You are on page 1of 121

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA WAZIRI MKUU

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

HALMASHAURI YA WILAYA YA
KIGOMA
MKOA WA KIGOMA

MPANGO MKAKATI
(MWAKA 2012/13 – 2016/17)

MKURUGENZI MTENDAJI WA WILAYA


S,L P 332,
KIGOMA, Tanzania.
Simu: +255 028 280 4865,
Faksi: +255 028 280 2719
Baruapepe: kigomadistrictcouncil@yahoo.com
Tovuti: Januari 2013
Yaliyomo
ORODHA YA VIFUPISHO.............................................................................................. ii

DIBAJI...................................................................................................................... vi

MUHTASARI RASMI............................................................................................................... viii

SURA YA KWANZA...................................................................................................... x

1.0 Utangulizi............................................................................................................ 1

1.1 Mkabala uliotumika katika kuandaa mpango...................................................... 1

1.2 Madhumuni ya Mpango Mkakati........................................................................ 1

1.3 Historia ya Halmashauri ya Wilaya Kigoma................................................. 2

1.4 Makabila................................................................................................................ 2

1.5 Mageuzi ya Serikali za Mitaa............................................................................... 3

1.6 Taarifa za Msingi za Halmashauri ya Wilaya...................................................... 3

1.6.1 Eneo la Halmashauri ya Wilaya na mipaka yake ………………………3

1.6.2 Eneo na Idadi ya Watu...................................................................................... 3

1.6.3 Muundo wa Uongozi.......................................................................................... 4

1.6.4 Hali ya hewa na tabianchi…………………………………………………...4

1.7 Kanda za Ikolojia- Kilimo…………………………………………………………… 4

1.7.1 Ukanda wa Ufukwe wa Ziwa............................................................................... 4

1.7.2. Msitu wa Miombo.................................................................................................... 5

1.7.3 Kanda ya Kati........................................................................................................ 5

1.7.4 Nyanda za Juu Kaskazini................................................................................ 5

1.7.5 Nyanda za Juu Kusini........................................................................................ 5

1.8 Hali ya Ardhi............................................................................................................ 6

1.9 Sura ya Nchi................................................................................................................. 6

1.10 Shughuli za Kiuchumi............................................................................................. 6

SURA YA PILI..................................................................................................................... 1

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma2012/13 – 2016/17 Ukurasa ii


UCHANGANUZI WA HALI................................................................................................... 7

2.0 Utangulizi...................................................................................................................... 7

2.1 Upitiaji tena wa Utoaji wa Huduma za Kijamii na Kiuchumi.........................................7

2.1.1 Utoaji wa Huduma za Kijamii..................................................................................... 7

2.1.1.1 Elimu..................................................................................................................... 8

2.1.1.2 Afya........................................................................................................................ 9

2.1.1.3 Maji......................................................................................................................... 10

2.1.2 Utoaji wa Huduma za Kiuchumi.............................................................................. 10

2.1.2.1 Kilimo.................................................................................................................... 10

2.1.2.2 Mifugo................................................................................................................... 11

2.1.2.3 Vyama vya Ushirika…………………………………………………………. 12

2.1.2.4 Ujenzi..................................................................................................................... 12

2.1.2.5 Maendeleo ya Jamii.............................................................................................. 12

2.1.2.6 Maliasili................................................................................................................ 13

2.1.2.7 Ardhi...................................................................................................................... 14

2.1.2.8 Utawala na Utumishi............................................................................................ 14

2.1.2.9 Mipango................................................................................................................ 15

2.1.2.10 Fedha na Biashara............................................................................................... 15

2.1.2.11 Ukaguzi wa Hesabu wa Ndani........................................................................................ 15

2.1.2.12 Masuala ya Kisheria.............................................................................................................. 15

2.1.2.13 Kitengo cha Kusimamia Ununuzi............................................................................... 16

2.1.2.14 Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)................................................ 16

2.1.2.15 Masuala Mtambuko............................................................................................... 16

2.2 Raslimali Kuu zilizopo................................................................................................... 18

2.2.1 Ardhi......................................................................................................................... 18

2.2.2 Misitu:........................................................................................................................ 18

2.2.3 Winyama pori:......................................................................................................... 18

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma2012/13 – 2016/17 Ukurasa iii


2.2.4 Ugugaji Nyuki............................................................................................................... 19

2.2.5 Uvuvi......................................................................................................................... 19

2.2.6 Utalii:....................................................................................................................... 20

2.2.7 Madini...................................................................................................................... 21

2.3 Uchanganuzi wa Wadau.............................................................................................. 7

Jedwali 2.3.1 Uchanganuzi wa Wadau.................................................................................22

2.4Uchanganuzi wa SAOC....................................................................................... 22

SURA YA TATU....................................................................................................................

DIRA, DHAMIRA, MALENGO NA MAADILI YA MSINGI............................................. 36

3.0 Utangulizi..................................................................................................................... 36

3.1. Dira............................................................................................................................ 36

3.2 Dhamira...................................................................................................................... 36

3.3 Maadili Makuu............................................................................................................ 36

3.4 Maeneo ya Matokeo Muhimu (KRAs)........................................................................ 37

3.5 Malengo ya Pamoja..................................................................................................... 40

SURA YA NNE....................................................................................................................

MALENGO MKAKATI, SHABAHA NA MIKAKATI.................................................................. 41

4.0 Utangulizi……………………………………………………………………………… 41

4.1 IDARA: MIPANGO................................................................................................... 41

4.2 IDARA: MAENDELEO YA JAMII.......................................................................... 43

4.3 IDARA: AFYA............................................................................................................ 47

4.4 IDARA: ELIMU YA SEKONDARI........................................................................... 56

4.5 IDARA: MAJI.............................................................................................................. 63

4.6 SEHEMU: TEHAMA.................................................................................................... 66

4.7 SEHEMU: SHERIA................................................................................................... 67

4.8 IDARA: UJENZI......................................................................................................... 69

4.9 IDARA: ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA............................................ 73

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma2012/13 – 2016/17 Ukurasa iv


4.10 IDARA: BIASHARA NA FEDHA.............................................................................. 74

4.11 SEHEMU: KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI...................... 77

4.12 SEHEMU: KITENGO CHA UNUNUZI (PMU)...................................... 79

4.13 IDARA: KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA............................................ 81

4.14 SEHEMU: MIFUGO NA UVUVI......................................................................... 88

4.15 IDARA: USAFI NA MAZINGIRA............................................................................ 96

4.16 IDARA: ELIMU YA MSINGI................................................................................. 97

4.17 IDARA: UTAWALA................................................................................................. 103

4.18 SEHEMU: UCHAGUZI........................................................................................... 108

SURA YA TANO..................................................................................................................

UFUATILIAJI NA TATHMINI................................................................................................

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma2012/13 – 2016/17 Ukurasa v


ORODHA YA VIFUPISHO

CAG - Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali

DALDO - Ofisa Kilimo na Maendeleo ya Mifugo wa Wilaya

DCDO - Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya

DCO - Kitengo cha Ushirika cha Wilaya

DE - Mhandisi wa Wilaya

DED -Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya

DEO (P) - Ofisa Elimu wa Wilaya (Msingi)

DEO (S) -Ofisa Elimu wa Wilaya (Sekondari)

DFsOQ -Ofisa Mdhibiti wa Ubora wa Uvuvi

DFsOAQ - Ofisa wa Ufugaji Samaki wa Wilaya

DIA -Mkaguzi Hesabu wa Ndani

DLaDO -Ofisa Uendelezaji Ardhi wa Wilaya

DMO -Daktari wa Wilaya

DSMS –IRR -Mtaalamu wa Umwagiliaji wa Wilaya

DSMS – PP -Mtaalamu wa Kuhifadhi Mimea wa Wilaya

DSMS – CI -Mtaalamu wa Kukagua Mazao wa Wilaya

DSMS – CP -Mtaalamu wa Uzalishaji Mazao wa Wilaya

DSMS – HORT-Mtaalamu Kilimo cha Mazao ya Bustani wa Wilaya

DSMS – LUP -Mtaalamu wa Mipango ya Utumiaji Ardhi

DSMFSS -Mtaalamu wa Takwimu za Uvuvi wa Wilaya

DNRO -Ofisa Maliasili wa Wilaya

DPLO -Ofisa Mipango wa Wilaya

DT -Mweka hazina wa Wilaya

DVO -Ofisa Mifugo wa Wilaya

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma2012/13 – 2016/17 Ukurasa vi


DWE -Mhandisi wa Maji

FsO -Ofisa Uvuvi

HBFS -Mfumo wa Mfuko wa Pamoja wa Afya

HIV/AIDS -Virusi vya UKIMWI/Upungufu wa Kinga Mwilini

IEC -Utoaji wa Taarifa za Elimu

KDC -Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

LGAs -Mamlaka ya Serikali za Mitaa

LGCDG -Ruzuku ya Mtaji wa Maendeleo ya Serikali za Mitaa

LO -Mwanasheria

MTEF -Mfumo wa Matumizi ya Muda wa Kati

PMO-RALG -Ofisi ya Waziri Mkuu- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

PMU -Kitengo cha Kusimamia Ununuzi

PPA -Sheria ya Ununuzi wa Umma

PPR -Kanuni ya Ununuzi wa Umma

RM -Usimamizi wa Masafa (Range Management)

SA -Wanyama Wadogo

SACCOS -Vyama vya Ushirika wa Kuweka na Kukopa

SP -Mpango Mkakati

TACAIDS -Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania

TANROAD -Mamlaka ya Barabara Tanzania

VPH -Afya ya Mifugo (Veterinary Public Health)

WDC -Kamati ya Maendeleo ya Kata

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma2012/13 – 2016/17 Ukurasa vii


DIBAJI

Mpango Mkakati huu wa miaka mitano kuanzia kipindi cha 2012/2013 hadi 2016/2017
unalenga kutekeleza Dira na Dhamira ya Baraza ili kutoa huduma bora za kijamii na
kiuchumi kwa watu wa wilaya ya Kigoma ambavyo vitachapuza ukuaji wa uchumi na kufikia
maendelao endelevu.

Mpango unasisitiza kuboresha uzalishaji kupitia mikabala mingi kama vile kuimarisha
huduma za ugani, miundombinu, vyama vya kuweka na kukopa (SACCOS) pamoja na
kuwaendeleza wanawake na vijana katika shughuli za kuongeza kipato. Shughuli hizo
zinatarajiwa kusaidia kuongeza uzalishaji. Baraza limechukua hatua zinazofaa katika
kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ambayo yanaweza kutokea.

Maeneo mengine ya kupewa kipaumbele katika kipindi cha mpango mkakati yanajumuisha
Usimamizi wa Fedha na Uwajibikaji, Uendelezaji wa Raslimali Watu na Utoaji wa Huduma
Bora za Jamii. Hata hivyo, Utawala Bora unachukuliwa kuwa kipengele muhimu katika
kudumisha amani na usalama kwa ajili ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Zaidi ya hayo, Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma itaweka juhudi maalumu katika kutekeleza
masuala mtambuko ya mazingira, jinsia na VVU/UKIMWI kwa kuhamasisha jamii, kujenga
utambuzi na mazingira yanayofaa kwa ajili ya wanawake na vikundi vya watu walio katika
mazingira magumu. Mara kwa mara Halmashauri imekuwa ikipata msaada wa Ruzuku ya
Mtaji wa Maendeleo wa Serikali za Mitaa (LGCDG) na Mfumo wa Mfuko wa Pamoja wa
Afya (HBFS) katika kutekeleza kazi zake nyingi.

Kuhusiana na janga la VVU/UKIMWI, kuna juhudi zinazoendelea zinazofanywa na


Halmashauri za kuinua utambuzi wa jamii kuhusu vyanzo, uambukizaji na mbinu za uzuiaji.
Hatua mahsusi zinazochukuliwa zinajumuisha utoaji habari kwa umma, Elimu na
Mawasiliano (IEC) kwa kushirikiana na TACAIDS, Mashirika ya Asasi za Kiraia (CSOs) na
wabia wengine wa maendeleo.

Mpango unafafanua masuala kadhaa muhimu kuanzia uchanganuzi wa hali ya wilaya, dira
na dhamira. Unafafanua pia malengo ya Halmashauri, shabaha na uwekaji wa mikakati ili
kufikia shabaha na malengo yaliyokusudiwa. Zaidi ya hayo, viashirio vya utendaji
vimebainishwa ambavyo vitaiwezesha Halmashauri kupima ufikiaji wa shabaha na malengo.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma2012/13 – 2016/17 Ukurasa viii


Katika baadhi ya sehemu za mpango huu, data husika zimetolewa katika kuelezea hali ya
sasa ya huduma na maelezo mafupi ya Halmashauri.

Mwisho Halmashauri inapenda kuwashukuru wote waliohusika katika kuandaa Mpango


Mkakati huu. Shukrani za pekee zinatolewa kwa wafuatao: Madiwani, Maofisa Watendaji wa
Kata na vijiji, Makatibu Tarafa, Viongozi wa Vyama wa Siasa, Viongozi wa Dini, na
Mashirika ya Asasi za Kiraia. Aidha, Halmashauri inatoa shukrani zake kwa wataalamu wote
wa Halmashauri kwa kujitoa kwao na mchango wao katika kuandaa Mpango Mkakati huu.

Mwisho lakini siyo kwa umuhimu, ninamshukuru Bw. Mofulu George na Bibi Devotha
Joseph wa Kampuni ya EDENCONSULT kwa kuwezesha maandalizi ya Mpango Mkakati
huu. Ni matumaini yangu kuwa Mpango Mkakati wa 2012/2013 - 2016/2017 utaleta
mafanikio yanayofaa kijamii, kiuchumi na kisiasa katika Halmashauri yetu.

Saini............................. Tarehe............................
HAMIS S. BETETSE
MWENYEKITI
HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma2012/13 – 2016/17 Ukurasa ix


MUHTASARI RASMI

Mpango Mkakati wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma unahusu kipindi cha miaka mitano
kuanzia 2012/2013 hadi 2016/2017. Utayarishaji wake uliongozwa na sera mbalimbali na
kanuni za kitaifa pamoja na mikakati ya kisekta. Hususan, Mkakati wa Taifa wa Ukuaji wa
Uchumi na Upunguzaji wa Umaskini (MKUKUTA 11), Mpango wa Maendeleo wa miaka
mitano (2011-2015), Dira ya 2025, Malengo ya Maendeleo ya Milenia na sera za sekta
nyingine vimeongoza utayarishaji wa Mpango Mkakati huu. Zaidi ya hayo, mabadiliko na
mageuzi ya kiuchumi na kijamii yanayoendelea yamezingatiwa katika utayarishaji wa
Mpango Mkakati huu.

Uundaji wa dira, dhamira ma maadili ya msingi pamoja na ubainishaji wa malengo, shabaha


na mikakati ulifanywa kupitia warsha ya wadau. Dira ya Halmashauri ya wilaya inasema
kwamba “Halmashauri ya wilaya inaazimia kuwapatia wakazi wake maendeleo endelevu
pamoja na miundombinu iliyoboreka, mawasiliano na upatikanaji wa huduma za kijamii
na kiuchumi ifikapo 2025”.

Wakati dhamira yake inasema kuwa, “ Kuimarisha uwezo wake yenyewe na ule wa taasisi
za kijamii ili kuweza kutoa huduma bora za kijamii na kiuchumi na miundombinu
inayofaa kwa kushirikiana na wabia wengine wa maendeleo ndani ya vigezo vya utawala
bora”.

Mpango Mkakati huu umegawanywa katika sura tano, ambapo sura ya kwanza inaelezea
mtazamo wa jumla wa mkabala uliotumika katika kutengeneza waraka huu wa mpango
mkakati, malengo ya mkakati, mageuzi ya serikali za mitaa na muhtasari wa uchumi na jamii
wa Wilaya. Sura ya pili inatoa uchanganuzi wa hali na mtazamo wa kina wa utoaji huduma
za kijamii na kiuchumi wa sekta mbalimbali. Zaidi ya hayo, uchanganuzi wa SAOC na
wadau umechukuliwa kama sehemu ya uchanganuzi wa hali. Sura ya tatu inawasilisha Dira,
Dhamira, Maadili ya Msingi na malengo mkakati ya Halmashauri pamoja na Maeneo
Muhimu ya Matokeo (KRAs).

Katika sura ya nne mpango unaelezea malengo na mikakati ambayo imetokana na malengo
mkakati yaliyokubaliwa. Aidha, unaonyesha viashio vikuu vya utendaji (KPIs), njia za
uthibitishaji na mtu anayehusika na kila lengo. Sura ya mwisho inaelezea jinsi ufuatiliaji wa
mpango utakavyofanyika pamoja na tathmini ya utendaji katika ngazi tofauti na katika
vipindi tofauti.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma2012/13 – 2016/17 Ukurasa x


Katika kuhitimisha, ninapenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa wadau wote walioshiriki
katika kutayarisha Mpango Mkakati wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kwa mwaka
2012/2013-2016/2017. Ni imani yangu kwamba, Halmashauri itaendelea kutenda kazi zake
vizuri kwa viwango vya hali ya juu na kuendeleza maadili yake ya msingi huku ikifuata
kanuni za Utawala Bora.

Saini..................................... Tarehe.......................
MIRIAM P. MMBAGA

MKURUGENZI MTENDAJI
HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma2012/13 – 2016/17 Ukurasa xi


SURA YA KWANZA

1.0 Utangulizi

Mpango Mkakati wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma unajumuisha kipindi cha miaka


mitano kuanzia 2012/13 hadi 2016/17. Mpango unafafanua Dira yetu, Dhamira, Maadili ya
Msingi, Malengo, Shabaha na Viashirio Vikuu vya Utendaji. Zaidi ya hayo, unatoa taratibu
za ufuatiliaji na tathmini zitakazotumiwa ndani ya mpango huu.

Kwa kuzingatia mamlaka yake ya kawaida na mamlaka ya kisheria, Halmashauri ya Wilaya


ya Kigoma inahitajika kutoa huduma kwa wakazi wa Wilaya ya Kigoma kwa namna inayofaa
na yenye ufanisi na kuendeleza ushirikiano na vikundi vya kiraia na watu wengine au
mamlaka kama ilivyotajwa kwenye Sheria ya Serikali za Mitaa [SURA 288 Iliyorekebishwa
2002].

1.1 Mkabala Uliotumika katika Kutayarisha Mpango Mkakati

Utayarishaji wa Mpango Mkakati huu ni kwa mujibu wa masharti ya Sheria Namba 9 ya


1982 ambayo inazitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kutayarisha Mipango Mkakati ya
miaka mitano itakayotumika kama miongozo katika kutayarisha mipango na bajeti za MTEF.
Mpango Mkakati huu unabainisha maeneo ya vipaumbele ya utoaji wa huduma na kazi
nyingine za kawaida zitakazofanywa na Halmashauri.

1.2 Madhumuni ya Mpango Mkakati

Mpango Mkakati uliotayarishwa utatumika kama Chombo cha kutekelezea dira, dhamira,
malengo na hatua za zitakazochukuliwa kwa miaka mitano. Madhumuni ya Mpango Mkakati
huu ni;

 Kushughulikia masuala muhimu ili kuweka jitihada za kuboresha utendaji.


 Kuhakikisha kuwa kuna uratibu pamoja na wadau wengine ili kuhimiza utumiaji wa
juhudi, akili za watu na maliasili za ndani na za taifa ili kufikia malengo ya
maendeleo yaliyopangwa.
 Kuhakikisha kuwa wadau wote (umma na binafsi) wanashirikishwa kikamilifu
katika kufanikisha dira na dhamira ya Halmashauri.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 1


 Kuhakikisha kuwa vipaumbele vya jamii vilivyobainishwa vinatekelezwa na wadau
wote katika Halmashauri ya Wilaya.
 Kuhakikisha kuwa kunakuwepo na uelewa wa pamoja kuhusu utekelezaji wa
malengo mkakati yaliyowekwa.
 Kuhakikisha kunakuwepo na utaratibu wa kufuatilia na kutathmini miradi ya
utawala bora.

1.3 Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ilianzishwa mnamo Julai, 1984 kwa masharti ya sehemu
ya 8 na 9 ya Sheria ya Serikali za Mitaa 1982 (Mamlaka za Wilaya) na Madiwani 32, ambapo
miongoni mwao 25 walichaguliwa kutoka katika Kata ndani ya Halmashauri (mmoja kutoka
katika kila Kata), 7 walichaguliwa na Halmashauri kutokana na watu walioteuliwa na
jumuiya za chama.

1.4 Makabila

Makabila yaliyopo katika Wilaya hii yanajumuisha: Waha, Wabembe, Wabwari, na


Watongwe. Waha ni asilimia 95 ya idadi ya watu na wanaishi katika maeneo yenye
msongamano mkubwa ya Uvinza.

Kwa kuwa lengo kuu la Halmashauri ni kutoa huduma kwa watu wake kwa hiyo, inakusudia
kutoa huduma bora zaidi na endelevu kwa watu kwa kufikia malengo yafuatayo:

 Kuhakikisha watu wake wanaishi viwango bora vya maisha.


 Kuhakikisha kuna utawala bora.
 Kutoa elimu kwa watu wake.
 Uchumi wa ushindani.
Ili kufikia malengo yaliyotajwa hapo juu Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni miongoni
mwa Halmashauri ambazo zimepitia hatua kadhaa katika Mageuzi ya Serikali za Mitaa kama
sehemu ya mchakato wa Ugatuaji Madaraka.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 2


1.5 Mageuzi ya Serikali za Mitaa

Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni miongoni mwa Mamlaka za Serikali za Mitaa ambazo


zilihusika katika programu ya Mageuzi ya Serikali za Mitaa yaliyoanza mwaka 1999. Lengo
kuu la mageuzi ya Serikali za Mitaa ni kujenga uwezo; Yafuatayo yamezingatiwa na
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.
 Mageuzi ya mtazamo wa muundo wa Halmashauri
 Utawala
 Usimamiaji wa huduma za umma
 Mageuzi ya Fedha ya Serikali za Mitaa n.k.

1.6 Taarifa za Msingi za Halmashauri ya Wilaya

Sehemu hii inatoa taarifa za msingi za Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ikiwa ni pamoja na
mahali, eneo lake na idadi ya watu, hali ya hewa, tabia nchi, maeneo ya ikolojia ya kilimo na
shughuli kuu za kiuchumi. Zaidi ya hayo, inaelezea pia sura ya nchi, hali ya ardhi na mfumo
wa utawala.

1.6.1 Eneo la Halmashauri ya Wilaya na mipaka yake.

Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma iko kati ya latitudo 4045’ hadi 6030’ K na longitudo
29045’hadi 31030’ MS. Kwa upande wa Kaskazini wilaya inapakana na wilaya ya Kasulu,
upande wa Mashariki inapakana na mkoa wa Tabora/Katavi (wilaya ya Urambo), kwa
upande wa Kusini mkoa wa Rukwa/Katavi (wilaya ya Mpanda ), na upande wa Magharibi
inapakana na Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

1.6.2 Eneo na Idadi ya Watu

Wilaya ina eneo la jumla ya Kilometa za mraba 19 574 ambazo kati ya hizo Kilometa za
mraba 8 029 ziko chini ya maji (hasa Ziwa Tanganyika na maziwa madogo ya Nyamagoma
na Sagara) na sehemu iliyobakia ya Kilometa za mraba 11 545 ni nchi kavu.

Ardhi inayolimika inakadiriwa kuwa zaidi ya Km2 10 150 (hekta 1 015 630) ambapo kati ya
hizo ni asilimia 18 tu ndiyo imeendelezwa. Jumla ya eneo linalotumiwa kwa kilimo
linakadiriwa kuwa Kilometa za Mraba 1 900 (hekta 182 813.4), Hifadhi ya taifa ya Mahale
na Gombe ni Kilometa za Mraba 6 613.354 , mashamba makubwa ya misitu hekta 240.9 na
hifadhi ya misitu ya asili inachukua hekta 494 835.4.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 3


Misha ya kaya katika wilaya ya Kigoma kimsingi hutegemea kilimo. Kwa ujumla wilaya
inajitegemea kwa mahitaji ya chakula.

Kwa mujibu ya sensa iliyofanyika mwaka 2002, idadi ya watu katika wilaya ilikuwa 480,81
6 (ambapo 253,474 ni wanawake na 237,342 ni wanaume) kuna jumla ya kaya 72,085 na
ukubwa wa kaya wa 6.8. Kwa kiwango cha ukuaji cha asilimia 4.1 wilaya inakadiriwa kuwa
na idadi ya watu 718,598 mwaka 2012.

1.6.3 Muundo wa Utawala

Kiutawala wilaya imegawanyika katika tarafa sita, ambazo ni Mwandiga, Mahembe, Ilagala,
Kalinzi, Buhingu na Nguruka. Aidha, kuna kata ishirini na tano (25), vijiji 78 na vijiji vidogo
471 (Vitongoji). Kitabia nchi wilaya imegawanyika katika maeneo matatu – Nyanda za juu,
maeneo ya nyanda za chini, na eneo la misitu la Miombo. Kwa upande mwingine, Ziwa
Tanganyika linasababisha mgawanyo mzuri wa mvua.

1.6.4 Hali ya hewa na tabia nchi.

Kitabia nchi wilaya imegawanyika katika maeneo matatu ambayo ni nyanda za juu na chini
na eneo la misitu ya miombo. Mgawanyo wa mvua ni kati ya mm 600 hadi mm 1600 kwa
msimu; na halijoto huanzia nyuzi joto 22o – 32o. Maeneo yamegawanywa kulingana na aina za
udongo, mazao, na kiasi cha mvua.

1.7 Kanda za Ikolojia - Kilimo

Wilaya inaweza kugawanyika katika kanda tano za uchumi wa kilimo:

1.7.1 Kanda ya Ufukwe wa Ziwa

Ni kipande cha ardhi kati ya milima ya ndani na Ziwa Tanganyika. Iko ndani ya bonde la ufa
upande wa magharibi kwa miinuko kuanzia mita 800 – 1,700 kutoka usawa wa bahari. Mvua
kwa mwaka zinatofautiana kuanzia milimita 1000 – 1,400 pamoja na kipindi cha ukame cha
miezi minne (Juni- Septemba). Ardhi katika eneo la ufukwe wa ziwa ni ndogo, iliyokauka
sana, udongo tifutifu wa kahawia wenye mchanganyiko wa nyekundu na nyeusi. Katika ardhi
udongo unatofautiana kuanzia udongo wa mfinyanzi mwekundu, nyeusi iliyokolea na rutuba
ya wastani. Katika kanda yote uvuvi ulikuwa ni shughuli muhimu ya kiuchumi, lakini sasa

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 4


uzalishaji wa mazao unaongoza. Mazao makuu yanayolimwa ni mihogo, mawese, maharage,
mahindi na mpunga. Mawese na mpunga hulimwa kwenye mabonde.

1.7.2. Msitu ya Miombo

Kanda hii iko kati ya milimita 1,000 – meta 1,200 kutoka usawa wa baharia na mvua kwa
mwaka kuanzia milimita 600 – 1,000. Ardhi katika mteremko na miinuko ina kina, udongo
wa mfinyanzi uliokauka vizuri hadi udongo mwekundu wa mfinyanzi ulio juu ya udongo
mweusi wa mfinyanzi. Mteremko na miinuko ina udongo wa mfinyanzi ambao haujakauka
vizuri wa rangi ya kijivu iliyokolea hadi udongo mweusi. Mazao makubwa yanayolimwa ni
mpunga, tumbaku, maharage, karanga, mahindi, mihogo, viazi vitamu na mafuta ya mawese.
Michikichi na mpunga hulimwa chini ya mabonde. Mifugo mikuu inajumuisha mbuzi,
ng’ombe na kuku.

1.7.3 Kanda ya Kati

Iko eneo la uwanda wa juu kaskazini lenye watu wengi na lenye msitu ya miombo michache.
Mwinuko ni meta 1200 – 1500 kutoka usawa wa bahari na mvua kwa mwaka kuanzia milimita
850 – 1500. Ina mifereji na mito inayopatikana mwaka mzima. Ardhi ni nyeusi yenye wekundu
hadi udongo wa mfinyanzi wenye rangi nyekundu iliyokolea ambayo ina rutuba ya wastani.
Mazao makuu yanayolimwa ni mahindi, maharage, michikichi, ndizi, tumbaku na matunda
kama vile Mananasi.

1.7.4 Nyanda za Juu Kaskizini

Ipo kaskazini mwa wilaya, yenye mwinuko wa kutoka usawa wa bahari wa meta 1,500 –
1,750 (ASL). Nyanda za juu zina udongo wa mfinyanzi wenye rangi nyekundu iliyokolea
uliokauka vizuri hadi udongo tifutifu wa kahawia nyekundu ambao una rutuba kidogo. Mvua
ni milimita 1000 – 1600 kwa mwaka na inatawanyika vizuri wakati wa msimu wa kunyesha.
Kanda ina watu wengi. Mazao yanapandwa kwa wingi ni mahindi, maharage, kahawa na
mihogo.

1.7.5 Nyanda za juu za Kusini

Ni eneo lenye vilima vyenye miinuko mikali vyenye vijito vinavyokatisha katikati
vinavyomwaga maji kwenye Ziwa Tanganyika. Mwinuko unaanzia meta 1500 – 2462
kutoka usawa wa bahari. Kilimo katika kanda hii ni kidogo sana kwa kuwa kuna makazi

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 5


machache ya watu kwa mfano kuna kijiji kimoja tu chenye takribani familia 200
zinazojishughulisha na kilimo. Hata hivyo, kanda hii inazalisha sana kahawa.

Kwa ujumla, mvua huanza mwishoni mwa Oktoba na kumalizika Mei na kipindi cha ukame
cha karibu majuma mawili mwezi Januari. Kwa ujumla kuna mvua ya mara kwa mara na ya
kutosha katika wilaya hii. Upandaji wa mazao ya biashara na ya chakula hufanyika kwa
pamoja mwezi Oktoba na Novemba. Aidha, mwezi Februari mazao ya muda mfupi ( kama
vile maharage, alizeti, aina fupi za mahindi na viazi) huweza kupandwa.

1.8 Hali ya Ardhi

Hali ya ardhi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma inafaa kwa kilimo cha mazao ya
chakula na mazao ya biashara kama vile ndizi, mahindi, mpunga, mihogo, maharage, viazi
vitamu, karanga, kahawa, alizeti, matunda na mboga.

Ardhi imegawanywa katika aina nne za udongo ambazo ni mchanga, mfinyanzi, tifutifu
yenye rutuba, mchanganyiko wa tifutifu na mfinyanzi. Kutokana na ulimaji wa mara kwa
mara katika baadhi ya maeneo, udongo hauna rutuba. Ili kukabiliana na tatizo la udongo
kukosa rutuba, wakulima hutumia mboji pamoja na mbolea za viwandani.

1.9 Sura ya Nchi

Ardhi inayofaa kulimwa inakadiriwa kuwa zaidi ya kilometa za mraba 10,150 wakati ni
asilimia 18 tu ndiyo imendelezwa. Jumla ya eneo linalolimwa linakadiriwa kuwa Km za
mraba 1900 na hifadhi za taifa za Mahale na Gombe ni kilometa za mraba 6,613.354,
mashamba ya misitu ni hekta 240.9 na hifadhi za misitu asilia ni hekta 494,835.4.

1.10 Shughuli za Kiuchumi

Uchumi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma unategemea kilimo zaidi, ambapo ardhi


inayolimwa inakadiriwa kuwa Kilometa za Mraba 1,900 Km2 (18.72%) ya jumla ya ardhi
yote inayofaa kulimwa. Zaidi ya asilimia 90 ya watu wa Wilaya hii wanategemea zaidi
shughuli za kilimo. Hata hivyo, mchango wa sekta ya kilimo kwa Uchumi wa Wilaya
umeathiriwa na hali ya hewa isiyotabirika, ikizingatiwa kwamba sekta ya kilimo inategemea
mvua. Shughuli nyingine za kiuchumi kama vile ufugaji, uvuvi na utumiaji wa maliasili kama
vile misitu na ufugaji wa nyuki hukamilisha shughuli za kilimo za wakazi wa wilaya ya
Kigoma.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 6


SURA YA PILI

UCHANGANUZI WA HALI HALISI

2.0 Utangulizi

Sura hii inaelezea uchanganuzi wa kina wa hali ya zamani na ya sasa ya Halmashauri ya


Wilaya ya Kigoma. Aidha, inaelezea uwezo, udhaifu, fursa na vitisho vinavyoikabili
Halmashauri. Udhaifu unachukuliwa kama maeneo ya uboreshaji ambayo idara na vitengo
mbalimbali vimeweka mikakati yao vya kukabiliana na udhaifu huo. Bado, fursa
zinachukuliwa kama maeneo ambayo Halmashauri inaweza kupata faida zaidi na Idara
zimeweka malengo na mikakati mbalimbali ya kutumia fursa hizo.

2.1 Upitiaji tena wa Utoaji Huduma za uchumi wa Jamii

Kama ilivyo kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa zote nchini Tanzania, Halmashauri ya
Wilaya ya Kigoma inakabiliwa na matatizo ya kiuchumi na kijamii yanayotokana na sababu
kadhaa zikiwa ni pamoja na Teknolojia duni, kutokuwa na mtaji, miundombinu duni ya
uchumi, Upungufu wa taasisi za elimu ya juu, uhamaji kutoka vijijini kwenda mijini,
ongezeko la haraka la idadi ya watu, raslimali chache na mifumo duni ya masoko.

Kwa hiyo, sehemu hii inalenga kupitia kwa ufupi hali ya utoaji huduma za kijamii na
kiuchumi kama sehemu ya uchanganuzi wa hali. Upitiaji tena ni wa muhimu sana kwa kuwa
unatambua matatizo yaliyopo ya kijamii na kiuchumi na kuiwezesha idara, vitengo mahsusi
kuweka malengo na mikakati ya kuyatatua.

2.1.1 Utoaji wa Huduma za Kijamii

Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma inatoa huduma nyingi za kijamii kwa wadau wake ikiwa
ni pamoja na jamii kwa ujumla, jumuiya ya wafanya biashara, Taasisi za Fedha, Wadau wa
maendeleo, AZISE, Mashirika ya Kidini, Vyama vya Ushirika, Wakulima, Mawakala, Watoa
huduma, Serikali Kuu na wengine. Upitiaji tena wa huduma hizi na hali ilivyo kwa sasa
umeonyeshwa kulingana na kila huduma kama ifuatavyo:

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 7


2.1.1.1 Elimu

Huduma ya elimu inayotolewa na Halmashauri imegawanywa katika sehemu mbili; sehemu


ya elimu ya msingi na sekondari. Hali ilivyo ya huduma ya elimu kulingana na kila sehemu
inaonyeshwa kama ifuatavyo:

A) Elimu ya Msingi
Katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, kila kijiji kina shule ya msingi, pamoja na
kwamba baadhi ya Vijiji tayari vimejenga shule za msingi zaidi ya moja. Kuna jumla ya
shule za msingi 220 (moja ni ya binafsi) wilayani katika mwaka 2012. Hata hivyo, wilaya ina
jumla ya wanafunzi 110,175 (52,950 ni wavulana na 57,225 wasichana) na jumla ya
madarasa 1,377). Uwiano wa wanafunzi kwa chumba ni 1:80 ikilinganishwa na uwiano
unaotakiwa wa 1: 40 katika ngazi ya kitaifa. Kutokana na ukweli huo, kuna upungufu wa
madarasa 1,377 katika wilaya. Zaidi ya hayo, kuna madawati 23,126 ambayo ni uwiano wa
dawati moja kwa wanafunzi 1:5 badala ya uwiano uliopendekezwa kitaifa wa 1:2.
Vyoo vya mashimo ni 1,560 ambayo ni uwiano wa 1:70. Tatizo la wanafunzi kuacha shule
bado ni kubwa sana katika wilaya, ambapo wanafunzi 1,848 (wavulana 949 na wasichana
899) waliacha shule mwaka 2012 ambapo ni asilimia 1.7. Sababu kubwa ni utoro, kupata
mimba mapema na mtizamo hasi kuhusu elimu.

Kuna watu 70,267 (Wanawake 39,365 Wanaume 30,962) ambao hawajui kusoma na
kuandika. Wilaya ina jumla ya watu 198,255 (wanaume 70,112 na wanawake 128,143)
ambao wanahudhuria madarasa ya Watu wazima (2012). Hata hivyo, Wilaya inatarajia
kuandikisha watu 567,429 ifikapo 2017.

Kuna walimu 2,025 kwa maana kwamba, daraja la IIIA ni 1,890, na wenye Diploma/Shahada
ni 81 na IIIB/C ni 54. Uwiano wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi kwa sasa hivi ni 1:54.

Kuna mabadiliko makubwa katika upatikanaji wa vifaa vya kufundishia kama vile vitabu vya
kiada, ambapo uwiano wa kitabu kwa mwanafunzi bado ni mdogo sana kwa mazingira ya
kujifunzia, uwiano wa mwanafunzi kwa kitabu kimoja katika wilaya ni 1:6 kwa mwaka 2012.
Shabaha ya Halmashauri ni ongezeko la vitabu angalau kufikia uwiano wa 1:3 ifikapo mwaka
2017.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 8


B) Elimu ya Sekondari
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ina jumla ya shule za sekondari 39 ambapo shule za
serikali ni 32 na shule za binafsi ni 7. Kuna jumla ya madarasa 319 (Shule za serikali) na
jumla ya wanafunzi 11,485 (wavulana 6280 na wasichana 520). Uwiano wa wanafunzi kwa
darasa ni 1:36 ukilinganishwa na uwiano wa 1:40 katika ngazi ya kitaifa. Kuna meza za
wanafunzi 12,985 na viti 12,985 ambavyo ni uwiano wa meza moja kwa mwanafunzi 1:1
ambapo ni sawa na ngazi ya kitaifa.

Kuna wanafunzi 219 kwa kila choo cha shimo, ambapo ni uwiano wa 1:52; mahitaji ya jumla
ya choo cha shimo ni mashimo 623, hivyo kuna upungufu wa vyoo vya mashimo 404
shuleni. Kuna wanafunzi 5,525 walioandikishwa mwaka 2013 kujiunga na kidato cha kwanza
ambao miongoni mwao 3,508 ni wavulana na 2,017 ni wasichana.

Kuna walimu 283 (wanaume 261 na wanawake 22) na viwango vyao vya elimu ni diploma –
257 na shahada – 26. Uwiano wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi kwa sasa hivi ni 1:40.
Uwiano wa kitabu kimoja kwa wanafunzi ni 1:4. Wanafunzi wanaoacha shule bado ni tatizo,
sababu kubwa zikiwa ni utoro, mimba, kuolewa mapema, shughuli za uvuvi na mtazamo hasi
kuhusu elimu.

2.1.1.2 Afya

Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma haina Hospitali ya Wilaya, Vipo Vituo vya Afya 6
(vinavyomilikiwa na Serikali) na Zahanati 72 (Zinazomilikiwa na Serikali ni 67). Vijiji vyote
isipokuwa 3 vina Zahanati kama Sera ya Afya inavyotaka, lakini Kata 19 hazina vituo vya
afya kama inavyotakiwa. Hata hivyo, Kituo cha Afya kipya kinajengwa katika Kata ya
Ilagala.
Mahitaji ya jumla ya watumishi wa afya ni 559; hivi sasa kuna watumishi 252 tu (45%) na
kwa hiyo kuna upungufu wa watumishi wa afya 307. Halmashauri ina Daktari 1 kama
inavyotakiwa na wanachama wa CHMT 7. Daktari wa Meno anakosekana miongoni mwa
wanachama wa CHMT. Upungufu mkubwa wa wafanyakazi upo katika kada zifuatazo;
waganga wasaidizi 112 kati ya 126, Wauguzi 113, Madaktari wa meno 5, Wasaidizi wa
Maabara 2 na Wafamasia wasaidizi 5.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 9


Magonjwa makuu kumi katika Wilaya ni; ARI, Malaria, Nimonia, Kuhara, matatizo ya ngozi
matatizo ya macho, mataizo ya kinywa, matatizo ya moyo, PID na matatizo ya shingo ya
uzazi. Watoto ndiyo kundi linaloathiriwa sana na magonjwa haya. Upungufu wa
wafanyakazi, dawa, vifaa vya tiba na mazingira bora ya huduma za afya ni miongoni mwa
matatizo makubwa ya Sekta ya Afya katika Halmashauri. Uboreshaji wa huduma za afya na
usambazaji wa dawa ulio sawa katika Huduma za Afya ndiyo kipaumbele cha Halmashauri
katika kipindi cha mpango mkakati.

2.1.1.3 Maji

Hivi sasa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, asilimia 53.9 ya watu wanapata maji
safi na salama ya kunywa kutoka vyanzo mbalimbali vya maji vilivyoboreshwa kama vile;
chemchemi, visima vya kina kirefu, mifereji, mito, visima vya kina kifupi na Ziwa. Wilaya
inashirikiana na wabia wengine wa maendeleo katika juhudi za kutoa maji safi na salama ya
kunywa. Kuna wafanyakazi 17 wenye sifa badala ya 28 wanaohitajika.

2.1.2 Utoaji wa huduma za kiuchumi

2.1.2.1 Kilimo

Kilimo ni shughuli kuu ya kiuchumi ya watu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma. Ardhi


inayolimwa sasa hivi ni Hekta 182,813.4 au asilimia 18 ya ardhi yote inayolimika ambayo ni
Hekari 1,015,630. Takriban kaya 84,274 wanajishirikisha kikamilifu na kilimo ambao ni
asilimia 82 ya watu wote wanaolima mazao ya biashara hasa kahawa katika nyanda za juu na
mpunga katika nyanda za chini.
Utaratibu mkubwa wa kilimo katika Wilaya ya Kigoma unazingatia ukulima wa kahawa-
mahindi-maharage katika nyanda za juu, mahindi-tumbaku katika nyanda za chini na
muhogo-mpunga katika ukanda wa Ziwa. Kilimo ndiyo chanzo kikuu cha mapato kwa
sababu kinachangia hadi asilimia 91 ya mapato ya Wilaya. Mazao ya biashara ni pamoja na
kahawa, tumbaku na michikichi, wakati mahindi, muhogo, maharage, ndizi, mpunga ni
mazao ya chakula. Kahawa ni chanzo kikuu katika nyanda za juu na katika eneo la
miteremko ya milima wakati mahindi na tumbaku ni vyanzo vikuu vya mapato katika
maeneo ya nyanda za chini. Katika pwani ya Ziwa Tanganyika, uvuvi ni chanzo kikuu cha

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 10


mapato, hususan katika Tarafa ya Buhingu, na sehemu ya Tarafa za Ilagala, Mwandiga na
Kalinzi wakati uvuvi ni chanzo kikuu cha mapato wakati muhogo ni zao la chakula katika
eneo hilo. Mazao makuu ya biashara ni; Kahawa, Tumbaku, Mpunga na michikichi, wakati
mazao makuu ya chakula ni; Mahindi, Maharage, Muhogo na Mpunga.

Hali halisi ya maofisa ugani wanafikia 46 ambao ni wataalamu katika Nyanja mbalimbali
dhidi ya mahitaji ya maofisa uga 86. Kwa hiyo kuna upungufu wa maofisa ugani 40 katika
sekta ya Kilimo ambao unasababisha kutokutosheleza kwa huduma za ugani kwa ajili ya
wakulima.

2.1.2.2 Mifugo

Wilaya ina mifugo mbalimbali ambayo inajumuisha ng’ombe, mbuzi, kondoo, kuku na
nguruwe. Kwa mujibu wa data za Wilaya za 2010, mifugo iliyopo katika Wilaya ya Kigoma
ni Nguruwe (5,631), Ng’ombe (32,390), Mbuzi (248,119), Kondoo (18,852) na Kuku
(279,358). Hata hivyo kuwepo kwa mifugo mbalimbali mpaka sasa hakukidhi mahitaji ya
bidhaa zake kiasi kwamba mahitaji yake ya ndani yanatoshelezwa na bidhaa za kuingizwa
kutoka katika mikoa jirani ya Shinyanga, Tabora na Rukwa ingawa wilaya imejaliwa kuwa
na maeneo ya uchungaji ya kutosha.

Hali halisi ya maofisa ugani wa mifugo wanafikia wataalamu 26 katika nyanja mbalimbali
dhidi ya mahitaji ya wafanyakazi 81. Kwa hiyo, kuna upungufu wa maofisa ugani katika
sekta ya mifugo ambao husababisha kutokutosheleza kwa huduma za ugani kwa wafugaji.
Kwa hivi sasa huduma za ugani zinazopatikana wilayani zinajumuisha Majosho 20 ya
kuogeshea ng’ombe, vituo 14 vya uendelezaji mifugo na Machinjio 256.

AZISE nyingi zinazofanya kazi katika Wilaya hii kwa sehemu zinatoa mchango mkubwa
kwa sekta ya Kilimo, mifugo na sekta nyingine zinazohusiana. AZISE hizo zinajumuisha
JGI, FELISA, CARITAS, TCRS, MIBOS, FAO, SODESO, KIVIDEA, KIPAFADA,
Uvunaji endelevu na CHAMA CHA USHIRIKA NA MUUNGANO. Kuna masoko mawili
(2) ya mifugo na bidhaa za mifugo wilayani kutokana na kuwepo kwa mawasiliano mazuri na
pia ukaribu wa wilaya na mpaka wa pamoja na Burundi na Kongo.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 11


2.1.2.3 Vyama vya Ushirika

Wilaya ina jumla ya Vyama vya Ushirika vilivyosajiliwa 80 ambavyo vina wanachama
9,116. Vyama vilivyo hai ni 54 wakati 26 haviko hai, vyama hivyo vinahudumiwa na
wafanyakazi 4 badala ya 11 wanaohitajika hivyo kusababisha kutokutosheleza kwa huduma
za ushirika.
Vyama vya Ushirika vilivyotajwa hapo juu vimegawanywa kama ifuatavyo:
(i) Vyama vya masoko ya Kilimo........................ 25
(ii) Vyama vya Ushirika vya Kuweka na
Kukopa.......................................................................... 51
(iii) Ushirika wa Ufugaji wa Nyuki.................................... 2
(iv) Biashara ya pamoja.................................................................. 1
(v) Vyama vya Ushirika wa Mifugo................................. 2
(vi) Chama cha Ushirika wa Tumbaku cha Kigoma............ 1

2.1.2.4 Ujenzi

Idara ina wafanyakazi 6 wakati mahitaji halisi ni wafanyakazi 10. Upungufu huu wa
wafanyakazi wenye ujuzi umesababisha kuwa na huduma za barabara zisizotosheleza.
Wilaya ina Magari 26 (magari makubwa 2 na madogo 24) ingawa ni magari 15 tu ndiyo
yanayofanya kazi. Aidha, kuna boti 4 ambazo miongoni mwa hizo 1 ni boti iendayo kasi na
pikipiki 117.

Jumla ya mtandao wa barabara Wilayani ni km 832.2, ambazo barabara za Wilaya km 32.2,


km 302 ni njia zinazoingia katika barabara kuu. Km. 73 ni za lami, km 222 za kokoto na km
202 barabara za udongo, aina zote mbili ziko chini ya TANROAD. Karibu asilimia 75 ya
barabara ziko katika hali nzuri wakati asilimia 20 ziko katika hali ya wastani na asilimia 5
ziko katika hali mbaya. Asilimia 95 ni barabara zinazopitika kwa mwaka mzima wakati
asilimia 2.5 hazipitiki wakati wa msimu wa mvua. Zaidi ya hayo, Wilaya haina vifaa vya
barabara kama vile Greda na Buldoza kwa ajili ya ukarabati.

2.1.2.5 Maendeleo ya jamii

Kuna wafanyakazi 19 kati ya 36 wanaohitajika wakati ambapo wafanyakazi 8 wanafanya


kazi katika ngazi ya Kata. Upungufu wa wafanyakazi umesababisha kuwepo na huduma za
Maendeleo ya Jamii zisizotosheleza katika Jumuiya za Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 12


Wilaya ilianzisha Vikundi 143 vya Kiuchumi katika Jamii, kati ya hivyo 61 ni vikundi vya
wanawake na 17 ni vikundi vya vijana na vikundi vingine 65.
Vikundi vilivyopokea mikopo ni 52 na idadi ya wafadhiliwa ni 143 (Wanawake na vijana).
Licha ya kupokea mkopo vikundi vyote vimepewa mafunzo kuhusu upangaji na usimamiaji
wa mradi ili kuhakikisha kuwa miradi ni endelevu, kipato kuongezeka na hatimaye kiwango
cha umaskini kupunguzwa.

2.1.2.6 Maliasili

Wilaya imejaliwa kuwa na Hifadhi za Misitu za Taifa za kutosha kama vile Lugufu ( Hekta
5,439), Ilunde (Hekta 5,997.50), Basanza (Hekta 12,850), Mkuti Magharibi na Mashariki
(Hekta 35,612), Uvinza (Hekta 16,835), Mpanda Line ( Hekta 35,612) na Nkungwe Bay
(Hekta 5,957). Misitu yote hii iko chini ya Mamlaka ya Serikali. Aidha, kuna hifadhi kubwa
ya msitu ambayo iko chini ya Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya inayofahamika kama
hifadhi ya msitu ya Rukunda – Kachambi (Hekta 11,991.70). Wilaya ya Kigoma imefunikwa
na uwanda mkubwa wa ukanda wa mbuga, msitu wa Mlima, msitu wa kiikweta unaoambaa
kando kando ya mto hususan kandokando ya mto Malagarasi, Ugalla na Msitu wa Masito.

Licha ya hifadhi hizi za misitu, Wilaya ya Kigoma ina eneo kubwa la Wazi (Eneo la Wazi la
Uvinza), eneo la ardhi oevu (Eneo la Malagarasi – Moyovosi Ramsar) na eneo la hifadhi la
Wanyama pori (Eneo la hifadhi la Wanyama pori la Luganjo) lililopo katika Taarafa za
Uvinza na Nguruka; Pia kuna maziwa makubwa kama vile Ziwa Tanganyika ( kilometa za
mraba 8,029), Ziwa Sagara na Nyamagoma katika Taarafa za Nguruka; na Mito ya kudumu
kama Mto Malagarasi, Ugalla na Lugufu. Ni wilaya hii ndiyo ina tishio kubwa la wanyama
mwitu kama vile Sokwe, Tembo na Wadudu wengine na Ndege.

Wilaya ina Hifadhi za Taifa mbili zinazoitwa Gombe na Mahale ambazo ziko chini ya
Mamlaka ya Hifadhi za Taifa za Tanzania na hifadhi moja ya Wanyama pori inayodhibitiwa
inayoitwa Luganzo. Aidha, Wilaya inapakana na hifadhi ya Wanyama pori ya Moyovosi
Kigosi chini ya Mkurugenzi wa Wanyama pori katika eneo la Kaskazini. Hili ni eneo la
kuendeleza vivutio kwa watalii na shughuli za utalii/uwindaji.

Katika programu ya upandaji misitu, miti 226,454 ilipandwa katika mwaka 2011/2012 na
jumuiya (JKT, Shule za Msingi na Sekondari, AZISE, Asasi za Kiraia za Jamii, Asasi na
sekta binafsi).

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 13


Idara ya Maliasili ina sekta nne ambazo ni Uvuvi, Misitu, Wanyama pori na Ufugaji nyuki
pamoja na wafanyakazi 26 badala ya 46 hivyo kusababisha usimamiaji wa Maliasili
usiotosheleza.

2.1.2.7Ardhi

Sekta hii inapaswa kuwa na wafanyakazi 32 wenye sifa, lakini ina wafanyakazi 12 tu kiasi
kwamba inakuwa vigumu kuhudumia wilaya nzima. Idara imepanga kuongeza idadi ya Hati
Miliki kuanzia 117 katika mwaka 2012/13 hadi 1500 katika mwaka 2016/17 na kuongeza
ukusanyaji mapato kuanzia 26,000,000 katika mwaka 2012/13 hadi 58,000,000 ifikapo
2016/17.

Idara imepanga kuongeza idadi ya viwanja vilivyopimwa kuanzia 12301 katika mwaka
2012/13 hadi 17,000 ifikapo 2016/17. Aidha, kuna mpango wa kuongeza idadi ya mipaka ya
vijiji iliyopimwa kuanzia 75 hadi 78 ifikapo 2016/17. Idara pia imepanga kuongeza idadi ya
mashamba yaliyopimwa kuanzia Hekta 12,500 katika mwaka 2012/13 hadi Hekta 18,500
ifikapo 2016/17. Hata hivyo, kuongezeka kwa michoro ya mipango miji kuanzia 7 katika
mwaka 2012/13 hadi 27 ifikapo 2016/17 litakuwa ni jambo la kupewa kipaumbele. Idara
imepanga kuongeza idadi ya vijiji vyenye mpango wa kutumia ardhi kuanzia 60 katika
mwaka 2012/13 hadi 78 ifikapo 2016/17 na kuongeza idadi ya hati za hakimiliki kuanzia
1165 katika mwaka 2012/13 hadi 6165 ifikapo 2016/17.

2.1.2.8 Utawala na Utumishi

A) Utawala
Wilaya ina idara 12 na vitengo 6 vyenye zana na vifaa vya kufanyia kazi. Wafanyakazi
waliopo katika utawala ni 3,038 badala ya 4,322 wanaohitajika. Upungufu huu
umesababaisha:-
 Kuwa na wafanyakazi wachache wenye sifa zinazotakiwa.
 Mgawanyo wa majukumu kwa wafanyakazi ambao hawajapatiwa mafunzo ya
majukumu hayo.
 Kiwango kidogo cha utoaji huduma katika baadhi ya sekta.
 Ofisi na samani zisizotosha katika ngazi zote.
 Mfumo wa Usimamiaji Habari usiofaa (MIS)

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 14


2.1.2.9 Mipango

Shughuli yake kuu ni kuratibu mipango yote ya wilaya, kukusanya data za kiuchumi na
kijamii na kuzichambua kwa niaba ya idara mbalimbali za Halmashauri. Aidha, kuratibu
ujumuishaji wa ripoti, kuzisambaza kwa wadau husika, kusimamia, kufuatilia na kutathmini
miradi ya maendeleo. Hivi sasa idara ina wafanyakazi 6 ambao wanatosha kutekeleza
ipasavyo majukumu ya idara.

2.1.2.10 Fedha na Biashara

Idara ya fedha na biashara inatekeleza kazi zake kwa kufuata Mkataba wa Fedha wa 1997 na
majukumu makuu yanayofanywa yakiwa ni pamoja na:-
 Kuishauri Halmashauri kuhusu masuala ya fedha
 Kubuni vyanzo vipya vya mapato
 Kukusanya mapato yote ya wilaya
 Kuhakikisha kuna matumizi mazuri ya mapato
 Kufanya majumuisho ya ripoti za fedha

 Kutunza orodha zote za raslimali za kudumu za halmashauri

Idara ina wafanyakazi 15 wakati mahitaji halisi ni wafanyakazi 21 hali ambayo inasababisha
kukosa ufanisi katika huduma za fedha.

2.1.2.11Ukaguzi wa Hesabu wa Ndani

Hali kadhalika kama ilivyo katika idara ya biashara na fedha, sehemu ya ukaguzi wa hesabu
wa ndani inatekeleza kazi zake kwa kufuata Mkataba wa fedha wa 1997. Majukumu makuu
ya sehemu ya Ukaguzi wa Hesabu wa Ndani ni pamoja na haya yafuatayo:-
 Kuishauri halmashauri kuhusu masuala yote ya fedha
 Kufanya ukaguzi wa hesabu wa ndani wa hesabu za wilaya na kusimamia na kutoa
ushauri ipasavyo.
Kuna wafanyakazi 3 kati ya 6 wanaohitajika ambapo matokeo yake ni kukosa ufanisi katika
huduma za ukaguzi wa hesabu.

2.1.2.12 Masuala ya Kisheria

Kudumisha na kuwezesha amani, utulivu na utawala bora, ambavyo vinaendeleza Ustawi wa


Jamii na kustawi kwa uchumi wa watu wote katika eneo lake la kisheria sambamba na sheria,

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 15


sera na kanuni za kitaifa. Halmashauri ina mwanasheria 1 mwenye sifa badala ya 2
wanaohitajika kutekeleza masuala ya kisheria.

2.1.2.13 Kitengo cha Kusimamia Ununuzi

Kinatekeleza kazi zake kwa kufuata Sheria ya Ununuzi wa Umma (PPA) ya 2004 na Kanuni
ya Ununuzi wa Umma ((PPA) ya 2005, na majukumu makuu ni Kusimamia shughuli za
Ununuzi (PMU). Kitengo cha Kusimamia Ununuzi kina wafanyakazi 5 lakini mahitaji halisi
ni wafanyakazi 6. Upungufu wa mfanyakazi mmoja siyo tatizo kubwa sana la kuweza
kuathiri kazi za idara.

2.1.2.14 Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)

Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ina sehemu ya TEHAMA iliyo hai yenye wafanyakazi
wataalamu wawili. Inafanya kazi katika idara zote katika kutatua matatizo mbalimbali ya
TEHAMA. Hata hivyo kitengo hiki hakina muundo na mpangilio mzuri kiutawala na mkuu
wa sehemu hahusishwi kabisa katika CMT, Mikutano ya Fedha na mikutano yote ya
halmashauri. Aidha, kitengo hakina sera zenye mfumo mzuri, sheria na kanuni za kuiongoza
sehemu ya TEHAMA

Pamoja na matatizo yote haya, sehemu hii iko mbioni kuanzisha Tovuti ya Wilaya, Blogi,
kutengeneza na kutekeleza programu za kompyuta, mwunganisho wa mtandao Ofisini na
upatikanaji wa Intaneti Wilayani. TEHAMA ina lengo la kuwawezesha wafanyakazi katika
sehemu hii kupata mafunzo kadhaa ili kukabiliana na mabadiliko ya TEHAMA na
kuendeleza teknolojia mpya duniani.

2.1.2.15 Masuala Mtambuko

Yapo baadhi ya mambo ambayo lazima yaingizwe kwenye mkondo mkuu wa programu za
jumla za maendeleo za Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma; vinginevyo maendeleo yake ya
baadaye yanaweza kuwa hatarini. Hivyo kuna umuhimu wa kuingiza kwenye mkondo
mkubwa, na hili linajumuisha masuala ya tabianchi, jinsia, ugonjwa wa VVU/UKIMWI na
magonjwa mengine yanayozuka kama vile kisukari, shinikizo la damu na ugonjwa
unaotokana na maji. Pia kumekuwepo na ongezeko la yatima ambalo ni tatizo kubwa
linalohitaji kushughulikiwa.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 16


MASUALA MENGINE MUHIMU
(a) Umaskini
Takriban asilimia 90 ya watu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wanaishi vijijini na
wanategemea kilimo kwa maisha yao. Shughuli kuu za kiuchumi zinazofanyika katika wilaya
hii ni pamoja na kilimo, ufugaji, uvuvi, biashara ndogondogo, viwanda vidogovidogo, ajira
rasmi na zisizo rasmi. Kilimo ni cha kujikimu kutokana na utumiaji wa zana duni; aidha,
uvuvi bado ni wa kizamani. Kuna kiwango cha ukuaji unaoendelea wa umaskini miongoni
mwa watu walio wengi ambao wanategemea shughuli za kilimo kutokana na mabadiliko ya
tabianchi, utumiaji wa teknolojia, pembejeo za kilimo na masoko.

(b) VVU/UKIMWI
Vipengele vingi vimechangia katika kuongezeka kwa matukio ya maambukizo mapya ya
VVU. Mwaka 2012, watu waliopimwa VVU/UKIMWI walikuwa 8,773 (3,804 walikuwa
Wanaume na 5,853 walikuwa Wanawake) ambao miongoni mwao 83 (Wanaume 23 na
Wanawake 60) walikuwa na maambukizo ambapo ni 0.01%. Watu walioambukizwa ambao
wanatumia ARV ni 504 ( 181 ni Wanaume na 323 ni Wanawake). Hususan katika baadhi ya
maeneo kama vile Nguruka, Uvinza, Ilagala na Kasuku kuna ongezeko la maambukizo
mapya hasa miongoni mwa wanawake na wanaume walio katika umri wa kuzaa kati ya 18 na
45. Sababu kubwa ni umaskini miongoni mwa jamii, ngono isiyo salama, ulevi wa pombe na
dawa za kulevya na maingiliano kwa sababu za kibiashara.

(c) Jinsia
Idadi kubwa ya watu katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni Wanawake. Kwa mujibu
wa sensa ya 2002, wanawake ni zaidi ya asilimia 50 ya jumla ya idadi yote ya watu.
Halmashauri inapanga kuhamasisha vikundi vya kiuchumi vya wanawake na kuwasaidia
mikopo midogomidogo kutoka katika Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Watoto.
Mikopo hii inatolewa kupitia Programu ya Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake
inayotekelezwa chini ya Wizara hii.

Hata hivyo, kuna changamoto muhimu ambazo zinajumuisha; fedha zisizotosha kuhusiana na
mahitaji na idadi inayoongezeka ya wanawake, kushindwa kwa baadhi ya wanawake
kurejesha mkopo uliotolewa ili wengine waweze kupewa mikopo na ujuzi mdogo wa
kiujasiriamali kulingana na muundo wa masoko.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 17


2.2 Raslimali kuu zilizopo

Wilaya ya Kigoma imejaliwa kuwa na maliasili nyingi ambazo zinajumuisha; Misitu ya


Taifa, Mbuga za Wanyama za Taifa, Hifadhi za ardhi oevu na hifadhi ya Wanyama pori.
Raslimali nyingine muhimu ni Ziwa Tanganyika, Nyamagoma, Sagara na mito mikubwa
kama vile; Malagarasi, Luguvu na Ugalla. Hata hivyo Wilaya ina fahari ya kuwa na ardhi
kubwa yenye rutuba, mifugo na madini hasa katika chumvi.

2.2.1 Ardhi

Ardhi ni raslimali na ni muhimu sana kama nguzo kuu ya uchumi wa Wilaya. Hata hivyo,
hivi sasa, eneo linalotumika kwa kilimo ni Hekta 182,813.4 ambalo ni asilimia 18 ya ardhi
yote inayofaa kwa kilimo. Wawekezaji wakuu wa kilimo ni Agrisol (Hekta 13,600), WAMA
(Hekta 516), FELISA (Hekta 4,200) na wengine ambao waliwekeza katika ukubwa wa kati
(Hekta 80) kila moja.

2.2.2 Misitu:

Wilaya ya Kigoma imejaliwa kuwa na Misitu mingi ya Taifa kama vile; Lugufu (Hekta
5,439), Ilunde ( Hekta 5,997.50), Basanza (Hekta 12,850), Uvinza (Hekta 16,835), Mpanda
Line (Hekta 35,439), Nkungwe Bay (Hekta 5,957), Mkuti Mashariki na Magharibi, Rukunda
– Kachambi (Hekta 11,991.70).

2.2.3 Wanyama pori:

Wilaya ya Kigoma ni mojawapo ya wilaya zenye bioanuwai Kubwa nchini Tanzania. Ina
utajiri wa wanyama pori hususan Tembo, Kulungu, Mamba, Mbelele, Kiboko, Samba, Chui,
Nyani, Nyati, shoe bill na Korongo. Ni moja ya wilaya zenye idadi kubwa ya wanyama pori
hatari kama vile Sokwe, yangeyange, na Korongo. Wilaya ina Mbuga za wanyama za Taifa
mbili (Mahale na Gombe), Hifadhi za Misitu saba (Lugufu, Ilunde, Basanza, Uvinza,
Nkungwe Bay na Mpanda Line ambazo zina eneo la Hekta 118,303.50. Hifadhi moja ya
Wanyama (Moyowosi – Kigosi), hifadhi mbili za wanyama pori zinazodhibitiwa (Mfubasi na
Luganzo). Maeneo mengine muhimu ni eneo Ardhi oevu (Malagarasi – Moyoyosi Ramsra).
Uchungaji wa kupindukia, Uchomaji mkaa, Ukataji magogo ya mbao, uvuvi haramu, na
ujangili ni tishio kubwa kwa maendeleo endelevu ya bioanuwai.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 18


2.2.4 Ufugaji nyuki

Ufugaji nyuki unafanywa kwa kiwango kidogo vijijini na sasa hivi unashika kasi kutokana na
mafunzo yanayotolewa kwa wanavijiji na viongozi wa vijiji kuhusu umuhimu wa ufugaji wa
nyuki katika uchumi. Katika kulinganisha, uzalishaji wa asali na nta umeongezeka kuanzia
tani 48.9 na tani 3.2 hadi tani 102.4 na tani 7.2 katika mwaka 2008 na 2009. Bado uzalishaji
unahitaji kuongezwa kwani mahitaji ya nje ni makubwa zaidi kuliko uzalishaji.

Kuna watu 1,630 (Wanaume 1070 na Wanawake 560) Wanaojihusisha na ufugaji wa nyuki.
Aidha, kuna jumla ya mizinga ya kisasa 3,450 na ya kizamani 9,350 katika wilaya. Sekta ya
ufugaji nyuki haijafanikiwa vya kutosha kiasi cha kuchangia katika kipato cha jamii kuinua
uchumi wa wilaya kwa ujumla. Ili kuboresha sekta hii, halmashauri ya wilaya inalenga
kuongeza idadi ya wafuga nyuki hadi 2,500 na mizinga ya kisasa 10,000 ifikapo mwaka
2017.

2.2.5 Uvuvi

Tasnia ya uvuvi ina dhima muhimu katika uchumi wa Wilaya. Shughuli za uvuvi hufanywa
zaidi katika Ziwa Tanganyika ambalo lina eneo la kilometa za mraba 8,029, mabwawa
madogo ya maji ya Ziwa Sagara na Nyamagoma, Mito Malagarasi, Ugalla, na mabwawa ya
Luguvu na Kandaga.

Kuna takriban wavuvi 8,096 wanaofanya shughuli ya uvuvi wakati wote na wanaofanya kwa
muda kwa kutumia mitumbwi 4,095 iliyojengwa kulingana na utafiti wa Mfumo wa Uvuvi
wa 2011. Idadi ya samaki waliovuliwa katika mwaka 2008 ilikuwa tani 66,195, ambao
waliingiza kiasi cha jumla ya shilingi za Kitanzania 64,722,337,301//=, hiki ni kiwango cha
chini cha idadi kubwa iliyovuliwa ya tani 65,000. Spishi zilizovuliwa kwa wingi ni Dagaa na
Migebuka.

Aidha, Wilaya ya Kigoma ni maarufu kwa uzalishaji wa samaki wa kuweka kwenye matangi
kwa ajili ya kuuzwa Ulaya na mahali pengine kwenye masoko ya dunia. Huzalisha karibu
tani 10 kwa mwaka. Kuna Makampuni 2 tu yanayojaribu uvuvi wa aina hii.

Wilaya ni maarufu katika ufugaji wa samaki katika nyanda za juu za kaskazini kwa kiwango
cha chini. Hii ni kutokana na imani kwamba ufugaji wa samaki hauwezi kuwa wa kibiashara.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 19


Ofisa Uvuvi wa Wilaya bado anawaelimisha na kuwahamasisha watu kufanya hivyo, kwa
kuwa ni mbadala wa protini ya samaki katika maeneo ya mbali.

Ufugaji wa majini ni mbadala wa uvuvi uliopindukia katika Ziwa, na hivyo, unahitaji


kutekelezwa kikamilifu. Hata hivyo, uvuvi katika Ziwa Tanganyika uko chini kwani ni
asilimia 50 tu inayotekelezwa kwa mwaka. Vifaa vya kisasa na vinavyofaa katika mazingira
vinapaswa kutumiwa kulingana na vifaa vya usindikaji samaki.

2.2.6 Utalii:

Tasnia ya utalii inaendelezwa kwa kiwango kidogo sana katika Wilaya ya Kigoma pamoja na
kuwepo kwa vivutio kadhaa kama vile; Sokwe na spishi za pekee za ndege katika mbuga za
wanyama za Taifa za Mahale na Gombe, fukwe za Ziwa za mchanga na za wazi. Mji wa
Kigoma una hoteli nyingi za kitalii za gharama nafuu, malazi na chakula kizuri. Baadhi ya
hoteli hizi ni; Lake Tanganyika, Hill top, Coast View na Mwaka hill. Kwa kushirikiana na
Serikali kuu na wadau wengine tayari Wilaya imeanza kuboresha miundombinu ambayo
itavutia watalii zaidi katika siku zijazo.

Kuna Hoteli tatu za viwango vya juu zilizojengwa katika mbuga za wanyama za Taifa za
Mahale katika maeneo yanayovutia sana. Hizi ni pamoja na; Fly Catcher view Lodge,
Sinsidar Lodge na Kangwena safari Lodge kwenye Ufuko wa Ziwa Tanganyika katika
sehemu ya Kaskazini ya Wilaya ya Kigoma. Zipo pia Hoteli mbili za viwango vya juu
zilizojengwa kwenye Hifadhi ya Taifa ya Gombe ambazo ni; Hill top tented Camp, na
Gombe Hotel, zote mbili zikiwa kwenye Ufuko wa Ziwa Tanganyika katika sehemu ya
Kaskazini ya Wilaya ya Kigoma.

Hoteli zote hizi ni za gharama nafuu, malazi mazuri na chakula kizuri. Kihistoria, Kigoma ni
mwisho wa safari ya Dkt. Livingstone alipokuwa akisafiri kutoka Bagamoyo (Mkoa wa
Pwani), hivyo, tasnia ya utalii inahitaji kuendelezwa na kukuzwa katika Wilaya ya Kigoma
na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla.

Kuhusu utalii ambao unahusiana na kutazama wanyama, kuna maeneo mengi wilayani kama
vile; mbuga za wanyama za Taifa za Mahale na Gombe, Hifadhi za Wanyama pori za
Moyowosi – Kigosi, Hifadhi kubwa ya misitu, Maeneo ya hifadhi ya wanyama pori ya
Luganzo na Mfubasi. Vivutio vingine ni; Ziwa Tanganyika ambalo ni la pili duniani kwa kina
kirefu, kumbukumbu ya Dkt. Livingstone, Mv. Liemba ambayo ni meli ya zamani sana ya

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 20


Wajerumani (zaidi ya miaka 100 ambayo bado inafanya kazi), Eneo la ardhi oevu la Ramsar,
Chemchemi ya asili ya maji chumvi kandokando ya mto Luchugi katika Tarafa ya Uvinza, na
maporomoko ya maji ya Igamba Miembeni katika mto Malagarasi.

2.2.7 Madini

Wilaya ina utajiri mkubwa wa raslimali za madini, ambapo baadhi bado hayajachimbwa.
Madini maarufu yanayopatikana katika Wilaya hii ni pamoja na; Chumvi. Inachimbwa katika
Kata ya Uvinza, karibu Kilomita 110 kutoka Mji wa Kigoma. Uzalishaji wa wastani kwa
mwaka ni karibu tani 20,650.

Platinamu na Nikeli, Gallen na Shaba katika Kata ya Ilagala, Chokaa katika vijiji vya
Kazuramimba na Uvinza hupatikana kwa wingi katika kijiji cha Mgambazi, Gallen na shaba
katika Kata ya Ilagala, Chokaa katika vijiji vya Kazuramimba na Uvinza, na Dhahabu katika
Kata za Kalya na Buhungu. Migodi hii bado haijachimbwa kwa kiasi kikubwa.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 21


2.3 Uchanganuzi wa Wadau
Uchanganuzi na matarajio ya wadau umeelezwa kwa muhtasari kama ifuatavyo:

Jedwali 2.3.1 Uchanganuzi wa Wadau

(Tini: Upangaji wa Vipaumbele; J =Juu , K =Kati na C =Chini )

UPANGAJI
JINA LA MDAU ATHARI KAMA KWA
MATARAJIO MATARAJIO VIPAUMBELE
HAYAJAFIKIWA
(J,K&C)

JAMII  Kuboresha viwango vya -Kuendelea kwa umaskini. J


maisha ya jamii pamoja na
utoaji huduma za kiuchumi -Utoaji wa huduma
za jamii kwa wakati na kwa zisizotosheleza.
ufanisi.

JUMUIYA YA  Kuongezeka kwa mazao ya -Uzalishaji duni wa kilimo. J


WAKULIMA NA kilimo na mapato na
WAFANYA matumizi kibiashara. -Hasara kiuchumi
BIASHARA kutokana na kushindwa
 Kuboresha usafiri na kupata masoko.
mtandao wa mawasiliano.

SERIKALI KUU  Kutekeleza mkakati wa - Wananchi kuwa na C


(MOF, PMO-RALG, kupunguza umaskini, picha mbaya kwa
POPEE) NA RAS Kilimo, ufugaji, na sera za serikali, kiwango cha
ushirika, kufuata miongozo juu cha mfumko wa
ya ASDP. bei.

 Utumiaji wa soko la
pamoja la JAM, kufikia
kuwa na upatikanaji wa
kutosha wa chakula.

 Utekelezaji wa ilani ya
uchaguzi.

 Uthabiti mkubwa wa
uchumi na kuongeza kasi
ya ukuaji wa uchumi.

WATUMISHI WA  Mazingira bora ya kazi. Utendaji mbovu katika K


UMMA utoaji huduma.

AZISE NA WADAU  Kushirikiana na Utendaji mbovu katika K


WA MAENDELEO. Halmashauri ya Wilaya kutoa huduma.
katika kutoa huduma kwa
jamii (PPP).

WANASIASA  Kuboresha utoaji wa Kupoteza Imani ya C


huduma za jamii na

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 22


UPANGAJI
JINA LA MDAU ATHARI KAMA KWA
MATARAJIO MATARAJIO VIPAUMBELE
HAYAJAFIKIWA
(J,K&C)

kiuchumi kwa jamii. Wapiga kura

 Utawala bora Kuongezeka kwa mgogoro


wa kiitikadi
 Utekelezaji wa ilani ya
uchaguzi

VYOMBO VYA Habari nyingi nzuri za Sura mbaya ya C


HABARI kutolewa taarifa halmashauri

TAASISI ZA  Uandikishaji zaidi wa Uandikishaji mdogo C


KIELIMU wanafunzi kutokana na
kuongezeka kwa uwezo wa
kulipa ada

MDAs  Kushirikiana na Mamlaka Utoaji wa huduma mbaya J


ya Serikali za Mitaa kwa jamii
kutekeleza sera za nchi

VYAMA VYA  Kuongezeka kwa umuhimu Vyama visivyo hai K


USHIRIKA wa huduma za mikopo
midogomidogo na masoko

BUNGE  Utawala bora, amani na Kuyumba J


utulivu na utawala wa
sheria

KUNDI LILILO  Kuboresha huduma Utoaji wa huduma mbaya J


KATIKA maalum pamoja na fursa na kukosa fursa
MAZINGIRA kwa ajili yao
MAGUMU

WAFUGAJI  Kuongeza idadi na ubora Kuendeleza umaskini J


wa mifugo na bidha za
mifugo

TAASISI ZA FEDHA  Kuboresha shughuli za Kuongezeka kwa umaskini C


ukopeshaji

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 23


2.4 Uchanganuzi wa SAOC
UWEZO, MAENEO YA KUBORESHA, FURSA NA CHANGAMOTO

IDARA/SEHEM MAENEO YA
UWEZO FURSA CHANGAMOTO
U KUBORESHA

RASLIMALI  Timi yenye sifa  Kutokutoshelaza  Kupatikana  Kuongezeka


WATU NA kwa ofisi katika kwa wabia kwa kiwango
UTAWALA  Ari ya kazi katika maeneo ya wakuu wa cha uhamisho
timu vijijini kwa ajili maendeleo, wa
ya VEOs & wahisani na watumishi
 Kushirikiana
WEOs taasisi za fedha
majukumu na  Matatizo na
sehemu nyingine  Vifaa vichache  Kupatikana wafadhili
vya kazi kwa fursa za katika
 Mfumo
uwekezaji kutafuta
madhubuti wa  Wafanyakazi fedha
uongozi kutokuwa na  Ujenzi wa
unaoshuka hadi ufanisi katika miundombinu  Msingi
chini katika ngazi kutumia vifaa uliopendekezw mbovu wa
ya vijiji na vipya vya kazi a na kiuchumi
vitongoji. unaoendelea katika jamii
 Nyumba chache kv. Barabara ya
 Kuwepo kwa za wafanyakazi  Mifumo ya
Kigoma –
sheria katika maeneo ya mawasiliano
Dodoma,
ndogondogo vijijini na usafiri
Kiwanja cha
zilizoanzishwa isiyotoshelez
ndege nk.
katika ngazi za  Mawasiliano a kimkoa
wilaya na vijiji. baina ya idara  Aina za mali
yasiyotosheleza asili kv. Mbuga
za wanyama za
taifa, hifadhi za
wanyama pori

MIPANGO YA  Uongozi wa Idara  Uandikaji  Kuanzisha  Kuwa na


UCHUMI & una uzoefu usiotosheleza wa Kamisheni ya ratiba isiyo
TAKWIMU mkubwa katika ripoti za M&E, ya Taifa ya na uhakika ya
baadhi ya uandikaji wa Mipango kuwezesha
halmashauri mpango wa mipango na
biashara,  Kuimarisha utekelezaji na
 Idara ina mawasiliano ya uratibu baina utoaji taarifa
mchanganyiko kimkakati na ya Ofisi ya
wa jinsia na ujuzi wa Waziri Mkuu,  Kushuka
taaluma kushawishi RALG,Rs, kwa Uchumi
mbalimbali HAZINA na Duniani
kulingana na kazi  Mfumo NPC
za Idara usiotosheleza wa  Halmashauri
M&E  Kuwepo na kutegemea
 Idara ni imara Programu ya kwa kiasi
katika kuratibu  Kutokuwa na Misaada ya kikubwa

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 24


IDARA/SEHEM MAENEO YA
UWEZO FURSA CHANGAMOTO
U KUBORESHA

shughuli kubwa mawasiliano ya mabadiliko ya bajeti ya


za kitaifa na kutosha na Timu Milenia. Serikali
kieneo ya Wasaidizi Kuu/Wahisan
 Kuwepo kwa i/ na AZISE
 Mgao mkubwa  Vyanzo vya data miongozo ya
wa madaraka na visivyo na mipango ya  Takwimu za
ufanyaji kazi wa uhakika katika Kitaifa idadi ya watu
pamoja miongoni kutekeleza kazi zisizo na
mwa wanaidara za Idara  Kuwepo kwa uhakika kwa
huduma za ajili ya
 Timu ina wepesi  Maeneo ya ofisi ushauri katika mipango
wa kushirikiana yamechakaa na maeneo mapya kutokana na
na idara nyingine hayatoshi na ya shughuli za kumiminika
mara hivyo Serikali kwa
inaposhirikishwa kusababisha wahamiaji
msongamano wa  Kuwepo kwa
 wafanyakazi watu wa
katika ofisi Kigoma katika
Uongozi wa
juu wa PMO
RALG,
HAZINA na
NPC

 Utashi chanya
wa Rais na
Waziri Mkuu
katika kuisaidia
Kigoma

 Upatikanaji wa
wawekezaji
ambao wako
tayari
kuwekeza
Kigoma kv.
Madini, Benki,
Agric, NSSF,
TIB,
Machimbo ya
nk.

KILIMO,  Usimamizi wa  Timu ina mpango  Upatikanaji wa  Majanga ya


UMWAGILIAJ idara za juu una mkakati na Mkakati na asili
I NA VYAMA ushurikiano utekelezaji wa sera ya Kilimo

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 25


IDARA/SEHEM MAENEO YA
UWEZO FURSA CHANGAMOTO
U KUBORESHA

VYA mkubwa, ujuzi wa miradi Kwanza  Uhamaji wa


USHIRIKA mgawanyo wa usiotosheleza. mifugo
kazi na kufanya  Utayari wa kutoka
kazi kwa pamoja  Uratibu wa Suma JKT na kwenye
wadau wa sekta makampuni maeneo ya
 Malalamiko ya ndani hautoshi mengine ya ukame
machache sana kv. Sehemu za vifaa kufanya
kutoka kwa Ushirika, Ardhi, kazi Kigoma  Maendeleo
maofisa Kilimo na Biashara ya haraka na
wa Kata na Vijiji  Upatikanaji wa ufunguaji wa
kwenda Makao  Mpaka mvua za masoko bila
Makuu/DED usioeleweka kati kutosha na za ya mkakati
ya idara na idara kuaminika wa utayari
 Idadi kubwa ya mpya ya Mifugo
SACCOs, Vyama na Uvuvi  Upatikanaji wa  Serikali Kuu
vya Ushirika na Miradi ya pamoja na
Ubia.  Wakulima Kitaifa kv. Serikali za
hawalimi kilimo DASIP, Mitaa bado
 Kuwa na watoa cha kibiashara DADIP nk. hazijauelewa
huduma za ugani mfumo wa
76 wa ndani  Mfumo wa M&E  Upatikanaji wa
benki ya
usiotosheleza nguvu kazi ya
ardhi kwa
 Kuwepo kwa katika maeneo kutosha
ajili ya
vituo zaidi ya 4 makuu ya kuendesha
utekelezaji
vya kutolea matokeo ya sekta shughuli za
maarifa ya kilimo kilimo  Mifumo
 Mashine chache
mibovu ya
 Upatikanaji wa kwa ajili ya  Uhaba wa ardhi
zana za
maeneo ya ardhi kuwezesha nchini Burundi
Kilimo
kwa ajili ya kilimo cha kisasa na muda na
inayofaa hali
kuanzisha utayari wa
 Miundo na ujuzi ya hewa ya
mipango ya Kongo wa
usiotosha Kigoma
umwagiliaji kushiriki katika
kuhakikisha kuna kilimo  Uchumi
 Timu ina urahisi utoshelevu wa
hafifu wa
wa kushirikiana chakula kipato  Upatikanaji wa
wakulima
na idara nyingine kwa ajili huduma za
na kuchukua wananchi kwa mikopo za  Milipuko wa
majukumu ya mwaka mzima Taifa magonjwa ya
nyongeza mazao na
 Upatikanaji ya wadudu wa
wa ardhi ya mifugo
kutosha yenye
rutuba
isiyotumika

MIFUGO NA  Uongozi wa Juu  Upangaji wa  Upatikanaji wa  Uhamaji wa

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 26


IDARA/SEHEM MAENEO YA
UWEZO FURSA CHANGAMOTO
U KUBORESHA

UVUVI una wahitimu wote kimkakati na ujuzi masoko nchini mifugo


kwa sekta zote wa miradi ya Burundi, Kongo
mbili na utekelezaji na Zambia  Maendeleo
wanawajibika visivyotosha ya haraka na
katika kazi zao  Ardhi ya kutosha kufungua
 Uratibu usiotosha kwa ajili ya masoko bila
 Sekta zote mbili wa wadau wakuu mifugo na ziwa, ya mkakati
zina maofisa wa ndani wa sekta mito na wa utayari
kilimo na asasi hususan katika mabwawa kwa
(BMU za kutosha LLGAs ajili ya uvuvi  Kuwepo kwa
maharamia
na Umoja wa
 Mipaka isiyo  Upatikanaji wa katika Ziwa
Wafugaji) Tanganyika.
dhahiri katika kazi Miradi ya Kitaifa
 Kuwepo kwa kati ya idara na ya DASIP,
 Hasara
watoa huduma za idara mpya ya DADIP nk kubwa baada
ugani 76 katika Kilimo DNROLU ya mavuno
eneo Upatikanaji wa katika bidhaa
 Data na huduma za za uvuvi
 Timu ina urahisi miundombinu mikopo za Taifa kutokana na
wa kushirikiana na isiyoaminika kwa teknolojia
idara nyingine na ajili ya kusaidia  Ushirikiano wa duni
kuchukua sekta zote mbili kitaasisi na SIDO  Hatari ya
na VETA katika mabadiliko
majukumu ya
 Mfumo wa M&E shughuli za ya tabia nchi
nyongeza
usio na ufanisi maendeleo
 Majanga
katika maeneo ya asilia
matokeo muhimu  Kuwepo kwa
ya sekta spishi tofauti za
samaki hivyo  Migogoro
 Idadi isiyodhibitika kupanua soko baina ya
ya mifugo wafugaji
&watumiaji
wengine wa
ardhi
ARDHI  Kuwepo kwa  Hakuna gari la  Maeneo ya  Majanga ya
MALIASILI maofisa wenye kuwezesha kwenda kutosha asili na
NA uzoefu na HoD sehemu yasiyokaliwa yanayosababis
MAZINGIRA wapya wenye mbalimbali yenye ramani na hwa na
uzoefu yasiyo na ramani binadamu
 Upungufu wa vifaa
 Timu inaweza vya ugani mfano  Kuwepo kwa  Utoaji mdogo
kubadilika na mahema asasi ya ardhi wa wataalamu
wakati wote Tabora karibu na nchini
inaomba kufanya  Mipaka isiyo wazi mkoa wetu
kazi na idara katika shughuli  Uhamaji wa
kati ya idara na  Kuwepo kwa mifugo na watu

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 27


IDARA/SEHEM MAENEO YA
UWEZO FURSA CHANGAMOTO
U KUBORESHA

nyingine idara mpya ya AZISE iliyo  Mfumo wa


Mifogo na uvuvi, tayari kufanya hifadhi ya
 Mipango kitengo cha kazi na ardhi bado
muhimu na vifaa Ufugaji nyuki na Halmashauri haujaeleweka
vya upimaji mazingira katika sekta na Serikali Kuu
vinapatikana ndogo zote pamoja na
pamoja na  Maofisa katika Serikali
kompyuta za wanasambazwa na  Masoko za Mitaa kwa
kutosha hakuna ofisi ya makubwa ya ajili ya
umiliki wa usajili ndani na ya utekelezaji
 Ushirikiano wa ardhi ya kimataifa ya
imara kati ya halmashauri. bidhaa ndogo
Wafanyakazi
mwega na HoD  Mifumo isiyofaa  Ushirikiano na
wao ya Ufuatiliaji & uratibu wa
Tathimini katika NEMC
 Asasi za misitu maeneo ya
zenye utaratibu matokeo muhimu  Huduma za
katika kijiji ya sekta mikopo ya taifa
kupatikana ili
 Kuwepo kwa  Usimamiaji duni kugharimia
maofisa wapya wa ardhi katika kueneleza sekta
wa utalii wenye ngazi ya kijiji ndogo zote
sifa na ujuzi ili katika maeneo
kuendeleza utalii yaliyopangwa
wakiongeza
thamani katika  Usimamizi duni
sekta ndogo zote katika fuko za ziwa

 Wafanyakazi
wachache katika
menejimenti ya
ardhi,
wanyamapori na
misitu

 Utaratibu mbaya
wa ufuatiliaji wa
kodi ya ardhi ya
Halmashauri

UJENZI  Timu ina uzoefu  Kuna gari moja tu  Huduma za  Kutotosheleza


wa kutosha wa kwa ajili ya mikopo za taifa kwa msaada
ugani kwa maeneo shughuli za ugani zinapatikana wa Rs katika
yote na za kiofisi kugharimia na kusimamia kazi
kuendeleza sekta za idara
 Timu ina vifaa vya  Mipaka isiyo wazi

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 28


IDARA/SEHEM MAENEO YA
UWEZO FURSA CHANGAMOTO
U KUBORESHA

kutosha vya katika shughuli  Kuwepo kwa  Utoaji mdogo


kufanyia kazi kati ya idara na vifaa na njia wa wataalamu
Idara ya Jumuiya mbadala za nchini
 Mafundi wa ndani na PMU ujenzi mfano
wasiotosheleza matofali  Msaada duni
ambao wanaweza  Usimamizi wa wa taasisi za
kupata mafunzo mkataba  Kuwepo kwa njia Serikali kuu
usiotosheleza mbadala za kama
 Utayari wa Timu usafiri mfano, TAMESA,TTC
kwa ajili ya  Mfumo wa M&E njia ya reli, ya L,TANESCO
mabadiliko na usio na ufanisi majini na anga
maboresho katika maeneo ya  Majanga ya
matokeo muhimu  TANROAD asili na
 Idara zina nafasi ya sekta kuwa tayari yanayosababis
ya kutosha kwa kushirikiana na hwa na
ajili ya shughuli za  Kutojihusisha halmashauri, binadamu
nje na za ofisini ipasavyo kwa jamii mfano
kabla na wakati wa kushirikiana
 Timu ina ujuzi wa utekelezaji rasilimali watu,
kompyuta
taarifa, huduma
 Utunzaji mbaya wa
za maabara n.k.
kumbukumbu na
mawasiliano na  Kupatikana kwa
Idara nyingine, fedha kutoka
hasa PMU na mfuko wa
Mipango barabara na
vyanzo vingine

PMU  Timu ina uzoefu  Wajumbe wa Timu  Kuwepo kwa  Kushuka kwa
wa kutosha wa walio wengi miongozo na kuaminiwa
ugani katika wanapaswa hatua za wazi kwa watoa
maeneo yote kuripoti katika huduma
Idara zao za sekta,  Kuwepo kwa kutokana na
 Timu HoD na HPMU huduma za deni kubwa
imechanganya mtandaoni
jenda  Zana na vifaa vya  Kwa sasa kuna
kufanyia kazi  Kuwwepo kwa ushindani
 Walio wengi havitoshi asasi za udhibiti mdogo
katika Timu kama vile GPSA miongoni mwa
wanafahamu  HPMU anakaimu watoa huduma,
kompyuta na bado  Kuwepo kwa njia
na makandarasi
hajateuliwa tofauti za usafiri,
 Mazingira ya kazi wa reli, majini,  Utoaji mdogo
ni mazuri  Mawasiliano duni barabarana anga wa wataalamu
kati ya ili kuwezesha

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 29


IDARA/SEHEM MAENEO YA
UWEZO FURSA CHANGAMOTO
U KUBORESHA

wafanyakazi wa usafirishaji wa katika nchi


PMU na idara vifaa
nyingine vilivyonunuliwa  Ukosefu wa
elimu ya
 Mfumo wa M&E  Msaada wa ununuzi kwa
usio na ufanisi PPRAS katika watoa huduma
katika maeneo ya kudhibiti
matokeo muhimu taratibu,
ya sekta michakato na
viwango
 Wajumbe wa timu
hawana majukumu
ya kazi

BIASHARA  Vyanzo kadhaa  Vifaa na zana za  Kuwepo kwa  Utoaji mdogo


NA FEDHA muhimu vya fedha kufanyia kazi msaada kutoka wa wataalamu
kubainishwa havitoshi HAZINA,NBBA wa kiwango
na CAG katika cha juu katika
 Kuwepo kwa  Wajumbe wa timu kudhibiti taratibu nchi
mfumo wa hawana ujuzi wa za fedha
EPICOR kusaidia aina nyingi  Viwango vya
malipo  Kuwepo kwa maadili
 Utunzaji miongozo na vilivyoshuka
 Wajumbe wa kumbukumbu na hatua za wazi katika ngazi ya
Timu walio wengi mawasiliano duni chini ya
wanafahamu na wadau wa ndani  Uzalishaji mamlaka ya
kompyuta na nje mkubwa wa serikali
nguvu kazi kwa
 Timu  Mfumo wa M&E kada ya kati na  Ukosefu wa
imechanganya usio na ufanisi ya chini elimu ya
jinsia kwa uwiano katika maeneo ya biashara kwa
matokeo muhimu  LACC na wafanyabiashar
 Umahiri mzuri ya sekta Ukaguzi a
katika utunzaji mwingine wa
hesabu  Mtandao wa kudhibiti  Imani za
intaneti usio imara zinadhibiti kishirikina
 Uongozi wa juu kuweza kusaidia mfumo katika shughuli
una uzoefu wa mifumo ya za biashara
kutosha EPICOR na  Huduma za
Lawson mikopo za Taifa  Ukaidi wa
kuwepo ili jumuiya ya
 Mifumo duni na kugharimia na wafanyabiashar
miundombinu kuendeleza sekta a kulipa ushuru
michache za Uchumi wa soko
kuwezesha
ukusanyaji wa kodi  Kuwepo kwa
huduma za

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 30


IDARA/SEHEM MAENEO YA
UWEZO FURSA CHANGAMOTO
U KUBORESHA

 Idadi na ubora mtandao na Rs


usiotosheleza wa kwa ajili ya
wafanyakazi katika kusaidia shughuli
sekta ya biashara za EPICOR

 Umahiri
usiotosheleza
katika usimamizi
wa fedha na
uwekezaji pamoja
na katika
kuendeleza
biashara na
uwekezaji

MAENDELEO  Wajumbe wa timu  Kutojituma vya  Kuwepo kwa  Wahisani wa


YA WATU NA wanaweza kutosha kwa miongozo ya kimataifa
USTAWI WA kuendana na wafanyakazi katika wazi, hatua na wasioratibiw
JAMII mabadiliko na ngazi ya chini ya sera a kuwasiliana
mazingira ya Serikali moja kwa
kufanyia kazi na  Kuwepo kwa moja na jamii
jamii  Ujuzi wa vikundi vya
maandalizi ya vijana na  Ushawishi
 Nafasi ya kutosha mradi wanawake wa kisiasa
ya ofisi kwa ajili usiotosheleza
ya kufanyia kazi  Programu za  Majanga ya
 Vifaa na zana za taifa za asili mfano
 Wajumbe wa timu kazi TACAID na mafuriko,
ukame n.k.
walio wengi zisizotosheleza TASSAF
wanafahamu kuzisaidia Idara  Kuchelewesh
kompyuta  Mfumo wa M&E
wa kwa fedha
usio na ufanisi  Kuwepo kwa kutoka
 Timu ina katika maeneo AZISE zilizo serikalini
mchanganyiko wa muhimu ya tayari kwa ajili ya
jinsia wenye utekelezaji wa kushirikiana na shughuli za
uwiano matokeo idara idara

 Menejimenti ya  Utunzaji  Kuwepo kwa


juu ina uzoefu wa kumbukumbu na udongo unaofaa
kutosha katika mawasiliano duni na ardhi
inayotumika
utaalamu na na wadau wa ndani
kwa ajili ya
maeneo ya na nje vikundi vya
kufanyia kazi kilimo

ELIMU –  Kuanzishwa kwa  Mazingira duni ya  Programu ya  Mchango duni


SEHEMU YA

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 31


IDARA/SEHEM MAENEO YA
UWEZO FURSA CHANGAMOTO
U KUBORESHA

MSINGI NA sekta ya elimu kufanyia kazi na ya Taifa ya LCDG wa wenyeji


SEKONDARI isiyo rasmi ili kuishi kwa na TASAF katika
kuendeleza elimu wafanyakazi katika kusaidia idara maendeleo ya
ya sekondari ngazi ya chini mbalimbali elimu

 Vijiji vilivyo vingi  Ujuzi wa  Uwezekano wa  Mtazamo hasi


vina michezo ufundishaji kupata wa jamii katika
(Timu ya mpira usiotosheleza kwa wafanyakazi wa elimu
wa miguu na wafanyakazi wa nyongeza kupitia
kikundi cha ngazi ya chini programu za  Imani za
utamaduni) kubadilishana za uchawi
 Mfumo wa M&E kimataifa
 Malalamiko na
 Ushirikiano imara usio na ufanisi
 Kuwepo kwa masharti ya
na timu ya kazi katika maeneo
vyama vya
baina ya Idara za muhimu ya wanazuoni wa wafanyakazi na
Elimu ya matokeo ya Kigoma vikundi rika
sekondari utekelezaji wanaotaka
kujitolea kutoa  VVU/UKIMW
 Idara ina vifaa vya  Vifaa vya huduma zao I ambao
ofisi vya kutosha kufundishia na unaathiri nguvu
kujifunzia  Kuwepo kwa kazi za idara
 Menejimenti ya visivyotosheleza vyuo vya walimu
juu ina uzoefu wa  Uhaba wa walimu na Vituo vya
katika ngazi zote
kutosha katika Kupatia Maarifa
mbili, msingi na
utaalamu na sekondari vya Walimu
maeneo ya  Mfumo duni wa
kufanyia kazi mawasiliano

 Kamati/Bodi za
shule zinazofanya
kazi kikamilifu

 Kuwepo na
kutolewa kwa
ruzuku maalumu
kwa kila mtu
 Kuwepo kwa
umeme wa jua
katika shule za
sekondari zilizo
nyingi
 Kuwepo kwa
Maabara
zinazohamishika
MAZINGIRA,  Sekta ni miongoni  Hakuna ofisi  Mafanikio ya  Majanga ya
AFYA NA mwa maeneo ya iliyobainishwa kwa Rwanda katika asili na
USAFI vipaumbele ajili ya Idara eneo la usafi yanayosababis

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 32


IDARA/SEHEM MAENEO YA
UWEZO FURSA CHANGAMOTO
U KUBORESHA

vikubwa vya  Hakuna uongozi yanatoa jukwaa hwa na


Halmshauri hivyo wa Idara (HoU) kwa idara binadamu
kutoa uzingativu kujifunza mbinu
maalumu  Vifaa na zana za zao  Ukosefu wa
kufanyia kazi vyuo vya
 Huduma za usafi zisizotosheleza  Kuwepo kwa ufundi vya
zina bajeti AZISE zilizo kutosha
mahususi katika  Mfumo wa M&E tayari
idara ya afya usio na ufanisi kushirikiana na  Ukosefu wa
katika maeneo idara viwanda kwa
 Idara ina muhimu ya ajili ya
mchanganyiko wa matokeo ya  Uwezekano wa kurejeleza
jinsia wenye utekelezaji Idara bidhaa za
uwiano kuchangisha plastiki
 Ujuzi fedha kutoka
usiotosheleza vyanzo vya afya  Ufahamu
katika kutekeleza na mazingira mdogo wa
shughuli za jamii ya
urejelezaji na  Kuwepo kwa wenyeji kuhusu
uchambuzi miongozo na masuala ya
Hatua na sera mazingira na
zilizo wazi usafi

AFYA  Ufuataji wa  Fursa za mafunzo  Upangaji wa  Usafirishaji wa


kiwango cha juu na ufundishaji tena watumishi kutoka magonjwa
katika kutekeleza zisizotosheleza serikali kuu kutoka nchi za
programu za afya jirani
kulingana na  Ushirikiano duni  Kuwepo kwa
miongozo kutoka katika sera na miongozo  Ushawishi wa
sehemu/idara katika programu kisiasa
 Kuwepo kwa idadi
zinazosaidia hivyo za sekta ya afya
ndogo ya  Majanga ya
wafanyakazi kuathiri utendaji
 Kuwepo kwa asili
wenye sifa na wa programu za
wabia wa
waliopata mafunzo afya
kufanya nao kazi  Kutoa kwa
(AZISE) wakati usiofaa
 Vituo vya afya  Ugharimiaji fedha kutoka
kuwepo katika kila mdogo katika Serikalini ili
programu za afya  Unyeti wa sekta
kijiji kutekeleza
katika programu
 CHMT kufanya za Serikali hivyo miradi ya afya
kazi katika timu  Idadi kubwa ya
kupewa
wafanyakazi wasio
yenye ari nzuri kipaumbele
na mafunzo katika
ngazi ya
uendeshaji  Kuratibu
viongozi kama
MSD

UKAGUZI WA  Wafanyakazi  Bajeti ndogo  Mwongozo na  Ukosefu wa

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 33


IDARA/SEHEM MAENEO YA
UWEZO FURSA CHANGAMOTO
U KUBORESHA

NDANI wenye sifa na katika kuwezesha Hatua ya wazi uaminifu


mahiri katika idara kazi za kitengo kusimamia miongoni mwa
kwenye ngazi za shughuli za Idara wanajamii
 Kazi nzuri ya kijiji
pamoja na  Kuwepo kwa  Kiwango
ushirikiano  Vifaa na huduma mamlaka za kikubwa cha
miongoni mwa za kazi usimamizi kama udanganyifu na
wanaidara visivyotosheleza vile wa Mdhibiti ukosefu wa
na Mkaguzi maadili katika
 Taratibu za ndani  Ukosefu wa Mkuu wa serikali jamii
zinazofaa kufanya majengo ya ofisi (GAG), NBAA  Utoaji wa
kazi  Baadhi ya vijiji n.k. wakati usiofaa
kuwa ndani sana wa fedha
 Kuwepo kwa na ugumu wa  Kuwepo kwa zilizotengwa
msaada na kuvifikia asasi za mafunzo kutoka serikali
ushirikiano ndani nchi nzima ili kuu
ya idara kutoa wataalamu
mahiri
SHERIA  Mtaalamu wa  Vifaa vya  Kuwepo kwa  Kushuka kwa
Sheria mwenye kufanyia kazi sheria za nchi na mtazamo wa
ujuzi visivyotosheleza sera, miongozo maadili na
na kanuni za kuenea kwa
 Ushirikishanaji  Kiwango kidogo sekta vitendo vya
mzuri wa cha wafanyakazi udanganyifu
majukumu na  Kuwepo kwa katika jamii
sehemu nyingine  Fursa chache za asasi nyingine ili
mafunzo ya kusaidia utawala  Ukosefu wa
 Mfumo imara wa kujiendeleza na bora na utawala elimu na
kisheria na kozi fupi wa sheria kama taratibu za
kiutawala ili kuongeza ujuzi vile Tume ya sheria kwa
kusimamia wa sheria Kudhibiti na wanajamii
shughuli Kupambana na walio wengi
mbalimbali. Rushwa (PCCB),
Jeshi la polisi  Mabadiliko ya
 Kuwepo kwa uwanja wa
n.k.
sheria sheria
ndogondogo  Idadi ya asasi za kuhusiana na
zilizoanzishwa na mafunzo kutoa sheria na
kanuni nyingine wafanyakazi wa kanuni.
katika ngazi ya sheria wenye
wilaya na kijiji. ujuzi

TEHAMA Kuwepo kwa Ongezeko la idadi ya Wachuuzi wa Wataalamu wa


wafanyakazi wafanyakazi miundombinu ya kompyuta.
wataalamu wa TEHAMA
TEHEMA. Uandaaji wa tovuti ya Kutofaa kwa
halmashauri ya TTCL mfumo wa M&E
katika maeneo

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 34


IDARA/SEHEM MAENEO YA
UWEZO FURSA CHANGAMOTO
U KUBORESHA

Wilaya Mshauri mwelekezi muhimu ya


wa TEHAMA. utekelezaji wa
Ufungaji mitandao ya matokeo.
mawasiliano baina ya
idara. Hakuna mkuu wa
sehemu
Msaada wa mfumo,
huduma na mafunzo Kujihusisha
ya mtumiaji wa kusikofaa katika
mwisho. utoaji uamuzi
ngazi ya juu
kuhusiana na
sehemu ya
TEHAMA

UCHAGUZI  Watumishi wasio  Kuwepo kwa  Watumishi


na sifa wabia wakuu wachache
 Uzoefu mkubwa wa maendeleo, wenye sifa
katika Serikali za  Ukosefu wa ofisi wahisani na
Mitaa, na kuu na ofisi za asasi za fedha  Mazingira
Uchaguzi Mkuu kufanyia kazi magumu ya
zisizotosheleza  Miundombinu kupata fedha
 Ushirikishanaji maeneo ya iliyopendekezw kutoka kwa
mzuri wa vijijini kwa a na wafadhili
majukumu na VEOs & WEOs inayoendelea
sehemu nyingine kujengwa  Ujumuishaji
 Vifaa vya mfano,barabara wa siasa
 Kuwepo kwa kufanyia kazi wakati wa
ya Kigoma–
sheria za visivyotosheleza utaratibu wa
Dodoma,
uchaguzi, uchaguzi
Uwanja wa
miongozo na  Wafanyakazi
ndege n.k.
kanuni. wapya kutomudu  Mifumo ya
kutumia zana za mawasiliano
kufanyia kazi na usafiri
isiyotoshelez
 Gharama a kimkoa
pungufu wakati
wa uchaguzi wa  Gharama
Serikali za Mitaa zisizotoshele
za wakati wa
uchaguzi
mkuu

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 35


SURA YA TATU

DIRA, DHAMIRA, MALENGO NA MAADILI YA MSINGI

3.0 Utangulizi

Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni miongoni mwa wilaya za Tanzania ambayo ilianzishwa


mwezi Julai1984. Kijiografia, Wilaya iko katika latitudo 4º25 na 6º30 Kusini na kati ya
longitudo 29º45 na 31º30 Mashariki. Wilaya imepakana na Burundi upande wa Kaskazini,
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo upande wa Magharibi na Kusini inapakana na Mkoa wa
Rukwa.

3.1. Dira

Dira ya Halmashauri ni: “inaazimia kuwapatia wakazi wake maendeleo endelevu pamoja na
miundombinu iliyoboreka, mawasiliano na upatikanaji wa huduma za kijamii na kiuchumi
ifikapo 2025”

3.2 Dhamira
Dhamira ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni “kuimarisha uwezo wake yenyewe na ule
wa taasisi za kijamii ili kuweza kutoa huduma bora za kijamii na kiuchumi na miundombinu
inayofaa kwa kushirikiana na wabia wengine wa maendeleo ndani ya vigezo vya utawala
bora”.

3.3 Maadili ya Msingi

Ili Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ijenge mazingira mazuri na kutimiza Dira na Dhamira
yake, maadili ya msingi yafuatayo ni muhimu sana na yataiongoza Halmashauri katika
kufikia malengo yake:

 Matumizi yanayofaa ya rasilimali zilizopo: kuhakikisha rasilimali zinazomilikiwa na


Halmashauri zinatumiwa ipasavyo na kwa manufaa kwa kulenga maeneo ya
kipaumbele.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 36


 Kuongeza ushiriki wa jamii: Kuongeza na kuendeleza msaada na ushirikiano wa
jamii katika kufanya shughuli mbalimbali za maendeleo.

 Kazi ya pamoja: Kufanya kazi wakati wote katika shughuli mbalimbali kama timu ili
kuwa na tija ya hali ya juu kwa kutumia kiasi cha rasilimali cha kutosha.

 Utawala bora: Kuhakikisha utawala bora katika ngazi zote za utawala kwa kulenga
katika ushirikiano wa haki na usawa na wadau wote.

 Kujituma kwa kiasi kikubwa katika utoaji huduma: kuweka jitihada za kujitolea
katika kutoa huduma kwa jumuiya pamoja na msisitizo katika ubora.

 Uadilifu: Kuwa mfano katika mwenendo wetu na kufanya kazi kwa uaminifu na bila
ya upendeleo katika shughuli zetu zote.

 Uwazi: Kuwa wazi katika kazi na shughuli zetu zote na kuwa tayari kwa uchunguzi
wa umma.

3.4 Maeneo ya Matokeo muhimu (KRAs)

Haya ni maeneo ya matokeo au maoni muhimu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma. Kwa


maneno mengine haya ni maeneo ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma inatafuta
kupata matokeo kwa manufaa ya jamii nzima. KRA yaliyobainishwa kwa Halmashauri ya
Wilaya ya Kigoma yanajumuisha yafuatayo:

1. Kuongeza vyanzo vyake vya mapato katika halmashauri


2. Huduma nzuri za kijamii na kiuchumi.
3. Ushiriki wa jamii katika kubainisha vipaumbele vyao vya maendeleo katika wilaya.
4. Matumizi yanayofaa ya rasilimali za umma
5. Kuwepo kwa utawala Bora
6. Kuendeleza Amani na Usalama
7. Kuongeza matumizi endelevu ya maliasili na usimamizi wa mazingira
8. Kiwango cha ubora wa huduma kilichoimarishwa

3.4.1 Kuongeza vyanzo vyetu vya mapato katika Halmashauri

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 37


Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma inapata fedha kutoka Serikali Kuu kupitia bajeti ya
mwaka kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo. Hata hivyo, fedha
kutoka katika chanzo hicho hazitoshi kutoa huduma kwa wanajamii wote matokeo yake
Halmashauri imekuwa ikitumia vyanzo vya mapato vilivyopo ili kuzalisha fedha za ziada ili
kuwezesha utoaji wa huduma kwa wanajamii zaidi. Katika miaka ya hivi karibuni gharama za
kutoa huduma na wingi wa huduma zinazotakiwa vimeongezeka kwa kiasi kikubwa kutokana
na mfumuko wa bei na kuongezeka kwa watu. Kwa hali hiyo, moja ya Maeneo Muhimu ya
Matokeo ya Halmashauri ni kutafuta vyanzo vipya vya mapato ili kuongeza fedha kwa ajili
ya kutoa huduma bora kwa wanajamii.

3.4.2 Huduma nzuri za kijamii na kiuchumi:

Hali ya utoaji huduma inaridhisha kwa watu walio wengi katika Wilaya. Katika sekta ya
Elimu, uandikishaji wa watoto uko katika asilimia 86. Uwiano wa wanafunzi kwa darasa
katika shule ya msingi ni 1:80 ambao uko juu kuliko kiwango cha taifa cha 1:40. Uwiano wa
dawati moja kwa wanafunzi ni 1:5 ambao uko juu kuliko kiwango cha taifa. Uwiano wa
mwalimu kwa wanafunzi kwa sasa ni 1:56; uwiano wa kitabu kwa mwanafunzi mmoja ni 1:6
badala ya 1:1 kiwango cha taifa.

Wakazi wa halmashauri ya mji wanaopata huduma ya maji ndani ya mita 400 wako 345,276
(53.1%) ya jumla ya idadi ya watu. Katika kuboresha huduma za kijamii na kiuchumi,
Mpango Mkakati wa miaka mitano unadhamiria kuongeza huduma katika sekta za Elimu,
Afya, Maji na miundombinu ya Usafiri na nyingine.

3.4.3 Ushiriki wa Jamii katika Ubainishaji wa Vipaumbele vya Maendeleo ya Wilaya:

Ushiriki wa jamii katika mipango, usimamizi na utekelezaji wake ni moja ya vigezo katika
mipango endelevu na ushiriki. Halmashauri ya Wilaya imekuwa ikiiwezesha jamii na
viongozi wake katika mchakato mzima wa ubainishaji wa vipaumbele vya maendeleo kupitia
utoaji wa mafunzo katika mipango shirikishi.

Lengo la halmashauri ya wilaya ni kuanzisha na kuboresha mafunzo hayo kwa viongozi wa


ngazi ya kijiji na kata, ili kuimarisha kiwango cha ushiriki wa jamii katika kubainisha
vipaumbele vya maendeleo yao kwa uendelevu.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 38


3.4.4 Matumizi yanayofaa ya Rasilimali:

Halmashauri ya wilaya ya Kigoma imejaliwa rasilimali mbalimbali kama vile ardhi yenye
rutuba kubwa, mifugo, hifadhi ya wanyama pori na vivutio vya utalii, ziwa Tanganyika,
madini na rasilimali watu. Halmashauri ya wilaya inadhamiria kuboresha na uongezaji wa
jamii kumiliki na kutumia rasilimali zilizopo kwa busara kwa maendeleo endelevu.

3.4.5 Utekelezaji wa Utawala Bora:

Halmashauri ya wilaya imekuwa ikitekeleza mihimili ya utawala bora kwa kuimarisha na


kuwahusisha wananchi kikamilifu katika ufanyaji uamuzi kupitia mikutano mbalimbali.
Lengo la halmashauri ya wilaya ni kuongeza demokrasia, uadilifu, ushiriki, utawala bora na
utawala wa sheria.

3.4.6 Kuendeleza Amani na Usalama


Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma imekuwa ikihamasisha amani na usalama ili kuhakikisha
jamii inaishi katika uelewano hasa ukichukulia ukweli kwamba wilaya imepakana na nchi
zilizokumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe kama Burundi na Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo. Kwa hali hiyo, uendelezaji wa amani na usalama ni moja ya KRA
muhimu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.

3.4.7 Kuongeza matumizi endelevu ya rasilimali na usimamiaji wa mazingira.


Matumizi ya maliasili yanaongezeka kutokana na maendeleo ya teknolojia. Matumizi
endelevu ya maliasili, usimamizi wa mazingira na shughuli za usafi vinasisitizwa katika
maeneo ambako kuna uchimbaji wa madini. Kama sheria inavyotaka, utekelezaji wa sheria za
mazingira unafanyika katika shughuli za maendeleo zinazofanyika katika wilaya ili
kuhakikisha athari zinapunguzwa. Jamii ya Kigoma inasisitizwa kufuata taratibu za usafi ili
kuwalinda na athari za kiafya.

3.4.10 Kuongeza kiwango cha Huduma Bora

Ili kuhakikisha kufaa, ufanisi na uwazi katika utoaji huduma kwa jamii, Uongozi wa
Halmashauri ya Kigoma na wafanyakazi wanawajibika katika ari ya kufanya kazi kwa
pamoja. Halmashauri imeandaa mkataba wa huduma kwa mteja ambao utaziongoza idara
mbalimbali za Halmashauri na vitengo katika utoaji wa huduma.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 39


3.5 Malengo ya Pamoja

Katika kipindi cha Mpango Mkakati huu, Halmashauri inajitahidi kufikia malengo
yafuatayo:-

A. Kiboresha huduma na kumpunguza maambukizo ya VVU/UKIMWI


B. Kuongeza, kuendeleza na utekelezaji unaofaa wa Mkakati wa Taifa wa Kupambana
na Rushwa
C. Kuboresha upatikanaji, ubora na usawa wa utoaji wa huduma za jamii
D. Kuongeza wingi na ubora wa huduma za jamii na miundombinu
E. Kuendeleza utawala bora na huduma za utawala
F. Kuboresha ustawi wa jamii, jinsia na uwezeshaji wa jamii
G. Kuboresha usimamizi wa dharura na majanga

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 40


SURA YA NNE

MALENGO MKAKATI, SHABAHA NA MIKAKATI


4.0 Utangulizi
Jedwali hili linaeleza uhusiano kati ya Malengo ya Pamoja, Malengo Mkakati, shabaha za utendaji, mikakati, viashirio muhimu vya
utendaji, njia za uthibitisho pamoja na ofisa anayehusika kwa kila mkakati uliyotajwa. Ni kutokana na jedwali hili ambapo shughuli
zitaandaliwa kwa kuzingatia mikakati kwa kila lengo. Shughuli zitaunda sehemu ya utekelezaji wa mikakati hivyo kuongoza katika
uandaaji wa bajeti.

4.1 IDARA: MIPANGO


Lengo la Pamoja: Kuimarisha upatikanaji wa utoaji wa huduma za jamii zilizo bora na zenye usawa.
NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio Njia za uthibitisho Ofisa
muhimu vya anayehusika
utendaji

1 Upatikanaji, Ubora na Kuongeza idadi ya - Kuhusisha serikali Mipango 33 ya -Kuwepo kwa


utoaji wa huduma zenye vijiji ambavyo za vijiji & kata vijiji kuandaliwa mipango 78
usawa kuimarishwa kwa vinaweza kuandaa kupitia mikutano ya -Kuwepo kwa DPLO
kushauriana (VEOs, kumbukumbu za
asilimia 80 ifikapo Juni mipango yao
WEOs) kwa kutumia vijiji na kata
2017 vyenyewe kutoka 45 chombo cha O& OD.
hadi 78 ifikapo 2017

Kuongeza miradi -Kuihusisha jamii -Miradi 500 Kuwepo kwa miradi


inayotekelezeka kupitia kamati ya kuanzishwa mbalimbali 500
katika wilaya ujenzi ya kijiji, chini Kumbukumbu za DPLO
kutoka 150 hadi 750 ya usimamizi wa serikali za vijiji na
ifikapo 2017 WEOs naVEOs. WDC
-Ripoti za Mradi
Kuongeza idadi ya -VEOs & WEOs -Ripoti za Kuwepo kwa ripoti
miradi kusimamia miradi maendeleo za za robo mwaka
inayosimamiwa yote katika maeneo

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 41


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio Njia za uthibitisho Ofisa
muhimu vya anayehusika
utendaji

kutoka 150 hadi 750 yao miradi DPLO


ifikapo 2017 -Timu ya
Ufuatiliaji&Tathimini
ya Wilaya
Uandaaji wa -Kuhusisha -Nyaraka za -Kuwepo kwa
Mpango wa Bajeti idara/sehemu Bajeti waraka wa MTEF
ya Mwaka kwa nyingine zote na -Kumbukumbu za DPLO
wakati kila mwaka ushiriki wa jamii bajeti ya Baraza
hadi 2017 katika mchakato wa -DCC, baraza la
bajeti wafanyakazi na
kumbukumbu za
RCC
Uandaaji kwa wakati -Kuwahusisha WEOs Ripoti za -Kuwepo kwa nakala
(robo mwaka) wa na Idara/Sehemu utekelezaji wa za ripoti
ripoti za utekelezaji nyingine katika miradi -Barua ya DPLO
wa mradi ifikapo uandaaji wa ripoti kukubali/utambuzi
2017 kwa wakati &
uwasilishaji
-M&E robo mwaka

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 42


4.2 IDARA: MAENDELEO YA JAMII
Lengo la Pamoja: Kuboresha ustawi wa jamii, jinsia na uwezeshaji wa jamii
NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio Vikuu vya Njia za Ofisa
Utendaji Uthibitisho Anayehusika
1. Kuongeza idadi ya Kamati za watoto -Kuendesha mikutano - Kuanzishwa kwa -Idadi ya MVCC SWO
Kamati za Watoto walio walio katika 50 ya kuongeza MVCC 68 kuanzishwa
katika Mazingira mazingira magumu uelewa na VGs ,
- Kuendeshwa kwa -kumbukumbu za
magumu zaidi kutoka zaidi kuongezeka AZISE na jamii
mafunzo mkutano na
10 mwaka 2012/2013 kutoka 10 hadi 78
Kuendesha mafunzo karatasi za
hadi 78 ifikapo ifikapo 2016 /2017 -Kufanyika kwa
ya siku3 kwa VGs 50 mahudhurio
2016/2017 mkutano
AZISE na wanajamii
-Ripoti za mafunzo

2. Kuongeza idadi ya Desturi zilizopitwa Kuendesha mikutano -Kumbukumbu za Kuwepo kwa


vikundi vya kupambana na wakati kupungua 20 ya kuongeza uelewa mkutano na karatasi za vikundi
SWO
na mila zilizopitwa na kutoka asilimia 50 kuhusu mapambano mahudhurio vilivyoundwa
wakati kutoka 2 mwaka hadi 80 ifikapo dhidi ya mila
2012/2013hadi 20 2016/2017 zilizopitwa na wakati
ifikapo 2016/2017 pamoja na Viongozi
wa Dini, VGs & na
wanajamii

3. Kuongeza idadi ya Vikundi vya Kuwezesha mafunzo Ripoti za mafunzo na -Kumbukumbu za


vikundi vya uzalishaji Wanawake & Vijana ya siku 20 ya kuunda karatasi za mkutano
vya wanawake na vijana kuongezeka kutoka vikundi 20 kwa VGs, mahudhurio
-Karatasi za DO I
kutoka 120 mwaka 120 hadi 800 ifikapo Wanawake & Vijana
mahudhurio
2012/2013 hadi 800 2017 ifikapo 2017
ifikapo 2016/2017
4. Kuongeza idadi ya Miradi ya maendeleo Kuwezesha kampeni Kuwepo kwa miradi Ripoti za kampeni DCDO
miradi ya maendeleo kuongezeka kutoka za kuongeza ufahamu iliyoanzishwa za uelimishaji
iliyoanzishwa na jamii 15 mwaka 2012/2013 kuhusu uanzishaji wa
kutoka 15 mwaka hadi 40 miradi & menejimenti

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 43


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio Vikuu vya Njia za Ofisa
Utendaji Uthibitisho Anayehusika
2012/13 hadi 40 ifikapo ifikapo2016/2017 pamoja na 200 VGs,
2016/2017 AZISE & Wanajamii
5. Kuongeza AZISE na Idadi ya AZISE & Kuwezesha kampeni Kuwepo kwa idadi ya Ripoti za kampeni DCDO
Asasi za Kiraia ( CBOs) CBOs zinazotoa za kuongeza uelewa AZISE/CBOs
zinazofanya shughuli huduma za uchumi katika uanzishaji wa
mbalimbali za uchumi jamii kuongezeka AZISE/CBOs
jamii kutoka 70 mwaka kutoka 70 mwaka
2012/2013 hadi 600 2012/13 hadi 600
ifikapo 2016/2017 ifikapo 2017
6. Kuongeza idadi ya Kamati za Kuwezesha mafunzo Ripoti ya uundaji Idadi ya kamati CHAC
kamati za kupambana na kupambana na ya Kamati za zilizoundwa
Mafunzo yamefanyika
maambukizo ya VVU/UKIMWI kupambana na
Karatasi za
VVU/UKIMWI kutoka kuongezeka kutoka VVU/UKIMWI
mahudhurio
20 mwaka 2012/2013 20 mwaka 2012/2013
hadi 104 ifikapo hadi 104 ifikapo
2016/2017 2016/2017
7. Kuongeza idadi ya Vikundi vya Kuendesha elimu ya Idadi ya vikundi vya Ripoti ya mafunzo CHAC
vikundi vya uzalishaji uzalishaji vya wenye kuongeza uelewa uzalishaji vya wenye
-kumbukumbu za
vya wenye VVU/UKIMWI kuhusu uundaji wa VVU/UKIMWI
mkutano na
VVU/UKIMWI kutoka kuongezeka kutoka 2 vikundi na vilivyoanzishwa
karatasi za
2 mwaka 2005 hadi 10 mwaka 2012/ 13 hadi kuviendeleza
Karatasi za mahudhurio
ifikapo 2011/12 10 ifikapo 2016/2017
mahudhurio
Kuwezesha mafunzo
ya siku 5 ya
ujasiriamali kwa
vikundi vya uzalishaji
vya wenye
VVU/UKIMWI
8. Kuongeza idadi ya Wadau wa Kuendesha mikutano Idadi ya AZISE, CBOs Ripoti ya mkutano CHAC
wadau (AZISE-CBOs) Kupambana na na wadau ili na FBOs kuongezeka
Ripoti ya
wanaojihusisha na VVU/UKIMWI kubainisha (AZISE,
usimamizi na
kampeni za kupambana (AZISE, CBOs, CBOs FBOs

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 44


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio Vikuu vya Njia za Ofisa
Utendaji Uthibitisho Anayehusika
na VVU/UKIMWI FBOs) kuongezeka zinazojihusisha na tathmini
kutoka 31 mwaka 2005 kutoka 31 mwaka kupambana na
hadi 96 ifikapo 2011/12 2012/13 hadi 96 VVU/UKIMWI
ifikapo 2016/2017
Kusimamia na kufanya
tathmini katika
shughuli zao
9. Kuongeza idadi ya Vikundi vya shughuli Kuendesha mkutano Vikundi 895 vya -kumbukumbu za DO II TECH
vikundi vya shughuli za za kiufundi wa kuongeza ufahamu shughuli za ufundi mkutano na
kiufundivilivyoelimishw vilivyoelimishwa katika STI pamoja na vimeelimishwa karatasi za
a kuhusu Uambukizo katika STI VG kwa vijiji 75 mahudhurio
Mafunzo
kwa njia ya ngono kuongezeka kutoka
Kuendesha mafunzo yameendeshwa Ripoti ya mafunzo
(STIs) kutoka 225 225 mwaka2012/13
kuhusu uundaji na
mwaka 2005 hadi 1120 hadi 1120 ifikapo Mkutano umefanyika
uendelezaji wa kikundi
ifikapo 2011/12 2016/17
Kuendesha mafunzo
kuhusu STI kwa
vikundi vilivyoundwa
10. Kuongeza idadi ya Vikundi Kuwezesha mkutano Vikundi 72 Idadi ya vikundi DO II
vikundi vinavyotengeneza wa kuongeza uelewa vimeundwa vilivyoundwa
TECH
vinavyotengeneza matofali ya sementi kwa VG kuhusu
Mikutano 75 Kumbukumbu za
matofali ya udongo na na udongo matofali ya sementi na
imeendeshwa mkutano na
sementi kutoka 18 kuongezeka kutoka udongo kwa vijiji 75
karatasi za
mwaka 2005 hadi 90 18 mwaka 2012/13 Mafunzo
Kuendesha mafunzo mahudhurio
ifikapo 2011/12 hadi 90 ifikapo yameendeshwa
ya siku 3 kwa vikundi
2016/2017 Ripoti ya mafunzo
kuhusu utengenezaji
wa matofali ya sementi
na udongo kwa kila
kata
11. Kuongeza idadi ya watu Watu wanaokwenda Kufanya mkutano wa Watu 4500 Idadi ya watu CHACC
wanaokwenda kupima kupima kwa hiari wananchi kwa ajili ya wamepimwa waliopimwa
kwa hiari kutoka 3,000 kuongezeka kutoka kuongeza ufahamu
Kumbukumbu za

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 45


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio Vikuu vya Njia za Ofisa
Utendaji Uthibitisho Anayehusika
mwaka 2005 hadi 7500 3000 mwaka 2012/13 kuhusu upimaji wa mkutano
ifikapo 2011/12 hadi 7500 ifikapo hiari kwa kata 25
2016/17 ifikapo Juni 2017
12. Kuongeza idadi ya Wanawake Kuongeza uelewa kwa Wanawake viongozi Ripoti ya mafunzo DO I
wanawake wanaogombea nafasi wanawake walio 250 wameongezeka
wanaogombea nafasi za za uongozi katika uongozi
Mafunzo
uongozi kutoka 460 kuongezeka kutoka
Kuendesha mafunzo yameendeshwa
mwaka 2005 hadi 710 460 mwaka 2012/13
ya uongozi kwa
ifikapo 2011/12 hadi 710 ifikapo Mkutano umefanywa
wanawake katika kata
2016/17
25 ifikapo 2017

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 46


4.3 IDARA: AFYA
Lengo la Pamoja: Kuimarisha upatikanaji wa utoaji wa huduma za jamii zilizo bora na zenye usawa.
NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehusika

1 Kupunguza vifo vya -Kuhusisha serikali za Kupungua kwa Vifo -Kuwepo kwa DNO
akina mama Kuongeza idadi ya vijiji vya Akina mama kumbukumbu za
wanaojifungua kutoka wanaojifungulia wanaojifungua kutoka kamati ya serikali
katika vituo vya afya -Kuhusisha kamati za
59/100000 mwaka 2013 119/100000 mwaka ya kijiji na kamati
kutoka asilimia 47 afya za vijiji
hadi 30/100000 ifikapo hadi 80 2007 hadi 59/100000 ya afya ya kijiji
Juni 2016/2017 -Kuhusisha watoa ifikapo 2012
-Data za HMIS
huduma za afya wa kutoka vituo vya
vijiji Afya
-kuhusisha wakunga
wa jadi

-Kuendesha kampeni
za afya ya uzazi,
mama na mtoto ili
kutoa elimu kuhusu
kujifungulia kituo cha
afya kando ya Ufuko
wa Ziwa

2 Kupunguza kiwango cha -Kuhusisha serikali za Kupungua kwa vifo vya -Kuwepo kwa DRHCCo
vifo vya watoto wenye Utoaji wa chanjo ya vijiji watoto chini ya miaka kumbukumbu za
umri chini ya miaka DPT- HepB-Hib mitano kutoka 13/1000 kamati ya serikali
Rotarix PCV 13 na -Kuhusisha kamati za
mitano kutoka 10/1000 mwaka 2009 hadi ya kijiji na kamati
surua kuzidi asilimia afya za vijiji
mwaka 2013 hadi 5/1000 90 katika asilimia 90 10/100 ifikapo 2012 ya afya ya kijiji
ifikapo 2016/2017 ya wilaya -Kuhusisha watoa -Data za HMIS
huduma za afya wa kutoka vituo vya

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 47


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehusika

vijiji afya

3 Kupunguza vifo vya - Kuhusisha serikali Kupungua kwa vifo vya - Kuwepo kwa DRHCCo
watoto wenye umri chini Asilimia 70 ya vituo za vijiji watoto wenye umri kumbukumbu za
ya mwaka mmoja kutoka vya afya vinapaswa chini ya mwaka kamati ya serikali
kuwa na angalau - Kuhusisha kamati za
58/1000 mwaka 2013 mmoja kutoka 96/1000 ya kijiji na kamati
asilimia 60 ya watoa afya za vijiji
hadi 20/1000 ifikapo huduma ya afya mwaka 2009 hadi ya afya ya kijiji
2016/2017 waliopata mafunzo 58/1000 ifikapo 2012
- Kuhusisha watoa - Data za HMIS
katika IMCI huduma za afya wa kutoka vituo vya
vijiji afya

4 Kuongeza kiwango cha Utoaji wa chanjo ya - Kuhusisha serikali Kuongezeka kwa -kuwepo kwa DIVO
utoaji chanjo kwa DPT- HepB-Hib za vijiji utoaji chanjo kwa kumbukumbu za
watoto wenye umri chini Rotarix PCV 13 na watoto wenye umri kamati ya serikali
ya mwaka mmoja kutoka surua kuzidi asilimia - Kuhusisha kamati za chini ya mwaka mmoja ya kijiji na kamati
92 katika asilimia 90 afya za vijiji
asilimia 92 mwaka 2013 ya vituo vya afya kutoka asilimia 88 ya afya ya kijiji
hadi asilimia 95 ifikapo - Kuhusisha watoa mwaka 2009 hadi 92
2016/2017 ifikapo 2012 -Data za HMIS
huduma za afya wa kutoka vituo vya
vijiji Afya

5 Kupunguza kiwango cha Angalau asilimia 80 - Kuhusisha serikali Kupungua kwa - Kuwepo kwa DACC
maambukizo ya VVU ya zahanati na vituo maambukizo ya VVU kumbukumbu za
vya afya kutoa

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 48


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehusika

kutoka asilimia 1.2 huduma kwa za vijiji kutoka asilimia 2 kamati ya serikali
mwaka 2013 hadi wagonjwa ya STI na mwaka 2009 hadi ya kijiji na kamati
asilimia 0.6 ifikapo VVU - Kuhusisha kamati za asilimia 1.2 ifikapo ya afya ya kijiji
2016/2017 afya za vijiji 2012
- Data za HMIS
- Kuhusisha watoa kutoka vituo vya
huduma za afya wa Afya
vijiji

6 Kutokomeza matukio ya - Kuhusisha serikali Kupungua kwa - Kuwepo kwa DHO


milipuko ya Magonjwa za vijiji matukio ya milipuko ya kumbukumbu za
kipindupindu kutoka 10 yanayohusiana na kipindipindu kutoka 11 kamati ya serikali
maji, usafi binafsi na - Kuhusisha kamati za
mwaka 2013 hadi tukio 1 mwaka 2009 hadi 10 ya kijiji na kamati
usafi wa mazingira afya za vijiji
ifikapo 2016/2017 kupunguzwa kutoka ifikapo 2012 ya afya ya kijiji
asilimia 60 hadi 30 - Kuhusisha watoa - Data za HMIS
huduma za afya wa kutoka vituo vya
vijiji Afya

7 Kuongeza mchango kwa - Kuhusisha serikali Kuongezeka kwa CHF - Kuwepo kwa Mratibu wa
CHF kutoka 275 mwaka Asilimia 99 ya za vijiji kutoka 150 mwaka kumbukumbu za CHF
2013 hadi 400 ifikapo wanajamii kupata 2009 hadi 275 ifikapo kamati ya serikali
huduma katika kituo - Kuhusisha kamati za
2016/2017 2012 ya kijiji na kamati
cha afya, kilicho na afya za vijiji
vifaa kwa mujibu wa ya afya ya kijiji
mahitaji ya chini ya - Kuhusisha watoa - Data za HMIS
kiwango cha taifa. huduma za afya wa kutoka vituo vya
vijiji Afya

8 Kuongeza maduka 95 ya - Kuhusisha serikali Kuongeza maduka ya Data za HMIS DPHARM


ADDO mwaka 2013 Angalau asilimia 50 za vijiji ADDO kutoka 45 kutoka vituo vya
ya maduka ya dawa

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 49


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehusika

hadi 200 ifikapo kupandishwa hadhi - Kuhusisha kamati za mwaka 2010 hadi 95 Afya
2016/2017 kuwa maduka ya afya za vijiji ifikapo 2012
ADDO
- Kuhusisha watoa
huduma za afya wa
vijiji

9 Kupunguza wagonjwa - Kuhusisha serikali Kupungua kwa Data za HMIS DTLC


wa Kifua Kikuu kutoka Angalau asilimia 70 za vijiji wagonjwa wa Kifua kutoka vituo vya
280 mwaka 2013 hadi ya wagonjwa wa kikuu kutoka 355 Afya
kifua kikuu - Kuhusisha kamati za
100 ifikapo 2016/2017 mwaka 2009 hadi 280
wanagunduliwa na afya za vijiji
kutibiwa ipasavyo mwaka 2012
(na DOTS) sehemu - Kuhusisha watoa
zote mbili, katika huduma za afya wa
vituo vya afya na
vijiji
katika jamii
10 Kupunguza wagonjwa Angalau asilimia 70 - Kuhusisha serikali Kupungua kwa Data za HMIS DTLC
wa ukoma kutoka 130 ya wagonjwa wa za vijiji wagonjwa wa ukoma kutoka vituo vya
mwaka 2013 hadi 100 ukoma kutoka 134 mwaka Afya
wanagundulika na - Kuhusisha kamati za
ifikapo 2016/2017 2009 hadi 80 mwaka
kutibiwa ipasavyo afya za vijiji
(na DOTS) sehemu 2012
zote mbili, katika - Kuhusisha watoa
vituo vya afya na huduma za afya wa
katika jamii
vijiji

11 Kuongeza idadi ya Kuhusisha watoa Kuongezeka kwa idadi Data za HMIS DNO
wanaokubali njia za Kuongeza kiwango huduma za afya wa ya wanaokubali njia za kutoka vituo vya
Mpango wa Uzazi ( FP) cha kuenea kwa vijiji Mpango wa Uzazi Afya
matumizi ya uzuiaji
kutoka asilimia 15 kutoka asilimia 12
mimba kutoka Kuhusisha idara ya
mwaka 2013 hadi mwaka 2009 hadi

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 50


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehusika

asilimia 25 ifikapo asilimia 20 hadi 60 jamii aslilimia 15 ifikapo


2016/2017 2012

12 Kupunguza kiwango cha Kuhusisha watoa Kupungua kwa Data za HMIS DMalaria FP
watu wanaoambukizwa Asilimia ya huduma za afya wa kiwango cha watu kutoka vituo vya
malaria kutoka asilimia wanajamii vijiji walioambukizwa Afya
wanaolalia kwenye
28 mwaka 2013 hadi malaria kutoka asilimia
vyandarua vya ITNs Kuhusisha idara ya
asilimia15 ifikapo /LL kuongezeka 45 mwaka 2009 hadi
2016/2017 jamii asilimia 28 ifikapo
kutoka asilimia 36
hadi 80 2012

13 Kuongeza idadi ya shule Kuhusisha watoa Kuongezeka kwa idadi Data za HMIS Mratibu wa
zilizo chini ya programu Asilimia 60 ya huduma za afya wa ya shule zilizo chini ya kutoka vituo vya Afya wa
ya Afya shuleni kutoka huduma za afya vijiji programu ya Afya Afya shule
kufuata mwongozo
shule 100 mwaka 2013 shuleni kutoka shule 75
wa programu ya Kuhusisha idara ya
hadi 200 ifikapo afya shuleni mwaka 2009 hadi 100
2016/2017 jamii ifikapo 2012

14 Kujenga hospitali moja Ujenzi wa Kuhusisha watoa Hospitali Moja ya Data za HMIS DMO
ya wilaya ifikapo miundombinu ya huduma za afya wa Wilaya kujengwa kutoka vituo vya
2016/2017 huduma za afya vijiji ifikapo 2012. Afya

Kuhusisha jamii.

15 Kuongeza idadi ya Asilimia 87 ya vijiji -Kuhusisha Serikali za Kuongezeka kwa idadi Data za HMIS DHO
zahanati kutoka 72 kuwa na huduma ya vijiji ya zahanati kutoka 68 kutoka vituo vya
mwaka 2013 hadi 75 afya (zahanati) mwaka 2009 hadi 72 Afya
ifikapo 2016/2017 - Kuhusisha kamati za ifikapo 2012
afya za vijiji

-Kuhusisha wadau wa

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 51


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehusika

ndani na nje

16 Kuongeza idadi ya vituo Asilimia 40 ya vijiji - Kuhusisha Serikali Kuongezeka kwa idadi Data za HMIS DMO
vya afya kutoka 6 kuwa na huduma ya za vijiji ya vituo vya afya kutoka vituo vya
mwaka 2013 hadi 9 afya (kituo cha afya) kutoka 6 mwaka 2011 Afya
ifikapo 2016/2017 - Kuhusisha watoa hadi 7 ifikapo 2012
huduma za afya wa
vijiji

-Kuhusisha wadau wa
ndani na nje

17 Kuongeza idadi ya Huduma za afya - Kuhusisha Serikali Kuongezeka kwa idadi Data za HMIS DMO
nyumba kwa ajili ya kwa ngazi kuwa na za vijiji ya nyumba za kutoka vituo vya
watumishi wa afya majengo yake ikiwa watumishi wa afya Afya
ni pamoja na - Kuhusisha kamati za
kutoka 76 mwaka 2013 kutoka 71 mwaka 2010
nyumba za afya za vijiji
hadi 91 ifikapo watumishi katika hadi 76 ifikapo 2012
2016/2017 hali nzuri ya -kuhusisha wadau wa
ukarabati pamoja na ndani na nje
huduma za usafi.
18 Kuongeza idadi ya Kuongeza vituo - Kuhusisha Serikali - kuongezeka kwa idadi Data za HMIS DRHCcO
wanaojifungulia katika vinavyotumika za vijiji ya wanaojifungulia kutoka vituo vya
vituo vya afya kutoka kujifungulia kutoka katika vituo vya afya Afya
asilimia 47 hadi 60 - Kuhusisha kamati za
asilimia 47 mwaka 2013 kutoka asilimia 47
hadi asilimia 60 ifikapo afya za vijiji mwaka 2009 hadi

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 52


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehusika

2016/2017 - Kuhusisha watoa asilimia 58 ifikapo


huduma za afya wa 2012
vijiji

19 Kuongeza ubora wa Kuongeza idadi ya Kuhusisha watoa - Kuongezeka kwa Data za HMIS DHS
ukusanyaji data kutoka ukusanyaji data huduma za afya wa ukusanyaji data katika kutoka vituo vya
vituo vya afya kutoka 60 kutoka asilimia 50 vijiji vituo vya afya kutoka Afya
hadi asilimia 60
mwaka 2013 hadi 76 50 mwaka 2009 hadi 60
ifikapo 2016/2017. ifikapo 2012.

20 Kupunguza idadi ya Kupungua kwa idadi -kuhamasisha jamii Kupungua kwa idadi ya Data za HMIS DEC
watu wanaoumwa ya watu watu wanaoumwa kutoka vituo vya
ugonjwa wa macho wanaoumwa - Kuhusisha kamati ya ugonjwa wa macho Afya
kutoka 10480 mwaka ugonjwa wa macho afya ya kijiji kutoka 10480 mwaka
kutoka asilimia 50
2013 hadi 8000 ifikapo hadi asilimia 20 2009 hadi 8000 ifikapo
2016/2017 2016/2017

21 Kuongeza idadi ya akina Kuongeza idadi ya -Kuhamasisha jamii Ongezeko la idadi ya Data za HMIS DRHCcO
mama wajawazito akina mama akina mama wajawazito kutoka vituo vya
wanaohudhuria kliniki wajawazito - Kuhusisha kamati ya wanaohudhuria kliniki Afya
kutoka asilimia 37 wanaohudhuria afya ya kijiji kutoka asilimia 29
mwaka 2013 hadi kliniki kutoka mwaka 2009 hadi
-Kuhusisha watoa
asilimia 60 ifikapo asilimia 37 hadi 60 asilimia 37 ifikapo
huduma ya afya
2016/2017 2012

22 Kuongeza idadi ya vituo Kuongeza idadi ya -Kuhamasisha jamii Idadi ya vituo vya Data za HMIS DACC
vya uchunguzi wa STI vituo vya uchunguzi uchunguzi kuanzishwa kutoka vituo vya
kutoka 35 mwaka 2013 wa STI kutoka 35 -Kuhusisha kamati ya Afya
hadi 65 ifikapo hadi 65 afya
2016/2017
-Kuhusisha watoa

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 53


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehusika

huduma ya afya

23 Kubainisha wazee na Angalau wazee 200 - Kuandaa usaidizi -Hakuna wazee Data za HMIS SWO
walemavu wanaoishi masikini na waliobainishwa kutoka vituo vya
katika mazingira wanaoishi katika -Kuhusisha kamati ya Afya
magumu katika vijiji 75 mazingira magumu afya na serikali ya
kubainishwa, kijiji
ifikapo 2016/2017 kusaidiwa na
kuandikishwa katika -Kuhusisha watoa
Mipango ya malipo huduma ya afya
ya kabla, ruhusa na
msamaha na
kurekebishwa
kijamii na kupewa
makazi mapya

24 Kuanzisha kikundi cha Angalau wazee 200 - Kuandaa usaidizi -Hakuna wazee Data za HMIS SWO
watu na walemavu katika masikini na waliobainishwa kutoka vituo vya
kata 25 ifikapo wanaoishi katika -Kuhusisha kamati ya Afya
mazingira magumu afya na serikali ya
2016/2017
kubainishwa, kijiji
kusaidiwa na
kuandikishwa katika -Kuhusisha watoa
Mipango ya malipo huduma ya afya
ya kabla, ruhusa na
msamaha na
kurekebishwa
kijamii na kupewa
makazi mapya

25 Kuanzisha huduma Halmashauri kutetea - Kuhusisha kamati ya Huduma katika Data za HMIS SWO
kuhusu mwenendo mzuri na kutekeleza afya na serikali ya mwenendo mzuri kutoka vituo vya
huduma za afya

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 54


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehusika

katika kata 22 ifikapo zinazozingatia jamii kijiji kuanzishwa katika kata Afya
2016/2017 katika kata 25 3
(cIMCI, cBPM, -Kuhusisha watoa
PHAST, VHD, huduma ya afya
cHBC, n.k.)

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 55


4.4 IDARA: ELIMU YA SEKONDARI
Lengo la Pamoja: Kuongeza upatikanaji, utoaji wa huduma za jamii zilizo bora na zenye usawa.
NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za Ofisa
utendaji uthibitisho anayehusika

1 Kuongeza Kuongeza idadi ya - kuwahusisha WDCS -Kuandikisha -Kutumia SLO/DAO


uandikishaji wa wanafunzi wa Kidato cha kupitia mikutano wanafunzi wa Kidato madaftari ya
wanafunzi wa I kutoka 5100 mwaka -Kuhusisha bodi ya shule cha I kutoka 5100 uandikishaji na
2012/13 hadi 8000 ifikapo kupitia semina
kidato cha I kutoka mwaka 2012/2013 mahudhurio.
2016/17 -Kuongeza uelewa wa jamii
5100 mwaka 2013 katika mikutano mbalimbali hadi 8000 ifikapo
hadi 8000 ifikapo ya jamii 2016/2017
Juni 2017
-Semina ya siku
moja ya wajumbe wa
bodi ya shule

-Taarifa ya tangazo

2 Kuboresha -Kuendeleza michezo na -Kuihusisha jamii ili -Mashindano ya -Barua za DSEO,DSGO


michezo katika mashindano ya iwaruhusu watoto wao UMISETA kukubali kutoka
shule za sekondari UMISETA katika wilaya kushiriki michezo ya kufanyika kila kwa wazazi
kutoka shule za sekondari UMISETA
26 hadi 38 ifikapo mwaka kwa shule 38
26 mwaka 2013hadi shule -Kuhusisha bodi za shule ili -vifaa vya
Juni 2017 38 ifikapo 2016 /2017 kuandaa vifaa vya michezo ifikapo 2016/2017
michezo
-Kuhusisha Halmashauri ya
Wilaya ili kusimamia -Ripoti ya
mashindano katika ngazi ya
UMISETA ya
Wilaya
-Kuhusisha walimu wa wilaya
michezo kutoka katika kila
shule
3 Kuongeza uwiano -Kuongezeka kwa uwiano -Kuhusisha bodi ya shule ili -Uwiano wa vitabu -Leja ya shule DSEO,DAO
wa vitabu kwa wa vitabu kwa wanafunzi itenge fedha za kununua kuboreka kutoka 1:4 ,SLO
wanafunzi kutoka kutoka 1:4 mwaka 2013 vitabu kutokana na ruzuku mwaka 2013 hadi1:1 -Idadi ya vitabu
hadi uwiano wa 1:1 -Kuhusisha walimu wa
1:4 hadi 1:1

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 56


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za Ofisa
utendaji uthibitisho anayehusika

ifikapo Juni 2017 ifikapo 20162017 taaluma ili waandae orodha ya ifikapo 20162017 vilivyonunuliwa
vitabu vya kununua kwa
kuzingatia masomo
4 Kuongeza idadi ya -kuongeza idadi ya vituo -Kuhusisha WDC -Vituo vya madarasa -Madaftari ya -Mwalimu
vituo vya masomo vya masomo ya jioni kwa kuhamasisha watoto kutoka ya jioni kuongezeka mahudhurio Mkaazi,
ya jioni kutoka 1 wanafunzi ambao katika vijiji hadi vituo 10 ifikapo DSEO, DAO
hadi 10 ifikapo hawakuchaguliwa -Kumuhusisha Mwalimu 2016/2017 -Vituo
kujiunga na elimu ya Msimamizi kutoa vitabu vya vilivyoanzishwa
Juni 2017 sekondari kutoka kituo 1 mwongozo na miongozo
mwaka 2013 hadi vituo -Kuwahusisha Wakuu wa
10 ifikapo 2016/2017 shule kusaidia madarasa na
walimu
5 Kuongeza idadi na Kuongeza madarasa - Kuwahusisha WDC kupitia Kujenga darasa BOQ’s, hati ya DEO, DPLO,
ubora wa katika shule za sekondari mikutano mkataba, ripoti ya DE
miundombinu ya kutoka 228 mwaka -Kuhusisha Bodi ya shule usimamizi
2012/2013 hadi 300 kubainisha maeneo ya
elimu
ifikapo 2016/2017 kujenga
-Kuhamasisha jamii kupitia
mikutano ya wananchi
-Kuhusisha idara ya Ujenzi
kwa kuandaa BOQs,
MIKATABA
Kuongeza idadi ya - Kuhusisha serikali za vijiji Kujenga nyumba 30 -BOQ’s, -hati za DEO, DPLO,
nyumba za walimu kutoka -Kuhusisha kamati za shule za walimu mkataba, ripoti za DE
30 mwaka 2013 hadi -Kuhamasisha jamii usimamizi
nyumba 60 ifikapo -Kuhusisha idara ya ujenzi.
2016/2017
Kuongeza idadi ya vyoo - Kuhusisha serikali za vijiji -Ujenzi wa vyoo vya -BOQ’s, -hati za DEO, DPLO,
vya mashimo katika shule kuonyesha eneo kwa ajili ya mashimo 250 mkataba, ripoti za DE
za sekondari kutoka 350 ujenzi usimamizi
mwaka 2012/2013 hadi -Kuhusisha bodi ya shule
600 ifikapo 2018 -Kuhamasisha jamii
kukusanya vifaa vya ujenzi

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 57


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za Ofisa
utendaji uthibitisho anayehusika

-Kuhusisha idara ya Ujenzi


Kuongeza idadi ya shule - Kuhusisha serikali za vijiji Kujenga shule za -BoQs, DSEO,DE
za sekondari kutoka 31 kutafuta maeneo kwa ajili ya sekondari 5 kila
mwaka 2012 hadi 36 ujenzi mwaka -Hati za mkataba
ifikapo 2013/18 -Kuhusisha Bodi ya shule
-Kuhamasisha jamii -Ripori ya
kukusanya vifaa vya ujenzi usimamizi
kama vile mchanga, mawe na
matofali
-Kuhusisha idara ya Ujenzi
kuandaa mikataba na
utayarishaji wa BoQs
Kuongeza idadi ya - Kuhamasisha jamii kuhusu -Wanafunzi 4297 -Kitabu cha DSEO,DE,
wanafunzi umuhimu wa elimu kupitia wataandikishwa uandikishaji DED
waliochaguliwa kujiunga mikutano
na shule za sekondari -Kuhusisha WDC katika -Madaftari ya
kutoka 5550 mwaka 2013 kuwabainisha watoto mahudhurio
hadi 9847 ifikapo 2013/18 waliochaguliwa kujiunga na
elimu ya sekondari kwa
kutumia serikali ya kijiji

Kuongeza idadi ya warsha - kuwahusisha waalimu wa -Vipindi 10 vya -Orodha ya DAO,Academ


kwa ajili ya kuwapa taaluma kuandaa washiriki warsha kufanyika mahudhurio ic
walimu maarifa mapya -Kuhusisha wakuu wa shule ifikapo 2017. Vipindi Teachers,DSE
kutoka 4 mwaka 2013 kuchangia kwa ajili ya warsha -Miongozo ya
2 vya semina kila O.
hadi 10 ifikapo 2013/17 kufundishia na
-Kuhusisha idara ya ukaguzi mwaka
vitini
ili kuwezesha warsha
-Warsha moja kwa
walimu wa sayansi
na warsha moja kwa
walimu wa sayansi

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 58


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za Ofisa
utendaji uthibitisho anayehusika

ya jamii kila mwaka

Kuongeza idadi ya -madawati na viti -BoQs DSEO,DAO


madawati na viti kutoka -Kuhusisha WDC 2515 kutengenezwa SLO
11,485 mwaka 2013 hadi kuhamasisha jamii kuhusu ifikapo 2016/2017 -hati za mkataba
14,000 ifikapo 2016/17 uhalali wa kuchangia
madawati na viti -ripoti ya
-Kuhusisha idara ya ujenzi usimamizi
kuandaa BoQs, mikataba
Kuongeza idadi ya -Kuhusisha serikali za vijiji -Hosteli 5 kujengwa -BoQ
Hosteli katika shule za katika kuhamasisha katika shule tano
sekondari kutoka 5 ukusanyaji vifaa vya ujenzi ifikapo 2016/2017
mwaka 2013 hadi Hosteli -kuhusisha Bodi ya shule
10 ifikapo 2017 kubainisha eneo la kujenga
-Kuhamasisha jamii kupitia
mkutano wa wananchi

-Kuhusisha Idara ya Ujenzi


kuandaa BoQs na mikataba

Kuongeza idadi ya - kuhusisha Bodi ya shule -Maabara 5 za -BoQ DSEO,DAO,S


Maabara za Sayansi kubainisha eneo la kujenga Sayansi kujengwa LO,DE
kutoka 2 mwaka 2013 -Kuhusisha idara ya ujenzi ifikapo 2016/2017 -Hati ya mkataba
hadi maabara 7 mwaka kubainisha makandarasi,
2016/2017 kuandaa BoQs -Ripoti ya
usimamizi

Kuongeza idadi ya -Kuhusisha WDC -Nyumba 30 za -BoQs DSEO,DAO,S


nyumba za walimu kutoka kuhamasisha ukusanyaji vifaa walimu kujengwa LO,DE
30 mwaka 2013 hadi vya ujenzi katika shule za - Hati ya mkataba
nyumba 60 ifikapo - kuhusisha Bodi ya shule
sekondari 30 ifikapo
2016/2017 kubainisha eneo la kujenga -Ripoti ya
-Kuhusisha Idara ya ujenzi 2016/2017
usimamizi

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 59


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za Ofisa
utendaji uthibitisho anayehusika

kwa ajili ya kuandaa BoQs na


mikataba
-Kuongeza idadi ya -madarasa 81 -BoQs -
madarasa kutoka 319 - Kuhusisha WDC kujengwa ifikapo DSEO,DE,DA
mwaka 2013 hadi kuhamasisha ukusanyaji vifaa 2017. Ambapo - Hati ya mkataba O,SLO
madarasa 400 ifikapo vya ujenzi
madarasa 16...... -Ripoti ya
2016/2017 - kuhusisha Bodi ya shule
kubainisha eneo la kujenga usimamizi
- Kuhusisha Idara ya ujenzi
kwa ajili ya kuandaa BoQs na
ratiba ya usimamizi
-Kuongeza idadi ya - Kuhusisha WDC -Majengo 5 ya -BoQs -DSEO,DE
majengo ya Utawala kuhamasisha ukusanyaji vifaa utawala kujengwa
kutoka vya ujenzi ifikapo 2016/2017 -Hati ya mkataba
24 mwaka 2013 hadi - kuhusisha Bodi ya shule
majengo 29 ifikapo kubainisha eneo la kujenga -Ripoti ya
2016/17 - Kuhusisha Idara ya ujenzi usimamizi
kwa ajili ya kuandaa BoQs,
mkataba na ratiba ya
usimamizi

6 -Kupunguza -Kupunguza maambukizo -Kuhusisha bodi ya shule kwa -Maambukizo ya -ripoti ya semina -
maambukizo ya ya VVU/UKIMWI katika kuendesha semina 1 kwa VVU/UKIMWI CHAC,DSEO
VVU/UKIMWI shule za sekondari kutoka mwaka kupungua kwa -seti ya michezo
asilimia 1.2 mwaka 2013 -Kuendesha semina 2 na ya kuigiza
kutoka asilimia 1.2 asilimia 0.8 ifikapo
hadi 0.8 ifikapo Mchezo wa kuigiza 1 kwa
hadi 0.8 ifikapo 2016/2017 mwaka kwa wanafunzi na 2016/2017
Juni 2017 walimu katika kila shule
-kuwahusisha maofisa afya
na maofisa maendeleo ya
jamii katika kuendesha
semina za uelimishaji

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 60


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za Ofisa
utendaji uthibitisho anayehusika

7 Kuimarisha -Kuzuia vitendo vya -Kuendesha kampeni ya -Rushwa kuzuiwa -Mabango -DSEO,
Mkakati wa Taifa rushwa katika shule za kupambana na rushwa kupitia katika shule za yaliyoandikwa KITENGO
wa Kupambana na sekondari ifikapo 2017 katika kuandika mabango sekondari ifikapo CHA
Rushwa 2017 -kumbukumbu za KUPAMBAN
-kuanzisha klabu za majadiliano ya A NA
kupambana na rushwa katika klabu RUSHWA
shule 32

8 Kuendeleza -kuhakikisha kuna -Kuendesha semina 1 kwa -utawala bora -ripoti za semina DSEO,DAO,
utawala bora na utawala bora katika shule mwaka kwa wajumbe wa bodi kuendelezwa katika DHRO
huduma za za sekondari ifikapo 2017 kuhusu wajibu na jukumu lao shule za sekondari -ripoti ya
usimamizi kama wajumbe wa bodi ifikapo 2017 matumizi ya shule

-kuhusisha wakuu wa shule


katika kuendesha semina ya
uongozi na utawala

-kuhusisha WDC katika


tathimini ya ripoti ya
matumizi ya shule

9 Kuboresha ustawi -Kuongeza idadi ya -kuhusisha vijana kuendesha -wanafunzi 9000 -kumbukumbu za DSEO
wa jamii, jinsia na wanafunzi wasichana mijadala ya kuelimisha yenye kuandikishwa ifikapo vipindi vya ,CDO,DAO
uwezeshaji jamii wanaoandikishwa kutoka mantiki ya kuwaelimisha 2017 majadiliano
4600 mwaka 2013 hadi wanawake
9000 ifikapo 2017 -mimba za vijana -klabu za shule
Kuihusisha jamii kupitia wadogo kupungua
-kupunguza mimba za mikutano ya umma kwa asilimia 0.5
vijana wadogo na inayoelimisha kuhusu jukumu mwaka 2017
kiwango cha waanaoacha la kuwawezesha wanawake
shule kutoka asilimia

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 61


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za Ofisa
utendaji uthibitisho anayehusika

1mwaka 2013 hadi -kuwaelimisha wanafunzi


asilimia 0.5 ifikapo 2017 kupitia klabu kuhusu athari za
mimba za utotoni

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 62


4.5 IDARA: MAJI
Lengo la Pamoja: Kuimarisha upatikanaji wa utoaji wa huduma za jamii zilizo bora na zenye usawa.
S/N Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehusika

1. Kuongeza idadi ya watu Kuongeza idadi ya -Kuhusisha serikali za Idadi ya watu Mikataba itatolewa DWE
wanaopata maji safi na watu wanaopata maji vijiji, wahisani na wanaopata maji safi na kwa idadi ya miradi
salama ya kunywa safi na salama ya vyombo vya watumiaji salama ya kunywa 5 ya maji
kutoka 393,914 hadi kunywa kutoka wa maji kwa ajili ya itaongezeka hadi
634,270 ifikapo Juni 393,914 hadi ujenzi wa mradi wa 240,356 Mikataba itatolewa
2017 634,270 mwaka maji. kwa idadi ya
2012 hadi Juni 2013 matangi 5 ya
kuhifadhia maji

Kuongeza - Kuhusisha serikali Idadi ya wananchi kwa Mikataba itatolewa WT


upatikanaji wa maji za vijiji, wahisani na vyanzo kwa idadi ya
safi na salama ya vyombo vya vilivyoboreshwa (vya matanki 5 ya
kunywa kutoka 700, watumiaji wa maji maji ya bomba kuhifadhia maji
000mᶟ hadi kwa ajili ya ujenzi wa vinavyotunza)
1,400,000mᶟ ifikapo matanki ya kuhifadhia itaongezeka hadi
Juni 2014. maji 700,000mᶟ

Kuongeza idadi ya - Kuhusisha serikali Idadi ya visima vifupi Mkataba kutolewa WT


visima vifupi kutoka za vijiji, wahisani na itaongezeka hadi 100 kwa visima vifupi
47 hadi 147 ifikapo vyombo vya 100
Juni 2015 watumiaji wa maji

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 63


S/N Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehusika

Kuongeza idadi ya - Kuhusisha serikali Idadi ya matangi Matangi 53 ya WT


matangi ya kuvuna za vijiji, wahisani na yanayovuna maji ya kuvuna maji ya
maji ya mvua kutoka vyombo vya mvua itaongezeka hadi mvua yamejengwa
41 hadi 94 mwaka watumiaji wa maji 53
2012 hadi Juni 2016
Kuhamasisha jamii

Kuongeza idadi ya - Kuhusisha serikali Idadi ya watu Watu 80,000 WT


watu wanaopata maji za vijiji, wahisani na wanaopata maji ya wanapata maji ya
ya ardhini kutoka vyombo vya ardhini itaongezeka ardhini
58,101 hadi138,101 watumiaji wa maji hadi 80,000
mwaka 2012 hadi
Juni 2017

Kuongeza idadi ya - Kuhusisha serikali Idadi ya chemchemi Kuwepo kwa WT


chemchemi za vijiji, wahisani na zinazohifadhiwa chemchemi 30
zinazohifadhiwa vyombo vya itaongezeka hadi 30 zinazohifadhiwa
kutoka 79 hadi 109 watumiaji wa maji
ifikapo 2011/12

Kuongeza idadi ya - Kuhusisha serikali za Idadi ya miradi ya Kuwepo kwa WT


miradi ya maji vijiji, wahisani na maji iliyokarabatiwa miradi ya maji 23
iliyokarabatiwa vyombo vya itaongezeka hadi 23 iliyokabatiwa
kutoka 3 hadi 23 watumiaji wa maji
mwaka 2012 hadi
Juni 2017

Kuanzisha vyombo - Kuhusisha serikali Vyombo 20 vya Kuwepo kwa WT


huru 20 vya za vijiji, wahisani na watumiaji wa maji vyombo 20 vya

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 64


S/N Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehusika

watumiaji wa maji vyombo vya vitaanzishwa watumiaji wa maji


mwaka 2012 hadi watumiaji wa maji katika kijiji
Jun 2017

Kuongeza idadi ya - Kuhusisha serikali Idadi ya vijiji Kuwepo kwa Sera WT


vijiji vinavyopata za vijiji, wahisani na vinavyopata Sera ya ya maji katika vijiji
Sera ya Maji kutoka vyombo vya Maji itaongezeka hadi 60
10 mwaka 2005 hadi watumiaji wa maji 60
70 mwaka 2012 hadi
Juni 2017

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 65


4.6 SEHEMU: TEHAMA
Lengo la Pamoja: Kuimarisha upatikanaji wa utoaji wa huduma za jamii zilizo bora na zenye usawa.
NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehusika

1 Upatikanaji, utoaji wa Kuandaa tovuti -kukusanya data - nakala tete za data -tovuti Kitengo cha
huduma za jamii zilizo & -kutengeneza tovuti kukusanywa H/IT
bora na zenye usawa Mawasiliano ya -kumiliki & utekelezaji -mawasiliano ya
kuimarika ifikapo Juni mtandao ifikapo Juni -kuweka kebo katika mtandao katika Kitengo cha
2017. 2013/2015 idara & sehemu zote kompyuta zote ndani -Mawasiliano ya H/IT
ya idara mtandao

Hifadhi data -kukusanya data -hifadhi data ndani ya


-kuhifadhi data na
kuandaliwa ifikapo -kuandaa hifadhi data idara. matumizi Kitengo cha
Juni 2014/2016 H/IT
Msaada wa -mafunzo ya - -kuongeza idadi ya
watumiaji na watumiaji/wafanyakazi wafanyakazi/watumiaji wafanyakazi Wafanyakazi
matengenezo ifikapo kupata mafunzo wanaotumia wa IT.
Juni 2017 kompyuta.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 66


4.7 SEHEMU: SHERIA
Lengo la Pamoja: Kuimarisha upatikanaji wa utoaji wa huduma za jamii zilizo bora na zenye usawa.
NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
vya utendaji uthibitisho anayehusika

1 Utawala na utawala wa Mahakama 22 za kata -Kuhusisha uongozi Idadi ya mahakama Ripoti za mafunzo CLO
sheria kuimarishwa katika kuwezeshwa kupitia wa kata & zilizopata mafunzo
kata 22 ifikapo Juni 2017 mafunzo na vifaa vya mahakama katika
kufanyia kazi ifikapo mafunzo
-Kuhusisha kamati
2017 za kudumu katika
mafunzo
-Kuhusisha
mahakama ya ardhi
na nyumba ya
Wilaya, ofisa ardhi

Kupunguza kesi za -Ushauri wa haraka -Idadi ya kesi -Nyaraka za kesi CLO


wadaiwa dhidi ya kwa DED na
Halmashauri kutoka Wafanyakazi
9 hadi 5 ifikapo 2017 kuhusu madai ya
wateja na mtu wa
tatu

- Usuluhishi wa
kesi nje ya
mahakama

Idadi ya sheria ndogo -Kuhusisha idara -Idadi ya vijiji Kuwepo kwa CLO
za Halmashauri nyingine za vinavyotekeleza nyaraka
kuongezeka kutoka 4 Halmashauri , sheria ndogondogo zinazoonyesha
hadi 10 ifikapo WDCs, na Serikali za Halmashauri utekelezaji wa

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 67


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
vya utendaji uthibitisho anayehusika

2017 za vijiji sheria


ndogondogo

Kuboresha huduma -kumuhusisha Idadi ya mikataba Kuwepo kwa CLO


za kisheria DED, HODs iliyotiwa saini na mkataba uliotiwa
zinazotolewa na wengine, kesi saini
kitengo kwa Wafanyakazi na zilizoshughulikiwa
Halmashauri na watu wa nje
wadau wengine
ifikapo 2017

Kutoa ushauri mara -kuhusisha HODs Sera na kanuni Kuwepo kwa CLO
20 kuhusu utekelezaji kutolewa ushauri Sera, kanuni.
wa sera, sheria na -Kuhusisha serikali
kanuni ifikapo za vijiji
2011/12

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 68


4.8 IDARA: UJENZI
Lengo la Pamoja: Kuongeza wingi na ubora wa huduma za jamii na miundombinu

NA Malengo Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa


Mkakati vya utendaji uthibitisho anayehusika

1 Kuongeza urefu Kuhakikisha mitandao Kuhusisha serikali za vijiji kupitia Kumbukumbu/ripoti Idadi ya DE
wa mitandao ya ya mawasiliano ya mikutano ya vijiji za mikutano ya waliohudhuria
barabara za barabara vijiji
Wilaya kutoka Kufanya tathimini ya athari kwa Ripoti ya
km 402 ifikapo mazingira (EIA) Kushauriana na Tathimini ya
2012/13 hadi 502 Wataalamu wa EIA Athari kwa
Kutafuta makandarasi kupitia Mazingira
ifikapo 2016/17 utangazaji zabuni Taratibu za kutoa (EIS)
zabuni
Kutafuta fedha za barabara kutoka Ukaguzi na
serikalini na kwa wafadhili na Fedha matayarisho
kuzisambaza kwa makandarasi kwa zilizokusanywa na ya hati za
wakati kusambazwa malipo
kulingana na
maombi kutoka
mfuko wa barabara
na wafadhili
wengine

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 69


NA Malengo Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
Mkakati vya utendaji uthibitisho anayehusika

2 Kuhakikisha Kuhusisha serikali za Kutafuta makandarasi kupitia Taratibu za Ukaguzi na DE


matengenezo ya vijiji kupitia mikutano utangazaji zabuni kutangaza zabuni matayarisho
kawaida na ya hati za
kurahisisha Kufanya tathimini ya Kutafuta fedha za barabara kutoka Kusambaza fedha malipo
mawasiliano athari kwa mazingira serikalini na kwa wafadhili na kulingana na
(EIA) kuzisambaza kwa makandarasi kwa maombi kutoka
wakati mfuko wa barabara
Kuwahusisha na wafadhili
makandarasi wengine
Kuwezesha ujenzi

3 Kuongeza umbali Kuhusisha serikali za Kutafuta makandarasi kupitia Taratibi za


wa matengenezo vijiji kupitia mikutano utangazaji zabuni kutangaza zabuni
ya mashimo ya
barabara ndani ya Kufanya tathimini ya Kutafuta fedha za barabara kutoka Kusambaza fedha
Wilaya kutoka km athari kwa mazingira serikalini na kwa wafadhili na kulingana na
110 ifikapo (EIA) kuzisambaza kwa makandarasi kwa maombi kutoka
2012/13 hadi km wakati mfuko wa barabara
Kuwahusisha na wafadhili
150 ifikapo
makandarasi wengine
2016/17
Kuwezesha ujenzi

4 Kuongeza umbali Kuongeza umbali wa Kutafuta makandarasi kupitia Taratibu za


wa eneo maalumu eneo maalumu la utangazaji zabuni kutangaza zabuni
la barabara kutoka barabara kutoka km 54
km 54 ifikapo ifikapo 2012/13 hadi km Kutafuta fedha za barabara kutoka Kusambaza fedha
2012/13 hadi km 100 ifikapo serikalini na kwa wafadhili na kulingana na
100 ifikapo kuzisambaza kwa makandarasi kwa maombi kutoka
mfuko wa barabara

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 70


NA Malengo Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
Mkakati vya utendaji uthibitisho anayehusika

2016/17 wakati na wafadhili


wengine
Kutafuta makandarasi kupitia
utangazaji zabuni

Kutafuta fedha za barabara kutoka


serikalini na kwa wafadhili na
kuzisambaza kwa makandarasi kwa
wakati

5 Kuongeza idadi ya Kuongeza idadi ya Kutafuta makandarasi kupitia Taratibu za Idadi ya


madaraja ya madaraja ya kupitisha utangazaji zabuni kutangaza zabuni waliohudhuria
kupitisha maji na maji na makalvati
makalvati kutoka kutoka km 110 ifikapo Kutafuta fedha za barabara kutoka Kusambaza fedha Ripoti ya
km 110 hadi km 2012/13 hadi km 300 serikalini na kwa wafadhili na kulingana na Tathimini ya
300 ifikapo kuzisambaza kwa makandarasi kwa maombi kutoka Athari kwa
2016/17 wakati mfuko wa barabara Mazingira
na wafadhili (EIS)
wengine
Ukaguzi na
matayarisho
ya hati za
malipo

6 Kuongeza vyombo Kununua magari Kutafuta fedha kutoka vyanzo vya Taratibu za ununuzi Taratibu za PMU
vya usafiri kutoka madogo 4 mgawo wa bajeti/ wafadhili zinazofaa kutangaza
2012/13 hadi zabuni DT
2016/17 Kununua magari
makubwa 2 HOD,s

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 71


NA Malengo Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
Mkakati vya utendaji uthibitisho anayehusika

Kununua pikipiki 10 TO

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 72


4.9 IDARA: ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA
Lengo la Pamoja: Kuongeza idadi na ubora wa huduma za jamii na miundombinu

NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehus
ika

1 Kuongeza viwanja Kuboresha makazi Kukubaliana na waombaji Waombaji wa ardhi Idadi ya hati miliki DLO
vilivyopimwa kutoka katika Wilaya ya wa ardhi kuchangia kuwa na hati miliki. miongoni mwa
12,301 mwaka 2012/2013 Kigoma gharama za upimaji wamiliki wa ardhi
hadi 17,000 ifikapo
2016/2017

2 Kuongeza idadi ya Kuboresha usalama wa Kuwaelimisha wamiliki wa Wamiliki wa ardhi Idadi ya CCRO’ DLO
mashamba yaliyowekwa umiliki wa ardhi kwa ardhi ya kijiji umuhimu wa ya kijiji kuwa na miongoni mwa
mipaka katika vijiji vyote wamiliki wa ardhi ya Kupewa Hati ya Umiliki CCRO’s wamiliki wa ardhi
vya halmashauri ya kijiji ya kijiji.
Wilaya ya Kigoma kutoka
1165 mwaka 2012/2013
hadi 6165 ifikapo
2016/2017

3 Kuongeza idadi ya vijiji Kuongeza bidhaa za Kuhusisha serikali za vijiji Kumbukumbu na Idadi ya vijiji DNRO
vyenye misitu misitu kupitia mikutano na semina ripoti za mikutano ya vyenye misitu
iliyohifadhiwa kutoka 14 kijiji iliyohifadhiwa
mwaka 2012/13 hadi 44 Kutoa makazi kwa Kuhusisha AZISE na CBOs
spishi mbalimbali zinazohusika na mazingira Uboreshaji wa misitu DFO
ifikapo 2016/17
Kudhibiti mmomonyoko Kuanzisha shughuli za Idadi ya AZISE na
wa udongo burudani na malazi kwa CBOs zilizohusishwa
ajili ya watalii
Kutangaza shughuli za Maeneo ya burudani
utalii kuanzishwa

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 73


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehus
ika

4.10 IDARA: BIASHARA NA FEDHA


Lengo la pamoja: Kuimarisha upatikanaji na utoaji wa huduma za jamii zilizo bora na zenye usawa.
N Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za Ofisa
A. utendaji uthibitisho anayehusika

1 Kuongeza idadi ya biashara Kuongeza idadi ya kuhusisha WEO, VEO Kuanzishwa kwa Leja, TO
kutoka 1500 hadi 3000 biashara na ukusanyaji katika ukusanyaji wafanyabiashara
katika mwaka 2013 hadi mapato kutokana na wapya 300 kila Kitabu cha leseni
2017 biashara zilizoongezeka Kuwaelimisha mwaka za biashara
wafanyabiashara kuhusu
njia nyepesi ya kulipa
mapato

2 Kupanua soko la kigeni Uongezaji wa masoko Kutoa mafunzo kwa Bidhaa zetu Ripoti za robo DTO
kutoka soko 1 lililopo mapya ya kigeni kutoka wafanyabiashara kuhusu zitapenya katika soko mwaka, nusu
(Kongo) hadi masoko mapya Rwanda, Zambia, masoko ya kimataifa la kimataifa mwaka na mwaka
4 kutoka mwaka 2013 hadi Uganda na Burundi mmoja
2018 Kuandika pendekezo la Soko 1 jipya la
ugharimiaji biashara kigeni linaanzishwa
linalovutia kwa mwaka

Mgao wa mwaka wa bajeti

3 Kuwa na wafanyabiashara Kuongeza idadi ya Mafunzo kuhusu Wafanyabiashara Ripoti za robo DT & DTO
1500 zaidi kutoka katika wafanyabiashara katika pendekezo la biashara kwa wapya wanapaswa mwaka, nusu
vijiji 78 wanaopata mikopo halmashauri wajasiriamali kuongezwa kila mwaka na mwaka
kutoka sekta za fedha kutoka mwaka mmoja
2013 hadi 2018 Kupanua uelewa wa Kuendesha utafiti wa soko
biashara kwa

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 74


N Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za Ofisa
A. utendaji uthibitisho anayehusika

wafanyabiashara kwa.....................

4 Kuongeza ukusanyaji Kuongeza vyanzo vya Kuwahusisha mawakala 500,000,000 Stakabadhi, DT


mapato ndani ya vyanzo vya mapato kukusanywa kuzidi
halmashauri kutoka bilioni Kutoa motisha kwa kigezo Taarifa za benki Wahasibu wa
1.19 hadi 3.69 (2013 hadi Kuongeza idadi ya watumishi wa serikali, Mapato
wakusanya mapato wakusanya mapato Data za kijiji
2018)
Kuongeza Kuboresha njia za
miundombinu ya uwasilishaji mapato
vyanzo vya mapato
vilivyopo

5 Kupunguza idadi ya hoja za Kuongeza utendaji Mafunzo ya wahasibu na Hoja kupungua hadi Hati safi DT
ukaguzi kutoka nne hadi watunza fedha kutokuwepo
kutokuwepo kabisa ifikapo Huduma bora kutolewa Hakuna hoja
2017 kwa wadau Maelekezo ya kazi Kupata hati safi

Kuzidisha ushirikiano Kufanya kazi kwa timu


wa mawasiliano huru ya
halmashauri Kuondoa malalamiko
ya wadau

6 Kuandaa mpango na bajeti Kuongeza utendaji kwa Washauri waelekezi Ripoti ya bajeti halisi Kukidhi mahitaji DT
ya mwaka na bajeti ya kila kiwango cha juu kwa wakati
mwaka hadi 2017 Mafunzo ya wafanyakazi mwafaka, eneo
Kuhusisha wadau

Kujenga mawazo/dira
mpya

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 75


Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 76
4.11 SEHEMU: KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI
Lengo la Pamoja: Kuendeleza Utawala Bora na Huduma za Kiutawala

NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashiria vikuu Njia za uthibitisho Ofisa
vya utendaji anayehusika

1 Kukagua hesabu za mapato Kusimamia michakato ya Kuwa na wafanyakazi Mfumo mzuri wa Ripoti za ukaguzi DED&DIA
na matumizi ya kila idara ukaguzi wa ndani kuanzia wa kutosha wenye sifa ununuzi katika wa ndani za kila
kutoka 2013 hadi 2018 kuimarisha udhibiti wa na mahiri. halmashauri robo mwaka
ndani hadi mtazamo wa
thamani nzuri ya fedha Kuwa na bajeti ya Mfumo mzuri na Kumbukumbu za
kutosha. imara wa baraza la Fedha
Kuimarisha mfumo wa usimamizi wa zikijadili ripoti za
usimamizi wa fedha. Kununua vifaa fedha katika ukaguzi wa ndani
halmashauri
Kuimarisha mchakato wa Maoni mazuri ya
utekelezaji wa miradi. Miradi CAG kuhusu hesabu
iliyotekelezwa za halmashauri.
vizuri katika
halmashauri.

2 Kusimamia michakato ya Kuhakikisha kuna Uongozi mzuri Malalamiko ya DIA


usimamizi wa ndani mafunzo ya wadau kupungua
Kuboresha ripoti za ukaguzi kuanzia kuimarisha wafanyakazi ili wawe Ongezeko la
wa fedha kutoka asilimia 70 udhibiti wa ndani hadi mahiri utendaji Utawala bora
hadi 95 ifikapo 2012/13 hadi mtazamo wa thamani nzuri
2016/17 Fedha kupatikana kwa Kuwepo kwa Uwazi katika
ya fedha.
wakati mwafaka thamani nzuri ya utawala.
Kuimarisha mfumo wa fedha
Usimamizi wa Fedha. Kupatikana kwa vifaa
vya kufanyia kazi
Kuimarisha mchakato wa
utekelezaji wa mradi.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 77


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashiria vikuu Njia za uthibitisho Ofisa
vya utendaji anayehusika

3 Kuongeza idadi ya miradi ya Miradi yote iliyobainishwa Fedha za viandikia. Kuwepo kwa Ripoti za robo DIA
maendeleo iliyokaguliwa kuwa imekaguliwa mradi mwaka za ukaguzi
kutoka 120 hadi 200 ifikapo Kuwa na wafanyakazi uliokaguliwa. wa ndani
2012/13 hadi 2016/17. Ripoti ya ukaguzi isiyo na wa kutosha wenye sifa
makosa iliyoandaliwa kwa na mahiri. Ripoti ya ukaguzi Kumbukumbu za
wakati mwafaka baada ya halmashauri ya
mwezi mmoja Kuwa na bajeti ya fedha zikijadili
kutosha. ripoti za ukaguzi wa
ndani.

Maoni mazuri ya
CAG kuhusu miradi
ya halmashauri.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 78


4.12 SEHEMU: KITENGO CHA UNUNUZI (PMU)
Lengo la Pamoja: Kuimarisha upatikanaji wa utoaji wa huduma za jamii zilizo bora na zenye usawa

NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa


vya utendaji uthibitisho anayehusika

1 Kuongeza ufanisi katika Bidhaa kuongezeka kutoka Kuboresha njia za Viwango vya Hati ya mkataba HPMU
ununuzi wa Bidhaa, asilimia 90 hadi 100 katika mawasiliano. ununuzi
Huduma, kwa asilimia 100 utekelezaji wa mpango wa kufuatwa Hati ya
kutoka 80 kuanzia 2012/13 ununuzi. Vifaa vya kufanyia kuwasilisha
hadi 2017. kazi Hakuna bidhaa
Kuhakikisha wagavi malalamiko
wanalipwa kwa wakati kwa Kufuata maadili na kutoka kwa Hati ya kupokea
asilimia 100 kanuni za ununuzi wagavi bidhaa

Kutumia uagizaji
bidhaa

2 Kupunguza rushwa katika Hakuna rushwa katika Usawa katika utoaji wa Kutokuwa na Huduma kutolewa HPMU
ununuzi kutoka aslimia 100 shughuli za ununuzi ifikapo huduma mgongano wa katika ubora
kuanzia 2012 hadi 2016/17 2016/17 maslahi. sahihi, bei sahihi,
Thamani nzuri ya fedha kiwango sahihi,
Huduma kwa wakati mwafaka
Kutoa bei nzuri, mteja
gharama za uendeshaji na kutoka chanzo
na udhibiti wa gharama Uwezo wa sahihi
kukidhi mahitaji
Ufuataji wa masharti ya muhimu na
mkataba yanayotakiwa

3 Kuongeza udhibiti wa Ufuataji mzuri wa kanuni Kuimarisha mfumo wa Ugawaji wa Kuwepo kwa HPMU
mchakato wa ununuzi za ununuzi, mipango na utunzaji kumbukumbu madaraka rejesta nzuri ya
kutoka asilimia 60 mwaka Sheria na idara zinazotumia miongoni mwa mkataba
2012 hadi asilimia 100 utaratibu huo Kuwaelimisha wagavi wajumbe wa
na wadau wengine Kuwepo kwa leja

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 79


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
vya utendaji uthibitisho anayehusika

ifikapo 2016/17 kuhusu mzunguko wa PMU ya kutuma na


ununuzi kupokea na hatua
Mfumo mzuri nyingine
Kuhusisha wadau katika wa utunzaji
mchakato wa ununuzi kumbukumbu

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 80


4.13 IDARA: KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA
Lengo la Pamoja: Kuongeza wingi na ubora wa huduma za jamii na miundombinu

NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za uthibitisho Ofisa
vya utendaji anayehusika

1. Kuongeza idadi ya Ongezeko la idadi - Kujenga uelewa kwa viongozi Wakulima Idadi ya wakulima, DAEO
wakulima ambao ya wakulima wa kijiji, viongozi wa kata, wapatao 10,000 viongozi wa kijiji na
wamefundishwa ambao wataalamu wa kilimo na jamii wataongezwa kata na wataalamu wa
kilimo cha mazao ya wamefundishwa kuhusu kilimo cha mazao ya kilimo kupata mafunzo
chakula kutoka 31,540 kilimo cha mazao chakula kupitia semina/warsha,
mwaka 2012/13 hadi ya chakula mabango na vipeperushi
41540 ifikapo 2016/17 -Kuwawezesha wataalamu wa
kilimo kwa kuwapa vifaa vya
kazi, nyenzo za usafiri
-Ajira ya wataalamu wapya wa
kilimo
2. Kuchangia katika Kuongeza uzalishaji - Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha tani Idadi ya wakulima, DSMS -
kuongeza uzalishaji wa tani za kahawa wa kijiji, viongozi wa kata, 850 viongozi wa kijiji na KAHAWA
wa kahawa kutoka tani kwa hekta wataalamu wa kilimo na jamii kitaongezwa kata na wataalamu wa
650 mwaka 2011/13 kuhusu kilimo cha mazao ya kilimo waliopata
hadi 1500 ifikapo biashara kupitia semina/warsha, mafunzo
2016/17 mabango na vipeperushi
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya tani
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizozalishwa
kazi, nyenzo za usafiri
3. Kuchangia katika Kuongeza - Kujenga uelewa kwa viongozi Uzalishaji wa Idadi ya wakulima, DSM - PALM
kuongeza uzalishaji uzalishaji wa tani wa kijiji, viongozi wa kata, mafuta ya viongozi wa kijiji na
wa mafuta ya mawese za mafuta ya wataalamu wa kilimo na jamii mawese kata na wataalamu wa
kutoka tani 7,700 mawese kwa hekta kuhusu kilimo cha mazao ya kuongezeka kwa kilimo waliopata
mwaka 2012/13 hadi biashara kupitia semina/warsha, tani 7,000 mafunzo
14,700 ifikapo mabango na vipeperushi
2016/17 - Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya tani
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizozalishwa
kazi, nyenzo za usafiri

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 81


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za uthibitisho Ofisa
vya utendaji anayehusika

4. Kuongeza eneo la Kuongeza idadi ya - Kujenga uelewa kwa viongozi Eneo Idadi ya wakulima, DSMS-
kulima kwa kutumia hekta za kilimo cha wa kijiji, viongozi wa kata, litaongezeka viongozi wa vijiji, kata AGROMECH
mashine za shamba mazao wataalamu wa kilimo na jamii kwa 9050 na wataalamu wa
zilizoboreshwa kutoka kuhusu kilimo cha mazao ya kilimo waliopata
hekta 950 mwaka biashara kupitia semina/warsha, mafunzo
2012/13 hadi hekta mabango na vipeperushi
10,000 ifikapo - Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya Hekta
2016/17 kilimo kwa kuwapa vifaa vya kuongezeka.
kazi,
5. Kuongeza eneo lililo Kuongeza eneo - Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha hekta Idadi ya wakulima DSMS-IRR
katika kilimo cha katika hekta zilizo wa kijiji, viongozi wa kata, 7000 (wamwagiliaji),
umwagiliaji kutoka chini ya kilimo wataalamu wa kilimo na jamii kitaongezwa viongozi wa kijiji, kata
hekta 800 mwaka cha umwagiliaji (mwanachama wa umwagiliaji) na wataalamu wa
2012/13 hadi hekta kuhusu kilimo cha umwagiliaji kilimo waliopata
1500 ifikapo 2016/17 kupitia semina/warsha, mabango mafunzo
na vipeperushi.
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya hekta
kilimo kwa kuwapa vifaa vya kuongezeka
kazi, nyenzo za usafiri
6. Kuongeza ekari za - Kuongeza eneo - Kujenga uelewa kwa viongozi - Ongezeko la Idadi ya wakulima, DSMS – PP
muhogo katika ekari wa kijiji, viongozi wa kata, ekari 2500 viongozi wa kijiji, kata
zinazodhibitiwa zinazodhibitiwa wataalamu wa kilimo na jamii zenye aina za na wataalamu wa
kutokana na ugonjwa kutokana na kuhusu ugonjwa mbaya wa muhogo kilimo waliopata
“mbaya wa batobato” ugonjwa batobato unaostahimili mafunzo
kutoka ekari 20 “mbaya wa - Kuwawezesha wataalamu wa
mwaka 2012/13 hadi batobato” kilimo kwa kuwapa vifaa vya Idadi ya ekari
2520 ifikapo 2016/17 kazi, nyenzo za usafiri zilizopandwa

7. Kuanzisha na Kuongeza idadi ya - Kujenga uelewa kwa viongozi Kutakuwa na Idadi ya wakulima, DSMS – CI
kuongeza mashamba mashamba ya wa kijiji, viongozi wa kata, mashamba 10 viongozi wa kijiji, kata
10 ya mfano katika mfano wataalamu wa kilimo na jamii ya mfano na wataalamu wa
kata 10 ifikapo kuhusu shamba la mfano kilimo waliopata
2016/17 lililoanzishwa na kuongezwa mafunzo

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 82


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za uthibitisho Ofisa
vya utendaji anayehusika

kupitia semina/warsha, mabango


na vipeperushi. Idadi ya mashamba/FFs
- Kuwawezesha wataalamu wa yalioanzishwa
kilimo kwa kuwapa vifaa vya
kazi, nyenzo za usafiri

8. Kupanua kilimo cha - Kuongeza eneo - Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi che hekta Idadi ya wakulima, DSMS –
bustani kutoka hekta katika hekta lililo wa kijiji, viongozi wa kata, 50 kitaongezeka viongozi wa kijiji, kata, HORT.
160 mwaka 2012/13 kwenye kilimo wataalamu wa kilimo, jamii na wataalamu wa kilimo
hadi 210 ifikapo cha bustani sekta binafsi kuhusu kilimo cha na sekta binafsi
2016/17 bustani kupitia semina/warsha, waliopata mafunzo
mabango na vipeperushi.
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya hekta
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizoongezeka
kazi, nyenzo za usafiri
9. Kuwezesha utafiti - Kuongeza eneo la - Kujenga uelewa kwa viongozi Kuongezeka - Idadi ya vijiji - DSMS-
kuhusu rutuba ya kutosha kwa ajili wa kijiji, viongozi wa kata, kwa uwezo wa vilivyofanyiwa CROP
udongo katika vijiji 60 ya uzalishaji wa wataalamu wa kilimo, jamii na eneo (ardhi utafiti
ifikapo 2016/17 mazao ya sekta binafsi kuhusu uwezo wa inayolimika)
biashara na udongo kupitia semina/warsha, kwa kila kjiji
chakula mabango na vipeperushi. katika vijiji 60.
- Kuwawezesha wataalamu wa
kilimo kwa kuwapa vifaa vya
kazi, nyenzo za usafiri
10. Kuchangia katika - Kuongeza tani - Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha tani Idadi ya wakulima, DSMS-CROP
ongezeko la uzalishaji za mahindi wa kijiji, viongozi wa kata, 75,000 viongozi wa kijiji, kata,
wa mahindi kutoka zinazozalishwa wataalamu wa kilimo na jamii kuongezeka wataalamu wa kilimo
tani 50,000 mwaka kwa hekta kuhusu uzalishaji wa mahindi na sekta binafsi
2012/13 hadi 125,000 kupitia semina/warsha, mabango waliopata mafunzo
ifikapo 2016/17 na vipeperushi.
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya tani
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizozalishwa
kazi, nyenzo za usafiri

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 83


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za uthibitisho Ofisa
vya utendaji anayehusika

11. Kuchangia katika - Kuongeza tani za - Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha tani Idadi ya wakulima, DSMS-CROP
ongezeko la uzalishaji mpunga wa kijiji, viongozi wa kata, 60,000 viongozi wa kijiji, kata,
wa mpunga kutoka zinazozalishwa wataalamu wa kilimo, jamii na kitaongezeka wataalamu wa kilimo
tani 37,000 mwaka kwa hekta sekta binafsi kuhusu uzalishaji wa na sekta binafsi
2012/13 hadi 97,000 mpunga kupitia semina/warsha, waliopata mafunzo
ifikapo 2016/17 mabango na vipeperushi.
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya tani
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizozalishwa
kazi, nyenzo za usafiri
-
12. Kuchangia katika - kuongeza tani za - Kujenga uelewa kwa viongozi Tani 54,000 Idadi ya wakulima, DSMS-CROP
ongezeko la uzalishaji ndizi wa kijiji, viongozi wa kata, zitaongezeka viongozi wa kijiji, kata,
wa ndizi kutoka tani zinazozalishwa wataalamu wa kilimo na jamii wataalamu wa kilimo
146,000 mwaka kwa hekta kuhusu uzalishaji wa ndizi kupitia na sekta binafsi
2012/13 hadi 200,000 semina/warsha, mabango na waliopata mafunzo
ifikapo 2016/17 vipeperushi.
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya tani
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizozalishwa
kazi, nyenzo za usafiri
-
13. Kuchangia katika - Kuongeza tani - Kujenga uelewa kwa viongozi Tani 22,500 Idadi ya wakulima, DSMS-CROP
ongezeko la uzalishaji za maharage wa kijiji, viongozi wa kata, zitaongezeka viongozi wa kijiji, kata,
wa maharage kutoka zinazozalishwa wataalamu wa kilimo, jamii na wataalamu wa kilimo
tani 27,000 mwaka kwa hekta sekta binafsi kuhusu uzalishaji wa na sekta binafsi
2012/13 hadi …… maharage kupitia semina/warsha, waliopata mafunzo
ifikapo 2016/17 mabango na vipeperushi.
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya tani
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizozalishwa
kazi, nyenzo za usafiri
-Kuratibu pamoja na kituo cha
utafiti cha kanda
14. Kuongeza maeneo ya - Kuongeza eneo la - Kujenga uelewa kwa viongozi Hekta 150 Idadi ya wakulima, DSMS-LUP

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 84


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za uthibitisho Ofisa
vya utendaji anayehusika

kilimo yaliyodhibitiwa kilimo katika wa kijiji, viongozi wa kata, zitaongezeka viongozi wa kijiji, kata,
mmomonyoko wa hekta kwa ajili ya wataalamu wa kilimo na jamii wataalamu wa kilimo
udongo kutoka hekta uzalishaji wa kuhusu kudhibiti mmomonyoko na sekta binafsi
100 ifikapo 2012/13 mazao wa udongo kupitia waliopata mafunzo
hadi 250 ifikapo semina/warsha, mabango na
2016/17 vipeperushi. Idadi ya hekta
- Kuwawezesha wataalamu wa zilizoongezwa/kudhibiti
kilimo kwa kuwapa vifaa vya wa
kazi,

15. Kuchangia katika - Kuongezeka kwa - Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha tani Idadi ya wakulima, DSMS-CROP
ongezeko la nazi tani za uzalishaji wa kijiji, viongozi wa kata, 130,000 viongozi wa kijiji, kata,
kutoka tani 100,000 wa nazi wataalamu wa kilimo na jamii kitaongezwa wataalamu wa kilimo
mwaka 2012/13 hadi kuhusu kudhibiti mmomonyoko na sekta binafsi
230,000 ifikapo wa udongo kupitia waliopata mafunzo
2016/17 semina/warsha, mabango na
vipeperushi. Idadi ya tani
- Kuwawezesha wataalamu wa zilizozalishwa
kilimo kwa kuwapa vifaa vya
kazi,

- Kuhusisha Sekta Binafsi


16 Kuongeza idadi ya Kuongeza idadi ya - Kujenga uelewa kwa viongozi Vyama vya - Idadi ya vyama vya DCO
vyama vya ushirika vyama vya ushirika wa kijiji, viongozi wa kata, ushirika 25 ushirika
kutoka 80 mwaka katika wilaya wataalamu wa kilimo na jamii kuongezwa
2012/13 hadi 105 kuhusu jinsi ya kuunda vyama
ifikapo 2016/17 vya ushirika kupitia
semina/warsha, mabango na
vipeperushi.
17 Kuongeza idadi ya - Kuongeza idadi- To - Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha - Idadi ya wanachama DCO
wanachama katika ya wanachama wa kijiji, viongozi wa vyama wanachama wa ushirika
vyama vya ushirika katika chama cha vya ushirika na jamii kuhusu ili 3000
kutoka 9116 mwaka ushirika kujiunga na vyama vya kuongezeka

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 85


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za uthibitisho Ofisa
vya utendaji anayehusika

2012/13 hadi 14000 ushirika kupitia


ifikapo 2016/17 semina/warsha, mabango na
vipeperushi.

18 Kuongeza idadi ya - -Kuongeza idadi -cre


ya - Kuwezesha nyenzo na rasilimali Vyama vya - Idadi ya ushirika DCO
vyama vya ushirika vyama vya za wakaguzi ushirika 20 uliokaguliwa
vilivyokaguliwa ushirika vilivyokaguliwa
kutoka 40 mwaka vilivyokaguliwa kuongezeka
2012/17 hadi 80 katika wilaya
ifikapo 2016/17
19 Kuongeza thamani ya -kuongeza - Kujenga uelewa kwa viongozi Jumla ya kiasi Ongezeko la mfuko wa DCO
mfuko wa fedha za thamani ya mfuko wa kijiji, viongozi wa vyama cha shilingi fedha za pembejeo
pembejeo katika wa fedha za vya ushirika na wanachama wa 120,000,000 katika ushirika
vyama vya ushirika pembejeo katika ushirika kupitia kuongezeka
Shilingi ya Tanzania. wilaya semina/warsha, mabango na
280,000,000 mwaka vipeperushi.
2012/13 hadi
400,000,000 ifikapo
2016/17

20 Kuongeza idadi ya - Kuongeza idadi - kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha Idadi ya watumishi DCO
watumishi wa ushirika ya watumishi wa wa ushirika kupitia watumishi 265 waliopata mafunzo
waliopata mafunzo ushirika semina/warsha, mabango na waliopata
kutoka 50 mwaka waliopata vipeperushi. mafunzo
2012/13 hadi 315 mafunzo kwa kila kuongezeka
ifikapo 2016/17 chama cha
ushirika katika
wilaya
21 Kuongeza idadi ya -kuongeza idadi ya - kujenga uelewa kwa viongozi Maghala 14 Idadi ya maghala DCO
maghala kutoka 26 maghala katika wa ushirika, wanachama, kuongezeka yaliyojengwa
mwaka 2012/13 hadi wilaya wenye mabenki na wanunuzi
40 ifikapo 2016/17 wa mazao kupitia
semina/warsha, mabango na

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 86


NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za uthibitisho Ofisa
vya utendaji anayehusika

vipeperushi.
22 Kuwa na maofisa 10 -kuongeza uwezo - kujenga uelewa kwa viongozi Kuwepo kwa Idadi ya ofisi DCO
wa SACCOS wa idadi ya ofisi na wanachama wa SACCOS ofisi 10 zilizojengwa
Wanaopokea akiba na zinazopokea akiba kupitia semina/warsha,
kulipa mikopo na kutoa mikopo mabango na vipeperushi.
ifikapo
2016/17
23 Kuwa na ziara 5 za -kuongeza uwezo - kujenga uelewa na kuwezesha Kufanyika kwa Idadi ya vyama DCO
masomo kwa vyama wa kupeana viongozi na wanachama wa ziara za vilivyohudhuria ziara
vya kuweka na uzoefu na SACCOS kupitia ziara za mafunzo 5
Kukopa ifikapo kubadilishana mafunzo
2016/17 mawazo na
uzoefu kwa
wanachama wa
SACCOS
24 Kuongeza uzalishaji Kuongezeka kwa - Kujenga uelewa kwa bodi ya Kilogramu 3.1 Idadi ya kilogramu DCO
wa tumbaku kupitia uzalishaji katika ushirika, wanachama wa kuongezeka
ushirika kutoka kg kilogramu ushirika kupitia mikutano
milioni 2.9 mwaka
2012/13 hadi kg
milioni 6 ifikapo
2016/17
25 Kuongeza uzalishaji Kuongeza - Kujenga uelewa kwa bodi ya Uzalishaji Idadi ya kilogramu DCO
wa kahawa kupitia uzalishaji katika ushirika, wanachama wa kuongezeka
ushirika kutoka kg kilogramu ushirika kupitia mikutano
539,316 mwaka
2012/13 hadi kg
900,000 ifikapo
2016/17

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 87


4.14 IDARA: MIFUGO NA UVUVI
Lengo la Pamoja: Kuongeza wingi na ubora wa huduma za jamii na miundombinu

Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa


NA. vya utendaji uthibitisho anayehusika
1 Kuwasaidia wafugaji Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha Idadi ya viongozi SMS – LP
wa mifugo kuongeza ng’ombe wa wa vijiji, kikundi cha wafugaji ng’ombe wa na wanachama
idadi ya ng’ombe wa maziwa katika na jamii kupitia semina/warsha maziwa 500 waliopata mafunzo
maziwa kutoka 616 wilaya , mabango na vipeperushi kuongezeka
mwaka 2012/13 hadi Idadi ya ng’ombe
1,116 ifikapo 2016/17 wa maziwa

2 Kuwa na jumla ya Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha mbuzi Idadi ya viongozi SMS – (SA)
mbuzi wa maziwa 110 mbuzi wa maziwa wa vijiji, kikundi cha wafugaji wa maziwa 110 na wanachama
ifikapo 2016/17 na jamii kupitia semina/warsha kuongezeka waliopata mafunzo
, mabango na vipeperushi
Idadi ya mbuzi wa
maziwa

3 Kuwa na kiasi cha kuku Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha kuku Idadi ya viongozi SMS (SA)
wa mayai 1,000 ifikapo kuku wa mayai wa vijiji, kikundi cha wafugaji 1,000 kuwepo na wanachama
2016/17 na jamii kupitia semina/warsha waliopata mafunzo
, mabango na vipeperushi
Idadi ya kuku wa
mayai

4 Kusaidia katika Kuongeza tani za Kujenga uelewa kwa viongozi -Kiasi cha tani Idadi ya tani za DLDO
uzalishaji wa nyama nyama wa vijiji, kikundi cha wafugaji 8,521 za nyama nyama ya
kutoka tani 13,408 na jamii kupitia semina/warsha kuongezeka ng’ombe
mwaka 2012/13 hadi , mabango na vipeperushi
21,930 ifikapo 2016/17

5 Kuongeza uwanda wa Kuongeza uwanda Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha ekari Idadi ya ekari SMS –
malisho kutoka ekari wa malisho ya wa vijiji, kikundi cha wafugaji 130,432 RANGE
400,000 mwaka mifugo na jamii kupitia semina/warsha zitaongezeka MGT
2012/13 hadi 530,432 , mabango na vipeperushi

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 88


Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
NA. vya utendaji uthibitisho anayehusika
ifikapo 2016/17

6 Kupunguza vifo vya Kupunguza idadi Kujenga uelewa kwa viongozi Vifo 1,100 Idadi ya kiwango SMS – TC
wanyama ya vifo vya wa vijiji, kikundi cha wafugaji kupunguzwa cha vifo
vinavyosababishwa na wanyama na jamii kupitia semina/warsha kilichopungua
ugonjwa wa malale , mabango na vipeperushi
kutoka makundi 1,350
mwaka 2012/13 hadi
250 ifikapo 2016/17
7 Kupunguza vifo vya Kupunguza idadi Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha 2,000 Idadi ya kiwango SMS – VPH
wanyama ya vifo vya wa vijiji, kikundi cha wafugaji kitapunguzwa cha vifo
vinavyosababishwa na wanyama na jamii kupitia semina/warsha kilichopungua
magonjwa , mabango na vipeperushi
yanayoenezwa na kupe
kutoka makundi 2300
mwaka 2012/13 hadi
300 ifikapo 2016/17
8 Kuongeza idadi ya Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha Idadi ya ng’ombe DALDO
ng’ombe waliochanjwa ng’ombe wa vijiji, kikundi cha wafugaji makundi ya waliochanjwa
dhidi ya CBPP kutoka waliochanjwa dhidi na jamii kupitia semina/warsha ng’ombe 79,600
ng’ombe 19,900 mwaka ya CBPP , mabango na vipeperushi kuchanjwa
2012/13 hadi 99,900
ifikapo 2016/17
9 Kuchanja ng’ombe Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi -kiasi cha Idadi ya ng’ombe DALDO
99,500 dhidi ya ng’ombe wa vijiji, kikundi cha wafugaji ng’ombe 99,500 waliochanjwa
Ugonjwa wa Midomo waliochanjwa dhidi na jamii kupitia semina/warsha watachanjwa
na Miguu ifikapo ya Ugonjwa wa , mabango na vipeperushi
2016/17 Midomo na Miguu

10 Kuongeza idadi ya kuku Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi -Kiasi cha Idadi ya kuku SMS-SA
waliochanjwa dhidi ya kuku waliochanjwa wa vijiji, kikundi cha wafugaji ng’ombe 190,000 kuchanjwa
NCD kutoka 45,000 dhidi ya NCD na jamii kupitia semina/warsha watachanjwa
mwaka 2012/13 hadi , mabango na vipeperushi
237,500 ifikapo

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 89


Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
NA. vya utendaji uthibitisho anayehusika
2016/17

11 Kuongeza idadi ya Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha mbwa Idadi ya mbwa SMS – VPH
mbwa waliochanjwa mbwa wa vijiji, kikundi cha wafugaji 1760 waliochanjwa
dhidi ya kichaa cha waliochanjwa dhidi na jamii kupitia semina/warsha watachanjwa
mbwa kutoka mbwa ya kichaa cha , mabango na vipeperushi
440 mwaka 2012/13 mbwa
hadi 2200 ifikapo
2016/17

12 Kuongeza idadi ya Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Majosho 8 ya Idadi ya majosho DALDO
majosho ya ng’ombe majosho ya wa vijiji, kikundi cha wafugaji ng’ombe
kutoka 7 mwaka ng’ombe na jamii kupitia semina/warsha kujengwa
2012/13 hadi 15 ifikapo , mabango na vipeperushi
2016/17

13 Kuwa na meza 10 za Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Meza kumi za Idadi ya meza za SMS – VPH
kuchinjia ifikapo meza za kuchinjia wa vijiji, kikundi cha wafugaji kuchinjia kuchinjia
2016/17 na jamii kupitia semina/warsha kujengwa
, mabango na vipeperushi
14 Kuongeza idadi ya Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Masoko 3 ya Idadi ya masoko DALDO
masoko ya ng’ombe masoko ya wa vijiji, kikundi cha wafugaji ng’ombe ya ng’ombe
kutoka 2 mwaka ng’ombe na jamii kupitia semina/warsha kuanzishwa
2012/13 hadi 5 ifikapo , mabango na vipeperushi
2016/17

15 Kuwa na kliniki 4 za Kuongeza kliniki Kujenga uelewa kwa viongozi Kliniki 4 za Idadi ya kliniki za DALDO
wanyama ifikapo za wanyama wa vijiji, kikundi cha wafugaji wanyama wanyama
2016/17 na jamii kupitia semina/warsha kujengwa
, mabango na vipeperushi

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 90


Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
NA. vya utendaji uthibitisho anayehusika
16 Kuongeza kiasi cha Kuongezeka kwa -kuwahamasisha na Kiasi cha tani Idadi ya tani za DSMFS
samaki wanaovunwa kiasi cha uvunaji kuwaelimisha wavuvi kuhusu 70,000 za samaki samaki
kutoka tani 50,000 wa samaki katika umuhimu wa data na kukusanya waliovunwa zilizorekodiwa
mwaka 2012/2013 tani. data. kurekodiwa. kuongezeka
hadi10,000 ifikapo -Kuandaa ukusanyaji wa data
2016/17 na vifaa vya kuhifadhia
- Kutoa njia nyepesi ya
kukusanya data.
- kuandaa hifadhi data kwa ajili
ya Uvuvi na vyombo vya uvuvi
-Kuanzisha njia ya Utafiti wa
Tathmini ya Samaki
waliovuliwa (CAS) ya
ukusanyaji data katika maeneo
mengine ya kupakulia.

17 Kutoa mafunzo ya Ongezeko la -Kuanda vitabu vya mafunzo Kiasi cha wauzaji -Uvuvi na vitendo FsO
uvuvi endelevu kwa kutotumiwa kwa - Kuandaa miongozo wa samaki 6,200 vya biashara
wavuvi na wauzaji wa muda sheria za - Kuhusisha serikali ya kijiji. kupata mafunzo. haramu ya samaki
samaki kutoka 1800 uvuvi miongoni kupunguzwa
mwaka 2012/2013 hadi mwa watumiaji wa -Vitabu vya
8,000 ifikapo rasilimali za uvuvi. mafunzo
2016/2017 kupatikana
-Kupata idadi ya
waliopata
mafunzo.
18 Kuongeza idadi ya Kuongeza ubora na Kuhusisha serikali ya kijiji na Kiasi cha chanja -Kuwepo kwa FsOQ
chanja za kukaushia kupunguza hasara wanufaika katika kuchangia za kukaushia idadi ya chanja za
kutoka 400 mwaka baada ya uvunaji gharama. 2,200 kukaushia
2012 hadi 2,600 ifikapo wa bidhaa za uvuvi -Kuelimisha wavuvi kuhusu kuongezwa. zilizojengwa.
2016/17 zilizovunwa. umuhimu wa usafi wa bidhaa za -Taratibu za
uvuvi. ununuzi wa vifaa
-Kuandaa na kusambaza vifaa kufuatwa.
vya kukaushia kwa muundo wa

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 91


Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
NA. vya utendaji uthibitisho anayehusika
mfuko maalumu wa fedha.
- Kutumia sheria na kanuni za
uvuvi kudhibiti ubora wa
bidhaa za uvuvi.
19 Kuongeza idadi ya Kuongeza ubora na Kuhusisha serikali ya kijiji na Kiasi cha Idadi ya matanuru FsOQ
matanuru ya kukausha kupunguza wanufaika katika kuchangia matanuru ya ya kukausha kwa
kwa moshi kutoka 21 upotevu wa bidhaa gharama. kukausha kwa moshi kupatikana.
mwaka 2012 hadi 46 za uvuvi Wavuvi kuelimishwa kuhusu moshi 25 -Taratibu za
ifikapo 2016/17. zilizovunwa baada umuhimu wa usafi kwa bidhaa kuongezeka ununuzi wa vifaa
ya kuvuna za uvuvi. zimefuatwa.
Kuwezesha ujenzi.
Kutumia sheria na kanuni za
uvuvi ili kudhibiti ubora wa
bidhaa za uvuvi.
20 Kuongeza idadi ya Ongezeko la -Ubainishaji wa vijiji kwa ajili Kiasi ca Vitengo -Kuwepo kwa DFSO
kamati za usimamizi wa kutotumiwa kwa ya uanzishaji wa BMU kupitia 8 vya Usimamizi idadi ya vijiji
fukwe kutoka 9 mwaka muda sheria za vigezo vya uvuvi. wa Fukwe vilivyobainishwa.
2012 hadi 17 ifikapo uvuvi miongoni -kuhusisha serikali ya kijiji kuongezeka. -Kuwepo kwa
2016/17 mwa watumiaji wa katika mchakato wa uelimishaji idadi ya wadau
rasilimali za uvuvi. kupitia mikutano ya ndani na wanaohudhuria
nje. -kuwepo kwa
- Kuhusisha wadau wa uvuvi idadi ya BMU
katika mikutano ya uelimishaji. zilizoanzishwa.
Mafunzo ya BMU
zilizoanzishwa kuhusu
usimamizi wa uvuvi.
-kusimamia BMU
zilizoanzishwa kuhusu
majukumu yao kulingana na
sheria za uvuvi.

21 Kuongeza mapato ya Kuiwezesha -Kuelimisha serikali ya kijiji Kiasi cha Tsh 12, -ongezeko la DFsO
Halmashauri kutokana halmashauri kuhusu ukusanyaji wa mapato. 000,000/= kiwango cha
na leseni ya uvuvi kufikia malengo Kuelimisha, kutumia na makusanyo ya mapato

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 92


Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
NA. vya utendaji uthibitisho anayehusika
kutoka shilingi za yake kama mtoa kumotisha BMU kuhusu mwaka yanayopatikana.
Tanzania 28,000 huduma. ukusanyaji wa mapato. kuongezeka.
mwaka 2011/2012 hadi -Kutayarisha hifadi data za
40,000,000 ifikapo wilaya kuhusu uvuvi, wauzaji
2016/17 wa samaki na meli za uvuvi.
-Kusajili meli zote za uvuvi
kwa kuziandika alama ya
usajili.
-Kuendesha doria ya wilaya
kwa meli zisizo na leseni.
22 Kuwa na vituo 3 vya Kuongeza ubora -Kubainisha vijiji kwa ajili ya Vituo 3 vya -Kuongezeka kwa DFsO
kupokelea samaki wa bidhaa za uvuvi ujenzi. kupokelea samaki idadi ya vituo vya
ifikapo 2016/17 zinazovunwa. -Kuielimisha serikali ya kijiji kujengwa. kupokelea samaki.
na wadau kupitia mikutano
kuhusu upatikanaji wa ardhi na
umuhimu wa mradi.
-Kuandaa nyaraka za mradi ili
kuvutia wawekezaji.
-
23 Kuongeza idadi ya Kuongeza huduma -Kuajiri watumishi wapya Kiasi cha Ongezeko la idadi DFsO
watumishi wa uvuvi za vijijini -Kujenga uwezo wa watumishi wafanyakazi 8 wa ya wafanyakazi DHRO
kutoka 16 mwaka wapya na waliopo wa vijijini uvuvi kuajiriwa. wa uvuvi.
2012/2013 hadi 24 -Kuwepo kwa
ifikapo 2016/2017 taratibu za ajira
24 Kuwa na vikundi 3 vya Kuboresha hali ya -Kuandaa miongozo ya Kiasi cha vikundi -Kuwepo kwa DFsO
Ushirika miongoni maisha miongoni mafunzo. vya Ushirika 3 idadi ya wadau CO
mwa wavuvi ifikapo mwa jamii za -Kuendesha uelimishaji kuhusu kuanzishwa. walioelimishwa
2016/2017 wavuvi. uanzishaji wa Ushirika kupitia - Kuwepo kwa
mikutano. kumbukumbu za
-kuandaa nyaraka za kisheria. mkutano
-kuwezesha taratibu za -Kuwepo kwa
uandikishaji. idadi ya vikundi
vya ushirika
vilivyoanzishwa.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 93


Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
NA. vya utendaji uthibitisho anayehusika
25 Kupunguza gharama za Kuongeza idadi ya -Kutoa elimu kwa wavuvi Gharama za -kuwepo kwa DFsO
uendeshaji katika vyama vya kuhusu chanzo mbadala cha uendeshaji idadi ya mwli za
matumizi ya mafuta ya ushirika katika nishati ya mwanga (umeme wa kupunguzwa kwa uvuvi zinazotumia
taa katika shughuli za wilaya. jua) shilingi ya umeme wa jua
kuvua za shilingi ya -Kuandaa nyaraka ili kuvutia Tanzania kwa ajili ya kuvua.
Tanzania 2,000,000/= wawekezaji. 1,700,000/= kwa
kwa mwezi hadi -kununua vifaa vya sola. mwezi, kwa meli
shilingi ya Tanzania -Kufunga mfumo katika dhana
300,000/= kwa mwezi. ya mfuko utakaokuwa na fedha
wakati wote.
-kutoa mafunzo ya
matengenezo ya msingi kwa
wadau.
-
26 Kuongeza idadi ya Kuongezeka kwa -Uelimishaji kwa serikali ya Kiasi cha -Kuwepo kwa DFsOAQ
mabwawa ya samaki idadi ya mabwawa kijiji na wakulima katika mabwawa 290 idadi ya wakulima
kutoka 110 mwaka katika Wilaya. ufugaji wa samaki. kuongezeka wanaofuga samaki
2012 hadi 400 ifikapo -Kubainisha ardhi inayofaa kwa -vitabu vya
2016/17 ufugaji wa samaki. mafunzo na
-Kuwaelimisha wafugaji miongozo ya
kuhusu uteuzi wa eneo, utunzaji mafunzo kuwepo.
wa bwawa na utengenezaji wa -kuwepo kwa
chakula. idadi ya wanakijiji
- kuandaa vitabu vya wanaohudhuria
mwongozo wa mafunzo. uelimishaji.
-kuanzisha kituo cha kuangulia
samaki cha Wilaya
- Kuhusisha serikali ya kijiji
katika upatikanaji wa ardhi kwa
ajili ya kituo cha kuangulia
samaki.
- Kuwafundisha wakulima
kuhusu ufugaji endelevu wa
samaki.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 94


Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 95
4.15 IDARA: USAFI NA MAZINGIRA
Lengo la Pamoja: Kushughulikia matatizo na changamoto za mazingira

NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za uthibitisho Ofisa
vya utendaji anayehusika

Kupunguza kiwango Kuhakikisha eneo Kutayarisha na kusambaza Asilimia ya eneo Miongozo ya


cha uharibifu wa linaloharibiwa miongozo kuhusu lililoharibiwa teknolojia
1 ardhi kutoka asilimia linapungua hadi teknolojia mbalimbali kupungua kwa mbalimbali rahisi
40 mwaka 2012/13 asilimia 20 ifikapo rahisi kuhusiana na asilimia 20 kuhusiana na
hadi 20 ifikapo 2017 shughuli za matumizi shughuli za
2016/17 mazuri ya ardhi Kupunguza matumizi ya ardhi
kiwango cha zinazofaa
Kuandaa na kutekeleza uharibifu wa kutayarishwa na DEMO
mipango ya kudhibiti misitu kusambazwa
sababu zilizobainishwa za
uharibifu wa ardhi Idadi ya mipango Kuongezeka kwa
iliyotekelezwa eneo la Msitu/uoto
Kuendeleza matumizi ya
majiko yanayotumia kuni Mafunzo kufanyika
kidogo na kuboresha kwa kamati ya
matanuru ya mkaa mazingira ya kijiji

Kuwezesha kijiji

Kamati ya mazingira kwa


kutoa mafunzo ya
usimamizi wa matumizi ya
ardhi ya kijiji

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 96


4.16 IDARA: ELIMU YA MSINGI
Lengo la Pamoja: Kuimarisha upatikanaji wa utoaji wa huduma za jamii zilizo bora na zenye usawa.
N Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za Ofisa
A. utendaji uthibitisho anayehusik
a

1 Uandikishaji wa watoto Kuongeza idadi ya - Kuhusisha serikali ya -Uandikishaji wa watoto wa -Vitabu vya SLO/DAO
wa shule ya awali na watoto wa darasa la kijiji kupitia mikutano darasa la kwanza kutoka uandikishaji na
darasa la kwanza kwanza kutoka 18416 -Kuhusisha kamati za 18416 mwaka 2012/13 hadi mahudhurio.
mwaka 2013 hadi shule kupitia semina
20000 ifikapo 2016/17
20000 ifikapo 2018 -Kujenga uelewa wa jamii - Kumbukumbu
kupitia matangazo katika -Mkutano mmoja wa za mikutano
mikusanyiko mbalimbali
serikali ya kijiji (kila mwaka
ya jamii kama vile
makanisa, misikiti na mwezi Oktoba)
maeneo ya masoko
-Semina ya siku moja kwa
wajumbe wa kamati ya
shule (kila mwaka mapema
mwezi Oktoba)

Kuongeza idadi ya - Kuhusisha serikali za -Uandikishaji wa watoto wa - Vitabu vya SLO/DAO


watoto wa shule za vijiji kupitia mikutano shule za awali kutoka 9454 uandikishaji na
awali kutoka 9454 -Kuhusisha kamati za hadi 20000 mahudhurio.
mwaka 2013 hadi shule kupitia semina
20000 ifikapo 2018 - Kujenga uelewa wa jamii -Mkutano mmoja wa - Kumbukumbu
kupitia matangazo katika serikali ya kijiji (Oktoba ya za mikutano
mikusanyiko mbalimbali
kila mwaka)
ya jamii kama vile
makanisa, misikiti na
- Semina ya siku moja kwa
maeneo ya masoko
wajumbe wa kamati ya
shule (kila mwaka mapema
mwezi Oktoba)

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 97


2 Kuongeza idadi na Kuongeza madarasa - kuhusisha serikali za Ujenzi wa madarasa kutoka BOQ’s, hati za DEO,
ubora wa miundombinu katika shule za msingi vijiji kupitia kamati za 1377 mwaka 2012/13 hadi mkataba, ripoti za DPLO, DE,
kutoka 1377 mwaka ujenzi 1527 ifikapo 2016/17 usimamizi, VEO’s
2012/13 hadi 1527 -Kuhusisha kamati za
madarasa
ifikapo 2016/17 shule kwa kubainisha eneo - Utayarishaji wa BoQs na
kwa ajili ya ujenzi mkutano wa makandarasi
-Kuhamasisha jamii
-kuhusisha idara ya Ujenzi
kwa kuandaa BoQs na
mkutano wa makandarasi
Kuongeza idadi ya - kuhusisha serikali za Kujenga nyumba za walimu BOQ’s, hati za DEO,
nyumba za walimu vijiji mkataba, ripoti za DPLO, DE,
zilizojengwa kutoka - Kuhusisha kamati za usimamizi, VEO’s
380 mwaka 2013 hadi shule
nyumba za
430 ifikapo 2018 - Kuhamasisha jamii
- kuhusisha idara ya Ujenzi walimu

Kuongeza idadi ya - kuhusisha serikali za Kujenga vyoo vya shimo BOQ’s, hati za DEO,
vyoo vya shimo katika vijiji mkataba, ripoti za DPLO, DE,
shule za msingi kutoka - Kuhusisha kamati za usimamizi, vyoo VEO’s
1560 mwaka 2013 shule
vya shimo
hadi 2060 ifikapo 2018 - Kuhamasisha jamii
- kuhusisha idara ya Ujenzi
Kuongeza idadi ya - kuhusisha serikali za Kutengeneza madawati BOQ’s, hati za DEO,DPL
madawati kutoka vijiji mkataba, ripoti za O,DE
12388 mwaka 2013 - Kuhamasisha jamii usimamizi,
hadi 34,789 ifikapo
madawati
2013/18
Kuongeza idadi ya -Kuhusisha jamii Kutengeneza meza BoQs; DEO
meza kutoka--- mwaka -Kuhusisha serikali za ,DPLO and
2012/2013 hadi -- vijiji Na hati za DE
ifikapo 2016/2017 -Kuhusisha kamati za mkataba, meza za
shule walimu
-Kuhusisha Idara ya Ujenzi
Kuongeza idadi ya viti Kuomba fedha kupitia Kutengeneza viti 97 kila BoQs; DEO
kutoka 2271 mwaka bajeti ya mwaka kutoka ,DPLO and

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 98


2012/2013 hadi 2755 serikali kuu mwaka Hati ya mkataba DE
ifikapo 2016/17 -kuhusisha kamati ya shule na viti,
katika kutengeneza viti

Kuongeza idadi ya - Kuomba fedha kupitia Kujenga 20 kila mwaka Kuwepo kwa DEO
viwanja vya mpira wa bajeti ya mwaka kutoka viwanja vya mpira WECs HTs
miguu kutoka 121 serikali kuu wa miguu na
mwaka 2012/2013
WALIMU
hadi 219 ifikapo -Kuomba msaada kutoka
2016/17 AZISE, CBOs kama vile, WA
TACARE, CRDB MICHEZO

3 Kuimarisha upatikanaji, Kuendesha warsha za - Kuhusisha Wakuu wa Kuendesha warsha 12 -Vitabu vya DEO,
utoaji wa huduma ya kuwaeleza mambo shule za msingi katika ifikapo 2016/2017 yaani; kufundishia , DAO,
elimu bora na yenye mapya walimu kutoka kuandaa washiriki DCIS.
0 mwaka 2012/2013 -Kuhusisha Wakuu wa i. Warsha moja ya mipango -Orodha za
usawa na utawala katika kila
hadi 12 ifikapo Shule za msingi mahudhurio
2016/2017 -Kuhusisha Idara ya miaka miwili kwa wakuu
Ukaguzi ili kuwezesha wa shule za msingi na
warsha WECs

ii. Semina moja kwa


mwaka kwa wakuu wa
taaluma na walimu wa
sayansi.

iii. Semina moja kwa


mwaka kwa wakuu wa
taaluma na walimu wa
sayansi ya jamii.

iv. Semina moja kwa


mwaka kwa walimu
wanaofundisha 3Rs

Kupunguza uwiano wa -kuhusisha serikali za vijiji -Mkutano mmoja mkuu wa Kumbukumbu za DEO,
mwalimu kwa katika kuweka mazingira kijiji utafanyika kila mwaka DHRO,

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 99


mwanafunzi kutoka bora kwa walimu mwezi Novemba. mkutano, HTs, WECs
1:55 mwaka 2013 hadi wanaoajiriwa kwa mara ya
1:45 ifikapo 2016/17 kwanza. Maoni maazuri ya
-Kuwasilisha maombi ya jamii kwa walimu
mahitaji ya walimu katika na wafanyakazi
shule kwa serikali kuu wasio walimu
- Kuwahusisha wakuu wa
katika shule.
shule za msingi na WECs
katika kuendesha mikutano
mikuu ya vijiji

Kupunguza idadi ya -Kuhusisha serikali za Viongozi wa serikali za Vitabu vya DEO,


madarasa ya vijiji kuhakikisha watoto vijiji watafanya sensa kila uandikishaji DAO, SLO,
MEMKWA katika wote wenye umri wa mwaka mwezi Oktoba kwa VEOs, $
shule za msingi kutoka miaka 6-7 wanaandikishwa
miaka yote mitano ili kupata HTs
madarasa 54 mwaka shule
2012/2013 hadi 10 idadi ya watoto
ifikapo 2013/18 watakaoandikishwa mwaka
unaofuata.

Kuendesha ukaguzi na -Kuhusisha wafanyakazi -Ukaguzi mkuu utafanyika -Ripoti za ukaguzi DEO,
usimamizi katika shule wa idara ya elimu makao mara tatu na ukaguzi DCIS.
makuu na wakaguzi wa mahsusi mara mbili kila
shule katika kufanya
mwaka.
ukaguzi na usimamizi
Kuongeza idadi ya -Kuhusisha serikali za Ujenzi wa kituo kimoja kila BoQs; DEO
vituo vya ufundi vijiji kubainisha maeneo baada ya miaka miwili ,DPLO and
kutoka 1 mwaka ya kujenga kituo na Hati ya mkataba DE
2012/2013 hadi 3 kuhamasisha jamii kuwa na viti
ifikapo 2016/2017 na mwitikio mzuri katika
ujenzi wa vituo vya ufundi
-Kuhusisha serikali kuu
katika kupanga bajeti na
kugawa fedha kwa ajili ya
kujenga

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 100


Kuongeza idadi ya - Kuhusisha serikali za Ujenzi wa kituo kimoja kila BoQs; DEO
Vituo vya Sayansi ya vijiji kubainisha maeneo baada ya miaka miwili ,DPLO na
Kilimo kutoka 0 ya kujenga kituo na Hati ya mkataba DE
mwaka 2012/2013 kuhamasisha jamii kuwa na viti
hadi 2 ifikapo na mwitikio mzuri katika
2016/2017 ujenzi wa vituo vya
Sayansi ya Kilimo
- Kuhusisha serikali kuu
katika kupanga bajeti na
kugawa fedha kwa ajili ya
kujenga vituo vya Sayansi
Kupunguza iadadi ya - Kuhusisha serikali za Viongozi wa serikali za -Madaftari ya DEO,
watu wazima ambao vijiji vijiji wataendesha sensa uandikishaji na VEOs,
hawajui kusoma na -Kuhusisha Kamati za AE mwezi Oktoba kila mwaka mahudhurio. WEOs
kuandika kutoka -Kuhamasisha jamii
kwa watu wazima wote
62160 mwaka -Idadi
2012/2013 hadi 3 ambao hawajui kusoma na
kuandika na kuwaandikisha inayoonekana ya
ifikapo 2016/2017
katika madarasa ya watu madarasa ya
wazima. elimu ya watu
wazima

Kuboresha Elimu ya - Kuhusisha serikali za Viongozi wa serikali za -Madaftari ya DEO,


Watu wazima kwa vijiji vijiji wataendesha mikutano uandikishaji na VEOs,
kuongeza vikundi vya -Kuhusisha Kamati za AE mikuu ili kuielimisha jamii mahudhurio. WEOs
MKEJA kutoka 45 -Kuhamasisha jamii
kuweka madarasa ya
mwaka 2012/2013 -idadi
hadi 55 ifikapo MKEJA
inayoonekana ya
2016/2017
madarasa ya
MKEJA

Kuboresha michezo Kuendeleza michezo -kuhusisha kamati za Kuendesha Orodha ya DEO DAO,
mbalimbali katika shule ya UMITASHUMITA, shule, kuhusisha WECs, “UMITASHUMITA” mara mahudhurio DSGO HT
za msingi mashindano ya kuhusisha HTs, kuhusisha moja kila mwaka.
utamaduni na masomo walimu wa michezo na Ripoti za
kuanzia ngazi ya shule wanafunzi na idara ya

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 101


hadi ngazi ya wilaya ukaguzi. mashindano,
kwa mwaka kiwanja cha
2012/2017 michezo na vifaa
vya michezo.
sports gears

Kuendeleza utawala Kuendesha warsha - Kuwahusisha WECs na Warsha moja itafanyika kila Orodha ya DEO, HTs
bora na huduma za kwa kamati za shule Wakuu wa Shule za msingi mwaka. mahudhurio WECs na
utawala kutoka 0 mwaka kuandaa washiriki kamati za
2012/2013 hadi 5 -Kuhusisha Wakuu wa Vitabu vya shule na
ifikapo 2016/2017 Shule za msingi mwongozo wa
-kuhusisha ukaguzi ukaguzi
kufundishia

Kuimarisha huduma na Kupunguza Kuhusisha maofisa wa -Semina moja ya uelimishaji -Urodha ya DEO DMO
kupunguza maambukizo ya afya na maofisa maendeleo itafanyika kila mwaka mahudhurio WALIMU
maambukizo ya VVU/UKIMWI kwa ya jamii katika kuendesha
wanafunzi na walimu semina za uelimishaji kwa - Vitabu vya
VVU/UKIMWI
kutoka asilimia 1.2 walimu mwongozo wa
mwaka 2012/13 hadi kufundishia
0.8 ifikapo 2016/17
Kuimarisha utekelezaji Kupunguza tabia za -Kuhusisha vitengo vya Kuendesha warsha moja Urodha ya Kamanda
endelevu na mzuri wa rushwa katika shule za kupambana na rushwa kila mwaka katika ngazi ya mahudhurio PCCB
mkakati wa Taifa wa msingi kwa wanafunzi -DEO shule na kata
na walimu kwa - kuhusisha WECS Vitabu vya DEO
Kupambana na Rushwa
kuendesha warsha na - kuhusisha HTs mwongozo wa
kuanzisha klabu za - kuhusisha walimu kufundishia Walimu
shule za kupambana na
rushwa
Kuongeza uwezeshaji Kupunguza mimba za Uhusisha walimu katika Kuendesha warsha moja Urodha ya DEO,
wa ustawi wa jamii, utotoni miongoni mwa kuendesha majukwaa ya kuhusu athari za mimba za mahudhurio DMO
jinsia na jamii wanafunzi wa shule ya uelimishaji kwa wanafunzi utotoni kwa walimu kila Vitabu vya
msingi kutoka 19 kuhusu mimba za utotoni
mwaka mwongozo wa
mwaka 2012/13 hadi 0
ifikapo 2016/2017 kufundishia

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 102


4.17 IDARA: UTAWALA
Lengo la Pamoja: Kuimarisha upatikanaji wa utoaji wa huduma za jamii zilizo bora na zenye usawa.
N Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
A vya utendaji uthibitish anayehusika
. o

1 Upatikanaji, utoaji Kuongeza idadi ya -Kuomba ruhusa ya Idadi ya Kuwepo DHRO


huduma za jamii zilizo wafanyakazi wa kuajiri wafanyakazi 2000 kwa
bora na zenye usawa halmashauri kutoka -Kutangaza nafasi za wameajiriwa wafanyaka
kazi
kuboreshwa kwa 4,500 hadi 6,500 ifikapo zi wapya
-Usaili na Kuajiri
asilimia 80 ifikapo Juni 2017 200
2017

Kuboresha utendaji kazi - Kuwafundisha -Utendaji kazi - DHRO


wa wafanyakazi kutoka wafanyakazi kuhusu Malalamik
asilimia 75 hadi 100 maadili, sheria na kanuni -Mwitikio wa o kutoka
-Kujaza fomu za wafanyakazi nje na
ifikapo Juni 2017
OPRAS ndani
-Mikutano ya kupungua
idara/sehemu -Kuwepo
-Fomu ya data za kwa fomu
watumishi zilizojazw
-Mikutano ya a za
wafanyakazi OPRAS &
data za
watumishi
-kuwepo
kwa
kumbuku
mbu
Kuongeza idadi ya -Kujaza fomu -Utendaji kazi Kuwepo
wafanyakazi za OPRAS kwa
- -Kumaliza kipindi cha majalada

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 103


N Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
A vya utendaji uthibitish anayehusika
. o

waliothibitishwa kutoka majaribio binafsi DHRO


-
4,500 hadi 6,500 ifikapo Kuhusisha Wizara mama -
2017 - -Kuhusisha Waraka wa Orodha ya
Muundo wafanyaka
zi
wanaostahi
li
kuthibitish
wa
Kuongeza idadi ya Kuhusisha LLG zote Idadi ya Kuwepo n
masanduku ya maoni katika Halmashauri masanduku ya a
yanayofanya kazi kutoka Kuwa na masanduku ya maoni kutumiwa
1 hadi 125 ifikapo 2017 maoni katika ofisi zao
kwa DHRO
masanduk
u ya maoni

Kuongeza idadi ya - Kuhakikisha kuna -Utendaji kazi -


wafanyakazi mfumo wa OPRAS Kupunguz
waliopandishwa vyeo - -Kuhusisha CMT -Mwitikio wa a DHRO
kutoka 4,500 hadi 6,500 kutathimini wafanyakazi wafanyakazi malalamik
ifikapo 2017 - -kuhusisha bodi ya ajira o ya ajira
- -Kuongezeka kwa yasiyo ya
ari lazima
- Kuwepo
kwa fomu
zilizojazw
a za
OPRAS &
data za
watumishi
-Kuwepo

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 104


N Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
A vya utendaji uthibitish anayehusika
. o

kwa
kumbuku
mbu
Kusimamia mikutano ya Idadi ya mikutano - Kuwepo
udhibiti ya Halmashauri: kwa
-Mikutano 20 ya -Kuhusisha CMT kumbuku DHRO
Halmashauri - Madiwani
mbu
-Mikutano 140 ya
Kamati ya kudumu -Ratiba za
-Mikutano 440 na 4500
mikutano
ya VC

-Mikutano 60 ya CMT
ifikapo 2017

Kununua samani -Bajeti katika CBG Idadi ya samani Kuwepo


mbalimbali 1940 kwa -Kuhusisha wagavi zilizonunuliwa kwa
ajili ya kumbi za Kata na katika kutengeneza samani na DHRO
Vijiji za Halmashauri samani
nyaraka za
ifikapo 2017
uthibitisho

Kuwa na ofisi 25 za Kata -kuhusisha serikali za Idadi ya ofisi Kuwepo


na 50 za vijiji ifikapo vijiji kujengwa kwa ofisi
2017 -Kuhusisha uongozi wa ya WEOs DHRO
Kata
na VEOs
-kuhusisha jamii

Kuongeza idadi ya -kuhusisha HoDs na Idadi ya nyumba Kuwepo DHRO


nyumba za wafanyakazi wafanyakazi kujengwa kwa
kutoka 10 hadi 25 ifikapo waendeshaji nyumba za
2017 wafanyaka

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 105


N Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
A vya utendaji uthibitish anayehusika
. o

zi

Kuanzishwa na -Fomu za wadai -Fomu za mdai -kuwepo


kutumiwa kwa dawati la zilizojazwa na kwa
mdai ifikapo 2017 -wafanyakazi wa Huduma dawati la DHRO
huduma kwa mteja zilizotolewa mdai

-kuwepo
kwa
wafanyaka
zi wa
huduma
kwa mteja
wenye sifa

Kuboreshwa kwa mfumo -kutoa mafunzo kwa -idadi ya -kuwepo


wa usimamizi wa rekodi wafanyakazi wa wafanyakazi kwa rafu
ifikapo 2017 usimamizi wa rekodi waliopata mafunzo za DHRO
majalada
-kununua rafu za -Idadi ya rafu za na
majalada na majalada majalada na majalada
majalada
yaliyonunuliwa -kuridhika
kwa
wateja

Kutumiwa kwa Mkataba -Kuhusisha Washauri -Idadi ya -kuwepo


kwa Mteja ulioanzishwa kwa mafunzo ya HODs wafanyakazi kwa
ifikapo 2017 na wafanyakazi waliopata mafunzo Mkataba

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 106


N Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa
A vya utendaji uthibitish anayehusika
. o

waendeshaji -Kuridhika kwa kwa Mteja


mteja
Utayarishaji wa mkataba - DHRO
kwa mteja kupungua
kwa
malalamik
o

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 107


4.18 SEHEMU: UCHAGUZI
Lengo la Pamoja: Kuendeleza utawala bora na huduma za utawala.

NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za Ofisa


vya utendaji uthibitisho anayehusika

1. Uchaguzi wa Serikali kuu Majimbo 2, kata 25 -Kuhusisha -idadi ya nafasi Kuwepo kwa
na za mitaa kufanyika na vijiji 78 kujazwa vyama vya siasa za kisiasa viongozi wa
kulingana na miongozo ya na wafanyakazi na wanasiasa kujazwa siasa Ofisa
uchaguzi ifikapo 2017 -kuhusisha Tume msimamizi wa
waliochaguliwa
ya Taifa ya kura
ifikapo 2017 uchaguzi
-kuhusisha
vikundi vya
burudani
kuelimisha jamii

Kujenga uelewa wa -Mikutano -Ushiriki wa raia -kupungua kwa


jamii kuhusu haki katika uchaguzi malalamiko
za kupiga kura kwa -Vyombo vya kwa ngazi zote yasiyo ya lazima Ofisa
Habari katika uchaguzi. msimamizi wa
kila raia ifikapo
2017 kura
-Brosha
-Kesi za
uchaguzi
kupungua

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 108


SURA YA TANO

UFUATILIAJI NA TATHIMINI

Sura hii inaeleza kwa ufupi jinsi Mpango Mkakati (MK) utakavyofuatiliwa, muda baina ya
matukio wa kupitia MK, changamoto zinazotarajiwa wakati wa kutekeleza mpango, na inatoa
mapendekezo ili kuufanya mchakato kuwa mzuri na wa ufanisi.

Katika MK huu, Ufuatiliaji utafanywa katika aina mbili ambazo ni, Ufuatiliaji wa Kiidara na
Ufuatiliaji wa Uongozi wa Juu. Katika ufuatiliaji wa kidara, wakuu wa idara mbalimbali
wanawajibika kuhakikisha kwamba malengo mkakati hayo yamefikiwa katika muda
uliopangwa na kama hayakufikiwa ni hatua gani zitakazochukuliwa. Kwa maneno mengine,
sehemu hii itatoa ushauri na mapendekezo ili kuboresha mipango ya idara. Ufuatiliaji katika
ngazi ya juu ya uongozi kwa kawaida uhusisha CMT ambapo itafuatilia kwa karibu wa
mipango mbalimbali ya idara. Ripoti za kina za robo mwaka zitakuwa zana muhimu kufanya
zoezi la ufuatiliaji katika ngazi hii.

Tathimini ni mchakato wa kujua kama kuna mafanikio au kushindwa kwa halmashauri katika
mpango wake. Halmashauri ya Wilaya itafanya tathimini ya robo mwaka, nusu mwaka na
mwaka kwa kutumia rasilimali za ndani katika idara na kutoa ripoti ya robo mwaka ya
shughuli zao. Pia wakaguzi wa hesabu wa nje, wataalamu wa serikali, AZISE & Asasi za
Kiraia na wataalamu wengine kama washauri waelekezi watatumiwa kufanya tathimini ya
kina ya mwaka. Tathimini ya mwaka, itafanyika mwishoni mwa mwaka ili kuona kama
shabaha na malengo yamefanikiwa au la, na kama hayakufanikiwa kutafuta sababu na
suluhisho ili malengo na shabaha hizo ambayo hayakukamilika yaweze kuhamishiwa katika
mwaka unaofuata.

Aidha, katika utekelezaji wa MK huu idadi ya changamoto ambazo zinaweza kuwa


vipingamizi katika kufanikisha malengo ya Halmashauri zinatarajiwa. Zifuatazo ni
changamoto zinazotarajiwa:

 Mfumuko wa bei: Mabadiliko ya mara kwa mara ya bei za bidahaa katika soko.
Huu utaongeza kwa kiasi kikubwa gharama za kutoa huduma kwa jamii na
matokeo yake ni kusababisha rasilimali kutotosheleza.
 Shughuli za kisiasa; hii ni moja ya changamoto ya kawaida inayoikabili
Halmashauri.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 109


 Kutokuwa na elimu kwa wadau: Wadau wa halmashauri walio wengi hawana
elimu na hivyo itakuwa vigumu katika kutekeleza MK.
 Miundombinu duni: baadhi ya maeneo katika halmashauri hayafikiki kwa
sababu ya barabara mbovu ambazo zinapitika wakati wa kiangazi tu. Hii inaweza
kuwa changamoto wakati wa kusambaza huduma katika maeneo hayo.
 Mabadiliko ya hali ya hewa; hali ya hewa ya halmashauri inabadilikabadilika na
hivyo itawafanya wakulima kushindwa kutekeleza shughuli za kilimo.
 Wabobezi na wataalamu wasiotosheleza; hii pia itakuwa changamoto kwa
halmashauri kwa kuwa halmashauri inafanya baadhi ya kazi katika idara na
vitengo mbalimbali.
 Kuchelewa katika kutoa uamuzi; Utoaji uamuzi kwa wakati na kwa usahihi ni
kitendo muhimu na kikubwa katika kufikia malengo ndani ya muda uliopangwa.
Kutokana na mifumo ya urasimu katika Halmashauri na Serikali kwa ujumla,
kuna hatari kwa Halmashauri kutofikia malengo yake kwa sababu ya kuchelewa
kutoa uamuzi.
 Magonjwa ya mlipuko na majanga ya asili: Hivi ni baadhi ya vikwazo vya nje
vinavyohitaji jitihada za pamoja ili kuzuia matokeo yake mabaya. Vinaleta tishio
kubwa katika kufikiwa kwa mafanikio kwa mipango ya halmashauri vinapotokea.

Mpango Mkakati – Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 2012/13 – 2016/17 Ukurasa 110

You might also like