Professional Documents
Culture Documents
i
MAELEZO YA MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB.),
WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO WAKATI AKIWASILISHA
BUNGENI HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA
MATUMIZI YA WIZARA YA FEDHA NAMIPANGO
KWA MWAKA 2020/21
1.0 TANGULIZI
4
asilimia 11.2 na Usafirishaji na Uhifadhi wa Mizigo asilimia 8.7.
Sekta zilizokuwa na mchango mkubwa katika Pato la Taifa kwa
mwaka 2019 ni: Kilimo (asilimia 26.6); Ujenzi (asilimia 14.3);
Biashara na Matengenezo (asilimia 8.8); Viwanda (asilimia 8.5)
na Usafirishaji na Uhifadhi mizigo (asilimia 6.9). Aidha, mfumuko
wa bei umeendelea kubaki katika wigo wa tarakimu moja
ambapo kwa mwezi Machi 2020, ulikuwa asilimia 3.4.
5
jumla ya shilingi trilioni 16.06 katika kipindi cha Julai 2019 hadi
Machi 2020, sawa na asilimia 92.4 ya lengo. Mapato ya ndani
yameongezeka kutoka shilingi trilioni 14.07 hadi shilingi trilioni
16.06, sawa na asilimia 14.2 ikilinganishwa na kipindi kama
hicho mwaka 2018/19.
6
ukurasa wa 14 hadi wa 15.
7
21. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2020/21, Wizara
inatarajia kukamilisha taratibu za kuanzisha kituo cha ubia kati
ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi - PPP Center.
7 Usimamizi wa Taasisi na Mashirika ya Umma
Changamoto
10
(v) Mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu
unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19).
4.0 HITIMISHO
14