Professional Documents
Culture Documents
OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
Juni, 2023
Dodoma
1
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Namba za Simu
Mzazi/Mlezi wa
Mwanafunzi......................................... S.L.P
.........................................
Shule ya Sekondari ISIMILA ipo umbali wa Kilometa 26 kutoka Mji wa Iringa mjini
na km 10 kutoka barabara kuu iendayo Mbeya upande wa mashariki sehemu
iitwayo (Wenda au njia panda ya Mlolo).Kwa wanafunzi watakao wahi siku tatu
2
(03) za mwanzo. Usafiri watasafirishwa na gari la Shule kutoka Wenda mpaka
shuleni, Mabasi yanapatikana stendi kuu ya Iringa kwa nauli ya Elfu mbili na mia
tano 2500/=.
;
ii. Mashati au blauzi nyeupe ya mikono mifupi (angalau mashati
mawili);
iii. Rangi ya Hijab ni nyeupe ya kawaida isiyo na urembo (ifunike kifua
cha mwanafunzi), pia iwe ndefu kufikia kifundo cha mkono
akisimama na nusu kanzu isiyobana ya rangi nyeupe mikono mirefu.
iv. Sare ya Mchezo mwanafunzi aje na raba jozi moja na traki ya blue
bahari (Light blue) Kwa wasichana.
v. Viatu vya shule ni vyeusi vya kufunga na kamba vyenye visigino
vifupi;
vi. Soksi jozi mbili nyeupe za shule.
vii. Sweta ya rangi ya blue yenye V isiyopasuliwa mbele ;
viii. Nguo za kushindia (shamba dress) gauni refu la rangi ya Blue bahari
(Light blue), mtandio (light blue kwa waislam) gauni solo.
ix. Khanga doti mbili.
x. Tai ni ya rangi ya skirt ;
xi. Tisheti (T-shirt) (zitapatikana Jirani na shule kwa gharama ya
Tsh Elfu Kumi 10,000/= tu. )
ORODHA YA VITABU
KISWAHILI
1. NADHARIA YA LUGHA MASEBO, J.
2. KISWAHILI KIDATO CHA 5 & 6 OXFORD UNIVERSITY PRESS
3. NADHARIA YA FASIHI MASEBO,
J.
4. TAHAKIKI
ENGLISH LANGUAGE
1. ADVANCED ENGLISH LANGUAGE OXFORD
2. ENGLISH LANGUAGE NICHOLAUS
ASHEL
3. LITERATURE IN ENGLISH
ADVANCED MATHEMATICS
1. ADVANCED MATHEMATICS – CHAND’S 1&2
2. ADVANCED MATHEMATICS BOOK 1&2 BY BACK HOUSE
3. ADVANCED MATHEMATICS BY SHAYO
GEOGRAPHY
1. PHYSICAL GEOGRAPHY MSABILA,D.T
2. HUMAN ECONOMIC GEOGRAPHY
MSABILA,D.T
3. PHYSICAL GEOGRAPHY MONK HOUSE
4. PHYSICAL GEOGRAPHY BUNNET
5. INTERGRATED GEOGRAPHY DAVID
WAUGH
HISTORY
1. ADVANCED LEARNER'S HISTORY 5 & 6
OXFORD
2. MASTERIAL HISTORY
CARTER
3. HISTORY FOR ADVANCED ZISTI
KAMILI
4
ECONOMICS
1. ECONOMICS ADVANCED LEVEL
PAPER 1 C.M. AMBILIKILE
PAPER 2 C.M AMBILIKILE
ENGLISH LANGUAGE
- RWANDA MAGERE
- HIS EXCELLENCE THE HEAD OF STATE
- I WILL MARY WHEN I WANT
- BETRAYAL IN THE CITY
- THE BRIDE
- DEVINE PROVINCE
- A MAN OF THE PEOPLE
- THE BEAUTIFUL ONES ARE NOT YET BORN
5
2.3 Michango mbalimbali
a) Shule za Bweni
Na Aina ya Mchango Kiasi
1. Mchango wa Uendeshaji wa Shule 65,000/=
3. Tahadhari 5,000/=
4. Nembo 5,000/=
5. Kitambulisho cha Shule 5,000/=
Jumla 80,000/=
6
MUHIMU:
❖ Mwanafunzi hapaswi kuja na simu shuleni kwa namna yoyote
ile, na hakuna mtumishi anayeruhusiwa kutunza simu ya
mwanafunzi;
7
4. Viambatisho na Fomu Muhimu
i. Fomu ya Uchunguzi wa Afya (Medical Examination Form) ambayo itajazwa na
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Serikali; ii. Fomu ya Maelezo Binafsi kuhusu
Historia ya Mwanafunzi/Mkataba wa kutoshiriki katika migomo, fujo na makosa
ya jinai;
iii. Fomu ya mzazi kukiri kukubaliana na sheria, kanuni na maelekezo mengine
yanayotolewa na shule; na
iv. Picha nne (4) za wazazi na ndugu wa karibu wa mwanafunzi wanaoweza
kumtembelea mwanafunzi shuleni pamoja na Namba zao za Simu.
NB: Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na utapeli (wizi kwa njia ya mitandao).
Baadhi ya wazazi wamekuwa wakitumiwa ujumbe mfupi au kupigiwa simu na
watu wanaojitambulisha kama walimu na kuwafahamisha kuwa mtoto wa
mzazi husika ambaye ni mwanafunzi ni mgojwa na yuko mahututi hivyo
mzazi atume pesa. TAFADHALI UPATAPO UJUMBE WOWOTE KUHUSU
MWANAFUNZI/MTOTO WAKO USITUME CHOCHOTE, NI VEMA
UKAWASILIANA NA UONGOZI WA SHULE KUPATA UKWELI WA TAARIFA
HUSIKA KWA NAMBA ZIFUATAZO: -
8
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA
S.L.P. 1459,
IRINGA.
MKUU WA SHULE,
SHULE YA SEKONDARI ISIMILA
S.L.P 1459,
IRINGA.
MWANAFUNZI
Mimi
…………………………………………………………………..………………
nimesoma kwa makini barua ya maagizo ya kujiunga na shule yako na
sheria zake. Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa nakubali/sikubali
nafasi hiyo kwa sababu ………………………………………………….. pia
nayakubali/siyakubali masharti/sheria za shule yako.
A: MZAZI/MLEZI
Mimi …………………………………………..……………………….
Mzazi/Mlezi wa ………………………………………………………
Ambaye amechaguliwa kujiunga na shule yako, nimesoma
maagizo ya kujiunga na shule pia sheria zake. Ninakubali/sikubali
nafasi hiyo (kwa anayekubali). Ninaahidi kumtimizia mtoto
wangu maagizo yote ya kujiunga na shule hiyo katika muda
9
uliopangwa. Pia nitashirikiana daima na shule yako katika
kumkuza na kumlea mtoto wangu.
B.AHSANTE.
Jina la Mzazi/Mlezi
………………………………………………………………
…… Anuani yake
………………………………………………………………
…………… Mtaa/Kitongoji anapoishi
………………………………………………………….
10
FORM FOR MEDICAL EXAMINATION
ISIMILA SECONDARY SCHOOL
P.O Box 1459
IRINGA – TANZANIA
1. Full
name……………………………………………………………………………………
…
4. Stool examination
…………………………………………………………………………
5. Urine
analysis…………………………………………………………………………………
6. Syphilis
test……………………………………………………………………………………
7. Eye
test………………………………………………………………………………………
…
8. TB
test………………………………………………………………………………………..
9. Ears………………………………………………………………………………………
…….
10. Chest
…………………………………………………………………………………………..
11. Spleen
…………………………………………………………………………………………
12. Abdomen
……………………………………………………………………………………….
11
ADDITIONAL INFORMATION: Eg. Physical Disability (If any)
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………
STUDENT
You must bring this complete when you come to school. No student may
be enrolled without certificate of physical fitness.
12