Professional Documents
Culture Documents
OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI)
HALMASHAURI YA WILAYA YA MISUNGWI
Simu:2555-732980745
(W), Fax: 255-732980745
Teknolojia,Habari,
Baruapepe: dedmisungwi@gmail.com
Mawasiliano na Uhusiano
S.L.P 20
MISUNGWI.
MBELE
YA
WANAFUNZIambayo
ilieleza
kuwa
Mkurugenzi
huyo
wanafunzi hao wa kidato cha nne walikuwa wakijisomea kwa ajili ya maandalizi ya
Mitihani,kwa mujibu wa taarifa rasmi kuhusiana na hali Halisi katika tukio hilo taarifa
iliyotolewa ya kwamba alimuamrisha kudeki darasa si ya kweli kutokana na sababu na
mambo yafuatayo:i/.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi alianza Ziara
ya kikazi tarehe 4 oktoba,2016 katika Kata ya Mondo kwa lengo la kutoa
Mwelekeo wa shughuli za Serikali ya awamu ya tano kwa Watendaji wa Kata na
Vijiji na Wataalam wote wa Ngazi ya kata na vijiji pamoja na mambo mengine
ikiwa ni kukagua utekelezaji wa shughuli na miradi ya maendeleo vijijini
iliyotekelezwa kuanzia mwaka 2013/2014- mwaka 2015/2016 pia aliambatanana
na baadhi ya Wataalamu
wa Idara na Vitengo
mbalimbali vya
Kata kuwasimamia
v/.Vile vile timu katika ukaguzi wake, ilibaini shule ya Msingi Mwamboku
ikiwa na mazingira yenye uchafu uliokithiri hususan upande wa vyoo vya
wanafunzi,hali ambayo wajumbe wote wa ziara waliona na kufedheheshwa na
hali ya mazingira hayo hatarishi ya wanafunzi kujisaidia juu ya sakafu na nje
ya jengo la choo,ambapo Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya aligundua kuwa
baadhi ya watendaji wanafanya kazi kwa mazoea na uzembe wa hali ya
juu,kitendo ambacho kinaweza kusababisha mlipuko wa magonjwa kama
kichocho na kipindupindu.Aidha,Mkurugenzi huyo alichukua hatua ya kumvua
Madaraka ya Ualimu mkuu aliyekuwa Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo,na
kuagiza abaki na nafasi ya Ualimu wa kawaida shuleni hapo.
vi/.Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya katika Majumuisho ya ziara aliwapa
maelekezo ya jumla,na kuwataka wataalamu wote kuwa Waadilifu,kuwajibika
na kufanya kazi kwa uzalendo.Pia alisisitiza Maafisa watendaji wote Kata na
vijiji kuhakikisha wanafanya usafi wa mazingira ya maeneo ya Taasisi zao na
kusimamia wananchi katika kutekeleza Agizo la Mheshimiwa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania,Dkt,John Pombe Magufuli la kufanya usafi kwenye
maeneo yote,pamoja na Mkakati wa Mkoa na Wilaya uliowekwa wa kufanya
usafi wa mazingira kwa kila Jumamos ya kila mwisho wa Mwezi.
vii/.Hivyo pamoja na maelekezo ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya kwa
wataalamu ngazi ya kata na vijiji kusisitiza uwajibikaji,vile vile Wakuu wa Shule
za Sekondari na Walimu wakuu wameagizwa kutekeleza vyema majukumu yao
ya kila siku na kuzingatia mpango kazi,kwa barua yenye
kumb
ikiwemo
Picha inayoonyesha jengo la choo katika shule ya msingi Lukanga,Kata ya Gulumungu.Ikionyesha hali
halisi ya usafi wa vyoo ulivyo kwa sasa baada ya kupokea maelekezo ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya
Misungwi.
Jengo la choo cha shule ya msingi ,Mwamboku likionyesha hali isiyoridhisha katika usafi wa mazingira na
rafiki kwa matumizi ya wanafunzi ndani na nje .Hali hiyo ilibainika baada ya ziara ya Mkurugenzi
Mtendaji wa Wilaya ya Misungwi na kutoa maelekezo kwa shule zote kuzingatia usafi wa
mazingira.Aidha alimwagiza Mganga Mkuu wa Wilaya kuhakikisha anawapima wanafunzi endapo
wameambukizwa Magonjwa ya kuambukiza kama kichocho na Mengineyo na kutoa taarifa za kitabibu.
Picha ya jengo la nyumba ya Mganga Mfawidhi katika zahanati ya kijiji cha Ntulya ikionyesha nyufa
zilizokwisha jitokeza ikiwa ni miaka 2 tangu ifunguliwe na Mheshimiwa Rais wa awamu ya
nne.Dkt,Jakaya Kikwete mwaka 2013.Hali inayoonyesha namna ya baadhi ya watendaji wasioweza
kusimamia utekelezaji wa miradi na kutokuwa wazalendo kwa Taifa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Misungwi ,Eliurd Mwaiteleke akitoa maelekezo ya kiutendaji kwa
wataalamu wa Kata ya Shilalo katika kikao cha ndani kabla ya ukaguzi wa shughuli na Miradi ya
Maendeleo kwenye taasisi za Kata hiyo.Walioketi kutoka kushoto ni Afisa mtendaji wa Kata,Mheshimiwa
Diwani wa Kata ya hiyo Mayila Maguha,Kulia Mchumi Sylvia Rwehabura, akifuatiwa na Mwakilishi wa
Mganga Mkuu Wilaya.Picha zote na Thomas Lutego Misungwi.
Imetolewa na:
Thomas Lutego
Kaimu Afisa Habari na Mawasiliano (W)
MISUNGWI
18 Oktoba,2016