Professional Documents
Culture Documents
Wajumbe walioteuliwa ni
Uteuzi wa wajumbe hao watakaotumikia nafasi zao kwa kipindi cha miaka
mitatu, unafuatia makubaliano mapya ya namna ya kuendesha Kampuni hiyo
kwa ubia, yaliyofikiwa kati ya Serikali na Kampuni ya Barrick Gold, na kutiwa
saini tarehe 24 Januari, 2020, Jijini Dar Es Salaam.
Imetolewa na:
Benny Mwaipaja
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Wizara ya Fedha na Mipango