Professional Documents
Culture Documents
HALMASHAURI YA WILAYA YA
KIGOMA
MKOA WA KIGOMA
MPANGO MKAKATI
(MWAKA 2012/13 – 2016/17)
DIBAJI...................................................................................................................... vi
SURA YA KWANZA...................................................................................................... x
1.0 Utangulizi............................................................................................................ 1
1.4 Makabila................................................................................................................ 2
SURA YA PILI..................................................................................................................... 1
2.0 Utangulizi...................................................................................................................... 7
2.1.1.1 Elimu..................................................................................................................... 8
2.1.1.2 Afya........................................................................................................................ 9
2.1.1.3 Maji......................................................................................................................... 10
2.1.2.1 Kilimo.................................................................................................................... 10
2.1.2.2 Mifugo................................................................................................................... 11
2.1.2.4 Ujenzi..................................................................................................................... 12
2.1.2.6 Maliasili................................................................................................................ 13
2.1.2.7 Ardhi...................................................................................................................... 14
2.1.2.9 Mipango................................................................................................................ 15
2.2.1 Ardhi......................................................................................................................... 18
2.2.2 Misitu:........................................................................................................................ 18
2.2.5 Uvuvi......................................................................................................................... 19
2.2.6 Utalii:....................................................................................................................... 20
2.2.7 Madini...................................................................................................................... 21
2.4Uchanganuzi wa SAOC....................................................................................... 22
SURA YA TATU....................................................................................................................
3.0 Utangulizi..................................................................................................................... 36
3.1. Dira............................................................................................................................ 36
3.2 Dhamira...................................................................................................................... 36
SURA YA NNE....................................................................................................................
4.0 Utangulizi……………………………………………………………………………… 41
SURA YA TANO..................................................................................................................
UFUATILIAJI NA TATHMINI................................................................................................
DE - Mhandisi wa Wilaya
LO -Mwanasheria
SA -Wanyama Wadogo
SP -Mpango Mkakati
Mpango Mkakati huu wa miaka mitano kuanzia kipindi cha 2012/2013 hadi 2016/2017
unalenga kutekeleza Dira na Dhamira ya Baraza ili kutoa huduma bora za kijamii na
kiuchumi kwa watu wa wilaya ya Kigoma ambavyo vitachapuza ukuaji wa uchumi na kufikia
maendelao endelevu.
Mpango unasisitiza kuboresha uzalishaji kupitia mikabala mingi kama vile kuimarisha
huduma za ugani, miundombinu, vyama vya kuweka na kukopa (SACCOS) pamoja na
kuwaendeleza wanawake na vijana katika shughuli za kuongeza kipato. Shughuli hizo
zinatarajiwa kusaidia kuongeza uzalishaji. Baraza limechukua hatua zinazofaa katika
kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ambayo yanaweza kutokea.
Maeneo mengine ya kupewa kipaumbele katika kipindi cha mpango mkakati yanajumuisha
Usimamizi wa Fedha na Uwajibikaji, Uendelezaji wa Raslimali Watu na Utoaji wa Huduma
Bora za Jamii. Hata hivyo, Utawala Bora unachukuliwa kuwa kipengele muhimu katika
kudumisha amani na usalama kwa ajili ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi.
Zaidi ya hayo, Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma itaweka juhudi maalumu katika kutekeleza
masuala mtambuko ya mazingira, jinsia na VVU/UKIMWI kwa kuhamasisha jamii, kujenga
utambuzi na mazingira yanayofaa kwa ajili ya wanawake na vikundi vya watu walio katika
mazingira magumu. Mara kwa mara Halmashauri imekuwa ikipata msaada wa Ruzuku ya
Mtaji wa Maendeleo wa Serikali za Mitaa (LGCDG) na Mfumo wa Mfuko wa Pamoja wa
Afya (HBFS) katika kutekeleza kazi zake nyingi.
Mpango unafafanua masuala kadhaa muhimu kuanzia uchanganuzi wa hali ya wilaya, dira
na dhamira. Unafafanua pia malengo ya Halmashauri, shabaha na uwekaji wa mikakati ili
kufikia shabaha na malengo yaliyokusudiwa. Zaidi ya hayo, viashirio vya utendaji
vimebainishwa ambavyo vitaiwezesha Halmashauri kupima ufikiaji wa shabaha na malengo.
Mwisho lakini siyo kwa umuhimu, ninamshukuru Bw. Mofulu George na Bibi Devotha
Joseph wa Kampuni ya EDENCONSULT kwa kuwezesha maandalizi ya Mpango Mkakati
huu. Ni matumaini yangu kuwa Mpango Mkakati wa 2012/2013 - 2016/2017 utaleta
mafanikio yanayofaa kijamii, kiuchumi na kisiasa katika Halmashauri yetu.
Saini............................. Tarehe............................
HAMIS S. BETETSE
MWENYEKITI
HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
Mpango Mkakati wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma unahusu kipindi cha miaka mitano
kuanzia 2012/2013 hadi 2016/2017. Utayarishaji wake uliongozwa na sera mbalimbali na
kanuni za kitaifa pamoja na mikakati ya kisekta. Hususan, Mkakati wa Taifa wa Ukuaji wa
Uchumi na Upunguzaji wa Umaskini (MKUKUTA 11), Mpango wa Maendeleo wa miaka
mitano (2011-2015), Dira ya 2025, Malengo ya Maendeleo ya Milenia na sera za sekta
nyingine vimeongoza utayarishaji wa Mpango Mkakati huu. Zaidi ya hayo, mabadiliko na
mageuzi ya kiuchumi na kijamii yanayoendelea yamezingatiwa katika utayarishaji wa
Mpango Mkakati huu.
Wakati dhamira yake inasema kuwa, “ Kuimarisha uwezo wake yenyewe na ule wa taasisi
za kijamii ili kuweza kutoa huduma bora za kijamii na kiuchumi na miundombinu
inayofaa kwa kushirikiana na wabia wengine wa maendeleo ndani ya vigezo vya utawala
bora”.
Mpango Mkakati huu umegawanywa katika sura tano, ambapo sura ya kwanza inaelezea
mtazamo wa jumla wa mkabala uliotumika katika kutengeneza waraka huu wa mpango
mkakati, malengo ya mkakati, mageuzi ya serikali za mitaa na muhtasari wa uchumi na jamii
wa Wilaya. Sura ya pili inatoa uchanganuzi wa hali na mtazamo wa kina wa utoaji huduma
za kijamii na kiuchumi wa sekta mbalimbali. Zaidi ya hayo, uchanganuzi wa SAOC na
wadau umechukuliwa kama sehemu ya uchanganuzi wa hali. Sura ya tatu inawasilisha Dira,
Dhamira, Maadili ya Msingi na malengo mkakati ya Halmashauri pamoja na Maeneo
Muhimu ya Matokeo (KRAs).
Katika sura ya nne mpango unaelezea malengo na mikakati ambayo imetokana na malengo
mkakati yaliyokubaliwa. Aidha, unaonyesha viashio vikuu vya utendaji (KPIs), njia za
uthibitishaji na mtu anayehusika na kila lengo. Sura ya mwisho inaelezea jinsi ufuatiliaji wa
mpango utakavyofanyika pamoja na tathmini ya utendaji katika ngazi tofauti na katika
vipindi tofauti.
Saini..................................... Tarehe.......................
MIRIAM P. MMBAGA
MKURUGENZI MTENDAJI
HALMASHAURI YA WILAYA KIGOMA
1.0 Utangulizi
Mpango Mkakati uliotayarishwa utatumika kama Chombo cha kutekelezea dira, dhamira,
malengo na hatua za zitakazochukuliwa kwa miaka mitano. Madhumuni ya Mpango Mkakati
huu ni;
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ilianzishwa mnamo Julai, 1984 kwa masharti ya sehemu
ya 8 na 9 ya Sheria ya Serikali za Mitaa 1982 (Mamlaka za Wilaya) na Madiwani 32, ambapo
miongoni mwao 25 walichaguliwa kutoka katika Kata ndani ya Halmashauri (mmoja kutoka
katika kila Kata), 7 walichaguliwa na Halmashauri kutokana na watu walioteuliwa na
jumuiya za chama.
1.4 Makabila
Kwa kuwa lengo kuu la Halmashauri ni kutoa huduma kwa watu wake kwa hiyo, inakusudia
kutoa huduma bora zaidi na endelevu kwa watu kwa kufikia malengo yafuatayo:
Sehemu hii inatoa taarifa za msingi za Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ikiwa ni pamoja na
mahali, eneo lake na idadi ya watu, hali ya hewa, tabia nchi, maeneo ya ikolojia ya kilimo na
shughuli kuu za kiuchumi. Zaidi ya hayo, inaelezea pia sura ya nchi, hali ya ardhi na mfumo
wa utawala.
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma iko kati ya latitudo 4045’ hadi 6030’ K na longitudo
29045’hadi 31030’ MS. Kwa upande wa Kaskazini wilaya inapakana na wilaya ya Kasulu,
upande wa Mashariki inapakana na mkoa wa Tabora/Katavi (wilaya ya Urambo), kwa
upande wa Kusini mkoa wa Rukwa/Katavi (wilaya ya Mpanda ), na upande wa Magharibi
inapakana na Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Wilaya ina eneo la jumla ya Kilometa za mraba 19 574 ambazo kati ya hizo Kilometa za
mraba 8 029 ziko chini ya maji (hasa Ziwa Tanganyika na maziwa madogo ya Nyamagoma
na Sagara) na sehemu iliyobakia ya Kilometa za mraba 11 545 ni nchi kavu.
Ardhi inayolimika inakadiriwa kuwa zaidi ya Km2 10 150 (hekta 1 015 630) ambapo kati ya
hizo ni asilimia 18 tu ndiyo imeendelezwa. Jumla ya eneo linalotumiwa kwa kilimo
linakadiriwa kuwa Kilometa za Mraba 1 900 (hekta 182 813.4), Hifadhi ya taifa ya Mahale
na Gombe ni Kilometa za Mraba 6 613.354 , mashamba makubwa ya misitu hekta 240.9 na
hifadhi ya misitu ya asili inachukua hekta 494 835.4.
Kwa mujibu ya sensa iliyofanyika mwaka 2002, idadi ya watu katika wilaya ilikuwa 480,81
6 (ambapo 253,474 ni wanawake na 237,342 ni wanaume) kuna jumla ya kaya 72,085 na
ukubwa wa kaya wa 6.8. Kwa kiwango cha ukuaji cha asilimia 4.1 wilaya inakadiriwa kuwa
na idadi ya watu 718,598 mwaka 2012.
Kiutawala wilaya imegawanyika katika tarafa sita, ambazo ni Mwandiga, Mahembe, Ilagala,
Kalinzi, Buhingu na Nguruka. Aidha, kuna kata ishirini na tano (25), vijiji 78 na vijiji vidogo
471 (Vitongoji). Kitabia nchi wilaya imegawanyika katika maeneo matatu – Nyanda za juu,
maeneo ya nyanda za chini, na eneo la misitu la Miombo. Kwa upande mwingine, Ziwa
Tanganyika linasababisha mgawanyo mzuri wa mvua.
Kitabia nchi wilaya imegawanyika katika maeneo matatu ambayo ni nyanda za juu na chini
na eneo la misitu ya miombo. Mgawanyo wa mvua ni kati ya mm 600 hadi mm 1600 kwa
msimu; na halijoto huanzia nyuzi joto 22o – 32o. Maeneo yamegawanywa kulingana na aina za
udongo, mazao, na kiasi cha mvua.
Ni kipande cha ardhi kati ya milima ya ndani na Ziwa Tanganyika. Iko ndani ya bonde la ufa
upande wa magharibi kwa miinuko kuanzia mita 800 – 1,700 kutoka usawa wa bahari. Mvua
kwa mwaka zinatofautiana kuanzia milimita 1000 – 1,400 pamoja na kipindi cha ukame cha
miezi minne (Juni- Septemba). Ardhi katika eneo la ufukwe wa ziwa ni ndogo, iliyokauka
sana, udongo tifutifu wa kahawia wenye mchanganyiko wa nyekundu na nyeusi. Katika ardhi
udongo unatofautiana kuanzia udongo wa mfinyanzi mwekundu, nyeusi iliyokolea na rutuba
ya wastani. Katika kanda yote uvuvi ulikuwa ni shughuli muhimu ya kiuchumi, lakini sasa
Kanda hii iko kati ya milimita 1,000 – meta 1,200 kutoka usawa wa baharia na mvua kwa
mwaka kuanzia milimita 600 – 1,000. Ardhi katika mteremko na miinuko ina kina, udongo
wa mfinyanzi uliokauka vizuri hadi udongo mwekundu wa mfinyanzi ulio juu ya udongo
mweusi wa mfinyanzi. Mteremko na miinuko ina udongo wa mfinyanzi ambao haujakauka
vizuri wa rangi ya kijivu iliyokolea hadi udongo mweusi. Mazao makubwa yanayolimwa ni
mpunga, tumbaku, maharage, karanga, mahindi, mihogo, viazi vitamu na mafuta ya mawese.
Michikichi na mpunga hulimwa chini ya mabonde. Mifugo mikuu inajumuisha mbuzi,
ng’ombe na kuku.
Iko eneo la uwanda wa juu kaskazini lenye watu wengi na lenye msitu ya miombo michache.
Mwinuko ni meta 1200 – 1500 kutoka usawa wa bahari na mvua kwa mwaka kuanzia milimita
850 – 1500. Ina mifereji na mito inayopatikana mwaka mzima. Ardhi ni nyeusi yenye wekundu
hadi udongo wa mfinyanzi wenye rangi nyekundu iliyokolea ambayo ina rutuba ya wastani.
Mazao makuu yanayolimwa ni mahindi, maharage, michikichi, ndizi, tumbaku na matunda
kama vile Mananasi.
Ipo kaskazini mwa wilaya, yenye mwinuko wa kutoka usawa wa bahari wa meta 1,500 –
1,750 (ASL). Nyanda za juu zina udongo wa mfinyanzi wenye rangi nyekundu iliyokolea
uliokauka vizuri hadi udongo tifutifu wa kahawia nyekundu ambao una rutuba kidogo. Mvua
ni milimita 1000 – 1600 kwa mwaka na inatawanyika vizuri wakati wa msimu wa kunyesha.
Kanda ina watu wengi. Mazao yanapandwa kwa wingi ni mahindi, maharage, kahawa na
mihogo.
Ni eneo lenye vilima vyenye miinuko mikali vyenye vijito vinavyokatisha katikati
vinavyomwaga maji kwenye Ziwa Tanganyika. Mwinuko unaanzia meta 1500 – 2462
kutoka usawa wa bahari. Kilimo katika kanda hii ni kidogo sana kwa kuwa kuna makazi
Kwa ujumla, mvua huanza mwishoni mwa Oktoba na kumalizika Mei na kipindi cha ukame
cha karibu majuma mawili mwezi Januari. Kwa ujumla kuna mvua ya mara kwa mara na ya
kutosha katika wilaya hii. Upandaji wa mazao ya biashara na ya chakula hufanyika kwa
pamoja mwezi Oktoba na Novemba. Aidha, mwezi Februari mazao ya muda mfupi ( kama
vile maharage, alizeti, aina fupi za mahindi na viazi) huweza kupandwa.
Hali ya ardhi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma inafaa kwa kilimo cha mazao ya
chakula na mazao ya biashara kama vile ndizi, mahindi, mpunga, mihogo, maharage, viazi
vitamu, karanga, kahawa, alizeti, matunda na mboga.
Ardhi imegawanywa katika aina nne za udongo ambazo ni mchanga, mfinyanzi, tifutifu
yenye rutuba, mchanganyiko wa tifutifu na mfinyanzi. Kutokana na ulimaji wa mara kwa
mara katika baadhi ya maeneo, udongo hauna rutuba. Ili kukabiliana na tatizo la udongo
kukosa rutuba, wakulima hutumia mboji pamoja na mbolea za viwandani.
Ardhi inayofaa kulimwa inakadiriwa kuwa zaidi ya kilometa za mraba 10,150 wakati ni
asilimia 18 tu ndiyo imendelezwa. Jumla ya eneo linalolimwa linakadiriwa kuwa Km za
mraba 1900 na hifadhi za taifa za Mahale na Gombe ni kilometa za mraba 6,613.354,
mashamba ya misitu ni hekta 240.9 na hifadhi za misitu asilia ni hekta 494,835.4.
2.0 Utangulizi
Kama ilivyo kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa zote nchini Tanzania, Halmashauri ya
Wilaya ya Kigoma inakabiliwa na matatizo ya kiuchumi na kijamii yanayotokana na sababu
kadhaa zikiwa ni pamoja na Teknolojia duni, kutokuwa na mtaji, miundombinu duni ya
uchumi, Upungufu wa taasisi za elimu ya juu, uhamaji kutoka vijijini kwenda mijini,
ongezeko la haraka la idadi ya watu, raslimali chache na mifumo duni ya masoko.
Kwa hiyo, sehemu hii inalenga kupitia kwa ufupi hali ya utoaji huduma za kijamii na
kiuchumi kama sehemu ya uchanganuzi wa hali. Upitiaji tena ni wa muhimu sana kwa kuwa
unatambua matatizo yaliyopo ya kijamii na kiuchumi na kuiwezesha idara, vitengo mahsusi
kuweka malengo na mikakati ya kuyatatua.
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma inatoa huduma nyingi za kijamii kwa wadau wake ikiwa
ni pamoja na jamii kwa ujumla, jumuiya ya wafanya biashara, Taasisi za Fedha, Wadau wa
maendeleo, AZISE, Mashirika ya Kidini, Vyama vya Ushirika, Wakulima, Mawakala, Watoa
huduma, Serikali Kuu na wengine. Upitiaji tena wa huduma hizi na hali ilivyo kwa sasa
umeonyeshwa kulingana na kila huduma kama ifuatavyo:
A) Elimu ya Msingi
Katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, kila kijiji kina shule ya msingi, pamoja na
kwamba baadhi ya Vijiji tayari vimejenga shule za msingi zaidi ya moja. Kuna jumla ya
shule za msingi 220 (moja ni ya binafsi) wilayani katika mwaka 2012. Hata hivyo, wilaya ina
jumla ya wanafunzi 110,175 (52,950 ni wavulana na 57,225 wasichana) na jumla ya
madarasa 1,377). Uwiano wa wanafunzi kwa chumba ni 1:80 ikilinganishwa na uwiano
unaotakiwa wa 1: 40 katika ngazi ya kitaifa. Kutokana na ukweli huo, kuna upungufu wa
madarasa 1,377 katika wilaya. Zaidi ya hayo, kuna madawati 23,126 ambayo ni uwiano wa
dawati moja kwa wanafunzi 1:5 badala ya uwiano uliopendekezwa kitaifa wa 1:2.
Vyoo vya mashimo ni 1,560 ambayo ni uwiano wa 1:70. Tatizo la wanafunzi kuacha shule
bado ni kubwa sana katika wilaya, ambapo wanafunzi 1,848 (wavulana 949 na wasichana
899) waliacha shule mwaka 2012 ambapo ni asilimia 1.7. Sababu kubwa ni utoro, kupata
mimba mapema na mtizamo hasi kuhusu elimu.
Kuna watu 70,267 (Wanawake 39,365 Wanaume 30,962) ambao hawajui kusoma na
kuandika. Wilaya ina jumla ya watu 198,255 (wanaume 70,112 na wanawake 128,143)
ambao wanahudhuria madarasa ya Watu wazima (2012). Hata hivyo, Wilaya inatarajia
kuandikisha watu 567,429 ifikapo 2017.
Kuna walimu 2,025 kwa maana kwamba, daraja la IIIA ni 1,890, na wenye Diploma/Shahada
ni 81 na IIIB/C ni 54. Uwiano wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi kwa sasa hivi ni 1:54.
Kuna mabadiliko makubwa katika upatikanaji wa vifaa vya kufundishia kama vile vitabu vya
kiada, ambapo uwiano wa kitabu kwa mwanafunzi bado ni mdogo sana kwa mazingira ya
kujifunzia, uwiano wa mwanafunzi kwa kitabu kimoja katika wilaya ni 1:6 kwa mwaka 2012.
Shabaha ya Halmashauri ni ongezeko la vitabu angalau kufikia uwiano wa 1:3 ifikapo mwaka
2017.
Kuna wanafunzi 219 kwa kila choo cha shimo, ambapo ni uwiano wa 1:52; mahitaji ya jumla
ya choo cha shimo ni mashimo 623, hivyo kuna upungufu wa vyoo vya mashimo 404
shuleni. Kuna wanafunzi 5,525 walioandikishwa mwaka 2013 kujiunga na kidato cha kwanza
ambao miongoni mwao 3,508 ni wavulana na 2,017 ni wasichana.
Kuna walimu 283 (wanaume 261 na wanawake 22) na viwango vyao vya elimu ni diploma –
257 na shahada – 26. Uwiano wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi kwa sasa hivi ni 1:40.
Uwiano wa kitabu kimoja kwa wanafunzi ni 1:4. Wanafunzi wanaoacha shule bado ni tatizo,
sababu kubwa zikiwa ni utoro, mimba, kuolewa mapema, shughuli za uvuvi na mtazamo hasi
kuhusu elimu.
2.1.1.2 Afya
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma haina Hospitali ya Wilaya, Vipo Vituo vya Afya 6
(vinavyomilikiwa na Serikali) na Zahanati 72 (Zinazomilikiwa na Serikali ni 67). Vijiji vyote
isipokuwa 3 vina Zahanati kama Sera ya Afya inavyotaka, lakini Kata 19 hazina vituo vya
afya kama inavyotakiwa. Hata hivyo, Kituo cha Afya kipya kinajengwa katika Kata ya
Ilagala.
Mahitaji ya jumla ya watumishi wa afya ni 559; hivi sasa kuna watumishi 252 tu (45%) na
kwa hiyo kuna upungufu wa watumishi wa afya 307. Halmashauri ina Daktari 1 kama
inavyotakiwa na wanachama wa CHMT 7. Daktari wa Meno anakosekana miongoni mwa
wanachama wa CHMT. Upungufu mkubwa wa wafanyakazi upo katika kada zifuatazo;
waganga wasaidizi 112 kati ya 126, Wauguzi 113, Madaktari wa meno 5, Wasaidizi wa
Maabara 2 na Wafamasia wasaidizi 5.
2.1.1.3 Maji
Hivi sasa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, asilimia 53.9 ya watu wanapata maji
safi na salama ya kunywa kutoka vyanzo mbalimbali vya maji vilivyoboreshwa kama vile;
chemchemi, visima vya kina kirefu, mifereji, mito, visima vya kina kifupi na Ziwa. Wilaya
inashirikiana na wabia wengine wa maendeleo katika juhudi za kutoa maji safi na salama ya
kunywa. Kuna wafanyakazi 17 wenye sifa badala ya 28 wanaohitajika.
2.1.2.1 Kilimo
Hali halisi ya maofisa ugani wanafikia 46 ambao ni wataalamu katika Nyanja mbalimbali
dhidi ya mahitaji ya maofisa uga 86. Kwa hiyo kuna upungufu wa maofisa ugani 40 katika
sekta ya Kilimo ambao unasababisha kutokutosheleza kwa huduma za ugani kwa ajili ya
wakulima.
2.1.2.2 Mifugo
Wilaya ina mifugo mbalimbali ambayo inajumuisha ng’ombe, mbuzi, kondoo, kuku na
nguruwe. Kwa mujibu wa data za Wilaya za 2010, mifugo iliyopo katika Wilaya ya Kigoma
ni Nguruwe (5,631), Ng’ombe (32,390), Mbuzi (248,119), Kondoo (18,852) na Kuku
(279,358). Hata hivyo kuwepo kwa mifugo mbalimbali mpaka sasa hakukidhi mahitaji ya
bidhaa zake kiasi kwamba mahitaji yake ya ndani yanatoshelezwa na bidhaa za kuingizwa
kutoka katika mikoa jirani ya Shinyanga, Tabora na Rukwa ingawa wilaya imejaliwa kuwa
na maeneo ya uchungaji ya kutosha.
Hali halisi ya maofisa ugani wa mifugo wanafikia wataalamu 26 katika nyanja mbalimbali
dhidi ya mahitaji ya wafanyakazi 81. Kwa hiyo, kuna upungufu wa maofisa ugani katika
sekta ya mifugo ambao husababisha kutokutosheleza kwa huduma za ugani kwa wafugaji.
Kwa hivi sasa huduma za ugani zinazopatikana wilayani zinajumuisha Majosho 20 ya
kuogeshea ng’ombe, vituo 14 vya uendelezaji mifugo na Machinjio 256.
AZISE nyingi zinazofanya kazi katika Wilaya hii kwa sehemu zinatoa mchango mkubwa
kwa sekta ya Kilimo, mifugo na sekta nyingine zinazohusiana. AZISE hizo zinajumuisha
JGI, FELISA, CARITAS, TCRS, MIBOS, FAO, SODESO, KIVIDEA, KIPAFADA,
Uvunaji endelevu na CHAMA CHA USHIRIKA NA MUUNGANO. Kuna masoko mawili
(2) ya mifugo na bidhaa za mifugo wilayani kutokana na kuwepo kwa mawasiliano mazuri na
pia ukaribu wa wilaya na mpaka wa pamoja na Burundi na Kongo.
Wilaya ina jumla ya Vyama vya Ushirika vilivyosajiliwa 80 ambavyo vina wanachama
9,116. Vyama vilivyo hai ni 54 wakati 26 haviko hai, vyama hivyo vinahudumiwa na
wafanyakazi 4 badala ya 11 wanaohitajika hivyo kusababisha kutokutosheleza kwa huduma
za ushirika.
Vyama vya Ushirika vilivyotajwa hapo juu vimegawanywa kama ifuatavyo:
(i) Vyama vya masoko ya Kilimo........................ 25
(ii) Vyama vya Ushirika vya Kuweka na
Kukopa.......................................................................... 51
(iii) Ushirika wa Ufugaji wa Nyuki.................................... 2
(iv) Biashara ya pamoja.................................................................. 1
(v) Vyama vya Ushirika wa Mifugo................................. 2
(vi) Chama cha Ushirika wa Tumbaku cha Kigoma............ 1
2.1.2.4 Ujenzi
Idara ina wafanyakazi 6 wakati mahitaji halisi ni wafanyakazi 10. Upungufu huu wa
wafanyakazi wenye ujuzi umesababisha kuwa na huduma za barabara zisizotosheleza.
Wilaya ina Magari 26 (magari makubwa 2 na madogo 24) ingawa ni magari 15 tu ndiyo
yanayofanya kazi. Aidha, kuna boti 4 ambazo miongoni mwa hizo 1 ni boti iendayo kasi na
pikipiki 117.
2.1.2.6 Maliasili
Wilaya imejaliwa kuwa na Hifadhi za Misitu za Taifa za kutosha kama vile Lugufu ( Hekta
5,439), Ilunde (Hekta 5,997.50), Basanza (Hekta 12,850), Mkuti Magharibi na Mashariki
(Hekta 35,612), Uvinza (Hekta 16,835), Mpanda Line ( Hekta 35,612) na Nkungwe Bay
(Hekta 5,957). Misitu yote hii iko chini ya Mamlaka ya Serikali. Aidha, kuna hifadhi kubwa
ya msitu ambayo iko chini ya Mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya inayofahamika kama
hifadhi ya msitu ya Rukunda – Kachambi (Hekta 11,991.70). Wilaya ya Kigoma imefunikwa
na uwanda mkubwa wa ukanda wa mbuga, msitu wa Mlima, msitu wa kiikweta unaoambaa
kando kando ya mto hususan kandokando ya mto Malagarasi, Ugalla na Msitu wa Masito.
Licha ya hifadhi hizi za misitu, Wilaya ya Kigoma ina eneo kubwa la Wazi (Eneo la Wazi la
Uvinza), eneo la ardhi oevu (Eneo la Malagarasi – Moyovosi Ramsar) na eneo la hifadhi la
Wanyama pori (Eneo la hifadhi la Wanyama pori la Luganjo) lililopo katika Taarafa za
Uvinza na Nguruka; Pia kuna maziwa makubwa kama vile Ziwa Tanganyika ( kilometa za
mraba 8,029), Ziwa Sagara na Nyamagoma katika Taarafa za Nguruka; na Mito ya kudumu
kama Mto Malagarasi, Ugalla na Lugufu. Ni wilaya hii ndiyo ina tishio kubwa la wanyama
mwitu kama vile Sokwe, Tembo na Wadudu wengine na Ndege.
Wilaya ina Hifadhi za Taifa mbili zinazoitwa Gombe na Mahale ambazo ziko chini ya
Mamlaka ya Hifadhi za Taifa za Tanzania na hifadhi moja ya Wanyama pori inayodhibitiwa
inayoitwa Luganzo. Aidha, Wilaya inapakana na hifadhi ya Wanyama pori ya Moyovosi
Kigosi chini ya Mkurugenzi wa Wanyama pori katika eneo la Kaskazini. Hili ni eneo la
kuendeleza vivutio kwa watalii na shughuli za utalii/uwindaji.
Katika programu ya upandaji misitu, miti 226,454 ilipandwa katika mwaka 2011/2012 na
jumuiya (JKT, Shule za Msingi na Sekondari, AZISE, Asasi za Kiraia za Jamii, Asasi na
sekta binafsi).
2.1.2.7Ardhi
Sekta hii inapaswa kuwa na wafanyakazi 32 wenye sifa, lakini ina wafanyakazi 12 tu kiasi
kwamba inakuwa vigumu kuhudumia wilaya nzima. Idara imepanga kuongeza idadi ya Hati
Miliki kuanzia 117 katika mwaka 2012/13 hadi 1500 katika mwaka 2016/17 na kuongeza
ukusanyaji mapato kuanzia 26,000,000 katika mwaka 2012/13 hadi 58,000,000 ifikapo
2016/17.
Idara imepanga kuongeza idadi ya viwanja vilivyopimwa kuanzia 12301 katika mwaka
2012/13 hadi 17,000 ifikapo 2016/17. Aidha, kuna mpango wa kuongeza idadi ya mipaka ya
vijiji iliyopimwa kuanzia 75 hadi 78 ifikapo 2016/17. Idara pia imepanga kuongeza idadi ya
mashamba yaliyopimwa kuanzia Hekta 12,500 katika mwaka 2012/13 hadi Hekta 18,500
ifikapo 2016/17. Hata hivyo, kuongezeka kwa michoro ya mipango miji kuanzia 7 katika
mwaka 2012/13 hadi 27 ifikapo 2016/17 litakuwa ni jambo la kupewa kipaumbele. Idara
imepanga kuongeza idadi ya vijiji vyenye mpango wa kutumia ardhi kuanzia 60 katika
mwaka 2012/13 hadi 78 ifikapo 2016/17 na kuongeza idadi ya hati za hakimiliki kuanzia
1165 katika mwaka 2012/13 hadi 6165 ifikapo 2016/17.
A) Utawala
Wilaya ina idara 12 na vitengo 6 vyenye zana na vifaa vya kufanyia kazi. Wafanyakazi
waliopo katika utawala ni 3,038 badala ya 4,322 wanaohitajika. Upungufu huu
umesababaisha:-
Kuwa na wafanyakazi wachache wenye sifa zinazotakiwa.
Mgawanyo wa majukumu kwa wafanyakazi ambao hawajapatiwa mafunzo ya
majukumu hayo.
Kiwango kidogo cha utoaji huduma katika baadhi ya sekta.
Ofisi na samani zisizotosha katika ngazi zote.
Mfumo wa Usimamiaji Habari usiofaa (MIS)
Shughuli yake kuu ni kuratibu mipango yote ya wilaya, kukusanya data za kiuchumi na
kijamii na kuzichambua kwa niaba ya idara mbalimbali za Halmashauri. Aidha, kuratibu
ujumuishaji wa ripoti, kuzisambaza kwa wadau husika, kusimamia, kufuatilia na kutathmini
miradi ya maendeleo. Hivi sasa idara ina wafanyakazi 6 ambao wanatosha kutekeleza
ipasavyo majukumu ya idara.
Idara ya fedha na biashara inatekeleza kazi zake kwa kufuata Mkataba wa Fedha wa 1997 na
majukumu makuu yanayofanywa yakiwa ni pamoja na:-
Kuishauri Halmashauri kuhusu masuala ya fedha
Kubuni vyanzo vipya vya mapato
Kukusanya mapato yote ya wilaya
Kuhakikisha kuna matumizi mazuri ya mapato
Kufanya majumuisho ya ripoti za fedha
Idara ina wafanyakazi 15 wakati mahitaji halisi ni wafanyakazi 21 hali ambayo inasababisha
kukosa ufanisi katika huduma za fedha.
Hali kadhalika kama ilivyo katika idara ya biashara na fedha, sehemu ya ukaguzi wa hesabu
wa ndani inatekeleza kazi zake kwa kufuata Mkataba wa fedha wa 1997. Majukumu makuu
ya sehemu ya Ukaguzi wa Hesabu wa Ndani ni pamoja na haya yafuatayo:-
Kuishauri halmashauri kuhusu masuala yote ya fedha
Kufanya ukaguzi wa hesabu wa ndani wa hesabu za wilaya na kusimamia na kutoa
ushauri ipasavyo.
Kuna wafanyakazi 3 kati ya 6 wanaohitajika ambapo matokeo yake ni kukosa ufanisi katika
huduma za ukaguzi wa hesabu.
Kinatekeleza kazi zake kwa kufuata Sheria ya Ununuzi wa Umma (PPA) ya 2004 na Kanuni
ya Ununuzi wa Umma ((PPA) ya 2005, na majukumu makuu ni Kusimamia shughuli za
Ununuzi (PMU). Kitengo cha Kusimamia Ununuzi kina wafanyakazi 5 lakini mahitaji halisi
ni wafanyakazi 6. Upungufu wa mfanyakazi mmoja siyo tatizo kubwa sana la kuweza
kuathiri kazi za idara.
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ina sehemu ya TEHAMA iliyo hai yenye wafanyakazi
wataalamu wawili. Inafanya kazi katika idara zote katika kutatua matatizo mbalimbali ya
TEHAMA. Hata hivyo kitengo hiki hakina muundo na mpangilio mzuri kiutawala na mkuu
wa sehemu hahusishwi kabisa katika CMT, Mikutano ya Fedha na mikutano yote ya
halmashauri. Aidha, kitengo hakina sera zenye mfumo mzuri, sheria na kanuni za kuiongoza
sehemu ya TEHAMA
Pamoja na matatizo yote haya, sehemu hii iko mbioni kuanzisha Tovuti ya Wilaya, Blogi,
kutengeneza na kutekeleza programu za kompyuta, mwunganisho wa mtandao Ofisini na
upatikanaji wa Intaneti Wilayani. TEHAMA ina lengo la kuwawezesha wafanyakazi katika
sehemu hii kupata mafunzo kadhaa ili kukabiliana na mabadiliko ya TEHAMA na
kuendeleza teknolojia mpya duniani.
Yapo baadhi ya mambo ambayo lazima yaingizwe kwenye mkondo mkuu wa programu za
jumla za maendeleo za Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma; vinginevyo maendeleo yake ya
baadaye yanaweza kuwa hatarini. Hivyo kuna umuhimu wa kuingiza kwenye mkondo
mkubwa, na hili linajumuisha masuala ya tabianchi, jinsia, ugonjwa wa VVU/UKIMWI na
magonjwa mengine yanayozuka kama vile kisukari, shinikizo la damu na ugonjwa
unaotokana na maji. Pia kumekuwepo na ongezeko la yatima ambalo ni tatizo kubwa
linalohitaji kushughulikiwa.
(b) VVU/UKIMWI
Vipengele vingi vimechangia katika kuongezeka kwa matukio ya maambukizo mapya ya
VVU. Mwaka 2012, watu waliopimwa VVU/UKIMWI walikuwa 8,773 (3,804 walikuwa
Wanaume na 5,853 walikuwa Wanawake) ambao miongoni mwao 83 (Wanaume 23 na
Wanawake 60) walikuwa na maambukizo ambapo ni 0.01%. Watu walioambukizwa ambao
wanatumia ARV ni 504 ( 181 ni Wanaume na 323 ni Wanawake). Hususan katika baadhi ya
maeneo kama vile Nguruka, Uvinza, Ilagala na Kasuku kuna ongezeko la maambukizo
mapya hasa miongoni mwa wanawake na wanaume walio katika umri wa kuzaa kati ya 18 na
45. Sababu kubwa ni umaskini miongoni mwa jamii, ngono isiyo salama, ulevi wa pombe na
dawa za kulevya na maingiliano kwa sababu za kibiashara.
(c) Jinsia
Idadi kubwa ya watu katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni Wanawake. Kwa mujibu
wa sensa ya 2002, wanawake ni zaidi ya asilimia 50 ya jumla ya idadi yote ya watu.
Halmashauri inapanga kuhamasisha vikundi vya kiuchumi vya wanawake na kuwasaidia
mikopo midogomidogo kutoka katika Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Watoto.
Mikopo hii inatolewa kupitia Programu ya Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake
inayotekelezwa chini ya Wizara hii.
Hata hivyo, kuna changamoto muhimu ambazo zinajumuisha; fedha zisizotosha kuhusiana na
mahitaji na idadi inayoongezeka ya wanawake, kushindwa kwa baadhi ya wanawake
kurejesha mkopo uliotolewa ili wengine waweze kupewa mikopo na ujuzi mdogo wa
kiujasiriamali kulingana na muundo wa masoko.
2.2.1 Ardhi
Ardhi ni raslimali na ni muhimu sana kama nguzo kuu ya uchumi wa Wilaya. Hata hivyo,
hivi sasa, eneo linalotumika kwa kilimo ni Hekta 182,813.4 ambalo ni asilimia 18 ya ardhi
yote inayofaa kwa kilimo. Wawekezaji wakuu wa kilimo ni Agrisol (Hekta 13,600), WAMA
(Hekta 516), FELISA (Hekta 4,200) na wengine ambao waliwekeza katika ukubwa wa kati
(Hekta 80) kila moja.
2.2.2 Misitu:
Wilaya ya Kigoma imejaliwa kuwa na Misitu mingi ya Taifa kama vile; Lugufu (Hekta
5,439), Ilunde ( Hekta 5,997.50), Basanza (Hekta 12,850), Uvinza (Hekta 16,835), Mpanda
Line (Hekta 35,439), Nkungwe Bay (Hekta 5,957), Mkuti Mashariki na Magharibi, Rukunda
– Kachambi (Hekta 11,991.70).
Wilaya ya Kigoma ni mojawapo ya wilaya zenye bioanuwai Kubwa nchini Tanzania. Ina
utajiri wa wanyama pori hususan Tembo, Kulungu, Mamba, Mbelele, Kiboko, Samba, Chui,
Nyani, Nyati, shoe bill na Korongo. Ni moja ya wilaya zenye idadi kubwa ya wanyama pori
hatari kama vile Sokwe, yangeyange, na Korongo. Wilaya ina Mbuga za wanyama za Taifa
mbili (Mahale na Gombe), Hifadhi za Misitu saba (Lugufu, Ilunde, Basanza, Uvinza,
Nkungwe Bay na Mpanda Line ambazo zina eneo la Hekta 118,303.50. Hifadhi moja ya
Wanyama (Moyowosi – Kigosi), hifadhi mbili za wanyama pori zinazodhibitiwa (Mfubasi na
Luganzo). Maeneo mengine muhimu ni eneo Ardhi oevu (Malagarasi – Moyoyosi Ramsra).
Uchungaji wa kupindukia, Uchomaji mkaa, Ukataji magogo ya mbao, uvuvi haramu, na
ujangili ni tishio kubwa kwa maendeleo endelevu ya bioanuwai.
Ufugaji nyuki unafanywa kwa kiwango kidogo vijijini na sasa hivi unashika kasi kutokana na
mafunzo yanayotolewa kwa wanavijiji na viongozi wa vijiji kuhusu umuhimu wa ufugaji wa
nyuki katika uchumi. Katika kulinganisha, uzalishaji wa asali na nta umeongezeka kuanzia
tani 48.9 na tani 3.2 hadi tani 102.4 na tani 7.2 katika mwaka 2008 na 2009. Bado uzalishaji
unahitaji kuongezwa kwani mahitaji ya nje ni makubwa zaidi kuliko uzalishaji.
Kuna watu 1,630 (Wanaume 1070 na Wanawake 560) Wanaojihusisha na ufugaji wa nyuki.
Aidha, kuna jumla ya mizinga ya kisasa 3,450 na ya kizamani 9,350 katika wilaya. Sekta ya
ufugaji nyuki haijafanikiwa vya kutosha kiasi cha kuchangia katika kipato cha jamii kuinua
uchumi wa wilaya kwa ujumla. Ili kuboresha sekta hii, halmashauri ya wilaya inalenga
kuongeza idadi ya wafuga nyuki hadi 2,500 na mizinga ya kisasa 10,000 ifikapo mwaka
2017.
2.2.5 Uvuvi
Tasnia ya uvuvi ina dhima muhimu katika uchumi wa Wilaya. Shughuli za uvuvi hufanywa
zaidi katika Ziwa Tanganyika ambalo lina eneo la kilometa za mraba 8,029, mabwawa
madogo ya maji ya Ziwa Sagara na Nyamagoma, Mito Malagarasi, Ugalla, na mabwawa ya
Luguvu na Kandaga.
Kuna takriban wavuvi 8,096 wanaofanya shughuli ya uvuvi wakati wote na wanaofanya kwa
muda kwa kutumia mitumbwi 4,095 iliyojengwa kulingana na utafiti wa Mfumo wa Uvuvi
wa 2011. Idadi ya samaki waliovuliwa katika mwaka 2008 ilikuwa tani 66,195, ambao
waliingiza kiasi cha jumla ya shilingi za Kitanzania 64,722,337,301//=, hiki ni kiwango cha
chini cha idadi kubwa iliyovuliwa ya tani 65,000. Spishi zilizovuliwa kwa wingi ni Dagaa na
Migebuka.
Aidha, Wilaya ya Kigoma ni maarufu kwa uzalishaji wa samaki wa kuweka kwenye matangi
kwa ajili ya kuuzwa Ulaya na mahali pengine kwenye masoko ya dunia. Huzalisha karibu
tani 10 kwa mwaka. Kuna Makampuni 2 tu yanayojaribu uvuvi wa aina hii.
Wilaya ni maarufu katika ufugaji wa samaki katika nyanda za juu za kaskazini kwa kiwango
cha chini. Hii ni kutokana na imani kwamba ufugaji wa samaki hauwezi kuwa wa kibiashara.
2.2.6 Utalii:
Tasnia ya utalii inaendelezwa kwa kiwango kidogo sana katika Wilaya ya Kigoma pamoja na
kuwepo kwa vivutio kadhaa kama vile; Sokwe na spishi za pekee za ndege katika mbuga za
wanyama za Taifa za Mahale na Gombe, fukwe za Ziwa za mchanga na za wazi. Mji wa
Kigoma una hoteli nyingi za kitalii za gharama nafuu, malazi na chakula kizuri. Baadhi ya
hoteli hizi ni; Lake Tanganyika, Hill top, Coast View na Mwaka hill. Kwa kushirikiana na
Serikali kuu na wadau wengine tayari Wilaya imeanza kuboresha miundombinu ambayo
itavutia watalii zaidi katika siku zijazo.
Kuna Hoteli tatu za viwango vya juu zilizojengwa katika mbuga za wanyama za Taifa za
Mahale katika maeneo yanayovutia sana. Hizi ni pamoja na; Fly Catcher view Lodge,
Sinsidar Lodge na Kangwena safari Lodge kwenye Ufuko wa Ziwa Tanganyika katika
sehemu ya Kaskazini ya Wilaya ya Kigoma. Zipo pia Hoteli mbili za viwango vya juu
zilizojengwa kwenye Hifadhi ya Taifa ya Gombe ambazo ni; Hill top tented Camp, na
Gombe Hotel, zote mbili zikiwa kwenye Ufuko wa Ziwa Tanganyika katika sehemu ya
Kaskazini ya Wilaya ya Kigoma.
Hoteli zote hizi ni za gharama nafuu, malazi mazuri na chakula kizuri. Kihistoria, Kigoma ni
mwisho wa safari ya Dkt. Livingstone alipokuwa akisafiri kutoka Bagamoyo (Mkoa wa
Pwani), hivyo, tasnia ya utalii inahitaji kuendelezwa na kukuzwa katika Wilaya ya Kigoma
na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla.
Kuhusu utalii ambao unahusiana na kutazama wanyama, kuna maeneo mengi wilayani kama
vile; mbuga za wanyama za Taifa za Mahale na Gombe, Hifadhi za Wanyama pori za
Moyowosi – Kigosi, Hifadhi kubwa ya misitu, Maeneo ya hifadhi ya wanyama pori ya
Luganzo na Mfubasi. Vivutio vingine ni; Ziwa Tanganyika ambalo ni la pili duniani kwa kina
kirefu, kumbukumbu ya Dkt. Livingstone, Mv. Liemba ambayo ni meli ya zamani sana ya
2.2.7 Madini
Wilaya ina utajiri mkubwa wa raslimali za madini, ambapo baadhi bado hayajachimbwa.
Madini maarufu yanayopatikana katika Wilaya hii ni pamoja na; Chumvi. Inachimbwa katika
Kata ya Uvinza, karibu Kilomita 110 kutoka Mji wa Kigoma. Uzalishaji wa wastani kwa
mwaka ni karibu tani 20,650.
Platinamu na Nikeli, Gallen na Shaba katika Kata ya Ilagala, Chokaa katika vijiji vya
Kazuramimba na Uvinza hupatikana kwa wingi katika kijiji cha Mgambazi, Gallen na shaba
katika Kata ya Ilagala, Chokaa katika vijiji vya Kazuramimba na Uvinza, na Dhahabu katika
Kata za Kalya na Buhungu. Migodi hii bado haijachimbwa kwa kiasi kikubwa.
UPANGAJI
JINA LA MDAU ATHARI KAMA KWA
MATARAJIO MATARAJIO VIPAUMBELE
HAYAJAFIKIWA
(J,K&C)
Utumiaji wa soko la
pamoja la JAM, kufikia
kuwa na upatikanaji wa
kutosha wa chakula.
Utekelezaji wa ilani ya
uchaguzi.
Uthabiti mkubwa wa
uchumi na kuongeza kasi
ya ukuaji wa uchumi.
IDARA/SEHEM MAENEO YA
UWEZO FURSA CHANGAMOTO
U KUBORESHA
Utashi chanya
wa Rais na
Waziri Mkuu
katika kuisaidia
Kigoma
Upatikanaji wa
wawekezaji
ambao wako
tayari
kuwekeza
Kigoma kv.
Madini, Benki,
Agric, NSSF,
TIB,
Machimbo ya
nk.
Wafanyakazi
wachache katika
menejimenti ya
ardhi,
wanyamapori na
misitu
Utaratibu mbaya
wa ufuatiliaji wa
kodi ya ardhi ya
Halmashauri
PMU Timu ina uzoefu Wajumbe wa Timu Kuwepo kwa Kushuka kwa
wa kutosha wa walio wengi miongozo na kuaminiwa
ugani katika wanapaswa hatua za wazi kwa watoa
maeneo yote kuripoti katika huduma
Idara zao za sekta, Kuwepo kwa kutokana na
Timu HoD na HPMU huduma za deni kubwa
imechanganya mtandaoni
jenda Zana na vifaa vya Kwa sasa kuna
kufanyia kazi Kuwwepo kwa ushindani
Walio wengi havitoshi asasi za udhibiti mdogo
katika Timu kama vile GPSA miongoni mwa
wanafahamu HPMU anakaimu watoa huduma,
kompyuta na bado Kuwepo kwa njia
na makandarasi
hajateuliwa tofauti za usafiri,
Mazingira ya kazi wa reli, majini, Utoaji mdogo
ni mazuri Mawasiliano duni barabarana anga wa wataalamu
kati ya ili kuwezesha
Umahiri
usiotosheleza
katika usimamizi
wa fedha na
uwekezaji pamoja
na katika
kuendeleza
biashara na
uwekezaji
Kamati/Bodi za
shule zinazofanya
kazi kikamilifu
Kuwepo na
kutolewa kwa
ruzuku maalumu
kwa kila mtu
Kuwepo kwa
umeme wa jua
katika shule za
sekondari zilizo
nyingi
Kuwepo kwa
Maabara
zinazohamishika
MAZINGIRA, Sekta ni miongoni Hakuna ofisi Mafanikio ya Majanga ya
AFYA NA mwa maeneo ya iliyobainishwa kwa Rwanda katika asili na
USAFI vipaumbele ajili ya Idara eneo la usafi yanayosababis
3.0 Utangulizi
3.1. Dira
Dira ya Halmashauri ni: “inaazimia kuwapatia wakazi wake maendeleo endelevu pamoja na
miundombinu iliyoboreka, mawasiliano na upatikanaji wa huduma za kijamii na kiuchumi
ifikapo 2025”
3.2 Dhamira
Dhamira ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni “kuimarisha uwezo wake yenyewe na ule
wa taasisi za kijamii ili kuweza kutoa huduma bora za kijamii na kiuchumi na miundombinu
inayofaa kwa kushirikiana na wabia wengine wa maendeleo ndani ya vigezo vya utawala
bora”.
Ili Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ijenge mazingira mazuri na kutimiza Dira na Dhamira
yake, maadili ya msingi yafuatayo ni muhimu sana na yataiongoza Halmashauri katika
kufikia malengo yake:
Kazi ya pamoja: Kufanya kazi wakati wote katika shughuli mbalimbali kama timu ili
kuwa na tija ya hali ya juu kwa kutumia kiasi cha rasilimali cha kutosha.
Utawala bora: Kuhakikisha utawala bora katika ngazi zote za utawala kwa kulenga
katika ushirikiano wa haki na usawa na wadau wote.
Kujituma kwa kiasi kikubwa katika utoaji huduma: kuweka jitihada za kujitolea
katika kutoa huduma kwa jumuiya pamoja na msisitizo katika ubora.
Uadilifu: Kuwa mfano katika mwenendo wetu na kufanya kazi kwa uaminifu na bila
ya upendeleo katika shughuli zetu zote.
Uwazi: Kuwa wazi katika kazi na shughuli zetu zote na kuwa tayari kwa uchunguzi
wa umma.
Hali ya utoaji huduma inaridhisha kwa watu walio wengi katika Wilaya. Katika sekta ya
Elimu, uandikishaji wa watoto uko katika asilimia 86. Uwiano wa wanafunzi kwa darasa
katika shule ya msingi ni 1:80 ambao uko juu kuliko kiwango cha taifa cha 1:40. Uwiano wa
dawati moja kwa wanafunzi ni 1:5 ambao uko juu kuliko kiwango cha taifa. Uwiano wa
mwalimu kwa wanafunzi kwa sasa ni 1:56; uwiano wa kitabu kwa mwanafunzi mmoja ni 1:6
badala ya 1:1 kiwango cha taifa.
Wakazi wa halmashauri ya mji wanaopata huduma ya maji ndani ya mita 400 wako 345,276
(53.1%) ya jumla ya idadi ya watu. Katika kuboresha huduma za kijamii na kiuchumi,
Mpango Mkakati wa miaka mitano unadhamiria kuongeza huduma katika sekta za Elimu,
Afya, Maji na miundombinu ya Usafiri na nyingine.
Ushiriki wa jamii katika mipango, usimamizi na utekelezaji wake ni moja ya vigezo katika
mipango endelevu na ushiriki. Halmashauri ya Wilaya imekuwa ikiiwezesha jamii na
viongozi wake katika mchakato mzima wa ubainishaji wa vipaumbele vya maendeleo kupitia
utoaji wa mafunzo katika mipango shirikishi.
Halmashauri ya wilaya ya Kigoma imejaliwa rasilimali mbalimbali kama vile ardhi yenye
rutuba kubwa, mifugo, hifadhi ya wanyama pori na vivutio vya utalii, ziwa Tanganyika,
madini na rasilimali watu. Halmashauri ya wilaya inadhamiria kuboresha na uongezaji wa
jamii kumiliki na kutumia rasilimali zilizopo kwa busara kwa maendeleo endelevu.
Ili kuhakikisha kufaa, ufanisi na uwazi katika utoaji huduma kwa jamii, Uongozi wa
Halmashauri ya Kigoma na wafanyakazi wanawajibika katika ari ya kufanya kazi kwa
pamoja. Halmashauri imeandaa mkataba wa huduma kwa mteja ambao utaziongoza idara
mbalimbali za Halmashauri na vitengo katika utoaji wa huduma.
Katika kipindi cha Mpango Mkakati huu, Halmashauri inajitahidi kufikia malengo
yafuatayo:-
1 Kupunguza vifo vya -Kuhusisha serikali za Kupungua kwa Vifo -Kuwepo kwa DNO
akina mama Kuongeza idadi ya vijiji vya Akina mama kumbukumbu za
wanaojifungua kutoka wanaojifungulia wanaojifungua kutoka kamati ya serikali
katika vituo vya afya -Kuhusisha kamati za
59/100000 mwaka 2013 119/100000 mwaka ya kijiji na kamati
kutoka asilimia 47 afya za vijiji
hadi 30/100000 ifikapo hadi 80 2007 hadi 59/100000 ya afya ya kijiji
Juni 2016/2017 -Kuhusisha watoa ifikapo 2012
-Data za HMIS
huduma za afya wa kutoka vituo vya
vijiji Afya
-kuhusisha wakunga
wa jadi
-Kuendesha kampeni
za afya ya uzazi,
mama na mtoto ili
kutoa elimu kuhusu
kujifungulia kituo cha
afya kando ya Ufuko
wa Ziwa
2 Kupunguza kiwango cha -Kuhusisha serikali za Kupungua kwa vifo vya -Kuwepo kwa DRHCCo
vifo vya watoto wenye Utoaji wa chanjo ya vijiji watoto chini ya miaka kumbukumbu za
umri chini ya miaka DPT- HepB-Hib mitano kutoka 13/1000 kamati ya serikali
Rotarix PCV 13 na -Kuhusisha kamati za
mitano kutoka 10/1000 mwaka 2009 hadi ya kijiji na kamati
surua kuzidi asilimia afya za vijiji
mwaka 2013 hadi 5/1000 90 katika asilimia 90 10/100 ifikapo 2012 ya afya ya kijiji
ifikapo 2016/2017 ya wilaya -Kuhusisha watoa -Data za HMIS
huduma za afya wa kutoka vituo vya
vijiji afya
3 Kupunguza vifo vya - Kuhusisha serikali Kupungua kwa vifo vya - Kuwepo kwa DRHCCo
watoto wenye umri chini Asilimia 70 ya vituo za vijiji watoto wenye umri kumbukumbu za
ya mwaka mmoja kutoka vya afya vinapaswa chini ya mwaka kamati ya serikali
kuwa na angalau - Kuhusisha kamati za
58/1000 mwaka 2013 mmoja kutoka 96/1000 ya kijiji na kamati
asilimia 60 ya watoa afya za vijiji
hadi 20/1000 ifikapo huduma ya afya mwaka 2009 hadi ya afya ya kijiji
2016/2017 waliopata mafunzo 58/1000 ifikapo 2012
- Kuhusisha watoa - Data za HMIS
katika IMCI huduma za afya wa kutoka vituo vya
vijiji afya
4 Kuongeza kiwango cha Utoaji wa chanjo ya - Kuhusisha serikali Kuongezeka kwa -kuwepo kwa DIVO
utoaji chanjo kwa DPT- HepB-Hib za vijiji utoaji chanjo kwa kumbukumbu za
watoto wenye umri chini Rotarix PCV 13 na watoto wenye umri kamati ya serikali
ya mwaka mmoja kutoka surua kuzidi asilimia - Kuhusisha kamati za chini ya mwaka mmoja ya kijiji na kamati
92 katika asilimia 90 afya za vijiji
asilimia 92 mwaka 2013 ya vituo vya afya kutoka asilimia 88 ya afya ya kijiji
hadi asilimia 95 ifikapo - Kuhusisha watoa mwaka 2009 hadi 92
2016/2017 ifikapo 2012 -Data za HMIS
huduma za afya wa kutoka vituo vya
vijiji Afya
5 Kupunguza kiwango cha Angalau asilimia 80 - Kuhusisha serikali Kupungua kwa - Kuwepo kwa DACC
maambukizo ya VVU ya zahanati na vituo maambukizo ya VVU kumbukumbu za
vya afya kutoa
kutoka asilimia 1.2 huduma kwa za vijiji kutoka asilimia 2 kamati ya serikali
mwaka 2013 hadi wagonjwa ya STI na mwaka 2009 hadi ya kijiji na kamati
asilimia 0.6 ifikapo VVU - Kuhusisha kamati za asilimia 1.2 ifikapo ya afya ya kijiji
2016/2017 afya za vijiji 2012
- Data za HMIS
- Kuhusisha watoa kutoka vituo vya
huduma za afya wa Afya
vijiji
7 Kuongeza mchango kwa - Kuhusisha serikali Kuongezeka kwa CHF - Kuwepo kwa Mratibu wa
CHF kutoka 275 mwaka Asilimia 99 ya za vijiji kutoka 150 mwaka kumbukumbu za CHF
2013 hadi 400 ifikapo wanajamii kupata 2009 hadi 275 ifikapo kamati ya serikali
huduma katika kituo - Kuhusisha kamati za
2016/2017 2012 ya kijiji na kamati
cha afya, kilicho na afya za vijiji
vifaa kwa mujibu wa ya afya ya kijiji
mahitaji ya chini ya - Kuhusisha watoa - Data za HMIS
kiwango cha taifa. huduma za afya wa kutoka vituo vya
vijiji Afya
hadi 200 ifikapo kupandishwa hadhi - Kuhusisha kamati za mwaka 2010 hadi 95 Afya
2016/2017 kuwa maduka ya afya za vijiji ifikapo 2012
ADDO
- Kuhusisha watoa
huduma za afya wa
vijiji
11 Kuongeza idadi ya Kuhusisha watoa Kuongezeka kwa idadi Data za HMIS DNO
wanaokubali njia za Kuongeza kiwango huduma za afya wa ya wanaokubali njia za kutoka vituo vya
Mpango wa Uzazi ( FP) cha kuenea kwa vijiji Mpango wa Uzazi Afya
matumizi ya uzuiaji
kutoka asilimia 15 kutoka asilimia 12
mimba kutoka Kuhusisha idara ya
mwaka 2013 hadi mwaka 2009 hadi
12 Kupunguza kiwango cha Kuhusisha watoa Kupungua kwa Data za HMIS DMalaria FP
watu wanaoambukizwa Asilimia ya huduma za afya wa kiwango cha watu kutoka vituo vya
malaria kutoka asilimia wanajamii vijiji walioambukizwa Afya
wanaolalia kwenye
28 mwaka 2013 hadi malaria kutoka asilimia
vyandarua vya ITNs Kuhusisha idara ya
asilimia15 ifikapo /LL kuongezeka 45 mwaka 2009 hadi
2016/2017 jamii asilimia 28 ifikapo
kutoka asilimia 36
hadi 80 2012
13 Kuongeza idadi ya shule Kuhusisha watoa Kuongezeka kwa idadi Data za HMIS Mratibu wa
zilizo chini ya programu Asilimia 60 ya huduma za afya wa ya shule zilizo chini ya kutoka vituo vya Afya wa
ya Afya shuleni kutoka huduma za afya vijiji programu ya Afya Afya shule
kufuata mwongozo
shule 100 mwaka 2013 shuleni kutoka shule 75
wa programu ya Kuhusisha idara ya
hadi 200 ifikapo afya shuleni mwaka 2009 hadi 100
2016/2017 jamii ifikapo 2012
14 Kujenga hospitali moja Ujenzi wa Kuhusisha watoa Hospitali Moja ya Data za HMIS DMO
ya wilaya ifikapo miundombinu ya huduma za afya wa Wilaya kujengwa kutoka vituo vya
2016/2017 huduma za afya vijiji ifikapo 2012. Afya
Kuhusisha jamii.
15 Kuongeza idadi ya Asilimia 87 ya vijiji -Kuhusisha Serikali za Kuongezeka kwa idadi Data za HMIS DHO
zahanati kutoka 72 kuwa na huduma ya vijiji ya zahanati kutoka 68 kutoka vituo vya
mwaka 2013 hadi 75 afya (zahanati) mwaka 2009 hadi 72 Afya
ifikapo 2016/2017 - Kuhusisha kamati za ifikapo 2012
afya za vijiji
-Kuhusisha wadau wa
ndani na nje
16 Kuongeza idadi ya vituo Asilimia 40 ya vijiji - Kuhusisha Serikali Kuongezeka kwa idadi Data za HMIS DMO
vya afya kutoka 6 kuwa na huduma ya za vijiji ya vituo vya afya kutoka vituo vya
mwaka 2013 hadi 9 afya (kituo cha afya) kutoka 6 mwaka 2011 Afya
ifikapo 2016/2017 - Kuhusisha watoa hadi 7 ifikapo 2012
huduma za afya wa
vijiji
-Kuhusisha wadau wa
ndani na nje
17 Kuongeza idadi ya Huduma za afya - Kuhusisha Serikali Kuongezeka kwa idadi Data za HMIS DMO
nyumba kwa ajili ya kwa ngazi kuwa na za vijiji ya nyumba za kutoka vituo vya
watumishi wa afya majengo yake ikiwa watumishi wa afya Afya
ni pamoja na - Kuhusisha kamati za
kutoka 76 mwaka 2013 kutoka 71 mwaka 2010
nyumba za afya za vijiji
hadi 91 ifikapo watumishi katika hadi 76 ifikapo 2012
2016/2017 hali nzuri ya -kuhusisha wadau wa
ukarabati pamoja na ndani na nje
huduma za usafi.
18 Kuongeza idadi ya Kuongeza vituo - Kuhusisha Serikali - kuongezeka kwa idadi Data za HMIS DRHCcO
wanaojifungulia katika vinavyotumika za vijiji ya wanaojifungulia kutoka vituo vya
vituo vya afya kutoka kujifungulia kutoka katika vituo vya afya Afya
asilimia 47 hadi 60 - Kuhusisha kamati za
asilimia 47 mwaka 2013 kutoka asilimia 47
hadi asilimia 60 ifikapo afya za vijiji mwaka 2009 hadi
19 Kuongeza ubora wa Kuongeza idadi ya Kuhusisha watoa - Kuongezeka kwa Data za HMIS DHS
ukusanyaji data kutoka ukusanyaji data huduma za afya wa ukusanyaji data katika kutoka vituo vya
vituo vya afya kutoka 60 kutoka asilimia 50 vijiji vituo vya afya kutoka Afya
hadi asilimia 60
mwaka 2013 hadi 76 50 mwaka 2009 hadi 60
ifikapo 2016/2017. ifikapo 2012.
20 Kupunguza idadi ya Kupungua kwa idadi -kuhamasisha jamii Kupungua kwa idadi ya Data za HMIS DEC
watu wanaoumwa ya watu watu wanaoumwa kutoka vituo vya
ugonjwa wa macho wanaoumwa - Kuhusisha kamati ya ugonjwa wa macho Afya
kutoka 10480 mwaka ugonjwa wa macho afya ya kijiji kutoka 10480 mwaka
kutoka asilimia 50
2013 hadi 8000 ifikapo hadi asilimia 20 2009 hadi 8000 ifikapo
2016/2017 2016/2017
21 Kuongeza idadi ya akina Kuongeza idadi ya -Kuhamasisha jamii Ongezeko la idadi ya Data za HMIS DRHCcO
mama wajawazito akina mama akina mama wajawazito kutoka vituo vya
wanaohudhuria kliniki wajawazito - Kuhusisha kamati ya wanaohudhuria kliniki Afya
kutoka asilimia 37 wanaohudhuria afya ya kijiji kutoka asilimia 29
mwaka 2013 hadi kliniki kutoka mwaka 2009 hadi
-Kuhusisha watoa
asilimia 60 ifikapo asilimia 37 hadi 60 asilimia 37 ifikapo
huduma ya afya
2016/2017 2012
22 Kuongeza idadi ya vituo Kuongeza idadi ya -Kuhamasisha jamii Idadi ya vituo vya Data za HMIS DACC
vya uchunguzi wa STI vituo vya uchunguzi uchunguzi kuanzishwa kutoka vituo vya
kutoka 35 mwaka 2013 wa STI kutoka 35 -Kuhusisha kamati ya Afya
hadi 65 ifikapo hadi 65 afya
2016/2017
-Kuhusisha watoa
huduma ya afya
23 Kubainisha wazee na Angalau wazee 200 - Kuandaa usaidizi -Hakuna wazee Data za HMIS SWO
walemavu wanaoishi masikini na waliobainishwa kutoka vituo vya
katika mazingira wanaoishi katika -Kuhusisha kamati ya Afya
magumu katika vijiji 75 mazingira magumu afya na serikali ya
kubainishwa, kijiji
ifikapo 2016/2017 kusaidiwa na
kuandikishwa katika -Kuhusisha watoa
Mipango ya malipo huduma ya afya
ya kabla, ruhusa na
msamaha na
kurekebishwa
kijamii na kupewa
makazi mapya
24 Kuanzisha kikundi cha Angalau wazee 200 - Kuandaa usaidizi -Hakuna wazee Data za HMIS SWO
watu na walemavu katika masikini na waliobainishwa kutoka vituo vya
kata 25 ifikapo wanaoishi katika -Kuhusisha kamati ya Afya
mazingira magumu afya na serikali ya
2016/2017
kubainishwa, kijiji
kusaidiwa na
kuandikishwa katika -Kuhusisha watoa
Mipango ya malipo huduma ya afya
ya kabla, ruhusa na
msamaha na
kurekebishwa
kijamii na kupewa
makazi mapya
25 Kuanzisha huduma Halmashauri kutetea - Kuhusisha kamati ya Huduma katika Data za HMIS SWO
kuhusu mwenendo mzuri na kutekeleza afya na serikali ya mwenendo mzuri kutoka vituo vya
huduma za afya
katika kata 22 ifikapo zinazozingatia jamii kijiji kuanzishwa katika kata Afya
2016/2017 katika kata 25 3
(cIMCI, cBPM, -Kuhusisha watoa
PHAST, VHD, huduma ya afya
cHBC, n.k.)
-Taarifa ya tangazo
ifikapo Juni 2017 ifikapo 20162017 taaluma ili waandae orodha ya ifikapo 20162017 vilivyonunuliwa
vitabu vya kununua kwa
kuzingatia masomo
4 Kuongeza idadi ya -kuongeza idadi ya vituo -Kuhusisha WDC -Vituo vya madarasa -Madaftari ya -Mwalimu
vituo vya masomo vya masomo ya jioni kwa kuhamasisha watoto kutoka ya jioni kuongezeka mahudhurio Mkaazi,
ya jioni kutoka 1 wanafunzi ambao katika vijiji hadi vituo 10 ifikapo DSEO, DAO
hadi 10 ifikapo hawakuchaguliwa -Kumuhusisha Mwalimu 2016/2017 -Vituo
kujiunga na elimu ya Msimamizi kutoa vitabu vya vilivyoanzishwa
Juni 2017 sekondari kutoka kituo 1 mwongozo na miongozo
mwaka 2013 hadi vituo -Kuwahusisha Wakuu wa
10 ifikapo 2016/2017 shule kusaidia madarasa na
walimu
5 Kuongeza idadi na Kuongeza madarasa - Kuwahusisha WDC kupitia Kujenga darasa BOQ’s, hati ya DEO, DPLO,
ubora wa katika shule za sekondari mikutano mkataba, ripoti ya DE
miundombinu ya kutoka 228 mwaka -Kuhusisha Bodi ya shule usimamizi
2012/2013 hadi 300 kubainisha maeneo ya
elimu
ifikapo 2016/2017 kujenga
-Kuhamasisha jamii kupitia
mikutano ya wananchi
-Kuhusisha idara ya Ujenzi
kwa kuandaa BOQs,
MIKATABA
Kuongeza idadi ya - Kuhusisha serikali za vijiji Kujenga nyumba 30 -BOQ’s, -hati za DEO, DPLO,
nyumba za walimu kutoka -Kuhusisha kamati za shule za walimu mkataba, ripoti za DE
30 mwaka 2013 hadi -Kuhamasisha jamii usimamizi
nyumba 60 ifikapo -Kuhusisha idara ya ujenzi.
2016/2017
Kuongeza idadi ya vyoo - Kuhusisha serikali za vijiji -Ujenzi wa vyoo vya -BOQ’s, -hati za DEO, DPLO,
vya mashimo katika shule kuonyesha eneo kwa ajili ya mashimo 250 mkataba, ripoti za DE
za sekondari kutoka 350 ujenzi usimamizi
mwaka 2012/2013 hadi -Kuhusisha bodi ya shule
600 ifikapo 2018 -Kuhamasisha jamii
kukusanya vifaa vya ujenzi
6 -Kupunguza -Kupunguza maambukizo -Kuhusisha bodi ya shule kwa -Maambukizo ya -ripoti ya semina -
maambukizo ya ya VVU/UKIMWI katika kuendesha semina 1 kwa VVU/UKIMWI CHAC,DSEO
VVU/UKIMWI shule za sekondari kutoka mwaka kupungua kwa -seti ya michezo
asilimia 1.2 mwaka 2013 -Kuendesha semina 2 na ya kuigiza
kutoka asilimia 1.2 asilimia 0.8 ifikapo
hadi 0.8 ifikapo Mchezo wa kuigiza 1 kwa
hadi 0.8 ifikapo 2016/2017 mwaka kwa wanafunzi na 2016/2017
Juni 2017 walimu katika kila shule
-kuwahusisha maofisa afya
na maofisa maendeleo ya
jamii katika kuendesha
semina za uelimishaji
7 Kuimarisha -Kuzuia vitendo vya -Kuendesha kampeni ya -Rushwa kuzuiwa -Mabango -DSEO,
Mkakati wa Taifa rushwa katika shule za kupambana na rushwa kupitia katika shule za yaliyoandikwa KITENGO
wa Kupambana na sekondari ifikapo 2017 katika kuandika mabango sekondari ifikapo CHA
Rushwa 2017 -kumbukumbu za KUPAMBAN
-kuanzisha klabu za majadiliano ya A NA
kupambana na rushwa katika klabu RUSHWA
shule 32
8 Kuendeleza -kuhakikisha kuna -Kuendesha semina 1 kwa -utawala bora -ripoti za semina DSEO,DAO,
utawala bora na utawala bora katika shule mwaka kwa wajumbe wa bodi kuendelezwa katika DHRO
huduma za za sekondari ifikapo 2017 kuhusu wajibu na jukumu lao shule za sekondari -ripoti ya
usimamizi kama wajumbe wa bodi ifikapo 2017 matumizi ya shule
9 Kuboresha ustawi -Kuongeza idadi ya -kuhusisha vijana kuendesha -wanafunzi 9000 -kumbukumbu za DSEO
wa jamii, jinsia na wanafunzi wasichana mijadala ya kuelimisha yenye kuandikishwa ifikapo vipindi vya ,CDO,DAO
uwezeshaji jamii wanaoandikishwa kutoka mantiki ya kuwaelimisha 2017 majadiliano
4600 mwaka 2013 hadi wanawake
9000 ifikapo 2017 -mimba za vijana -klabu za shule
Kuihusisha jamii kupitia wadogo kupungua
-kupunguza mimba za mikutano ya umma kwa asilimia 0.5
vijana wadogo na inayoelimisha kuhusu jukumu mwaka 2017
kiwango cha waanaoacha la kuwawezesha wanawake
shule kutoka asilimia
1. Kuongeza idadi ya watu Kuongeza idadi ya -Kuhusisha serikali za Idadi ya watu Mikataba itatolewa DWE
wanaopata maji safi na watu wanaopata maji vijiji, wahisani na wanaopata maji safi na kwa idadi ya miradi
salama ya kunywa safi na salama ya vyombo vya watumiaji salama ya kunywa 5 ya maji
kutoka 393,914 hadi kunywa kutoka wa maji kwa ajili ya itaongezeka hadi
634,270 ifikapo Juni 393,914 hadi ujenzi wa mradi wa 240,356 Mikataba itatolewa
2017 634,270 mwaka maji. kwa idadi ya
2012 hadi Juni 2013 matangi 5 ya
kuhifadhia maji
1 Upatikanaji, utoaji wa Kuandaa tovuti -kukusanya data - nakala tete za data -tovuti Kitengo cha
huduma za jamii zilizo & -kutengeneza tovuti kukusanywa H/IT
bora na zenye usawa Mawasiliano ya -kumiliki & utekelezaji -mawasiliano ya
kuimarika ifikapo Juni mtandao ifikapo Juni -kuweka kebo katika mtandao katika Kitengo cha
2017. 2013/2015 idara & sehemu zote kompyuta zote ndani -Mawasiliano ya H/IT
ya idara mtandao
1 Utawala na utawala wa Mahakama 22 za kata -Kuhusisha uongozi Idadi ya mahakama Ripoti za mafunzo CLO
sheria kuimarishwa katika kuwezeshwa kupitia wa kata & zilizopata mafunzo
kata 22 ifikapo Juni 2017 mafunzo na vifaa vya mahakama katika
kufanyia kazi ifikapo mafunzo
-Kuhusisha kamati
2017 za kudumu katika
mafunzo
-Kuhusisha
mahakama ya ardhi
na nyumba ya
Wilaya, ofisa ardhi
- Usuluhishi wa
kesi nje ya
mahakama
Idadi ya sheria ndogo -Kuhusisha idara -Idadi ya vijiji Kuwepo kwa CLO
za Halmashauri nyingine za vinavyotekeleza nyaraka
kuongezeka kutoka 4 Halmashauri , sheria ndogondogo zinazoonyesha
hadi 10 ifikapo WDCs, na Serikali za Halmashauri utekelezaji wa
Kutoa ushauri mara -kuhusisha HODs Sera na kanuni Kuwepo kwa CLO
20 kuhusu utekelezaji kutolewa ushauri Sera, kanuni.
wa sera, sheria na -Kuhusisha serikali
kanuni ifikapo za vijiji
2011/12
1 Kuongeza urefu Kuhakikisha mitandao Kuhusisha serikali za vijiji kupitia Kumbukumbu/ripoti Idadi ya DE
wa mitandao ya ya mawasiliano ya mikutano ya vijiji za mikutano ya waliohudhuria
barabara za barabara vijiji
Wilaya kutoka Kufanya tathimini ya athari kwa Ripoti ya
km 402 ifikapo mazingira (EIA) Kushauriana na Tathimini ya
2012/13 hadi 502 Wataalamu wa EIA Athari kwa
Kutafuta makandarasi kupitia Mazingira
ifikapo 2016/17 utangazaji zabuni Taratibu za kutoa (EIS)
zabuni
Kutafuta fedha za barabara kutoka Ukaguzi na
serikalini na kwa wafadhili na Fedha matayarisho
kuzisambaza kwa makandarasi kwa zilizokusanywa na ya hati za
wakati kusambazwa malipo
kulingana na
maombi kutoka
mfuko wa barabara
na wafadhili
wengine
6 Kuongeza vyombo Kununua magari Kutafuta fedha kutoka vyanzo vya Taratibu za ununuzi Taratibu za PMU
vya usafiri kutoka madogo 4 mgawo wa bajeti/ wafadhili zinazofaa kutangaza
2012/13 hadi zabuni DT
2016/17 Kununua magari
makubwa 2 HOD,s
Kununua pikipiki 10 TO
NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu vya Njia za uthibitisho Ofisa
utendaji anayehus
ika
1 Kuongeza viwanja Kuboresha makazi Kukubaliana na waombaji Waombaji wa ardhi Idadi ya hati miliki DLO
vilivyopimwa kutoka katika Wilaya ya wa ardhi kuchangia kuwa na hati miliki. miongoni mwa
12,301 mwaka 2012/2013 Kigoma gharama za upimaji wamiliki wa ardhi
hadi 17,000 ifikapo
2016/2017
2 Kuongeza idadi ya Kuboresha usalama wa Kuwaelimisha wamiliki wa Wamiliki wa ardhi Idadi ya CCRO’ DLO
mashamba yaliyowekwa umiliki wa ardhi kwa ardhi ya kijiji umuhimu wa ya kijiji kuwa na miongoni mwa
mipaka katika vijiji vyote wamiliki wa ardhi ya Kupewa Hati ya Umiliki CCRO’s wamiliki wa ardhi
vya halmashauri ya kijiji ya kijiji.
Wilaya ya Kigoma kutoka
1165 mwaka 2012/2013
hadi 6165 ifikapo
2016/2017
3 Kuongeza idadi ya vijiji Kuongeza bidhaa za Kuhusisha serikali za vijiji Kumbukumbu na Idadi ya vijiji DNRO
vyenye misitu misitu kupitia mikutano na semina ripoti za mikutano ya vyenye misitu
iliyohifadhiwa kutoka 14 kijiji iliyohifadhiwa
mwaka 2012/13 hadi 44 Kutoa makazi kwa Kuhusisha AZISE na CBOs
spishi mbalimbali zinazohusika na mazingira Uboreshaji wa misitu DFO
ifikapo 2016/17
Kudhibiti mmomonyoko Kuanzisha shughuli za Idadi ya AZISE na
wa udongo burudani na malazi kwa CBOs zilizohusishwa
ajili ya watalii
Kutangaza shughuli za Maeneo ya burudani
utalii kuanzishwa
1 Kuongeza idadi ya biashara Kuongeza idadi ya kuhusisha WEO, VEO Kuanzishwa kwa Leja, TO
kutoka 1500 hadi 3000 biashara na ukusanyaji katika ukusanyaji wafanyabiashara
katika mwaka 2013 hadi mapato kutokana na wapya 300 kila Kitabu cha leseni
2017 biashara zilizoongezeka Kuwaelimisha mwaka za biashara
wafanyabiashara kuhusu
njia nyepesi ya kulipa
mapato
2 Kupanua soko la kigeni Uongezaji wa masoko Kutoa mafunzo kwa Bidhaa zetu Ripoti za robo DTO
kutoka soko 1 lililopo mapya ya kigeni kutoka wafanyabiashara kuhusu zitapenya katika soko mwaka, nusu
(Kongo) hadi masoko mapya Rwanda, Zambia, masoko ya kimataifa la kimataifa mwaka na mwaka
4 kutoka mwaka 2013 hadi Uganda na Burundi mmoja
2018 Kuandika pendekezo la Soko 1 jipya la
ugharimiaji biashara kigeni linaanzishwa
linalovutia kwa mwaka
3 Kuwa na wafanyabiashara Kuongeza idadi ya Mafunzo kuhusu Wafanyabiashara Ripoti za robo DT & DTO
1500 zaidi kutoka katika wafanyabiashara katika pendekezo la biashara kwa wapya wanapaswa mwaka, nusu
vijiji 78 wanaopata mikopo halmashauri wajasiriamali kuongezwa kila mwaka na mwaka
kutoka sekta za fedha kutoka mwaka mmoja
2013 hadi 2018 Kupanua uelewa wa Kuendesha utafiti wa soko
biashara kwa
wafanyabiashara kwa.....................
5 Kupunguza idadi ya hoja za Kuongeza utendaji Mafunzo ya wahasibu na Hoja kupungua hadi Hati safi DT
ukaguzi kutoka nne hadi watunza fedha kutokuwepo
kutokuwepo kabisa ifikapo Huduma bora kutolewa Hakuna hoja
2017 kwa wadau Maelekezo ya kazi Kupata hati safi
6 Kuandaa mpango na bajeti Kuongeza utendaji kwa Washauri waelekezi Ripoti ya bajeti halisi Kukidhi mahitaji DT
ya mwaka na bajeti ya kila kiwango cha juu kwa wakati
mwaka hadi 2017 Mafunzo ya wafanyakazi mwafaka, eneo
Kuhusisha wadau
Kujenga mawazo/dira
mpya
NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashiria vikuu Njia za uthibitisho Ofisa
vya utendaji anayehusika
1 Kukagua hesabu za mapato Kusimamia michakato ya Kuwa na wafanyakazi Mfumo mzuri wa Ripoti za ukaguzi DED&DIA
na matumizi ya kila idara ukaguzi wa ndani kuanzia wa kutosha wenye sifa ununuzi katika wa ndani za kila
kutoka 2013 hadi 2018 kuimarisha udhibiti wa na mahiri. halmashauri robo mwaka
ndani hadi mtazamo wa
thamani nzuri ya fedha Kuwa na bajeti ya Mfumo mzuri na Kumbukumbu za
kutosha. imara wa baraza la Fedha
Kuimarisha mfumo wa usimamizi wa zikijadili ripoti za
usimamizi wa fedha. Kununua vifaa fedha katika ukaguzi wa ndani
halmashauri
Kuimarisha mchakato wa Maoni mazuri ya
utekelezaji wa miradi. Miradi CAG kuhusu hesabu
iliyotekelezwa za halmashauri.
vizuri katika
halmashauri.
3 Kuongeza idadi ya miradi ya Miradi yote iliyobainishwa Fedha za viandikia. Kuwepo kwa Ripoti za robo DIA
maendeleo iliyokaguliwa kuwa imekaguliwa mradi mwaka za ukaguzi
kutoka 120 hadi 200 ifikapo Kuwa na wafanyakazi uliokaguliwa. wa ndani
2012/13 hadi 2016/17. Ripoti ya ukaguzi isiyo na wa kutosha wenye sifa
makosa iliyoandaliwa kwa na mahiri. Ripoti ya ukaguzi Kumbukumbu za
wakati mwafaka baada ya halmashauri ya
mwezi mmoja Kuwa na bajeti ya fedha zikijadili
kutosha. ripoti za ukaguzi wa
ndani.
Maoni mazuri ya
CAG kuhusu miradi
ya halmashauri.
1 Kuongeza ufanisi katika Bidhaa kuongezeka kutoka Kuboresha njia za Viwango vya Hati ya mkataba HPMU
ununuzi wa Bidhaa, asilimia 90 hadi 100 katika mawasiliano. ununuzi
Huduma, kwa asilimia 100 utekelezaji wa mpango wa kufuatwa Hati ya
kutoka 80 kuanzia 2012/13 ununuzi. Vifaa vya kufanyia kuwasilisha
hadi 2017. kazi Hakuna bidhaa
Kuhakikisha wagavi malalamiko
wanalipwa kwa wakati kwa Kufuata maadili na kutoka kwa Hati ya kupokea
asilimia 100 kanuni za ununuzi wagavi bidhaa
Kutumia uagizaji
bidhaa
2 Kupunguza rushwa katika Hakuna rushwa katika Usawa katika utoaji wa Kutokuwa na Huduma kutolewa HPMU
ununuzi kutoka aslimia 100 shughuli za ununuzi ifikapo huduma mgongano wa katika ubora
kuanzia 2012 hadi 2016/17 2016/17 maslahi. sahihi, bei sahihi,
Thamani nzuri ya fedha kiwango sahihi,
Huduma kwa wakati mwafaka
Kutoa bei nzuri, mteja
gharama za uendeshaji na kutoka chanzo
na udhibiti wa gharama Uwezo wa sahihi
kukidhi mahitaji
Ufuataji wa masharti ya muhimu na
mkataba yanayotakiwa
3 Kuongeza udhibiti wa Ufuataji mzuri wa kanuni Kuimarisha mfumo wa Ugawaji wa Kuwepo kwa HPMU
mchakato wa ununuzi za ununuzi, mipango na utunzaji kumbukumbu madaraka rejesta nzuri ya
kutoka asilimia 60 mwaka Sheria na idara zinazotumia miongoni mwa mkataba
2012 hadi asilimia 100 utaratibu huo Kuwaelimisha wagavi wajumbe wa
na wadau wengine Kuwepo kwa leja
NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za uthibitisho Ofisa
vya utendaji anayehusika
1. Kuongeza idadi ya Ongezeko la idadi - Kujenga uelewa kwa viongozi Wakulima Idadi ya wakulima, DAEO
wakulima ambao ya wakulima wa kijiji, viongozi wa kata, wapatao 10,000 viongozi wa kijiji na
wamefundishwa ambao wataalamu wa kilimo na jamii wataongezwa kata na wataalamu wa
kilimo cha mazao ya wamefundishwa kuhusu kilimo cha mazao ya kilimo kupata mafunzo
chakula kutoka 31,540 kilimo cha mazao chakula kupitia semina/warsha,
mwaka 2012/13 hadi ya chakula mabango na vipeperushi
41540 ifikapo 2016/17 -Kuwawezesha wataalamu wa
kilimo kwa kuwapa vifaa vya
kazi, nyenzo za usafiri
-Ajira ya wataalamu wapya wa
kilimo
2. Kuchangia katika Kuongeza uzalishaji - Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha tani Idadi ya wakulima, DSMS -
kuongeza uzalishaji wa tani za kahawa wa kijiji, viongozi wa kata, 850 viongozi wa kijiji na KAHAWA
wa kahawa kutoka tani kwa hekta wataalamu wa kilimo na jamii kitaongezwa kata na wataalamu wa
650 mwaka 2011/13 kuhusu kilimo cha mazao ya kilimo waliopata
hadi 1500 ifikapo biashara kupitia semina/warsha, mafunzo
2016/17 mabango na vipeperushi
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya tani
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizozalishwa
kazi, nyenzo za usafiri
3. Kuchangia katika Kuongeza - Kujenga uelewa kwa viongozi Uzalishaji wa Idadi ya wakulima, DSM - PALM
kuongeza uzalishaji uzalishaji wa tani wa kijiji, viongozi wa kata, mafuta ya viongozi wa kijiji na
wa mafuta ya mawese za mafuta ya wataalamu wa kilimo na jamii mawese kata na wataalamu wa
kutoka tani 7,700 mawese kwa hekta kuhusu kilimo cha mazao ya kuongezeka kwa kilimo waliopata
mwaka 2012/13 hadi biashara kupitia semina/warsha, tani 7,000 mafunzo
14,700 ifikapo mabango na vipeperushi
2016/17 - Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya tani
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizozalishwa
kazi, nyenzo za usafiri
4. Kuongeza eneo la Kuongeza idadi ya - Kujenga uelewa kwa viongozi Eneo Idadi ya wakulima, DSMS-
kulima kwa kutumia hekta za kilimo cha wa kijiji, viongozi wa kata, litaongezeka viongozi wa vijiji, kata AGROMECH
mashine za shamba mazao wataalamu wa kilimo na jamii kwa 9050 na wataalamu wa
zilizoboreshwa kutoka kuhusu kilimo cha mazao ya kilimo waliopata
hekta 950 mwaka biashara kupitia semina/warsha, mafunzo
2012/13 hadi hekta mabango na vipeperushi
10,000 ifikapo - Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya Hekta
2016/17 kilimo kwa kuwapa vifaa vya kuongezeka.
kazi,
5. Kuongeza eneo lililo Kuongeza eneo - Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha hekta Idadi ya wakulima DSMS-IRR
katika kilimo cha katika hekta zilizo wa kijiji, viongozi wa kata, 7000 (wamwagiliaji),
umwagiliaji kutoka chini ya kilimo wataalamu wa kilimo na jamii kitaongezwa viongozi wa kijiji, kata
hekta 800 mwaka cha umwagiliaji (mwanachama wa umwagiliaji) na wataalamu wa
2012/13 hadi hekta kuhusu kilimo cha umwagiliaji kilimo waliopata
1500 ifikapo 2016/17 kupitia semina/warsha, mabango mafunzo
na vipeperushi.
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya hekta
kilimo kwa kuwapa vifaa vya kuongezeka
kazi, nyenzo za usafiri
6. Kuongeza ekari za - Kuongeza eneo - Kujenga uelewa kwa viongozi - Ongezeko la Idadi ya wakulima, DSMS – PP
muhogo katika ekari wa kijiji, viongozi wa kata, ekari 2500 viongozi wa kijiji, kata
zinazodhibitiwa zinazodhibitiwa wataalamu wa kilimo na jamii zenye aina za na wataalamu wa
kutokana na ugonjwa kutokana na kuhusu ugonjwa mbaya wa muhogo kilimo waliopata
“mbaya wa batobato” ugonjwa batobato unaostahimili mafunzo
kutoka ekari 20 “mbaya wa - Kuwawezesha wataalamu wa
mwaka 2012/13 hadi batobato” kilimo kwa kuwapa vifaa vya Idadi ya ekari
2520 ifikapo 2016/17 kazi, nyenzo za usafiri zilizopandwa
7. Kuanzisha na Kuongeza idadi ya - Kujenga uelewa kwa viongozi Kutakuwa na Idadi ya wakulima, DSMS – CI
kuongeza mashamba mashamba ya wa kijiji, viongozi wa kata, mashamba 10 viongozi wa kijiji, kata
10 ya mfano katika mfano wataalamu wa kilimo na jamii ya mfano na wataalamu wa
kata 10 ifikapo kuhusu shamba la mfano kilimo waliopata
2016/17 lililoanzishwa na kuongezwa mafunzo
8. Kupanua kilimo cha - Kuongeza eneo - Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi che hekta Idadi ya wakulima, DSMS –
bustani kutoka hekta katika hekta lililo wa kijiji, viongozi wa kata, 50 kitaongezeka viongozi wa kijiji, kata, HORT.
160 mwaka 2012/13 kwenye kilimo wataalamu wa kilimo, jamii na wataalamu wa kilimo
hadi 210 ifikapo cha bustani sekta binafsi kuhusu kilimo cha na sekta binafsi
2016/17 bustani kupitia semina/warsha, waliopata mafunzo
mabango na vipeperushi.
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya hekta
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizoongezeka
kazi, nyenzo za usafiri
9. Kuwezesha utafiti - Kuongeza eneo la - Kujenga uelewa kwa viongozi Kuongezeka - Idadi ya vijiji - DSMS-
kuhusu rutuba ya kutosha kwa ajili wa kijiji, viongozi wa kata, kwa uwezo wa vilivyofanyiwa CROP
udongo katika vijiji 60 ya uzalishaji wa wataalamu wa kilimo, jamii na eneo (ardhi utafiti
ifikapo 2016/17 mazao ya sekta binafsi kuhusu uwezo wa inayolimika)
biashara na udongo kupitia semina/warsha, kwa kila kjiji
chakula mabango na vipeperushi. katika vijiji 60.
- Kuwawezesha wataalamu wa
kilimo kwa kuwapa vifaa vya
kazi, nyenzo za usafiri
10. Kuchangia katika - Kuongeza tani - Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha tani Idadi ya wakulima, DSMS-CROP
ongezeko la uzalishaji za mahindi wa kijiji, viongozi wa kata, 75,000 viongozi wa kijiji, kata,
wa mahindi kutoka zinazozalishwa wataalamu wa kilimo na jamii kuongezeka wataalamu wa kilimo
tani 50,000 mwaka kwa hekta kuhusu uzalishaji wa mahindi na sekta binafsi
2012/13 hadi 125,000 kupitia semina/warsha, mabango waliopata mafunzo
ifikapo 2016/17 na vipeperushi.
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya tani
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizozalishwa
kazi, nyenzo za usafiri
11. Kuchangia katika - Kuongeza tani za - Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha tani Idadi ya wakulima, DSMS-CROP
ongezeko la uzalishaji mpunga wa kijiji, viongozi wa kata, 60,000 viongozi wa kijiji, kata,
wa mpunga kutoka zinazozalishwa wataalamu wa kilimo, jamii na kitaongezeka wataalamu wa kilimo
tani 37,000 mwaka kwa hekta sekta binafsi kuhusu uzalishaji wa na sekta binafsi
2012/13 hadi 97,000 mpunga kupitia semina/warsha, waliopata mafunzo
ifikapo 2016/17 mabango na vipeperushi.
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya tani
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizozalishwa
kazi, nyenzo za usafiri
-
12. Kuchangia katika - kuongeza tani za - Kujenga uelewa kwa viongozi Tani 54,000 Idadi ya wakulima, DSMS-CROP
ongezeko la uzalishaji ndizi wa kijiji, viongozi wa kata, zitaongezeka viongozi wa kijiji, kata,
wa ndizi kutoka tani zinazozalishwa wataalamu wa kilimo na jamii wataalamu wa kilimo
146,000 mwaka kwa hekta kuhusu uzalishaji wa ndizi kupitia na sekta binafsi
2012/13 hadi 200,000 semina/warsha, mabango na waliopata mafunzo
ifikapo 2016/17 vipeperushi.
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya tani
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizozalishwa
kazi, nyenzo za usafiri
-
13. Kuchangia katika - Kuongeza tani - Kujenga uelewa kwa viongozi Tani 22,500 Idadi ya wakulima, DSMS-CROP
ongezeko la uzalishaji za maharage wa kijiji, viongozi wa kata, zitaongezeka viongozi wa kijiji, kata,
wa maharage kutoka zinazozalishwa wataalamu wa kilimo, jamii na wataalamu wa kilimo
tani 27,000 mwaka kwa hekta sekta binafsi kuhusu uzalishaji wa na sekta binafsi
2012/13 hadi …… maharage kupitia semina/warsha, waliopata mafunzo
ifikapo 2016/17 mabango na vipeperushi.
- Kuwawezesha wataalamu wa Idadi ya tani
kilimo kwa kuwapa vifaa vya zilizozalishwa
kazi, nyenzo za usafiri
-Kuratibu pamoja na kituo cha
utafiti cha kanda
14. Kuongeza maeneo ya - Kuongeza eneo la - Kujenga uelewa kwa viongozi Hekta 150 Idadi ya wakulima, DSMS-LUP
kilimo yaliyodhibitiwa kilimo katika wa kijiji, viongozi wa kata, zitaongezeka viongozi wa kijiji, kata,
mmomonyoko wa hekta kwa ajili ya wataalamu wa kilimo na jamii wataalamu wa kilimo
udongo kutoka hekta uzalishaji wa kuhusu kudhibiti mmomonyoko na sekta binafsi
100 ifikapo 2012/13 mazao wa udongo kupitia waliopata mafunzo
hadi 250 ifikapo semina/warsha, mabango na
2016/17 vipeperushi. Idadi ya hekta
- Kuwawezesha wataalamu wa zilizoongezwa/kudhibiti
kilimo kwa kuwapa vifaa vya wa
kazi,
15. Kuchangia katika - Kuongezeka kwa - Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha tani Idadi ya wakulima, DSMS-CROP
ongezeko la nazi tani za uzalishaji wa kijiji, viongozi wa kata, 130,000 viongozi wa kijiji, kata,
kutoka tani 100,000 wa nazi wataalamu wa kilimo na jamii kitaongezwa wataalamu wa kilimo
mwaka 2012/13 hadi kuhusu kudhibiti mmomonyoko na sekta binafsi
230,000 ifikapo wa udongo kupitia waliopata mafunzo
2016/17 semina/warsha, mabango na
vipeperushi. Idadi ya tani
- Kuwawezesha wataalamu wa zilizozalishwa
kilimo kwa kuwapa vifaa vya
kazi,
20 Kuongeza idadi ya - Kuongeza idadi - kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha Idadi ya watumishi DCO
watumishi wa ushirika ya watumishi wa wa ushirika kupitia watumishi 265 waliopata mafunzo
waliopata mafunzo ushirika semina/warsha, mabango na waliopata
kutoka 50 mwaka waliopata vipeperushi. mafunzo
2012/13 hadi 315 mafunzo kwa kila kuongezeka
ifikapo 2016/17 chama cha
ushirika katika
wilaya
21 Kuongeza idadi ya -kuongeza idadi ya - kujenga uelewa kwa viongozi Maghala 14 Idadi ya maghala DCO
maghala kutoka 26 maghala katika wa ushirika, wanachama, kuongezeka yaliyojengwa
mwaka 2012/13 hadi wilaya wenye mabenki na wanunuzi
40 ifikapo 2016/17 wa mazao kupitia
semina/warsha, mabango na
vipeperushi.
22 Kuwa na maofisa 10 -kuongeza uwezo - kujenga uelewa kwa viongozi Kuwepo kwa Idadi ya ofisi DCO
wa SACCOS wa idadi ya ofisi na wanachama wa SACCOS ofisi 10 zilizojengwa
Wanaopokea akiba na zinazopokea akiba kupitia semina/warsha,
kulipa mikopo na kutoa mikopo mabango na vipeperushi.
ifikapo
2016/17
23 Kuwa na ziara 5 za -kuongeza uwezo - kujenga uelewa na kuwezesha Kufanyika kwa Idadi ya vyama DCO
masomo kwa vyama wa kupeana viongozi na wanachama wa ziara za vilivyohudhuria ziara
vya kuweka na uzoefu na SACCOS kupitia ziara za mafunzo 5
Kukopa ifikapo kubadilishana mafunzo
2016/17 mawazo na
uzoefu kwa
wanachama wa
SACCOS
24 Kuongeza uzalishaji Kuongezeka kwa - Kujenga uelewa kwa bodi ya Kilogramu 3.1 Idadi ya kilogramu DCO
wa tumbaku kupitia uzalishaji katika ushirika, wanachama wa kuongezeka
ushirika kutoka kg kilogramu ushirika kupitia mikutano
milioni 2.9 mwaka
2012/13 hadi kg
milioni 6 ifikapo
2016/17
25 Kuongeza uzalishaji Kuongeza - Kujenga uelewa kwa bodi ya Uzalishaji Idadi ya kilogramu DCO
wa kahawa kupitia uzalishaji katika ushirika, wanachama wa kuongezeka
ushirika kutoka kg kilogramu ushirika kupitia mikutano
539,316 mwaka
2012/13 hadi kg
900,000 ifikapo
2016/17
2 Kuwa na jumla ya Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha mbuzi Idadi ya viongozi SMS – (SA)
mbuzi wa maziwa 110 mbuzi wa maziwa wa vijiji, kikundi cha wafugaji wa maziwa 110 na wanachama
ifikapo 2016/17 na jamii kupitia semina/warsha kuongezeka waliopata mafunzo
, mabango na vipeperushi
Idadi ya mbuzi wa
maziwa
3 Kuwa na kiasi cha kuku Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha kuku Idadi ya viongozi SMS (SA)
wa mayai 1,000 ifikapo kuku wa mayai wa vijiji, kikundi cha wafugaji 1,000 kuwepo na wanachama
2016/17 na jamii kupitia semina/warsha waliopata mafunzo
, mabango na vipeperushi
Idadi ya kuku wa
mayai
4 Kusaidia katika Kuongeza tani za Kujenga uelewa kwa viongozi -Kiasi cha tani Idadi ya tani za DLDO
uzalishaji wa nyama nyama wa vijiji, kikundi cha wafugaji 8,521 za nyama nyama ya
kutoka tani 13,408 na jamii kupitia semina/warsha kuongezeka ng’ombe
mwaka 2012/13 hadi , mabango na vipeperushi
21,930 ifikapo 2016/17
5 Kuongeza uwanda wa Kuongeza uwanda Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha ekari Idadi ya ekari SMS –
malisho kutoka ekari wa malisho ya wa vijiji, kikundi cha wafugaji 130,432 RANGE
400,000 mwaka mifugo na jamii kupitia semina/warsha zitaongezeka MGT
2012/13 hadi 530,432 , mabango na vipeperushi
6 Kupunguza vifo vya Kupunguza idadi Kujenga uelewa kwa viongozi Vifo 1,100 Idadi ya kiwango SMS – TC
wanyama ya vifo vya wa vijiji, kikundi cha wafugaji kupunguzwa cha vifo
vinavyosababishwa na wanyama na jamii kupitia semina/warsha kilichopungua
ugonjwa wa malale , mabango na vipeperushi
kutoka makundi 1,350
mwaka 2012/13 hadi
250 ifikapo 2016/17
7 Kupunguza vifo vya Kupunguza idadi Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha 2,000 Idadi ya kiwango SMS – VPH
wanyama ya vifo vya wa vijiji, kikundi cha wafugaji kitapunguzwa cha vifo
vinavyosababishwa na wanyama na jamii kupitia semina/warsha kilichopungua
magonjwa , mabango na vipeperushi
yanayoenezwa na kupe
kutoka makundi 2300
mwaka 2012/13 hadi
300 ifikapo 2016/17
8 Kuongeza idadi ya Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha Idadi ya ng’ombe DALDO
ng’ombe waliochanjwa ng’ombe wa vijiji, kikundi cha wafugaji makundi ya waliochanjwa
dhidi ya CBPP kutoka waliochanjwa dhidi na jamii kupitia semina/warsha ng’ombe 79,600
ng’ombe 19,900 mwaka ya CBPP , mabango na vipeperushi kuchanjwa
2012/13 hadi 99,900
ifikapo 2016/17
9 Kuchanja ng’ombe Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi -kiasi cha Idadi ya ng’ombe DALDO
99,500 dhidi ya ng’ombe wa vijiji, kikundi cha wafugaji ng’ombe 99,500 waliochanjwa
Ugonjwa wa Midomo waliochanjwa dhidi na jamii kupitia semina/warsha watachanjwa
na Miguu ifikapo ya Ugonjwa wa , mabango na vipeperushi
2016/17 Midomo na Miguu
10 Kuongeza idadi ya kuku Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi -Kiasi cha Idadi ya kuku SMS-SA
waliochanjwa dhidi ya kuku waliochanjwa wa vijiji, kikundi cha wafugaji ng’ombe 190,000 kuchanjwa
NCD kutoka 45,000 dhidi ya NCD na jamii kupitia semina/warsha watachanjwa
mwaka 2012/13 hadi , mabango na vipeperushi
237,500 ifikapo
11 Kuongeza idadi ya Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Kiasi cha mbwa Idadi ya mbwa SMS – VPH
mbwa waliochanjwa mbwa wa vijiji, kikundi cha wafugaji 1760 waliochanjwa
dhidi ya kichaa cha waliochanjwa dhidi na jamii kupitia semina/warsha watachanjwa
mbwa kutoka mbwa ya kichaa cha , mabango na vipeperushi
440 mwaka 2012/13 mbwa
hadi 2200 ifikapo
2016/17
12 Kuongeza idadi ya Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Majosho 8 ya Idadi ya majosho DALDO
majosho ya ng’ombe majosho ya wa vijiji, kikundi cha wafugaji ng’ombe
kutoka 7 mwaka ng’ombe na jamii kupitia semina/warsha kujengwa
2012/13 hadi 15 ifikapo , mabango na vipeperushi
2016/17
13 Kuwa na meza 10 za Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Meza kumi za Idadi ya meza za SMS – VPH
kuchinjia ifikapo meza za kuchinjia wa vijiji, kikundi cha wafugaji kuchinjia kuchinjia
2016/17 na jamii kupitia semina/warsha kujengwa
, mabango na vipeperushi
14 Kuongeza idadi ya Kuongeza idadi ya Kujenga uelewa kwa viongozi Masoko 3 ya Idadi ya masoko DALDO
masoko ya ng’ombe masoko ya wa vijiji, kikundi cha wafugaji ng’ombe ya ng’ombe
kutoka 2 mwaka ng’ombe na jamii kupitia semina/warsha kuanzishwa
2012/13 hadi 5 ifikapo , mabango na vipeperushi
2016/17
15 Kuwa na kliniki 4 za Kuongeza kliniki Kujenga uelewa kwa viongozi Kliniki 4 za Idadi ya kliniki za DALDO
wanyama ifikapo za wanyama wa vijiji, kikundi cha wafugaji wanyama wanyama
2016/17 na jamii kupitia semina/warsha kujengwa
, mabango na vipeperushi
17 Kutoa mafunzo ya Ongezeko la -Kuanda vitabu vya mafunzo Kiasi cha wauzaji -Uvuvi na vitendo FsO
uvuvi endelevu kwa kutotumiwa kwa - Kuandaa miongozo wa samaki 6,200 vya biashara
wavuvi na wauzaji wa muda sheria za - Kuhusisha serikali ya kijiji. kupata mafunzo. haramu ya samaki
samaki kutoka 1800 uvuvi miongoni kupunguzwa
mwaka 2012/2013 hadi mwa watumiaji wa -Vitabu vya
8,000 ifikapo rasilimali za uvuvi. mafunzo
2016/2017 kupatikana
-Kupata idadi ya
waliopata
mafunzo.
18 Kuongeza idadi ya Kuongeza ubora na Kuhusisha serikali ya kijiji na Kiasi cha chanja -Kuwepo kwa FsOQ
chanja za kukaushia kupunguza hasara wanufaika katika kuchangia za kukaushia idadi ya chanja za
kutoka 400 mwaka baada ya uvunaji gharama. 2,200 kukaushia
2012 hadi 2,600 ifikapo wa bidhaa za uvuvi -Kuelimisha wavuvi kuhusu kuongezwa. zilizojengwa.
2016/17 zilizovunwa. umuhimu wa usafi wa bidhaa za -Taratibu za
uvuvi. ununuzi wa vifaa
-Kuandaa na kusambaza vifaa kufuatwa.
vya kukaushia kwa muundo wa
21 Kuongeza mapato ya Kuiwezesha -Kuelimisha serikali ya kijiji Kiasi cha Tsh 12, -ongezeko la DFsO
Halmashauri kutokana halmashauri kuhusu ukusanyaji wa mapato. 000,000/= kiwango cha
na leseni ya uvuvi kufikia malengo Kuelimisha, kutumia na makusanyo ya mapato
NA. Malengo Mkakati Shabaha Mikakati Viashirio vikuu Njia za uthibitisho Ofisa
vya utendaji anayehusika
Kuwezesha kijiji
1 Uandikishaji wa watoto Kuongeza idadi ya - Kuhusisha serikali ya -Uandikishaji wa watoto wa -Vitabu vya SLO/DAO
wa shule ya awali na watoto wa darasa la kijiji kupitia mikutano darasa la kwanza kutoka uandikishaji na
darasa la kwanza kwanza kutoka 18416 -Kuhusisha kamati za 18416 mwaka 2012/13 hadi mahudhurio.
mwaka 2013 hadi shule kupitia semina
20000 ifikapo 2016/17
20000 ifikapo 2018 -Kujenga uelewa wa jamii - Kumbukumbu
kupitia matangazo katika -Mkutano mmoja wa za mikutano
mikusanyiko mbalimbali
serikali ya kijiji (kila mwaka
ya jamii kama vile
makanisa, misikiti na mwezi Oktoba)
maeneo ya masoko
-Semina ya siku moja kwa
wajumbe wa kamati ya
shule (kila mwaka mapema
mwezi Oktoba)
Kuongeza idadi ya - kuhusisha serikali za Kujenga vyoo vya shimo BOQ’s, hati za DEO,
vyoo vya shimo katika vijiji mkataba, ripoti za DPLO, DE,
shule za msingi kutoka - Kuhusisha kamati za usimamizi, vyoo VEO’s
1560 mwaka 2013 shule
vya shimo
hadi 2060 ifikapo 2018 - Kuhamasisha jamii
- kuhusisha idara ya Ujenzi
Kuongeza idadi ya - kuhusisha serikali za Kutengeneza madawati BOQ’s, hati za DEO,DPL
madawati kutoka vijiji mkataba, ripoti za O,DE
12388 mwaka 2013 - Kuhamasisha jamii usimamizi,
hadi 34,789 ifikapo
madawati
2013/18
Kuongeza idadi ya -Kuhusisha jamii Kutengeneza meza BoQs; DEO
meza kutoka--- mwaka -Kuhusisha serikali za ,DPLO and
2012/2013 hadi -- vijiji Na hati za DE
ifikapo 2016/2017 -Kuhusisha kamati za mkataba, meza za
shule walimu
-Kuhusisha Idara ya Ujenzi
Kuongeza idadi ya viti Kuomba fedha kupitia Kutengeneza viti 97 kila BoQs; DEO
kutoka 2271 mwaka bajeti ya mwaka kutoka ,DPLO and
Kuongeza idadi ya - Kuomba fedha kupitia Kujenga 20 kila mwaka Kuwepo kwa DEO
viwanja vya mpira wa bajeti ya mwaka kutoka viwanja vya mpira WECs HTs
miguu kutoka 121 serikali kuu wa miguu na
mwaka 2012/2013
WALIMU
hadi 219 ifikapo -Kuomba msaada kutoka
2016/17 AZISE, CBOs kama vile, WA
TACARE, CRDB MICHEZO
3 Kuimarisha upatikanaji, Kuendesha warsha za - Kuhusisha Wakuu wa Kuendesha warsha 12 -Vitabu vya DEO,
utoaji wa huduma ya kuwaeleza mambo shule za msingi katika ifikapo 2016/2017 yaani; kufundishia , DAO,
elimu bora na yenye mapya walimu kutoka kuandaa washiriki DCIS.
0 mwaka 2012/2013 -Kuhusisha Wakuu wa i. Warsha moja ya mipango -Orodha za
usawa na utawala katika kila
hadi 12 ifikapo Shule za msingi mahudhurio
2016/2017 -Kuhusisha Idara ya miaka miwili kwa wakuu
Ukaguzi ili kuwezesha wa shule za msingi na
warsha WECs
Kupunguza uwiano wa -kuhusisha serikali za vijiji -Mkutano mmoja mkuu wa Kumbukumbu za DEO,
mwalimu kwa katika kuweka mazingira kijiji utafanyika kila mwaka DHRO,
Kuendesha ukaguzi na -Kuhusisha wafanyakazi -Ukaguzi mkuu utafanyika -Ripoti za ukaguzi DEO,
usimamizi katika shule wa idara ya elimu makao mara tatu na ukaguzi DCIS.
makuu na wakaguzi wa mahsusi mara mbili kila
shule katika kufanya
mwaka.
ukaguzi na usimamizi
Kuongeza idadi ya -Kuhusisha serikali za Ujenzi wa kituo kimoja kila BoQs; DEO
vituo vya ufundi vijiji kubainisha maeneo baada ya miaka miwili ,DPLO and
kutoka 1 mwaka ya kujenga kituo na Hati ya mkataba DE
2012/2013 hadi 3 kuhamasisha jamii kuwa na viti
ifikapo 2016/2017 na mwitikio mzuri katika
ujenzi wa vituo vya ufundi
-Kuhusisha serikali kuu
katika kupanga bajeti na
kugawa fedha kwa ajili ya
kujenga
Kuboresha michezo Kuendeleza michezo -kuhusisha kamati za Kuendesha Orodha ya DEO DAO,
mbalimbali katika shule ya UMITASHUMITA, shule, kuhusisha WECs, “UMITASHUMITA” mara mahudhurio DSGO HT
za msingi mashindano ya kuhusisha HTs, kuhusisha moja kila mwaka.
utamaduni na masomo walimu wa michezo na Ripoti za
kuanzia ngazi ya shule wanafunzi na idara ya
Kuendeleza utawala Kuendesha warsha - Kuwahusisha WECs na Warsha moja itafanyika kila Orodha ya DEO, HTs
bora na huduma za kwa kamati za shule Wakuu wa Shule za msingi mwaka. mahudhurio WECs na
utawala kutoka 0 mwaka kuandaa washiriki kamati za
2012/2013 hadi 5 -Kuhusisha Wakuu wa Vitabu vya shule na
ifikapo 2016/2017 Shule za msingi mwongozo wa
-kuhusisha ukaguzi ukaguzi
kufundishia
Kuimarisha huduma na Kupunguza Kuhusisha maofisa wa -Semina moja ya uelimishaji -Urodha ya DEO DMO
kupunguza maambukizo ya afya na maofisa maendeleo itafanyika kila mwaka mahudhurio WALIMU
maambukizo ya VVU/UKIMWI kwa ya jamii katika kuendesha
wanafunzi na walimu semina za uelimishaji kwa - Vitabu vya
VVU/UKIMWI
kutoka asilimia 1.2 walimu mwongozo wa
mwaka 2012/13 hadi kufundishia
0.8 ifikapo 2016/17
Kuimarisha utekelezaji Kupunguza tabia za -Kuhusisha vitengo vya Kuendesha warsha moja Urodha ya Kamanda
endelevu na mzuri wa rushwa katika shule za kupambana na rushwa kila mwaka katika ngazi ya mahudhurio PCCB
mkakati wa Taifa wa msingi kwa wanafunzi -DEO shule na kata
na walimu kwa - kuhusisha WECS Vitabu vya DEO
Kupambana na Rushwa
kuendesha warsha na - kuhusisha HTs mwongozo wa
kuanzisha klabu za - kuhusisha walimu kufundishia Walimu
shule za kupambana na
rushwa
Kuongeza uwezeshaji Kupunguza mimba za Uhusisha walimu katika Kuendesha warsha moja Urodha ya DEO,
wa ustawi wa jamii, utotoni miongoni mwa kuendesha majukwaa ya kuhusu athari za mimba za mahudhurio DMO
jinsia na jamii wanafunzi wa shule ya uelimishaji kwa wanafunzi utotoni kwa walimu kila Vitabu vya
msingi kutoka 19 kuhusu mimba za utotoni
mwaka mwongozo wa
mwaka 2012/13 hadi 0
ifikapo 2016/2017 kufundishia
kwa
kumbuku
mbu
Kusimamia mikutano ya Idadi ya mikutano - Kuwepo
udhibiti ya Halmashauri: kwa
-Mikutano 20 ya -Kuhusisha CMT kumbuku DHRO
Halmashauri - Madiwani
mbu
-Mikutano 140 ya
Kamati ya kudumu -Ratiba za
-Mikutano 440 na 4500
mikutano
ya VC
-Mikutano 60 ya CMT
ifikapo 2017
zi
-kuwepo
kwa
wafanyaka
zi wa
huduma
kwa mteja
wenye sifa
1. Uchaguzi wa Serikali kuu Majimbo 2, kata 25 -Kuhusisha -idadi ya nafasi Kuwepo kwa
na za mitaa kufanyika na vijiji 78 kujazwa vyama vya siasa za kisiasa viongozi wa
kulingana na miongozo ya na wafanyakazi na wanasiasa kujazwa siasa Ofisa
uchaguzi ifikapo 2017 -kuhusisha Tume msimamizi wa
waliochaguliwa
ya Taifa ya kura
ifikapo 2017 uchaguzi
-kuhusisha
vikundi vya
burudani
kuelimisha jamii
UFUATILIAJI NA TATHIMINI
Sura hii inaeleza kwa ufupi jinsi Mpango Mkakati (MK) utakavyofuatiliwa, muda baina ya
matukio wa kupitia MK, changamoto zinazotarajiwa wakati wa kutekeleza mpango, na inatoa
mapendekezo ili kuufanya mchakato kuwa mzuri na wa ufanisi.
Katika MK huu, Ufuatiliaji utafanywa katika aina mbili ambazo ni, Ufuatiliaji wa Kiidara na
Ufuatiliaji wa Uongozi wa Juu. Katika ufuatiliaji wa kidara, wakuu wa idara mbalimbali
wanawajibika kuhakikisha kwamba malengo mkakati hayo yamefikiwa katika muda
uliopangwa na kama hayakufikiwa ni hatua gani zitakazochukuliwa. Kwa maneno mengine,
sehemu hii itatoa ushauri na mapendekezo ili kuboresha mipango ya idara. Ufuatiliaji katika
ngazi ya juu ya uongozi kwa kawaida uhusisha CMT ambapo itafuatilia kwa karibu wa
mipango mbalimbali ya idara. Ripoti za kina za robo mwaka zitakuwa zana muhimu kufanya
zoezi la ufuatiliaji katika ngazi hii.
Tathimini ni mchakato wa kujua kama kuna mafanikio au kushindwa kwa halmashauri katika
mpango wake. Halmashauri ya Wilaya itafanya tathimini ya robo mwaka, nusu mwaka na
mwaka kwa kutumia rasilimali za ndani katika idara na kutoa ripoti ya robo mwaka ya
shughuli zao. Pia wakaguzi wa hesabu wa nje, wataalamu wa serikali, AZISE & Asasi za
Kiraia na wataalamu wengine kama washauri waelekezi watatumiwa kufanya tathimini ya
kina ya mwaka. Tathimini ya mwaka, itafanyika mwishoni mwa mwaka ili kuona kama
shabaha na malengo yamefanikiwa au la, na kama hayakufanikiwa kutafuta sababu na
suluhisho ili malengo na shabaha hizo ambayo hayakukamilika yaweze kuhamishiwa katika
mwaka unaofuata.
Mfumuko wa bei: Mabadiliko ya mara kwa mara ya bei za bidahaa katika soko.
Huu utaongeza kwa kiasi kikubwa gharama za kutoa huduma kwa jamii na
matokeo yake ni kusababisha rasilimali kutotosheleza.
Shughuli za kisiasa; hii ni moja ya changamoto ya kawaida inayoikabili
Halmashauri.