You are on page 1of 11

IDARA YA HUDUMA ZA WATOTO

KANDA YA AFRIKA MASHARIKI NA KATI

FOMU YA TAARIFA YA KILA ROBO

KANISA ………………..……MTAA………………..….ROBO YA…… ..TAREHE: ……………….

NO SHUGHULI INAYOTOLEWA TAARIFA YA ROBO KIUTENDAJI IDADI


1 Idadi ya makanisa yaliyo na mratibu au kiongozi wa idara ya Huduma za watoto.
2 Idadi ya watoto walio na umri chini ya miaka 15
3 Idadi ya shule za Biblia (VBS) zilizoendeshwa wakati wa rikizo
4 Idadi ya watoto waliohudhuria
Watoto wa Kiadventista waliohudhuria
Watoto wasio waadventista waliohudhuria
5 Idadi ya program zingine za uinjilisti zilizofanywa kwa watoto
6 Idadi ya makanisa yanayoendesha madarasa ya ubatizo ya watoto wenye umri chini ya
miaka15
7 Idadi ya watoto wenye umri chini ya miaka 15 waliobatizwa
8 Idadi ya program za huduma kwa jamii ambapo watoto walihusishwa
9 Idadi ya makanisa yanayotekeleza program ya ‘’Kids in Discipleship’’ (watoto katika
ufuasi/uanafunzi)
10 Idadi ya semina za uongozi kwa waalimu na viongozi wa watoto zilizotolewa
11 Idadi ya watoto waliowekwa wakfu robo hii
12 Idadi ya watoto waliozaliwa robo hii
13 Idadi ya makanisa katika mtaa

MKURUGENZI WA IDARA YA WATOTO:

……………………………………………………………..
HUDUMA ZA FAMILIA

SOUTH-EAST TANZANIA CONFERENCE

FOMU YA TAARIFA YA ROBO

KANISA/MTAA ______________________________ ROBO YA _______ TAREHE ___________________

A. TAKWIMU (STATISTICS)

NA AINA YA TAKWIMU IDADI


1 Familia zilizoko kanisani/Mtaani
2 Wanandoa waliopo
3 Vijana wasio na ndoa (miaka 25+)
4 Wajane waliopo
5 Wagane waliopo
6 Jumla ya wanafamilia (Jumla ya Namba 2-5)
7 Wanafamilia walioajiriwa
8 Wanafamilia waliojiajiri
9 Familia zinazoishi kwenye nyumba zao
10 Kanisa/Makanisa yaliyofanya Juma la Huduma za Familia
11. Idadi ya wanandoa walioachwa
12. Idadi ya watoto yatima waliopo kanisani

B. YALIYOFANYIKA ROBO HII (WORK DONE)


YALIYOTENDEKA IDADI
NA
1 Familia zilizotembelewa
2 Ndoa zilizofungwa
3 Ndoa zilizovunjika
4 Semina za Huduma za Familia zilizofanyika
5 Semina za ujasiriamali wa familia zilizofanyika
6 Wanafamilia waliobatizwa
7 Watoto waliozaliwa kwenye familia
8. Mikutano ya wanandoa walioachwa na wajane iliyofanyika?
9. Familia zenye utaratibu wa maombi wa kudumu ni ngapi?
10. Makanisa mangapi yameendesha juma la familia?
11. Makanisa mangapi yameendesha juma la umoja wa familia?
12. Semina za malezi zilizofanyika robo hii?

Fomu hii ijazwe na mkuu wa Huduma za Familia kila mwisho wa robo na mchungaji ajaze moja
inayounganisha taarifa kwa makanisa yote mtaani.
NENO LETU KUU ‘’Ni wakati wa NB: Taarifa hii hujazwa na katibu wa uwakili na
kufikiri yaliyo juu’’ kutumwa kwa mchungaji Mda wa taarifa kila mwezi
SOUTHERN TANZANIA UNION MISSION

SOUTH EAST CONFERENCE

TAARIFA YA MAENDELEO YA IDARA YA UWAKILI

FORM NO 2.

1 TAREHE CONF/FIELD KANISA NOTE: Tunapima


SEC Maendeleo yetu sio tu
2 WASTANI WA WATU WAZIMA VIJANA WATOTO JUMLA kwa matoleo, bali pia
MAHUDHURIO kwa viwango vya
ushirikishwaji wa
3 JUMLA YA WASHIRIKI WANAOTOA KWA WANAOTOA ZAKA TU JUMLA YA WALE WANAOTOA WANAOTOA ZAKATU viongozi na washiriki
WOTE MPANGO WASIO WASHIRIKI KWA MPANGO katika Huduma za
uwakili makanisani.
4 JUMLA YA ZAKA KWA BAJETI YA KANISA JUMLA YA SADAKA JUMLA YA SADAKA TAARIFA TOKA MAKANISANI
MWEZI YA CONFERENCE YA UTUME JUMLA YA MAKANISA MAKANISA
YOTE YALIYOTUMA
MAJIBU YA MASWALI
YANATAKIWA
5 PROGRAM NA SHUGHULI MBALIMBALI ZILIZOFANYIKA KATIKA CONFERENCE /FIELD
JUMLA YA IDADI YA IDADI YA MAHUBIRI IDADI YA SEMINA MAHUDHURIO KATIKA SEMINA
PROGRAMS/ WALIOTEMBELEWA 1. Je ni Makanisa
WZM VJN WTT JUMLA mangapi yana kamati
SHUGHULI
ZILIZOFANYWA NA: ya uwakili? NDIYO
KANISA MAHALIA
WACHUNGAJI WA 2. Je una mpango wa
MTAA mkakati wa idara ya
MKURUGENZI – uwakili?
UWAKILI C/F Ndiyo/Hapana
MKURUGENZI WA 3. Orodhesha
UWAKILI STUM changamoto amabazo
6 MAHUDHURIO KATIKA SEMINA ZA MKURUGENZI WA UWAKILI CONF/FIELD umekutana nazo
WACHUNGAJI WAZEE WAKUU VIONGOZI WZM VJN WTT JUMLA katika uwakili: (Tumia
WA WENGINE-KANISA karatasi nyingine au
UWAKILI ukurasa wa nyuma
JUMLA

MZEE WA KANISA…………………………………………..SAHIHI………………………… KATIBU WA UWAKILI…………………………….SAHIHI……………………


` KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO

DIVISHENI YA MASHARIKI NA KATI MWA AFRIKA


IDARA YA HUDUMA ZA WANAWAKE

FOMU YA TAKWIMU YA KILA ROBO

KANISA-……………………MTAA………………………….. ROBO-………TAREHE-………………………………………..

Mikutano Wanawake Wanawake Washiriki Semina Mikutano Mikutano ya Msaada wa Ubatizo Miradi
waadventista wasio waliorejeshwa zilizofanyika ya uinjilisti shughuli masomo
waliohudhuria waadventista kanisani iliyofanika nyingine scholaship
waliohudhuria
-
JUMLA

KIONGOZI WA WANA WA KIKE

………………………………………
IDARA YA HUDUMA ZA UCHAPISHAJI NA ROHO YA UNABII
SOUTHERN TANZANIA UNION MISSION (STU)
(FOMU YA TAARIFA YA IDARA TOKA MAKANISANI KWENDA CONFERENCE)
Mtaa wa .......................kanisa la ......................................kundi.............................
Taarifa ya maendeleo ya idara .......................................mwaka...........................
Jina la mkurugenzi..............................................................................................

Na. Kazi iliyofanyika Idadi


1 Jumla ya washiriki wote wa kanisa
2. Washiriki wangapi wana Biblia kanisani
3 Vitabu vya Roho ya Unabii vilivyonunuliwa
4 Gharama za vitabu vilivyonunuliwa
5 Washiriki walioshiriki kuvisambaza
8 Wiki za maombi ya uamsho za usomaji wa vitabu zilizofanyika
9 Vitabu vya roho ya unabii vilivyosomwa na washiriki
10 Efoti za uinjilisti wa vitabu zilizofanyika kanisani
11 Washiriki waliojiunga na uinjilisti wa vitabu
12 Mikutano ya uinjilisti wa vitabu ilizofanyika kanisani
13 Wainjilisti wa vitabu waliotembelewa kutiwa moyo
14 Vikao vya kamati ya uchapishaji vilivyofanyika
15 Idadi ya vitabu vilivyopelekwa,magerezani,hospitalini,shuleni
16 Waliongolewa kupitia usomaji wa vitabu
17 Waliobatizwa kupitia huduma ya uinjilisti wa vitabu
18 Maktaba ya kanisa ina vitabu vingapi vya roho ya unabii
19 Jumla ya wainjilisti wa vitabu waliopo kanisani
20 Matendo mengine ya uinjilisti wa vitabu yaliyofanyika kanisani

Tutumie na picha za matendo hayo ikiwezekana

Sahihi ya mkurugenzi wa uchapishaji wa kanisa...................................


Mchungaji............................................................................................
SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH
EASTERN TANZANIA CONFERENCE

FOMU MPYA
TAARIFA YA IDARA YA HUDUMA ZA UCHAPISHAJI
(KWA ROBO MWAKA)

KANISA_______________________ JINA LA MKURUGENZI _________________________


JINA LA MZEE WA KANISA ___________________________

MTAA __________________________ ROBO YA __________________ TAREHE_________________

(A) MAELEZO:
Kufuatana na maelekezo kutoka ngazi ya juu ya kanisa kila kanisa limepewa wajibu wa
kusambaza vitabu kwa majirani zao, nayo makanisa yananunua vitabu kwa bei ya kuuzia kwenye
maduka ya kanisa (ABC) kisha wanasambaza vitabu bure kwa ajili ya kuokoa roho.

Taarifa:
1.
_______________________
1.
Idadi ya vitabu vilivyonunuliwa _____________________________________
2.
Idadi ya washiriki waliosambaza vitabu ______________________________
3.
Idadi ya magazeti yaliyosambazwa __________________________________
4.
Idadi ya Rally za uinjilisti wa vitabu na semina makanisani ______________
5.
Idadi ya wainjilisti wa vitabu wapya waliojitoa ________________________
6.
Idadi ya watu waliobatizwa kupitia uinjilisti wa vitabu __________________
7.
Kamati ya idara imekaa mara ngapi _________________________________
8.thamani ya vitabu vilivyonunuliwa Tsh------------------------------------------
.
 Mkurugenzi/mratibu wa uchapishaji atume taarifa konferensi kila robo
 Mkurugenzi wa kanda wa uchapishaji ashirikiane na kanisa katika siku za Rally na
semina makanisani na kutoa maelekezo ya kazi ya idara na umuhimu wa kazi
ulimwenguni.
(B) MAELEZO:
Taarifa hii hapa chini inahusu kitabu maalumu kinachotolewa na Divisheni kila mwaka kwa
sababu ya umeshenari wa kanisa nacho kinanunuliwa na makanisa na washiriki wanakisambaza
kwa watu duniani na kwa majirani zetu ili watu wasome waokolewe (maelekezo ya kuuza au
tusiuze kitabu yanatoka Divisheni)

Taarifa:
Mwaka Jina la Idadi washiriki Idadi ya vitabu Bei ya vitabu Idadi ya vitabu Waliobatizwa
kitabu walionunua vilivyonunuliwa vilivyonunuliwa Tshs vilivyosambazwa

Note: Kama kitabu cha Divisheni kwa mwaka huo kikiwepo, Tafadhali jaza taarifa B kama kitabu
hakitakuwepo jaza taarifa No A tu.
: Mkurugenzi/mratibu wa uchapishaji tuma taarifa konferensi kila robo vilevile chukua taarifa kila
sabato kwa washiriki.
SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH
EASTERN TANZANIA CONFERENCE

FOMU MPYA
TAARIFA YA IDARA YA ROHO YA UNABII
(KWA ROBO MWAKA)

KANISA_____________________________ JINA LA MKURUGENZI ________________________


JINA LA MZEE WA KANISA____________________________________

MTAA ________________________ ROBO _______________ TAREHE ______________

MAELEZO:
Makao makuu ya kanisa ulimwenguni imeagiza kila mshiriki anunue vitabu 10 vya Roho ya
unabii na kuvisoma kwa ajiri ya kujilisha kiroho navyo ni hivi vifuatavyo:

Taaifa:
Jina la kitabu Walionunua Waliosoma Wasionavyo Una maktaba ngapi Idadi ya vikao vya
idara vilivyofanyika

1 Wazee na manabii

2 Manabii na wafalme

3 Tumaini la vizazi vyote


Kutoka maonjo hadi
4 ushindi

5 Pambano kuu

6 Huduma ya kikristo

7 Mashauri juu ya kanisa

8 Mashauri juu ya uwakili

9 Huduma ya uponyaji

10 Njia salama

Note: Mkurugenzi wa Roho ya unabii atume taarifa kila robo vilevile kila sabato achukue taarifa hii kwa
washiriki.
: Kanisa litenge siku za kujifunza vitabu vya roho ya unabii (chagua kimoja msome mkimaliza
chagueni kingine)
SOUTHERN TANZANIA UNION MISSION OF SEVENTH-DAY ADVENTIST CHURCH
FOMU YA KITENGO CHA MAHUSIANO YA WAADVENTISTA NA WAISLAMU
[ADVENTIST MUSLIM RELATIONS)

MTAA ………………….KANISA…………………….KIONGOZI WA AMR………….……………………….

TAREHE:…………… MWAKA………… ROBO YA……….

NA. MATENDO YA KAZI IDADI NA. MATENDO YA KAZI IDADI


01 Mihadhara/Mijadala iliyofanyika kwa robo hii 19 Idadi ya Washiriki waliowahi kuwa Waislamu
02 Walioamini katika Mihadhara hiyo 20 Maeneo Mapya ya Waislamu yenye Wainjilisti
03 Magazeti, Vitabu na Biblia zilizogawanywa 21 Makundi Yaliyoanzishwa katika Maeneo hayo
04 DVD, CDs Zilizogawanywa/Kusikilizwa 22 Makanisa yaliyopangwa katika Maeneo hayo
05 Mahubiri ya Hadhara Yaliyofanyika Katika Maeneo 23 Miradi iliyoanzishwa katika Maeneo hayo ya
ya Waislamu Waislamu kama Shule, Hospitali, Biashara, nk
06 Waliongoka kutokana na Mahubiri 24 Huduma za Jamii Zilizofanyika kwa Waislamu
07 Waliobatizwa kwa Mahubiri na Mihadhara 25 Waislamu wangapi Ulioomba nao Robo hii
08 Madarasa mangapi wanaojifunza na Waislamu 26 Kazini/ Unapoishi kuna Waislamu wangapi
09 Sabato za Wageni Zilizofanywa kwa Waislamu 27 Una Marafiki Wangapi ambao ni Waislamu
10 Waliongoka kutokana na Sabato ya Wageni 28 Katika Jamaa/Familia ni Wangapi ni Waislamu
11 Waislamu waliohudhuria Kanisani 29 Ndoa ngapi ambao wenzi wao ni Waislamu
12 Waislamu walio kwenye Darasa la Ubatizo 30 Shule za Kanisa Wanafunzi ambao ni Waislamu
13 Semina zilizoendeshwa namna ya Kuwashuhudia 31 Waliongoka ni Wangapi
14 Mafunzo ya Wakufunzi wa AMR Yaliyofanywa 32 Waliobatizwa ni Wangapi
15 Waliohitimu Mafunzo ya AMR na kupata Cheti 33 Viongozi na Misikiti Iliyotembelewa Robo hii
16 Makanisa mangapi yenye Waratibu wa AMR 34 Jumla ya Waliobatizwa kutokana na Uinjilisti
17 Mitaa Mingapi yenye Waratibu wa Mtaa 35 Makanisa yaliyotuma Taarifa hii
18 Jumla ya Waratibu kwa Konferensi Yote 36 Mitaa iliyotuma Taarifa hizi

* FOMU HII ITUMWE KILA ROBO KWA MCHUNGAJI


SOUTHERN TANZANIA UNION MISSION
EASTERN TANZANIA CONFERENCE
IDARA YA SHULE YA SABATO: FOMU YA TAARIFA YA KILA ROBO
MKURUGENZI _______________________________ KANISA__________________________________ROBO YA _____ TAREHE _______________

S/N SHUGHULI ZILIZOFANYIKA JUMLA S/N JUMLA


1 Idadi ya matawi ya shule ya Sabato 22 Chipukizi (13-14)
2 Idadi ya makundi yanayoendesha Shule ya Sabato 23 Vijana (15-18)
3 Idadi ya makanisa 24 Vijana wakubwa (19-35)
4 Jumla ya idadi ya Shule za Sabato 25 Watu wazima (35--++)
5 Idadi ya Shule ya Sabato inayofuata mpango wa 6-8 26 Jumla ya miongozo ya kujifunza Biblia iliyonunuliwa robo hii
27 Idadi ya washiriki wanaosoma miongozo yao kila siku
IDADI YA 28 Idadi ya wanaosoma kupitia mitandao
6 Watoto wa awali (0-3) SHUGHULI ZILIZOFANYIKA
7 Chekechea (4-6) 29 Idadi ya mabaraza ya shule ya sabato iliyofanyika
8 Msingi (7-9) 30 Idadi ya mikutano ya walimu iliyofanyika
9 Vijana wadogo (10-12) 31 Idadi ya Kozi kwa walimu wa shule ya sabato yaliyofanyika
10 Chipukizi (13-14) 32 Idadi ya waliohitimu Mafunzo ya ualimu
11 Vijana (15-18) 33 Idadi ya sabato za wageni zilizofanyika.
12 Vijana wakubwa (19-35) 34 Idadi ya sabato za 13 zilizofanyika
13 Watu wazaima (35. ++) 35 Idadi ya sabato za kufanya maamuzi zilizofanyika
14 Darasa la Ubtizo 36 Idadi ya siku za kupandisha madarasa zilizofanyika
15 Darasa la Kujifunza Biblia 37 Idadi ya rale za shule ya sabato zilizofanyika
16 Jumla ya washiriki wote wa shule ya Sabato 38 Idadi ya mafundisho ya Biblia wakati wa likizo yaliyofanywa
17 Idadi ya washiriki wote wa shule ya Sabato waliobatizwa 39 Jumla ya program zote zilizofanywa
IDADI YA MIONGOZO YA KUJIFUNZA BIBLIA ILIYOUZWA KWA 40 Jumla ya mahudhurio katika programu zote
18 Watoto wa awali (0-3) 41 Jumla ya waliohudhuria wasio Waadventista wa Sabato
19 Chekechea (4-6) 42 Idadi ya walioongoka kutokana na sabato za wageni
20 Msingi (7-9) 43 Idadi ya makanisa yaliyoleta taarifa
21 Vijana wadogo (10-12) 44 Makanisa yanayoendesha darasa la walimu kila wiki
45 Mtaa una makanisa mangapi?
46 Ni makanisa mangapi yametoa taarifa?
Karani wa shule ya sabato ajaze fomu hii na aitume kwa Mchungaji wa Mtaa kila robo .
` KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO

DIVISHENI YA MASHARIKI NA KATI MWA AFRIKA


IDARA YA HUDUMA ZA WANAWAKE

FOMU YA TAKWIMU YA KILA ROBO

KANISA-……………………MTAA………………………….. ROBO-………TAREHE-………………………………………..

Mikutano Wanawake Wanawake Washiriki Semina Mikutano Mikutano ya Msaada wa Ubatizo Miradi
waadventista wasio waliorejeshwa zilizofanyika ya uinjilisti shughuli masomo
waliohudhuria waadventista kanisani iliyofanika nyingine scholaship
waliohudhuria
-
JUMLA

KIONGOZI WA WANA WA KIKE

………………………………………
SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH
SOUTH EAST TANZANIA CONFERENCE
IDARA YA HUDUMA ZA WASHIRIKI
KONFERENSI YA MASHARIKI MWA TANZANIA
MTAA ______________________________ ROBO YA _________________________________
TAREHE __________________________________
SAHIHI __________________________________
JINA LA MCHUNGAJIWA MTAA ___________________________________

SHUGHULI ZILIZOFANYIKA JUMLA SHUGHULI ZILIZOFANYIKA JUMLA


1 Mahubiri ya hadhara(Efforts) yaliyoendeshwa 16 Jumla ya makanisa yaliyopangwa
2 Idadi ya walioongolewa kutokana na mahubiri 17 Makanisa yaliyoshiriki katika Uinjilisti robo hii
3 Program za mafunzo ya idara zilizofanyika. 18 Mabaraza ya idara ya Huduma za washiriki yaliyofanywa
4 Mafundisho ya Biblia yaliyofanywa na washiriki 19 Chakula, nguo, pesa taslimu n.k vina thamani ya sh.
5 Idadi ya walioongolewa kutokana na mafundishomya Biblia 20 Masaa yaliyotumika katika kutoa msaada
6 Idadi ya walio kwenye Darasa la Kujifunza Biblia 21 Idadi ya miradi mingine ya ushuhudiaji
7 Vitabu, magezeti na vijuzuu vilivyotawanywa 22 Waliobatizaw kutokana na miradi mingine ya ushuhudiaji
8 Waliosajiliwa shule ya Biblia kwa njia ya Posta 23 Idadi ya vituo vya satellite vilivyopo
9 Waliohitimu masomo ya sauti ya unabii 24 Waliobatizwa kutokana na vyombo vya habari(TV,Radio,n.k
10 Waliobatizwa kutokana na masomo ya sauti ya unabii 25 Waliobatizwa kutokana na uinjilisi wa satellite
11 Idadi ya Huduma kwa jamii zilizofanyika 26 Jumla ya walioongolewa robo hii
12 Idadi ya walioshiriki progaramu za Huduma kwa jamii 27 Jumla ya waliobatizwa robo hii
13 Federation (matamasha, makongamano n.k) zilizofanyika 28 Idadi ya washiriki walioshirikishwa robo hii
14 Idadi ya waliohudhuria
15 Idadi ya vikundi vidogo vya utendaji (nyumbani na kanisani)

FOMU HII NI KWA AJILI YA KATIBU WA HUDUMA


KATIBU WA HUDUMA AJAZE FOMU HII NA KUIPELEKA KWA MCHUNGAJI

You might also like