Professional Documents
Culture Documents
Machi, 2023
1
1.0. UTANGULIZI
Makumbusho ya Taifa ilianzishwa kwa Sheria ya Makumbusho ya Taifa Na. 7 ya
Mwaka 1980 kwa malengo ya kutafiti, kukusanya, kuhifadhi, kuelimisha jamii Urithi wa
Utamaduni na Asili. Ofisi ya Makumbusho ya taifa kupituia kituo cha Makumbusho ya
Maji Maji na Dkt. Rashid M. Kawawa iliendesha program ijulikanayo kama outreach
program ikiwa na lengo la kutangaza utalii pamoja na historia adhimu inayohusu vita
vya majimaji vilivyopiganwa mwaka 1905 mpaka 1907 vikihusisha makabila
yanayopatikana Kusini mwa Tanzania. hivyo, kupitia program ya outreach tulitembelea
jumla ya shule Ishirini (20) za msingi na sekondari, kwani wanafunzi ni wadau muhimu
sana wa Makumbusho zetu katika kuendeleza urithi wa utamaduni pamoja na
kutangaza utalii wetu. Program hiyo ilifanyika kuanzia tarehe 20/03/2023 hadi
24/03/2023 Wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma katika shule za msingi na sekondari
zipatikanazo wilayani humo.
2
4.0 NJIA ZA UWASILISHAJI WA OUTREACH PROGRAM NA VITENDEA KAZI
Makumbusho ya Taifa kupitia Makumbusho ya Dkt. Rashid M. Kawawa na
Makumbusho ya Maji Maji ilitumia njia zifuatazo katika utoaji na uwasilishaji wa elimu
ya urithi wa asili na utamaduni: Mhadhara, Ushirikishaji, Maswali na majibu na
“Demosntration”. Vitendea kazi vitavyotumika: Kibali cha Mkurugenzi wa Halmashauri
ya Wilaya ya Namtumbo, “Tarrif Menu” mpya ya Makumbusho ya Taifa, vipeperushi,
kibali cha kuanzisha Klabu za Historia na Uzalendo, Mada za Kazi Mradi.
3
Kielelezo Na.1Picha ikionesha baadhi ya wanafunzi wa shule ya Msingi Lumecha
Wilayani Namtumbo siku ya Program ya outreach tarehe 21.03.2023.
Utekelezaji wa Outreach Program ulitumi siku Tano kuanzia tarehe 20/03/2023 hadi
24/03/2023.
4
9.0 RASILIMALI FEDHA/ BAJETI
Outreach program iligharimu jumla ya kiasi cha Tshs. 2,125,000.00 .katika mchanganuo
ufuatao:
Naomba kuwasilisha.
Rose C. Kangu
AFISA ELIMU