Professional Documents
Culture Documents
KAWE- PARISH
Sahihitarehe
SahihiTarehe
1. SIKU ZA MASOMO
Jumatatu Ijumaa
Gharama hizi hazijumuishi ( materials) ya kujifunzia. Pia hazijumuishi gharama za vifaa vya
kufanyia mazoezi ya kujifunzia ushonaji kama vile vitambaa, futi, mkasi, bobi case, Daftar n.k
3. Sare ( kwa kozi ya ushonaji tu). Malipo yote yafanyike kabla mwanafunzi hajaanza
masomo)
a. Sketi 1 ( kwa wanawake) Tshs 15,000/=
b. Suruali 1 ( kwa wanaume) Tshs 10,000/=
c. Fulana 1( kwa wanawake na wanaume) Tshs 10,000/=
4. Kitambulisho ( kwa kozi ya ushonaji tu); Tshs 5,000/=
5. Cheti Tsh 6,000/
Kwa kozi zote ( ilipwe muda wowote ndani ya kipindi cha kozi)
JUMLA Tshs 36,000/=
NB: malipo yote yafanyike ofisi ya Parokia
6. MENGINEYO
1. Chuo kinapokea waombaji wa aina yoyote wenye sifa pasipo kujali dhehebu, dini, Jinsia,
itikadi au kabila.
2. Mwombaji aliyekubaliwa kujiunga na chuo shart azingatie sharia, kanuni na taratibu za
chuo ambazo huelezwa kabla ya kuanza masomo.
3. Malipo yaliyokwishalipwa hayatarejeshwa kwa mwombaji kwa sababu yoyote ile.
Tshkwa ajili ya ..
Tshkwa ajili ya
Saini ya mpokeaji..wadhifa