Professional Documents
Culture Documents
2. HAJA YA UCHAGUZI:
Kufuatia Sheria ya Vyama Vya Ushirika; Sheria Namba 6 ya mwaka 2013, Vyama
Vyote vya Ushirika ikiwa ni pamoja na Chama chetu vinatakiwa kufanya Uchaguzi wa
Viongozi wake,Hivyo Bodi ya chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Tanesco
Mbeya ;kinawatangazia wanachama wake kuwepo kwa nafasi za uongozi .
3. SIFA ZA WAGOMBEA
Awe mwanachama hai(amelipia ADA, anachangia Hisa na AKIBA zake kila
mwezi) na awe mwadilifu na mwaminifu.
Mwenye uwezo kushirikiana na kujitolea kufanya kazi za chama.
Awe ana sifa zilizoainishwa katika kifungu namba 49 cha masharti ya chama.
VENERANDA NOVATUS
MENEJA
Nakala: Afisa Ushirika Jiji– Mkoa wa Mbeya