Professional Documents
Culture Documents
Utangulizi
Haki ya kuundamana na kukusanyika ni haki za msingi kwa kila mtu, hizi ni haki
Katika ukurusa ntaenda kueleza uhalali wa haki hizi yaani haki ya kukusanyika
binadamu kama jinsi zilivyo haki zingine, hizi ni haki ambazo zinauhusiana na haki
Kwa mujibu wa katiba ya nchi yaani naamanisha sharia mama ya Tanzania [katiba
ibara ndogo ya kwanza (1) ambayo imempa kila mtu haki ya kufanya maandamano
Pamoja na haki ya kukusanyika, kwa lengo la kueleza mawazo yao au kutoa maoni
yao hadharani. Sitotaka kuelezea sana katika hili kwa sababu sharia yenyewe iko
wazi kabisa ukerejelea kwenye katiba ya Tanzania sehemu ya tatu kwenye [BASIC
RIGHT AND DUTIES] ibara ya (20) ibara ndogo ya kwanza imeeleza wazi kabisa
na wala hilo halina ubishi kuwa kila mtu ana haki ya kuundamana Pamoja na
kuzichambua sharia zingine za nchi juu ya uhalali wa haki hizi kwa sababu kwa
ndio sharia mama wa sharia zote na ndio sharia kuu na sharia yeyote itakayo
pingana na katiba basi hiyo sharia ni batiri kwa mujibi wa ibara ya (64) ibara
ndogo ya (5).
Utaratibu wa kufanya maandamano na mikusanyiko kisheria
Katika kipengele hichi naomba uwe makini unapo kisoma, ikotokea kuna chama
Na hapa naomba nieleweke vizuri, taasisi au chama au mtu itatakiwa kutoa taarifa
juu ya mkusanyiko huu au maandamano hayo kwa jeshi la polisi iwapo yatakuwa
eneo la umma baasi hakuna taarifa yeyote itatolewa na ieleweke kuwa hapa inayo
maandamano Tanzania
maandamano.
mikusanyiko na maandamano
Katika mfumo wetu wa Tanzania wazari mambo ya ndani anakuwa ni mwanasiasa
wa chama tawala kwaiyo kitendo cha yeye kupewa maamlaka ya kuongeza vigezo
anaweza kuongeza vigezo ambavyo vitakuwa vigumu kwa mpinzani wake pia
rufani pale inapo tokea mtu hajaridhishwa na maamuzi yaliyo tolewa na chombo
cha polisi pia katika hili limetoa mwanya wa ukandamizaji ikitokea mrufani ni
yaliyo tolewa na chombo chochote cha uongozi kwenda mahakama kuu kuomba
marejeo ya uuamuzi.
Mwisho kabisa naona sharia ingaemtaka wazi waziri ni aina gani ya maadamanona
kisheria, katika utawala wa kisheria unataka kufanya kazi kwa kufata usawa,
amapo ukirejere katika ibara ya (13) ibara ndogo ya kwanza ya katiba ya jamhuri
wa muungano wa taanzania yam waka 1977 sura ya pili ambayo inamtaka kila mtu
kuwa sawa mbele pasipo kuwepo na ubaguzi wa aina yeyote ile kulindw, kwaiyo