Professional Documents
Culture Documents
46 Sam Nujoma Road - Mwenge, P.O.Box 76068, 14113 Dar es Salaam, Tanzania
Tel: (General) +255 22 2772432/2772433; Fax: +255 22 2700286;
E-mail: info@heslb.go.tz; Website: www.heslb.go.tz
Jibu: Uhakiki wa cheti cha kuzaliwa au kifo ni hitaji muhimu ili kukamilisha
maombi ya mkopo. Ni lazima kuhakiki vyeti husika, kisha uvipakie
(upload) kwenye OLAMS kwenye vidirisha vya kuambatanishia
(attachments) na baadae vyeti vyote viliyohakikiwa vitumwe HESLB.
Jibu: Kama umehitimu kidato cha sita mwaka 2017, unatakiwa kutaja index
number ambayo itatumika kuhakiki matokeo kutoka mamlaka husika.
Kwa mhitimu wa diploma, unaweza kuambatanisha waraka wa matokeo
(transcript).
Jibu: Kwa kuwa kuna njia zaidi ya moja ya kulipia, unashauriwa kuchagua na
kutumia njia ya malipo ambayo ni rahisi kwako au sehemu uliyoko wakati
ukifanya malipo.
10. Swali: Kama mwaka jana au kabla nilikuwa na umri chini ya miaka
30, je mwaka huu naweza kuomba?
2
11. Swali: Iwapo niliwahi kupata mkopo zamani, na ninatakiwa
kulipia 25% kabla ya kuomba tena, je nitafikiriwa kwa vigezo vya
zamani ?
Jibu: Unaruhusiwa kuomba upya mkopo mwaka huu. Maombi yako yatapimwa
kwa mwongozo na vigezo vya mwaka 2017/18.
3
ukipata ugumu wowote usisite kuwasiliana na Kitengo cha Msaada
(HelpDesk) kwa ufafanuzi zaidi.
Jibu: Kuna njia mbili za kuwafikia watoa huduma wa kitengo cha usaidizi
(HelpDesk), kwa simu +255 22 550 7910 au kwa barua pepe
helpdesk@heslb.go.tz. Unashauriwa kuwasilisha taarifa au changamoto
husika kwa njia ya barua pepe ili wataalamu waifanyie kazi na kukupigia
kama itahitajika. Kumbuka kuandika mawasiliano yako ya simu
itakayotumika kukupigia.