Professional Documents
Culture Documents
KATIBU WA KIKUNDI
NADHIFA GROUP
S.L.P 40
KILWA KIVINJE
TOLEO LA KWANZA
MWAKA 20022
YALIYOMO
1
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE
1. SEHEMU YA KWANZA...........................................................................................................4
2. SEHEMU YA PILI......................................................................................................................5
3. SEHEMU YA TATU..................................................................................................................5
3.1 UANAKIKUNDI...................................................................................................................5
4. SEHEMU YA NNE.....................................................................................................................8
4.1 Michango................................................................................................................................8
5. SEHEMU YA TANO................................................................................................................10
6. SEHEMU YA SITA..................................................................................................................11
2
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE
6.1.3 Mkutano Mkuu wa Dharura........................................................................................11
7. SEHEMU YA SABA................................................................................................................14
8. SEHEMU YA NANE................................................................................................................16
9. SEHEMU YA TISA..................................................................................................................17
3
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE
1. SEHEMU YA KWANZA
(e) “Kitega uchumi” (Investment) ni uwekezaji wenye kuleta tija kwa kikundi
4
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE
2.0.SEHEMU YA PILI
Malengo mahususi:
(a) Kushirikiana na kusaidiana wakati wa shida na raha.nk
(b) Kuweza kutatua na kukabiiana na changamotzo za kilimo cha mwani kwa kupitia kikundi.
(c) Kuwezesha wanakikundi kuimarishana kiuchumi na hali ya maisha kwa:-
i. Kupokea na kuweka michango ya fedha za wanakikundi
ii. Kuanzisha na kuendeleza shughuli zozote halali za kiuchumi kwa manufaa ya
wanakikundi kama itakavyokubaliwa katika mkutano halali wa wanakikundi
iii. Kuwezesha kifedha shughuli binafsi za wanakikundi kwa masharti yaliyokubaliwa
na wanakikundi
iv. Kuhamasisha ushirikiano na wanakikundi wenye changamoto mbalimbali kama
ulemavu, uzee, uyatima, uathirika wa ukimwi na watoto wa mitaani.
2.2.SEHEMU YA TATU
1.1 UANAKIKUNDI
5
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE
mkuu kuwa mwanachama.
ii. Kulipa kiingilio kama inavyoonyeshwa katika kanuni za kikundi, au kama itakavyo
amuliwa na Mkutano halali wa kikundi.
iii. Ili kuondoa tofauti ya michango kati ya mwanakikundi ambaye yupo na yule
anayetaka kujiunga, wanakikundi watakubaliana kiasi cha fedha atakachotakiwa
kuchangia mtu anayetaka kijiunga na muda wa kukamilisha mchango huo.
3.1.2.Haki za Mwanakikundi
6
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE
mwingine.
iii. Asilimia ishirini (20%) ya kiasi kilichobaki baada ya kipengele (i) na (ii) hapo
juu kutumika, itabaki kwenye mfuko wa kikundi. Kiasi hiki kitatumika kadiri ya
kanuni za kikundi kwa maendeleo ya kikundi.
iv.
4. Kutii na kufuata maazimio yote ya Mkutano wowote halali hata ikiwa hakuwepo
kwenye mkutano huo, au kutoshiriki katika kupitisha azimio hilo
4.0.SEHEMU YA NNE
4.1 Michango
(b) Endapo mwanakikundi atachelewa kulipa kiasi hicho, au asipolipa kabisa, utaratibu wa
faini (penalty) na adhabu nyingine zilizokubaliwa katika kanuni za kikundi zitatumika.
(c) Mtunza fedha wa kikundi atatoa taarifa sahihi za michango yote iliyokusanywa siku ya
mkutano akionyesha wale waliolipa, wanaodaiwa, aina ya michango iliyokusanywa na
habari nyingine inayofaa kadiri ya utaratibu wa hesabu za fedha.
(b) Kila mwanakikundi atatakiwa kulipa kiasi cha fedha kilichopitishwa kwa wakati sahihi, na
kwa utaratibu uliowekwa; na atakayekiuka, kipengele cha faini kitatumika.
(b) Kiasi cha faini na utaratibu wa kulipa faini utaratibiwa kadiri ya kanuni za kikundi.
Ikiwa wanakikundi wataona inafaa na wakaridhia kwa zaidi ya theluthi mbili (2/3), na kutegemeana
na kosa, mwanakikundi atasimamishwa uanachama na kushitakiwa kwenye vyombo vya sheria.
(i) Kundi A
Kundi hili litajumisha kamati kuu tendaji yaani Mwenyekiti, Makamu mwenyekiti,
Katibu, na Katibu Msaidizi. Kama mmoja wa kiongozi hayupo, mfumo utazingatia
mtiririko Katika uongozi kutoka juu kwenda chini.
(ii) Kundi B
Bila kuathiri matakwa ya kuidhinisha malipo, iwapo watajwa katika ibara 4.4(c) (i) na
(ii) watakuwa na mgongano wa kimaslahi aidha ya kindugu ama kwa namna yeyote
ile basi ni lazima ikaepukwa kwa maslahi ya kikundi.
4.0.SEHEMU YA TANO
SEHEMU YA SITA
11
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE
(a) Mwenyekiti/Makamu mwenyekiti/Katibu/Katibu Msaidizi/mwanakikundi kwa idadi
isiyopungua theluthi mbili ataitisha/wataitisha Mkutano Mkuu wa Dharura kwa
jambo la dharura linalohusu kikundi kama vile Msiba, Ugonjwa, Kuibiwa mali za
Kikundi na yanayofanana na hayo.
(b) Ikiwa kiongozi yeyote atasitishwa uongozi kama inavyoelezwa katika kipengele
cha 6.3.4, utaitishwa mkutano maalum wa uchaguzi kwa nafasi yake.
i. Mwenyekiti
ii. Makamu Mwenyekiti
iii. Katibu
iv. Katibu Msaidizi
v. Mweka Hazina
12
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE
(b) Kundi linaweza kuwa na wadhamini mpaka watatu (3) ambao watapendekezwa
na kamati kuu na kuidhinishwa na mkutano mkuu wa wanakikundi. Hawa
watakuwa ni washauri wakuu wa masuala mbalimbali yatakayohusu
maendeleo ya kikundi.
(b) Viongozi waliomaliza muda wao wanaweza kuchaguliwa tena lakini wasiwe
13
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE
wamekalia nafasi hiyo hiyo kwa zaidi ya vipindi vitatu mfululizo.
iv. Ataamua kujiuzulu kwa ridhaa yake mwenyewe kwa maslahi ya kikundi; na
zaidi ya nusu ya wanakikundi wamekubaliana na ombi lake la kujiuzulu
(b) Kiongozi aliyesitishwa kuongoza atawajibika kukabidhi mali na taarifa sahihi kwa
kikundi (au kiongozi mwingine aliyechaguliwa) kwa utaratibu ulioanishwa kwenye
kanuni za kikundi.
6.SEHEMU YA SABA
7.1Kamati za Kikundi
(a) Kikundi kitakuwa na kamati za kudumu zitakazosaidiana na Kamati Kuu
kufanikisha mipango na shughuli za kikundi
(b) Kamati nyingine zozote za Muda zinaweza kuundwa katika mikutano ya kawaida
ya mwezi kulingana na matukio au umuhimu wa kuwepo kamati hizo.
14
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE
i. Kupitia na kujadili mapato na matumizi ya kikundi kabla ya kufikishwa
kwenye Mkutano Mkuu wa Wanakikundi
SEHEMU YA NANE
(b) Ikiwa jambo husika linahitaji maamuzi ya wanakikundi wote, Kamati Tendaji
itawasilisha mapendekezo yao kwenye mkutano wa wanakikundi wote kwa uamuzi wa
15
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE
mwisho.
5.SEHEMU YA TISA
(b) Endapo Kikundi hiki kitavunjwa, Mali zote za kikundi zitafilisiwa ili kulipia madeni
yatakayokuwa yanakikabili kikundi hadi wakati huo
(c) Fedha zitazobakia baada ya kulipa madeni, zitagawanywa kwa wanakikundi wote
kulingana na muda na kiasi cha michango ya kila mmoja.
(d) Endapo fedha zilizopo hazitoshi kulipa deni, salio la deni litagawanywa kwa utaratibu
16
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE
sawa na wa kipengele 9.1 (c) hapo juu.
17
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE
18
KIKUNDI CHA WAKULIMA WA MWANI-KILWA KIVINJE