You are on page 1of 1

MKATABA WA UPANGAJI WA NYUMBA/CHUMBA:

YAH: PANGO LA NYUMBA ILIYOPO ENEO LA TABATA MSIMBAZI

Mimi………………………………………………………………………. Nikiwa na akili zangu timamu bila ya


kushawishiwa na mtu yeyote nimeamua kumpangisha chumba

Ndugu ………………………………………………………….. kwa thamani ya Tsh………………………………..kwa


mwezi. Ambapo anatakiwa kulipa kwa miezi sita/ mwaka ambayo ni sawa na

Tshs ……………………………………………………………………………………………mkataba huu


utaanza/umeanza tarehe……………………………………………………….na kumalizika
tarehe…………………………………………….

MASHARTI YA MKATABA HUU.

1. Usifanye matengenezo bila ruhusa ya mwenye nyumba.


2. Usafi wa ndani na eneo linalozunguka nyumba ni muhimu kwa mpagaji.
3. Mpangaji anatakiwa kulipa mkataba unaofuata siku saba kabla mkataba wa sasa kuisha.
4. Huruhusiwi kubadilishana na mtu Nyumba/ Chumba bila idhini ya mwenye nyumba.

MAKUBALIANO HAYA YAMEFANYIKA NA PANDE ZOTE MBILI NA KUTILIANA SAHIHI KAMA


IFUATAYO:-

JNA KAMILI LAMWENYE NYUMBA/CHUMBA SAINI TAREHE

………………………………………………………………….. …. ……………. …………………….

JINA KAMILI LA MPANGAJI

…………………………………………………………………. ………………. ……………………….

NAMBA YA SIMU YA MWENYE NYUMBA/CHUMBA………………………………………………………………

NAMBAYA SIMU YA MPANGAJI……………………………………………………………………………………………..

You might also like