Professional Documents
Culture Documents
P. 0. Box 78466, Plot No. 2u1 Block 46 Kijitonyama, Aujacent to Kijitonyama 0BSH Bostels,
Bai Es Salaam, TANZANIA
Tel: -2SS 22 277S79S Fax: -2SS 22 277S764 Cell: u78S 99Su88
E-mail: infojukwaalakatibatz.com, jukwaa.katibagmail.com, Web site: www.jukwaalakatibatz.com
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIWA BAADA YA MAKUBALIANO
YA KUAHIRISHA MCHAKATO WA KATIBA MPYA MPAKA BAADA
YA UCHAGUZI MKUU, 2015
TAARIFA KWA UMMA
1. UTANGULIZI
Jukwaa la Tanzania Tanzania (JUKATA) tumepokea tamko la vyama vya siasa lilitokana na
makubaliano yaliyoIikiwa kwenye mikutano kati ya vyama vya Siasa vilivyo chini ya Kituo
Cha Demokrasia Tanzania (TCD) na Mheshimiwa Rais iliyoIanyika tarehe 30/8/2014 na
8/9/2014 Ikulu ndogo ya Chamwino Dodoma kwa Iaraja na matumaini makubwa. Kutokana
na Mazungumzo hayo, imekubalika kuwa Mchakato wa Katiba mpya uahirishwe kwa sasa
hadi baada ya uchaguzi Mkuu, 2015. Aidha, imekubalika pia kuwa kwa kuwa katiba mpya
iliyotegemewa sana kuondoa kero na malalamiko ya wadau wa uchaguzi haitakuwepo tena
kabla ya uchaguzi wa 2015, kuIanyike marekebisho ya kikatiba na kisheria ili kunyoosha
maeneo kadhaa yanayohusu uchaguzi ikiwemo: luipa uhuru Tume ya Uchaguzi; kuruhusu
mgombea binaIsi; kulazimu kuwa mshindi wa naIasi ya urais lazima apate zaidi na nusu ya
kura zote; kuruhusu matokeo ya urais kuweza kupingwa mahakamani na kupanua uhuru wa
vyombo vya habari na wanahabari wakati na baada ya uchaguzi. Pia, imekubalika kuwa nje
ya uchaguzi, kutazamwe namna ya kurekebisha sheria ya Mabadiliko ya Katiba ili
kuirejeshea uhai Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Jambo moja ambalo labda limesahaulika
kwa bahati mbaya kuhusu uchaguzi ni kutazama upya naIasi ya majeshi hususani Jeshi la
Polisi katika uchaguzi ili kuaachia jukumu lao la asili la kulinda usalama wa raia na mali zao
na siyo zaidi ya hapo huku wakipunguziwa uwezo wa kutumia nguvu zinazovuka kiwango.
Kwa yote hayo, tunapongeza juhudi za wanasiasa zilizopelekea makubaliano haya muhimu!
Hata hivyo, imetushangaza sana kwa jinsi ambavyo mambo yaliyo wazi kama ya kukwama
kwa Mchakato wa Katiba yanavyoweza kuwachukua wanasiasa muda mreIu kuyaona kama
ilivyowachukua wanasiasa wa Tanzania pamoja na uchambuzi, ushauri na wito kutoka kwa
wataalam, wanaharakati na wananchi wenye mapenzi mema kwa nchi yetu ambao uliendelea
kutolewa kwa wakati wote wa takribani miezi sita iliyopita bila maIanikio. Ingawa
maaIikiano ya kuahirisha mchakato wa Katiba sasa yameIikiwa rasmi, pesa nyingi sana
zimekwishapotea bila sababu za msingi kwa sababu tu ya ugumu wa Wanasiasa kuIikia
maaIikiano. Inasikitisha pia kuwa hata baada ya makubaliano hayo ya kusitisha rasmi
Mchakato mzima wa Katiba, bado kumekuwa na kigugumizi cha kusitisha shughuli za Bunge
Maalum la Katiba na kuliacha likiendelea kutaIuna mabilioni ya ziada hadi tarehe 4 Oktoba
2014 huku ikijulikana wazi kuwa Bunge hili Maalum halitazaa rasimu yoyote mpya wala
katiba inayopendekezwa kwa kuwa tayari imeamriwa kuwa upigaji kura hautawezekana na
wala hautakuwepo tena. Aidha, yapo mambo mengine Kadhaa ambayo hayakupata Iursa
nzuri ya kujadiliwa katika mazungumzo ya vyama na Mheshimiwa Rais na kwa hivyo
yanatakiwa kutazamwa vizuri na kuzingatiwa tunapoelekea kutekeleza makubaliano hayo:-
1.1 KUAHIRISHA MCHAKATO WA KATIBA IKIWA NI
PAMO1A NA BUNGE MAALUM
Pamoja na wanasiasa kuchukua muda wote huo, kila Mtanzania mwenye nia nzuri na nchi
yetu anashukuru kwamba vyama vya siasa vimeamua kukubaliana kuahirisha mchakato wa
katiba mpya mpaka baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015. Jambo hili ni la busara kubwa na
limeIanywa kwa nia nzuri ya kuepusha uandikaji wa Katiba katika wakati ambapo kiwango
cha muaIaka na maridhiano kimetoweka kwa sababu ya joto la uchaguzi ujao. Pili, jambo hili
pia linaokoa mabilioni ya shilingi ambayo yameendelea kutumika huku misingi mikuu ya
uandishi na upatikanaji wa Katiba ya watu wote ikiwa imetoweka. Hilo lingeweza kupelekea
upotevu wa pesa na bado Katiba ya Nchi isipatikane. Aidha, imekubalika kuwa Bunge la
Katiba liendelee endelee mpaka tarehe 4/10/2014, ili kumalizia siku 60 za ziada ambazo
Mheshimiwa Rais alizipitisha kwa ajili ya Bunge Maalum la Katiba baada ya kumalizika kwa
siku 70 za awali mwezi Aprili 2014. Pamoja na Shukrani zetu, kuna hoja nzito na za msingi
ambazo ni vizuri kuzielewa ili bunge liweze kuahirishwa mara moja na bila kusubiria
kumalizika kwa siku 60 za nyongeza.
1.1.1 Bunge Maalum la Katiba (BMK) limekosa uhalali wa kisiasa kutokana na kutoka nje
ya bunge kwa kundi la UKAWA na mahudhurio duni kutokana na zaidi ya wabunge
25 wa CCM kutoshiriki vikao tangu Bunge lilipoanza Agosti 05, 2014. Aidha,
mahudhurio duni ya Mawaziri katika vikao vya Bunge hilo Maalum yamepelekea
kukosekana kwa akidi na uhalali wa Bunge hilo Maalum la Katiba mara kwa mara
katika awamu hii ya pili ya Bunge hilo.
1.1.2 Bunge pia limekosa uhalali wa kisheria itakapokuja kwenye kupata 2/3 kutoka
Zanzibar wakati wa kupigia kura viIungu na ibara mbalimbali za katiba, kwa hiyo
kuendelea kwa bunge la katiba ni kuendeleza wizi, uIujaji na kuIuru ya matumizi ya
Iedha za umma wa walipa kodi masikini wa Tanzania.
Kwa sababu ya uzoeIu wa michakato kama hii inapoIikia kuahirishwa kama ilivyotokea
hapa Tanzania, kumekuwa na wasiwasi juu ya endapo mchakato wa Katiba hautajikuta
ukihujumiwa na kuIutwa kinyemela. Jambo hili limewahi kutokea katika nchi kadhaa
AIrika ikiwemo Zambia ambapo Rais Mpya, tena kutoka upinzani, Mheshimiwa Michael
Satta (King Cobra) ameamua kuhujumu Mchakato wa Katiba Mpya ambao ulikwishaIikia
hatua nzuri ya Rasimu kama tulipoIikia sisi. Ili kuepuka hali Kama hiyo, inapendekezwa
kuwa iandaliwe ratiba Mpya ya Mchakato wa Katiba itakayoonesha matukio na tarehe
zote muhimu ikiwemo kuahirishwa na kuanza tena kwa Mchakato wa Katiba Mpya.
Ratiba (roadmap) hiyo mpya itapaswa kuingizwa na kupitishwa na Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania linalotarajiwa kukutana mwanzoni mwa Novemba 2014 ili iwe
sehemu ya sheria ya Mabadiliko ya Katiba ambayo italazimika kuheshimiwa na kuIuatwa
na yeyote atakayechaguliwa kuongoza Tanzania baada ya Uchaguzi Mkuu mwakani.
Pasipo kuweka kizuizi hiki cha uwezekano wa hujuma kwa Mchakato wa Katiba Mpya,
uhakika kuwa Katiba Mpya itakamilishwa baada ya uchaguzi utakuwa ni mdogo.
3. HA1A YA KUAHIRISHWA KWA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA
MITAA ILI UFANYIKE PAMO1A NA UCHAGUZI MKUU,
OKTOBA 2015
JUKWAA LA KATIBA TANZANIA tunaungana na wanaopongeza uamuzi wa
wanasiasa kuahirisha pia uchaguzi wa serikali za mitaa uliokuwa uIanyike mwezi
Septemba 2014 mpaka mwaka 2015. Hata hivyo zipo hoja za msingi kuhusu uchaguzi
huu pia:-
3.1 Uchaguzi huu umeahirishwa mpaka lini hasa? Hoja kuwa uchaguzi huu unaahirishwa
hadi mapema mwaka 2015 si halisia kwa sababu maandalizi ya uchaguzi huu
hayajaanza kabisa na kwa jadi huhitaji kati ya miezi mitano mpaka sita, kwa uchache.
Aidha, gharama za kuendesha chaguzi hizi mbili za serikali za Mitaa na Uchaguzi
Mkuu zingeweza kupungua endapo zitaIanyika tarehe moja. Hivyo, ni vizuri
ikajulikana kabisa ni lini uchaguzi huu muhimu sana kwa demokrasia ya nchi yetu
utaIanyika badala ya kuendeleza kigugumizi na kusema utaIanyika Mapema
mwakani`. Pia tunapendekeza chaguzi hizi ziIanyike siku ya kazi kama inavyoIanyika
katika nchi nyingine za Kenya, Zimbabwe, Malawi na AIrika Kusini ili kuweza
kuwapatia wananchi Iursa ya kutumia haki yao ya kidemokrasia kupiga kura badala
ya siku za mapumziko kama ambavyo imekuwa jadi hapa Tanzania.
3.2 Usimamizi wa uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa utakuwaje? Kumekuwa na
malalamiko mengi juu ya uhuru wa chombo kinachosimamia uchaguzi wa serikali za
Mitaa. Kwa sababu hiyo, kuendelea kwa TAMISEMI kusimamia chaguzi hizi
kutaendeleza malalamiko na kuleta maaIa makubwa katika nchi yetu kwani
TAMISEMI sio chombo cha kitaalamu cha kiuchaguzi. JUKATA tunapendekeza
kuwa kwa kuanzia uchaguzi wa Mwakani, chaguzi zote zisimamiwe na Tume Huru
miaka takribani 50 na bungeni kwa miaka 40 sasa akiwa anaIahamu Iika kuwa Katiba ni
suala ya maaIikiano, makubaliano na maridhiano kati ya nchi mbili zilizoungana mwaka
1964 yaani Tanganyika na Zanzibar na kususa kwa vigogo hawa muhimu wa SMZ ni
sawa na kususa kwa Zanzibar na kunaondoa uhalali wa Katiba itakayopendekezwa.
6.2 Mheshimiwa 1aji Frederick Werema, Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya
1amhuri ya Muungano wa Tanzania
Akiwa nguli wa tasnia ya Sheria na mshauri mkuu wa sheria katika Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, amekuwa bingwa wa kutoa taIsiri tata ndani na nje ya Bunge
kuhusu mchakato wa Katiba Mpya. Kwanza, aliwahi kushauri kuwa taIsiri ya siku 70 za
Bunge Maalum ni pamoja na siku za mapumziko na sikukuu na kuIanya Bunge Maalum
kuIanya kazi hadio Jumamosi katika awamu ya kwanza ya Bunge hilo. Baadaye,
aliendelea kutoa taIsiri toIauti na kupelekea Bunge hilo hilo (yeye akiwa mjumbe)
kubadili utaratibu na kuanza kupumzika siku za Jumamosi, Jumapili na sikukuu katika
awamu ya pili na hivyo kukiuka amri ya Rais kupitia tangazo la serikali (GN). Ni katika
hali hiyo kulitokea mkanganyiko wa endapo Bunge liishie tarehe 04 Oktoba au tarehe 31
Oktoba huku yeye akikubaliana na yoyote katika tarehe hizo. Pili, Mheshimiwa Werema
amekuwa mshauri mbaya wa Bunge Maalum la katiba akimwaminisha Mwenyekiti wake,
wabunge waliomo ndani na watanzania kuwa mchakato wa Katiba utakamilika hata bila
ya wajumbe wote hao walio nje na mahudhurio duni. Ndugu Werema amekuwa kinara wa
kushauri kuwa hata muundo wa serikali tatu ulio katika Rasimu unaweza kubadilika
kiuandishi na kuwa Rasimu ya serikali mbili bila shida jambo ambalo linapingwa na
wanasheria na wasomi wenzake wengi akiwemo Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu
wa Zanzibar. Ni msigano huu ndio umeuIikisha mchakato wa Katiba Mpya katika
mgogoro mkubwa zaidi ukiacha ule uliotokana na UKAWA kutoka nje. TaiIa
litakumbuka kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar amemwandikia Mwenyekiti wa
Bunge Maalum la Katiba kujitoa katika kamati ya uandishi wa Katiba inayopendekezwa
kwa kile anachoamini kuwa katiba mpya haiandikiki kwa mazingira ya uchakachuaji` ya
namna hii na kwamba maslahi ya Zanzibar yanakanyagwa` kwa uchakachuaji huo.
PENDEKEZO: Kutokana na makosa hayo ya upotoshaji ya Waheshimiwa hao,
JUKATA inawatangaza rasmi Mheshimiwa Samuel John Sitta, Mheshimiwa Jaji
Erederick Werema kuwa Maadui wapya wa Katiba Mpya Tanzania. Kwa tangazo hili,
JUKATA tunapendekeza kuwa watu hao wasiIikiriwe kwa naIasi yoyote ya kuchaguliwa
au kuteuliwa katika miaka kumi ijayo ili kutoa muda kwao kujitaIakari kwanza.
7. HITIMISHO
Kutokana na masuala ya Katiba kuwa na unyeti kwa taiIa zima na kwa jinsi
yanavyoshikamana na masuala ya uchaguzi ambayo nayo yana wadau wengi nje ya
wanasiasa; JUKWAA LA KATIBA TANZANIA tunaona haja ya kupanua wigo wa
mazungumzo na makubaliano yanayoendelea na yatakayokuja siku na miezi ijayo ili