Professional Documents
Culture Documents
S.L.P 35
SENGEREMA
27/01/2024
MENEJA WA TAWI LA
CRDB BENK
S.L.P 58
SENGEREMA
K.K
AFISA USHIRIKA WA WILAYA
S.L.P 175
SENGEREMA
YAH: OMBI LA KUFUNGUA AKAUNTI BENK CRDB
Tafadhali rejea kichwa cha somo hapo juu chahusika ushirika wetu wa
UMAMIKI FISHING CO-OPERATIVE SOCIETY LTD
unaomba kufungua akaunti katika tawi la CRDB BENK tawi la
Sengerema.
1. KUFUNGUA KIKAO
Mwenyekiti alifungua kikao saa 8:40 mchana kwa kuwaeleza
wanachama wawe watulivu mwisho waweze kuchangia hoja.
3. KURIDHIA AGENDA
Wanachama wote waliridhia agenda hiyo na wamekubaliana
kuwa wafuatao watatia saini katika hati za kuchukuwa fedha benk
1. BELLA LUTTI JEJE (Mwenyekiti)
2. ALISENI SILVANUSI ALISENI (Katibu)
3. YUSUPH MSAKU MWANGA (Mhasibu)
4. OSCAR TIFULUKWA KABAYA (Mjumbe)
Kati ya hao walio orodheshwa wawili wanaweza kutia saini
wakati wa kutoa pesa benk
4. KUFUNGA KIKAO
Mwenyekiti aliailisha kikao saa 10:50 jioni na kuwatakia
wanachama siku njema
Wako katika ujenzi wa Taifa
BELLA LUTTI JEJE ALISENI SILVANUS ALISENI
……………………….. ……………………………
MWENYEKITI KATIBU