Professional Documents
Culture Documents
Aidha, Katibu Tawala ameisihi pia Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina
kuhakikisha inawafanyia upekuzi wa kina sana kabla ya kuwachagua
wawekezaji wanaojitokeza na kuonyesha nia ya kutaka kupatiwa viwanda kwa
kubinafsishwa au kuuziwa ili kufanya uwekezaji wenye tija ili kuleta faida
itakayochagiza ukuaji wa uchumi wa nchi, kuboresha kipato na hali ya maisha
ya mwananchi mmoja mmoja hali kadhalika kukua kwa pato la Taifa.
Imetolewa na: