You are on page 1of 68

BENKI YA BIASHARA MKOMBOZI

MKUTANO MKUU WA KUMI


WA WANAHISA

25 MEI, 2019

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 1
MKOMBOZI
BANKPLUS
Usisumbuke, pata huduma kiganjani kwako ...
Lipa bili zako, nunua muda wa maongezi, hamisha fedha kutoka na
kwenda kwenye Mpesa, Tigopesa na Airtel Money kupitia akaunti
yako kwa njia ya simu.

Piga *150*06# kisha fuata maelekezo.

Wasiliana nasi kwa simu yetu ya bure 0800 750 040


Tovuti www.mkombozibank.co.tz Mkombozi Commercial Bank Plc
2
Barua Pepe info@mkombozibank.co.tz Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
@MkomboziBankPlc
DOLE ...
Benki ya Biashara Mkombozi tunahakikisha kuwa wateja wetu mara
zote wanafurahia urahisi na ubora wa huduma; na tunahakikisha kuwa
mara zote tupo mbele.

Wasiliana nasi 0800 750 040 @MkomboziBankPlc


Tovuti www.mkombozibank.co.tz
Mkombozi Commercial Bank Plc
Barua Pepe info@mkombozibank.co.tz
Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 3
#ABankWithIntegrity
Okoa muda, epuka foleni ...

Kadi ya ATM ya Mkombozi inaweza kutumika kwenye ATM za Umoja Switch


ambazo zipo nchi nzima; ukiwa na kadi yetu utafurahia huduma zifuatazo ...

1. Kutoa fedha

U MOJA
SWITCH

2. Kujua salio
3. Kubadilisha PIN
24 HRS. A TM 4. Taarifa fupi ya akaunti
5. Kuhamisha fedha kwenda M-pesa, Tigo pesa na Airtel Money
6. UnionPay: Salio, kutoa na kuhamisha fedha.

Na mengine mengi yanakuja!

Fungua akaunti yako leo na upate kadi yako!

Hakika wewe pia, unahitaji kadi yako


Mkombozi Commercial Bank Plc
4 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
www.mkombozibank.co.tz
YALIYOMO

1. Dira na Dhima ya Benki 2

2. Taarifa ya Mkutano Mkuu 2

3. Taarifa ya Mwenyekiti wa Bodi 4

4. Kumbukumbu za Mkutano Mkuu wa Tisa 8

5. Yatokanayo na Mkutano Mkuu wa Tisa 21

6. Taarifa ya Wakurugenzi 22

7. Taarifa ya mkaguzi wa nje na taarifa ya fedha za benki 36

8. Bodi ya Wakurugenzi 62

9. Menejimenti ya Benki 63

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 1
DIRA NA DHIMA

DIRA
Kuwa Benki inayoongoza kwa kukidhi mahitaji ya ukuaji wa ujasiriamali, kampuni ndogo ndogo, za
kati na zile kubwa kwa kuzipatia huduma za kibenki zenye uadilifu na za kiwango cha juu cha ubora.

DHIMA
Kuwa benki inayotoa huduma za kifedha za hali ya juu kwa sekta zote na kwa ngazi za kiuchumi kwa
kasi endelevu inayooana na matarajio ya wadau.

TAARIFA KWA WANAHISA WA BENKI YA BIASHARA MKOMBOZI

TAARIFA KWA WANAHISA WA BENKI YA BIASHARA MKOMBOZI

Taarifa inatolewa kwamba; Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa wa Benki ya Biashara Mkombozi
utafanyika tarehe 25 Mei, 2019 kwenye Kituo cha Msimbazi ukumbi wa Kardinali Adam jijini Dar es
Salaam kuanzia saa 3.00 asubuhi.
Ajenda
10.1 KUFUNGUA MKUTANO
10.2 KURIDHIA AJENDA ZA MKUTANO
10.3 KUTHIBITISHA KUMBUKUMBU ZA MKUTANO MKUU WA TISA WA MWAKA ULIOFANYIKA
TAREHE 26 MEI, 2018
10.4 KUPOKEA NA KUJADILI YATOKANAYO NA TAARIFA YA MKUTANO MKUU WA TISA WA MWAKA
WA WANAHISA ULIOFANYIKA TAREHE 26 MEI, 2018
10.5 KUPOKEA, KUJADILI NA KUPITISHA TAARIFA YA BODI YA WAKURUGENZI KWA MWAKA
ULIOISHIA TAREHE 31 DESEMBA, 2018
10.6 KUPOKEA, KUJADILI NA KUPITISHA TAARIFA YA FEDHA YA BENKI KWA MWAKA ULIOISHIA
TAREHE 31 DESEMBA, 2018; NA KUPOKEA RIPOTI YA MKAGUZI WA NJE WA HESABU, JUU YA
TAARIFA HIYO YA FEDHA.
10.7 KUPOKEA, KUJADILI NA KUIDHINISHA MPANGO WA KUONGEZA MTAJI WA BENKI;
10.8 KUTEUA MKAGUZI WA NJE WA HESABU ZA BENKI
10.8 KUPANGA TAREHE YA MKUTANO MKUU WA MWAKA UJAO
10.9 MENGINEYO
10.10 KUFUNGA MKUTANO

Angalizo:
1. Mwanahisa anayetaka kushiriki katika mkutano huu ni lazima aje na nakala ya risiti yake
ya ununuzi wa hisa au cheti cha hisa cha kumtambulisha kuwa ni mwanahisa.

2. Mwanahisa mwenye stahili ya kuhudhuria mkutano huu ana haki ya kumteua mwakilishi
wake wa kupiga kura kwa niaba yake kwa mujibu wa taratibu za kampuni. Fomu husika
inayopaswa kujazwa na Mwanahisa kwa ajili ya uteuzi huo inatakiwa kufikishwa kwa
katibu wa benki siku tatu kabla ya mkutano. Fomu hiyo iandikwe kama ifuatavyo: -

Mkombozi Commercial Bank Plc


2 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
“Benki ya Biashara Mkombozi”
Mimi/Sisi.......................……………...................., wa
......................................................,nikiwa/tukiwa Mwanahisa/Mjumbe wa Kampuni
iliyotajwa hapo juu, namteua/tunamteua ....................................................................
............ wa ......................................................... kama mwakilishi wangu/wetu kupiga
kura kwa niaba yangu/yetu katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wanahisa wa Benki
utakaofanyika tarehe 25 Mei, 2019
Saini .........................................
Imetolewa leo tarehe .............. Mwezi ………….. 20…...
3. Wanahisa wote au wawakilishi wao wanahitajika kujisajili kwanza kabla ya kuingia kwenye
ukumbi siku ya mkutano.

4. Vitabu vya taarifa ya hesabu za benki vitakuwepo katika matawi ya benki wiki moja kabla
ya mkutano.

Kwa taarifa zaidi fika:


Benki ya Biashara mkombozi,
Kitalu Na. 40, Nyuma ya Kanisa la Mt. Joseph,
Mtaa wa Mansfield
S.L.P. 38448
DAR ES SALAAM
Namba za simu: +255 22 2137806/7,
Namba ya bure ya maulizo: 0800 750 040
Barua Pepe: info@mkombozibank.co.tz
Tovuti: www.mkombozibank.co.tz

KWA MAELEKEZO YA BODI YA WAKURUGENZI


BALTAZAR B. MBILINYI
KATIBU NA MWANASHERIA WA BENKI
APRILI, 2019

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 3
TAARIFA YA MWENYEKITI WA BODI
Utangulizi

Kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi nachukua
nafasi hii kuwakaribisha nyote kwenye Mkutano
wa Kumi (10) wa Wanahisa wa Benki ya
Biashara Mkombozi.Tunapoadhimisha Miaka
Kumi tangu kuanzishwa kwa Benki yetu,kwa
mara nyingine tena kwa niaba ya Bodi ya
Wakurugenzi na Wafanyakazi wote wa Benki ya
Biashara Mkombozi napenda kuchukua nafasi
hii kuwashukuru Wanahisa wote;wateja wetu
wapendwa na wadau wetu wengine wote ambao
tumekuwa tukishirikaana nao na kufanya kazi
pamoja katika safari hii.

Mafanikio ya Benki ya Biashara Mkombozi


katika Kipindi cha Miaka Kumi (10) Iliyopita
Miaka kumi (10) ya uwepo wa Benki ya Biashara
Mkombozi, umeshuhudia ukuaji wa Benki kutoka
benki ya hadhi ndogo mpaka kufikia benki ya
hadhi ya kati kwa mantiki ya rasilimali; amana
za wateja; shughuli za uendeshaji na faida.
Prof. Marcellina Mvula Chijoriga Mpaka sasa benki imeweza kufungua matawi
KAIMU MWENYEKITI WA BODI kumi (10) ; manne (4) katika Mkoa wa Dar es
Salaam, moja moja katika mikoa ya Morogoro,
Moshi, Mwanza, Bukoba na hivi karibuni Iringa
na Dodoma. Rasilimali zetu zimekua kutoka
shilingi za kitanzania bilioni 8.69 mwaka 2009
mpaka kufikia shilingi za kitanzania bilioni
178.82 mwaka 2018. Amana za wateja nazo
zimeongezeka kutoka shilingi za kitanzania
bilioni 2.19 mwaka 2009 na kufikia shilingi za
kitanzania bilioni136.47 mwaka 2018. Mikopo
imekua kutoka shilingi za kitanzania bilioni 37
mwaka 2009 na kufikia shilingi za kitanzania
bilioni 99.04 mwaka 2018. Benki imeweza kulipa
gawio kwa wanahisa la thamani ya shilingi za
kitanzania bilioni 0.41 mwaka 2016 na shilingi
za kitanzania bilioni 0.52 mwaka 2017. Mtaji wa
Benki umeongezeka kutoka Shilingi za kitanzania
bilioni 6.01 mwaka 2009 na kufikia shilingi za
kitanzania bilioni 20.62 mwaka 2018.

Mkombozi Commercial Bank Plc


4 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
Mwaka wa 2018 Benki imesheherekea mafanikio makubwa katika kuunganisha na kuimarisha
vitengo mbalimbali pamoja na kuongeza ubora kwa bidhaa na huduma mbalimbali tunazotoa
sokoni. Ni matumaini yangu makubwa kuwa jitihada hizi zitaongeza amana za wateja; mapato kwa
benki pamoja na ukuaji wa kitabu cha mikopo na rasilimali za benki kwa ujumla. Benki ya Biashara
Mkombozi iliendelea kudumu na kukuza jina lake kwa kutoa huduma za kibenki “kwa weledi” na
tunajivunia mchango ambao benki imeutoa katika maendeleo ya taifa la Tanzania pamoja na maisha
ya wananchi wote walioguswa au kunufaika na mchango huo wa benki katika kipindi hicho.

Hali ya Uchumi na Soko katika mwaka 2018


Nchi ilikumbwa na mdororo wa ukuaji wa uchumi katika mwaka wa 2018.Pato la nchi lilishuka kufikia
asilimia 6.7 ikilinganishwa na asilimia 6.8 kwa mwaka uliotangulia wa 2017. Sekta ya huduma ndio
ilikuwa mchangiaji mkubwa katika pato la nchi (39.3%). Uwekezaji binafsi ulionekana kufanya vizuri
zaidi katika kuchangia uwekezaji (63.9%).

Sekta ya nje ilikwamisha ukuaji wa uchumi huku pengo la uhaba katika akaunti yetu likizidi kukua
au kuongezeka (licha ya kushuka kwa thamani ya shilingi), kutokana na kiwango kikubwa cha bidhaa
kilichoagizwa toka nje kwa mwaka 2018 kulinganisha na kile cha mwaka 2017.Ongezeko hili kwa
sehemu kubwa linatokana na uingizaji wa vifaa/mitambo ya usafirishaji;bidhaa za ujenzi;mali
ghafi za viwandani;bidhaa za mafuta ya kuendeshea mitambo katika miradi mikubwa ya uwekezaji
unaofanywa na serikali mfano Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR).

Mfumuko wa bei uliripotiwa kuwa asilimia 3.3% mwishoni mwa Disemba 2018 ambao umeenda
sambamba na sera za taifa za kifedha za muda mrefu. Benki Kuu ya Tanzania iliendelea kushikilia
sera rafiki za kifedha zilizolenga kukuza mikopo kwa sekta binafsi na shughuli za kiuchumi. Hali ya
ukwasi kifedha katika mfumo wa kibenki kwa ujumla iliendelea kuwa juu ikienda sambamba na
sera za kifedha za nchi. Kiwango cha riba kwa fedha zinazo kopeshwa haraka haraka na kwa muda
mfupi kilipanda mpaka asilima 4 Disemba 2018 ikilinganishwa na asilimia 3 mwezi Disemba 2017.
Hata hivyo, viwango vya riba za mikopo vimeendelea kuwa juu kutokana na madhara yanayotokana
na aina ya biashara/sekta inayokopeshwa. Vilevile, kuna maboresho katika ukopeshaji kwa sekta
binafsi na sekta ya umma katika uchumi kulikoenda sambamba na kuimarika kwa ubora wa mikopo
kwa sekta nzima ya benki. Wastani wa Mikopo chechefu katika soko ulishuka mpaka asilimia 10.70
Disemba 2018 ukilinganisha na asilimia 11.21 Disemba 2017. Kwa upande wa fedha za kigeni, shilingi
ya Tanzania ilishuka dhidi ya dola ya Marekani kutoka 2,250 mwezi Disemba 2017 mpaka 2,300
mwezi Disemba 2018.

Mafanikio yetu katika mwaka 2018

Licha ya matatizo ya kiuchumi na mazingira ya soko; Benki ya Biashara Mkombozi iliweza kupata
faida baada ya kulipa kodi ya shilingi za kitanzania milioni 806.04. Faida hii ni ndogo ukilinganisha
na faida iliyopatikana katika mwaka uliotangulia kutokana na benki kujikita katika ufunguaji wa
matawi ili kuwafikia wateja wengi zaidi pamoja na athari za kuanza matumizi ya kanuni namba tisa
(9) ya Kanuni za Kimataifa za Uwasilishaji wa Taarifa za Fedha inayojulikana kwa kitaalamu kama
International Financial Reporting Standards (IFRS 9) inayotaka mikopo yote itengewe asilimia fulani
ya kutokufanya vizuri tangu inapotolewa siku ya kwanza. Hata hivyo, na mbali na vikwazo vyote hivyo
Benki iliweza kufungua matawi mawili katika mwaka 2019. Tawi la Dodoma lilifunguliwa tarehe 11
Machi 2019 na lile la Iringa tarehe 18 Machi, 2019. Benki inatarajia kufungua tawi lingine Njombe
mwezi Juni 2019. Tawi la Njombe litakapofunguliwa litafanya Benki kuwa na idadi ya jumla ya matawi
kumi na moja (11) nchi nzima. Benki iliendelea kuimarisha matawi yaliyopo na kupata ongezeko
la kuridhisha la wateja na rasilimali huku amana zikipanda kwa asilimia 13; mikopo asilimia 21 na
rasilimali kwa asilimia 19. Hali ya uhusiano katika soko la taasisi za fedha iliendelea kuwa nzuri sana

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 5
kwa benki yetu,ikidhihirishwa na kiwango cha chini ya asilimia moja cha wafanyakazi walioacha
kazi Benki ya Mkombozi. Taarifa ya kina kuhusu hili itatolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya
Biashara Mkombozi wakati anasoma taarifa ya Wakurugenzi.

Changamoto zetu katika mwaka 2018


Changamoto kubwa kwa benki katika mwaka 2018 ilikuwa kuanza kwa matumizi ya kanuni namba
9 ya Kanuni za Kimataifa za Uwasilishaji wa Taarifa za Fedha inayojulikana kwa kitaalamu kama
International Reporting Standards (IFRS 9). Changamoto nyingine ilikuwa ni mdororo wa uchumi
ambao uliathiri shughuli za ukopeshaji; ukusanyaji wa amana na ubora wa kitabu cha mikopo ambao
uliongeza kiwango kinachotengwa kwa tahadhari kama hasara tarajiwa kwenye mikopo na hivyo
kusababisha athari hasi kwa mtaji wa benki.

Mtazamo Kiuchumi na Sekta ya Fedha kwa mwaka 2019


Kwa mujibu wa Benki ya Maendeleo ya Africa (ADB), kipindi cha muda wa kati kwa nchi kinaonyesha
matumaini chanya. Uchumi ulitegemewa kukua kwa asilimia 6.6 kwa miaka 2019 na 2020,ukihanikizwa
na matumizi makubwa katika ujenzi wa miundombinu (2018:6.7%)mfumuko wa bei ulitazamiwa
kudhibitiwa katika tarakimu moja kwa wastani wa asilimia 5 itakapofika mwisho wa mwaka. Vilevile
Benki Kuu ya Tanzania hivi karibuni ilitoa punguzo la kiwango cha riba kutoka asilimia 9 mpaka
asilimia 7 ikilenga katika kupunguza viwango vya riba za mikopo katika uchumi. Hii inategemea
kulegeza masharti magumu ya ukopeshaji yanayosababishwa pamoja na mambo mengine ongezeko
la mikopo chechefu.Benki itajiweka vizuri ili kufaidika na haya maendeleo chanya katika kuendelea
kutekeleza mikakati ya kuwafikia watu wengi zaidi ambao hajawapata au hawajafikiwa na huduma
za kibenki katika uchumi wetu.

Mtazamo wa Benki ya Biashara Mkombozi na Mpango wetu wa Mwaka 2019 - 2021


Benki ya Biashara Mkombozi itaendelea kuwa benki iliyojikita zaidi katika kutoa huduma za rejareja
na jumla kwa kuwahudumia watu binafsi na taasisi ndogo ndogo na za kati na kuhakikisha kwamba
mtandao wake wa matawi na kuwafikia wateja wake kunaongezeka kwa kiasi kikubwa kwa kujipanga
vizuri kiushindani kwenye maeneo na nyanja ambazo benki imejikita kutoa huduma.Kwa tafsiri
nyepesi rejareja ni biashara inayofanyika kwa kuhusisha idadi kubwa ya washiriki wa huduma
wenye miamala ya thamani ndogondogo na kwa mtizamo wa kibenki inatulazimu kuwekeza katika
miundombinu itakayoiwezesha benki kukuza uwezo wa kupata makusanyo na kufanya malipo kwa
wateja wengi na hivyo kujidhatiti vizuri katika soko hili la rejareja katika sekta ya kibenki. Kimsingi
benki inajitanua na kuweka mizizi yake katika kupata biashara mpya (mikopo na amana);kuzishikilia
biashara ambazo zipo tayari na kuwa na wigo mpana wa utoaji huduma na bidhaa kwa wateja.

Mkakati wa Benki kutekeleza muunganiko bora wa kujitanua unaojumuisha nadharia ya kupeleka


huduma kwa njia ya matawi na vituo vya huduma pamoja na kutumia mifumo mbadala ya kutoa
na kusambaza huduma za kibenki hasa kwa kujikita katika matumizi ya teknolojia. Kwa hiyo benki
inatarajia kuboresha mipango yake ya kuwekeza kwenye mifumo ya kidijitali na kupanua huduma za
kibenki kwa njia ya intaneti na huduma ya benki kwa njia ya simu;kuanzisha huduma za kibenki kwa
njia ya wakala pamoja na benki kiosk kupitia ofisi za waweka hazina wa majimbo ya kanisa katoliki.
Mwelekeo wa benki kimkakati ni kuibadilisha benki katika mambo yafuatayo:-

1 Kuiweka au kuifanya benki kuwa ya ukubwa wa kati kutoka ule mdogo ndani ya miaka mitatu
(2019 - 2021 huku ikiwa na Mizania ya Hesabu za ukubwa unaozidi thamani ya shilingi za
kitanzania bilioni 500).

Mkombozi Commercial Bank Plc


6 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
2 Kubadilisha mfumo wa uendeshaji shughuli za benki kutoka huu wa sasa wenye uwekezaji
wa rasilimali nyingi katika uendeshaji na kwenda kwenye mfumo utakaoweka mkazo na
uwekezaji wa rasilimali zaidi katika uuzaji na utoaji huduma na bidhaa za kibenki na hivyo
kuwa na mtizamo wa kibiashara zaidi. Hili litahusisha mabadiliko mengi ikiwemo kubadilisha
mifumo ya ndani ya utoaji huduma pamoja na mitiririko yake na kuziweka shughuli zote za
kibenki katika eneo moja kiutendaji).
3 Kubadilisha Mizania ya Hesabu za Benki kimuundo (fedha za kitanzania dhidi ya fedha za
Kigeni), kuoanisha vyanzo vya faida ya benki na malengo ya mapato ya benki katika mwaka
pamoja na kuweka vyema mizania bora, vyanzo vya mapato yasiyotokana na mikopo na
uwekezaji kwa kuanzisha huduma saidizi za biashara (trade finance services) na kukuza pato
litokanalo na tozo la miamala.
4 Kuwezesha mifumo ya malipo na ukusanyaji ili kurahisisha shughuli za kibenki (kwenda
kidijitali zaidi).

Ili kufanikisha hayo, Benki itatoa vipaumbele vinne (4) kama nguzo muhimu kwenye safari ya 2019
- 2021 na vipaumbele hivi ni;

• Kuboresha shughuli za uendeshaji na mtiririko wa utaratibu wa kutoa huduma ambao


utaongeza ufanisi na ubora katika kutoa huduma.
• Teknolojia kwa ajili ya kuboresha huduma za kidijitali na ujumuishaji katika utoaji huduma
(kuwafikia waliokuwa hawajafikiwa na huduma za kibenki kwa njia ya mtandao).
• Watu(Wafanyakazi) sahihi na idadi sahihi pamoja na weledi wa hali ya juu
• Muonekano wa benki, utambulishaji, uuzaji na uhamasishaji wa huduma na bidhaa za benki.

Ili kuona matokeo ya mambo hayo hapo juu tunahitaji uhusiano wa karibu;ushirikiano na mtandao
wa Wanahisa wetu;washirika;waratibu na wadau wote katika soko na uchumi nchini kwa ujumla.
Kwa hiyo naomba wanahisa wetu kuunga mkono mpango huu na kushiriki kikamilifu katika shughuli
za benki ikiwa ni pamoja na kukopa na kuweka amana katika benki ya Biashara Mkombozi.

Nyaraka za Mkutano Mkuu wa Wanahisa


Nyaraka za Mkutano Mkuu wa Wanahisa, zilizotolewa kwa wanahisa zinajumuisha Taarifa ya
Wakurugenzi na Taarifa za Fedha za Benki kwa kipindi kinachoishia tarehe 31 Disemba, 2018. Hizi
zitawasilishwa rasmi kwa Wanahisa kwa ajili ya kujadiliwa na kupitishwa/kukubaliwa. Wanahisa
wanakaribishwa kushiriki katika majadiliano na kutoa mchango muhimu kwa maslahi mapana na
maendeleo endelevu ya malengo yaliyowekwa na Benki.
Asanteni sana.

Prof. Marcellina Mvula Chijoriga


KAIMU MWENYEKITI WA BODI
25TH MAY, 2019

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 7
AJENDA NAMBA 10.3
KUTHIBITISHA KUMBUKUMBU ZA MKUTANO MKUU WA TISA WA MWAKA ULIOFANYIKA TAREHE 26
MEI, 2018

KUMBUKUMBU ZA MKUTANO MKUU WA TISA WA MWAKA WA WANAHISA WA BENKI YA BIASHARA


MKOMBOZI ULIOFANYIKA TEREHE 26 MEI 2018 KWENYE UKUMBI WA KARDINALI ADAM KITUO
CHA MSIMBAZI DAR ES SALAAM

MAHUDHURIO YA WAJUMBE WA BODI


1. Bw. Method A. Kashonda Mwenyekiti
2. Prof. Marcellina Chijoriga Makamu Mwenyekiti
3. Bw. George R. Shumbusho Mkurugenzi Mtendaji
4. Bw. Marcellino Kayombo Mkurugenzi
5. Padre Raymond Saba Mkurugenzi
6. Askofu Mkuu Beatus Kinyaiya Mkurugenzi
7. Bw. Ayoub Mtafya Mkurugenzi
8. Bw. Baltazar B. Mbilinyi Katibu

WAGENI WAALIKWA
1. Bw. Deokari Mkenda Mwakilishi wa mkaguzi wa hesabu za benki kutoka Ernst & Young
2. Bibi Neema Kiure Mssusa Mwakilishi wa mkaguzi wa hesabu za benki kutoka Ernst & Young

MAHUDHURIO YA WANAHISA

WATU BINAFSI
JINA LA MWANAHISA NAMBA YA SIMU
1 ABEL ELEUTER KUSIGA 0713440838
2 ADELA FELICIAN KAVISHE 0764401028
3 ADOLPHINA MATHEW NGONYANI 0755144302
4 ADRIAN ANDREA MPANDE 0754316766
5 ADRIANO GERALD MNIMBO 0688964669
6 AGATHA ELIAS MAYEMBA 0713613249
7 AGNES ELIAS KAMBONA 0653800889
8 AGRIPINA BLASS MKAMY 0652231188
9 ALBANI PETER MWALO (MWAKILISHI MODESTA P 0767255140
MWALO)
10 ALBERT HASSAN MILLANZI 0755769426
11 ALEX ATHANAS KADALA 0787152585
12 ALEX HENRY NYEREMBE 0756449447
13 ALFRED BENITO MILEMBE 0782832314
14 ALOYS BENEDICK KALOKOLA 0753897300
15 ALPHONCE RIWA & PHILOMENA L. LYARUU 0784727799
16 ANANIAS MARCO NGUGO 0764807113
17 ANANIAS SAMWEL MPELEMBWA 0752522952
18 ANASTASIUS SEBARD GUTERUKA 0754990489

Mkombozi Commercial Bank Plc


8 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
JINA LA MWANAHISA NAMBA YA SIMU
19 ANASTAZIA DEOGRACIOUS MASHURANO 0713319661
20 ANDREA MHEPWA MGAYA 0788948219
21 ANDREW EDWARD SALUMU 0715167999
22 ANGELA JOSEPH KYAKULA 0762949117
23 ANGELA THOMA CHIWAYA 0658545410
24 ANNA FLAVIAN SHAO 0674866904
25 ANNA WANGAEZI 0717037582
26 ANSILA BENO JOHN 0754820174
27 ANZIGAR ROBERT MAPUNDA 0753562890
28 APOLINARY BASIL MWARABU 0689073744
29 ASGHEDOM WOLDEGHIORGHIS VILLA 0754845264
30 ASTERIA JAMES MGOMA 0754080553
31 AUGENIA HENRY NYEREMBE 0756449447
32 AUGUSTINE RWEGOSHORA KASHULI 0754218592
33 AUGUSTINO JEREMIA JUMA 0715790709
34 BALTOMEY JORAM LUWUMBA 0754573267
35 BENEDICT FELIC MBWIGA 0767410113
36 BENJAMIN CRISPIN SHIRIMA 0784670111
37 BENJAMINI MLEKWA KIBELA 0782700734
38 BENNET CHARLES MALEKELA 0752991830
39 BERTHA EMMANUEL MASELLE 0754068709
40 BETHUEL ELINAJA TEMU 0762141690
41 BINGILEKI FRANCIS BINGILEKI 0754767050
42 BONIPHACE KAGEMBE WALWA 0757940874
43 BONITUS DOMINIC MWALLENI 0754471409
44 CALIST ANTHONY CHUWA 0754817084
45 CALLISTUS PHILIP ASSENGA 0784316503
46 CARISTO ALFRED MFALAMAGOHA 0754380452
47 CAROL JOSEPH ASSENGA 0787756562
48 CHARLES MATHIAS LUSAYA 0789666850
49 CHRISTINA FABIAN KAPEMBE 0784707419
50 CHRISTINA LUCKAS MATERU 0753577649
51 COLLETAMTAKAFEDHA FUIME 0754479056
52 CONSOLATA ALBERT BEBWA 0713564594
53 CRISTINA MAGERE NGARA 0789301572
54 CUTHBERT TOBIAS KARLIHANGA 0754555206
55 DANIEL PASCAL NDAGA(MWAKILISHI EMANUELA 0755520518
DANIEL)
56 DAUDI JULIUS PANGILA 0755004071
57 DAYANA BONIFASI MGUMBA 0678507161
58 DEOGRATIAS KAMUGISHA BARONGO MWAKILISHI 0752000262
(ALISTUS BARONGO)

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 9
JINA LA MWANAHISA NAMBA YA SIMU
59 DEUSDEDITH BONIPHACE GONELAMENDA 0789407251
60 DEVINA PATRICK MATOLA 0713577802
61 DEVOTHA HENRY NYEREMBE 0756449447
62 DICKSON MOSES MAKUMBA 0713091466
63 DIOCRES GELORD RUTAZAA 0712418962
64 DISMAS ISSA MUUNGAMO 0659143771
65 DISMAS JACOB KOMBA 0756295118
66 DISMASIA EDGA LYANGONI 0754654498
67 DORAH MKUMBO MKENGELE 0754839001
68 EDMUND MARKO NZINGO 0787990998
69 EDWARD DAUD STAMBULI (MWAKILISHI ANGEL E 0658119218
STAMBULI)
70 EDWARD MWANJALA MWAIBAMBE 0763189090
71 ELIAS ANDERSON MMARI 0767651853
72 ELIAS HENRY NYEREMBE 0756449447
73 ELIZABETH PETER MPELEMBWA 0755774924
74 EMIL GREGORY TESHA 0784236339
75 EMILIANA GODFREY TAIBAILE 0713447616
76 EMMANUEL MAREKANI MTUI 0754462749
77 ENOCK FABIAN KIKOTI 0714364717
78 ERIC AVELYN K MARENGA 0784360974
79 ERNESTINA KOKUHIRWA TIBAKWEITIRA 0754088216
80 ESTHER MWADUA MHANGA 0655391163
81 EVARISTA APOLINARY NDELENGIYA 0762087118
82 EVERYNE XAVERY KAYOMBO 0715130297
83 EXEDITO DICKENS SIMMON 0754088169
84 EZEKIEL FELIX ISSAKA 0784829228
85 FABIOLA SYLIVESTER SHAYO 0686527084
86 FAMILIA YA ALEXANDER & HILDA MSHANGAMA 0784529905
87 FAMILIA YA EDWARD MEINRAD MMOLE 0788712812
88 FEDRICK THOMAS CHAULA 0755037077
89 FRANCIS GEOFREY KALAMBO 0752043028
90 FREDRICK ASAACK MUSHI 0754692515
91 FREDRICK THOMAS KWANUNGU 0712783224
92 GAUDENSIA CALIST NDIBALEMA 0713518911
93 GERVAS JOSEPH KAVISHE 0755456050
94 GESMIRA MARKI SHANGWA 0784308415
95 GODWIN LOMAYANI LEMUNGA 0759555777
96 GRACE BEDA MINJA 0716639051
97 HENRY JOSEPH MBOYA 0713524364
98 HUSNA HAJI KAVISHE 0753577549
99 IGNACE PETER MOWO 0754365531

Mkombozi Commercial Bank Plc


10 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
JINA LA MWANAHISA NAMBA YA SIMU
100 ILDEPHONCE LADISLAUS BWINYO 0713625992
101 JAJ EDWARD ANTHONY MWESIUMO 0655752292
102 JANUARY MARIA NSHIMBA 0713028604
103 JAPHET A TINDWA 0716646387
104 JASRAS SAUD MKORONGO 0755835050
105 JESCA JOEL KABALIBALI 0757931630
106 JOHN EWALD MOSHY 0787853659
107 JOHN MWANINGILI MWALYENGA 0784876436
108 JOHN MWOMBEKI KIIZA 0754291677
109 JOHN PETER MPELEMBWA 0754275971
110 JOSEPH GODFREY TARIMO 0718399478
111 JOSEPH JAMES KESSY 0787265942
112 JOSEPH LUNGWA MNYANYI 0788161823
113 JOSEPH NESTORY BUDELELE 0754398843
114 JOSEPHAY PATRICK MBILINYI 0784506079
115 JOVINA BENIGNUS KIPONGO 0714247745
116 JOYCE MISAI AMOSI 0762420880
117 JULIAN NKUMBULWA LUGOLA 0754766900
118 JULIUS BERKUMARS MBAWALA 0714303318
119 JUMANNE SAIDI SELEMANI 0712448299
120 JUSTIN ISIDOR WOISO 0756036596
121 JUSTIN MARCO MWENDA (MWAKILISHI JOSEPH 0787885922
MARCO MWENDA)
122 LAWRENTIA MALWA MAYOLI 0657607162
123 LEONARDINA IFUNYA MAPUNDA 0713295802
124 LETICIA MSTILIMEMBE CHAMBILA 0754634605
125 LIDWINTHOMAS LUVANDA 0713346102
126 LIVIN EVARIST KIMARIO 0755764878
127 LUCY GEORGE MAYAO (MWAKILISHI PAULO L 0787642035
MILINGA)
128 LUTIGARDA LUCAS RWEZAULA 0767829692
129 MARCELLINO XAVIER KAYOMBO 0784/0767279777
130 MARCO KADILANHNA MAKANYAGA 0787997777
131 MARCOS ASANTAEL MALISA 0768480063
132 MARIA BONIPHACE MGUMBA 0655888795
133 MARIANA ADOLPH NDONJEKWA 0754591583
134 MARTIN RAPHAEL SIWINGWA 0754328039
135 MARY JUDITH MCHOME 0755365729
136 MATHIAS CYPRIAN MKULA 0787001609
137 MATHIAS LUKANGA LAURENT 0715488213
138 MATHIAS RAYMOND MUJUAMUNGU 0767210648
139 MATILDA STANSLAUS KALOKOLA 0783555568

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 11
JINA LA MWANAHISA NAMBA YA SIMU
140 MELCHIOR CYDRIAN NJIGE 0715455786
141 MELCHIORY N RWEYEMAMU 0715998593
142 METHOD MAKENGE KAMALA 0713308204
143 MICHAEL SUNGUSIA URIO 0715111265
144 MICHAEL YEREMIAH LUVANGA 0756236008
145 MODEST A PETER MWALO 0757442126
146 MR ARBOAGAST PETER CHAMI 0769113372
147 MR. GEORGE R SHUMBUSHO 0784280778
148 NATALIA HUGO SHIRIMA 0754035867
149 NEMES THOBIAS MKUDE 0784890795
150 NICHOLAUS MALANDO ISUWESHA &REGINA L. 0788027243
MALANDO
151 NICODEMAS THOMAS KANJA 0752447999
152 ODILLIA KILIAN KIWSILA 0752682100
153 ODILO JASON MUTALEMWA 0717552009
154 OLIVER ANTHONY KULANGISIWA 0754082926
155 OLIVER PETER NNALY 0752557039
156 OLYMPIA ODILLO MFAUME 0754553126
157 ONESMO RICHARD NDAKI 0718097303
158 OSWAD FEDRICK BUBELWA 0655287729
159 PASCAL MALIFEDHA KANYALA 0715532860
160 PASKAZIA FULGENCE ZELAMULA 0713303830
161 PATRICK NDERIVA SHIRIMA(MWAKILISHI GERALD 0713811628
SHIRIMA)
162 PAULINA KISHAI 0784460707
163 PETER ANDREW ALLOO 0755405834
164 PETER CYPRIAN MVULA 0713589627
165 PETER MWITA NYANOKWE 0753022292
166 PHILEMON AMBROSE MOSHI 0755627117
167 PHILIP LAWRENCE MJEMA 0754276008
168 PHRANCA ALDO NYALULU 0752152406
169 PREDIGANDA VALERIAN MROSSO 0713492733
170 PRIMITIVA PATRICK KAMUGISHA 0752897255
171 PRISCILLA SARONGA SAFARI 0713504428
172 PULCERIA EMILY MASSAWE 0715636775
173 RAPHAEL BALTAZAR SHAYO (MWAKILISHI ELIZABETH 0755778127
R SHAYO)
174 RAYMOND ALEXANDER WANG’ANYI 0754430470
175 REGINA EPHRAIM SALLEMA(MWAKILISHI FREDRICK 0753329584
NICODEMUS KAMANDO
176 REGINA J. KABULIBALI & CAROL A. ZOZA 0754635202
177 RENATUS RAPHAEL MWAKIMBWALA 0715541725/0754541725

Mkombozi Commercial Bank Plc


12 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
JINA LA MWANAHISA NAMBA YA SIMU
178 REVOCATUS RUSTICUS MSHEMA 0714494345
179 RHODA JACKSON BUKA 0754342918
180 ROBERT MAGANGA IYELA 0754314119
181 ROSALIA DIDAS WATUGULU 0754634791
182 ROSE KIPAMI MWENZEGULE 0768495062
183 RUGONZIBWA T.Z. MUJUNANGOMA 0754078854
184 RUSTUS ALOYS MSIMBE 0762649679
185 RWEYONGEZA ALFRED BITUNGWA 0755858955
186 SALAH JULIANA KAPAGALA 0784823440
187 SALUSTIAN THOBIAS NKOLA 0786351839
188 SALVATORY THOBIAS SIWEYA 0683117136
189 SAMSON JOSEPH SEMWIZA 0658947081
190 SCHOLASTICA JOHN NTIRUKA 0679471571
191 SEBASTIAN ANTHONY KABYEMERA 0754466057
192 SECELELA JOHN HOKORORO 0715278972/0754278972
193 SEGOLENA TITUS MAKYAO 0713371045
194 SELESTINE KINABO MTEY 0754606569
195 SELINA DAUD MREFU 0713695785
196 SELINA FRANCIS MWARABU 0787059098
197 SOFIA BERNARD MWAPIRA 0784771629
198 SPECIOZA ALOYCE KWEZI 0787195171
199 STANSLAUS WILLIAM MIZAMBEA 0713431467
200 STELLA PANTALEO BUNDALA 0788238713
201 STELLAH LONGINUS REVEIAN 0754526939
202 STEPHAN S. NGOJA 0784292241
203 SUZANE EDWARD SRAMBULY 0715865938
204 TEDDY ANDREW SALUMU 0715952000
205 TEOTIM RIRCHARD MMANDA 0786099193
206 THADEO HELMAN BULIHO 0785992245
207 THECLA MICHAEL NYAMBO 0756064563
208 THEODORY MARTIN MWONGE 0752302375
209 THEODOSIA THOMAS CHUWA 0711720991
210 THERESIA ADRIAN MPANDE 0754316766
211 THERESIA PETER HAULE(MWAKILISHI COLETHA 0755659180
PETER MATEI)
212 THERESIA ZAWADI NKUNJA 0717723779
213 VALENCE ADRIAN KATUMWA 0757609449
214 VEDASTO LESTEH LWIZAH 0754281954
215 VENANCE ADRIAN MPANDE 0754316766
216 VENERIUS STANISLAUS MUBA 0712321000
217 VERDIANA MASSINDE MARGAI 0713577964
218 VERONICA LUCAS HONERO 0768001552

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 13
JINA LA MWANAHISA NAMBA YA SIMU
219 VERONICA TRASIAS KIIZA 0752314643
220 VIANEY PHILIP LINGA 0784804987
221 VICK MARINO LAFFA 0754400390
222 VICTORIA CLEMENCE LUKWEMBA 0717686982
223 VICTORIA HUGGO ISDORI (MWAKILISHI DICKSON 0713483046
BUBERWA)
224 WENSE LUCAS ULIMALI 0714999656
225 WINIFRIDA PATRICK KAMUGISHA 0754275689
226 WITNESS ALOYCE MAZUBU 0652172119
227 YUSTINA MUSA KISOKA 0767529034
228 ZENAIDA OCHIENG THANYA 0719991063
229 ZERNO THOMAS LUKWEMBA 0713613289

WAWAKILISHI WA MASHIRIKA YA KANISA, PAROKIA, JUMUIYA NA VYAMA VYA KITUME


Na. JINA SIMU TAASISI
1 AMBROSE KUNDI 0713 649477 KRISTO MFALME PAROKIA
MWANANYAMALA
2 BESTA KITALI 0754 835228 WAWATA JIMBO KUU DAR ES SALAAM
3 NESTA KITAU 0784 300971 MARIST BROTHERS OF THE SCHOOL
4 BR. KIKO BAEZA 0745 700832 MONT FORT BROTHERS OF ST.
GABRIEL
5 BR. MATHAI 0742 906212 MONT FORT BROTHERS OF ST.
GABRIEL
6 BR. MICHAEL RUTTA 0757 055646 JUMUIYA YA MT. MARIA WA LURDI-
UKONGA
7 CATHERINE MWIDETE 0753 577649 JNNY FRANCISCA WAROMA KIMARA
8 CHRISTINA LUCAS MATERU 0782 818484 UFUMWA SACCOS LTD-MWANZA
9 EDITH MASASI 0656 781924 KWAYA YA BIKIRA MARIA MAMA WA
MUNGU-VITUKA
10 EDMUND SHAYO 0620 781753 ARCHDIOCES OF DAR ES SALAAM
ITF KANDA YA MOYO MT. WA YESU-
KITUNDA
11 ELIZABETH F. NYENYEMBE 0758 701752 SALESIANS OF DON BOSCO TANZANIA
12 FR. CELESTINE KHARKONGOR 0657 647924 ARCHDIOCES OF DAR ES SALAAM IFT
JUMUIYA YA BIKIRA MARIA-SALASALA
13 IGNATUS WABUKUNDI 0713 495843 AMANI GROUP
14 JANETH GEORGE MAYAO 0716 369555 KWAYA YA UPENDO ANGLICANA-
KINONDONI
15 JOAKIM CHRISTIAN HAULE 0653 874730 ARCHDIOCES OF DAR ES SALAAM
ITF JUMUIYA YA MT. RAFAEL UDOENI
PAROKIA YA KAWE.
16 JOHANES MACHUMU 0769 990311 WAZO MOJA ASSOCIATION

Mkombozi Commercial Bank Plc


14 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
JINA LA MWANAHISA NAMBA YA SIMU
17 MARCUS MBUKU 0762 879424 ARCHDIOCES OF DAR ES SALAAM ITF
JUMUIYA YA MTAKATIFU YUDA TADEI-
SALASALA
18 METHOD KAMALA 0787 308204 ARCHDIOCES OF DAR ES SALAAM ITF
JUMUIYA YA MT. CECILIA
19 METHOD NYAKUNGA 0755 303983 ST. PETERS PARISH
20 OSSYGERVAS KASTORY 0787 838732 ARCHDIOCESES OF DAR ES SALAAM ITF
JUMUIYA YA MALAIKA GABRIEL
21 PASSIAN MATIAS 0757 028450 ARCHDIOCES OF DAR ES SALAAM
UMOJA WA WANAUME MT. CECILIAN
22 SR. DEOGRASIA JOSEPH 0785 365797 ST. GEMMA GALGHNI SISTERS
PASCAL CSG
23 SR. MARIA DEOGRATIAS 0788 915737 CARDINAL RUGAMBWA UKONGA
NYAKATO STH HOSPITAL
24 SR. MARISERA MINDE CDNX 0757 753851 CDNK SISTERS DAR ES SALAAM
25 SR. MERNEDOLA HERMAN 0757 670945 AMANI MWANASTEL
MGIMBA OSB
26 SR. PASKALINA LAWA OSB 0754 662363 IRINGA MAFINGA
27 SR. REVIN ONESMO NTIMBA 0683 263037 ST. MATHEW CONVENT UKONGA
STH
28 SR. REVIN ONESMO NTIMBA 0683 263037 ST. THERESA SRS KISARAWE
STH
29 SR. TERESIA L. CHAULA OSB 0764 426498 ST. GETRUDE CONVENT IMILIWAHA
30 THEOBARD MASSAWE 0715 333081 PAROKIA YA MSIMBAZI
31 VEDASTUS NAMWATA 0759 282768 ARCHDIOCES OF DAR ES SALAAM ITF-
MAKUBURI PARISH

WAWAKILISHI WA MAJIMBO
Na. JINA NAMBA YA SIMU JINA LA JIMBO
1 FR. CELESTINE KAPINGA 0756 577287 MBINGA
2 FR. CHARITY HOKORORO 0786 316631 MTWARA
3 FR. DEODATUS MMOLE 0769 761277 TUNDURU MASASI
4 FR. EMMANUEL MEZZA 0754 758017 MBEYA
5 MR. MATHEW JERONIMO 0763 900373 KAHAMA
6 MR. MELKIADES MSIMBE 0754 565150 MOSHI
7 SR. PHILIPINA ARUDIKA 0784 724966 TANGA

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 15
9.1 KUFUNGUA MKUTANO
Mwenyekiti alifungua mkutano saa nne asubuhi

9.2 KURIDHIA AJENDA


Ajenda zifuatazo ziliridhiwa

1 Kufungua mkutano
2 Kuridhia ajenda
3 Kupitisha kumbukumbu za Mkutano Mkuu wa Nane uliofanyika tarehe 27 Mei, 2018
4 Kupitia yatokanayo na kumbukumbu za Mkutano Mkuu wa Nane uliofanyika tarehe
27 Mei, 2018
5 Kupitia taarifa ya Wakurugenzi kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Desemba, 2017
6 Kupitia taarifa ya mkaguzi wa nje wa hesabu za benki kwa mwaka ulioishia tarehe 31
Desemba, 2017
7 Kupokea, kujadili na kupitisha pendekezo la kutoa gawio
8 Uchaguzi wa Wakurugenzi;
9 Kupokea, kujadili na kuidhinisha marupurupu ya Wakurugenzi;
10 Kuchagua mkaguzi wa nje wa hesabu za benki;
11 Kupanga tarehe ya Mkutano Mkuu ujao;
12 Mengineyo; na
13 Kufunga mkutano.

9.3 KUTHIBITISHA KUMBUKUMBU ZA MKUTANO WA NANE WA MWAKA ULIOFANYIKA TAREHE
27 MEI, 2018
Wanahisa walithibitisha kuwa kumbukumbu zilizowasilishwa zilikuwa sahihi.

9.4 YATOKANAYO NA KUMBUKUMBU ZA MKUTANO WA NANE ULIOFANYIKA TAREHE 27 MEI,


2018

9.4.1 Taarifa ilitolewa kuwa azimio la Wanahisa la kutoa gawio kwa Wanahisa wa benki kwa mwaka
2016 ulianza kutekelezwa mara tu baada ya Mkutuno mwaka 2017. Hata hivyo Wanahisa
waliojitokeza kuchukua gawio ni 7755 kati ya 14,930 ambao kwa ujumla wao wamechukua
jumlaya Shs 316,005,063.00. Wanahisa 7175 ambao wanafikisha idadi ya Shs 75,685,103.00
bado hawajafikakuchukua gawio. Benki ilitoa matangazo kwenye vyombo vyahabari lakini
mwitikio wa Wanahisa kuja kuchukua gawio ulikuwa ni mdogo.
9.4.2 Taarifa ilitolewa kuwa azimio la Wanahisa la kuichagua kampuni ya Ernst & Young kuwa
mkaguzi wa nje wa hesabu za benki kwa mwaka 2017 lilitekelezwa.
9.4.3 Taarifa ilitolewa kuwa azimio la Wanahisa kufanya Mkutano Mkuu uliofuata tarehe 26 Mei
2018 lilitekelezwa.

9.5 TAARIFA YA WAKURUGENZI KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 31 DESEMBA 2017

9.5.1 Taarifa ilitolewa kuwa kazi kubwa ya benki kwa mwaka 2017 ilikuwa ni kufanya biashara ya
kibenki pamoja na huduma zingine zinazoendana na benki kulingana na sheria ya uendeshaji
na usimamizi wa benki na taasisi za fedha ya mwaka 2006. Hapakuwa na badiliko lolote la
kazi za benki kwa kipindi kilichoishia tarehe 31 Desemba, 2017.
9.5.2 Taarifa ilitolewa kuwa hisa zilizolipwa hadi mwishoni mwa mwaka 2017 zilikuwa 20,615,272.
9.5.3 Taarifa ilitolewa kuwa Wakurugenzi wa benki walioitumikia benki kuanzia Januari, 2017 hadi
mwishoni mwa mwaka walikuwa ni saba na hapakuwa na Mkurugenzi yeyote aliyemiliki hisa
Zaidi ya 0.3% ya mtaji uliohidhinishwa

Mkombozi Commercial Bank Plc


16 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
9.5.4 Taarifa ilitolewa kuwa kwa kipindi cha mwaka 2017 Bodi ilikutana mara nne katika mikutano
ya kawaida na mikutano kumi na nne ya dharura kutokana na masuala muhimu ambayo
yalihitaji maamuzi ya Bodi ikiwemo.
9.5.5 Taarifa ilitolewa kuwa Bodi ilikuwa na kamati tatu ambazo ni kamati ya ukaguzi na uthibiti,
kamati ya mikopo, na kamati ya rasilimali watu.
9.5.6 Taarifa ilitolewa kuwa kwa kipindi cha mwaka 2017 Menejimenti ya benki ilikuwa chini ya
Mkurugenzi Mtendaji akisaidiwa na Wakurugenzi saba na mameneja watatu walioripoti kwa
Mkurugenzi Mtendaji
9.5.7 Taarifa ilitolewa kuwa benki ilipata faida ya shilingi bilioni 1.94 kabla ya kodi kwa mwaka
ulioishia tarehe 31 Desemba 2017 na faida baada ya kodi ilikuwa ni shilingi bilioni 1.49
9.5.8 Taarifa ilitolewa kuwa mikopo na karadha kwa wateja kwa mwaka 2017 ilifikia shilingi bilioni
81.80 ikilinganishwa na shilingi bilioni 73.80 iliyopatikana mwishoni mwa mwaka 2016.
Jumla ya amana ilikuwa shilingi bilioni 121.12 ikilinganishwa na amana za shilingi bilioni 102.55
iliyopatikana mwishoni mwa mwaka 2016. Jumla ya rasilimali ilifikia shilingi bilioni 150.67
ikilinganishwa na shilingi bilioni 128.17 iliyopatikana mwishoni mwa mwaka 2016.
9.5.9 Taarifa ilitolewa kuwa Wakurugenzi walipendekeza malipo ya gawio kwa mwaka ulioishia
tarehe 31 Desemba, 2017
9.5.10 Taarifa Ilitolewa kuwa benki ilikuwa na wafanyakazi wa kutosha wenye weledi katika kila
kitengo.
9.5.12 Taarifa ilitolewa kuwa benki haikutoa hisani yeyote kwa vyama vya siasa.
9.5.13 Taarifa ilitolewa kuwa benki iliendelea kuwa na mahusiano mazuri na wadau wote wakiwemo
waangalizi wa benki
9.5.14 Wanahisa walipokea taarifa ya Wakurugenzi walijadili na kuhidhinisha kama ilivyowasilishwa.

9.6 TAARIFA YA MKAGUZI WA NJE WA BENKI NA TAARIFA YA FEDHA KWA MWAKA ULIOISHIA
TAREHE 31 DESEMBA, 2017

9.6.1 Taarifa ilitolewa kuwa mkaguzi wa nje wa hesabu za fedha za benki kwa mwaka 2017 alikuwa
ni Ernst & Young (EY) ambaye alikagua taarifa za fedha za benki.
9.6.2 Taarifa ilitolewa kuwa Wakurugenzi wa benki waliwajibika kwa matayarisho na uwasilishwaji
wa taarifa za fedha kwa mujibu wa viwango vya kimataifa katika utayarishaji wa hesabu na
kwa mujibu wa sheria ya makampuni, Na. 12, Sura ya 212 ya mwaka 2002, na kwa udhibiti
huo wa ndani, Wakurugenzi walihakikisha kwamba uwezeshaji wa matayarisho hayo ulikuwa
ni wa kweli na kwamba haukutokana na udanganyifu wowote ama makosa yeyote yale ama
upotoshwaji wa ukweli wowote ule.
9.6.3 Taarifa ilitolewa kuwa wajibu wa mkaguzi wa nje ulikuwa ni kutoa maoni juu ya taarifa hizo
za fedha kutokana na ukaguzi uliofanyika. EY walifanya ukaguzi kwa kuzingatia viwango vya
kimataifa katika ukaguzi. Viwango hivyo vilihitaji kwamba EY wafuate mahitaji ya kimaadili,
waandae mpango wa kufanya ukaguzi ili kujiridhisha kuwa taarifa hizo za fedha hazina mawaa
yanayoweza kuzuia ukweli juu ya ukaguzi.
9.6.4 Taarifa ilitolewa kuwa taarifa za fedha za benki zilitoa taswira na mtazamo halisi wa kifedha juu
ya hali ya masuala ya fedha ya benki mpaka ilipofikia tarehe 31 Desemba 2017 na mwenendo
wake ulizingatia viwango vya kimataifa katika uwasilishwaji wa taarifa za fedha.
9.6.5 Wanahisa walipokea, walijadili na kupitisha ripoti ya mkaguzi wa nje kama ilivyowasilishwa.

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 17
9.9.7 KUPOKEA, KUJADILI NA KUPITISHA AZIMIO LA KUPITISHA GAWIO KWA WANAHISA

9.7.1 Taaarifa ilitolewa kuwa kutokana na mafanikio ya utendaji wa Benki ya Biashara Mkombozi kwa
mwaka ulioishia tarehe 31, Desemba 2017 na kupata faida halisi baada ya kodi ya Shilingi bilioni
1.44 Bodi ya Wakurugenzi, katika kikao chake cha tarehe 21 April, 2018 iliazimia kuwasilisha kwenye
Mkutano Mkuu pendekezo la kutangaza gawio la Sh 25 kwa kila hisa kwa mwaka wa fedha wa 2017
na kwa wanahisa waliorodheshwa kwenye daftari ya wanahisa. Ridhaa ya Benki Kuu ya Tanzania kwa
aili ya gawio hili ilikwisha patikana. Hivyo basi Bodi ya Wakurugenzi iliapendekeza kwa Mkutano Mkuu
kujadili na kuridhia pendekezo la gawio na kuazimia ifuatavyo:

9.7.2 Wanahisa walipokea pendekezo la Bodi na kutoa azimio lifuatalo:

AZIMIO LA WANAHISA WA BENKI YA BIASHARA MKOMBOZI LILILOPITISHWA KWENYE MKUTANO


MKUU WA TISA WA WANAHISA ULIOFANYIKA TAREHE 26 MEI 2018 KATIKA UKUMBI WA KARDINALI
ADAM KITUO CHA MSIMBAZI DAR ES SALAAM

Kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wanahisa wa benki ya biashara Mkombozi uliofanyika


tarehe 26 Mei, 2018 kwa mujibu wa kifungu namba 180(1) cha Sheria ya kampuni na 12 ya 2002, na
pendekezo la Bodi ya Wakurugenzi waliazimia kuhidhinisha gawio kwa kiwango cha shilingi 25 tu kwa
kila hisa kwa wanahisa waliorodheshwa kwenye daftari ya Wanahisa.

9.8 UCHAGUZI WA WAKURUGENZI

9.8.1 Taarifa ilitolewa kuwa kanuni namba 80 ya kanuni za uendeshaji wa benki ilielekeza kwamba
kila ifikapo mwaka wa tatu wa uendeshaji wa benki moja ya tatu ya Wakurugenzi wa Bodi
watastaafu. Hii inamaana ya kuwa Wakurugenzi wawili walipaswa kustaafu na wawili wapya
kuchaguliwa. Utaratibu huu ulizingatia umuhimu wa mwendelezo wa uzoefu na utawala bora
katika uendeshaji wa benki. Kutokana na hilo Bodi iliwataarifu Wamahisa kuwa mkurugenzi
Method Anatoli Kashonda ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa Bodi na Bwana Marcellino
Xavier Kayombo walistahili kustaafu rasmi ukurugenzi wa benki mara baada ya majina ya
Wakurugenzi wapya kupitishwa na Benki Kuu ya Tanzania.

9.8.2 Taarifa ilitoewa kuwa ili kujaza nafasi ya Wakurugenzi hao wawili Bodi ya Wakurugenzi kwa
kuongozwa na kanuni ya 74 ya benki ilitoa kazi kwa kampuni ya washahuri binafsi iitwayo
Lindam Group Limited kutangaza kwenye magazeti nafasi tatu za Wakurugenzi wapya kwa
ajili ya kujaza nafasi mbili za hao Wakurugenzi waliotarajiwa kustaafu na nyingine moja
iliyoachwa wazi na Mkurugenzi Emmanuel Johannes aliyejiuzuru. Kampuni binafsi ilipewa
kazi ya, kuwafanyia usahili na kupeleka kwenye Bodi majina sita ya wagombea wa nafasi hizo
tatu
9.8.3 Taarifa ilitolewa kuwa kanuni iliyotajwa hapo juu iliwataka washahuri hawa kuleta kwenye
Bodi ya Wakurugenzi majina mawili kwa kila nafasi moja ya ukurugenzi iliyo wazi kwa ajili ya
Wanahisa kupiga kura.

Mkombozi Commercial Bank Plc


18 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
9.8.4 Taarifa ilitolewa kuwa kampuni ya washauri binafsi ilifanya kazi yake vizuri na iliwasilisha
kwenye Bodi majina kumi na Bodi ikachuja na kupata majina sita ili Wanahisa wapige kura
kupata Wakurugenzi watatu. Kila mgombea alipewa muda wa dakika tatu wa kuelezea wasifu
wake kabla ya kupiga kura. Majina ya wagombea yalikuwa ni yafuatayo:

(i) TASNIA NA UZOEFU KATIKA MASUALA YA BENKI:


Bw. Benedict Sudi Warisianga na Bw. Deus Manyenye

(ii) TASNIA NA UZOEFU WA UHASIBU NA HESABU ZA BENKI


Bw. Sylivester Orao na Bi Uphoo Swai

(iii) TASNIA YA TEKNOHAMA NA MAWASILIANO


Bw. Robert Mtendamema na Bw. Ophoro Lekey

1.1.4 Wanahisa walipiga kura na matokeo yalikuwa kama ifuatavyo:

TASNIA NA UZOEFU KATIKA MASUALA YA BENKI


Majina ya wagombea Jumla ya kura Idadi ya kura
Bw. Benedict Sudi Warisianga 243 91
Bw. Deus Manyenye 243 174

TASNIA NA UZOEFU WA UHASIBU NA HESABU ZA BENKI


Majina ya wagombea Jumla ya kura Idadi ya kura
Bw. Sylivester Orao 243 69
Bi Uphoo Swai 243 174

TASNIA YA TEKNOHAMA NA MAWASILIANO


Majina ya wagombea Jumla ya kura Idaid ya kura
Mr. Robert Mtendamema 241 217
Mr. Ophoro Lekey 243 23

9.8.5 Kutokana na matokeo ya kura zilizopigwa Wakurugenzi waliochaguliwa walikuwa ni Bw.


Deus Manyenye, Bw. Robert Mtendamema na Bi Uphoo Swai. Hata hivyo Bodi iliwataarifu
Wanahisa kuwa endapo jina lililopendekezwa litakataliwa na Benki Kuu ya Tanzania jina
lililofuata kwenye kura litapelekwa Benki Kuu ya Tanzania kwa uchunguzi.

9.8 KUPOKEA, KUJADILI NA KUPITISHA STAHIKI ZA WAKURUGENZI

9.9.1 Taarifa ilitolewa kuwa katika mkutano wa kwanza uliofanyika tarehe 28 Mei, 2010 Wanahisa
walipitisha maruprupu ya Wakurugenzi kama ifuatavyo:
(i) Malipo ya shilingi 350,000.00 kwa Mwenyekiti na shilingi 300,000.00 kulipwa kwa kila
mjumbe mwingine wa Bodi wanapohudhuria vikao vya Bodi
(i) Malipo ya shilingi 1,500,000.00 kwa Mwenyekiti na shilingi 1, 200,000.00 kwa kila
mujumbe mwingine wa Bodi ikiwa ni ada ya ukurugenzi inayolipwa mwishoni mwa
mwaka.

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 19
9.9.2 Taarifa ilitolewa kuwa kwa kipindi hicho stahiki hizo zilikuwa ni ndogo sana ukilinganisha na
benki zingine za kiwango cha benki ambazo kima cha chini cha stahiki kwa Mwenyekiti ni
shilingi 700,000.00 na shilingi 600,000.00 kwa Wakurugenzi wa kawaida ikiwa ni stahiki ya
kuhudhuria vikao na shilingi 15,000,000.00 kwa Mwenyekiti na shilingi 10,000,000.00 kwa
Wakurugenzi wa kawaida kama posho ya mwaka.

9.9.3 Taarifa ilitolewa kuwa Kwa kipindi chote hiki Bodi ya Wakurugenzi haikutoa pendekezo la
ongezeko la stahiki na posho ya mwaka pamoja na kuzingatia kuwa malipo yao yalikuwa
chini. Hii ni kwasababu Bodi ilitaka benki ijipanue kibiashara.

9.9.5 Taaarifa ilitolewa kuwa kwa kipindi hicho benki ilishapanuka kibiashara na hivyo ulikuwa ni
wakati mwafaka kufanya mapitio ya stahiki za Wakurugenzi kuendana na soko kwa ujumla,
kukaribia stahiki zinazotolewa na mabenki ya rika ya benki na kuzingatia wajibu wa kisheria
na wa kiudhibiti anaoubeba mkurugenzi wa benki. Kwa mantiki hiyo Bodi ilipendekeza kwa
Wanahisa kuidhinisha stahiki za Wakurugenzi kama ifuatavyo:

(i) Malipo ya shilingi 700,000.00 kwa Mwenyekiti na malipo ya shilingi 600,000.00 kwa
kila mkurugenzi mwingine ikiwa ni posho ya kuhudhuria vikao vya Bodi na Kamati
zake.
(ii) Malipo ya shilingi 10,000,000.00 kwa Mwenyekiti na shilingi 9,000,000.00 kwa kila
Mkurugenzi mwingine ikiwa nni ada ya ukurugenzi ya mwaka.

9.9.5 Wanahisa walipokea na walipitisha stahiki za Wakurugenzi kama zilivyowasilishwa.

9. 10 UTEUZI WA MKAGUZI WA NJE


9.10.1 Taarifa ilitolewa kuwa kampuni ya Ernst & Young ilichaguliwa kufanya ukaguzi wa hesabu za
benki kwa kipindi cha miaka mitatu kutokana na hilo itaendelea kuwa mkaguzi wa hesabu za
benki kwa mwaka 2018 na ilionyesha nia ya kuendelea kukagua hesabu za benki kwa malipo
ya dola za Marekani 25,000.00 kabla ya kodi ya ongezeko la thamani kwa ukaguzi wa kawaida
na dola za Marekani 10,000.00 kabla ya kodi ya ongeko la thamani kwa ugauzi wa mifumo ya
tehama ya benki.

9.11 KUPANGA TAREHE YA MKUTANO UJAO


Wanahisa walikubaliana kuwa mkutano ujao ufanyike tarehe 25 Mei, 2019.

9.12 MENGINEYO
Hapakuwa na mengineyo ya kujadili

9.13 KUFUNGA MKUTANO


Mwenyekiti alifunga mkutano saa kumi jioni

Imethibitishwa leo tarehe 25 Mei, 2019


_______________________ _______________________
Bw. Method Kashonda Bw. Baltazar Baltazar Mbilinyi
MWENYEKITI KATIBU

Mkombozi Commercial Bank Plc


20 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
AJENDA NAMBA 10.4

KUPOKEA NA KUJADILI YATOKANAYO NA KUMBUKUMBU ZA MKUTANO MKUU WA TISA WA
WANAHISA WA BENKI YA MKOMBOZI ULIOFANYIKA TAREHE 26 MEI, 2018 KATIKA UKUMBI WA
CARDINAL ADAM, MSIMBAZI, DAR ES SALAAM

KUMB. NA MAAZIMIO YA WANAHISA UTEKELEZAJI


9.4.1 Taarifa ilitolewa kuwa azimio la Wanahisa la Benki ilitoa matangazo kwenye
kutoa gawio kwa Wanahisa wa benki kwa mwaka vyombo vya habari zikiwemo
2016 lilianza kutekelezwa mara tu baada ya redio za kijamii majimboni
Mkutuno mwaka 2017. Hata hivyo Wanahisa lakini mwitikio wa Wanahisa
waliojitokeza kuchukua gawio ni 7,755 kati ya kuja kuchukua gawio ulikuwa
14,930 ambao kwa ujumla wao wamechukua ni mdogo, mpaka sasa bado
jumlaya Shs 316,005,063.00. Wanahisa 7,175 wanahisa 6,696 hawajachukua
ambao wanafikisha idadi yaShs 75,685,103.00 gawio lao, ambalo thamani yake
bado hawajafikakuchukua gawio. ni shilingi 70,632,671.00 ambayo
ipo kwenye vitabu vya benki.
Benki imeandaa orodha ya
Wanahisa wa kila Jimbo ambao
hawajalipwa gawio la mwaka
2016 na la mwaka 2017 ambayo
itatumwa kwenye kila Jimbo
kwa ajili ya taarifa kwa kila
Mwanahisa pia kwa urahisi wa
malipo ya gawio kila mwanahisa
ameombwa kutoa taarifa yake ya
namba ya simu ambayo itatumika
kulipia gawio lake.
9.7.2 Wanahisa walipokea pendekezo la Bodi na kutoa Jumla ya shilingi 489,612,710.00
azimio lifuatalo: ziliidhinishwa kama gawio kwa
AZIMIO LA WANAHISA WA BENKI YA Wanahisa 14,883.
BIASHARA MKOMBOZI LILILOPITISHWA Wanahisa 7,463 wamelipwa
KWENYE MKUTANO MKUU WA TISA WA gawio lenye thamani ya shilingi
WANAHISA ULIOFANYIKA TAREHE 26 MEI 378,140,802.50.
2018 KATIKA UKUMBI WA KARDINALI ADAM
Wanahisa 7,420 hawajachukua
KITUO CHA MSIMBAZI DAR ES SALAAM
gawio lao, ambalo lina thamani
Kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa ya shilingi 111,471,907.50.
Wanahisa wa benki ya biashara Mkombozi Benki imeandaa orodha ya
uliofanyika tarehe 26 Mei, 2018 kwa mujibu Wanahisa wa kila Jimbo ambao
wa kifungu namba 180(1) cha Sheria ya hawajalipwa gawio la mwaka
kampuni na 12 ya 2002, na pendekezo la 2016 na la mwaka 2017 ambayo
Bodi ya Wakurugenzi waliazimia kuhidhinisha itatumwa kwenye kila Jimbo kwa
gawio kwa kiwango cha shilingi 25 tu kwa kila ajili ya taarifa kwa kila Mwanahisa
hisa kwa wanahisa waliorodheshwa kwenye pia kwa urahisi wa malipo ya
daftari ya Wanahisa. gawio kila mwanahisa ameombwa
kutoa taarifa yake ya namba ya
simu ambayo itatumika kulipia
gawio lake. Jitihada zinaendelea
kufanyika ili kuwapata wanahisa
hao wachukue gawio lao.

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 21
KUMB. NA MAAZIMIO YA WANAHISA UTEKELEZAJI
9.8.5 Kutokana na matokeo ya kura zilizopigwa Majina matatu ya wakurugenzi
Wakurugenzi waliochaguliwa walikuwa ni Bw. waliochaguliwa yalipelekwa Benki
Deus Manyenye, Bw. Robert Mtendamema na Bi Kuu kwa ajili ya uthibitisho.
Ophoo Swai. Hatahivyo Bodi iliwataarifu Wanahisa
Majina mawili yaliweza
kuwa endapo jina lililopendekezwa litakataliwa
kuthibitishwa, ambayo ni
na Benki Kuu ya Tanzania jina lililofuata kwenye
Bw. Robert Mtendamema na
kura litapewa nafasi na litapelekwa Benki Kuu ya
Bi. Uphoo Swai. Jina la Bw.
Tanzania kwa uchunguzi ili kupitishwa.
Deus Manyenye lilichelewa
kuthibitishwa kwa zaidi ya miezi
saba (kuanzia Juni 2018 – Januari
2019). Bodi ya wakurugenzi
iliamua kuondoa jina lake na
kupeleka jina la Bw. Benedict S.
Warisianga ambaye alifuatia kwa
kura. Yeye alithibitishwa ndani ya
miezi miwili (Februari 2019 hadi
Aprili 2019).
9.11 KUPANGA TAREHE YA MKUTANO UJAO
Wanahisa walikubaliana kuwa mkutano Azimio hili limetekelezwa.
ujao ufanyike tarehe 25 Mei, 2019.

AJENDA NAMBA 10.5


TAARIFA YA WAKURUGENZI KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 31ST DESEMBA, 2018

10.5.1 SHUGHULI MAHUSUSI ZA BENKI


Kazi ya benki ilikuwa ni kutoa huduma za benki na masuala yote yahusuyo benki kama ilivyoainishwa
kwenye Sheria ya Benki na Taasisi za Fedha ya mwaka 2006.Hapakuwa na mabadiliko yeyote kuhusu
kazi hizo kwa kipindi chote cha mwaka ulioishia tarehe 31 Desemba 2018.

10.5.2 MTAJI WA BENKI


Mtaji wa benki hadi kufikia tarehe 31 Desemba, 2018 ni kama ilivyoonyeshwa hapa chini: -

Mtaji ulioidhinishwa
Hisa 50,000,000 za kawaida zenye thamani ya shilingi 1,000 kila hisa.

Hisa zilizolipwa
Hisa 20,615,272 za kawaida zenye thamani ya shilingi 1,000 kila hisa.

Mkombozi Commercial Bank Plc


22 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
10.5.3 MGAWANYO WA WANAHISA WA BENKI
Jumla ya hisa zote zilizolipiwa hadi mwishoni mwa mwaka 2018 ilikuwa ni 20,615,272 (Mwaka 2017:
ilikuwa ni hisa 20,615,272)

Hisa za benki zinamilikiwa kama ifutavyo:
Jina Idadi ya hisa Thamani ya hisa (TZS) asilimia

Kanisa na taasisi zake 5,777,708 5,777,708,000 28%


Taasisi zingine 2,125,907 2,125,907,000 10%
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) 4,133,995 4,133,995,000 20%
Watu binafsi 8,577,662 8,577,662,000 42%

Jumla 20,615,272 20,615,272,000 100%

Jumla ya hisa mwishoni mwa mwaka 2017 ilikuwa hisa 20,615,272 kama ifuatavyo
Jina Idadi ya hisa Thamani ya hisa (TZS) asilimia

Kanisa na Taasisi zake 5,486,179 5,486,179,000 26%


Taasisi zingine 1,795,120 1,795,120,000 9%
Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) 4,469,784 4,469,784,000 22%
Watu binafsi 8,864,189 8,864,189,000 43%

Jumla 20,615,272 20,615,272,000 100%

10.5.4 WAKURUGENZI WA BENKI

Wakurugenzi wa benki waliotumikia benki kwa kipindi chote cha mwaka 2018 ni kama ifuatavyo.

JINA WADHIFA UMRI WASIFU/ UJUZI URAIA TAREHE YA UTEUZI/


KUMALIZA MUDA WAKE
Bw. Method Mwenyekiti 74 Shahada ya Uzamili Mtanzania Alichaguliwa tena kwa
Anatoli katika masuala mara ya pili tarehe 30
Kashonda ** ya fedha, (MBA), Mei, 2015
FCCA, FCPA (Mbia
mwandamizi Globe
Accountancy
Services)

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 23
JINA WADHIFA UMRI WASIFU/ UJUZI URAIA TAREHE YA UTEUZI/
KUMALIZA MUDA WAKE
Prof. Marcellina Makamu 64 Shahada ya uzamili Mtanzania Aliteuliwa
Mvula Chijoriga Mwenyekiti katika masuala ya
31 Agosti, 2013
fedha na shahada
ya uzamivu katika
uchumi. (Profesa
wa Chuo Kikuu Cha
Dar es salaam
kwenye Shule
ya Biashara
aliyebobea katika
masuala ya uchumi
na fedha).
Bw. George Mkurugenzi 43 Stashahada ya Mtanzania Aliteuliwa na Bodi tarehe
Rwezaura Mtendaji Tehama (ADIT), 18 Novemba 2017
Shumbusho shahada ya uzamili
katika masuala ya
biashara (MBA).
Askofu Mkuu. Mkurugenzi 62 Shahada ya Uzamili Mtanzania Alichaguliwa tena kwa
Beatus Kinyaiya (MA) katika mara ya pili tarehe 30
Historia, Shahada Mei, 2015
ya Sanaa katika
katika Jiografia na
katika Theolojia
ya Kiroho (Askofu
Mkuu Jimbo la
Dodoma)

Mkombozi Commercial Bank Plc


24 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
JINA WADHIFA UMRI WASIFU/ UJUZI URAIA TAREHE YA UTEUZI/
KUMALIZA MUDA WAKE
Padre Raymond Mkurugenzi 45 Padre na ana Mtanzania Aliteuliwa tarehe 27
Saba shahada ya Agosti 2014
Teologia na
shahada ya uzamili
katika Maandiko ya
Kale na ya Mababa
wa Kanisa (Katibu
Mkuu Baraza la
Maakofu Tanzania
Bw. Marcellino Mkurugenzi 72 Stashahada ya juu Mtanzania Alichaguliwa tena kwa
Xavier Kayombo katika masuala ya mara ya pili tarehe 30
** Fedha (Afisa wa Mei, 2015
Benki Mstaafu)
Bw. Ayoub Mkurugenzi 48 Shahada ya Mtanzania Alichaguliwa tarehe 26
Mtafya Uzamivli katika Oktoba, 2015
masuala ya Sheria;
Wakili na
mtaalamu wa
sheria za kodi.
Ni Mbia kwenye
kampuni ya
mawakili iItwayo
Nex Law Advocates
Bw. Robert Mkurugenzi 46 Shahada ya sayansi Mtanzania Alichaguliwa tarehe 8
Mtendamema* ya kompyuta, na Agosti, 2018
shahada ya uzamili
ya kompyuta
katika mawasiliano
ya mitambo ya
kompyuta.

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 25
JINA WADHIFA UMRI WASIFU/ UJUZI URAIA TAREHE YA UTEUZI/
KUMALIZA MUDA WAKE
Bi. Uphoo Mkurugenzi 47 Stashahada ya Mtanzania Alichaguliwa tarehe 8
Swai* uhasibu, shahada Agosti, 2018
ya uzamili katika
masuala ya
biashara, mhasibu
aliyethibitishwa
(CPA).
** Wakurugenzi hawa wamestaafu tarehe 31 Desemba 2018.
* Hawa ni Wakurugenzi wapya walioanza kazi rasmi tarehe 8 Agosti 2018.
Hisa za Wakurugenzi

Idadi ya hisa kwa mwaka 2018


Jina la Mkurugenzi Idadi ya hisa
2018
Bw. Method A. Kashonda 4,500
Askofu Mkuu Beatus Kinyaiya 13,574
Prof. Marcellina M. Chijoriga 17,000
Padre Raymond Saba -
Bw. Ayoub Mtafya 6,250
Bw. George R. Shumbusho 6,575
Bw. Robert Mtendamema 1,190
Bi. Uphoo Swai -
Bw. Marcelino X. Kayombo 2,622
Jumla 51,711
Hakuna Mkurugenzi anayemiliki hisa zaidi ya asilimia 0.3% ya hisa zote zilizolipwa

Idadi ya hisa kwa mwaka 2017


Jina la Mkurugenzi Idadi ya hisa
2018

Bw. Method A. Kashonda 4,500


Bi. Edwina A. Lupembe 13,080
Askofu Mkuu Beatus Kinyaiya 13,574
Prof. Marcellina M. Chijoriga 17,000
Padre Raymond Saba -
Bw. Ayoub Mtafya -
Bw. Emmanuel Johannes -
Bw. Marcelino X. Kayombo 2,622
Jumla 50,776
Hakuna Mkurugenzi anayemiliki hisa zaidi ya asilimia 0.3% ya hisa zote zilizolipwa.

Mkombozi Commercial Bank Plc


26 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
10.5.5 KATIBU WA BENKI
Katibu wa benki mpaka tarehe 31 Desemba 2017 alikuwa ni Bw. Baltazar B. Mbilinyi.

10.5.6 UTAWALA WA BENKI

Bodi ya Wakurugenzi ina Wakurugenzi saba akiwemo Mkurugenzi Mtendaji. Hakuna Mkurugenzi
yeyote anayeshugulikia masuala ya kila siku ya benki isipokuwa Mkurugenzi Mtendaji. Bodi inajukumu
la usimamizi wa benki ikiwemo pamoja na jukumu la kuainisha masuala hatarishi na kusimamia kwa
kutoa maamuzi yanayohusu masuala ya fedha nakuidhinisha bajeti ya benki.

Bodi pia inajukumu la kuhakikisha kwamba taratibu zote zilizoainishwa na kanuni zilizopitishwa na
Bodi zinafuatwa kulingana na taratibu za uendeshaji wa kampuni.

Bodi inapaswa kukutana angalau mara nne kwa mwaka. Uendeshaji wa kila siku wa benki ulikuwa
chini ya Mkurugenzi Mtendaji wa benki akisaidiwa na Menejimenti ya benki. Menejimenti ya benki
inakaribishwa kuhudhuria mikutano ya Bodi na kuhakikisha kuwa usimamizi wa shuguli zote katika
uendeshaji wa benki unaangaliwa vizuri katika maeneo yote ya uendeshaji wa benki.

Kwa kipindi cha mwaka 2018 Bodi ilikutana mara nne katika mikutano ya kawaida na mikutano nane
ya dharura kutokana na masuala muhimu ambayo yalihitaji maamuzi ya Bodi.

Maelezo zaidi juu ya mikutano ya Bodi na kamati zake ni kama inavyoonekana hapa chini.

Mahudhurio ya Wakurugenzi:
Na Jina Wadhifa Idadi ya Idadi ya Asilimia
mikutano mikutano
aliyohudhuria

1. Bw. Method A. Kashonda Mwenyekiti 12 11 92


2. Prof. Marcellina M. Chijoriga Makamu 12 11 92
Mwenyekiti
3. Bw. George R. Shumbusho Mkurugenzi 12 12 100
Mtendaji
4. Askofu Mkuu Beatus Kinyaiya Mkurugenzi 12 8 67
5 Padre Raymond Saba Mkurugenzi 12 11 92
6. Bw. Marcellino X. Kayombo Mkurugenzi 12 12 100
7. Bw. Ayoub Mtafya Mkurugenzi 12 11 92
8. Bi. Uphoo Swai * Mkurugenzi 12 3 25
9. Bw. Robert Mtendamema * Mkurugenzi 12 3 25
* Hawa ni Wakurugenzi wapya walioanza kazi rasmi tarehe 8 Agosti 2018.

Bodi ya Wakurugenzi ina kamati tatu. Kamati ya ukaguzi, Udhibiti na ukubalifu, Kamati ya Mikopo na
kamati ya rasilimali watu. Kila kamati ina mwongozo wa kutekeleza majukumu yake.

Benki imedhamiria kujikita katika misingi ya kuendesha benki kwa kufuata misingi ya utawala bora
na Wakurugenzi wanatambua umuhimu na hitaji la kuendesha shughuli za benki kwa kufuata misingi
ya utendaji bora kupitia katika kamati zake kama ilivyoonyeshwa hapa chini.

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 27
Kamati ya ukaguzi, Udhibiti na Ukubalifu
Na. Jina Wadhifa Idadi ya Idadi ya miku- asilimia
mikutano tano aliyohud-
huria
1. Prof. Marcellina M. Chijoriga Mwenyekiti 10 10 100
2. Askofu Mkuu Beatus Kinyaiya Mjumbe 10 9 90
3. Bw. Marcellino X. Kayombo Mjumbe 10 10 100
4. Bi. Uphoo Swai * Mjumbe 10 3 30
* Mkurugenzi huyu alijiunga kwenye kamati hii tarehe 19 Septemba 2018.

Kamati ya Mikopo
Na Jina Wadhifa Idadi ya Idadi ya mikutano %
mikutano aliyohudhuria
1. Bw. Marcellino X. Kayombo Mwenyekiti 16 16 100
2. Askofu Mkuu Raymond Saba Mjumbe 16 15 94
3. Bw. Ayoub Mtafya Mjumbe 16 15 94
4. Bw. Robert Mtendamema * Mjumbe 16 5 31
* Mkurugenzi huyu alijiunga kwenye kamati hii tarehe 19 Septemba 2018.

Kamati ya Rasilimali watu


Na Jina Wadhifa Idadi ya Idadi ya mikutano %
mikutano aliyohudhuria
1 Bw. Ayoub Mtafya Mwenyekiti 4 4 100
2 Bw. Marcellino X. Kayombo Mjumbe 4 4 100
4. Padre Raymond Saba Mjumbe 4 4 100

10.5.7 MENEJIMENTI
Kwa kipindi cha mwaka 2018 Menejimenti ya benki ilikuwa chini ya Mkurugenzi Mtendaji
akisaidiwa na wafuatao: -
• Mkurugenzi wa Fedha na Utawala;
• Mkurugenzi wa Uendeshaji wa benki;
• Mkurugenzi wa Hazina;
• Mkurugenzi wa Mikopo;
• Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani;
• Mkurugenzi wa Teknohama;
• Mkurugenzi wa Huduma za Sheria (Katibu wa benki
• Meneja wa Udhibiti na Ukubalifu
• Meneja wa Rasilimali Watu
• Meneja wa Masoko na Ukuzaji wa Biashara

10.5.8 MAFANIKIO YA BENKI


Benki ilipata faida ya shilingi 1.41 bilioni kabla ya kodi kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Desemba 2018,
ikilinganishwa na faida ya shilingi bilioni 1.94 kabla ya kodi iliyoripotiwa mwaka 2017. Faida baada
ya kodi kwa mwaka 2018 ni shilingi million 806. Mwaka 2017 faida baada ya kodi ilikuwa ni shilingi
billioni 1.44.

Mkombozi Commercial Bank Plc


28 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
Maelezo zaidi ni kama yanavyoainishwa hapa chini: -
• Mikopo na karadha kwa wateja ilikuwa shilingi bilioni 99.04 ikilinganishwa na mikopo ya
shilingi bilioni 81.80 mwaka 2017.
• Amana zilifikia shilingi bilioni 136.47 ikilinganishwa na amana za shilingi bilioni 121.12 mwaka
2017.
• Rasilimali zilifikia shilingi bilioni 178.82 ikilinganishwa na rasilimali za shilingi bilioni 150.67 kwa
mwaka 2017.

Matawi ya benki
Benki ilikuwa na matawi nane hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2018. Matawi manne yapo Dar es
Salaam na manne yapo mikoani yaani Mwanza, Moshi, Bukoba na Morogoro. Idadi ya akaunti za
amana na mikopo ilikuwa kama ifuatavyo: -

Aina za Akaunti 2018 2017


Akaunti za hundi 2,374 1,827
Akaunti za amana 44,659 35,123
Akaunti za muda maalumu 677 589

Jumla ya akaunti 47,710 37,539


Akaunti za mikopo 12,413 13,141

10.5.9 GAWIO
Wakurugenzi wa Bodi wanapendekeza kutotolewa kwa gawio kwa mwaka ulioishia tarehe 31
Desemba, 2018.

10.5.10 MAFANIKIO KWA MWAKA


Benki lifanikiwa kuvipandisha hadhi vituo viwili vya fedha vya Morogoro na Tegeta kuwa matawi kamili, baada
ya kufanya marekebisho madogo, na kuruhusiwa na Benki Kuu.

10.5.11 MIPANGO YA MAENDELEO YA BAADAE


Benki itaendelea kufanya biashara ya benki na kujikita katika sekta ya biashara zilizopo katika uchumi
hasa katika kutoa mikopo na shughuli nyingine zinazoendana na kazi ya benki. Ili kukamilisha lengo
hilo, benki ina mpango wa kuongeza mtaji wa shilingi bilioni 15 ili kufikia mtaji uliolipwa kuwa ni
shilingi billioni 35.62, ambalo ni ongezeko la asilimia 73%.

10.5.12 RASILIMALI WATU


Benki ina wafanyakazi wa kutosha wenye uwezo na uzoefu wa kutosha katika nafasi zote muhimu.

10.5.13 VIHATARISHI
Kadiri benki inavyoendelea kukuza uendeshaji wake inahakikisha kwamba hali hatarishi inadhibitiwa
kwa mujibu wa sera na taratibu zote zilizowekwa. Shughuli za kibenki zinazoweza kuwekwa katika
hali hatarishi zinajumuisha shughuli za mikopo, hali ya ukwasi, athari za masoko na athari za kisera.
Masuala yote yahusuyo usimamizi wa hali hatarishi yameainishwa na Bodi ya Wakurugenzi kwenye
sera za benki ambazo zinatekelezwa na Menejimenti ya benki.

Sera hizi zinahusisha uchambuzi, uthamini, ukubalifu na usimamizi wa viwango vya hali hatarishi au
muunganiko wa hali hatarishi kwa ujumla wake.

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 29
10.5.14 UWIANO WA VIGEZO MUHIMU VYA UTENDAJI
Uwiano wa vigezo muhimu vya uendeshaji wa benki vinavyopima ufanisi wa huduma za
benki ulikuwa kama ifuatavyo:

Vigezo vya uwiano Maana na uchambuzi wake 2018 2017


Pato kutokana na mtaji Pato halisi/Mtaji wote 6% 8%
Pato litokanalo na rasilimali Pato halisi /Rasilimali zote 1% 1%
Uwiano wa gharama za Gharama za uendeshaji/pato halisi 80% 82%
Pato
Riba kwa rasilimali zinazozal- Jumla ya pato litokanalo na riba/(riba 11% 5%
isha
itokanayo na amana za Serikali +Salio
kwenye benki zingine + mikopo ya benki
+uwekezaji kwenye amana nyingine +
mikopo yote
Mapato yasiyotokana na Mapato yasiyotokana na riba /Mapato
riba kwa mapato yote Yote 12% 14%
Mapato kwa kila hisa Mapato halisi / idadi ya hisa zilizolipwa
39 69.99
Mikopo yote kwa wateja Mikopo yote kwa wateja wenye amana/
wenye amana Jumla ya amana 73% 62%
Mikopo isiyorejeshwa kwa Mikopo isiyorejeshwa /Mikopo yote na
mikopo yote Karadha 10% 7%
Rasilimali zinazozalisha Rasilimali zinazozalisha /Rasilimali zote
kwa rasilimali zote 85% 85%
Kukua kwa rasilimali zote Mwelekeo (jumla ya rasilimali za mwaka
2018– Jumla ya rasilimali za mwaka 2017 19% 18%
Kukua kwa mikopo na Mwelekeo (Jumla ya mikopo yote kwa 21% 11%
karadha kwa wateja wenye mwaka 2018 - Jumla ya mikopo yote kwa
amana mwaka 2017
Kukua kwa amana Mwelekeo (jumla ya amana zote kwa 13% 18%
mwaka 2018 – Jumla ya amana zote kwa
mwaka 2017)

Mkombozi Commercial Bank Plc


30 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
Vigezo vya uwiano Maana na uchambuzi wake 2018 2017
Mtaji
Mtaji timilifu ngazi ya 1 Rasilimali zilizohatarishi pamoja na taarifa
ya fedha nje ya mizania /Mtaji halisi 17.94% 21.77%
Mtaji timilifu ngazi ya 2 Rasilimali zilizohatarishi pamoja na taarifa
ya fedha nje ya mizania /(Mtaji halisi + Aki- 18.64% 22.54%
ba ya kisheria)

10.5.15 USIMAMIZI WA HALI HATARISHI NA UDHIBITI WA NDANI

Bodi ya Wakurugenzi inazingatia uwajibikaji wake wa mwisho wa kusimamia hali hatarishi na


kuhakikisha panakuwepo mfumo wa udhibiti wa ndani kwa ajili ya utendaji bora na kuhifadhi mali
za benki. Ni jukumu la Bodi kuhakikisha kuwa mifumo dhabiti na endelevu ya udhibiti wa fedha
na utendaji inatengenezwa, kuhakikiwa na kubadilishwa kila inapobidi ili kuhakikisha yafuatayo
yanatekelezwa: -

• Uendeshaji kwa ufanisi na tija wa shughuli za kibenki;


• Kulinda mali za benki;
• Kuzingatia sheria husika na taratibu za uendeshaji wa benki;
• Kuhakikisha usahihi wa vitabu vya hesabu na kumbukumbu za miamala ya fedha za benki;
• Kuhakikisha uendelevu wa shughuli za benki katika mazingira ama ya kawaida au hatarishi
; na
• Kuwa na tabia ya uwajibikaji kwa wadau wote wa benki.

Ufanisi wa mfumo wa udhibiti wa ndani unategemea utekelezaji halisi wa taratibu na kanuni


zilizowekwa. Mara nyingi kunakuwepo na uwezekano wa wafanyakazi kutozingatia taratibu
zilizowekwa. Hakuna mfumo wa udhibiti wa ndani unaoweza kuweka kinga kamilifu dhidi ya makosa
ya uhasibu au vitendo vya kusababisha hasara. Hata hivyo mfumo wa benki uliopo umetengenezwa
ili kuihakikishia Bodi kwa kiwango cha kuridhisha kuwa taratibu zilizopo zinazingatiwa kwa ufanisi.

Bodi imehakiki mfumo wa udhibiti wa ndani kwa kipindi chote cha mwaka ulioishia tarehe 31,
Desemba 2018, na ni maoni ya Bodi kuwa mfumo huo unakidhi mahitaji ya udhibiti kwa viwango vya
kuridhisha.

Bodi ya Wakurugenzi ndio yenye jukumu la kusimamia mifumo hatarishi na udhibiti wa ndani kupitia
Kamati zake.

10.5.16 MAMBO HATARISHI


Kwa maoni ya Wakurugenzi hapakuwepo na hali au kesi zozote zilizopo mahakamani ambazo
zingeathiri utendaji wa benki.

10.5.17 HALI YA UKWASI


Bodi ya Wakurugenzi inathibitisha kuwa benki ilifuata viwango vya uhasibu vinvyokubalika kimataifa
katika kuandaa taarifa zake za fedha na hesabu zimetengenezwa kwa mfumo endelevu. Bodi ya
Wakurugenzi ina mategemeo ya kuridhisha kuwa Benki ya Biashara Mkombozi ina mali na raslimali za
kutosha kuendelea kuwepo na kufanya shughuli zake katika siku za mbele na ina ukwasi wa kutosha.

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 31
10.5.18 USTAWI WA WAFANYAKAZI

Uhusiano baina ya menejimenti na wafanyakazi


Uhusiano kati ya wafanyakazi na menejimenti uliendelea kuwa mzuri. Malalamiko yote yanasuluhishwa
kutokana na mikutano na mazungumzo ya kawaida. Benki imeendelea kutoa mafunzo, huduma za
afya na mikopo kwa wafanyakazi wake. Katika kipindi hicho kulikuwa na utendaji wa pamoja kati ya
wafanyakazi na menejimenti.

Benki imeendelea kutoa haki kwa kila mtu katika kupata ajira, kupandishwa vyeo bila upendeleo.
Benki inahakikisha kuwa mtu yeyote mwenye sifa anapata au kupandishwa cheo bila kujali jinsia, hali
ya ndoa, kabila, dini au ulemavu unaomfanya asishindwe kufanya kazi.

Mafunzo kwa Wafanyakazi


Katika kipindi cha mwaka 2018, benki imetumia shilingi milioni 144.00 kwa mafunzo ya wafanyakazi
ikilinganishwa na shilingi milioni 180.79 kwa mwaka 2017. Mipango ya mafunzo ipo na inaendelea
kutengenezwa ili kuhakikisha wafanyakazi wameelimika vya kutosha katika ngazi zote.
Wafanyakazi walipata mafunzo ili kuongeza ujuzi wao na hivyo kuboresha utendaji wao wa kila siku.

Mikopo kwa wafanyakazi


Benki inatoa mikopo kwa wafanyakazi wake ili kujenga mazingiza bora ya kazi. Mikopo inayotolewa
kwa wafanyakazi inazingatia taratibu zilizopo na kwa muda maalum na hali halisi kama ilivyopitishwa
na Bodi ya Wakurugenzi. Hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2018, mikopo ya wafanyakazi ilikua
shilingi bilioni 5.16, ikilinganishwa na shilingi bilioni 1.83 iliyokuwepo mwishoni mwa mwaka 2017.

Tiba
Benki imekuwa ikiwalipia gharama za matibabu wafanyakazi wake na wategemezi wao wasiozidi
wanne kupitia huduma ya bima ya afya.

Mafao ya Wastaafu
Benki inachangia mafao stahili ya wafanyakazi wake kwenye mfuko wa NSSF. Wajibu wa benki ni
kumchangia kila mfanyakazi asilimia 10% ya mshahara ghafi kwenye Mfuko wa NSSF.

10.5.19 USAWA WA KIJINSIA


Benki inatoa fursa sawa za ajira na kuhakikisha hakuna ubaguzi wa jinsia katika ajira. Hadi kufikia
tarehe 31 Desemba 2018 benki ilikuwa na mgawanyo wa wafanyakazi kijinsia kama ifuatavyo: -

Jinsia 2018 2017


Wanawake 57 58
Wanaume 77 76
Jumla 134 134

Mkombozi Commercial Bank Plc


32 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
10.5.20 MIAMALA YA WANAOHUSIANA NA BENKI
Biashara zote zilizofanywa na watu wa karibu na wenye mahusiano ya karibu na benki zimeonyeshwa
kwenye kielelezo namba 31 kwenye taarifa ya fedha. Biashara hizo zilifanyika katika misingi dhabiti
ya kibiashara.

10.5.21 MISAADA YA KISIASA


Benki haikutoa mchango wowote kwa vyama vya siasa kwa mwaka 2018. Pia haikutoa mchango
wowote kwa vyama vya siasa mwaka 2017.

10.5.22 MAHUSIANO YA BENKI NA WADAU WENGINE


Benki iliendelea kuwa na uhusiano mzuri na wadau mbalimbali wakiwemo wasimamizi wa shughuli
za kibenki.

10.5.23 UWAJIBIKAJI WA BENKI KWENYE JAMII


Benki ilishiriki vizuri kwenye shughuli za kijamii na programu za maendeleo nchini. Katika kipindi
cha mwaka 2018 benki ilishiriki kuhudhuria na kutoa michango ya jumla ya shilingi millioni 29.43
ikilinganishwa na shilingi milioni 23.59 mwaka 2017. Benki ilitoa hisani kwa kutoa mchango wa
ununuzi wa vifaa vya shule, kuchangia ada za shule, vifaa vya hospitali, michango kwa taasisi mbali
mbali za kanisa, michango ya kununulia vibanda vya askari wa usalama barabarani, na kushiriki
kwenye uchangiaji damu.

10.5.24 MKAGUZI WA NJE WA HESABU ZA BENKI


Ernst & Young walikuwa ni wakaguzi wa hesabu za benki kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Desemba,
2018. Uamuzi wa pendekezo la uteuzi wa mkaguzi wa nje wa benki kwa mwaka 2018 ulikwishafanyika
na Wanahisa kwenye Mkutano Mkuu wa Nane ambao uliadhimia kwamba Ernst & Young waendelee
kuwa wakaguzi wa hesabu za benki kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2016 hadi 2018
na baada ya hapo waingie kwenye mchakato wa ushindani na kampuni zingine kwa ajili ukaguzi wa
hesabu kuanzia mwaka 2019.

KWA IDHINI YA BODI YA WAKURUGENZI

Prof. Marcellina Mvula Chijoriga - Kaimu Mwenyekiti Tarehe

Bi. Uphoo Swai - Mkurugenzi Tarehe

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 33
Sheria ya Makampuni Na.12 ya 2002 inawataka Wakurugenzi kutayarisha taarifa za hesabu za kila
mwaka zinazoelezea hali halisi ya benki kifedha na usahihi wa faida au hasara. Sheria hiyo inawataka
Wakurugenzi kuhakikisha kwamba benki inaweka vema taarifa zake zote za kifedha kwa ajili ya
kutoa taarifa sahihi na ya kuridhisha juu ya hali ya fedha ya benki. Wakurugenzi pia wana wajibu
wa kuhakikisha panakuwepo taratibu na kanuni za kulinda mali za Benki. Wakurugenzi wanakubali
kuwa ni wajibu wao kutoa taarifa za hesabu za mwaka, ambazo zimeandaliwa kwa kuzingatia sera
zilizokubalika za hesabu zinazohitaji maamuzi yenye busara katika makadirio kwa kuzingatia viwango
vya kimataifa vya uandaaji wa taarifa za aina hiyo (Internationa Financial Reporting Standards); na
kwa mujibu wa Sheria za Makampuni ya mwaka 2002 na ile ya Benki na Taasisi za Kifedha ya mwaka
2006. Ni maoni ya wakurugenzi kuwa taarifa za fedha zinaelezea hali halisi ya kifedha ya benki na
faida iliyoipata kama zilivyotengenezwa kwa mujibu wa viwango vya kimataifa za uhasibu (IFRS).

Wakurugenzi pia wanakubali kuwa ni wajibu wao kuhakikisha kwamba uwekaji wa hesabu za
uhasibu unakuwa sahihi na unaaminika kwa ajili ya maandalizi ya taarifa za hesabu na pia kuwapo
kwa mifumo sahihi ya udhibiti wa ndani ili kuhakikisha uhifadhi wa mali za benki.

Wakurugenzi wanathibitisha kwamba hakuna tukio lolote wanalolifahamu ambalo lingeweza


kusababisha benki kutoendelea kuwepo na kufanya shughuli zake katika kipindi cha miezi 12 ijayo
kutoka tarehe ya taarifa hii.

Prof. Marcellina Mvula Chijoriga - Kaimu Mwenyekiti Tarehe

Bi. Uphoo Swai - Mkurugenzi Tarehe

Mkombozi Commercial Bank Plc


34 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
Kwa mujibu wa sheria ya Uhasibu na Ukaguzi namba 33 ya mwaka 1972 kama ilivyobadilishwa na sheria
namba 2 ya mwaka 1995 inazitaka taarifa za fedha ziambatane na tamko la mkuu wa kitengo cha fedha
aliyehusika kuziandaa taarifa hizo kwenye kampuni husika.

Ni wajibu wa wahasibu kuisaidia Bodi ya Wakurugenzi kutekeleza wajibu wa maandalizi ya taarifa ya fedha ya
kampuni inayoonyesha ukweli na uwazi wa ufanisi wa kifedha kuendana na kanuni za kimataifa za hesabu
na sheria ya makampuni ya Tanzania ya mwaka 2002. Uwajibikaji wowote ule wa kisheria unaotokana na
maandalizi ya taarifa hizi unabaki kuwa ni wa Bodi ya Wakurugenzi kama ilivyoanishwa hapo juu.

Mimi Dennis Frank Kejo nikiwa Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Benki ya Biashara Mkombozi nakiri
kuwajibika kwa kuhakikisha kwamba taarifa ya fedha kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Disemba, 2018
imeandaliwa kuendana na kanuni za kimataifa za hesabu na sheria ya makampuni ya Tanzania ya
mwaka 2002.

Kwa hiyo nathibitisha kwamba taarifa hii ya fedha ni sahihi na inatoa uhalisia wa matokeo ya mtiriko wa fedha
kwa benki ya biashara ya Mkombozi kwa kipindi cha mwaka na tarehe iliyotajwa hapo juu na kwamba taarifa
hii iliandaliwa kutokana na nyaraka halisi za fedha zilizopo benki.

Imesainiwa na: ____________________

Wadhifa: Mkurugenzi wa Utawala na Fedha

Namba ya Bodi ya Uhasibu ni ACPA 2139

Tarehe: _________________________

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 35
AJENDA NAMBA 10.6
TAARIFA YA MKAGUZI WA NJE WA HESABU KWA MWAKA ULIOISHIA DESEMBA 31,
2018

Maoni ya Mkaguzi.
Tumekagua taarifa za hesabu za Benki ya Biashara Mkombozi, inayojumuisha mizania hadi kufikia
tarehe 31 Desemba, 2018, na pia taarifa za kina za mapato, taarifa ya mabadiliko katika suala la hisa
zisizo na riba ya kudumu na taarifa ya mtiririko wa mwaka huo na pia kiasi cha kutosha cha muhtasari
wa sera na maelekezo mengine ya kifedha ya mwaka uliopita.

Kwa maoni yetu taarifa za fedha zilizoandaliwa na kukaguliwa zinatoa hali halisi ya kifedha ya benki
kufikia tarehe 31 Desemba 2018; na vivyo hivyo mwenendo wake umezingatia kanuni za kimataifa
za hesabu, sheria ya makampuni ya Tanzania ya mwaka 2002 na sheria ya benki na taasisi za fedha
ya mwaka 2006.

Msingi wa maoni ya Mkaguzi.


Tulifanya ukaguzi kwa kuzingatia viwango vilivyowekwa vya kimataifa. Viwango hivyo vinatutaka sisi
kufuata kanuni zinazotakiwa na kuandaa mpango wa kufanya ukaguzi ili kujiridhisha kama taarifa
hizo za fedha hazina mawaa yanayoweza kuzuia ukweli wa ukaguzi.
Tunaamini kwamba matokeo ya ukaguzi tuliofanya ni timilifu na yanakidhi kutuwezesha kutoa maoni.

Taarifa ya masuala ya kisheria na kanuni za kufuata


Taarifa hii pamoja na maoni imeandaliwa kwa ajili ya wanahisa wa benki kwa mujibu wa sheria ya
makampuni ya mwaka 2002; sheria ya benki na taasisi za fedha ya mwaka 2006. Kwa mujibu wa
Sheria ya Kampuni ya mwaka 2002 Sheria namba 12 ya mwaka 2002 tunatakiwa pia kutoa taarifa
kama taarifa ya Wakurugenzi haiwiani na taarifa ya fedha.
Tumepata taarifa zote na maelezo ambayo yalikuwa ni muhimu kwa ajili ya ukaguzi wetu.
Kwa maoni yetu taarifa ya Wakurugenzi wa Bodi inawiana na taarifa ya fedha. Kutokana na hayo
hatuna kitu kingine cha kutolea taarifa.

Ernst & Young


Wahasibu waliothibitishwa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu
Dar es Salaam

Imesainiwa na: Neema Kiure Mssusa (Mbia) _________________

Tarehe: ______________________

Mkombozi Commercial Bank Plc


36 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
TAARIFA YA MAPATO AU HASARA PAMOJA NA MAPATO MENGINEYO KWA MWAKA ULIOISHIA
TAREHE 31 DESEMBA, 2018

Vielelezo 2018 2017


TZS ‘000 TZS ‘000

Mapato yatokanayo na riba 6 23,770,463 19,451,671


Gharama ya riba 7 (7,512,284) (6,527,158)
Mapato halisi ya riba 16,258,179 12,924,513

Mikopo chechefu 8 (2,480,560) (333,436)


Uchechefu wa rasilimali za fedha za benki 8 (11,501) (617,000)
Mapato halisi baada ya kutoa mikopo chechefu 13,766,118 11,974,077

Ada, kamisheni na mapato yasiyo ya riba 9 2,721,134 2,426,011

Mapato kutokana na mabadiliko ya fedha za kigeni 10 447,403 383,407


Mapato mengine yasiyotokana na riba - -

Jumla ya Mapato yasiyotokana na riba 3,168,537 2,809,418

Gharama za uendeshaji
Gharama za wafanyakazi 11 (7,013,098) (5,719,714)
Gharama za pango 12 (1,356,973) (1,149,451)
Gharama za uendeshaji ofisi 13 (7,154,105) (5,969,581)
Jumla ya gharama za uendeshaji (15,524,176) (12,838,746)
Faida kabla ya kodi 1,410,479 1,944,749
Gharama ya kodi 14 (604,434) (501,849)
Faida kwa mwaka 806,045 1,442,900
Mapato mengine - -

Faida yote kwa ujumla kwa mwaka 806,045 1,442,900

Pato kwa kila hisa (TZS) 30 39 70


Pato zimulifu kwa kila hisa (TZS) 39 70

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 37
Vielelezo 2018 2017
TZS’000 TZS’000
Rasilimali
Fedha na salio Benki Kuu ya Tanzania 15 17,478,962 15,139,783
Mikopo na karadha kwenye benki nyingine 16 24,942,547 31,353,194
Dhamana za Serikali 17 27,793,299 15,516,614
Dhamana za Makampuni 18 2,002,255 -
Mikopo na karadha kwa wateja 19 99,035,944 81,805,635
Uwekezaji 20 539,000 39,000
Mali na vifaa 21 3,844,610 3,334,353
Mali zisizoshikika 22 869,146 572,156
Malipo ya kodi 14 78,939 454,636
Mali nyingine 24 1,094,422 1,709,675
Malipo ya kodi yaliyoahirishwa 23 1,144,631 748,838
Mali zote 178,823,755 150,673,884

Madeni
Amana kutoka benki mbalimbali 25.1 13,869,813 3,313,720
Amana toka kwa wateja 25.2 136,466,747 121,121,559
Mikopo chechefu 26 437,886 291,136
Madeni mengine 27 4,743,329 2,149,517

Jumla ya Madeni 155,517,775 126,875,932

Mtaji
Mtaji uliokwishalipwa 28 20,615,272 20,615,272
Mtaji usiosajiliwa 11,455 -
Akiba ya kisheria 780,919 721,166
Uhamisho wa jumla katika mikopo misafi 1,898,334 2,461,513
Jumla ya Mtaji 23,305,980 23,797,951

Jumla ya madeni na mtaji 178,823,755 150,673,883

Taarifa hii ya fedha ilipitishwa na Bodi ya Wakurugenzi tarehe 30 Machi 2019 na kusainiwa kwa niaba yao
na: -

Prof. Marcellina M. Chijoriga – Kaimu Mwenyekiti Date

Bi. Uphoo Swai - Mkurugenzi Date

Mkombozi Commercial Bank Plc


38 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
Mtaji Mtaji Faida / Hasara *Uhamisho Uhamisho Jumla
Usiosajiliwa Iliyilimbikizwa wa jumla toka akiba ya
katika kisheria
mikopo
misafi
TZS’ 000 TZS’ 000 TZS’ 000 TZS’ 000 TZS’ 000 TZS’ 000

Kuanzia 1 Januari 2018 20,615,272 - 2,461,513 721,166 - 23,797,951

Mkombozi Commercial Bank Plc


Matokeo ya utekelezaji wa kanuni
(1,113,806) (1,113,806)
namba 9 ya IFRS

Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa


Kodi inayohusiana na utekelezaji wa
331,898 331,898
kanuni namba 9 ya IFRS
Kuanzia 1 Januari 2018 20,615,272 - 1,679,605 721,166 - 23,016,043

Faida na mapato yote kwa mwaka 806,045 806,045


Hamisho kutoka kwenye akiba ya
(11,455) - 11,455 -
kisheria**
Uhamisho wa jumla kutoka mikopo
(59,753) 59,753 -
misafi*
Biashara na wamiliki:
Malipo ya gawio (516,108) - - (516,108)
Hadi 31 Desemba 2018 20,615,272 - 1,898,334 780,919 11,455 23,305,979

Tarehe 1 Januari 2018 20,615,272 - 568,595 654,500 928,989 22,767,356


Faida na mapato yote kwa mwaka 1,442,901 - 1,442,901
Hamisho kutoka kwenye akiba ya
928,989 - (928,989) -
kisheria **
Uhamisho wa jumla kutoka
(66,666) 66,666 -
mikopo misafi*
Biashara na wamiliki:
Malipo ya gawio - - (412,305) (412,305)

39
Hadi 31 Desemba 2018 20,615,272 - 2,461,513 721,166 - 23,797,951
Vielelezo 2018 2017
TZS’000’ TZS’000’

Faida kabla ya kodi 1,410,479 1,944,749


Marekebisho:
Uchakavu wa mali na vifaa 21 1,201,812 985,382
Uchakavu wa mifumo 22 151,843 164,069
Ongezeko la tengo 146,750 49,500
Ongezeko/Punguzo la mikopo chechefu 19 2,480,560 333,436
Mtiririko wa fedha kutokana na faida kabla ya mabadiliko ya mtaji 5,391,444 3,477,136

Mabadiliko ya utendaji wa mali na madeni:


Badiliko halisi kwenye akiba ya chini kisheria (1,279,356) 989,332
Badiliko halisi kwenye mikopo na karadha (19,710,869) (7,998,568)
Badiliko halisi kwenye mali nyingine 615,255 (532,517)
Badiliko halisi kwenye amana toka benki zingine 10,556,092 2,882,353
Badiliko halisi kwenye amana za wateja 15,345,188 18,565,154
Badiliko halisi kwenye madeni mengine 2,293,812 (39,677)
Badiliko halisi kwenye uwekezaji katika benki zinazoiva ndani ya
miezi mitatu
(690,131) (375,893)
Fedha iliyozalishwa kutokana na biashara 12,821,439 16,967,320

Kodi iliyolipwa 14 (716,305) (308,072)

Fedha halisi kutokana na biashara 12,105,133 16,659,248


Mtiririko wa fedha kutokana na uwekezaji
Uwekezaji kwenye makampuni (500,000) -
Dhamana za Makampuni (2,002,255) -
Ununuzi wa mali na vifaa 21 (1,712,069) (1,284,560)
Ununuzi wa mali zisizoshikika 22 (448,834) (92,470)
Uwekezaji kwenye dhamana za Serikali (12,276,686) (2,791,014)
Fedha halisi iliyotumika katika uwekezaji (16,939,847) (4,168,044)
Mtiririko wa fedha kutokana na shughuli za
kifedha
Malipo ya Gawio (516,108) (340,030)
Hamisho kwenye mtaji - -
Fedha halisi kutokana na mtiririko wa fedha (516,108) (340,030)

(Punguzo)/ongezeko katika fedha na vitu (5,350,822) 12,151,174


vinavyofanana na fedha
Fedha na vitu vinavyofanana na fedha 38,354,168 26,202,994
mwanzani mwa mwaka
Fedha na vitu vinavyofanana na fedha 29 33,003,346 38,354,168
mwishoni mwa mwaka

Mkombozi Commercial Bank Plc


40 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
VIELELEZO Vielelezo namba 1 hadi 5 vinavyohusu sera za uhasibu na taratibu za kuandaa tarifa
za fedha kulingana na viwango vya kimataifa (International Financial Reporting Standards)
haviijaambatanishwa kwenye taarifa hii, lakini vipo kwenye taarifa ya mkaguzi wa fedha kwa mwaka
ulioishia tarehe 31 Desemba 2018.

6. MAPATO YATOKANAYO NA RIBA 2018 2017

Mikopo na karadha 19,654,625 16,007,895


Uwekezaji katika benki nyingine 1,354,234 1,610,287
Dhamana za Serikali 2,761,604 1,833,489

23,770,463 19,451,671

7. GHARAMA YA RIBA

Amana za muda maalumu 6,026,925 5,965,006


Amana za akiba 928,739 546,046
Mikopo ya benki 556,620 16,106
Mikopo ya benki 7,512,284 6,527,158

8. MIKOPO CHECHEFU

Ongezeko la mikopo chechefu (kielele na: 19) 2,480,560 333,436


Pato litokanalo na mikopo iliyofutwa 11,501 617,000
2,492,061 950,436

9. ADA KAMISHENI NA MAPATO MENGINE

Ada za mikopo 1,634,168 1,619,677


Gharama za huduma 279,862 294,463
Kamisheni ya kutoa fedha 142,840 154,845
Kamisheni ya utumaji fedha kwa njia ya Western Union 16,784 8,586
Kamisheni ya utumaji fedha 41,209 38,015
Kamisheni ya kutoa fedha kwenye mashine za ATM 44,459 48,258

Ada na kamisheni nyingine kutokana na shughuli za 561,812 262,168


Benki
2,721,134 2,426,011

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 41
10. FAIDA ITOKANAYO NA KUTHAMINISHA FEDHA ZA 490,762 383,407
KIGENI
Faida itokanayo na biashara ya fedha za kigeni

Hasara itokanayo na biashara ya fedha za kigeni

11. GHARAMA ZA WAFANYAKAZI

Ujira na mishahara 4,983,281 3,987,438


Malipo ya mfuko wa Jamii 498,227 394,521
Gharama nyingine 1,531,590 1,337,755
7,013,098 5,719,714

12. GHARAMA ZA PANGO 2018 2017


TZS’000 TZS’000
Ulipaji kidogo kidogo wa pango la benki 1,205,130 829,147
Ulipaji kidogo kidogo wa mali zisizoshikika 151,843 164,069
1,356,973 1,150,451
13. GHARAMA ZA UENDESHAJI NA UTAWALA
Malipo ya wakaguzi wa hesabu 70,000 108,966
Ada nyingine za kitaalam 183,947 67,045
Malipo kwa wakurugenzi 72,869 10,538
Mawasiliano 392,110 569,796
Usafiri na malazi 371,623 186,511
Ada ya Serikali za Mitaa 90,433 115,818
Matengenezo ya Teknohama 266,897 244,810
Kodi ya mashine za kutolea fedha 272,005 361,742
Gharama za pango 1,260,749 1,188,725
Matengenezo ya gari 31,215 26,072
Bima 218,396 164,604
Utangazaji na utafutaji masoko 612,102 539,573
Mafunzo 144,005 180,795
Ulinzi 250,689 238,246
Ada za fedha 311,842 53,014
Uchapaji na viandikia 383,690 278,671
Marekebisho na matengenezo ya vifaa vya ofisi 354,844 437,750
Kodi ya forodha kwenye ada na kamisheni 280,390 119,892
Gharama nyingine za uendeshaji 1,586,299 1,077,010
7,154,105 5,969,581

Mkombozi Commercial Bank Plc


42 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
Gharama nyingine za uendeshaji zinajumuisha gharama za ofisi, utangazani, utoaji wa hisani na gharama
ndogondogo.

14 GHARAMA YA KODI
a.) Kodi kwa mwaka imekokotolewa kama ifuatavyo: -
Kodi ya mapato ya sasa – kipindi cha sasa 668,329 581,760
Kodi iliyoahirishwa – kipindi cha sasa (63,895) (79,911)

604,434 501,849

GHARAMA YA KODI
Kodi kutokana na faida ya benki inatofautiana kutoka kwenye 2018 2017
kiwango ambacho kingepatikana kwa kutumia asilimia kama
ifuatavyo:
2016 2015
TZS’000 TZS’000

Faida kabla ya kodi 1,410,479 1,944,749

Kodi imepatikana kwa asilimia 30% (2017: 30%) 423,144 581,761


Matokeo ya kodi
Matumizi yasiyoruhusiwa 170,774 (76,427)
Marekebisho mengine 10,516 3,485
604,434 501,849
(b) Kodi inayopashwa kulipwa

Mwanzoni mwa Januari (454,636) (733,325)


Malipo yaliyofanyika ndani ya mwaka (716,305) (308,072)
Kiwango kilichotumika kuondoa kodi 423,674 -
Makato ya kodi toka kwenye faida 668,329 581,761
Mwishoni mwa mwaka (78,938) (454,636)

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 43
15. FEDHA TASLIMU NA SALIO KWENYE BENKI KUU YA 2018 2017
TANZANIA
TZS’000’ TZS’000’

Fedha taslimu iliyopo 5,833,369 4,949,989


Akaunti ya malipo 2,227,430 2,050,986
9,418,164 8,138,808
Akiba ya kima cha chini kisheria (SMR)
17,478,962 15,139,783

Akiba ya kima cha chini kisheria haitakiwi kutumika kwenye shughuli za benki za kila siku na wala
haijumuishwi na fedha taslimu na thamani iliyo sawa kwa madhumuni ya uandaaji wa taarifa ya
mtiririko wa fedha taslimu (angalia kielelezo 29).

16. MIKOPO NA KARADHA KWENYE BENKI NYINGINE 2018 2017


TZS’000’ TZS’000’

Salio kwenye benki nyingine 9,000,530 6,264,204


Hundi zilizo katika mchakato wa kukusanywa 37,235 (55,054)
Uwekezaji katika benki nyingine 15,904,782 25,144,044
24,942,547 31,353,194

Mkombozi Commercial Bank Plc


44 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
Jedwali lifuatalo linaonyesha ubora wa mikopo pamoja na kiwango kilicho uhatarishi kwenye mikopo kulingana na uwiano wa ndani kwa vipindi tofauti
hadi kufika mwishoni mwa mwaka.
Maelezo zaidi yanapatikana kwenye kielelezo namba 3 na unyambulifu wa sera unaokokotoa hesabu unapatikana kwenye kielelezo namba 2.

2018 2017

Mkombozi Commercial Bank Plc


Daraja la kwanza Daraja la pili Daraja la tatu Jumla jumla

Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa


Unyambulisho wa viwango vya ndani
Mikopo inayofanya vizuri:
Mikopo misafi 24,942,547 - - 24,942,547 31,353,194
Mikopo iliyocheleweshwa kulipwa - - - - -
- - - - -
Mikopo isiyolipika vizuri: - -
Mikopo inayolipwa chini ya kiwango - - - - -
Mikopo yenye wasiwasi wa kutolipika - - - - -
Mikopo isiyolipika - - - - -
Jumla 24,942,547 - - 24,942,547 31,353,194

45
Mchanganuo ufuatao unaonyesha viwango vilivyochambuliwa kuonyesha hasara inayotarajiwa kuhusiana na mikopo na karadha.

46
Daraja la Daraja
Maelezo Daraja la pili Jumla
kwanza la tatu
Mikopo hadi 1 Januari 2018 24,942,547 - - 24,942,547
Mikopo mipya - - - -
Mikopo isiyotanbulika au iliyilipwa (ukiondoa iliyofutwa) - - - -
Uhamisho kwenda daraja la kwanza - - - -
Uhamisho kwenda daraja la pili - - - -
Uhamisho kwenda daraja la tatu - - - -
Mikopo iliyofutwa - - - -
Hadi 31 Desemba 2018 24,942,547 - - 24,942,547

Daraja la Daraja la
Maelezo Daraja la pili Jumla
kwanza tatu
Matarajio ya hasara itokanayo na mikopo: hadi 1 Januari
2018 11,501 - - 11,501
Mikopo mipya - - - -
Mikopo isiyotanbulika au iliyilipwa (ukiondoa iliyofutwa) - - - -
Uhamisho kwenda daraja la kwanza - - - -
Uhamisho kwenda daraja la pili - - - -
Uhamisho kwenda daraja la tatu - - - -
Matokeo ya Matarajio ya hasara itokanayo na mikopo hadi
mwisho wa mwaka - - - -
Makusanyo - - - -
Hadi 31 Desemba 2018 11,501 - - 11,501

Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa


Mkombozi Commercial Bank Plc
17. DHAMANA ZA SERIKALI ZINAZOKARIBIA KUIVA 2018 2017
TZS’000’ TZS’000’

Dhamana zinazotarajiwa kuiva ndani ya miezi mitatu 7,122,063 -


Dhamana zinazotarajiwa kuiva baada ya miezi mitatu 20,671,236 15,516,614

27,793,299 15,516,614
18. Dhamana za Makampuni - TMRC

Dhamana zinazoiva ndani ya miezi mitatu - -


Dhamana zinazoiva baada ya miezi mitatu na zaidi 2,002,255 -
-
Jumla 2,002,255 -

19. MIKOPO NA KARADHA KWA WATEJA

Mchanganuo wa mikopo kwa watu binafsi


Mikopo ya biashara 79,285,450 67,451,420
Mikopo binafsi 3,674,199 4,127,930
Mikopo ya mishahara 13,804,766 10,583,137
Karadha kwa wafanyakazi 106,613 145,845
Pato la riba 7,380,886 2,915,336

Jumla ya mikopo yote kwa wateja 104,251,914 85,223,668


Punguzo:
Kiwango cha mikopo chechefu (5,215,969) (3,418,033)
99,035,944 81,805,635

Mchanganuo wa kuiva kwa mikopo


Ndani ya miezi mitatu au chini ya hapo 11,680,295 9,207,946
Ndani ya miezi mitatu au mwaka moja 11,442,010 14,048,078
Zaidi ya mwaka moja 75,913,639 61,967,643
99,035,944 85,223,667

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 47
Mchanganuo wa mikopo inayochelewa kulipwa kwa sekta ni kama ifuatavyo:

48
2018 2017
TZS’000’ TZS’000’
Uhalisia Kiwango Jumla Uhalisia Kiwango Jumla

Hadi 1 Januari (2,931,283) (478,749) (3,418,032) (4,150,139) (450,071) (4,600,210)


Marekebisho kutokana na kanuni namba 9 ya (1,106,326) - (1,106,326) - - -
IFRS.
Mikopo Chechefu (2,469,058) - (2,480,560) (296,758) (36,678) (333,436)
Mikopo iliyofutwa 1,788,949 - 1,788,949 1,515,613 - 1,515,613

Hadi 31 Desemba 1,982,309 (478,749) (5,215,969) (2,931,283) (486,749) (3,418,032)

Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa


Mkombozi Commercial Bank Plc
Jedwali lifuatalo linaonyesha ubora wa mikopo pamoja na kiwango kilicho uhatarishi kwenye mikopo kulingana na uwiano wa ndani kwa vipindi tofauti hadi kufika
mwishoni mwa mwaka.
Maelezo zaidi yanapatikana kwenye kielelezo namba 3 na unyambulifu wa sera unaokokotoa hesabu unapatikana kwenye kielelezo namba 2.
2018 2017
Daraja la kwanza Daraja la pili
Unyambulisho wa viwango vya ndani Watu binafsi Watu binafsi Daraja la tatu Jumla Jumla
Mikopo inayofanya vizuri:

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mikopo misafi 78,091,913 - - 78,091,913 71,584,479

Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa


Mikopo iliyocheleweshwa kulipwa - 8,627,105 - 6,707,635 5,524,991
Mikopo isiyolipika vizuri: -
Mikopo inayolipwa chini ya kiwango - - 4,468,652 4,468,652 1,091,584
Mikopo yenye wasiwasi wa kutolipika - - 3,783,500 3,783,500 1,225,225
Mikopo isiyolipika - - 2,145,304 2,145,304 3,763,926
Jumla 78,091,913 8,627,105 10,397,456 99,035,944 83,190,205

Mchanganuo ufuatao unaonyesha viwango vilivyochambuliwa kuonyesha hasara inayotarajiwa kuhusiana na mikopo na karadha.
Daraja la kwan-
Daraja la pili
za Daraja la tatu Jumla
Watu binafsi
Watu binafsi
Mikopo hadi 1 Januari 2018 37,242,643 40,188,346 5,759,215 83,190,205
Mikopo mipya 21,208,206 1,373,947 (315,122) 22,267,031
Mikopo isiyotanbulika au iliyilipwa (ukiondoa iliyofutwa) - - - -
Uhamisho kwenda daraja la kwanza - - - -
Uhamisho kwenda daraja la pili - - - -
Mikopo iliyofutwa - - - -
Marekebisho kwenye biashara ya fedha za kigeni 670,431 (1,453,744) (422,009) (1,205,323)
Hadi 31 Desemba 2018 50,566,946 40,108,549 5,022,084 104,251,913

49
19. MIKOPO NA KARADHA KWA WATEJA (INAENDELEA)

50
Daraja la kwanza Daraja la pili Daraja la tatu Jumla
Watu binafsi Watu binafsi

Matarajio ya hasara itokanayo na mikopo: hadi 1 Januari


609,147 975,290 2,939,922 4,524,359
2018
Mikopo mipya 277,109 651,384 63,388 991,881
Mikopo isiyotanbulika au iliyilipwa (ukiondoa iliyofutwa) (339,073) (148,967) (1,048,173) (1,536,213)
Uhamisho kwenda daraja la kwanza - - - -
Uhamisho kwenda daraja la pili - - - -
Uhamisho kwenda daraja la tatu - - - -
Mabadiliko kutokana na viwango vihatarishi 232,605 (444,549) 3,115,630 2,903,686
Mikopo iliyofutwa - (4,982) (1,783,967) (1,788,949)
Marekebisho kwenye biashara ya fedha za kigeni (135,191) 145,985 110,412 121,206
Hadi 31 Desemba 2018 644,597 1,174,161 3,397,212 5,215,970

Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa


Mkombozi Commercial Bank Plc
19 MIKOPO NA KARADHA KWA WATEJA (INAENDELEA)

Mikopo ya watu Mikopo ya


Mikopo ya biashara
binafsi mishahara Jumla
Hadi 1 Januar1 2017 2,005,298.25 645,648.27 2,120,058.29 4,771,004.81
Ogezeko la mikopo mibaya (170,794.81) (170,794.81)

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mikopo iliyoingizwa kwenye hasara kwa mwaka 140,146.29 45,123.07 148,166.64 333,436.00

Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa


Makusanyo -
Mikopo iliyofutwa (637,026.42) (205,104.16) (673,482.43) (1,515,613.00)
Hadi 31 Desemba 2017 1,337,623.31 485,667.18 1,594,742.51 3,418,033.00

Iliyotokana na: -
Watu binafsi 1,337,623.31 485,667.18 1,594,742.51 3,418,033
Inayojumuisha watu binafsi na biashara - - - -
Jumla 1,337,623.31 485,667.18 1,594,742.51 3,418,033

Jumla ya mikopo banafsi inayotarajiwa kuingizwa


6,209,182 1,039,449 4,357,095 11,605,726
kwenye hasara

51
19. MIKOPO NA KARADHA KWA WATEJA (INAENDELEA

52
Jedwali lifuatalo linaonyesha kiwango cha matarajio ya hasara kwenye mali za kifedha kwa mwaka ziliziainishwa kwenye waraka wa mapato ya benki.

Daraja la Daraja la Daraja la


kwanza kwanza Daraja la pili Daraja la pili tatu Jumla
Yote kwa Yote kwa
Watu binafsi ujumla Watu binafsi ujumla    
Hadi 31 Desemba 2018:
Mikopo na karadha kwa benki 11,501   -   -    -    -  11,501
Mikopo na karadha kwa wateja 779,788   604,433   3,806,059   -   -  5,215,969
Dhamana za Serikali -    -    -    -    -  -
Uwekezaji kwenye Kampuni -    -    -    -    -  -
Ahadi za mikopo -    -    -    -    -  -
Jumla ya hasara tarajiwa 791,289 604,433 3,806,059 - - 5,201,782

Yote kwa ujumla (kwa Yote kwa ujumla (ambayo


Hadi 31 Desemba 2017: Timilifu Jumla
kiwango cha kawaida) haijatambulika)

Mikopo na karadha kwa benki 7,480 - 7,480


Mikopo na karadha kwa wateja 2,931,283 - 486,749 3,418,032
Jumla kwenye mizania 2,938,763 - 486,749 3,425,512
Iliyopo nje ya mizania - - - -
2,938,763 - 486,749 3,425,512

Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa


Mkombozi Commercial Bank Plc
20. UWEKEZAJI KWENYE KAMPUNI 2018 2017
TZS’000’ TZS’000’

TMRC 500,000 -
Umoja Switch Co. Ltd 39,000 39,000
539,000 39,000

Mwaka 2014 benki ilinunua hisa za kawaida kwenye kampuni ya Umoja Switch ikiwa ni moja kati
ya waanzilishi wa kampuni hiyo. Wakurugenzi wanatoa maoni kwamba thamani ya uwekezaji huo
kwenye hesabu za benki zinaonyesha thamani iliyo sawa. Mwaka 2017 Umojaswitch Co. Ltd ililipa
gawio kwa njia ya kuongeza hisa na benki ilipata shilingi milioni 19.

Mwaka 2018 benki ilinunua hisa 308,261 za kampuni ya TMRC kwa shilingi milioni 500.

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 53
21. MALI NA VIFAA

54
Mwaka ulioishia tarehe 31 Desemba 2018 Mashine na Samani komputa Magari Uboreshwaji Uboreshaji Jumla
vifaa na vifaa vya wa pango wa pango
tecknohama unaoendelea
Gharama
Hadi tarehe 1 Januari 2017 1,014,986 1,201,694 1,440,775 143,139 2,295,765 - 6,096,359
Ongezeko 308,264 62,139 432,754 - 481,403 - 1,284,560
Hadi tarehe 31 Desemba, 2017 1,323,250 1,263,833 1,873,529 143,139 2,777,168 - 7,380,919

Ongezeko 310,271 244,236 473,440 - 89,307 594,814 1,712,069


Hadi tarehe 31 Desemba, 2018 1,633,522 1,508,069 2,346,969 143,139 2,866,475 594,814 9,092,987

Uchakavu
Hadi tarehe 1 Januari 2017 274,101 351,302 840,724 50,695 1,544,361 - 3,061,183
Badiliko kwa mwaka 138,465 149,286 340,542 35,785 321,304 - 985,382

Hadi tarehe 31 Desemba, 2017 412,566 500,588 1,181,266 86,480 1,865,665 - 4,046,565

Badiliko kwa mwaka 156,036 213,605 516,392 35,785 279,994 - 1,201,812


Hadi tarehe 31 Desemba, 2018 568,602 714,193 1,697,658 122,265 2,145,659 - 5,248,377

Thamani halisi hadi 31 Desemba 2018 1,064,920 793,876 649,311 20,874 720,815 594,814 3,844,610

Thamani halisi hadi 31 Desemba 2017 910,684 763,244 692,263 56,659 911,503 - 3,334,353

Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa


Mkombozi Commercial Bank Plc
21. MALI NA VIFAA (INAENDELEA)

Hadi tarehe 31 Desemba, 2016

Gharama
Hadi tarehe 1 Januari 2016 602,888 1,032,443 1,176,923 191,346 1,714,176 - 4,717,776
Marekebisho 722 (6,567) 770 (48,207) - (53,282)

Mkombozi Commercial Bank Plc


Ongezeko 411,376 175,818 263,082 - 581,589 - 1,431,865

Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa


Hadi tarehe 31 Desemba, 2016 1,014,986 1,201,694 1,440,775 143,139 2,295,765 - 6,096,359

Hadi tarehe 1 Januari 2017 1,014,986 1,201,694 1,440,775 143,139 2,295,765 - 6,096,359
Ongezeko 308,264 62,139 432,754 - 481,403 - 1,284,560
Hadi tarehe 31 Desemba, 2017 1,323,250 1,263,833 1,873,529 143,139 2,777,168 - 7,380,919
Uchakavu
Hadi tarehe 1 Januari 2016 174,012 211,408 607,828 63,117 1,252,145 - 2,308,510
Badiliko kwa mwaka 100,184 139,894 232,896 35,785 292,216 - 800,975
Marekebisho (mali zilizoondolewa) (95) (48,207) - (48,302)
Hadi tarehe 31 Desemba 2016 274,101 351,302 840,724 50,695 1,544,361 - 3,061,183

Hadi tarehe 1 Januari 2017 274,101 351,302 840,724 50,695 1,544,361 - 3,061,183
Ongezeko 138,465 149,286 340,542 35,785 321,304 - 985,382
Hadi 31 December 2017 412,566 500,588 1,181,266 86,480 1,865,665 - 4,046,565
Thamani halisi hadi 31 December 2017 910,684 763,244 692,263 56,659 911,503 - 3,334,353
Thamani halisi hadi 31 December 2016 740,885 850,392 600,051 92,444 751,404 - 3,035,175

55
22. MALI ZISIZOSHIKIKA 2018 2017
TZS’000’ TZS’000’
Gharama
Hadi tarehe 1 Januari 1,103,781 1,037,364
Ongezeko 575,765 66,421
Uchakavu (126,928) -
Hadi tarehe 31 Disemba 1,552,617 1,103,781

Limbikizo la makato kidogokidogo


Hadi tarehe 1 Januari 531,625 367,556
Makato kwa mwaka 218,970 164,069
Uchakavu (55,025) -
Hadi tarehe 31 Disemba 683,468 531,625

Thamani halisi kwenye vitabu vya benki 869,146 572,156

23. KODI ILIYOAHIRISHWA KULIPWA

Mwanzoni mwa mwaka 748,838 668,926


Makato kwenye faida au hasara kwa mwaka uliopita 331,868 3,485
Makato kwenye faida au hasara kwa mwaka huu (kielelezo 14) 63,895 76,427

Mwishoni mwa mwaka 1,144,631 748,838

Kodi iliyoahirishwa katika mali na kodi iliyoahirishwa katika faida katika mnyambulisho
wa hesabu za benki ni kama ifuatavyo

Tarehe 1 Marekebisho iliyotozwa au Tarehe 31


Januari ya mwaka kuongezwa Desemba
uliopita Desemba
kwenye faida
au hasara
Deni la kodi iliyoahirishwa
2018
Mali na vifaa 11,828 - 3,712 15,540
Makato katika hasara 737,010 331,898 60,183 1,129,091
Kodi halisi iliyoahirishwa katika mali 748,838 331,898 63,895 1,144,631
Kodi halisi iliyoahirishwa katika mali
2017
Mali na vifaa 41,319 (29,491) 11,828
Makato katika hasara 627,608 109,402 737,010
Kodi halisi iliyoahirishwa katika mali 668,927 79,911 748,838

Mkombozi Commercial Bank Plc


56 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
24. MADENI MENGINE 2018 2017

TZS’000’ TZS’000’

Madeni yasiyojulikana 332,417 513,074


Madeni katika akaunti mbali mbali - 502,781
Gharama mbali mbali 556,581 65,604
Shughuli za kibenki katika matawi - -
Malipo kwa Selcom-Mkombozi mobile banking 50,919 6,290
Akaunti za kulipwa 1,021 167,189
Akiba katika viandikia 153,484 454,736
1,094,422 1,709,674
Toa : Hasara toka madeni yasiyojulikana - -

Yaliyopo sasa 1,094,422 1,709,674

25. AMANA

25.1 AMANA KUTOKA BENKI ZINGINE


Amana za muda maalum 12,173,739 3,000,000
Amana za akiba 1,696,074 313,720

13,869,813 3,313,720

Amana za hundi 1,696,074 3,000,000


Amana zisizo za hundi 12,173,739 313,720

13,869,813 3,313,720

25.2 AMANA TOKA KWA WATEJA


Amana za hundi 34,899,158 29,387,319
Amana za akiba 39,419,829 31,756,346
Amana za muda maalum 62,147,760 59,977,894

136,466,747 121,121,559

Amana za hundi 136,466,747 121,121,559


Amana za akiba - -
Amana zisizo za hundi 136,466,747 121,121,559

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 57
Amana za shilingi bilioni TZS 62.14 (2016: TZS 59.97 bilioni) ziliwekwa katika riba malum na zingine
ziliwekwa katika riba tofautitofauti.

26. MAKATO 2018 2017


TZS’000’ TZS’000’
Makato kwenye mafao
Mwanzoni mwa mwaka 291,136 221,886
Yaliyofanyika ndani ya mwaka 146,750 221,250
Yaliyotumika - (152,000)
Hadi tarehe 31 Disemba 437,886 291,136

27. MADENI MENGINE

Gharama mbalimbali 3,725,054 1,266,356


Akaunti za kulipwa 155,583 492,711
Kiasi kilichopelekwa mbele 9,055 9,055
Madeni mengine 853,637 381,395
4,743,329 2,149,517
Yasiyo ya sasa 4,743,329 2,149,517

28. MTAJI 2018 2017


TZS’000’ TZS’000’
Mtaji ulioidhinishwa
Hisa za kawaida 50,000,000 zenye thamani ya shilingi 50,000,000 50,000,000
1,000 kila hisa

Hisa zilizotolewa na kulipwa


Hisa 20,615,272 zenye thamani ya shilingi 1000/= kila hisa
(2016: 20,615,272) 20,615,272 20,615,272

29. FEDHA NA VITU VINAVYOFANANA NA FEDHA

Fedha taslimu na salio kwenye Benki Kuu ya Tanzania 8,060,799 7,000,975


Mikopo kwenye benki nyingine 24,942,547 31,353,193
33,003,346 38,354,168

30. PATO KWA KILA HISA

Mkombozi Commercial Bank Plc


58 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
Pato kwa kila hisa
Pato kwa kila hisa linapatikana baada ya kugawa mapato halisi kwa mwaka husika kwa idadi
ya hisa zilizopo katika mwaka husika. Ukokotoaji wake ni kama ifuatavyo

2018 2017
TZS’000 TZS’000
Faida halisi ya Wanahisa
806,045 1,442,900

Idadi ya hisa kwa mwaka 20,615,272 20,615,272


Pato kwa kila hisa Shs. 39 70

Pato zimulifu kwa kila hisa


Pato zimulifu kwa kila hisa ni kiwango kinachopatikana baada ya kugawa faida halisi kwa
mwaka kwa wastani wa idadi ya hisa zote kwa mwaka pamoja na kujumuisha wastani wa hisa
zote zilizopo kwa mwaka ambazo zisingeweza kupata pato
2018 2017
TZS’000 TZS’000

Faida halisi 806,045 1,442,900

Namba Namba
Wastani wa hisa zote kwa mwaka 20,615,272 20,615,272
Pato zimulifu kwa kila hisa 39 70

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 59
31. MIAMALA NA WANAOHUSIANA NA BENKI

Benki hii inamilikiwa na watu binafsi kwa asilimia 42%, Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kwa asilimia
20%, na taasisi za Kanisa na majimbo kwa asilimia 28%, na taasisi nyinginezo 10%.

Miamala kadhaa ya kibenki ilifanyika kati ya Benki na ama watu binafsi au taasisi zenye mahusiano
na benki katika hali ya kawaida ya biashara. Hii ni pamoja na mikopo, uwekaji amana kwenye benki,
utumaji fedha na mengineyo. Kiasi cha miamala inayohusika, salio lililokuwepo mwishoni mwa
mwaka na mapato na matumizi husika kwa mwaka ni kama ifuatavyo: -

2018 2017
TZS’000’ TZS’000’
Mikopo kwa Menejimenti ya benk
Kiasi mwanzoni mwa mwaka 284,074 403,552
Mikopo iliyoongezwa ndani ya mwaka 1,236,271 136,522
Mikopo iliyorejeshwa kwa mwaka 312,436 (256,000)
Mikopo iliyopo mwishoni mwa mwaka 1,023,834 284,074

Riba iliyopatikana 83,053 54,007


Amana kutoka kwa Wakurugenzi na Menejimenti ya benki
Amana zilizopokelewa mwanzoni mwa mwaka 60,458 74,770
Amana zilizopokelewa kwa kipindi cha mwaka 2,926,876 1,138,687
Amana zilizolipwa kwa mwaka (2,778,099) (1,152,999)
209,235 60,458

Mafao kwa Menejimenti ya benki


Mishahara na marupurupu 1,440,000 859,000
Mafao baada ya ajira -(PPF) 144,000 85,900
1,584,000 944,900
Menejimenti ya benki inajumuisha wafanyakazi wote wenye mamlaka na majukumu ya kusimamia
uendeshajii wa benki wakiwa kama wakuu wa idara za benki

2018 2017
TZS’000’ TZS’000’

Malipo kwa Wakurugenzi wa Bodi na Marupurupu ya muda mfupi 72,869 10,538

Mkombozi Commercial Bank Plc


60 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
Malipo yalioainishwa hapo juu kwa wakurugenzi wa Bodi yalifanyika kwa kufuata taratibu zote za
kibenki. Miamala hiyo ilifanyika kulingana na hali halisi ya utendaji wa benki kwenye soko.

32. MADENI MENGINE NA AHADI 2018 2017


TZS’000’ TZS’000’
Ahadi ya matumizi ya mtaji
Matumizi ya mtaji ambayo yamepitishwa na Bodi lakini
bado kutumika 3,118,738 2,062,157

Ahadi kuendeleza uwekaji pesa na dhamana


Ahadi za kuendeleza uwekaji pesa inajumuisha mikataba ya ahadi kwa ajili ya mikopo na uwekaji
wa pesa. Kwa kawaida ahadi hizi huwa zinakuwa na riba maalumu pamoja na aya inayoelezea
ukomo wake. Kwa sababu ahadi hizi huwa zinakwisha muda wake bila utekelezaji, jumla ya kiwango
kilichotajwa kwenye mkataba hakiwakilishi fedha taslimu za muda ujao. Hata hivyo, hasara yake
ni pungufu kuliko jumla ya ahadi zote zisizotumika kwa sababu idadi kubwa ya ahadi inategemea
viwango vilivyowekwa na wateja.
Yenye
wastani wa
Yenye wastani wa miaka miwili
mwaka moja hadi tano Jumla
TZS’000 TZS’000 TZS’000

32.1 MIKATABA YA PANGO KWENYE


MAJENGO

32.1.1 Upangishwaji

Desemba 2018
Pango la jengo 209,528 720,815 930,343
209,528 720,815 930,343

Desemba 2017
Pango la jengo 648,479 263,024 911,503  
648,479 263,024 911,503 

Benki imeingia mikataba kwenye majengo kwa ajili ya kuendesha biashara. Mikataba hii inawastani wa miaka
miwili mpaka mitano na kuna fursa ya kurudia tena kupanga iliyoainishwa ndani mikataba hiyo. Hakuna zuio
lolote ambalo benki inayo kwenye mikataba hii.

33. MATUKIO BAADA YA TAREHE YA KUWASILISHA TAARIFA YA FEDHA


Hapakuwa na matukio yeyote baada ya kuwasilisha taarifa ya fedha za benki ambayo yangekuwa na
madhara kwenye taarifa ya fedha za benki.

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 61
BODI YA WAKURUGENZI

Bw. Method A. Kashonda


Mwenyekiti wa Bodi

Bw. George Rwezaura Shumbusho Bw. Marcellino Kayombo Prof. Marcellina Mvula Chijoriga
Mkurugenzi Mtendaji Mkurugenzi Makamu Mwenyekiti

Askofu Beatus Kinyaiya Padre Raymond Saba


Mkurugenzi Mkurugenzi

Mr. Ayoub Mtafya Mr. Robert Mtendamema Ms. Uphoo Swai


Mkurugenzi Mkurugenzi Mkurugenzi

Mkombozi Commercial Bank Plc


62 Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa
TIMU YA MENEJIMENTI

Bw. George Rwezaura Shumbusho


Mkurugenzi Mtendaji

Bw. Dennis Frank Kejo Bw. Thomas Enock Bw. Sylivester Remmy Kasikila
Mkurugenzi wa fedha Mkurugenzi wa Ukaguzi wa ndani Mkurugenzi wa uendeshaji

Bw. Baltazar Baltazar Mbilinyi Bw. Yordan Mwitalema


Mkurugenzi wa Sheria Mkurugenzi wa Tehama

Bw. Marcus Mkini Bw. Nwaka Godfrey Mwabulambo


Mkurugenzi wa mikopo Mkurugenzi wa Hazina

Mkombozi Commercial Bank Plc


Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa 63
Simu ya bure 0800 750 040

Tawi la St. Joseph Tawi la Bukoba


Kitalu Na.40, Mtaa wa Mansfield, Kitalu Na.190, Barabara ya Jamhuri Road,
Nyuma ya kanisa la St. Joseph mkabala na Kituo cha Polisi
S.L.P., Dar es Salaam, Tanzania S.L.P. 1137, Bukoba, Tanzania
Simu: +255 22 2137806/7 Simu: +255 28 2220156/ +255 28 2220159
Nukushi: +255 22 213780775 Nukushi: +255 28 2220153,

Tawi la Mwanza Tawi la Tegeta


Barabara ya Nyerere, jirani an Benki Kuu Pembezoni mwa barabara ya Bagamoyo,
S.L.P. 11923, Mwanza, Tanzania Tegeta Darajani
Simu: +255 28 2500936/ +255 28 2500916 Jengo la GdB Social Center
Nukushi: +255 28 2500935 S.L.P. 38448, Dar es Salaam, Tanzania
Simu:+255 22 2630742
Tawi la Msimbazi Branch
Barabara ya Kawawa, Msimbazi Centre Tawi la Morogoro
S.L.P. 40030, Dar es Salaam, Tanzania Barabara ya zamani ya Dar es Salaam
Simu +255 22 2203243/4 Mkabala na hospitali ya rufaa Morogoro
Nukushi: +255 22 2203245 Bishop Adrian Mkoba Memorial Building
Kitalu Na. 118/1 & 118/2
Kariakoo Branch S.L.P. 2648, Morogoro, Tanzania
Mtaa wa Aggrey, jirani na shule ya Uhuru Simu: +255 23 2934192/ 3
S.L.P. 38429, Dar es Salaam, Tanzania
Simu: +255 22 2182012/ 2182025 Tawi la Dodoma
Nukushi: +255 22 2180088 Barabara ya Nyerere, Kitalu Na: 2
S.L.P. 1740, Dodoma, Tanzania
Tawi la Moshi Simu: +255 26 2323437
Mtaa wa Upinde Street/Barabara ya Kibo Road,
Kanisa la Christ The King Tawi la Iringa Branch
S.L.P. 9, Moshi, Tanzania Barabara ya Dodoma, Kitalu Na: 357 Block 1 B,
Simu: +255 27 2751441/ +255 2751455 Kwenye campus ya chuo cha RUCU
Nukushi: +255 27 2751421 S.L.P. 613,Iringa, Tanzania
Simu +255 26 2702316/7

@MkomboziBankPlc

Mkombozi Commercial Bank Plc


64 www.mkombozibank.co.tz Mkutano Mkuu wa Kumi wa Wanahisa

You might also like