Professional Documents
Culture Documents
MEI, 2015
YALIYOMO
YALIYOMO ................................................................................................................................. ii
ORODHA YA VIAMBATANISHO ........................................................................................ iv
ORODHA YA JADWELI .......................................................................................................... v
VIFUPISHO VYA MANENO ................................................................................................. vi
A: UTANGULIZI ..................................................................................................................... 1
B: MAJUKUMU YA OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA
MAPINDUZI ....................................................................................................................... 6
C: MAFANIKIO YA KIPINDI CHA MIAKA MITANO YA
UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA OFISI YA RAIS NA
MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ....................................................... 7
D: MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI YA
MWAKA 2014/2015 ........................................................................................................... 12
D.1 UKUSANYAJI WA MAPATO ....................................................................................... 12
D.2 UTEKELEZAJI WA KAZI ZA KAWAIDA NA MIRADI YA
MAENDELEO KWA MWAKA 2014/2015 ...................................................................... 12
OFISI YA FARAGHA YA RAIS ............................................................................................ 13
OFISI YA BARAZA LA MAPINDUZI .............................................................................. 19
IDARA YA MIPANGO, SERA NA UTAFITI ................................................................... 21
IDARA YA MAWASILIANO IKULU ............................................................................. 22
IDARA YA UENDESHAJI NA UTUMISHI .................................................................... 24
OFISI YA USALAMA WA SERIKALI (GSO) .................................................................. 26
IDARA YA UTAWALA BORA ............................................................................................ 27
OFISI YA OFISA MDHAMINI PEMBA ....................................................................... 29
IDARA YA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA NA URATIBU
WA WAZANZIBARI WANAOISHI NJE YA NCHI ...................................................... 30
MAMLAKA YA KUZUIA RUSHWA NA UHUJUMU WA UCHUMI
ZANZIBAR ............................................................................................................................... 32
OFISI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA
SERIKALI ZANZIBAR .......................................................................................................... 33
TUME YA MIPANGO ........................................................................................................... 35
IDARA YA MIPANGO YA KITAIFA, MAENDELEO YA KISEKTA
NA KUPUNGUZA UMASIKINI ....................................................................................... 36
IDARA YA UKUZAJI UCHUMI ......................................................................................... 38
IDARA YA MIPANGO NA MAENDELEO YA WATENDAKAZI ............................. 39
DIVISHENI YA UTUMISHI NA UENDESHAJI .......................................................... 40
OFISI YA MTAKWIMU MKUU WA SERIKALI ............................................................ 40
Hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora
ii
42
42
43
45
45
47
48
49
50
51
51
52
54
55
56
57
69
69
69
70
iii
ORODHA YA VIAMBATANISHO
Kiambatanisho Namba 1: Orodha ya Wageni Waliofika Ikulu na
Kuonana na Mheshimiwa Rais Kuanzia Julai 2014 - Machi 2015 ...................................
74
76
77
78
79
80
81
82
84
85
86
iv
ORODHA YA JADWELI
Jadweli Namba 1: Utekelezaji kwa Idara/Taasisi ...............................................................
88
vi
OMKR
OMPR
PBB
PhD
PPP
R4P
SADC
SADCOPAC
STATCAP
TAKUKURU
TZS.
UAE
UKIMWI
UNDP
UNFPA
UNICEF
ZBC
vii
A: UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba
Baraza lako Tukufu likae kama Kamati kwa madhumuni
ya kupokea, kujadili na kuidhinisha makadirio ya
mapato na matumizi ya kazi za kawaida na kazi za
maendeleo ya Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi kwa mwaka wa fedha wa 2015/2016.
2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa naomba kuchukua
fursa hii adhimu kumshukuru Mwenyezi Mungu
mwingi wa rehma kwa kutujaalia kukutana hapa
tukiwa na afya njema na furaha. Naomba kutoa pole
kwa wale wote walioathirika na mvua kubwa za Masika
pamoja na upepo mkali. Namuomba Mwenyezi
Mungu atuzidishie Baraka na neema katika nchi yetu
na aendelee kutujaalia Amani na Utulivu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza
Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein kwa
umahiri wake mkubwa katika kuiongoza nchi yetu.
Chini ya uongozi wake, Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar imetekeleza kwa vitendo ahadi alizozitoa
kwa wananchi wakati wa Kampeni ya Uchaguzi Mkuu
wa mwaka 2010 kama zilivyoainishwa katika Ilani ya
Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya Mwaka 2010.
4. Mheshimiwa Spika, mafanikio yaliyopatikana chini
ya uongozi wake yameiwezesha nchi yetu kuendelea
kuwa ya amani, utulivu na mshikamano mkubwa.
Hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
58. Mheshimiwa Spika, Idara ya Mawasiliano Ikulu imeandaa na kurusha hewani vipindi 24 vya
Redio na 16 vya Televisheni ambavyo baadhi yake
vimeainishwa katika Kiambanisho Namba 3. Vipindi
hivyo vilizungumzia na kuonesha hatua iliyofikiwa na
Serikali katika maendeleo ya mijini na vijijini kwenye
sekta za maji, barabara na elimu. Aidha, taarifa hizo
pia zilichapishwa katika magazeti na majarida ambapo
makala mbali mbali yameandaliwa ili kutoa ufafanuzi
zaidi juu ya utekelezaji huo. Katika kipindi hiki,
matoleo matano ya Jarida la Ikulu yamechapishwa
nayo ni Jarida Toleo Namba 015, 016, 017, 018 na 019.
Jumla ya nakala 15,000 zilichapishwa na kusambazwa
kwa wadau mbali mbali.
59. Mheshimiwa Spika, Idara imeandaa Kitabu Maalum
kinachoitwa Miaka 4 ya Dkt. Shein chenye Ujumbe
Mahsusi unaosomeka Tunajivunia Amani, Utulivu
na Maendeleo. Kitabu hicho kinaelezea kwa kina
mafanikio yaliopatikana katika kipindi cha miaka
minne (2010 2014) chini ya uongozi wake katika
Sekta za Uchumi, Elimu, Kilimo na Maliasili, Afya,
Utalii, Umeme, Maji, Miundombinu, Habari na
Utamaduni. Maeneo mengine ambayo mafanikio
yake yameainishwa katika kitabu hicho ni pamoja na
masuala mtambuka (Mazingira, Dawa za Kulevya na
UKIMWI), Ujasiriamali, Ufugaji na Uvuvi, Michezo
na Mahusiano ya Kimataifa. Nakala ya Kitabu hiki
zilisambazwa katika Taasisi mbali mbali, vituo vyote vya
walimu Unguja na Pemba pamoja na wananchi. Aidha,
kitabu hicho pamoja na majarida yanayochapishwa na
Hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70
71
72
73
74
75
76
77
78
79
80
81
Hotuba
wa Nchi, Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora
ya Waziri
82
83
84
85
86
87
88
89
90
91
92
93
94
95
96
97
98
99
100
101
102
Kaskazini
103
104
105
106
107
108