Professional Documents
Culture Documents
Mkataba huu ni wa miezi sita, baada ya miezi sita, tutaingia mkataba mpya
kulingana na hali ya biashara. Mkataba huu utaanza leo tarehe 5/11/2014
mpaka 5/6/2014 kwa awamu ya kwanza.
Kila wiki ninakubali kuwakilisha kiasi cha pesa cha shilingi 180,000/=TSH
kwa mmiliki. Kwa kipindi hiki chote cha miezi sita, gharama za service,
matengenezo na dharura zozote zitakuwa juu yangu isipokuwa gharama za
insurance.
Sahihi
Msimamizi Mmiliki
…………………………. ……………………………..