Professional Documents
Culture Documents
WA MOROGORO FAMILY
27.08.2023
AGENDA
1. KUFUNGUA KIKAO
2. UTAMBULISHO
3. KUIPITIA RASIMU YA KATIBA
4. UCHAGUZI WA VIONGOZI
5. MENGINEYO
6. KUAHIRISHA KIKAO
1. KUFUNGUA KIKAO
- Mwenyekiti wa muda ndugu Admin Dullah alimuomba mjumbe mmoja kutufungulia
kikao kwa kujikabidhi mbele ya Mwenyezi Mungu mnamo majira ya saa kumi na nusu.
2. UTAMBULISHO
- Baada ya kujikabidhi mbele ya Mwenyezi Mungu wajumbe wote walijitambulisha ili
kufahamiana wakati kikao kinaendelea.
3. KUIPITIA RASIMU YA KATIBA
- Katiba ilipitiwa kwa kufuata kipengele kimoja baada ya kimoja na wajumbe
walipendekeza yafuatayo:-
4. UCHAGUZI WA VIONGOZI
- Kisha ukafanyika uchaguzi wa viongozi kama ifuatavyo;-
S/N NAFASI JINA
1. MWENYEKITI ABDALLAH MBAYA (ADMIN DULLAH)
2. MAKAMU KHALIFA MUTABUZI
3. KATIBU DOMINICK DOMINICK
4. K/MSAIDIZI ISSA TWAIBU
5. MTUNZA HAZINA IRENE MANGOLI
6 MSAIDIZI ABDALLA CHIKO
5.MENGINEYO
- Wanachama wote wajitahidi kupata bima ya afya
- Mchakato wa kusajili kikundi ufanyike kwa haraka kadili iwezekanavyo
- Zifunguliwe akaunti ya Bank ya CRDB na LIPA KWA NAMBA ya mitandao ya simu
- Upande wa Bank kuwe na masignatory wane (4) na wawili kati ya hao wanaweza kutoa
pesa.
- Taarifa ya fedha itakuwa inasomwa kila mwisho wa mwaka, hivyo mwisho wa mwaka
huu (mwezi wa kumi na mbili) kutakuwa na mkutano mkuu wa tathimini)
6. KUAHIRISHA KIKAO
- Mwenyekiti aliwashukuru sana wajumbe wote kwa kuacha shughuli zao na kuja kwenye
kikao.
- Kikao kiliahirishwa majira ya saa kumi na mbili jioni.