KUPATA TAARIFA ZA AJIRA MPYA, FURSA NA ELIMU HARAKA KILA SIKU
TEMBELEA WWW.AJIRALEO.COM
Job application procedure
Waombaji Ni Lazima Wawasilishe Wasifu Wao (CV) Kupitia Email Ifuatayo: oac@ym.com.tr ( Tafadhali andika nafasi ya kazi unayoiomba katika kichwa cha habari (Subject) cha barua pepe yako)
Wasifu (CV) ni lazima ijumuishe vitu vifuatavyo
• Nafasi ya kazi unayoomba • Namba za simu za muombaji wa kazi • Anuani ya makazi ya muombaji • Kiwango cha elimu na rekodi ya uzoefu wa kazi • Walau majina mawili ya wadhamini Pamoja na mawasiliano yao
MUHIMU KUZINGATIA • Tuma wasifu wako wa kazi pekee • Usiambatanishe barua nyingine wala vyeti • Nyaraka nyingine zitahitajika baada ya wasifu kufanyiwa kazi
TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI
• Yapi Merkezi HATUNA MAHUSIANO na na kampuni yoyote ya kuajiri au wakala binafsi wa ajira! • Yapi Merkezi HATUTOZI GHARAMA YOYOTE au kupoke kiasi chochote cha pesa kwa ajili ya maombi ya kazi au kupata ajira! • Chukua tahadhari na toa taarifa kwa mamlaka husika kuhusu kitendo chochote haramu kuhusu ajira.
KUPATA TAARIFA ZA AJIRA MPYA, FURSA NA ELIMU KATIKA SIMU YAKO
KWA HARAKA ZAIDI! PAKUA/DOWNLOAD/INSTALL APP YETU BONYEZA HAPA