu zenye
uvuvi, ya jamii kabla ya ukoloni zimeelezwa makala
dini, dawa, Maswali na majibu : zinazohusu
makazi nk) Tumia maswali kuwezesha shughuli
na maadili wanafunzi kujadili na kueleza za uchumi
yake kabla kuhusu maendeleo ya jamii mfano kilimo,
ya ukoloni na uchumi (mfano kilimo, ufugaji,
ufugaji, uhunzi, ususi, uhunzi, ususi,

dini, dawa nk) na maadili uvuvi, makazi,


yake kabla ya ukoloni dini, dawa

24

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 24 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri mahususi Shughuli za Vigezo vya
na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
(c) Kubaini Fikiri-Andika-Jozisha- Michango ya - Picha au chati
michango ya Shirikisha : Ongoza shughuli za pindu zenye
shughuli za uchumi kabla ya makala kuhusu
uchumi kabla na kuwasilisha michango ya ukoloni katika shughuli za
ya ukoloni shughuli za uchumi zilizopo maendeleo ya uchumi kabla
katika katika maeneo yao katika jamii (mfano ya ukoloni
maendeleo maendeleo ya jamii kilimo, ufugaji,
ya jamii uhunzi, ususi, - Filamu yenye
kabla ya Kutumia TEHAMA: makala kuhusu
ukoloni Wanafunzi kujadili ili kubaini uvuvi nk) shughuli za
(mfano mchango wa uchumi katika imebainishwa uchumi kabla
kilimo, maendeleo ya jamii kabla ya ya ukoloni
ufugaji, ukoloni kwa kutumia makala
uhunzi,
ususi,

uvuvi nk)
(d) Kubaini Mgeni mtaalamu : Alika Ushirikiano na - Makala za
ushirikiano Mgeni ili kusimulia kuhusu uhusiano wa
na uhusiano ushirikiano na uhusiano wa kiuchumi na maudhui
wa kiuchumi kiuchumi na kijamii baina ya kijamii baina kuhusu
na kijamii jamii kabla ya ukoloni ya jamii kabla ushirikiano na
baina ya ya ukoloni uhusiano wa
jamii kabla Kutumia TEHAMA: umebainishwa kiuchumi na
ya ukoloni Wanafunzi wajadili makala za kijamii baina
ili kubaini ushirikiano ya jamii kabla
na uhusiano wa kiuchumi na
kijamii baina ya jamii kabla ya ukoloni
ya ukoloni

25

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 25 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
(e) Kubaini Ziara mafunzo : Ongoza Mwanafunzi - Picha au
mchango wa wanafunzi kutembelea amebaini chatipindu
maendeleo sehemu za kihistoria katika mchango wa zenye
ya sayansi na maeneo yao kuchunguza na maendeleo kuonesha
teknolojia ya kuandika kuhusu teknologia ya sayansi na maendeleo
asili katika zilizotumika kabla ya teknolojia ya ya sayansi
kuendeleza ukoloni. asili katika na teknolojia
shughuli za Kutumia TEHAMA: kuendeleza katika kilimo,
uchumi na Waongoze wanafunzi kujadili shughuli za ufugaji,
maadili kabla kubaini uchumi na uhunzi, ususi,
ya ukoloni maendeleo ya sayansi na maadili kabla ya
(mfano teknolojia ya asili katika ukoloni (mfano uvuvi
kilimo, kuendeleza shughuli za kilimo, ufugaji, - Makala za
ufugaji, uchumi kabla ya ukoloni uhunzi, ususi,
uhunzi, (mfano kilimo, ufugaji, maendeleo
ususi, nk) ya sayansi na
nk) na maadili teknolojia ya
uvuvi nk) asili
(f) Kubaini Igizo dhima : Ongoza Mwanafunzi - Picha /
wajibu wa wanafunzi kuandaa na amebaini wajibu
jamii katika kuonesha igizo kuhusu wa jamii katika kuonesha
kuendeleza wajibu wa jamii katika kuendeleza shughuli
shughuli za kuendeleza shughuli za shughuli za za uchumi
uchumi na uchumi na maadili yake uchumi (mfano (mfano kilimo,
maadili yake Maswali na majibu : kilimo, ufugaji, ufugaji,
kwa sasa Tumia maswali kuwezesha uhunzi, ususi, uhunzi, ususi,
(mfano wanafunzi kujadili na kubaini
nk) na maadili uvuvi nk)
yake kwa sasa

26

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 26 30/07/2023 08:21


Zana za
Mbinu za ufundishaji ufundishaji Idadi
Umahiri Shughuli za Vigezo vya
Umahiri mahususi na ujifunzaji na ujifunzaji ya
mkuu ujifunzaji upimaji
zinazopendekezwa zinazo- vipindi
pendekezwa
kilimo, ufugaji, wajibu wa jamii katika
uhunzi, ususi, kuendeleza shughuli za
uchumi na maadili yake
nk)
3.0 Kumudu 3.1 Kutumia Alama (a) Kueleza Ziara za mafunzo : Ongoza Matumizi ya - Picha/picha 10
historia za Taifa kama matumizi ya wanafunzi kutembelea Alama za Taifa mguso au
ya ujenzi utambulisho wa Alama za yameelezwa michoro yenye
wa Taifa Tanzania Taifa kuchunguza matumizi kuonesha
na maadili ya Alama za Taifa na Alama za Taifa
katika kuwasilisha taarifa
kipindi Maswali na Majibu : Tumia
cha 1961- maswali kuongoza wanafunzi
1966 kujadii na kueleza matumizi
ya Alama za Taifa.
(b) Kuthamini Igizo dhima: Ongoza Mwanafunzi - Picha/picha
Alama za wanafunzi kuigiza matendo ana thamini mguso au
Taifa katika ya kuthamini Alama za Taifa Alama za michoro yenye
kutambulisha Taifa katika kuonesha
Tanzania Maswali na majibu: kutambulisha Alama za Taifa
Kitaifa na Tumia maswali kuwezesha Tanzania Kitaifa
Kimataifa majadiliano ya namna ya na Kimataifa
kuthamini Alama za Taifa
katika kutambulisha Tanzania
Kitaifa na Kimataifa

27

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 27 30/07/2023 08:21


Darasa la V
Jedwali Na 4: Maudhui ya Darasa la V
Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
1.0 Kumudu 1.1 Kuelezea (a) Kueleza Banguabongo : Ongoza wanafunzi Dhana ya - Matini yenye 73
Historia historia ya dhana ya kubanguabongo wakieleza dhana ukoloni kuonesha
ya Tanzania na ukoloni. ya ukoloni kwa kuzingatia maana imeelezwa matukio ya
Tanzania urithi wakati na chimbuko lake kihistoria
na wa ukoloni wakati wa
Maadili Kisamafunzo : Wanafunzi kujadili ukoloni
wakati wa kisa mafunzo ili kueleza dhana ya
ukoloni ukoloni kwa kuzingatia maana na - Picha zenye
1890- chimbuko lake kuonesha
1960 matukio ya
Fikiri-andika-jozisha-shirikisha : kikoloni.
kuandika na kushirikishana dhana
ya ukoloni kwa kuzingatia maana
na chimbuko lake
(b) Kufafanua Fikiri-andika-jozisha-shirikisha : Mifumo ya - Nakala za
mifumo ya kiutawala na visa mafunzo
kiutawala na andika-jozisha-shirikisha kuhusu jamii wakati kuhusu
jamii wakati mifumo ya kiutawala (mfano wa ukoloni, ukoloni
wa ukoloni mahakama, ulinzi, uongozi) na imefafanuliwa
(mfano jamii (afya, elimu na miundo - Chati na
mahakama, mbinu) iliyopo machapisho
ulinzi, kuhusu
uongozi, ukoloni
afya, elimu
nk)

28

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 28 30/07/2023 08:21


Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
Kutumia TEHAMA: Wanafunzi - Filamu zenye
makala
kufafanua mifumo ya kiutawala kuhusu
(mfano mahakama, ulinzi na mifumo ya
uongozi) na jamii (mfano afya, kiutawala na
elimu na miundombinu) wakati wa jamii wakati
ukoloni wa ukoloni
(c) Kufafanua Maswali na majibu : Tumia Athari za - Chati/
athari za maswali kuongoza wanafunzi mifumo ya kisamafunzo
mifumo ya kujadili na kufafanua athari za kikoloni katika machapisho
kikoloni maadili na urithi kuhusu
katika mifumo ya kikoloni katika maadili wa Kitanzania ukoloni
maadili na na urithi wa Kitanzania zimefafanuliwa
urithi wa - Filamu zenye
Majadiliano : Ongoza wanafunzi makala
Kitanzania katika vikundi kujadili na kuhusu
kufafanua athari za mifumo ya mifumo ya
kikoloni katika maadili na urithi ukoloni
wa Kitanzania
(d) Kutathmini Bunguabongo : Ongoza Mwanafunzi - Nakala za
athari za wanafunzi kubangua bongo kuhusu ametathimini visa mafunzo
ukoloni athari za ukoloni katika mifumo ya athari za kuhusu athari
katika mamlaka za kijadi katika jamii ukoloni katika za ukoloni
mifumo ya mifumo ya katika mifumo
ya mamlaka
za kijadi

29

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 29 30/07/2023 08:21


Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
(e) mamlaka za Maswali na majibu : Tumia mamlaka za - Machapisho
kijadi katika maswali kuwezesha wanafunzi kijadi katika kuhusu athari
jamii kujadili ili kutathimini athari jamii za ukoloni
za ukoloni katika mifumo ya katika mifumo
mamlaka za kijadi katika jamii ya mamlaka
za kijadi
: Ongoza wanafunzi katika jamii
maeneo yao wakitathimini athari
za ukoloni katika mifumo ya
mamlaka za kijadi katika jamii
1.2 Kulinganisha (a) Kufafanua Bunguabongo : Ongoza Mabadiliko na - Picha/picha 32
mabadiliko mabadiliko wanafunzi kubanguabongo mwendelezo mguso/
na na wakifafanua mabadiliko na wa maadili michoro
mwendelezo mwendelezo mwendelezo wa maadili ya ya Kitanzania yenye
wa maadili wa Kitanzania wakati wa ukoloni kabla na wakati kuonesha
kabla na maadili ya wa ukoloni vitendo vya
wakati wa Kitanzania Majadiliano : Wezesha wanafunzi yamefafanuliwa maadili
ukoloni. kabla na kujadili ili kufafanua mabadiliko
wakati wa na mwendelezo wa maadili ya - Matini yenye
ukoloni Kitanzania kabla na wakati wa kuonesha
ukoloni matukio ya
maadili ya
Tanzania
kabla na
wakati wa
ukoloni

30

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 30 30/07/2023 08:21


Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
(b) Kutathmini Kisamafunzo : Ongoza Mwanafunzi - Picha/michoro
nafasi ya wanafunzi kujadili kisamafunzo ametathimini yenye
ukoloni ili kutathimini nafasi ya ukoloni nafasi ya kuonesha
katika kuleta katika kuleta mabadiliko na ukoloni vitendo vya
mabadiliko mwendelezo wa maadili katika kuleta maadili katika
na mabadiliko na nyakati tofauti
mwendelezo Majadaliano : Wezesha wanafunzi mwendelezo wa
wa maadili kujadii na kutathimini nafasi ya maadili - Matini ya
ukoloni katika kuleta mabadiliko Historia ya
na mwendelezo wa maadili Tanzania
kipindi cha
Kutumia TEHAMA: Wanafunzi ukoloni.
na
kutathmini nafasi ya ukoloni katika
kuleta mabadiliko na mwendelezo
wa maadili
1.3 Kuelezea (a) Kubaini Bunguabongo : Ongoza Mwanafunzi - Picha/picha 20
jitahada za jitihada wanafunzi kubunguabongo anabaini jitihada mguso au
Kulinda zilizotumika wakieleza jitihada zilizotumika zilizotumika michoro
maadili ya kulinda kulinda maadili ya Kitanzania kulinda maadili yenye
Kitanzania maadili ya dhidi ya maadili ya kigeni ya Kitanzania kuonesha
dhidi ya Kitanzania Majadiliano : Wezesha wanafunzi dhidi ya maadili vitendo vya
maadili dhidi ya kujadili na kueleza jitihada ya kigeni maadili
ya kigeni maadili ya zilizotumika kulinda maadili ya
yaliyoletwa kigeni - Matini ya
Kitanzania dhidi ya maadili ya Historia ya
wakati wa kigeni
ukoloni. Tanzania

31

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 31 30/07/2023 08:21


Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
2.0 Kumudu 2.1 Kuelezea (a) Kufafanua Banguabongo : Ongoza wanafunzi Historia ya - Chati au 50
historia mchango historia ya kubanguabongo wakifafanua Tunu za Taifa matini kuhusu
ya ujenzi wa Tunu na Tunu za historia ya Tunu za Taifa (utu, uzalendo, historia ya
wa Taifa Alama za Taifa (utu, uadilifu, Tunu za Taifa
Taifa katika uzalendo, : Elekeza umoja, uwazi,
na maadili - Picha picha/
kujenga uadilifu, kuhusu historia ya Tunu za Taifa uwajibikaji picha mguso
katika umoja wa umoja, na lugha ya
kipindi (mfano utu, uzalendo, uadilifu, au michoro
kitaifa na uwazi, umoja, uwazi, uwajibikaji na lugha Taifa) nchini yenye
cha 1961- uzalendo. uwajibikaji ya Taifa nchini) na kuwasilisha imefafanuliwa kuonesha
1966 na lugha ya taarifa matendo ya
Taifa) nchini utu, uzalendo,
Majadiliano : Wezesha wanafunzi
kujadili na kufafanua historia ya uadilifu,
Tunu za Taifa umoja, uwazi,
uwajibikaji
(b) Kueleza Kisamafunzo : Tumia Umuhimu - Chati au
umuhimu kisamafunzo kuwezesha wanafunzi wa kuenzi matini zenye
wa kuenzi kujadili na kueleza umuhimu wa Tunu za Taifa historia ya
Tunu za kuenzi Tunu za Taifa umeelezwa Tunu za Taifa
Taifa Fikiri-andika-jozisha-shirikisha : - Picha picha/
Ongoza wanafunzi katika jozi picha mguso
au michoro
umuhimu wa kuenzi Tunu za Taifa yenye
Majadiliano : Ongoza majadiliano matendo ya
kuwezesha wanafunzi kueleza utu, uzalendo,
umuhimu wa kuenzi Tunu za Taifa uadilifu,
umoja, uwazi,
uwajibikaji

32

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 32 30/07/2023 08:21


Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
(c) Kueleza Bunguabongo : Ongoza Mwanafunzi - Picha picha/
matendo ya wanafunzi kubanguabongo kuhusu ameeleza picha mguso
kushiriki matendo yanayoashiria kuheshimu matendo ya au michoro
kutetea, kutetea, kulinda na kudumisha kushiriki yenye
kulinda na Tunu, Alama za Taifa, umoja wa kutetea, kulinda matendo ya
kudumisha Kitaifa na uzalendo na kudumisha kuheshimu
Tunu, Matembezi ya Galari : Waongoze Tunu, Alama kutetea,
Alama za wanafunzi kusoma chati/picha za Taifa, umoja kulinda na
Taifa, umoja zenye matendo ya kuheshimu wa Kitaifa na kudumisha
wa Kitaifa kutetea, kulinda na kudumisha uzalendo Tunu, Alama
na uzalendo Tunu, Alama za Taifa za Taifa
Igizo dhima : Ongoza wanafunzi - Matini
kuandaa na kuonesha igizo kuhusu yanayohusu
matendo ya kushiriki kutetea, Tunu, Alama
kulinda na kudumisha Tunu, za Taifa,
Alama za Taifa, umoja wa Kitaifa umoja wa
na uzalendo Kitaifa na
uzalendo.

33

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 33 30/07/2023 08:21


Darasa la VI
Jedwali Na 5: Maudhui ya Darasa la VI
Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
1.0 Kumudu 1.1 Kumudu (a) Kueleza Bunguabongo : Ongoza Historia ya - Matini na 34
Historia historia ya historia wanafunzi kubanguabongo ujenzi wa Taifa picha picha/
ya Ujenzi ujenzi wa ya ujenzi wakieleza historia ya ujenzi wa na maadili picha mguso
wa Taifa Taifa na wa Taifa baada ya uhuru zenye
na Maadili maadili baada na maadili Taifa na maadili baada ya uhuru
katika kipindi kuonesha
katika ya uhuru baada ya katika kipindi cha 1961-1966 cha 1961-1966 matukio ya
Kipindi katika kipindi uhuru katika kiuchumi, kihistoria
cha 1961- cha 1961- kipindi cha Changanyakete : Wanafunzi
kisiasa na kuhusu ujenzi
1966 1966 1961-1966 wajadili katika vikundi kijamii wa Taifa na
(kiuchumi, wakifafanua historia ya ujenzi maadili kipindi
kisiasa na wa Taifa na maadili baada ya cha 1961-1966
kijamii) uhuru katika kipindi cha 1961-
- Matini, picha
1966 na kisha kushirikisha picha/picha
vikundi vya jirani mguso au
michoro yenye
Maswali na majibu : Tumia kuonesha
maswali kuwezesha wanafunzi maendeleo/
kujadili na kueleza historia shughuli za
ya ujenzi wa Taifa na maadili kiuchumi,
baada ya uhuru katika kipindi kisiasa na
kijamii katika
cha 1961-1966 kipindi cha
1961-1966

34

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 34 30/07/2023 08:21


Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
(b) Kubaini Fikiri-andika-jozisha- Mwanafunzi - Makala
mafanikio shirikisha: Waongoze anabaini
wanafunzi katika jozi mafanikio zinazohusu
katika mafanikio
historia ya kushirikishana mafanikio katika historia katika historia
ujenzi wa ya ujenzi ya ujenzi
Taifa na ya ujenzi wa Taifa na maadili wa Taifa na wa Taifa na
maadili katika kipindi cha 1961-1966 maadili maadili kipindi
Kutumia TEHAMA: Wezesha cha 1961-1966
- Matini,
kubaini picha/picha
katika historia ya ujenzi wa mguso au
Taifa na maadili katika kipindi michoro yenye
cha 1961-1966 kuonesha
maendeleo/
shughuli za
kiuchumi,
kisiasa na
kijamii katika
kipindi cha
1961-1966
(c) Kuelezea Maswali na Majibu: Tumia Changamoto - Makala za
changamoto maswali kuongoza wanafunzi zilizojitokeza
zilizojitokeza kuelezea changamoto wakati wa picha mguso
wakati wa zilizojitokeza wakati wa ujenzi ujenzi wa Taifa zinazohusu
ujenzi wa wa Taifa na maadili katika na maadili historia ya
Taifa na kipindi cha 1961-1966 baada ya uhuru ujenzi wa Taifa
maadili baada zimeelezwa na
ya uhuru

35

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 35 30/07/2023 08:21


Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
Majadiliano : Ongoza - maadili katika
majadiliano kuwezesha kipindi cha
wanafunzi kuelezea 1961-1966
changamoto zilizojitokeza
wakati wa ujenzi wa Taifa na
maadili katika kipindi cha 1961-
1966
2.0 Kutathmini 2.1 Kuelezea (a) Kueleza Bunguabongo: Ongoza Dhana ya - Matini yenye 42
ujenzi wa Misingi na dhana ya wanafunzi kubanguabongo Azimio la taarifa za
Taifa na Maadili ya Azimio la wakieleza dhana, lengo na Arusha na Azimio la
Maadili Azimio la Arusha na umuhimu wa Azimio la Siasa ya Arusha
wakati wa Arusha na Siasa ya Arusha na Siasa ya Ujamaa na Ujamaa na
Azimio Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea Kujitegemea - Picha//picha
la Arusha Ujamaa na Kujitegemea Changanyakete: Wezesha imeelezwa mguso au
1967-1985 Kujitegemea (lengo na wanafunzi kujadili katika kwa kuzingatia michoro yenye
umuhimu) lengo na kuonesha
vikundi dhana, lengo na matukio ya
umuhimu wa Azimio la umuhimu
wake Azimio la
Arusha na Siasa ya Ujamaa Arusha
na Kujitegemea na kisha
kushirikisha kundi la jirani kazi
zao
(b) Kufafanua Kisamafunzo: Tumia Misingi ya - Matini yenye
misingi ya kisamafunzo kuwezesha Azimio la taarifa za
Azimio wanafunzi kufafanua misingi Arusha katika Azimio la
la Arusha ya Azimio la Arusha katika harakati za Arusha
(Ujamaa na harakati za ujenzi wa Taifa huru ujenzi wa
Kujitegemea) na maadili nchini Taifa huru na
katika maadili nchini
imefafanuliwa

36

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 36 30/07/2023 08:21


Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
harakati za Majadiliano: Ongoza - Picha//picha
ujenzi wa wanafunzi kujadili na mguso au
Taifa huru kufafafanua misingi ya michoro yenye
na maadili Azimio la Arusha (Ujamaa na kuonesha
nchini Kujitegemea) katika harakati za matukio ya
(ushirikiano, ujenzi wa Taifa huru na maadili Azimio la
haki na Kutumia TEHAMA: Arusha
usawa, Tumia picha au maudhui
heshima, utu, - Filamu
yaliyoifadhiwa katika midia za hotuba
uwajibikaji, kuwezesha wanafunzi
miiko ya zinazohusu
kufafanua misingi ya Azimio la matukio ya
uongozi, Arusha katika harakati za ujenzi
umoja wa Azimio la
wa Taifa huru na maadili nchini
Kitaifa na Arusha
uzalendo n.k)
(a) Kueleza Maswali na majibu: Tumia Mchango wa - Matini
mchango wa maswali kuwezesha wanafunzi Azimio la yanayohusu
Azimio la kujadili na kueleza mchango wa Arusha katika matukio ya
Arusha katika azimio la Arusha katika harakati harakati za kihistoria,
harakati za za mapambano dhidi ya rushwa mapambano - Visa mafunzo
mapambano Changanyakete: Ongoza dhidi ya kuhusu rushwa
dhidi ya wanafunzi katika vikundi rushwa - Hotuba
rushwa kujadili mchango wa Azimio umeelezwa zinazohusu
la Arusha katika harakati za Azimio la
mapambano dhidi ya rushwa na Arusha katika
kisha kushirikisha vikundi vya harakati za
jirani mapambano
dhidi ya
rushwa

37

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 37 30/07/2023 08:21


Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
Kisa mafunzo: Tumia
kisamafunzo kuwezesha
wanafunzi kujadili na kueleza
mchango wa Azimio la Arusha
katika harakati za mapambano
dhidi ya rushwa
(b) Kutathmini Wanafunzi Mwanafunzi - Matini yenye
harakati wachunguze na kutathimini ametathimini taarifa za
za ujenzi harakati za ujenzi wa Taifa na harakati za harakati za
wa Taifa maadili wakati wa kipindi cha ujenzi wa Taifa ujenzi wa Taifa
na maadili 1967-1985 na maadili na maadili
wakati wa wakati wa wakati wa
kipindi cha Changanyakete: Wanafunzi kipindi cha kipindi cha
1967-1985 kujadili wakitathimini harakati 1967-1985 1967-1985
za ujenzi wa Taifa na maadili
wakati wa kipindi cha 1967- - Hotuba zenye
1985 kwa kushirikisha vikundi taarifa za
vya jirani harakati za
ujenzi wa Taifa
na maadili
wakati wa
kipindi cha
1967-1985

38

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 38 30/07/2023 08:21


Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
2.2 Kuelezea (a) Kueleza Mgeni mtaalamu: Alika Mchango - Visa mafunzo 23
mchango mchango mgeni kusimulia mchango wa wa Tanzania kuhusu
wa Tanzania wa Tanzania Tanzania katika ukombozi wa katika mapambano
katika katika Afrika dhidi ya ukoloni na ukombozi wa dhidi ya
mapambano ukombozi wa ukandamizaji Afrika dhidi ukoloni na
dhidi ya Afrika dhidi Kisa mafunzo: Tumia ya ukoloni na ukandamizaji
ukoloni na ya ukoloni na kisamafunzo kuwezesha ukandamizaji Afrika
ukandamizaji ukandamizaji wanafunzi kueleza mchango umeelezwa - Hotuba
(lengo na wa Tanzania katika ukombozi lwa kuzingatia au matini
umuhimu wa Afrika dhidi ya ukoloni na lengo na zinazohusu
wake kwa ukandamizaji umuhimu mapambano
wake kwa dhidi ya
Tanzania) Tanzania ukoloni na
ukandamizaji
Afrika
(b) Kubaini Majadiliano: Ongoza Mwanafunzi - Hotuba
mchango wanafunzi kujadili ili kubaini anabaini zinazohusu
wa Tanzania mchango wa Tanzania katika mchango mapambano
katika mapambano dhidi ya ukoloni na wa Tanzania dhidi ya
mapambano ukandamizaji katika ukoloni na
dhidi ya Msawali na Majibu: mapambano ukandamizaji
ukoloni na Tumia maswali kuwezesha dhidi ya Afrika
ukandamizaji wanafunzi kubaini mchango ukoloni na - Matini yenye
wa Tanzania katika ukombozi ukandamizaji taarifa za
wa Afrika dhidi ya ukoloni na harakati za
ukandamizaji ukombozi wa
Afrika dhidi
ya ukoloni na
ukandamizaji

39

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 39 30/07/2023 08:21


Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
3.0 Kutathmini 3.1 Kufafanua (a) Kuelezea Changanyakete: Wezesha Dhana ya - Matini zenye 38
Historia ya dhana ya dhana ya wanafunzi kujadili katika uliberali taarifa za
Tanzania uliberali kwa uliberali vikundi dhana ya uliberali kwa imeelezwa uliberali
na Maadili kuhusianisha (maana na kuzingatia maana na sifa za kwa kuzingatia
wakati wa na maadili ya sifa) uliberali wakishirikisha vikundi maana na sifa
Uliberali Kitanzania vya jirani
1986 hadi
sasa BanguaBongo: Ongoza
wanafunzi kubanguabongo
wakieleza maana, chimbuko,
sifa na sababu za uliberali
(b) Kubaini Ongoza Athari za - Matini zenye
athari za wanafunzi kuchunguza athari uliberali katika taarifa za
uliberali za uliberali katika maadili na maadili na uliberali
katika ujenzi wa Taifa ujenzi wa Taifa
maadili na zimebainishwa - Filamu zenye
ujenzi wa Kutumia TEHAMA: Tumia makala
Taifa zinazohusu
uliberali na maadili kuwezesha uliberali na
wanafunzi kujadili athari za maadili
uliberali katika maadili na
ujenzi wa Taifa
Mdahalo: Ongoza mdahalo
kuhusu athari za utandawazi
katika maadili

40

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 40 30/07/2023 08:21


Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
(c) Kutathmini Igizodhima: Waongoze Mwanafunzi - Matini zenye
mikakati ya wanafunzi kuandaa na kuonesha anatathimini makala
kukabiliana igizo kuhusu changamoto mikakati ya zinazohusu
na za kimaadili na mikakati ya kukabiliana na athari za
changamoto kukabiliana nazo changamoto uliberali katika
za kimaadili za kimaadili ujenzi wa Taifa
katika Mdahalo: Wanafunzi wajadili katika ujenzi na maadili
ujenzi wa katika mdahalo wakitathimini wa Taifa katika - Filamu zenye
Taifa katika mikakati ya kukabiliana na nyakati za
changamoto za kimaadili katika uliberali na makala
nyakati za
ujenzi wa Taifa katika nyakati wakati uliopo zinazohusu
uliberali na athari za
wakati uliopo za uliberali na wakati uliopo uliberali katika
ujenzi wa Taifa
na maadili
3.2 Kutumia (a) Kubaini Mtaalamu mwalikwa: Alika Mwanafunzi - Matini 38
maarifa na uwepo wa mtaalamu kuongea kuhusu amebaini zenye taarifa
ujuzi wa mkinzano uwepo wa mkinzano wa maadili uwepo wa zinazohusu
historia ya wa maadili nyakati za uliberali mkinzano athari za
Tanzania nyakati za Ongoza wa maadili utandawazi
na maadili uliberali nyakati za katika maadili
kufanya mdogo kuhusu athari za uliberali
uamuzi - Filamu zenye
utandawazi katika maadili makala
sahihi katika nchini
nyakati za zinazohusu
uliberali Mdahalo: Ongoza wanafunzi mkinzano
kujadili katika mdahalo kuhusu wa maadili
uwepo wa mkinzano wa maadili nyakati za
nyakati za uliberali uliberali

41

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 41 30/07/2023 08:21


Zana za
ufundishaji Idadi
Umahiri Umahiri Shughuli za Mbinu za ufundishaji na Vigezo vya na ujifunzaji ya
mkuu mahususi ujifunzaji ujifunzaji zinazopendekezwa upimaji zinazo- vipindi
pendekezwa
(b) Kueleza Mdahalo: Ongoza mdahalo Athari za - Matini zenye
athari za kuwezesha wanafunzi kujadili uliberali kwa maudhui
uliberali kwa na kueleza athari za uliberali Taifa katika yanayohusu
Taifa katika kwa Taifa na katika kufanya kufanya uliberali,
kufanya uamuzi sahihi maamuzi ujenzi wa Taifa
uamuzi sahihi sahihi na maadili
Maswali na majibu: Tumia zimeelezwa
maswali kuwezesha wanafunzi - Filamu zenye
kujadili na kueleza athari za makala
uliberali kwa Taifa katika zinazohusu
kufanya uamuzi sahihi uliberali,
ujenzi wa Taifa
na maadili
(c) Kubaini Ziara mafunzo: Ongoza Mbinu - Matini zenye
mbinu zinazotumika maudhui
zinazotumika za ustawi wa jamii/ serikali kukabili yanayohusu
kukabili za mitaa ili kubaini mbinu mkinzano wa uliberali,
mkinzano mbalimbali zinazotumika maadili katika ujenzi wa Taifa
wa maadili kulinda maadili na katika ujenzi ujenzi wa Taifa na maadili
katika ujenzi wa Taifa zimebainishwa
wa Taifa - Filamu zenye
Mdahalo: Ongoza mdahalo makala
kuwezesha wanafunzi kujadili zinazohusu
mbinu zinazotumika kukabili uliberali,
mkinzano wa maadili katika ujenzi wa Taifa
ujenzi wa Taifa na maadili

42

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 42 30/07/2023 08:21


Baraza la Kiswahili la Taifa. (2017). Kamusi ya Kiswahili, Toleo la Pili. Longhorn Publishers (T) Ltd.
Brennan, J. (2012). Taifa: Making Nation and Race in Urban Tanzania. Ohio University Press.
Iliffe, J. (1979). A Modern History of Tanganyika. Cambridge University Press.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (2022). Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Chimbuko, Misingi na Maendeleo. Mkuki na
Nyota Publishers Ltd.
Kimambo I., Maddox, G. & Nyanto, S. (2017). A New History of Tanzania. Mkuki na Nyota Publishers Ltd.
Mauritius Institute of Education. (2015). National Curriculum Framework. Mauritius Institute of Education.
Mkapa, B. W. (2019). My Life, My Purpose: A Tanzanian President Remembers. Mkuki na Nyota Publishers Ltd.
Ndagala D.K. (2018). Utamaduni na Maendeleo Nchini Tanzania. Matai Ltd.
Nyerere, J. (1967). Freedom and Unity: A Selection from Writings and Speeches, 1952-1965. Oxford University Press.
Nyerere, J. (1973). Freedom and Socialism: A Selection from Writings and Speeches, 1965-1967. Oxford University Press.
Shivji, I., Yahya- Othman, S. & Kamata, N. (2020). Development as Rebellion: A Biography of Julius Nyerere, Vol. 1-3. Mkuki na
Nyota Publishers Ltd.
Taasisi ya Elimu Tanzania. (2019). Muhtasari wa Somo la Maarifa ya Jamii Elimu ya Msingi Darasa la III-VII. Wizara ya Elimu,
Sayansi na Teknolojia.
Taasisi ya Elimu Tanzania. (2019). Muhtasari wa Somo la Uraia na Maadili Elimu ya Msingi Darasa la III-VII. Wizara ya
Elimu, Sayansi na Teknolojia.
TAKUKURU & Chama cha Skauti Tanzania. (2019). Mwongozo wa Mafunzo kwa Wawezeshaji Kufundisha Vijana wa Skauti
Kuhusu Kuzuia na Kupambana na Rushwa. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania.
TAKUKURU & Chama cha Skauti Tanzania. (2020). Mwongozo wa Mafunzo kwa Wananchi, Viongozi na Watendaji wa Serikali za
Mitaa Kuhusu Mapambano dhidi ya Rushwa. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania.
Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo. (2022). Mwongozo wa Maadili na Utamaduni wa Mtanzania. Wizara ya Utamaduni,
Sanaa na Michezo.

43

KAMISHINA Muhtasari historia ya Tanzania na Maadili A.indd 43 30/07/2023 08:21

You might also like