You are on page 1of 8

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS – TAMISEMI

HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

NAMBA ZA SIMU Shule ya Sekondari Mdabulo,

Mkuu wa Shule: 0756 601 269 S.L.P 246,

Makamu Mkuu wa Shule: 0768 413 682 Mafinga - Iringa

Mhasibu: 0755 549 091 Tarehe 25/04/2019

Matron: 0769 888 213

Barua pepe: mdabulo.secondary@gmail.com

Mzazi / Mlezi wa Mwanafunzi…………………………..........

.............................................................................................

S.L.P…………………………………………………………………

YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI MDABULO


MWAKA 2019

1. Nafurahi kukuarifu kuwa mwanao amechaguliwa kujiunga na kidato cha Tano katika shule
hii mwaka 2019 tahasusi ya HGK /HKL .
2. Shule ya Sekondari Mdabulo ipo umbali wa kilometa 45 Mashariki mwa mji wa Mafinga.
Usafiri wa basi kutoka mjini Mafinga unapatikana katika kituo cha mabasi Mafinga nauli
ni shilingi 4000/=(Elfu Nne). Mabasi huondoka Mafinga saa 7:30 Mchana. Pia kuna usafiri
wa ziada wa NOAH hadi saa 09:30 Mchana kwa nauli ya Tsh. 5,000/=. Wanafunzi

1
wanaotokea mikoa ya mbali watakao chelewa kufika muda wa kuondoka mabasi ni vema
wawasiliane na uongozi wa shule Kwa kutumia namba hizo hapo juu kwa msaada zaidi.
3. Muhula wa masomo unaanza tarehe 08/07/2019. Hivyo unakiwa kuripoti shuleni tarehe
06/07/2019.
4. Mambo Muhimu ya kuzingatia:-
Sare za shule
a) Sketi mbili za kijivu mpauko na ndefu (mshono wa rinda boksi pana nyuma na mbele
na marinda mawili madogo kila pembe)
b) Mashati mawili meupe mikono mirefu
c) Tai mbili za kijivu mpauko
d) Koti moja la kijivu mpauko
e) Sweta la kijivu mpauko lisilo na kofia
f) Viatu vyeusi vya kamba jozi mbili visivyo na kisigino kirefu
g) Soksi nyeupe jozi mbili na kuendelea
h) Hijabu nyeupe isiyokuwa na urembo kwa waislam
i) Nywele zinatakiwa kuwa fupi zinazofaa kuchana

4.1. Sare za michezo na za kushindia (shamba dress)


a) Truck suit ya kijivu isiyo na kofia
b) Gauni rangi ya bluu nyeusi (Dark blue) mshono wa solo
c) Sketi ya Bluu nyeusi (Dark Blue) mshono kama wa sketi za sare ya shule
d) T - shirt mbili moja ya bluu na nyingine nyeupe za kola na zisizo na maandishi (Form six)
e) Raba kwa ajili ya michezo
f) Hijabu ya (Dark blue) au nyeusi ya kushindia

N.B. MWANAFUNZI HARUHUSIWI KUJA NA NGUO NYINGINE YOYOTE ISIYOAINISHWA


HAPO JUU

4.2. Mahitaji muhimu ambayo mwanafunzi anapaswa kuleta shuleni ni:-

a) Rimu A4 bunda mbili (2) moja mhula wa kwanza na nyingine mhula wa pili
b) Jembe moja (01) jipya lenye mpini
c) Panga (01)
d) Chelewa moja (01)
e) Ufagio laini (Soft Broom) ( 01)
f) Flat file 1
g) Cheti cha matokeo (Result Slip)
h) Cheti cha kuzaliwa

2
4.3. Vifaa binafsi
a) Madaftari makubwa ya kutosha kwa mahitaji yako ya masomo
b) Mkebe wa zana za hisabati (Mathematical set) mmoja
c) Kikokotozi (Calculator) 1 kwa watakaosoma somo la Jiografia
d) Ndoo mbili ndogo za lita 10 zenye mifuniko kwa ajili ya kuchotea maji na kuogea
(Ndoo moja itabaki ofisini kwa ajili ya usafi wa mazingira ya shule)
e) Godoro la futi 21⁄2
f) Blanketi 1
g) Shuka mbili (02), moja rangi ya pinki na nyingine rangi ya blue bahari (light blue)
h) Sanduku linalofunga vizuri (Tranker) kwa ajili ya kuhifadhia nguo na vifaa vingine
i) Tochi au taa ya solar kwa matumizi wakati umeme ukisumbua
j) Vyombo vya chakula kama Sahani, bakuli, kijiko, jagi la maji ya kunywa na kikombe
k) Begi la kubebea daftari

4.4. Ada na Michango ya shule

Ada ya shule kwa mwaka ni shilingi 70,000/= unaweza kulipa shilingi 35,000/= kwa muhula
au kulipa yote kwa mara moja.

Michango mingine inayotakiwa kulipwa na kila mzazi ni:-

a) Shilingi 15,000/= kwa ajili ya ukarabati wa samani


b) Shilingi 6,000/= kwa ajili ya kitambulisho na picha
c) Shilingi 20,000/= kwa ajili ya taaluma
d) Shilingi 30,000/= kwa ajili ya kuwalipa wapishi, walinzi na vibarua wengine
e) Shilingi 10,000/= kwa ajili ya matibabu. Pia wanafunzi wanashauriwa kuja na kadi ya Bima
ya Afya CHF.
f) Shilingi 20,000/= mitihani ya kujipima (mock)
g) Fedha ya tahadhari shilingi 5000/=( haitarejeshwa
Jumla kuu ya ada na michango ni shilingi 176,000/=

AKAUNTI YA KULIPIA ADA NA MICHANGO YOTE


ACCOUNT NAMBA 60201200070
BANK NMB
JINA LA AKAUNTI MDABULO SECONDARY SCHOOL
Tafadhali andika jina la mwanafunzi kwenye pay - in - slip. Pia mwanafunzi aje na
nakala halisi ya pay - in – slip wakati anaporipoti shuleni.

N:B Michango yote ilipwe muhula wa kwanza

3. MAKOSA YATAKAYOSABABISHA MWANAFUNZI KUFUKUZWA SHULE


1) Wizi.
3
2) Kutohudhuria masomo kwa zaidi ya siku 90 bila taarifa / utoro
3) Kugoma au kuhamasisha mgomo.
4) Kutoa lugha chafu kwa wanafunzi wenzake, walimu / walezi na jamii kwa ujumla.
5) Kupigana mwanafunzi kwa mwanafunzi, kumpiga mwalimu au mtu yeyote yule.
6) Kusuka nywele kwa mtindo usiokubalika. Wanafunzi wanatakiwa wote kuwa na nywele
fupi wakati wote wawapo shuleni
7) Ulevi au unywaji wa pombe na matumizi ya madawa ya kulevya.
8) Uvutaji wa sigara.
9) Uasherati, uhusiano wa jinsi moja kuoa au kuolewa
10) Kupata ujauzito.
11) Kushiriki matendo ya uhalifu, siasa na matendo yoyote yale yanayovunja sheria za nchi.
12) Kutembelea majumba ya starehe na nyumba za kulala wageni.
13) Kumiliki, kukutwa au kutumia simu ya mkononi katika mazingira ya shule.
14) Kudharau Bendera ya Taifa.
15) Kufanya jaribio lolote la kujiua, au kutishia kujiua kama kunywa sumu nk.
16) Uharibifu wa mali ya umma kwa makusudi.

4. Viambatisho na Fomu Muhimu


1) Cheti cha matokeo (Result Slip)
2) Fomu ya uchunguzi wa afya (Medical Examination Form) ambayo itajazwa na Mganga
Mkuu wa hospitali ya serikali.
3) Fomu ya maelezo binafsi kuhusu historia ya mwanafunzi /mkataba wa kutoshiriki mgomo,
fujo na makosa ya jinai.
4) Fomu ya mzazi kukiri kukubaliana na sheria, kanuni na kulipa ada, michango na maelekezo
mengine yatakayotolewa na shule.
5) Picha nne (4) za wazazi / walezi na ndugu wa karibu wa mwanafunzi wanaoweza
kumtembelea mwanafunzi shuleni pamoja na namba zao za simu.
6) Picha mbili (2) za passport size za mwanafunzi mwenyewe.

TAFADHALI SOMA KWA MAKINI MAELEZO / MAAGIZO HAYA NA KUYATEKELEZA


KIKAMILIFU.

KARIBU SANA MDABULO SEKONDARI

Sahihi ya Mkuu wa Shule_____________________________________

Jina la mkuu wa Shule _______________________________________

Muhuri wa Mkuu wa Shule____________________________________

4
PRESIDENT’S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT
MUFINDI DISRICT COUNCIL
MDABULO SECONDARY SCHOOL

MEDICAL EXAMINATION FORM

To be completed by medical officers in a recognized Hospital in respect of all new entrants of Mdabulo
Secondary School

Full Name………………………………………………………………………………………………….
Age………………………………………………………………………………………………………….

1. Blood comment (red & white)………………………………………………………………….


2. Pregnancy test……………………………………………………………………………………..
3. Urine examination………………………………………………………………………………..
4. Stool examination…………………………………………………………………………………
5. Syphilis test…………………………………………………………………………………………
6. T.B. test…………………………………………………………………………………………….
7. Ear test………………………………………………………………………………………………
8. Spleen……………………………………………………………………………………………….
9. Abdominal ……………………………………………………………………………………….
10. Eye test…………………………………………………………………………………………….
11. Additional information or any other physical, hereditary or infectious diseases
……………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………

Treatment after examination


……………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………...............................................................

MEDICAL CERTIFICATE
I certify that the above mentioned has been examined and found fit to pursue for further
education
Signature……………………………………………………………………………………………
Designation…………………………………………………………………………………………
Station………………………………………………………………………………………………
Official stamp………………………………………………………………………………………
Date…………………………………………………………………………………………………

N.B Fomu hii ijazwe na Mganga katika Hospitali inayotambulika na serikali

5
KUMBUKUMBU MUHIMU ZA MWANAFUNZI

A. MWANAFUNZI NA MZAZI/ MLEZI


i. Jina la mwanafunzi……………………………………………………………………………...…
ii. Tarehe ya kuzaliwa…………………………………..mahali…………………………………….
iii. Jina la Baba……………………………………………………yu hai/ amefariki………………..
iv. Mahali anakoishi; kijiji/mji……………………kata…………………tarafa…………………….
v. Kazi ya Baba ………………………………………………………………………………...........
vi. Anuani yake……………………………………………simu ……………………………………..
vii. Jina la Mama……………………………………………………………………………………….
viii. Kazi ya Mama………………………………………………………………………………………
ix. Anuani yake……………………………………………simu…………………………………….
x. Mahali anapoishi; kijiji/Mji………………….....kata…………………tarafa…………………..
xi. Jina la mlezi……………………………………………………………………………………….
xii. Kazi yake…………………………………………………………………………………………..
xiii. Mahali anapoishi; kijiji/ Mji………………………kata…………………tarafa………….........
xiv. Anuani yake……………………………………………simu…………………………………….

B. NDUGU WA KARIBU WA MWANAFUNZI


NA. JINA UHUSIANO NAMBA YA SIMU
1
2
3
4
5
6

C. AHADI YA KUFUATA SHERIA NA TARATIBU ZA SHULE (MWANAFUNZI)


Mimi......................................................................................................................... ...
Naahidi kufuata sheria, kanuni na taratibu za shule hii na kutekeleza maagizo yote yatakayotolewa na
uongozi wa shule wakati wote nitakaokuwa ndani na nje ya shule. Sitajihusisha na migomo, fujo, wala
makosa ya jinai.
Saini...............................................Tarehe.............................................
D. AHADI YA MZAZI/MLEZI
Mimi ..........................................................................................................................ambaye ni
Mzazi/Mlezi wa mwanafunzi aliyeweka ahadi hapo juu, naahidi kumpatia ada ya shule, michango na
mahitaji yote yanayotakiwa kujiunga na shule hii.

Saini...................................................................Tarehe.............................................

N.B. Fomu hii ijazwe na kurudishwa shuleni siku ya kuripoti mwanafunzi


6
ESSENTIAL REFFERENCE BOOKS/TEXT BOOKS
FOR A-LEVEL STUDENTS

A.HISTORY
1. History 1 by Shibitari
2. History 1 by Salehe Yasin
3. History 2 by Saleh Yasin (Essentials)
4. History 2 by Bakari Madaya
B.GEOGRAPHY
1. A Comprehensive Approach to PHYSCAL GEOGRAPHY For Secondary Schools- by D.T Msabila
2. General Geography in diagrams – by R.B.Bunnet
3. Photography interpretation and Elementary Surveying for Secondary Level New Edition –by S.E.
Dura
4. Certificate Human and Economics Geography –By Morgan and Leong Chan

C.KISWAHILI
(a) USHAIRI
1. Kimbunga – G. Gora (Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili –TUKI) 1994
2. Chungu Tamu –T.A. Mvungi (Tanzania Publisher House) 1985
3. Mapenzi Bora –S.Robert (Mkuki na Nyota) 2003
4. Fungate ya Uhuru –M.S. Khatibu (Macmillan and Aidan) 2007

(b)RIWAYA
1. Vuta n’kuvute -A. Shafi (Mkuki na Nyota ) 1999
2. Kufikirika –S .Robert (Mkuki na Nyota) 2003
3. Mfadhili -Hussein Tuwa (Mathew B/W and stationery) 2007
4. Usiku utakapokwisha (Mbunda Msokile (Macmillan and Aidan) 2007

(c)TAMTHILIYA
1. Morani E. Mbogo (DUP)
2. Kivuli kinaishi –Said Mohamed (Oxford University Press) 2007
3. Kwenye ukingo wa Thim –E. Hussein (University press)
4. Nguzo ya mama –DUP (1982)

D.GENERAL STUDIES
1. General studies (Communication Skills for A –Level M. Kadeghe)
2. General studies notes (For A –LEVEL For V & VI) G. Mshiu and N.Nyangwine

ENGLISH LANGUAGE
1. A complete course for form V & VI –Michael Kadeghe
2. English for form V & VI –BY Michael Kadeghe
3. Teaching English as a foreign language –G. Broughtone et.Al
4. A grammar of Contemporary English –Quirk, et Al

7
5. Longman English Grammar –L.G. Alexander
6. The real English textbook for Advanced Level –by M. Kadeghe
7. Advance English Dictionary

PART II
A. NOVEL
1. The Beautiful One are not yet born –A.K Amah
2. A man of the people –C. Achebe
3. Divine providence –Mkuki na nyota
4. Encounters from Africa –Macmillan
5. The rape of the peal –Macmillan

B. PLAYS/DRAMA
1. Any Enemy of the people –H. Ibsen
2. I will marry when I want –EAEP
3. Rwanda Magere by Okot Omtatah 1991 –Heinemann, Kenya
4. The bride - EAEP
5. Black mamba – EAEP

C.POETRY
1. Selected poem from institute of education
2. The wonderful surgeon and other poem –Mkuki Na Nyota

You might also like