Professional Documents
Culture Documents
KWA,
MENEJA WA BANK YA CRDB,
TAWI LA LUMUMBA,
DAR ES SALAAM.
Uongozi wa chama cha MCHIMACO tunaomba kubadilisha watia Saini katika akaunti ( account )
yetu yenye No o150372439800 hii ni kutokana na mfumo wa uchaguzi baada ya miaka sita. Hivyo
baada ya uchaguzi hulio fanyika tarehe 26/02/2022 tumepata bodi mpya kama ifuatavyo.
Hivyo kutokana na sababu tajwa hapo juu Bodi ya MCHIMACO imeridhia mabadiliko hayo na
imewateuwa watia Saini wapya ambao ni kama ifuatavyo
Tunatanguliza shukurani za dhati kwako pia tunatumaini ombi letu litasikiizwa na kufanyiwa kazi
“Pamoja na salamu za ushilika kwa pamoja tujenge uchumi”
Ahsante
……………………………………… ………………………………
M/KITI KATIBU