TAARIFA YA UTEKELEZA WA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO KIGOMA – KASKAZINI, HADI MAY 2011.
KATA KIJIJI KAZI ZIZOPANGWA HATUA YA GHARAMA MATUMIZI SALIO
ILIYOFIKIWA YA MRADI HADI SASA MWANDIGA KIGANZA Kumalizia madarasa 2 Kazi imekamilika 12,000,000 12,000,000 0 ambayo yapo hatua ya na madarasa lenta Sekondari ya yanatumika. Mungonya. MAHEMBE CHANKABWIMBA Kuchangia ukamilishaji wa Kazi imekamilika 3,500,000 3,500,000 0 nyumba ya mwalimu S/m na nyumba Kabanga. inatumika UNUNUZI WA VITANDA NA Kununua vitanda vya Manunuzi 7,700,000 7,700,000 0 MAGODORO KATIKA ZAHANATI. kujifungulia 14 na yamafanyika na magodoro 28 kwa ajili ya vitanda vituo vya afya na vimesambazwa zahanati. (wastani wa bei kwa mjibu wa MSD ni Tsh kwenye vituo 550,000/= kwa kitanda 1 vya huduma. na magodoro 2). KAGUNGA KAGUNGA Kuchangia mradi wa maji Kazi ya 15,500,000 12,576,000 2,924,000 Kagunga. kutandaza mabomba inaendelea. JUMLA MIRADI 38,700,000 35,776,000 2,924,000 Uendeshaji wa vikao tathimini na 4,413,528 4,161,750 251,778 ufuatiliaji wa miradi. JUMLA KUU TSH 43,113,528 39,937,750 3,175,778 MGAWANYO WA VITANDA NA MAGODORO KWA VITUO VYA AFYA NA ZAHANATI.
NA JINA LA KITUO CHA AFYA/ZAHANATI IDADI YA IDADI YA
VITANDA MAGODORO 1 KITUO CHA AFYA BITALE 2 4 2 KITUO CHA AFYA MWAMGONGO. 2 4 3 ZAHANATI YA KIJIJI CHA MWANDIGA 1 2 4 ZAHANATI YA KIJIJI CHA MGALAGANZA 1 2 5 ZAHANATI YA KIJIJI CHA MKIGO 1 2 6 ZAHANATI YA KIJIJI CHA KALINZI 1 2 7 ZAHANATI YA KIJIJI CHA KIGALYE 1 2 8 ZAHANATI YA KIJIJI CHA ZASHE 1 2 9 ZAHANATI YA KIJIJI CHA BUBANGO 1 2 10 ZAHANATI YA KIJIJI CHA NYAMHOZA 1 2 11 ZAHANATI YA KIJIJI CHA KIZENGA 1 2 12 ZAHANATI YA KIJIJI CHA KIDAHWE 1 2 JUMLA (VITANDA NA MAGODORO) 14 28
Hotuba Ya Waziri Kivuli Na Msemaji Mkuu Wa Kambi Rasmi Ya Upinzani Wizara Ya Fedha Na Uchumi Ndugu Kabwe Zuberi Zitto Kuhusu Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Ya Wizara Kwa Mwaka Wa Fedha 20122013