You are on page 1of 122

TAARIFA KUU YA MWAKA YA MDHIBITI NA MKAGUZI

MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA WA


FEDHA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2019
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Jengo la


Ukaguzi, 4 Barabara ya Ukaguzi, S.L.P. 950, 41104 Tambukareli, Dodoma. Simu ya
Upepo: ‘Ukaguzi’ Simu: 255(026) 2123759, Tarakishi: 255(022)2117527, Barua pepe:
ocag@nao.go.tz.Tovuti: www.nao.go.tz

Kwa majibu, tafadhali nukuu

Kumb.Na. CAG.319/421/01/14 30 Machi 2020

Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli,


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Ikulu,
1 Barabara ya Julius Nyerere, Chamwino,
S.L.P. 1102,
40400 DODOMA.

Mheshimiwa,

YAH: KUWASILISHA TAARIFA YA MWAKA YA UKAGUZI WA MIRADI YA


MAENDELEO YA MWAKA WA FEDHA 2018/2019

Ninayofuraha kuwasilisha taarifa ya mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu


wa Hesabu za Serikali ya ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kwa mwaka wa
fedha 2018/2019 kwa mujibu wa Ibara ya 143 (4) ya Katiba ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 (kama ilivyorekebishwa) na Kifungu
cha 34 cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na.11 ya Mwaka 2008.

Nawasilisha.

Charles E. kichere
MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI
Uanzishwaji
Madaraka na wajibu wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
yameelezwa kwenye Ibara ya 143 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ya Mwaka 1977 (kama ilivyorekebishwa) na kufafanuliwa zaidi
katika Kifungu cha 10(1) cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na.11 ya Mwaka
2008 pamoja na Kanuni za Ukaguzi wa Umma za Mwaka 2009.

Dira
Kuwa Taasisi ya Kuaminika na ya Kutukuka katika Ukaguzi wa Sekta ya
Umma.

Dhamira
Kutoa Huduma Bora za Ukaguzi wa Hesabu ili Kuimarisha Utendaji,
Uwajibikaji, Uwazi, na Thamani ya Fedha katika Kukusanya na
Kutumia Rasilimali za Umma.

Misingi ya Maadili
Katika kutoa huduma zenye ubora, ofisi hii inaongozwa na vigezo vya
msingi vifuatavyo:
• Uadilifu: Sisi ni Taasisi adilifu inayotoa huduma kiuhakikifu na bila
upendeleo.
• Ubora: Sisi ni Taasisi yenye weledi inayotoa huduma bora kwa
kuzingatia viwango kubalifu vya ukaguzi.
• Uaminifu: Tunazingatia na kudumisha kiwango cha juu cha uaminifu
na kuzingatia utawala wa sheria.
• Kuwalenga watu: Tunalenga zaidi matarajio ya wadau wetu kwa
kujenga utamaduni mzuri wa kuhudumia wateja na kuwa na
watumishi wataalamu na wenye motisha ya kazi.
• Uvumbuzi: Sisi ni asasi ambayo wakati wote inahamasisha
utamaduni wa kupokea na kuendeleza mawazo mapya kutoka ndani
na nje ya asasi.
• Matumizi bora ya raslimali: Sisi ni asasi inayothamini na kutumia
kwa umakini mkubwa rasilimali za umma ilizokabidhiwa.

Tunatimiza haya kwa kufanya yafuatayo:


• Kuchangia matumizi bora ya fedha za umma kwa kuhakikisha
kwamba wakaguliwa wetu wanawajibika kutunza rasilimali
walizokabidhiwa;
• Kusaidia kuimarisha ubora wa utoaji huduma kwa kuchangia ubunifu
kwa matumizi bora ya rasilimali za umma;
• Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa wadau wetu kuhusu mapungufu
katika uendeshaji wa shughuli zao;

i
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
• Kuwahusisha wadau wetu katika mfumo wa ukaguzi; na
• Kuwapa wakaguzi nyenzo za kufanyia kazi ambazo zitaimarisha
uhuru wa Ofisi ya Ukaguzi.

© Kwa mujibu wa Kifungu cha 39 cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na. 11 ya Mwaka 2008
(kama ilivyorekebishwa), Taarifa hii ya Ukaguzi imekusudiwa itumiwe na mamlaka za
Serikali. Hata hivyo, mara baada ya kupokelewa na Spika na kuwasilishwa Bungeni, taarifa
hii huwa kumbukumbu ya umma na usambazaji wake hauzuiliwi.

ii
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
Yaliyomo

Dira... ........................................................................................ i
Dhamira ...................................................................................... i
Misingi ya Maadili ........................................................................... i
Dibaji. ....................................................................................... xi
Shukrani.. ................................................................................. xiv
MUHTASARI WA MAMBO MUHIMU ....................................................... xv

SURA YA KWANZA .......................................................................... 1


UTANGULIZI NA USULI WA MIRADI....................................................... 1
1.1 Utangulizi ............................................................................. 1
1.2 Usuli wa Miradi Iliyokaguliwa ...................................................... 1
1.3 Wajibu wa Maafisa Masuuli ........................................................ 5
1.4 Wajibu wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ................. 5
1.5 Mawanda na Viwango vya Ukaguzi Vilivyotumika .............................. 6
1.6 Mbinu za Ukaguzi .................................................................... 7
1.7 Muundo wa Taarifa .................................................................. 8

SURA YA PILI ............................................................................... 10


UTEKELEZAJI WA MAPENDEKEZO YA KAGUZI ZA MIAKA YA NYUMA ............... 10
2.1 Utangulizi ............................................................................ 10
2.2 Hali ya Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kaguzi Zilizopita................... 10

SURA YA TATU............................................................................. 12
UTENDAJI WA KIFEDHA ................................................................. 12
3.1 Utangulizi .......................................................................... 12
3.2 Ufadhili wa Miradi................................................................. 12
3.3 Hati za Ukaguzi Zilizotolewa .................................................... 22

CHAPTER THREE
UTEKELEZAJI WA MIRADI ................................................................ 33
4.1 Utangulizi ............................................................................ 33
4.2 Miradi Iliyoathirika Kutokana na Wakandarasi Kutokulipwa Madai Yao .... 33
4.3 Kuchelewa Kuanza kutekeleza Mradi ............................................ 35
4.4 Miradi Isiyotekelezwa Kikamilifu ................................................. 35
4.5 Miradi Iliyokamilika Lakini Haijaanza Kutumika ............................... 37
4.6 Miradi Iliyochelewa Kukamilika .................................................. 39

SURA YA TANO ............................................................................ 40


USIMAMIZI WA MANUNUZI NA UDHIBITI WA KIUTAWALA ............................ 40
5.1 Utangulizi ............................................................................ 40
5.2 Usimamizi wa Manunuzi na Mikataba ........................................... 40
5.3 Udhibiti wa Kiutawala ............................................................. 43

SURA YA SITA .............................................................................. 46


HITIMISHO .................................................................................. 46
6.1 Utangulizi ............................................................................ 46
6.2 Hitimisho la Ujumla ................................................................ 46

iii
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
SURA YA SABA ............................................................................. 53
MAPENDEKEZO ............................................................................ 53
7.1 Utangulizi ............................................................................ 53
7.2 Mapendekezo........................................................................ 53
7.3 Mapendekezo ya Jumla ............................................................ 53
7.4 Mapendekezo Maalumu ............................................................ 54
VIAMBATISHO .............................................................................. 56

iv
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
Orodha ya Majedwali

Jedwali 1.1: Idadi ya Miradi Iliyokaguliwa ............................................... 6


Jedwali 2.1: Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kaguzi za Miaka ya Nyuma ......... 10
Jedwali 3.1: Muhtasari wa Mapato na Matumizi ....................................... 13
Jedwali 3.2: Muhtasari wa Mapato na Matumizi - Sekta ya Elimu ................... 13
Jedwali 3.3: Muhtasari wa Mapato na Matumizi – Sekta ya Nishati na Madini ..... 14
Jedwali 3.4: Muhtasari wa Mapato na Matumizi – Sekta ya Afya ..................... 16
Jedwali 3.5: Muhtasari wa Mapato na Matumizi – Sekta ya Uchukuzi ............... 18
Jedwali 3.6: Muhtasari wa Mapato na Matumizi – Sekta ya Maji ..................... 19
Jedwali 3.7: Muhtasari wa Mapato na Matumizi – Miradi Mingine.................... 21
Jedwali 3.8: Muhtasari wa Hati za Ukaguzi Zilizotolewa .............................. 24
Jedwali 3.9: Mwenendo wa Hati za Ukaguzi Zilizotolewa ............................ 24
Jedwali 4.1: Kazi Zisizokamilika Kwenye Mradi wa REA Turnkey ................... 37
Jedwali 4.2: Miradi ya Maji Isiyotumika ................................................. 38

v
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
Orodha ya Viambatisho

Kiambatisho I: Hati za Ukaguzi Zilizotolewa ..................................................... 56


Kiambatisho II: Manunuzi ya Bidhaa na Huduma Bila Stakabadhi za Kielektroniki ........ 65
Kiambatisho III: Kodi ya Zuio Haikupelekwa Mamlaka ya Mapato Tanzania................. 66
Kiambatisho IV: Kodi ya Zuio Haikukatwa Kwenye Malipo ya Wazabuni..................... 67
Kiambatisho V: Masurufu Ambayo Hayakurejeshwa ........................................... 68
Kiambatisho VI: Kukosekana kwa Hati za Malipo ............................................... 69
Kiambatisho VII: Malipo Yenye Nyaraka Pungufu ................................................ 70
Kiambatisho VIII: Fidia Haikulipwa kwa Watu Walioathiriwa na Utekelezaji wa Miradi........... 71
Kiambatisho IX: Malipo Yaliyofanyika kwa Shughuli Zisizoruhusiwa ......................... 72
Kiambatisho X: Malipo Yaliyofanyika Nje ya Bajeti ............................................ 72
Kiambatisho XI: Matengenezo ya Magari Bila Kibali cha TEMESA ............................. 72
Kiambatisho XII: Kutolewa kwa Fedha Pungufu Kwenye Miradi ya Maendeleo ............ 73
Kiambatisho XIII: Malipo Yasiyokubaliwa ........................................................ 77
Kiambatisho XIV: Kutokuomba Marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani ............... 78
Kiambatisho XV: Fedha za Miradi Zilizokopwa bila Kurejeshwa .............................. 79
Kiambatisho XVI: Serikali Kutochangia Gharama za Miradi ................................... 80
Kiambatisho XVII: Fedha za Bakaa za Akaunti ya Washirika Ambazo Hazijatumika ....... 80
Kiambatisho XVIII: Madeni ya Wakandarasi Ambayo Hayajalipwa ........................... 81
Kiambatisho XIX: Kuchelewesha Malipo ya Kazi Zilizotekelezwa ............................ 81
Kiambatisho XX: Vituo vya Maji Ambavyo Havitoi Maji......................................... 83
Kiambatisho XXI: Miradi Iliyokamilika Haitumiki ................................................ 83
Kiambatisho XXII: Kuchelewa Kukamilika Miradi ya Maji ...................................... 84
Kiambatisho XXIII: Miradi Ambayo Haijamalizika ............................................... 88
Kiambatisho XXIV: Manunuzi Yaliyofanyika Bila Kushindanisha Wazabuni ................. 89
Kiambatisho XXV: Mali na Vifaa Vilivyonunuliwa lakini Havijapokelewa ................... 90
Kiambatisho XXVI: Mali na Vifaa Ambavyo Havijaingizwa Kwenye Leja ya Vifaa .......... 91
Kiambatisho XXVII: Manunuzi ya Dawa na Vifaa Tiba Bila Kibali.............................. 92
Kiambatisho XXVIII: Vifaa na Mali Zilizopokelewa Bila Kukaguliwa .......................... 93

vi
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
Kiambatisho XXIX: Manunuzi Yasiyoidhinishwa na Bodi za Zabuni ........................... 94
Kiambatisho XXX: Manunuzi Kutoka kwa Wazabuni Wasiothibitishwa ...................... 94
Kiambatisho XXXI: Mikataba Iliyotekelezwa Bila Hati ya Dhamana ya Utekelezaji ........ 95
Kiambatisho XXXII: Miradi Iliyotekelezwa Bila Kuwa na Bima ................................. 96
Kiambatisho XXXIII: Miradi Isiyofanyiwa Uchambuzi wa Athari za Mazingira ............... 96
Kiambatisho XXXIV: Kutokuandaliwa kwa Taarifa za Mkaguzi wa Ndani .................... 97

vii
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
Vifupisho

AFD Shirika la Maendeleo la Ufaransa


AfDB Benki ya Maendeleo Afrika
AFROSAI-E Umoja wa Taasisi za Ukaguzi katika Nchi za Afrika Zinazozungumza
Kiingereza
BADEA Benki ya Kiarabu kwa Maendeleo ya Uchumi Afrika
BMGF Mfuko wa Bill na Melinda Gates
BTIP Mradi wa Uwekezaji wa Miundombinu ya Msingi ya Kusafirisha Umeme
CADESE Mradi wa Kujenga Uwezo katika Sekta ya Nishati na Uziduaji
CAG Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
CCHP Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri
CDC Kituo cha Kudhibiti na Kupambana na Magonjwa cha Marekani
CIDA Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Kanada
DANIDA Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Denmaki
DFATD Shirika la Idara ya Mambo ya Nje, Biashara na Maendeleo
DFID Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Uingereza
DMGP Mradi wa Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
DUTP Programu ya Uboreshaji wa Miundombinu ya Usafirishaji Jijini Dar es
Salaam
EFD Mashine ya Stakabadhi ya Kielektroniki
EIB Benki ya Uwekezaji ya Ulaya
ESCBP Mradi wa Kujenga Uwezo wa Sekta ya Nishati
FYDP II Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano Awamu ya Pili
GAVI Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Chanjo na Kinga
GF Mfuko wa Kimataifa wa Kupambana na Malaria, UKIMWI, na Kifua Kikuu
HBF Mfuko wa Uchangiaji wa Afya
IFAC Shirikisho la Kimataifa la Wahasibu na Wakaguzi
IFAD Shirika la Kimataifa la Maedeleo ya Kilimo
INTOSAI Shirika la Kimataifa la Asasi Kuu za Ukaguzi
ISSAIs Viwango vya Kimataifa vya Ukaguzi vya Ofisi za Ukaguzi wa Umma
JICA Shirika la Maendeleo la Japani
KCCMP Mradi wa Usimamizi na Uhifadhi Vyanzo vya Maji Kihansi
KOICA Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Korea
KfW Benki ya Maendeleo ya Ujerumani
LAAC Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa
LANES Mpango wa Kukuza Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu
LGAs Mamlaka za Serikali za Mitaa

viii
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
LIC Mradi wa Programu ya Maboresho ya Mazingira ya Wawekezaji wa
Ndani
MIVARF Programu ya Miundombinu ya Masoko, Uongezaji wa Thamani, na
Msaada wa Fedha Vijijini
MSD Bohari Kuu ya Dawa
NCMC Kituo cha Kudhibiti Hewa ya ukaa Nchini
NFAST Mfuko wa Taifa wa Kuendeleza Sayansi na Teknolojia
NORAD Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo la Norwei
OFID Mfuko wa Maendeleo ya Kimataifa wa Jumuiya ya Nchi Zinazozalisha
Mafuta Duniani
OPEC Umoja wa Nchi Zinazozalisha Mafuta
OR- Ofisi ya Raisi-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
TAMISEMI
PAA Eneo la Mamlaka ya Mradi
PAC Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali
REA Wakala wa Nishati Vijijini
REGROW Mradi wa Maliasili Endelevu kwa Ukuaji
RSSP Programu ya Msaada katika Sekta ya Barabara
RWSSP Programu ya Usambazaji wa Huduma ya Maji Safi Vijijini
SATTFP Mradi wa Uwezeshaji Biashara na Uchukuzi wa Kusini mwa Afrika
SE4ALL Mradi Endelevu wa Nishati kwa Wote
Sh. Shilingi ya Kitanzania
SIDA Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa la Uswidi
SMMRP Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Raslimali za Madini
SWIOFish Mradi wa Usimamizi wa Uvuvi na Ukuaji wa Pamoja Kusini Magharibi
mwa Bahari ya Hindi
TANESCO Shirika la Umeme Tanzania
TANROADS Wakala wa Barabara Tanzania
TASAF Mfuko wa Maendeleo ya Jamii
TEDAP Mradi wa Maendeleo ya Upatikanaji na Ukuzaji wa Nishati Tanzania
TEITI Taasisi ya Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali Madini, Mafuta, na
Gesi Asilia Tanzania
TEMESA Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania
TIRDP Mradi wa Maendeleo ya Reli Tanzania
TPRS Mpango wa Kupunguza Umaskini Tanazania
TRA Mamlaka ya Mapato Tanzania
TSCP Mradi wa kuboresha Miji Tanzania
TSSP Programu ya Msaada wa Sekta ya Usafiri
UN Umoja wa Mataifa

ix
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
UNDP Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa
UNEP Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa
UNICEF Shirika la Umoja wa Mataifa Linalohudumia Watoto
USAID Shirika la Misaada la Watu wa Marekani
VAT Kodi ya Ongezeko la Thamani
WB Benki ya Dunia
WSDP Programu ya Maendeleo katika Sekta ya Maji

x
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
Dibaji

Ninayo furaha kuwasilisha Taarifa ya


tisa ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo
kwa mwaka wa fedha ulioishia tarehe
30 Juni 2019. Taarifa hii inakusudia
kutoa taarifa kwa wadau wetu
(Wabunge, Watendaji wa Serikali Kuu
na Serikali za Mitaa, Vyombo Vya
Habari, Washirika wa Maendeleo, Asasi Zisizo za Kiserikali,
na Taasisi za Kijamii) kuhusu uchambuzi wa matokeo ya
ukaguzi yaliyotokana na kaguzi husika za miradi ya
maendeleo zilizofanywa na Ofisi yangu kwa kipindi cha
mwaka wa fedha ulioishia tarehe 30 Juni 2019. Muhtasari
wa mambo muhimu yaliyooneshwa katika taarifa hii ya
jumla yanaweza kusomwa kwa undani katika taarifa kamili
za ukaguzi zilizopelekwa kwa kila Afisa Masuuli
anayesimamia utekelezaji wa miradi husika ya maendeleo.

Taarifa hii inajumuisha taarifa za kaguzi 455 katika miradi


mikubwa 90 ya maendeleo iliyokaguliwa na Ofisi yangu
kwa mwaka wa fedha 2018/2019. Miradi hii inafadhiliwa
na Serikali ya Tanzania na wahisani kupitia Mfuko wa
Pamoja. Wahisani hao ni Benki ya Dunia, Benki ya
Maendeleo Afrika (AfDB), Shirika la Maendeleo la
Kimataifa la Uingereza (DFID), Benki ya Maendeleo ya
Ujerumani (KfW), Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya
Kilimo (IFAD), Shirika la Maendeleo la Japani (JICA), na
Umoja wa Ulaya (EU). Aidha, taarifa hii inajumuisha
miradi mingine ambayo inafadhiliwa na Umoja wa Mataifa
(UN) kupitia taasisi zake kama vile Shirika la Maendeleo la
Umoja wa Mataifa (UNDP), Shirika la Umoja wa Mataifa
Linalohudumia Watoto (UNICEF), Kituo cha Kudhibiti na
Kupambana na Magonjwa cha Marekani (CDC), Mfuko wa
Kimataifa wa Kupambana na Malaria, UKIMWI, na Kifua
Kikuu (Global Fund), na Wadau Wengine wa Maendeleo.

xi
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
Aidha, ripoti hii inajumuisha Washirika wa Maendeleo
wengine kama vile, Shirika la Mazingira la Umoja wa
Mataifa (UNEP), Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD),
Mfuko wa Bill na Melinda Gates (BMGF), Shirika la
Maendeleo ya Kimataifa la Kanada (CIDA), Shirika la
Maendeleo ya Kimataifa la Denmaki (DANIDA), Shirika la
Idara ya Mambo ya Nje, Biashara na Maendeleo (DFATD),
Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Korea (KOICA),
Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo la Norwei (NORAD),
Mfuko wa Maendeleo ya Kimataifa wa Jumuiya ya Nchi
Zinazozalisha Mafuta Duniani (OFID), Shirika la Ushirikiano
wa Maendeleo ya Kimataifa la Uswidi (SIDA), na Shirika la
Misaada la Watu wa Marekani (USAID).

Kwa mujibu wa Ibara za 143(2)(c) na 143(4) za Katiba ya


Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 (kama
ilivyorekebishwa), Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali anatakiwa, angalau mara moja kwa mwaka,
kufanya ukaguzi na kutoa taarifa ya ukaguzi wa hesabu
hizo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
ambaye ataiwasilisha Bungeni.

Ni matarajio yangu kuwa taarifa hii itasaidia wadau wa


miradi ya maendeleo kutathimini iwapo fedha
zilizopelekwa kwenye miradi ya maendeleo zimetumika
kwa usahihi na kwa malengo yaliyokusudiwa, zimechangia
maendeleo ya kiuchumi na kijamii, na zimetoa thamani ya
fedha.

Ninatumaini kuwa Serikali, Bunge, Washirika wa


Maendeleo, na Umma kwa ujumla, wataichukulia taarifa
hii kwa umuhimu mkubwa katika kuelewa jinsi Maafisa
Masuuli wanavyosimamia miradi ya maendeleo na namna
mafanikio yake yanavyosaidia kutatua matatizo
yanayowakabili Watanzania. Hivyo, ili kuboresha taarifa
hii siku zijazo, nitashukuru kupata maoni kutoka kwa

xii
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
umma na watumiaji wengine wa taarifa hii kwa muda
muafaka.

Charles E. Kichere
MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi Tanzania,


Dodoma,
Machi 2020.

xiii
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
Shukrani

Ninatoa shukrani za dhati kwa wadau wetu


waliotuwezesha kutimiza majukumu yetu ya kikatiba.
Hawa ni pamoja na Kamati za Bunge, hususani Kamati ya
Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Bunge ya
Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), na Kamati ya Bunge ya
Bajeti. Wadau wengine ni Mlipaji Mkuu wa Serikali,
Maafisa Masuuli wote wa wizara, Idara na Wakala za
Serikali, Mamlaka za Serikali za Mitaa, na Mashirika ya
Umma ambayo yalitekeleza miradi ya maendeleo.

Ninapenda kutoa shukrani zangu kwa watumishi wa Ofisi


yangu kwa kujitolea na kujituma katika kutimiza
majukumu yetu ya kikatiba. Ni matumaini yangu kuwa
wataendelea kutoa huduma zinazokidhi mahitaji na yenye
ufanisi katika ukaguzi ili kuongeza uwazi na uwajibikaji
katika ukusanyaji na matumizi ya rasilimali za umma.

Aidha, ninatoa shukrani zangu za dhati kwa Washirika wa


Maendeleo, hasa Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB),
Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Uingereza (DFID),
Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (KfW),
Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Shirika
la Maendeleo la Japani (JICA), Umoja wa Ulaya, Kituo cha
Kudhibiti na Kupambana na Magonjwa cha Marekani (CDC),
Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Benki
ya Dunia (WB), Shirika la Umoja wa Mataifa Linalohudumia
Watoto (UNICEF), pamoja na washirika wetu wengine,
ambao wametoa mchango mkubwa katika Ofisi yangu na
kuzifanya kazi za ukaguzi ziwe za kiweledi na kitaalamu
zaidi kwa kutoa fedha kwa ajili ya kujenga uwezo kwa
wafanyakazi na kutoa vitendeakazi.

Mwisho, ninatoa shukrani zangu kwa mchapishaji wa


taarifa hii kwa kuniwezesha kuitoa kwa wakati.

xiv
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
MUHTASARI WA MAMBO MUHIMU

Kwa mujibu wa Ibara ya 143 (4) ya Katiba ya Jamhuri ya


Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 (kama
ilivyorekebishwa) na Kifungu cha 34 (1)(c) cha Sheria ya
Ukaguzi wa Umma Na.11 ya Mwaka 2008 (kama
ilivyorekebishwa), ninawasilisha kwako taarifa ya tisa
inayohusu ukaguzi wa miradi ya maendeleo kwa mwaka
ulioishia tarehe 30 Juni 2019.

Taarifa hii imelenga kuwapatia wadau wetu uchambuzi wa


hoja mbalimbali zitokanazo na jumla ya kaguzi 455 za miradi
90 ya maendeleo ambazo Ofisi yangu ilizifanya kwa mwaka
ulioishia tarehe 30 Juni 2019. Miradi hii kiujumla inafadhiliwa
kwa fedha za Serikali ya Tanzania pamoja na Wadau wa
Maendeleo. Katika mwaka wa fedha 2018/2019, miradi hii
ilikuwa na jumla ya kiasi cha Shilingi trilioni 3.43 ambapo
Shilingi trilioni 2.31 zilitumika na kubakiwa na kiasi cha
Shilingi trilioni 1.12 hadi kufikia tarehe 30 Juni 2019.

Hoja za ukaguzi kwenye taarifa hii zimepangwa katika


makundi manne; utekelezaji wa hoja za mwaka uliopita,
udhibiti na usimamizi wa kifedha, utendaji wa miradi, pamoja
na usimamizi wa manunuzi na utawala.

Kulikuwa na mapendekezo 5,185 ya mwaka wa fedha uliopita


ambayo yalitakiwa kutekelezwa katika mwaka wa fedha
ulioishia tarehe 30 Juni 2019. Kati ya mapendekezo hayo,
mapendekezo 1,555 sawa na asilimia 30 yalitekelezwa;
mapendekezo 1,061 sawa na asilimia 20 yanaendelea
kutekelezwa; mapendekezo 1,772 sawa na asilimia 34
hayakutekelezwa; mapendekezo 388 sawa na asilimia nane
yamejirudia; na mapendekezo 409 sawa na asilimia nane
yamepitwa na wakati. Aidha, katika mwaka wa fedha
2018/2019 nimetoa jumla ya hati 468 zilizotokana na taarifa
za fedha. Kati ya hizo, 441 ni hati zinazoridhisha, 13 ni hati

xv
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
zenye shaka, na moja ni hati isiyoridhisha. Hati zingine 13 ni
zile zinazohusu mifumo ya udhibiti wa ndani, na uzingatiaji
wa sheria na kanuni.

Masuala makuu yaliyobainika katika ukaguzi wangu wa mwaka


huu ni kama ifuatavyo:

• Miradi ya REA Yenye Kazi Zisizoisha na Mikataba Iliyo


Wazi kwa Zaidi ya Miaka 10
REA imepanga kupeleka umeme kwenye vijiji 12,268 vya
Tanzania Bara kupitia mradi wa “Turnkey1”. Katika mwaka wa
fedha niliokagua nimebaini kuwa kwa zaidi ya miaka kumi
iliyopita miradi 60 ya “Turnkey” (miradi 14 “Turnkey” awamu
ya kwanza na miradi 46 “Turnkey” awamu ya pili) na miradi
mingine 105 ya umeme vijijini pamoja na mikataba yake bado
haijakamilika kutokana na kutorekebishwa kwa kasoro katika
baadhi ya kazi na kutokutolewa kwa hati za kumaliza kazi ili
kuthibitisha kwamba wakandarasi wamemaliza kandarasi
husika.

Nilitembelea miradi hiyo kwenye baadhi ya mikoa mwezi


Januari 2020 na kubaini kwamba wakandarasi husika
walishaondoka sehemu zao za kazi miaka kadhaa iliyopita bila
ya makubaliano na REA na TANESCO kuhusiana na kazi
zisizokamilika na mikataba iliyowazi. Hali hii imesababisha
baadhi ya kaya kutopata umeme kwa kipindi kirefu ingawa
zilikuwemo kwenye mawanda ya miradi ya “Turnkey” awamu
ya kwanza na pili.

Ninatambua juhudi zinazofanywa na REA katika kutatua tatizo


hili la kazi zisizokamilishwa na mikataba isiyokamilishwa. Ni
matarajio yangu kwamba REA kwa kushirikiana na wadau

1
Miradi ya “Turnkey” awamu ya I, II, na II imekuwa ikifanyika katika miaka 2010/2012,
2013/2015, na 2018/2020 mtawalia.

xvi
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
wengine kama TANESCO watakuja na mpango wa kina
kuhakikisha kipaumbele kinatolewa katika kutatua kero hii ya
ucheleweshaji wa miradi ili kazi hizo zikamilishwe na
mikataba husika ifungwe kuepuka ucheleweshaji zaidi.

• Kutolipwa Madai ya Wakandarasi Kiasi cha Shilingi


Trilioni 1.03 (Ikijumuisha Shilingi Bilioni 224.03 za
Riba ya Adhabu na Shilingi Bilioni 13.02 za Madai ya
Fidia)
Nimepitia miradi ya ujenzi wa barabara na viwanja vya ndege
inayotekelezwa na TANROADS na kubaini kuwa hadi kufikia
mwezi Novemba 2019 madai ya wakandarasi, wahandisi
washauri na watu walioathiriwa na miradi yanayofikia kiasi
cha Shilingi 1,030,136,423,627.27 kutokana na
kucheleweshwa kwa malipo ya hati za madai ya kazi, riba na
fidia. Deni hilo limetokana na madai ya kazi kiasi cha Shilingi
794,091,175,546.39 na riba iliyotokana na adhabu ya
kuchelewa malipo ya madai kiasi cha Shilingi
224,025,668,186.62 (mwaka husika Shilingi 166,930,716,964
jumlisha mwaka wa nyuma Shilingi 57,094,951,223), na madai
ya fidia kiasi cha Shilingi 13,019,579,894.23 zilizotokana na
kutolipwa watu walioathiriwa na miradi.

Nimebaini kwamba deni hili limetokana na Wizara ya Fedha


na Mipango kutopeleka fedha za kutosha hivyo kusababisha
TANROADS kushindwa kuwalipa kwa wakati wakandarasi na
wahandisi washauri. Hali hii inasababisha kazi hizo kufanyika
nyuma ya wakati na gharama za miradi kuongezeka.

Aidha, ucheleweshaji huu wa malipo unapelekea kuongezeka


kwa deni hilo kutokana na kuongezeka kwa riba ya adhabu.
Hali hii inasababisha kuongezeka kwa gharama za miradi,
kuathiri utekelezaji wake, na kuchelewesha manufaa kwa
jamii.

xvii
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
• Bakaa ya Dola za Kimarekani milioni 25.16 Kutokana
na Fedha za Miradi Zilizokaa kwa Muda Mrefu Kwenye
Akaunti za Fedha za Washirika Bila ya Kutumika
Nilibaini kuwa akaunti za fedha za Washirika wa Maendeleo
zinazotunzwa na Hazina zikiwa na bakaa za fedha za miradi
kiasi cha Dola za Kimarekani 25,161,526.18 kutoka kwenye
miradi 12. Bakaa hizo zimekaa kwenye akaunti kwa muda
mrefu bila kutumika. Aidha, mingi ya miradi hiyo
ilishafungwa miaka ya nyuma na baadhi ya bakaa hizo
zimeshakaa kwenye akaunti hizo kwa zaidi ya miaka saba.

Ni matarajio yangu kwamba, kukaa na fedha hizi kwa


muda mrefu bila kuzitumia kunaongeza hatari ya kutumika
kwenye shughuli ambazo hazijakusudiwa.

• Kuchelewa Kuyachukulia Hatua Makampuni ya Uziduaji


384 kwa Kutotii Sheria ya Tasnia ya Uziduaji Tanzania
(Uwazi na Uwajibikaji)
Ukaguzi wangu ulibaini kuwa makampuni 384 ya uziduaji
hayajawasilisha taarifa zake za mwaka kwa Kamati2 ya Tasnia
ya Uziduaji Tanzania. Taarifa hizo za mwaka zinatakiwa
kuonesha uwajibikaji wa kampuni kwa jamii mwenyeji;
uwezeshaji wa jamii mwenyeji, na matumizi ya kimaendeleo
katika kila hatua ya uwekezaji. Hali hii ni kinyume na Kifungu
23(b) cha Sheria ya Tasnia ya Uziduaji Tanzania (Uwazi na
Uwajibikaji) ya Mwaka 2015.

Aidha, wakati nahitimisha ukaguzi huu mwezi Machi 2020


Taasisi ya Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali Madini,
Mafuta, na Gesi Asilia Tanzania (TEITI) ilikua haijayachukulia
hatua makampuni haya 384 kama vile kuyatoza fedha ya
adhabu kwa uchelewaji huo.

2
Kamati ya Tasnia ya Uziduaji Tanzania ipo chini ya mradi wa TEITI ambao unasimamiwa na Wizara ya
Madini.

xviii
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
Ingawa, ninatambua juhudi zilizofanywa na menejimenti ya
TEITI zilizopelekea makampuni 16 kati ya 400 kutekeleza
sheria hiyo, ni vyema TEITI ikahakikisha kwamba makampuni
384 yaliyosalia yanatekeleza sheria husika ili kuhakikisha
uwazi na uwajibikaji kwenye sekta ya uziduaji.

xix
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19
SURA YA KWANZA

UTANGULIZI NA USULI WA MIRADI

1.1 Utangulizi
Mpango wa Pili wa Maendeleo ya Taifa wa Miaka Mitano
unaelezea hatua mpya za kuwezesha Tanzania ya viwanda kwa
njia ambayo itabadili uchumi na jamii. Kuna makundi manne
ya hatua zilizopitishwa katika mpango huu, ambazo ni ukuaji
na uanzishaji wa viwanda; kukuza maendeleo ya watu na
mabadiliko ya kijamii; kuboresha mazingira kwa ajili ya
maendeleo ya biashara; na kuwa na utekelezaji sahihi. Kwa
kuzingatia hatua hizi, Serikali imekuwa ikianzisha na
kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Sura hii inatoa
maelezo ya miradi ya maendeleo iliyokaguliwa kwa mpangilio
wa kisekta, wajibu wa Maafisa Masuuli, wajibu wa Mdhibiti na
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, madhumuni na mawanda
ya taarifa kuu, mbinu zilizotumiwa kufanya kaguzi, na muundo
wa taarifa hii.

1.2 Mawanda ya Miradi Iliyokaguliwa


Ofisi yangu imekagua miradi 90 iliyotekelezwa katika mwaka
wa fedha 2018/2019 na muhtasari wa matokeo ya ukaguzi
yamejumuishwa katika taarifa hii.

Katika taarifa hii, nimeitenga miradi katika sekta saba ambazo


ni; Kilimo, Elimu, Nishati, Afya, Uchukuzi, Maji na Sekta ya
Jamii.

Sekta ya Kilimo
Serikali imeendelea kuibadili sekta ya kilimo ili kuleta
ufanisi mkubwa wa uzalishaji, ukuzaji biashara, uongezaji
faida, na uzalishaji wa ziada ili kukidhi soko la ndani na la
kimataifa.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 1


Katika hili, miradi kadhaa imetekelezwa kwa miaka mingi
ili kufikia malengo yaliyokusudiwa katika sekta hii. Katika
mwaka wa fedha 2018/2019, nimekagua miradi sita
inayohusu sekta ya kilimo kama ilivyooneshwa katika
Jedwali 3.1.

Sekta ya Elimu
Mpango wa Maendeleo ya Sekta ya Elimu ya Mwaka 2016/2017-
2020/2021 uliundwa ili kuelekeza jitihada za mageuzi
yaliyobuniwa ili kuleta mabadiliko yanayohusisha sekta yote
ya elimu. Aidha, unaweka msisitizo katika upanuzi wa wigo wa
elimu na mafunzo ya ufundi pamoja na maandalizi ya
nguvukazi yenye stadi na ujuzi kama sehemu muhimu ya
mkakati wa maendeleo ya raslimaliwatu nchini.

Katika mwaka wa fedha 2018/2019, nimekagua miradi kumi


inayohusina na sekta ya elimu kama inavyooneshwa katika
Jedwali 3.2.

Sekta ya Nishati na Madini


Kwa kuzingatia Sera ya Taifa ya Nishati ya Mwaka 2015, sekta
hii imeendelea kutekeleza programu za mijini na vijijini na
miradi inayolenga kufikisha umeme vijijini, na kukuza na
kuendeleza vyanzo vya nishati jadidifu na isiyo jadidifu. Kama
inavoainishwa kwenye Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano
Awamu ya Pili (FYDP II) sekta ya madini imeendelea kujikita
kwenye mapinduzi ya viwanda kupitia rasimali za madini,
metali, na vito vya thamani. Ili kufanikisha hili, miradi kadhaa
ilitekelezwa kwenye sekta hii kama vile; ujenzi wa ofisi za
madini katika kila mkoa, kujenga uwezo kupitia mradi wa
Usimamizi Endelevu wa Raslimali za Madini (SMMRP), na mradi
wa Uwazi na Uwajibikaji kwenye Sekta ya Madini
unaotekelezwa na TEITI.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 2


Katika mwaka wa fedha 2018/2019, nimekagua miradi 20,
ambapo kati ya miradi hiyo 17 ni ya nishati na mitatu ni ya
madini kama inavyooneshwa katika Jedwali 3.3

Sekta ya Afya
Sambamba na sera za Kitaifa za Kijamii na Kiuchumi,
Mikakati na Mipango ya Serikali, mikakati mahususi katika
sekta hii inasisitiza ushirikiano kati ya sekta binafsi na
umma katika utoaji wa huduma za afya, matumizi ya
teknolojia ya habari na mawasiliano katika kuimarisha
utoaji wa huduma za afya, na kuhamasisha usajili wa
wananchi katika bima ya afya ili wote wapatiwe huduma
bora za afya. Miradi hii ilitekelezwa kwa ajili ya kuinua
kiwango cha utoaji wa huduma za afya nchini.

Katika mwaka wa fedha 2018/2019, nimekagua jumla ya


miradi 12 kama inavyooneshwa katika Jedwali 3.4.

Sekta ya Uchukuzi
Katika sekta ya uchukuzi, Serikali imenuia kuboresha
miundombinu ya uchukuzi kulingana na Sera ya Taifa ya
Uchukuzi ya Mwaka 2011 – 2025. Katika kutekeleza sera hii,
Serikali imekuwa ikiongeza jitihada za kuboresha viwanja vya
ndege, barabara, reli, na bandari kwa shughuli zake za
kiuchumi na kijamii ndani na nje ya nchi.

Katika Mwaka wa Fedha 2018/2019, nimekagua miradi


kumi inayohusiana na sekta hii kama inavyooneshwa katika
Jedwali 3.5.

Sekta ya Maji
Wizara ya Maji na Umwagiliaji imekuwa ikitekeleza
mageuzi katika sekta ya maji kwa lengo la kuboresha
usimamizi wa pamoja wa rasilimali za maji pamoja na
uboreshaji wa usambazaji wa maji safi na maji taka mijini
na vijijini. Ili kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 3


Maendeleo ya Mwaka 2025, Programu ya Maendeleo ya
Sekta ya Maji ilianzishwa kupitia Sera ya Taifa ya Maji ya
Mwaka 2002. Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji
ndiyo mradi mkubwa katika sekta ya maji, pamoja na
miradi mingine inayosaidia lengo kuu la kuboresha
upatikanaji wa maji safi na huduma za maji taka mijini na
vijijini.

Katika mwaka wa fedha 2018/2019, nimekagua miradi saba


inayohusiana na sekta ya maji kama inavyooneshwa
kwenye Jedwali 3.6.

Sekta ya Jamii na Miradi Mingine


Mradi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Awamu ya III
(TASAF III) - Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini ni sehemu
ya mkakati mkubwa katika sekta hii na unahusisha mambo
mbalimbali mtambuka kama vile utunzaji wa mazingira,
uboreshaji wa makazi ya binadamu na kujenga uwezo
katika maeneo ya kimkakati kama vile sheria, utawala bora
na ulinzi wa rasilimali.

TASAF III ni sehemu ya Mkakati wa Taifa wa Kuondoa


Umaskini ulioanzishwa ili kuwezesha jamii kupata fursa
zinazochangia kuboresha maisha kama yanavyohusianishwa
na Malengo ya Maendeleo ya Milenia yaliyoelezwa katika
Mkakati wa Taifa wa Kupunguza Umaskini Tanzania. Lengo
la mradi huu ni kujenga mtandao wa usalama wa kijamii,
ambao ni jumuishi na wenye ufanisi, na shabaha sahihi kwa
ajili ya maeneo masikini na yenye mazingira magumu ndani
ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mradi huu
unatekelezwa kupitia Mamlaka za Serikali za Mitaa ambapo
ndipo kuna wanufaika.

Miradi Mingine
Miradi mingine ni ile inayohusisha shughuli mbalimbali
mtambuka kama vile mazingira, utalii, uvuvi, sheria,

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 4


kujenga uwezo, kupunguza umasikini n.k. Washirika wa
Maendeleo wa miradi hii ni pamoja na Benki ya Dunia,
Benki ya Maendeleo ya Afrika, Shirika la Maendeleo la
Umoja wa Mataifa, Shirika la Umoja wa Mataifa
linalohudumia Watoto, na washirika wengine wa
maendeleo.

Katika mwaka wa fedha 2018/2019, nimekagua mradi


mmoja katika sekta ya jamii (TASAF) na miradi mingine 24
kama inavyooneshwa kwenye Jedwali 3.7.

1.3 Wajibu wa Maafisa Masuuli


Maafisa Masuuli3 wanatakiwa kwa mujibu wa kifungu Na. 25(2)
cha Sheria ya Fedha ya Mwaka 2001 (kama ilivyorekebishwa
mwaka 2004) kuandaa taarifa sahihi za fedha kwa kila mwaka
wa fedha zinazoonesha mapato na matumizi ya miradi hadi
kufikia mwisho wa mwaka wa fedha husika.

Aidha, maagizo 11, 14 na 31(1) ya Randama ya Fedha za


Serikali za Mitaa ya Mwaka 2009, na Mkataba wa Makubaliano
baina ya watekelezaji wa miradi na Washirika wa Maendeleo
unawataka wahusika kuhakikisha kwamba kumbukumbu sahihi
za kihasibu za miradi zinatunzwa vizuri; na mfumo thabiti wa
udhibiti wa ndani katika taasisi unakuwepo.

1.4 Wajibu wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali


Kifungu Na. 10 cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma ya Mwaka 2008
kinanitaka nijiridhishe iwapo taarifa za fedha zimeandaliwa
kwa misingi ya viwango vya kihasibu, na kwamba tahadhari za
kutosha zimechukuliwa kulinda ukusanyaji wa mapato. Aidha,
kifungu kinanitaka nijiridhishe iwapo matumizi yote
yameidhinishwa na kutumika kwa kusudi lililopangwa kwa
mujibu wa sheria na kwamba miongozo na maelekezo husika

3
Maafisa Masuuli katika mamlaka za serikali za mitaa, serikali kuu, idara na mashirika ya umma na
taasisi zingine zinazotekeleza miradi ya maendeleo.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 5
yamezingatiwa, na iwapo kuna ufanisi katika matumizi ya
fedha za umma.

Pia, Kifungu cha 48(3) cha Sheria ya Manunuzi ya Umma Na. 7


ya Mwaka 2011 kinanitaka katika taarifa yangu nitoe tathmini
iwapo taarifa nilizokagua zinakidhi matakwa ya sheria na
kanuni zake.

1.5 Mawanda na Viwango vya Ukaguzi Vilivyotumika

1.5.1 Mawanda ya Taarifa


Taarifa hii inajumuisha miradi ya maendeleo inayopatiwa
fedha na Serikali ikishirikiana na Washirika wa Maendeleo.
Aidha, inatoa uchambuzi wa ithibati binafsi za kaguzi 4554 na
taarifa za ukaguzi zilizofanyika katika miradi 90. Miradi hii
ilitekelezwa na taasisi 4225 katika mwaka wa fedha 2018/2019
kama inavyooneshwa katika Jedwali 1.1.

Jedwali 1.1: Idadi ya Miradi Iliyokaguliwa kwa Sekta kwa


Mwaka wa Fedha 2018/2019
Na. Sekta Idadi ya Miradi Idadi ya Taasisi Idadi ya Taarifa
Iliyokaguliwa Zilizokaguliwa za Ukaguzi
1 Nishati na Madini 20 6 20
2 Maji 7 189 189
3 Uchukuzi 10 4 10
4 Afya 12 188 195
5 Kilimo 6 5 6
6 Elimu 10 3 10
7 Jamii na Miradi 25 27
Mingine 25
Jumla 90 422 455
Chanzo: Ithibati za Ukaguzi na Taarifa za Ukaguzi kwa mwaka wa fedha ulioishia tarehe
30 Juni 2019

Mawanda ya kaguzi zilizofanyika kwa kila mradi zinahusisha


mfumo wa taarifa za fedha, udhibiti wa ndani wa shughuli

4
Idadi ya kaguzi zilizofanyika inategemea idadi ya miradi inayotekelezwa na taasisi husika.
5
Taasisi moja inaweza kutekeleza mradi zaidi ya mmoja.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 6
mbalimbali za mradi zilizokaguliwa, uzingatiaji wa sheria na
kanuni ikiwa ni pamoja na kanuni za manunuzi na matakwa
mengine maalumu yanayoongoza shughuli za miradi. Kaguzi
hizi zilifanywa kwa kuzingatia sampuli; Hivyo, ukomo wa
matokeo ya ukaguzi yalitokana na uwasilishaji wa
kumbukumbu, nyaraka, na taarifa zilizoombwa kwa ajili ya
kaguzi husika.

Lengo kuu la kufanya ukaguzi ni kuniwezesha kujiridhisha


kwamba taarifa za fedha kwa ujumla wake hazina makosa
yatokanayo na udanganyifu au dosari na kwamba zimeandaliwa
kwa mujibu wa mfumo wa utoaji taarifa wa kifedha na iwapo
sheria na kanuni zimefuatwa.

1.5.2 Viwango vya Ukaguzi Vilivyotumika


Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ni
mwanachama wa Jumuiya ya Kimataifa ya Asasi Kuu za Ukaguzi
wa Hesabu (INTOSAI) na Jumuiya ya Asasi Kuu za Ukaguzi kwa
Nchi za Afrika Zinazozungumza Kiingereza (AFROSAI-E). Hivyo,
taratibu zilizotumika zimezingatia viwango vya Kimataifa vya
Ukaguzi kama vile ISSAI na ISA vinavyotolewa na INTOSAI na
Shirikisho la Kimataifa la Wahasibu na Wakaguzi (IFAC)
mtawalia.

Viwango hivi vinanitaka kuzingatia maadili katika kuandaa na


kutekeleza ukaguzi wangu ili kupata uhakika kwamba taarifa
za fedha ni sahihi na hazina makosa makubwa na zimeandaliwa
kwa mujibu wa makubaliano yaliyosainiwa baina ya wabia.

1.6 Mbinu za Ukaguzi


Mbinu zangu za ukaguzi ni pamoja na kutathmini
kumbukumbu za uhasibu na taratibu zingine ili kukidhi
malengo ya ukaguzi. Taratibu za ukaguzi wangu
zinajumuisha hatua zifuatazo:
• Kupanga ukaguzi ili kutambua na kutathmini hatari za
kuwa na taarifa zisizo sahihi, ama kutokana na
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 7
udanganyifu au dosari; na kwa kuzingatia uelewa wa
taasisi na mazingira yake, ikiwa ni pamoja na mifumo
ya udhibiti wa ndani ya kila taasisi.
• Kupata uthibitisho sahihi na toshelevu iwapo kuna
taarifa zisizo sahihi kwa kusanifu na kutekeleza hatua
stahiki dhidi ya viashiria vyote vya hatari
vilivyoainishwa.
• Kutembelea shughuli za miradi na kutathmini utendaji
na utekelezaji wake.
• Kutathmini ili kuona iwapo sheria, kanuni, na matakwa
ya miradi yamezingatiwa kikamilifu.
• Kutoa maoni juu ya taarifa za kifedha zilizokaguliwa
kulingana na hitimisho linalotokana na ushahidi wa
ukaguzi uliopatikana.
• Kufuatilia utekelezaji wa matokeo ya ukaguzi wa
mwaka uliopita na kuhakikisha kwamba hatua sahihi
zimechukuliwa kuhusiana na masuala yote
yaliyoainishwa.

1.7 Muundo wa Taarifa


Taarifa hii ina sura saba kama ifuatavyo:

Sura ya Kwanza inaelezea usuli na taarifa ya jumla


inayojumuisha taarifa za miradi iliyokaguliwa katika kila sekta;
wajibu wa Maafisa Masuuli; wajibu wa Mdhibiti na Mkaguzi
Mkuu wa Hesabu za Serikali; mawanda ya ukaguzi; mbinu za
ukaguzi; pamoja na viwango vya ukaguzi vilivyotumika. Sura ya
Pili inaonesha hali ya utekelezaji wa mapendekezo ya taarifa
za kaguzi za miaka ya nyuma. Sura ya Tatu inaonesha utendaji
wa kifedha ikiwemo ufadhili wa miradi, maoni ya ukaguzi
yaliyotolewa, na matokeo ya ukaguzi yanayohusiana na
usimamizi wa fedha; Wakati Sura ya Nne inaonesha hali ya
utekelezaji wa miradi; na Sura ya Tano inaonesha matokeo ya
ukaguzi yaliyotokana na usimamizi wa manunuzi na utawala wa
miradi. Sura ya Sita ni hitimisho linalotokana na matokeo ya
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 8
ukaguzi; na Sura ya Saba inajumuisha mapendekezo
yanayotokana na masuala yaliyojiri kwenye sura zilizotangulia.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 9


SURA YA PILI

HALI YA UTEKELEZAJI WA MAPENDEKEZO YA TAARIFA ZA


KAGUZI ZA MIAKA YA NYUMA

2.1 Utangulizi
Taarifa zangu za ukaguzi wa miradi ya maendeleo zinazoishia
30 Juni 2018, zilikuwa na jumla ya mapendekezo 5,185. Sura
hii inatoa taarifa ya hali ya utekelezaji wa mapendekezo.
Mapendekezo yangu ya ukaguzi yanayotolewa kwa wakaguliwa
hulenga kuwasaidia watekeleza miradi kurekebisha kasoro
zilizoonekana wakati wa ukaguzi na kupendekeza suluhisho
kwa ajili ya maboresho ya baadae.

2.2 Hali ya Utekelezaji wa Mapendekezo ya Kaguzi Zilizopita


Kama inavyoonekana kwenye Jedwali 2.1, mchanganuo
unaonesha kuwa mapendekezo 1,555 sawa na asilimia 30
yalitekelezwa; mapendekezo 1,061 sawa na asilimia 20
yanaendelea kutekelezwa; mapendekezo 1,772 sawa na
asilimia 34 hayakutekelezwa; mapendekezo 388 sawa na
asilimia nane yamejirudia; na mapendekezo 409 sawa na
asilimia nane yamepitwa na wakati.

Jedwali 2.1: Utekelezaji wa Mapendekezo Katika Taarifa za


Kaguzi za Miaka ya Nyuma
Sekta Jumla Mapende Mapend Mapende Mapend Mapen
mapendek kezo ekezo kezo ekezo dekezo
ezo ya Yaliyote Yanayoe ambayo yaliyojir yaliyop
Miaka ya kelezwa ndelea hayajate udia itwa na
Nyuma kutekel kelezwa Wakati
ezwa
Kilimo 64 35 8 15 3 3
Elimu 109 31 54 5 15 4
Nishati na
55 21 25 6 2 1
Madini
Afya 2,347 678 404 914 180 171
Maji 2,139 489 470 770 185 225
Uchukuzi 132 63 38 27 1 3
Jamii 208 173 18 16 0 1

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 10


Sekta Jumla Mapende Mapend Mapende Mapend Mapen
mapendek kezo ekezo kezo ekezo dekezo
ezo ya Yaliyote Yanayoe ambayo yaliyojir yaliyop
Miaka ya kelezwa ndelea hayajate udia itwa na
Nyuma kutekel kelezwa Wakati
ezwa
Miradi
131 65 44 19 2 1
Mingine
Jumla 5,185 1,555 1,061 1,772 388 409
Asilimia 100 30 20 34 8 8
Chanzo: Ufuatiliaji wa Taarifa za Ukaguzi za Miaka Iliyopita 2017/18

Jedwali 2.1 linaonesha dhahiri kuwa hali ya utekelezaji wa


mapendekezo bado hairidhishi kwa kuwa ni asilimia 30 tu ya
mapendekezo yangu ndiyo yametekelezwa.

Aidha, uchambuzi kwa miaka minne mfululizo unaonesha bado


utekelezaji wa mapendekezo yangu kwa miradi ya maendeleo
hauridhishi kwa kuwa umekuwa chini ya asilimia 50 kama
inavyoonekana kwenye kielelezo 2.1. Hivyo, ninawahimiza
Maafisa Masuuli kuhakikisha kiwango cha utekelezaji
kinaongezeka ili kuboresha uendeshaji wenye tija na ufanisi
katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

45
40
35
30
Asillimia

25
20
15
10
5
-
Mapendeke
Mapendeke Mapendeke Mapendeke
zo
zo zo ambayo zo
yanayoende
yaliyotekele hayajatekel yaliyopitwa
lea
zwa ezwa na wakati
kutekelezwa
2018/2019 30 20 42 8
2017/2018 35 18 34 13
2016/2017 29 17 35 19
2015/2016 22 22 40 16

Kielelezo 2.1: Mwenendo wa Utekelezaji wa Mapendekezo ya Ukaguzi

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 11


SURA YA TATU

UTENDAJI WA KIFEDHA

3.1 Utangulizi
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2018/2019, miradi
iliyokaguliwa ilikuwa na jumla ya Shilingi trilioni 3.43 ambapo
jumla ya Shilingi trilioni 2.31 zilitumika na kusalia kiasi cha
Shilingi trilioni 1.12. Sura hii inaelezea fedha za miradi ya
maendeleo zilizokaguliwa katika mwaka wa fedha 2018/2019.

Aidha, inatoa muhtasari wa fedha zilizotolewa na kutumika na


watekeleza miradi kwa mpangilio wa kisekta. Pamoja na hayo,
sura hii inatoa maelezo kuhusu hati za ukaguzi zilizotolewa,
pamoja na uchambuzi wa matokeo ya ukaguzi kwenye
usimamizi wa fedha.

3.2 Ufadhili wa Miradi


Ufuatao ni mchanganuo wa fedha zilizopokelewa na
kutumiwa na watekeleza miradi katika sekta saba ambazo
ni Kilimo, Elimu, Nishati na Madini, Afya, Uchukuzi, Maji,
na Jamii; pamoja na miradi mingine kama itakavyoonekana
katika aya zinazofuata.

3.2.1 Sekta ya Kilimo


Katika kipindi cha ukaguzi, nimekagua miradi sita
iliyotekelezwa katika sekta ya Kilimo iliyokuwa na fedha
kiasi cha Shilingi bilioni 52.2 kwa ajili ya matumizi ambapo
kiasi cha Shilingi bilioni 42.73 kilitumika na kusalia kiasi
cha Shilingi bilioni 9.47 kwa ajili ya utekelezaji wa
shughuli zilizosalia (Jedwali 3.1).

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 12


Jedwali 3.1: Muhtasari wa Mapato na Matumizi (Kiasi Katika
Shilingi/Milioni)
Jumla ya Matumizi Bakaa
Na. Jina la Mradi
Mapato (Sh) (Sh) Ishia (Sh)
1 Mradi wa Kituo Mahiri cha
Teknolojia Bunifu za Udhibiti wa
3,215.43 1,515.58 1,699.85
Panya na Uendelezaji wa
Teknolojia za Unusaji
2 Kituo cha Utafiti wa Ufundishaji
wa Maendeleo Endelevu ya 1,672.47 1,645.71 26.76
Kilimo
3 Mradi wa Upanuzi wa Uzalishaji
7,539.08 6,184.64 1,354.44
wa Mpunga
4 Programu ya Miundombinu ya
Masoko, Uongezaji wa Thamani, 25,866.1 19,884.95 5,981.15
na Msaada wa Fedha Vijijini
5 Mradi wa Uwekezaji katika
Kukuza Kilimo Kusini mwa 6,004.91 5,600.34 404.567
Tanzania (SAGCOT-CTF)
6 Mradi wa Uwekezaji katika
Kukuza Kilimo Kusini mwa 7,901.36 7,901.36 0
Tanzania (SAGCOT-SIP)
Jumla 52,199.34 42,732.58 9,466.77
Chanzo: Taarifa ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha Unaoishia Tarehe 30 Juni 2019

3.2.2 Sekta ya Elimu


Sekta hii imehusisha miradi kumi iliyotekelezwa na Wizara
ya Elimu, Sayansi, na Teknolojia. Katika kipindi cha mwaka
wa ukaguzi, kulikuwa na kiasi cha Shilingi bilioni 402.64
kwa ajili ya matumizi ambapo kiasi cha Shilingi bilioni
273.65 kilitumika na kusalia kiasi cha Shilingi bilioni 128.99
kwa ajili ya kutekeleza shughuli zilizosalia (Jedwali 3.2).

Jedwali 3.2: Muhtasari wa Mapato na Matumizi (Kiasi Katika


Shilingi/Milioni) - Sekta ya Elimu
Jumla ya Matumizi Bakaa Ishia
Na. Jina la Mradi
Mapato (Sh) (Sh) (Sh)
1 Matokeo Makubwa Sasa katika
Mradi wa Elimu ya Malipo kwa 247,663.38 194,831.13 52,832.25
Matokeo
2 Programu ya Elimu na Ujuzi kwa
97,207.95 45,777.44 51,430.51
Ajili ya Kazi za Uzalishaji
3 Mpango wa Kukuza Stadi za
Kusoma, Kuandika na Kuhesabu 3,111.97 3,102.04 9.93
(LANES)
4 Chuo cha Sayansi na Teknolojia
Afrika – Nelson Mandela 3,081.07 2,487.75 593.31

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 13


Jumla ya Matumizi Bakaa Ishia
Na. Jina la Mradi
Mapato (Sh) (Sh) (Sh)
5 Programu ya Kusaidia Elimu ya
Ufundi, Mafunzo na Elimu kwa 6,688.15 6,670.25 17.90
Walimu (STVET)
6 Mafunzo ya Uongozi na
Usimamizi wa Elimu katika
Ngazi ya Cheti kwa Njia ya 812.71 765.21 47.5
Masomo ya Masafa
7 Mradi wa Kujenga Mifumo Bora,
Tafiti zinazoendana na Mahitaji 3,174.01 2,969.1 204.91
Halisi Tanzania
8 Programu ya Tafiti Shirikishi
1,265.74 605.85 659.89
9 Mradi wa Kusaidia Elimu kwa
23,492.11 11,664.86 11,827.25
Walimu (TESP)
10 Mradi wa Kuboresha Vyuo vya
Ualimu (Kitangali,
16,141.44 4,772.43 11,369.01
Mpuguso,Shinyanga and Ndala)
(UTC)
Jumla 402,638.53 273,646.06 128,992.46
Chanzo: Taarifa za Ukaguzi kwa Mwaka wa Fedha Ulioishia Tarehe 30 Juni 2019

3.2.3 Sekta ya Nishati na Madini


Katika mwaka wa fedha 2018/2019, miradi 20 iliyokaguliwa
katika sekta hii ilikuwa na fedha kiasi cha Shilingi bilioni
688.13 kwa ajili ya matumizi ambapo Shilingi bilioni 480.55
zilitumika na kusalia kiasi cha Shilingi bilioni 207.57 sawa na
asilimia 30 kwa ajili ya kutekeleza shughuli zilizosalia (Jedwali
3.3). Serikali ya Tanzania ilichangia kwa pamoja na Washirika
wa Maendeleo katika kufadhili miradi kadhaa katika sekta hii.
Washirika wa Maendeleo ni pamoja na Benki ya Dunia, Benki ya
Maendeleo Afrika, Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa,
Shirika la Misaada la Kanada, na Umoja wa Ulaya.

Jedwali 3.3: Muhtasari wa Mapato na Matumizi (Kiasi Katika


Shilingi/Milioni) – Sekta ya Nishati na Madini
Jumla ya Matumizi Bakaa Ishia
Na. Jina la Mradi
Mapato (Sh) (Sh) (Sh)
1 Mradi wa Kujenga Uwezo katika
2.41 2.27 0.14
Sekta ya Nishati na Uziduaji
2 Mradi wa Kujenga Uwezo wa Sekta
4.3 3.54 0.76
ya Nishati ( ESCBP)
3 Mradi wa Kujenga Uwezo wa Sekta
3,431.48 3,431.48 -
ya Nishati ( ESCBP)- EWURA

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 14


Jumla ya Matumizi Bakaa Ishia
Na. Jina la Mradi
Mapato (Sh) (Sh) (Sh)
4 Upembuzi Yakinifu wa Mradi wa
0.4 0.4 -
Bwawa la Kikonge
5 Mradi wa Kusafirisha Umeme
Mkubwa na Uwekaji Umeme 1,147.77 1,147.77 -
Vijijini - Geita- Nyakanazi 220kv
6 Mradi wa Kuunganisha Umeme
207.31 13 194.31
Kenya na Tanzania
7 Mradi wa Kusafirisha Umeme
Mkubwa na Uwekaji Umeme 476,181.51 336,757.58 139,424.93
Vijijini - Makambako-Songea 220kv
8 Mradi wa Maendeleo ya Gesi Asilia 23.0 23.0 -
9 Mradi wa Umeme wa Maporomoko
1,124.58 762.02 362.56
ya Maji ya Mto Rusumo
10 Mradi wa Ukarabati wa Kituo cha
208.55 9.70 198.85
Umeme wa Nguvu ya Maji - Hale
11 Wakala wa Nishati Vijijini – Mradi
178,454.84 111,559.95 66,894.89
unaofadhiliwa na Benki ya Dunia
12 Mradi Endelevu wa Nishati kwa
265.58 240.89 24.78
Wote (SE4ALL)
13 Mradi wa Kuboresha na Kukarabati
2,011.21 2,011.21 -
Gridi ya Umeme
14 Shirika la Umeme Tanzania -
4.61 4.18 0.43
Bulyanhulu Geita
15 Mradi wa Maendeleo ya
Upatikanaji na Ukuzaji wa Nishati 1,215.42 1,215.42 -
Tanzania (TEDAP)
16 Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na
Uwajibikaji Katika Rasilimali za
71.61 0.29 71.32
Madini, Mafuta na Gesi Asilia –
Umoja wa Ulaya
17 Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na
Uwajibikaji Katika Rasilimali za
1,302.29 935.41 366.88
Madini, Mafuta na Gesi Asilia
(Serikali ya Tanzania na CIDA)
18 Mradi wa Maendeleo wa Kukuza
11.39 0.44 10.95
Nguvukazi
19 Uwekezaji wa Miundombinu ya
17.49 17.49 -
Msingi ya Kusafirisha Umeme (BTIP)
20 Mradi wa Usimamizi Endelevu wa
22,441.7 22,417.9 23.8
Raslimali za Madini - II
Jumla 688,127.45 480,553.97 207,574.60

Chanzo: Taarifa za ukaguzi kwa mwaka wa fedha ulioishia tarehe 30 Juni 2019

3.2.4 Sekta ya Afya


Sekta hii ina miradi mikubwa mitatu. Kwanza ni Mfuko Mkuu
wa Fedha za Afya unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Kidenimaki, Benki ya Dunia, Kanada, Ireland,
Shirika la Uhusiano wa Kimataifa la Korea Kusini, Uswisi, na
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 15
Shirika la Umoja wa Mataifa Linalohudumia Watoto. Pili ni
Mradi wa Kuimarisha Huduma za Afya ya Msingi (SPHC)
unaofadhiliwa na Benki ya Dunia; na tatu ni Mradi wa
Kupambana na Malaria, Kifua Kikuu na UKIMWI unaofadhiliwa
na Mfuko wa Afya wa Kimataifa.

Mfuko Mkuu wa Fedha za Afya 6 unalenga kuimarisha mfumo


wa afya Tanzania Bara kwa kutoa fedha za ziada kwa
Wizara na Mamlaka za Serikali za Mitaa. Mradi huu
unalenga kuinua ubora wa huduma za afya za msingi
hususani huduma za uzazi, watoto wachanga, na huduma
za afya ya mtoto Tanzania. Aidha mfuko7 unaisaidia Serikali
kujenga uwezo kwa kuinua rasilimali watu katika sekta ya
afya; kuboresha upatikanaji wa huduma na vifaa tiba bora
kwenye afya; na kuwezesha upatikanaji wa taarifa za
viwango kwenye sekta ya afya ili zitumike kufanya
maamuzi yenye tija kwenye sekta.

Katika mwaka wa fedha 2018/2019 kulikuwa na Shilingi


bilioni 656.15 kwa ajili ya matumizi, ambapo Shilingi
bilioni 482.48 zilitumika na kusalia kiasi cha Shilingi bilioni
173.66 kwa ajili ya kutekeleza shughuli za miradi
zilizosalia kama inavyooneshwa kwenye Jedwali Na. 3.4.

Jedwali 3.4: Muhtasari wa Mapato na Matumizi (Kiasi Katika


Shilingi/Milioni) – Sekta ya Afya
Jumla ya Bakaa Ishia
Na. Jina la Mradi Matumizi (Sh)
Mapato (Sh) (Sh)

1 Mradi wa Sayansi ya
Magonjwa ya Mishipa ya 5,153.31 4,566.22 587.09
Moyo - MUHAS
2 Mradi wa Mtandao wa
17,091.75 11,881.77 5,209.98
Maabara kwa Umma –

6
Fedha za Mfuko wa Afya zilitumiwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,
Mfuko wa Kimataifa wa Kupambana na Malaria, UKIMWI, na Kifua Kikuu na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
7
Mfuko mkuu wa fedha wa afya ambao unatekelezwa kupitia mifuko mitatu ambayo ni (i) Kifua Kikuu
(TB) (ii) UKIMWI (HIV AIDS) (iii) Malaria
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 16
Jumla ya Bakaa Ishia
Na. Jina la Mradi Matumizi (Sh)
Mapato (Sh) (Sh)

Afrika Mashariki
3 Mfuko wa Kimataifa -
222,644.59 170,114.91 52,529.68
UKIMWI
4 Mfuko wa Kimataifa – Mradi
wa Malaria na Kuboresha 96,096.85 64,172.24 31924.60
Mifumo ya Afya
5 Mfuko wa Kimataifa – Kifua
58,166.82 49,801.87 8,364.95
Kikuu
6 Mfuko wa Afya ya Jamii –
Mamlaka za Serikali za 9,457.09 7,824.97 1,632.11
Mitaa
7 Mradi wa Kusaidia Sekta ya
33,320.33 2,924.21 30,396.13
Afya
8 Kituo cha Kuchunguza
Magonjwa ya Kuambukiza
Kusini mwa Afrika.- Kituo 6,687.82 5,224.96 1,462.86
Mahiri Afrika cha
Magonjwa ya Kuambukiza
9 Programu ya Kuimarisha
Afya ya Msingi kwa 46,103.91 45,893.95 209.96
Matokeo (SPHC4R)
10 Programu ya Kuimarisha
Afya ya Msingi kwa 43,563.24 23,794.68 19,768.56
Matokeo – Wizara ya Afya
11 Ushirikiano wa Tafiti
katika Tafiti za Afya,
4,194.98 2,858.51 1,336.46
Mafunzo na Ubunifu kwa
Maendeleo Endelevu
12 Mfuko wa Afya – Mamlaka
113,668.33 93,426.39 20,241.94
za Serikali za Mitaa
Jumla 656,149.02 482,484.68 173,664.32
Chanzo: Taarifa za ukaguzi kwa mwaka fedha ulioishia tarehe 30 Juni 2019

3.2.5 Sekta ya Uchukuzi


Ufadhili wa miradi kumi ya maendeleo inayoendelea
kutekelezwa na TANROADS kwa ufadhili wa Benki ya
Maendeleo Afrika, Benki ya Dunia, Umoja wa Ulaya, Mfuko wa
Kuwaiti (Kuwait Fund), na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa
Japani (JICA).

Katika mwaka wa fedha 2018/2019, jumla ya Shilingi bilioni


864.32 zilipatikana kwa ajili ya matumizi ambapo Shilingi
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 17
bilioni 512.24 zilitumika na kusalia na kiasi cha Shilingi bilioni
352.08 kwa ajili ya kutekeleza shughuli za miradi zilizosalia
(Jedwali 3.5).

Jedwali 3.5: Muhtasari wa Mapato na Matumizi (Kiasi Katika


Shilingi/Milioni) – Sekta ya Uchukuzi
Jumla ya
Matumizi Bakaa Ishia
Na. Jina la Mradi mapato
(Sh) (Sh)
(Sh)
1 Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya
Kimataifa Arusha-Taveta/Holilii- 59,634.09 54,902.66 4,731.44
Voi
2 Mradi wa Maboresho ya Bandari
220,581.77 87,500.07 133,081.7
ya Dar es Salaam
3 Mradi wa Maendeleo ya Jiji Kuu
131,321.97 124,817.76 6,504.21
la Dar es Salaam
4 Programu ya Uboreshaji wa
Miundombinu ya Usafirishaji 114,379.32 49,170.95 65,208.37
Jijini Dar es Salaam (DUTP)
5 Mradi wa Kusaidia Sekta ya
16,319.34 16,319.34 0
Barabara - I
6 Mradi wa Kusaidia Sekta ya
18,191.29 18,173.67 17.62
Barabara - II
7 Mradi wa Uwezeshaji Biashara na
87.38 70.54 16.84
Usafirishaji Kusini mwa Afrika
8 Mradi wa Maendeleo ya Reli
136,271.95 6,589.34 129,682.61
Tanzania (TIRDP)
9 Mradi wa Kuboresha Miji
112,373.95 100,530.66 11,843.29
Tanzania - Fedha za ziada 2
10 Programu ya Kusaidia Sekta ya
Usafirishaji 55,160.54 54,167.10 993.43

Jumla 864,321.6 512,242.091 352,079.51


Chanzo: Taarifa za ukaguzi kwa mwaka fedha ulioishia tarehe 30 Juni 2019

3.2.6 Sekta ya Maji


Katika ukaguzi wangu, nilikagua miradi saba iliyofadhiliwa
na Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo Afrika, Shirika la
Maendeleo la Umoja wa Mataifa, Shirika la Misaada la
Ujerumani na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la
Uingereza. Uchambuzi wangu umebaini kuwa Shirika la
Misaada la Ujerumani na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa
la Uingereza ndiyo Washirika wakubwa wa Programu ya
Maendeleo ya Sekta ya Maji (WSDP) ambao ni mradi
mkubwa katika Sekta ya Maji. Miradi mingine sita
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 18
inayobakia ilifadhiliwa na Benki ya Dunia, Benki ya
Maendeleo Afrika, na Shirika la Maendeleo la Umoja wa
Mataifa.

Ili kutekeleza miradi katika sekta hii, Wizara ya Maji na


Umwagiliaji ilipeleka fedha katika Halmashauri 183, OR–
TAMISEMI na Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
Wazee na Watoto. Miradi iliyobaki ilipokea fedha zake
moja kwa moja kutoka kwa Washirika kwa ajili ya
utekelezaji wa miradi husika.

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2018/2019, kulikua na


kiasi cha Shilingi bilioni 313.46 kwa ajili ya matumizi
ambapo Shilingi bilioni 244.72 zilitumika na kusalia kiasi
cha Shilingi bilioni 68.74 kwa ajili ya utekelezaji wa
shughuli za miradi zilizosalia.

Taarifa hii imejumuisha miradi saba kama inavyooneshwa


kwenye Jedwali Na. 3.6.

Jedwali 3.6: Muhtasari wa Mapato na Matumizi


(Shilingi/Milioni) – Sekta ya Maji
Jumla ya Matumizi Bakaa Ishia
Na. Jina la Mradi
mapato (Sh) (Sh) (Sh)

1 Mradi wa Uimarishaji Endelevu wa


Mifumo ya Maji – Arusha Mjini 118,425.37 90,416.28 28,009.09

2 Kituo cha Miundombinu ya Maji na


Nishati Endelevu kwa Matumizi ya 2,795.48 1,814.94 980.53
Baadaye
3 Mradi wa Maji Safi na Usafi wa
45,587.41 31,874.28 13,713.13
Mazingira – Ziwa Viktoria
4 Programu ya Usambazaji wa
1,120.75 1,115.31 5.44
Huduma ya Maji Safi Vijijini
5 Programu ya Maendeleo ya Sekta ya
1,070.47 756.33 314.14
Maji Fungu 52

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 19


Jumla ya Matumizi Bakaa Ishia
Na. Jina la Mradi
mapato (Sh) (Sh) (Sh)

6 Mradi wa Kusaidia Sekta ya Maji II -


27,107.38 9,395.01 17,712.37
2018/20198
7 Programu ya Maendeleo ya Sekta ya
117,357.46 109,351.03 8,006.43
Maji – Mamlaka za Serikali za Mitaa
Jumla 313,464.32 244,723.18 68,741.13
Chanzo: Taarifa ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni 2019

3.2.7 Sekta ya Jamii na Miradi Mingine


Sekta hii inahusisha Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Awamu
ya Tatu (TASAF III) na Miradi Mingine kama ifuatavyo;

Sekta ya Jamii
Shughuli za TASAF III zinafadhiliwa na Serikali ya Tanzania,
Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Uingereza, Mfuko wa
Maendeleo wa Kimataifa wa Umoja wa Nchi Zinazozalisha
Mafuta, Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa, Shirika la
Misaada la Watu wa Marekani, Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Uingereza, Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo ya
Kimataifa la Uswidi na Mfuko wa Bill na Melinda Gates.

Katika mwaka wa fedha 2018/2019 TASAF III ilikuwa na


jumla ya Shilingi bilioni 193.67 ikijumuisha salio anzio la
Shilingi bilioni 29.95, ambapo jumla ya Shilingi bilioni
214.23 zilitumika na kubakia kiasi cha Shilingi bilioni 9.39.
Kati ya kiasi kilichotumika jumla ya Shilingi bilioni 178.32
kilipelekwa kwa watekeleza miradi ya TASAF (PAAs) 188 ili
kutekeleza shughuli za mradi.

8
Katika kipindi cha mwaka wa fedha, Nimekagua mradi huu kwa vipindi viwili vya mwaka wa
fedha 2017/2018 and 2018/2019, hata hivyo katika jedwali hapo juu nimeonesha taarifa za
mwaka 2018/2019 tu. Katika kipindi cha mwaka 2017/2018, Shilingi bilioni 12.77 zilikuwepo kwa
ajili ya matumizi ambapo Shilingi milioni 265.04 zilitumika na kusalia bakaa ya Shilingi bili oni
12.5 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za mradi zilizosalia.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 20
Miradi Mingine
Miradi mingine ilipokea fedha kutoka Benki ya Dunia, Benki
ya Maendeleo Afrika, Shirika la Maendeleo la Umoja wa
Mataifa, Shirika la Umoja wa Mataifa Linalohudumia
Watoto pamoja na washirika wengine wa maendeleo.

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2018/2019, kulikuwa


na Shilingi bilioni 139.18 kwa ajili ya matumizi ambapo
Shilingi bilioni 60.79 zilitumika na kusalia kiasi cha Shilingi
bilioni 78.39 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za miradi
iliyosalia (Jedwali 3.7).

Jedwali 3.7: Muhtasari wa Mapato na Matumizi (Kiasi


Shilingi/Milioni) – Miradi Mingine
Jumla ya Matumizi Bakaa Ishia
Na. Jina la Mradi
mapato (Sh) (Sh) (Sh)
1 Mradi wa Maboresho wa Huduma za
Mahakama na Utoaji wa Haki kwa 36,693.75 14,465.12 22,228.63
Wananchi
2 Mradi wa Kukuza Uwezo kwa Kuboresha
Matokeo na Ufanisi (ECDREP) Wizara ya 425.09 425.02 0.75
Fedha na Mipango
3 Mradi wa Mikopo ya Nyumba – Benki Kuu
37,932.29 1,985.82 35,946.47
ya Tanzania
4 Mradi wa Kuhimili Athari za Mabadiliko
ya Tabianchi Katika Maeneo ya Pwani 1,086.23 1,070.1 16.13
(LDCF)
5 Programu ya Kuwezesha Urasimishaji
10,200.49 9,875.47 325.02
wa Ardhi (LTSP)
6 Mradi wa Kusaidia Wabunge Kuboresha
Utekelezaji wa Majukumu yao - Ofisi ya 3,324.71 2,815.13 509.58
Bunge
7 Mradi wa Programu ya Maboresho ya
Mazingira ya Wawekezaji wa Ndani – OR 419.07 415.86 3.21
– TAMISEMI (LIC)
8 Mradi wa Kuondoa Umaskini, Kuwezesha
Vijana Kiuchumi na Maendeleo
283.49 283.49 -
Endelevu ya Mazingira – Wizara ya
Fedha na Mipango
9 Mradi wa Kuondoa Umaskini, Kuwezesha
Vijana Kiuchumi na Maendeleo
639.77 624.22 15.55
Endelevu ya Mazingira – Chuo Kikuu cha
Dar es Salaam
10 Mradi wa Maliasili Endelevu kwa Ukuaji
6,982.61 1,401.27 5,581.34
(REGROW)
11 Mradi wa Maliasili Endelevu kwa Ukuaji
6,801 130.07 6,670.93
– Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa Tanzania
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 21
Jumla ya Matumizi Bakaa Ishia
Na. Jina la Mradi
mapato (Sh) (Sh) (Sh)
(REGROW TANAPA)

12 Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika


na Kuongeza Uhakika wa Chakula katika 1,532.43 1,166.8 365.63
Maeneo Kame Tanzania (LDFS)
13 Mradi wa Kunusuru Vyanzo vya Maji
2,805.68 2,805.68 -
(SLM) – Bonde la Mto Pangani
14 Mradi wa Utekelezaji wa Hatua
Madhubuti za Kupunguza Uduni wa Hali
365.72 322.38 43.34
za Maisha na Uchumi kwa Jamii za Watu
wa Pwani Tanzania (fedha za nyongeza)
15 Mradi wa Usimamizi wa Uvuvi na Ukuaji
wa Pamoja Kusini Magharibi mwa Bahari 7,439.22 6,852.8 586.412
ya Hindi (SWIOFISH)
16 Mradi wa Kuondoa Vikwazo kwa
Wafanyabiashara katika Nchi za 356.24 123.63 232.6
Jumuiya ya Afrika Mashariki
17 Mpango wa Kusajili na Kutoa vyeti vya
Kuzaliwa kwa Watoto chini ya Miaka
2,659.83 2,089.03 570.8
Mitano – Mamlaka ya Usajii, Ufilisi na
Udhamini
18 Mradi wa Kukuza Uwezo kwa Kuboresha
Matokeo na Ufanisi (ECDREP) - Ofisi ya 205.89 205.89 -
Taifa ya Takwimu
19 Mradi wa Uhamasishaji wa Raslimali za
Ndani na Usimamizi Bora wa Maliasili 3,466.4 2,791.46 674.94
(ISP-DRM& NRG)
20 Mradi wa Kuwezesha Upatikanaji wa
Haki na Kulinda Haki za Binadamu - 697.42 697.07 0.35
Tanzania
21 Mradi Endelevu wa Kuwezesha Kuzuia
3,404.42 2,170.31 1,234.11
na Kupambana na Rushwa – Tanzania
22 Kituo cha Kudhibiti Hewa ya ukaa
726.34 864.8 -138.456
Nchini (NCMC)
23 Mfuko wa Taifa wa Kuendeleza Sayansi
8,818.36 5,427.1 3,391.27
na Teknolojia (NFAST)
24 Mradi wa Usimamizi na Uhifadhi Vyanzo
1,910.38 1,776.65 133.74
vya Maji Kihansi (KCCMP)
Jumla 139,176.83 60,785.17 78,392.35
Chanzo: Taarifa za ukaguzi kwa mwaka fedha ulioishia tarehe 30 Juni 2019

3.3 Hati za Ukaguzi Zilizotolewa


Moja ya wajibu wangu kama Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali ni kuwahakikishia wadau wa miradi ya
maendeleo iwapo taarifa za fedha zimeandaliwa kwa
usahihi katika hali zote, ambazo ni pamoja na taarifa ya
hali ya fedha hadi tarehe 30 Juni 2019, taarifa ya utendaji

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 22


wa kifedha, taarifa ya mtiririko wa fedha, na taarifa za
akaunti zingine zilizoandaliwa ili ziendane na miongozo.

Hati ya ukaguzi inachukuliwa kuwa jambo muhimu wakati


wa kuripoti taarifa za fedha kwa watumiaji wa taarifa
hizo. Katika sekta ya Umma, hati ya ukaguzi inawajulisha
watumiaji wa taarifa za fedha za miradi ya maendeleo
iwapo taarifa hizo zimeandaliwa kwa kuzingatia viwango
vya kimataifa vya uhasibu katika sekta ya Umma na kwa
namna inayotakiwa kwa mujibu wa Kifungu 25(4) cha
Sheria ya Fedha za Umma ya Mwaka 2001 (iliyorekebishwa
mwaka 2004). Vilevile, taarifa za fedha zinapaswa
kuandaliwa kwa mujibu wa Agizo la 11-14 la Randama ya
Fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa ya Mwaka 2009,
pamoja na makubaliano baina ya Serikali na Washirika wa
Maendeleo.

Kwenye ukaguzi huu wa miradi ya maendeleo, nimetoa aina


tatu za hati za ukaguzi kwenye maeneo yafuatayo; taarifa za
fedha, mifumo ya udhibiti wa ndani, na uzingatiaji wa sheria
na kanuni. Katika mwaka wa fedha 2018/2019, nimetoa jumla
ya hati 468 za ukaguzi, kati ya hizo 455 zinahusu taarifa za
fedha na 139 zinahusu mifumo ya udhibiti wa ndani, na
uzingatiaji wa sheria na kanuni, kwenye miradi ya maendeleo
inayofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa;
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Watoto; Mradi wa
Miundombinu ya Masoko, Uongezaji wa Thamani, na Fedha
Vijijini;

Vilevile katika mwaka wa fedha 2018/2019 sijabaini udhaifu


mkubwa katika hati 13 za ukaguzi nilizotoa kutokana na
ukaguzi wa mifumo ya udhibiti wa ndani na uzingatiaji wa

9
Hati 12 zinahusu mifumo ya udhibiti wa ndani (mfuko mkuu wa afya, program ya maendeleo ya umoja
wa mataifa, na shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia watoto), na hati nyingine moja imetolewa kwa
Mradi wa Miundombinu ya Masoko, Uongezaji wa Thamani, na Fedha Vijijini.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 23
sheria na kanuni. Hati za ukaguzi zinazohusu taarifa ya fedha
zimejadiliwa kama ifuatavyo:-

3.3.1 Hati za Ukaguzi Zinazohusiana na Taarifa za Fedha


Katika mwaka wa fedha 2018/2019, nimekagua jumla ya
miradi ya maendeleo 455 na kutoa aina tatu za hati za ukaguzi
ambazo; 441 ni hati zinazoridhisha, 13 hati zenye shaka na hati
moja isiyoridhisha kama inavyoonekana kwenye Jedwali Na.
3.8 hapo chini:

Jedwali 3.8: Muhtasari wa Hati za Ukaguzi Zilizotolewa


Sekta Hati Za Ukaguzi Zilizotolewa
Hati Hati Hati Hati Jumla
Zinazoridhi Zenye Zisizori Mbaya
sha Shaka dhisha
Nishati na Madini 20 - - - 20
Maji 183 5 1 - 189
Uchukuzi 10 - - - 10
Afya 187 8 - - 195
Kilimo 6 - - - 6
Elimu 10 - - - 10
Jamii na Miradi Mingineyo 25 - - - 25
Jumla 441 13 1 455
Chanzo: Taarifa za Ukaguzi za miradi ya maendeleo unaoishia tarehe 30 Juni
2019

3.3.2 Mwenendo wa Hati za Ukaguzi


Mwenendo wa hati za ukaguzi katika kipindi cha miaka mitano
mfululizo ni kama inavyoonekana katika Jedwali Na. 3.9 na
Kielelezo 3.1, mwenendo huu unaonesha hali inayoridhisha
kwa hati za ukaguzi nilizotoa kwenye miradi ya maendeleo.

Kwa kuwa hati nyingi zenye shaka zimetokana na malipo yasiyo


na viambatisho na kumbukumbu za kutosha, ninaona kuna
nafasi kwa watekeleza miradi kuboresha uandaaji wa taarifa
zao za fedha na kuimarisha utunzaji wa kumbukumbu za
hesabu. Aidha, ninawashauri Maafisa Masuuli kuweka msisitizo
katika mafunzo ya utunzaji wa kumbukumbu na uandaaji wa
taarifa za fedha kwa watumishi.

Jedwali 3.9: Mwenendo wa Hati za Ukaguzi Zilizotolewa


Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 24
Mwaka wa Hati za ukaguzi zilizotolewa Jumla
fedha
Hati Hati
Hati zenye shaka
zinazoridhisha zisizoridhisha
Na. % Na. % Na. %
2018/2019 441 97 13 3 1 0.22 455
2017/2018 455 97 14 3 - - 469
2016/2017 697 94 44 6 1 0.13 742
2015/2016 725 91 71 9 1 0.12 797
2014/2015 739 92 60 8 - - 799
Chanzo: Taarifa za Ukaguzi za miradi ya maendeleo unaoishia tarehe 30 Juni 2019

120
100
80
Asilimia

60
40
20
0
2018/19 2017/18 2016/17 2015/16 2014/15
Hati inayoridhisha 97 97 94 91 92
Hati zenye shaka 3 3 6 9 8
Hati isiyoridhisha 0 0 0 0 0
Kielelezo 3.1: Mwenendo wa hati za ukaguzi kwa miaka mitano mfululizo

Hati Inayoridhisha
Aina hii ya hati hutolewa pale taarifa za fedha
zilizowasilishwa na kukaguliwa zinapotoa mtazamo wa
kweli na haki kwa shughuli zote zilizofanywa na kwamba
zimezingatia na kufuata mfumo wa uhasibu uliochaguliwa.
Kiambatisho I kinaonesha jumla ya hati zinazoridhisha 441
sawa na asilimia 97 ya jumla ya hati zote zilizotolewa kwa
watekeleza miradi. Idadi ya hati zinazoridhisha katika
mwaka wa fedha 2018/2019 ni asilimia 97 sawa na ile ya
mwaka wa fedha uliopita (2017/2018).

Hati Yenye Shaka


Hati yenye shaka hutolewa pale mapungufu yaliyojitokeza
ni makubwa lakini hayana athari kwenye taarifa za fedha
kwa ujumla.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 25


Katika kipindi cha mwaka wa ukaguzi, jumla ya hati zenye
shaka 13 sawa na asilimia tatu ya hati zote zilitolewa. Kati
ya hizo, nane zimetokana na Mfuko wa Afya na tano
zimetokana na Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji.
Idadi kubwa ya hati zenye shaka zimetolewa kwenye
taarifa za Mfuko wa Afya ikiwa ni asilimia 62 ikifuatiwa na
WSDP yenye asilimia 38. Idadi hii kubwa ya hati
zisizoridhisha imetokana na uwepo wa matumizi yenye
viambatanisho hafifu au yasiyo na viambatanisho.

Ni maoni yangu kuwa, kuwapo kwa matumizi yasiyo na


viambatisho kunathibitisha udhaifu katika udhibiti wa
matumizi na utunzaji wa kumbukumbu za hesabu katika
miradi hiyo, hali hii inaweza kusababisha fedha za miradi
kutumika kwenye shughuli au malengo yasiyokusudiwa.
Hivyo, Serikali na watekeleza miradi wanatakiwa
kuimarisha udhibiti wa ndani kwenye matumizi na utunzaji
wa kumbukumbu ili kuhakikisha kuna usimamizi imara wa
fedha za miradi.

Hati Isiyoridhisha
Hati isiyoridhisha hutolewa inapobainika kuwa taarifa za
fedha kwa kiasi kikubwa si sahihi zinapoangaliwa katika
ujumla wake; na kwamba, hazikuandaliwa kwa kuzingatia
mifumo ya kihasibu. Maelezo ya hati isiyoridhisha huwa
wazi ambapo inaeleza kwamba taarifa za fedha
hazikuzingatia na kufuata mfumo wa uhasibu na viwango
vya kimataifa vya uhasibu katika sekta ya umma.

Katika kipindi cha mwaka wa ukaguzi, nimetoa hati moja


isiyoridhisha kweye mradi wa Programu ya Maendeleo ya
Sekta ya Maji uliotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya
Handeni.

3.4 Matokeo ya Ukaguzi katika Usimamizi wa Fedha


Sehemu hii ninatoa tathmini ya hoja muhimu zinazotokana na
mapungufu katika usimamizi wa fedha na udhibiti kama
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 26
inavyoonekana kwenye taarifa za kaguzi 455 zilizotokana na
miradi 90 kama ifuatavyo.

3.4.1 Malipo ya Shilingi Bilioni 6.51 Yaliyofanyika Bila Uthibitisho


wa Stakabadhi za Kielektroniki
Nimebaini kuwa, watekeleza miradi 58 walifanya malipo
kiasi cha Shilingi 6,509,405,047.03 kwa ajili ya manunuzi
ya bidhaa na huduma bila kudai stakabadhi za kielektroniki
kinyume na Kanuni ya 28 (1) ya Kodi ya Mapato (Vifaa vya
Mfumo wa Kielectroniki) ya mwaka 2012. Kutokudai
stakabadhi za kielektroniki kunapunguza jitihada za
Serikali za kukusanya kodi na vile vile kunasaidia ukwepaji
wa kodi (Kiambatisho Na. II).

3.4.2 Kodi ya Zuio ya Shilingi Bilioni 3.86 Haikuwasilishwa kwa


Mamlaka ya Mapato Tanzania
Ukaguzi wangu umebaini kuwa watekeleza miradi 39
hawakuwasilisha kodi ya zuio kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania
(TRA) kiasi cha Shilingi 3,864,036,126.64 kinyume na Kifungu
83(1) (b) cha Sheria ya Kodi ya Mapato ya Mwaka 2004
(Iliyorekebishwa mwaka 2008) kinachowataka kukata kodi ya
zuio kutoka kwa wazabuni wa bidhaa na huduma na
kuwasilisha kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania siku saba baada
ya kukamilika kwa kila mwezi. Hivyo, Serikali ilikosa mapato
kutokana na kodi ambayo haikukusanywa (Kiambatisho Na. III
na IV).

3.4.3 Masurufu Kiasi cha Shilingi Bilioni 1.82 Hayakurejeshwa


Nilibaini kuwa watekeleza miradi 11 walikuwa na masurufu
kiasi cha Shilingi 1,842,784,598.73 ambayo hayakurejeshwa
ndani ya muda uliobainishwa baada ya kumalizika kwa shughuli
husika. Kushindwa kurejesha masurufu ndani ya muda
uliobainishwa ni kinyume na Agizo 40 (3) la Randama ya Fedha
za Serikali za Mitaa ya Mwaka 2009 na Kanuni 103(1) ya Sheria
ya Fedha za Umma ya Mwaka 2001(Iliyorekebishwa 2004).

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 27


Kwa kuzingatia maelezo ya hapo juu, nina wasiwasi na
ucheleweshaji wa urejeshaji wa masurufu hayo kwa kuwa
inaweza kupelekea kuwepo na hatari ya kutokutekelezwa kwa
shughuli zilizokusudiwa na pia wadau wanaweza kutilia shaka
kama kweli shughuli zilizokusudiwa zilikua zinahitajika.
(Kiambatisho Na. V).

3.4.4 Nyaraka za Malipo Zenye Thamani ya Shilingi Milioni 824.16


Hazikuwasilishwa kwa Ukaguzi
Mapitio ya usimamizi wa matumizi yamebaini kuwa
watekeleza miradi tisa hawakuwasilisha nyaraka za malipo
kiasi cha Shilingi 824,159,021.91.

Kutokuwepo kwa nyaraka za malipo kumeathiri mawanda


ya ukaguzi wangu katika kujiridhisha uhalali wa malipo
husika na pia ni kinyume na Agizo 34 (1) la Randama ya
Fedha za Serikali za Mitaa ya Mwaka 2009 na Kanuni 43 ya
Kanuni za Ukaguzi wa Umma za Mwaka 2009 (Kiambatisho
VI).

3.4.5 Malipo ya Shilingi Bilioni 3.11 Yenye Nyaraka Pungufu


Katika kipindi cha mwaka wa ukaguzi, nimebaini kuwa
matumizi kiasi cha Shilingi 3,105,033,861.12 yaliyofanyika
na watekeleza miradi 88 hayakuwa na nyaraka
zinazojitosheleza ikiwemo risiti za kukiri mapokezi ya
fedha na hati za madai. Hali hii ni kinyume na Agizo 8 (2)
la Randama ya Fedha za Serikali za Mitaa ya Mwaka 2009
na Kanuni 95(4) ya Sheria ya Fedha za Umma ya Mwaka
2001 (Kiambatisho VII).

3.4.6 Fidia ya Shilingi Bilioni 5.82 kwa Watu Walioathiriwa na


Miradi Hazijalipwa
Mapitio ya usimamizi wa miradi yamebaini kuwa fedha za
fidia kiasi cha Shilingi 5,815,781,142 hazikulipwa kwa watu
walioathirika na utekelezaji wa miradi ya Programu ya
Uboreshaji wa Miundombinu ya Usafirishaji Jijini Dar es
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 28
salaam (DUTP) na Programu ya Kusaidia Sekta Ya
Usafirishaji (TSSP) (Kiambatisho VIII).

3.4.7 Bakaa ya Shilingi Bilioni 2.49 hazijarejeshwa Shirika la


Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa la Uswidi (SIDA)
Nimebaini kuwa Shilingi 2,486,069,188.47 ambazo
hazikutumika kwenye utekelezaji wa shughuli za Mradi wa
Stadi za Kusoma, Kuandika, na Kuhesabu hazijarejeshwa
Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa la Uswidi.
Hii ni kinyume na kifungu cha 16 (urejeshwaji wa malipo)
cha makubaliano ya ufadhili kinachotaka bakaa kurejeshwa
kwa shirika hilo ndani ya siku 60 baada ya taarifa ya fedha
ya mradi iliyokaguliwa kusainiwa.

3.4.8 Bakaa ya Shilingi Bilioni 1.63 Hazijarejeshwa kwenye


Akaunti Zinazotunza Fedha za Washirika (Holding
Accounts)
Nimebaini kuwa Shilingi 1,632,113,281.3010 ikiwa ni bakaa ya
fedha za mradi wa Mfuko Mkuu wa Fedha za Afya
hazijarejeshwa kwenye Akaunti zinazotunza fedha za
Washirika (Holding Accounts) kwa muda wa miaka mitatu
kutokana na maombi ya kuhamisha fedha hizo kuchelewa
kupelekwa Wizara ya Fedha na Mipango. Kifungu 29 cha Sheria
ya Bajeti ya mwaka 2015 kinataka maombi ya kuhamisha fedha
kufanyika siku 15 kabla ya mwaka wa fedha kuisha.

Kuchelewa kurejeshwa kwa bakaa ya fedha kwenye Akaunti


zinazotunza fedha za washirika kunaweza kuathiri mapokezi ya
fedha kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli zilizokusudiwa.

3.4.9 Malipo ya Shilingi Milioni 201.32 Yasiyokubalika kwa Mujibu


wa Miongozo ya Mpango Kabambe wa Afya

10 Bakaa hizo kwa miaka mitatu ni kama ifuatavyo; Sh. 1,410,906,391.12 (2016/17), Sh.

134,429,235.54 (2017/18), na Sh. 86,777,654.65 (2018/19)


Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 29
Nilibaini kuwa kiasi cha Shilingi 201,320,075 kilitumiwa na
watekeleza miradi 22 kwa ajili ya shughuli mbalimbali za
sekta ya afya. Hata hivyo shughuli hizo haziruhusiwi
kulingana na aya ya 3.5 (j) ya miongozo ya Mpango
Kabambe wa Afya wa Halmashauri (CCHP) wa mwaka 2011
(Kiambatisho IX).

3.4.10 Malipo ya Shilingi Milioni 81.4 Yalifanyika Nje ya Bajeti


Mapitio ya usimamizi wa bajeti yamebaini kuwa watekeleza
miradi kumi walitumia kiasi cha Shilingi 81,398,800 kutekeleza
shughuli za miradi ambazo hazikuwa kwenye bajeti.

Kwa maoni yangu, kuwa na matumizi nje ya bajeti kunaweza


kuathiri kutofanikiwa kwa malengo ya miradi yaliyokusudiwa,
pia ni kinyume na Kanuni 46 (3) ya Sheria ya Fedha za Umma
ya Mwaka 2001 (iliyorekebishwa mwaka 2004). (Kiambatisho
X).

3.4.11 Malipo ya Shilingi Milioni 128.57 kwa Ajili ya Matengenezo


ya Magari kwenye Karakana Binafsi bila Kuhusisha TEMESA
Katika kipindi cha mwaka wa ukaguzi, nilibaini kuwa
watekeleza miradi 13 walifanya malipo kiasi cha Shilingi
128,569,648.65 ikiwa ni gharama ya kutengeneza magari
kwenye karakana binafsi bila ruhusa ya Wakala wa Ufundi
na Umeme Tanzania (TEMESA). Vilevile, nilibaini kuwa
magari hayo hayakukaguliwa na TEMESA kabla na baada ya
kufanyiwa matengezo. Hii ni kinyume na Kanuni ya
137(2)(3) za Kanuni za Manunuzi ya Umma za Mwaka 2013
(Iliyorekebishwa 2016)(Kiambatisho XI).

3.4.12 Kutolewa kwa Fedha Pungufu Kwenye Miradi ya Maendeleo


Shilingi Bilioni 164.23
Katika mwaka wa ukaguzi, nilibaini kuwa watekeleza miradi
walishindwa kutekeleza baadhi ya shughuli zilizopangwa
kutokana na kupokea fedha pungufu kulinganisha na bajeti
iliyoidhinishwa.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 30


Uchambuzi zaidi ulibaini kuwa jumla ya Shilingi
164,227,953,050.99 hazikutolewa kutoka Hazina na Washirika
kwa watekeleza miradi 158.

Aidha, nimebaini kuwa kutolewa kwa fedha pungufu kwenye


baadhi ya miradi kumesababishwa na kuchelewa au kutopeleka
taarifa za utekelezaji wa miradi kinyume na makubaliano na
Washirika wa Maendeleo husika. (Kiambatiso XII).

3.4.13 Malipo Yasiyokubalika Shilingi Bilioni 2.9


Katika mwaka wa ukaguzi, nilibaini wataekeleza miradi 20
walifanya malipo yasiyokubalika kiasi cha Shilingi
2,898,350,121.5 ambayo ni kinyume na matakwa ya mkataba.
(Kiambatisho XIII).

3.4.14 Malipo ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) Shilingi Bilioni


4.35 kwa Miradi Iliyosamehewa Kodi
Nilibaini kuwa wakati shughuli za miradi zikitekelezwa, miradi
17 ambayo imesamehewa kodi ililipa kodi ya ongezeko la
thamani kiasi cha Shilingi 4,347,531,003.62 kwa Mamlaka ya
Mapato Tanzania. Hii ni kinyume na makubaliano ya mikataba
ya utekelezaji wa miradi. (Kiambatisho XIV).

3.4.15 Fedha za Miradi Zilizokopwa Bila Kurejeshwa Shilingi Milioni


972.82
Nimebaini kwamba Maafisa Masuuli kwenye miradi saba
walikopa fedha za miradi kiasi cha Shilingi 972,822,256.31 ili
kugharamia matumizi mbali mbali ya kawaida bila kurejesha
fedha hizo kwenye miradi husika.
Ni maoni yangu kwamba, kutorejesha fedha hizo kunaweza
kuathiri utekelezaji wa miradi husika (Kiambatisho XV).

3.4.16 Serikali Kutochangia Sehemu ya Ufadhili wa Miradi Kiasi cha


Shilingi Bilioni 8.45

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 31


Makubaliano yaliyosainiwa kati ya Serikali na Washirika wa
Maendeleo yanahitaji Serikali kuchangia ufadhili wa
miradi.

Hata hivyo, nimebaini kuwa Serikali haikuchangia sehemu


ya ufadhili kwenye miradi miwili kama ilivyotakiwa;
ambapo kati ya Shilingi 11,782,602,972.9, Serikali
ilichangia Shilingi 3,335,383,989.5 (Sawa na asilimia 28) na
kupelekea Serikali kutochangia Shilingi 8,447,218,983.34.

Kwa maoni yangu, Serikali kutochangia ufadhili wa miradi


kunaweza kukwamisha utekelezaji wa miradi kwa ufanisi
na hivyo walengwa kushindwa kunufaika na miradi husika
(Kiambatisho XVI).

3.4.17 Uwepo wa Bakaa Dola Za Kimarekani Milioni 25.16 Kwa


Muda Mrefu Kwenye Akaunti Zinazotunza Fedha Za
Washirika
Mapitio yangu ya akaunti zinazotunza fedha za washirika
zilizopo Wizara ya Fedha na Mipango umebaini kuwepo kwa
bakaa kiasi cha Dola za Kimarekani 25,161,526.18
zinazohusiana na miradi 12 ambapo mingi ya miradi hiyo tayari
imeshafungwa na fedha zimeendelea kubaki kwenye Akaunti
hizo kwa muda hadi miaka saba. (Kiambatisho XVII).

Ni maoni yangu, bado kuna uwezekano wa kutumia fedha hizi


katika miradi mingine ya maendeleo badala ya kubakia kwenye
akaunti hizo bila ya kutumika.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 32


SURA YA NNE

UTEKELEZAJI WA MIRADI
4.1 Utangulizi
Miongoni mwa suala muhimu katika usimamizi wa miradi ni
kuhakikisha kuwa miradi inatekelezwa ndani ya muda, kwa
gharama zilizo ndani ya bajeti na inatumika kutoa huduma
zilizokusudiwa. Sura hii inatoa uchambuzi wa hoja na
utekelezaji wa miradi kisekta. Pia inaonesha hali ya
utekelezaji wa miradi, mapungufu na sababu za mapungufu
hayo.

4.2 Miradi Iliyoathirika Kutokana na Wakandarasi Kutokulipwa


Madai Yao

4.2.1 Sekta ya Uchukuzi

Kutolipwa Madai ya Wakandarasi Kiasi cha Shilingi Trilioni


1.03 (Ikijumuisha Shilingi Bilioni 224.03 za Riba ya Adhabu
na Shilingi Bilioni 13.02 za Madai ya Fidia)
Nimepitia miradi ya ujenzi wa barabara na viwanja vya ndege
inayotekelezwa na TANROADS na kubaini kuwa hadi kufikia
mwezi Novemba 2019 madai ya wakandarasi, wahandisi
washauri na watu waliothiriwa na miradi yanayofikia kiasi cha
Shilingi 1,030,136,423,627.27 kutokana na kucheleweshwa kwa
malipo ya hati za madai ya kazi, riba na fidia. Deni hilo
limetokana na madai ya kazi kiasi cha Shilingi
794,091,175,546.39 na riba iliyotokana na adhabu ya
kuchelewa malipo ya madai kiasi cha Shilingi
224,025,668,186.62 (mwaka husika Shilingi 166,930,716,964
jumlisha mwaka wa nyuma Shilingi 57,094,951,223), na madai
ya fidia kiasi cha Shilingi 13,019,579,894.23 zilizotokana na
kutolipwa watu waliothiriwa na miradi (Kiambatisho XVIII).

Nilibaini kuwa deni hilo la wakandarasi limesababishwa na


kuchelewa kupokea fedha za madai ya wakandarasi,
wahandisi washauri, na watu walioathiriwa na miradi
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 33
kutoka Wizara ya Fedha na Mipango hivyo kupelekea
TANROADS kushindwa kuwalipa kwa wakati. Hali hii
inaathiri uwezo wa kifedha wa wakandarasi na kupelekea
miradi hiyo kutokamilika kwa wakati na jamii husika
kutonufaika nayo kwa wakati uliokusudiwa. Aidha,
ucheleweshaji zaidi wa kulipa madeni hayo unaongeza riba
ya ucheleweshaji na kusababisha kuongezeka kwa gharama
za miradi kinyume na gharama zilizokadiriwa awali.

4.2.2 Sekta ya Maji

Kucheleweshwa kwa Malipo ya Kazi Zilizotekelezwa


Shilingi Bilioni 8.64
Masharti ya mikataba yanataka watekeleza miradi kulipa
madai ya kazi za wakandarasi ndani ya muda tajwa baada ya
madai hayo kuidhinishwa na wasimamizi wa miradi.

Aidha, ukaguzi wangu ulibaini ucheleweshaji wa malipo ya


wakandarasi kiasi cha shilingi 8,638,680,227 kwa kazi
zilizotekelezwa kwenye mikataba 43 ya Proramu ya Maendeleo
ya Sekta ya Maji (WSDP). Kati ya madai yaliyochelewa kulipwa,
madai ya shilingi 2,432,115,952 yalitokana na kuchelewa
kulipwa kwa kipindi cha hadi miezi saba kutokana na hati za
madai zinazohusiana na mikataba 10, na madai ya shilingi
6,206,564,276 yanatokana na kuchelewa kulipwa kwa hati za
madai zilizochelewa kulipwa kwa kipindi cha zaidi ya miezi 20
na zinatokana na mikataba 33 (Kiambatisho XIX).

Mtazamo wangu ni kuwa kuchelewesha malipo ya wakandarasi


kwa kazi ambazo wameshazifanya kunaweza kuongeza
gharama kwa serikali kutokana na riba na adhabu ya
ucheleweshaji wa malipo, aidha riba hiyo inaweza kuathiri
utekelezaji na kuongeza gharama za miradi.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 34


4.3 Kuchelewa Kuanza kutekeleza Mradi

4.3.1 Sekta ya Uchukuzi


Ukaguzi wangu wa mwaka huu umebaini kuchelewa kuanza
kwa ujenzi wa kituo cha pamoja cha forodha
Kasumulu/Songwe mkoani Mbeya kwa muda wa miezi
minne11 chini ya Mradi wa Uwezeshaji Biashara na
Uchukuzi wa Kusini mwa Afrika (SATTFP) kupitia mkataba
namba TRD/HQ/1088/2018/19 wenye thamani ya Shilingi
26,426,131,304.

Kuchelewa kuanza kwa kazi kulisababishwa na kuchelewa


kulipwa fidia kwa watu walioathirika na mradi. Kwa
mtazamo wangu, uchelewaji huu unapelekea jamii
kushindwa kunufaika na mradi ndani ya wakati
uliokusudiwa.

4.4 Miradi Isiyotekelezwa Kikamilifu

4.4.1 Sekta ya Nishati na Madini

Miradi ya REA Yenye Kazi Zisizoisha na Mikataba Iliyowazi


kwa Zaidi ya Miaka 10
REA imepanga kupeleka umeme kwenye vijiji 12,268 vya
Tanzania bara kupitia mradi wa “Turnkey” ambao ulianza zaidi
ya miaka 10 iliyopita12. Katika mwaka wa fedha niliokagua
nimebaini kwa zaidi ya miaka 10 iliyopita miradi 60 ya
“Turnkey” (miradi 14 “Turnkey” awamu ya kwanza na miradi
46 “Turnkey” awamu ya pili) na miradi mingine 105 ya umeme
vijijini pamoja na mikataba yake bado haijakamilika kutokana
na kutorekebishwa mapungufu ya baadhi ya kazi na
kutokutolewa kwa hati za kumaliza kazi ili kuthibitisha

11
Kazi zilianza mwezi Octoba 2019 badala ya Juni 2019
12
Miradi ya “Turnkey” awamu ya I, II, na II imekuwa ikifanyika katika miaka 2010/2012, 2013/2015, na
2018/2020 mtawalia.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 35
kwamba wakandarasi wamemaliza kandarasi hizo, Jedwali
4.1.

Nilitembelea miradi hiyo kwenye baadhi ya mikoa mwezi


Januari 2020 na kubaini kwamba wakandarasi hao
walishaondoka sehemu zao za kazi miaka kadhaa iliyopita bila
ya makubaliano na REA na TANESCO kuhusiana na kazi
zisizokamilika na mikataba iliyowazi. Hii imepelekea baadhi ya
kaya kutopata umeme kwa kipindi kirefu ingawa zilikuwemo
kwenye mawanda ya miradi ya “Turnkey” awamu ya kwanza na
pili.

Natambua juhudi zinazofanywa na REA katika kutatua tatizo


hili la kazi zisizoisha na mikataba isiyokamilishwa. Ni mtazamo
wangu kwamba REA kwa kushirikiana na wadau wengine kama
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) watakuja na mpango wa
kina kuhakikisha kwamba kipaumbele kinatolewa katika
kutatua kero hii ya ucheleweshaji ili kazi hizo zikamilishwe na
mikataba husika ifungwe kuepuka ucheleweshaji zaidi.

Aidha baadhi ya kaya zimeathirika kwa kutounganishiwa


umeme ingawa zipo kwenye vijiji ambavyo
vimeshaunganishwa na miundombinu ya umeme ya miradi
ya “Turnkey” awamu ya kwanza na ya pili. Aidha,
mapungufu haya ya awamu zilizopita yanaweza
kuchukuliwa kama funzo na kutumika kuboresha
utakelezaji wa miradi inayoendelea ya “Turnkey” awamu
ya III.
Licha ya jitihada zinazofanywa na menejimenti ya REA,
bado inayo wajibu wa kisheria kuhakikisha kwamba kazi
zilizosalia zinakamilishwa.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 36


Jedwali 4.1: Kazi Zisizokamilika Kwenye Mradi wa Turnkey
Awamu Ya I,II na Miradi Mingine ya Kuweka Umeme
Mwaka wa Awamu za mradi Idadi ya miradi Idadi ya Jumla ya
fedha iliyomalizika laniki miradi miradi
haijapokea hati za inayoendel
kumaliza kazi ea
2010/11 Turnkey awamu I 6 - 6
2011/12 Turnkey awamu I 2 - 2
2012/13 Turnkey awamu II 6 - 6
2013/14 Turnkey awamu II 4 31 35
2014/15 Turnkey awamu II 9 2 11
Jumla Ndogo 27 33 60
2008/09 Miradi mingine ya 2 - 2
kuweka umeme
2009/10 Miradi mingine ya 5 - 5
kuweka umeme
2010/11 Miradi mingine ya 6 - 6
kuweka umeme
2011/12 Miradi mingine ya 6 - 6
kuweka umeme
2012/13 Miradi mingine ya 13 2 15
kuweka umeme
2013/14 Miradi mingine ya 6 4 10
kuweka umeme
2014/15 Miradi mingine ya 8 34 42
kuweka umeme
2015/16 Miradi mingine ya 3 9 12
kuweka umeme
2016/17 Miradi mingine ya 4 3 7
kuweka umeme

Jumla Ndogo 53 52 105


Jumla Kuu 80 85 165
Chanzo: Ithibati ya Ukaguzi na Taarifa ya Fedha ya Mwaka wa Fedha Unaoishia 30
Juni 2019

4.5 Miradi Iliyokamilika Lakini Haijaanza Kutumika

4.5.1 Sekta ya Maji

Miradi ya Maji Isiyofanya Kazi Shilingi Bilioni 3.11


Wakati wa ukaguzi mwezi Disemba 2019 nilibaini miradi
saba ya maji chini ya Program ya Maendeleo katika Sekta
ya Maji (WSDP) yenye thamani ya shilingi 3,113,245,370.50
iliyotekelezwa katika Manispaa ya Singida ilikamilika tangia
Juni 2017 lakini hadi wakati wa ukaguzi huu mwezi

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 37


Disemba 2019 ilikua bado haijaanza kutumika ikiwa
imechelewa kwa zaidi ya miezi 30 kutokana na uharibifu
wa miundombinu ya maji na upatikanaji wa maji kwa
kiwango kidogo kutoka kwenye vyanzo (Jedwali 4.2).

Aidha nilibaini vituo vya maji vipatavyo 3,576 chini ya


watekeleza miradi 17 vikiwa havitoi maji kutokana na
kutofanyiwa matengenezo ya mara kwa mara (Kiambatisho
XX). Nimtazamo wangu kwamba, kutofanya kazi kwa vituo
hivyo kunapelekea jamii husika kutopata huduma ya maji
safi na salama kinyume na malengo ya miradi.

Jedwali 4.2: Miradi ya Maji Isiyotumika


Vijiji
Garama ya
Jina la Mradi vinavyohudumiwa
mkataba
na mradi
Skimu ya usambazaji Unyianga Unyianga 498,154,668.00
Skimu ya usambazaji Mtamaa-A Mtamaa-A 526,371,383.00
Skimu ya usambazaji Mtamaa-B Mtamaa-B 729,419,534.00
Skimu ya usambazaji Mwankoko-B Mwankoko-B 656,039,589.50
Skimu ya usambazaji Uhamaka Uhamaka 787,227,549.00
Skimu ya usambazaji Manga Manga 648,539,533.00
Skimu ya usambazaji Mtipa Mtipa 552,875,331.00
Jumla 3,113,245,370.50
Chanzo: Taarifa za ukaguzi kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 June 2019

4.5.2 Sekta ya Kilimo, Maji na Jamii

Miradi Iliyokamilika Lakini Haitumiki Bilioni 2.79


Katika sekta ya kilimo, maji na jamii nilibanini Halmashauri
kumi zilikuwa na miradi yenye thamani ya shilingi
2,790,740,669.62 ambayo ilikamilika lakini haijaanza
kutumika. Hii inajumuisha Halmashauri tatu zilizotekeleza
miradi ya MIVARF yenye thamani ya shilingi 1,472,177,950
katika sekta ya kilimo, Halmashauri tano zilizotekeleza miradi
ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii yenye thamani ya shilingi
636,579,815.62 katika sekta ya jamii na Halmashauri mbili
zilizotekeleza miradi ya Programu ya Maendeleo ya Sekta ya
Maji yenye thamani ya shilingi 681,982,904 katika sekta ya
maji (Kiambatisho XXI).
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 38
Ni mtazamo wangu kwamba, thamani ya fedha inakosekana
kwa mradi kuwa umekamilika lakini hautumiki.

4.6 Miradi Iliyochelewa Kukamilika

4.6.1 Sekta ya Maji


Katika ukaguzi wangu wa mwaka huu, nilibaini miradi 79 ya
maji yenye thamani ya shilingi 61,244,676,104
inayosimamiwa na watekeleza miradi 33 imechelewa
kukamilika kwa kipindi kinachofikia hadi miezi 73.
Kuchelewa huku kulisababishwa na usimamizi usioridhisha,
kuchelewa kutolewa kwa fedha na ushiriki wa jamii
usioridhisha kwenye miradi hiyo (Kiambatisho XXII).

Aidha, kati ya Septemba na Disemba 2019 nilitembelea


miradi mingine sita yenye thamani ya shilingi
123,974,363,254.76 na kubaini kuwa miradi hiyo ilichelewa
kukamilika kwa kipindi kilichofikia hadi miezi 16. Aidha,
ucheleweshaji huu pia ulitokana na usimamizi wa miradi
usioridhisha (Kiambatisho XXIII).

Mtazamo wangu ni kuwa kuchelewa kukamilika kwa miradi


kunapelekea athari za kuongezeka kwa gharama, pia
walengwa kutonufaika na miradi hiyo ndani ya wakati
uliokubaliwa.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 39


SURA YA TANO

USIMAMIZI WA MANUNUZI NA UDHIBITI WA KIUTAWALA

5.1 Utangulizi
Sura hii inachambua13 hoja za ukaguzi zinazohusu
usimamizi wa manunuzi na udhibiti wa kiutawala. Sura
inatoa taarifa ya mapungufu yanayohusu usimamizi wa
manunuzi na udhibiti wa kiutawala kwenye miradi.

5.2 Usimamizi wa Manunuzi na Mikataba

5.2.1 Manunuzi ya Thamani ya Shilingi Bilioni 1.33 Yalifanyika Bila


Kushindanisha Wazabuni
Katika kipindi cha mwaka wa ukaguzi, nilibaini watekeleza
miradi 28 walifanya manunuzi ya bidhaa na huduma zenye
thamani ya Shilingi 1,329,456,015 kutoka kwa wazabuni
mbalimbali bila ushindanishi wa bei kutoka kwa angalau
wazabuni watatu kama inavyotakiwa na Kanuni 76 ya
Kanuni za Manunuzi ya Umma ya Mwaka 2013
(iliyorekebishwa mwaka 2016) na Jedwali la Kwanza la
Kanuni zinazoongoza Taratibu za Zabuni katika Halmashauri
za Mwaka 2007.

Ni maoni yangu kuwa, manunuzi ya bidhaa na huduma


kutoka kwa wazabuni wasioshindanishwa kunaongeza
uwezekano wa kununua huduma na bidhaa zilizo chini ya
kiwango au zisizoendana na thamani ya fedha
(Kiambatisho Na. XXIV).

5.2.2 Bidhaa za Thamani ya Shilingi Bilioni 1.45 Zilizonunuliwa


Hazijapokelewa
Nimebaini kuwa watekeleza miradi 21 katika sekta ya afya
walishindwa kuthibitisha mapokezi ya bidhaa zenye

13
Hoja hizi.zimetokana na uchambuzi wa taarifa za Ukaguzi za mwaka wa fedha ulioshia 30 June 2019
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 40
thamani ya Shilingi 1,451,357,063.82 zilizonunuliwa kutoka
kwa wazabuni mbalimbali. Hii ilitokana na ufutiliaji hafifu
wa wazabuni kinyume na Kanuni 114 ya Kanuni za Manunuzi
ya Umma za Mwaka 2013 (iliyorekebishwa mwaka 2016).
Kuchelewa kupokea bidhaa na huduma kunaweza leta
hatari ya bidhaa kutofika kabisa au zikafikishwa ambazo ni
tofauti na zilizoagizwa. (Kiambatisho Na. XXV).

5.2.3 Vifaa vya Thamani ya Shilingi Milioni 463.83 Havijaingizwa


Kwenye Leja ya Vifaa
Vifaa vyenye thamani ya Shilingi 463,826,899
vilivyonunuliwa na watekeleza miradi 35 havikuandikishwa
kwenye leja ya vifaa husika hivyo kuzuia ufuatiliaji wa
utumikaji wa vifaa hivyo. Hali hii inaongeza hatari ya vifaa
hivyo kupotea au kutumika vibaya (Kiambatisho Na. XXVI).

5.2.4 Manunuzi ya Vifaa Tiba vyenye Thamani ya Shilingi Milioni


366.08 Bila Idhini ya Bohari Kuu ya Dawa
Nilibaini kuwa Halmashauri 26 zilinunua vifaa tiba vyenye
thamani ya Shilingi 366,078,953 kutoka kwa wazabuni
binafsi wa vifaa tiba bila idhini ya Bohari Kuu ya Dawa
(MSD) kinyume na Kanuni 140 ya Kanuni za Manunuzi ya
Umma za Mwaka 2013 (iliyorekebishwa mwaka 2016)
(Kiambatisho Na. XXVII).

5.2.5 Vifaa vyenye Thamani ya Shilingi Milioni 978.18


Vilipokelewa Bila Kuhakikiwa na Kamati ya Mapokezi
Nilibaini kuwa watekeleza miradi 38 walipokea vifaa
vyenye thamani ya Shilingi 978,179,796 bila kuhakikiwa na
kuidhinishwa na Kamati ya Mapokezi kinyume na Agizo
58(1) na (2) la Randama ya Fedha za Serikali za Mitaa ya
Mwaka 2009 na Kanuni Na. 245 ya Kanuni za Manunuzi ya
Umma za Mwaka 2013 (iliyorekebishwa mwaka 2016).
Mapokezi ya vifaa bila kuhakikiwa na kuidhinishwa na
Kamati ya Mapokezi yanaweza kutoa mwanya wa kupokea

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 41


vifaa visivyo na ubora uliokusudiwa (Kiambatisho Na.
XXVIII).

5.2.6 Manunuzi ya Thamani ya Shilingi Milioni 411.49 Yalifanyika


bila Kibali cha Bodi ya Zabuni
Nilikagua manunuzi ya vifaa na huduma kutoka
Halmashauri 18 na kubaini kuwa manunuzi ya thamani ya
Shilingi 411,485,130 yalifanyika kutoka kwa wazabuni bila
kibali cha Bodi za Zabuni kinyume na Kanuni 57(3) (a) ya
Kanuni za Manunuzi ya Umma ya Mwaka 2013
(iliyorekebishwa mwaka 2016) , (Kiambatisho XXIX).

5.2.7 Manunuzi yenye Thamani ya Milioni 149.51 Kutoka kwa


Wazabuni Wasioidhinishwa
Nilibaini manunuzi yenye thamani ya Shilingi 149,505,182
yalifanyika na Halmashauri 16 kutoka kwa wazabuni ambao
hawajaidhinishwa na Wakala wa Manunuzi wa Serikali kinyume
na Kanuni 131 (4) (b) ya Kanuni za Manunuzi ya Umma ya
Mwaka 2013 (iliyorekebishwa mwaka 2016). Manunuzi ya
bidhaa kutoka kwa wazabuni wasioidhinishwa unaweza
kusababisha kupata bidhaa zisizokidhi ubora na vigezo
vinavyotakiwa (Kiambatisho XXX).

5.2.8 Mikataba Ilitekelezwa Bila kuwa na Hati za Dhamana


Nilibaini mikataba ya ujenzi 41 yenye thamani ya Shilingi
37,775,123,940 iliingiwa na watekeleza miradi 17 bila
kuwa na hati za dhamana kinyume na Kanuni 29 ya Kanuni
za Manunuzi ya Umma ya Mwaka 2013 (iliyorekebishwa
mwaka 2016) pamoja na vipengele vya mikataba
vinavotaka wazabuni walioshinda kuwasilisha hati za
dhamana kwa muda uliopangwa ili kuhakikisha utekelezaji
wa mikataba unafanyika kikamilifu. (Kiambatisho XXXI).

Kutokuwepo hati za dhamana kunapelekea watekeleza


miradi kuwa katika hatari ya kupoteza rasilimali zake
kwenye miradi inayotekelezwa pindi mkandarasi

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 42


anapokiuka masharti na kushindwa kutekeleza mkataba
kikamilifu.

5.2.9 Miradi yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 27.19 Ilitekelezwa


Bila Kukatiwa Bima
Kifungu 16.1 cha Masharti ya Jumla ya Mkataba kama
kinavyoonekana kwenye Nyaraka Sanifu ya Zabuni (Ununuzi
wa Kazi za Kati na Kubwa) ya Disemba 2018, kinahitaji
mkandarasi kufidia upotevu, uharibifu, majeraha au vifo
vilivyotokana na kazi kuanzia tarehe ya kuanza utekelezaji
wa mkataba hadi mwisho wa kipindi cha matazamio ya
mkataba.

Kinyume na kifungu tajwa, nilibaini Halmashauri tano


zilitekeleza miradi 16 yenye thamani ya Shilingi
27,187,086,948 bila kukatiwa bima. Kwa maoni yangu,
kukosekana kwa bima kunaziweka Halmashauri hizo katika
hatari ya kutokulipwa fidia pindi kunapotokea majanga
kama kazi kufanywa chini ya kiwango, hasara na vifo
(Kiambatisho XXXII).

5.3 Udhibiti wa Kiutawala

5.3.1 Kuchelewa Kuyachukulia Hatua Makampuni ya Uziduaji 384


kwa Kutotii Sheria ya Tasnia ya Uziduaji Tanzania (Uwazi na
Uwajibikaji) ya Mwaka 2015
Kifungu cha 15(1)(2)(3) na 23(b) cha Sheria ya Tasnia ya
Uziduaji Tanzania (Uwazi na Uwajibikaji) ya Mwaka 2015
kinataka kampuni za uziduaji kuwasilisha taarifa za uwajibikaji
wa kampuni kwa jamii mwenyeji, uwezeshaji wa jamii
mwenyeji, na matumizi ya kimaendeleo katika kila hatua ya
uwekezaji kwa Kamati ya Tasnia ya Uziduaji Tanzania. Kukaidi
kuwasilisha taarifa hizo, kampuni itakuwa imetenda kosa
kisheria na itatakiwa kulipa faini isiyopungua Shilingi milioni
150.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 43


Kinyume na matakwa ya sheria hii, ukaguzi wangu ulibaini
kuwa makampuni ya uziduaji 384 hayakuwasilisha taarifa zao
za mwaka kwa Kamati ya Tasnia ya Uziduaji Tanzania, taarifa
hizo za mwaka zinatakiwa kuonesha uwajibikaji wa kampuni
kwa jamii mwenyeji, uwezeshaji wa jamii mwenyeji, na
matumizi ya kimaendeleo katika kila hatua ya uwekezaji.

Aidha, wakati nahitimisha ukaguzi huu mwezi Machi 2020


Taasisi ya Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali Madini,
Mafuta, na Gesi Asilia Tanzania (TEITI) ilikua bado
haijayachukulia hatua makampuni hayo 384 kama ilivoainishwa
kwenye kifungu 23(b) cha Sheria ya Tasnia ya Uziduaji
Tanzania (Uwazi na Uwajibikaji) ya Mwaka 2015.

Ingawa ninatambua juhudi zilizofanywa na menejimenti ya


TEITI zilizopelekea makampuni 16 kati ya 400 kutekeleza
Sheria hii, ni vyema TEITI wakahakikisha makampuni 384
yaliyobakia yanatekeleza matakwa ya Sheria hii kwa ajili ya
uwazi na uwajibikaji kwenye tasnia ya uziduaji.

5.3.2 Mikopo Yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 16 Ilitolewa Bila ya


Orodha ya Wakopaji Walioidhinishwa
Kifungu 6.3.2 (ii) cha Muongozo wa Mfuko wa Makazi kwa
Taasisi Ndogondogo za Kifedha unazitaka Taasisi
ndogondogo za kifedha kupatiwa mikopo kulingana na
taratibu za mikopo na kuzingatia mahitaji ya wakopaji.

Kinyume na matakwa hayo, nilibaini kuwa mikopo mitatu


yenye thamani ya Shilingi 16,000,000,000 ilitolewa kwa
taasisi ndogondogo za kifedha pasipo kuwa na ushahidi wa
orodha ya wakopaji iliyoidhinishwa.

Kwa mtazamo wangu, kutokuwa na orodha ya wakopaji


iliyoidhinishwa kunaweza kuikwamisha Benki Kuu ya
Tanzania kujua kama mikopo hiyo ilikopeshwa kwa
wanufaika waliokusudiwa na kwa malengo yaliyokusudiwa.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 44


5.3.3 Kutofanyika kwa Tathmini ya Athari za Mazingira Katika
Miradi 15 Yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 17.32
Kanuni ya 241(3) ya Kanuni za Manunuzi ya Umma ya
mwaka 2013 (iliyorekebishwa mwaka 2016) inaitaka taasisi
inayofanya manunuzi kutathmini athari za mazingira ya
kazi yoyote katika hatua za maandalizi ya mradi kabla ya
kuanza mchakato wa manunuzi. Pia, Kifungu 81(2) cha
Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004 inahitaji
kufanyika kwa tathmini ya athari za kimazingira kabla ya
kuweka fedha au kuanza kwa mradi.

Tathmini yangu ilibaini kuwa miradi 15 yenye thamani ya


Shilingi 17,320,938,633.56 iliyotekelezwa na Halmashauri
saba ilitekelezwa bila ya kufanyika kwa tathmini ya athari
za mazingira kutokana na kushindwa kuongeza gharama
hizi kwenye bajeti zao (Kiambatisho XXXIII).

Kwa maoni yangu, utekelezaji wa miradi bila kufanya


tathmini ya athari za mazingira kunaweza kusababisha
uharibifu wa mazingira na kupelekea madhara kwa jamii na
matumizi yasiyo na tija ya rasilimali za umma.

5.3.4 Kutofanyika kwa Ukaguzi wa Ndani kwenye Baadhi ya Miradi


Tathmini yangu imebaini kuwa ukaguzi wa ndani
haukufanyika kwenye miradi 43. Kutofanyika kwa ukaguzi
wa ndani kwenye miradi kunapelekea Halmashauri
kutokuwa na uangalizi na ufuatiliaji unaoridhisha kwenye
miradi.

Kwa mujibu wa nyaraka za makubaliano ya miradi,


kutokuwa na taarifa za ukaguzi wa ndani wakati wa
utekelezaji wa miradi ya maendeleo ni kinyume na Aya ya
8.5 ya Taratibu za Miradi ya Maendeleo ya Kilimo za Mwaka
2006; Aya ya 6.3(b) ya Mwongozo wa Mpango Kabambe wa
Afya wa Mwaka 2011; na Aya ya 8.2.2 ya Mkataba wa
Makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Washirika wa
Maendeleo ya Februari 2007 (Kiambatisho XXXIV).
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 45
SURA YA SITA

HITIMISHO

6.1 Utangulizi
Sura hii inatoa hitimisho kuhusu matokeo ya kaguzi kama
ilivyobainishwa katika sura zilizopita. Nimegawanya
hitimisho langu katika maeneo manne ambayo ni hitimisho
la ujumla, hitimisho kwenye utendaji wa kifedha,
utekelezaji wa Miradi, pamoja na Usimamizi wa Manunuzi
na utawala.

6.2 Hitimisho la Ujumla


Ili kufanikisha malengo ya Mpango wa Maendeleo wa Miaka
Mitano wa Awamu ya Pili (FYDP II), Taasisi za serikali
hususani zile zinazotekeleza miradi ya maendeleo
zinapaswa kuwa mstari wa mbele katika kubuni mikakati
itakayowezesha kushughulikia changamoto ambazo
zitarahisisha ukuaji wa viwanda, kukuza maendeleo ya
watu, kuleta mabadiliko katika ustawi wa jamii na
kuboresha mazingira ya ukuaji wa biashara.

Hitimisho langu la jumla linalotokana na uchambuzi


uliofanywa katika taarifa hii linaonesha kurudia kwa
kasoro nilizoziona katika ripoti zangu zilizopita kuhusiana
na usimamizi wa miradi ya maendeleo nchini. Changamoto
kuu zinatokana na utoaji fedha katika utekelezaji wa
miradi, kutofuata sheria za manunuzi na usimamizi wa
mikataba, ukiukaji wa kanuni za kiutawala na mifumo ya
udhibiti inayohusiana na miradi hii. Kwa maoni yangu, ni
jukumu la watekeleza miradi kuhakikisha kuwa kasoro hizi
zinashughulikiwa kwa wakati ili Serikali ifikie malengo
yake yaliyo kwenye Mpango wa Maendeleo wa Miaka
Mitano (FYDP II).

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 46


Kwa upande mwingine, ninatambua juhudi za Serikali
katika kushughulikia masuala mtambuka yanayolenga
kuboresha utekelezaji wa miradi ya maendeleo.
Ninatambua pia mpango wa Serikali kupitia Wizara ya
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuanzisha kamati katika
kila mkoa zitakazowajibika kuwezesha na kuboresha
mawasiliano na kuratibu shughuli mbalimbali miongoni
mwa watekelezaji na wadau wa miradi ya maendeleo
katika sekta mbali mbali.

Aidha, ninafahamu kuwa Serikali kupitia Wizara ya Fedha


na Mipango ilitoa Waraka Na. 2 wa Mwaka 2019 (Treasury
Circular) kuelekeza Wizara, Idara, Wakala na Mamlaka za
Serikali za Mitaa kuhakikisha kuna uwazi katika kutoa
taarifa za fedha za miradi inayotumia njia za upataji fedha
wa moja kwa moja kutoka kwa Washirika wa Maendelo.

Utendaji wa Kifedha
Hitimisho langu katika eneo la usimamizi wa kifedha
linajumuisha hali ya hati za ukaguzi zilizotolewa,
utekelezaji wa mapendekezo ya ukaguzi ya miaka iliyopita,
pamoja na masuala yanahusiana na usimamizi wa fedha.

Uchambuzi wangu unaonesha kuwa zaidi ya asilimia 90 ya


miradi imepata hati zinazoridhisha kwa miaka mitano
mfululizo kuanzia mwaka wa fedha 2014/2015 hadi mwaka
wa fedha 2018/2019. Kwa maoni yangu, mwenendo huu
mzuri utawawezesha watumiaji wa taarifa hizi za kifedha
kufanya maamuzi yenye tija na vilevile kutaongeza imani
kwa wadau kuwa watekeleza miradi ya maendeleo
wanatumia fedha za miradi walizopewa kwa malengo
yaliyokusudiwa.

Pia, ninawahimiza Maafisa Masuuli kutumia Viwango vya


Kimataifa vya Uhasibu katika Sekta ya Umma vya Msingi
Usio Taslimu (IPSAS Accural Basis of Accounting) katika

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 47


kuandaa taarifa zao za kifedha ili kutekeleza matakwa ya
Serikali. Ulazima huu hauwahusu Maafisa Masuuli
wanaolazimika kutumia mifumo tofauti ya uhasibu ambayo
imebainishwa katika makubaliano baina ya Serikali na
Washirika wa Maendeleo.

Nina wasiwasi juu ya utekelezaji wa mapendekezo yangu


ya miaka ya nyuma kwani kiwango cha utekelezaji wake
bado kipo chini ya asilimia 50 kwa miaka ya fedha minne
mfululizo yaani kuanzia mwaka wa fedha 2015/2016 hadi
mwaka wa fedha 2018/2019. Mtazamo wangu ni kuwa
Maafisa Masuuli wanapaswa kuweka mikakati katika eneo
hili ili kulipatia majibu kwani kumekuwa na kujirudia kwa
hoja hususani zile zinazohusiana na usimamizi wa matumizi
ya fedha na ukiukaji wa matakwa ya makubaliano ya
miradi.

Kwa muktadha huu, eneo la usimamizi wa miradi


linatakiwa lipewe kipaumbele na Maafisa Masuuli kwani ni
muhimu katika kuhakikisha kuwa utekelezaji wa miradi ya
maendeleo unakuwa na matokeo yenye tija na endelevu
nchini.

Kwa kuongezea, katika eneo la usimamizi wa matumizi


unaofanywa na watekeleza miradi, nimebaini viashiria
vinavyoweza kusababisha Serikali kurudisha fedha za
miradi kwa Washirika wa Maendeleo kutokana na udhibiti
duni katika usimamizi wa matumizi na kwenye mifumo ya
kuweka kumbukumbu za matumizi hayo. Kasoro hizi
zinasababisha ukosefu wa nyaraka za kuthibitisha
matumizi, na matumizi yasiyoruhusiwa kisheria na yale
ambayo yapo kinyume na makubaliano ya mradi.

Kwa mfano, miezi ya Juni na Julai 2017, Serikali kupitia


Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Wanawake, Jinsia, na
Watoto ilitakiwa kurudisha Dola za Marekani 1,371,948

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 48


(Shilingi bilioni 2.195) kwa GAVI na Dola 204,000 kwa CDC
kwa sababu zinazohusiana na kasoro katika udhibiti wa
matumizi. Katika uchambuzi wangu, nilibaini kuwa sababu
kuu inayochangia kurudisha fedha ni matumizi yasiyo na
viambatisho vya kutosha na matumizi yanayokiuka
matakwa ya madai ambayo ni asilimia 84 na 89 ya fedha
zilizotakiwa kurudishwa kwa GAVI (dola 1,148,671) na CDC
(dola 181,000) mtawalia.

Kuhusiana na hili, nimekuwa nikitoa taarifa za kasoro


zinazojirudia katika usimamizi wa matumizi katika taarifa
zangu za miaka ya fedha 2014/2015, 2015/2016,
2016/2017, 2017/2018, na 2018/2019. Katika miaka hii
malipo yasiyo na viambatisho, na matumizi yanayokiuka
sheria na matakwa ya miradi ni shilingi bilioni 9.5, 10.7,
17.1, 41.1, na 8.87 mtawalia kama inavyooneshwa kwenye
Kielelezo 6.1.

45.00
40.00
35.00
30.00
kiasi (Sh. bilioni)

25.00
20.00
15.00
10.00
5.00
-
2014/2015 2015/2016 2016/2017 2017/2018 2018/2019

Mwaka wa fedha
Kielelezo 6.1: Mwenendo wa Kasoro Katika Usimamizi wa Matumizi

Changamoto zingine zinazoweza kusababisha Serikali


kurudisha fedha kwa Washirika wa Maendeleo ni pamoja na
masuala yanayohusiana na kuchelewesha kurejesha fedha
kwenye miradi zilizolipwa katika kodi ya ongezeko la
thamani (VAT); kutorudisha fedha za miradi zilizokopwa na
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 49
watekeleza mradi; na kutorudisha fedha ambazo
hazijatumika kwenda kwenye akaunti za kuhifadhia fedha
za Washirika wa Maendeleo.

Kwa maoni yangu, changamoto zote hizi nilizozieleza hapo


juu zinaweza kuepukika iwapo Maafisa Masuuli watajizatiti
katika utekelezaji na usimamizi wa mifumo ya udhibiti
inayohusiana na miradi husika.

Utekelezaji wa Shughuli za Miradi


Hitimisho langu katika utekelezaji wa shughuli za miradi
linajikita zaidi katika kasoro zinazojitokeza katika
usimamizi wa mikataba na uratibu uliopo miongoni mwa
Taasisi za Serikali.

Kuhusiana na usimamizi wa miradi, nilibaini kulikuwa na


madai ya wakandarasi ambayo hayakulipwa kwa muda
mwafaka na kikamilifu kutokana na uhaba wa fedha.
Uwepo wa madai haya si tu kunaathiri kukamilika kwa
miradi kwa wakati bali pia kunaongeza gharama za miradi
kutokana na tozo za ucheleweshaji.

Mathalani, katika sekta ya ujenzi, malipo ya wakandarasi


yalicheleweshwa kwa sababu ya changamoto za upatikanaji
wa fedha kutoka Wizara ya Fedha na Mipango na Washirika
wa Maendeleo. Kwa mfano, nilibaini kuwa Wakala wa
Barabara (TANROADS) alitozwa shilingi bilioni 224.03
kutokana na kuchelewesha malipo ya wakandarasi. Kwa
maoni yangu, adhabu kama hizi zinaweza kuepukika kwa
kuwalipa wakandarasi kikamilifu na kwa wakati.

Katika usimamizi wa mikataba, nilibaini kuwa kuna


watekeleza miradi ambao wamechelewesha kutekeleza
shughuli za miradi kwa wakati mwafaka, na kuna wale
ambao miradi imekamilika lakini haitumiki. Suala hili
linachangiwa na usimamizi hafifu wa Maafisa Masuuli

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 50


katika kushughulikia masuala ya usimamizi wa mikataba
kabla na baada ya miradi kutekelezwa hasa kwenye hatua
zinazohusisha upangaji, utekelezaji na ufuatiliaji wa
utendaji wa miradi.

Kwa mfano, katika suala la umeme vijijini, ukosefu wa


mpango kabambe wa kukamilisha kazi zilizokuwa
hazijahitimishwa ulisababisha Wakala wa Umeme Vijijini
(REA) kuwa na kazi zisizokamilika na mikataba isiyofungwa
kwa kipindi cha hadi miaka kumi. Hali hii inamaanisha
kuwa miradi hii haikutekelezwa kikamilifu. Matokeo yake,
baadhi ya walengwa wameendelea kusubiri huduma za
umeme kwa zaidi ya miaka kumi.

Kuhusiana na uratibu miongoni mwa Taasisi za Serikali,


nina wasiwasi kuhusu kiasi cha Dola za Marekani milioni
25.16 ambazo zimekaa muda mrefu katika akaunti za
kuhifadhi fedha za Washirika wa Maendeleo (Holding
Account) bila kupelekwa kwenye taasisi zinazotekeleza
miradi. Kwa maoni yangu, kiasi hiki cha fedha ni kikubwa
na ni wakati muafaka kwa Serikali kuja na mkakati
mahususi wa kushughulikia suala hili. Mkakati huu
unatakiwa utoe njia mbalimbali kwa Washirika wa
Maendeleo ili kuweza kuzihamishia fedha hizo kwenye
vipaumbele vingine vya sasa vya serikali vinavyoendana na
Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano - Awamu ya Pili
(FYDP II). Ili mkakati huu uweze kufikia malengo yake
Wizara ya Fedha na Mipango inatakiwa ianze kufuatilia
suala hili kwa watekeleza miradi husika ili kubaini kiini cha
tatizo hili.

Usimamizi wa Manunuzi na Utawala


Hitimisho langu katika eneo la usimamizi wa manunuzi na
utawala linaonesha kuwa eneo hili pia linahitaji kupewa
umakini maalumu na wahusika wanowajibika kwani

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 51


kumekuwa na kujirudia kwa kasoro zilezile zilizopo katika
taarifa zangu za miaka iliyopita.

Kwa mfano, kati ya kasoro zinazojirudia katika taarifa


zangu kila mwaka katika eneo hili ni pamoja na manunuzi
ya bidhaa na huduma bila kuwepo kwa zabuni za ushindani;
kutopokelewa kwa bidhaa na huduma zilizonunuliwa;
kutoingiza taarifa za bidhaa zilizonunuliwa katika daftari
la mali; na ununuzi wa dawa na vifaa tiba bila kupata
taarifa ya ukosefu wa dawa na vifaa tiba hivyo kutoka
Bohari Kuu ya Dawa.

Masuala mengine yanayojirudia ni bidhaa kupokelewa bila


kuthibitishwa na kamati ya ukaguzi wa bidhaa; manunuzi
yaliyofanyika bila idhini ya bodi ya zabuni; manunuzi
yaliyofanyika kutoka kwa wazabuni wasioidhinishwa; na
mikataba iliyoingiwa bila hati za dhamana za utendaji.

Katika mapitio ya masuala ya utawala, nimebaini kuwa


TEITI bado haijachukua hatua kwa makampuni 384 ya
uziduwaji kwa kosa la kutowasilisha taarifa zinazohitajika
kisheria. Kutokana na mabadiliko katika sekta ya madini
yaliyofanyika na Serikali ikiwa pamoja na ulinzi wa maslahi
ya wenyeji na mazingira, nilitarajia TEITI kuwa mstari wa
mbele katika masuala haya. Kwa maoni yangu, huu ni muda
mwafaka kwa TEITI kuchukua hatua sahihi dhidi ya
makampuni husika.

Aidha, nilibaini kulikuwa na utoaji wa mikopo ya shilingi


bilioni 16 bila orodha ya wakopaji walioidhinishwa kinyume
na taratibu zilizowekwa. Hali hii inaweza kuleta hatari
dhidi ya dhana ya kuwa na miradi endelevu. Kwa mtazamo
wangu, kutowasilisha kwa wakati orodha ya wakopaji
walioidhinishwa kunainyima Benki Kuu fursa ya kutathmini
mikopo inayotolewa kwa walengwa na kuhakiki
madhumuni ya mkopo yaliyokusudiwa

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 52


SURA YA SABA

MAPENDEKEZO

7.1 Utangulizi
Sura hii inatoa mapendekezo ya jinsi ya kushughulikia
kasoro zinazojitokeza katika taarifa za ukaguzi wa miradi ya
maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

7.2 Mapendekezo
Sehemu hii inatoa mapendekezo kwa Ofisi ya Waziri Mkuu
kulingana na hitimisho na kinachopaswa kufanyika ili kuzipatia
ufumbuzi kasoro zilizobainika na kuboresha ufanisi katika
utekelezaji wa miradi nchini.

Kwa hiyo, mapendekezo ya jumla yametolewa ili kushughulikia


kasoro zote mtambuka zinazoathiri utekelezaji wa miradi ya
maendeleo katika sekta mbalimbali na mapendekezo maalumu
yametolewa ili kushughulikia mapungufu katika utekelezaji wa
miradi ambayo yamejitokeza kwenye sekta husika.

7.3 Mapendekezo ya Jumla


Ofisi ya Waziri Mkuu inashauriwa kuhakikisha kuwa
Menejimenti za Mamlaka za Serikali za Mitaa, Wizara, Idara,
na Wakala wa Serikali zinazotekeleza miradi zinazingatia
yafuatayo:

1. Kuanzisha Ofisi ya Uratibu wa Miradi ya Maendeleo


Serikalini ambayo itasaidia taasisi zinazotekeleza
miradi na kutathmini utekelezaji wa miradi hii katika
sekta zote nchini.

2. Kuanzisha viashiria muhimu vitakavyotumika kupima


utendaji katika utekeleza miradi ya maendeleo katika
maeneo muhimu ikiwemo eneo la usimamizi wa fedha
na kuchukua hatua kwa watekelezawa miradi ambao

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 53


wameshindwa kufikia malengo ya utendaji
yaliyowekwa.

3. Kupitia na kuainisha matatizo yanayozuia miradi kupata


marejesho ya misamaha ya kodi ya ongezeko la thamani
(VAT) na kubuni utaratibu rahisi na ulio wazi
utakaotumiwa na Wizara ya Fedha na Mipango ili
kufuatilia kwa kina.

4. Kutekeleza, kwa muda mwafaka, mapendekezo ya


ukaguzi ili kuepuka kujirudia kwa kasoro za miaka ya
nyuma.

7.4 Mapendekezo Maalumu


Ofisi ya Waziri Mkuu inashauriwa kuhakikisha kuwa
menejimenti ya:

1. Wakala wa Umeme Vijijini kwa kushirikiana na Shirika la


Umeme Tanzania inaanziasha mpango kabambe wa
kushughulikia mikataba ya umeme vijijini ambayo
haijakamilishwa kwa muda mrefu.
2. Wizara ya Fedha na Mipango inatoa fedha kwa Wakala
wa Barabara Tanzania ili kulipa madai ya Shilingi
1,030,694,260,342 bila kuchelewa ili kuepusha
uwezekano wa malipo zaidi ya tozo za ucheleweshaji.

3. Wizara ya Fedha na Mipango ifuatilie kwa watekeleza


miradi ya maendeleo husika ili ziweze kutumia fedha
zilizopo kwa muda mrefu kwenye akaunti za kuhifadhia
fedha za Washirika wa Maendeleo.

4. TEITI inachukua hatua dhidi ya kampuni 384 ili yaweze


kutekeleza matakwa ya sheria ya kuwasilisha taarifa za
kila mwaka zinazoonesha utekelezaji wa masuala ya
maslahi kwa wenyeji, uwajibikaji katika kuchangia

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 54


masuala ya kijamii na matumizi ya mtaji katika kila
hatua ya uwekezaji.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 55


VIAMBATISHO

Kiambatisho I: Hati za Ukaguzi Zilizotolewa

Watekelezaji Waliopata Hati Inayoridhisha


Sekta ya Kilimo
Na. Jina la Mradi
1 Mradi wa Kituo Mahiri cha Teknolojia Bunifu za Udhibiti wa Panya na Uendelezaji
wa Teknolojia za Unusaji
2 Kituo cha Utafiti wa Ufundishaji wa Maendeleo Endelevu ya Kilimo

3 Mradi wa Upanuzi wa Uzalishaji wa Mpunga

4 Programu ya Miundombinu ya Masoko, Uongezaji wa Thamani, na Msaada wa Fedha


Vijijini
5 Mradi wa Uwekezaji katika Kukuza Kilimo Kusini mwa Tanzania (SAGCOT-CTF)

6 Mradi wa Uwekezaji katika Kukuza Kilimo Kusini mwa Tanzania (SAGCOT-SIP)

Sekta ya Elimu
Na. Jina la Mradi
1 Matokeo Makubwa Sasa katika Mradi wa Elimu ya Malipo kwa Matokeo

2 Programu ya Elimu na Ujuzi kwa Ajili ya Kazi za Uzalishaji

3 Mpango wa Kukuza Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu - Tanzania

4 Chuo cha Sayansi na Teknolojia Afrika – Nelson Mandela

5 Programu ya Kusaidia Elimu ya Ufundi, Mafunzo na Elimu kwa Walimu (STVET)

6 Mafunzo ya Uwongozi na Usimamizi wa Elimu katika Ngazi ya Cheti kwa Njia ya


Masomo ya Masafa

7 Mradi wa Kujenga Mifumo Bora, Tafiti zinazoendana na Mahitaji Halisi Tanzania

8 Programu ya Tafiti Shirikishi

9 Mradi wa Kusaidia Sekta ya Elimu kwa Walimu

10 Mradi wa Kukuza Vyuo vya Ualimu (Kitangali, Mpuguso,Shinyanga and Ndala) (UTC)

Sekta ya Nishati na Madini


Na. Jina la Mradi
1 Mradi wa Kujenga Uwezo katika Sekta ya Nishati na Tasnia ya Uziduwaji

2 Mradi wa Kujenga Uwezo wa Sekta ya Nishati ( ESCBP)

3 Mradi wa Kujenga Uwezo wa Sekta ya Nishati ( ESCBP)- EWURA

4 Upembuzi Yakinifu wa Mradi wa Bwawa la Kikonge

5 Mradi wa Kusafirisha Umeme Mkubwa na Uwekaji Umeme Vijijini - Geita-


Nyakanazi 220kv
6 Mradi wa Kuunganisha Umeme Kenya na Tanzania

7 Mradi wa Kusafirisha Umeme Mkubwa na Uwekaji Umeme Vijijini - Makambako-


Songea 220kv

8 Mradi wa Maendeleo ya Gesi Asilia

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 56


9 Mradi wa Umeme wa Maporomoko ya Maji ya Mto Rusumo

10 Mradi wa Ukarabati wa Kituo cha Umeme wa Nguvu ya Maji Hale


11 Wakala wa Nishati Vijijini – Mradi unaofadhiliwa na Benki ya Dunia

12 Mradi Endelevu wa Nishati kwa Wote (SE4ALL)

13 Mradi wa Kuboresha na Kukarabati Gridi ya Umeme


14 Shirika la Umeme Tanzania - Bulyanhulu Geita

15 Mradi wa Maendeleo ya Upatikanaji na Ukuzaji wa Nishati Tanzania (TEDAP)

16 Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji Katika Rasilimali za Madini, Mafuta na


Gesi Asilia – Umoja wa Ulaya
17 Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji Katika Rasilimali za Madini, Mafuta na
Gesi Asilia (GoT na CIDA)
18 Mradi wa Maendeleo wa Kukuza Nguvukazi

19 Uwekezaji wa Miundombinu ya Msingi ya Kusafirisha Umeme (BTIP)

20 Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Raslimali za Madini - II

Sekta ya Afya

Na. Jina la Mradi

1 Mradi wa Sayansi ya Magonjwa ya Mishipa ya Moyo - MUHAS


2 Mradi wa Mtandao wa Maabara kwa Umma – Afrika Mashariki
3 Mfuko wa Kimataifa - UKIMWI
4 Mfuko wa Kimataifa – Mradi wa Malaria na Kuboresha Mifumo ya Afya
5 Mfuko wa Kimataifa – Kifua Kikuu
6 Mfuko wa Afya ya Jamii – Mamlaka za Serikali za Mitaa
7 Mradi wa Kusaidia Sekta ya Afya
8 Kituo cha Kuchunguza Magonjwa ya Kuambukiza Kusini mwa Afrika.- Kituo Mahiri
Afrika cha Magonjwa ya Kuambukiza
9 Programu ya Kuimarisha Afya ya Msingi kwa Matokeo (SPHC4R)
10 Programu ya Kuimarisha Afya ya Msingi kwa Matokeo Fungu 52
11 Ushirikiano wa Tafiti katika Tafiti za Afya, Mafunzo na Ubunifu kwa Maendeleo
Endelevu

Sekta ya Afya – Mfuko wa Afya


Na Halmashau
Mkoa Mkoa Na. Halmashauri Mkoa Na. Halmashauri
. ri

Jiji la Wilaya ya Manispaa ya


Arusha 1 60 119
Arusha Mafia Shinyanga

Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya


2 61 120
Monduli Bagamoyo Geita Geita

Wilaya ya Wilaya ya
3 62 121 Mji wa Geita
Longido Mkuranga

Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya


4 63 122
Meru Rufiji Chato

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 57


Manyar
a Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
5 64 123
Kiteto Chalinze Bukombe

Wilaya ya Mji wa Wilaya ya


6 65 124
Mbulu Kibaha Mbogwe

Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya


7 66 125
Babati Kibiti Nyang’hwale

Kigom Simiyu
Wilaya ya a Wilaya ya Wilaya ya
8 67 126
Hanang Buhigwe Bariadi

Wilaya ya Manispaa ya
9 68 127 Mji wa Bariadi
Simanjiro Kigoma

Mji wa Wilaya ya Wilaya ya


10 69 128
Mbulu Kigoma Maswa

Mji wa Wilaya ya Wilaya ya


11 70 129
Babati Kibondo Meatu
Kilimanj
aro Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
12 71 130
Moshi Kasulu Busega

Wilaya ya Mji wa Wilaya ya


13 72 131
Rombo Kasulu Itilima
Kagera
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
14 73 132
Hai Kakonko Bukoba

Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya


15 74 133
Same Uvinza Muleba
Singid
Manispaa ya a Wilaya ya Wilaya ya
16 75 134
Moshi Iramba Karagwe

Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya


17 76 135
Mwanga Mkalama Missenyi

Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya


18 77 136
Siha Manyoni Ngara
Tanga
Wilaya ya Manispaa ya Wilaya ya
19 78 137
Handeni Singida Biharamulo

Wilaya ya Wilaya ya Manispaa ya


20 79 138
Mkinga Singida Bukoba

Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya


21 80 139
Kilindi Itigi Kyerwa
Iringa
Jiji la Wilaya ya Wilaya ya
22 81 140
Tanga Ikungi Mufindi

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 58


Tabora
Wilaya ya Wilaya ya Mji wa
23 82 141
Pangani Kaliua Mafinga

Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya


24 83 142
Korogwe Igunga Kilolo

Wilaya ya Manispaa ya Manispaa ya


25 84 143
Muheza Tabora Iringa

Mji wa Wilaya ya Wilaya ya


26 85 144
Korogwe Sikonge Iringa
Mbeya
Wilaya ya Wilaya ya
27 86 145 Jiji la Mbeya
Bumbuli Nzega

Mji wa Wilaya ya Wilaya ya


28 87 146
Handeni Tabora Mbeya
Dar es
Salaam Manispaa ya Wilaya ya
29 88 Mji wa Nzega 147
Temeke Kyela
Dodom
Manispaa ya a Wilaya ya Wilaya ya
30 89 148
Kinondoni Mpwapwa Rungwe

Manispaa ya Wilaya ya Wilaya ya


31 90 149
Ilala Bahi Mbarali

Manispaa ya Wilaya ya Wilaya ya


32 91 150
Kigamboni Chamwino Chunya

Manispaa ya Wilaya ya Wilaya ya


33 92 151
Ubungo Chemba Busokelo
Lindi Songwe
Wilaya ya Jiji la Wilaya ya
34 93 152
Kilwa Dodoma Mbozi

Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya


35 94 153
Liwale Kondoa Ileje

Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya


36 95 154
Lindi Kongwa Songwe

Wilaya ya Mji wa Wilaya ya


37 96 155
Ruangwa Kondoa Momba
Mara
Manispaa ya Manispaa ya Mji wa
38 97 156
Lindi Musoma Tunduma

Njombe
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
39 98 157
Nachingwea Rorya Njombe
Morogor
o Wilaya ya Wilaya ya Mji wa
40 99 158
Kilombero Bunda Njombe

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 59


Wilaya ya Mji wa Wilaya ya
41 100 159
ya Kilosa Bunda Ludewa

Wilaya ya Wilaya ya Mji wa


42 101 160
Mvomero Tarime Makambako
Mtwara
Katavi
Wilaya ya Mji wa Wilaya ya
43 102 161
Morogoro Tarime Mpanda

Manispaa ya Wilaya ya Wilaya ya


44 103 162
Morogoro Serengeti Mpibwe

Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya


45 104 163
Ulanga Musoma Nsimbo

Mji wa Wilaya ya Wilaya ya


46 105 164
Ifakara Butiama Mlele
Mwanz
Manispaa ya a Wilaya ya Manispaa ya
47 106 165
Malinyi Sengerema Mpanda

Rukwa

Manispaa ya Wilaya ya Manispaa ya


48 107 166
Gairo Ukerewe DC Sumbawanga

Manispaa ya Wilaya ya Wilaya ya


49 108 167
Mtwara Kwimba Kalambo

Mji wa Manispaa ya Wilaya ya


50 109 168
Masasi Ilemela Sumbawanga

Manispaa ya Wilaya ya Wilaya ya


51 110 169
Masasi Misungwi Nkasi
Ruvuma
Manispaa ya Wilaya ya Wilaya ya
52 111 170
Mtwara Buchosa Tunduru

Mji wa Wilaya ya Wilaya ya


53 112 171
Nanyamba Magu Namtumbo

Manispaa ya
Jiji la Manispaa ya
54 Tandahimb 113 172
Mwanza Songea
a
Shinya
Manispaa ya nga Mji wa Wilaya ya
55 114 173
Nanyumbu Kahama Madaba

Mji wa Wilaya ya
56 115 174 Mji wa Mbinga
Newala Ushetu

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 60


Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
57 116 175
ya Newala Kishapu Mbinga
Pwani
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
58 117 176
Kisarawe Msalala Nyasa

Wilaya ya Wilaya ya
59 118
Kibaha Shinyanga

Sekta ya Uchukuzi
Na. Jina la Mradi
1 Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Kimataifa Arusha-Taveta/Holilii-Voi

2 Mradi wa Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam

3 Mradi wa Maendeleo ya Mji Mkuu wa Dar es Salaam

4 Programu ya Uboreshaji wa Miundombinu ya Usafirishaji Jiji la Dar es Salaam (DUTP)

5 Mradi ya Kusaidia Sekta ya Barabara - I

6 Mradi ya Kusaidia Sekta ya Barabara - II

7 Mradi wa Uwezeshaji Biashara na Usafirishaji Kusini mwa Afrika

8 Mradi wa Maendeleo Reli Tanzania

9 Mradi wa Kuboresha Miji Tanzania - Fedha za ziada 2

10 Programu ya Kusaidia Sekta ya Usafirishaji

Sekta ya Jamii na Miradi Mingine


Na. Jina la Mradi
1
Mradi wa Maboresho wa Huduma za Mahakama na Utoaji wa Haki kwa Wananchi
2 Mradi wa Kukuza Uwezo kwa Kuboresha Matokeo na Ufanisi - Wizara Ya Fedha na
Mipango
3 Mradi wa Mikopo ya Nyumba – Benki Kuu ya Tanzania
4 Mradi wa Kuhimili Athari za Mabadiliko ya Tabianchi Katika Maeneo ya Pwani (LDCF)
5 Programu ya Kuwezesha Urasimishaji wa Ardhi
6 Mradi wa Kusaidia Wabunge Kuboresha Utekelezaji wa Majukumu yao - Ofisi ya
Bunge
7 Mradi wa Programu ya Maboresho ya Mazingira ya Wawekazaji wa Ndani – OR -
TAMISEMI
8 Mradi wa Kuondoa Umaskini, Kuwezesha Vijana Kiuchumi na Maendeleo Endelevu ya
Mazingira – Wizara ya Fedha na Mipango
9 Mradi wa Kuondoa Umaskini, Kuwezesha Vijana Kiuchumi na Maendeleo Endelevu ya
Mazingira – Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
10 Mradi wa Maliasili Endelevu kwa Ukuaji

11 Mradi wa Maliasili Endelevu kwa Ukuaji – Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa Tanzania

12 Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika


Maeneo Kame Tanzania (LDFS)
13 Mradi wa Kunusuru Vyanzo vya Maji – Bonde la Mto Pangani

14 Mradi wa Kuhimili Athari za Mabadiliko ya Tabianchi katika Jiji a Dar Es Salaam

15 Mradi wa Usimamizi wa Uvuvi na Ukuaji wa Pamoja Kusini Magharibi mwa Bahari ya


Hindi
16 Mradi wa Kuondoa Vikwazo kwa Wafanyabiashara katika Nchi za Jumuiya ya Afrika
Mashariki
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 61
17 Mpango wa Kusajili na Kutoa vyeti vya Kuzaliwa kwa Watoto chini ya Miaka Mitano –
Mamlaka ya Usajii, Ufilisi na Udhamini
18 Mradi wa Kukuza Uwezo kwa Kuboresha Matokeo na Ufanisi - Ofisi ya Taifa ya
Takwimu
19 Mradi wa Uhamasishaji wa Raslimali za Ndani na Usimamizi Bora wa Maliasili

20 Mradi wa Kuwezesha Upatikanaji wa Haki na Kulinda Haki za Binadamu - Tanzania


21 Mradi Endelevu wa Kuwezesha Kuzuia na Kupambana na Rushwa – Tanzania

22 Kituo cha Kudhibiti Hewa ya Ukaa Nchini

23 Mfuko wa Taifa wa Kuendeleza Sayansi na Teknolojia

24 Mradi wa Usimamizi na Uhifadhi Vyanzo vya Maji Kihansi

25 Mfuko wa Maendeleo ya Jamii awamu ya III

Sekta ya Maji
Na. Jina la Mradi
1 Mradi wa Uimarishaji Endelevu wa Mifumo ya Maji – Arusha Mjini
2 Kituo cha Miundombinu ya Maji na Nishati Endelevu kwa Matumizi ya Baadaye

3 Mradi wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira – Ziwa Viktoria

4 Programu Usambazaji wa Huduma ya Maji Safi Vijijini

5 Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji Fungu 52

6 Mradi wa Kusaidia Sekta ya Maji II -2018/2019 14

Sekta ya Maji – Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji – Mamlaka za Serikali za Mitaa


Na Halmasha Halmasha
Mkoa Mkoa Na. Mkoa Na. Halmashauri
. uri uri
ARUS Wilaya ya Manispaa Wilaya ya
1 60 119
HA Arusha ya Moshi Kwimba
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
2 61 120
Longido Mwanga Magu
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
3 62 121
Karatu Rombo Misungwi
Wilaya ya Wilaya ya
4 63 122 Jiji la Mwanza
Monduli Same
Wilaya ya
Wilaya ya Wilaya ya
5 Ngorongor 64 123
Siha Sengerema
o
PWA Wilaya ya LINDI Wilaya ya Wilaya ya
6 65 124
NI Chalinze Kilwa Ukerewe
Wilaya ya Wilaya ya Manispaa ya
7 66 125
Bagamoyo Liwale Ilemela
Wilaya ya Wilaya ya RUKWA Wilaya ya
8 67 126
Kibaha Lindi Kalambo

14
Kwa mwaka wa kifedha, nilikagua mradi wa Kusaidia Sekta ya Maji awamu ya II kwa hesabu za kipindi
cha mwaka 2017/2018 na 2018/2019, hata hivyo kwenye jedwali linaloonyesha utendeji wa kifedha
nimejumuisha tu tarakimu za mwaka wa fedha 2018/2019. Katika mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30
Juni 2018, mradi ilikuwa na fedha kiasi cha Shilingi bilioni 12.7. Matumizi yalikuwa Shilingi bilioni
265.04, ambapo kulikuwa na bakaa ya shilingi bilioni 12.5 kwa ajili ya matumizi ya shughuli ambazo
hazikufanyika kwa mwaka husika.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 62
Mji wa Wilaya ya Wilaya ya
9 68 127
Kibaha Ruangwa Nkasi
Wilaya ya Manispaa Wilaya ya
10 69 128
Kibiti ya Lindi Sumbawanga
Wilaya ya
Wilaya ya Manispaa ya
11 70 Nachingw 129
Kisarawe Sumbawanga
ea
Wilaya ya NJOMB Wilaya ya RUVUMA Wilaya ya
12 71 130
Mafia E Ludewa Madaba
Mji wa
Wilaya ya Wilaya ya
13 72 Makamba 131
Mkuranga Mbinga
ko
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
14 73 132
Rufiji Makete Tunduru
DAR Manispaa Wilaya ya
15 74 133 Mji wa Mbinga
ya Ilala Njombe
Manispaa
Mji wa Wilaya ya
16 ya 75 134
Njombe Namtumbo
Kigamboni
Manispaa Wilaya ya
Wilaya ya
17 ya 76 Wang'ing' 135
Songea
Kinondoni ombe
Manispaa MANYA
Wilaya ya Manispaa ya
18 ya RA 77 136
Babati Songea
Temeke
Wilaya ya Mji wa SIMIYU Wilaya ya
19 78 137
Ubungo Babati Bariadi
DOD Wilaya ya Wilaya ya
20 79 138 Mji wa Bariadi
OMA Bahi Hanang'
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
21 80 139
Chamwino Kiteto Busega
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
22 81 140
Chemba Mbulu Itilima
Jiji la Mji wa Wilaya ya
23 82 141
Dodoma Mbulu Maswa
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
24 83 142
Kondoa Simanjiro Meatu
Mji wa MARA Wilaya ya SHINYAN Mji wa
25 84 143
Kondoa Bunda GA Kahama
Wilaya ya Mji wa Wilaya ya
26 85 144
Kongwa Bunda Kishapu
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
27 86 145
Mpwapwa Butiama Msalala
GEIT Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
28 87 146
A Bukombe Musoma Shinyanga
Manispaa
Wilaya ya Manispaa ya
29 88 ya 147
Chato Shinyanga
Musoma
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
30 89 148
Geita Rorya Ushetu
Mji wa Wilaya ya SINGIDA Wilaya ya
31 90 149
Geita Serengeti Ikungi
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
32 91 150
Mbogwe Tarime Iramba
Wilaya ya
Mji wa
33 Nyang’hw 92 151 Wilaya ya Itigi
Tarime
ale
IRING Wilaya ya MBEYA Wilaya ya Wilaya ya
34 93 152
A Iringa Busokelo Manyoni
Manispaa Wilaya ya Wilaya ya
35 94 153
ya Iringa Chunya Mkalama

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 63


Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
36 95 154
Kilolo Kyela Singida
Mji wa Wilaya ya Manispaa ya
37 96 155
Mafinga Mbarali Singida
Wilaya ya Wilaya ya SONGWE Wilaya ya
38 97 156
Mufindi Mbeya Ileje
KATA Wilaya ya Jiji la Wilaya ya
39 98 157
VI Mlele Mbeya Mbozi
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
40 99 158
Mpanda Rungwe Momba
Manispaa MOROG Wilaya ya Wilaya ya
41 100 159
ya Mpanda ORO Gairo Songwe
Wilaya ya Mji wa Mji wa
42 101 160
Mpimbwe Ifakara Tunduma
KAGE Wilaya ya Wilaya ya TABORA
Wilaya ya
RA 43 Biharamul 102 Kilomber 161
Igunga
o o
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
44 103 162
Bukoba Kilosa Kaliua
Manispaa Wilaya ya Wilaya ya
45 104 163
ya Bukoba Malinyi Nzega
Wilaya ya Wilaya ya
46 105 164 Mji wa Nzega
Karagwe Morogoro
Manispaa
Wilaya ya Wilaya ya
47 106 ya 165
Kyerwa Sikonge
Morogoro
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
48 107 166
Missenyi Mvomero Tabora
Wilaya ya Wilaya ya Manispaa ya
49 108 167
Muleba Ulanga Tabora
Wilaya ya MTWAR Wilaya ya Wilaya ya
50 109 168
Ngara A Masasi Urambo
KIGO Wilaya ya Mji wa TANGA Wilaya ya
51 110 169
MA Buhigwe Masasi Bumbuli
Wilaya ya
Wilaya ya Mji wa
52 111 Nanyumb 170
Kakonko Handeni
u
Mji wa
Wilaya ya Wilaya ya
53 112 Nanyamb 171
Kasulu Kilindi
a
Mji wa Wilaya ya Wilaya ya
54 113 172
Kasulu Newala Korogwe
Manispaa Mji wa Mji wa
55 114 173
ya Kigoma Newala Korogwe
Wilaya ya Wilaya ya Wilaya ya
56 115 174
Kigoma Mtwara Lushoto
Manispaa
Wilaya ya Wilaya ya
57 116 ya 175
Uvinza Muheza
Mtwara
KILIM Wilaya ya
Wilaya ya Wilaya ya
ANJA 58 117 Tandahim 176
Hai Pangani
RO ba
Wilaya ya MWANZ Wilaya ya
59 118 177 Jiji la Tanga
Moshi A Buchosa

Watekelezaji Waliopata Hati zenye Shaka

Mradi wa Mfuko wa Afya na Program ya Maendeleo Katika Sekta ya Maji


Na. Halmashauri Mradi Na. Halmashauri Mradi

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 64


1 Wilaya ya Mfuko wa Afya 9 Wilaya ya Programu ya
Arusha Meru D Maendeleo ya Sekta
ya Maji
2 Wilaya ya Mfuko wa Afya 10 Wilaya ya Programu ya
Karatu Kondoa Maendeleo ya Sekta
ya Maji
3 Wilaya ya Mfuko wa Afya 11 Wilaya ya Programu ya
Ngorongoro Nsimbo Maendeleo ya Sekta
ya Maji
4 Wilaya ya Mfuko wa Afya 12 Wilaya ya Programu ya
Lushoto Nyasa Maendeleo ya Sekta
ya Maji
5 Wilaya ya Mfuko wa Afya 13 Wilaya ya Programu ya
Urambo Mkinga Maendeleo ya Sekta
ya Maji
6 Wilaya ya Mfuko wa Afya
Makete
7 Wilaya ya Mfuko wa Afya
Wanging'ombe
8 Wilaya ya Mfuko wa Afya
Songea

Kiambatisho II: Manunuzi ya Bidhaa na Huduma ya Sh. 6,509,405,047.03 bila Kudai Stakabadhi za
Kielektroniki za Mamlaka ya Mapato Tanzania

Idadi ya
Na. Sekta Kiasi (Sh.) Kiambatisho
Watekelezaji
1 Elimu 1 38,301,947 A
2 Nishati 1 889,117,943.75 B
3 Afya 27 412,271,868 C
4 Miradi Mingine 3 137,510,467.28 D
5 Maji 26 5,032,202,821 E
Jumla 58 6,509,405,047.03

A: Sekta ya Elimu
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
Matokeo Makubwa Sasa katika Mradi wa Elimu ya Malipo kwa 38,301,947
1
Matokeo

B: Sekta ya Nishati na Madini


Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)

1 Mradi wa Kujenga Uwezo wa Sekta ya Nishati (ESCBP) 889,117,943.75

C: Sekta ya Afya – Mfuko wa Afya


Na. Halmashauri Kiasi(Sh.) Na. Halmashauri Kiasi(Sh.)
Manispaa ya Wilaya ya
1 56,953,910 15
Kinondoni Morogoro 7,976,800
Wilaya ya
2 Wilaya ya Kiteto 16
46,731,382 Chalinze 7,673,956.55
Wilaya ya
3 17
Wilaya ya Kaliua 35,085,894 Simanjiro 5,650,968
Wilaya ya
4 Mji wa Kahama 18
32,970,704 Kalambo 5,644,800
Wilaya ya Wilaya ya
5 19
Kibondo 32,331,326 Ukerewe 5,391,600
Wilaya ya 4,279,309
6 Wilaya ya Kibiti 20
25,987,300 Bukombe

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 65


Wilaya ya Wilaya ya
7 21
Kwimba 22,728,825 Tabora 3,489,500
Wilaya ya
8 Wilaya ya Hanang 22
21,159,940 Handeni 2,894,753
Manispaa ya Wilaya ya
9 18,698,087 23
Ubungo Sumbawanga 2,887,766
Wilaya ya
10 Wilaya ya Kilindi 18,296,303 24
Kisarawe 2,221,378
Wilaya ya
11 25
Nachingwea 14,523,000 Wilaya ya Mlele 2,150,000
Wilaya ya
12 26 Mji wa Babati
Mpwapwa 14,497,021 974,200
Wilaya ya
13 10,805,100 27 Wilaya ya Bahi 850,000
Shinyanga
14 Wilaya ya Nyasa 9,418,045 Jumla 412,271,868

D: Miradi Mingine
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
1 Mradi wa Maendeleo ya Jamii - III 115,903,277.28

Mradi wa Kuwezesha Upatikanaji wa Haki na Kulinda Haki za


2 Binadamu - Tanzania 16,059,000
3 Programu ya Kuwezesha Urasimishaji wa Ardhi (LTSP) 5,548,190

Jumla 137,510,467.28

E: Sekta ya Maji – Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji


Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi)
1 Wilaya ya 15
Wilaya ya Mbulu
Sengerema 338,999,790 14,103,068
2 Wilaya ya 16
Wilaya ya Lushoto
Tandahimba 1,210,005,236 11,981,036
3 Mji wa Kondoa 714,893,386 17 Wilaya ya Newala 10,741,412.50
4 18 Manispaa ya
Wilaya ya Magu
617,890,976 Kinondoni 9,175,457
5 Wilaya ya 19
Wilaya ya Rombo
Shinyanga 585,777,438 6,065,367
6 375,159,349 20 Manispaa ya 5,700,000
Mji wa Njombe
Sumbawanga
7 Wilaya ya Madaba 286,450,742 21 Wilaya ya Mlele 5,252,800
8 Wilaya ya Singida 197,661,214 22 Mji wa Mbulu 3,882,750
9 Wilaya ya Kishapu 189,158,610 23 Wilaya ya Kigoma 3,611,000
10 Wilaya ya Kwimba 135,959,906 24 Wilaya ya Kilindi 3,171,681
11 25 Wilaya ya 2,259,914
Wilaya ya Bumbuli
125,319,485 Mkuranga
12 Manispaa ya 26 1,236,500
Wilaya ya Kaliua
Mtwara 89,336,677.50
13 Wilaya ya Tunduru 72,405,069.15 Jumla
14 Wilaya ya 5,032,202,821
Bagamoyo 16,003,957.20

Kiambatisho III: Kodi ya Zuio Sh. 34,495,006.54 ambayo Haikupelekwa Mamlaka ya Mapato Tanzania

Idadi ya
Na. Sekta Kiasi (Sh.) Kiambatisho
Watekelezaji
1 Afya 5 5,007,692 A
2 Maji 5 29,487,314.54 B
Jumla 10 34,495,006.54

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 66


A: Sekta ya Afya – Mfuko wa Afya
Na. Halmashauri Kiasi(Sh.) Na. Halmashauri Kiasi(Sh.)
1 Wilaya ya Kibondo 1,957,032 4 Jiji la Arusha 649,774
2 Wilaya ya Hanang 1,141,084 5 Wilaya ya Longido 597,505.05
3 Wilaya ya Rombo 662,297 Jumla 5,007,692

B: Sekta ya Maji – Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji


Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)
1 Wilaya ya Manispaa ya
Uvinza 9,589,306 4 Singida 2,942,831.45
2 Wilaya ya Manispaa ya
Nsimbo 9,274,723 5 Mpanda 607,240
3 Wilaya ya
Mtwara 7,073,214.09 Jumla 29,487,314.54

Kiambatisho IV: Kodi ya Zuio ambayo Haikukatwa Kwenye Malipo Yaliyofanyika kwa Wazabuni Sh.
3,829,541,120.1

Idadi ya
Na. Sekta Kiasi (Sh.) Kiambatisho
Watekelezaji
1 Elimu 1 317,641,269.87 A
2 Afya 14 29,405,862 B
3 Nishati na Madini 1 35,116,867.31 C
4 Miradi Mingine 1 10,926,460 D
5 Uchukuzi 1 564,347,429 E
6 Maji 11 2,872,103,231.92 F&G
Jumla 29 3,829,541,120.1

A: Sekta ya Elimu
Na. Jina la Mradi Kodi ya Zuio (Sh.)
Matokeo Makubwa Sasa katika Mradi wa Elimu ya Malipo kwa 317,641,269.87
1 Matokeo

B: Sekta ya Afya – Mfuko wa Afya – Mamlaka za Serikali za Mitaa


Na. Halmashauri Kiasi(Sh.) Na. Halmashauri Kiasi(Sh.)
1 Wilaya ya Morogoro 16,076,800 9 Wilaya ya Siha 667,190.93
2 Wilaya ya Urambo 2,107,795 10 Wilaya ya Rombo 665,316.20
Wilaya ya
Wilaya ya Monduli
3 2,027,136.46 11 Lushoto 582,895
4 Jiji la Arusha 1,818,757 12 Wilaya ya Mbulu 404,755.61
Wilaya ya
5 Wilaya ya Uvinza 1,221,448 13 Muheza 382,360
6 Wilaya ya Buchosa 1,049,221 14 Wilaya ya Tabora 330,451
7 Manispaa ya Tabora 1,043,306 Jumla 29,405,862
8 Wilaya ya Kongwa 1,028,430

C: Sekta ya Nishati na Madini


Na. Jina la Mradi Kodi ya Zuio (Sh.)
Mradi wa Maendeleo ya Upatikanaji na Ukuzaji wa Nishati
1
Tanzania (TEDAP) 35,116,867.31

D: Miradi Mingine
Na. Jina la Mradi Kodi ya Zuio (Sh.)
1 Mradi wa Maboresho wa Huduma za Mahakama na Utoaji wa
Haki kwa Wananchi 10,926,460

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 67


E: Sekta ya Uchukuzi na Madini
Na. Jina la Mradi Kodi ya Zuio (Sh.)
1
Mradi wa Maendeleo ya Reli Tanzania (TIRDP) 564,347,429

F: Sekta ya Maji
Na. Jina la Mradi Kodi ya Zuio (Sh.)
1 Mradi wa Uimarishaji Endelevu wa Mifumo ya Maji – Arusha
Mjini 2,790,836,771.92

G: Sekta ya Maji – Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji


Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)
1 Wilaya ya Mpanda 21,135,825 7 Wilaya ya Mtwara 4,698,566.25
2 Wilaya ya Longido 11,553,883 8 Wilaya ya Sikonge 3,796,459.12
3 Wilaya ya Nzega 9 Wilaya ya
9,971,837.48 Mpimbwe 2,744,685
4 Wilaya ya 10 Manispaa ya
607,240
Serengeti 9,830,836 Mpanda
5 Wilaya ya Tabora 9,426,577 Jumla 81,266,460
6 Manispaa ya
Tabora 7,500,551.60

Kiambatisho V: Masurufu ya Thamani ya Sh. 1,842,784,598.73 ambayo Hayakurejeshwa

Idadi ya
Na. Sekta Kiasi (Sh) Kiambatisho
Watekelezaji
1 Kilimo 1 47,578,250 A
2 Elimu 1 3,470,000 B
3 Nishati na Madini 1 443,351,897 C
4 Afya 5 432,453,644.73 D&E
5 Miradi Mingine 3 915,930,807 F
Jumla 11 1,842,784,598.73

A: Sekta ya Kilimo
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
1 Mradi wa Upanuzi wa Uzalishaji wa Mpunga 47,578,250

B: Sekta ya Elimu
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
1 Mpango wa Kukuza Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu 3,470,000
- Tanzania

C: Sekta ya Nishati na Madini


Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
1 Mradi wa Maendeleo ya Gesi Asilia 443,351,897

D: Sekta ya Afya
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
1 Mradi wa Mtandao wa Maabara kwa Umma – Afrika Mashariki 341,676,904.43

2 Mfuko wa Afya ya Jamii - Wizara ya Afya 31,732,048.30

3 Mradi wa Kusaidia Sekta ya Afya 6,394,800

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 68


4 Programu ya Kuimarisha Afya ya Msingi kwa Matokeo 48,003,592

Jumla 427,807,344.73

E: Sekta ya Afya – Mfuko wa Afya – Mamlaka za Serikali za Mitaa


Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)

1 Wilaya ya Chemba 4,646,300

F: Miradi Mingine
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
1 Mradi wa Maboresho wa Huduma za Mahakama na Utoaji wa 19,377,400
Haki kwa Wananchi
2 Programu ya Kuwezesha Urasimishaji wa Ardhi 875,033,407

3 Mpango wa Kusajili na Kutoa vyeti vya Kuzaliwa kwa Watoto 21,520,000


chini ya Miaka Mitano – Mamlaka ya Usajii, Ufilisi na
Udhamini
Jumla 915,930,807

Kiambatisho VI: Kukosekana kwa Hati za Malipo Sh. 824,159,021.91

Idadi ya
Na. Sekta Kiasi (Sh) Kiambatisho
Watekelezaji
1 Elimu 1 545,448,696.91 A
2 Health 3 6,155,095 B
3 Other 1 19,973,104 C
4 Water 4 252,582,126 D
Jumla 9 824,159,021.91

A: Sekta ya Elimu
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
1 Matokeo Makubwa Sasa katika Mradi wa Elimu ya Malipo 545,448,696.91
kwa Matokeo

B: Sekta ya Afya – Mfuko wa Afya


Na. Halmashauri Kiasi (Sh) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)
Wilaya ya Wilaya ya
1 Ikungi 2,649,000 3 Tabora 1,056,440

2 Wilaya ya Itigi 2,449,655 Jumla 6,155,095

C: Miradi Mingine
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
1 Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania III 19,973,104

D: Sekta ya Maji – Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji

Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)

1 4 Wilaya ya
Wilaya ya Namtumbo
219,006,449 Mafia 3,250,000
2 Wilaya ya Kibiti 17,723,250 Jumla 252,582,126
3 Mji wa Mbinga 12,602,427

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 69


Kiambatisho VII: Malipo ya Sh. 3,105,033,861.12 Yenye Nyaraka Pungufu

Idadi ya
Na. Sekta Kiasi (Sh) Kiambatisho
Watekelezaji
1 Elimu 2 446,597,183 A
2 Afya 54 1,131,047,710 B&C
3 Miradi Mingine 4 96,760,143 D
4 Uchukuzi 2 114,561,564.12 E
5 Maji 26 1,316,067,261 F
Jumla 88 3,105,033,861.12

A: Sekta ya Elimu
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
1 Matokeo Makubwa Sasa katika Mradi wa Elimu ya Malipo 348,880,287
kwa Matokeo
2 Programu ya Elimu na Ujuzi kwa Ajili ya Kazi za Uzalishaji 97,716,896
Jumla 446,597,183

B: Sekta ya Afya
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
1 Mfuko wa Kimataifa – Kifua Kikuu 40,117,038

2 Mfuko wa Kimataifa - UKIMWI 144,915,582


Mradi wa Mtandao wa Maabara kwa Umma – Afrika 21,997,440
3
Mashariki
4 Mfuko wa Afya ya Jamii – Wizara ya Afya 38,450,807

5 Mradi wa Kusaidia Sekta ya Afya 320,298,980

Jumla 565,779,847

C: Sekta ya Afya – Mfuko wa Afya – Mamlaka za Serikali za Mitaa


Na. Halmashauri Kiasi (Sh) Na. Halmashauri Kiasi (Sh)
1 Wilaya ya Ngorongoro 59,660,166 26 Wilaya ya Igunga 7,195,000
2 Wilaya ya Tabora 54,042,414 27 Wilaya ya Mbozi 6,629,510
3 Wilaya ya Lushoto 39,117,143 28 Wilaya ya Mkalama 5,934,300
Wilaya ya
4 Wilaya ya Shinyanga 38,671,196 29 5,490,000
Sengerema
5 Wilaya ya Buhigwe 37,074,000 30 Wilaya ya Mbeya 5,449,000
6 Manispaa ya Ubungo 28,930,000 31 Wilaya ya Kishapu 5,181,160
7 Wilaya ya Makete 18,026,000 32 Wilaya ya Kibiti 5,116,182.29
8 Wilaya ya Chunya 17,655,810 33 Wilaya ya Tarime 5,103,310
9 Mji wa Njombe 15,530,000 34 Wilaya ya Nsimbo 4,056,504
10 Wilaya ya Kisarawe 14,979,500 35 Manispaa ya Bukoba 3,438,347
11 Wilaya ya Ileje 14,841,882 36 Manispaa ya Tabora 3,377,500
12 Wilaya ya Karatu 14,134,043 37 Wilaya ya Kilolo 3,172,060
13 Wilaya ya Missenyi 12,076,653.30 38 Wilaya ya Longido 3,019,380
14 Wilaya ya Bunda 10,920,219 39 Wilaya ya Ikungi 2,508,979
15 Manispaa ya Temeke 10,781,969 40 Wilaya ya Kibaha 2,422,800
Wilaya ya
16 Wilaya ya Morogoro 10,567,095 41 2,235,429
Sumbawanga
17 Mji wa Tarime 10,480,000 42 Mji wa Bariadi 2,200,000
Wilaya ya
18 Wilaya ya Misungwi 10,455,000 43 2,104,300
Nachingwea
19 Wilaya ya Urambo 9,899,706 44 Wilaya ya Meru 2,000,000
20 Wilaya ya Songea 9,800,000 45 Wilaya ya Mafia 1,615,800

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 70


21 Wilaya ya Rombo 9,558,771 46 Wilaya ya Gairo 1,600,000
22 Wilaya ya Mbinga 9,354,000 47 Wilaya ya Kyerwa 1,552,730
23 Mji wa Tunduma 9,076,000 48 Wilaya ya Handeni 1,197,000
24 Wilaya ya Kwimba 8,158,600 49 Wilaya ya Kalambo 1,188,404
25 Wilaya ya Tunduru 7,690,000 Jumla 565,267,863

D: Miradi Mingine
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
Mradi wa Maboresho wa Huduma za Mahakama na Utoaji wa Haki 25,726,495
1
kwa Wananchi
2 Programu ya Kuwezesha Urasimishaji wa Ardhi 37,983,648
Mradi wa Usimamizi wa Uvuvi na Ukuaji wa Pamoja Kusini 8,280,000
3
Magharibi mwa Bahari ya Hindi
Mradi wa Kuondoa Umaskini, Kuwezesha Vijana Kiuchumi na 24,770,000
4 Maendeleo Endelevu ya Mazingira – Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Jumla 96,760,143

E: Sekta ya Uchukuzi
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
1 Mradi wa Kuboresha Miji Tanzania - Fedha za ziada 2 35,987,564.12
2 Mradi wa Maendeleo ya Mji Mkuu wa Dar es Salaam 78,574,000

Jumla 114,561,564.12

F: Sekta ya Maji – Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji


Na Na
Halmashauri Kiasi (Sh) Halmashauri Kiasi (Sh)
. .
1 15 Wilaya ya
Wilaya ya Mbeya
289,203,171 Mbinga 15,090,000
2 Wilaya ya Geita 238,193,123 16 Mji wa Geita 13,660,000
3 17 Wilaya ya
Manispaa ya Temeke 11,480,000
207,187,870 Ubungo
4 145,594,813 18 Wilaya ya 10,210,000
Wilaya ya Chato
Sengerema
5 Wilaya ya 19 Wilaya ya 7,640,000
Nyang’hwale 78,510,242 Morogoro
6 Wilaya ya Chunya 50,300,639 20 Wilaya ya Magu 6,240,000
7 Wilaya ya Kibondo 49,372,706.00 21 Mji wa Bunda 4,880,000
8 Wilaya ya Songea 47,895,000 22 Wilaya ya Meru 3,722,900
9 Manispaa ya Ilemela 31,798,202 23 Jiji la Mwanza 3,600,000
10 Wilaya ya 24 3,357,346
Wilaya ya Ngara
Sumbawanga 22,454,999
11 19,085,000 25 Manispaa ya
Wilaya ya Mtwara
Tabora 3,150,000
12 18,790,012 26 Wilaya ya
Wilaya ya Nkasi
Momba 3,075,600
13 Wilaya ya Bagamoyo 16,370,000 Jumla 1,316,067,261
14 Manispaa ya Bukoba 15,205,638.32

Kiambatisho VIII: Fidia ya Sh. 5,815,781,142 ambayo Haikulipwa kwa Watu Walioathiriwa Kutokana
na Utekelezaji wa Miradi – Sekta ya Uchukuzi
Idadi ya
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh)
Waathirika
1 Programu ya Uboreshaji wa Miundombinu ya 726 5,717,446,142
Usafirishaji Jijini Dar es salaam (DUTP)
2 Mradi ya Kusaidia Sekta ya Barabara (TSSP) 82 98,335,000
Jumla 5,815,781,142

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 71


Kiambatisho IX: Malipo ya Sh 201,320,075 Yaliyofanyika kwa Shughuli Zisizoruhusiwa na Mwongozo
wa Mpango Kabambe wa Afya- Mfuko wa Afya – Sekta ya Afya
Na. Halmashauri Kiasi(Sh.) Na. Halmashauri Kiasi(Sh.)

1 Wilaya ya Iramba 25,012,675 13 Wilaya ya Tunduru 7,050,280


2 Wilaya ya Nkasi 17,311,450 14 Wilaya ya Ikungi 5,140,000
3 Wilaya ya Lushoto 16,575,100 15 Wilaya ya Bumbuli 4,500,000
4 Wilaya ya Korogwe 16,426,000 16 Wilaya ya Itigi 4,003,030
Manispaa ya
5 Sumbawanga 15,810,500 17 Wilaya ya Manyoni 4,000,000
6 Wilaya ya Songea 12,861,600 18 Wilaya ya Muheza 3,727,013.74
7 Wilaya ya Mbinga 12,000,000 19 Jiji la Mbeya 3,340,000
8 Mji wa Korogwe 11,021,984 20 Wilaya ya Kilindi 2,250,000
9 Manispaa ya Mpanda 10,268,000 21 Mji wa Handeni 1,703,000
10 Wilaya ya Mkinga 9,722,265 22 Wilaya ya Mbulu 1,534,228
11 Wilaya ya Kondoa 9,255,600 Jumla 201,320,075
12 Manispaa ya Kigamboni 7,807,349

Kiambatisho X: Malipo Yaliyofanyika Nje ya Bajeti Iliyoidhinishwa Sh 81,398,800 – Mfuko wa Afya


Na. Halmashauri Kiasi(Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)
1 Wilaya ya Nsimbo 19,200,000 7 Wilaya ya Sumbawanga 5,750,400
2 Wilaya ya Mbinga 17,202,240 8 Wilaya ya Urambo 4,378,660
3 Manispaa ya Tabora 8,875,000 9 Wilaya ya Chemba 1,400,000
4 Wilaya ya Muleba 8,260,000 10 Wilaya ya Kilolo 755,000
5 Wilaya ya Kalambo 8,087,500
Total 81,398,800
6 Wilaya ya Kasulu 7,490,000

Kiambatisho XI: Matengenezo ya Magari Yenye Thamani ya Sh 128,569,648.65 Kwenye Karakana


Binafsi bila Kibali cha Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania

Idadi ya
Na. Sekta Kiasi (Sh) Kiambatisho
Watekelezaji
1 Afya 5 97,872,775 A
2 Jamii 8 30,696,873.65 B
Jumla 13 128,569,648.65

A: Sekta ya Afya – Mfuko wa Afya


Na. Halmashauri Kiasi(Sh.) Na. Halmashauri Kiasi(Sh.)
Wilaya ya
1 Wilaya ya Kiteto 4 2,679,366
50,910,675 Simanjiro
Wilaya ya
5 Mji wa Mbulu
2 Sumbawanga 33,591,754 2,375,520
3 Wilaya ya Lushoto 8,315,460 Jumla 97,872,775

B: Sekta ya Jamii – Mfuko wa Maendeleo Ya Jamii III


Na. Idadi ya Watekelezaji Kiasi (Sh.)
1 Wilaya ya Mbozi 4,015,500
2 Wilaya ya Ileje 990,000
3 Wilaya ya Simanjiro 5,308,384.69
4 Katibu Tawala-Manyara 7,169,807
5 Nzega 1,843,054.96
6 Wilaya ya Nachingwea 3,075,587
7 Wilaya ya Bariadi 2,245,590
8 Wilaya ya Mlele 6,048,950
Jumla 30,696,873.65

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 72


Kiambatisho XII: Kutolewa kwa Fedha Pungufu ya Makadirio kwa Ajili ya Kutekeleza Miradi ya
Maendeleo Sh. 164,227,953,050.9

Idadi ya
Na. Sekta Kiasi (Sh.) Kiambatisho
watekelezaji
1 Kilimo 1 30,309,222,214.17 A
2 Elimu 3 23,760,101,661.82 B
3 Nishati na Madini 2 13,669,013,740.8 C
4 Afya 22 916,183,172 D
5 Miradi mingine 5 6,630,896,765.64 E
6 Maji 125 88,942,535,496.56 F&G
Jumla 158 164,227,953,050.99

A: Sekta ya Kilimo
Na Kiasi Kiasi
Jina la Mradi Makadirio (Sh)
. kilichotolewa (Sh) kisichotolewa (Sh)
1 Mradi wa Uwekezaji 36,158,206,651.97 5,848,984,437.80 30,309,222,214.17
katika Kukuza Kilimo
Kusini mwa Tanzania
(SAGCOT-CTF)

B: Sekta ya Elimu
Na Kiasi Kiasi
Jina la Mradi Makadirio (Sh)
. kilichotolewa (Sh) kisichotolewa (Sh)
1 Programu ya Elimu
na Ujuzi kwa Ajili
4,630,284,000 1,500,000,000 3,130,284,000
ya Kazi za
Uzalishaji
2 Chuo cha Sayansi
na Teknolojia Afrika 4,517,735,040 2,743,730,196 1,774,004,843.52
– Nelson Mandela
3 Programu ya
Kusaidia Elimu ya
Ufundi, Mafunzo na 25,526,059,393.64 6,670,246,575.34 18,855,812,818.30
Elimu kwa Walimu
(STVET)
Jumla 10,913,976,771.3 23,760,101,661.8
34,674,078,433.64
4 2

C: Sekta ya Nishati ya Madini


Kiasi
Kiasi
Na. Jina la Mradi Makadirio (Sh) kilichotolewa
kisichotolewa (Sh)
(Sh)
1 Mradi wa Kujenga
Uwezo wa Sekta ya 11,848,049,741
- 11,848,049,740.80
Nishati ( ESCBP)
2 Taasisi ya
Uhamasishaji Uwazi
na Uwajibikaji Katika
1,820,964,000 - 1,820,964,000
Rasilimali za Madini,
Mafuta na Gesi Asilia
Jumla 13,669,013,741 - 13,669,013,740.8

D: Sekta ya Afya - Mfuko wa Afya – Mamlaka za Serikali za Mitaa


Kiasi Kiasi
Na Halmashauri Makadirio (Sh)
kilichotolewa (Sh) kisichotolewa (Sh)
1 Wilaya ya Korogwe 583,129,800 441,940,500 141,189,300

2 Manispaa ya Morogoro 716,640,000 586,760,000


129,880,000
3 Wilaya ya Geita 1,348,500,337 1,221,021,800 127,478,537

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 73


4 Wilaya ya Arusha 433,540,023 315,647,600 117,892,423

5 Wilaya ya Buhigwe 260,363,598.85 193,189,600


67,173,998.85
6 Wilaya ya Chemba 642,180,752 582,458,400
59,722,352
7 Wilaya ya Rombo 510,490,176.04 473,072,400 37,417,776
8 Manispaa ya Musoma 105,807,020 74,816,800 30,990,220
9 Wilaya ya Bahi 544,001,876 516,031,600 27,970,276
10 Wilaya ya Songwe 318,972,000 295,247,800
23,724,200
11 Mji wa Bunda 216,346,000 195,456,000 20,890,000

12 Manispaa ya Kigoma 378,417,792 357,643,158


20,774,634
13 Wilaya ya Kiteto 791,653,699 772,766,100 18,887,599

14 Wilaya ya Makete 273,426,350.47 257,541,600


15,884,750.47
15 Wilaya ya Busokelo 233,730,920 219,357,800
14,373,120
16 Wilaya ya Same 620,717,000 608,040,800 12,676,200
17 Wilaya ya Mkalama 425,099,000 414,323,600
10,775,400
18 Wilaya ya Ngorongoro 582,248,000 571,515,200 10,732,800
19 Mji wa Tunduma 174,701,000 166,488,800
8,212,200
20 Wilaya ya Kigoma 414,021,000 406,554,800
7,466,200
21 Manispaa ya Moshi 334,375,786 328,211,000
6,164,786
22 Wilaya ya Pangani 140,300,000 134,393,600 5,906,400
Jumla 10,048,662,130 9,132,478,958
916,183,172

E: Miradi Mingineyo
Kiasi
Kiasi
Na Jina la Mradi Makadirio (Sh) kisichotolewa
kilichotolewa (Sh)
(Sh)
1 Mradi wa Kuhimili
Athari za
Mabadiliko ya
564,805,349.47 146,621,080.57 418,184,268.90
Tabianchi katika
Jiji a Dar Es
Salaam
2 Mradi Endelevu
wa Kuwezesha
Kuzuia na
5,670,615,695 3,404,420,387.42 2,266,195,307.58
Kupambana na
Rushwa –
Tanzania
3 Mradi wa Kuhimili
Athari za
Mabadiliko ya 1,438,109,358.07 1,086,233,832.90 351,875,525.16
Tabianchi Katika
Maeneo ya Pwani
4 Programu ya
Kuwezesha
12,000,000,000 8,858,308,152 3,141,691,848
Urasimishaji wa
Ardhi
5 Mradi wa Kukuza
Uwezo kwa 658,836,096 205,886,280 452,949,816
Kuboresha
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 74
Matokeo na
Ufanisi - Ofisi ya
Taifa ya Takwimu
13,701,469,732.8 6,630,896,765.6
Jumla 20,332,366,498.54
9 4

F: Sekta ya Maji
Kiasi Kiasi
Na. Jina la Mradi Makadirio (Sh) kilichotolewa kisichotolewa
(Sh) (Sh)
1 Programu ya Maendeleo 1,414,962,000 740,000,000 674,962,000
ya Sekta ya Maji Fungu
52

G: Sekta ya Maji – Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji


Kiasi
Kiasi kilichotolewa
Na. Halmashauri Makadirio (Sh) kisichotolewa
(Sh)
(Sh)
1 Wilaya ya Arusha 1,476,084,264 360,966,604 1,115,117,660
2 Wilaya ya Longido 1,017,505,000 981,964,030 35,540,970
3 Wilaya ya Karatu 537,871,998 41,000,000 496,871,998
4 Wilaya ya Meru 702,277,313 557,712,735 144,564,577.90
5 Wilaya ya Monduli 754,331,019 629,933,059.80 124,397,959.20
7 Wilaya ya Chalinze 2,300,000,000 26,000,000 2,274,000,000
8 Wilaya ya Bagamoyo 433,969,000 36,000,000 397,969,000
9 Wilaya ya Kibaha 1,014,524,000 36,000,000 978,524,000
10 Wilaya ya Kibiti 452,409,298 361,486,549 90,922,749
11 Wilaya ya Kisarawe 1,504,423,000 202,995,139 1,301,427,861
12 Wilaya ya Mafia 1,556,725,000 491,344,600 1,065,380,400
13 Wilaya ya Mkuranga 1,202,153,200 36,000,000 1,166,153,200
14 Wilaya ya Rufiji 165,347,806 36,000,000 129,347,806
15 Manispaa ya Ilala 753,114,593 192,562,229.58 560,552,363.42
16 Manispaa ya Kigamboni 57,131,984 34,014,440 23,117,544
17 Manispaa ya Kinondoni 224,212,992 35,000,000 189,212,992
18 Manispaa ya Temeke 761,888,707 540,505,242 221,383,465
19 Wilaya ya Ubungo 297,459,415 160,746,415 136,713,000
20 Wilaya ya Bahi 1,880,608,000 510,258,634 1,370,349,366
21 Wilaya ya Chamwino 253,848,000 199,100,000 54,748,000
22 Jiji la Dodoma 215,688,000 36,000,000 179,688,000
23 Wilaya ya Kondoa 5,147,454,968 52,585,000 5,094,869,968
25 Wilaya ya Chato 3,336,379,807 2,744,170,539 592,209,268
26 Wilaya ya Geita 1,023,279,000 304,850,539 718,428,461
27 Mji wa Geita 488,753,423 26,000,000 462,753,423
28 Wilaya ya Mbogwe 643,471,000 286,542,912 356,928,088
29 Wilaya ya Nyang’hwale 5,729,960,258 3,405,287,625 2,324,672,633
30 Wilaya ya Mufindi 2,039,203,000 295,687,141 1,743,515,859
31 Wilaya ya Mlele 719,766,000 583,816,697 135,949,303
33 Manispaa ya Mpanda 970,589,350 74,173,000 896,416,350
34 Wilaya ya Mpimbwe 1,625,852,854 776,321,625 849,531,229
35 Wilaya ya Nsimbo 1,896,221,383 369,004,400 1,527,216,983
36 Wilaya ya Bukoba 738,764,000 225,561,644 513,202,356
37 Wilaya ya Missenyi 753,172,000 378,928,273 374,243,727
38 Wilaya ya Ngara 2,634,663,722 238,895,353 2,395,768,369
39 Wilaya ya Buhigwe 1,849,172,000 152,758,320 1,696,413,680
40 Wilaya ya Kakonko 1,012,165,000 44,920,000 967,245,000
41 Wilaya ya Kasulu 2,416,397,000 1,329,473,871 1,086,923,129
42 Mji wa Kasulu 889,313,006 179,756,591 709,556,415
43 Manispaa ya Kigoma 943,001,000 21,000,000 922,001,000

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 75


44 Wilaya ya Kigoma 380,324,045 304,509,472 75,814,573
45 Wilaya ya Uvinza 1,256,983,000 703,401,362 553,581,638
46 Wilaya ya Hai 574,663,000 283,439,513.25 291,223,486.8
47 Wilaya ya Moshi 2,190,195,042 181,675,150 2,008,519,892
48 Manispaa ya Moshi 201,616,080 21,000,000 180,616,080
49 Wilaya ya Rombo 1,091,049,861 713,690,860.70 377,359,000
50 Wilaya ya Same 890,680,647 395,243,053 495,437,594
51 Wilaya ya Siha 782,000,000 409,755,475 372,244,525
52 Wilaya ya Kilwa 615,703,000 30,000,000 585,703,000
53 Wilaya ya Lindi 1,045,157,000 360,517,180 684,639,820
54 Wilaya ya Ruangwa 1,533,028,000 593,609,395 939,418,605
55 Manispaa ya Lindi 36,650,000 17,000,000 19,650,000
56 Wilaya ya Ludewa 1,500,000,000 156,800,755 1,343,199,245
57 Wilaya ya Makete 1,672,259,000 1,139,125,538 533,133,462
58 Wilaya ya Njombe 1,412,446,508.51 614,965,500 797,481,008.51
59 Wilaya ya
2,537,140,000 902,087,838 1,635,052,162
Wang'ing'ombe
60 Wilaya ya Babati 500,600,000 458,588,832 42,011,168
61 Mji wa Babati 550,852,806 390,184,951 160,667,855
62 Wilaya ya Hanang' 1,084,153,000 755,318,688 328,834,312
63 Wilaya ya Kiteto 1,262,569,000 574,947,959.93 687,621,040.07
64 Wilaya ya Mbulu 376,253,667 233,364,030 142,889,637
65 Mji wa Mbulu 1,513,130,000 54,497,000 1,458,633,000
66 Wilaya ya Simanjiro 432,138,810 226,647,082 205,491,728
67 Wilaya ya Bunda 609,584,000 275,918,656 333,665,344
68 Mji wa Bunda 158,720,000 31,000,000 127,720,000
69 Manispaa ya Musoma 340,560,000 21,660,105 318,899,895
70 Wilaya ya Serengeti 941,953,000 776,840,000 165,113,000
71 Wilaya ya Tarime 489,387,000 30,000,000 459,387,000
72 Mji wa Tarime 690,000,000 81,345,172 608,654,828
73 Wilaya ya Busokelo 448,812,000 41,000,000 407,812,000
74 Wilaya ya Kyela 629,442,016 392,761,115 236,680,901
75 Wilaya ya Mbarali 1,936,372,000 31,000,000 1,905,372,000
76 Jiji la Mbeya 1,015,099,000 36,000,000 979,099,000
77 Wilaya ya Gairo 1,006,071,704 644,175,292 361,896,412
78 Mji wa Ifakara 1,142,054,352 536,744,286 605,310,066
79 Wilaya ya Kilosa 1,604,368,000 36,000,000 1,568,368,000
80 Wilaya ya Malinyi 254,068,000 157,296,250 96,771,750
81 Wilaya ya Morogoro 1,551,147,537 1,119,301,570 431,845,967
82 Manispaa ya Morogoro 496,394,560 254,860,560 241,534,000
83 Mji wa Masasi 559,530,000 21,000,000 538,530,000
84 Wilaya ya Nanyumbu 446,276,960 229,785,322 216,491,638
85 Mji wa Newala 138,537,000 47,891,000 90,646,000
86 Manispaa ya Mtwara 2,061,105,000 235,129,433 1,825,975,567
87 Wilaya ya Kwimba 2,377,560,478 760,609,161 1,616,951,317
88 Wilaya ya Misungwi 2,623,233,000 616,133,700 2,007,099,300
89 Wilaya ya Sengerema 2,664,085,000 841,987,000 1,822,098,000
90 Manispaa ya Ilemela 959,848,112 775,444,057 184,404,055
92 Wilaya ya Nkasi 785,190,000 689,712,512 95,477,488
93 Wilaya ya Madaba 1,632,649,000 1,029,974,215 602,674,785
94 Wilaya ya Songea 712,442,647 492,188,640 220,254,007
95 Manispaa ya Songea 4,410,784,000 1,436,702,099 2,974,081,901

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 76


96 Wilaya ya Tunduru 917,845,500 375,758,000 542,087,500
97 Wilaya ya Busega 2,102,296,064 395,988,800 1,706,307,264
98 2,075,220,880.
Wilaya ya Meatu 2,509,678,000 434,457,119.22
78
99 Wilaya ya Kishapu 3,522,925,429 735,260,795 2,787,664,634
100 Wilaya ya Msalala 613,228,738 64,852,200 548,376,538
101 Wilaya ya Shinyanga 1,888,554,403 933,985,928.50 954,568,475
102
Manispaa ya Shinyanga 455,786,000 139,631,175 316,154,825

103 Wilaya ya Ushetu 283,687,000 30,000,000 253,687,000


104 Wilaya ya Iramba 532,796,000 139,404,190 393,391,810
105 Wilaya ya Itigi 1,244,254,000 670,111,443 574,142,557
106 Wilaya ya Manyoni 1,313,586,000 1,102,063,782 211,522,218
107 Wilaya ya Mkalama 1,300,000,000 341,827,024 958,172,976
108 Manispaa ya Singida 161,414,461 98,620,400 62,794,061
109 Wilaya ya Momba 478,897,000 35,000,000 443,897,000
110 Wilaya ya Nzega 1,890,152,928 647,221,162 1,242,931,766
111 Mji wa Nzega 632,086,000 104,580,050 527,505,950
112 Wilaya ya Sikonge 547,705,000 255,515,959.60 292,189,040.40
113 Wilaya ya Tabora 605,655,987.63 434,647,665 171,008,322.63
115 Wilaya ya Urambo 1,360,632,000 120,030,978 1,240,601,022
116 Wilaya ya Bumbuli 1,266,126,000 46,000,000 1,220,126,000
117 Mji wa Handeni 347,799,000 31,000,000 316,799,000
118 Wilaya ya Kilindi 1,521,737,000 1,150,691,032 371,045,968
119 Wilaya ya Korogwe 132,667,299 46,000,000 86,667,299
120 Mji wa Korogwe 541,132,940 533,291,981 7,840,959
122 Wilaya ya Mkinga 1,420,548,000 1,120,975,366.40 299,572,633.60
123 Wilaya ya Muheza 290,375,258.28 234,737,115.93 55,638,142.35
124 Jiji la Tanga 430,998,450 209,204,000 221,794,450
Jumla 88,267,573,49
136,856,582,650 48,589,009,153.70
6.56

Kiambatisho XIII: Malipo Yasiyokubaliwa Sh 2,898,350,121.5

Idadi ya
Na. Sekta Kiasi (Sh.) Kiambatisho
Watekelezaji
1 Kilimo 1 53,800,000 A
2 Elimu 1 2,310,579,130 B
3 Afya 6 215,488,548.5 C&D
4 Miradi Mingine 3 61,788,738 E
5 Maji 9 256,693,705 F
Jumla 20 2,898,350,121.5

A: Sekta ya Kilimo
Na. Jina la Mradi Kiasi(Sh.)
1 Mradi wa Upanuzi wa Uzalishaji wa Mpunga 53,800,000

B: Sekta ya Elimu
Na. Jina la Mradi Kiasi(Sh.)
Matokeo Makubwa Sasa katika Mradi wa Elimu ya Malipo kwa 2,310,579,130
1 Matokeo

C: Sekta ya Afya
Na. Jina la Mradi Kiasi(Sh.)

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 77


Kituo cha Kuchunguza Magonjwa ya Kuambukiza Kusini mwa
1 Afrika.- Kituo Mahiri Afrika cha Magonjwa ya Kuambukiza 64,896,874.50

2 Mfuko wa Kimataifa - UKIMWI 80,030,185


Jumla 144,927,059.5

D: Sekta ya Afya – Mfuko wa Afya

Na. Halmashauri Kiasi(Sh.) Na. Halmashauri Kiasi(Sh.)

Wilaya ya
1 Mji wa Kahama 4
39,517,489 Bunda 4,440,000
Wilaya ya
2
Shinyanga 16,424,000 Jumla 70,561,489
Wilaya ya
3
Kishapu 10,180,000

E: Miradi Mingine
Na. Jina la Mradi Kiasi(Sh.)
Mradi wa Usimamizi wa Uvuvi na Ukuaji wa Pamoja Kusini 2,460,000
1
Magharibi mwa Bahari ya Hindi
Mradi wa Kuondoa Umaskini, Kuwezesha Vijana Kiuchumi na 18,417,358
2
Maendeleo Endelevu ya Mazingira – Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
3 Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Awamu ya III 40,911,380
Jumla 61,788,738

F: Sekta ya Maji – Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji


Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)
1 Mji wa Makambako 65,800,000 6 Wilaya ya 21,000,000
Sumbawanga
2 Mji wa Njombe 50,740,000 7 Mji wa Mbinga 13,500,000

3 Wilaya ya Liwale 43,086,811 8 Wilaya ya 3,750,000


Wang'ing'ombe
4 Wilaya ya Nzega 29,656,894 9 Wilaya ya Njombe 2,000,000

5 Manispaa ya Tabora 27,160,000 Jumla 256,693,705

Kiambatisho XIV: Kutokuomba Sh. 4,347,531,003.62 za Marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani

Idadi ya
Na. Sekta Kiasi (Sh.) Kiambatisho
Watekelezaji
1 Elimu 1 1,843,458,244.87 A
2 Afya 2 203,641,123.89 B
3 Miradi Mingine 1 9,500,598.31 C
4 Uchukuzi 1 499,966,796.55 D
5 Maji 12 1,790,964,240 E
Jumla 17 4,347,531,003.62

A: Sekta ya Elimu
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh)

1 Matokeo Makubwa Sasa katika Mradi wa Elimu ya Malipo kwa 1,843,458,244.8


Matokeo 7

B: Sekta ya Afya

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 78


Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh)

1 Mfuko wa Kimataifa – Kifua Kikuu 16,221,270


2 Mfuko wa Kimataifa - UKIMWI 187,419,853.89
Jumla 203,641,123.89

C: Miradi Mingine
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh)

1 Mradi Endelevu wa Kuwezesha Kuzuia na Kupambana na Rushwa – 9,500,598.31


Tanzania

D: Sekta ya Uchukuzi
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh)

1
Mradi wa Kuboresha Miji Tanzania - Fedha za ziada awamu ya II 499,966,796.55

E: Sekta ya Maji – Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji


Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)
Wilaya ya
Wilaya ya Kilolo
1 Sumbawanga 747,853,963 8 68,209,560
Wilaya ya Nzega Mji wa Mbinga
2 252,401,057 9 62,809,338
Wilaya ya
Wilaya ya Kalambo
3 165,502,034 10 Nsimbo 49,488,086
Mji wa Nzega Wilaya ya Liwale
4 127,640,880 11 49,298,958
Wilaya ya Itigi Wilaya ya Mafia
5 118,240,200 12 3,708,900
Wilaya ya Bahi
6 77,201,563 Jumla 1,790,964,240
Wilaya ya
7 Namtumbo 68,609,701

Kiambatisho XV: Fedha Sh 411,485,130 za Miradi Zilizokopwa bila Kurejeshwa

Idadi ya
Na. Sekta Kiasi (Sh.) Kiambatisho
Watekelezaji
1 Elimu 2 586,180,500 A
2 Nishati na Madini 1 168,134,730 B
3 Afya 1 48,082,880.27 C
4 Miradi mingine 2 49,338,965.04 D
5 Maji 1 121,085,181 F
Jumla 7 972,822,256.31

A: Sekta ya Elimu
Na. Jina la Mradi Aliyekopeshwa Kiasi (Sh)
1 Matokeo Makubwa Sasa katika Mradi wa Wizara ya Elimu 286,180,500
Elimu ya Malipo kwa Matokeo
2 Programu ya Elimu na Ujuzi kwa Ajili ya Chuo cha Ufundi 300,000,000
Kazi za Uzalishaji Arusha
Jumla 586,180,500

B: Sekta ya Uchukuzi
Na. Jina la Mradi Aliyekopeshwa Kiasi (Sh)
1 Wakala wa Nishati Vijijini Mfuko wa Nishati 168,134,730
Vijijini

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 79


C: Sekta ya Afya
Na. Jina la Mradi Aliyekopeshwa Kiasi (Sh)
1 Mfuko wa Kimataifa - UKIMWI 48,082,880.27

D: Miradi Mingine
Na. Jina la Mradi Aliyekopeshwa Kiasi (Sh)
1 Mfuko wa Maendeleo ya Halmashauri ya Mji wa Kibaha Sh 25,998,566
Jamii Awamu ya III 9,097,823 na Halmashauri ya Wilaya
ya Lindi Sh 16,900,743
2 Mfuko wa Maendeleo ya Kulikuwa na bakaa ya miaka ya nyuma 23,340,399.04
Jamii Awamu ya III ambayo ilitumiwa kwa ajili ya
kutekeleza shughuli nyingine ambazo
hazihusiana na Mradi kwa
watekelezaji ambao ni Halmashauri ya
Wilaya ya Longido na Ngorongoro.
Kiasi hiki cha fedha kilikuwa
hakijarejeshwa hadi mwishoni mwa
mwaka wa fedha 2018/19.
Jumla 49,338,965.04

E: Sekta ya Maji – Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji


Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)
1 Wilaya ya Nkasi 121,085,181

Kiambatisho XVI: Serikali Kutochangia Gharama za Miradi Kulingana na Makubaliano na Washirika wa


Maendeleo Sh. 8,447,218,983.34

Idadi ya Kiasi Kiasi


Kiasi kilichopaswa Kiamb
Na. Sekta Wateke Kilichochangiwa kisichochangiwa
kuchangiwa (Sh.) atisho
lezaji (Sh.) (Sh)
Kilimo 1 800,000,000 87,050,000 712,950,000 A
Uchukuzi 1 10,982,602,972.9 3,248,333,989.56 7,734,268,983.34 B
Jumla 2 11,782,602,972.9 3,335,383,989.56 8,447,218,983.34

A: Sekta ya Kilimo
Kiasi
Kiasi Kiasi
kilichopaswa
Na. Jina la Mradi Kilichochang kisichochangi
kuchangiwa
iwa (Sh.) wa (Sh)
(Sh.)
1 Mradi wa Upanuzi wa Uzalishaji wa
Mpunga 800,000,000 87,050,000 712,950,000

B: Sekta ya Uchukuzi
Kiasi Kiasi
Kiasi kilichopaswa
Na. Jina la Mradi Kilichochangiwa kisichochangiw
kuchangiwa (Sh.)
(Sh.) a (Sh)
1 Mradi wa Maboresho ya 7,734,268,983.
10,982,602,972.9 3,248,333,989.56
Bandari ya Dar es Salaam 34

Kiambatisho XVII: Fedha za Bakaa za Akaunti ya Washirika ambazo Hazijatumiwa kwa Muda, Dola za
kimarekani milioni 25.16
Kiasi kilichobaki
Namba ya
tarehe 30 Juni
Na. Benki Jina la Akanti ya Washirika Maelezo
2019 (Dola za
Akaunti
Kimarekani)

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 80


1 9931212011 Programu ya Maendeleo ya 608,834.02 -
Sekta ya Kilimo (ASDP II BRN)

2 9931206251 Programu ya Maendeleo ya 3,666,958.10 -


Sekta ya Kilimo awamu ya II
(ASDP II BF)
3 9931202681 Akaunti ya Washirika ya 7,360,840.25 -
Mfuko wa pamoja wa
Kuchangia Sekta ya
Maendeleo y a Afya
4 9931206651 Ruzuku ya Maendeleo ya 7,178.97 Fedha hizi zimebaki
Serikali za Mitaa (LGCDG) kwenye akaunti hii kwa
muda wa miaka saba
5 9931202951 Akaunti ya Washirika ya 687,197.52 Fedha hizi zimebaki
kuchangia Maendeleo ya kwenye akaunti hii kwa
Sekta ya Kuboresha Sheria muda wa miaka sita
(LSBF)
6 9931202971 Akaunti ya Washirika ya 153,138.55 Fedha hizi zimebaki
Mfuko wa pamoja wa kwenye akaunti hii kwa
Kuchangia Mapitio ya muda wa miaka minne
Matumizi ya Umma (PER)

7 9931219141 Akaunti ya Washirika ya 59,539.41


Mfuko wa pamoja Kuboresha
Afya ya Msingi- changia
kulingana na matokeo
8 9931206511 Programu ya Mabadiliko ya 14,251.95 Fedha hizi zimebaki
Utummishi wa Umma awamu kwenye akaunti hii kwa
ya II ((PSRP II) muda wa miaka minne
9 9931206531 Akaunti ya Washirika ya 484,280.15 Fedha hizi zimebaki
Mfuko wa pamoja ya kwenye akaunti hii kwa
Kuchangia Programu ya muda wa miaka saba
Kusaidia Elimu ya Sekondari
(PSSE-BFF)
10 9931206091 Programu ya Maendeleo ya 227,311.92 Fedha hizi zimebaki
Elimu ya Sekondari (SEDP) kwenye akaunti hii kwa
muda wa miaka miwili
11 9931206361 Akaunti ya Washirika ya 11,727,752.00
Mfuko wa pamoja wa
Kuchangia Sekta ya Maji
(WSBF)
12 9931219901 Akaunti ndogo ya Programu 164,243.34
ya Maendeleo ya Sekta ya
Maji
Jumla 25,161,526.18

Kiambatisho XVIII: Madeni ya Wakandarasi ambayo Hayajalipwa Sh 1.03 trilioni (Ikujumuisha Adhabu
Sh 224.03 bilioni na Fidia Sh 13.02 milioni)
Na. Maelezo Kiasi (Sh.)
1 Madai bila riba 794,091,175,546.39
2 Riba 224,025,668,186.65
3 Fidia 13,019,579,894.23
Jumla 1,031,136,423,627.3

Kiambatisho XIX: Malipo ya Kazi Zilizotekelezwa Yaliyochelewa Sh. 8.64 bilioni


Zilizolipwa kwa Kuchelewa – Mradi wa Maendeleo ya Sekta ya Maji
Kuchelewa(
Na. Halmashauri Mkataba Na./Maelezo Hati Na. Kiasi (Sh.)
Miezi)
1 Wilaya ya LGA/026/2017/2018 1 700,000,000 3
Iringa /RWSSP/W/042 LOT 1
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 81
2 Wilaya ya LGA/097/2017/2018 1 2
232,854,120
Sumbawanga /WS/W/01
3 Wilaya ya LGA/097/2017/2018 1 7
245,795,770
Sumbawanga /WS/W/04
4 Wilaya ya LGA/097/2017/2018 1 7
273,451,194
Sumbawanga /WS/W/02
5 Wilaya ya LGA/144/2016- 1 133,834,306 5
Kalambo 2017/KDC/W/03
6 Wilaya ya LGA/144/2016- 1 127,500,000 3
Kalambo 2017/KDC/W/03
7 Wilaya ya LGA/144/2016- 1 141,838,456 2
Kalambo 2017/KDC/W/02
8 Wilaya ya LGA/144/2016- 1 83,991,338 1
Kalambo 2017/KDC/W/01
9 Wilaya ya LGA/144/2016- 1 108,310,206 3
Kalambo 2017/KDC/W/01
10 Wilaya ya LGA/167/TTC/2017 1 384,540,562 3
Tunduma /2018/W/WSDP/01
Jumla 2,432,115,952

Zilizochelewa Hazikulipwa- Mradi wa Maendeleo ya Sekta ya Maji


Kuchel
Na. Halmashauri Mkataba Na./Maelezo Kiasi (Sh.) ewa(Mi
ezi)
1 Wilaya ya Dodoma LGA/020/2017-2018/W/11 25,962,000 3

2 Wilaya ya Kongwa LGA/022/2017-2018/HQ/W 219,266,420 1


/01/3
3 Wilaya ya LGA/023/2016/2017/W/22 87,034,412 3
Mpwapwa
4 Wilaya ya LGA/023/2016/2017/W/24 188,853,448 3
Mpwapwa
5 Wilaya ya LGA/023/2016/2017/W/19 70,706,308 8
Mpwapwa
6 Wilaya ya LGA/023/2016/2017/W/23 89,930,601 2
Mpwapwa
7 Wilaya ya LGA/023/2016/2017/W/21 82,423,000 3
Mpwapwa
8 Wilaya ya LGA/023/2016/2017/W/28 90,192,993 3
Mpwapwa
9 Halmashauri ya LGA/160/RWSSP/2017/2018 5
59,225,500
Mji Mdogo Geita /W/LOT I
10 Halmashauri ya LGA/160/RWSSP/2017/2018 5
54,015,000
Mji Mdogo Geita /W/LOT II
11 Halmashauri ya LGA/160/RWSSP/2017/2018 5
42,706,470
Mji Mdogo Geita /W/LOT III
12 Halmashauri ya LGA/160/RWSSP/2017/2018 5
44,484,980
Mji Mdogo Geita /W/LOT IV
13 Manispaa ya Iringa LGA-025/2016-2017/W/W/01 491,526,956 9

14 Wilaya ya Kilolo LGA/027/WSDP/2016/2017/ 244,623,440 7


W/01
15 Wilaya ya Nsimbo LGA/161/2017/2018/W/Solar 24,122,700 10
Plant/NDC/W/01
16 Wilaya ya Nsimbo LGA/161/2017/2018/BHL/W 98,654,400 8
/Water/01/Lot 02
17 Wilaya ya Kyerwa LGA/137/2016/2017/RWSSP/ 69,926,250 11
W/02
18 Wilaya ya Kyerwa LGA/137/2016/2017/RWSSP 26,091,280 11
/W/QTN/01

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 82


19 Wilaya ya Kyerwa LGA/137/2016/2017/RWSSP/ 39,754,098 11
W/QTN/02
20 Wilaya ya Kyerwa LGA/137/2016/2017/RWSSP/ 100,000,000 20
C/01
21 Wilaya ya Mbulu LGA/061/2017-2018/HQ/W 153,100,000 7
/99
22 Wilaya ya Gairo LGA/143/2016-2017/W/11 84,655,446 13

23 Wilaya ya Gairo LGA/143/2017-2018/W/02 155,833,050 9

24 Wilaya ya Buchosa LGA/173/WSDP/2017-2018 232,323,503 8


/W/55 LOT II
25 Wilaya ya Buchosa LGA/173/WSDP/2017/2018 87,520,000 12
/W/55 LOT II
26 Wilaya ya Buchosa LGA/173/WSDP/2017-2018 55,130,000 8
/W/55 LOT 1
27 Wilaya ya LGA/097/2017/2018/WS/W 157,520,585 5
Sumbawanga /01
28 Wilaya ya LGA/097/2017/2018/WS/W 1,073,584,401 5
Sumbawanga /05
29 Halmashauri ya LGA/167/TTC/2017/2018/W 16
Mji Mdogo /WSDP/01
Tunduma 151,795,372.20
30 Wilaya ya LGA/105/CTR/2016/2017/W 763,392,292 4
Namtumbo /RWSSP/01
31 Wilaya ya Itigi LGA/177/IDC/2017/2018/HQ 809,148,101 1
/W/01 LOT 1
32 Wilaya ya Nzega LGA/120/2017-2018/W/1-LOT 108,382,189.80 6
4
33 Halmashauri ya LGA/170/2017-18/06 224,679,080 9
Mji Mdogo Nzega
Jumla
6,206,564,276

Kiambatisho XX: Vituo vya Maji Havitoi Maji


Na. Halmashauri Vilivyopo Vinavyotoa Maji Visivyotoa Maji
1 Wilaya ya Dodoma 989 474 515
2 Wilaya ya Kilwa 734 225 509
3 Wilaya ya Korogwe 1012 646 366
4 Wilaya ya Njombe 820 471 349
5 Wilaya ya Ruangwa 741 404 337
6 Wilaya ya Kiteto 463 275 188
7 Wilaya ya Ilemela 285 108 177
8 Wilaya ya Mbulu 502 339 163
9 Wilaya ya Nanyumbu 376 222 154
10 Wilaya ya Geita 391 239 152
11 Wilaya ya Lindi 622 472 150
12 Wilaya ya Momba 234 102 132
13 Wilaya ya Masasi 140 18 122
14 Manispaa ya Mtwara 277 183 94
15 Mji wa Newala 153 71 82
16 Manispaa ya Lindi 269 210 59
17 Mji wa Tunduma 155 128 27
Jumla 3576

Kiambatisho XXI: Miradi Iliyokamilika Haitumiki

Idadi ya
Na. Sekta kiasi(Sh.) Viambatisho
Watekelezaji
1 Kilimo 3 1,472,177,950 A
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 83
2 Jamii 1 636,579,815.62 B
3 Maji 2 681,982,904 C
Jumla 6 2,790,740,669.62

A: sekta ya Kilimo
Na. Mradi/ Mtekelezaji Mradi Kipindi cha Tarehe ya Kiasi cha
Mkataba Kumaliza Mkataba (Sh.)
1 Programu ya Ujenzi wa soko 2017 453,711,970
Miundombinu ya wilaya ya Chato
Masoko, Uongezaji wa
Thamani, na Msaada
wa Fedha Vijijini
(MIVARF)
2 Programu ya Ujenzi wa ghala 10/08/ 14/05/2017 956,193,900
Miundombinu ya lenye uwezo wa 2016 hadi
Masoko, Uongezaji wa kuhifdhi baridi 14/05/2017
Thamani, na Msaada Madihani wilaya
wa Fedha Vijijini ya Makete
(MIVARF)
3 Programu ya Ujenzi wa Kituo 2018 62,272,080
Miundombinu ya cha Mafunzo
Masoko, Uongezaji wa baada ya
Thamani, na Msaada Mavuno (PHTC)
wa Fedha Vijijini katika
(MIVARF) Halmashauri ya
Wilaya ya Magu
Jumla 1,472,177,950

B: Sekta ya Jamii
Na. Mradi/Mtekelezaji Mradi Kiasi cha
Mkataba (Sh.)
1 Mfuko wa Maendeleo Miradi sita (6) ya watekelezaji watano(5) wa 636,579,815.62
ya Jamii (TASAF) miradi ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii
(TASAF) ambao ni; wilaya za Arusha, Longido,
Meru, Unguja na Halmashauri ya Mji Mdogo wa
Njombe ilikamilika pasipo kutumika

C: Sekta ya Maji
Na. Halmashauri Taarifa za Mradi Kiasi (Sh.)
1 Kumalizia skimu ya usambazaji maji katika vijiji vya
Wilaya ya Monduli 609,271,552
Emairete na Eluwai
Wilaya ya Ngara Mradi wa ukarabati wa usambazaji maji kijiji cha
Shanga/Mugoma kwa kununua pampu na kuweka 72,711,352
2 transfoma

Jumla 681,982,904

Kiambatisho XXII: Kuchelewa Kukamilika Miradi ya Maji kwenye Halmashauri


Tarehe ya
Thamani ya Kuchelew
Na. Halmashauri Mkataba Na. Kumaliza kazi
Mkataba a(Miezi)
za Mkataba
1 Halmashauri ya LGA/058/2016- 487,470,619 09-09-19 3
Mji Mdogo Babati 2017/W/10
2 LGA/024/2017/ 441,041,901 16-02-19 9
Wilaya ya Bahi 2018/W/02-LOT I
3 LGA/024/2017/ 637,897,271 07-03-19 8
Wilaya ya Bahi 2018/W/02-LOTII
4 Wilaya ya KSDC/W/2013/ 497,588,762 02-08-14 66
Buhigwe 2014/16

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 84


5 Wilaya ya KSDC/W/2013/ 521,635,195 01-07-14 65
Buhigwe 2014/15
6 Wilaya ya KSDC/WC/2012/ 797,661,457 16-12-13 73
Buhigwe 2013/24
7 Wilaya ya KSDC/W/2013/ 1,338,848,668 01-07-14 65
Buhigwe 2014/18
8 LGA/152/2016/ 680,412,600 22-12-18 10
Wilaya ya Busega 2017/HQ/W/02
9 Wilaya ya LGA/019/2017/ 350,200,000 20-05-19 3
Chamwino 2018/W/04
10 Jiji la Dodoma LGA/20/2013- 557,285,950 30-06-18 14
2014/W/12 LOT 7
11 Jiji la Dodoma LGA/20/2013- 641,094,520 30-06-18 14
2014/W/12LOT 9
12 Jiji la Dodoma (LGA/020/2018- 39,254,268 17-06-19 2
2019/W/10)
13 Manispaa ya LGA/159/2013/ 744,224,028 30-08-18 12
Ilemela 2014/W/01
14 Wilaya ya Iramba LGA/118/2010/ 966,174,000 09-01-15 56
11/W/
WDSDP/23 LOT
IRAD C14
15 Wilaya ya Itilima IDC/151/2016-17/ 560,675,621 30-01-19 11
HQ/W/05 LOT IV
16 Wilaya ya Itilima IDC/151/2016-17/ 603,658,825 30-01-19 11
HQ/W/05-LOT V
17 Wilaya ya Itilima IDC/151/2016-17/ 480,745,837 30-01-19 11
HQ/W/05 LOT III
18 Wilaya ya Itilima LGA/151/2017-18/ 1,397,296,941 30-01-19 11
HQ/W/02
19 Wilaya ya LGA/144/2016- 630,120,902 30-04-19 7
Kalambo 2017/KDC/W/01
20 Wilaya ya LGA/144/2016- 997,262,097 30-06-19 6
Kalambo 2017/KDC/W/03
21 Wilaya ya Kondoa LGA/021/WSDP/ 395,512,830 20-01-15 58
2013-
2014/W/I/C/10
22 Wilaya ya Kondoa LGA/021/WSDP/ 2,872,138,512 21-02-15 57
2013-
2014/W/08/C/13
23 Manispaa ya Lindi LGA/053/2017/ 2,726,843,629 Mar-19 5
2018
/HQ/W/35LOT 2
24 Manispaa ya Lindi LGA/053/2017/ 825,284,800 Mar-19 5
2018
/HQ/W/35LOT 1
25 Wilaya ya Ludewa LGA/030/2016 – 372,565,160 10-01-18 21
2017/W/20
26 Wilaya ya Ludewa LGA/030/2017- 782,846,976 10-01-18 21
2018/W/05
27 LGA/102/TN/W 546,792,163 31-03-19 8
Wilaya ya Madaba /03/2012/2014
28 LGA/102/TN/W 1,048,875,254 31-03-19 8
Wilaya ya Madaba /03/2013/2014
29 Wilaya ya Manyoni LGA/117/2017/ 2,278,285,898 22-07-19 1
2018/W/01-PKGVIII
30 LGA/001/2013 1,579,456,523 30-06-19 3
Wilaya ya Meru /2014/W/15
31 LGA/001/2013 951,730,490 30-06-19 3
Wilaya ya Meru /2014/W/08
32 1,579,456,523 30-06-19 3
Wilaya ya Meru LGA/001/2013
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 85
/2014/W/05
33 LGA/001/2013 531,951,169 30-06-19 3
Wilaya ya Meru /2014/W/03
34 LGA/001/2013 754,530,965 30-06-19 3
Wilaya ya Meru /2014/W/06
35 Wilaya ya LGA/147/2017 425,717,028 26-03-19 6
Mkalama /2018/
W/02, LOT 2
36 Wilaya ya LGA/147/2017/ 395,761,388 15-05-19 4
Mkalama 2018/W/01
37 Wilaya ya Momba LGA.142/WSDPII 428,782,490 24-06-18 15
/W/
2016-2017/Lot 3
38 Wilaya ya LGA/023/2016 637,957,268 10-11-18 12
Mpwapwa /2017/W/22
39 Wilaya ya LGA/023/2016 1,070,460,730 14-08-18 15
Mpwapwa /2017/W/21
40 Wilaya ya LGA/023/2016/ 184,756,612 14-07-18 16
Mpwapwa 2017/W/27
41 Wilaya ya LGA/023/2016/ 409,053,717 26-09-18 14
Mpwapwa 2017W/04
42 Wilaya ya LGA/023/2016/ 428,929,836 12-10-18 13
Mpwapwa 2017/W/23
43 Wilaya ya LGA/023/2016/ 478,604,719 12-10-18 13
Mpwapwa 2017/W/20
44 Wilaya ya LGA/023/2016/ 376,808,173 14-05-18 18
Mpwapwa 2017/W/18
45 Wilaya ya LGA/023/2016/ 432,022,173 15-02-19 9
Mpwapwa 2017/W/24
46 Wilaya ya LGA/023/2016/ 157,543,334 13-10-18 13
Mpwapwa 2017/W/28
47 LGA/066/2016/ 1,008,544,053 14-03-19 7
Wilaya ya Musoma 17/W/HQ/01
48 1,182,378,054 08-02-19 7
Wilaya ya Musoma LGA/066/2016
49 LGA/066/2016/ 116,871,920 08-02-19 7
Wilaya ya Musoma 17/W/HQ/01LOT 3
50 LGA/066/2017 1,812,685,892 08-07-19 2
/18/W/
Wilaya ya Musoma HQ/03/LOT 1
51 LGA/066/2017//03201 1,022,531,876 08-07-19 2
Wilaya ya Musoma 8/W/H
52 LGA.048/2016/ 173,200,000 31-08-17 25
/2017/RWSSP/
W/DRILLING-BH
Wilaya ya Musoma /01
53 NDC/LGA/051 217,196,845 15-01-19 9
Wilaya ya /RWSSP
Nachingwea /2017/2018/01
54 NDC/LGA/051/ 211,448,500 15-01-19 9
Wilaya ya RWSSP/
Nachingwea 2017/2018/04
55 NDC/LGA/051/ 205,449,000 15-01-19 12
Wilaya ya RWSSP
Nachingwea /2017/2018/05
56 NDC/LGA/051/ 203,556,300 15-01-19 12
Wilaya ya RWSSP
Nachingwea /2017/2018/02
57 Halmashauri ya LGA/134/NTC/ 4,476,673,868 29-08-18 14
Mji Mdogo wa CONS
Njombe TRUCTION

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 86


/RWSSP/1-LOT 1
58 Halmashauri ya LGA/134/NTC/ 465,786,211 23-06-18 16
Mji Mdogo wa TWE/
Njombe CONSTRUCTION
/03
59 Halmashauri ya LGA/134/NTC/ 828,931,576 30-07-18 15
Mji Mdogo wa TWE/
Njombe CONSTRUCTION/
RWSSP/01-LOT 4
60 Halmashauri ya LGA/134/2016/ 1,540,066,038 11-09-18 13
Mji Mdogo wa 2017/
Njombe W/02-LOT 3
61 LGA/145/RWSSP-II/ 1,020,089,315 30-10-18 9
Wilaya ya Nyasa 2017-18/W/03
62 Wilaya ya LGA/RDC/056/ 424,804,685 08-03-19 6
Ruangwa WSDP/W
/2017-2018/42
63 Wilaya ya LGA/RDC/056/ 310,983,341 12-02-19 7
Ruangwa WSDP/W
/2017-2018/43
64 Wilaya ya LGA/RDC/056/ 482,737,710 16-03-19 6
Ruangwa WSDP/W
/2017-2018/44
65 Wilaya ya LGA/RDC/056/ 220,727,850 15-12-18 9
Ruangwa WSDP/W
/2017-2018/45
66 No.LGA/049/W/ 1,086,733,058 30-08-19 3
WSDP/ 2013/
Wilaya ya Same 2014/II/ LOT V
67 Wilaya ya LGA/094/WSDP/ 486,145,880 20-12-18 12
Sengerema 2017/2018/NC/01
68 Wilaya ya LGA/094/WSDP/ 112,450,000 10-08-18 15
Sengerema 2016-2017/Q/01
69 Wilaya ya LGA/094/WSDP/ 103,000,000 17-11-18 12
Sengerema 20172018/W/01
70 Wilaya ya LGA/063/2013- 1,113,797,300 10-03-14 68
Serengeti 2014/HQ/W/1-1
71 Wilaya ya Singida LGA/116/2017/ 438,065,100 30-06-19 5
2018/W/02/01
72 Wilaya ya Singida LGA/116/2017/ 398,123,010 30-06-19 5
2018/W/02/02
73 Manispaa ya LGA/115/SMC/ 147,520,000 19-01-18 23
Singida 2017/2018/No.03
74 Wilaya ya LGA/097/2018/ 744,049,944 15-08-19 4
Sumbawanga 2019/WS/W01
75 Wilaya ya LGA/097/2017/ 2,943,086,780 01-04-19 8
Sumbawanga 2018/WS/W05
76 Wilaya ya LGA/097/2018/ 334,303,794 16-05-18 19
Sumbawanga 2019/WS/W04
77 Wilaya ya LGA/097/2018/ 510,516,380 16-05-18 19
Sumbawanga 2019/WS/W02
78 Halmashauti ya LGA/165/2017/ 484,918,457 16-12-18 12
Mji Mdogo Tarime 18/W/NC/09
79 LGA/106/2017/ 374,085,547 22-04-19 7
Wilaya ya Tunduru 2018/WW/01
61,244,676,1
Jumla
04

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 87


Kiambatisho XXIII: Miradi ambayo Haijamalizika Sh.123,974,363,254.76
Kipindi
cha
Tarehe
Na Gharama za Mradi uchele
Mradi Sekta Maelezo ya Mradi ya
. (Sh.) waji
Kukamilis
(siku/
ha
miezi)
1 Mradi wa Uchuk 9,155,836,194 Ujenzi wa dampo la 9
kuboresha uzi Mpirani 30
miji Tanzania 1,247,636,469 Barabara ya kuingia Novemba,
(TSCP) AF 2 kwenye kituo cha 2019
mabasi / maegesho ya
malori
5,682,158,944 Ukarabati wa barabara
ya Musambweni
1,484,714,305 Kazi za ziada-kufunga
dampo la Wang’ombe
na barabara ya kuingia
dampo la mpirani

Jumla ndogo 17,570,345,912


2 Mradi wa Uchuk 19,947,662,319.20 Kuboresha/kukarabati 9
kuboresha uzi mitaa ya 30th
miji Ndovu,Swala,Zuzu,Bom November
Tanzania a na Biringi ,2019
(TSCP) AF 2 Farahani,Ilazo-Ipagala
na barabara za hifadhi
za biashara
24,625,651,491.05 Kuboresha/kukarabati
barabra ya mzunguko
ya kisasa kwenda
Mapinduzi/Chuo cha
Dodoma & Njedengwa,
madaraja sita ya
waenda kwa miguu,
hifadhi ya malori
pamoja na barabara ya
kuingia, barabara ya
Chang’ombe/DMC-
/Ukarabati wa
barabara ya mzunguko
kuanzia Kisasa hadi
Mapinduzi/ Udom &
Njedengwa, madaraja
sita ya waenda kwa
miguu, makutano ya
maegesho ya malori
pamoja na barabara za
kuingia, barabara za
Chang’ombe/DMC-
Kiungo kikubwa cha
barabara ya kaskazini,
barabara za huduma
inayounganisha
Kinyambwa,Kikuyu,Chid
achi, Itega na
makutano ya
Kikuyu(Kiungo kikubwa
cha barabara ya
kaskazini) na jumuiya
za Ipagala-Ilazo,
mfereji wa Hombolo wa

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 88


Kipindi
cha
Tarehe
Na Gharama za Mradi uchele
Mradi Sekta Maelezo ya Mradi ya
. (Sh.) waji
Kukamilis
(siku/
ha
miezi)
kutoa maji ya mvua
Dodoma

Jumla ndogo 44,573,313,810.25


3
Mradi wa Uchuk 23,176,087,871.32 (a) Ujenzi wa barabara 11
kuboresha miji uzi ya kuingia kituo cha
Tanzania (TSCP) mabasi (km 0.548) 1
AF 2 (b) Upanuzi wa Decemba,
barabara ya Senegal 2019
kwenda Chuno(km
0.44)

Jumla ndogo 23,176,087,871.32


4 Mradi wa Kituo Kilimo 330,756,108.19 Ujenzi wa kituo cha 9
Mahiri cha udhibiti wadudu chini Decemba,
Teknolojia ya mradi wa ACE II 2018
Bunifu Za IRPM & BTD
Udhibiti wa
Panya za
Uendelezaji za
Teknolojia za
Unusaji (IRPM &
BTD-Rat Tech)
5 Mradiwa Maji Maji 38,103,547,653 Ukarabati na upanuzi 16
safi na Usafi wa wa mitandao ya maji 30 Agusti,
Mazingira Ziwa safi na taka jiji la 2018
Victoria- Mwanza
Mwanza
6 Programu ya Sekta 220,311,900 Ujenzi wa Ofisi ya 9
kuwezesha ya Msajili wa Ardhi Wilaya Decemba,
urasimishaji wa jamii ya Malinyi sehemu ya III 2018
ardhi(LTSP) na
miradi
mingin
e
Jumla Kuu 123,974,363,254.76

Kiambatisho XXIV: Manunuzi ya Vifaa na Bidhaa Yaliyofanyika bila Kushindanisha Wazabuni Sh


1,329,456,015

Idadi ya
Na. Sekta Kiasi (Sh.) Kiambatisho
Watekelezaji
1 Elimu 2 496,258,232 A
2 Afya 22 618,912,468 B&C
3 Miradi Mingine 3 208,588,715 D
4 Maji 1 5,696,600 E

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 89


Jumla 28 1,329,456,015

A: Sekta ya Elimu
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)

1 Matokeo Makubwa Sasa katika Mradi wa Elimu ya Malipo kwa Matokeo 377,644,759
2 Programu ya Elimu na Ujuzi kwa Ajili ya Kazi za Uzalishaji 118,613,473
Jumla 496,258,232

B: Sekta ya Afya
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)
1 Mfuko wa Kimataifa – Kifua Kikuu 322,347,920
2 Mfuko wa Kimataifa - UKIMWI 117,028,750
3 Mfuko wa Afya 7,244,160
Jumla 446,620,830

C: Mfuko wa Afya
Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)

1 Wilaya ya Nanyumbu 31,388,963 11 Wilaya ya Same 4,079,740


2 Manispaa ya Tabora 24,286,916 12 Wilaya ya Arusha 3,680,000
3 Wilaya ya Tabora 20,853,800 13 Wilaya ya Simanjiro 3,249,184
4 Manispaa ya Temeke 19,240,019 14 Wilaya ya Korogwe 3,240,000
Wilaya ya
5 15
Wilaya ya Kasulu 12,698,000 Ngorongoro 2,659,290
6 Wilaya ya Urambo 9,859,306 16 Wilaya ya Nyasa 2,349,840
7 Wilaya ya Buchosa 8,722,380 17 Wilaya ya Hanang 2,099,000
8 Wilaya ya Rufiji 7,519,000 18 Wilaya ya Monduli 1,950,600
9 Wilaya ya Meru 7,312,130 19 Manispaa ya Iringa 1,150,000
10 Wilaya ya Wanging'ombe 5,953,470 Jumla 172,291,638

D: Miradi Mingine
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)

1 Mradi wa Kuondoa Umaskini na Maendeleo Endelevu ya Mazingira – Wizara 137,885,000


ya Fedha na Mipango
2 Mradi wa Kuongeza Uwezo wa Maendeleo ya Matokeo na Ufanisi – Wizara 51,875,000
ya Fedha na Mipango
3 Mradi wa Maendeleo ya Jamii - III 18,828,715
Jumla 208,588,715

E: Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji


Na. Halmashauri
Kiasi (Sh.)
1 Wilaya ya Busokelo
5,696,600

Kiambatisho XXV: Mali na Vifaa Vilivyonunuliwa lakini Havijapokelewa Sh. 1,451,357,063.82

Na. Sekta Idadi ya Kiasi (Sh.) Kiambatisho


Watekelezaji
1 Elimu 1 207,582,642.22 A
2 Afya 19 519,131,732.56 B&C
3 Miradi Mingine 1 724,642,689.04 D
Jumla 21 1,451,357,063.82

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 90


A: Sekta ya Elimu
Na. Jina la Mradi/ Mtekelezaji Kiasi (Sh.)

1
Programu ya Kusaidia Elimu ya Ufundi, Mafunzo, na Elimu kwa Walimu 207,582,642.22

B: Sekta ya Afya
Na. Jina la Mradi/ Mtekelezaji Kiasi (Sh.)
1 Mfuko wa Kimataifa – Malaria
226,324,000

C: Mfuko wa Afya
Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)

1 11
Wilaya ya Tabora 81,883,781.95 Wilaya ya Kondoa 6,361,200
70,583,677 5,797,620.49
2 Wilaya ya Kiteto 12 Wilaya ya Kibaha

3 13 Wilaya ya Arusha 3,308,849


Wilaya ya Kilombero 28,106,000
2,706,523
4 14 Manispaa ya Ilemela
Wilaya ya Kaliua 22,640,400
2,293,000
5 15 Wilaya ya Babati
Wilaya ya Sikonge 17,783,586
6 Wilaya ya Bukoba 11,227,000 16 Wilaya ya Iringa 2,199,800
2,088,339
7 17 Manispaa ya Ilala
Wilaya ya Kalambo 10,569,446
8,773,150.12 1,071,000
8 Wilaya ya Mbulu 18 Wilaya ya Simanjiro
9 Wilaya ya Karagwe 8,718,000 Jumla 292,807,732.56
10 Jiji la Arusha 6,696,360

D: Miradi Mingine
Na. Jina la Mradi/ Mtekelezaji Kiasi (Sh.)

1 Mradi wa Maendeleo ya Jamii – III 724,642,689.04

Kiambatisho XXVI: Mali na Vifaa Ambavyo Havijaingizwa Kwenye Leja ya Vifaa Sh. 463,826,899

Na. Sekta Idadi ya Kiasi (Sh.) Kiambatisho


Watekelezaji (Sh.)
1 Afya 29 416,024,259 A
2 Maji 6 47,802,640 B
Jumla 35 463,826,899

Mfuko wa Afya
Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)

1 16
Wilaya ya Kalambo 60,599,495 Wilaya ya Nyasa 10,525,115
Wilaya ya
2 17 Wilaya ya Siha
Ngorongoro 58,012,414 8,420,103
Wilaya ya
3 Wilaya ya Kwimba 18
30,387,390 Karagwe 8,001,500
Wilaya ya
4 19
Wilaya ya Kaliua 28,759,688 Kigamboni 6,359,808

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 91


5 Wilaya ya 20 Wilaya ya Kibiti 5,067,480
Sumbawanga 26,049,956
6 21
Wilaya ya Tabora 24,579,591 Wilaya ya Tabora 4,464,975
7 Wilaya ya 22
Namtumbo 22,032,565 Wilaya ya Iringa 3,996,887
8 23 Wilaya ya Mwanga
Wilaya ya Chunya 16,292,300 3,862,094
Wilaya ya
9 24
Wilaya ya Buhigwe 15,134,696 Misungwi 2,920,000
Wilaya ya
10 25 Wilaya ya Mafia
Nachingwea 12,768,500 2,914,099
11 26 Wilaya Handeni
Mji wa Masasi 12,389,650 2,237,330
12 27
Wilaya ya Tunduru 11,993,386 Wilaya ya Ikungi 2,170,844
13 28 Manispaa ya
Wilaya ya Songea 11,322,501 Mtwara 1,588,515
14 29 Wilaya ya Hanang
Manispaa ya Singida 11,214,580 943,500
15 Wilaya ya Chalinze
11,015,296.55 Jumla 416,024,259

Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji

Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)

1 Wilaya ya
Wilaya ya Songea 5
15,535,310 Buhigwe 3,010,400
2 6
Wilaya ya Nkasi Jiji la Dodoma
14,729,400 2,279,000
3 Wilaya ya Mbarali 6,762,000 Jumla 47,802,640
4
Wilaya ya Bagamoyo
5,486,530

Kiambatisho XXVII: Manunuzi ya Dawa na Vifaa tiba bila Kibali cha Bohari Kuu ya Dawa – Mfuko wa
Afya Sh. 366,078,953
Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)

1 Wilaya ya Kaliua 103,164,302 15 Wilaya ya Monduli 7,684,237


2 Manispaa ya Temeke 32,376,330 16 Wilaya ya Kisarawe 6,738,378
3 Jiji la Arusha 27,560,827 17 Wilaya ya Nyasa 6,406,135
Wilaya ya
4 18 Wilaya ya Ngorongoro
Namtumbo 21,569,741.60 5,555,806
5 Wilaya ya Rombo 19
18,989,204 Wilaya ya Bahi 5,408,860
6 20 Mji wa Bunda
Wilaya ya Buhigwe 18,755,359 5,385,000
7 Mji wa Kahama 14,359,322 21 Manispaa ya Songea 5,054,085
8 Wilaya ya Mpwapwa 13,800,100 22 Mji wa Babati 4,834,752
9 Wilaya ya Arusha 11,761,886 23 Wilaya ya Bumbuli 4,399,680
10 Wilaya ya Buchosa 9,543,506.75 24 Wilaya ya Mwanga 3,814,826
11 Wilaya ya Kishapu 25 Wilaya ya Mafia
9,459,114 1,919,575

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 92


12 Wilaya ya Shinyanga 26 Wilaya ya Ngara
8,732,600 1,440,000
13 Wilaya ya Kyela 8,695,326.24 Jumla 366,078,953
14 Jiji la Tanga 8,670,000

Kiambatisho XXVIII: Vifaa na Mali za Sh 978,179,796 Zilizopokelewa bila Kukaguliwa na Kamati ya


Ukaguzi wa Vifaa na Mali

Na. Sekta Idadi ya Watekeleza Kiasi (Sh.) Kiambatisho s


Miradi
1 Elimu 1 265,056,834 A
2 Afya 34 675,699,202 B
3 Maji 3 37,423,760 C
Jumla 38 978,179,796

A: Sekta ya Elimu
Na. Jina la Mradi Kiasi (Sh.)

1 Matokeo Makubwa sasa katika Elimu 265,056,834

B: Mfuko wa Afya
Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)
Wilaya ya
1 19
Wilaya ya Kalambo 89,309,034 Arusha 12,358,531
Wilaya ya
2 20
Wilaya ya Ludewa 55,270,602 Kaliua 10,960,736
Wilaya ya
3 21
Wilaya ya Mbeya 51,536,852 Karatu 9,951,800
Wilaya ya Wilaya ya
4 22
Ngorongoro 45,742,600 Buchosa 9,122,396
Wilaya ya
5 23
Wilaya ya Mpanda 41,650,374 Handeni 8,440,846
6 24 Mji wa Mbulu
Wilaya ya Urambo 39,524,806 7,203,405.97
Wilaya ya
7 Wilaya ya Lushoto 25
35,347,248 Kiteto 6,722,113
Wilaya ya
8 26
Wilaya ya Busokelo 27,540,868 Kakonko 5,065,000
Wilaya ya
9 27
Manispaa ya Tabora 26,379,719 Hanang 4,690,000
Manispaa ya
10 28
Wilaya ya Tabora 22,102,171 Moshi 4,344,760
Manispaa ya
11 Wilaya ya Ngara 29
20,579,850 Kigoma 4,214,000
Wilaya ya
12 30
Wilaya ya Malinyi 20,115,200 Mkalama 2,916,250
Wilaya ya
13 Wilaya ya Same 31
19,985,052 Simanjiro 2,463,073
Manispaa ya
14 Wilaya ya Babati 32
19,817,257 Kigamboni 2,247,208
Wilaya ya Wilaya ya
15 33
Sumbawanga 19,427,939 Kyela 1,517,200
Wilaya ya
16 Jiji la Arusha 34
18,497,519.72 Newala 700,000
17 Wilaya ya Butiama
16,319,800 Jumla 675,699,202

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 93


18
Wilaya ya Chunya 13,634,991.56

C: Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji

Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)

1 Wilaya ya Kalambo 20,954,360 3 Mji wa Kasulu 1,740,000


2 Wilaya ya Nkasi 14,729,400 Jumla 37,423,760

Kiambatisho XXIX: Manunuzi ya Vifaa na Huduma ya Thamani ya Sh. 411,485,130 Yasiyoidhinishwa


na Bodi za Zabuni

Na. Sekta Idadi ya Watekezaji Kiasi (Sh.) Kiambatisho (Sh.)


1 Afya 12 261,952,368 A
2 Maji 6 149,532,762 B
Jumla 18 411,485,130

A: Mfuko wa Afya
Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)

Wilaya ya 10,353,338
1 8
Mji wa Makambako 82,655,418 Mkuranga
2 Wilaya ya Lushoto 38,534,198 9 Wilaya ya Mkinga 9,177,160

5,198,300
3 Manispaa ya Songea 38,401,333 10 Wilaya ya Arusha

4 11
Wilaya ya Kondoa 26,869,787 Wilaya ya Mbinga 4,847,780
5 Wilaya ya Biharamulo 17,624,170 12 Jiji la Tanga 3,953,000

6 Mji wa Mbinga 12,980,978 Jumla 261,952,368


7 Wilaya ya Ikungi 11,356,906

B: Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji


Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)
1 Wilaya ya Mlele 5 Wilaya ya
80,689,200 Sumbawanga 5,733,000
2 Wilaya ya Kakonko 6 Wilaya ya Njombe
25,950,000 3,952,650
3 Wilaya ya Jumla
Ngorongoro 24,637,912 149,532,762
4 Wilaya ya Kibiti
8,570,000

Kiambatisho XXX: Manunuzi ya Bidhaa na Huduma ya Thamani ya Sh. 149,505,182 kwa Wazabuni
Wasiothibitishwa – Mfuko wa Afya
Na. Halmashauri Kiasi (Sh.) Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)

1 10
Wilaya ya Mbeya 28,533,551 Mji wa Njombe 3,545,000
2 11
Wilaya ya Nanyumbu 20,748,160 Wilaya ya Mpimbwe 2,968,009
3 Wilaya ya Ngorongoro 12 Wilaya ya Muheza
19,488,997 2,885,600
4 Wilaya ya Arusha 13 Wilaya ya Handeni
16,259,752 2,237,330

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 94


Wilaya ya
5 14 Wilaya ya Bumbuli
Sumbawanga 12,896,860 1,290,000
6 Jiji la Arusha 15 Wilaya ya Karatu
12,492,060 1,200,000
Manispaa ya
7 Wilaya ya Lushoto 16
9,183,493 Kigamboni 1,000,000
8
Mji wa Kasulu 7,601,813 Jumla 149,505,182
9
Wilaya ya Ikungi 7,174,557

Kiambatisho XXXI: Mikataba Iliyotekelezwa bila Hati ya Dhamana ya Utekelezaji


Kiasi cha Mkataba
Na. Watekeleza Mradi Namba ya Mkataba.
(Sh.)
1 Wilaya ya Bahi No. LGA/024/2017/2018/W/02-LOTI 441,041,901
2 Wilaya ya Bumbuli LGA/164/2017/2018/WSDP/W/01 685,152,283
3 Wilaya ya Bumbuli LGA/164/2017/2018/WSDP/W/01 261,974,257
4 Wilaya ya Chato LGA/039/2013/2014//RWSSP/W/03 3,984,523,500
5 Wilaya ya Gairo LGA/143/2016-2017/W/12 309,707,854
6 Wilaya ya Gairo LGA/143/2017-2018/W/02 933,059,771
7 Wilaya ya Ileje LGA/072/2016-2017/RWSSP/01/LOT I 621,943,350
8 Wilaya ya Ileje LGA/072/2016-2017/RWSSP/01/LOT II 259,403,310
9 Wilaya ya Ileje LGA/072/2016-2017/RWSSP/01/LOT III 416,905,843
10 Wilaya ya Kalambo LGA/144/2018-2019/HQ/W/01 382,768,375
11 Wilaya ya Kalambo LGA/144/2018-2019/HQ/W/04 223,342,317
12 Wilaya ya Kalambo LGA/144/2018-2019/HQ/W/03 216,672,544
13 Wilaya ya Kalambo LGA/144/2018-2019/HQ/W/02 465,013,615
14 Wilaya ya Kalambo LGA/144/2016-2017/KWILAYA/W/04 505,624,322
15 Wilaya ya Kalambo LGA/144/2016-2017/KWILAYA/W/01 630,120,902
16 Wilaya ya Kalambo LGA/144/2016-2017/KWILAYA/W/02 651,008,401
17 Wilaya ya Kalambo LGA/144/2016-2017/KWILAYA/W/03 997,262,097
18 Mji wa Korogwe LGA/126/MAJI/WSDP II/2016/2017/02 761,475,594
19 Wilaya ya Madaba LGA/102/TN/W/03/2013/2014 1,048,875,254
20 Wilaya ya Magu LGA/090/N/2016/17/40 447,772,920
21 Wilaya ya Magu LGA/090/W/2016/17/41 397,976,775
22 Wilaya ya Magu LGA/090/W/2013/14/42 Lot 3 1,001,742,500
23 Wilaya ya Magu LGA/090/W/2017/18//18/W/42 178,800,000
24 Wilaya ya Magu LGA/090/2018/19/W/03 409,728,000
25 Mji wa Makambako LGA/166/2018-2019/W/01 Lot 1 8,555,383,052
26 Mji wa Makambako LGA/166/2018-2019/W/01 Lot 1 1,275,692,494
27 Mji wa Makambako LGA/166/2018-2019/W/02 Lot 2 2,931,785,580
28 Mji wa Makambako LGA/166/W/2017-2018/W//02 1,086,394,140
29 Mji wa Makambako LGA/166/2018-2019/W/01 Lot 2 801,439,194

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 95


30 Wilaya ya Mkinga LGA/133/2015-2016/HQ/W/20 1,715,351,094
31 Wilaya ya Monduli Not provided 1,079,847,925
Manispaa ya
32 LGA.101/2016/2017/W/02 142,499,000
Mpanda
33 Wilaya ya Nsimbo LGA/161/2017/2018/BHL/W/Maji/01/Lot 02 361,846,621
34 Wilaya ya Nsimbo LGA/161/2017/2018/W/Maji/Lot 02 186,750,500
LGA/161/2017/2018/W/Solar Plant/
35 Wilaya ya Nsimbo 89,459,590
NWILAYA/W/01
36 Wilaya ya Nzega LGA/120/2017-2018/W/01 LOT 3 427,166,859
37 Wilaya ya Nzega LGA/120/2017-2018/W/1-LOT 1 502,291,116
38 Wilaya ya Nzega LGA/120/2017-2018/W/01 LOT 4 443,263,918
Manispaa ya
39 LGA/103/2017/2018/W/48 786,003,900
Songea
Manispaa ya
40 LGA/103/2017/2018/W/45 750,633,400
Songea
41 Mji wa Tarime LGA/165/2017/2018/W/NC/09 407,419,874
Jumla 37,775,123,940

Kiambatisho XXXII: Miradi Iliyotekelezwa bila kuwa na Bima


Kiasi cha Mkataba
Na. Halmashauri Namba ya Mkataba
(Sh.)
1 Wilaya ya LGA/026/2017/2018/RWSSP/W/042 LOT 1 3,216,865,931
Iringa LGA/026/2017/2018/RWSSP/W/042 LOT 2 1,647,262,810
2 Wilaya ya LGA/030/2017-2018/W/04 322,752,896
Ludewa LGA/030/2017-2018/W/05 782,846,976
3 Mji wa LGA/166/2018-2019/W/01Lot 1 8,555,383,051.86
Makambako LGA/166/2018-2019/W/01Lot 1 1,275,692,494.12
LGA/166/2018-2019/W/02Lot 2 2,931,785,580.42
LGA/166/W/2017-2018/W//02 1,086,394,140
LGA/166/2018-2019/W/01Lot 2 801,439,194
4 Wilaya ya LGA/153/2017/2018/W/02 1,199,111,040
Wanging'ombe LGA/153/2017/2018/W/03 418,153,296
5 Wilaya ya LGA/097/2017/2018/WS/W05 2,943,086,780
Sumbawanga LGA/097/2018/2019/WS/W01 744,049,944
LGA/097/2018/2019/WS/W02 510,516,380
LGA/097/2018/2019/WS/W04 334,303,794
LGA/097/2018/2019/WS/W03 417,442,641
Jumla 27,187,086,948.4

Kiambatisho XXXIII: Miradi yenye Thamani ya Sh. 17,320,938,633.56 Iliyotekelezwa bila Kufanya
Uchambuzi wa Athari za Mazingira
Kiasi cha Mkataba
Na. Halmashauri Namba ya Mkataba
(Sh.)
Wilaya ya LGA/026/2017/2018/RWSSP/W/042 LOT 1 3,216,865,931
1
Iringa LGA/026/2017/2018/RWSSP/W/042 LOT 2 1,647,262,810
Wilaya ya
2 ME-011/2017-18/CONTRA/W/06 2,895,334,490
Mlele
Manispaa ya LGA.101/2016/2017/W/01. 594,474,943
3
Mpanda
LGA.101/2016/2017/W/02. 142,499,000

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 96


LGA.101/2017/2018/W/01 476,440,500
LGA/161/2017/2018/BHL/W/05/Lot 2 596,233,055

LGA/161/2017/2018/BHL/W/06/Lot 3 182,623,486
Wilaya ya
4 LGA/161/2017/2018/Boreholes/Power/NWILAY
Nsimbo 138,736,081
A/W/06/01
LGA/161/2017/2018/BHL/W/Maji/01/Lot 2 361,846,621
LGA/161/2017/2018/W/Maji/2 186,750,500
Wilaya ya
5 LGA/031/2017-2018/HQ/W/01 LOT No. 1 1,300,000,000
Njombe
Wilaya ya
6 LGA/097/2017/2018/WS/W/05 2,943,086,780
Sumbawanga
LGA/117/IWILAYA/2017/2018/HQ/W/01 Lot 1 1,640,149,964.56
7 Wilaya ya Itigi
LGA/117/IWILAYA/2017/2018/HQ/W/01 Lot 2 998,634,472
Jumla 17,320,938,633.56

Kiambatisho XXXIV: Kutokuandaliwa kwa Taarifa za Mkaguzi wa Ndani

Na. Sekta Idadi ya Watekelezaji Kiambatisho


1 Afya 28 A
2 Maji 15 B
Jumla 43

A: Sekta ya Afya – Mfuko wa Afya


Na. Halmashauri Na. Halmashauri Na. Halmashauri
1 Wilaya ya Bahi 11 Wilaya ya Liwale 20 Wilaya ya Mpwapwa
2 Wilaya ya Chalinze 12 Wilaya ya Magu 21 Wilaya ya Mtwara
3 Wilaya ya Ileje 13 Wilaya ya Masasi 22 Jiji la Mwanza
Wilaya ya
4 14 23
Wilaya ya Kaliua Mji wa Mbinga Namtumbo
Wilaya ya
5 15 Wilaya ya Mbulu 24
Mji wa Kasulu Nanyumbu
6 Wilaya ya Kibaha 16 Wilaya ya Misungwi 25 Wilaya ya Nyasa
7 Mji wa Kibaha 17 Wilaya ya Mlele 26 Wilaya ya Sikonge
8 Wilaya ya Kibondo 18 Wilaya ya Mpanda 27 Wilaya ya Songea
9 Wilaya ya Kigoma 19 Wilaya ya Mpimbwe 28 Wilaya ya Songwe
10 Manispaa ya Lindi

B: Sekta ya Maji – Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Maji


Na. Halmashauri Na. Halmashauri Na. Halmashauri

1 Wilaya ya Bahi 6 Wilaya ya Kilosa 11 Wilaya ya Mbulu


2
Wilaya ya Bukoba 7 Wilaya ya Kiteto 12 Wilaya ya Moshi
3
Wilaya ya Bumbuli 8 Wilaya ya Longido 13 Wilaya ya Newala
4
Wilaya ya Gairo 9 Mji wa Masasi 14 Wilaya ya Nyasa

5 Mji wa Handeni 10 Jiji la Mbeya 15 Wilaya ya Same

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 97


Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali AGR/DP/2018/19 98

You might also like