You are on page 1of 1

ISSN 0856

Notisi ya Tarehe ya Kuanza Kutumika kwa Sheria ya Uchaguzi - 034X


wa Rais,
Wabunge na Madiwani
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
Supplement No. 13 29th March, 2024
SUBSIDIARY LEGISLATION
To The Gazette of the United Republic of Tanzania No.13 Vol. 105 Dated 29th March, 2024
Printed by The Government Printer, Dodoma by Order of Government

TANGAZO LA SERIKALI Na. 225 la tarehe 29/3/2024

SHERIA YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI,


(NA. 1 YA MWAKA 2024)
_______

NOTISI
______
(Imetengenezwa chini ya kifungu cha 1)
________
NOTISI YA TAREHE YA KUANZA KUTUMIKA KWA SHERIA YA UCHAGUZI WA RAIS,
WABUNGE NA MADIWANI YA MWAKA 2024
Jina 1. Notisi hii itajulikana kama Notisi ya Tarehe ya
Kuanza Kutumika kwa Sheria ya Uchaguzi wa Rais,
Wabunge na Madiwani ya Mwaka, 2024.
Tarehe ya kuanza 2. Notisi inatolewa kwamba tarehe 12 Aprili, 2024
kutumika
Sheria Na. imeteuliwa kuwa tarehe ambayo Sheria ya Uchaguzi wa
1 ya 2024 Rais, Wabunge na Madiwani itaanza kutumika.

Dodoma, JENISTA J. MHAGAMA


26 Machi, 2024 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
Sera, Bunge na Uratibu

You might also like