Professional Documents
Culture Documents
Mhusika ataje majina yote rasmi anayotumia kwa herufi kubwa kama yalivyo
kwenye vyeti au viapo kama vipo.
1
v. Historia ya Uzoefu wa kazi alionao
Uchambuzi huo uanzie nafasi aliyonayo na kazi ya sasa hadi aliyoanzia kushika
ikionyesha Mwajiri, Kipindi/Muda na Majukumu aliyokuwa akiyatekeleza.
2
v. Madhumuni ya barua
Mwombaji aeleze elimu aliyonayo akianzia na elimu ya juu aliyonayo na
chuo alichomaliza/vyuo alivyomaliza
Umri wake
Kwa nini anaomba nafasi na uzoefu wake kwa ufupi sana
vi. Hitimisho
Matarajio yake (kwa kifupi)
Jina
Kuhakikisha umeweka saini
vii. Vyeti vya kuhitimu mafunzo ya Vyuo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi
husika.
3
- Shahada ya juu/Shahada/Stashahada ya juu/Stashahada/Astashahada.
xii. Umri uliopo Kisheria ambao unamwezesha mwombaji kuajiriwa katika utumishi
wa umma kwa masharti ya kudumu ni miaka 45. Umri huu umewekwa kisheria ili
kumwezesha kuchangia mafao yake ya uzeeni kwa miaka 15. Aidha, kwa wale
wenye umri wa zaidi ya miaka 45 wanaweza kuajiriwa kwa mkataba kulingana na
mahitaji.
- Wakati wa kuwasilisha maombi yake aambatanishe nakala ya vyeti vya taaluma
kuanzia kidato cha nne na kuendelea kwa kuzingatia sifa ya kazi husika.
4
www.ajira.go.tz ataona sehemu imeandikwa (Recruitment Portal) ataingia hapo
kwa kufuata maelekezo hatua kwa hatua.
5
vii. Baada ya kukamilisha kujaza taarifa zako katika mfumo wa maombi
unapaswa kupakia nyaraka stahiki zilizoainishwa baada ya hapo mfumo
utakujulisha papo hapo kupokelewa au kukwama kwa maombi yako.
Imetolewa na;
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini katika Sekretarieti ya Ajira- 9/10/2020