Professional Documents
Culture Documents
TANZANIA.
Aidha, Serikali inachukua fursa hii kuwaeleza wananchi kuwa nchi yetu
ina akiba ya chakula cha kutosha ambacho kina utoshelevu wa asilimia 124
kwa mwaka huu wa fedha 2018/19. Hivyo, Serikali haitarajii kutumia fedha
za kigeni kuagiza chakula kutoka nje ya nchi isipokuwa tu kama ikitokea hali
ya ukame ikawa mbaya katika siku zijazo.
IMETOLEWA NA:
DKT. PHILIP ISDOR MPANGO
WAZIRI YA FEDHA NA MIPANGO