Professional Documents
Culture Documents
KUMB : MHDO/NEMAHUHAI/NSGC/1/34
JINA:
ANUANI..
Ndugu
Ninayo furaha kukutaarifu kuwa umepata nafasi ya kujiunga na mpango wa mafunzo ya cheti
TAREHE YA KURIPOTI
(NTA LEVEL 5) katika Kozi ya UUGUZI na UKUNGA.
ITAKUWA 20 SEPTEMBA 2017 BILA KUKOSA NA MAFUNZO
YATAANZA TAREHE 25 SEPTEMBA.
MAELEKEZO:-
1
ONYO: NI KOSA LA JINAI KUWASILISHA TAARIFA ZISIZOSAHIHI ZA KUGHUSHI
VYETI VYA KITALUMA. HATUA ZA KINIDHAMU ZITACHUKULIWA KWA YEYOTE
ATAKAYEKUWA KINYUME NA MAELEKEZO HAYA
5. MPANGO WA MASOMO
Mwaka wa masomo umeundwa kwa vipindi viwili
MIHULA YA KUJIUNGA NA MASOMO
Masomo yataanza mwezi wa Septemba 2017.
2
ADA YA MAFUNZO MWAKA WA KWANZA
6 HIJABU NYEUPE 2
Nguo za michezo: track suti, T- Shirt, bukta, raba kwa wavulana na wasichana.
Nyongeza ya vitu vingine vya kujifunzia kama LAPTOP /SMART PHONE sio lazima lakini ni
muhimu kwa kujifunzia.
4
MALIPO MWAKA WA KWANZA
MALIPO YATAFANYIKA KWA AWAMU TATU KWA MWAKA.
CHAKULA
5
FOMU YA MKATABA
MIMI. MWENYE
i. MWOMBAJI ALIYEPOKAZINI TU
Mimi ninaye saini hapa chini
_______________________________________________________________________
_______________________________________________________________________
i. Jina la mwombaji___________________________ jina la kozi ya
___________________na kama akichaguliwa, nachukua fursa hii kukubali gharama
zote zinazohusiana na kozi.
ii. Nathibitisha kwamba mwombaji akichaguliwa kama mwanafunzi wa kozi hii atapokea
likizo ya kutokuwepo kwa kipindi cha kozi yote.
iii. Nathibitisha kwamba mwombaji kama anakubaliwa hatapewa majukumu mengine au
kazi yoyote itakayosababisha mwombaji kushindwa kutekeleza majukumu yake ya
kitaaluma wakati wa kozi husika.
- Kazi ya mwajiri______________________________________
- Jina la mwajiri_______________________________________
- Anwani ya mwajiri____________________________________
- Namba ya simu ya mwajiri______________________________
- Saini ya mwajiri________________________
- Official stamp ______________________ mahali__________________
6
MAELEZO BINAFSI YA MWANACHUO
1. JINA KAMILI.
2. MKOA WILAYA
3. KATAKIJIJI
4. TAREHE YA KUZALIWA:ELIMU
5. KABILA DINISIMU NO.
6. UNAUJUZI GANI.
7. UMEOA / KUOLEWAJINA LA ME/KE
8. MAJINA YA WATOTO ULIONAO
a. MWAKA ALIOZALIWA
b. MWAKA ALIOZALIWA
c. MWAKAALIOZALIWA..
9. (A) JE WEWE NI MTUMISHI KATIKA TAASISI AU
SERIKALI?
(B) KAMA NDIO UNAFANYA KAZI TAASISI/SERIKALI GANI?
(C) UNAFANYA KAZI GANI?..........................................................................
(D) ANUANI YA MWAJIRI WAKO
(E) SIMU NAMBA YAKE MOBILE
(F SIMU YA OFISI
(G) E-MAIL YA OFISI
(H) UNAFANYIA MKOA GANI?..........................................................
(I) WILAYA GANI?............................................................................
(J) KIJIJI GANI?....................................................................................
JINA
ANUANI YAKE.
NAMBA YA SIMU YAKE YA
MKONONI
NINAAHIDI KUMLIPIA ADA NA MICHANGO MINGINE KAMA ATAPEWA NAFASI YA MAFUNZO KATIKA
CHUO CHAKO.
11.ANGALIZO
11.1. MALIPO
Napenda kukupongeza tena kwa kuchaguliwa kujiunga chuo cha NEW MAFINGA HEALTH AND ALLIED
INSTITUTE.( NEMAHUHAI )kwa niaba ya uongozi wa chuo nakutakia masomo mema na mafanikio
katika kipindi chote cha masomo katika chuo cha NEMAHUHAI KARIBU SANA
MKUU WA CHUO.
7
TANGAZO LA MASOMO
MKUU WA CHUO CHA NEW MAFINGA HEALTH AND ALLIED INSTITUTE (NEMAHUHAI)
KILICHOSAJILIWA NA NACTE NAMBARI: REG /HAS/145, KWA USAJILI WA KUDUMU.
CHUO KIPO WILAYANI MUFINDI, MJI WA MAFINGA, KIJIJI CHA NDOLEZI KM 5 TOKA STANDI
KUU YA MAFINGA, ANAWATANGAZIA KOZI ZIFUATAZO KWA MUHULA WA SEPTEMBA 2017:
KOZI HIZI MBILI UDAHILI UNAFANYWA KUPITIA CHUONI NEMAHUHAI KWA IDHINI YA NACTE.
KWA URAHISI TUMA INDEX NUMBER YAKO, JINA KAMILI NA SIMU NAMBA.
FOMU ZINAPATIKANA:
HURUMA DISPENSARY MAFINGA0759 - 002172 ,OFISI KUU KINYANAMBO 0756 - 546535,
SONGEA MAJENGO 0768 - 316400, DAR-ES SALAM UKONGA GEREZANI 0754 -
654206, SINGIDA HALMASHAURI YA VIJIJINI 0766 - 370544, DAR- ES- SALAAM GEREZANI
SEGEREA 0753 - 141434, CHUONI NDOLEZI MAFINGA 0755-890069 IRINGA VIJIJINI WILAYA
YA KILOLO 0766877778,WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI TANZANIA NZIMA.